Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Language, society and culture are forms of social identity that indicate group membership. The science that studies language from a sociocultural perspective is called sociolinguistics. Sociolinguistics has strong connections to anthropology and sociology and investigates the crucial roles language plays and the varieties used by different social groups defined by class, education, age, and gender. These social factors can provoke differences in aspects of speech.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
This document provides information about phonology. It defines phonology as the study of the distinctive sound units of a language called phonemes, and the patterns of sounds in a language. Phonology is significant for producing and recognizing sound patterns in English. It is related to phonetics, which studies sound variations, while phonology focuses on sound patterns. Phonetics has three areas - articulatory phonetics examines sound production, acoustic phonetics sound transmission, and auditory phonetics sound perception. Articulatory phonetics further describes the vocal tract, articulators like the tongue, teeth and lips that produce sounds.
O documento discute aspectos linguísticos da Língua Brasileira de Sinais (LIBRAS). Apresenta as variações linguísticas da LIBRAS, incluindo variações regionais, sociais e históricas. Também discute a iconicidade e arbitrariedade dos sinais, estrutura gramatical da LIBRAS incluindo parâmetros principais e secundários.
This document provides an overview of vowels and vowel-like articulations from Ladefoged's A Course in Phonetics. It discusses cardinal vowels as reference points for describing vowel quality, including their definition based on tongue height, backness, and lip rounding. It also covers secondary cardinal vowels, advanced tongue root, rhotacized vowels, nasalization, and semivowels. Finally, it discusses four types of secondary articulatory gestures that can be added to vowels: palatalization, velarization, pharyngealization, and labialization.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Language, society and culture are forms of social identity that indicate group membership. The science that studies language from a sociocultural perspective is called sociolinguistics. Sociolinguistics has strong connections to anthropology and sociology and investigates the crucial roles language plays and the varieties used by different social groups defined by class, education, age, and gender. These social factors can provoke differences in aspects of speech.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
This document provides information about phonology. It defines phonology as the study of the distinctive sound units of a language called phonemes, and the patterns of sounds in a language. Phonology is significant for producing and recognizing sound patterns in English. It is related to phonetics, which studies sound variations, while phonology focuses on sound patterns. Phonetics has three areas - articulatory phonetics examines sound production, acoustic phonetics sound transmission, and auditory phonetics sound perception. Articulatory phonetics further describes the vocal tract, articulators like the tongue, teeth and lips that produce sounds.
O documento discute aspectos linguísticos da Língua Brasileira de Sinais (LIBRAS). Apresenta as variações linguísticas da LIBRAS, incluindo variações regionais, sociais e históricas. Também discute a iconicidade e arbitrariedade dos sinais, estrutura gramatical da LIBRAS incluindo parâmetros principais e secundários.
This document provides an overview of vowels and vowel-like articulations from Ladefoged's A Course in Phonetics. It discusses cardinal vowels as reference points for describing vowel quality, including their definition based on tongue height, backness, and lip rounding. It also covers secondary cardinal vowels, advanced tongue root, rhotacized vowels, nasalization, and semivowels. Finally, it discusses four types of secondary articulatory gestures that can be added to vowels: palatalization, velarization, pharyngealization, and labialization.
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
This document provides 10 tips for effective public speaking. The tips include knowing your subject matter well through research, understanding your audience and their expectations, practicing your presentation, relaxing and using positive body language, focusing on your key message, and gaining experience through regular public speaking. Mastering these elements can make one an effective public speaker in motivating, influencing, or informing an audience.
Hii ni Tahakiki ya msingi ya tamhiliya ya Orodha. Mwalimu au mwanafunzi wa kiswahili anaweza itumia kazi hii kujiandaa na mtihani wa kidato cha nne.
Inajumuisha sehemu ya maudhui tu. Sehemu ya pili ya uhakiki huu itajumuisha vipengele vya fani.
Karibu.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
2. Utangulizi
Katika mada za kidato cha kwanza
tumejifunza maana ya lugha.
Pia tumejifunza kuwa lugha ndio nyenzo
kuu ya mawasilianio.
