3. 2Petro 1:3-4
3 Kwakuwa uweza wake (yaani,
nguvu zake za) uungu umetupatia
mambo yote tunayohitaji kwa ajili
ya uzima na uchaji wa Mungu,
kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa
utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
4. 2Petro 1:3-4
4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia
ahadi Zake kuu na za thamani
kupitia mambo haya, ili kwa
kupitia hayo mpate kuwa
washiriki wa tabia za uungu,
mkiokolewa na uharibifu (au
upotovu) ulioko duniani kwa
sababu ya tamaa mbaya.
5. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Summary
KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
6. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Summary
KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
7. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Summary
KUSUDI LA KANISA
1. KUMILIKI NA KUTAWALA
2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA
3. KUMSIFU NA KUMWABUDU
8. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,28
26 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia
na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
9. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-18
28 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika
bustani ya dunia, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitawala
(kuitiisha) dunia.
10. KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-10
9 Wewe Mungu … unastahili
heshima zote, kwa sababu
ulichinjwa na kwa damu yako
ukamnunulia Mungu watu
kutoka katika kila kabila, kila
lugha, kila jamaa na kila taifa.
(yaani kanisa).
11. KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-10
10 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa
kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
12. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 5:8-10
Ufalme Makuhani
Kutawala Ibada
13. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ndio maana tunapokumbuka
kuzaliwa kwa Bwana Yesu
duniani, (kama Adam wa pili),
tunakumbushwa kwamba,
alizaliwa kwanza kama Mfalme
na sio Kuhani, ili kurudisha
mamlaka ya Mungu duniani.
14. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la
Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia
(pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha
mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
15. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8
Mwanadamu ni nani hata
umemwangalia hivi?
Umemfanya mdogo kidogo
tu kuliko Mungu,
16. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8
ukamvika taji ya Utukufu na
heshima, ukamtawaza juu ya
kazi za mikono yako, ukavitia
vitu vyote chini ya miguu
yake…
17. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8
Hilo neno “juu ya” = (Over All)
= Mkuu
= Mtawala
“Mashal” = Mfalme
(Kiebrania) = Mwakilishi
= Mungu
18. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
18 Na milango ya kuzimu
haitaweza kulishinda kanisa
langu nitakalolijenga
(kwa mfumo huu).
19. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 Kwa maana nitawapa
funguo za Ufalme, na mambo
mtakayoyafunga (ninyi)
yatakuwa yamefungwa
(mbinguni);
20. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 … na mambo
mtakayoyafungua (ninyi)
yatakuwa yamefunguliwa
(mbinguni)
21. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16
Mbingu ni mbingu za Bwana,
bali nchi amewapa
wanadamu
22. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la
Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia
(pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha
mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
23. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ili kumwezesha mwanadamu
kuitawala dunia pamoja na Mungu,
Mungu alimuumbia mfumo wa
uungu katika utu wake wa ndani, ili
atende kazi duniani kwa kutumia
Nguvu za Mungu.
(Mwanzo 1:26-28)
24. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mwanzo 1:26-18
Kwanini ni lazima
Kuitawala Dunia?
(kuitiisha)
25. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kuna kuna upinzani
wa adui shetani
(vita na mapambano)
26. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
7 “Kulikuwa na vita mbinguni,
Malaika Mkuu wa majeshi ya
Mungu, Malaika Mikaeli,
akapigana na yule joka …
27. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
3 “ambaye ni baba wa uongo,
na mkiani mwake anakokota
theluthi (1/3) ya nyota za
mbinguni (malaika wa Mungu) …
28. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
7 “Kulikuwa na vita mbinguni,
katika ya Mikaeli, malaika Mkuu
wa majeshi ya Mungu, na yule
joka (ibilisi shetani) na malaika
zake aliowadanganya …”
29. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
8 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tena
mbinguni. 9 Yule joka aitwaye
ibilisi na shetani, akatupwa
duniani, na malalika zake
wakatupwa pamoja naye.
30. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni,
ikisema, sasa kumekuwa wokovu
na nguvu na ufalme wa Mungu
wetu na mamlaka ya Kristo
wake, kwa maana ametupwa
chini mshitaki wa ndugu zetu”.
31. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
11 “Nao wakamshinda yule joka
na malaika zake, kwa damu ya
mwana kondoo na kwa neno la
ushuhuda wao, ambao
hawakupenda maisha yao hata
kufa”.
32. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi
wote mkaao mbinguni; lakini ole
wa ninyi mkaao duniani! Kwa
maana yule joka ibilisi, ameshuka
kwenu, ana hasira nyingi akijua
ana wakati mchache!
33. VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
17 “Joka akamkasirikia yule
mwanamke (kanisa), akaenda
afanye vita juu wa wazao wake
wazishikao amri za Mungu na
kuwa na ushuhuda wa Yesu …”
34. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kwasababu kuna vita
Mathayo 16:18-19
Ndio maana Bwana Yesu alisema
‘Nitalijenga Kanisa langu, wala
milango ya kuzimu (nguvu za
giza) haitaweza kulishinda kanisa
langu nitakalolijenga’
35. VITA VYA ROHONI
Kwahiyo, ni lazima tutumie
mamlaka ya Mungu duniani,
kwasababu, kuna vita na
upinzani (mashindano), kati ya
shetani na watoto wa Mungu
(kanisa la Bwana Yesu).”
(Mathayo 16:18)
36. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kutawala Ni Mfano na
Asili ya Baba yetu
‘Mfalme wa wafalme’
37. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Ni Mfano/Asili ya Baba yetu
Mwanzo 1:26,28
‘Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu, wakatawale
dunia na vyote tulivyoviumba juu
ya uso wa dunia’.
38. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mwanzo 1:26-18
Kwanini ni lazima
Kuitawala Dunia?
(kuitiisha)
39. Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?
Kuna kuna upinzani
wa adui shetani
(vita na mapambano)
40. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Shetani ametangaza vita na
wototo wote wa Mungu,
kwasababu Mungu amempiga na
kumfukuzwa kutoka katika
mbingu takatifu na kutoka katika
cheo chake cha kuongoza ibada
za malaika wa mbinguni.
41. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Shetani anachowinda, ni
kumlipizia Mungu kisasi; lakini
kwakuwa hawezi kurudi juu
kumlipizia Baba kisasi, ndio
maana anaamua kumalizia hasira
zake zote kwa watoto wa
Mungu, yaani mimi na wewe
42. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Shetani
anachokifanya, ni kutafuta
namna ya kumpiga binadamu na
mazingira yake, ili kumvurugia
Mungu ibada, anayoitamani sana
kutoka duniani (kwa watoto wa
Mungu).
43. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA KANISA
Ni Kanisa liweze kulimiliki na
Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi
maisha mazuri na kuwa chombo
kizuri cha kumsifu na
kumwabudu Mungu aliye juu.
44. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima
katika maisha, ili kumwezesha
mwanadamu, kumshinda adui
shetani na vizuizi vyake na
kumwezesha kutawala maisha
yake na mazingira yake.
(Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
45. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za
lazima, ili kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia
pamoja na Mungu, na
kumwezesha mwanadamu awe
chombo kizuri cha ibada,
(Mwanzo 1:26-28)
46. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu
zake, kwa ajili ya maisha yako
duniani, anatafuta kukulinda
wewe, ili pia kuilinda na ibada
yake inayotoka katika maisha
yako (inayotoka duniani).
(Yohana 4:23)
47. VITA VYA ROHONI
Ni kwamba, kuna mapambano,
kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na
watoto wa Mungu (kanisa la
Bwana Yesu Kristo).”
(Mathayo 16:18-19)
49. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
17 Eliya likuwa mwanadamu
kama sisi, lakini aliomba kwa
bidii, mvua isinyeshe juu ya
nchi, na mvua haikunyesha juu
ya nchi kwa muda wa miaka
mitatu (3) na miezi sita (6).
50. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
18 (baada ya miaka mitatu na
nusu) Eliya akaomba tena kwa
bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
ikanyesha, na nchi ikazaa
matunda yake.
51. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na
ninyi, ombeaneni ili mpate
kuponywa; kuomba kwake
mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.
(Hosea 4:6, Warumi 10:2)
52. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa mfano;
Yesu na Petro kutembea juu
ya maji.
Mathayo 14:25-33
53. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
25 Wakati wa zamu ya nne ya
usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12
alfajiri), Yesu akawaendea
wanafunzi wake akiwa
anatembea juu ya maji
(kinyume na kanuni za asili).
54. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
26 Wanafunzi wake
walipomwona akitembea juu ya
maji, waliingiwa na hofu kuu,
wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’
Wakapiga yowe kwa kuogopa.
55. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
27 Lakini mara Yesu akasema
nao, akawaambia, “Jipeni
moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28
Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa
ni Wewe, niambie nije kwako
nikitembea juu ya maji.’’
56. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’
Basi Petro akatoka kwenyen
chombo, akatembea juu ya maji
kumwelekea Yesu.
57. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
30 Lakini alipoona upepo mkali
aliingiwa na hofu, naye akaanza
kuzama, huku akipiga kelele,
“Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu
akanyosha mkono Wake na
kumshika, akamwambia, …
58. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
31 … “Wewe mwenye imani
haba, kwa nini uliona shaka?’’
32 Nao walipoingia ndani ya
chombo, upepo ukakoma.
59. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 14:25-33
33 Ndipo wote waliokuwamo
ndani ya kile chombo
wakamwabudu Yesu wakisema,
“Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa
Mungu.’’
60. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Makusudi ya Mungu ni sisi
kanisa lake, tukue kiroho na
tuwe wa mfano wa Yesu
mwenyewe
Yohana 14:12
61. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12
“Amin, amin, nawaambia, kila
mtu aniaminiye Mimi, kazi
nizifanyazo, yeye naye
atazifanya, na hata kubwa kuliko
hizi atazifanya, kwa sababu
Mimi ninakwenda kwa Baba.
62. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15
11 Yeye ndiye aliyeweka wengine
kuwa mitume, wengine kuwa
manabii, wengine kuwa
wainjilisti, wengine kuwa
wachungaji na wengine kuwa
walimu,
63. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15
12 kwa kusudi la kuwakamilisha
watakatifu kwa ajili ya kazi za
huduma, ili kwamba mwili wa
Kristo upate kujengwa.
64. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15
13 mpaka sote tutakapoufikia
umoja katika imani na katika
kumjua sana Mwana wa Mungu
na kuwa watu wazima kiroho,
hata kufikia cheo (level) ya
kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
65. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15
14 Ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwatupwa huku
na huku na kuchukuliwa na kila
upepo wa mafundisho kwa hila
za watu, kwa ujanja, kwa kufuata
njia zao za udanganyifu.
66. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15
15 Badala yake, tukiambiana
kweli kwa upendo, katika
mambo yote tutakua, hata
tumfikie Yeye aliye kichwa,
yaani, Yesu Kristo.
67. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa mfano;
Petro na Yohana kumponya
kilema wa miaka 40.
Matendo 3:1-10
68. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
1. Siku moja Petro na
Yohana walikuwa
wanapanda kwenda hekaluni
kusali yapata saa tisa alasiri.
69. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
2 Basi palikuwa na mtu mmoja
aliyekuwa kiwete tangu
kuzaliwa. Alichukuliwa na
kuwekwa kwenye lango la
hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili
aombe msaada kwa watu
wanaoingia hekaluni.
70. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
3 Huyu mtu akiwaona Petro na
Yohana wakikaribia kuingia
hekaluni, aliwaomba wampe
sadaka.
71. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
4 Wakamkazia macho, kisha
Petro akamwambia, ‘‘Tutazame
sisi.’’
5 Hivyo yule mtu akawatazama,
akitazamia kupata kitu kutoka
kwao.
72. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
6 Ndipo Petro akamwambia,
‘‘Sina fedha wala dhahabu,
lakini kile nilicho nacho ndicho
nikupacho. Kwa jina la Yesu wa
Nazareti simama, uende.’’
73. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
7 Petro akamshika yule mtu
kwa mkono wa kuume
akamwinua, mara nyayo zake
na vifundo vya miguu yake
vikapata nguvu.
74. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
8 Akaruka juu na kusimama,
akaanza kutembea. Kisha
akaingia Hekaluni pamoja na
Petro na Yohana, huku
akitembea na kurukaruka na
kumsifu Mungu.
75. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
9 Watu wote walipomwona
akitembea na kumsifu
Mungu, 10 wakamtambua
kuwa ni yule mtu aliyekuwa
akiketi nje ya hekalu penye
lango liitwalo Zuri …
76. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 3:1-10
10 … akiomba msaada, nao
wakajawa na mshangao,
wakastaajabu juu ya yale
yaliyomtukia.
77. Lengo letu ni kujifunza
KUITAMBUA
ASILI YA MUNGU
ILIYO NDANI MWETU
78. ILI ITUWEZESHE KUJUA
NAMNA YA KWENDA
MBELE ZA MUNGU
AU
NAMNA YA KUOMBA
SAWA SAWA
79. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na
kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu huu wa mwili.
80. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na
kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu huu wa mwili.
81. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na
kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu huu wa mwili.
82. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwasababu,
Mungu ni Roho,
(Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika
ulimwengu wa roho.
83. NINI MAANA YA KUOMBA
Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu
kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)
“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
84. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
85. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
86. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu
wa roho, katika namna
ambayo …
87. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… itasababisha na kuleta
mabadiliko katika ulimwengu
wa mwili.
89. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
90. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
91. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
92. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
93. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
94. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
95. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
96. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
97. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
98. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
99. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
100. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
101. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
102. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
103. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
104. NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Ombeni nanyi mtapewa,
Kwa maana kila aombaye
Hupokea (hupewa) …
(Mathayo 7:7-11)
105. NAMNA YA KUOMBA
Na wachache wanaoomba
Biblia anasema;
“Mnaomba na hata hampati,
Kwasababu mnaomba vibaya”
(Yakobo 4:3)
106. NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Hata mpaka sasa hamjaomba
ombeni (vizuri) basi, ili furaha
yenu, iwe timilifu”
(Yohana 16:24)
107. NGUVU YA MAOMBI
NAMNA YA
KUOMBA KWA USAHIHI
HATA KULETA
MABADILIKO DUNIANI.
111. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
Namna ya kwenda rohoni
112. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
Namna ya kwenda rohoni
Nafasi/Mamlaka yako rohoni
113. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
Namna ya kwenda rohoni
Nafasi/Mamlaka yako rohoni
Namna ya Kupiga Vita rohoni
114. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
Namna ya kwenda rohoni
Nafasi/Mamlaka yako rohoni
Namna ya Kupiga Vita rohoni
Namna ya Kuathiri rohoni
115. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
Namna ya kwenda rohoni
Nafasi/Mamlaka yako rohoni
Namna ya Kupiga Vita rohoni
Namna ya Kuathiri rohoni
(Nguvu ya Maombi)
116. NAMNA YA KUOMBA
Kwahiyo
Hebu tujifunze sasa;
1. KUUFAHAMU
ULIMWENGU WA ROHO.
117. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na
kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu huu wa mwili.
118. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
119. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
120. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu
wa roho, katika namna
ambayo …
121. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
… itasababisha na kuleta
mabadiliko katika ulimwengu
wa mwili.
122. NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri,
Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,
Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi
nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
123. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
kwenda au kuingia katika
katika Ulimwengu wa roho ...
125. KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya Dunia
Mwanzo 1:1-5, 14-19
126. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba
mbingu na nchi; 2 na Dunia
ilikuwa haina umbo tena ilikuwa
tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa
vilindi vya maji, naye Roho wa
Mungu alitanda juu ya maji.
127. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’
nayo nuru ikawepo. 4 Mungu
akaona ya kuwa nuru ni njema,
ndipo Mungu akatenganisha nuru
na giza.
128. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
5 Mungu akaiita nuru “mchana’’
na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa
jioni ikawa asubuhi, siku ya
kwanza.
129. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
14 Mungu akasema, “Iwepo
mianga kwenye nafasi ya anga ili
itenganishe mchana na usiku,
nayo iwe alama ya kutambulisha
majira mbali mbali, siku na miaka,
130. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
15 nayo iwe ndiyo mianga
kwenye nafasi ya anga itoe nuru
juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo.
16 Mungu akafanya mianga miwili
mikubwa …
131. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
16 … Mwanga mkubwa utawale
mchana (Jua) na mwanga mdogo
utawale usiku (Mwezi). Pia
Mungu akafanya na nyota za
mbinguni.
132. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
17 Mungu akaiweka hiyo mianga
mikubwa miwili (yaani Jua na
Mwezi) katika anga ili iangaze
dunia. 18 … Mungu akaona kuwa
hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni,
ikawa asubuhi, siku ya nne.
133. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kumbe Nuru ya Ulimwenguni,
haitoki kwenye jua na mwezi,
kwasababu Nuru ilikuwepo tangu
siku ya kwanza wakati jua na
mwezi viliumbwa baadaye kabisa
katika siku ya nne!
134. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kumbe jua si chanzo cha
Mwanga au Nuru inayoangaza
ulimwenguni, bali jua ni
“kibebeo” tu cha kuleta mwanga
duniani, lakini jua si chanzo cha
Nuru inayoangaza duniani.
136. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kwa lugha rahisi;
Mwanga au Nuru inayoangaza
duniani, ina vyanzo viwili; kimoja
ni kipo katika ulimwengu wa
mwili na kingine kipo katika
ulimwengu wa roho.
137. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Chanzo cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepo.
Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho.
138. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Hii ina maana kwamba;
Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla
ya Kanuni za Kimwilini kuwepo.
Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo
zinazotawala Kanuni za Kimwili za
Ulimwengu huu.
139. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Hii ina maana kwamba;
Hakuna kitu kinachofanyika katika
Ulimwengu wa mwili, mpaka
kimefanyika kwanza katika
Ulimwengu wa roho.
140. KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Chanzo cha Nuru cha rohoni,
kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepo.
Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo
cha Nuru cha kiroho.
141. KANUNI ZA KIROHO
Yohana 5:12
12 Kisha Yesu akasema nao tena
akawaambia, “Mimi ni Nuru ya
ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata
hatatembea gizani kamwe, bali
atakuwa na nuru ya uzima.”
142. KANUNI ZA KIROHO
Yohana 3:16-20
19 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru
imekuja ulimwenguni, nao watu
wakapenda giza kuliko Nuru kwa
sababu matendo yao ni maovu.
146. KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:1-4
Hii pia ina maana kwamba,
Afya ya mtu haitoki katika mkate
tunaokula tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha
Bwana Mungu.
147. KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:1-4
Hii pia ina maana kwamba,
Afya ya mtu haitoki katika Dawa
anazotumia tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha
Bwana Mungu.
155. KANUNI ZA KIROHO
Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4
Mistari hii inatuonyesha kwamba,
kumbe kuna kanuni zingine za
kiroho, zilizo juu sana kuliko
kanuni hizi za kimwili, na ndizo
zinazotawala ulimwengu huu wa
kimwili na kanuni zake.
156. ULIMWENGU WA ROHO
Watu wa Mungu wakielewa,
nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao, wataweka
bidii na nidhamu ya kuishi
katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho.
157. KANUNI ZA KIROHO
Kwa lugha rahisi;
Waebrania 11:3
“Vitu vinavyoonekana,
viliumbwa kwa vitu visivyo
dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi
au vitu vinavyoonekana)”
158. KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3
Kwasababu hiyo,
Vitu vinavyoonekana,
vinatawaliwa na vitu
visivyoonekana;
159. KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3
Kwasababu hiyo,
Mambo ya Ulimwengu wa mwili
yanatawaliwa na mambo ya
ulimwengu wa roho;
160. KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3
Kwasababu hiyo,
Kanuni za kimwili (Natural
Principles) zinatawaliwa na
Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).
161. KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:1-4
“Mtu hataishi kwa mkate tu,
bali kwa kila Neno litokalo kwa
Bwana”.
