SlideShare a Scribd company logo
1 of 5
Download to read offline
Somo la 3
Kiingereza: Present Continuous Tense – Active Voice.
Tamka: (Prezenti Kontinwuazi Tensi - Aktivu Voisi).
Kiswahili: Wakati uliopo na unaoendelea – Katika hali ya kutenda.
Mifano ya Sentensi hizi katika Kiswahili ni kama ifuatavyo:-
1. Mimi nina zungumza Kiingereza.
N + S + T
2. Wao wana kula ugali.
N + S + T
3. Yeye “Mwanamke” ana iba kitabu.
N + S + T
4. Musa ana chukua kikombe.
N + S + T
Katika Kiingereza:-
S ni am, are, is.
T - huwa katika hali ya ‟CONT‟ yaani “Continous, tamka(Kontinwuazi)”
yaani huongezwa ‟ing’ kama ifuatavyo:-
- Zungumza, huwa – speaking, tamka (spiking).
- Kula, huwa – eating, tamka (iting).
- Iba huwa – stealing, tamka (stiling).
- Chukua huwa - taking, tamka (teking).
Kwa mujibu wa kanuni rahisi za Ras Simba hali hii ya kuongeza „ing‟ mwisho wa tendo
la Kiingereza huitwa „Cont.‟ lakini kwa mujibu wa kanuni nyingine ngumu zisizowasaidia
watu huitwa Present Participle, tamka (Prezenti patisipo).
.
1. Kanuni ya sentensi fasaha za Kiingereza za nina, tuna, una, mna, ana na wana katika
hali ya kutenda, yaani sentensi za ‘Present Continuous Tense – Active Voice’ ni :
N + S + T(CONT).
(1).(a). Mimi nina zungumza Kiingereza.
I am speaking English .Tamka (Ai em spiking Inglish).
N + S + T(CONT)
(1).(b) Wao wana kula ugali.
They are eating ugali.Tamka (Dhei a iting ugali).
N + S + T(CONT).
(1).(c) Yeye „‟mwanamke“ ana iba kitabu.
She is stealing a book. Tamka (Shi izi stiling e buku).
N + S + T(CONT).
(1).(d) Musa ana chukua kikombe.
Musa is taking a cup. Tamka (Musa izi teking e kapu).
N + S + T(CONT).
(1).
Mimi nina Sisi tuna
I am We are
N +S N + S
Wewe una Nyinyi mna
You are You are
N + S N + S
Yeye ana Wao wana
-He is They are
Musa is N + S
- She is
-Asha is
-It is
-A dog is
N +S
2. Kanuni ya kuuliza maswali ya nina, tuna, una, mna, ana na wana, yaani
maswali ya ‘Present Continuous Tense – Active voice’ ni: S + N + T(CONT)?
(2).(a).(i). Je, wewe una zungumza Kiingereza?
Are you speaking English? Tamka (A yu spiking Inglish)?
S + N + T(CONT)
(2).(a).(ii). Ndiyo, mimi nina zungumza Kiingereza.
Yes, I am speaking English.
YES + N + S + T(CONT).
Tamka (Yesi, Ai em spiking Inglish).
(2).(a).(iii). Hapana, mimi sizungumzi Kiingereza.
No, I am not speaking English.
NO + N + S +NOT +T(CONT).
Tamka (No, Ai em noti spiking Inglish).
(2).(b).(i). Je, Musa ana chukua Kikombe?
Is Musa taking a cup? Tamka (Izi Musa teking e kapu)?
S + N + T(CONT)
(2).(b).(ii). Ndiyo, Musa ana chukua kikombe.
Yes, Musa is taking a cup. Tamka (Yesi, Musa izi teking e kapu).
YES+ N + S +T(CONT).
(2).(b).(iii).Hapana, Musa hachukui kikombe.
No, Musa is not taking a cup. (Nzuri kwa kuandika).
NO + N + S + NOT +T(CONT).
Tamka (No, Musa izi noti teking e kapu)
(2).(b).(iv). Hapana, Musa hachukui kikombe.
No, Musa isn‟t taking a cup. (Nzuri kwa kuongea).
NO + N + ISN’T + T(CONT).