Katika hayo tumeona pia kuwa lugha ina
uhusiano mkubwa sana na tamaduni za
jamii husika.
Leo tutaangalia jinsi lugha inavyotumika na
wasemaji wake wakizingitia mambo ya
msingi ya utumizi wa lugha.
Karibu.
3. Malengo
Kufikia mwisho wa somo
hili tunapaswa tuwe
tumejifunza mambo
yafuatayo;
Maana ya matumizi ya
lugha
Maana ya Muktadha
Mambo ya kuzingatia katika
matumizi ya lugha.
4. Maana ya Matumizi ya
Lugha
Matumizi ya lugha ni
hali ya kutumia lugha
kulingana na mila,
desturi na taratibu za
jamii husika.
Hii ina maana
kwamba lugha
hutumiwa na
watumiaji wake huku
wakizingatia tamaduni
za jamii yao.
5. Maana ya Muktadha
Neno muktadha lina
maana ya mazingira.
Katika matumiz ya
lugha, tunaposema
muktadha
tunamaanisha
mazingira ambapo
lugha hutumika.
Hii yuaweza kuwa;
shuleni, hospitalini au
mahakamani.
7. Uhusiano Baina ya
Wazungumzaji
Wazungumzaji huzingatia
uhusiano wao katika mazungumzo.
Kila mmoja huweka akilini mwake,
nani anazungumza naye.
Hii humsaidia mzungumzaji kuteua
misamiati mahususi na jinsi ya
kuongea.
Mfano; wewe mwanafunzi vile
unavyozungumza na mwalimu ni
tofauti na vile unavyozungumza
na mwanafunzi mwenzako.
Hapo huwa unazingatia uhusiano
baina yako na unayezungumza
naye.
Hivyo uhusiano baina ya
wazungumzaji huzingatiwa katika
matumizi ya lugha.
8. Muktadha/Mazingira
Mzungumzaji huzingatia
mazingira pale anapotumia
lugha.
Hii inamaana kuwa
mzungumzaji hujiuliza swali
kuwa niko wapi kabla hajatumia
lugha.
Wewe mwanafunzi kwa mfano,
jinsi unavyoongea unapokuwa
shuleni ni tofauti kabisa na jinsi
unavyoongea unapokuwa
kanisani au unapokuwa bwenini
au nyumbani.
Kwa hiyo; mazingira
humuelekeza mtu atumie lugha
namna gani.
9. Mada ya Mazungumzo
Mada ni jambo linalozungumziwa.
Mada ya mazungumzo
humuelekeza mtumiaji wa lugha
aina ya misamiati anayotakiwa
kutumia na namna ya kutumia
lugha.
Mfano kama mtu anazungumzia
masuala ya kisheria basi mtu
huyu hana budi kutumia misamiati
ya kisheria.
Kadharika yule anayezungumzia
,asuala ya kidini au kibiashara.
Hivyo matumizi ya lugha
huzingatia mada ya mazungumzo.
10. Lengo la Mzungumzaji/
Madhumuni
Mtu anapozungumza huwa
anakuwa na lengo fulani.
Mfano; anaweza
kuzungumza ili kuonya,
kufundisha, kufokea,
kufafanua au kusifia.
Lengo la mzungumzaji
ndilo hasa huwa
linamfanya achague aina
fulani ya misamiati na pia
jinsi atakavyoongea.
Hivyo lengo la
mzungumzaji huzingatiwa
katika matumizi ya lugha.
11. Kwa kuhitimisha
Hivyo, matumizi ya lugha hutawaliwa na ;
Mahusiano baina ya wazungumzaji (nani?)
Muktadha (wapi?)
Mada ya mazungumzo (nini?)
Madhumuni ya mazungumzo(kwa lengo
gani?)
Mambo haya yote ndio huzingatiwa katika
matumizi ya lugha kila siku.
12. Zoezi
Taja na fafanua mambo makuu manne
ambayo mzungumzaji huyazingatia
katika kuteuwa misamiati yake na
maumbo ya tungo zake.
Lugha ni kama bendera fuata upepo.
Fafanua kauli hii kwa kuonesha mambo
yanayotawala matumizi ya lugha.