SlideShare a Scribd company logo
1 of 3
UANDISHI WA MATANGAZO
Matangazo ni habari za kijamii katika vyombo vya habari kwa lengo la kushawishi au kutoa
taarifa kwa jamii ili kununua, kuuza au kupata taarifa iliyokusudiwa kwa muhtasari. Matangazo
hulenga watu mahsusi kwa jamii
Dhima za matangazo katika jamii
 Kutangaza bidhaa mbalimbali
 Kutoa tahadhari kabla ya tukio linalokusudiwa kutekelezwa siku za usoni
 Kuelimisha jamii – hutumika kama kutoa ujuzi, stadi, maarifa mbalimbali: mfano;
kuhusu UKIMWI, Malaria, Kipindupindu n.k
 Kusaidia kuboresha shughuli za kiuchumi
Mambo muhimu katika uandishi wa matangazo
 Kichwa cha habari (kuandikwa kwa herufi kubwa)
 Kufanya aina ya biashara (kama matangazo ya biashara)/ aina za bidhaa
 Mahali inapopatikana hiyo bidhaa au huduma
 Kufanya njia ya mawasiliano
UANDISHI WA MATANGAZO MAGAZETINI
Vitu vya kuzingatia
 Kutilia mkazo dhumuni la tangazo hilo
 Kutumia lugha rahisi yenye sentensi fupi zenye tamathali za semi na mbinu nyingine za
kisanaa
 Kutumia vivumishi vyenye kuvutia na kushawishi walengwa
 Kutumia lugha ya kibunifu
Mfano wa matangazo
UANDISHI WA INSHA ZA KISANAA
INSHA- Ni kifungu cha habari chenye aya moja au zaidi. Insha hizo zinaweza kuwa za kisanaa
au zisizo za kisanaa.
Insha za kisanaa-Hizi ni Insha ambazo hutumia vipengele mbalimbali vya fasihi katika
kuwasilisha ujumbe. Mfano nahau, methali, misemo au tamathali za semi huweza kutumika
Mfano wa Insha za kisanaa
Mzee toboa mpenda haki
-Mzee toboa ni dereva wa teksi kwa miaka mingi jijini Dar es Salaam kutokana na uzoefu wa
kazi yake, Uaminifu, Uzungumzaji na Ucheshi kwa wateja wake aliweza kujipatia chumo nono
la kila siku. Wenzanke walimwonea gere mzee huyo, maana hata anapokuwa katulia katika
kundi la madereva akisubiri abiria wa kukodi teksi wengi humtaka yeye. Alikuwa na Umri wa
miaka arobaini au hamsini hivi, mwenye Umbo la wastani si mnene wala si mwembamba aidha
si mrefu wala mfupi kichwa chake hakikuwa kikubwa lakini kilijaa busara. hulka njema na
hekima yake kubwa vilimfanya aheshimiwe na watu.
Japokuwa hakusoma sana, mzee Toboa alijaliwa kuijua siasa ya nchi yake barabara. Alikuwa na
tabia ya kuongea na kila mtu, watoto, vijana,wazee, viongozi matajiri na makabwela, kwa
maneno mengine mzee Toboa alikuwa mcheshi na mwema. Kwa tabia yake hiyo aliweza kujua
matukio mbalimbali mitaani kwa urahisi zaidi. Yeye hakupenda Uovu wala dhuluma. Alisubiri
kwa hamu siku ambapo maovu yangetoweka kabisa .
Mzee Toboa aliweza kukemea watoto wenye tabia mbaya kwani aliweza kuwaambia Asiyesikia
la Mkuu huvunjika guu, kwa maana kwamba Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mzee Toboa aliweza kufanikiwa kujua kila Ovu lililokuwa likitokea kwani aliweza kuchukua
hatua harakaharaka.
Uandishi wa matangazo

More Related Content

What's hot

What's hot (20)

MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Mjengo wa tungo
Mjengo wa tungoMjengo wa tungo
Mjengo wa tungo
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
Mofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahiliMofolojia ya kiswahili
Mofolojia ya kiswahili
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za FasihiUhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
Uhuru wa Mtunzi wa Kazi za Fasihi
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
phonology Chapter 8
phonology Chapter 8 phonology Chapter 8
phonology Chapter 8
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Consonants
ConsonantsConsonants
Consonants
 
