SlideShare a Scribd company logo
1 of 754
Download to read offline
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA
  ULIMWENGU WA ROHO
         KWA
 NGUVU YA MAOMBI
         Mwalimu,
        Mgisa Mtebe
        0713 497 654
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA
  ULIMWENGU WA ROHO
         KWA
 NGUVU YA MAOMBI

     2Petro 1:3-4
2Petro 1:3-4
 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,
nguvu zake za) uungu umetupatia
mambo yote tunayohitaji kwa ajili
  ya uzima na uchaji wa Mungu,
 kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa
  utukufu Wake na wema Wake
          mwenyewe.
2Petro 1:3-4
4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia
  ahadi Zake kuu na za thamani
   kupitia mambo haya, ili kwa
    kupitia hayo mpate kuwa
   washiriki wa tabia za uungu,
  mkiokolewa na uharibifu (au
  upotovu) ulioko duniani kwa
    sababu ya tamaa mbaya.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
        Summary
     KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
        Summary
     KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
        Summary
     KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
3. KUMSIFU NA KUMWABUDU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
          Mwanzo 1:26,28
 26 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia
 na vyote tulivyoviumba juu ya uso
              wa dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Mwanzo 1:26-18
28 Mungu akaumba Mwanaume na
  Mwanamke, akawaweka katika
  bustani ya dunia, akawaambia,
 zaeni mkaongezeke na kuitawala
        (kuitiisha) dunia.
KUSUDI LA KANISA
       Ufunuo 5:9-10
9 Wewe Mungu … unastahili
  heshima zote, kwa sababu
ulichinjwa na kwa damu yako
  ukamnunulia Mungu watu
 kutoka katika kila kabila, kila
lugha, kila jamaa na kila taifa.
        (yaani kanisa).
KUSUDI LA KANISA

      Ufunuo 5:9-10
10 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa
kumtumikia Mungu wetu, nao
     wanamiliki dunia.’’
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
      Ufunuo 5:8-10
 Ufalme       Makuhani



Kutawala        Ibada
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
 Ndio maana tunapokumbuka
   kuzaliwa kwa Bwana Yesu
 duniani, (kama Adam wa pili),
   tunakumbushwa kwamba,
alizaliwa kwanza kama Mfalme
   na sio Kuhani, ili kurudisha
  mamlaka ya Mungu duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Kwahiyo, kusudi la awali la
    Mungu ni kumwezesha
 mwanadamu kuitawala dunia
    (pamoja na Mungu) ili
 mwanadamu awe na maisha
mazuri yatakayomwezesha kuwa
   chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      Zaburi 8:4-8
Mwanadamu ni nani hata
  umemwangalia hivi?
Umemfanya mdogo kidogo
   tu kuliko Mungu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

         Zaburi 8:4-8
ukamvika taji ya Utukufu na
heshima, ukamtawaza juu ya
kazi za mikono yako, ukavitia
  vitu vyote chini ya miguu
           yake…
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
               Zaburi 8:4-8
Hilo neno “juu ya” = (Over All)
                    = Mkuu
                    = Mtawala
   “Mashal”         = Mfalme
     (Kiebrania)    = Mwakilishi
                    = Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Mathayo 16:18-19
 18 Na milango ya kuzimu
haitaweza kulishinda kanisa
    langu nitakalolijenga
     (kwa mfumo huu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Mathayo 16:18-19
  19 Kwa maana nitawapa
funguo za Ufalme, na mambo
   mtakayoyafunga (ninyi)
   yatakuwa yamefungwa
        (mbinguni);
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Mathayo 16:18-19
      19 … na mambo
 mtakayoyafungua (ninyi)
 yatakuwa yamefunguliwa
       (mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      Zaburi 115:16
Mbingu ni mbingu za Bwana,
    bali nchi amewapa
        wanadamu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Kwahiyo, kusudi la awali la
    Mungu ni kumwezesha
 mwanadamu kuitawala dunia
    (pamoja na Mungu) ili
 mwanadamu awe na maisha
mazuri yatakayomwezesha kuwa
   chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Ili kumwezesha mwanadamu
kuitawala dunia pamoja na Mungu,
  Mungu alimuumbia mfumo wa
uungu katika utu wake wa ndani, ili
 atende kazi duniani kwa kutumia
          Nguvu za Mungu.
         (Mwanzo 1:26-28)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
      Mwanzo 1:26-18

    Kwanini ni lazima
    Kuitawala Dunia?
        (kuitiisha)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?


     Kuna kuna upinzani
       wa adui shetani
    (vita na mapambano)
VITA VYA ROHONI
    Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
7 “Kulikuwa na vita mbinguni,
Malaika Mkuu wa majeshi ya
   Mungu, Malaika Mikaeli,
   akapigana na yule joka …
VITA VYA ROHONI
     Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
 3 “ambaye ni baba wa uongo,
 na mkiani mwake anakokota
    theluthi (1/3) ya nyota za
mbinguni (malaika wa Mungu) …
VITA VYA ROHONI
      Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
  7 “Kulikuwa na vita mbinguni,
katika ya Mikaeli, malaika Mkuu
 wa majeshi ya Mungu, na yule
 joka (ibilisi shetani) na malaika
     zake aliowadanganya …”
VITA VYA ROHONI
    Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
 8 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tena
 mbinguni. 9 Yule joka aitwaye
  ibilisi na shetani, akatupwa
   duniani, na malalika zake
   wakatupwa pamoja naye.
VITA VYA ROHONI
      Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni,
ikisema, sasa kumekuwa wokovu
 na nguvu na ufalme wa Mungu
    wetu na mamlaka ya Kristo
  wake, kwa maana ametupwa
  chini mshitaki wa ndugu zetu”.
VITA VYA ROHONI
    Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
11 “Nao wakamshinda yule joka
 na malaika zake, kwa damu ya
mwana kondoo na kwa neno la
    ushuhuda wao, ambao
hawakupenda maisha yao hata
             kufa”.
VITA VYA ROHONI
     Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi
wote mkaao mbinguni; lakini ole
  wa ninyi mkaao duniani! Kwa
maana yule joka ibilisi, ameshuka
 kwenu, ana hasira nyingi akijua
      ana wakati mchache!
VITA VYA ROHONI
    Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
  17 “Joka akamkasirikia yule
 mwanamke (kanisa), akaenda
afanye vita juu wa wazao wake
 wazishikao amri za Mungu na
kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
       Kwasababu kuna vita
          Mathayo 16:18-19
Ndio maana Bwana Yesu alisema
 ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala
  milango ya kuzimu (nguvu za
giza) haitaweza kulishinda kanisa
      langu nitakalolijenga’
VITA VYA ROHONI
 Kwahiyo, ni lazima tutumie
 mamlaka ya Mungu duniani,
   kwasababu, kuna vita na
upinzani (mashindano), kati ya
shetani na watoto wa Mungu
   (kanisa la Bwana Yesu).”
       (Mathayo 16:18)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?


   Kutawala Ni Mfano na
     Asili ya Baba yetu

   ‘Mfalme wa wafalme’
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
   Ni Mfano/Asili ya Baba yetu
        Mwanzo 1:26,28
 ‘Tufanye mtu kwa sura yetu na
  kwa mfano wetu, wakatawale
dunia na vyote tulivyoviumba juu
        ya uso wa dunia’.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
      Mwanzo 1:26-18

    Kwanini ni lazima
    Kuitawala Dunia?
        (kuitiisha)
Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?


     Kuna kuna upinzani
       wa adui shetani
    (vita na mapambano)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Shetani ametangaza vita na
    wototo wote wa Mungu,
kwasababu Mungu amempiga na
   kumfukuzwa kutoka katika
mbingu takatifu na kutoka katika
 cheo chake cha kuongoza ibada
    za malaika wa mbinguni.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
 Hivyo, Shetani anachowinda, ni
 kumlipizia Mungu kisasi; lakini
  kwakuwa hawezi kurudi juu
  kumlipizia Baba kisasi, ndio
maana anaamua kumalizia hasira
    zake zote kwa watoto wa
  Mungu, yaani mimi na wewe
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Kwahiyo, Shetani
  anachokifanya, ni kutafuta
namna ya kumpiga binadamu na
 mazingira yake, ili kumvurugia
Mungu ibada, anayoitamani sana
kutoka duniani (kwa watoto wa
            Mungu).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
       KUSUDI LA KANISA
 Ni Kanisa liweze kulimiliki na
 Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi
maisha mazuri na kuwa chombo
     kizuri cha kumsifu na
 kumwabudu Mungu aliye juu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima
   katika maisha, ili kumwezesha
   mwanadamu, kumshinda adui
     shetani na vizuizi vyake na
   kumwezesha kutawala maisha
      yake na mazingira yake.
  (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za
   lazima, ili kumwezesha
 mwanadamu kuitawala dunia
    pamoja na Mungu, na
kumwezesha mwanadamu awe
  chombo kizuri cha ibada,
      (Mwanzo 1:26-28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu
 zake, kwa ajili ya maisha yako
  duniani, anatafuta kukulinda
 wewe, ili pia kuilinda na ibada
 yake inayotoka katika maisha
   yako (inayotoka duniani).
         (Yohana 4:23)
VITA VYA ROHONI
 Ni kwamba, kuna mapambano,
      kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na
  watoto wa Mungu (kanisa la
      Bwana Yesu Kristo).”
       (Mathayo 16:18-19)
KUUFAHAMU NA KUUTAWALA
  ULIMWENGU WA ROHO
         KWA
 NGUVU YA MAOMBI

   Yakobo 5:16-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Yakobo 5:16-18
17 Eliya likuwa mwanadamu
 kama sisi, lakini aliomba kwa
  bidii, mvua isinyeshe juu ya
nchi, na mvua haikunyesha juu
 ya nchi kwa muda wa miaka
  mitatu (3) na miezi sita (6).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Yakobo 5:16-18
18 (baada ya miaka mitatu na
nusu) Eliya akaomba tena kwa
bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
   ikanyesha, na nchi ikazaa
           matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Yakobo 5:16-18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na
   ninyi, ombeaneni ili mpate
   kuponywa; kuomba kwake
   mwenye haki kwafaa sana,
       akiomba kwa bidii.
   (Hosea 4:6, Warumi 10:2)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


        Kwa mfano;
Yesu na Petro kutembea juu
          ya maji.
     Mathayo 14:25-33
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Mathayo 14:25-33
25 Wakati wa zamu ya nne ya
usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12
   alfajiri), Yesu akawaendea
     wanafunzi wake akiwa
     anatembea juu ya maji
 (kinyume na kanuni za asili).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Mathayo 14:25-33
     26 Wanafunzi wake
walipomwona akitembea juu ya
 maji, waliingiwa na hofu kuu,
    wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’
 Wakapiga yowe kwa kuogopa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Mathayo 14:25-33
27 Lakini mara Yesu akasema
   nao, akawaambia, “Jipeni
moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28
Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa
 ni Wewe, niambie nije kwako
    nikitembea juu ya maji.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Mathayo 14:25-33
 29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’
  Basi Petro akatoka kwenyen
chombo, akatembea juu ya maji
       kumwelekea Yesu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Mathayo 14:25-33
30 Lakini alipoona upepo mkali
aliingiwa na hofu, naye akaanza
kuzama, huku akipiga kelele,
“Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu
akanyosha mkono Wake na
kumshika, akamwambia, …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Mathayo 14:25-33
 31 … “Wewe mwenye imani
haba, kwa nini uliona shaka?’’
 32 Nao walipoingia ndani ya
  chombo, upepo ukakoma.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Mathayo 14:25-33
  33 Ndipo wote waliokuwamo
      ndani ya kile chombo
 wakamwabudu Yesu wakisema,
“Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa
            Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
 Makusudi ya Mungu ni sisi
kanisa lake, tukue kiroho na
  tuwe wa mfano wa Yesu
         mwenyewe
       Yohana 14:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
          Yohana 14:12
 “Amin, amin, nawaambia, kila
   mtu aniaminiye Mimi, kazi
      nizifanyazo, yeye naye
atazifanya, na hata kubwa kuliko
   hizi atazifanya, kwa sababu
  Mimi ninakwenda kwa Baba.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Waefeso 4:11-15
11 Yeye ndiye aliyeweka wengine
  kuwa mitume, wengine kuwa
     manabii, wengine kuwa
    wainjilisti, wengine kuwa
  wachungaji na wengine kuwa
             walimu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Waefeso 4:11-15
12 kwa kusudi la kuwakamilisha
 watakatifu kwa ajili ya kazi za
 huduma, ili kwamba mwili wa
    Kristo upate kujengwa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Waefeso 4:11-15
 13 mpaka sote tutakapoufikia
 umoja katika imani na katika
kumjua sana Mwana wa Mungu
 na kuwa watu wazima kiroho,
  hata kufikia cheo (level) ya
kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
           Waefeso 4:11-15
    14 Ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwatupwa huku
 na huku na kuchukuliwa na kila
 upepo wa mafundisho kwa hila
za watu, kwa ujanja, kwa kufuata
     njia zao za udanganyifu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Waefeso 4:11-15
15 Badala yake, tukiambiana
  kweli kwa upendo, katika
 mambo yote tutakua, hata
 tumfikie Yeye aliye kichwa,
     yaani, Yesu Kristo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


