SlideShare a Scribd company logo
1 of 13
Matumizi ya
Lugha
Katika
Miktadha
Mbalimbali
Mwl. Mussa Shekinyashi
Utangulizi
 Katika mada za kidato cha kwanza
tumejifunza maana ya lugha.
 Pia tumejifunza kuwa lugha ndio nyenzo
kuu ya mawasilianio.
 Katika hayo tumeona pia kuwa lugha ina
uhusiano mkubwa sana na tamaduni za
jamii husika.
 Leo tutaangalia jinsi lugha inavyotumika na
wasemaji wake wakizingitia mambo ya
msingi ya utumizi wa lugha.
 Karibu.
Malengo
 Kufikia mwisho wa somo
hili tunapaswa tuwe
tumejifunza mambo
yafuatayo;
 Maana ya matumizi ya
lugha
 Maana ya Muktadha
 Mambo ya kuzingatia katika
matumizi ya lugha.
Maana ya Matumizi ya
Lugha
 Matumizi ya lugha ni
hali ya kutumia lugha
kulingana na mila,
desturi na taratibu za
jamii husika.
 Hii ina maana
kwamba lugha
hutumiwa na
watumiaji wake huku
wakizingatia tamaduni
za jamii yao.
Maana ya Muktadha
 Neno muktadha lina
maana ya mazingira.
 Katika matumiz ya
lugha, tunaposema
muktadha
tunamaanisha
mazingira ambapo
lugha hutumika.
 Hii yuaweza kuwa;
shuleni, hospitalini au
mahakamani.
Mambo ya Kuzingatia katika
Utumizi wa Lugha
Uhusiano Baina ya
Wazungumzaji
 Wazungumzaji huzingatia
uhusiano wao katika mazungumzo.
 Kila mmoja huweka akilini mwake,
nani anazungumza naye.
 Hii humsaidia mzungumzaji kuteua
misamiati mahususi na jinsi ya
kuongea.
 Mfano; wewe mwanafunzi vile
unavyozungumza na mwalimu ni
tofauti na vile unavyozungumza
na mwanafunzi mwenzako.
 Hapo huwa unazingatia uhusiano
baina yako na unayezungumza
naye.
 Hivyo uhusiano baina ya
wazungumzaji huzingatiwa katika
matumizi ya lugha.
Muktadha/Mazingira
 Mzungumzaji huzingatia
mazingira pale anapotumia
lugha.
 Hii inamaana kuwa
mzungumzaji hujiuliza swali
kuwa niko wapi kabla hajatumia
lugha.
 Wewe mwanafunzi kwa mfano,
jinsi unavyoongea unapokuwa
shuleni ni tofauti kabisa na jinsi
unavyoongea unapokuwa
kanisani au unapokuwa bwenini
au nyumbani.
 Kwa hiyo; mazingira
humuelekeza mtu atumie lugha
namna gani.
Mada ya Mazungumzo
 Mada ni jambo linalozungumziwa.
 Mada ya mazungumzo
humuelekeza mtumiaji wa lugha
aina ya misamiati anayotakiwa
kutumia na namna ya kutumia
lugha.
 Mfano kama mtu anazungumzia
masuala ya kisheria basi mtu
huyu hana budi kutumia misamiati
ya kisheria.
 Kadharika yule anayezungumzia
,asuala ya kidini au kibiashara.
 Hivyo matumizi ya lugha
huzingatia mada ya mazungumzo.
Lengo la Mzungumzaji/
Madhumuni
 Mtu anapozungumza huwa
anakuwa na lengo fulani.
 Mfano; anaweza
kuzungumza ili kuonya,
kufundisha, kufokea,
kufafanua au kusifia.
 Lengo la mzungumzaji
ndilo hasa huwa
linamfanya achague aina
fulani ya misamiati na pia
jinsi atakavyoongea.
 Hivyo lengo la
mzungumzaji huzingatiwa
katika matumizi ya lugha.
Kwa kuhitimisha
 Hivyo, matumizi ya lugha hutawaliwa na ;
 Mahusiano baina ya wazungumzaji (nani?)
 Muktadha (wapi?)
 Mada ya mazungumzo (nini?)
 Madhumuni ya mazungumzo(kwa lengo
gani?)
 Mambo haya yote ndio huzingatiwa katika
matumizi ya lugha kila siku.
Zoezi
 Taja na fafanua mambo makuu manne
ambayo mzungumzaji huyazingatia
katika kuteuwa misamiati yake na
maumbo ya tungo zake.
 Lugha ni kama bendera fuata upepo.
Fafanua kauli hii kwa kuonesha mambo
yanayotawala matumizi ya lugha.
Asante kwa kunisikiliza!

