SlideShare a Scribd company logo
1 of 22
Mussa Shenyashi
mussashaky@gmail.com
+255 743 98 98 29
+255 714 80 75 65
MJENGO
WA
TUNGO
Tungo
 Neno tungo ni nomino ambayo hutokana na kitenzi tunga
ambacho kinamaana ya kushikanisha vitu.
 Jambo la msingi hapa ni kufahamu kwamba tunapotunga
vitu huwatunapata kitu kinachoitwa utungo.
 Katika taaluma ya sarufi neno tungo linamaana takribani
sawa na hiyo.
 Ambapo tungo katika sarufi ni kuweka pamoja na kupanga
vipashio sahili ili kujenga vipashio vikubwa zaidi,
Aina za Tungo
Tungo Neno
 Tungo yoyote huundwa na vijenzi.
 Vijenzi vya tungo neno katika lugha ya kiswahili ni
vitamkwa,silabi na mofimu.
 Vitamkwa hujenga silabi, silabi hujenga mofimu na mofimu
hujenga tungo-neno.
 Kwa mchakato huu tunapata aina nane za maneno, ambazo
ni:
Nomino,Vitenzi,Vielezi,Vivumishi,Viunganishi,Vihusishi,Viwak
ilishi na Viingizi.
Tungo-Kirai
 Ni tungo isiyo na muundo wa kiima na kiarifu. AU
 Ni neno au kundi la maneno katika mpangilio maalum
linalofanya kazi moja kisintaksia katika sentensi.
AU
 Ni neno au maneno mawili au zaidi ambayo huwekwa
pamoja katika mpangilio maalum unaozingatia uhusiano
uliopo baina ya neno-kuu na maneno mengine.
Zingatia Mfano ufuatao…
 Mtoto yule
 Mtoto yule mzuri
 Mtoto yule mnene kuliko wote
 Mzee huyu mjanja
 Mwalimu yule mwembamba
 Mifano yote iliyotolewa hapo juu ni mifano ya tungo-virai ambazo zimekitwa
katika neno-kuu ambalo ni nomino.
 Maneno yaliyoandikwa kwa hati ya kulala ndio chimbuko la kazi ya kirai
hicho katika sentensi
 Hivyo tungo hizo ni Kirai-nomino
Sifa za kirai
 Hikina muundo wa kiima na kiarifu
 Lakini huweza kukaa katika upande wowote; wa kiima au
kiarifu.
 Uainishaji (kujua aina ya kirai) unategemea mahusiano ya
maneno katika fungu hilo la maneno.
 Kirai hujengwa na neno moja au zaidi ya moja.
Virai vya Kiswahili
 Katika lugha ya kiswahili kuna aina za virai zifuatazo:
 Kirai-nomino
 Kirai –kielezi
 Kirai-kitenzi
 Kirai-kivumishi
 Kirai –kiunganishi
Kirai Nomino
 Tungo kirai nomino kinaweza kuwa na moja ya miundo
ifuatayo:
 Nomino Pekee: Happy anasoma
 Nomino zaidi ya moja: Hapy na Abriel wanasoma
 Kiwakilishi Pekee: Sisi ni watanzania
 Kiwakilishi na kivumishi: Sisi sote tumefaulu
 Nomino moja na Kivumishi:Mtoto mzuri anaoga
 Nomino na kishazi Tegemezi: Mbuzi aliyevunjia pembe
amechinjwa
Kirai Kielezi
 Ni neno au fungu la maneno ambalo linatupatia taarifa zaidi
kuhusu tendo.
 Kimsingi kirai kielezi kinajibu maswali kwamba tendo kwenye
sentensi:
 Limefanyika wapi?
 Limefanyikaje?
 Limefanyika lini?
 Mara ngapi?
 Namna gani?
 Kirai kielezi huweza kukaa mahala popote ingawa watumizi
wengi wa kiswahili hupenda kuweka kirai kielezi baada ya
kitenzi.
Mifano ya Kirai Kielezi
 Abriel anacheza mpira vizuri sana
 Babu husafiri kila siku
 Mama atakuja kesho saa mbili
 Happy anatembea haraka sana.