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojiaUhusiano fonolojia vs mofolojia
Uhusiano fonolojia vs mofolojia
 
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Language _linguistics
Language  _linguisticsLanguage  _linguistics
Language _linguistics
 
The rules of phonology ms dela torre
The rules of phonology   ms dela torreThe rules of phonology   ms dela torre
The rules of phonology ms dela torre
 
Language domain final
Language domain finalLanguage domain final
Language domain final
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
Sociolinguistics
SociolinguisticsSociolinguistics
Sociolinguistics
 
English as an indo European language PPT
English as an indo European language PPTEnglish as an indo European language PPT
English as an indo European language PPT
 

More from MussaOmary3

Writing using appropriate language content and style
Writing using appropriate language content and styleWriting using appropriate language content and style
Writing using appropriate language content and styleMussaOmary3
 
Writing formal letters
Writing formal lettersWriting formal letters
Writing formal lettersMussaOmary3
 
Using appropriate language content and style speaking
Using appropriate language content and style speakingUsing appropriate language content and style speaking
Using appropriate language content and style speakingMussaOmary3
 
Reading literary works
Reading literary worksReading literary works
Reading literary worksMussaOmary3
 
Reading for information from different sources
Reading for information from different sourcesReading for information from different sources
Reading for information from different sourcesMussaOmary3
 
Listening for information from different sources
Listening for information from different sourcesListening for information from different sources
Listening for information from different sourcesMussaOmary3
 
Classification of living things
Classification of living thingsClassification of living things
Classification of living thingsMussaOmary3
 
Quantitative analysis and volumetric analysis
Quantitative analysis and volumetric analysisQuantitative analysis and volumetric analysis
Quantitative analysis and volumetric analysisMussaOmary3
 
Ionic theory and electrolysis
Ionic theory and electrolysisIonic theory and electrolysis
Ionic theory and electrolysisMussaOmary3
 
Hardness of water
Hardness of waterHardness of water
Hardness of waterMussaOmary3
 
Extraction of metals
Extraction of metalsExtraction of metals
Extraction of metalsMussaOmary3
 
Compounds of metals
Compounds of metalsCompounds of metals
Compounds of metalsMussaOmary3
 
Chemical kinetics, equilibrium and energetics
Chemical kinetics, equilibrium and energeticsChemical kinetics, equilibrium and energetics
Chemical kinetics, equilibrium and energeticsMussaOmary3
 
Chemical equation
Chemical equationChemical equation
Chemical equationMussaOmary3
 

More from MussaOmary3 (20)

Movement
MovementMovement
Movement
 
Excretion
ExcretionExcretion
Excretion
 
Coordination 1
Coordination  1Coordination  1
Coordination 1
 
Writing using appropriate language content and style
Writing using appropriate language content and styleWriting using appropriate language content and style
Writing using appropriate language content and style
 
Writing formal letters
Writing formal lettersWriting formal letters
Writing formal letters
 
Using appropriate language content and style speaking
Using appropriate language content and style speakingUsing appropriate language content and style speaking
Using appropriate language content and style speaking
 
Reading literary works
Reading literary worksReading literary works
Reading literary works
 
Reading for information from different sources
Reading for information from different sourcesReading for information from different sources
Reading for information from different sources
 
Listening for information from different sources
Listening for information from different sourcesListening for information from different sources
Listening for information from different sources
 
Reproduction 1
Reproduction  1Reproduction  1
Reproduction 1
 
Coordination 2
Coordination  2Coordination  2
Coordination 2
 
Classification of living things
Classification of living thingsClassification of living things
Classification of living things
 
Quantitative analysis and volumetric analysis
Quantitative analysis and volumetric analysisQuantitative analysis and volumetric analysis
Quantitative analysis and volumetric analysis
 
Mole concept
Mole conceptMole concept
Mole concept
 
Ionic theory and electrolysis
Ionic theory and electrolysisIonic theory and electrolysis
Ionic theory and electrolysis
 
