Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa mwingereza. Wakati wa utawala huo shughuli za utawala, kidini na biashara zilikuwapo zikiendelea.
Uenezaji wa dini ya kikristo uliendelea chini ya wamisionari ambapo kama ilivyokuwa kwa tawala zilizopita walifungua shule, hospitali, vyuo vya ufundi ambako lugha ya kiswahili ilitumika kama lugha ya kufundishia.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
This document discusses morphological language classification and typology. It describes early 19th century typologies that classified languages based on their degree of inflection and synthesis. Key parameters discussed include the expression of grammatical meaning, word versus sentence complexity, and the degree of fusion between affixes and roots. The document outlines the typological frameworks of Schlegel, Schlegel, and Humboldt, and discusses Sapir's reduction of typology to the parameters of fusion and synthesis. Examples are provided to illustrate isolating, synthetic, agglutinative and fusional languages. The relationship between morphological typology and language change is also discussed.
Dokumen tersebut membahas tentang tipologi morfologi yang meliputi proses morfologis seperti afiksasi, reduplikasi, modifikasi internal, konversi dan derivasi balik. Juga membahas jenis bahasa berdasarkan sistem pembentukan kata seperti bahasa isolat, sintetis yang terdiri atas bahasa aglutinatif dan fusional, serta bahasa polisintetis. Selain itu dibahas pula arti kata, makna leksikal dan sem
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
Sarufi Matamshi (Fonolojia). Hii ni sehemu ya mada ndogo katika mada kuu ya Matumizi ya Sarufi kwa kidato cha Tano na Sita nchini Tanzania. Jisikie huru kutoa maoni yako na ushauri. Nitafurahi kama ukinipigia simu au ukinitumia barua pepe kunikosoa au kunirekebisha pale nilipokosea. Asante na karibu sana.
Hii ni sehemu ndogo ya mada kuu ambayo ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. Lengo la somo hili ni kumfafanulia mwanafunzi mtindo wa lugha unaotumika katika mazingira maalum.
This document discusses morphological language classification and typology. It describes early 19th century typologies that classified languages based on their degree of inflection and synthesis. Key parameters discussed include the expression of grammatical meaning, word versus sentence complexity, and the degree of fusion between affixes and roots. The document outlines the typological frameworks of Schlegel, Schlegel, and Humboldt, and discusses Sapir's reduction of typology to the parameters of fusion and synthesis. Examples are provided to illustrate isolating, synthetic, agglutinative and fusional languages. The relationship between morphological typology and language change is also discussed.
Dokumen tersebut membahas tentang tipologi morfologi yang meliputi proses morfologis seperti afiksasi, reduplikasi, modifikasi internal, konversi dan derivasi balik. Juga membahas jenis bahasa berdasarkan sistem pembentukan kata seperti bahasa isolat, sintetis yang terdiri atas bahasa aglutinatif dan fusional, serta bahasa polisintetis. Selain itu dibahas pula arti kata, makna leksikal dan sem
Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
This document provides 10 tips for effective public speaking. The tips include knowing your subject matter well through research, understanding your audience and their expectations, practicing your presentation, relaxing and using positive body language, focusing on your key message, and gaining experience through regular public speaking. Mastering these elements can make one an effective public speaker in motivating, influencing, or informing an audience.
Hii ni Tahakiki ya msingi ya tamhiliya ya Orodha. Mwalimu au mwanafunzi wa kiswahili anaweza itumia kazi hii kujiandaa na mtihani wa kidato cha nne.
Inajumuisha sehemu ya maudhui tu. Sehemu ya pili ya uhakiki huu itajumuisha vipengele vya fani.
Karibu.
Uhakiki wa riwaya ya usiku utakapokwisha. Katika vipande-picha hivi utajifunza kuhakiki riwaya hii iliyoandikwa kwa ustadi wa juu na mwanishi Mbunda Msokile.
3. 1. pijini
Pijini ni zao la lugha mbili zilizokutana.
Pijini huweza kuzuka mahala ambapo kuna makundi
mawili au zaidi na kila kundi likiwa na lugha yake.
Ili kurahisisha mawasilano lugha hizi huchanganyika na
kuingiliana.
Jambo hili huweza kusababisha kuzuka kwa lugha ya
mchanganyiko ambayo inaeleweka na makundi yote
mawili.
Hivyo pijini huwapa watu uwezo wa kuwasiliana.
4. Sifa za Pijini
Huundwa baada ya muingiliano wa lugha mbili tofauti.
Haina mzungumzaji mzawa, kila mtu huwa na lugha
mama (lugha ya kwanza)
Huibuka kukidhi mahitaji maalum, kama biashara
Muundo wa maneno na tungo vimerahisishwa ili
kuwezesha mawasiliano.
Haina misamiati ya kutosha
Pijini ikikomaa na ikapata wazungumzaji wazawa huitwa
Krioli.
5. Aina za pijini
Loreto Todd anapambanua aina mbili za Pijini;
i.Pijini pana
ii.Pijini finyu
6. Pijinifinyu
Hii ni aina ya pijini ambayo huibuka katika muktadha wa
dharura sana baina ya jamii za watu wanaoongea lugha
mbili tofauti.
