SlideShare a Scribd company logo
1 of 10
Download to read offline
Somo la 27
Matumizi ya have na has kwa tafsiri ya kumiliki.
- Katika somo hili have hutumika kama tendo la kumiliki likiwa katika hali ya (BF),
na has hutumika kama tendo la kumiliki lililoongezwa (s, es, au ies).
Hivyo basi, itakapokuwa have kama tendo la kumiliki ndipo itakapokuwa speak kama
tendo la kuzungumza. Itakapokuwa has kama tendo la kumiliki ndipo itakapokuwa
speaks kama tendo la kuzungumza.
(1).(a). Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopo:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Present Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N+T(BF), au N+T(s, es, ies) na kanuni ya swali ni
S+N+T(BF)? Saidizi za upande wa maswali ni: Do na Does.
Soma kwa makini mifano ifuatayo:-
(1).(a).(i). Kiswahili: Nina pesa nyingi.
Kiingereza: I have a lot of money.
Kanuni: N+T(BF).
Tamka: (Ai hevu e lot ovu mane).
(1).(a).(ii).Swali: Je, una pesa nyingi?
Kiingereza: Do you have a lot of money?
Kanuni: S+ N+ T(BF)
Tamka: (Du yu hevu e lot ovu mane)?
(1).(a). (iii). Jibu: Ndiyo, nina pesa nyingi.
Kiingereza: Yes, I have a lot of money.
Kanuni: YES+ N+T(BF).
Tamka: (Yesi, Ai hevu e lot ovu mane).
(1).(a).(iv).Jibu: Hapana, sina pesa nyingi.
Kiingereza: No, I don’t have a lot of money.
Tamka: (No, Ai donti hevu e lot ovu mane).
Siyo sahihi kusema:-
No, I haven’t a lot of money - kwa tafsiri ya - Hapana sina pesa nyingi. Ukisema hivi
utakuwa umeitumia have kama saidizi na siyo kama tendo la kumiliki.
(1).
(1).(b). Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopo:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Present Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N+T(BF), au N+T(s, es, ies) na kanuni ya swali ni
S+N+T(BF)? Saidizi za upande wa maswali ni: Do na Does.
Soma kwa makini mifano ifuatayo:-
(1).(b).(i). Kiswahili: Yeye „mwanaume‟ ana nyumba nzuri.
Kiingereza: He has a good house.
Kanuni: N+T(s)
Tamka: (Hi hezi e gudi hausi).
(1).(b).(ii). Swali: Je, “yeye mwanaume” ana nyumba nzuri?
Kiingereza: Does he have a good house?
Kanuni: S + N +T(BF)
Tamka: (Dazi hi hevu e gudi hausi)?
(1).(b). (iii).Jibu: Ndiyo yeye ‟mwanaume‟ ana nyumba nzuri.
Kiingereza: Yes, he has a good house.
Kanuni: YES+ N+ T(s)
Tamka: (Yesi, hi hezi e gudi hausi).
(1).(b).(iv). Jibu: Hapana, yeye „mwanaume‟ hana nyumba nzuri.
Kiingereza: No, he doesn’t have a good house.
Tamka: (No, hi dazinti hevu e gudi hausi).
Katika mifano hii have imetumika sambamba na he ikiwa ni tofauti na tulivyozoea
kuona kwamba he uenda na has, hii ni kwasababu katika somo hili have ni BF ya
tendo la kumiliki na siyo saidizi, yaani imetumika kama vile go ambayo ni BF katika
tendo la kwenda. Pia tumeona kwamba has imetumika kama tendo la kumiliki lenye
s, es au ies, kama vile itumikavyo goes katika tendo la kwenda.
Hivyo basi kama vile ambavyo huwezi kuuliza Does he goes to school? ndivyo pia
huwezi kuuliza - Does he has a good house? kwani katika somo hili sifa za has ni sawa
kabisa na sifa za matendo yote yaliyoongezwa s, es au ies kama vile plays, goes,
cries nk, na sifa za have ni sawa kabisa na sifa za matendo yote yaliopo katika hali ya
BF kama vile play, go, cry nk. Vilevile kama ambavyo huwezi kutoa jibu la hapana
kwa kusema - No, he doesn’t goes to school, pia huwezi kutoa jibu la hapana kwa
kusema - No, he doesn’t has a good house kwa tafsiri ya hapana yeye „mwanaume‟
hana nyumba nzuri.
Kwa faida yako pitia tena kwa kifupi somo lako la sita la stage hii ya kwanza ili ujiweke
vizuri zaidi.
(2).
Yafuatayo ni makosa makubwa ambayo hufanywa na watanzania wengi hata wale wenye
elimu ya chuo kikuu watumiapo have na has kwa tafsiri ya kumiliki:-
Swali: Je, una pesa?
Kiingereza: Do you have some money?
Kanuni: S+N+T(BF)
Tamka: (Du yu hevu sam mane)?
Jibu sahihi la kukataa: Hapana, sina pesa.
Kiingereza: No, I don‟t have some money.
Tamka: (No, Ai donti hevu sam mane).
Makosa yanayofanywa: Hapana, sina pesa.
Kiingereza: No, I haven’t some money.
Tamka: (No, Ai hevunti sam mane).
Majibu mengine sahihi ya kukataa kwa ujumla yanayoonesha mtu hana kitu yanaweza
kuwa hivi:-
(1).(i). Swali: Je, una pesa?
Kiingereza: Do you have some money?
Kanuni: S+N+T(BF)
Tamka: (Du yu hevu sam money)?
(ii). Jibu: Hapana sina kitu.
Kiingereza: No, I have nothing.
Tamka: (No, Ai hevu nathing).
(iii). Jibu: Hapana, sina kitu chochote.
Kiingereza: No, I don‟t have anything.
Tamka: (No, Ai donti hevu enething).
(2).(i).Swali: Je, Musa ana pesa?
Kiingereza: Does Musa have some money?
Kanuni: S + N +T(BF)
Tamka: (Dazi Musa hevu sam mane)?
(ii). Jibu: Hapana, Musa hana kitu.
Kiingereza: No, Musa has nothing.
Tamka: (No, Musa hezi nathing).
(iii). Jibu: Hapana, Musa hana kitu chochote.
Kiingereza: No, Musa doesn’t have anything.
Tamka: (No, Musa dazinti hevu enething).
(3).
ZOEZI LA 27.
Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:-
Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):-
Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:-
Swali namba (1).
(1).(a).(i). Je, wana watoto?
- S ni do, tamka (du)}.
- N ni They, tamka (dhei).
- T(BF) ni have, tamka (hevu/havu)}.
- Watoto – children, tamka (childreni)}.
________ _________ ___________ ___________________?
Kanuni: S + N + T(BF)
(1).(a).(ii). Ndiyo, wana watoto.