        Kwa mfano;
Petro na Yohana kumponya
    kilema wa miaka 40.
      Matendo 3:1-10
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Matendo 3:1-10
   1. Siku moja Petro na
      Yohana walikuwa
wanapanda kwenda hekaluni
kusali yapata saa tisa alasiri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Matendo 3:1-10
2 Basi palikuwa na mtu mmoja
    aliyekuwa kiwete tangu
  kuzaliwa. Alichukuliwa na
  kuwekwa kwenye lango la
hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili
   aombe msaada kwa watu
     wanaoingia hekaluni.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Matendo 3:1-10
3 Huyu mtu akiwaona Petro na
  Yohana wakikaribia kuingia
 hekaluni, aliwaomba wampe
           sadaka.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Matendo 3:1-10
 4 Wakamkazia macho, kisha
Petro akamwambia, ‘‘Tutazame
             sisi.’’
5 Hivyo yule mtu akawatazama,
 akitazamia kupata kitu kutoka
             kwao.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Matendo 3:1-10
  6 Ndipo Petro akamwambia,
  ‘‘Sina fedha wala dhahabu,
lakini kile nilicho nacho ndicho
nikupacho. Kwa jina la Yesu wa
   Nazareti simama, uende.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Matendo 3:1-10
 7 Petro akamshika yule mtu
    kwa mkono wa kuume
akamwinua, mara nyayo zake
 na vifundo vya miguu yake
       vikapata nguvu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Matendo 3:1-10
8 Akaruka juu na kusimama,
 akaanza kutembea. Kisha
akaingia Hekaluni pamoja na
   Petro na Yohana, huku
akitembea na kurukaruka na
      kumsifu Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Matendo 3:1-10
9 Watu wote walipomwona
  akitembea na kumsifu
 Mungu, 10 wakamtambua
kuwa ni yule mtu aliyekuwa
akiketi nje ya hekalu penye
   lango liitwalo Zuri …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Matendo 3:1-10
10 … akiomba msaada, nao
 wakajawa na mshangao,
 wakastaajabu juu ya yale
      yaliyomtukia.
Lengo letu ni kujifunza
      KUITAMBUA
    ASILI YA MUNGU
 ILIYO NDANI MWETU
ILI ITUWEZESHE KUJUA
   NAMNA YA KWENDA
     MBELE ZA MUNGU
            AU

NAMNA YA KUOMBA
     SAWA SAWA
NINI MAANA YA KUOMBA
               Tafsiri,

  Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
    katika ulimwengu wa roho, ili
   kuwasiliana na Mungu wake, na
 kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
   katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
               Tafsiri,

  Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
    katika ulimwengu wa roho, ili
   kuwasiliana na Mungu wake, na
 kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
   katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
               Tafsiri,

  Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
    katika ulimwengu wa roho, ili
   kuwasiliana na Mungu wake, na
 kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
   katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Kwasababu,
    Mungu ni Roho,
     (Yohana 4:23-24)
  Hii ina maana kwamba,

 Mungu anaishi katika
 ulimwengu wa roho.
NINI MAANA YA KUOMBA
          Na Kwasababu …
      Kuomba ni ‘namna ya mtu
         kumwendea Mungu’
          (Waebrania 11:6)
   “Kila mtu amwendeaye Mungu,
 inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu, wale wote
            wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA
        Kwahiyo,
  Kuomba, ni namna ya mtu,
   kwenda au kuingia katika
        uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA
     Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA
         Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu
  wa roho, katika namna
        ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA
         Tafsiri,

 … itasababisha na kuleta
mabadiliko katika ulimwengu
         wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA



Mabadiliko gani hayo?
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
    masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
    masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NAMNA YA KUOMBA

 Bwana Yesu anasema;
“Ombeni nanyi mtapewa,
Kwa maana kila aombaye
  Hupokea (hupewa) …
   (Mathayo 7:7-11)
NAMNA YA KUOMBA
 Na wachache wanaoomba
     Biblia anasema;
“Mnaomba na hata hampati,
Kwasababu mnaomba vibaya”
       (Yakobo 4:3)
NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
  “Hata mpaka sasa hamjaomba
   ombeni (vizuri) basi, ili furaha
        yenu, iwe timilifu”
         (Yohana 16:24)
NGUVU YA MAOMBI

    NAMNA YA
KUOMBA KWA USAHIHI
   HATA KULETA
MABADILIKO DUNIANI.
NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya
Kufahamu, ili kujua;

   NAMNA YA
KUOMBA IPASAVYO
NAMNA YA KUOMBA

  Mambo Muhimu ya
  Kufahamu, ili kujua;

    NAMNA YA
KUOMBA KWA UFANISI
NGUVU YA MAOMBI
 Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI
 Kuujua Ulimwengu wa roho
 Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI
 Kuujua Ulimwengu wa roho
 Namna ya kwenda rohoni
 Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI
   Kuujua Ulimwengu wa roho
   Namna ya kwenda rohoni
   Nafasi/Mamlaka yako rohoni
   Namna ya Kupiga Vita rohoni
NGUVU YA MAOMBI
   Kuujua Ulimwengu wa roho
   Namna ya kwenda rohoni
   Nafasi/Mamlaka yako rohoni
   Namna ya Kupiga Vita rohoni
   Namna ya Kuathiri rohoni
NGUVU YA MAOMBI
   Kuujua Ulimwengu wa roho
   Namna ya kwenda rohoni
   Nafasi/Mamlaka yako rohoni
   Namna ya Kupiga Vita rohoni
   Namna ya Kuathiri rohoni
       (Nguvu ya Maombi)
NAMNA YA KUOMBA
         Kwahiyo
    Hebu tujifunze sasa;

    1. KUUFAHAMU
ULIMWENGU WA ROHO.
NINI MAANA YA KUOMBA
               Tafsiri,

  Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
    katika ulimwengu wa roho, ili
   kuwasiliana na Mungu wake, na
 kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
   katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
 kwenda au kuingia katika
      uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA
        Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA
        Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu
 wa roho, katika namna
        ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA
         Tafsiri,

  … itasababisha na kuleta
mabadiliko katika ulimwengu
          wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Mabadiliko gani hayo?
   Maisha mazuri, Familia nzuri,
   Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
 Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
         wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA
       Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
 kwenda au kuingia katika
katika Ulimwengu wa roho ...
NGUVU YA MAOMBI


Ulimwengu wa roho
     ni nini?
KANUNI ZA KIROHO

       Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya Dunia
    Mwanzo 1:1-5, 14-19
KANUNI ZA KIROHO
        Mwanzo 1:1-5, 14-19
1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba
    mbingu na nchi; 2 na Dunia
ilikuwa haina umbo tena ilikuwa
tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa
  vilindi vya maji, naye Roho wa
   Mungu alitanda juu ya maji.
KANUNI ZA KIROHO
     Mwanzo 1:1-5, 14-19

3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’
  nayo nuru ikawepo. 4 Mungu
 akaona ya kuwa nuru ni njema,
ndipo Mungu akatenganisha nuru
            na giza.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’
 na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa
  jioni ikawa asubuhi, siku ya
            kwanza.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19

  14 Mungu akasema, “Iwepo
mianga kwenye nafasi ya anga ili
 itenganishe mchana na usiku,
nayo iwe alama ya kutambulisha
majira mbali mbali, siku na miaka,
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19

    15 nayo iwe ndiyo mianga
 kwenye nafasi ya anga itoe nuru
   juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo.
16 Mungu akafanya mianga miwili
           mikubwa …
KANUNI ZA KIROHO
     Mwanzo 1:1-5, 14-19

16 … Mwanga mkubwa utawale
mchana (Jua) na mwanga mdogo
  utawale usiku (Mwezi). Pia
 Mungu akafanya na nyota za
          mbinguni.
KANUNI ZA KIROHO
        Mwanzo 1:1-5, 14-19
17 Mungu akaiweka hiyo mianga
  mikubwa miwili (yaani Jua na
  Mwezi) katika anga ili iangaze
dunia. 18 … Mungu akaona kuwa
 hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni,
   ikawa asubuhi, siku ya nne.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19
 Kumbe Nuru ya Ulimwenguni,
 haitoki kwenye jua na mwezi,
kwasababu Nuru ilikuwepo tangu
  siku ya kwanza wakati jua na
mwezi viliumbwa baadaye kabisa
        katika siku ya nne!
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19
    Kumbe jua si chanzo cha
  Mwanga au Nuru inayoangaza
    ulimwenguni, bali jua ni
“kibebeo” tu cha kuleta mwanga
 duniani, lakini jua si chanzo cha
   Nuru inayoangaza duniani.
KANUNI ZA KIROHO

     Mwanzo 1:1-5, 14-19

 Nuru       Jua     Mwanga
(Yesu/Neno)
 Yoh 1:7-9
KANUNI ZA KIROHO
       Mwanzo 1:1-5, 14-19
          Kwa lugha rahisi;
 Mwanga au Nuru inayoangaza
duniani, ina vyanzo viwili; kimoja
  ni kipo katika ulimwengu wa
  mwili na kingine kipo katika
       ulimwengu wa roho.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19
  Chanzo cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
   Nuru cha mwilini kuwepo.
 Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
      cha Nuru cha kiroho.
KANUNI ZA KIROHO
       Mwanzo 1:1-5, 14-19
      Hii ina maana kwamba;
Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla
 ya Kanuni za Kimwilini kuwepo.
 Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo
zinazotawala Kanuni za Kimwili za
         Ulimwengu huu.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19
     Hii ina maana kwamba;
Hakuna kitu kinachofanyika katika
  Ulimwengu wa mwili, mpaka
   kimefanyika kwanza katika
      Ulimwengu wa roho.
KANUNI ZA KIROHO
      Mwanzo 1:1-5, 14-19
  Chanzo cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
   Nuru cha mwilini kuwepo.
 Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
      cha Nuru cha kiroho.
KANUNI ZA KIROHO
         Yohana 5:12
 12 Kisha Yesu akasema nao tena
  akawaambia, “Mimi ni Nuru ya
ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata
  hatatembea gizani kamwe, bali
    atakuwa na nuru ya uzima.”
KANUNI ZA KIROHO
        Yohana 3:16-20
19 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru
  imekuja ulimwenguni, nao watu
 wakapenda giza kuliko Nuru kwa
   sababu matendo yao ni maovu.
KANUNI ZA KIROHO

     Mwanzo 1:1-5, 14-19

 Nuru       Jua     Mwanga
(Yesu/Neno)
 Yoh 1:7-9
KANUNI ZA KIROHO

         Luka 4:1-4
“Mtu hataishi kwa mkate tu,
 bali kwa kila Neno litokalo
 katika kinywa cha Bwana”.
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno        Mkate         Afya
KANUNI ZA KIROHO
         Luka 4:1-4
   Hii pia ina maana kwamba,
Afya ya mtu haitoki katika mkate
  tunaokula tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha
          Bwana Mungu.
KANUNI ZA KIROHO
         Luka 4:1-4
  Hii pia ina maana kwamba,
Afya ya mtu haitoki katika Dawa
 anazotumia tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha
         Bwana Mungu.
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno         Dawa         Afya
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno       Nyumba         Ulinzi
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno       Kitanda    Usingizi
KANUNI ZA KIROHO

       Luka 4:4

Neno    Kitabu    Akili
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno       Pete       Upendo
KANUNI ZA KIROHO

       Luka 4:4

Neno     Cheti    Kazi
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno       Ajira      Mafanikio
KANUNI ZA KIROHO
    Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4
Mistari hii inatuonyesha kwamba,
  kumbe kuna kanuni zingine za
   kiroho, zilizo juu sana kuliko
 kanuni hizi za kimwili, na ndizo
zinazotawala ulimwengu huu wa
      kimwili na kanuni zake.
ULIMWENGU WA ROHO
Watu wa Mungu wakielewa,
  nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao, wataweka
  bidii na nidhamu ya kuishi
 katika maisha yanayotimiza
       kanuni za kiroho.
KANUNI ZA KIROHO
        Kwa lugha rahisi;
         Waebrania 11:3
     “Vitu vinavyoonekana,
  viliumbwa kwa vitu visivyo
dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi
   au vitu vinavyoonekana)”
KANUNI ZA KIROHO
  Waebrania 11:3
  Kwasababu hiyo,

Vitu vinavyoonekana,
vinatawaliwa na vitu
   visivyoonekana;
KANUNI ZA KIROHO
      Waebrania 11:3
      Kwasababu hiyo,

Mambo ya Ulimwengu wa mwili
 yanatawaliwa na mambo ya
    ulimwengu wa roho;
KANUNI ZA KIROHO
     Waebrania 11:3
     Kwasababu hiyo,

Kanuni za kimwili (Natural
Principles) zinatawaliwa na
Kanuni za Kiroho (Spiritual
        Principles).
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:1-4
 “Mtu hataishi kwa mkate tu,
bali kwa kila Neno litokalo kwa
            Bwana”.
KANUNI ZA KIROHO

           Luka 4:4

Neno        Mkate         Afya
KANUNI ZA KIROHO
    Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4
Mistari hii inatuonyesha kwamba,
  kumbe kuna kanuni zingine za
   kiroho, zilizo juu sana kuliko
 kanuni hizi za kimwili, na ndizo
zinazotawala ulimwengu huu wa
      kimwili na kanuni zake.
KANUNI ZA KIROHO
     Waebrania 11:3
     Kwasababu hiyo,

Kanuni za kimwili (Natural
Principles) zinatawaliwa na
Kanuni za Kiroho (Spiritual
        Principles).
KANUNI ZA KIROHO
      2Wakorintho 4:18
        Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (vya kimwili) ni
 vya muda; bali tuviangalie vitu
   visiyoonekana (vya kiroho)
 kwani hivyo ndivyo vya milele
         (vya kudumu).
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


