SlideShare a Scribd company logo
1 of 35
Mussa Shekinyashi
Dhana ya Tafsiri
 Tafsiri ni mchakato wa uhawilishajiwa mawazo
katika maandishi kutoka lugha moja hadi
nyingine.
 Kufasiri ni kuchukua mawazo yaliyo katika
maandishi kutoka lugha moja (lugha chanzi) na
kuweka badala yake mawazo yaliyolingana
kutoka lugha nyingine (lugha lengwa).
 Mfasiri ni mtu anayefanya kazi ya kufasiri matini.
 Tafsiri huzingatia mawazo kati ya lugha chanzi
na lugha lengwa kuwiana.
Tazama michoro hii…
Lugha
Chanzi
Wazo
husika
Wazo
husika
Lugha
Lengwa
Mfasiri lazima azifahamu lugha zote mbili kwa
kina.
 Mfasiri hana budi kufahamu kwa kina lugha zote mbili
anazozifanyia kazi.
 Yaani lugha chanzi na lugha lengwa.
 Umahiri huu anaotakiwa kuwa nao mfasiri
unajumuisha kuufahamu msamiati kwa kina na
kuzifahamu sheria za lugha zote mbili kwa kina.
 Pia, mfasiri hana budi kuzifahamu mbinu mbalimbali
za matumizi ya lugha kulingana na mazingira au
muktadha.
Mfasiri ajue misingi ya kazi ya tafsiri
 Ni sharti mtenda kazi yoyote ajue misingi ya kazi
ietendayo kabla hajaifanya.
 Kadharika, mfasiri ni sharti ajue misingi ya kinadharia
ya kazi ya utafsiri.
 Hii humpa nafasi mfasiri kujua ni aina gani ya fasiri
anaitumia kulingana na mahitaji ya hadhira yake.
 Kukosekana kwa ufahamu juu ya misingi ya tafsiri
hupunguza mantiki ya matini iliyotafsiriwa.
Mfasiri awe mweledi
 Mfasiri ili awe mahiri katika shughuli za utafsiri hana
budi kuwa na upeo mpana katika nyanja zote za
maisha: kiuchumi, kisiasa, tiba, sayansi na kijamii.
 Ni vyema basi, akawa na tabia ya kuyafuatilia masuala
haya kwa jinsi yanavyotokea duniani.
 Ujuzi huu utamwezesha mfasiri kuwa na msamiati wa
kutosha katika shughuli zake za kutafsiri.
Mfasiri afahamu kiwango cha uelewa cha
wasomaji anaowatafsiria
 Kufahamu lugha zote mbili vizuri haitoshi kumfanya
mfasiri kuwa mahiri.
 Pamoja na yote hayo ni sharti mfasiri awe na uwezo wa
kufahamu kiwango cha uelewa cha wasikilizaji na
wasomaji wake.
 Hii itamwezesha kufasiri matini kutoka lugha chanzi
kuja lugha lengwa kwa kutumia msamiati wenye
uwiano na uelewa wa wasikilizaji.
Kuisoma Matini Nzima
 Jambo la msingi analopaswa kulizingatia mfasiri ni
kuisoma matini nzima kwa kina.
 Kuisoma matini kutamuwezesha mfasiri, kwanza;
kuelewa maudhui ya matini chanzi.
 Pia, humsaidia mfasiri kuandaa marejeleo
yatakayomwezesha mfasiri kuandaa kamusi
mahususi, orodha ya misamiati mipya na orodha ya
istilahi ghafi.
 Hurahisisha pia, maafikiano baina ya wafasiri wawili
wanaofanyia kazi maini moja.
Kubaini Lengo la Matini
 Kabla ya kuanza mchakato wa kufasiri matini ni
vyema mfasiri akafahamu lengo la matini chanzi.
 Mara nyingine ufinyu wa uelewa wa lengo la matini
chanzi hupelekea kupotoshwa kwa lengo hilo katika
matini lengwa.
 Kwa namna nyingine, mfasiri anapobaini lengo la
matini chanzi huweza kufasiri kwa namna aionayo ni
sahihi na kwa lengo analolipendekeza.
