Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
Hii ni Tahakiki ya msingi ya tamhiliya ya Orodha. Mwalimu au mwanafunzi wa kiswahili anaweza itumia kazi hii kujiandaa na mtihani wa kidato cha nne.
Inajumuisha sehemu ya maudhui tu. Sehemu ya pili ya uhakiki huu itajumuisha vipengele vya fani.
Karibu.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Structuralism views language as shaping reality rather than just reflecting it, so how we see is determined by how we speak. Post-structuralism takes this further, arguing that if language constructs reality then there are no fixed points to measure anything against, resulting in a universe of radical uncertainty. While structuralism still saw an orderly language system, post-structuralism sees language as characterized by slippage and inconsistencies, with meanings scattered and reality itself becoming textual. The aims of structuralism were to question habitual ways of thinking but still arrive at a reliable view, whereas post-structuralism seeks to undermine the very notions of reason and subjectivity.
Hii ni Tahakiki ya msingi ya tamhiliya ya Orodha. Mwalimu au mwanafunzi wa kiswahili anaweza itumia kazi hii kujiandaa na mtihani wa kidato cha nne.
Inajumuisha sehemu ya maudhui tu. Sehemu ya pili ya uhakiki huu itajumuisha vipengele vya fani.
Karibu.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Structuralism views language as shaping reality rather than just reflecting it, so how we see is determined by how we speak. Post-structuralism takes this further, arguing that if language constructs reality then there are no fixed points to measure anything against, resulting in a universe of radical uncertainty. While structuralism still saw an orderly language system, post-structuralism sees language as characterized by slippage and inconsistencies, with meanings scattered and reality itself becoming textual. The aims of structuralism were to question habitual ways of thinking but still arrive at a reliable view, whereas post-structuralism seeks to undermine the very notions of reason and subjectivity.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Comparative study of ‘Robinson Crusoe’ and ‘Foe’.pptxNirali Dabhi
This document provides a comparative analysis of the novels "Robinson Crusoe" by Daniel Defoe and "Foe" by J.M. Coetzee. It introduces the authors and gives an overview of the works. The main characters of each novel are compared, including differences in how Friday is portrayed. Key similarities are discussed, such as both protagonists being marooned on a desert island. The novels are contrasted in their treatment of colonialism and silencing of marginalized voices.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
This document discusses language and gender as an area of study within sociolinguistics and applied linguistics. It examines varieties of speech associated with gender and social norms for gendered language use. Key researchers and their findings are outlined, including Otto Jespersen who studied gender differences in language, Robin Lakoff who identified a "women's register", and Jennifer Coates who categorized approaches to analyzing gendered speech. Specific speech practices associated with gender are also detailed, such as question use, turn-taking, topic changing, self-disclosure, and levels of politeness between men and women.
Derrida’s concept of decentering centre and suplimentarityPritiba Gohil
Hello, Friends here is my presentation of Course No. 7 :- Literary Theory & Criticism: The 20th Western & Indian Poetics – 2
Presentation Topic :- Derrida’s Concept of Decent ring Center And Suplimentarity
Jean Baudrillard was a philosopher whose theory of hyperreality analyzed how media simulations and representations can distort perceptions of reality in postmodern societies. His concept of the simulacrum holds that copies become more "real" than the original through endless reproduction. The document discusses how Baudrillard analyzed hyperreal representations in media like war coverage and advertising, creating unrealistic ideals that influence audiences. It also examines campaigns addressing gender and beauty norms, and debates around regulating children's exposure to sexualized media content.
1) Research has found differences in the language used by men and women, with women using more hedges, tag questions, and precise language that expresses uncertainty.
2) According to Robin Lakoff, women use both hedging and boosting language devices to lack confidence, with hedges expressing uncertainty and boosters trying to persuade others.
3) Studies have shown that in cross-sex interactions, men frequently interrupt women but women less frequently interrupt men, and men tend to dominate conversations more.
This document summarizes sexism in the English language. It discusses how feminism aims to establish equal rights for women, and traces the history of feminism through three waves focused on women's suffrage, legal rights, and representation. The document then analyzes how English contains sexist elements, like words containing "man" that can apply to both genders, and feminine forms created by adding suffixes to masculine nouns. Specific examples of sexism in words, titles, proverbs, and descriptions of gender roles are provided to demonstrate how language reflects and perpetuates societal discrimination against women.
