SlideShare a Scribd company logo
1 of 16
1
MISINGI YA KUELEWA UNAPO SOMA AU
KUFUNDISHA KISWAHILI
PAUL, AFRA (APAMPA)
KITABU HIKI KINAWEZA TUMIAKA KUFUNDISHIA WANAFUNZI WA VYUO NA
SEKONDARI
2016
2
YALIYOMO
YALIYOMO................................................................................................................................... 1
SURA YA KWANZA: MISINGI YA KUFUNDISHIA LUGHA .............................................. 3
Utangulizi: ............................................................................................................................... 3
Lugha ni nini? .......................................................................................................................... 3
SIFA AU TABIA ZA LUGHA ............................................................................................................ 3
i.Lugha ni sauti za binadamu zenye maana ............................................................................. 3
ii. Lugha ni sauti nasibu........................................................................................................... 3
iii.Lugha ni mfumo maalum wa sauti...................................................................................... 3
iv Lugha ni mali ya binadamu ................................................................................................. 3
v.Lugha hubadilika .................................................................................................................. 4
vi Lugha huathiri na kuathiriwa............................................................................................... 4
vii. Lugha hupitia mfumo wa kuishi........................................................................................ 4
Viii .Lugha hufungamana na utamaduni wa jamii fulani ........................................................ 5
DHIMA ZA LUGHA .................................................................................................................. 5
i.Lugha ni chombo cha mawasiliano ....................................................................................... 5
i i Lugha ni kitambulisho...................................................................................................... 5
iii Lugha ni chombo cha kuunganisha watu ......................................................................... 6
iv Lugha ni chombo cha kurithishia utamaduni wa jamii.................................................... 6
vi Lugha ni chombo cha kutolea elimu na mafunzo ............................................................... 6
KUFASILI LUGHA.................................................................................................................... 7
SIFA ZA MFASIRI BORA.................................................................................................................. 7
MSINGI WA KUJIFUNZA LUGHA..................................................................................................... 7
1Kuchagua ............................................................................................................................... 8
2. Kuyahusisha na maneo mengine ......................................................................................... 8
3. Kupitia ................................................................................................................................. 8
4. Kuhifadhi ............................................................................................................................. 8
5. Matumizi.............................................................................................................................. 9
NJIA ZA KUJIFUNZIA LUGHA ............................................................................................... 9
............................................................................................ 9
................................................................................. 9
................................................................................. 9
SURA YA PILI: ........................................................................................................................ 10
MBINU ZINAZOFAA KUFUNDISHIA ISIMU...................................................................... 10
ISIMU........................................................................................................................................ 10
Matawi ya Isimu .................................................................................................................... 10
a)Isimu Fafanuzi/Elezi........................................................................................................... 10
b)Isimu Historia ..................................................................................................................... 10
c)Isimu Linganishi................................................................................................................. 10
d)Isimujamii........................................................................................................................... 11
3
SURA YA KWANZA:
MISINGI YA KUFUNDISHIA LUGHA
Utangulizi:
Ili kujifunza vizuri juu ya mada hii yatupasa kujua kwanza maana rasmi ya lugha na sifa
zake.kufanya marejereo ya kina juu ya maana ya rasmi ya lugha, sifa zake na dhima zake katika
jamii.
Lughani nini?
Lugha ni mfumo maalum wa sauti nasibu zenye maana ambazo hutumiwa miongoni mwa
binadamu kwa ajili ya kukidhi malengo ya kimawasiliano miongoni mwa watumiaji husika.
Kutokana na fasili hiyo, kwa muhtasari lugha ni sauti nasibu, lugha ni mfumo maalum, lugha
inamhusu binadamu, lugha hutumika kwa ajili ya kuwasiliana. Dhana hizi zitajipambanua zaidi
katika sehemu inayofuata (Sifa za Lugha).
Sifa au tabia za Lugha
i.Lugha ni sauti za binadamu zenye maana
Lugha ni sauti zinazozalishwa na binadamu kwa kutumia ala za sauti kama vile ulimi, midomo
ufizi, kaakaa laini, kaakaa gumu, meno, koromeo na viungo vinginevyo; sauti hizi huanzia kama
irabu na konsonanti. Sauti hizi ili kuitwa lugha lazima ziwe na maana na kueleweka kwa
watumiaji wake. Na hii ndio sifa muhimu kuitofautisha lugha ya binadamu na mawasiliano ya
viumbe hai wengine.
ii. Lughani sauti nasibu
Tunasema lugha ni nasibu kwa sababu hizi huzuka kwa nadra tu (bila kukusudiwa) na hazina
uhusiano wa moja kwa moja na mkile kinachorejelewa. Kwa maana nyingine hakuna
makubaliano au mikakati ya pamoja katika kuamua utokeaji wa sauti hizi.
iii.Lugha ni mfumo maalum wa sauti
Hii ni kwa sababu sauti hizi ziitwazo lugha hutokea katika utaratibu maalum unaoanzia kiwango
cha chini mpaka kiwango cha juu zaidi. Sauti hizi huanzia katika upekepeke kama irabu au
konsonanti, kisha huunda neno, kirai (kikundi cha maneno), kishazi na hatimaye sentensi
(tungo). Katika viwango vyote, yaani Kiwango cha Sauti (Fonolojia), Kiwango cha Maumbo
(Mofolojia), Kiwango cha Miundo (Sintaksia), Kiwango cha Maana (Semantiki) na Kiwango cha
Isimu Amali (Pragmatiki) kunakuwa na kanuni maalum.
iv Lugha ni mali ya binadamu