Kubaini Lengo la Mfasiri
 Ni sharti mfasiri ajue lengo lake la msingi la katika
matini anayoifanyia kazi.
 Je, lengo lake ni kuwapa wasomaji wake athari
inayolingana na ile ya matini chanzi?
 Mara nyingine mfasiri hubali lengo la matini kwa
kunuia athari tofauti kwa wasomaji wake wa matini
lengwa.
 Lengo la mfasiri huzingatia pia kiwango cha uelewa
cha wasomaji wa matini lengwa.
Kubaini Wasomaji wa Matini
Lengwa
 Mfasiri anapaswa ajiulize maswali haya:
 Hadhira ya matini chanzi ni ipi?
 Je, msomaji wa matini yake lengwa ni yupi?
 Ana elimu, umri na jinsia gani?
 Haya ni baadhi ya maswali yambayo yatamsaidia
mfasiri kutafsiri matini huku akifahamu ni kwa kiasi
gani matini yake itapokelewa na kueleweka na
msomaji wa lugha lengwa.
Kubaini Mtindo wa Matini Chanzi
 Kufahamu mtindo uliotumika kuiandika matini
chanzi ni muhimu kwa mfasiri.
 Ni vyema afahamu kama matini chanzi imeandikwa
kifasihi, kirasmi au kitaaluma.
 Kwa kufahamu hilo kutamsaidia kufahamu ni kwa
mtindo gani anatakiwa kuifasiri matini yake kwenda
lugha lengwa.
 Kadharika, nadharia ya tafsiri inasisitiza kuwa mtindo
wa matini katika lugha chanzi uendane na ule wa
lugha lengwa.
Kubaini ubora na mamlaka ya
Matini
 Ubora hubainika kwa kuzingatia lengo na na matarajio
ya mwandishi katika matini aliyoiandika.
 Mmlaka ni hubainika kupitia umahiri na hadhi ya
mwandishi.
 Mfasiri anajukumu la kujua haya ili kama matini
chanzi imeandikwa kwa ustadi wa hali ya juu na
mwandishi mwenye hadhi kubwa basi naye hana budi
kuhamisha hadhi na ubora huo katika matini yake
lengwa.
Kusoma Matini kwa mara ya
Mwisho
 Ni vyema, baada ya kuyafahamu masuala hayo
yaliyojadiliwa hapo juu mfasiri akaisoma tena upya
matini chanzi ili aanze mchakato wa kutafsiri matini
hiyo.
 Lakini pia si lazima vipengele hivyo apo juu vifuatwe
na mfasiri kama vilivyopangwa hapo, vinaweza kuwa
vinginevyo lakini jambo la msingi ni kwamba vyote
vizingatiwe kwa kina.
Maandalizi
 Hatua hii hujumuisha mambo ya msingi
yanayozingatiwa na mfasiri kabla ya kuanza kutafsiri.
 Mambo hayo ni kama:
 Kuisoma matini nzima, kubaini lengo la matini
chanzi, kubainisha lengo la mfasiri na kubaini mtindo
wa matini hiyo.
 Mbali na hayo pia katika hatua hii mfasiri inampasa
kuchunguza taarifa kama; historia ya
mwandishi,mazingira yaliyomkuza na hadhi yake
katika jamii aliyoiandikia matini hiyo.
Uchambuzi
 Katika hatua hii mfasiri anapaswa kuvitambua na
kuweka wazi visawe na maelezo yanayohitaji
ufafanuzi wa kina katika matini chanzi.
 Hapa ndipo mfasiri hupitia marejeo mbalimbali ,kama
ensaiklopidia na kamusi ili kubaini visawe vya tafsiri
yake.
 Hatua ya uchambuzi humpa nafasi mfasiri kurahisisha
kazi yake ya Tafsiri.
Uhawilishaji
 Hapa mfasiri huamisha mawazo kutoka lugha chanzi
hadi lugha lengwa akitumia visawe alivyovibainisha
katika hatua ya uchambuzi.
 Kimsingi katika hatua hii ndipo hasa zoezi la msingi la
tafsiri hufanyika
 Mbali na hayo bado mfasiri ana nafasi ya kuongeza au
kupunguza visawe kwa mujibu wa mahitaji ya matini
lengwa na lengo la mfasiri.