Literary Theory & Criticism pt 3: Post-Structuralism & DeconstructionMansa Daby
Post-structuralism rejects absolute definitions and focuses on specific histories and contexts. It developed as a reaction to structuralism, which studied underlying structures but was seen as ignoring cultural influences. While post-structuralism retains structuralism's emphasis on language and coded systems, it argues that meaning is constructed differently for each reader and that texts have multiple interpretations. Major post-structuralist thinkers who developed these ideas include Barthes, Derrida, Foucault, and Kristeva.
Jean Baudrillard was a philosopher who developed the concept of hyperreality to describe how in postmodern societies, simulations and representations of reality have proliferated to such a degree that the distinction between reality and its representation is blurred. His theory of hyperreality suggests that through endless copying and circulation in media, signs and images can come to have more social influence and feel more "real" than the actual reality they are meant to represent. This document discusses how Baudrillard's theory of hyperreality and simulations can be applied to analyze various media representations and their potential effects on audiences' perceptions of reality.
Introduction : What is comparative literature today -JigneshPanchasara
Susan Bassnett's text discusses the evolving field of comparative literature. It notes that comparative literature involves studying connections between texts across cultures, languages and time periods. However, the definition and goals of comparative literature have shifted with the emergence of new theories like postcolonialism and developments in translation studies. Some argue comparative literature is not a single discipline but a broad field of interconnected study. Overall, the text examines how comparative literature has adapted to changes in literary criticism and globalization.
1. The document compares and contrasts the characters of Ali and Hussein from the novel Noor. Ali is portrayed as a strong, patient man who loves and supports his family, while Hussein is depicted as weaker, less supportive of his family and daughter Noor.
2. Key differences include Ali embracing Noor and her art while Hussein rejects her, and Ali searching for redemption from his past while Hussein grows impatient with Noor's condition. Overall Ali is presented as more caring, generous and kind-hearted towards his family than Hussein.
This document discusses narratology and its importance in understanding oral literatures and cultures. Narratology examines narrative structures and how they influence perception and construct meaning. It analyzes elements like plot, themes, language, and perspectives in stories. The document notes that narratology can provide insight into a community by examining individuals and cultures as reflected in their oral traditions. It also discusses gaps in studying the oral literatures of the Manuvos people, such as recording, translating, interpreting genres, and ensuring their participation and preservation of traditions for future generations. Narratology will help address these gaps and aid in understanding, translating, interpreting, and defining the Manuvos' oral stories to preserve their cultural identity, heritage
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Comparative study of ‘Robinson Crusoe’ and ‘Foe’.pptxNirali Dabhi
This document provides a comparative analysis of the novels "Robinson Crusoe" by Daniel Defoe and "Foe" by J.M. Coetzee. It introduces the authors and gives an overview of the works. The main characters of each novel are compared, including differences in how Friday is portrayed. Key similarities are discussed, such as both protagonists being marooned on a desert island. The novels are contrasted in their treatment of colonialism and silencing of marginalized voices.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
This document discusses language and gender as an area of study within sociolinguistics and applied linguistics. It examines varieties of speech associated with gender and social norms for gendered language use. Key researchers and their findings are outlined, including Otto Jespersen who studied gender differences in language, Robin Lakoff who identified a "women's register", and Jennifer Coates who categorized approaches to analyzing gendered speech. Specific speech practices associated with gender are also detailed, such as question use, turn-taking, topic changing, self-disclosure, and levels of politeness between men and women.
Derrida’s concept of decentering centre and suplimentarityPritiba Gohil
Hello, Friends here is my presentation of Course No. 7 :- Literary Theory & Criticism: The 20th Western & Indian Poetics – 2
Presentation Topic :- Derrida’s Concept of Decent ring Center And Suplimentarity
Jean Baudrillard was a philosopher whose theory of hyperreality analyzed how media simulations and representations can distort perceptions of reality in postmodern societies. His concept of the simulacrum holds that copies become more "real" than the original through endless reproduction. The document discusses how Baudrillard analyzed hyperreal representations in media like war coverage and advertising, creating unrealistic ideals that influence audiences. It also examines campaigns addressing gender and beauty norms, and debates around regulating children's exposure to sexualized media content.