   Ulimwengu wa roho ni
     ulimwengu wa vitu
visivyoonekana na kushikika
 lakini ni vitu halisi kabisa;
   Ni vitu vilivyopo kabisa
       ila hatuvioni tu.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
          Waebrania 11:3
‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu
uliumbwa kwa Neno la Mungu, na
vitu vinavyoonekana (vya kimwili)
  havikuumbwa kwa vitu vilivyo
        dhahiri (wazi wazi)’
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
           Waebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno
la Mungu, na vitu vinavyoonekana
 (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
    visivyo dhahiri (wazi wazi)’
         - (vitu vya kiroho) -
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);

    • Vitu visivyoonekana
               na
   • Vitu vinavyoonekana
NGUVU YA MAOMBI
     ULIMWENGU WA ROHO   Ulimwengu w



     Vitu visivyoonekana (vya
   ulimwengu wa roho) ndivyo
       vilivyosababisha vitu
vinavyoonekana (vya ulimwengu
wa mwili) kutokea na kuumbika.
         (Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
           Waebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno
la Mungu, na vitu vinavyoonekana
 (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
    visivyo dhahiri (wazi wazi)’
         - (vitu vya kiroho) -
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
         2 Wakorintho 4:18
 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
   (vya kimwili) ni vya muda; bali
  tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
       ndivyo vya vya kudumu
    (vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);

   • Vitu visivyoonekana
      (Vitu vya Kiroho)
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);

   • Vitu vinavyoonekana
      (Vitu vya Kimwili)
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
   • Vitu visivyoonekana
  • Vitu vinavyoonekana
 Na vyote viko kwa pamoja
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho
     Ulimwengu wa roho ni
ulimwengu wa vitu halisi kabisa,
 na uko hapa hapa tulipo, lakini
hatuvioni tu kwa macho haya ya
  kawaida (macho ya kimwili).
      (2 Wakorintho 4:18)
NGUVU YA MAOMBI
     Ulimwengu wa roho
 Kwa lugha rahisi ni kwamba,
 ulimwengu huu, una pande
mbili. Yaani upande wa rohoni
  na upande wa mwilini. Ni
  ulimwengu mmoja, ila una
         pande mbili.
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho
     Yaani upande wa vitu
 vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
 viko hapa hapa, viko pamoja!
      (2Wakorintho 4:18)
Ulimwengu wa Roho
         Hii ni kwasababu
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa
 kwanza; na kisha ulipokamilishwa,
    ndipo Mungu akasababisha
ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka
    katika ulimwengu wa roho.
          (Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
          Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
  aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha
   rohoni, ndipo akaizaa (akai-
 photocopy au akai-print) katika
       ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
          Waebrania 11:3
 Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake.
Au kila kitu unachokiona duniani,
ujue kina soft-copy na hard-copy
   yake (yaani kina upande wa
      mwilini na wa rohoni).
NGUVU YA MAOMBI
 Ulimwengu wa roho


   Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
 1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
     Ulimwengu wa roho

      1 Wakorintho 15:44
  “Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho

  Kwa Mfano
Uumbaji wa Dunia
 Waebrania 11:3
Ulimwengu wa roho
                                                                        Neema
Uumbaji   Anguko    Torati na Manabii   Kuzaliwa                  Msalaba        Unyakuo        Mwisho
Mwa 1     Mwa 3      Kumb, Isa, Dan     Math 1                Math 27            1 Thes 4       Ufu 21




                                                                                                    Milele
                                                        (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4         7
                                                        33
                                                   30        3½                        3½ 3½


Ulimwengu wa Roho                                   Injili              Kanisa          Dhiki
Ulimwengu wa roho
                                                                               Neema
Uumbaji   Anguko     Torati na Manabii    Kuzaliwa                   Msalaba             Unyakuo        Mwisho
Mwa 1     Mwa 3       Kumb, Isa, Dan       Math 1                  Math 27               1 Thes 4        Ufu 21




                                                                                                             Milele
                                                          (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4               7
                                                           33
                                                     30         3½                               3½ 3½


Ulimwengu wa Roho                                     Injili                   Kanisa            Dhiki


Ulimwengu wa Mwili


                      Torati na Manabii   Kuzaliwa        Injili




Bahari    Miti     Upepo           Nchi na vyote viijazavyo          Kalvari    Kanisa    Sasa
Ulimwengu wa roho
                                                                                    Neema
Uumbaji    Anguko      Torati na Manabii         Kuzaliwa                  Msalaba            Unyakuo        Mwisho
Mwa 1      Mwa 3        Kumb, Isa, Dan           Math 1                   Math 27             1 Thes 4       Ufu 21




                                                                                                                 Milele
                                                                 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4             7
                                                                 33
                                                            30        3½                            3½ 3½
                                           600                   Injili              Kanisa              Dhiki
Ulimwengu wa Roho                                      700                                          2000


Ulimwengu wa Mwili


                                         (4) Daniel 7:13 – 14, 27                        (5) Daniel 7:13 – 14, 27
                                  (3) Isaya 9: 6


Bahari     Miti      Upepo           Nchi na vyote viijazavyo
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
           Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
aliiumba kwanza katika ulimwengu
    wa kiroho, na alipoikalimisha
     rohoni, ndipo akaizaa (akai-
  photocopy au akai-print) katika
        ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
 Ulimwengu wa roho
      Kwahiyo
   Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
 1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
     Ulimwengu wa roho

      1 Wakorintho 15:44
  “Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
          Waebrania 11:3
 Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake.
Au kila kitu unachokiona duniani,
ujue kina soft-copy na hard-copy
   yake (yaani kina upande wa
      mwilini na wa rohoni).
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
          Ayubu 8:9
 “Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu
       ni kama kivuli”
        - Photocopy -
NGUVU YA MAOMBI
   Ulimwengu wa roho
      Zaburi 39:6a
“Binadamu huko na huko
      kama kivuli”
     - Photocopy -
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
 Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
   mahali fulani leo, usije ukafikiri
        limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
              zilizopita.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
         2 Wakorintho 4:18
 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
   (vya kimwili) ni vya muda; bali
  tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
       ndivyo vya vya kudumu
    (vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
 hakuna kitu kitakachofanyika
 katika Ulimwengu wa mwilini,
  mpaka kwanza kimefanyika
  katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
  wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
  bali analifanya kwanza katika
       ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Hii ndio kanuni na huu ndio
 utaratibu wa uumbaji wa Mungu
             duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
       kwa visivyoonekana.’
         (Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
   Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
    mabadiliko katika mambo ya
 kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
  namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
   namna itakayoleta mabadiliko
    katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho

    Kwa Mfano
Maombi ya Nabii Eliya
  Yakobo 5:17-18;
NGUVU YA MAOMBI
      Kwa Mfano wa Nabii Eliya
           Yakobo 5:17-18;
Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi,
lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga
    mvua, na Mungu alimsikia, na
 mbingu zikafungika na mvua (ya ki-
  mwilini) haikunyesha juu ya nchi,
   kwa muda wa miaka 3 na nusu.
NGUVU YA MAOMBI
      Kwa Mfano wa Nabii Eliya
           Yakobo 5:17-18;
  Japo kulikuwa na kanuni zote za
 kisayansi za mvua kunyesha, lakini
     Eliya, kwa njia ya maombi,
 alikwenda rohoni, akaathiri (tibua)
kanuni zinazotawala mvua mwili, na
   ndio maana mvua haikunyesha.
NGUVU YA MAOMBI
     Kwa Mfano wa Nabii Eliya
           Yakobo 5:17-18;
Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi
 yote ilikuwa kavu kabisa na misitu
    yote imepukutika; kwahiyo
  hakukuwa na kanuni za kutosha
     kuruhusu mvua kunyesha.
NGUVU YA MAOMBI
      Kwa Mfano wa Nabii Eliya
           Yakobo 5:17-18;
  Eliya akaomba tena kwa bidii, ili
   kuifungua mvua kutoka katika
    uliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na
 mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na
     nchi ikazaa matunda yake.
NGUVU YA MAOMBI
     Kwa Mfano wa Nabii Eliya
        1Wafalme 18:41-44;
 Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya
         mvua tele” (mst.41)
 Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali
rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake
    aliyeisikia, na kutoa tangazo.
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

                     Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)




 Efe 2:2   Mkuu     Efe 6:12   Mkuu      Efe 2:2     Mkuu   Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

                             Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)
                         /       /       /    /    /   /       /       /       /       /

                         / /         /        (mstari wa 41) /             /       /       /

                         /   /               Mvua ya rohoni /              /       /       /

                     /       /       /         /   /   /   /       /       /       /


 Efe 2:2   Mkuu      Efe 6:12                      Mkuu            Efe 2:2                     Mkuu    Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili




           Uyahudi                                 Uyahudi                                       Uyahudi
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

                      Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18)
                          /       /       /   /       /   /       /       /       /       /

                          / /         /       (mstari wa 41) /                /       /           /

                          /   /           Mvua ya rohoni /                /       /       /

                      /       /           /       /   /   /   /       /       /       /


 Efe 2:2   Mkuu       Efe 6:12                        Mkuu            Efe 2:2                         Mkuu   Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili /                  /       /       /   /   /       /           /           /
                      / / /    / / / /          /     /
                   /  / / Mvua ya Mwilini   /     /
                     / / / (Mstari 44-45) /   /     /
                  / / /   / / / /         /    /
                    / / /   / / / /         /     /
NGUVU YA MAOMBI
     Kwa Mfano wa Nabii Eliya
          Yakobo 5:17-18;
Japo hakukuwa na kanuni zozote za
    kisayansi za kuruhusu mvua
 kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya
maombi, alikwenda rohoni, akaathiri
kanuni zinazosababisha mvua mwili,
  na ndio maana mvua ikanyesha.
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

   Kabla ya Toba                          Baada ya Toba                                             Baada ya Maombi
                         /       /    /    /   /       /           /           /            /           /           /               /       /               /

                         / /          / (mstari wa 41)                     /       /           /        /           /               /       /               /

                     /       /       Mvua ya rohoni /                  /       /                /           Mvua ya rohoni                          /
                         /       /    /    /   /       /       /       /       /        /           /           /               /       /               /

                     /           /    /    /       /       /           /       /           /        /        /          /           /   /       /       /

 Efe 2:2     Mkuu    Efe 6:12                  Mkuu                Efe 2:2                          Mkuu                        Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili                                                                              /           /               /           /               /
                                                                                       /            /
                                                                                                    /    /      /      /
                                                                                           /     / (mstari 44-45) /    /
                                                                                        /     / Mvua ya Mwilini /
                                                                                          /     /     /      /      /
                                                                                       /     /     /    /      /      /
           Uyahudi                        Uyahudi                                              Uyahudi
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
 Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
   mahali fulani leo, usije ukafikiri
        limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
              zilizopita.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
    Hii inaonyesha wazi kwamba
     Kanuni za kiroho zikiathiri
 ulimwengu wa roho inavyotakiwa,
 zinaweza kuzitawala na kuzipinda
 kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia
 katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
         2 Wakorintho 4:18
 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
   (vya kimwili) ni vya muda; bali
  tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
       ndivyo vya vya kudumu
    (vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya
   kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui
 yako shetani, yuko huko huko
 rohoni; naye atakutengenezea
  mambo ambayo usingetaka
       kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
 hakuna kitu kitakachofanyika
 katika Ulimwengu wa mwilini,
  mpaka kwanza kimefanyika
  katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
  wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
  bali analifanya kwanza katika
       ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Hii ndio kanuni na huu ndio
 utaratibu wa uumbaji wa Mungu
             duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
       kwa visivyoonekana.’
         (Waebrania 11:3)
NGUVU YA MAOMBI
   Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
    mabadiliko katika mambo ya
 kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
  namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
   namna itakayoleta mabadiliko
    katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
            Ulimwengu w


Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);