Tamka (No, Musa iznti teking e kapu).
(2).
ZOEZI LA 3.
Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:-
Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):-
Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:-
(1).(i). Kiswahili: Kimbute ana rudi kutoka China.
Kiingereza: __________ ___ ____________ _____ _______ ______.
Kanuni: N + S + T(CONT
- N - Kimbute.
- S – is, tamka (iz).
- T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi.
- From China, tamka (from Chaina). – kutoka China.
(1).(ii). Kiswahili: Je, Kimbute ana rudi kutoka China?
Kiingereza: ___ ___________ ___________ _____ ______ _______?
Kanuni: S + N + T(CONT)
- S – is, tamka (iz).
- N - Kimbute.
- T(CONT) - coming back, tamka (kaming baki) – rudi.
- From China, tamka (from Chaina). – kutoka China.
(1).(iii). Kiswahili: Ndiyo, Kimbute ana rudi kutoka China ?
Kiingereza: ____ ___________ ____ _________ ____ _______ _______
Kanuni: YES + N + S + T(CONT)
- Yes, tamka (Yesi) – Ndiyo.
- N - Kimbute.
- S – is, tamka (izi).
- T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi.
- From China, tamka (from Chaina). – kutoka China.
(1).(iv). Kiswahili: Hapana, Kimbute harudi kutoka China.
Kiingereza: ____ __________ ____ ____ _______ ____ _____ ______.
Kanuni: NO + N + S + NOT +T(CONT)
- No, tamka (no) – Hapana.
- N - Kimbute.
- S – is, tamka (iz).
- T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi.
- From China, tamka (from Chaina). – kutoka China.
(1).(v). Kiswahili: Hapana, Kimbute harudi kutoka China.
Kiingereza: _____ __________ _____ ________ _____ _____ ______.
Kanuni: NO + N + ISN’T + T(CONT)
- No, tamka (no) – Hapana.
- N - Kimbute.
- T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi.
- From China, tamka (from Chaina). – kutoka China.
(3).
(2).(i). Kiswahili: Sisi tuna peleka pesa dukani.
Kiingereza: ____ ____ __________ ______ _______ to ____ ______.
Kanuni: N + S + T(CONT)
- N – We, tamka (wi). Sisi.
- S – are, tamka (a).
- T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka.
- Some money, tamka (sam mane). – pesa.
- A shop, tamka (e shopu). - dukani
(2).(ii). Kiswahili: Je, nyinyi mna peleka pesa dukani?
Kiingereza: _____ _____ __________ _______ _______ to __ _____?
Kanuni: S + N + T(CONT)
- S – are, tamka (a).
- N – You, tamka (yu).- nyinyi.
- T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka.
- Some money, tamka (sam mane). – pesa.
- A shop, tamka (e shopu). – dukani.
(2).(iii). Kiswahili: Ndiyo, sisi tuna peleka pesa dukani.
Kiingereza:____ ____ ____ _________ ______ _______ to ___ _____.
Kanuni: YES + N + S + T(CONT)
- Yes, tamka (yesi) – Ndiyo.
- N – We, tamka (wi). – sisi.
- S – are, tamka (a).
- T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka.
- Some money, tamka (sam mane). – pesa.
- A shop, tamka (e shopu). – dukani.
(2).(iv). Kiswahili: Hapana, sisi hatupeleki pesa dukani.
Kiingereza:___ ____ ____ ____ __________ _____ _____ to __ _____.