Kirai Kitenzi
 Ni neno au kifungu cha maneno ambacho neno kuu ni kitenzi.
 Kirai kitenzi huundwa na maneno yafuatayo:
 Kitenzi Kikuu Pekee( T ):
 Mfano; Abriel analia
Happy na Abby wanakimbia
 Kitenzi Kisaidizi na Kitenzi Kikuu (Ts+T):
 Mfano:Oscar alikuwa anaimba
Philemoni anapenda kuimba
 Kitenzi kishirikishi (t):
 Mara nyingi kitenzi kishirishi hufuatwa na KN cha pili katika
sentensi ambacho huitwa Shamirisho:
 Mfano; Josia ni mwanafunzi
Asha alikuwa mgonjwa
Kalii yu mahututi
Kirai Kivumishi
 Ni neno au kifungu cha maneno chenye kivumishi kama
neno kuu.
 Mara nyingi kirai kivumishi huhusishwa kwenye kirai
nomino.
 Chunguza mifano ifuatayo:
 Beberu mwenye ndevu ndefu sana amerudi
 Kibaka aliyekamatwa jana jioni ametoroka.
 Katika mfano hiyo hapo juumaneno yalitokolezwa wino ndio
virai vivumishi.
Kirai Kiunganishi
 Ni neno au kifungu cha maneno kinachohusisha tungo mbili
zenye hadhi sawa.
 Baadhi ya maneno ambayo huunda kirai kiunganishi ni
pamoja na: kwa,na,pia,vilevile,lakini,ingawa,aidha n.k
 Mfano:
Tungo-Kishazi
 Ni aina ya tungo ambayo muundo wake unajumuisha kitenzi
ndani yake.
 Kishazi ni tungo kubwa kuliko kirai na ndogo kuliko sentensi.
 Kishazi kinaweza kutoa maana kamili au isiyokamili. Tazama
sentensi hii:
 Ng’ombe aliyevunjika mguu amerudi zizini.
 Maneno yaliyo katika hati ya kulaza ni kishazi, lakini yakisimama
pekee hayatoi maana kamili.
 Maneno yaliyokolezwa wino ni kishazi na yanaweza kusimama
pekee na kutoa maana.
 Hapo ndio tunapata aina za vishazi.
Aina za Vishazi
 Kuna aina mbili za Vishazi
Vishazi Huru
Vishazi
Tegemezi
Kishazi Huru
 Ni aina ya kishazi ambavyo hutoa taarifa kamili.
 Aina hii ya vishazi hujengwa na kitenzi kinachojitosheleza
kimaana.
 Kishazi huru huundwa na:
 Kitenzi kikuu kimoja: mfano ;Amekuja
 Kitenzi kisaidizi na kitenzi kikuu: mfano; Alikuwa
anaimba wimbo
Alikuwa anataka kuimba wimbo
 Kitenzi Kishirishi: mfano; Juma ni mkulima
Kishazi Tegemezi
 Hii ni aina ya vishazi ambavyo hutoa taarifa isiyokamili.
 Ili vishazi hivi tegemezi viweze kutoa taarifa iliyo kamili
vinahitaji vishazi huru kukamilisha taarifa.
 Mfano
 Mwanafunzi aliyefaulu
 Msichana aliyeolewa jana
 Mzee aliyekuja jana
Sifa za kishazi tegemezi
 Hakijitoshelezi kimaana
 Kitenzi kisaidizi kilichomo kwenye kishazi tegemezi hubeba
viambishi virejeshi.
Mfano: aliyekimbia, walioimba, walichokikimbia.
 Huweza kusimama kama kiima katika sentensi changamano
Kijana aliyekimbilia mjini mwaka jana
amerudi jana
 Kitenzi kisaidizi kilichomo kwenye kishazi tegemezi hufanya
kazi ya kuvumisha nomino au kielezi.
Aina za vishazi tegemezi
 Kishazi Tegemezi Vumishi (βV)
 Hivi huvumisha jina lililoko katika tungo.
mfano: mtoto aliyekuja jana anaumwa.
 Kishazi Tegemezi Kielezi (βE)
 Hivi hutoa maelezo zaidi kwa kitenzi kilicho katika tungo.
 Chakula kililiwa kilipoiva.
Asanteni