    • Vitu visivyoonekana
               na
   • Vitu vinavyoonekana
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho
  Yaani kuna upande wa vitu
 vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
 viko hapa hapa, viko pamoja!
      (2Wakorintho 4:18)
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho
   Ni kama vile karatasi, ina
   upande wa mbele na ina
  upande wa nyuma. Lakini ni
  karatasi moja (sio mbili). Ni
  kama mkono (kiganja) kina
upande wa mbele na wa nyuma.
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho
   Ni kama vile mkono wako
   (kiganja cha mkono) kina
upande wa mbele na wa nyuma.
Lakini ni mkono mmoja, ila una
apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo
         na dunia yetu.
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
 upande wa vitu visivyoonekana
  (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
 ila ni katika pande mbili tofauti!
     Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
  Ulimwengu wa roho
           1.
   Kwa Mfano wa
Nabii Elisha na Gehazi.
  2 Wafalme 6:8-17
Ulimwengu wa Roho
           2Wafalme 6:8-17
Elisha, alipokuwa amezungukwa na
 maadui, Gehazi alipatwa na hofu
    na woga, kwasababu hakujua
 kwamba kuna malaika wa Mungu
 wamewazunguka. Ni kwasababu
   pale pale, ila ni katika upande
       usioonekana (rohoni).
Ulimwengu wa Roho
          2Wafalme 6:8-17
Baada ya Elisha kufanya maombi,
 ili macho yake yafunguke, ndipo
Gehazi akawaona malaika wengi
   wa mbinguni waliowazunguka
pande zote. Kwahiyo, macho yake
 yakaruhusiwa kuona upande wa
       pili wa dunia (rohoni).
Ulimwengu wa Roho
         2Wafalme 6:8-17
    Malaika wanaoneka hapa,
hawakuja baada ya Elisha kufanya
maombi, bali walikuwepo siku zote
pamoja nao, ila huwa wapo katika
ulimwengu wa roho ambao macho
   yetu hayajaruhusiwa kuuona.
Ulimwengu wa Roho
         2 Wafalme 6:8-17
 Gehazi hakuwa tu amewezeshwa
 kuchungulia rohoni, ndio maana
 hakuweza kuwaona malaika wa
 mbinguni, japo walikuwepo hapo
pamoja nao, siku zote, ila ni katika
ulimwengu wa roho ambao macho
   yetu hayajaruhusiwa kuuona.
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
 upande wa vitu visivyoonekana
  (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
 ila ni katika pande mbili tofauti!
     Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
 Ulimwengu wa roho
          2.
  Kwa Mfano wa
Nabii Eliya na Elisha.
 2 Wafalme 2:7-15
Ulimwengu wa Roho
   2Wafalme 2:7-10-12-15
Kama Eliya angetoweka ghafla
  mbele ya macho ya Elisha,
  angekuwa ametoka katika
  ulimwengu wa mwili tu na
kupenya katika ulimwengu wa
    roho ambao hatuuoni.
Ulimwengu wa Roho
   2Wafalme 2:7-10-12-15
 Kwa mtu ambaye si mwonaji
 (Nabii) asingeona mambo ya
rohoni, mwanzo wala mwisho
 wa kuondoka kwa Eliya; bali
angeona, Eliya ametoweka tu
 ghafla mbele ya macho yake.
Ulimwengu wa Roho
    2Wafalme 2:7-10-12-15
   Lakini kwa mtu ambaye ni
   mwonaji (Nabii), angeona
    mwanzo na mwisho wa
kuondoka kwa Eliya; kwasababu
 anaruhusiwa (anawezeshwa)
      kuchungulia rohoni.
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
 upande wa vitu visivyoonekana
  (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
 ila ni katika pande mbili tofauti!
     Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
   Ulimwengu wa roho
          3.
    Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na Wanafunzi
  Wawili wa Emmaus.
    Luka 24:13-52
Ulimwengu wa Roho
           Luka 24:13-52
Kama wangeruhusiwa (wezeshwa)
kuchungulia katika ulimwengu wa
 roho, hawa ndugu 2, wasingeona
  Yesu akitoweka mbele yao, bali
wangeona mwanzo mpaka mwisho
  wa kuondoka kwa Bwana Yesu,
       mbele ya macho yao.
Ulimwengu wa Roho
          Luka 24:13-52
 Kwasababu kutoweka ghafla kwa
Bwana Yesu, mbele ya macho yao,
  kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu
  kutoka tu katika ulimwengu wa
mwili, na kupenya (kuingia) katika
ulimwengu wa roho ambao macho
        yetu hayauoni tu.
Ulimwengu wa Roho
          Luka 24:13-52
Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa
 (hawakuwezeshwa) kuchungulia
rohoni, ndio maana hawakuweza
 kuona, mwanzo wala mwisho wa
   kuondoka kwa Bwana Yesu.
Katika macho yao Yesu alitoweka.
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
 upande wa vitu visivyoonekana
  (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
 ila ni katika pande mbili tofauti!
     Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
     Ulimwengu wa roho
            4.
      Kwa Mfano wa
 Bwana Yesu na Wanafunzi
Waliomwona akipaa Mbinguni.
      Matendo 1:9-11
Ulimwengu wa Roho
          Matendo 1:9-11
Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa)
 kuchungulia katika ulimwengu wa
  roho, hawa wanafunzi wa Yesu,
waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu
 kwenda mbinguni, (tangu mwanzo
kuondoka kwake mpaka mwisho wa
      upeo wa macho yao).
Ulimwengu wa Roho
           Matendo 1:9-11
     Kwasababu waliruhusiwa
  kuchungulia rohoni, hivyo katika
    kutazama kwao, Bwana Yesu
 hakutoweka ghafla katika macho
yao, bali waliona mwondoko mzima
 wa Bwana Yesu kutoka mwilini na
  kupenya kwake (kuingia) rohoni.
Ulimwengu wa Roho
        Matendo 1:9-11
 Lakini kama angekuwepo mtu
   miongoni mwao ambaye si
 mwanafunzi wa Yesu, yamkini
asingeona kuondoka kwa Bwana
  Yesu, bali yeye angeona Yesu
   ametoweka tu mbele yao.
Ulimwengu wa Roho
            Matendo 1:9-11
  Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu
    huyo (ambaye si mwanafunzi),
  hajapewa ruhusa (hajawezeshwa)
kuona mambo ya ulimwengu wa roho;
huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka
    mbele yao, lakini kumbe wakati
 wenzake wote wanamwona Bwana
   Yesu akiondoka juu na mawingu.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
           Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
aliiumba kwanza katika ulimwengu
    wa kiroho, na alipoikalimisha
     rohoni, ndipo akaizaa (akai-
  photocopy au akai-print) katika
        ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa Roho
         Hii ni kwasababu
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa
 kwanza; na kisha ulipokamilishwa,
    ndipo Mungu akasababisha
ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka
    katika ulimwengu wa roho.
          Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
 upande wa vitu visivyoonekana
  (yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
 ila ni katika pande mbili tofauti!
     Yaani Rohoni na Mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
 Ulimwengu wa roho


   Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
 1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
     Ulimwengu wa roho

      1 Wakorintho 15:44
  “Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
         2 Wakorintho 4:18
 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
   (vya kimwili) ni vya muda; bali
  tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
       ndivyo vya vya kudumu
    (vinavyotawala vya kimwili).
Ulimwengu wa roho
   Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili.
             Kwahiyo
 Hakuna kitu kinafanyka katika
      mwili, mpaka kwanza
    kimefanyika katika roho.
        Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
 Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
   mahali fulani leo, usije ukafikiri
        limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
              zilizopita.
NGUVU YA MAOMBI
   Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
    mabadiliko katika mambo ya
 kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
  namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
   namna itakayoleta mabadiliko
    katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
 hakuna kitu kitakachofanyika
 katika Ulimwengu wa mwilini,
  mpaka kwanza kimefanyika
  katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
         Ulimwengu wa roho
   Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
‘Mungu ameshatubariki kwa baraka
zote za rohoni, katika ulimwengu wa
 roho; kama alivyotuchagua katika
 yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya
   ulimwengu, tuwe watakatifu’.
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

                             Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)
                         /       /       /    /    /   /       /       /       /       /

                         / /         /        (mstari wa 41) /             /       /       /

                         /   /               Mvua ya rohoni /              /       /       /

                     /       /       /         /   /   /   /       /       /       /


 Efe 2:2   Mkuu      Efe 6:12                      Mkuu            Efe 2:2                     Mkuu    Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili




           Uyahudi                                 Uyahudi                                       Uyahudi
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho

                      Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18)
                          /       /       /   /       /   /       /       /       /       /

                          / /         /       (mstari wa 41) /                /       /           /

                          /   /           Mvua ya rohoni /                /       /       /

                      /       /           /       /   /   /   /       /       /       /


 Efe 2:2   Mkuu       Efe 6:12                        Mkuu            Efe 2:2                         Mkuu   Efe 6:12

Ulimwengu wa Mwili /                  /       /       /   /   /       /           /           /
                      / / /    / / / /          /     /
                   /  / / Mvua ya Mwilini   /     /
                     / / / (Mstari 44-45) /   /     /
                  / / /   / / / /         /    /
                    / / /   / / / /         /     /
NINI MAANA YA KUOMBA
           Kwahiyo,
    Maombi, ndio njia ya mtu,
  kwenda katika ulimwengu wa
 roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa
 roho mpaka kuleta mabadiliko
  katika ulimwengu wa mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
          Ulimwengu wa roho
    Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
 Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile
  baraka ya mvua (rohoni) ingekomea
  huko huko rohoni, na huku duniani,
 watu wa Mungu wangeishi maisha ya
shida na taabu; na kumbe wana baraka
 nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
NGUVU YA MAOMBI
        Ulimwengu wa roho
    Hii inaonyesha wazi kwamba
     Kanuni za kiroho zikiathiri
 ulimwengu wa roho inavyotakiwa,
 zinaweza kuzitawala na kuzipinda
 kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia
 katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi
 zote tulizopewa katika ulimwengu
wa roho, zitabaki huko huko rohoni,
  wakati huku duniani, tunateseka
  kwa maisha magumu, yaliyojaa
       shida na taabu nyingi.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
 Kwanini tunaishi maisha magumu
 na ya mateso, yaliyojaa shida na
taabu nyingi, na kumbe kule rohoni
   tuna baraka zetu nyingi sana
 kutoka kwa Mungu, za kutusaidia
  katika maisha yetu ya kila siku?
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Waebrani 11:3; Waefeso 1:3-4,
  Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa
roho inavyoingiliana na ulimwengu
 wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani.
          ~ kutokujua ~
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
  Isaya 59:16, Mathayo 26:40-41
 Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya
   kwenda rohoni kwa njia ya
  maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani.
         ~ Uzembe ~
NGUVU YA MAOMBI
    Hosea 4:6, Warumi 10:2
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3) Hatuna maarifa na bidii ya
 kutumia kanuni za kiroho, kwa
        namna sahihi, katika
      madhabahu ya Bwana
    (ulimwengu wa kiroho).
NGUVU YA MAOMBI
      Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya
   kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui
 yako shetani, yuko huko huko
 rohoni; naye atakutengenezea
  mambo ambayo usingetaka
       kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba,
    Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili;
Na hii ina maana kwamba, hakuna
   kitu kitakachofanyika katika
 Ulimwengu wa mwilini, mpaka
   kwanza kimefanyika katika
        Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
  wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
  bali analifanya kwanza katika
       ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
       Ulimwengu wa roho
   Hii ndio kanuni na huu ndio
 utaratibu wa uumbaji wa Mungu
             duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
       kwa visivyoonekana.’
         (Waebrania 11:3)
NINI MAANA YA KUOMBA
         Kwahiyo basi,
    Maombi, ndio njia ya mtu,
  kwenda katika ulimwengu wa
 roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa
   roho hata kuleta mabadiliko
  katika ulimwengu wa mwilini.
NAMNA YA KUOMBA

  Mambo Muhimu ya
  Kufahamu, ili kujua;

    NAMNA YA
KUOMBA KWA UFANISI
NGUVU YA MAOMBI
 Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI
 Kuujua Ulimwengu wa roho
2. Namna ya kwenda rohoni
NAMNA YA KUOMBA


    2. NAMNA YA
 KUMWENDEA MUNGU.
Namna ya kuingia rohoni.
NINI MAANA YA KUOMBA
               Tafsiri,

  Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
    katika ulimwengu wa roho, ili
   kuwasiliana na Mungu wake, na
 kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
   katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
          Na Kwasababu …
      Kuomba ni ‘namna ya mtu
         kumwendea Mungu’
          (Waebrania 11:6)
   “Kila mtu amwendeaye Mungu,
 inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu, wale wote
            wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA



  Mungu yuko wapi?
NAMNA YA KUOMBA
     Kwasababu,
  Mungu ni Roho,
   (Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika
ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUOMBA
      Kwahiyo,
  Kuomba, ni namna ya mtu,
   kwenda au kuingia katika
        uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
NAMNA YA KUOMBA
  Ndio maana Biblia inasema;

  “Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu
     yupo, na huwapa thawabu,
      wale wote wamtafutao”
         (Waebrania 11:6)
MUNGU YUKO WAPI?

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba
  tutampenda, na kuja kufanya
 makao ndani yake na kujifunua
     (kujidhihirisha) kwake’
       Yohana 14:21,23
MUNGU YUKO WAPI?


 “Ndani yake”
maana yake nini?
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU
Sehemu Kuu za Mwanadamu

       Roho     Roho
                Nafsi
                Mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU


    Mwanadamu ni
     1. Mwili,
     2. Nafsi, na
     3. Roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU
   Mwili, Nafsi, Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU
      Mwili, Nafsi, Roho




Ulimwengu            Ulimwengu
 wa Mwili   Kiungo     wa Roho
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7
Nyama
Damu              Nafsi
          Mwili           Roho
Mifupa

             Mwanadamu
SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7           Mtu
  Fikra
  Hisia
          NAFSI    ROHO
Maamuzi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU
    Mwili, Nafsi, Roho




Ulimwengu            Ulimwengu
 wa Mwili   Kiungo     wa Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
   wa wa ki-Mungu; sura na
   mfano wa Mungu (Divine
  Nature). Kwahiyo Roho yako
 ndiyo inayoweza kuwasiliana
    na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
         MUNGU


 Uwezo wa ki-Mungu
  katika roho yako.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU
         Yohana 14:23, 21
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
  ulimwengu wa roho, haiko
  mbali nasi, iko ndani yetu.
            (rohoni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


           1.
      Kujitambua
     Asili ya roho yako
           (Wewe)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


     Kuitambua asili ya
      Mungu iliyopo
       “Ndani yako”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Hivyo basi, Kumbe
Chanzo kingine cha nguvu za Mungu
  za kutusaidia kuishi maisha ya
 ushindi na mafanikio, ni kutokea
   ndani yetu; Kwasababu Roho
Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
  utu wetu wa ndani (roho zetu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


      “Ndani yetu”
     maana yake nini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

   Mwanzo 2:7, inasema
‘Bwana Mungu akafanya mtu
   kwa mavumbi ya ardhi,
  akapuliza puani pumzi iliyo
  hai, mtu akawa nafsi hai’.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

  Mwanzo 2:7, inasema




   Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, from Mwanzo 2:7
     Mwanadamu ni
         1. Mwili
         2. Nafsi
         3. Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;

                        Roho
                         Nafsi
                        Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba
   asili ya Mungu; kwasabau
 imeumbwa/umeumbwa kwa
   sura na mfano wa Mungu
           mwenyewe.
Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7               Mungu




Dunia     Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7
                    Mungu

                     Roho
Dunia               Nafsi
(Udongo)            Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Hii ina maana kwamba, ndani
 yako kuna uwezo na nguvu za
             ki-Mungu.
Huko rohoni (Ndani yako) kuna
 asili ya ki-Mungu; kuna sura na
         mfano wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


  Mungu ndiye asili yetu
      (sisi roho)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


 Kwahiyo, roho yako (wewe)
unabeba asili ya Mungu kabisa;
 kwasababu roho yako (wewe)
umeumbwa kwa sura na mfano
   wa Mungu mwenyewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

         Kwahiyo;
 Ndani yako (rohoni) kuna asili
 ya ki-Mungu. Hii ina maana
  kwamba, ndani yako kuna
    uwezo wa ki-Mungu;
     (Nguvu za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7
                    Mungu

                     Roho
Dunia               Nafsi
(Udongo)            Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


  Kwahiyo, Wewe ni mungu
      mdogo duniani!

         Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           Zab 82:6
6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
 ninyi nyote ni wana wa Aliye
           Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

          Yoh 10:33-36
  33 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu
 ya mambo mema uliyotenda,
 bali ni kwa kuwa umekufuru.
Wewe ingawa ni mwanadamu
  unajifanya kuwa Mungu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           Yoh 10:33-36
34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,
 haikuandikwa katika Torati yenu
    kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’,
    ninyi ambao neno la Mungu
            limewajia …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           Yoh 10:33-36
 36 Si zaidi sana mimi, ambaye
     Baba ameniweka wakfu
(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,
  mnawezaje kusema kwamba,
   ninakufuru eti kwasababu
 nimesema ‘Mimi ni Mwana wa
       Mungu (au Mungu)?’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       1Yohana 5:1-4
1 Kila mtu aaminiye kwamba
 Yesu ni Kristo, amezaliwa na
 Mungu (kwahiyo, ni Mungu
       mdogo duniani).
        (Zaburi 82:6)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       1Yohana 5:1-4
   4 Kwa maana, kila kitu
   kilichozaliwa na Mungu,
  huushinda ulimwengu, na
    huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, hiyo
          Imani yetu.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       Waebrania 11:1
1 Imani ni kuwa na uhakika wa
   mambo yasiyoonekana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Waebrania 11:1
Kwahiyo, hata kama huoni kwa
macho au hujashika kwa mikono,
lakini amini tu kwamba, wewe ni
     Mungu mdogo duniani.
 Kwasababu ‘Hatuenendi kwa
kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Waebrania 11:1
 Na huko kuamini hivyo, ndiko
kunakofungulia Nguvu za Mungu,
 za kuushinda ulimwengu. Imani
   hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’
  nguvu za Mungu kutoka ndani
  yako (mito ya maji ya uzima).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


 Kwahiyo, Wewe na Mimi ni
  miungu wadogo duniani!

        Zaburi 82:6
       Yoh 10:33-36
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
       Hivyo basi, Kumbe
Chanzo kingine cha nguvu za Mungu
  za kutusaidia kuishi maisha ya
 ushindi na mafanikio, ni kutokea
   ndani yetu; Kwasababu Roho
Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
  utu wetu wa ndani (roho zetu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Kutokujua ukweli huu, kwamba
roho yako ndiyo inayotumiwa na
  Mungu kuachilia nguvu zake,
kutakufanya uwe mtu mwoga na
        dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      Kutokujua ukweli huu,
   kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila siku,
 yaliyojaa kila aina ya upinzani na
   vita dhidi ya mtu wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na
 kuzima utendaji kazi wa nguvu za
  Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto
   wa Mungu (yaani maisha ya
     kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakufanya
  uwe mtu wa kuhangaika huku na
huku kutafuta msaada wa mbali, juu
   ya mambo ambayo wangeweza
 kuyatawala, kama wangekuwa na
   ufahamu wa msaada walionao
 karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
         Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamia kwa
 kukosa maarifa. Kwasababu
   nimekupa maarifa, nawe
  umeyakataa, basi na mimi
     nimekukataa wewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

   Ndio maana Biblia inasema
kwamba, unatakiwa kufundishwa
 na kufundishika ili tukue kiroho
  mpaka kufika katika cheo cha
          Kristo Yesu.
        Waefeso 4:11-14
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
           Waefeso 4:11-14
Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako,
zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi
 na kuyatawala mazingira yako kwa
   ushindi na kwa mafanikio, kama
Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala
  mazingira yake, bila kushindwa au
      kuzuiliwa na hali yoyote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU



 Uwezo wa ki-Mungu
  katika roho yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       Yohana 14:23, 21
‘Mtu akinipenda, mimi na Baba
  tutampenda, na kuja kufanya
      makao ndani yake, na
kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

              UTUKUFU




  Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

                   UTUKUFU




Kuona    Kuelewa             Kujua
(See)   (Understand) (Knowing)
Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7               Mungu




Dunia     Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba
  asili ya Mungu; inayoweza
 kutawala mazingira yako, bila
     kuzuilika na kanuni za
        kimwili/kidunia.
      (Physical Principles)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Hii ina maana kwamba, ndani
 yako kuna uwezo na nguvu za
             ki-Mungu.
Huko rohoni (Ndani yako) kuna
 asili ya ki-Mungu; kuna sura na
         mfano wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7
                    Mungu

                     Roho
Dunia               Nafsi
(Udongo)            Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


  Mungu ndiye asili yetu
      (sisi roho).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

  Ndani yako (rohoni) kuna asili
  ya Mungu kabisa. Na hii ina
  maana kwamba, ndani yako
kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani
        tabia za Kiungu;
      (Nguvu za Mungu)
         2Petro 1:3-4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Petro 1:3-4
                    Mungu

                     Roho
Dunia               Nafsi
(Udongo)            Mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       Tabia za Kiungu;
         2Petro 1:3-4
‘… Mungu ametukirimia ahadi
    kubwa mno za thamani,
   ambazo, kwa hizo (ahadi),
    ametushirikisha tabia za
            uungu.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


  Kwahiyo, Wewe ni mungu
      mdogo duniani!

         Zab 82:6
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           Zab 82:6
6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
 ninyi nyote ni wana wa Aliye
           Juu Sana.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
  wa wa ki-Mungu; yaani sura
  na mfano wa Mungu (Divine
  Nature). Kwahiyo Roho yako
   ndiyo inayoweza kutawala
 ulimwengu wa roho na mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

   Na kama roho ya binadamu
   ikitengwa na mwili au mwili
  wake ukidhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha uwezo wake
 wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile
 ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3-4).
Uwezo wa roho ya Mtu

Roho ya mwanadamu, ina uwezo
     wa ki-Mungu kabisa;

        Kwa Mfano;
 Uwezo wa kujua mambo, bila
    kuelezwa au kuona.
Uwezo wa roho ya Mtu


     Mfano 1:
  Tajiri na Lazaro
  Luka 16:19-31
Uwezo wa roho ya Mtu
         Luka 16:19-31
             Swali:
 Tajiri na Lazaro wamekufa,
hivyo, wako nje ya miili yao.
Kule kuzimu, tajiri alamwona
Lazaro upande wa pili akiwa
 kifuani kwa Baba Ibrahimu.
Uwezo wa roho ya Mtu
         Luka 16:19-31
              Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha
    wala video, Tajiri alijuaje
       kwamba, yule pale
aliyempakata Lazaro ndiye Baba
Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
Uwezo wa roho ya Mtu
           Luka 16:19-31
               Jibu:
Tajiri alikuwa nje ya mwili wake,
   hivyo roho yake nje ya mwili,
 ilikuwa na uwezo wa Kujua bila
            kuambiwa.
Uwezo wa roho ya Mtu
        Mfano 2:
  Yesu, Musa na Eliya;
Petro, Yakobo na Yohana;
wakiwa katika maombi ya
         Mlimani.
     Mathayo 17:1-9
Uwezo wa roho ya Mtu
        Mathayo 17:1-9
 Katika maombi ya Bwana Yesu
   kule mlimani, Utukufu wa
 Mungu unafunuka, na Manabii
   Musa na Eliya wanatokea
pamoja na Yesu, na Petro anakiri
kwa Bwana Yesu, kuwatambua.
Uwezo wa roho ya Mtu
         Mathayo 17:1-9
              Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha
   wala video, Petro aliwezaje
   kujua kwamba, yule pale ni
   Petro na yule pale ni Musa?
Uwezo wa roho ya Mtu
        Mathayo 17:1-9
              Jibu:
 Wanafunzi wa Yesu, walikuwa
 ndani ya Utukufu wa Mungu,
  kwahiyo nafsi zao zilikuwa
rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio
 maana walijua bila kuambiwa.
Uwezo wa roho ya Mtu

      Mwili, Nafsi, Roho




Ulimwengu          Ulimwengu
 wa Mwili   Kiungo    wa Roho
Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7               Mungu




Dunia     Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU
 Wewe una asili ya Mungu


                UTUKUFU




 Kuona Kuelewa Kujua
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU
 Roho ya mwanadamu (wewe),
ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;
na kama ikitengwa na mwili au
 mwili kudhoofishwa, basi roho
  itaweza kudhihirisha tabia za
   uungu/ki-Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
   *** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
 zote, nguvu za Mungu zitakuwa
  “ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha
    mafanikio na ushindi, bila
     kuzuiliwa na chochote.
Uwezo wa roho ya Mtu
  *** Mawazo (ktk nafsi) yako
  yana uwezo mkubwa sana wa
 kuwasha (ON) au kuzima (OFF)
   nguvu za Mungu na kuathiri
 mazingira yako, vizuri au vibaya;
Inategemea tu, nafsi imeegemea
 upande upi, rohoni au mwilini.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU
 Wewe una asili ya Mungu


                UTUKUFU




 Kuona Kuelewa Kujua
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


 Kwahiyo, Wewe na Mimi ni
  miungu wadogo duniani!

        Zaburi 82:6
       Yoh 10:33-36
Uwezo wa roho ya Mtu

      Mfano 3:

Miujiza iliyofanywa na
 Wanafunzi wa Yesu.
(Matendo 5:12/19:11)
Uwezo wa roho ya Mtu
    Matendo 5:12/19:11
Mungu akafanya kwa mikono ya
  mitume, miujiza ya kupita
 kawaida. Mikono yao, vivuli
 vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya
  watu walioonewa na ibilisi.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
   Roho ya mwanadamu (wewe),
  ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;
  na kama ikitengwa na mwili au
   mwili kudhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha uwezo wake
      wa ki-Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
          MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
   wa wa ki-Mungu; sura na
   mfano wa Mungu (Divine
  Nature). Kwahiyo Roho yako
 ndiyo inayoweza kuwasiliana
    na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo
  wa ki-Mungu kabisa; na kama
   ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza
 kudhihirisha uwezo wake wa ki-
         Mungu iliyonayo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
   *** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
 zote, nguvu za Mungu zitakuwa
  “ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha
    mafanikio na ushindi, bila
     kuzuiliwa na chochote.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
    *** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
 zote, nguvu za Mungu zitakuwa
 “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au
   kuzima nguvu za Mungu na
  kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       1. Kujitambua
     (Mawazo ya Ushindi)
          Mithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
 (kwenye mawazo yake) ndivyo
     alivyo (atakavyokuwa)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           Mfano;
 Gideon na Malaika wa Mungu
         Waamuzi 6:1-16
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
 (kwenye mawazo yake) ndivyo
     alivyo (atakavyokuwa)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukulia
  katika utumwa, na ndivyo
    alivyokuwa anajiona na
kujiwazia; na hali hiyo ndiyo
iliyozima uwezo na nguvu za
       Mungu ndani yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Malaika wa Mungu alimwona
     Gideon, tofauti na yeye
   alivyojiona; na ndio maana
alimwita Gideon jina la SHUJAA
 japo Gideon alikuwa anajiona
            MTUMWA.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

    Malaika wa Mungu akapuuza
     malalamiko ya Gideoni, na
kumwambia, “(usitegemee kwamba
  nitakupa chochote, kwasababu
 ulichonacho, kinakutosha sana, ila
umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu
      unavyojiona na kujiwazia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      Kisha Malaika wa Mungu
   akamwambia Gideoni kwamba,
    “(ukibadilisha ujavyojiona na
kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda
shujaa, nguvu za Mungu ndani yako
 zitaingia kazini) basi enenda katika
    nguvu zako (hizo), ukawapige
             wamidiani.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tu
    maneno ya Malaika, na
   akabadilisha alivyokuwa
 anajiona na kujiwazia, ndipo
  nguvu za Mungu, zilizokuwa
ndani yake ziliingia kazini (ON).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

   Gideon na wana wa Israeli,
   waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu,
ambazo zilikuwepo siku zote ndani
yao, lakini zilikuwa zimalala (zima)
 kwa jinsi walivyokuwa wanajiona
      na kujiwazia (kitumwa).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