_________ __________ __________ - ___________________.
Kanuni: YES + N + T(BF)
(1).(a).(iii). Hapana, hawana watoto.
_______ _________ ____________ ______________ __________________
Kanuni: NO + N + DON’T + T(BF)
(1). (b).(i). Je, Mary Bernard ana gari dogo?
- S ni does, tamka (dazi).
- N – Mary Bernard, tamka (Meri benadi).
- T(BF) ni have, tamka (hevu/havu).
- Gari dogo – a car, tamka (e ka).
________ ______________________ ____________ _____ __________?
Kanuni: S + N + T(BF)
(1).(b).(ii). Ndiyo, Mary Bernard ana gari dogo.
- N ni Mary Bernard tamka (Meri Benadi).
- T(s) ni has, tamka (hazi/hezi)
______ __________________ _______ _____ _________
Kanuni: YES + N + T(s)
(1).(b).(iii). Hapana, Mary Bernard hana gari dogo.
- T(BF) ni have, tamka (hevu/havu).
_______ ___________________ ______________ __________ _____
__________
Kanuni: NO + N + DOESN’T + T(BF)
(1).(b).(iv). Hapana, Mary Bernard hana kitu.
- Tumia – nothing, tamka (nathing).
______ ________________ _________ __________________.
Kanuni: NO + N + T(s)
(1).(b).(v). Hapana, Mary Bernard hana kitu chochote.
- Tumia – anything, tamka (enething).
______ ________ ________ __________ ___________________.
Kanuni: NO + N + DOESN’T + T(BF)
(4).
(2).(a). Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati ujao:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Future Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N+S+T(BF), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi yake ni
will.
Soma kwa makini mifano ifuatayo:-
(2).(a). (i). Kiswahili: watakuwa na pesa.
Kiingereza: they will have some money.
Kanuni: N + S +T(BF)
Tamka: (Dhei wil hevu sam mane).
(2).(a).(ii).Swali: Je, watakuwa na pesa?
Kiingereza: Will they have some money?
Kanuni: S + N +T(BF)
Tamka: (Wil dhei hevu sam mane)?
(2).(a) (iii). Jibu: Ndiyo, watakuwa na pesa.
Kiingereza: Yes, they will have some money.
Kanuni: YES +N +S+T(BF)
Tamka: (Yesi, dhei wil hevu sam mane).
(2).(a).(iv). Jibu: Hapana, hawatakuwa na pesa.
Kiiingereza: No, they will not have some money.
Tamka: (No, dhei wil noti hevu sam mane).
(2).(a).(v). Jibu: Hapana, hawatakuwa na kitu.
Kiingereza: No, they will have nothing.
Tamka: (No, dhei wil hevu nathing).
(2).(a).(vi). Jibu: Hapana, hawatakuwa na kitu chochote.
Kiingereza: No, they won‟t have anything.
Tamka: (No, dhei wonti hevu enething).
Mifano hii inawakilisha nafsi ya kwanza yote, ya pili yote na ya tatu uwingi tu, yaani I,
WE, YOU, YOU na THEY. Pia tumeona have imetumika kama tendo la kumiliki katika
hali ya (BF).
(5).
(2).(b). Matumizi ya Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati ujao:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Future Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N+S+T(BF), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi yake ni
will.
Soma kwa makini mifano ifuatayo:-
(2).(b).(i). Kiswahili: Yeye „mwanamke‟ atakuwa na nyumba.
Kiingereza: she will have a house.
Kanuni: N+ S+ T(BF).
Tamka: (Shi wil hevu e hausi).
(2).(b).(ii).Swali: Je, yeye “mwanamke” atakuwa na nyumba?
Kiingereza: Will she have a house?
Kanuni: S + N +T(BF)
Tamka: (Wil shi hevu e hausi)?
Siyo sahihi kuuliza:-
- Will she has a house? Kwa tafsiri ya je, yeye „mwanamke‟ atakuwa na
nyumba? Kwa sababu kanuni inasema tendo liwe katika hali ya BF, na hapa BF ni
have na siyo has, kwani has ni sawa na tendo lenye s, es au ies.
Kwani ukiuliza will she has a house? ni sawa na kuuliza will she goes to school? Kwa
tafsiri ya je, yeye „mwanamke‟ atakwenda shuleni?
(2).(b). (iii). Jibu: Ndiyo, atakuwa na nyumba.
Kiingereza: Yes, she will have a house.
Kanuni: YES+N+ S+ T(BF).
Tamka: (Yesi, shi wil hevu e hausi).
(2).(b).(iv). Jibu: Hapana, “yeye mwanamke” hatakuwa na nyumba.
Kiingereza: No, she will not have a house.
Tamka: (No, shi wil noti hevu e hausi).
Siyo sahihi kusema:-
No, she will not has a house? kwa tafsiri ya – Hapana, “yeye mwanamke” hatakuwa
na nyumba.
Kwani will not uenda na tendo katika hali ya BF, na hapa have ndiyo ipo katika hali
ya BF. Kwa kifupi katika sentensi za kumiliki za wakati ujao, has haitumiki kabisa
isipokuwa have ndiyo hutumika katika nafsi zote.
(2).(b).(v). Jibu: Hapana, yeye “mwanamke” hatakuwa na kitu.
Kiingereza: No, she will have nothing.
Tamka: (No, shi wil hevu nathing).
(2).(b).(vi). Jibu: Hapana, yeye “mwanamke” hatakuwa na kitu chochote.
Kiingereza: No, she will not have anything.
Tamka: (No, shi wil noti hevu enething).
(6).
EXERCISE NUMBER 1 - Tamka (Eksisaizi namba wani) – ZOEZI NAMBA 1.
Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:-
Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):-
Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:-
Swali namba (2).
(2).(a).(i). Je, mtakuwa na nyumba nzuri?
- S ni will, tamka (wili).
- N – You, tamka (yu).
- T(BF) ni have, tamka (hevu/havu).
- Nyumba nzuri – a good hause, tamka (e gudi hausi).
________ _______ _________ _____ __________ ______________?
Kanuni: S + N + T(BF)
(2).(a).(ii). Ndiyo, tutakuwa na nyumba nzuri.
_______ _______ _______ ________ _____ __________ __________.
Kanuni: YES + N + S + T(BF)
(2).(a).(iii). Hapana, hatutakuwa na nyumba nzuri.
- Tumia won’t, tamka (wonti).
_____ ________ _________ ________ _____ ________ ___________.
Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF)