163. KANUNI ZA KIROHO
Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4
Mistari hii inatuonyesha kwamba,
kumbe kuna kanuni zingine za
kiroho, zilizo juu sana kuliko
kanuni hizi za kimwili, na ndizo
zinazotawala ulimwengu huu wa
kimwili na kanuni zake.
164. KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3
Kwasababu hiyo,
Kanuni za kimwili (Natural
Principles) zinatawaliwa na
Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).
165. KANUNI ZA KIROHO
2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu
vinavyoonekana (vya kimwili) ni
vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho)
kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
166. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Ulimwengu wa roho ni
ulimwengu wa vitu
visivyoonekana na kushikika
lakini ni vitu halisi kabisa;
Ni vitu vilivyopo kabisa
ila hatuvioni tu.
167. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu
uliumbwa kwa Neno la Mungu, na
vitu vinavyoonekana (vya kimwili)
havikuumbwa kwa vitu vilivyo
dhahiri (wazi wazi)’
168. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno
la Mungu, na vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’
- (vitu vya kiroho) -
169. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana
na
• Vitu vinavyoonekana
170. NGUVU YA MAOMBI
ULIMWENGU WA ROHO Ulimwengu w
Vitu visivyoonekana (vya
ulimwengu wa roho) ndivyo
vilivyosababisha vitu
vinavyoonekana (vya ulimwengu
wa mwili) kutokea na kuumbika.
(Waebrania 11:3)
171. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno
la Mungu, na vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’
- (vitu vya kiroho) -
172. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) ni vya muda; bali
tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
173. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana
(Vitu vya Kiroho)
174. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu vinavyoonekana
(Vitu vya Kimwili)
175. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana
• Vitu vinavyoonekana
Na vyote viko kwa pamoja
176. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ni
ulimwengu wa vitu halisi kabisa,
na uko hapa hapa tulipo, lakini
hatuvioni tu kwa macho haya ya
kawaida (macho ya kimwili).
(2 Wakorintho 4:18)
177. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwa lugha rahisi ni kwamba,
ulimwengu huu, una pande
mbili. Yaani upande wa rohoni
na upande wa mwilini. Ni
ulimwengu mmoja, ila una
pande mbili.
178. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Yaani upande wa vitu
vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, viko pamoja!
(2Wakorintho 4:18)
179. Ulimwengu wa Roho
Hii ni kwasababu
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa
kwanza; na kisha ulipokamilishwa,
ndipo Mungu akasababisha
ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka
katika ulimwengu wa roho.
(Waebrania 11:3)
180. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha
rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika
ulimwengu wa mwili.
181. NGUVU YA MAOMBI
Waebrania 11:3
Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake.
Au kila kitu unachokiona duniani,
ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa
mwilini na wa rohoni).
182. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
183. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44
“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
185. Ulimwengu wa roho
Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Milele
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3½ 3½ 3½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
186. Ulimwengu wa roho
Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Milele
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3½ 3½ 3½
Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki
Ulimwengu wa Mwili
Torati na Manabii Kuzaliwa Injili
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa
187. Ulimwengu wa roho
Neema
Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
Milele
(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7
33
30 3½ 3½ 3½
600 Injili Kanisa Dhiki
Ulimwengu wa Roho 700 2000
Ulimwengu wa Mwili
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
188. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
aliiumba kwanza katika ulimwengu
wa kiroho, na alipoikalimisha
rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika
ulimwengu wa mwili.
189. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo
Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
190. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44
“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
191. NGUVU YA MAOMBI
Waebrania 11:3
Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake.
Au kila kitu unachokiona duniani,
ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa
mwilini na wa rohoni).
192. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ayubu 8:9
“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu
ni kama kivuli”
- Photocopy -
193. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Zaburi 39:6a
“Binadamu huko na huko
kama kivuli”
- Photocopy -
194. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
195. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) ni vya muda; bali
tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
196. NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
hakuna kitu kitakachofanyika
katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika
katika Ulimwengu wa roho.
197. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika
ulimwengu wa roho.
198. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio
utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’
(Waebrania 11:3)
199. NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya
kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
201. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi,
lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga
mvua, na Mungu alimsikia, na
mbingu zikafungika na mvua (ya ki-
mwilini) haikunyesha juu ya nchi,
kwa muda wa miaka 3 na nusu.
202. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
Japo kulikuwa na kanuni zote za
kisayansi za mvua kunyesha, lakini
Eliya, kwa njia ya maombi,
alikwenda rohoni, akaathiri (tibua)
kanuni zinazotawala mvua mwili, na
ndio maana mvua haikunyesha.
203. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi
yote ilikuwa kavu kabisa na misitu
yote imepukutika; kwahiyo
hakukuwa na kanuni za kutosha
kuruhusu mvua kunyesha.
204. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
Eliya akaomba tena kwa bidii, ili
kuifungua mvua kutoka katika
uliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na
mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na
nchi ikazaa matunda yake.
205. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
1Wafalme 18:41-44;
Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya
mvua tele” (mst.41)
Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali
rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake
aliyeisikia, na kutoa tangazo.
206. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho
Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)
Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12
Ulimwengu wa Mwili
207. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)
/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
209. NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18;
Japo hakukuwa na kanuni zozote za
kisayansi za kuruhusu mvua
kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya
maombi, alikwenda rohoni, akaathiri
kanuni zinazosababisha mvua mwili,
na ndio maana mvua ikanyesha.
210. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho
Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi
/ / / / / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /
/ / / / / / / / / / / / / / /
/ / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12
Ulimwengu wa Mwili / / / / /
/ /
/ / / /
/ / (mstari 44-45) / /
/ / Mvua ya Mwilini /
/ / / / /
/ / / / / /
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
211. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
212. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba
Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa,
zinaweza kuzitawala na kuzipinda
kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia
katika njia za kawaida za kimwili.
213. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) ni vya muda; bali
tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
214. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya
kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui
yako shetani, yuko huko huko
rohoni; naye atakutengenezea
mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
215. NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
hakuna kitu kitakachofanyika
katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika
katika Ulimwengu wa roho.
216. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika
ulimwengu wa roho.
217. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio
utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’
(Waebrania 11:3)
218. NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya
kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
219. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna
vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana
na
• Vitu vinavyoonekana
220. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Yaani kuna upande wa vitu
vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, viko pamoja!
(2Wakorintho 4:18)
221. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ni kama vile karatasi, ina
upande wa mbele na ina
upande wa nyuma. Lakini ni
karatasi moja (sio mbili). Ni
kama mkono (kiganja) kina
upande wa mbele na wa nyuma.
222. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ni kama vile mkono wako
(kiganja cha mkono) kina
upande wa mbele na wa nyuma.
Lakini ni mkono mmoja, ila una
apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo
na dunia yetu.
223. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
224. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1.
Kwa Mfano wa
Nabii Elisha na Gehazi.