Kanuni: NO+ N + S + NOT+ T(CONT)
- No, tamka (no) - Hapana.
- N – We, tamka (wi). Sisi.
- S – are, tamka (a).
- T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka.
- Some money, tamka (sam mane). – pesa.
- A shop, tamka (e shopu). – dukani.
(2).(v). Kiswahili: Hapana, sisi hatupeleki pesa dukani.
Kiingereza: ____ ____ ______ _________ ______ ________ to ____ _____.
Kanuni: NO + N +AREN’T+ T(CONT)
- No, tamka (no) - Hapana.
- N – We, tamka (wi). – sisi.
- S – are, tamka (a).
- T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka.
- Some money, tamka (sam mane). – pesa.
- A shop, tamka (e shopu). – dukani.
(4).
(3).(i Kiswahili: Mimi nina uza sukari.
Kiingereza: ___ ____ ____________ _______ ___________.
Kanuni: N + S + T(CONT)
- N – I, tamka (ai). – mimi.
- S – am, tamka (em).
- T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza.
- Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari.
(3).(ii). Kiswahili: Je, wewe una uza sukari?
Kiingereza: _____ ______ _____________ __________ ____________?
Kanuni: S + N + T(CONT)
- S – are, tamka (a).
- N – You, tamka (yu). – wewe.
- T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza.
- Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari.
(3).(iii). Kiswahili: Ndiyo, Mimi nina uza sukari.
Kiingereza: ____ _____ ___ __________ _______ ________.
Kanuni: YES + N + S + T(CONT)
- Yes, tamka (yesi) – Ndiyo.
- N – I, tamka (ai). – mimi.
- S – am, tamka (em).
- T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza.
- Some Sugar, tamka(sam shuga).- sukari.
(3).(iv). Kiswahili: Hapana, mimi siuzi sukari.
Kiingereza: ____ ____ ____ ____ _________ _______ __________.
Kanuni: NO + N + S + NOT+ T(CONT)
- No, tamka (no) - Hapana.
- N – I, tamka (ai). – mimi.
- S – am, tamka (em).
-T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza.
- Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari.
Somo hili ni sehemu ya kitabu kilichoandikwa na Ras Simba kiitwacho “Let the World Speak English and
Swahili”, kitabu ambacho kikiwa pamoja na video yake kitamuwezesha mtanzania yeyote kuongea na
kuandika Kiingereza fasaha bila ya kufundishwa na mwalimu, na kumuwezesha mzungumzaji yeyote wa
Kiingereza kujua Kiswahili bila ya kufundishwa na mwalimu, kitauzwa Tanzania, Uingereza na Marekani
kwa bei ya sh. laki 2. Kitabu hiki kwa upande wa kufundisha Kiingereza kanuni zake huitwa N+S+T au
P+H+V, lakini kwa upande wa kufundisha Kiswahili kanuni zake huitwa P+H+V tu. Ukiwa tayari kulipa
kabla hakijatoka utalipa sh. laki moja tu na utakabidhiwa kitabu na video yake siku ya uzinduzi wake
rasmi. Kitabu hiki ni kizuri sana kwa watu wasio na nafasi ya kuhudhuria darasani. Kama upo tayari kulipa
kabla ni vizuri sana kwani utachangia mtaji wake. Malipo yote ya kabla hufanywa kwa Ras Simba
mwenyewe kupitia akaunti zake za Barclays, CRDB, NMB au tigo pesa 0714 – 69 29 69.
(5).