(2).(b).(i). Je, yeye “mwanaume” atakuwa na pesa nyingi?
- Pesa nyingi - a lot of money, tamka (e lot ovu mane).
_____ _______ _________ ___ ______ ______ ______________?
Kanuni: S + N + (TBF)
(2).(b).(ii). Ndiyo, atakuwa na pesa nyingi.
_______ ______ ______ _________ ____ _______ ____ _____________
Kanuni: YES + N + S + T(BF)
(2).(b).(iii). Hapana, “yeye mwanaume” hatakuwa na pesa nyingi.
______ _____ _________ _______ ___ _____ ____ _______________
Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF)
(2).(b).(iv). Hapana, yeye “mwanaume” hatakuwa na kitu.
- Tumia – nothing, tamka (nathing).
______ ______ ______ _________ __________________.
Kanuni: NO + N + S + T(BF)
(2).(b).(v). Hapana, yeye “mwanaume” hatakuwa na kitu chochote.
- Tumia – anything, tamka (enething).
- Tumia won’t, tamka (wonti).
______ _______ __________ _______ _____________________.
Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF)
(7).
(3).(a). Matumizi ya Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopita:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Past Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N + T(PT), na ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi kwa upande wa
swali ni did.
Soma kwa makini mifano ifuatayo:-
(3).(a).(i). Kiswahili: Tulikuwa na pesa.
Kiingereza: we had some money.
Kanuni: N+T(PT).
Tamka: (Wi hadi sam mane).
(3).(a).(ii).Swali: Je, mlikuwa na pesa?
Kiingereza: Did you have some money?
Kanuni: S + N +T(BF)
Tamka: (Did yu hevu sam mane)?
(3).(a).(iii). Jibu: Ndiyo, tulikuwa na pesa.
Kiingereza: Yes, we had some money.
Kanuni: YES+N+T(PT).
Tamka: (Yesi, wi hadi sam mane).
(3).(a).(iv). Jibu: Hapana, hatukuwa na pesa.
Kiingereza: No, we did not have some money.
Tamka: (No, wi did noti hevu sam mane).
(3).(a).(v). Jibu: Hapana, hatukuwa na kitu.
Kiingereza: No, we had nothing.
Tamka: (No, wi hedi nathing).
(3).(a).(vi). Jibu: Hapana, hatukuwa na kitu chochote.
Kiingereza: No, we didn‟t have anything.
Tamka: (No, wi didinti hevu enething).
Katika mfano wa (3) (a) hapo juu BF yetu ni have na PT yetu ni had
(8).
(3).(b). Matumizi ya Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopita:-
Kanuni zake ni zilezile za Simple Past Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya
sentensi ya kawaida ni N + T(PT), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi kwa
upande wa swali ni did.
Kwa mujibu wa kanuni hii tendo lazima liwe katika BF au PT tu, hivyo basi has haiwezi
kutumika hata kidogo kwa sababu has ni sawa na tendo lililoongezwa s, es au ies.
(3).(b).(i). Kiswahili: Mama yangu alikuwa na nyumba.
Kiingereza: My mother had a house.
Kanuni: N +T(PT).
Tamka: (Mai madha hedi e hausi).
(3).(b).(ii).Swali: Je, mama yako alikuwa na nyumba?
Kiingereza: Did your mother have a house?
Kanuni: S + N + T(BF)
Tamka: (Did yua madha hevu e hausi)?
(3).(b). (iii). Jibu: Ndiyo, mama yangu alikuwa na nyumba.
Kiingereza: Yes, my mother had a house.
Kanuni: YES+ N +T(PT).
Tamka: (Yesi, mai madha hedi e hausi).
(3).(b).(iv). Jibu: Hapana, mama yangu hakuwa na nyumba.
Kiingerereza : No, my mother did not have a house.
Tamka: (No, mai madha did noti hevu e hausi).
(3).(b). (v). Jibu: Hapana, mama yangu hakuwa na kitu.
Kiingereza: No, my mother had nothing.
Tamka: (No, mai madha hedi nathing).
(3).(b).(vi). Jibu: Hapana, mama yangu hatakuwa na kitu chochote.
Kiingereza: No, my mother did not have anything.
Tamka: (No, mai madha did noti hevu enething).
Katika mfano wa (3).(b) hapo juu BF yetu ni have na PT yetu ni had, hivyo basi has haina
nafasi kabisa katika wakati uliopita kama ilivyo katika wakati ujao kwa sababu yenyewe ni
tendo la kumiliki lenye s, es, au ies.
(9).
EXERCISE NUMBER 1 - Tamka (Eksisaizi namba wani) – ZOEZI NAMBA 1.
Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:-
Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):-
Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:-
Swali namba (3).
(3).(a).(i). Je, ulikuwa na mtoto?
- S ni did, tamka (did).
-T(BF) ni have, tamka (hevu/havu).
- Mtoto – a child, tamka (e chald).
_______ __________ ________ _____ __________?
Kanuni: S + N + T(BF)
(3).(a).(ii). Ndiyo, nilikuwa na mtoto.
- T(PT) ni had, tamka (hadi/hedi).
_______ ______ __________ ____ ___________.
Kanuni: YES + N + T(PT)
(3).(a).(iii). Hapana, sikuwa na mtoto.
- T(BF) ni have.
_____ ______ __________ __________ _____ ____________
Kanuni: NO + N + DIDN’T + T(BF)
(3). (b).(i). Je, baba yenu alikuwa na nyumba?
- S ni did
- T(BF) ni have.
______ ______ ________ _________ ______ ____________?
Kanuni: S +YOUR+ N + T(BF)
(3).(b).(ii). Ndiyo, baba yetu alikuwa na nyumba. {T(PT) ni had}.
_______ ______ ________ _____ ____ _______________.
Kanuni: YES + OUR + N + T(PT)
(3).(b).(iii). Hapana, baba yetu hakuwa na nyumba. {T(BF) ni have}.
_____ _____ ________ ________ ________ _____ _____________.
Kanuni : NO + OUR+ N + DIDN’T + T(BF)
(3). (b).(iv). Hapana, baba yetu hakuwa na kitu. (Tumia nothing)
______ _______ ________ _______ _______________.
Kanuni : NO + OUR + N + T(PT)
(3).(b).(v). Jibu: Hapana, baba yetu hatakuwa na kitu chochote. (Tumia anything).
______ _____ _______ ________ ________ ______________.
Kanuni: NO + OUR + N + DIDN’T + T(BF)
(Mwisho wa somo)
(10).

