SlideShare a Scribd company logo
1 of 31
MAWANDA YA
LEKSIKOGRAFIA
ALLY S. KHALFAN
MAWANDA
 LEKSIKOGRAFIA KAMA NADHARIA
 LEKSIKOGRAFIA KAMA KITENDO
METALEKSIKOGRAFIA
 Ni taaluma kuhusu dhana, historia,
uhakiki, aina na matumizi ya kamusi na
kazi rejea nyengine zinazofanana na
kamusi,
 Inaangalia leksikografia kama nadharia
 Dhana ya leksikografia
 Historia ya leksikografia
 Aina za kamusi
 Matumizi ya kamusi
MALENGO YA
LEKSIKOGRAFIA
 Lengo la Kielimu: Ufundishaji wa
lugha za kigeni na lugha za kienyeji
 Lengo la Kikanuni: Ufafanuzi na
uwekaji wa kanuni za lugha na kujua
kaida ya lugha katika viwango
mbalimbali vya lugha kama fonolojia,
mofolojia na sintaksia
MALENGO YA
LEKSIKOGRAFIA
 Lengo la Mawasiliano: Kuimarisha
mawasiliano ya watu wa tamaduni
mbalimbali
 Lengo la Kisayansi: Kuimarisha
utafiiti katika msamiati wa lugha
HISTORIA YA
LEKSIKOGRAFIA
 Kipindi cha kabla ya kamusi
 Kipindi cha kamusi za awali
 Kipindi cha maendeleo ya kamusi
KABLA YA KAMUSI
 LENGO: Kufafanua maneno magumu
 Umbo lililotumika lilikuwa la Glosi.
 Glosi ni tafsiri ya matamshi ya matini
 Zilianza karne ya 25 KK – Ugiriki
 Kufikia karne ya 8 KK glosi
zilipatikana Ulaya Magharibi
 Karne ya 11 BK zilipatikana Urusi
KABLA YA KAMUSI
 Umbo la Faharasa
 Orodha ya tafsiri za maneno ya
mwandishi au kitabu
 Veda – Milenia ya kwanza KK (India)
 Hetite – Akadia –Sumeria 14 -13 KK
(Misri)
Kipindi cha Kamusi za Awali
 LENGO: Kujifunza lugha ya maandishi
 Msamiati wa Sanskrit karne 8-6 KK
 Msamiati wa Kiyunani cha kale karne
ya 7 KK
 Utaratibu wa Kimagharibi wa uundaji
wa kamusi ulianzia Ugiriki kutokana
na lugha kubadilika kwa kiasi kikubwa
na kuhitaji ufafanuzi
Kipindi cha Kamusi za Awali
 Tafsiri za msamiati wa kigeni kwa
lugha za wazawa.
 Kiarabu – Kiajemi
 Kilatini – Kiingereza
 Kiingereza – Kilatini
 Kifaransa – Kilatini
 Kirusi – Kilatini – Kigiriki
Kipindi cha Maendeleo ya
Kamusi
 LENGO: Kutoa ufafanuzi na kanuni za
lugha
 Kamusi za kitaaluma
 Saiklopidia
 Kamusi za sarufi
 Kamusi za lahaja
 Kamusi za istilahi
 Kamusi za visawe
Kipindi cha Maendeleo ya
Kamusi
 Baadae mawazo ya wanafalsafa
maarufu yalianza kuathiri uundaji wa
kamusi
 Mawazo ya wanafalsafa kama Francis
Bacon na Rene Decartes yalionekana
katika kamusi.
 Mawazo yao yalihusiana na asili na
maendeleo ya mwanadamu na Isimu
Linganishi.
Kipindi cha Maendeleo ya
Kamusi
 Haya yalisababisha kuibuka kwa
etimolojia katika kamusi
 Hii ilikuwa katika karne ya 19 BK
AINA ZA KAMUSI
 KIGEZO CHA LUGHA:
i. Lugha moja
ii. Lugha mbili
iii. Lugha nyingi
 KIGEZO CHA UFADHILI
i. Kamusi za kitaaluma
ii. Kamusi za biashara
 KIGEZO CHA UMRI:
i. Kamusi za watoto
ii. Kamusi za wanafunzi wa kiwango cha kati
iii. Kamusi za wanafunzi wa kiwango cha juu
AINA
 UKUBWA:
i. Kubwa 100000 na zaidi