More Related Content

What's hot

Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Kriolimussa Shekinyashi
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadhamussa Shekinyashi
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMussaOmary3
 
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za FasihiUhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihimussa Shekinyashi
 
Mofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahiliMofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahiliGeophery sanga
 
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Mathieu Roy
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaWilson Pastory
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIshahzadebaujiti
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihiKAZEMBETVOnline
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruKAZEMBETVOnline
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKAZEMBETVOnline
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiKAZEMBETVOnline
 

What's hot (20)

Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 
Maendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahiliMaendeleo ya kiswahili
Maendeleo ya kiswahili
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
MATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFIMATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFI
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
 
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za FasihiUhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
 
Mofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahiliMofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahili
 
Rejesta
RejestaRejesta
Rejesta
 
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihi
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuru
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 
Language change )
Language change )Language change )
Language change )
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (9)

Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHAUHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 

Mjengo wa tungo 3

  • 1. Mussa Shenyashi mussashaky@gmail.com +255 743 98 98 29 +255 714 80 75 65 MJENGO WA TUNGO
  • 2. Tungo  Neno tungo ni nomino ambayo hutokana na kitenzi tunga ambacho kinamaana ya kushikanisha vitu.  Jambo la msingi hapa ni kufahamu kwamba tunapotunga vitu huwatunapata kitu kinachoitwa utungo.  Katika taaluma ya sarufi neno tungo linamaana takribani sawa na hiyo.  Ambapo tungo katika sarufi ni kuweka pamoja na kupanga vipashio sahili ili kujenga vipashio vikubwa zaidi,
  • 4. Tungo Neno  Tungo yoyote huundwa na vijenzi.  Vijenzi vya tungo neno katika lugha ya kiswahili ni vitamkwa,silabi na mofimu.  Vitamkwa hujenga silabi, silabi hujenga mofimu na mofimu hujenga tungo-neno.  Kwa mchakato huu tunapata aina nane za maneno, ambazo ni: Nomino,Vitenzi,Vielezi,Vivumishi,Viunganishi,Vihusishi,Viwak ilishi na Viingizi.
  • 5. Tungo-Kirai  Ni tungo isiyo na muundo wa kiima na kiarifu. AU  Ni neno au kundi la maneno katika mpangilio maalum linalofanya kazi moja kisintaksia katika sentensi. AU  Ni neno au maneno mawili au zaidi ambayo huwekwa pamoja katika mpangilio maalum unaozingatia uhusiano uliopo baina ya neno-kuu na maneno mengine.
  • 6. Zingatia Mfano ufuatao…  Mtoto yule  Mtoto yule mzuri  Mtoto yule mnene kuliko wote  Mzee huyu mjanja  Mwalimu yule mwembamba  Mifano yote iliyotolewa hapo juu ni mifano ya tungo-virai ambazo zimekitwa katika neno-kuu ambalo ni nomino.  Maneno yaliyoandikwa kwa hati ya kulala ndio chimbuko la kazi ya kirai hicho katika sentensi  Hivyo tungo hizo ni Kirai-nomino
  • 7. Sifa za kirai  Hikina muundo wa kiima na kiarifu  Lakini huweza kukaa katika upande wowote; wa kiima au kiarifu.  Uainishaji (kujua aina ya kirai) unategemea mahusiano ya maneno katika fungu hilo la maneno.  Kirai hujengwa na neno moja au zaidi ya moja.