More Related Content

Similar to Somo la 27 (8)

Somo la 5
Somo la  5Somo la  5
Somo la 5
 
Somo la 13
Somo la  13Somo la  13
Somo la 13
 
Somo la 4
Somo la  4Somo la  4
Somo la 4
 
Somo la 4
Somo la  4Somo la  4
Somo la 4
 
Somo la 8
Somo la  8Somo la  8
Somo la 8
 
Somo la 8
Somo la  8Somo la  8
Somo la 8
 
Present continuous: Taller
Present continuous: TallerPresent continuous: Taller
Present continuous: Taller
 
N1 person personal17
N1 person personal17N1 person personal17
N1 person personal17
 

More from makukuzenyu (20)

Somo la 30
Somo la 30Somo la 30
Somo la 30
 
Somo la 26
Somo la  26Somo la  26
Somo la 26
 
Somo la 23
Somo la  23Somo la  23
Somo la 23
 
Somo la 22
Somo la  22Somo la  22
Somo la 22
 
Somo la 21
Somo la  21Somo la  21
Somo la 21
 
Somo la 20
Somo la  20Somo la  20
Somo la 20
 
Somo la 19
Somo la  19Somo la  19
Somo la 19
 
Somo la 18
Somo la  18Somo la  18
Somo la 18
 
Somo la 17
Somo la  17Somo la  17
Somo la 17
 
Somo la 16
Somo la  16Somo la  16
Somo la 16
 
Somo la 15
Somo la  15Somo la  15
Somo la 15
 
Somo la 14
Somo la  14Somo la  14
Somo la 14
 
Somo la 12
Somo la  12Somo la  12
Somo la 12
 
Somo la 11
Somo la  11Somo la  11
Somo la 11
 
Somo la 10
Somo la  10Somo la  10
Somo la 10
 
Somo la 9
Somo la  9Somo la  9
Somo la 9
 
Somo la 7
Somo la  7Somo la  7
Somo la 7
 
Somo la 6
Somo la  6Somo la  6
Somo la 6
 
Somo la 3
Somo la  3Somo la  3
Somo la 3
 
Somo la 2
Somo la  2Somo la  2
Somo la 2
 

Recently uploaded

Recently uploaded (20)

On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan FellowsOn National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
On National Teacher Day, meet the 2024-25 Kenan Fellows
 
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual Proper...
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual  Proper...General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual  Proper...
General Principles of Intellectual Property: Concepts of Intellectual Proper...
 
REMIFENTANIL: An Ultra short acting opioid.pptx
REMIFENTANIL: An Ultra short acting opioid.pptxREMIFENTANIL: An Ultra short acting opioid.pptx
REMIFENTANIL: An Ultra short acting opioid.pptx
 
This PowerPoint helps students to consider the concept of infinity.
This PowerPoint helps students to consider the concept of infinity.This PowerPoint helps students to consider the concept of infinity.
This PowerPoint helps students to consider the concept of infinity.
 