Huwa na miundo sahili, hasa ya kisintaksia. Aghalabu
huambatisha ishara za kimwili kama macho, mikono na
viungo vingine vya mwili.
Idadi kubwa ya misamiati hutoka kwenye lugha tawala.
Huhusisha lugha mbili tu, na uhusiano baina ya jamii
zenye lugha hizo unapokwisha, basi pijini hufa
7. pijinipana
Aina hii ya pijini huibuka kutokana na kudumishwa kwa
pijini.
Matumizi ya pijini finyu yanapoimarika na kupanuka
hujenga lugha ambayo si thabiti lakini ni bora zaidi ya
pijinifinyu.
Pijinipana ikipata wazungumzaji wazawa,basi huwa
krioli.
8. Wataalamu kama; Bishop Steere, Bwana Taylor na Dkt.R. Reusch
wanadai kuwa lugha ya kiswahili ilitokana na mchanganyiko wa
lugha za Kiarabu na lugha za pwani ya Afrika Mashariki.
Madai yanayotolewa na wataalamu hao ni kwamba kwa kipindi cha
karne nyingi wafanyabiashara wa kiarabu walikuwa wanakuja
Afrika Mashariki kufanya biashara.
Katika kuendesha biashara zao ilibidi wenyeji wa pwani na hao
waarabu waunde namna fulani ya lugha ili waweze kuwasiliana.
Lugha ambayo inajumuisha lugha zao zote; kiarabu na Lugha ya
kibantu.
Lugha hiyo ndio kiswahili.
9. Krioli
Ni Pijini iliyokomaa.
Watu wanaozungumza pijini wanaweza kuishi pamoja
wakazoeana na kuoana, kisha wakazaa watoto.
Watoto wakakuta pijini ikizungumzwa kama lugha ya
wazazi wao.
Kwao hao watoto hii itakuwa lugha ya kwanza.
Ikifika hatua hii, lugha hii huitwa krioli.
10. Sifa za krioli
Huwa na msamiati mipana.
Huwa na miundo mipana ya kisintaksia na kimofolojia.
Wakati mwingine fonolojia yake inaanza kuwa thabiti
kutokana na upanuzi wa matumizi yake na dhima yake
katika jamii.
Huwa na wasemaji wengi zaidi ya Pijini. Hii ni kwa
sababu krioli ina wasemaji wazawa.
Inakuwa imewekwa kwenye maandishi mbalimbali kama
vile vitabu na majarida.
Hufanyiwa uchambuzi katika luwaza zote; mofolojia,
fonolojia, sintaksia na semantiki.
11. Baadhi ya wataalamu hudai kuwa kiswahili ni lugha ya jamii ya
vizalia waliotokana na mwingiliano kati ya waarabu na wabantu.
Kutokana na mwingiliano huu kulizaliwa watoto ambao ni
mchanganyiko wa damu.
Watoto hao ndio waswahili,hawa hawakuwa waarabu wala
wabantu.
Wataalamu wanaounga mkono nadharia hii ni F. Johnson,
Freeman Genville,Hamo Sassoon na B. Krumm.
Wao wanadai kuwa kiswahili ni Pijini iliyopata kukomaa, ikapata
vizalia na kupindukia kuwa krioli.
12. Udhaifu/dosari ya mtazamo huu
Mtazamo huu umeshindwa kuitaja kinaganaga hiyo lugha ya
kibantu iliyochangamana na Kiarabu kuunda Kiswahili. Na kama ipo
ndio Kiswahili chenyewe.
Mtazamo huu umesisitiza zaidi juu ya msamiati wa kiswahili wenye
asili ya kiarabu kama kigezo chake na kutupilia mbali vipengele
kama vile matamshi,maumbo na miundo ya sentensi.
Kiswahili kingekuwa pijini au krioli inayotokana na lugha ya kibantu
na kiarabu, basi sintaksia yake ingefanana na ile ya kiarabu
13. Pia, kama Kiswahili kingekuwa ni zao la uchangamano wa Kiarabu
na lugha ya Kibantu basi asilimia hamsini ya misamiati ya kiswahili
ingekuwa na asili ya kiarabu.
Tofauti na ilivyo ambapo:
Msamiati wa kibantu- 60%
Msamiati wa Kiarabu-30%
Lugha nyingine -10%
Tukizingatia yote haya, tunaona kwamba hatuna sababu ya
kutushawishi kukubaliana na nadhariatete hii.
Kiswahili kinabaki kuwa ni lugha yenye asili ya Kibantu
14. Marejeleo
Massamba.D.P,Kihore et al (2012)Sarufi Miundo ya
Kiswahili Sanifu: Sekondari na Vyuo. TUKI. DUP. Dar es
Salaam
Masuko. C.S (2010)Kiswahili 1;Nadharia ya lugha kidato
cha tano na sita. STC publishers. Dar es Salaam.
Nyambari.N & Masebo .J.A (2012) Nadharia ya Lugha:
Kiswahili 1. Nyambari Nyangwine Publishers. Dar es
Salaam.
James.J &Mdunda F (2012)Kiswahili Kidatocha Tano na
Sita. Oxford University Press. Dar es salaam.