Usawidi wa Rasimu ya Kwanza ya
Tafsiri
 Usawidi wa rasimu ni kuiandika rasimu ya kwanza kwa
kadri ya ufasiri.
 Mfasiri huzingatia umbo na mtindo wa matini chanzi
kuyapangilia mawazo katika matini lengwa .
 Hatua hii hufuatwa baada ya hatua ya uhawilishaji,
 Hapa ndio mfasiri huanza kuiona picha ya matini
lengwa katika mchakato mzima wa ufasiri.
Udurusu wa Rasimu ya Kwanza ya
Tafsiri
 Baada mchakato wa usawidi ni wazi kwamba mfasiri
anapaswa kuisoma tafsiri aliyoifanya.
 Wataalamu wanashauri mfasiri asome matini
aliyoitafsiri baada ya kuimaliza kuiandika.
 Na ni vyema akaisoma kwa sauti ili kuweza kubaini
makosa mbalimbali kama vile; makosa ya kisarufi,
makosa ya kimatumizi ya lugha na pia kubaini uwiano
ulioo baina ya matini hiyo na matini chanzi.
Kusomwa kwa Rasimu na Mtu wa
Pili
 Baada ya durusu ya mfasiri rasimu ya tafsiri inapaswa
isomwe na mtu mwingine.
 Dhima kuu ni kubaini usahihi wa mtiririko wa
mawazo na ujumbe katika tafsiri hiyo.
 Kwa kuisoma kwa makini msomaji wa pili ataweza
kubaini makosa na kuyawekea alama ili yasahihishwe.
 Kama rasimu itasomwa vyema na msomaji wa pili na
kufanyiwa marekebisho basi rasimu hiyo itaondokea
kuwa nzuri.
Usawidi wa Rasimu ya Mwisho ya
Tafsiri
 Hatua hii hujumuisha mchakato mzima wa kuyafanyia
kazi mawazo yaliyopendekezwa na msomaji wa pili wa
rasimu.
 Usawidi huu ukipita basi matini lengwa hukamilika.
 Tayari kutumiwa na hadhira lengwa.
 Nyenzo ya mawasiliano
 Kueneza utamaduni wa jamii
 Nyenzo ya kufundisha lugha za kigeni
 Hupanua mawazo na fikra za wasomaji
 Husaidia kuziba mapengo ya kimsamiati na kimaana
baina ya lugha.
M. Shekinyashi
Ukalimani ni nini?
 Mshindo (2010) anasema ukalimani ni shughuli ya
kiakili inayowezesha kuwasiliana kwa maneno
yaliyosemwa au ishara zinazooonyeshwa baina ya watu
ambao hawasemi lugha moja au ambao hawatumii
ishara za aina moja.
 Wanjara (2011) anasema ukalimani ni kuhawilisha
ujumbe ulioko katika mazungumzo, pamoja na
uamilifu wake, kutoka lugha chanzi kwenda lugha kwa
lengwa kwa kuzingatia isimu, utamaduni na
muktadha wa jamii husika.
Aina za Ukalimani
 Kuna aina kuu mbili za ukalimani:
 Ukalimani wa Papo kwa Papo
 Ukalimani wa Ufuatizi
Ukalimani wa papo kwa papo
 Aina hii ya ukalimani hutokea ambapo msemaji wa matini
chanzi na msemaji wa matini lenga hupishana kwa muda
kidogo sana .
 Hapa si rahisi msikilizaji kuhisi kuwa mkalimani husikiliza
kabla hajakalimani kwa sabau sauti ya msemaji katika
lugha chanzi haipishani kabisa na sauti msemaji katika
lugha lengwa.
 Kukalimani katika aina hii ya ukalimani inampasa
mkalimani awe na uwezo na ujuzi wa hali ya juu.
 Aina hii ya ukalimani hutumika sana katika mikutano ya
kimataifa, mihadhara ya kidini na pia katika mahakama za
kimataifa.
maandalizi)
 Hii ni aina ya ukalimani ambayo msemaji wa matini chanzi
na msemaji wa matini lenga hupishana kwa kipindi kirefu
katika kusema.