  • 8. Virai vya Kiswahili  Katika lugha ya kiswahili kuna aina za virai zifuatazo:  Kirai-nomino  Kirai –kielezi  Kirai-kitenzi  Kirai-kivumishi  Kirai –kiunganishi
  • 9. Kirai Nomino  Tungo kirai nomino kinaweza kuwa na moja ya miundo ifuatayo:  Nomino Pekee: Happy anasoma  Nomino zaidi ya moja: Hapy na Abriel wanasoma  Kiwakilishi Pekee: Sisi ni watanzania  Kiwakilishi na kivumishi: Sisi sote tumefaulu  Nomino moja na Kivumishi:Mtoto mzuri anaoga  Nomino na kishazi Tegemezi: Mbuzi aliyevunjia pembe amechinjwa
  • 10. Kirai Kielezi  Ni neno au fungu la maneno ambalo linatupatia taarifa zaidi kuhusu tendo.  Kimsingi kirai kielezi kinajibu maswali kwamba tendo kwenye sentensi:  Limefanyika wapi?  Limefanyikaje?  Limefanyika lini?  Mara ngapi?  Namna gani?  Kirai kielezi huweza kukaa mahala popote ingawa watumizi wengi wa kiswahili hupenda kuweka kirai kielezi baada ya kitenzi.
  • 11. Mifano ya Kirai Kielezi  Abriel anacheza mpira vizuri sana  Babu husafiri kila siku  Mama atakuja kesho saa mbili  Happy anatembea haraka sana.
  • 12. Kirai Kitenzi  Ni neno au kifungu cha maneno ambacho neno kuu ni kitenzi.  Kirai kitenzi huundwa na maneno yafuatayo:  Kitenzi Kikuu Pekee( T ):  Mfano; Abriel analia Happy na Abby wanakimbia  Kitenzi Kisaidizi na Kitenzi Kikuu (Ts+T):  Mfano:Oscar alikuwa anaimba Philemoni anapenda kuimba
  • 13.  Kitenzi kishirikishi (t):  Mara nyingi kitenzi kishirishi hufuatwa na KN cha pili katika sentensi ambacho huitwa Shamirisho:  Mfano; Josia ni mwanafunzi Asha alikuwa mgonjwa Kalii yu mahututi
  • 14. Kirai Kivumishi  Ni neno au kifungu cha maneno chenye kivumishi kama neno kuu.  Mara nyingi kirai kivumishi huhusishwa kwenye kirai nomino.  Chunguza mifano ifuatayo:  Beberu mwenye ndevu ndefu sana amerudi  Kibaka aliyekamatwa jana jioni ametoroka.  Katika mfano hiyo hapo juumaneno yalitokolezwa wino ndio virai vivumishi.
  • 15. Kirai Kiunganishi  Ni neno au kifungu cha maneno kinachohusisha tungo mbili zenye hadhi sawa.  Baadhi ya maneno ambayo huunda kirai kiunganishi ni pamoja na: kwa,na,pia,vilevile,lakini,ingawa,aidha n.k  Mfano:
  • 16. Tungo-Kishazi  Ni aina ya tungo ambayo muundo wake unajumuisha kitenzi ndani yake.  Kishazi ni tungo kubwa kuliko kirai na ndogo kuliko sentensi.  Kishazi kinaweza kutoa maana kamili au isiyokamili. Tazama sentensi hii:  Ng’ombe aliyevunjika mguu amerudi zizini.  Maneno yaliyo katika hati ya kulaza ni kishazi, lakini yakisimama pekee hayatoi maana kamili.  Maneno yaliyokolezwa wino ni kishazi na yanaweza kusimama pekee na kutoa maana.  Hapo ndio tunapata aina za vishazi.
  • 17. Aina za Vishazi  Kuna aina mbili za Vishazi Vishazi Huru Vishazi Tegemezi
  • 18. Kishazi Huru  Ni aina ya kishazi ambavyo hutoa taarifa kamili.  Aina hii ya vishazi hujengwa na kitenzi kinachojitosheleza kimaana.  Kishazi huru huundwa na:  Kitenzi kikuu kimoja: mfano ;Amekuja  Kitenzi kisaidizi na kitenzi kikuu: mfano; Alikuwa anaimba wimbo Alikuwa anataka kuimba wimbo  Kitenzi Kishirishi: mfano; Juma ni mkulima
  • 19. Kishazi Tegemezi  Hii ni aina ya vishazi ambavyo hutoa taarifa isiyokamili.  Ili vishazi hivi tegemezi viweze kutoa taarifa iliyo kamili vinahitaji vishazi huru kukamilisha taarifa.  Mfano  Mwanafunzi aliyefaulu  Msichana aliyeolewa jana  Mzee aliyekuja jana
  • 20. Sifa za kishazi tegemezi  Hakijitoshelezi kimaana  Kitenzi kisaidizi kilichomo kwenye kishazi tegemezi hubeba viambishi virejeshi. Mfano: aliyekimbia, walioimba, walichokikimbia.  Huweza kusimama kama kiima katika sentensi changamano Kijana aliyekimbilia mjini mwaka jana amerudi jana  Kitenzi kisaidizi kilichomo kwenye kishazi tegemezi hufanya kazi ya kuvumisha nomino au kielezi.
  • 21. Aina za vishazi tegemezi  Kishazi Tegemezi Vumishi (βV)  Hivi huvumisha jina lililoko katika tungo. mfano: mtoto aliyekuja jana anaumwa.  Kishazi Tegemezi Kielezi (βE)  Hivi hutoa maelezo zaidi kwa kitenzi kilicho katika tungo.  Chakula kililiwa kilipoiva.