SlideShare a Scribd company logo
1 of 41
SARUFI
MATAMSHI
(fonolojia)
Mussa Shekinyashi
0743989829/0714807565
mussashaky@gmail.com
Fonolojia ni nini?
 Ni tawi la sarufi linalojishughulisha na uchunguzi,
uchanganuzi na uanishaji wa sauti pambanuzi za
lugha .
 Kwa maelezo mengine, fonolojia hujihusisha na
utaratibu wa mpangilio wa vitamkwa katika
maneno ya lugha.
 Fonolojia kwa upana wake pia hujishughulisha na
vipengele kama: matamshi, kiimbo, mkazo,
lafudhi, toni, mfuatano wa sauti katika kuunda
mofimu, mfuatano katika kuunda neno na
otografia.
Sauti katika Lugha
 Katika lugha ya kiswahili kuna sauti za aina
mbili. Ambazo ni;
 Sauti Irabu
 Sauti Konsonanti
Sauti Irabu
 Ni sauti zinazotamkwa bila kuwepo kizuizi
katika mkondo wa hewa utokao mapafuni
kwenda nje kupitia chemba ya kinywa na
pua.
 Kiswahili sanifu kina irabu tano (5)
 Ambazo ni: /a/, /e/,/i/,/o/ na /u/
Vigezo vinavyotumika kuainisha
irabu
 Irabu huweza kutofautishwa na kuanishwa
kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo:
 Sehemu ya ulimi ya kutamkia
 Mwinuko wa ulimi
 Mkao wa mdomo
Irabu za mbele
 Irabu hizi hutamkwa katika sehemu ya mbele
ya ulimi.
Irabu za nyuma
 Hizi hutamkiwa sehemu ya nyuma ya ulimi.
Irabu za kati
 Hizi hutamkiwa sehemu ya kati ya ulimi. Irabu
ya kati ni moja tu, /a/
2. Mwinuko wa Ulimi
 Katika kigezo hiki tunazingatia kiasi cha
kuinuka kwa ulimi wakati wa kuzitamka irabu.
 Kwa kuzingatia kigezo hiki tuna:
 Irabu za juu
 Irabu za kati
 Irabu za chini
Irabu za Juu
 Hapa tunapata irabu /i/ na /u/
Irabu za Kati
 Hutamkwa ulimi ukiwa umeinuliwa wastani; si
chini wala juu). Irabu hizo ni /e/ na /o/.
Irabu ya Chini
 Hutamkwa irabu ikiwa chini kinywani. Irabu ya
chini ni moja tu. /a/
3. Mkao wa Mdomo
 Hapa tunachunguza jinsi midomo ilivyo wakati
wa kuzitamka sauti.
 Kwa kuzingatia kigezo hiki tunapata:
 Irabu viringwa (mviringo)
 Irabu tandazwa
Irabu Viringwa
 Hutamkwa midomo ikiwa imeviringwa.
 Irabu viringwa ni /o/ na /u/
Irabu Tandazwa
 Zinapotamkwa midomo inakuwa
imetandazwa.
 Irabu tandazwa ni /a/,/e/ na /i/
Tazama picha hii
Onesha sifa pambanuzi za irabu
zifuatazo
 /a/
 /e/
 /i/
 /o/
 /u/
Konsonanti
 Ni sauti zinazo tamkwa kwa kuzuia mkondo
wa hewa katika sehemu mbalimbali kinywani
hasa kwa kutumia ulimi.
 Konsonanti za kiswahili huainishwa kwa
kuzingatia vigezo vifuatavyo:
 Mahala pa kutamkia
 Namna ya kutamka
 Mtetemo au mtikisiko wa nyuzi sauti
Mahala pa Kutamkia
 Konsonanti za kiswahili hutamkwa katika
sehemu mbalimbali.
 Sehemu hizo ni kama zifuatazo:
midomo
 Sauti hizi hutamkwa mdomo wa juu
unapokutana na mdomo wa chini.