2 Wafalme 6:8-17
225. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17
Elisha, alipokuwa amezungukwa na
maadui, Gehazi alipatwa na hofu
na woga, kwasababu hakujua
kwamba kuna malaika wa Mungu
wamewazunguka. Ni kwasababu
pale pale, ila ni katika upande
usioonekana (rohoni).
226. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17
Baada ya Elisha kufanya maombi,
ili macho yake yafunguke, ndipo
Gehazi akawaona malaika wengi
wa mbinguni waliowazunguka
pande zote. Kwahiyo, macho yake
yakaruhusiwa kuona upande wa
pili wa dunia (rohoni).
227. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17
Malaika wanaoneka hapa,
hawakuja baada ya Elisha kufanya
maombi, bali walikuwepo siku zote
pamoja nao, ila huwa wapo katika
ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayajaruhusiwa kuuona.
228. Ulimwengu wa Roho
2 Wafalme 6:8-17
Gehazi hakuwa tu amewezeshwa
kuchungulia rohoni, ndio maana
hakuweza kuwaona malaika wa
mbinguni, japo walikuwepo hapo
pamoja nao, siku zote, ila ni katika
ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayajaruhusiwa kuuona.
229. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
230. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2.
Kwa Mfano wa
Nabii Eliya na Elisha.
2 Wafalme 2:7-15
231. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15
Kama Eliya angetoweka ghafla
mbele ya macho ya Elisha,
angekuwa ametoka katika
ulimwengu wa mwili tu na
kupenya katika ulimwengu wa
roho ambao hatuuoni.
232. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15
Kwa mtu ambaye si mwonaji
(Nabii) asingeona mambo ya
rohoni, mwanzo wala mwisho
wa kuondoka kwa Eliya; bali
angeona, Eliya ametoweka tu
ghafla mbele ya macho yake.
233. Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15
Lakini kwa mtu ambaye ni
mwonaji (Nabii), angeona
mwanzo na mwisho wa
kuondoka kwa Eliya; kwasababu
anaruhusiwa (anawezeshwa)
kuchungulia rohoni.
234. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
235. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
3.
Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na Wanafunzi
Wawili wa Emmaus.
Luka 24:13-52
236. Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52
Kama wangeruhusiwa (wezeshwa)
kuchungulia katika ulimwengu wa
roho, hawa ndugu 2, wasingeona
Yesu akitoweka mbele yao, bali
wangeona mwanzo mpaka mwisho
wa kuondoka kwa Bwana Yesu,
mbele ya macho yao.
237. Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52
Kwasababu kutoweka ghafla kwa
Bwana Yesu, mbele ya macho yao,
kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu
kutoka tu katika ulimwengu wa
mwili, na kupenya (kuingia) katika
ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayauoni tu.
238. Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52
Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa
(hawakuwezeshwa) kuchungulia
rohoni, ndio maana hawakuweza
kuona, mwanzo wala mwisho wa
kuondoka kwa Bwana Yesu.
Katika macho yao Yesu alitoweka.
239. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
240. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
4.
Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na Wanafunzi
Waliomwona akipaa Mbinguni.
Matendo 1:9-11
241. Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa)
kuchungulia katika ulimwengu wa
roho, hawa wanafunzi wa Yesu,
waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu
kwenda mbinguni, (tangu mwanzo
kuondoka kwake mpaka mwisho wa
upeo wa macho yao).
242. Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Kwasababu waliruhusiwa
kuchungulia rohoni, hivyo katika
kutazama kwao, Bwana Yesu
hakutoweka ghafla katika macho
yao, bali waliona mwondoko mzima
wa Bwana Yesu kutoka mwilini na
kupenya kwake (kuingia) rohoni.
243. Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Lakini kama angekuwepo mtu
miongoni mwao ambaye si
mwanafunzi wa Yesu, yamkini
asingeona kuondoka kwa Bwana
Yesu, bali yeye angeona Yesu
ametoweka tu mbele yao.
244. Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu
huyo (ambaye si mwanafunzi),
hajapewa ruhusa (hajawezeshwa)
kuona mambo ya ulimwengu wa roho;
huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka
mbele yao, lakini kumbe wakati
wenzake wote wanamwona Bwana
Yesu akiondoka juu na mawingu.
245. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,
aliiumba kwanza katika ulimwengu
wa kiroho, na alipoikalimisha
rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika
ulimwengu wa mwili.
246. Ulimwengu wa Roho
Hii ni kwasababu
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa
kwanza; na kisha ulipokamilishwa,
ndipo Mungu akasababisha
ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka
katika ulimwengu wa roho.
Waebrania 11:3
247. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Dunia hii hii moja, ina upande wa
vitu vinavyoonekana (mwilini) na
upande wa vitu visivyoonekana
(yaani vya rohoni); lakini vyote
viko hapa hapa, katika dunia moja
ila ni katika pande mbili tofauti!
Yaani Rohoni na Mwilini.
248. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kila cha Kimwili,
kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
249. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44
“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
250. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana
(vya kimwili) ni vya muda; bali
tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo
ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
251. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili.
Kwahiyo
Hakuna kitu kinafanyka katika
mwili, mpaka kwanza
kimefanyika katika roho.
Waebrania 11:3
252. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea
mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;
Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake
ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
253. NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri
mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya
kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue
namna ya kuuathiri (U’roho) ktk
namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
254. NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho
ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba,
hakuna kitu kitakachofanyika
katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika
katika Ulimwengu wa roho.
255. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
‘Mungu ameshatubariki kwa baraka
zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho; kama alivyotuchagua katika
yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, tuwe watakatifu’.
256. Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)
/ / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12 Mkuu Efe 2:2 Mkuu Efe 6:12
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
258. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwahiyo,
Maombi, ndio njia ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa
roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa
roho mpaka kuleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwilini.
259. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile
baraka ya mvua (rohoni) ingekomea
huko huko rohoni, na huku duniani,
watu wa Mungu wangeishi maisha ya
shida na taabu; na kumbe wana baraka
nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.
260. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba
Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa,
zinaweza kuzitawala na kuzipinda
kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia
katika njia za kawaida za kimwili.
261. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi
zote tulizopewa katika ulimwengu
wa roho, zitabaki huko huko rohoni,
wakati huku duniani, tunateseka
kwa maisha magumu, yaliyojaa
shida na taabu nyingi.
262. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Kwanini tunaishi maisha magumu
na ya mateso, yaliyojaa shida na
taabu nyingi, na kumbe kule rohoni
tuna baraka zetu nyingi sana
kutoka kwa Mungu, za kutusaidia
katika maisha yetu ya kila siku?
263. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Waebrani 11:3; Waefeso 1:3-4,
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa
roho inavyoingiliana na ulimwengu
wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani.
~ kutokujua ~
264. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Isaya 59:16, Mathayo 26:40-41
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya
kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani.
