SlideShare a Scribd company logo
1 of 2
TAMTHILIA MAMA EE
Na ARI KATINI MWACHOFI
UTANGULIZI
Hii ni tamthilia iliyoandikwa na Ari Katini Mwachofi. Mchezo huu
unasawiri matatizo yaliyomo katika taasisi ya ndoa katika jamii.
Ari Katini Mwachofi katika tamthilia Mama Ee anashughulikia uhusiano
wa kijinsia katika taasisi ya ndoa katika jamii yenye taasubi za kiume.
Mtoto anapozaliwa bila shaka lazima alie. Anakua akinung’unika na
anpokuwa mtu mzima yamkini huaga dunia kabla hajatosheka.
Kwenye utangulizi wa Mama Ee tunapata wanawakewatatu.
Wa kwanza ni binti mwenye umri wa miaka kumi na sita, na ni
mjamzito, amevaa matambara na amejitwika mikono kichwani huku
akilia.
Picha tuliyoipata inadhihirisha mazingira ya kukosa tumaini na hali ya
umaskini.Mwanamke wa pili ilisemekana kuwa alikuwa amevalia vizuri,
amebeba mtoto mgongoni lakini pia alikuwa akilia kwa uchungu,
kuashiria kuwa ana mambo yanayomhangaisha kisaikolojia licha ya
kuwa na uwezo.
Mwanamke wa tatu alikuwa amebeba mtoto mgongoni, kitambaa kikuu
begani na tita la kuni kichwani. Hii ilituonyesha taswira ya mwanamke
miongoni mwa jamii nyingi zenye utamaduni wa Kiafrika.
Mama Ee ni tamthilia ya masaibu katika ndoa ya Mwavita na Kinaya.
Mwavita aliolewa kasha akatumbukia kwenye lindi la matatizo
yanayopatikana kwenye baadhi ya ndoa nyingi katika jamii zetu.
Pia ni kilio cha Tenge dadake Mwavita aliyekuwa amepachikwa mimba
na George, jambo lililosababisha kutimuliwa kwa Tenge kutoka
shuleni.
Mwandishi alitumia shairi la tarbia katika utangulizi wa kazi yake.
Shairi hili ni ngonjera na pia aliwatumia wanawake hawa watatu
akidhamiria kutuonyesha kuwa duniani kuna matabaka ya wenye
nguvu na wanyonge.
Tabaka la wanyonge linajipa moyo wa subira, kutia juhudi na kupinga
unyonyaji, kutafuta uhuru, kuungana kudai haki, kujitegemea na
kukataa kutwikwa majukumu kupita kiasi, kugandamizwa, kupuuzwa
na kupigwa.
Katika kazi yake mwanamke amechorwa kuwa mwenye nguvu na
mwanamapinduzi huku akipigania hadhi yake.
Mwanamke anapigania ; haki, hadhi, usawa wa jinsia, uwezo wa
kujiamulia na elimu ya kujikomboa. Kwa mfano Mwavita na Tenge
wanakataa kuonewa na mwanamume. Hii ni kwa sababu wanaishi
katika jamii ya nomoni inayoleta hali ya umme katika kiume kama njia
ya kuwaonea wanawake.
MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA MAMA EE
• MATATIZO YA UNYUMBA (Marital Problems)
• UBAGUZI WA KIJANA WA JINSIA YA KIKE (DISCRIMINATION
ANGAIST THE FEMALE YOUTH)
• NAFASI YA MILA NA DESTURI KATIKA NDOA (ROLE OF
CULTURAL PRACTICES IN MARRIAGE)
• UMOJA WA WANAWAKE (THE UNITY OF WOMEN)
•

More Related Content

What's hot

Drama and its types
Drama and its typesDrama and its types
Drama and its typesAbu Bashar
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiKAZEMBETVOnline
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIshahzadebaujiti
 
Identity short film analysis
Identity   short film analysisIdentity   short film analysis
Identity short film analysisSarah Ghile
 
next to of course god america i by EE Cummings
next to of course god america i by EE Cummingsnext to of course god america i by EE Cummings
next to of course god america i by EE Cummingswww.MrSedani.co.uk
 
Elements of drama: imitation & dialogue
Elements of drama: imitation & dialogueElements of drama: imitation & dialogue
Elements of drama: imitation & dialogueMichael Mora
 
Mother to son (1)
Mother to son (1)Mother to son (1)
Mother to son (1)josieex33
 
Movie Review Writing
Movie Review WritingMovie Review Writing
Movie Review Writingnstearns
 
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...cthurmanita
 
Week IV: The Elements of Theatre
Week IV: The Elements of TheatreWeek IV: The Elements of Theatre
Week IV: The Elements of TheatreThomas C.
 
Elements of Poetry
Elements of PoetryElements of Poetry
Elements of Poetrynylinor
 
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIUHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIshahzadebaujiti
 
Centaurs myths and legends
Centaurs   myths and legendsCentaurs   myths and legends
Centaurs myths and legendsqmsqms
 
Soliloquy and monologues
Soliloquy and monologuesSoliloquy and monologues
Soliloquy and monologuesbmiller7210
 

What's hot (20)

Drama and its types
Drama and its typesDrama and its types
Drama and its types
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
 
Identity short film analysis
Identity   short film analysisIdentity   short film analysis
Identity short film analysis
 
next to of course god america i by EE Cummings
next to of course god america i by EE Cummingsnext to of course god america i by EE Cummings
next to of course god america i by EE Cummings
 
Elements of Creative Drama
Elements of Creative DramaElements of Creative Drama
Elements of Creative Drama
 
Elements of drama: imitation & dialogue
Elements of drama: imitation & dialogueElements of drama: imitation & dialogue
Elements of drama: imitation & dialogue
 
Mother to son (1)
Mother to son (1)Mother to son (1)
Mother to son (1)
 
Epic
EpicEpic
Epic
 
Movie Review Writing
Movie Review WritingMovie Review Writing
Movie Review Writing
 
The types of drama
The types of dramaThe types of drama
The types of drama
 
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...
The Importance and Meaning of Dream in Langston Hughes' "Dream (A Deferred Dr...
 
Week IV: The Elements of Theatre
Week IV: The Elements of TheatreWeek IV: The Elements of Theatre
Week IV: The Elements of Theatre
 
Elements of Poetry
Elements of PoetryElements of Poetry
Elements of Poetry
 
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIUHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
 
Figures of Speech
Figures of SpeechFigures of Speech
Figures of Speech
 
Centaurs myths and legends
Centaurs   myths and legendsCentaurs   myths and legends
Centaurs myths and legends
 
Soliloquy and monologues
Soliloquy and monologuesSoliloquy and monologues
Soliloquy and monologues
 

Tamthilia MAMA Ee

  • 1. TAMTHILIA MAMA EE Na ARI KATINI MWACHOFI UTANGULIZI Hii ni tamthilia iliyoandikwa na Ari Katini Mwachofi. Mchezo huu unasawiri matatizo yaliyomo katika taasisi ya ndoa katika jamii. Ari Katini Mwachofi katika tamthilia Mama Ee anashughulikia uhusiano wa kijinsia katika taasisi ya ndoa katika jamii yenye taasubi za kiume. Mtoto anapozaliwa bila shaka lazima alie. Anakua akinung’unika na anpokuwa mtu mzima yamkini huaga dunia kabla hajatosheka. Kwenye utangulizi wa Mama Ee tunapata wanawakewatatu. Wa kwanza ni binti mwenye umri wa miaka kumi na sita, na ni mjamzito, amevaa matambara na amejitwika mikono kichwani huku akilia. Picha tuliyoipata inadhihirisha mazingira ya kukosa tumaini na hali ya umaskini.Mwanamke wa pili ilisemekana kuwa alikuwa amevalia vizuri, amebeba mtoto mgongoni lakini pia alikuwa akilia kwa uchungu, kuashiria kuwa ana mambo yanayomhangaisha kisaikolojia licha ya kuwa na uwezo. Mwanamke wa tatu alikuwa amebeba mtoto mgongoni, kitambaa kikuu begani na tita la kuni kichwani. Hii ilituonyesha taswira ya mwanamke miongoni mwa jamii nyingi zenye utamaduni wa Kiafrika. Mama Ee ni tamthilia ya masaibu katika ndoa ya Mwavita na Kinaya. Mwavita aliolewa kasha akatumbukia kwenye lindi la matatizo yanayopatikana kwenye baadhi ya ndoa nyingi katika jamii zetu. Pia ni kilio cha Tenge dadake Mwavita aliyekuwa amepachikwa mimba na George, jambo lililosababisha kutimuliwa kwa Tenge kutoka shuleni. Mwandishi alitumia shairi la tarbia katika utangulizi wa kazi yake. Shairi hili ni ngonjera na pia aliwatumia wanawake hawa watatu akidhamiria kutuonyesha kuwa duniani kuna matabaka ya wenye nguvu na wanyonge. Tabaka la wanyonge linajipa moyo wa subira, kutia juhudi na kupinga unyonyaji, kutafuta uhuru, kuungana kudai haki, kujitegemea na kukataa kutwikwa majukumu kupita kiasi, kugandamizwa, kupuuzwa na kupigwa.
  • 2. Katika kazi yake mwanamke amechorwa kuwa mwenye nguvu na mwanamapinduzi huku akipigania hadhi yake. Mwanamke anapigania ; haki, hadhi, usawa wa jinsia, uwezo wa kujiamulia na elimu ya kujikomboa. Kwa mfano Mwavita na Tenge wanakataa kuonewa na mwanamume. Hii ni kwa sababu wanaishi katika jamii ya nomoni inayoleta hali ya umme katika kiume kama njia ya kuwaonea wanawake. MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA MAMA EE • MATATIZO YA UNYUMBA (Marital Problems) • UBAGUZI WA KIJANA WA JINSIA YA KIKE (DISCRIMINATION ANGAIST THE FEMALE YOUTH) • NAFASI YA MILA NA DESTURI KATIKA NDOA (ROLE OF CULTURAL PRACTICES IN MARRIAGE) • UMOJA WA WANAWAKE (THE UNITY OF WOMEN) •