Hakuna kiumbe kingine zaidi ya binadamu kinachotumia lugha. Licha ya kuwa viumbe wengine
(ambao si binadamu) hawahusiani na huwasiliana, mawasiliano yao si lugha bali ni ishara, sauti
na namna mbalimbali za kuwasiliania lakini hawana lugha. Kwa hivyo lugha ni mali ya kipekee
4
ya binadamu kwa sababu ndiye kiumbe pekee mwenye uwezo wa kuzalisha lugha kwa kuwa
ndiye mwenye viungo pekee vyenye uwezo huo.
v.Lugha hubadilika
Lugha yoyote hupokea au kupitia mabadiliko kutokana na wakati na mazingira. Mabadiliko haya
hutokea katika viwango vyote vya lugha kama ifuatavyo:
a. Mabadilikoya kifonolojia
Haya ni mabadiliko ya kanuni au mfumo wa matamshi katika lugha. Mara nyingi yanatokana na
lugha kukopa misamiati ambayo ina sauti zisizopatikana katika lugha inayokopa au mabadiliko
mengineyo.
b. Mabadilikoya kimofolojia
Hay hutokea pale ambapo lugha fulani hubadilika katika utaratibu wake wa kimaumbo hususani
katika kanuni za uundaji wa maneno.
c. Mabadilikoya kileksiana kimaana
Haya ni mabadiliko katika leksimu au maana katika lugha husika, kwa mfano kuongezeka kwa
leksimu hutokana na njia au mbinu zote za uundaji wa maneno. Leksimu inapoongezeka na
maana huongezeka kwa kuwa huja na dhana (maana) inayowakilishwa.
d. Mabadilikoya kisintaksia
Haya ni mabadiliko ya kimiundo ambapo lugha hubadilika katika utaratibu tofauti na ule
uliokuwepo awali.
vi Lugha huathiri na kuathiriwa
Lugha yoyote inaweza kuathiri utaratibu wa lugha nyingine, kadhalika lugha hiyo hiyo inaweza
kuathiriwa na lugha nyingine katika kiwango, viwangu fulani au viwango vyote vya lugha. Rejea
katika sifa ya mabadiliko.
vii. Lugha hupitia mfumo wa kuishi
Lugha hupitia awamu karibu zote za maisha ya viumbe hai kama vile binadamu, wanyama,
mimea na vinginevyo. Hatua hizi ni kama ifuatavyo:
a. Lugha huzaliwa
Hii ni punde lugha inapoibuka.
b. Lugha inakuwa
Lugh iikishazaliwa hukua, na kukua kwake ni pale inapojitanua kwa kujiongezea msamiati na
(au) matumizi.
c. Lugha ianweza kufa
Kufa kwa lugha ni aple inapokosa watumiaji au kutotumika kwa sababu mbalimbali.
Lugha yoyote ina hadhi sawa na nyingine na hujitosheleza
5
Lugha zote duniani zina hadhi sawa kwa sababu zinajitosheleza kwa sababu hukidhi mahitaji ya
wtumiaji wake katika nyanja zote za maisha ikiwemo kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii.
d. Lugha hujizalisha
Lugha yoyote hujiongezea msamiati kupitia njia maalum za uundaji wa maneno/msamiati/istilahi
ikiwemo Kutohoa au Kukopa, Ufupishaji, Ufananishaji wa umbo au sauti, Urudufishaji, na njia
nyinginezo.
Viii .Lugha hufungamana na utamaduni wa jamii fulani
Lugha ni sehemu ya utamaduni wa jamii ya watumiaji wake na ni nyenzo ya kuhifadhia na
kurithisha utamaduni wote kwa ujumla. Kadhalika, lugha hutumika kuendana na kwa kukidhi
shughuli na mambo yote katika maisha ya kila siku.
DHIMA ZA LUGHA
i.Lugha ni chombo chamawasiliano
Lugha hutumika kupashana habari, kuwasilisha dhana au fikra walizo nazo binadamu, hisia
kama vile furaha, huzuni, hasira, maarifa na uhalisia mwingine wa kimaisha kupitia kutoa na
kupokea ujumbe.
i i Lugha ni kitambulisho
Kupitia lugha tunaweza kumtambua na kumfahamu zaidi mtu au jamii. Utambulisho huo
waweza kuwa katika namna mbili kama ifuatavyo:
a. Utambulishowa mtubinafsi
Kupitia matumizi ya lugha tunaweza kubaini jinsi ya mtu (ni wa kike au ni wa kiume) hata kama
hatujamuona ana kwa ana, yaani hata kama tunaona alichokiandika. Kwa mfano wanaume kwa
kiasi kikubwa hutumia lugha isiyofasaha ukilinganisha na wanawake, pia wanaume hutumia
ubabe katika mazungumzo hasa majadiliano ikiwemo kumkatisha mzungumzaji mwenzake bila
kumwacha amalize (yaani hukiuka kwa kiasi kikubwa utaratibu wa kuachiana nafasi katika
mazungumzo ukilinganisha na jinsi ya kike). Pia kupitia lugha tunaweza kung’amua falsafa,
mtazamo, umri, kiwango cha elimu, hulka na tabia nyinginezo. Kwa mfano mtu mwenye tabia ya
unyanyasaji tutambaini katika mazungumzo na kadhalika.
b. Utambulishowa kikundi cha watu,jamii au taifa
Kupitia lugha tuanweza kufahamu mengi kuhusiana na watu fulani, utaratibu wao, falsafa yao,
itikadi yao na kile wanachokiamini. Hivyo, kupitia lugha tunaweza kufahamu kuwa mtu ni
mmoja kati ya watu wa itikadi ipi, jamii ipi au taifa gani. Kwa mfano mtu akiongea Kiswahili
awapo katika mataifa mengine hubainika moja kwa moja kuwa ni wa Afrika ya Mashariki
hususani nchini Tanzania au Kenya. Vile vile tunaweza kufahamu kuwa mtu ni wa dini au dhebu
gani, chama gani cha siasa, kabila au taifa gani. Yote ni kwa sababu kundi tunalomuweka
linafanana kwa namna fulani ya lugha.
6
iii Lughani chombo chakuunganishawatu
Lugha hupatanisha watu na kuwaweka pamoja mtu na mtu, mtu na watu, watu na watu au jamii
na jamii. Kwa mfano kupitia salamu au kauli mbiu ya aina moja watu wanajikia kuwa ni
wamoja, wako pamoja na wenye nia sawa ya kimaisha. Rejea nchini Tanzania, lugha ya
Kiswahili ndio nyenzo pekee iliyotumika kuwaunganisha watanzania kudai uhuru, pamoja na
kuungana kuijenga nchi yao.
iv Lughani chombo cha kurithishiautamaduni wajamii
Lugha hutumika kuendeleza na kudumisha mila, desturi, na amali za jamii kutoka kizazi hadi
kizazi kupitia misemo na nyenzo nyinginezo zitumiazo lugha. Lugha ndio itunzayo
kumbukumbu yamatambiko, miiko pamoja na mila na desturi nyinginezo.
v Lugha ni nyenzo ya kulinda, kuimarisha na kurejesha amani
Lugha hudumisha utulivu, kuheshimiana, kuvumiliana na kuthamiana bila hofu yoyote. Kwa
mfano kupitia kampeni za kuimiza kulinda amani kama vile “Tuilinde Amani ya Nchi Yetu”,
“Tanzania ni Kisiwa cha Amani” na nyingine kama hizo, kauli mbiu kama hizi hutumika
kuimarisha amani katika nchi zetu. Kadhalika, pale inapotokea tishio la kutoweka kwa amani, ni
lugha ndiyo inayotumika kurejesha ikiwemo kutumika kupatanisha makundi asimu, na mamlaka
ya ulinzi wa amani kutoa matumaini kwa watu wake juu ya kurejea tena kwa amani.
vi Lughani chombo chakutoleaelimunamafunzo
Binadamu hutumia lugha kupata elimu na kuuelewa ulimwengu ili kuuishi ipasavyo kupitia
kufundisha na kujifunza.
Athari ya Matumizi Mabaya ya Lugha
Lugha ikitumika vibaya huwa kinyume na dhima mbalimbali tunazozifahamu na hupelekea
yafuatayo (baadhi tu)
i. Lugha inaweza kutumika kukandamiza uhuru wa mtu au taifa
ii. Lugha inaweza kuwatenganisha watu, jumuiya, jamii au taifa (au inaweza kutumiwa kwa
lengo hilo).
iii. Lugha inaweza kuwa chanzo cha kuvuruga amani kama chanzo cha migogoro
iv. Lugha inaweza kuleta utabaka na ubinafsi katika jamii
v. Lugha inaweza kukwamisha maendeleo ya jamii (pale inapotumika vibaya)
vi. Lugha inaweza kutumika kunyanyapaa, kudunisha na kuwabagua watu wengine.
7
KUFASILI LUGHA
Fasili ni istilahi inayotokana na kitendo cha kufasili; mantiki yake ni kutoa maana, dhana
maelezo au ufafanuzi juu ya jambo fulani, kutoa maelezo ya kuhusu mana ya neno/maneno.
Mfano Kamusi ni mfano mzuri wa matini ianayofasili mismiati ya kiswahili japo pia, Kamusi
inatafsiri misamiati isiyo na asili ya kibantu. kwa hiyo, fasili au kufasili ni kutoa maana au dhana
ya jambo/kitu fulani kinachohitaji ufafanuzi.
Mshindo (2010:2) ansema kufasiri ni kufafanua maana ya matini moja na kutayarisha baadae