   Gideon na wana wa Israeli,
  waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu,
na si kwa sababu nyingine yoyote
         ya kibinadamu.
Wamidian 30,000 : 300 Waisrael
  Wamidian 100 : 1 Waisrael
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       1. Kujitambua
     (Mawazo ya Ushindi)
          Mithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
 (kwenye mawazo yake) ndivyo
     alivyo (atakavyokuwa)’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
           MUNGU
    *** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
 zote, nguvu za Mungu zitakuwa
 “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au
   kuzima nguvu za Mungu na
  kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       1. Kujitambua
      Mawazo ya Ushindi
         Warumi 12:2,
‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,
  mpate kujua hakika mapenzi ya
  Mungu kwenu, yaliyo mema…’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       Mawazo ya Ushindi
         Waefeso 4:21-23,
21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa,
    kama kweli ilivyo katika Yesu,
   22 basi mvue mwenendo wa
       kwanza, utu wa zamani,
          unaoharibika …’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       Mawazo ya Ushindi
        Waefeso 4:21-23,
24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa
 kwa namna/mfano wa Mungu …
  23 kisha mfanywe wapya katika
    roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
ROHO MTAKATIFU
          Yohana 14:12,
Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye
aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na
 ndiye aliye chanzo cha nguvu za
   Mungu, tunazohitaji kufanya
mambo makubwa zaidi, kama yale
 yale na kuliko yale aliyoyafanya
           Bwana Yesu!
ROHO MTAKATIFU
          Yohana 14:12,
Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu
wa Mungu, halafu ukabaki kuwa
     binadamu wa kawaida.
     ‘Ordinary human being’
      ‘Natural human being’
ROHO MTAKATIFU
          Yohana 14:12,
   Roho Mtakatifu wa Mungu,
anataka kufanya uwe binadamu
  asiye wa kawaida (wa ajabu).
 ‘Extra -Ordinary human being’
  ‘Super-Natural human being’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
        Yohana 14:12/16:7-8
 ‘Amini Amini nawaambia, kila mtu
aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo,
(miujiza) na yeye atazifanya, naam,
  hata kubwa kuliko hizi atafanya;
  kwasababu nakwenda kwa baba
     kuwaletea, Roho yule yule
aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Na si Yesu peke yake, hata
binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu
 duniani, kinyume na taratibu za
 kawaida za kimwili, na wakaishi
 maisha ya ushindi na mafanikio
     duniani, bila kuzuilika.
      Yohana 14:12/16:7-8
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Ndio maana Musa aliweza kufungua
 bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya
ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni
kinyume kabisa na kanuni za kawaida
   za kimwili (archmedis priciple).
           Kutoka 14:1-31
   Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Ndio maana Joshua aliweza
kusimamisha mzunguko wa dunia
   hata jua likasimama mpaka
 walipomaliza shughuli yao kitu
 ambacho ni kinyume kabisa na
  kanuni za kawaida za kimwili.
         Joshua 10:12-15
 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Ndio maana Eliya aliweza kuzuia
    mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya
   kuruhusu mvua kunyesha, kitu
   ambacho ni kinyume kabisa na
    kanuni za kawaida za kimwili.
           Yakobo 5:17-18
   Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana pia aliweza kurudisha
mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
    kanuni za kimwili za kuruhusu
 (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
   ambacho ni kinyume kabisa na
    kanuni za kawaida za kimwili.
           Yakobo 5:17-18
   Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Petro aliweza kumponya
kilema katika mlango wa hekalu, bila
operation ya miguu (kama Yesu), kitu
    ambacho ni kinyume kabisa na
     kanuni za kawaida za kimwili.
           Matendo 3:1-16
   Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Uwezo wa roho ya Mtu
    Matendo 5:12/19:11
Mungu akafanya kwa mikono ya
  mitume, miujiza ya kupita
 kawaida. Mikono yao, vivuli
 vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya
  watu walioonewa na ibilisi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Ndio maana Filipo aliweza kusafiri
     kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho
   ni kinyume kabisa na kanuni za
         kawaida za kimwili.
          Matendo 8:26-40
   Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba;
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
wa wa ki-Mungu; yaani sura na
    mfano wa Mungu (Divine
 Nature). Kwahiyo Roho yako
     ina uwezo wa kutawala
 ulimwengu wa roho na mwili.
Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7               Mungu




Dunia     Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
        MUNGU
 Wewe una asili ya Mungu


                UTUKUFU




 Kuona Kuelewa Kujua
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Kutokujua ukweli huu, kwamba
   Roho wa Mungu yuko ndani
 yako, na hivyo, roho yako ndiyo
inayotumiwa na Mungu kuachilia
  nguvu zake, kutakufanya uwe
  mtu mwoga na dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

     Kutokujua ukweli huu,
  kutakuondolea ujasiri katika
 kukabiliana na maisha ya kila
   siku, yaliyojaa kila aina ya
upinzani na vita dhidi ya mtu wa
             Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na
kutazima utendaji kazi wa nguvu za
  Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto
   wa Mungu (yaani maisha ya
     kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Kwa Kutokujua (Kutokuwa na
 ufahamu huu) watu wa Mungu
wengi wamezuia utendaji kazi wa
 nguvu za Mungu kutoka ndani
  yao, na Nguvu kubwa sana za
   Mungu zimebaki ndani yao
    zimelala (hazijatumika).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na matokeo yake ni kwamba, watu
wa Mungu wengi wanahangaika na
 kutumia muda mwingi na gharama
kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na
  kulia, kutafuta msaada wa mbali,
    wakati ndani yao wameacha
 msaada ulio karibu; yaani nguvu za
  Mungu nyingi, zimebaki zimelala
      ndani yao, bila kutumika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri
maisha yako na mazingira yako.
   Ukiwaza vibaya, utoongea
vibaya. Na maneno yana nguvu
         ya kuumba!
       Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
      Mithali 18:20-21
  ‘Mauti na uzima huwa katika
    uwezo wa ulimi, na wao
 wautumiao, watakula matunda
             yake.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

     NGUVU YA NENO
Maneno ya nguvu za kuumba.
  Ulimwengu uliumbwa kwa
      NENO la Mungu.
       Yohana 1:1-4
     Ebrania 11:3/4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       NGUVU YA NENO
  Inatokana na Uhai wa Neno
 lenyewe, ambao unatokana na
uwepo wa Roho Mtakatifu ndani
          ya hilo Neno
        Waebrania 4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
       Waebrania 4:12

    “Neno la Mungu li hai
      tena lina Nguvu”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
   Yohana 6:63
‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),
  kwani mwili (pasipo roho)
         haufai kitu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       NGUVU YA NENO
       2 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini
  Roho wa Mungu anahuisha”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
 Inatokana na Uhai wa Neno
 lenyewe, ambao ni uwepo wa
 Roho Mtakatifu ndani ya Neno
        Waebrania 4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
    2 Timotheo 3:16-17
  Kila andiko lenye pumzi ya
 Mungu, lafaa kwa mafundisho
  na kubadilisha mwenendo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
      NGUVU YA NENO
     2 Timotheo 3:16-17

   Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

   Herufi + Roho = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
       Mithali 18:20-21
  Unapoachilia Neno la Mungu
 kutoka ndani yako kwa imani,
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
  hilo neno maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
       Mithali 18:20-21
 Unapoachilia neno baya kutoka
ndani yako kwa imani, basi roho
    mbaya huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
hilo neno hilo maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
      Mithali 18:20-21
  Mauti na uzima huwa katika
    uwezo wa ulimi, na wao
 wautumiao, watakula matunda
            yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

     NGUVU YA NENO
        Mithali 6:2
Umetegwa kwa maneno yako na
 umekamatwa na maneno ya
       kinywa chako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
        Wakolosai 3:16
  Neno la Kristo likae kwa wingi
 ndani yako katika hekima yote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

      NGUVU YA NENO
        Waefeso 4:29
  Neno lolote lililo ovu, lisitoke
 kinywani mwenu, bali lile lililo
    jema, la kumfaa msikiaji.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

     NGUVU YA NENO
  Maneno ya nguvu za kuumba.
        Yohana 1:1-4
     Ebrania 11:3/4:12
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

       NGUVU YA NENO
   Maneno mazuri huzaliwa na
   Mawazo mazuri. Na mawazo
       mazuri hutokana na
      Mtazamo/kuona vizuri.
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza
      na kutakosea kuongea.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

     Kutembea kwa Imani

Mawazo               Mtazamo
                     Maneno
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1

More Related Content

What's hot

Winning God’s favor
Winning God’s favorWinning God’s favor
Winning God’s favorOrFenn
 
Be Useful Vessels
Be Useful VesselsBe Useful Vessels
Be Useful VesselsOrFenn
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu001111111111
 
Kwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiriKwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiri001111111111
 
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptx
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptxBUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptx
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptxJeffereyGilCaber
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi001111111111
 
A call to walk in holiness
A call to walk in holinessA call to walk in holiness
A call to walk in holinessOrFenn
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji001111111111
 
12 last things
12 last things12 last things
12 last thingschucho1943
 
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)New City Church
 
Ano ang buhay na gusto mo
Ano ang buhay na gusto moAno ang buhay na gusto mo
Ano ang buhay na gusto moRogelio Gonia
 
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible Study
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible StudyTrust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible Study
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible StudyDanny Scotton, Jr.
 

What's hot (20)

Winning God’s favor
Winning God’s favorWinning God’s favor
Winning God’s favor
 
Be Useful Vessels
Be Useful VesselsBe Useful Vessels
Be Useful Vessels
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Kwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiriKwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiri
 
Degrees of prophecy, session #5
Degrees of prophecy, session #5Degrees of prophecy, session #5
Degrees of prophecy, session #5
 
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptx
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptxBUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptx
BUHAY NA NAKALULUGOD SA DIYOS.pptx
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi
 
Baptism in the holy spirit
Baptism in the holy spiritBaptism in the holy spirit
Baptism in the holy spirit
 
The spirit of wisdom
The spirit of wisdomThe spirit of wisdom
The spirit of wisdom
 
A call to walk in holiness
A call to walk in holinessA call to walk in holiness
A call to walk in holiness
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
 
12 last things
12 last things12 last things
12 last things
 
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)
Sermon Slide Deck: "Do Not Be Anxious About Your Life" (Luke 12:22-31)
 
Ano ang buhay na gusto mo
Ano ang buhay na gusto moAno ang buhay na gusto mo
Ano ang buhay na gusto mo
 
The Armor Of God
The Armor Of GodThe Armor Of God
The Armor Of God
 
Denying the soul
Denying the soulDenying the soul
Denying the soul
 
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible Study
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible StudyTrust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible Study
Trust in the LORD with ALL Your Hear | Proverbs 3:5-6; 1:7, 21:2 Bible Study
 
No U Turn
No U TurnNo U Turn
No U Turn
 
Hearing god
Hearing godHearing god
Hearing god
 
Ask seek knock
Ask seek knockAsk seek knock
Ask seek knock
 

Similar to Asili ya-mungu-ndani-yetu1

Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio001111111111
 
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu001111111111
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama001111111111
 
Christ the King (Swahili)
Christ the King (Swahili)Christ the King (Swahili)
Christ the King (Swahili)Martin M Flynn
 
Dei verbum swahili - divine revelation
Dei verbum   swahili - divine revelationDei verbum   swahili - divine revelation
Dei verbum swahili - divine revelationMartin M Flynn
 
The power of god kiswahili
The power of god kiswahiliThe power of god kiswahili
The power of god kiswahiliWorldBibles
 
Wanyama wawili Marafiki 1
Wanyama wawili Marafiki 1Wanyama wawili Marafiki 1
Wanyama wawili Marafiki 1TucasaCcohas
 
The way to god kiswahili
The way to god kiswahiliThe way to god kiswahili
The way to god kiswahiliWorldBibles
 

Similar to Asili ya-mungu-ndani-yetu1 (13)

Academic excellence
Academic excellenceAcademic excellence
Academic excellence
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio
 
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
 
Christ the King (Swahili)
Christ the King (Swahili)Christ the King (Swahili)
Christ the King (Swahili)
 
Manabii wa uongo
Manabii wa uongoManabii wa uongo
Manabii wa uongo
 
Dei verbum swahili - divine revelation
Dei verbum   swahili - divine revelationDei verbum   swahili - divine revelation
Dei verbum swahili - divine revelation
 
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzaniaMaono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
 
The power of god kiswahili
The power of god kiswahiliThe power of god kiswahili
The power of god kiswahili
 
Wanyama wawili Marafiki 1
Wanyama wawili Marafiki 1Wanyama wawili Marafiki 1
Wanyama wawili Marafiki 1
 
The way to god kiswahili
The way to god kiswahiliThe way to god kiswahili
The way to god kiswahili
 

