SlideShare a Scribd company logo
1 of 13
REJESTA
Mussa
Shekinyashi
Utangulizi
 Katika somo lililopita tumeona jinsi
ambavyo lugha hutumika katika maisha
ya kila siku.
 Tumeona mambo kadhaa ambayo
hutawala hayo ya utumizi wa lugha.
 Sasa kutokana na mambo hayo
tunapata dhana ya rejesta.
 Katika kipindi cha leo tutazingatia
matumizi ya lugha kimuktadha au
kimazingira.
Malengo
 Kufikia mwisho wa
kipindi hiki tuwe
tumejifunza mambo
yafuatayo:
 Maana ya rejesta
 Aina za rejesta
 Dhima za rejesta
Maana ya Rejesta
 Rejesta ni mtindo wa lugha
unaotumika katika mazingira
maalum.
 Mtindo huu hutumika pahali
fulani penye shughuli maalum,
agharabu huwa ni tofauti na
lugha ya kawaida.
 Rejesta huwa na maneno na
muundo ambao lengo lake ni
kukidhi haja ya mawasiliano ya
sehemu husika.
 Mfano wa sehemu ambazo
huwa na rejesta ni;
mahakamani, hospitali, hotelini
na sehemu nyingine mbalimbali.
Aina za Rejesta
Rejesta za Mtaani
 Huu ni mtindo wa lugha
amabao huchipuka kutoka
katika kikundi kidogo cha
watu.
 Agharabu watu hawa
huwa wanalingana rika na
huwa na utamaduni
mmoja.
 Hususan vijana.
 Lengo la kuibuka kwa
mtindo huu huwa ni
kujibainisha kiumri. Yaani
kuonesha ujana wao.
 Mfano; manzi/shi –
msichana
 Dingii – baba
 Mazaa - mama
Rejesta za Hotelini
 Huu ni mtindo ambao
hutumika hotelini au
migahawani.
 Mtindo huu huwa na
lugha ya mkato kwa
lengo la kuokoa muda
katika kutoa huduma.
 Mfano; walinyama
husemwa kama neno
moja badala ya
kusema wali kwa
nyama.
Rejesta za Hospitali
 Mtindo huu wa lugha
hutumika mahospitalini.
 Mara nyingi huwa ni
lugha ya mkato na
inakuwa na upole
mwingi. Lengo ni kumpa
tumaini mgonjwa.
 Wakati mwingine huwa
wanatumia tafsidakwa
lengo la kupunguza
ukali wa maneno. Mfano
kalete Choo.
 Mfano Dawa – 2 mara 3
Rejesta za
Mahakamani
 Huu ni mtindo wa
lugha ambo hutumika
mahakani.
 Lugha katika
muktadha huu
hutumiwa kwa
umakini mkubwa,
hivyo misamiati
maalumu hutumika
mara kwa mara.
 Mfano; mheshimiwa
hakimu, kifungu,
ibara, kesi, shauri,
hukumu, upelelezi n.k
Rejesta za Kidini
 Huu ni mtindo wa lugha
ambao haubadiliki.
 Misamiati ambayo
hutumika katika mazingira
haya ni ile teule tu, yaani
ni ile ambayo imeteuliwa
na kukubaliwa kuwa
sehemu ya lugha ya
kiibada.
 Mfano; Msikini maneno
kama – sheghe, sadaka,
lakaa, sunna n.k
 Kanisani maneno kama:
Mtumishi, paroko,
madhabahu, ibada n. k
Dhima za Rejesta
 Hutambulisha
mzungumzaji.
 Hurahisisha
mawasiliano.
 Hukuza lugha.
 Hutumika kuweka
usiri au kuficha jambo
fulani.
 Hupamba lugha.
 Hutumika kupunguza
ukali wa meneno.
Zoezi
1. Eleza kwa kina
maana ya rejesta.
2. Kwa mifano
madhubuti fafanua
aina nne za rejesta
3. Toa dhima tano za
rejesta katika jamii
Asanteni kwa kunisikiliza!