More Related Content

What's hot (6)

Somo la 29
Somo la 29Somo la 29
Somo la 29
 
Somo la 16
Somo la  16Somo la  16
Somo la 16
 
Unitˆ Uno E Due
Unitˆ Uno E DueUnitˆ Uno E Due
Unitˆ Uno E Due
 
Somo la 20
Somo la  20Somo la  20
Somo la 20
 
Rumus 16 tenses bahasa
Rumus 16 tenses bahasaRumus 16 tenses bahasa
Rumus 16 tenses bahasa
 
English (TENSES)
English (TENSES)English (TENSES)
English (TENSES)
 

More from makukuzenyu (20)

Somo la 30
Somo la 30Somo la 30
Somo la 30
 
Somo la 28
Somo la 28Somo la 28
Somo la 28
 
Somo la 26
Somo la  26Somo la  26
Somo la 26
 
Somo la 23
Somo la  23Somo la  23
Somo la 23
 
Somo la 22
Somo la  22Somo la  22
Somo la 22
 
Somo la 21
Somo la  21Somo la  21
Somo la 21
 
Somo la 19
Somo la  19Somo la  19
Somo la 19
 
Somo la 18
Somo la  18Somo la  18
Somo la 18
 
Somo la 17
Somo la  17Somo la  17
Somo la 17
 
Somo la 16
Somo la  16Somo la  16
Somo la 16
 
Somo la 15
Somo la  15Somo la  15
Somo la 15
 
Somo la 14
Somo la  14Somo la  14
Somo la 14
 
Somo la 12
Somo la  12Somo la  12
Somo la 12
 
Somo la 11
Somo la  11Somo la  11
Somo la 11
 
Somo la 10
Somo la  10Somo la  10
Somo la 10
 
Somo la 9
Somo la  9Somo la  9
Somo la 9
 
Somo la 8
Somo la  8Somo la  8
Somo la 8
 
Somo la 7
Somo la  7Somo la  7
Somo la 7
 
Somo la 6
Somo la  6Somo la  6
Somo la 6
 
Somo la 5
Somo la  5Somo la  5
Somo la 5
 

Recently uploaded

Recently uploaded (20)

80 ĐỀ THI THỬ TUYỂN SINH TIẾNG ANH VÀO 10 SỞ GD – ĐT THÀNH PHỐ HỒ CHÍ MINH NĂ...
80 ĐỀ THI THỬ TUYỂN SINH TIẾNG ANH VÀO 10 SỞ GD – ĐT THÀNH PHỐ HỒ CHÍ MINH NĂ...80 ĐỀ THI THỬ TUYỂN SINH TIẾNG ANH VÀO 10 SỞ GD – ĐT THÀNH PHỐ HỒ CHÍ MINH NĂ...
80 ĐỀ THI THỬ TUYỂN SINH TIẾNG ANH VÀO 10 SỞ GD – ĐT THÀNH PHỐ HỒ CHÍ MINH NĂ...
 
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
 
UGC NET Paper 1 Mathematical Reasoning & Aptitude.pdf
UGC NET Paper 1 Mathematical Reasoning & Aptitude.pdfUGC NET Paper 1 Mathematical Reasoning & Aptitude.pdf
UGC NET Paper 1 Mathematical Reasoning & Aptitude.pdf
 
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual Proper...
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual  Proper...General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual  Proper...
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual Proper...
 
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
 
How to setup Pycharm environment for Odoo 17.pptx
How to setup Pycharm environment for Odoo 17.pptxHow to setup Pycharm environment for Odoo 17.pptx
How to setup Pycharm environment for Odoo 17.pptx
 
Plant propagation: Sexual and Asexual propapagation.pptx
Plant propagation: Sexual and Asexual propapagation.pptxPlant propagation: Sexual and Asexual propapagation.pptx
Plant propagation: Sexual and Asexual propapagation.pptx
 
Basic Civil Engineering first year Notes- Chapter 4 Building.pptx
Basic Civil Engineering first year Notes- Chapter 4 Building.pptxBasic Civil Engineering first year Notes- Chapter 4 Building.pptx
Basic Civil Engineering first year Notes- Chapter 4 Building.pptx
 
SOC 101 Demonstration of Learning Presentation
SOC 101 Demonstration of Learning PresentationSOC 101 Demonstration of Learning Presentation
SOC 101 Demonstration of Learning Presentation
 
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
 
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds in the Classroom
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds  in the ClassroomFostering Friendships - Enhancing Social Bonds  in the Classroom
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds in the Classroom
 
Sensory_Experience_and_Emotional_Resonance_in_Gabriel_Okaras_The_Piano_and_Th...
Sensory_Experience_and_Emotional_Resonance_in_Gabriel_Okaras_The_Piano_and_Th...Sensory_Experience_and_Emotional_Resonance_in_Gabriel_Okaras_The_Piano_and_Th...
Sensory_Experience_and_Emotional_Resonance_in_Gabriel_Okaras_The_Piano_and_Th...
 