 Sauti hizi ni:
 /p/
 /b/
 /m/ na
 /w/
Silabi
 Ni sehemu ya neno ambayo hutamkwa mara moja au
kwa pamoja kama fungu moja la sauti.
 Fungu hilo linaweza kuwa na sauti mbili au zaidi,
inategemea muundo wa lugha inayohusika
 Muundo wa silabi wa lugha yoyote ile hutawaliwa na
kanuni za kifonolojia za lugha husika.
 Kanuni za kifonolojia za lugha ndizo huelekeza:
 Ni vipashio vipi vinavyoweza kujenga silabi
 Kwa mfuatano au mpangilio wa namna gani
 Ni vipashio vipi haviwezi kujenga silabi
Silabi ya kiswahili
 Silabi ya kiswahili huundwa kwa kufuata
taratibu maalumu za lugha ya kiswahili
 Mfuatano wa sauti za kiswahili unaruhusu tu
konsonanti za aina fulani kufuatana kwa idadi
na kwa mpangilio maalumu katika silabi.
 Kila mzungumzaji wa lugha ya kuswahili
anaumilisi wa kuweza kutunga na kutumia
kanuni hizi kuunda maneno.
Aina za Silabi
 Kuna aina mbili za silabi zakiswahili:
 Silabi Huru (wazi)
 Silabu Funge
Silabi Huru (wazi)
 Ni silabi ambazo huishia na irabu, sauti
amabazo zina msikiko au mvumo wa juu.
 Kutokana na kuishia na irabu, silabi huru
huwa zinakuwa na msikiko mkubwa zaidi.
 Mfano: ba - ba
1 2
Konsonanti ng’ong’o
 Konsonanti hizi ni kama vile /m/,/n/,/ng’/ na
/ny/.
 Konsonanti hizi huweza kutamkwa katika
neno bila msaada wa irabu.
 Konsonanti hizi huweza kusimama peke yake
kama silabi.
 Mfano: neno mwanamke lina silabi nne:
 Mwa-na-m-ke
Silabi Funge
 Silabi funge ni salbi zinazoishia na
konsonanti,sauti ambazo kwa kawaida zinakuwa
na msikiko au mvumo hafifu.
 Lugha ya kiswahili ikikopa maneno kutoka lugha
za kigeni kama vile kiarabu baadhi ya maneno
yake yanakuwa na silabi funge:
 Mfano: maktaba,madrasa,
 Kwenye kingereza neno kama: cut, car na push
Miundo ya Silabi Asilia ya
Kiswahili Sanifu
 Tunaposema silabi asilia za kiswahili tuna
maana ya silabi zinazopatikana katika
maneno asiliaya lugha hiyo.
 Lugha ya kiswahili ina miundo isiyopungua
mitano (5) ya irabu.
 miundo hiyo ni kama ifuatayo:
1. Irabu Pekee (I)
 Kiswahili kina irabu tano (5) ambazo kila
moja huweza kuwa silabi katika miundo ya
maneno mbalimbali.
 Mfano: ua:u-a
Oa : o-a
okoa: o-k-o-a
2. Silabi ya Konsonanti pekee (k)
 Hizi ni zile konsonanti ambazo huweza
kutamkwa bila msaada wa irabu.
 Konsonanti hizi huweza kuwa silabi.
 Hii ni kwa sababu konsonanti hizi zinausilabi
mkubwa kiasi cha kuweza kutamkika.
 Konsonanti hizi ni ving’ong’o
 Konsonanti hizi ni kama vile /m/,/n/,/ng’/ na
/ny/.
3. Silabi za konsonati na irabu
(KI)
 Huu ni muundo unaotumika sana katika lugha
sio tu ya kiswahili bali pia katika lugha
nyingine za kibantu.
 Lugha nyingi ulimwenguni hutumia muundo