matini nyingine inayowiana nayo ambayo huitwa tafsiri na ambayo inawakilisha ujumbe uleule
uliomo katika matini ya awali kwa kutumia lugha nyingine.
Kwa mfano. Kusoma (kiswahili) reading (kiingereza)
Sifa za mfasiri bora
Mfasiri bora anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:
Awe mahiri wa lugha husika, hii ina maana kuwa awe anajua kwa ufasaha lugha zote mbili, yaani
lugha chanzi na lugha lengwa. Hii ni kujua vizuri nyanja mbalimbali za Isimu ya lugha husika
kama vile; Fonolojia-{Matamshi}, Mofolojia-{Maumbo}, Sintaksia-{Muundo} na Semantiki-
{Maana}
Awe na ufahamu mkamilifu wa ujumbe au mada iliyoandikwa katika matini chanzi na uwezo au
jinsi ya kuelezea ujumbe au mada hiyo kwa ufasaha katika lugha lengwa.
Awe mjuzi wa TEHAMA.
Ajue lugha mbili au zaidi.
Awe na tajiriba kubwa ya usomaji wa aina mbalimbali za tafsiri na kujiendeleza kulingana na
mabadiliko ya kijamii.
Afahamu vizuri watu, jamii na utamaduni wa watumiaji wa lugha chanzi na lugha lengwa.
Afahamiane na watu wengi, yaani kujichanganya changanya na watu wa fani au sekta
mbalimbali.
Awe na tabia yakushirikiana na watu wengine katika shughuli za kufasiri.
Msingi wa kujifunza lugha
Ili kuwa na uwezo wa kutumia lugha mpya, binadamu anatakiwa kujifunza. Biadamu hasa mtu
mzima huweza kujifunza lugha vizuri kama tu ataweza kuzingatia yafuatayo
a) Utayari wake wa kujifunza(kwa mfano, mtu anapenda kujua lugha Fulani lakini hayuko
tayari kujifunza lugha hiyo)
b) Kuwa na utayari wa kujenga hisia za kutafakari
c) Kukazia maarifa katika uhalisia
8
d) Kufanya Marudio ya alicho jifunza
Kwa mjibu wa kamusi ya uingereza maarufu kama Oxford dictionary, neno kujifunza ni
mapokeo ya ujuzi au elimu baada ya uzoefu ama mafunzo fulani.Hivyo ni bayana ya mambo
tuonayo na kusikia mashuleni hadi majumbani mwetu.
Ili kujifunza lugha mpya na kuitumia vizuri misingi ifuatayo yatakiwa kupewa kipaumbele
1Kuchagua
Ni muhimu kujifunza lugha mpya, uwezo wa kujifunza lugha mpya utatengemeana na jinsi
binadamu huyo anajifunza lugha mpya anavyochagua maneno amabyo atayatumia zaidi na
yanompendeza zaidi.I kumbukwe pia kuwa, kila lugha ina maelufu ya maneno na mengi kati ya
hayo hata hautakuja kuyatumia katika maisha yako yote. Pia , lugha zote zina maneno kuhusu
kila mada, kuanzia wanyama mpaka taaluma.
Kuchagua mneno yanayokuvutia ndio silah yako kubwa katika kuhakikisha unayakumbuk.
Ukichagua maneno yenye maana kwako, haitakuwa rahisi kwako kuyasahau hata baada ya muda
mrefu. Kwa msing huu unaeza kuongeza maneno mapya kirahisi zaidi.
2. Kuyahusishanamaneo mengine
Katika kujifunza lugha mpya ni muhimu sana kujua maneno muhimu. Jambo la msingi hapa ni
kuyahusianisha maneno hayo na mzingira unayoyafahamu. Neon moja unaweza kulihusiansha
na kumbukumbu zako, hisia na mambo mengi tu unayoyajua hivyo kukusaidia zaidi
kulikumbuka kirahisi na kuwezesha ujifunzaji wa lugha kuwa rahisi zaidi.
3. Kupitia
Kufanya marudio na kupitia huwezesha kutosahau mara kwwa mara. Taarifa ambazo
zimerudiwarudiwa huhifadhiwa kwenye kwenye kumbukumbu zako za muda mrefu na bila
shaka utakuwa unzikumbuka kwa maisha yako yote. Hivyo basi ni muhimu kuhakikisha kwamba
unapitia mambo uliyojifunza mara kwa mara kw kipind kirefu.
4. Kuhifadhi
Kimsingi, unapojifunza lugha mpya ni lazima uyaandike sehemu yoyote ambayo ambayo
unaweza kuisoma baadaye ukihitaji.
Wjerumani hapo awali walikuwa na msemo wao kwamba “ maneno ya kutamka tu huwa
yanasahaulika haraka, lakini yaliyoandikwa yataendelea kukumbukwa”
9
5. Matumizi
Msingi mwingine mzuri wa kujifunza lugha ni kuitumia mara kwa mara ata kama kuna makosa
unayoyahusisha na matumizi yako ya lugha. Hii inatukumbusha kwamba unavyozidi
kuzungumuza na watu wengine unazidi kiongea lugha kwa ufasaha zaidi na kukumbuka maneno
uliyojifunza mbele ya mtu mwengine. Hii husaidia zoezi la kujifunza liwe jepesi zaidi na
litakuongezea uzoefu wa matumizi ya maneno ambayo umeyakariri.
NJIA ZA KUJIFUNZIA LUGHA
Kutumia muda zaidi na lugha
Jambo muhimu zaidi ni shahada ya kuzamisha katika lugha. Muda zaidi kutumia na lugha, kwa kasi
kujifunza. Hii ina maana ama kuwa kusoma reading au kuandika writing au kusikiliza kwa listening au
kusema speaking au kujifunza maneno na misemo learning words and phrases katika lugha ya kigeni. Na
haina maana wamekaa darasani na kuangalia nje ya dirisha au kusikiliza wanafunzi wengine ambao bado
kujua jinsi ya kuzungumza au kusikiliza kwa maelezo ya sarufi katika lugha yao wenyewe. Ina maana
«pamoja» katika lugha ya lengo.
na kusoma kila siku
Mzigo mchezaji ruwaza hotuba na kuwasikiliza, haraka iwezekanavyo. Kama wewe ni mapya tu
kujifunza lugha, kusoma macho kwamba ni kusikiliza (unaweza kutumia vitabu vya redio au
vitabu vya kiada kisasa, mwishoni mwa ambayo kuna tapescrips Kusikiliza na kusoma, utapata
kutumika kwa lugha. Kusoma saa na vikao kusikiliza ni sawa na masaa kadhaa ya darasani.
Msamiati vocabulary — moja ya mambo mawili ya lugha, bila ambayo unaweza kamwe kusema
(wa pili — sarufi). Makini na maneno mapya na matumizi yao katika hukumu. Kuandika na
kukariri pamoja na maneno jirani collocations Kama wewe ni kusoma kwenye kompyuta yako,
kutengeneza orodha ya maneno katika Word au Notepad. Usijali kama huwezi bado kusema
ufasaha na kuandika, kutumia muda juu ya uteuzi wa neno — hii ni ya kawaida. Lakini wewe
wameanza kupanua msamiati wako.
Kama hawataki kujifunza lugha, una hiyo na wala kujifunza. Kama unataka — kufuatilia
mchakato. Chagua eneo la riba katika ambayo kuelewa au wanataka kuelewa. Angalia kwa
maneno ambayo itasaidia kusikiliza na kusoma. Je, si kusubiri kwa mtu mwingine kufundisha
lugha. Kuchunguza lugha wenyewe, kuzungumza na kuandika juu yake kama unataka. Mwalimu
haina kufundisha hotuba ufasaha, ili kufanikisha hili tu unaweza.
Msiwe na wasiwasi juu ya nini unaweza na kile hakuweza kukumbuka. Haijalishi. Wewe ni
kujifunza na kufanya maendeleo binafsi. Lugha polepole kuwa wazi, lakini huwezi kudhibiti
mchakato huu. Kukaa nyuma na kufurahia. Lakini kuwa na ufahamu kwamba inazalisha kiasi
cha haki ya ulimi. Kisha mtazamo wako itakuwa chanya na utafiti, ambayo ina athari chanya
katika matokeo, na wewe haraka kufikia mafanikio katika kujifunza!
10
SURA YA PILI:
MBINU ZINAZOFAA KUFUNDISHIA ISIMU
ISIMU
Isimu ni ‘taaluma ya uchunguzi wa lugha kisayansi’. Ipo taaluma kama vile ya Falsafa ambayo
nayo inaweza kujishughulisha na uchambuzi wa masuala ya lugha lakini si kwa kutumia vigezo
vya kisayansi. Wanaisimu huhakikisha kuwa wakati wa kutafiti na hatimae kuwasilisha matokeo
ya utafiti wao wanatumia vigezo vya kisayansi hatua kwa hatua. Kwanza huchunguza na
kukusanya data, Halafu wanafanya malinganisho kabla ya kuunda nadharia na kuzipima nadharia
na kuonyesha matokeo yake. Baadaye hujiundia nadharia na kutoa kanuni ambazo zinapimika.
simu (au "maarifa ya lugha") ni sayansi inayochunguza lugha. Imegawiwa katika matawi
mbalimbali kama ifuatavyo
Matawi ya Isimu
a)IsimuFafanuzi/Elezi
Tawi hili linaz ingatia umuhimu wa kuchambua au kufafanua vipengele vya lugha jinsi vilivyo.
Huchunguza jinsi lugha inavyozungumzwa wakati fulani na watu fulani. Kimsingi, isimu
fafanuzi inahusika na lugha wakati huohuo wala sio uliopita au ujao. Tawi hili ndilo shina kubwa
la isimu. Isimu fafanuzi haitilii mkazo mabadiliko yaliyotokea katika lugha hata kama
mabadiliko haya yapo. Katika utanzu huu ndipo tunachambua muundo wa sauti za lugha,
muundo wa maneno, muundo wa sentensi, na hata maana za tungo za lugha.
b)Isimu Historia
Isimu historia ni miongoni mwa matawi makongwe zaidi. Tawi hili ndilo linashughulikia
uchunguzi wa maendeleo na mabadiliko ya lugha kiwakati kutoka kipindi kimoja cha kihistoria
hadi kingine, sababu na matokeo ya mabadiliko hayo. Isimu historia hudhihirisha mabadiliko ya
sauti, maumbo ya maneno, sentensi, na maana za maneno kihistoria.
Isimu historia ni uchunguzi wa mabadiliko ya lugha katika mapito ya nyakati. Inaangaza jinsi
lugha inavyobadilika katika vipindi mbalimbali, sababu za mabadiliko hayo na athari zake katika
lugha hiyohiyo na lugha nyinginezo. Tawi hili pia huangalia hatua mbalimbali ilizopitia lugha
katika kukua kwake.
c)Isimu Linganishi
Hili ni tawi la isimu ambalo linafanya uchunguzi wa lugha mbalimbali ili kuzilinganisha na
kuzilinganua. Wanaisimu huchunguza lugha katika viwango vyote vya fonolojia, mofolojia,
sintaksia na semantiki ili kuonesha na kueleza jinsi lugha hizo zinavyofanana au kutofautiana.
11
Isimu Linganishi ndiyo imewezesha kubainisha makundi mbalimbali ya lugha. Kwa mfano,
familia za lugha kama vile lugha za ulaya na za kihindi na makundi mbalimbali ya lugha za
kiafrika. Wanaisimu wanapozilinganisha lugha mbalimbali, hufanikiwa kuunda lugha mame ya
lugha hizo. Kutokana na hiyo lugha mame mwanaisimu hubainisha lugha hizo na uhusiano wa
kinasaba na kuonesha jinsi lugha hizo zinavyotofautiana.
d)Isimujamii
Hili ni tawi la isimu linalochunguza uhusiano uliopo baina ya lugha na watumiaji wake au jamii.
Baadhi ya mambo muhimu ambayo huchunguzwa ni pamoja na sera za lugha, lugha sanifu,
usanifishaji, lahaja, rejesta au sajili. Maswali muhimu yanayojibiwa katika utanzu huu ni
pamojana: nani anasema nini, kwa nani au na nani, wakati gani, kuhusu nini. Wanaisimujamii
huamini kwamba umuhimu wa lugha upo katika matumizi yake. Hii ndiyo sababu
wanachunguza lugha katika miktadha yake ya jamii.
12
TEACHING ABOUT MEMORUNDUM:
What are memos?
The term memo is a short form for ‘memorandum’. The purpose of it is to give information in a
brief or short form.
Memos can be seen as notes or very brief letters. It is usually very short (a few lines or
paragraphs at the most).
Organizations like schools and colleges usually have a recognizable form and layout for all
internal memos.
Most memos are like short advertisement which passes between colleagues, sometimes within
departments or to other departments or other sites.
Remember; the Internet has become a very popular medium for the memo. This is probably due
to its brief format. Email messages can be seen as electronic memos in most business instances.
Memos should have a main heading stating the subject of the message, and sub-headings which
lead into the message sections.
Memos usually bear the generic heading ‘MEMO’ at the top of the page. This acts as an
advanced organiser so that the receiver or recipient is without doubt of the document type and
function.
The information in a memo should be set out in order of importance, with the most important
item listed first.
Remember that effective business communication operates on the ‘punchline first’ principle.
MAIN PARTS OF A MEMO
A memo should always contain the following information.
 The subject of the memo
 The name of the sender
 The name of the recipient(s)
 The date of posting
 The message itself
13
TYPES OF A MEMO
There are various types of memo. These are the most commonly used.
(i) Information
(ii) Announcement
(iii) Update
I. Information memos
An information memo provides information that is relevant to the recipient, or it replies with
information that has been requested. The memo subject is stated in the title.
Consider the example below:
MEMO
SUBJECT
DATE
TO
FROM
Quote for Budget Projections
18 February 2017
J. Brown, Training Manager
Meshack Addelah
Background
You requested a quote from a printer to use in your budget projections on the current project.
Quote
The cost for printing 1000 dcuments in the dimensions you cited will be approximately Tshs
2,000.
Source
I obtained this information from Streamline Printers.
Scheduling
Though you did not ask about scheduling, the information manager of Streamline printers stated
unequivocally that you must allow three weeks from the date of delivery of camera-ready copy.
II. Announcement memos
A meeting announcement memo is one sent by an individual or department to other individuals,
departments, or company representatives to advise them of a forthcoming meeting.
14
These usually contain the date and agenda of the meeting, although, they may simply announce
the date.
Consider the example below:
MEMO
SUBJECT
DATE
TO
FROM
Meeting about Sundeal Hotels
21 March 2017
Members of the Executive Committee
D. Henderson, Chair of Neatfit
Purpose
This meeting will consider a joint venture between Belsize Amusement Parks and Sundeal
Hotels.
Time
The meeting will be held on 26 March at 9.30 am.
Place
The Board Room has been booked and refreshments will be served.
Agenda
The meeting will include two sessions.
General session (10.00 am to 12.00 am)
 introductions of board members
 AAAP Presentation
 financial summary
 questions and discussion
Executive session (1.15pm to 4.00 pm)
 fiscal status Sundeal Hotels
 decisions and recommendations
Confirmation
Please confirm your attendance by contacting Mary Golding Ext. 234
15
Attachments
The following documents are attached:
 AAAP Annual Report
 financial summary
 preliminary paper on Joint Venture
III Update memos
Update memos are notes which are transmitted between friends (colleagues) on a regular or
frequent basis.
Because of the nature of the relationship of the authors, these are often quite brief and informal.
These are the sort of office communications that are now largely conducted via email messages.
Example 1
MEMO
SUBJECT
DATE
TO
FROM
Help me out!
12 March 2017
Jean
Jeremiah
Quick! I need a list of all our products containing Zinc.
Sorry to dump on you like this but it’s more than my job’s worth to miss the deadline. (Tues)
Let’s have a coffee later in the week.
Example 2
MEMO
SUBJECT Staff Outing
16
DATE
TO
FROM
19 December 2012
Brian
Trevor
Hi
I went to the Cmmittee Group meeting yesterday and the subject of the staff outing came up.
Could you let me have some ideas for a venue and flesh it out with a bit of detail.
Alton Towers was suggested but I’d prefer something more adult myself.
Cheers,
T
Example 3
MEMO
SUBJECT
DATE
TO
FROM
Interview Panel
12 October 2013
Mpabanyanka
Geoffrey
Dear Mpabanyanka
Glad to tell you that; you’re on the interview panel for the new teaching job.
Interviews start at 9-30 next Wednesday. I’ve sent you the CVs of those shortlisted and hope you
have time to go through them in time.
Wear your best frock and put them through their paces.
See you then
TO BE CONTINUED…..