 Hapa, hadhira hutambua wazi kwamba kuna watu
wanaozungumza kwa kupokezana.
 Msemaji wa matini chanzi husema kwa kituo ili kumpa
nafasi msemaji wa lugha lengwa kuyafafanua kwa lugha ya
matini lengwa .
 Kupokezana huko kunaweza kuwa kila baada ya sentensi,
aya au hata matini nzima alimuradi mkarimani anapewa
nafasi kujiandaa .
 Aina hii hutumika katika mihadhara ya kidini na mara
nyingine katika mikutano ya kisiasa.
Sifa za Mkalimani
 Uelewa wa kina juu ya lugha anazozitumia: hii
inajumuisha utajiri wa msamiati, kujua sheria na
taratibu za lugha na pia kuelewa matumizi ya lugha
katika miktadha mbalimbali.
 Kuielewa kwa kina hadhira inayohusika:
kufahamu kiwango cha elimu, umri, mtazamo na
matarajio ya hadhira.
 Kuelewa mbinu za kimawasiliano: hii inajumuisha
matumizi ya ishara na lugha za alama kusindikiza
ufafanuzi wa kikalimani. Sauti pia ni nyenzo nzuri ya
kimawasiliano inayovuta usikivu.
Umuhimu wa Mkalimani
 Nyenzo ya mawasiliano
 Nyenzo muhimu ya kujifunzia lugha
 Nyenzo mahususi kudumisha amali za jamii
 Nyenzo muhimu ya umoja baina ya jamii lugha tofauti
 Nyenzo ya maendeleo
 Kuenea kwa dini mbalimbali na tamaduni mbalimbali
duniani.
Swali…
1. Kwa mifano, fafanua sifa za mkalimani kwa
mujibu wa Wanjala (2011)
2. Jadili mambo ya msingi yanayozingatiwa na
mzungumzaji na mkalimani katika ukalimani.
Asanteni kwa Kunisikiliza

More Related Content

What's hot

What's hot (20)

Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Uandishi wa matangazo
Uandishi wa matangazoUandishi wa matangazo
Uandishi wa matangazo
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
 
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojiaUhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIUHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
 
Ufahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoUfahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupisho
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Rejesta
RejestaRejesta
Rejesta
 
Dhima za kamusi
Dhima za kamusiDhima za kamusi
Dhima za kamusi
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILI
 
Ngeli za nomino
Ngeli za nominoNgeli za nomino
Ngeli za nomino
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihi
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (10)

Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHAUHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
 
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za FasihiUhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

Tafsiri na ukalimani

  • 2. Dhana ya Tafsiri  Tafsiri ni mchakato wa uhawilishajiwa mawazo katika maandishi kutoka lugha moja hadi nyingine.  Kufasiri ni kuchukua mawazo yaliyo katika maandishi kutoka lugha moja (lugha chanzi) na kuweka badala yake mawazo yaliyolingana kutoka lugha nyingine (lugha lengwa).  Mfasiri ni mtu anayefanya kazi ya kufasiri matini.  Tafsiri huzingatia mawazo kati ya lugha chanzi na lugha lengwa kuwiana.
  • 4.
  • 5. Mfasiri lazima azifahamu lugha zote mbili kwa kina.  Mfasiri hana budi kufahamu kwa kina lugha zote mbili anazozifanyia kazi.  Yaani lugha chanzi na lugha lengwa.  Umahiri huu anaotakiwa kuwa nao mfasiri unajumuisha kuufahamu msamiati kwa kina na kuzifahamu sheria za lugha zote mbili kwa kina.  Pia, mfasiri hana budi kuzifahamu mbinu mbalimbali za matumizi ya lugha kulingana na mazingira au muktadha.
  • 6. Mfasiri ajue misingi ya kazi ya tafsiri  Ni sharti mtenda kazi yoyote ajue misingi ya kazi ietendayo kabla hajaifanya.  Kadharika, mfasiri ni sharti ajue misingi ya kinadharia ya kazi ya utafsiri.  Hii humpa nafasi mfasiri kujua ni aina gani ya fasiri anaitumia kulingana na mahitaji ya hadhira yake.  Kukosekana kwa ufahamu juu ya misingi ya tafsiri hupunguza mantiki ya matini iliyotafsiriwa.