1) Research has found differences in the language used by men and women, with women using more hedges, tag questions, and precise language that expresses uncertainty.
2) According to Robin Lakoff, women use both hedging and boosting language devices to lack confidence, with hedges expressing uncertainty and boosters trying to persuade others.
3) Studies have shown that in cross-sex interactions, men frequently interrupt women but women less frequently interrupt men, and men tend to dominate conversations more.
This document summarizes sexism in the English language. It discusses how feminism aims to establish equal rights for women, and traces the history of feminism through three waves focused on women's suffrage, legal rights, and representation. The document then analyzes how English contains sexist elements, like words containing "man" that can apply to both genders, and feminine forms created by adding suffixes to masculine nouns. Specific examples of sexism in words, titles, proverbs, and descriptions of gender roles are provided to demonstrate how language reflects and perpetuates societal discrimination against women.
Literary Theory & Criticism pt 3: Post-Structuralism & DeconstructionMansa Daby
Post-structuralism rejects absolute definitions and focuses on specific histories and contexts. It developed as a reaction to structuralism, which studied underlying structures but was seen as ignoring cultural influences. While post-structuralism retains structuralism's emphasis on language and coded systems, it argues that meaning is constructed differently for each reader and that texts have multiple interpretations. Major post-structuralist thinkers who developed these ideas include Barthes, Derrida, Foucault, and Kristeva.
Jean Baudrillard was a philosopher who developed the concept of hyperreality to describe how in postmodern societies, simulations and representations of reality have proliferated to such a degree that the distinction between reality and its representation is blurred. His theory of hyperreality suggests that through endless copying and circulation in media, signs and images can come to have more social influence and feel more "real" than the actual reality they are meant to represent. This document discusses how Baudrillard's theory of hyperreality and simulations can be applied to analyze various media representations and their potential effects on audiences' perceptions of reality.
Introduction : What is comparative literature today -JigneshPanchasara
Susan Bassnett's text discusses the evolving field of comparative literature. It notes that comparative literature involves studying connections between texts across cultures, languages and time periods. However, the definition and goals of comparative literature have shifted with the emergence of new theories like postcolonialism and developments in translation studies. Some argue comparative literature is not a single discipline but a broad field of interconnected study. Overall, the text examines how comparative literature has adapted to changes in literary criticism and globalization.
1. The document compares and contrasts the characters of Ali and Hussein from the novel Noor. Ali is portrayed as a strong, patient man who loves and supports his family, while Hussein is depicted as weaker, less supportive of his family and daughter Noor.
2. Key differences include Ali embracing Noor and her art while Hussein rejects her, and Ali searching for redemption from his past while Hussein grows impatient with Noor's condition. Overall Ali is presented as more caring, generous and kind-hearted towards his family than Hussein.
This document discusses narratology and its importance in understanding oral literatures and cultures. Narratology examines narrative structures and how they influence perception and construct meaning. It analyzes elements like plot, themes, language, and perspectives in stories. The document notes that narratology can provide insight into a community by examining individuals and cultures as reflected in their oral traditions. It also discusses gaps in studying the oral literatures of the Manuvos people, such as recording, translating, interpreting genres, and ensuring their participation and preservation of traditions for future generations. Narratology will help address these gaps and aid in understanding, translating, interpreting, and defining the Manuvos' oral stories to preserve their cultural identity, heritage
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
This document provides 10 tips for effective public speaking. The tips include knowing your subject matter well through research, understanding your audience and their expectations, practicing your presentation, relaxing and using positive body language, focusing on your key message, and gaining experience through regular public speaking. Mastering these elements can make one an effective public speaker in motivating, influencing, or informing an audience.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
2. Utangulizi
Ngoswe penzi kitovu cha uzembe ni tamthiliya maarufu sana ambayo imewahi
kuigizwa katika redio Tanzania na katika majukwaa mbalimbali hapa nchini. Ni
tamthiliya ambayo imeundwa vyema katika vipengele vya fani na maudhui.
