SlideShare a Scribd company logo
FASIHI YA KISWAHILI
KARATASI YA PILI
320/2
TAMTHILIA
Tamthilia ni nini?
• Tamthilia ni utanzu wa fasihi ambao huwasilishwa kupitia mazungumzo
na uigizaji ili kuwasilisha ujumbe wake. Kulingana na Wamitila (2007)
huu ni utanzu ambao huandikwa kwa mtindo wa mazungumzo ya
wahusika.
• Nkwera (h.t) anaelezea kuwa tamthilia ni: “Tamthilia ni mchezo wa
kuigiza au utungo wa kisanaa ambao huweka wazo fulani katika
matendo na mazungumzo” (Nkwera, h.t)
• Tamthilia (pia: Tamthiliya au Tamthilia-Mchezo) ni moja kati ya
sehemu ya utunzi wa hadithi au fasihi simulizi (ngano au hadithi)
ambayo mara nyingi tunaona kupitia katika makumbi au televisheni,
kusikia kupitia katika redio.
• Tamthilia au mchezo mara nyingi huwa mazunguzo baina ya watu, na
kwa kawaida huwa mchezo hatuutizami katika TV tu, bali hata kuna
watu wengine hufuatilia kwa kupitia maandiko yenye tamthiliya hizo
na kuzielewa vyema.
• Watu tunaowaona wanafanya tamthilia ni waigizaji; katika ukumbi
wa maonyesho husimama juu ya jukwaa na kuanza kutoa burudani
huku watu wakiwaangalia (watazamaji) wanaweza wakawaona vyema
kabisa.
• Mwongozaji ana wasaidia waigizaji waigizaji kufanya kazi zao vyema,
au anawaeleza namna ya mchezo jinsi vile unavyotakiwa kuchezwa.
AINA ZA TAMTHILIA
Kuna aina nyingi ya michezo au tamthiliya, kama vile;
1. Tamthilia Cheshi/Komedia - ni mchezo wa kuchekesha. Maudhui
yake huundwa kwa lengo la kutumbuiza hadhira.
2. Tamthilia Simanzi/Trejedia - ni mchezo uliojaa huzuni, mikasa,
mikosi, visa vya kutisha na aghalabu baadhi ya wahusika wakuu hufa.
1
3. Tamthilia Simanzi-Cheshi/Trejikomedia - ni mchezo wenye visa
vya kuhuzunisha lakini pia unawasilisha kwa njia ya kuchekesha.
Aghalabu wahusika hutumia kejeli kuchekesha hadhira ijapokuwa kuna
shida fulani inayowakabili. Baadhi ya wahusika wakuu hukumbwa na
mikasa.
Mfano: Kifo Kisimani (na Kithaka Wa Mberia)
4. Tamthilia Tatizo - ni mchezo wa kuigiza ambapo wahusika huwa na
tatizo/shida kuu wanalotaka kulitatua. Tamthilia hii aghalabu hutumia
mbinu ya taharuki ili kuwafanya hadhira wawe makini ili kuona jinsi
tatizo hilo litakavyoishia.
5. Tamthilia ya Domestiki Drama - ni mchezo unaoangazia maisha
ya kawaida ya watu kama vile familia, urafiki, ndoa n.k
6. Tamthilia ya Melodrama - ni mchezo ambao husisitiza sifa za
wahusika kwa kuunda wahusika kuunda wahusika wenye sifa
zilizopigiwa chuku na zisizobadilika. Tamthilia hizi huundwa kwa
namna inayowafanya hadhira wawapende wahusika fulani na
wawachukie wahusika wengine. Kwa mfano:
• Shujaa ambaye hushinda kila mara.
• Wahusika wabaya ambao hubakia wabaya kutoka mwanzo
hadi mwishi.
• Wahusika wazuri ambao hufanya vitendo vizuri kutoka
mwanzo hadi mwisho.
• Wapenzi ambao hata wakitenganishwa bado watapendana
• Aghalabu huishia kwa raha mustarehe.
7. Tamthilia Tanzia /Trejidia - huu ni mchezo wa huzuni tu, kwa
sababu ya mikosi na nuksi iliyomo. Mara nyingi aina ya tamthilia hii
huwa na mwisho mbaya au wa huzuni na wenye kutisha sana.
MAUDHUI YA TAMTHILIA
Maudhui ya tamthilia yanagusia vipengele vya: migogoro, ujumbe,
falsafa, mtazamo, msimamo, na dhamira.
DHAMIRA YA TAMTHILIA
Matumizi ya tamthilia ni pamoja na: kuelimisha jamii; (katika masuala
mbalimbali kama vile: uchumi, siasa, maadili, nk.) kuburudisha jamii,
kuonya na kukosoa jamii, kukuza lugha, kurithisha amali za jamii (mila
na desturi za jamii husika), nk.
2
3

More Related Content

What's hot

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
KAZEMBETVOnline
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
shahzadebaujiti
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
shahzadebaujiti
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
MussaOmary3
 
CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
mussa Shekinyashi
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
mussa Shekinyashi
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
mussa Shekinyashi
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
shahzadebaujiti
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
mussa Shekinyashi
 
TAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANITAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANI
shahzadebaujiti
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
mussa Shekinyashi
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
mussa Shekinyashi
 
Tamthilia MAMA Ee
Tamthilia MAMA EeTamthilia MAMA Ee
Tamthilia MAMA Ee
Ignatius Ntungwa
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
shahzadebaujiti
 
Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3
mussa Shekinyashi
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihi
KAZEMBETVOnline
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
shahzadebaujiti
 
Semantiki
SemantikiSemantiki

What's hot (20)

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
 
TAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANITAFSIRI NA UKALIMANI
TAFSIRI NA UKALIMANI
 
Maana ya maana!
Maana ya maana!Maana ya maana!
Maana ya maana!
 
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penziUhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
Uhakiki wa Tamthiliya ya Ngoswe penzi
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Tamthilia MAMA Ee
Tamthilia MAMA EeTamthilia MAMA Ee
Tamthilia MAMA Ee
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3Mjengo wa tungo 3
Mjengo wa tungo 3
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihi
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

Viewers also liked

KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
Ignatius Ntungwa
 
UTAFITI WA KIELIMU
UTAFITI  WA KIELIMUUTAFITI  WA KIELIMU
UTAFITI WA KIELIMU
TUKUYU TEACHERS COLLEGE
 
Paper 336 s.2 mid term 2015
Paper 336 s.2 mid term 2015Paper 336 s.2 mid term 2015
Paper 336 s.2 mid term 2015
Ignatius Ntungwa
 
The Standard: Enock Maregesi
The Standard: Enock MaregesiThe Standard: Enock Maregesi
The Standard: Enock Maregesi
Enock Maregesi
 
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
SlideShare
 
What to Upload to SlideShare
What to Upload to SlideShareWhat to Upload to SlideShare
What to Upload to SlideShare
SlideShare
 
Getting Started With SlideShare
Getting Started With SlideShareGetting Started With SlideShare
Getting Started With SlideShare
SlideShare
 

Viewers also liked (8)

KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
KISWAHILI Paper 336/1 O'Level Exams.
 
UTAFITI WA KIELIMU
UTAFITI  WA KIELIMUUTAFITI  WA KIELIMU
UTAFITI WA KIELIMU
 
Paper 336 s.2 mid term 2015
Paper 336 s.2 mid term 2015Paper 336 s.2 mid term 2015
Paper 336 s.2 mid term 2015
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
The Standard: Enock Maregesi
The Standard: Enock MaregesiThe Standard: Enock Maregesi
The Standard: Enock Maregesi
 
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
2015 Upload Campaigns Calendar - SlideShare
 
What to Upload to SlideShare
What to Upload to SlideShareWhat to Upload to SlideShare
What to Upload to SlideShare
 
Getting Started With SlideShare
Getting Started With SlideShareGetting Started With SlideShare
Getting Started With SlideShare
 

Tamthilia ni nini?

  • 1. FASIHI YA KISWAHILI KARATASI YA PILI 320/2 TAMTHILIA Tamthilia ni nini? • Tamthilia ni utanzu wa fasihi ambao huwasilishwa kupitia mazungumzo na uigizaji ili kuwasilisha ujumbe wake. Kulingana na Wamitila (2007) huu ni utanzu ambao huandikwa kwa mtindo wa mazungumzo ya wahusika. • Nkwera (h.t) anaelezea kuwa tamthilia ni: “Tamthilia ni mchezo wa kuigiza au utungo wa kisanaa ambao huweka wazo fulani katika matendo na mazungumzo” (Nkwera, h.t) • Tamthilia (pia: Tamthiliya au Tamthilia-Mchezo) ni moja kati ya sehemu ya utunzi wa hadithi au fasihi simulizi (ngano au hadithi) ambayo mara nyingi tunaona kupitia katika makumbi au televisheni, kusikia kupitia katika redio. • Tamthilia au mchezo mara nyingi huwa mazunguzo baina ya watu, na kwa kawaida huwa mchezo hatuutizami katika TV tu, bali hata kuna watu wengine hufuatilia kwa kupitia maandiko yenye tamthiliya hizo na kuzielewa vyema. • Watu tunaowaona wanafanya tamthilia ni waigizaji; katika ukumbi wa maonyesho husimama juu ya jukwaa na kuanza kutoa burudani huku watu wakiwaangalia (watazamaji) wanaweza wakawaona vyema kabisa. • Mwongozaji ana wasaidia waigizaji waigizaji kufanya kazi zao vyema, au anawaeleza namna ya mchezo jinsi vile unavyotakiwa kuchezwa. AINA ZA TAMTHILIA Kuna aina nyingi ya michezo au tamthiliya, kama vile; 1. Tamthilia Cheshi/Komedia - ni mchezo wa kuchekesha. Maudhui yake huundwa kwa lengo la kutumbuiza hadhira. 2. Tamthilia Simanzi/Trejedia - ni mchezo uliojaa huzuni, mikasa, mikosi, visa vya kutisha na aghalabu baadhi ya wahusika wakuu hufa. 1
  • 2. 3. Tamthilia Simanzi-Cheshi/Trejikomedia - ni mchezo wenye visa vya kuhuzunisha lakini pia unawasilisha kwa njia ya kuchekesha. Aghalabu wahusika hutumia kejeli kuchekesha hadhira ijapokuwa kuna shida fulani inayowakabili. Baadhi ya wahusika wakuu hukumbwa na mikasa. Mfano: Kifo Kisimani (na Kithaka Wa Mberia) 4. Tamthilia Tatizo - ni mchezo wa kuigiza ambapo wahusika huwa na tatizo/shida kuu wanalotaka kulitatua. Tamthilia hii aghalabu hutumia mbinu ya taharuki ili kuwafanya hadhira wawe makini ili kuona jinsi tatizo hilo litakavyoishia. 5. Tamthilia ya Domestiki Drama - ni mchezo unaoangazia maisha ya kawaida ya watu kama vile familia, urafiki, ndoa n.k 6. Tamthilia ya Melodrama - ni mchezo ambao husisitiza sifa za wahusika kwa kuunda wahusika kuunda wahusika wenye sifa zilizopigiwa chuku na zisizobadilika. Tamthilia hizi huundwa kwa namna inayowafanya hadhira wawapende wahusika fulani na wawachukie wahusika wengine. Kwa mfano: • Shujaa ambaye hushinda kila mara. • Wahusika wabaya ambao hubakia wabaya kutoka mwanzo hadi mwishi. • Wahusika wazuri ambao hufanya vitendo vizuri kutoka mwanzo hadi mwisho. • Wapenzi ambao hata wakitenganishwa bado watapendana • Aghalabu huishia kwa raha mustarehe. 7. Tamthilia Tanzia /Trejidia - huu ni mchezo wa huzuni tu, kwa sababu ya mikosi na nuksi iliyomo. Mara nyingi aina ya tamthilia hii huwa na mwisho mbaya au wa huzuni na wenye kutisha sana. MAUDHUI YA TAMTHILIA Maudhui ya tamthilia yanagusia vipengele vya: migogoro, ujumbe, falsafa, mtazamo, msimamo, na dhamira. DHAMIRA YA TAMTHILIA Matumizi ya tamthilia ni pamoja na: kuelimisha jamii; (katika masuala mbalimbali kama vile: uchumi, siasa, maadili, nk.) kuburudisha jamii, kuonya na kukosoa jamii, kukuza lugha, kurithisha amali za jamii (mila na desturi za jamii husika), nk. 2
  • 3. 3