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
How to Give a Domain for a Field in Odoo 17
 
COMMUNICATING NEGATIVE NEWS - APPROACHES .pptx
COMMUNICATING NEGATIVE NEWS - APPROACHES .pptxCOMMUNICATING NEGATIVE NEWS - APPROACHES .pptx
COMMUNICATING NEGATIVE NEWS - APPROACHES .pptx
 
2024-NATIONAL-LEARNING-CAMP-AND-OTHER.pptx
2024-NATIONAL-LEARNING-CAMP-AND-OTHER.pptx2024-NATIONAL-LEARNING-CAMP-AND-OTHER.pptx
2024-NATIONAL-LEARNING-CAMP-AND-OTHER.pptx
 
Google Gemini An AI Revolution in Education.pptx
Google Gemini An AI Revolution in Education.pptxGoogle Gemini An AI Revolution in Education.pptx
Google Gemini An AI Revolution in Education.pptx
 
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptxHMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
HMCS Vancouver Pre-Deployment Brief - May 2024 (Web Version).pptx
 
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds in the Classroom
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds  in the ClassroomFostering Friendships - Enhancing Social Bonds  in the Classroom
Fostering Friendships - Enhancing Social Bonds in the Classroom
 
On_Translating_a_Tamil_Poem_by_A_K_Ramanujan.pptx
On_Translating_a_Tamil_Poem_by_A_K_Ramanujan.pptxOn_Translating_a_Tamil_Poem_by_A_K_Ramanujan.pptx
On_Translating_a_Tamil_Poem_by_A_K_Ramanujan.pptx
 
Graduate Outcomes Presentation Slides - English
Graduate Outcomes Presentation Slides - EnglishGraduate Outcomes Presentation Slides - English
Graduate Outcomes Presentation Slides - English
 
Beyond_Borders_Understanding_Anime_and_Manga_Fandom_A_Comprehensive_Audience_...
Beyond_Borders_Understanding_Anime_and_Manga_Fandom_A_Comprehensive_Audience_...Beyond_Borders_Understanding_Anime_and_Manga_Fandom_A_Comprehensive_Audience_...
Beyond_Borders_Understanding_Anime_and_Manga_Fandom_A_Comprehensive_Audience_...
 
FSB Advising Checklist - Orientation 2024
FSB Advising Checklist - Orientation 2024FSB Advising Checklist - Orientation 2024
FSB Advising Checklist - Orientation 2024
 
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
NO1 Top Black Magic Specialist In Lahore Black magic In Pakistan Kala Ilam Ex...
 
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
Accessible Digital Futures project (20/03/2024)
 
Micro-Scholarship, What it is, How can it help me.pdf
Micro-Scholarship, What it is, How can it help me.pdfMicro-Scholarship, What it is, How can it help me.pdf
Micro-Scholarship, What it is, How can it help me.pdf
 
Kodo Millet PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
Kodo Millet  PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...Kodo Millet  PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
Kodo Millet PPT made by Ghanshyam bairwa college of Agriculture kumher bhara...
 
How to Manage Global Discount in Odoo 17 POS
How to Manage Global Discount in Odoo 17 POSHow to Manage Global Discount in Odoo 17 POS
How to Manage Global Discount in Odoo 17 POS
 
Application orientated numerical on hev.ppt
Application orientated numerical on hev.pptApplication orientated numerical on hev.ppt
Application orientated numerical on hev.ppt
 