Asili ya-mungu-ndani-yetu1

  • 1. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654
  • 2. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI 2Petro 1:3-4
  • 3. 2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani, nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.
  • 4. 2Petro 1:3-4 4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa mbaya.
  • 5. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA 1. KUMILIKI NA KUTAWALA
  • 6. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA 1. KUMILIKI NA KUTAWALA 2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
  • 7. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Summary KUSUDI LA KANISA 1. KUMILIKI NA KUTAWALA 2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA 3. KUMSIFU NA KUMWABUDU
  • 8. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26,28 26 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia.
  • 9. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 1:26-18 28 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
  • 10. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-10 9 Wewe Mungu … unastahili heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa. (yaani kanisa).
  • 11. KUSUDI LA KANISA Ufunuo 5:9-10 10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao wanamiliki dunia.’’
  • 12. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ufunuo 5:8-10 Ufalme Makuhani Kutawala Ibada
  • 13. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba, alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha mamlaka ya Mungu duniani.
  • 14. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.
  • 15. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8 Mwanadamu ni nani hata umemwangalia hivi? Umemfanya mdogo kidogo tu kuliko Mungu,
  • 16. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8 ukamvika taji ya Utukufu na heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini ya miguu yake…
  • 17. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8 Hilo neno “juu ya” = (Over All) = Mkuu = Mtawala “Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi = Mungu
  • 18. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 18 Na milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
  • 19. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni);
  • 20. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 16:18-19 19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)
  • 21. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 115:16 Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa wanadamu
  • 22. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa chombo kizuri cha ibada.
  • 23. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu. (Mwanzo 1:26-28)
  • 24. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)
  • 25. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)
  • 26. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …
  • 27. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “ambaye ni baba wa uongo, na mkiani mwake anakokota theluthi (1/3) ya nyota za mbinguni (malaika wa Mungu) …
  • 28. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika zake aliowadanganya …”
  • 29. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.
  • 30. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.
  • 31. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata kufa”.
  • 32. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua ana wakati mchache!
  • 33. VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
  • 34. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19 Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu (nguvu za giza) haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga’
  • 35. VITA VYA ROHONI Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani, kwasababu, kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu).” (Mathayo 16:18)
  • 36. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kutawala Ni Mfano na Asili ya Baba yetu ‘Mfalme wa wafalme’
  • 37. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Ni Mfano/Asili ya Baba yetu Mwanzo 1:26,28 ‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia’.
  • 38. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Mwanzo 1:26-18 Kwanini ni lazima Kuitawala Dunia? (kuitiisha)
  • 39. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia? Kuna kuna upinzani wa adui shetani (vita na mapambano)
  • 40. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu, kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katika mbingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada za malaika wa mbinguni.
  • 41. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndio maana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa Mungu, yaani mimi na wewe
  • 42. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafuta namna ya kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani (kwa watoto wa Mungu).
  • 43. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.
  • 44. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
  • 45. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, (Mwanzo 1:26-28)
  • 46. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha yako (inayotoka duniani). (Yohana 4:23)
  • 47. VITA VYA ROHONI Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la Bwana Yesu Kristo).” (Mathayo 16:18-19)
  • 48. KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI Yakobo 5:16-18
  • 49. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-18 17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).
  • 50. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-18 18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
  • 51. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yakobo 5:16-18 16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. (Hosea 4:6, Warumi 10:2)
  • 52. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano; Yesu na Petro kutembea juu ya maji. Mathayo 14:25-33
  • 53. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 25 Wakati wa zamu ya nne ya usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12 alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji (kinyume na kanuni za asili).
  • 54. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’ Wakapiga yowe kwa kuogopa.
  • 55. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 27 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28 Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.’’
  • 56. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’ Basi Petro akatoka kwenyen chombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
  • 57. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 30 Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu akanyosha mkono Wake na kumshika, akamwambia, …
  • 58. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 31 … “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo ukakoma.
  • 59. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mathayo 14:25-33 33 Ndipo wote waliokuwamo ndani ya kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema, “Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.’’
  • 60. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Makusudi ya Mungu ni sisi kanisa lake, tukue kiroho na tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe Yohana 14:12
  • 61. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:12 “Amin, amin, nawaambia, kila mtu aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo, yeye naye atazifanya, na hata kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.
  • 62. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa walimu,
  • 63. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa.
  • 64. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho, hata kufikia cheo (level) ya kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
  • 65. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 14 Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
  • 66. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-15 15 Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa, yaani, Yesu Kristo.
  • 67. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa mfano; Petro na Yohana kumponya kilema wa miaka 40. Matendo 3:1-10
  • 68. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 1. Siku moja Petro na Yohana walikuwa wanapanda kwenda hekaluni kusali yapata saa tisa alasiri.
  • 69. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 2 Basi palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango la hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu wanaoingia hekaluni.
  • 70. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 3 Huyu mtu akiwaona Petro na Yohana wakikaribia kuingia hekaluni, aliwaomba wampe sadaka.
  • 71. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 4 Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’ 5 Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
  • 72. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 6 Ndipo Petro akamwambia, ‘‘Sina fedha wala dhahabu, lakini kile nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti simama, uende.’’
  • 73. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 7 Petro akamshika yule mtu kwa mkono wa kuume akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.
  • 74. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 8 Akaruka juu na kusimama, akaanza kutembea. Kisha akaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, huku akitembea na kurukaruka na kumsifu Mungu.
  • 75. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 9 Watu wote walipomwona akitembea na kumsifu Mungu, 10 wakamtambua kuwa ni yule mtu aliyekuwa akiketi nje ya hekalu penye lango liitwalo Zuri …
  • 76. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Matendo 3:1-10 10 … akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.
  • 77. Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU
  • 78. ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU AU NAMNA YA KUOMBA SAWA SAWA
  • 79. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
  • 80. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
  • 81. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
  • 82. NINI MAANA YA KUOMBA Kwasababu, Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24) Hii ina maana kwamba, Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
  • 83. NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu … Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’ (Waebrania 11:6) “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
  • 84. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
  • 85. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … ili kuongea na Mungu …
  • 86. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
  • 87. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
  • 88. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo?
  • 89. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 90. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 91. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 92. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 93. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 94. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 95. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 96. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 97. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 98. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 99. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 100. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 101. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 102. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 103. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 104. NAMNA YA KUOMBA Bwana Yesu anasema; “Ombeni nanyi mtapewa, Kwa maana kila aombaye Hupokea (hupewa) … (Mathayo 7:7-11)
  • 105. NAMNA YA KUOMBA Na wachache wanaoomba Biblia anasema; “Mnaomba na hata hampati, Kwasababu mnaomba vibaya” (Yakobo 4:3)
  • 106. NAMNA YA KUOMBA Bwana Yesu anasema; “Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)
  • 107. NGUVU YA MAOMBI NAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHI HATA KULETA MABADILIKO DUNIANI.
  • 108. NAMNA YA KUOMBA Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua; NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO
  • 109. NAMNA YA KUOMBA Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua; NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI
  • 110. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho
  • 111. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho  Namna ya kwenda rohoni
  • 112. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho  Namna ya kwenda rohoni  Nafasi/Mamlaka yako rohoni
  • 113. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho  Namna ya kwenda rohoni  Nafasi/Mamlaka yako rohoni  Namna ya Kupiga Vita rohoni
  • 114. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho  Namna ya kwenda rohoni  Nafasi/Mamlaka yako rohoni  Namna ya Kupiga Vita rohoni  Namna ya Kuathiri rohoni
  • 115. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho  Namna ya kwenda rohoni  Nafasi/Mamlaka yako rohoni  Namna ya Kupiga Vita rohoni  Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
  • 116. NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo Hebu tujifunze sasa; 1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.
  • 117. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
  • 118. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
  • 119. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … ili kuongea na Mungu …
  • 120. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
  • 121. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, … itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
  • 122. NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo? Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri, Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu wazuri, nk. nk. nk.
  • 123. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika katika Ulimwengu wa roho ...
  • 124. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho ni nini?
  • 125. KANUNI ZA KIROHO Kwa Mfano; Uumbaji wa vitu vya Dunia Mwanzo 1:1-5, 14-19
  • 126. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi; 2 na Dunia ilikuwa haina umbo tena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alitanda juu ya maji.
  • 127. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4 Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza.
  • 128. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 5 Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
  • 129. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 14 Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe mchana na usiku, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbali mbali, siku na miaka,
  • 130. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16 Mungu akafanya mianga miwili mikubwa …
  • 131. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 16 … Mwanga mkubwa utawale mchana (Jua) na mwanga mdogo utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za mbinguni.
  • 132. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangaze dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.
  • 133. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!
  • 134. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza ulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.
  • 135. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Nuru Jua Mwanga (Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
  • 136. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangaza duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika ulimwengu wa roho.
  • 137. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
  • 138. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Hii ina maana kwamba; Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.
  • 139. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Hii ina maana kwamba; Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.
  • 140. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
  • 141. KANUNI ZA KIROHO Yohana 5:12 12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni Nuru ya ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
  • 142. KANUNI ZA KIROHO Yohana 3:16-20 19 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu.
  • 143. KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19 Nuru Jua Mwanga (Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
  • 144. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 “Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.
  • 145. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Mkate Afya
  • 146. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
  • 147. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawa anazotumia tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
  • 148. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Dawa Afya
  • 149. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Nyumba Ulinzi
  • 150. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Kitanda Usingizi
  • 151. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Kitabu Akili
  • 152. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Pete Upendo
  • 153. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Cheti Kazi
  • 154. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Ajira Mafanikio
  • 155. KANUNI ZA KIROHO Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4 Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa kimwili na kanuni zake.
  • 156. ULIMWENGU WA ROHO Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.
  • 157. KANUNI ZA KIROHO Kwa lugha rahisi; Waebrania 11:3 “Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”
  • 158. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;
  • 159. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa na mambo ya ulimwengu wa roho;
  • 160. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual Principles).
  • 161. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4 “Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo kwa Bwana”.
  • 162. KANUNI ZA KIROHO Luka 4:4 Neno Mkate Afya
  • 163. KANUNI ZA KIROHO Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4 Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa kimwili na kanuni zake.
  • 164. KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3 Kwasababu hiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual Principles).
  • 165. KANUNI ZA KIROHO 2Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).
  • 166. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa; Ni vitu vilivyopo kabisa ila hatuvioni tu.
  • 167. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 ‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’
  • 168. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 ‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)’ - (vitu vya kiroho) -
  • 169. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana na • Vitu vinavyoonekana
  • 170. NGUVU YA MAOMBI ULIMWENGU WA ROHO Ulimwengu w Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika. (Waebrania 11:3)
  • 171. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 ‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)’ - (vitu vya kiroho) -
  • 172. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
  • 173. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)
  • 174. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu vinavyoonekana (Vitu vya Kimwili)
  • 175. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana Na vyote viko kwa pamoja
  • 176. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili). (2 Wakorintho 4:18)
  • 177. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una pande mbili.
  • 178. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja! (2Wakorintho 4:18)
  • 179. Ulimwengu wa Roho Hii ni kwasababu Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)
  • 180. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
  • 181. NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3 Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
  • 182. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
  • 183. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo”
  • 184. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwa Mfano Uumbaji wa Dunia Waebrania 11:3
  • 185. Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½ Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
  • 186. Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½ Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki Ulimwengu wa Mwili Torati na Manabii Kuzaliwa Injili Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa
  • 187. Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 Milele (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7 33 30 3½ 3½ 3½ 600 Injili Kanisa Dhiki Ulimwengu wa Roho 700 2000 Ulimwengu wa Mwili (4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
  • 188. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
  • 189. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
  • 190. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo”
  • 191. NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3 Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).
  • 192. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ayubu 8:9 “Kwakuwa sisi ni wa jana tu, wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli” - Photocopy -
  • 193. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Zaburi 39:6a “Binadamu huko na huko kama kivuli” - Photocopy -
  • 194. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
  • 195. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
  • 196. NGUVU YA MAOMBI Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
  • 197. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
  • 198. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani. ‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
  • 199. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
  • 200. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya Yakobo 5:17-18;
  • 201. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki- mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.
  • 202. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha.
  • 203. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.
  • 204. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na nchi ikazaa matunda yake.
  • 205. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya 1Wafalme 18:41-44; Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41) Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake aliyeisikia, na kutoa tangazo.
  • 206. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24) Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili
  • 207. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi
  • 208. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
  • 209. NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17-18; Japo hakukuwa na kanuni zozote za kisayansi za kuruhusu mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri kanuni zinazosababisha mvua mwili, na ndio maana mvua ikanyesha.
  • 210. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi / / / / / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / / Uyahudi Uyahudi Uyahudi
  • 211. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
  • 212. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
  • 213. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
  • 214. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
  • 215. NGUVU YA MAOMBI Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
  • 216. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
  • 217. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani. ‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
  • 218. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
  • 219. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2); • Vitu visivyoonekana na • Vitu vinavyoonekana
  • 220. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Yaani kuna upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja! (2Wakorintho 4:18)
  • 221. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ni kama vile karatasi, ina upande wa mbele na ina upande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kina upande wa mbele na wa nyuma.