More Related Content

More from AFRA PAUL

Fomu ya usajili chama cha mapinduz
Fomu ya  usajili chama cha mapinduzFomu ya  usajili chama cha mapinduz
Fomu ya usajili chama cha mapinduz
AFRA PAUL
 

More from AFRA PAUL (9)

Fomu ya usajili chama cha mapinduz
Fomu ya  usajili chama cha mapinduzFomu ya  usajili chama cha mapinduz
Fomu ya usajili chama cha mapinduz
 
Strategic planning with afra paul mpabanyanka
Strategic planning with afra paul mpabanyankaStrategic planning with afra paul mpabanyanka
Strategic planning with afra paul mpabanyanka
 
General employment agreement
General employment agreementGeneral employment agreement
General employment agreement
 
Causes of organizational_change.docx
Causes of organizational_change.docxCauses of organizational_change.docx
Causes of organizational_change.docx
 
Bailable sheria ya haki kwa mtuhumiwa TANZANIA
Bailable sheria ya haki kwa mtuhumiwa TANZANIABailable sheria ya haki kwa mtuhumiwa TANZANIA
Bailable sheria ya haki kwa mtuhumiwa TANZANIA
 
BARUA ILIYOANDIKA KWA MKUU WA CHUO- AMUCTA NA AFRA PAUL MPABANYAKA
BARUA  ILIYOANDIKA KWA MKUU WA CHUO- AMUCTA NA AFRA PAUL MPABANYAKABARUA  ILIYOANDIKA KWA MKUU WA CHUO- AMUCTA NA AFRA PAUL MPABANYAKA
BARUA ILIYOANDIKA KWA MKUU WA CHUO- AMUCTA NA AFRA PAUL MPABANYAKA
 
Afra paul curriculum vitae afra
Afra paul curriculum vitae afraAfra paul curriculum vitae afra
Afra paul curriculum vitae afra
 
Curriculum vitae afra
Curriculum vitae afraCurriculum vitae afra
Curriculum vitae afra
 
Selective education..
Selective education..Selective education..
Selective education..
 