  • 7. Mfasiri awe mweledi  Mfasiri ili awe mahiri katika shughuli za utafsiri hana budi kuwa na upeo mpana katika nyanja zote za maisha: kiuchumi, kisiasa, tiba, sayansi na kijamii.  Ni vyema basi, akawa na tabia ya kuyafuatilia masuala haya kwa jinsi yanavyotokea duniani.  Ujuzi huu utamwezesha mfasiri kuwa na msamiati wa kutosha katika shughuli zake za kutafsiri.
  • 8. Mfasiri afahamu kiwango cha uelewa cha wasomaji anaowatafsiria  Kufahamu lugha zote mbili vizuri haitoshi kumfanya mfasiri kuwa mahiri.  Pamoja na yote hayo ni sharti mfasiri awe na uwezo wa kufahamu kiwango cha uelewa cha wasikilizaji na wasomaji wake.  Hii itamwezesha kufasiri matini kutoka lugha chanzi kuja lugha lengwa kwa kutumia msamiati wenye uwiano na uelewa wa wasikilizaji.
  • 9.
  • 10. Kuisoma Matini Nzima  Jambo la msingi analopaswa kulizingatia mfasiri ni kuisoma matini nzima kwa kina.  Kuisoma matini kutamuwezesha mfasiri, kwanza; kuelewa maudhui ya matini chanzi.  Pia, humsaidia mfasiri kuandaa marejeleo yatakayomwezesha mfasiri kuandaa kamusi mahususi, orodha ya misamiati mipya na orodha ya istilahi ghafi.  Hurahisisha pia, maafikiano baina ya wafasiri wawili wanaofanyia kazi maini moja.
  • 11. Kubaini Lengo la Matini  Kabla ya kuanza mchakato wa kufasiri matini ni vyema mfasiri akafahamu lengo la matini chanzi.  Mara nyingine ufinyu wa uelewa wa lengo la matini chanzi hupelekea kupotoshwa kwa lengo hilo katika matini lengwa.  Kwa namna nyingine, mfasiri anapobaini lengo la matini chanzi huweza kufasiri kwa namna aionayo ni sahihi na kwa lengo analolipendekeza.
  • 12. Kubaini Lengo la Mfasiri  Ni sharti mfasiri ajue lengo lake la msingi la katika matini anayoifanyia kazi.  Je, lengo lake ni kuwapa wasomaji wake athari inayolingana na ile ya matini chanzi?  Mara nyingine mfasiri hubali lengo la matini kwa kunuia athari tofauti kwa wasomaji wake wa matini lengwa.  Lengo la mfasiri huzingatia pia kiwango cha uelewa cha wasomaji wa matini lengwa.
  • 13. Kubaini Wasomaji wa Matini Lengwa  Mfasiri anapaswa ajiulize maswali haya:  Hadhira ya matini chanzi ni ipi?  Je, msomaji wa matini yake lengwa ni yupi?  Ana elimu, umri na jinsia gani?  Haya ni baadhi ya maswali yambayo yatamsaidia mfasiri kutafsiri matini huku akifahamu ni kwa kiasi gani matini yake itapokelewa na kueleweka na msomaji wa lugha lengwa.
  • 14. Kubaini Mtindo wa Matini Chanzi  Kufahamu mtindo uliotumika kuiandika matini chanzi ni muhimu kwa mfasiri.  Ni vyema afahamu kama matini chanzi imeandikwa kifasihi, kirasmi au kitaaluma.  Kwa kufahamu hilo kutamsaidia kufahamu ni kwa mtindo gani anatakiwa kuifasiri matini yake kwenda lugha lengwa.  Kadharika, nadharia ya tafsiri inasisitiza kuwa mtindo wa matini katika lugha chanzi uendane na ule wa lugha lengwa.