On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan FellowsOn National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
 
Unit 3 Emotional Intelligence and Spiritual Intelligence.pdf
Unit 3 Emotional Intelligence and Spiritual Intelligence.pdfUnit 3 Emotional Intelligence and Spiritual Intelligence.pdf
Unit 3 Emotional Intelligence and Spiritual Intelligence.pdf
 
Key note speaker Neum_Admir Softic_ENG.pdf
Key note speaker Neum_Admir Softic_ENG.pdfKey note speaker Neum_Admir Softic_ENG.pdf
Key note speaker Neum_Admir Softic_ENG.pdf
 
TỔNG ÔN TẬP THI VÀO LỚP 10 MÔN TIẾNG ANH NĂM HỌC 2023 - 2024 CÓ ĐÁP ÁN (NGỮ Â...
TỔNG ÔN TẬP THI VÀO LỚP 10 MÔN TIẾNG ANH NĂM HỌC 2023 - 2024 CÓ ĐÁP ÁN (NGỮ Â...TỔNG ÔN TẬP THI VÀO LỚP 10 MÔN TIẾNG ANH NĂM HỌC 2023 - 2024 CÓ ĐÁP ÁN (NGỮ Â...
TỔNG ÔN TẬP THI VÀO LỚP 10 MÔN TIẾNG ANH NĂM HỌC 2023 - 2024 CÓ ĐÁP ÁN (NGỮ Â...
 
How to Add New Custom Addons Path in Odoo 17
How to Add New Custom Addons Path in Odoo 17How to Add New Custom Addons Path in Odoo 17
How to Add New Custom Addons Path in Odoo 17
 
Towards a code of practice for AI in AT.pptx
Towards a code of practice for AI in AT.pptxTowards a code of practice for AI in AT.pptx
Towards a code of practice for AI in AT.pptx
 
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptxHMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
 
Kodo Millet PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
Kodo Millet  PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...Kodo Millet  PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
Kodo Millet PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
 