More Related Content

What's hot

Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaWilson Pastory
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMussaOmary3
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILImussa Shekinyashi
 
Sight translation
Sight translationSight translation
Sight translationShona Whyte
 
Interpretation vs. translation
Interpretation vs. translationInterpretation vs. translation
Interpretation vs. translationErika Sandoval
 
Contact language, Pidgin & Creole
Contact language, Pidgin & CreoleContact language, Pidgin & Creole
Contact language, Pidgin & CreoleSK Emamul Haque
 
Teaching pronunciation
Teaching pronunciationTeaching pronunciation
Teaching pronunciationAti Tesol
 
The difference between phonology and phonetics
The difference between phonology and phoneticsThe difference between phonology and phonetics
The difference between phonology and phoneticshinaeni99
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAshahzadebaujiti
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahilimussa Shekinyashi
 
Code-Mixing and Code Switching
 Code-Mixing and Code Switching Code-Mixing and Code Switching
Code-Mixing and Code SwitchingLucia Pratama
 
CHAPTER 19: Language and Social Variation.
CHAPTER 19: Language and Social Variation.CHAPTER 19: Language and Social Variation.
CHAPTER 19: Language and Social Variation.Erica Gisela Delgado
 
The importance of the english language
The importance of the english languageThe importance of the english language
The importance of the english languageESTANISLAO PAUTA
 

What's hot (20)

Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahili
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
 
Sight translation
Sight translationSight translation
Sight translation
 
Interpretation vs. translation
Interpretation vs. translationInterpretation vs. translation
Interpretation vs. translation
 
Contact language, Pidgin & Creole
Contact language, Pidgin & CreoleContact language, Pidgin & Creole
Contact language, Pidgin & Creole
 
Teaching pronunciation
Teaching pronunciationTeaching pronunciation
Teaching pronunciation
 
English as a global language
English as a global languageEnglish as a global language
English as a global language
 
language death
language deathlanguage death
language death
 
The difference between phonology and phonetics
The difference between phonology and phoneticsThe difference between phonology and phonetics
The difference between phonology and phonetics
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 
Simultaneous
SimultaneousSimultaneous
Simultaneous
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Tools of translation
Tools of translationTools of translation
Tools of translation
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Code-Mixing and Code Switching
 Code-Mixing and Code Switching Code-Mixing and Code Switching
Code-Mixing and Code Switching
 
CHAPTER 19: Language and Social Variation.
CHAPTER 19: Language and Social Variation.CHAPTER 19: Language and Social Variation.
CHAPTER 19: Language and Social Variation.
 
The importance of the english language
The importance of the english languageThe importance of the english language
The importance of the english language
 
TAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANITAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANI
 

Similar to Matumizi ya Lugha Kimuktadha

Afra kiswahili
Afra kiswahiliAfra kiswahili
Afra kiswahiliAFRA PAUL
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaHamad Khamis Juma
 
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.pptMAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.pptallycareca
 

Similar to Matumizi ya Lugha Kimuktadha (6)

Afra kiswahili
Afra kiswahiliAfra kiswahili
Afra kiswahili
 
MATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFIMATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFI
 
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojiaUhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
Maana ya maana!
Maana ya maana!Maana ya maana!
Maana ya maana!
 