huu.
 Mfano: kaka: ka-ka
 lima : li-ma
4. Siabi za konsonanti,konsonanti
na irabu (KKI)
 Mafano
 Pwani : pwa-ni
 Kwisha : Kwi –sha
5. Silabi za
konsonanti,konsonanti,konsonant
i na Irabu (KKKI)
 Muundo huu hujumuisha konsonanti tatu na
irabi moja.
 Mfano;
 Chimbwa
 Mbwa
 Anzwa
 Jenjwa
LAFUD
HI
KIIMBO
MKAZO
Lafudhi
 Ni matamshi ya mseamji wa lugha fulani ambayo
yanatokana na athari za kimazingira.
 Mazingira hayo yanaweza kuwa mahali alipotoka,
kiwango cha elimu na kadhalika.
 Hii inamaana kwamba kutokanan na jinsi
mzungumzaji anavyoimudu sauti yake tunaweza
kujua kujua mahali atokako.
 Lugha ya kwanza ya jamii atokayo mzungumzaji
inaweza kuathiri lafudhi ya mzungumzaji.
 Mfano
 Bwana wew, ntu alokanichilimisha aje
anchilimue…!
 Nkuu wa nkoa wa ntwara n’jini kanipa
nchongo wa kusuka nkeka nipeleke nsanga
nkuu.
 Ukisikia sauti ya mzungumzaji huyu utajua tu
anatokea mazingira gani au katika jamii gani.
Mkazo/ Shadda
 Ni sifa ya kiarudhi ambapo sehemu Fulani ya
neno, aghalabu silabi hutamkwa kwa nguvu
au kwa kuvuta ili kwamba isikike au isistizwe
zaidi kuliko sehemu nyingine za neno au
sentensi.
 Mfano:
 Barabara (njia)
 Barabara (sawasawa)
 Mkazo hutumiwa kutofautisha maana za
maneno au kuonesha msisitizo wa jambo
katika sentensi.
 Katika lugha ya Kiswahili mkazo huweza kuwekwa
katika kiwango cha neno au sentensi.
 Mfano wa mkazo katika sentensi:
 Walikuja kwa kasi ya ajabu.
 Kazi waliyofanya ni kidogo sana.
 Katika kiwango cha neno mkazo huwekwa katika
silabi ya pili kutoka mwisho:
 Mfano: Watatu , walakini na walakini.
 Mkazo katika sentensi huwekwa ili kudhihirisha
wazo linalotaka kusisitizwa.
 Mkazo katika kiwango cha neno huwekwa kujenga
maana fulani.
Kiimbo
 Ni hali ya kupanda na kushuka kwa sauti wakati
wa kutamka maneno mbalimbali katika sentensi.
 Kiimbo pia kinaweza kufafanuliwa kama sauti
maalum inayojitokeza unapotamka maneno fulani.
 Kiimbo husaidia kuleta maana kamili ya sentensi
iliyokusudiwa.
 Katika uandishi, Viimbo husaidiwa na alama za
uakifishaji (uandishi) ili kumwelekeza msomaji
asome kwa kiimbo kilichokusudiwa.
Ruwaza za kiimbo
 Hii ni mipangilio au mgawanyo wa viimbo
kulingana na maana vinazotoa.
 Ruwaza hizi hubadilika kulingana na dhima ya
kauli za sentensi husika.
 Katika sentensi ya taarifa, sauti huwa na kiimbo
sawa pasi na kupanda na kushuka.
 Juma amekwenda
 Katika sentensi ya swali, sauti huanzia chini kisha
hupanda na kufikia silabi pili kutoka mwisho.
 Juma amekwenda?
 Katika sentensi ya mshangao sauti huanzia chini
kisha hupanda na kufikia silabi ya mwisho.
 Juma amekwenda?
Asanteni…