Somo la 27

  • 1. Somo la 27 Matumizi ya have na has kwa tafsiri ya kumiliki. - Katika somo hili have hutumika kama tendo la kumiliki likiwa katika hali ya (BF), na has hutumika kama tendo la kumiliki lililoongezwa (s, es, au ies). Hivyo basi, itakapokuwa have kama tendo la kumiliki ndipo itakapokuwa speak kama tendo la kuzungumza. Itakapokuwa has kama tendo la kumiliki ndipo itakapokuwa speaks kama tendo la kuzungumza. (1).(a). Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopo:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Present Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N+T(BF), au N+T(s, es, ies) na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi za upande wa maswali ni: Do na Does. Soma kwa makini mifano ifuatayo:- (1).(a).(i). Kiswahili: Nina pesa nyingi. Kiingereza: I have a lot of money. Kanuni: N+T(BF). Tamka: (Ai hevu e lot ovu mane). (1).(a).(ii).Swali: Je, una pesa nyingi? Kiingereza: Do you have a lot of money? Kanuni: S+ N+ T(BF) Tamka: (Du yu hevu e lot ovu mane)? (1).(a). (iii). Jibu: Ndiyo, nina pesa nyingi. Kiingereza: Yes, I have a lot of money. Kanuni: YES+ N+T(BF). Tamka: (Yesi, Ai hevu e lot ovu mane). (1).(a).(iv).Jibu: Hapana, sina pesa nyingi. Kiingereza: No, I don’t have a lot of money. Tamka: (No, Ai donti hevu e lot ovu mane). Siyo sahihi kusema:- No, I haven’t a lot of money - kwa tafsiri ya - Hapana sina pesa nyingi. Ukisema hivi utakuwa umeitumia have kama saidizi na siyo kama tendo la kumiliki. (1).
  • 2. (1).(b). Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopo:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Present Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N+T(BF), au N+T(s, es, ies) na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi za upande wa maswali ni: Do na Does. Soma kwa makini mifano ifuatayo:- (1).(b).(i). Kiswahili: Yeye „mwanaume‟ ana nyumba nzuri. Kiingereza: He has a good house. Kanuni: N+T(s) Tamka: (Hi hezi e gudi hausi). (1).(b).(ii). Swali: Je, “yeye mwanaume” ana nyumba nzuri? Kiingereza: Does he have a good house? Kanuni: S + N +T(BF) Tamka: (Dazi hi hevu e gudi hausi)? (1).(b). (iii).Jibu: Ndiyo yeye ‟mwanaume‟ ana nyumba nzuri. Kiingereza: Yes, he has a good house. Kanuni: YES+ N+ T(s) Tamka: (Yesi, hi hezi e gudi hausi). (1).(b).(iv). Jibu: Hapana, yeye „mwanaume‟ hana nyumba nzuri. Kiingereza: No, he doesn’t have a good house. Tamka: (No, hi dazinti hevu e gudi hausi). Katika mifano hii have imetumika sambamba na he ikiwa ni tofauti na tulivyozoea kuona kwamba he uenda na has, hii ni kwasababu katika somo hili have ni BF ya tendo la kumiliki na siyo saidizi, yaani imetumika kama vile go ambayo ni BF katika tendo la kwenda. Pia tumeona kwamba has imetumika kama tendo la kumiliki lenye s, es au ies, kama vile itumikavyo goes katika tendo la kwenda. Hivyo basi kama vile ambavyo huwezi kuuliza Does he goes to school? ndivyo pia huwezi kuuliza - Does he has a good house? kwani katika somo hili sifa za has ni sawa kabisa na sifa za matendo yote yaliyoongezwa s, es au ies kama vile plays, goes, cries nk, na sifa za have ni sawa kabisa na sifa za matendo yote yaliopo katika hali ya BF kama vile play, go, cry nk. Vilevile kama ambavyo huwezi kutoa jibu la hapana kwa kusema - No, he doesn’t goes to school, pia huwezi kutoa jibu la hapana kwa kusema - No, he doesn’t has a good house kwa tafsiri ya hapana yeye „mwanaume‟ hana nyumba nzuri. Kwa faida yako pitia tena kwa kifupi somo lako la sita la stage hii ya kwanza ili ujiweke vizuri zaidi. (2).
  • 3. Yafuatayo ni makosa makubwa ambayo hufanywa na watanzania wengi hata wale wenye elimu ya chuo kikuu watumiapo have na has kwa tafsiri ya kumiliki:- Swali: Je, una pesa? Kiingereza: Do you have some money? Kanuni: S+N+T(BF) Tamka: (Du yu hevu sam mane)? Jibu sahihi la kukataa: Hapana, sina pesa. Kiingereza: No, I don‟t have some money. Tamka: (No, Ai donti hevu sam mane). Makosa yanayofanywa: Hapana, sina pesa. Kiingereza: No, I haven’t some money. Tamka: (No, Ai hevunti sam mane). Majibu mengine sahihi ya kukataa kwa ujumla yanayoonesha mtu hana kitu yanaweza kuwa hivi:- (1).(i). Swali: Je, una pesa? Kiingereza: Do you have some money? Kanuni: S+N+T(BF) Tamka: (Du yu hevu sam money)? (ii). Jibu: Hapana sina kitu. Kiingereza: No, I have nothing. Tamka: (No, Ai hevu nathing). (iii). Jibu: Hapana, sina kitu chochote. Kiingereza: No, I don‟t have anything. Tamka: (No, Ai donti hevu enething). (2).(i).Swali: Je, Musa ana pesa? Kiingereza: Does Musa have some money? Kanuni: S + N +T(BF) Tamka: (Dazi Musa hevu sam mane)? (ii). Jibu: Hapana, Musa hana kitu. Kiingereza: No, Musa has nothing. Tamka: (No, Musa hezi nathing). (iii). Jibu: Hapana, Musa hana kitu chochote. Kiingereza: No, Musa doesn’t have anything. Tamka: (No, Musa dazinti hevu enething). (3).