ii. Kamusi za mezani – haziwezi kubebwa
iii. Kamusi ndogo
iv. Kamusi za mfukoni
 ENEO LA MATUMIZI
i. Kamusi za kiufundi
ii. Kamusi za kawaida
 AINA YA MSAMIATI
i. Lahaja
ii. Misimu
iii. vifupisho
iv. Visawe
Wadau Muhimu
i. Mkusanyaji (mwandishi)
ii. Mtumiaji
iii. Mwalimu
iv. Mtafiti
Mwandishi
 Hana mawasiliano na mtumiaji.
 Anapata mrejesho kutoka kwa
mwalimu, wauza vitabu, watu
wanaofanya mapitio ya vitabu na
wakutubi
MTUMIAJI
 Aina ya Kamusi hutegema mahitaji na
uwezo wa mtumaji
 Mtumiaji hana msaidizi wakati wa
kutumia kamusi
MWALIMU
 Anafundisha matumizi ya kamusi
 Anamuongoza mwanafunzi kujua
taarifa gani zinapatikana katika
kamusi.
LEKSIKOGRAFIA KAMA
KITENDO
 Maana ya Kamusi
 Uandishi wa Kamusi
Mchakato wa Kileksikografia
 Ni aina gani na kiwango gani cha maneno
kinachotaka kuingizwa katika kamusi?
 Ni vipi maneno yatakusanywa na kupangwa
katika Kamusi?
 Ni vipi maana za maneno zitaelezwa katika
kamusi?
 Ni vipi dhana mbalimbali za maneno
zitaoneshwa katika Kamusi
 Ni kwa namna gani matamshi yataoneshwa?
Hatua za Uundaji wa Kamusi
 Wahrig (1967)
1. Kukusanya data kutoka katika Kamusi
na vyanzo vyengine.
2. Add etymological information to cards
3. Add semantic information and usage
making for general vocabulary
4. Add definition to technical vocabulary
5. Final editing, including syllabification,
transcription and grammatical details
Zgusta (1971)
1. Collection of material
2. Selection of entries
3. Construction of entries
4. Arrangement of entries
DICTIONARY PROJECT AND
DESIGN
 Each dictionary project is unique
 Where does the project starts?
 PLANNING
 WRITING
 PRODUCING
 Is it commercial or scholarly
dictionary?
PLANNING
 In commercial dictionary
 Identify the market (who will buy)
 Estimate the size of the market (20,000)
 Estimate the revenues
 The size of the book
 How big
 How many words
PLANNING
 Compare with the dictionary in the
market (size and quality)
 Survey potential users
 In children dictionary don’t count
words but think about illustrations
PLANNING
 Budget and schedule of the work
 How materials will be obtained
 Who will be involved? (editors, experts), in-
house or freelance
 Resources going to be used
PLANNING
 Existing dictionaries, books, newspapers
(remember these things take a lot of
time)
 People who will contribute to the
materials
 Schedule vs Expenses
Dutch dict. 24 – 65yrs, Danish – Swedish 10 -
24 but 65, New oxford 10 – 50 yrs
REASONS
 Fragility of human nature (training,
illness, transfer, quitting, deaths,
 Difficulty of organisation
 Ideas that lexicography is an easy
work
REASONS
 Publishers little knowledge of
dictionaries
 Some dictionaries are very long
 Thousands of cross references
ESTIMATING EXPENSES
 Writing is more expensive