Hardness of water
Hardness of waterHardness of water
Hardness of water
 
Extraction of metals
Extraction of metalsExtraction of metals
Extraction of metals
 
Compounds of metals
Compounds of metalsCompounds of metals
Compounds of metals
 
Chemical kinetics, equilibrium and energetics
Chemical kinetics, equilibrium and energeticsChemical kinetics, equilibrium and energetics
Chemical kinetics, equilibrium and energetics
 
Chemical equation
Chemical equationChemical equation
Chemical equation
 

Uandishi wa matangazo

  • 1. UANDISHI WA MATANGAZO Matangazo ni habari za kijamii katika vyombo vya habari kwa lengo la kushawishi au kutoa taarifa kwa jamii ili kununua, kuuza au kupata taarifa iliyokusudiwa kwa muhtasari. Matangazo hulenga watu mahsusi kwa jamii Dhima za matangazo katika jamii  Kutangaza bidhaa mbalimbali  Kutoa tahadhari kabla ya tukio linalokusudiwa kutekelezwa siku za usoni  Kuelimisha jamii – hutumika kama kutoa ujuzi, stadi, maarifa mbalimbali: mfano; kuhusu UKIMWI, Malaria, Kipindupindu n.k  Kusaidia kuboresha shughuli za kiuchumi Mambo muhimu katika uandishi wa matangazo  Kichwa cha habari (kuandikwa kwa herufi kubwa)  Kufanya aina ya biashara (kama matangazo ya biashara)/ aina za bidhaa  Mahali inapopatikana hiyo bidhaa au huduma  Kufanya njia ya mawasiliano UANDISHI WA MATANGAZO MAGAZETINI Vitu vya kuzingatia  Kutilia mkazo dhumuni la tangazo hilo  Kutumia lugha rahisi yenye sentensi fupi zenye tamathali za semi na mbinu nyingine za kisanaa  Kutumia vivumishi vyenye kuvutia na kushawishi walengwa  Kutumia lugha ya kibunifu Mfano wa matangazo
  • 2. UANDISHI WA INSHA ZA KISANAA INSHA- Ni kifungu cha habari chenye aya moja au zaidi. Insha hizo zinaweza kuwa za kisanaa au zisizo za kisanaa. Insha za kisanaa-Hizi ni Insha ambazo hutumia vipengele mbalimbali vya fasihi katika kuwasilisha ujumbe. Mfano nahau, methali, misemo au tamathali za semi huweza kutumika Mfano wa Insha za kisanaa Mzee toboa mpenda haki -Mzee toboa ni dereva wa teksi kwa miaka mingi jijini Dar es Salaam kutokana na uzoefu wa kazi yake, Uaminifu, Uzungumzaji na Ucheshi kwa wateja wake aliweza kujipatia chumo nono la kila siku. Wenzanke walimwonea gere mzee huyo, maana hata anapokuwa katulia katika kundi la madereva akisubiri abiria wa kukodi teksi wengi humtaka yeye. Alikuwa na Umri wa miaka arobaini au hamsini hivi, mwenye Umbo la wastani si mnene wala si mwembamba aidha si mrefu wala mfupi kichwa chake hakikuwa kikubwa lakini kilijaa busara. hulka njema na hekima yake kubwa vilimfanya aheshimiwe na watu. Japokuwa hakusoma sana, mzee Toboa alijaliwa kuijua siasa ya nchi yake barabara. Alikuwa na tabia ya kuongea na kila mtu, watoto, vijana,wazee, viongozi matajiri na makabwela, kwa maneno mengine mzee Toboa alikuwa mcheshi na mwema. Kwa tabia yake hiyo aliweza kujua matukio mbalimbali mitaani kwa urahisi zaidi. Yeye hakupenda Uovu wala dhuluma. Alisubiri kwa hamu siku ambapo maovu yangetoweka kabisa . Mzee Toboa aliweza kukemea watoto wenye tabia mbaya kwani aliweza kuwaambia Asiyesikia la Mkuu huvunjika guu, kwa maana kwamba Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Mzee Toboa aliweza kufanikiwa kujua kila Ovu lililokuwa likitokea kwani aliweza kuchukua hatua harakaharaka.