  • 4. ZOEZI LA 27. Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:- Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):- Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:- Swali namba (1). (1).(a).(i). Je, wana watoto? - S ni do, tamka (du)}. - N ni They, tamka (dhei). - T(BF) ni have, tamka (hevu/havu)}. - Watoto – children, tamka (childreni)}. ________ _________ ___________ ___________________? Kanuni: S + N + T(BF) (1).(a).(ii). Ndiyo, wana watoto. _________ __________ __________ - ___________________. Kanuni: YES + N + T(BF) (1).(a).(iii). Hapana, hawana watoto. _______ _________ ____________ ______________ __________________ Kanuni: NO + N + DON’T + T(BF) (1). (b).(i). Je, Mary Bernard ana gari dogo? - S ni does, tamka (dazi). - N – Mary Bernard, tamka (Meri benadi). - T(BF) ni have, tamka (hevu/havu). - Gari dogo – a car, tamka (e ka). ________ ______________________ ____________ _____ __________? Kanuni: S + N + T(BF) (1).(b).(ii). Ndiyo, Mary Bernard ana gari dogo. - N ni Mary Bernard tamka (Meri Benadi). - T(s) ni has, tamka (hazi/hezi) ______ __________________ _______ _____ _________ Kanuni: YES + N + T(s) (1).(b).(iii). Hapana, Mary Bernard hana gari dogo. - T(BF) ni have, tamka (hevu/havu). _______ ___________________ ______________ __________ _____ __________ Kanuni: NO + N + DOESN’T + T(BF) (1).(b).(iv). Hapana, Mary Bernard hana kitu. - Tumia – nothing, tamka (nathing). ______ ________________ _________ __________________. Kanuni: NO + N + T(s) (1).(b).(v). Hapana, Mary Bernard hana kitu chochote. - Tumia – anything, tamka (enething). ______ ________ ________ __________ ___________________. Kanuni: NO + N + DOESN’T + T(BF) (4).
  • 5. (2).(a). Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati ujao:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Future Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N+S+T(BF), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi yake ni will. Soma kwa makini mifano ifuatayo:- (2).(a). (i). Kiswahili: watakuwa na pesa. Kiingereza: they will have some money. Kanuni: N + S +T(BF) Tamka: (Dhei wil hevu sam mane). (2).(a).(ii).Swali: Je, watakuwa na pesa? Kiingereza: Will they have some money? Kanuni: S + N +T(BF) Tamka: (Wil dhei hevu sam mane)? (2).(a) (iii). Jibu: Ndiyo, watakuwa na pesa. Kiingereza: Yes, they will have some money. Kanuni: YES +N +S+T(BF) Tamka: (Yesi, dhei wil hevu sam mane). (2).(a).(iv). Jibu: Hapana, hawatakuwa na pesa. Kiiingereza: No, they will not have some money. Tamka: (No, dhei wil noti hevu sam mane). (2).(a).(v). Jibu: Hapana, hawatakuwa na kitu. Kiingereza: No, they will have nothing. Tamka: (No, dhei wil hevu nathing). (2).(a).(vi). Jibu: Hapana, hawatakuwa na kitu chochote. Kiingereza: No, they won‟t have anything. Tamka: (No, dhei wonti hevu enething). Mifano hii inawakilisha nafsi ya kwanza yote, ya pili yote na ya tatu uwingi tu, yaani I, WE, YOU, YOU na THEY. Pia tumeona have imetumika kama tendo la kumiliki katika hali ya (BF). (5).
  • 6. (2).(b). Matumizi ya Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati ujao:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Future Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N+S+T(BF), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi yake ni will. Soma kwa makini mifano ifuatayo:- (2).(b).(i). Kiswahili: Yeye „mwanamke‟ atakuwa na nyumba. Kiingereza: she will have a house. Kanuni: N+ S+ T(BF). Tamka: (Shi wil hevu e hausi). (2).(b).(ii).Swali: Je, yeye “mwanamke” atakuwa na nyumba? Kiingereza: Will she have a house? Kanuni: S + N +T(BF) Tamka: (Wil shi hevu e hausi)? Siyo sahihi kuuliza:- - Will she has a house? Kwa tafsiri ya je, yeye „mwanamke‟ atakuwa na nyumba? Kwa sababu kanuni inasema tendo liwe katika hali ya BF, na hapa BF ni have na siyo has, kwani has ni sawa na tendo lenye s, es au ies. Kwani ukiuliza will she has a house? ni sawa na kuuliza will she goes to school? Kwa tafsiri ya je, yeye „mwanamke‟ atakwenda shuleni? (2).(b). (iii). Jibu: Ndiyo, atakuwa na nyumba. Kiingereza: Yes, she will have a house. Kanuni: YES+N+ S+ T(BF). Tamka: (Yesi, shi wil hevu e hausi). (2).(b).(iv). Jibu: Hapana, “yeye mwanamke” hatakuwa na nyumba. Kiingereza: No, she will not have a house. Tamka: (No, shi wil noti hevu e hausi). Siyo sahihi kusema:- No, she will not has a house? kwa tafsiri ya – Hapana, “yeye mwanamke” hatakuwa na nyumba. Kwani will not uenda na tendo katika hali ya BF, na hapa have ndiyo ipo katika hali ya BF. Kwa kifupi katika sentensi za kumiliki za wakati ujao, has haitumiki kabisa isipokuwa have ndiyo hutumika katika nafsi zote. (2).(b).(v). Jibu: Hapana, yeye “mwanamke” hatakuwa na kitu. Kiingereza: No, she will have nothing. Tamka: (No, shi wil hevu nathing). (2).(b).(vi). Jibu: Hapana, yeye “mwanamke” hatakuwa na kitu chochote. Kiingereza: No, she will not have anything. Tamka: (No, shi wil noti hevu enething). (6).
  • 7. EXERCISE NUMBER 1 - Tamka (Eksisaizi namba wani) – ZOEZI NAMBA 1. Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:- Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):- Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:- Swali namba (2). (2).(a).(i). Je, mtakuwa na nyumba nzuri? - S ni will, tamka (wili). - N – You, tamka (yu). - T(BF) ni have, tamka (hevu/havu). - Nyumba nzuri – a good hause, tamka (e gudi hausi). ________ _______ _________ _____ __________ ______________? Kanuni: S + N + T(BF) (2).(a).(ii). Ndiyo, tutakuwa na nyumba nzuri. _______ _______ _______ ________ _____ __________ __________. Kanuni: YES + N + S + T(BF) (2).(a).(iii). Hapana, hatutakuwa na nyumba nzuri. - Tumia won’t, tamka (wonti). _____ ________ _________ ________ _____ ________ ___________. Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF) (2).(b).(i). Je, yeye “mwanaume” atakuwa na pesa nyingi? - Pesa nyingi - a lot of money, tamka (e lot ovu mane). _____ _______ _________ ___ ______ ______ ______________? Kanuni: S + N + (TBF) (2).(b).(ii). Ndiyo, atakuwa na pesa nyingi. _______ ______ ______ _________ ____ _______ ____ _____________ Kanuni: YES + N + S + T(BF) (2).(b).(iii). Hapana, “yeye mwanaume” hatakuwa na pesa nyingi. ______ _____ _________ _______ ___ _____ ____ _______________ Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF) (2).(b).(iv). Hapana, yeye “mwanaume” hatakuwa na kitu. - Tumia – nothing, tamka (nathing). ______ ______ ______ _________ __________________. Kanuni: NO + N + S + T(BF) (2).(b).(v). Hapana, yeye “mwanaume” hatakuwa na kitu chochote. - Tumia – anything, tamka (enething). - Tumia won’t, tamka (wonti). ______ _______ __________ _______ _____________________. Kanuni: NO + N + WON’T + T(BF) (7).
  • 8. (3).(a). Matumizi ya Have kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopita:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Past Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N + T(PT), na ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi kwa upande wa swali ni did. Soma kwa makini mifano ifuatayo:- (3).(a).(i). Kiswahili: Tulikuwa na pesa. Kiingereza: we had some money. Kanuni: N+T(PT). Tamka: (Wi hadi sam mane). (3).(a).(ii).Swali: Je, mlikuwa na pesa? Kiingereza: Did you have some money? Kanuni: S + N +T(BF) Tamka: (Did yu hevu sam mane)? (3).(a).(iii). Jibu: Ndiyo, tulikuwa na pesa. Kiingereza: Yes, we had some money. Kanuni: YES+N+T(PT). Tamka: (Yesi, wi hadi sam mane). (3).(a).(iv). Jibu: Hapana, hatukuwa na pesa. Kiingereza: No, we did not have some money. Tamka: (No, wi did noti hevu sam mane). (3).(a).(v). Jibu: Hapana, hatukuwa na kitu. Kiingereza: No, we had nothing. Tamka: (No, wi hedi nathing). (3).(a).(vi). Jibu: Hapana, hatukuwa na kitu chochote. Kiingereza: No, we didn‟t have anything. Tamka: (No, wi didinti hevu enething). Katika mfano wa (3) (a) hapo juu BF yetu ni have na PT yetu ni had (8).
  • 9. (3).(b). Matumizi ya Has kwa tafsiri ya kumiliki - Katika wakati uliopita:- Kanuni zake ni zilezile za Simple Past Tense – Active Voice, yaani, kanuni ya sentensi ya kawaida ni N + T(PT), na kanuni ya swali ni S+N+T(BF)? Saidizi kwa upande wa swali ni did. Kwa mujibu wa kanuni hii tendo lazima liwe katika BF au PT tu, hivyo basi has haiwezi kutumika hata kidogo kwa sababu has ni sawa na tendo lililoongezwa s, es au ies. (3).(b).(i). Kiswahili: Mama yangu alikuwa na nyumba. Kiingereza: My mother had a house. Kanuni: N +T(PT). Tamka: (Mai madha hedi e hausi). (3).(b).(ii).Swali: Je, mama yako alikuwa na nyumba? Kiingereza: Did your mother have a house? Kanuni: S + N + T(BF) Tamka: (Did yua madha hevu e hausi)? (3).(b). (iii). Jibu: Ndiyo, mama yangu alikuwa na nyumba. Kiingereza: Yes, my mother had a house. Kanuni: YES+ N +T(PT). Tamka: (Yesi, mai madha hedi e hausi). (3).(b).(iv). Jibu: Hapana, mama yangu hakuwa na nyumba. Kiingerereza : No, my mother did not have a house. Tamka: (No, mai madha did noti hevu e hausi). (3).(b). (v). Jibu: Hapana, mama yangu hakuwa na kitu. Kiingereza: No, my mother had nothing. Tamka: (No, mai madha hedi nathing). (3).(b).(vi). Jibu: Hapana, mama yangu hatakuwa na kitu chochote. Kiingereza: No, my mother did not have anything. Tamka: (No, mai madha did noti hevu enething). Katika mfano wa (3).(b) hapo juu BF yetu ni have na PT yetu ni had, hivyo basi has haina nafasi kabisa katika wakati uliopita kama ilivyo katika wakati ujao kwa sababu yenyewe ni tendo la kumiliki lenye s, es, au ies. (9).
  • 10. EXERCISE NUMBER 1 - Tamka (Eksisaizi namba wani) – ZOEZI NAMBA 1. Kiingereza: Change into English the following Swahili sentences:- Tamka: (Chenji intu Inglish dhe folowing Swahili sentensezi):- Kiswahili: Zibadilishe katika Kiingereza sentensi za Kiswahili zifuatazo:- Swali namba (3). (3).(a).(i). Je, ulikuwa na mtoto? - S ni did, tamka (did). -T(BF) ni have, tamka (hevu/havu). - Mtoto – a child, tamka (e chald). _______ __________ ________ _____ __________? Kanuni: S + N + T(BF) (3).(a).(ii). Ndiyo, nilikuwa na mtoto. - T(PT) ni had, tamka (hadi/hedi). _______ ______ __________ ____ ___________. Kanuni: YES + N + T(PT) (3).(a).(iii). Hapana, sikuwa na mtoto. - T(BF) ni have. _____ ______ __________ __________ _____ ____________ Kanuni: NO + N + DIDN’T + T(BF) (3). (b).(i). Je, baba yenu alikuwa na nyumba? - S ni did - T(BF) ni have. ______ ______ ________ _________ ______ ____________? Kanuni: S +YOUR+ N + T(BF) (3).(b).(ii). Ndiyo, baba yetu alikuwa na nyumba. {T(PT) ni had}. _______ ______ ________ _____ ____ _______________. Kanuni: YES + OUR + N + T(PT) (3).(b).(iii). Hapana, baba yetu hakuwa na nyumba. {T(BF) ni have}. _____ _____ ________ ________ ________ _____ _____________. Kanuni : NO + OUR+ N + DIDN’T + T(BF) (3). (b).(iv). Hapana, baba yetu hakuwa na kitu. (Tumia nothing) ______ _______ ________ _______ _______________. Kanuni : NO + OUR + N + T(PT) (3).(b).(v). Jibu: Hapana, baba yetu hatakuwa na kitu chochote. (Tumia anything). ______ _____ _______ ________ ________ ______________. Kanuni: NO + OUR + N + DIDN’T + T(BF) (Mwisho wa somo) (10).