More Related Content

Similar to MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt (7)

TAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANITAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANI
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 

MAWANDA YA LEKSIKOGRAFIA.ppt

  • 2. MAWANDA  LEKSIKOGRAFIA KAMA NADHARIA  LEKSIKOGRAFIA KAMA KITENDO
  • 3. METALEKSIKOGRAFIA  Ni taaluma kuhusu dhana, historia, uhakiki, aina na matumizi ya kamusi na kazi rejea nyengine zinazofanana na kamusi,  Inaangalia leksikografia kama nadharia  Dhana ya leksikografia  Historia ya leksikografia  Aina za kamusi  Matumizi ya kamusi
  • 4. MALENGO YA LEKSIKOGRAFIA  Lengo la Kielimu: Ufundishaji wa lugha za kigeni na lugha za kienyeji  Lengo la Kikanuni: Ufafanuzi na uwekaji wa kanuni za lugha na kujua kaida ya lugha katika viwango mbalimbali vya lugha kama fonolojia, mofolojia na sintaksia
  • 5. MALENGO YA LEKSIKOGRAFIA  Lengo la Mawasiliano: Kuimarisha mawasiliano ya watu wa tamaduni mbalimbali  Lengo la Kisayansi: Kuimarisha utafiiti katika msamiati wa lugha
  • 6. HISTORIA YA LEKSIKOGRAFIA  Kipindi cha kabla ya kamusi  Kipindi cha kamusi za awali  Kipindi cha maendeleo ya kamusi
  • 7. KABLA YA KAMUSI  LENGO: Kufafanua maneno magumu  Umbo lililotumika lilikuwa la Glosi.  Glosi ni tafsiri ya matamshi ya matini  Zilianza karne ya 25 KK – Ugiriki  Kufikia karne ya 8 KK glosi zilipatikana Ulaya Magharibi  Karne ya 11 BK zilipatikana Urusi
  • 8. KABLA YA KAMUSI  Umbo la Faharasa  Orodha ya tafsiri za maneno ya mwandishi au kitabu  Veda – Milenia ya kwanza KK (India)  Hetite – Akadia –Sumeria 14 -13 KK (Misri)
  • 9. Kipindi cha Kamusi za Awali  LENGO: Kujifunza lugha ya maandishi  Msamiati wa Sanskrit karne 8-6 KK  Msamiati wa Kiyunani cha kale karne ya 7 KK  Utaratibu wa Kimagharibi wa uundaji wa kamusi ulianzia Ugiriki kutokana na lugha kubadilika kwa kiasi kikubwa na kuhitaji ufafanuzi
  • 10. Kipindi cha Kamusi za Awali  Tafsiri za msamiati wa kigeni kwa lugha za wazawa.  Kiarabu – Kiajemi  Kilatini – Kiingereza  Kiingereza – Kilatini  Kifaransa – Kilatini  Kirusi – Kilatini – Kigiriki
  • 11. Kipindi cha Maendeleo ya Kamusi  LENGO: Kutoa ufafanuzi na kanuni za lugha  Kamusi za kitaaluma  Saiklopidia  Kamusi za sarufi  Kamusi za lahaja  Kamusi za istilahi  Kamusi za visawe
  • 12. Kipindi cha Maendeleo ya Kamusi  Baadae mawazo ya wanafalsafa maarufu yalianza kuathiri uundaji wa kamusi  Mawazo ya wanafalsafa kama Francis Bacon na Rene Decartes yalionekana katika kamusi.  Mawazo yao yalihusiana na asili na maendeleo ya mwanadamu na Isimu Linganishi.
  • 13. Kipindi cha Maendeleo ya Kamusi  Haya yalisababisha kuibuka kwa etimolojia katika kamusi  Hii ilikuwa katika karne ya 19 BK
  • 14. AINA ZA KAMUSI  KIGEZO CHA LUGHA: i. Lugha moja ii. Lugha mbili iii. Lugha nyingi  KIGEZO CHA UFADHILI i. Kamusi za kitaaluma ii. Kamusi za biashara  KIGEZO CHA UMRI: i. Kamusi za watoto ii. Kamusi za wanafunzi wa kiwango cha kati iii. Kamusi za wanafunzi wa kiwango cha juu
  • 15. AINA  UKUBWA: i. Kubwa 100000 na zaidi ii. Kamusi za mezani – haziwezi kubebwa iii. Kamusi ndogo iv. Kamusi za mfukoni  ENEO LA MATUMIZI i. Kamusi za kiufundi ii. Kamusi za kawaida  AINA YA MSAMIATI i. Lahaja ii. Misimu iii. vifupisho iv. Visawe
  • 16. Wadau Muhimu i. Mkusanyaji (mwandishi) ii. Mtumiaji iii. Mwalimu iv. Mtafiti
  • 17. Mwandishi  Hana mawasiliano na mtumiaji.  Anapata mrejesho kutoka kwa mwalimu, wauza vitabu, watu wanaofanya mapitio ya vitabu na wakutubi
  • 18. MTUMIAJI  Aina ya Kamusi hutegema mahitaji na uwezo wa mtumaji  Mtumiaji hana msaidizi wakati wa kutumia kamusi
  • 19. MWALIMU  Anafundisha matumizi ya kamusi  Anamuongoza mwanafunzi kujua taarifa gani zinapatikana katika kamusi.
  • 20. LEKSIKOGRAFIA KAMA KITENDO  Maana ya Kamusi  Uandishi wa Kamusi
  • 21. Mchakato wa Kileksikografia  Ni aina gani na kiwango gani cha maneno kinachotaka kuingizwa katika kamusi?  Ni vipi maneno yatakusanywa na kupangwa katika Kamusi?  Ni vipi maana za maneno zitaelezwa katika kamusi?  Ni vipi dhana mbalimbali za maneno zitaoneshwa katika Kamusi  Ni kwa namna gani matamshi yataoneshwa?
  • 22. Hatua za Uundaji wa Kamusi  Wahrig (1967) 1. Kukusanya data kutoka katika Kamusi na vyanzo vyengine. 2. Add etymological information to cards 3. Add semantic information and usage making for general vocabulary 4. Add definition to technical vocabulary 5. Final editing, including syllabification, transcription and grammatical details
  • 23. Zgusta (1971) 1. Collection of material 2. Selection of entries 3. Construction of entries 4. Arrangement of entries
  • 24. DICTIONARY PROJECT AND DESIGN  Each dictionary project is unique  Where does the project starts?  PLANNING  WRITING  PRODUCING  Is it commercial or scholarly dictionary?
  • 25. PLANNING  In commercial dictionary  Identify the market (who will buy)  Estimate the size of the market (20,000)  Estimate the revenues  The size of the book  How big  How many words
  • 26. PLANNING  Compare with the dictionary in the market (size and quality)  Survey potential users  In children dictionary don’t count words but think about illustrations
  • 27. PLANNING  Budget and schedule of the work  How materials will be obtained  Who will be involved? (editors, experts), in- house or freelance  Resources going to be used
  • 28. PLANNING  Existing dictionaries, books, newspapers (remember these things take a lot of time)  People who will contribute to the materials  Schedule vs Expenses Dutch dict. 24 – 65yrs, Danish – Swedish 10 - 24 but 65, New oxford 10 – 50 yrs
  • 29. REASONS  Fragility of human nature (training, illness, transfer, quitting, deaths,  Difficulty of organisation  Ideas that lexicography is an easy work
  • 30. REASONS  Publishers little knowledge of dictionaries  Some dictionaries are very long  Thousands of cross references
  • 31. ESTIMATING EXPENSES  Writing is more expensive