Afra kiswahili

  • 1. 1 MISINGI YA KUELEWA UNAPO SOMA AU KUFUNDISHA KISWAHILI PAUL, AFRA (APAMPA) KITABU HIKI KINAWEZA TUMIAKA KUFUNDISHIA WANAFUNZI WA VYUO NA SEKONDARI 2016
  • 2. 2 YALIYOMO YALIYOMO................................................................................................................................... 1 SURA YA KWANZA: MISINGI YA KUFUNDISHIA LUGHA .............................................. 3 Utangulizi: ............................................................................................................................... 3 Lugha ni nini? .......................................................................................................................... 3 SIFA AU TABIA ZA LUGHA ............................................................................................................ 3 i.Lugha ni sauti za binadamu zenye maana ............................................................................. 3 ii. Lugha ni sauti nasibu........................................................................................................... 3 iii.Lugha ni mfumo maalum wa sauti...................................................................................... 3 iv Lugha ni mali ya binadamu ................................................................................................. 3 v.Lugha hubadilika .................................................................................................................. 4 vi Lugha huathiri na kuathiriwa............................................................................................... 4 vii. Lugha hupitia mfumo wa kuishi........................................................................................ 4 Viii .Lugha hufungamana na utamaduni wa jamii fulani ........................................................ 5 DHIMA ZA LUGHA .................................................................................................................. 5 i.Lugha ni chombo cha mawasiliano ....................................................................................... 5 i i Lugha ni kitambulisho...................................................................................................... 5 iii Lugha ni chombo cha kuunganisha watu ......................................................................... 6 iv Lugha ni chombo cha kurithishia utamaduni wa jamii.................................................... 6 vi Lugha ni chombo cha kutolea elimu na mafunzo ............................................................... 6 KUFASILI LUGHA.................................................................................................................... 7 SIFA ZA MFASIRI BORA.................................................................................................................. 7 MSINGI WA KUJIFUNZA LUGHA..................................................................................................... 7 1Kuchagua ............................................................................................................................... 8 2. Kuyahusisha na maneo mengine ......................................................................................... 8 3. Kupitia ................................................................................................................................. 8 4. Kuhifadhi ............................................................................................................................. 8 5. Matumizi.............................................................................................................................. 9 NJIA ZA KUJIFUNZIA LUGHA ............................................................................................... 9 ............................................................................................ 9 ................................................................................. 9 ................................................................................. 9 SURA YA PILI: ........................................................................................................................ 10 MBINU ZINAZOFAA KUFUNDISHIA ISIMU...................................................................... 10 ISIMU........................................................................................................................................ 10 Matawi ya Isimu .................................................................................................................... 10 a)Isimu Fafanuzi/Elezi........................................................................................................... 10 b)Isimu Historia ..................................................................................................................... 10 c)Isimu Linganishi................................................................................................................. 10 d)Isimujamii........................................................................................................................... 11
  • 3. 3 SURA YA KWANZA: MISINGI YA KUFUNDISHIA LUGHA Utangulizi: Ili kujifunza vizuri juu ya mada hii yatupasa kujua kwanza maana rasmi ya lugha na sifa zake.kufanya marejereo ya kina juu ya maana ya rasmi ya lugha, sifa zake na dhima zake katika jamii. Lughani nini? Lugha ni mfumo maalum wa sauti nasibu zenye maana ambazo hutumiwa miongoni mwa binadamu kwa ajili ya kukidhi malengo ya kimawasiliano miongoni mwa watumiaji husika. Kutokana na fasili hiyo, kwa muhtasari lugha ni sauti nasibu, lugha ni mfumo maalum, lugha inamhusu binadamu, lugha hutumika kwa ajili ya kuwasiliana. Dhana hizi zitajipambanua zaidi katika sehemu inayofuata (Sifa za Lugha). Sifa au tabia za Lugha i.Lugha ni sauti za binadamu zenye maana Lugha ni sauti zinazozalishwa na binadamu kwa kutumia ala za sauti kama vile ulimi, midomo ufizi, kaakaa laini, kaakaa gumu, meno, koromeo na viungo vinginevyo; sauti hizi huanzia kama irabu na konsonanti. Sauti hizi ili kuitwa lugha lazima ziwe na maana na kueleweka kwa watumiaji wake. Na hii ndio sifa muhimu kuitofautisha lugha ya binadamu na mawasiliano ya viumbe hai wengine. ii. Lughani sauti nasibu Tunasema lugha ni nasibu kwa sababu hizi huzuka kwa nadra tu (bila kukusudiwa) na hazina uhusiano wa moja kwa moja na mkile kinachorejelewa. Kwa maana nyingine hakuna makubaliano au mikakati ya pamoja katika kuamua utokeaji wa sauti hizi. iii.Lugha ni mfumo maalum wa sauti Hii ni kwa sababu sauti hizi ziitwazo lugha hutokea katika utaratibu maalum unaoanzia kiwango cha chini mpaka kiwango cha juu zaidi. Sauti hizi huanzia katika upekepeke kama irabu au konsonanti, kisha huunda neno, kirai (kikundi cha maneno), kishazi na hatimaye sentensi (tungo). Katika viwango vyote, yaani Kiwango cha Sauti (Fonolojia), Kiwango cha Maumbo (Mofolojia), Kiwango cha Miundo (Sintaksia), Kiwango cha Maana (Semantiki) na Kiwango cha Isimu Amali (Pragmatiki) kunakuwa na kanuni maalum. iv Lugha ni mali ya binadamu Hakuna kiumbe kingine zaidi ya binadamu kinachotumia lugha. Licha ya kuwa viumbe wengine (ambao si binadamu) hawahusiani na huwasiliana, mawasiliano yao si lugha bali ni ishara, sauti na namna mbalimbali za kuwasiliania lakini hawana lugha. Kwa hivyo lugha ni mali ya kipekee
  • 4. 4 ya binadamu kwa sababu ndiye kiumbe pekee mwenye uwezo wa kuzalisha lugha kwa kuwa ndiye mwenye viungo pekee vyenye uwezo huo. v.Lugha hubadilika Lugha yoyote hupokea au kupitia mabadiliko kutokana na wakati na mazingira. Mabadiliko haya hutokea katika viwango vyote vya lugha kama ifuatavyo: a. Mabadilikoya kifonolojia Haya ni mabadiliko ya kanuni au mfumo wa matamshi katika lugha. Mara nyingi yanatokana na lugha kukopa misamiati ambayo ina sauti zisizopatikana katika lugha inayokopa au mabadiliko mengineyo. b. Mabadilikoya kimofolojia Hay hutokea pale ambapo lugha fulani hubadilika katika utaratibu wake wa kimaumbo hususani katika kanuni za uundaji wa maneno. c. Mabadilikoya kileksiana kimaana Haya ni mabadiliko katika leksimu au maana katika lugha husika, kwa mfano kuongezeka kwa leksimu hutokana na njia au mbinu zote za uundaji wa maneno. Leksimu inapoongezeka na maana huongezeka kwa kuwa huja na dhana (maana) inayowakilishwa. d. Mabadilikoya kisintaksia Haya ni mabadiliko ya kimiundo ambapo lugha hubadilika katika utaratibu tofauti na ule uliokuwepo awali. vi Lugha huathiri na kuathiriwa Lugha yoyote inaweza kuathiri utaratibu wa lugha nyingine, kadhalika lugha hiyo hiyo inaweza kuathiriwa na lugha nyingine katika kiwango, viwangu fulani au viwango vyote vya lugha. Rejea katika sifa ya mabadiliko. vii. Lugha hupitia mfumo wa kuishi Lugha hupitia awamu karibu zote za maisha ya viumbe hai kama vile binadamu, wanyama, mimea na vinginevyo. Hatua hizi ni kama ifuatavyo: a. Lugha huzaliwa Hii ni punde lugha inapoibuka. b. Lugha inakuwa Lugh iikishazaliwa hukua, na kukua kwake ni pale inapojitanua kwa kujiongezea msamiati na (au) matumizi. c. Lugha ianweza kufa Kufa kwa lugha ni aple inapokosa watumiaji au kutotumika kwa sababu mbalimbali. Lugha yoyote ina hadhi sawa na nyingine na hujitosheleza