More Related Content

What's hot

Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Kriolimussa Shekinyashi
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMussaOmary3
 
Positive and Negative transfers
Positive and Negative transfers Positive and Negative transfers
Positive and Negative transfers nirmeennimmu
 
Intro. to Linguistics_8 Phonology
Intro. to Linguistics_8 PhonologyIntro. to Linguistics_8 Phonology
Intro. to Linguistics_8 PhonologyEdi Brata
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIPeter Deus
 
Principles of language learning and teaching
Principles of language learning and teachingPrinciples of language learning and teaching
Principles of language learning and teachingAlly Belalcazar
 
The Analysis of Syllable
The Analysis of SyllableThe Analysis of Syllable
The Analysis of SyllableAwan Kamal
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaHamad Khamis Juma
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAshahzadebaujiti
 

What's hot (20)

MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
TAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANITAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANI
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahili
 
Mjengo wa tungo
Mjengo wa tungoMjengo wa tungo
Mjengo wa tungo
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
 
CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
 
Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
 
Positive and Negative transfers
Positive and Negative transfers Positive and Negative transfers
Positive and Negative transfers
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Intro. to Linguistics_8 Phonology
Intro. to Linguistics_8 PhonologyIntro. to Linguistics_8 Phonology
Intro. to Linguistics_8 Phonology
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILI
 
Principles of language learning and teaching
Principles of language learning and teachingPrinciples of language learning and teaching
Principles of language learning and teaching
 
The Analysis of Syllable
The Analysis of SyllableThe Analysis of Syllable
The Analysis of Syllable
 
Language in society
Language in societyLanguage in society
Language in society
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (11)

Rejesta
RejestaRejesta
Rejesta
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHAUHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
 
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za FasihiUhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

Sarufi Matamshi (Fonolojia)

