Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
Uwasilishaji huu ni juu ya uhuru wa mtunzi wa kazi za fasihi. Ni nukuu muhimu kwa ajili ya walimu na wanafunzi wa kidato cha tano na sita nchini Tanzania
Lahaja za Kiswahili zimekuwa zikichanganya watumiaji wengi na watu wengi wanaojifunza lugha ya Kiswahili, hivyo matini hii imekusudia kuondoa mkanganyiko huo.
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
Karibu
Huu ni uwasilishaji wa nadharia ya Pijini na Krioli. Kwa upande mwingine uwasilishaji huu unatathimini asili ya kiswahili katika mrejeo wa nadharia hii.
Mahususi kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita.
Hii ni makala ya uwasilishaji wa mada ya kukua na kuenea kwa Kiswahili. Mada hii itawafaa sana wanafunzi wa kidato cha tatu na nne katika shule za sekondari nchini Tanzania.
Uhakiki huu ni wa msingi wa Tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe. Umezingatia zaidi kipengele cha maudhui.
Uhakiki huu umetumia picha kutoka katika mazingira yaliyotuzunguka ili kukazia maarifa kwa wanafunzi.
Mwalimu au mwanafunzi wa fasihi anakaribishwa kutumia uwasilishaji huu.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza nitafuta kwa mawasiliano hayo hapo juu.
Uwasilishaji huu unajikita katika kufafanua chimbuko na asili ya Kiswahili. Umejitosheleza kwa mujibu wa mukhtasari wa Kiswahili kwa kidato cha tatu na nne.
Kwa maswali zaidi au kama unahitaji kujifunza na mimi usisite kunipigia kwa namba unazoziona hapo.
Mada ya Mjengo wa Tung ni moja kati kati ya mada yenye changamoto miongoni mwa wanfunzi wa kidato cha tatu.
Hapa mwanafunzi atapata fursa ya kujikumbusha aliyojifunza na mwalimu darasani.
asante.
UTUNGAJI WA MASHAIRI
- Mashairi ya kale yanajulikana kama mashairi ya kimapokeo mashairi haya hutungwa kwa kufuata kanuni zifuatazo: -
- Kutokana na kanuni hizo shairi la kimapokeo litakuwa na
KICHWA
Shairi lazima liwe na kichwa, kichwa cha shairi hutokana na jambo linalojadiliwa katika shairi. Kichwa hicho huandikwa kwa kutumia maneno machache yasiyozidi matano.
BETI
This document contains instructions and questions for a Kiswahili exam given at St. Mary's College in Uganda. It is divided into three sections.
Section A provides a passage on greetings, manners, and respect in Kiswahili. It lists common greetings and their responses. Students are asked questions about greetings and to provide words showing manners and respect.
Section B asks students to conjugate sentences into the past tense, translate sentences between Kiswahili and English, and write days of the week in Kiswahili.
Section C requires students to write the occupations of people provided, name body parts in Kiswahili, and give the names of fruit trees in Kisw
Each month, join us as we highlight and discuss hot topics ranging from the future of higher education to wearable technology, best productivity hacks and secrets to hiring top talent. Upload your SlideShares, and share your expertise with the world!
Not sure what to share on SlideShare?
SlideShares that inform, inspire and educate attract the most views. Beyond that, ideas for what you can upload are limitless. We’ve selected a few popular examples to get your creative juices flowing.
SlideShare is a global platform for sharing presentations, infographics, videos and documents. It has over 18 million pieces of professional content uploaded by experts like Eric Schmidt and Guy Kawasaki. The document provides tips for setting up an account on SlideShare, uploading content, optimizing it for searchability, and sharing it on social media to build an audience and reputation as a subject matter expert.
1. FASIHI YA KISWAHILI
KARATASI YA PILI
320/2
TAMTHILIA
Tamthilia ni nini?
• Tamthilia ni utanzu wa fasihi ambao huwasilishwa kupitia mazungumzo
na uigizaji ili kuwasilisha ujumbe wake. Kulingana na Wamitila (2007)
huu ni utanzu ambao huandikwa kwa mtindo wa mazungumzo ya
wahusika.