  • 15. Kubaini ubora na mamlaka ya Matini  Ubora hubainika kwa kuzingatia lengo na na matarajio ya mwandishi katika matini aliyoiandika.  Mmlaka ni hubainika kupitia umahiri na hadhi ya mwandishi.  Mfasiri anajukumu la kujua haya ili kama matini chanzi imeandikwa kwa ustadi wa hali ya juu na mwandishi mwenye hadhi kubwa basi naye hana budi kuhamisha hadhi na ubora huo katika matini yake lengwa.
  • 16. Kusoma Matini kwa mara ya Mwisho  Ni vyema, baada ya kuyafahamu masuala hayo yaliyojadiliwa hapo juu mfasiri akaisoma tena upya matini chanzi ili aanze mchakato wa kutafsiri matini hiyo.  Lakini pia si lazima vipengele hivyo apo juu vifuatwe na mfasiri kama vilivyopangwa hapo, vinaweza kuwa vinginevyo lakini jambo la msingi ni kwamba vyote vizingatiwe kwa kina.
  • 17.
  • 18. Maandalizi  Hatua hii hujumuisha mambo ya msingi yanayozingatiwa na mfasiri kabla ya kuanza kutafsiri.  Mambo hayo ni kama:  Kuisoma matini nzima, kubaini lengo la matini chanzi, kubainisha lengo la mfasiri na kubaini mtindo wa matini hiyo.  Mbali na hayo pia katika hatua hii mfasiri inampasa kuchunguza taarifa kama; historia ya mwandishi,mazingira yaliyomkuza na hadhi yake katika jamii aliyoiandikia matini hiyo.
  • 19. Uchambuzi  Katika hatua hii mfasiri anapaswa kuvitambua na kuweka wazi visawe na maelezo yanayohitaji ufafanuzi wa kina katika matini chanzi.  Hapa ndipo mfasiri hupitia marejeo mbalimbali ,kama ensaiklopidia na kamusi ili kubaini visawe vya tafsiri yake.  Hatua ya uchambuzi humpa nafasi mfasiri kurahisisha kazi yake ya Tafsiri.
  • 20. Uhawilishaji  Hapa mfasiri huamisha mawazo kutoka lugha chanzi hadi lugha lengwa akitumia visawe alivyovibainisha katika hatua ya uchambuzi.  Kimsingi katika hatua hii ndipo hasa zoezi la msingi la tafsiri hufanyika  Mbali na hayo bado mfasiri ana nafasi ya kuongeza au kupunguza visawe kwa mujibu wa mahitaji ya matini lengwa na lengo la mfasiri.
  • 21. Usawidi wa Rasimu ya Kwanza ya Tafsiri  Usawidi wa rasimu ni kuiandika rasimu ya kwanza kwa kadri ya ufasiri.  Mfasiri huzingatia umbo na mtindo wa matini chanzi kuyapangilia mawazo katika matini lengwa .  Hatua hii hufuatwa baada ya hatua ya uhawilishaji,  Hapa ndio mfasiri huanza kuiona picha ya matini lengwa katika mchakato mzima wa ufasiri.
  • 22. Udurusu wa Rasimu ya Kwanza ya Tafsiri  Baada mchakato wa usawidi ni wazi kwamba mfasiri anapaswa kuisoma tafsiri aliyoifanya.  Wataalamu wanashauri mfasiri asome matini aliyoitafsiri baada ya kuimaliza kuiandika.  Na ni vyema akaisoma kwa sauti ili kuweza kubaini makosa mbalimbali kama vile; makosa ya kisarufi, makosa ya kimatumizi ya lugha na pia kubaini uwiano ulioo baina ya matini hiyo na matini chanzi.
  • 23. Kusomwa kwa Rasimu na Mtu wa Pili  Baada ya durusu ya mfasiri rasimu ya tafsiri inapaswa isomwe na mtu mwingine.  Dhima kuu ni kubaini usahihi wa mtiririko wa mawazo na ujumbe katika tafsiri hiyo.  Kwa kuisoma kwa makini msomaji wa pili ataweza kubaini makosa na kuyawekea alama ili yasahihishwe.  Kama rasimu itasomwa vyema na msomaji wa pili na kufanyiwa marekebisho basi rasimu hiyo itaondokea kuwa nzuri.