Ameteua lugha nzuri na yenye mvuto kwa wasomaji yenye mbinu za kifasihi
zilizosheheni, muundo wenye mtiririko mzuri, unaoakisi kuanza kuchipuka kwa
matukio mpaka kilele cha matukio. Wahusika wamebeba vyema uhusika wao
mfano Ngoswe.
Ameibua dhamira kuhusu mambo yanayoigusa jamii ya leo kama vile uzembe,
madhara ya ulevi, uzembe kazini, suala la matabaka kati ya mjini na vijijini.
Mtazamo, falsafa na msimamo wake ni kulenga kuibadilisha jamii na kuleta
maendeleo.
5. Ukosefu wa Elimu
Mwandishi anatumia wahusika wake kuonesha tatizo la
kukosekana kwa elimu miongoni mwa wanajamii.
Mhusika Mzee mitomingi hajui kusoma. Hii inaonekana
pale Ngoswe anapomkabidhi kiitambulisho asome lakini
anashindwa.
Pia watoto katika kijiji kile hawaendi shule. Watoto wa
Mitomingi na wale wa Mama Mjane hawasomi bali
hufanya kazi za nyumbani na shamba tu.
Kwa upande mwingine, mhusika Jimbi kutofahamu tarehe
yake ya kuzaliwa ni ishara tosha kwamba katika kijiji hiki
watu hawafahamu kusoma na kuandika.
Mwisho wahusika kukataa kuhesabiwa kwa kuwa
waliamini kuwa kuhesabiwa ni kurogwa. Hii inadhihirisha
kuwa wananchi hawajui maana na umuhimu wa sensa.
6. Mapenzi ya Ulaghai
Mapenzi ya ulaghai ni yale ambayo
mmoja kati ya wapenzi anakuwa hana
ukweli katika uhusiano husika.
Mwandishi wa tamthiliya hii anaonesha
uwepo wa mapenzi ya ulaghai miongoni
mwa vijana.
Anamtumia mhusika Ngoswe
anayemlaghai Mazoea ili aweze kutoroka
kwa wazazi wake.
Katika jamii yetu kuna vijana walaghai wa
mapenzi.
7. Imani Potofu
Dhamira hii inaibuka kupitia Mama Mjane
anayeficha watoto ili wasihesabiwe.
Katika mawazo yake aliamini kuwa
wanaohesabu watu ni wachawi. Mbali na
hilo mhusika huyu aliamini kuwa
mumewe alikufa kwa kurogwa.
Imana hizi zipo miongoni mwa
wanajamii. Hapa mwandishi anaiakisi
jamii kwa jicho pevu na kuikosoa.
8. Athari za Ulevi
Wanaume wengi hujihusisha na vitendo vya ulevi
wa pombe.
Tabia hii inaathari nyingi kwa familia na jamii kwa
ujumla. Mwandishi anamtumia mhusika Ngoswe
kuonesha athari ya pombe.
Hii imejitokeza pale Ngoswe anapochoma
karatasi za kuhesabia watu.
Pia Ngoswe na Mitomingi kushindwa kufanya
kazi siku iliyofuata.
Hii inadhihirisha namna pombe inavyoweza kuwa
chachu ya uzembe na kurudisha maendeleo
nyuma.
9. Umasikini
Mfumo mzima wa maisha katika kijiji kile
unaonesha kuwa wanachi wa kijiji kile ni
masikini.
Kukosekana kwa elimu, kukosekana kwa
huduma za afya, shule kuwa mbali na
makazi ya watu na imani za kishirikina ni
moja ya mambo yanayoashiria umasikini.
Mwandishi anasawili hali halisi ya vijiji
vingi nchini Tanzania kupitia hali hizi.
10. Mapenzi Chanzo cha Uzembe
Dhamira hii inajidhihirisha kupitia mhusika
Ngoswe ambaye anapoteza takwimu za
serikali kwa sababu za mapenzi.
Vijana wengi kwenye jamii yetu hupoteza
muda mwingi kwenye masuala ya
mapenzi.
Mwandishi anawakumbusha vijana juu ya
hatari ya kuchanganya mambo mawili
wakti mmoja kupitia dhamira hii.