  • 2. Fonolojia ni nini?  Ni tawi la sarufi linalojishughulisha na uchunguzi, uchanganuzi na uanishaji wa sauti pambanuzi za lugha .  Kwa maelezo mengine, fonolojia hujihusisha na utaratibu wa mpangilio wa vitamkwa katika maneno ya lugha.  Fonolojia kwa upana wake pia hujishughulisha na vipengele kama: matamshi, kiimbo, mkazo, lafudhi, toni, mfuatano wa sauti katika kuunda mofimu, mfuatano katika kuunda neno na otografia.
  • 3. Sauti katika Lugha  Katika lugha ya kiswahili kuna sauti za aina mbili. Ambazo ni;  Sauti Irabu  Sauti Konsonanti
  • 4. Sauti Irabu  Ni sauti zinazotamkwa bila kuwepo kizuizi katika mkondo wa hewa utokao mapafuni kwenda nje kupitia chemba ya kinywa na pua.  Kiswahili sanifu kina irabu tano (5)  Ambazo ni: /a/, /e/,/i/,/o/ na /u/
  • 5. Vigezo vinavyotumika kuainisha irabu  Irabu huweza kutofautishwa na kuanishwa kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo:  Sehemu ya ulimi ya kutamkia  Mwinuko wa ulimi  Mkao wa mdomo
  • 6.
  • 7. Irabu za mbele  Irabu hizi hutamkwa katika sehemu ya mbele ya ulimi.
  • 8. Irabu za nyuma  Hizi hutamkiwa sehemu ya nyuma ya ulimi.
  • 9. Irabu za kati  Hizi hutamkiwa sehemu ya kati ya ulimi. Irabu ya kati ni moja tu, /a/
  • 10. 2. Mwinuko wa Ulimi  Katika kigezo hiki tunazingatia kiasi cha kuinuka kwa ulimi wakati wa kuzitamka irabu.  Kwa kuzingatia kigezo hiki tuna:  Irabu za juu  Irabu za kati  Irabu za chini
  • 11. Irabu za Juu  Hapa tunapata irabu /i/ na /u/
  • 12. Irabu za Kati  Hutamkwa ulimi ukiwa umeinuliwa wastani; si chini wala juu). Irabu hizo ni /e/ na /o/.
  • 13. Irabu ya Chini  Hutamkwa irabu ikiwa chini kinywani. Irabu ya chini ni moja tu. /a/
  • 14. 3. Mkao wa Mdomo  Hapa tunachunguza jinsi midomo ilivyo wakati wa kuzitamka sauti.  Kwa kuzingatia kigezo hiki tunapata:  Irabu viringwa (mviringo)  Irabu tandazwa
  • 15. Irabu Viringwa  Hutamkwa midomo ikiwa imeviringwa.  Irabu viringwa ni /o/ na /u/
  • 16. Irabu Tandazwa  Zinapotamkwa midomo inakuwa imetandazwa.  Irabu tandazwa ni /a/,/e/ na /i/
  • 18. Onesha sifa pambanuzi za irabu zifuatazo  /a/  /e/  /i/  /o/  /u/
  • 19. Konsonanti  Ni sauti zinazo tamkwa kwa kuzuia mkondo wa hewa katika sehemu mbalimbali kinywani hasa kwa kutumia ulimi.  Konsonanti za kiswahili huainishwa kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo:  Mahala pa kutamkia  Namna ya kutamka  Mtetemo au mtikisiko wa nyuzi sauti
  • 20. Mahala pa Kutamkia  Konsonanti za kiswahili hutamkwa katika sehemu mbalimbali.  Sehemu hizo ni kama zifuatazo:
  • 21. midomo  Sauti hizi hutamkwa mdomo wa juu unapokutana na mdomo wa chini.  Sauti hizi ni:  /p/  /b/  /m/ na  /w/
  • 22. Silabi  Ni sehemu ya neno ambayo hutamkwa mara moja au kwa pamoja kama fungu moja la sauti.  Fungu hilo linaweza kuwa na sauti mbili au zaidi, inategemea muundo wa lugha inayohusika  Muundo wa silabi wa lugha yoyote ile hutawaliwa na kanuni za kifonolojia za lugha husika.  Kanuni za kifonolojia za lugha ndizo huelekeza:  Ni vipashio vipi vinavyoweza kujenga silabi  Kwa mfuatano au mpangilio wa namna gani  Ni vipashio vipi haviwezi kujenga silabi
  • 23. Silabi ya kiswahili  Silabi ya kiswahili huundwa kwa kufuata taratibu maalumu za lugha ya kiswahili  Mfuatano wa sauti za kiswahili unaruhusu tu konsonanti za aina fulani kufuatana kwa idadi na kwa mpangilio maalumu katika silabi.  Kila mzungumzaji wa lugha ya kuswahili anaumilisi wa kuweza kutunga na kutumia kanuni hizi kuunda maneno.
  • 24. Aina za Silabi  Kuna aina mbili za silabi zakiswahili:  Silabi Huru (wazi)  Silabu Funge
  • 25. Silabi Huru (wazi)  Ni silabi ambazo huishia na irabu, sauti amabazo zina msikiko au mvumo wa juu.  Kutokana na kuishia na irabu, silabi huru huwa zinakuwa na msikiko mkubwa zaidi.  Mfano: ba - ba 1 2
  • 26. Konsonanti ng’ong’o  Konsonanti hizi ni kama vile /m/,/n/,/ng’/ na /ny/.  Konsonanti hizi huweza kutamkwa katika neno bila msaada wa irabu.  Konsonanti hizi huweza kusimama peke yake kama silabi.  Mfano: neno mwanamke lina silabi nne:  Mwa-na-m-ke