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.pptMAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt
MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (9)

Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHAUHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
 
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

Matumizi ya Lugha Kimuktadha

  • 2. Utangulizi  Katika mada za kidato cha kwanza tumejifunza maana ya lugha.  Pia tumejifunza kuwa lugha ndio nyenzo kuu ya mawasilianio.  Katika hayo tumeona pia kuwa lugha ina uhusiano mkubwa sana na tamaduni za jamii husika.  Leo tutaangalia jinsi lugha inavyotumika na wasemaji wake wakizingitia mambo ya msingi ya utumizi wa lugha.  Karibu.
  • 3. Malengo  Kufikia mwisho wa somo hili tunapaswa tuwe tumejifunza mambo yafuatayo;  Maana ya matumizi ya lugha  Maana ya Muktadha  Mambo ya kuzingatia katika matumizi ya lugha.
  • 4. Maana ya Matumizi ya Lugha  Matumizi ya lugha ni hali ya kutumia lugha kulingana na mila, desturi na taratibu za jamii husika.  Hii ina maana kwamba lugha hutumiwa na watumiaji wake huku wakizingatia tamaduni za jamii yao.
  • 5. Maana ya Muktadha  Neno muktadha lina maana ya mazingira.  Katika matumiz ya lugha, tunaposema muktadha tunamaanisha mazingira ambapo lugha hutumika.  Hii yuaweza kuwa; shuleni, hospitalini au mahakamani.
  • 6. Mambo ya Kuzingatia katika Utumizi wa Lugha
  • 7. Uhusiano Baina ya Wazungumzaji  Wazungumzaji huzingatia uhusiano wao katika mazungumzo.  Kila mmoja huweka akilini mwake, nani anazungumza naye.  Hii humsaidia mzungumzaji kuteua misamiati mahususi na jinsi ya kuongea.  Mfano; wewe mwanafunzi vile unavyozungumza na mwalimu ni tofauti na vile unavyozungumza na mwanafunzi mwenzako.  Hapo huwa unazingatia uhusiano baina yako na unayezungumza naye.  Hivyo uhusiano baina ya wazungumzaji huzingatiwa katika matumizi ya lugha.
  • 8. Muktadha/Mazingira  Mzungumzaji huzingatia mazingira pale anapotumia lugha.  Hii inamaana kuwa mzungumzaji hujiuliza swali kuwa niko wapi kabla hajatumia lugha.  Wewe mwanafunzi kwa mfano, jinsi unavyoongea unapokuwa shuleni ni tofauti kabisa na jinsi unavyoongea unapokuwa kanisani au unapokuwa bwenini au nyumbani.  Kwa hiyo; mazingira humuelekeza mtu atumie lugha namna gani.
  • 9. Mada ya Mazungumzo  Mada ni jambo linalozungumziwa.  Mada ya mazungumzo humuelekeza mtumiaji wa lugha aina ya misamiati anayotakiwa kutumia na namna ya kutumia lugha.  Mfano kama mtu anazungumzia masuala ya kisheria basi mtu huyu hana budi kutumia misamiati ya kisheria.  Kadharika yule anayezungumzia ,asuala ya kidini au kibiashara.  Hivyo matumizi ya lugha huzingatia mada ya mazungumzo.
  • 10. Lengo la Mzungumzaji/ Madhumuni  Mtu anapozungumza huwa anakuwa na lengo fulani.  Mfano; anaweza kuzungumza ili kuonya, kufundisha, kufokea, kufafanua au kusifia.  Lengo la mzungumzaji ndilo hasa huwa linamfanya achague aina fulani ya misamiati na pia jinsi atakavyoongea.  Hivyo lengo la mzungumzaji huzingatiwa katika matumizi ya lugha.
  • 11. Kwa kuhitimisha  Hivyo, matumizi ya lugha hutawaliwa na ;  Mahusiano baina ya wazungumzaji (nani?)  Muktadha (wapi?)  Mada ya mazungumzo (nini?)  Madhumuni ya mazungumzo(kwa lengo gani?)  Mambo haya yote ndio huzingatiwa katika matumizi ya lugha kila siku.
  • 12. Zoezi  Taja na fafanua mambo makuu manne ambayo mzungumzaji huyazingatia katika kuteuwa misamiati yake na maumbo ya tungo zake.  Lugha ni kama bendera fuata upepo. Fafanua kauli hii kwa kuonesha mambo yanayotawala matumizi ya lugha.