11. Nafasi ya Mwanamke katika Jamii
Mlezi wa familia: mhusika Mama Mazoea
na Mama Mainda
Kama kiumbe asiye na maamuzi sahihi:
kitendo cha mama Mazoea kushindwa
kuwakanya Mazoea na Ngoswe
alipowakuta Kisimani.
Kama kiumbe asiye na msimamo:
Mazoea
Kama mtu anayedharauliwa: Kitendo cha
Mitomingi kumfokea mke wake mbele ya
mgeni
12. Ndoa za Mitala
Utamaduni huu umebainishwa kupitia
familia nyingi ndani ya tamthiliya hii.
Mwandishi anaonesha kuwa wanaume
wengi katika kijiji kile wameoa mke zaidi
ya mmoja.
Hajaonesha wazi kuwa utamaduni huu ni
mbaya ingawa haushauriwi sana katika
jamii.
Hii ni kwa sababu za kiuchumi na kiafya
(kuenea kwa magonjwa ya zinaa)
13. Kukosekana kwa Huduma za Kijamii
Huduma muhimu za kijamii ni kama
shule na hospitali.
Katika mazungumzo ya wahusika
inabainishwa kwamba huduma za kijamii
kama shule, hospitali na huduma
nyingine za kijamii zipo mbali na makazi
ya watu.
Hii inadhihirisha ukosefu wa huduma za
kijamii jambo linaloashirikia umasikini
miongoni mwa wananchi katika kijiji kile.
15. Ujumbe
Mapenzi ni chanzo cha uzembe katika jamii yetu
Kukosekana kwa elimu kunarudisha nyuma
maendeleo
Imani za kishirikina ni adui wa maendeleo
Ni vizuri kufikiri kabla ya kutenda
Pombe ni adui mkubwa wa ustawi wa maendeleo
ya binadamu
Mshika mawili moja humponyoka
Njia ya muongo ni fupi. Mazoea kumdanganya
mama yake.
Kuwa na msimamo husaidia kuepuka vishawishi.
16. Migogoro
Mgogoro kati ya Jimbi na Mitomingi baada ya
jimbi kusahau siku ya kuhesabiwa akatuma
watoto shambani.
Mgogoro kati ya Ngoswe na Mzee Jimbi
wakigombania idadi ya miaka ya mzee Jimbi
Mgogoro kati ya mazoea na Mama Mazoea
baada ya mazoea kuchelewa kurudi mtoni
Mgogoro kati ya Mitomingi na wakinamama
wajane baada ya kuficha watoto wasihesabiwe
Mgogoro nafsia aliokuwa nao ngoswe baada
ya kumkaribisha mama Mazoea ndani akidhani
ni Mazoea.
Mgogoro nafsia aliokuwa nao Ngoswe baada
ya kuchoma karatasi kwa ulevi
17. Muendelezo…
Mgogoro kati ya Mzee Mitomingi na Mama
Mazoea baada ya Mazoea kuitwa na baba yake
kisha akadanganya kuwa alikuwa anamsuka mama
yake.
Mgogoro kati ya Mitomingi na wake zake baada ya
Mazoea kutoroshwa.
Mgogoro kati ya Ngoswe na Mitomingi
Mgogoro wa nafsi aliokuwa nao Ngoswe baada ya
karatasi zake kuchomwa moto.
Mgogoro kati ya Ngoswe, Mitomingi na Serikali.
Mgogoro wa kitabaka kati ya mijini na vijijini
18. Falsafa
Mwandishi anaamini kuwa ni vigumu kwa
mwandamu kuchanganya mapenzi na kazi.
Anafafanua kwamba katika hali kama hiyo
kimoja kitafanywa vizuri zaidi ya kingine.
Anamtumia mhusika Ngoswe aliyepoteza
hesabu ya watu kwa sababu za uzembe wa
kimapenzi.
Pia anaamini kuwa elimu inanafasi ya
kutatua matatizo ya kijamii. Jamii ikielimika
basi maendeleo yatatokea kwa urahisi.
19. Mtazamo na Msimamo
Mwandishi anaiangalia jamii katika
mtazamo yakinifu.
Anabainisha masuala yanayoigusa jamii
waziwazi.
Mwisho anapendekeza masuluhisho ya
masuala hayo.
Huu ni msimamo wa kimapinduzi kwa
kuwa unalengo la kujenga jamii mpya.