Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
«Cloud Publishing» ist die dritte grosse Welle der Publishing-Technologie. Was heisst das für die Praxis? Nach der klassischen Satzanlage kam Desktop Publishing. Und jetzt – dank der immer besseren Vernetzung – werden komplett neue Arbeitsweisen möglich: Wir nennen es Cloud Publishing.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
«Cloud Publishing» ist die dritte grosse Welle der Publishing-Technologie. Was heisst das für die Praxis? Nach der klassischen Satzanlage kam Desktop Publishing. Und jetzt – dank der immer besseren Vernetzung – werden komplett neue Arbeitsweisen möglich: Wir nennen es Cloud Publishing.
The document discusses the concepts of gender, sex, and socialization. It traces the evolution of approaches to promoting gender equality from Women in Development (WID) to Gender and Development (GAD) to the current approach of Gender Mainstreaming (GM). WID focused on women's practical needs but reinforced stereotypes. GAD examined unequal power relations and gender relations but was difficult to implement. GM aims to institutionalize gender sensitivity by integrating a gender perspective into all policies from the start. However, effectively applying gender mainstreaming remains a challenge.
This document provides an introduction to literature in English, covering key topics such as the definition of literature, importance of literature, kinds of literature (fiction and non-fiction), and elements of fiction such as setting, plot, characters, theme, style and language. It defines literature as written works valued as artworks, especially novels, plays and poems. The importance of literature is that it improves language skills, provides information about other cultures, and entertains readers.
This document outlines the annual Gender and Development (GAD) plan and budget for Baesa Elementary School for fiscal year 2012-2013. It identifies 8 programs/activities/projects to promote GAD, including orienting school personnel on GAD, designating a GAD coordinator and committee, creating a GAD data system, revising school plans to include GAD, informing stakeholders, organizing lecture forums, film showings, and a symposium. Each program lists the gender issue addressed, objective, activity, target dates, and performance indicators. A budget of 22,800 pesos is allocated across the 8 programs/activities/projects.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
This document provides 10 tips for effective public speaking. The tips include knowing your subject matter well through research, understanding your audience and their expectations, practicing your presentation, relaxing and using positive body language, focusing on your key message, and gaining experience through regular public speaking. Mastering these elements can make one an effective public speaker in motivating, influencing, or informing an audience.
Hii ni Tahakiki ya msingi ya tamhiliya ya Orodha. Mwalimu au mwanafunzi wa kiswahili anaweza itumia kazi hii kujiandaa na mtihani wa kidato cha nne.
Inajumuisha sehemu ya maudhui tu. Sehemu ya pili ya uhakiki huu itajumuisha vipengele vya fani.
Karibu.
2. MAENDELEO NI NINI?
Ni hali ya kupata ustawi
Ni hali ya kutoka katika hatua moja kuelekea hatua
nyingine bora zaidi.
Fasihi tunayoiona leo imepitia tanuru la mabadiliko.
Hebu tutafiti Fasihi imeanzia wapi,Chanzo chake nini?
3. Chimbuko la fasihi
Mwanzo wa fasihi umejadiliwa na wataalamu wengi na
kuweza kutoa nadharia mbalimbali kuhusu chimbuko
la fasihi
Kwa mujibu wa Mulokozi (1996), kuna nadharia kuu
nne ulimwenguni zinazojadili suala la chimbuko la
sanaa kwa ujumla.
Mitazamo hii ndio msingi wa kujadili chimbuko la
fasihi kadharika.
4. Fasihi imetokana na Mwigo (uigaji)
Ni nadharia ya kale sana.
Waasisi wa nadharia hii ni Wagiriki; Plato katika kitabu
chake cha Republic na Aristotle katika kitabu chake cha
Poetics hawa wakiwa wasambazaji wakuu wa nadharia hii.
Waasisi wa nadharia hii wanadai kuwa fasihi imetokana na
mwigo/uigaji.
Kwamba, binadamu alianza sanaa kwa kuwa muigaji wa
maumbile yaliyomzunguka.
Hivyo, kazi za fasihi za mwanzo mara nyingi zilijaribu
kusawiri vitu vilivyomo katika mazingira kama vile
wanyama,ndege, miti na watu.
5. Plato anaendelea, anaifananisha dhana ya mwigo na
uungu.
Anasema vyote binadamu wanavyoona na kuiga ni
kuiga ni mwigo wa vitu halisi vilivyoko kwa miungu.
Hivyo, kuiga mwigo ni uongo. Sanaa ya binadamu
ambayo huiga maumbile ambayo kimsingi ni mwigo
wa uhalisia ni uongo hivyo si busara kuziamini.
6. Udhaifu wa nadharia ya mwigo
Katika nadharia hii waasisi wamezingatia zaidi
kipengele cha mwigo au namna msanii anayaiga
mazingira yake na kuyaelezea wakasahau kipengere
cha ubunifu.
Kama wasanii wangeiga mazingira yao tu kazi zao
zingepwaya sana. Zisingekuwa na tofauti na picha ya
fotografia.
Kawaida watu huvutiwa na sanaa na fasihi kwa ujumla
kwa sababu ina ubunifu na imebeba mambo ambayo
wahayapati katika uzoefu wao na maisha yao ya kila
siku.