Somo la 3

  • 1. Somo la 3 Kiingereza: Present Continuous Tense – Active Voice. Tamka: (Prezenti Kontinwuazi Tensi - Aktivu Voisi). Kiswahili: Wakati uliopo na unaoendelea – Katika hali ya kutenda. Mifano ya Sentensi hizi katika Kiswahili ni kama ifuatavyo:- 1. Mimi nina zungumza Kiingereza. N + S + T 2. Wao wana kula ugali. N + S + T 3. Yeye “Mwanamke” ana iba kitabu. N + S + T 4. Musa ana chukua kikombe. N + S + T Katika Kiingereza:- S ni am, are, is. T - huwa katika hali ya ‟CONT‟ yaani “Continous, tamka(Kontinwuazi)” yaani huongezwa ‟ing’ kama ifuatavyo:- - Zungumza, huwa – speaking, tamka (spiking). - Kula, huwa – eating, tamka (iting). - Iba huwa – stealing, tamka (stiling). - Chukua huwa - taking, tamka (teking). Kwa mujibu wa kanuni rahisi za Ras Simba hali hii ya kuongeza „ing‟ mwisho wa tendo la Kiingereza huitwa „Cont.‟ lakini kwa mujibu wa kanuni nyingine ngumu zisizowasaidia watu huitwa Present Participle, tamka (Prezenti patisipo). . 1. Kanuni ya sentensi fasaha za Kiingereza za nina, tuna, una, mna, ana na wana katika hali ya kutenda, yaani sentensi za ‘Present Continuous Tense – Active Voice’ ni : N + S + T(CONT). (1).(a). Mimi nina zungumza Kiingereza. I am speaking English .Tamka (Ai em spiking Inglish). N + S + T(CONT) (1).(b) Wao wana kula ugali. They are eating ugali.Tamka (Dhei a iting ugali). N + S + T(CONT). (1).(c) Yeye „‟mwanamke“ ana iba kitabu. She is stealing a book. Tamka (Shi izi stiling e buku). N + S + T(CONT). (1).(d) Musa ana chukua kikombe. Musa is taking a cup. Tamka (Musa izi teking e kapu). N + S + T(CONT). (1). Mimi nina Sisi tuna I am We are N +S N + S Wewe una Nyinyi mna You are You are N + S N + S Yeye ana Wao wana -He is They are Musa is N + S - She is -Asha is -It is -A dog is N +S
  • 2. 2. Kanuni ya kuuliza maswali ya nina, tuna, una, mna, ana na wana, yaani maswali ya ‘Present Continuous Tense – Active voice’ ni: S + N + T(CONT)? (2).(a).(i). Je, wewe una zungumza Kiingereza? Are you speaking English? Tamka (A yu spiking Inglish)? S + N + T(CONT) (2).(a).(ii). Ndiyo, mimi nina zungumza Kiingereza. Yes, I am speaking English. YES + N + S + T(CONT). Tamka (Yesi, Ai em spiking Inglish). (2).(a).(iii). Hapana, mimi sizungumzi Kiingereza. No, I am not speaking English. NO + N + S +NOT +T(CONT). Tamka (No, Ai em noti spiking Inglish). (2).(b).(i). Je, Musa ana chukua Kikombe? Is Musa taking a cup? Tamka (Izi Musa teking e kapu)? S + N + T(CONT) (2).(b).(ii). Ndiyo, Musa ana chukua kikombe. Yes, Musa is taking a cup. Tamka (Yesi, Musa izi teking e kapu). YES+ N + S +T(CONT). (2).(b).(iii).Hapana, Musa hachukui kikombe. No, Musa is not taking a cup. (Nzuri kwa kuandika). NO + N + S + NOT +T(CONT). Tamka (No, Musa izi noti teking e kapu) (2).(b).(iv). Hapana, Musa hachukui kikombe. No, Musa isn‟t taking a cup. (Nzuri kwa kuongea). NO + N + ISN’T + T(CONT). Tamka (No, Musa iznti teking e kapu). (2).
  • 3. ZOEZI LA 3. Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:- Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):- Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:- (1).(i). Kiswahili: Kimbute ana rudi kutoka China. Kiingereza: __________ ___ ____________ _____ _______ ______. Kanuni: N + S + T(CONT - N - Kimbute. - S – is, tamka (iz). - T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi. - From China, tamka (from Chaina). – kutoka China. (1).(ii). Kiswahili: Je, Kimbute ana rudi kutoka China? Kiingereza: ___ ___________ ___________ _____ ______ _______? Kanuni: S + N + T(CONT) - S – is, tamka (iz). - N - Kimbute. - T(CONT) - coming back, tamka (kaming baki) – rudi. - From China, tamka (from Chaina). – kutoka China. (1).(iii). Kiswahili: Ndiyo, Kimbute ana rudi kutoka China ? Kiingereza: ____ ___________ ____ _________ ____ _______ _______ Kanuni: YES + N + S + T(CONT) - Yes, tamka (Yesi) – Ndiyo. - N - Kimbute. - S – is, tamka (izi). - T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi. - From China, tamka (from Chaina). – kutoka China. (1).(iv). Kiswahili: Hapana, Kimbute harudi kutoka China. Kiingereza: ____ __________ ____ ____ _______ ____ _____ ______. Kanuni: NO + N + S + NOT +T(CONT) - No, tamka (no) – Hapana. - N - Kimbute. - S – is, tamka (iz). - T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi. - From China, tamka (from Chaina). – kutoka China. (1).(v). Kiswahili: Hapana, Kimbute harudi kutoka China. Kiingereza: _____ __________ _____ ________ _____ _____ ______. Kanuni: NO + N + ISN’T + T(CONT) - No, tamka (no) – Hapana. - N - Kimbute. - T(CONT) – coming back, tamka (kaming baki) – rudi. - From China, tamka (from Chaina). – kutoka China. (3).