  • 5. 5 Lugha zote duniani zina hadhi sawa kwa sababu zinajitosheleza kwa sababu hukidhi mahitaji ya wtumiaji wake katika nyanja zote za maisha ikiwemo kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii. d. Lugha hujizalisha Lugha yoyote hujiongezea msamiati kupitia njia maalum za uundaji wa maneno/msamiati/istilahi ikiwemo Kutohoa au Kukopa, Ufupishaji, Ufananishaji wa umbo au sauti, Urudufishaji, na njia nyinginezo. Viii .Lugha hufungamana na utamaduni wa jamii fulani Lugha ni sehemu ya utamaduni wa jamii ya watumiaji wake na ni nyenzo ya kuhifadhia na kurithisha utamaduni wote kwa ujumla. Kadhalika, lugha hutumika kuendana na kwa kukidhi shughuli na mambo yote katika maisha ya kila siku. DHIMA ZA LUGHA i.Lugha ni chombo chamawasiliano Lugha hutumika kupashana habari, kuwasilisha dhana au fikra walizo nazo binadamu, hisia kama vile furaha, huzuni, hasira, maarifa na uhalisia mwingine wa kimaisha kupitia kutoa na kupokea ujumbe. i i Lugha ni kitambulisho Kupitia lugha tunaweza kumtambua na kumfahamu zaidi mtu au jamii. Utambulisho huo waweza kuwa katika namna mbili kama ifuatavyo: a. Utambulishowa mtubinafsi Kupitia matumizi ya lugha tunaweza kubaini jinsi ya mtu (ni wa kike au ni wa kiume) hata kama hatujamuona ana kwa ana, yaani hata kama tunaona alichokiandika. Kwa mfano wanaume kwa kiasi kikubwa hutumia lugha isiyofasaha ukilinganisha na wanawake, pia wanaume hutumia ubabe katika mazungumzo hasa majadiliano ikiwemo kumkatisha mzungumzaji mwenzake bila kumwacha amalize (yaani hukiuka kwa kiasi kikubwa utaratibu wa kuachiana nafasi katika mazungumzo ukilinganisha na jinsi ya kike). Pia kupitia lugha tunaweza kung’amua falsafa, mtazamo, umri, kiwango cha elimu, hulka na tabia nyinginezo. Kwa mfano mtu mwenye tabia ya unyanyasaji tutambaini katika mazungumzo na kadhalika. b. Utambulishowa kikundi cha watu,jamii au taifa Kupitia lugha tuanweza kufahamu mengi kuhusiana na watu fulani, utaratibu wao, falsafa yao, itikadi yao na kile wanachokiamini. Hivyo, kupitia lugha tunaweza kufahamu kuwa mtu ni mmoja kati ya watu wa itikadi ipi, jamii ipi au taifa gani. Kwa mfano mtu akiongea Kiswahili awapo katika mataifa mengine hubainika moja kwa moja kuwa ni wa Afrika ya Mashariki hususani nchini Tanzania au Kenya. Vile vile tunaweza kufahamu kuwa mtu ni wa dini au dhebu gani, chama gani cha siasa, kabila au taifa gani. Yote ni kwa sababu kundi tunalomuweka linafanana kwa namna fulani ya lugha.
  • 6. 6 iii Lughani chombo chakuunganishawatu Lugha hupatanisha watu na kuwaweka pamoja mtu na mtu, mtu na watu, watu na watu au jamii na jamii. Kwa mfano kupitia salamu au kauli mbiu ya aina moja watu wanajikia kuwa ni wamoja, wako pamoja na wenye nia sawa ya kimaisha. Rejea nchini Tanzania, lugha ya Kiswahili ndio nyenzo pekee iliyotumika kuwaunganisha watanzania kudai uhuru, pamoja na kuungana kuijenga nchi yao. iv Lughani chombo cha kurithishiautamaduni wajamii Lugha hutumika kuendeleza na kudumisha mila, desturi, na amali za jamii kutoka kizazi hadi kizazi kupitia misemo na nyenzo nyinginezo zitumiazo lugha. Lugha ndio itunzayo kumbukumbu yamatambiko, miiko pamoja na mila na desturi nyinginezo. v Lugha ni nyenzo ya kulinda, kuimarisha na kurejesha amani Lugha hudumisha utulivu, kuheshimiana, kuvumiliana na kuthamiana bila hofu yoyote. Kwa mfano kupitia kampeni za kuimiza kulinda amani kama vile “Tuilinde Amani ya Nchi Yetu”, “Tanzania ni Kisiwa cha Amani” na nyingine kama hizo, kauli mbiu kama hizi hutumika kuimarisha amani katika nchi zetu. Kadhalika, pale inapotokea tishio la kutoweka kwa amani, ni lugha ndiyo inayotumika kurejesha ikiwemo kutumika kupatanisha makundi asimu, na mamlaka ya ulinzi wa amani kutoa matumaini kwa watu wake juu ya kurejea tena kwa amani. vi Lughani chombo chakutoleaelimunamafunzo Binadamu hutumia lugha kupata elimu na kuuelewa ulimwengu ili kuuishi ipasavyo kupitia kufundisha na kujifunza. Athari ya Matumizi Mabaya ya Lugha Lugha ikitumika vibaya huwa kinyume na dhima mbalimbali tunazozifahamu na hupelekea yafuatayo (baadhi tu) i. Lugha inaweza kutumika kukandamiza uhuru wa mtu au taifa ii. Lugha inaweza kuwatenganisha watu, jumuiya, jamii au taifa (au inaweza kutumiwa kwa lengo hilo). iii. Lugha inaweza kuwa chanzo cha kuvuruga amani kama chanzo cha migogoro iv. Lugha inaweza kuleta utabaka na ubinafsi katika jamii v. Lugha inaweza kukwamisha maendeleo ya jamii (pale inapotumika vibaya) vi. Lugha inaweza kutumika kunyanyapaa, kudunisha na kuwabagua watu wengine.
  • 7. 7 KUFASILI LUGHA Fasili ni istilahi inayotokana na kitendo cha kufasili; mantiki yake ni kutoa maana, dhana maelezo au ufafanuzi juu ya jambo fulani, kutoa maelezo ya kuhusu mana ya neno/maneno. Mfano Kamusi ni mfano mzuri wa matini ianayofasili mismiati ya kiswahili japo pia, Kamusi inatafsiri misamiati isiyo na asili ya kibantu. kwa hiyo, fasili au kufasili ni kutoa maana au dhana ya jambo/kitu fulani kinachohitaji ufafanuzi. Mshindo (2010:2) ansema kufasiri ni kufafanua maana ya matini moja na kutayarisha baadae matini nyingine inayowiana nayo ambayo huitwa tafsiri na ambayo inawakilisha ujumbe uleule uliomo katika matini ya awali kwa kutumia lugha nyingine. Kwa mfano. Kusoma (kiswahili) reading (kiingereza) Sifa za mfasiri bora Mfasiri bora anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo: Awe mahiri wa lugha husika, hii ina maana kuwa awe anajua kwa ufasaha lugha zote mbili, yaani lugha chanzi na lugha lengwa. Hii ni kujua vizuri nyanja mbalimbali za Isimu ya lugha husika kama vile; Fonolojia-{Matamshi}, Mofolojia-{Maumbo}, Sintaksia-{Muundo} na Semantiki- {Maana} Awe na ufahamu mkamilifu wa ujumbe au mada iliyoandikwa katika matini chanzi na uwezo au jinsi ya kuelezea ujumbe au mada hiyo kwa ufasaha katika lugha lengwa. Awe mjuzi wa TEHAMA. Ajue lugha mbili au zaidi. Awe na tajiriba kubwa ya usomaji wa aina mbalimbali za tafsiri na kujiendeleza kulingana na mabadiliko ya kijamii. Afahamu vizuri watu, jamii na utamaduni wa watumiaji wa lugha chanzi na lugha lengwa. Afahamiane na watu wengi, yaani kujichanganya changanya na watu wa fani au sekta mbalimbali. Awe na tabia yakushirikiana na watu wengine katika shughuli za kufasiri. Msingi wa kujifunza lugha Ili kuwa na uwezo wa kutumia lugha mpya, binadamu anatakiwa kujifunza. Biadamu hasa mtu mzima huweza kujifunza lugha vizuri kama tu ataweza kuzingatia yafuatayo a) Utayari wake wa kujifunza(kwa mfano, mtu anapenda kujua lugha Fulani lakini hayuko tayari kujifunza lugha hiyo) b) Kuwa na utayari wa kujenga hisia za kutafakari c) Kukazia maarifa katika uhalisia
  • 8. 8 d) Kufanya Marudio ya alicho jifunza Kwa mjibu wa kamusi ya uingereza maarufu kama Oxford dictionary, neno kujifunza ni mapokeo ya ujuzi au elimu baada ya uzoefu ama mafunzo fulani.Hivyo ni bayana ya mambo tuonayo na kusikia mashuleni hadi majumbani mwetu. Ili kujifunza lugha mpya na kuitumia vizuri misingi ifuatayo yatakiwa kupewa kipaumbele 1Kuchagua Ni muhimu kujifunza lugha mpya, uwezo wa kujifunza lugha mpya utatengemeana na jinsi binadamu huyo anajifunza lugha mpya anavyochagua maneno amabyo atayatumia zaidi na yanompendeza zaidi.I kumbukwe pia kuwa, kila lugha ina maelufu ya maneno na mengi kati ya hayo hata hautakuja kuyatumia katika maisha yako yote. Pia , lugha zote zina maneno kuhusu kila mada, kuanzia wanyama mpaka taaluma. Kuchagua mneno yanayokuvutia ndio silah yako kubwa katika kuhakikisha unayakumbuk. Ukichagua maneno yenye maana kwako, haitakuwa rahisi kwako kuyasahau hata baada ya muda mrefu. Kwa msing huu unaeza kuongeza maneno mapya kirahisi zaidi. 2. Kuyahusishanamaneo mengine Katika kujifunza lugha mpya ni muhimu sana kujua maneno muhimu. Jambo la msingi hapa ni kuyahusianisha maneno hayo na mzingira unayoyafahamu. Neon moja unaweza kulihusiansha na kumbukumbu zako, hisia na mambo mengi tu unayoyajua hivyo kukusaidia zaidi kulikumbuka kirahisi na kuwezesha ujifunzaji wa lugha kuwa rahisi zaidi. 3. Kupitia Kufanya marudio na kupitia huwezesha kutosahau mara kwwa mara. Taarifa ambazo zimerudiwarudiwa huhifadhiwa kwenye kwenye kumbukumbu zako za muda mrefu na bila shaka utakuwa unzikumbuka kwa maisha yako yote. Hivyo basi ni muhimu kuhakikisha kwamba unapitia mambo uliyojifunza mara kwa mara kw kipind kirefu. 4. Kuhifadhi Kimsingi, unapojifunza lugha mpya ni lazima uyaandike sehemu yoyote ambayo ambayo unaweza kuisoma baadaye ukihitaji. Wjerumani hapo awali walikuwa na msemo wao kwamba “ maneno ya kutamka tu huwa yanasahaulika haraka, lakini yaliyoandikwa yataendelea kukumbukwa”