7. Fasihi imetokana na Sihiri
Sihiri ni uwezo au nguvu ya kimiujiza inayotumiwa na
watu kusababisha matokeo fulani.
Nadaria hii hudai kuwa chimbuko la sanaa ni haja ya
mwandamu kukabiliana na mazingira yake.
Katika hatua ya mwanzo ya maendeleo ya
mwanadamu haja hiyo haikukamilika kwa sababu
uwezo wake wa sayansi na teknolojia ulikuwa chini
sana.
Hivyo sihiri na imani katika miujiza ilichukua nafasi
ya sayansi na teknolojia.
8. Hivyo sanaa na fasihi vilichipuka kama vyombo vya sihiri.
Mfano; wawindaji wanapojiandaa kwenda kuwinda
wanachora picha ya mnyama waliyemtaka kumwinda kisha
wanachoma hiyo picha kwa mkuki. Wakiamini hilo jambo
litatokea wakienda kuwinda.
Kadharika nyimbo zilitumika katika mchakato wa sihiri.
Nyimbo hizo ndio ushairi ule wa mwanzo.
9. Udhaifu wa nadharia ya sihiri
Nadharia hii inachanganya dhima ya fasihi
kiutamaduni na chimbuko la fasihi.
Kwamba hayo yanayoelezewa ni dhima ya fasihi
kiutamaduni na hayaoneshi chimbuko la fasihi.
Kadharika sihiri ni amali moja ya jamii kati ya amali
nyingi zilizotumia fasihi.
10. Fasihi imetokana na dhana ya
Kidhanifu
Waanzilishi na watetezi wa nadharia hii hudai kuwa
chimbuko la fasihi ni Mungu.
Nadharia hii kongwe sana kupata kuwepo kwani ina
mashabiki kabla na baada ya Yesu.
Wanafalsafa wa mwanzo kabisa kama; Socrates, Plato
na Aristotle wanaiunga mkono nadharia hii.
Watetezi wa nadharia hii wanadai kuwa Mungu ndiye
msanii mkuu, huitunga kazi ya fasihi na kisha
kumtunuku mwanadamu kuiwasilisha kwa wanadamu
wengine.
11. Hii ina maana watunzi wa fasihi hupokea sanaa ikiwa
imeshipwa na kuivishwa na Mungu.
F. Nkwera, na John Ramadhanini mifano thabiti ya
wahakiki wa fasihi ya kiswahili wanaounga mkono
dhana hii.
Nkwera katika moja ya insha yake anasema:
“Fasihi ni sanaaambayo huanzia kwa muumba,
humfikia mtu katika vipengele mbalimbali-ni hekima
ambayo mtu anashushiwa apate kumtambua muumba
wake”
Athari ya nadharia hii ipo kwenye kuulezea ushairi wa
kiswahili ambapo baadhi hudai una namkono wa
Mungu kwa sababu mawazo ya watunzi yana uzito wa
kustaajabisha.
12. Udhaifu wa Nadharia ya Kidhanifu
Mtazamo huu umepotoka kwa kuwa unamtenganisha
msanii na jamii yake.
Unajenga utabaka baina ya wanajamii na wasanii kwa
kumfanya msanii ajione mtu wa ajabu ambaye yupo
karibu na Mungu.
Nadharia hii inachanganya imani na taaluma
Haina ushahidi wa kisayansi
Inapendekeza masuluhish0 ya matatizo wanadamu nje
ya dunia hii (mazingira yanayomzunguka)
13. Fasihi imetokana na Nadharia
Yakinifu.
Nadharia hii inafafanua chimbuko la fasihi kupitia dhana
yakinifu.
Wanaotetea mtazamo huu wanadai uwepo wa binadamu
ndio uwepo wa fasihi. Na chanzo cha fasihi ni sawa na
chanzo cha binadamu mwenyewe.
Iwe chanzo cha binadamu ni kuumbwa au mabadiliko
kuanzia chembe hai ambayo imepitia mabadiliko kadhaa
ya makuzi hata kufikia mtu.
Binadamu alioanishwa na kazi,katika utendaji wa kazi
binadamu alishirikiana na wenzake ambao pia aliwasiana
nao kwa lugha
Lugha ambayo iliibua fasihi, fasihi ikawa kama kichoche0
cha utendaji kazi.
14. Kwa kadri maendeleo ya uzalishaji mali
yalivyoongezeka na kumpa mwanadamu muda wa
ziada kujiburudisha na kustarehe kwa njia ya sanaa
fasihi ilijitenga na kazi za uzalishaji.
Fasihi ikawa ni sanaa ya burudani au shughuli
maalumu za kijamii kama vile sherehe na ibada
mbalimbali.
Hivyo chimbuko la fasihi ni juhudu za mwanadamu za
kuyadhibiti mazingira yake ya kimaumbile na kijamii.
Nadharia hii inakubalika na wataalamu wengi wa
fasihi duniani na hata wa fasihi ya kiswahili
15. Marejeleo
Masebo. J.A & Nyambari.N (2011) Nadharia ya Fasihi
Kidato cha tano na Sita.Nyambari Nyangwine
Publishers.
Mussa.S.A &Christopher.S.M (2012)
Kiswahili2:Nadharia na Tahakiki ya Kifasihi.STC
publisher.