  • 27. Silabi Funge  Silabi funge ni salbi zinazoishia na konsonanti,sauti ambazo kwa kawaida zinakuwa na msikiko au mvumo hafifu.  Lugha ya kiswahili ikikopa maneno kutoka lugha za kigeni kama vile kiarabu baadhi ya maneno yake yanakuwa na silabi funge:  Mfano: maktaba,madrasa,  Kwenye kingereza neno kama: cut, car na push
  • 28. Miundo ya Silabi Asilia ya Kiswahili Sanifu  Tunaposema silabi asilia za kiswahili tuna maana ya silabi zinazopatikana katika maneno asiliaya lugha hiyo.  Lugha ya kiswahili ina miundo isiyopungua mitano (5) ya irabu.  miundo hiyo ni kama ifuatayo:
  • 29. 1. Irabu Pekee (I)  Kiswahili kina irabu tano (5) ambazo kila moja huweza kuwa silabi katika miundo ya maneno mbalimbali.  Mfano: ua:u-a Oa : o-a okoa: o-k-o-a
  • 30. 2. Silabi ya Konsonanti pekee (k)  Hizi ni zile konsonanti ambazo huweza kutamkwa bila msaada wa irabu.  Konsonanti hizi huweza kuwa silabi.  Hii ni kwa sababu konsonanti hizi zinausilabi mkubwa kiasi cha kuweza kutamkika.  Konsonanti hizi ni ving’ong’o  Konsonanti hizi ni kama vile /m/,/n/,/ng’/ na /ny/.
  • 31. 3. Silabi za konsonati na irabu (KI)  Huu ni muundo unaotumika sana katika lugha sio tu ya kiswahili bali pia katika lugha nyingine za kibantu.  Lugha nyingi ulimwenguni hutumia muundo huu.  Mfano: kaka: ka-ka  lima : li-ma
  • 32. 4. Siabi za konsonanti,konsonanti na irabu (KKI)  Mafano  Pwani : pwa-ni  Kwisha : Kwi –sha
  • 33. 5. Silabi za konsonanti,konsonanti,konsonant i na Irabu (KKKI)  Muundo huu hujumuisha konsonanti tatu na irabi moja.  Mfano;  Chimbwa  Mbwa  Anzwa  Jenjwa
  • 35. Lafudhi  Ni matamshi ya mseamji wa lugha fulani ambayo yanatokana na athari za kimazingira.  Mazingira hayo yanaweza kuwa mahali alipotoka, kiwango cha elimu na kadhalika.  Hii inamaana kwamba kutokanan na jinsi mzungumzaji anavyoimudu sauti yake tunaweza kujua kujua mahali atokako.  Lugha ya kwanza ya jamii atokayo mzungumzaji inaweza kuathiri lafudhi ya mzungumzaji.
  • 36.  Mfano  Bwana wew, ntu alokanichilimisha aje anchilimue…!  Nkuu wa nkoa wa ntwara n’jini kanipa nchongo wa kusuka nkeka nipeleke nsanga nkuu.  Ukisikia sauti ya mzungumzaji huyu utajua tu anatokea mazingira gani au katika jamii gani.
  • 37. Mkazo/ Shadda  Ni sifa ya kiarudhi ambapo sehemu Fulani ya neno, aghalabu silabi hutamkwa kwa nguvu au kwa kuvuta ili kwamba isikike au isistizwe zaidi kuliko sehemu nyingine za neno au sentensi.  Mfano:  Barabara (njia)  Barabara (sawasawa)  Mkazo hutumiwa kutofautisha maana za maneno au kuonesha msisitizo wa jambo katika sentensi.
  • 38.  Katika lugha ya Kiswahili mkazo huweza kuwekwa katika kiwango cha neno au sentensi.  Mfano wa mkazo katika sentensi:  Walikuja kwa kasi ya ajabu.  Kazi waliyofanya ni kidogo sana.  Katika kiwango cha neno mkazo huwekwa katika silabi ya pili kutoka mwisho:  Mfano: Watatu , walakini na walakini.  Mkazo katika sentensi huwekwa ili kudhihirisha wazo linalotaka kusisitizwa.  Mkazo katika kiwango cha neno huwekwa kujenga maana fulani.
  • 39. Kiimbo  Ni hali ya kupanda na kushuka kwa sauti wakati wa kutamka maneno mbalimbali katika sentensi.  Kiimbo pia kinaweza kufafanuliwa kama sauti maalum inayojitokeza unapotamka maneno fulani.  Kiimbo husaidia kuleta maana kamili ya sentensi iliyokusudiwa.  Katika uandishi, Viimbo husaidiwa na alama za uakifishaji (uandishi) ili kumwelekeza msomaji asome kwa kiimbo kilichokusudiwa.
  • 40. Ruwaza za kiimbo  Hii ni mipangilio au mgawanyo wa viimbo kulingana na maana vinazotoa.  Ruwaza hizi hubadilika kulingana na dhima ya kauli za sentensi husika.  Katika sentensi ya taarifa, sauti huwa na kiimbo sawa pasi na kupanda na kushuka.  Juma amekwenda  Katika sentensi ya swali, sauti huanzia chini kisha hupanda na kufikia silabi pili kutoka mwisho.  Juma amekwenda?  Katika sentensi ya mshangao sauti huanzia chini kisha hupanda na kufikia silabi ya mwisho.  Juma amekwenda?