~ Uzembe ~
265. NGUVU YA MAOMBI
Hosea 4:6, Warumi 10:2
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3) Hatuna maarifa na bidii ya
kutumia kanuni za kiroho, kwa
namna sahihi, katika
madhabahu ya Bwana
(ulimwengu wa kiroho).
266. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya
kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui
yako shetani, yuko huko huko
rohoni; naye atakutengenezea
mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
267. NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba,
Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili;
Na hii ina maana kwamba, hakuna
kitu kitakachofanyika katika
Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa roho.
268. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya
jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo
moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika
ulimwengu wa roho.
269. NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio
utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.
‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’
(Waebrania 11:3)
270. NINI MAANA YA KUOMBA
Kwahiyo basi,
Maombi, ndio njia ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa
roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa
roho hata kuleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwilini.
271. NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya
Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA
KUOMBA KWA UFANISI
273. NGUVU YA MAOMBI
Kuujua Ulimwengu wa roho
2. Namna ya kwenda rohoni
274. NAMNA YA KUOMBA
2. NAMNA YA
KUMWENDEA MUNGU.
Namna ya kuingia rohoni.
275. NINI MAANA YA KUOMBA
Tafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda
katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na
kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu huu wa mwili.
276. NINI MAANA YA KUOMBA
Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu
kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)
“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
278. NAMNA YA KUOMBA
Kwasababu,
Mungu ni Roho,
(Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika
ulimwengu wa roho.
279. NAMNA YA KUOMBA
Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu,
kwenda au kuingia katika
uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
280. NAMNA YA KUOMBA
Ndio maana Biblia inasema;
“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu
yupo, na huwapa thawabu,
wale wote wamtafutao”
(Waebrania 11:6)
281. MUNGU YUKO WAPI?
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba
tutampenda, na kuja kufanya
makao ndani yake na kujifunua
(kujidhihirisha) kwake’
Yohana 14:21,23
286. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu
wa Mwili Kiungo wa Roho
287. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7
Nyama
Damu Nafsi
Mwili Roho
Mifupa
Mwanadamu
288. SEHEMU KUU ZA MWANADAMU
Mwa 2:7 Mtu
Fikra
Hisia
NAFSI ROHO
Maamuzi
289. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu
wa Mwili Kiungo wa Roho
290. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
wa wa ki-Mungu; sura na
mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako
ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
291. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Uwezo wa ki-Mungu
katika roho yako.
292. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Yohana 14:23, 21
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
ulimwengu wa roho, haiko
mbali nasi, iko ndani yetu.
(rohoni)
294. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kuitambua asili ya
Mungu iliyopo
“Ndani yako”
295. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, Kumbe
Chanzo kingine cha nguvu za Mungu
za kutusaidia kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ni kutokea
ndani yetu; Kwasababu Roho
Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
utu wetu wa ndani (roho zetu).
297. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 2:7, inasema
‘Bwana Mungu akafanya mtu
kwa mavumbi ya ardhi,
akapuliza puani pumzi iliyo
hai, mtu akawa nafsi hai’.
303. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7
Mungu
Roho
Dunia Nafsi
(Udongo) Mwili
304. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba, ndani
yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu.
Huko rohoni (Ndani yako) kuna
asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
306. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho yako (wewe)
unabeba asili ya Mungu kabisa;
kwasababu roho yako (wewe)
umeumbwa kwa sura na mfano
wa Mungu mwenyewe.
307. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo;
Ndani yako (rohoni) kuna asili
ya ki-Mungu. Hii ina maana
kwamba, ndani yako kuna
uwezo wa ki-Mungu;
(Nguvu za Mungu)
308. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7
Mungu
Roho
Dunia Nafsi
(Udongo) Mwili
309. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu
mdogo duniani!
Zab 82:6
310. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:6
6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye
Juu Sana.
311. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-36
33 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu
ya mambo mema uliyotenda,
bali ni kwa kuwa umekufuru.
Wewe ingawa ni mwanadamu
unajifanya kuwa Mungu.’’
312. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-36
34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je,
haikuandikwa katika Torati yenu
kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’,
ninyi ambao neno la Mungu
limewajia …
313. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-36
36 Si zaidi sana mimi, ambaye
Baba ameniweka wakfu
(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,
mnawezaje kusema kwamba,
ninakufuru eti kwasababu
nimesema ‘Mimi ni Mwana wa
Mungu (au Mungu)?’
314. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-4
1 Kila mtu aaminiye kwamba
Yesu ni Kristo, amezaliwa na
Mungu (kwahiyo, ni Mungu
mdogo duniani).
(Zaburi 82:6)
315. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-4
4 Kwa maana, kila kitu
kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na
huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, hiyo
Imani yetu.”
316. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
1 Imani ni kuwa na uhakika wa
mambo yasiyoonekana.
317. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Kwahiyo, hata kama huoni kwa
macho au hujashika kwa mikono,
lakini amini tu kwamba, wewe ni
Mungu mdogo duniani.
Kwasababu ‘Hatuenendi kwa
kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’
318. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1
Na huko kuamini hivyo, ndiko
kunakofungulia Nguvu za Mungu,
za kuushinda ulimwengu. Imani
hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’
nguvu za Mungu kutoka ndani
yako (mito ya maji ya uzima).
319. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni
miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6
Yoh 10:33-36
320. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, Kumbe
Chanzo kingine cha nguvu za Mungu
za kutusaidia kuishi maisha ya
ushindi na mafanikio, ni kutokea
ndani yetu; Kwasababu Roho
Mtakatifu wa Mungu anaishi katika
utu wetu wa ndani (roho zetu).
321. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba
roho yako ndiyo inayotumiwa na
Mungu kuachilia nguvu zake,
kutakufanya uwe mtu mwoga na
dhaifu maisha;
322. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu,
kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila siku,
yaliyojaa kila aina ya upinzani na
vita dhidi ya mtu wa Mungu.
323. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na
kuzima utendaji kazi wa nguvu za
Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto
wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)
324. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakufanya
uwe mtu wa kuhangaika huku na
huku kutafuta msaada wa mbali, juu
ya mambo ambayo wangeweza
kuyatawala, kama wangekuwa na
ufahamu wa msaada walionao
karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
325. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa. Kwasababu
nimekupa maarifa, nawe
umeyakataa, basi na mimi
nimekukataa wewe.
326. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Biblia inasema
kwamba, unatakiwa kufundishwa
na kufundishika ili tukue kiroho
mpaka kufika katika cheo cha
Kristo Yesu.
Waefeso 4:11-14
327. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14
Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako,
zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi
na kuyatawala mazingira yako kwa
ushindi na kwa mafanikio, kama
Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala
mazingira yake, bila kushindwa au
kuzuiliwa na hali yoyote.
329. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:23, 21
‘Mtu akinipenda, mimi na Baba
tutampenda, na kuja kufanya
makao ndani yake, na
kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!
330. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
UTUKUFU
Mwili Nafsi Roho
331. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
UTUKUFU
Kuona Kuelewa Kujua
(See) (Understand) (Knowing)
333. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, roho (wewe) inabeba
asili ya Mungu; inayoweza
kutawala mazingira yako, bila
kuzuilika na kanuni za
kimwili/kidunia.
(Physical Principles)
334. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba, ndani
yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu.
Huko rohoni (Ndani yako) kuna
asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
335. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwa 2:7
Mungu
Roho
Dunia Nafsi
(Udongo) Mwili
337. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndani yako (rohoni) kuna asili
ya Mungu kabisa. Na hii ina
maana kwamba, ndani yako
kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani
tabia za Kiungu;
(Nguvu za Mungu)
2Petro 1:3-4
338. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Petro 1:3-4
Mungu
Roho
Dunia Nafsi
(Udongo) Mwili
339. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Tabia za Kiungu;
2Petro 1:3-4
‘… Mungu ametukirimia ahadi
kubwa mno za thamani,
ambazo, kwa hizo (ahadi),
ametushirikisha tabia za
uungu.’
340. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe ni mungu
mdogo duniani!
Zab 82:6
341. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zab 82:6
6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,
ninyi nyote ni wana wa Aliye
Juu Sana.
342. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
wa wa ki-Mungu; yaani sura
na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako
ndiyo inayoweza kutawala
ulimwengu wa roho na mwili.
343. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na kama roho ya binadamu
ikitengwa na mwili au mwili
wake ukidhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha uwezo wake
wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile
‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3-4).
344. Uwezo wa roho ya Mtu
Roho ya mwanadamu, ina uwezo
wa ki-Mungu kabisa;
Kwa Mfano;
Uwezo wa kujua mambo, bila
kuelezwa au kuona.
345. Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 1:
Tajiri na Lazaro
Luka 16:19-31
346. Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31
Swali:
Tajiri na Lazaro wamekufa,
hivyo, wako nje ya miili yao.
Kule kuzimu, tajiri alamwona
Lazaro upande wa pili akiwa
kifuani kwa Baba Ibrahimu.
347. Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31
Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha
wala video, Tajiri alijuaje
kwamba, yule pale
aliyempakata Lazaro ndiye Baba
Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
348. Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31
Jibu:
Tajiri alikuwa nje ya mwili wake,
hivyo roho yake nje ya mwili,
ilikuwa na uwezo wa Kujua bila
kuambiwa.
349. Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 2:
Yesu, Musa na Eliya;
Petro, Yakobo na Yohana;
wakiwa katika maombi ya
Mlimani.
Mathayo 17:1-9
350. Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9
Katika maombi ya Bwana Yesu
kule mlimani, Utukufu wa
Mungu unafunuka, na Manabii
Musa na Eliya wanatokea
pamoja na Yesu, na Petro anakiri
kwa Bwana Yesu, kuwatambua.
351. Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9
Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha
wala video, Petro aliwezaje
kujua kwamba, yule pale ni
Petro na yule pale ni Musa?
352. Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9
Jibu:
Wanafunzi wa Yesu, walikuwa
ndani ya Utukufu wa Mungu,
kwahiyo nafsi zao zilikuwa
rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio
maana walijua bila kuambiwa.
353. Uwezo wa roho ya Mtu
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu
wa Mwili Kiungo wa Roho
355. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
UTUKUFU
Kuona Kuelewa Kujua
356. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Roho ya mwanadamu (wewe),
ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;
na kama ikitengwa na mwili au
mwili kudhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha tabia za
uungu/ki-Mungu iliyonayo.
357. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
*** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
zote, nguvu za Mungu zitakuwa
“ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha
mafanikio na ushindi, bila
kuzuiliwa na chochote.
358. Uwezo wa roho ya Mtu
*** Mawazo (ktk nafsi) yako
yana uwezo mkubwa sana wa
kuwasha (ON) au kuzima (OFF)
nguvu za Mungu na kuathiri
mazingira yako, vizuri au vibaya;
Inategemea tu, nafsi imeegemea
upande upi, rohoni au mwilini.
359. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
UTUKUFU
Kuona Kuelewa Kujua
360. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni
miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6
Yoh 10:33-36
361. Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 3:
Miujiza iliyofanywa na
Wanafunzi wa Yesu.
(Matendo 5:12/19:11)
362. Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11
Mungu akafanya kwa mikono ya
mitume, miujiza ya kupita
kawaida. Mikono yao, vivuli
vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya
watu walioonewa na ibilisi.
363. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Roho ya mwanadamu (wewe),
ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;
na kama ikitengwa na mwili au
mwili kudhoofishwa, basi roho
itaweza kudhihirisha uwezo wake
wa ki-Mungu iliyonayo.
364. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
wa wa ki-Mungu; sura na
mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako
ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
365. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Roho ya mwanadamu, ina uwezo
wa ki-Mungu kabisa; na kama
ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza
kudhihirisha uwezo wake wa ki-
Mungu iliyonayo.
366. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
*** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
zote, nguvu za Mungu zitakuwa
“ON” nasi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha
mafanikio na ushindi, bila
kuzuiliwa na chochote.
367. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
*** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
zote, nguvu za Mungu zitakuwa
“ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au
kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
368. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujitambua
(Mawazo ya Ushindi)
Mithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo
alivyo (atakavyokuwa)’
369. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano;
Gideon na Malaika wa Mungu
Waamuzi 6:1-16
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo
alivyo (atakavyokuwa)’
370. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon amezaliwa na kukulia
katika utumwa, na ndivyo
alivyokuwa anajiona na
kujiwazia; na hali hiyo ndiyo
iliyozima uwezo na nguvu za
Mungu ndani yake.
371. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu alimwona
Gideon, tofauti na yeye
alivyojiona; na ndio maana
alimwita Gideon jina la SHUJAA
japo Gideon alikuwa anajiona
MTUMWA.
372. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu akapuuza
malalamiko ya Gideoni, na
kumwambia, “(usitegemee kwamba
nitakupa chochote, kwasababu
ulichonacho, kinakutosha sana, ila
umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu
unavyojiona na kujiwazia.
373. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kisha Malaika wa Mungu
akamwambia Gideoni kwamba,
“(ukibadilisha ujavyojiona na
kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda
shujaa, nguvu za Mungu ndani yako
zitaingia kazini) basi enenda katika
nguvu zako (hizo), ukawapige
wamidiani.”
374. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideoni aliposikia na kuamini tu
maneno ya Malaika, na
akabadilisha alivyokuwa
anajiona na kujiwazia, ndipo
nguvu za Mungu, zilizokuwa
ndani yake ziliingia kazini (ON).
375. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli,
waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu,
ambazo zilikuwepo siku zote ndani
yao, lakini zilikuwa zimalala (zima)
kwa jinsi walivyokuwa wanajiona
na kujiwazia (kitumwa).
376. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli,
waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu,
na si kwa sababu nyingine yoyote
ya kibinadamu.
Wamidian 30,000 : 300 Waisrael
Wamidian 100 : 1 Waisrael
377. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujitambua
(Mawazo ya Ushindi)
Mithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake
(kwenye mawazo yake) ndivyo
alivyo (atakavyokuwa)’
378. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
*** Kama watu wa Mungu
tukifanikiwa kukumbuka hili siku
zote, nguvu za Mungu zitakuwa
“ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au
kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
379. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1. Kujitambua
Mawazo ya Ushindi
Warumi 12:2,
‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,
mpate kujua hakika mapenzi ya
Mungu kwenu, yaliyo mema…’
380. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23,
21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa,
kama kweli ilivyo katika Yesu,
22 basi mvue mwenendo wa
kwanza, utu wa zamani,
unaoharibika …’
381. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23,
24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa
kwa namna/mfano wa Mungu …
23 kisha mfanywe wapya katika
roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
382. ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12,
Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye
aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na
ndiye aliye chanzo cha nguvu za
Mungu, tunazohitaji kufanya
mambo makubwa zaidi, kama yale
yale na kuliko yale aliyoyafanya
Bwana Yesu!
383. ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12,
Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu
wa Mungu, halafu ukabaki kuwa
binadamu wa kawaida.
‘Ordinary human being’
‘Natural human being’
384. ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12,
Roho Mtakatifu wa Mungu,
anataka kufanya uwe binadamu
asiye wa kawaida (wa ajabu).
‘Extra -Ordinary human being’
‘Super-Natural human being’
385. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12/16:7-8
‘Amini Amini nawaambia, kila mtu
aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo,
(miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya;
kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule
aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
386. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na si Yesu peke yake, hata
binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu
duniani, kinyume na taratibu za
kawaida za kimwili, na wakaishi
maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.
Yohana 14:12/16:7-8
387. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Musa aliweza kufungua
bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya
ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni
kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili (archmedis priciple).
Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
388. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Joshua aliweza
kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka
walipomaliza shughuli yao kitu
ambacho ni kinyume kabisa na
kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
389. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia
mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya
kuruhusu mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na
kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
390. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana pia aliweza kurudisha
mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu
(kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na
kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
391. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Petro aliweza kumponya
kilema katika mlango wa hekalu, bila
operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na
kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
392. Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11
Mungu akafanya kwa mikono ya
mitume, miujiza ya kupita
kawaida. Mikono yao, vivuli
vyao na leso zao, zilikuwa na
nguvu za Mungu zilizowaponya
watu walioonewa na ibilisi.
393. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Filipo aliweza kusafiri
kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho
ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.
Matendo 8:26-40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
394. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii inaonyesha wazi kwamba;
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo
wa wa ki-Mungu; yaani sura na
mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako
ina uwezo wa kutawala
ulimwengu wa roho na mwili.
396. NAMNA YA KWENDA MBELE ZA
MUNGU
Wewe una asili ya Mungu
UTUKUFU
Kuona Kuelewa Kujua
397. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba
Roho wa Mungu yuko ndani
yako, na hivyo, roho yako ndiyo
inayotumiwa na Mungu kuachilia
nguvu zake, kutakufanya uwe
mtu mwoga na dhaifu maisha;
398. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu,
kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila
siku, yaliyojaa kila aina ya
upinzani na vita dhidi ya mtu wa
Mungu.
399. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na
kutazima utendaji kazi wa nguvu za
Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto
wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)
400. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Kutokujua (Kutokuwa na
ufahamu huu) watu wa Mungu
wengi wamezuia utendaji kazi wa
nguvu za Mungu kutoka ndani
yao, na Nguvu kubwa sana za
Mungu zimebaki ndani yao
zimelala (hazijatumika).
401. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na matokeo yake ni kwamba, watu
wa Mungu wengi wanahangaika na
kutumia muda mwingi na gharama
kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na
kulia, kutafuta msaada wa mbali,
wakati ndani yao wameacha
msaada ulio karibu; yaani nguvu za
Mungu nyingi, zimebaki zimelala
ndani yao, bila kutumika.
402. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri
maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea
vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!
Mithali 18:20-21
403. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20-21
‘Mauti na uzima huwa katika
uwezo wa ulimi, na wao
wautumiao, watakula matunda
yake.’
404. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Maneno ya nguvu za kuumba.
Ulimwengu uliumbwa kwa
NENO la Mungu.
Yohana 1:1-4
Ebrania 11:3/4:12
405. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Inatokana na Uhai wa Neno
lenyewe, ambao unatokana na
uwepo wa Roho Mtakatifu ndani
ya hilo Neno
Waebrania 4:12
406. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Waebrania 4:12
“Neno la Mungu li hai
tena lina Nguvu”
407. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63
‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),
kwani mwili (pasipo roho)
haufai kitu’
408. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
2 Wakorintho 3:6
“Andiko peke yake linaua, lakini
Roho wa Mungu anahuisha”
409. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Inatokana na Uhai wa Neno
lenyewe, ambao ni uwepo wa
Roho Mtakatifu ndani ya Neno
Waebrania 4:12
410. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Kila andiko lenye pumzi ya
Mungu, lafaa kwa mafundisho
na kubadilisha mwenendo.
411. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
412. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20-21
Unapoachilia Neno la Mungu
kutoka ndani yako kwa imani,
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
hilo neno maishani mwako.
413. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20-21
Unapoachilia neno baya kutoka
ndani yako kwa imani, basi roho
mbaya huja kulivuvia ili
kusababisha uhai na uumbaji wa
hilo neno hilo maishani mwako.
414. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20-21
Mauti na uzima huwa katika
uwezo wa ulimi, na wao
wautumiao, watakula matunda
yake.
415. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Mithali 6:2
Umetegwa kwa maneno yako na
umekamatwa na maneno ya
kinywa chako.
416. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Wakolosai 3:16
Neno la Kristo likae kwa wingi
ndani yako katika hekima yote.
417. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Waefeso 4:29
Neno lolote lililo ovu, lisitoke
kinywani mwenu, bali lile lililo
jema, la kumfaa msikiaji.
418. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Maneno ya nguvu za kuumba.
Yohana 1:1-4
Ebrania 11:3/4:12
419. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Maneno mazuri huzaliwa na
Mawazo mazuri. Na mawazo
mazuri hutokana na
Mtazamo/kuona vizuri.
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza
na kutakosea kuongea.
420. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani
Mawazo Mtazamo
Maneno