  • 9. 9 5. Matumizi Msingi mwingine mzuri wa kujifunza lugha ni kuitumia mara kwa mara ata kama kuna makosa unayoyahusisha na matumizi yako ya lugha. Hii inatukumbusha kwamba unavyozidi kuzungumuza na watu wengine unazidi kiongea lugha kwa ufasaha zaidi na kukumbuka maneno uliyojifunza mbele ya mtu mwengine. Hii husaidia zoezi la kujifunza liwe jepesi zaidi na litakuongezea uzoefu wa matumizi ya maneno ambayo umeyakariri. NJIA ZA KUJIFUNZIA LUGHA Kutumia muda zaidi na lugha Jambo muhimu zaidi ni shahada ya kuzamisha katika lugha. Muda zaidi kutumia na lugha, kwa kasi kujifunza. Hii ina maana ama kuwa kusoma reading au kuandika writing au kusikiliza kwa listening au kusema speaking au kujifunza maneno na misemo learning words and phrases katika lugha ya kigeni. Na haina maana wamekaa darasani na kuangalia nje ya dirisha au kusikiliza wanafunzi wengine ambao bado kujua jinsi ya kuzungumza au kusikiliza kwa maelezo ya sarufi katika lugha yao wenyewe. Ina maana «pamoja» katika lugha ya lengo. na kusoma kila siku Mzigo mchezaji ruwaza hotuba na kuwasikiliza, haraka iwezekanavyo. Kama wewe ni mapya tu kujifunza lugha, kusoma macho kwamba ni kusikiliza (unaweza kutumia vitabu vya redio au vitabu vya kiada kisasa, mwishoni mwa ambayo kuna tapescrips Kusikiliza na kusoma, utapata kutumika kwa lugha. Kusoma saa na vikao kusikiliza ni sawa na masaa kadhaa ya darasani. Msamiati vocabulary — moja ya mambo mawili ya lugha, bila ambayo unaweza kamwe kusema (wa pili — sarufi). Makini na maneno mapya na matumizi yao katika hukumu. Kuandika na kukariri pamoja na maneno jirani collocations Kama wewe ni kusoma kwenye kompyuta yako, kutengeneza orodha ya maneno katika Word au Notepad. Usijali kama huwezi bado kusema ufasaha na kuandika, kutumia muda juu ya uteuzi wa neno — hii ni ya kawaida. Lakini wewe wameanza kupanua msamiati wako. Kama hawataki kujifunza lugha, una hiyo na wala kujifunza. Kama unataka — kufuatilia mchakato. Chagua eneo la riba katika ambayo kuelewa au wanataka kuelewa. Angalia kwa maneno ambayo itasaidia kusikiliza na kusoma. Je, si kusubiri kwa mtu mwingine kufundisha lugha. Kuchunguza lugha wenyewe, kuzungumza na kuandika juu yake kama unataka. Mwalimu haina kufundisha hotuba ufasaha, ili kufanikisha hili tu unaweza. Msiwe na wasiwasi juu ya nini unaweza na kile hakuweza kukumbuka. Haijalishi. Wewe ni kujifunza na kufanya maendeleo binafsi. Lugha polepole kuwa wazi, lakini huwezi kudhibiti mchakato huu. Kukaa nyuma na kufurahia. Lakini kuwa na ufahamu kwamba inazalisha kiasi cha haki ya ulimi. Kisha mtazamo wako itakuwa chanya na utafiti, ambayo ina athari chanya katika matokeo, na wewe haraka kufikia mafanikio katika kujifunza!
  • 10. 10 SURA YA PILI: MBINU ZINAZOFAA KUFUNDISHIA ISIMU ISIMU Isimu ni ‘taaluma ya uchunguzi wa lugha kisayansi’. Ipo taaluma kama vile ya Falsafa ambayo nayo inaweza kujishughulisha na uchambuzi wa masuala ya lugha lakini si kwa kutumia vigezo vya kisayansi. Wanaisimu huhakikisha kuwa wakati wa kutafiti na hatimae kuwasilisha matokeo ya utafiti wao wanatumia vigezo vya kisayansi hatua kwa hatua. Kwanza huchunguza na kukusanya data, Halafu wanafanya malinganisho kabla ya kuunda nadharia na kuzipima nadharia na kuonyesha matokeo yake. Baadaye hujiundia nadharia na kutoa kanuni ambazo zinapimika. simu (au "maarifa ya lugha") ni sayansi inayochunguza lugha. Imegawiwa katika matawi mbalimbali kama ifuatavyo Matawi ya Isimu a)IsimuFafanuzi/Elezi Tawi hili linaz ingatia umuhimu wa kuchambua au kufafanua vipengele vya lugha jinsi vilivyo. Huchunguza jinsi lugha inavyozungumzwa wakati fulani na watu fulani. Kimsingi, isimu fafanuzi inahusika na lugha wakati huohuo wala sio uliopita au ujao. Tawi hili ndilo shina kubwa la isimu. Isimu fafanuzi haitilii mkazo mabadiliko yaliyotokea katika lugha hata kama mabadiliko haya yapo. Katika utanzu huu ndipo tunachambua muundo wa sauti za lugha, muundo wa maneno, muundo wa sentensi, na hata maana za tungo za lugha. b)Isimu Historia Isimu historia ni miongoni mwa matawi makongwe zaidi. Tawi hili ndilo linashughulikia uchunguzi wa maendeleo na mabadiliko ya lugha kiwakati kutoka kipindi kimoja cha kihistoria hadi kingine, sababu na matokeo ya mabadiliko hayo. Isimu historia hudhihirisha mabadiliko ya sauti, maumbo ya maneno, sentensi, na maana za maneno kihistoria. Isimu historia ni uchunguzi wa mabadiliko ya lugha katika mapito ya nyakati. Inaangaza jinsi lugha inavyobadilika katika vipindi mbalimbali, sababu za mabadiliko hayo na athari zake katika lugha hiyohiyo na lugha nyinginezo. Tawi hili pia huangalia hatua mbalimbali ilizopitia lugha katika kukua kwake. c)Isimu Linganishi Hili ni tawi la isimu ambalo linafanya uchunguzi wa lugha mbalimbali ili kuzilinganisha na kuzilinganua. Wanaisimu huchunguza lugha katika viwango vyote vya fonolojia, mofolojia, sintaksia na semantiki ili kuonesha na kueleza jinsi lugha hizo zinavyofanana au kutofautiana.
  • 11. 11 Isimu Linganishi ndiyo imewezesha kubainisha makundi mbalimbali ya lugha. Kwa mfano, familia za lugha kama vile lugha za ulaya na za kihindi na makundi mbalimbali ya lugha za kiafrika. Wanaisimu wanapozilinganisha lugha mbalimbali, hufanikiwa kuunda lugha mame ya lugha hizo. Kutokana na hiyo lugha mame mwanaisimu hubainisha lugha hizo na uhusiano wa kinasaba na kuonesha jinsi lugha hizo zinavyotofautiana. d)Isimujamii Hili ni tawi la isimu linalochunguza uhusiano uliopo baina ya lugha na watumiaji wake au jamii. Baadhi ya mambo muhimu ambayo huchunguzwa ni pamoja na sera za lugha, lugha sanifu, usanifishaji, lahaja, rejesta au sajili. Maswali muhimu yanayojibiwa katika utanzu huu ni pamojana: nani anasema nini, kwa nani au na nani, wakati gani, kuhusu nini. Wanaisimujamii huamini kwamba umuhimu wa lugha upo katika matumizi yake. Hii ndiyo sababu wanachunguza lugha katika miktadha yake ya jamii.
  • 12. 12 TEACHING ABOUT MEMORUNDUM: What are memos? The term memo is a short form for ‘memorandum’. The purpose of it is to give information in a brief or short form. Memos can be seen as notes or very brief letters. It is usually very short (a few lines or paragraphs at the most). Organizations like schools and colleges usually have a recognizable form and layout for all internal memos. Most memos are like short advertisement which passes between colleagues, sometimes within departments or to other departments or other sites. Remember; the Internet has become a very popular medium for the memo. This is probably due to its brief format. Email messages can be seen as electronic memos in most business instances. Memos should have a main heading stating the subject of the message, and sub-headings which lead into the message sections. Memos usually bear the generic heading ‘MEMO’ at the top of the page. This acts as an advanced organiser so that the receiver or recipient is without doubt of the document type and function. The information in a memo should be set out in order of importance, with the most important item listed first. Remember that effective business communication operates on the ‘punchline first’ principle. MAIN PARTS OF A MEMO A memo should always contain the following information.  The subject of the memo  The name of the sender  The name of the recipient(s)  The date of posting  The message itself
  • 13. 13 TYPES OF A MEMO There are various types of memo. These are the most commonly used. (i) Information (ii) Announcement (iii) Update I. Information memos An information memo provides information that is relevant to the recipient, or it replies with information that has been requested. The memo subject is stated in the title. Consider the example below: MEMO SUBJECT DATE TO FROM Quote for Budget Projections 18 February 2017 J. Brown, Training Manager Meshack Addelah Background You requested a quote from a printer to use in your budget projections on the current project. Quote The cost for printing 1000 dcuments in the dimensions you cited will be approximately Tshs 2,000. Source I obtained this information from Streamline Printers. Scheduling Though you did not ask about scheduling, the information manager of Streamline printers stated unequivocally that you must allow three weeks from the date of delivery of camera-ready copy. II. Announcement memos A meeting announcement memo is one sent by an individual or department to other individuals, departments, or company representatives to advise them of a forthcoming meeting.
  • 14. 14 These usually contain the date and agenda of the meeting, although, they may simply announce the date. Consider the example below: MEMO SUBJECT DATE TO FROM Meeting about Sundeal Hotels 21 March 2017 Members of the Executive Committee D. Henderson, Chair of Neatfit Purpose This meeting will consider a joint venture between Belsize Amusement Parks and Sundeal Hotels. Time The meeting will be held on 26 March at 9.30 am. Place The Board Room has been booked and refreshments will be served. Agenda The meeting will include two sessions. General session (10.00 am to 12.00 am)  introductions of board members  AAAP Presentation  financial summary  questions and discussion Executive session (1.15pm to 4.00 pm)  fiscal status Sundeal Hotels  decisions and recommendations Confirmation Please confirm your attendance by contacting Mary Golding Ext. 234
  • 15. 15 Attachments The following documents are attached:  AAAP Annual Report  financial summary  preliminary paper on Joint Venture III Update memos Update memos are notes which are transmitted between friends (colleagues) on a regular or frequent basis. Because of the nature of the relationship of the authors, these are often quite brief and informal. These are the sort of office communications that are now largely conducted via email messages. Example 1 MEMO SUBJECT DATE TO FROM Help me out! 12 March 2017 Jean Jeremiah Quick! I need a list of all our products containing Zinc. Sorry to dump on you like this but it’s more than my job’s worth to miss the deadline. (Tues) Let’s have a coffee later in the week. Example 2 MEMO SUBJECT Staff Outing
  • 16. 16 DATE TO FROM 19 December 2012 Brian Trevor Hi I went to the Cmmittee Group meeting yesterday and the subject of the staff outing came up. Could you let me have some ideas for a venue and flesh it out with a bit of detail. Alton Towers was suggested but I’d prefer something more adult myself. Cheers, T Example 3 MEMO SUBJECT DATE TO FROM Interview Panel 12 October 2013 Mpabanyanka Geoffrey Dear Mpabanyanka Glad to tell you that; you’re on the interview panel for the new teaching job. Interviews start at 9-30 next Wednesday. I’ve sent you the CVs of those shortlisted and hope you have time to go through them in time. Wear your best frock and put them through their paces. See you then TO BE CONTINUED…..