  • 4. (2).(i). Kiswahili: Sisi tuna peleka pesa dukani. Kiingereza: ____ ____ __________ ______ _______ to ____ ______. Kanuni: N + S + T(CONT) - N – We, tamka (wi). Sisi. - S – are, tamka (a). - T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka. - Some money, tamka (sam mane). – pesa. - A shop, tamka (e shopu). - dukani (2).(ii). Kiswahili: Je, nyinyi mna peleka pesa dukani? Kiingereza: _____ _____ __________ _______ _______ to __ _____? Kanuni: S + N + T(CONT) - S – are, tamka (a). - N – You, tamka (yu).- nyinyi. - T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka. - Some money, tamka (sam mane). – pesa. - A shop, tamka (e shopu). – dukani. (2).(iii). Kiswahili: Ndiyo, sisi tuna peleka pesa dukani. Kiingereza:____ ____ ____ _________ ______ _______ to ___ _____. Kanuni: YES + N + S + T(CONT) - Yes, tamka (yesi) – Ndiyo. - N – We, tamka (wi). – sisi. - S – are, tamka (a). - T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka. - Some money, tamka (sam mane). – pesa. - A shop, tamka (e shopu). – dukani. (2).(iv). Kiswahili: Hapana, sisi hatupeleki pesa dukani. Kiingereza:___ ____ ____ ____ __________ _____ _____ to __ _____. Kanuni: NO+ N + S + NOT+ T(CONT) - No, tamka (no) - Hapana. - N – We, tamka (wi). Sisi. - S – are, tamka (a). - T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka. - Some money, tamka (sam mane). – pesa. - A shop, tamka (e shopu). – dukani. (2).(v). Kiswahili: Hapana, sisi hatupeleki pesa dukani. Kiingereza: ____ ____ ______ _________ ______ ________ to ____ _____. Kanuni: NO + N +AREN’T+ T(CONT) - No, tamka (no) - Hapana. - N – We, tamka (wi). – sisi. - S – are, tamka (a). - T(CONT) – sending, tamka (sending) - peleka. - Some money, tamka (sam mane). – pesa. - A shop, tamka (e shopu). – dukani. (4).
  • 5. (3).(i Kiswahili: Mimi nina uza sukari. Kiingereza: ___ ____ ____________ _______ ___________. Kanuni: N + S + T(CONT) - N – I, tamka (ai). – mimi. - S – am, tamka (em). - T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza. - Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari. (3).(ii). Kiswahili: Je, wewe una uza sukari? Kiingereza: _____ ______ _____________ __________ ____________? Kanuni: S + N + T(CONT) - S – are, tamka (a). - N – You, tamka (yu). – wewe. - T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza. - Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari. (3).(iii). Kiswahili: Ndiyo, Mimi nina uza sukari. Kiingereza: ____ _____ ___ __________ _______ ________. Kanuni: YES + N + S + T(CONT) - Yes, tamka (yesi) – Ndiyo. - N – I, tamka (ai). – mimi. - S – am, tamka (em). - T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza. - Some Sugar, tamka(sam shuga).- sukari. (3).(iv). Kiswahili: Hapana, mimi siuzi sukari. Kiingereza: ____ ____ ____ ____ _________ _______ __________. Kanuni: NO + N + S + NOT+ T(CONT) - No, tamka (no) - Hapana. - N – I, tamka (ai). – mimi. - S – am, tamka (em). -T(CONT) – selling, tamka (seling) - uza. - Some Sugar, tamka (sam shuga).- sukari. Somo hili ni sehemu ya kitabu kilichoandikwa na Ras Simba kiitwacho “Let the World Speak English and Swahili”, kitabu ambacho kikiwa pamoja na video yake kitamuwezesha mtanzania yeyote kuongea na kuandika Kiingereza fasaha bila ya kufundishwa na mwalimu, na kumuwezesha mzungumzaji yeyote wa Kiingereza kujua Kiswahili bila ya kufundishwa na mwalimu, kitauzwa Tanzania, Uingereza na Marekani kwa bei ya sh. laki 2. Kitabu hiki kwa upande wa kufundisha Kiingereza kanuni zake huitwa N+S+T au P+H+V, lakini kwa upande wa kufundisha Kiswahili kanuni zake huitwa P+H+V tu. Ukiwa tayari kulipa kabla hakijatoka utalipa sh. laki moja tu na utakabidhiwa kitabu na video yake siku ya uzinduzi wake rasmi. Kitabu hiki ni kizuri sana kwa watu wasio na nafasi ya kuhudhuria darasani. Kama upo tayari kulipa kabla ni vizuri sana kwani utachangia mtaji wake. Malipo yote ya kabla hufanywa kwa Ras Simba mwenyewe kupitia akaunti zake za Barclays, CRDB, NMB au tigo pesa 0714 – 69 29 69. (5).