• Nkwera (h.t) anaelezea kuwa tamthilia ni: “Tamthilia ni mchezo wa
kuigiza au utungo wa kisanaa ambao huweka wazo fulani katika
matendo na mazungumzo” (Nkwera, h.t)
• Tamthilia (pia: Tamthiliya au Tamthilia-Mchezo) ni moja kati ya
sehemu ya utunzi wa hadithi au fasihi simulizi (ngano au hadithi)
ambayo mara nyingi tunaona kupitia katika makumbi au televisheni,
kusikia kupitia katika redio.
• Tamthilia au mchezo mara nyingi huwa mazunguzo baina ya watu, na
kwa kawaida huwa mchezo hatuutizami katika TV tu, bali hata kuna
watu wengine hufuatilia kwa kupitia maandiko yenye tamthiliya hizo
na kuzielewa vyema.
• Watu tunaowaona wanafanya tamthilia ni waigizaji; katika ukumbi
wa maonyesho husimama juu ya jukwaa na kuanza kutoa burudani
huku watu wakiwaangalia (watazamaji) wanaweza wakawaona vyema
kabisa.
• Mwongozaji ana wasaidia waigizaji waigizaji kufanya kazi zao vyema,
au anawaeleza namna ya mchezo jinsi vile unavyotakiwa kuchezwa.
AINA ZA TAMTHILIA
Kuna aina nyingi ya michezo au tamthiliya, kama vile;
1. Tamthilia Cheshi/Komedia - ni mchezo wa kuchekesha. Maudhui
yake huundwa kwa lengo la kutumbuiza hadhira.
2. Tamthilia Simanzi/Trejedia - ni mchezo uliojaa huzuni, mikasa,
mikosi, visa vya kutisha na aghalabu baadhi ya wahusika wakuu hufa.
1
2. 3. Tamthilia Simanzi-Cheshi/Trejikomedia - ni mchezo wenye visa
vya kuhuzunisha lakini pia unawasilisha kwa njia ya kuchekesha.
Aghalabu wahusika hutumia kejeli kuchekesha hadhira ijapokuwa kuna
shida fulani inayowakabili. Baadhi ya wahusika wakuu hukumbwa na
mikasa.
Mfano: Kifo Kisimani (na Kithaka Wa Mberia)
4. Tamthilia Tatizo - ni mchezo wa kuigiza ambapo wahusika huwa na
tatizo/shida kuu wanalotaka kulitatua. Tamthilia hii aghalabu hutumia
mbinu ya taharuki ili kuwafanya hadhira wawe makini ili kuona jinsi
tatizo hilo litakavyoishia.
5. Tamthilia ya Domestiki Drama - ni mchezo unaoangazia maisha
ya kawaida ya watu kama vile familia, urafiki, ndoa n.k
6. Tamthilia ya Melodrama - ni mchezo ambao husisitiza sifa za
wahusika kwa kuunda wahusika kuunda wahusika wenye sifa
zilizopigiwa chuku na zisizobadilika. Tamthilia hizi huundwa kwa
namna inayowafanya hadhira wawapende wahusika fulani na
wawachukie wahusika wengine. Kwa mfano:
• Shujaa ambaye hushinda kila mara.
• Wahusika wabaya ambao hubakia wabaya kutoka mwanzo
hadi mwishi.
• Wahusika wazuri ambao hufanya vitendo vizuri kutoka
mwanzo hadi mwisho.
• Wapenzi ambao hata wakitenganishwa bado watapendana
• Aghalabu huishia kwa raha mustarehe.
7. Tamthilia Tanzia /Trejidia - huu ni mchezo wa huzuni tu, kwa
sababu ya mikosi na nuksi iliyomo. Mara nyingi aina ya tamthilia hii
huwa na mwisho mbaya au wa huzuni na wenye kutisha sana.
MAUDHUI YA TAMTHILIA
Maudhui ya tamthilia yanagusia vipengele vya: migogoro, ujumbe,
falsafa, mtazamo, msimamo, na dhamira.
DHAMIRA YA TAMTHILIA
Matumizi ya tamthilia ni pamoja na: kuelimisha jamii; (katika masuala
mbalimbali kama vile: uchumi, siasa, maadili, nk.) kuburudisha jamii,
kuonya na kukosoa jamii, kukuza lugha, kurithisha amali za jamii (mila
na desturi za jamii husika), nk.
2