  • 24. Usawidi wa Rasimu ya Mwisho ya Tafsiri  Hatua hii hujumuisha mchakato mzima wa kuyafanyia kazi mawazo yaliyopendekezwa na msomaji wa pili wa rasimu.  Usawidi huu ukipita basi matini lengwa hukamilika.  Tayari kutumiwa na hadhira lengwa.
  • 25.
  • 26.  Nyenzo ya mawasiliano  Kueneza utamaduni wa jamii  Nyenzo ya kufundisha lugha za kigeni  Hupanua mawazo na fikra za wasomaji  Husaidia kuziba mapengo ya kimsamiati na kimaana baina ya lugha.
  • 28. Ukalimani ni nini?  Mshindo (2010) anasema ukalimani ni shughuli ya kiakili inayowezesha kuwasiliana kwa maneno yaliyosemwa au ishara zinazooonyeshwa baina ya watu ambao hawasemi lugha moja au ambao hawatumii ishara za aina moja.  Wanjara (2011) anasema ukalimani ni kuhawilisha ujumbe ulioko katika mazungumzo, pamoja na uamilifu wake, kutoka lugha chanzi kwenda lugha kwa lengwa kwa kuzingatia isimu, utamaduni na muktadha wa jamii husika.
  • 29. Aina za Ukalimani  Kuna aina kuu mbili za ukalimani:  Ukalimani wa Papo kwa Papo  Ukalimani wa Ufuatizi
  • 30. Ukalimani wa papo kwa papo  Aina hii ya ukalimani hutokea ambapo msemaji wa matini chanzi na msemaji wa matini lenga hupishana kwa muda kidogo sana .  Hapa si rahisi msikilizaji kuhisi kuwa mkalimani husikiliza kabla hajakalimani kwa sabau sauti ya msemaji katika lugha chanzi haipishani kabisa na sauti msemaji katika lugha lengwa.  Kukalimani katika aina hii ya ukalimani inampasa mkalimani awe na uwezo na ujuzi wa hali ya juu.  Aina hii ya ukalimani hutumika sana katika mikutano ya kimataifa, mihadhara ya kidini na pia katika mahakama za kimataifa.
  • 31. maandalizi)  Hii ni aina ya ukalimani ambayo msemaji wa matini chanzi na msemaji wa matini lenga hupishana kwa kipindi kirefu katika kusema.  Hapa, hadhira hutambua wazi kwamba kuna watu wanaozungumza kwa kupokezana.  Msemaji wa matini chanzi husema kwa kituo ili kumpa nafasi msemaji wa lugha lengwa kuyafafanua kwa lugha ya matini lengwa .  Kupokezana huko kunaweza kuwa kila baada ya sentensi, aya au hata matini nzima alimuradi mkarimani anapewa nafasi kujiandaa .  Aina hii hutumika katika mihadhara ya kidini na mara nyingine katika mikutano ya kisiasa.
  • 32. Sifa za Mkalimani  Uelewa wa kina juu ya lugha anazozitumia: hii inajumuisha utajiri wa msamiati, kujua sheria na taratibu za lugha na pia kuelewa matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali.  Kuielewa kwa kina hadhira inayohusika: kufahamu kiwango cha elimu, umri, mtazamo na matarajio ya hadhira.  Kuelewa mbinu za kimawasiliano: hii inajumuisha matumizi ya ishara na lugha za alama kusindikiza ufafanuzi wa kikalimani. Sauti pia ni nyenzo nzuri ya kimawasiliano inayovuta usikivu.
  • 33. Umuhimu wa Mkalimani  Nyenzo ya mawasiliano  Nyenzo muhimu ya kujifunzia lugha  Nyenzo mahususi kudumisha amali za jamii  Nyenzo muhimu ya umoja baina ya jamii lugha tofauti  Nyenzo ya maendeleo  Kuenea kwa dini mbalimbali na tamaduni mbalimbali duniani.
  • 34. Swali… 1. Kwa mifano, fafanua sifa za mkalimani kwa mujibu wa Wanjala (2011) 2. Jadili mambo ya msingi yanayozingatiwa na mzungumzaji na mkalimani katika ukalimani.