More Related Content

What's hot

Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahilimussa Shekinyashi
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadhamussa Shekinyashi
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruKAZEMBETVOnline
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Kriolimussa Shekinyashi
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiUtungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaHamad Khamis Juma
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaWilson Pastory
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiKAZEMBETVOnline
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKAZEMBETVOnline
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIshahzadebaujiti
 

What's hot (20)

CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuru
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Mjengo wa tungo
Mjengo wa tungoMjengo wa tungo
Mjengo wa tungo
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiUtungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Ngeli za nomino
Ngeli za nominoNgeli za nomino
Ngeli za nomino
 
Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?Tamthilia ni nini?
Tamthilia ni nini?
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (8)

Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHAUHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

Rejesta

  • 2. Utangulizi  Katika somo lililopita tumeona jinsi ambavyo lugha hutumika katika maisha ya kila siku.  Tumeona mambo kadhaa ambayo hutawala hayo ya utumizi wa lugha.  Sasa kutokana na mambo hayo tunapata dhana ya rejesta.  Katika kipindi cha leo tutazingatia matumizi ya lugha kimuktadha au kimazingira.
  • 3. Malengo  Kufikia mwisho wa kipindi hiki tuwe tumejifunza mambo yafuatayo:  Maana ya rejesta  Aina za rejesta  Dhima za rejesta
  • 4. Maana ya Rejesta  Rejesta ni mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.  Mtindo huu hutumika pahali fulani penye shughuli maalum, agharabu huwa ni tofauti na lugha ya kawaida.  Rejesta huwa na maneno na muundo ambao lengo lake ni kukidhi haja ya mawasiliano ya sehemu husika.  Mfano wa sehemu ambazo huwa na rejesta ni; mahakamani, hospitali, hotelini na sehemu nyingine mbalimbali.
  • 6. Rejesta za Mtaani  Huu ni mtindo wa lugha amabao huchipuka kutoka katika kikundi kidogo cha watu.  Agharabu watu hawa huwa wanalingana rika na huwa na utamaduni mmoja.  Hususan vijana.  Lengo la kuibuka kwa mtindo huu huwa ni kujibainisha kiumri. Yaani kuonesha ujana wao.  Mfano; manzi/shi – msichana  Dingii – baba  Mazaa - mama
  • 7. Rejesta za Hotelini  Huu ni mtindo ambao hutumika hotelini au migahawani.  Mtindo huu huwa na lugha ya mkato kwa lengo la kuokoa muda katika kutoa huduma.  Mfano; walinyama husemwa kama neno moja badala ya kusema wali kwa nyama.
  • 8. Rejesta za Hospitali  Mtindo huu wa lugha hutumika mahospitalini.  Mara nyingi huwa ni lugha ya mkato na inakuwa na upole mwingi. Lengo ni kumpa tumaini mgonjwa.  Wakati mwingine huwa wanatumia tafsidakwa lengo la kupunguza ukali wa maneno. Mfano kalete Choo.  Mfano Dawa – 2 mara 3
  • 9. Rejesta za Mahakamani  Huu ni mtindo wa lugha ambo hutumika mahakani.  Lugha katika muktadha huu hutumiwa kwa umakini mkubwa, hivyo misamiati maalumu hutumika mara kwa mara.  Mfano; mheshimiwa hakimu, kifungu, ibara, kesi, shauri, hukumu, upelelezi n.k
  • 10. Rejesta za Kidini  Huu ni mtindo wa lugha ambao haubadiliki.  Misamiati ambayo hutumika katika mazingira haya ni ile teule tu, yaani ni ile ambayo imeteuliwa na kukubaliwa kuwa sehemu ya lugha ya kiibada.  Mfano; Msikini maneno kama – sheghe, sadaka, lakaa, sunna n.k  Kanisani maneno kama: Mtumishi, paroko, madhabahu, ibada n. k
  • 11. Dhima za Rejesta  Hutambulisha mzungumzaji.  Hurahisisha mawasiliano.  Hukuza lugha.  Hutumika kuweka usiri au kuficha jambo fulani.  Hupamba lugha.  Hutumika kupunguza ukali wa meneno.
  • 12. Zoezi 1. Eleza kwa kina maana ya rejesta. 2. Kwa mifano madhubuti fafanua aina nne za rejesta 3. Toa dhima tano za rejesta katika jamii