  • 222. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Ni kama vile mkono wako (kiganja cha mkono) kina upande wa mbele na wa nyuma. Lakini ni mkono mmoja, ila una apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo na dunia yetu.
  • 223. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
  • 224. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1. Kwa Mfano wa Nabii Elisha na Gehazi. 2 Wafalme 6:8-17
  • 225. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17 Elisha, alipokuwa amezungukwa na maadui, Gehazi alipatwa na hofu na woga, kwasababu hakujua kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka. Ni kwasababu pale pale, ila ni katika upande usioonekana (rohoni).
  • 226. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17 Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke, ndipo Gehazi akawaona malaika wengi wa mbinguni waliowazunguka pande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa pili wa dunia (rohoni).
  • 227. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 6:8-17 Malaika wanaoneka hapa, hawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku zote pamoja nao, ila huwa wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho yetu hayajaruhusiwa kuuona.
  • 228. Ulimwengu wa Roho 2 Wafalme 6:8-17 Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho yetu hayajaruhusiwa kuuona.
  • 229. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
  • 230. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2. Kwa Mfano wa Nabii Eliya na Elisha. 2 Wafalme 2:7-15
  • 231. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15 Kama Eliya angetoweka ghafla mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.
  • 232. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15 Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.
  • 233. Ulimwengu wa Roho 2Wafalme 2:7-10-12-15 Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona mwanzo na mwisho wa kuondoka kwa Eliya; kwasababu anaruhusiwa (anawezeshwa) kuchungulia rohoni.
  • 234. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
  • 235. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 3. Kwa Mfano wa Bwana Yesu na Wanafunzi Wawili wa Emmaus. Luka 24:13-52
  • 236. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52 Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu, mbele ya macho yao.
  • 237. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52 Kwasababu kutoweka ghafla kwa Bwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho yetu hayauoni tu.
  • 238. Ulimwengu wa Roho Luka 24:13-52 Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa (hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.
  • 239. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
  • 240. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 4. Kwa Mfano wa Bwana Yesu na Wanafunzi Waliomwona akipaa Mbinguni. Matendo 1:9-11
  • 241. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).
  • 242. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni, hivyo katika kutazama kwao, Bwana Yesu hakutoweka ghafla katika macho yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.
  • 243. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.
  • 244. Ulimwengu wa Roho Matendo 1:9-11 Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi), hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho; huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.
  • 245. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3 Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai- photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
  • 246. Ulimwengu wa Roho Hii ni kwasababu Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu wa roho. Waebrania 11:3
  • 247. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! Yaani Rohoni na Mwilini.
  • 248. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake 1 Wakorintho 15:44
  • 249. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1 Wakorintho 15:44 “Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo”
  • 250. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 2 Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).
  • 251. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili. Kwahiyo Hakuna kitu kinafanyka katika mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho. Waebrania 11:3
  • 252. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.
  • 253. NGUVU YA MAOMBI Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
  • 254. NGUVU YA MAOMBI Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
  • 255. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 ‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu’.
  • 256. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili Uyahudi Uyahudi Uyahudi
  • 257. Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / / / / / (mstari wa 41) / / / / / / Mvua ya rohoni / / / / / / / / / / / / / / Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
  • 258. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo, Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.
  • 259. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
  • 260. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
  • 261. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa shida na taabu nyingi.
  • 262. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30 Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tuna baraka zetu nyingi sana kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?
  • 263. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Waebrani 11:3; Waefeso 1:3-4, Ni kwasababu; watu wa Mungu, (1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~
  • 264. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Isaya 59:16, Mathayo 26:40-41 Ni kwasababu; watu wa Mungu, (2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~
  • 265. NGUVU YA MAOMBI Hosea 4:6, Warumi 10:2 Ni kwasababu; watu wa Mungu, (3) Hatuna maarifa na bidii ya kutumia kanuni za kiroho, kwa namna sahihi, katika madhabahu ya Bwana (ulimwengu wa kiroho).
  • 266. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.
  • 267. NGUVU YA MAOMBI Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
  • 268. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
  • 269. NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu duniani. ‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’ (Waebrania 11:3)
  • 270. NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo basi, Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.
  • 271. NAMNA YA KUOMBA Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua; NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI
  • 272. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho
  • 273. NGUVU YA MAOMBI  Kuujua Ulimwengu wa roho 2. Namna ya kwenda rohoni
  • 274. NAMNA YA KUOMBA 2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU. Namna ya kuingia rohoni.
  • 275. NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
  • 276. NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu … Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’ (Waebrania 11:6) “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
  • 277. NINI MAANA YA KUOMBA Mungu yuko wapi?
  • 278. NAMNA YA KUOMBA Kwasababu, Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24) Hii ina maana kwamba, Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
  • 279. NAMNA YA KUOMBA Kwahiyo, Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)…
  • 280. NAMNA YA KUOMBA Ndio maana Biblia inasema; “Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao” (Waebrania 11:6)
  • 281. MUNGU YUKO WAPI? MUNGU ANAKAA NDANI YETU! ‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua (kujidhihirisha) kwake’ Yohana 14:21,23
  • 282. MUNGU YUKO WAPI? “Ndani yake” maana yake nini?
  • 283. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Sehemu Kuu za Mwanadamu Roho Roho Nafsi Mwili
  • 284. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwanadamu ni 1. Mwili, 2. Nafsi, na 3. Roho.
  • 285. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, Roho
  • 286. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, Roho Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
  • 287. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU Mwa 2:7 Nyama Damu Nafsi Mwili Roho Mifupa Mwanadamu
  • 288. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU Mwa 2:7 Mtu Fikra Hisia NAFSI ROHO Maamuzi
  • 289. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Mwili, Nafsi, Roho Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
  • 290. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
  • 291. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Uwezo wa ki-Mungu katika roho yako.
  • 292. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Yohana 14:23, 21 MUNGU ANAKAA NDANI YETU! Kwahiyo, njia ya kuingilia katika ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu. (rohoni)
  • 293. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua Asili ya roho yako (Wewe)
  • 294. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kuitambua asili ya Mungu iliyopo “Ndani yako”
  • 295. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, Kumbe Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).
  • 296. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU “Ndani yetu” maana yake nini?
  • 297. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 2:7, inasema ‘Bwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.
  • 298. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwanzo 2:7, inasema Mwili Nafsi Roho
  • 299. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, from Mwanzo 2:7 Mwanadamu ni 1. Mwili 2. Nafsi 3. Roho
  • 300. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa uhalisi kabisa, iko hivi; Roho Nafsi Mwili
  • 301. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
  • 302. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho
  • 303. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwa 2:7 Mungu Roho Dunia Nafsi (Udongo) Mwili
  • 304. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na mfano wa Mungu.
  • 305. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu ndiye asili yetu (sisi roho)
  • 306. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe) umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
  • 307. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo; Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
  • 308. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwa 2:7 Mungu Roho Dunia Nafsi (Udongo) Mwili
  • 309. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
  • 310. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:6 6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
  • 311. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 33 Wayahudi wakamjibu, “Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
  • 312. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’ 35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu limewajia …
  • 313. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yoh 10:33-36 36 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu (mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu (au Mungu)?’
  • 314. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu mdogo duniani). (Zaburi 82:6)
  • 315. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1Yohana 5:1-4 4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”
  • 316. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 1 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yasiyoonekana.
  • 317. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Kwahiyo, hata kama huoni kwa macho au hujashika kwa mikono, lakini amini tu kwamba, wewe ni Mungu mdogo duniani. Kwasababu ‘Hatuenendi kwa kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’
  • 318. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waebrania 11:1 Na huko kuamini hivyo, ndiko kunakofungulia Nguvu za Mungu, za kuushinda ulimwengu. Imani hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ nguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).
  • 319. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
  • 320. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo basi, Kumbe Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).
  • 321. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;
  • 322. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.
  • 323. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
  • 324. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
  • 325. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.
  • 326. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Kristo Yesu. Waefeso 4:11-14
  • 327. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11-14 Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwa ushindi na kwa mafanikio, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au kuzuiliwa na hali yoyote.
  • 328. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Uwezo wa ki-Mungu katika roho yako.
  • 329. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:23, 21 ‘Mtu akinipenda, mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake, na kujidhihirisha (kujifunua) kwake’. MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
  • 330. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Mwili Nafsi Roho
  • 331. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Knowing)
  • 332. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho
  • 333. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayoweza kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za kimwili/kidunia. (Physical Principles)
  • 334. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na mfano wa Mungu.
  • 335. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mwa 2:7 Mungu Roho Dunia Nafsi (Udongo) Mwili
  • 336. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu ndiye asili yetu (sisi roho).
  • 337. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani tabia za Kiungu; (Nguvu za Mungu) 2Petro 1:3-4
  • 338. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2Petro 1:3-4 Mungu Roho Dunia Nafsi (Udongo) Mwili
  • 339. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3-4 ‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani, ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za uungu.’
  • 340. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani! Zab 82:6
  • 341. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zab 82:6 6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
  • 342. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala ulimwengu wa roho na mwili.
  • 343. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili wake ukidhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3-4).
  • 344. Uwezo wa roho ya Mtu Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; Kwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo, bila kuelezwa au kuona.
  • 345. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 1: Tajiri na Lazaro Luka 16:19-31
  • 346. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali: Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
  • 347. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Swali: Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
  • 348. Uwezo wa roho ya Mtu Luka 16:19-31 Jibu: Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
  • 349. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 2: Yesu, Musa na Eliya; Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya Mlimani. Mathayo 17:1-9
  • 350. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro anakiri kwa Bwana Yesu, kuwatambua.
  • 351. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Swali: Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
  • 352. Uwezo wa roho ya Mtu Mathayo 17:1-9 Jibu: Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
  • 353. Uwezo wa roho ya Mtu Mwili, Nafsi, Roho Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
  • 354. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho
  • 355. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
  • 356. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki-Mungu iliyonayo.
  • 357. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila kuzuiliwa na chochote.
  • 358. Uwezo wa roho ya Mtu *** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF) nguvu za Mungu na kuathiri mazingira yako, vizuri au vibaya; Inategemea tu, nafsi imeegemea upande upi, rohoni au mwilini.
  • 359. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
  • 360. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani! Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
  • 361. Uwezo wa roho ya Mtu Mfano 3: Miujiza iliyofanywa na Wanafunzi wa Yesu. (Matendo 5:12/19:11)
  • 362. Uwezo wa roho ya Mtu Matendo 5:12/19:11 Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
  • 363. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo.
  • 364. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana na ulimwengu wa roho.
  • 365. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki- Mungu iliyonayo.
  • 366. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila kuzuiliwa na chochote.
  • 367. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na kutawala mazingira ya kimwili.
  • 368. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
  • 369. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mfano; Gideon na Malaika wa Mungu Waamuzi 6:1-16 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
  • 370. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za Mungu ndani yake.
  • 371. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona MTUMWA.
  • 372. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Malaika wa Mungu akapuuza malalamiko ya Gideoni, na kumwambia, “(usitegemee kwamba nitakupa chochote, kwasababu ulichonacho, kinakutosha sana, ila umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu unavyojiona na kujiwazia.
  • 373. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kisha Malaika wa Mungu akamwambia Gideoni kwamba, “(ukibadilisha ujavyojiona na kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda shujaa, nguvu za Mungu ndani yako zitaingia kazini) basi enenda katika nguvu zako (hizo), ukawapige wamidiani.”
  • 374. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa ndani yake ziliingia kazini (ON).
  • 375. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona na kujiwazia (kitumwa).
  • 376. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao (wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote ya kibinadamu. Wamidian 30,000 : 300 Waisrael Wamidian 100 : 1 Waisrael
  • 377. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua (Mawazo ya Ushindi) Mithali 23:7 ‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
  • 378. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU *** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na kutawala mazingira ya kimwili.
  • 379. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 1. Kujitambua Mawazo ya Ushindi Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’
  • 380. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23, 21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa, kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’
  • 381. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo ya Ushindi Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
  • 382. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya Bwana Yesu!
  • 383. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12, Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, halafu ukabaki kuwa binadamu wa kawaida. ‘Ordinary human being’ ‘Natural human being’
  • 384. ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12, Roho Mtakatifu wa Mungu, anataka kufanya uwe binadamu asiye wa kawaida (wa ajabu). ‘Extra -Ordinary human being’ ‘Super-Natural human being’
  • 385. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Yohana 14:12/16:7-8 ‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
  • 386. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio duniani, bila kuzuilika. Yohana 14:12/16:7-8
  • 387. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili (archmedis priciple). Kutoka 14:1-31 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 388. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Joshua 10:12-15 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 389. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 390. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Yakobo 5:17-18 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 391. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 3:1-16 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 392. Uwezo wa roho ya Mtu Matendo 5:12/19:11 Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.
  • 393. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili. Matendo 8:26-40 Kanuni za kimwili hazikumzuia.
  • 394. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ina uwezo wa kutawala ulimwengu wa roho na mwili.
  • 395. Mungu Ndiye Asili Yetu. Mwa 2:7 Mungu Dunia Mwili Nafsi Roho
  • 396. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU Wewe una asili ya Mungu UTUKUFU Kuona Kuelewa Kujua
  • 397. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kwamba Roho wa Mungu yuko ndani yako, na hivyo, roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;
  • 398. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Mungu.
  • 399. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)
  • 400. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).
  • 401. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanahangaika na kutumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na kulia, kutafuta msaada wa mbali, wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; yaani nguvu za Mungu nyingi, zimebaki zimelala ndani yao, bila kutumika.
  • 402. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu ya kuumba! Mithali 18:20-21
  • 403. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 ‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.’
  • 404. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Maneno ya nguvu za kuumba. Ulimwengu uliumbwa kwa NENO la Mungu. Yohana 1:1-4 Ebrania 11:3/4:12
  • 405. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Neno Waebrania 4:12
  • 406. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waebrania 4:12 “Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
  • 407. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Yohana 6:63 ‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’
  • 408. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Wakorintho 3:6 “Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”
  • 409. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno Waebrania 4:12
  • 410. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho na kubadilisha mwenendo.
  • 411. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO 2 Timotheo 3:16-17 Andiko + Pumzi = Neno (Hai) Herufi + Roho = Nguvu
  • 412. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani, Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno maishani mwako.
  • 413. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.
  • 414. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 18:20-21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula matunda yake.
  • 415. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Mithali 6:2 Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya kinywa chako.
  • 416. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Wakolosai 3:16 Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.
  • 417. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Waefeso 4:29 Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo jema, la kumfaa msikiaji.
  • 418. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Maneno ya nguvu za kuumba. Yohana 1:1-4 Ebrania 11:3/4:12
  • 419. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU NGUVU YA NENO Maneno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo mazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri. Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.
  • 420. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno