SlideShare a Scribd company logo
1 of 9
Download to read offline
Ameiumba dunia kwa uwe-
za wake, Ameuthibitisha uli-
mwengu kwa hekima yake,
Na kwa ufahamu wake ame-
zitandika mbingu.
–Yeremia 10:12
Basi, mtamlinganisha Mu-
ngu na nani?. . . Yeye ndiye
anayeketi juu ya duara ya du-
nia, na hao wanaokaa ndani
yake huwa kama panzi; yeye
ndiye azitandazaye mbingu
kama pazia, na kuzikunjua
kama hema ya kukaliwa; Mta-
nifananisha na nani, basi, ni-
pate kuwa sawa naye? asema
yeye aliye Mtakatifu. Inueni
macho yenu juu, mkaone; ni
nani aliyeziumba hizi; ale-
taye nje jeshi lao kwa hesa-
bu; aziita zote kwa majina;
kwa ukuu wa uweza wake,
na kwa kuwa yeye ni hodari
kwa nguvu zake; hapana mo-
ja isiyokuwapo mahali pake.
–Isaya 40:18a, 22, 25, 26
Aa! Bwana MUNGU, tazama,
wewe umeziumba mbingu na
nchi, kwa uweza wako mkuu
na kwa mkono wako ulio-
nyoshwa; hapana neno lililo
gumu usiloliweza.
–Yeremia 32:17
UWEZO WA MUNGU KATIKA KUUMBA 1
huzunguka-zunguka, akitafu-
ta mtu ammeze. –1 Petro 5:8
Nami sipendi ninyi kushiri-
kiana na mashetani.
–1 Wakorintho 10:20b
Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru
ya ulimwengu, yeye anifu-
ataye hatakwenda gizani ka-
mwe, bali atakuwa na nuru
ya uzima. –Yohana 8:12
Mimi nalikuja ili wawe na
uzima, kisha wawe nao tele.
–Yohana 10:10b
Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako
kwa Mungu, naye Neno aliku-
wa Mungu. Vyote vilifanyika
kwa huyo; wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kili-
chofanyika Mwivi [Shetani]
haji ila aibe na kuchinja na ku-
haribu. –Yohana 1:1, 3; 10:10a
Akawaambia, Nilimwona
Shetani, akianguka kutoka
mbinguni kama umeme.
–Luka 10:18
Mwe na kiasi na kukesha;
kwa kuwa mshitaki wenu Ibi-
lisi, kama simba angurumaye,
2 MUNGU HUUMBA NA KUTOA MWANGA;
SHETANI HUHARIBU Mara moja amenena Mungu;
Mara mbili nimeyasikia haya,
Ya kuwa nguvu zina Mungu.
–Zaburi 62:11
Naam, tangu siku ya leo, mi-
mi ndiye; wala hapana awe-
zaye kuokoa katika mkono
wangu. –Isaya 43:13a
Ee BWANA, ukuu ni wako, na
uweza, na utukufu, na kushi-
nda, na enzi; maana vitu vyo-
te vilivyo mbinguni na duni-
ani ni vyako; ufalme ni wako,
Ee BWANA, nawe umetukuzwa,
u mkuu juu ya vitu vyote.
Utajiri na heshima hutoka
kwako wewe, nawe watawala
juu ya vyote; na mkononi
mwako mna uweza na nguvu;
tena mkononi mwako mna
kuwatukuza na kuwaweze-
sha wote. –1 Nyakati 29:11, 12
Ee BWANA Mungu, umeanza
kumwonyesha mtumishi wako
ukubwa wako, na mkono wa-
ko wa nguvu; kwani kuna mu-
ngu gani mbinguni au duniani
awezaye kufanya mfano wa
kazi zako, na mfano wa ma-
tendo yako yenye nguvu?
–Kumbukumbu 3:24
Kwa kuwa hakuna neno li-
silowezekana kwa Mungu.
–Luka 1:37
UWEZO WA MUNGU HAUNA MIPAKA 3
UWEZO WA MUNGU
Yawezekanaje kiumbe kidogo kufafanua uwezo wa Muumba
wetu au nguvu za Mungu asiyeharibika kwa namna yoyote ile?
Ni vigumu kabisa kuifanya kwa usahihi, kwa maana Mungu ni
mwenye uwezo mkuu na mkubwa sana kwamba akili zetu
ndogo kwa uwezo wake haiwezi kuchukua yote ndani.
Lakini Mungu amejifunua Mwenyewe katika Kitabu chake,
Biblia, wazi ya kutosha sisi kuelewa vizuri uwezo Wake kutenda
CHOCHOTE kinachodhaniwa na mtu kuwa hakiwezekani! Yeye
aliumba ulimwengu wetu na kuuning’iniza hewani, na
umening’inia pale kwa miaka maelfu sio kwa lolote bali kwa
uwezo Wake. Yeye alikuwa akirudishia mahitaji ya ulimwengu
wetu yaliyotokana na nguvu za uharibifu wa Shetani na mtu.
Hebu sasa tutazame ndani ya Neno la Mungu kuhusu ufunuo
Wake ulio mkamilifu wa uwezo Wake usioisha.
—Watson Goodman (1920-2002)
_______________________________________________________________
BIB LIA-The British and Foreign Bible Society-London 1961. Made and Printed in Great
Britain by Purnell and Sons, LTD., Paulton and London. Printed by permission.
Imekusanywa na
Watson Goodman
BURE - KISIUZWE
UWEZO WA MUNGU
BWANA, mkono wako wa ku-
ume umepata fahari ya uwe-
zo, BWANA, mkono wako wa
kuume wawaseta-seta adui.
Kwa wingi wa ukuu wako
wawaangusha chini wanao-
kuondokea, Wapeleka hasira
yako, nayo huwateketeza ka-
ma mabua makavu.
–Kutoka 15:6, 7
Bwana wetu ni mkuu na
mwingi wa nguvu, Akili zake
hazina mpaka. –Zaburi 147:5
Lakini akawaokoa kwa ajili
ya jina lake,Ayadhihirishe ma-
tendo yake makuu.
–Zaburi 106:8
Ezra akasema, Wewe ndiwe
BWANA, wewe peke yako; wewe
ulifanya mbingu, mbingu za
mbingu, pamoja na jeshi lake
lote, dunia na vyote vilivyo-
mo, bahari na vitu vyote vi-
livyomo, nawe unavihifadhi
vitu hivi vyote; na jeshi la
mbinguni lakusujudu wewe.
–Nehemia 9:6
Ee nafsi yangu, umhimidi
BWANA. Wewe, BWANA, Mungu
wangu, Umejifanya mkuu sa-
na; Umejivika heshima na
adhama. –Zaburi 104:1
BWANA ndiye mkuu mwenye
kusifiwa sana, Wala ukuu wa-
ke hautambulikani.
–Zaburi 145:3
4 UKUU WA UWEZO MWINGI WA MUNGU
Maana hivi mtaruzukiwa
kwa ukarimu kuingia katika
ufalme wa milele wa Bwana
wetu, Mwokozi wetu Yesu
Kristo. –2 Petro 1:11
Mtumainini BWANA sikuzote,
Maana BWANA YEHOVA ni
mwamba wa milele.
–Isaya 26:4
Kabla haijazaliwa milima,
wala hujaiumba dunia, na ta-
ngu milele hata milele ndiwe
Mungu. –Zaburi 90:2
Bali BWANA ndiye Mungu wa
kweli; Ndiye Mungu aliye hai,
Mfalme wa milele; Mbele za
ghadhabu yake nchi yatete-
meka, Wala mataifa hawawe-
zi kustahimili hasira yake.
–Yeremia 10:10
Pakawa na sauti kuu kati-
ka mbingu; zikisema, Ufalme
wa dunia umekwisha kuwa
ufalme wa Bwana wetu na wa
Kristo wake, naye atamiliki
hata milele na milele.
–Ufunuo 11:15b
Uwezo Wa Shetani
Utaharibiwa
Na yule Ibilisi, mwenye ku-
wadanganya, akatupwa kati-
ka ziwa la moto na kiberiti,
alimo yule mnyama na yule
nabii wa uongo. Nao wata-
teswa mchana na usiku hata
milele na milele. –Ufunuo 20:10
UWEZO WA MUNGU NI WA MILELE 5
Musa akanyosha mkono wa-
ke juu ya bahari; BWANA akai-
fanya bahari irudi nyuma
kwa upepo wa nguvu uto-
kao mashariki, usiku kucha,
akaifanya bahari kuwa nchi
kavu, maji yakagawanyika.
Wana wa Israeli wakaenda
ndani kati ya bahari katika
nchi kavu; nayo maji yali-
kuwa ukuta kwao mkono wa
kuume, na mkono wa kusho-
to. BWANA akamwambia Mu-
sa, Nyosha mkono wako juu
ya bahari, ili maji yarudi
tena juu ya Wamisri, juu ya
magari yao, na juu ya farasi
zao. Musa akaunyosha mko-
no wake juu ya bahari, na
kulipopambazuka, bahari
ikarudi kwa nguvu zake;
Wamisri wakakimbia mbele
yake; na BWANA akawaku-
kutia mbali hao Wamisri
kati ya bahari. . . . Hakusalia
hata mtu mmoja. Ndivyo
BWANA alivyowaokoa Israeli
siku ile mikononi mwa Wa-
misri; Waisraeli wakawaona
Wamisri ufuoni kwa bahari,
wamekufa.
–Kutoka 14:21, 22, 26-28b, 30
6 UWEZO WA AJABU WA MUNGU
KATIKA BAHARI YA SHAMU
Alilisha Watu Milioni Kwa
Miaka 40
Wakati wa jioni mtakula nya-
ma, na wakati wa asubuhi mta-
shiba mkate; nanyi mtajua ya
kuwa mimi ndimi BWANA, Mu-
ngu wenu. Ikawa wakati wa jio-
ni, kware wakakaribia, waka-
kifunikiza kituo; na wakati wa
asubuhi umande ulikuwa juu
ya nchi pande zote za kituo. Na
ulipoinuka ule umande ulio-
kuwa juu ya nchi, kumbe! juu
ya uso wa bara kitu kidogo ki-
lichoviringana, kidogo kama sa-
kitu juu ya nchi. Wana wa Isra-
eli walipokiona, wakaambiana,
Nini hiki? Na wana wa Israeli
walikula Mana muda wa miaka
arobaini.
–Kutoka 16:12b-15a, 35a
Maji Kwa Milioni
. . . Nawe utalipiga jabali, na
maji yatatoka, watu wapate
kunywa. –Kutoka 17:6a
Alizuia Mto Uliofurika
Na hao makuhani waliolichu-
kua sanduku la agano la BWA-
NA wakasimama imara mahali
pakavu katikati ya Yordani;
Israeli wote wakavuka katika
nchi kavu. –Yoshua 3:17a
HAKUNA MUUJIZA ULIO MKUBWA ZAIDI 7
KWA MUNGU
Basi watu hao wakafungwa,
hali wamevaa suruali zao, na
kanzu zao, na joho zao, na
mavazi yao mengine, waka-
tupwa katikati ya ile tanuru
iliyokuwa ikiwaka moto. Basi
kwa sababu amri ya mfalme
ilikuwa ni kali, na ile tanuru
ilikuwa ina moto sana, mwa-
ko wa ule moto ukawaua wale
watu waliowashika Shadra-
ka, na Meshaki, na Abednego.
Na maamiri, na manaibu, na
maliwali, na mawaziri, walio-
kuwa wamekusanyika pamo-
ja, wakawaona watu hao, ya
kuwa ule moto ulikuwa hau-
na nguvu juu ya miili yao,
wala nywele za vichwa vyao
hazikuteketea, wala suruali
zao hazikubadilika, wala ha-
rufu ya moto haikuwapata
hata kidogo.
–Danieli 3:21, 22, 27
Basi mfalme akatoa amri,
nao wakamleta Danieli, wa-
kamtupa katika tundu la si-
mba. Mfalme akanena, aka-
mwambia Danieli, Mungu wa-
ko unayemtumikia daima, ye-
ye atakuponya. Ndipo Danieli
akamwambia mfalme. . . . Mu-
ngu wangu amemtuma ma-
laika wake, naye ameyafu-
mba makanwa ya simba.
–Danieli 6:16, 21, 22a
8 MUNGU NI MKOMBOZI MKUU
Je! neno langu si kama mo-
to? asema BWANA; na kama nyu-
ndo ivunjayo mawe vipande
vipande? –Yeremia 23:29
Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena
lina ukali kuliko upanga u-
wao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya
nafsi na roho, na viungo na
mafuta yaliyomo ndani yake;
tena li jepesi kuyatambua
mawazo na makusudi ya mo-
yo. –Waebrania 4:12
Jinsi gani kijana aisafishe
njia yake? Kwa kutii, akilifu-
ata neno lako. –Zaburi 119:9
Ninyi mmekwisha kuwa safi
kwa sababu ya lile neno nili-
lowaambia. –Yohana 15:3
Tena ipokeeni chapeo ya wo-
kovu, na upanga wa Roho
ambao ni neno la Mungu.
–Waefeso 6:17
Uwatakase kwa ile kweli;
neno lako ndiyo kweli.
–Yohana 17:17
Moyoni mwangu nimeliwe-
ka neno lako, Nisije nikaku-
tenda dhambi. –Zaburi 119:11
Kufafanusha maneno yako
kwatia nuru, Na kumfahami-
sha mjinga. –Zaburi 119:130
UWEZO WA NENO LA MUNGU 9
Maana katika yeye unakaa
utimilifu wote wa Mungu, kwa
jinsi ya kimwili.
–Wakolosai 2:9
Tazama, bikira atachukua
mimba, Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Ima-
nueli; Yaani, Mungu pamoja
nasi. Naye Yusufu alipoamka
katika usingizi, alifanya ka-
ma malaika wa Bwana alivyo-
mwagiza; akamchukua mke-
we; asimjue kamwe hata ali-
pomzaa mwanawe; akamwita
jina lake YESU.
–Mathayo 1:23-25
Akawajibu, Baba yangu ana-
tenda kazi hata sasa, nami ni-
natenda kazi. Basi kwa sa-
babu hiyo Wayahudi walizidi
kutaka kumwua, kwa kuwa
hakuivunja sabato tu, bali pa-
moja na hayo alimwita Mu-
ngu Baba yake, akijifanya sa-
wa na Mungu.
–Yohana 5:17, 18
Damu ya Kristo ni Damu ya
Mungu
Jitunzeni nafsi zenu, na lile
kundi lote nalo, ambalo Roho
Mtakatifu amewaweka ninyi
kuwa waangalizi ndani yake,
mpate kulilisha kanisa lake
Mungu, alilolinunua kwa da-
mu yake mwenyewe.
–Matendo 20:28
10 YESU KRISTO NI MUNGU KATIKA MWILI
Tena zitokazo kwa Yesu Kri-
sto . . . Mimi ni Alfa na Omega,
mwanzo na mwisho, asema
Bwana Mungu, aliyeko na ali-
yekuwako na atakayekuja,
Mwenyezi. –Ufunuo 1:5a, 8
Naye alituokoa katika ngu-
vu za giza, akatuhamisha na
kutuingiza katika ufalme wa
Mwana wa pendo lake; amba-
ye katika yeye tuna ukombo-
zi, yaani, msamaha wa dha-
mbi; naye ni mfano wa Mu-
ngu asiyeonekana, mzaliwa
wa kwanza wa viumbe vyote.
Kwa kuwa katika yeye vitu
vyote viliumbwa, vilivyo mbi-
nguni na vilivyo juu ya nchi,
vinavyoonekana na visivyoo-
nekana; ikiwa ni viti vya
enzi, au usultani, au enzi, au
mamlaka; vitu vyote viliu-
mbwa kwa njia yake, na kwa
ajili yake. –Wakolosai 1:13-16
Mwenye uweza peke yake,
Mfalme wa wafalme, Bwana
wa mabwana; ambaye yeye
peke yake hapatikani na mau-
ti, amekaa katika nuru isiyo-
weza kukaribiwa; wala haku-
na mwanadamu aliyemwona,
wala awezaye kumwona. He-
shima na uweza una yeye
hata milele. Amina.
–1 Timotheo 6:15b, 16
YESU KRISTO NI MWENYE UWEZO 11
Naye anitazamaye mimi a-
mtazama yeye aliyenipeleka.
–Yohana 12:45
Yeye kwa kuwa ni mng’ao
wa utukufu wake na chapa
ya nafsi yake, akivichukua
vyote kwa amri ya uweza wa-
ke, akiisha kufanya utakaso
wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu.
–Waebrania 1:3
Na ubora wa ukuu wa uwe-
za wake ndani yetu tuaminio
jinsi ulivyo; kwa kadiri ya
utendaji wa nguvu za uweza
wake; aliotenda katika Kristo
alipomfufua katika wafu, a-
kamweka mkono wake wa
kuume katika ulimwengu wa
roho; juu sana kuliko ufalme
wote, na mamlaka, na nguvu,
na usultani, na kila jina lita-
jwalo, wala si ulimwenguni
humu tu, bali katika ule ujao
pia; akavitia vitu vyote chini
ya miguu yake.
–Waefeso 1:19-22a
Mimi na Baba tu umoja. . . .
Baba yu ndani yangu, nami
ni ndani ya Baba.
–Yohana 10:30, 38b
Naye akampa amri ya ku-
fanya hukumu kwa sababu ni
Mwana wa Adamu.
–Yohana 5:27
12 KRISTO NI SAWA NA BABA
Yeye anao Uwezo, Yuko
katika Utatu
Naye Roho ndiye ashuhudi-
aye, kwa sababu Roho ndiye
kweli. –1 Yohana 5:7
Petro akasema, Anania, kwa
nini Shetani amekujaza moyo
wako kumwambia uongo Ro-
ho Mtakatifu, na kuzuia kwa
siri sehemu ya thamani ya ki-
wanja?. . . Ilikuwaje hata uka-
weka neno hili moyoni mwa-
ko? Hukumwambia uongo mwa-
nadamu, bali Mungu. Anania
aliposikia maneno haya aka-
anguka, akafa. Hofu nyingi
ikawapata watu wote walio-
yasikia haya. –Matendo 5:3-5
Yeye Huwajaza Waamini,
Huwapa Ushupavu
Hata walipokwisha kumwo-
mba Mungu, mahali pale wa-
lipokusanyika pakatikiswa,
wote wakajaa Roho Mtakati-
fu, wakanena neno la Mungu
kwa ujasiri. –Matendo 4:31
Yeye Hufanya Upendo wa
Pekee Kufanya kazi
Na tumaini halitahayarishi;
kwa maana pendo la Mungu
limekwisha kumiminwa kati-
ka mioyo yetu na Roho Mta-
katifu tuliyepewa sisi.
–Warumi 5:5
UWEZO MKUU WA ROHO MTAKATIFU 13
Naye, kwa sababu hii, aweza
kuwaokoa kabisa wao wamji-
ao Mungu kwa yeye; maana
yu hai sikuzote ili awaombee.
–Waebrania 7:25
Yeye awezaye kuwalinda ni-
nyi msijikwae, na kuwasima-
misha mbele ya utukufu wa-
ke bila mawaa katika furaha
kuu. –Yuda 24
Mungu aweza kumwinulia
Ibrahimu watoto. –Luka 3:8b
Kwa sababu hiyo nimepati-
kana na mateso haya, wala si-
tahayari; kwa maana namjua
yeye niliyemwamini, na kusa-
diki ya kwamba aweza kuki-
linda kile nilichokiweka a-
mana kwake hata siku ile.
–2 Timotheo 1:12
Na Mungu aweza kuwajaza
kila neema kwa wingi, ili
ninyi, mkiwa na riziki za kila
namna sikuzote, mpate kuzi-
di sana katika kila tendo je-
ma. –2 Wakorintho 9:8
Ibrahimu . . . lakini akiiona
ahadi ya Mungu hakusita
kwa kutokuamini, bali aliti-
wa nguvu kwa imani, akimtu-
kuza Mungu; huku akijua
hakika ya kuwa Mungu awe-
za kufanya yale aliyoahidi.
–Warumi 4:16c, 20, 21
14 NGUVU ZA MUNGU
Kwa huo aweza hata kuviti-
isha vitu vyote viwe chini
yake. –Wafilipi 3:21b
Na wale waendao kwa ku-
takabari, yeye aweza kuwa-
dhili. –Danieli 4:37b
Kama ni hivyo, Mungu wetu
tunayemtumikia aweza kutu-
okoa na tanuru ile iwakayo
moto; naye atatuokoa na mko-
no wako, Ee mfalme. Kisha
Nebukadreza akaukaribia
mdomo wa ile tanuru iliyoku-
wa inawaka moto. Akanena,
akasema, Enyi Shadraka, na
Meshaki, na Abednego, watu-
mishi wa Mungu Aliye juu, to-
keni, mje huku. . . . Ya kuwa ule
moto ulikuwa hauna nguvu
juu ya miili yao, wala nywele
za vichwa vyao hazikuteke-
tea, wala suruali zao haziku-
badilika, wala harufu ya mo-
to haikuwapata hata kidogo.
–Danieli 3:17, 26a, 27b
Na kwa kuwa mwenyewe
aliteswa alipojaribiwa, awe-
za kuwasaidia wao wanaoja-
ribiwa. –Waebrania 2:18
Uwezo Juu ya Kifo
Akihesabu ya kuwa Mungu
aweza kumfufua hata kutoka
kuzimu. –Waebrania 11:19a
NGUVU ZA MUNGU 15
Na ya kuwa tangu utoto
umeyajua maandiko mataka-
tifu, ambayo yaweza kuku-
hekimisha hata upate woko-
vu kwa imani iliyo katika
Kristo Yesu. –2 Timotheo 3:15
Bwana aweza kumsimami-
sha. –Warumi 14:4b
Basi atukuzwe yeye aweza-
ye kufanya mambo ya ajabu
mno kuliko yote tuyaombayo
au tuyawazayo, kwa kadiri
ya nguvu itendayo kazi ndani
yetu; naam, atukuzwe katika
Kanisa na katika Kristo Yesu
hata vizazi vyote vya milele
na milele. Amina.
–Waefeso 3:20, 21
Basi, sasa nawaweka katika
mikono ya Mungu, na kwa
neno la neema yake, ambalo
laweza kuwajenga na kuwa-
pa urithi pamoja nao wote
waliotakaswa. –Matendo 20:32
Basi, nauliza, Je! Mungu ali-
wasukumia mbali watu wa-
ke? Hasha! Na hao pia, wasi-
pokaa katika kutokuamini
kwao, watapandikizwa; kwa
kuwa Mungu aweza kuwa-
pandikiza tena.
–Warumi 11:1a, 23
16 NGUVU ZA MUNGU
Bwana, kama Wewe unge-
hesabu maovu, Ee Bwana,
nani angesimama? Lakini kwa-
ko kuna msamaha, Ili Wewe
uogopwe. –Zaburi 130:3, 4
Ikiwa watu wangu, walioi-
twa kwa jina langu, wataji-
nyenyekesha, na kuomba, na
kunitafuta uso, na kuziacha
njia zao mbaya; basi, nitasikia
toka mbinguni, na kuwasame-
he dhambi yao, na kuiponya
nchi yao. –2 Nayakati 7:14
Vyepesi ni vipi, kumwambia
mwenye kupooza, Umesame-
hewa dhambi zako, au kuse-
ma, Ondoka, ujitwike godoro
lako, uende? Lakini mpate
kujua ya kwamba Mwana wa
Adamu anayo amri duniani
ya kusamehe dhambi, (hapo
amwambia yule mwenye ku-
pooza), Nakuambia, Ondoka, u-
jitwike godoro lako uende
nyumbani kwako. Mara aka-
ondoka, akajitwika godoro la-
ke, akatoka mbele yao wote;
hata wakastaajabu wote, wa-
kamtukuza Mungu.
–Marko 2:9-12a
Na kila mtu atakayenena ne-
no juu ya Mwana wa Adamu
atasamehewa, bali aliyemku-
furu Roho Mtakatifu hatasa-
mehewa. –Luka 12:10
UWEZO WA KRISTO KUSAMEHE DHAMBI 17
Hata imekuwa, mtu akiwa
ndani ya Kristo amekuwa
kiumbe kipya; ya kale yame-
pita; tazama! yamekuwa ma-
pya. –2 Wakorintho 5:17
Naye kila aishiye na kunia-
mini hatakufa kabisa hata
milele. Je! unayasadiki hayo?
–Yohana 11:26
Naye alipokwisha kukami-
lishwa, akawa sababu ya wo-
kovu wa milele kwa watu wo-
te wanaomtii. –Waebrania 5:9
Ili kwamba, kama vile dha-
mbi ilivyotawala katika mau-
ti, vivyo hivyo kwa njia ya
haki neema itawale hata uzi-
ma wa milele kwa Yesu Kristo
Bwana wetu. –Warumi 5:21
Na sasa inadhihirishwa kwa
kufunuliwa kwake Mwokozi
wetu Kristo Yesu; aliyebatili
mauti, na kuufunua uzima na
kutokuharibika, kwa ile Inji-
li. –2 Timotheo 1:10
Kwa maana sisi tulio hai,
sikuzote twatolewa tufe kwa
ajili ya Yesu, ili uzima wa
Yesu nao udhihirishwe kati-
ka miili yetu ipatikanayo na
mauti. –2 Wakorintho 4:11
Mimi nalikuja ili wawe na
uzima, kisha wawe nao tele.
–Yohana 10:10b
18 UWEZO WA KRISTO KUPONYA ROHO
Ikawa siku zile mojawapo
alikuwa akifundisha, na Ma-
farisayo na waalimu wa to-
rati walikuwa wameketi ha-
po. . . na uweza wa Bwana uli-
kuwapo apate kuponya. Na
mwanamke mmoja, ambaye
ametokwa na damu muda
wa miaka kumi na miwili,
[aliyekuwa amegharimiwa
mali zake zote kwa kuwapa
waganga] asipate kuponywa
na mtu ye yote, alikwenda
nyuma yake, akaugusa upi-
ndo wa vazi lake; na mara
hiyo kutoka damu kwake ku-
likoma. –Luka 5:17; 8:43, 44
Na kila alikokwenda, akii-
ngia vijijini, au mijini, au ma-
shambani, wakawaweka wa-
gonjwa sokoni, wakamsihi
waguse ngaa pindo la vazi
lake; nao wote waliomgusa
wakapona. –Marko 6:56
Hata kulipokuwa jioni, wa-
kamletea wengi wenye pepo;
akawatoa pepo kwa neno la-
ke, akawaponya wote walio-
kuwa hawawezi, ili litimie
lile neno lililonenwa na na-
bii Isaya, akisema, Mwenye-
we aliutwaa udhaifu wetu,
na kuyachukua magonjwa
yetu. –Mathayo 8:16, 17
UWEZO WA KRISTO KUPONYA MWILI 19
Yesu akanyosha mkono, a-
kamgusa, akisema, Nataka;
takasika. Na mara ukoma wa-
ke ukatakasika. –Mathayo 8:3
Akaweka mikono yake juu
yake, naye akanyoka mara
hiyo, akamtukuza Mungu.
–Luka 13:13
Na saa ile ile aliwaponya
wengi magonjwa yao, na mi-
siba, na pepo wabaya; na vi-
pofu wengi aliwakirimia kuo-
na. –Luka 7:21
Na alipoingia katika kijiji
kimoja, alikutana na watu
kumi wenye ukoma; wakasi-
mama mbali. Alipowaona ali-
waambia, Enendeni, mkajio-
nyeshe kwa makuhani. Ika-
wa walipokuwa wakienda wa-
litakasika. –Luka 17:12, 14
Hata Yesu alipofika nyumba-
ni kwa Petro, akamwona
mkwewe Petro, mamaye mke-
we, amelala kitandani hawe-
zi homa. Akamgusa mkono,
homa ikamwacha; naye aka-
ondoka, akawatumikia.
–Mathayo 8:14, 15
Mmoja wao akampiga mtu-
mwa wa Kuhani Mkuu, a-
kamkata sikio la kuume. Ye-
su . . . Akamgusa sikio, akampo-
nya. –Luka 22:50, 51
20 UWEZO WA KUPONYA AINA ZOTE ZA MARADHI
Naye alipofika nyumbani,
wale vipofu walimwendea;
Yesu akawaambia, Mnaamini
kwamba naweza kufanya hi-
li? Wakamwambia, Naam, Bwa-
na. Ndipo alipowagusa macho,
akasema, Kwa kadiri ya ima-
ni yenu mpate. Macho yao ya-
kafumbuka. –Mathayo 9:28-30a
Hata alipoingia Kapernau-
mu, akida mmoja alimjia, aka-
msihi, akisema, Bwana, mtu-
mishi wangu amelala nyu-
mbani, mgonjwa wa kupooza,
anaumwa sana. Naye Yesu
akamwambia yule akida, Ne-
nda zako; na iwe kwako kama
ulivyoamini. Mtumishi wake
akapona saa ile ile.
–Mathayo 8:5, 6, 13
Kisha akamwambia yule mtu,
Nyosha mkono wako; akau-
nyosha, ukapona, ukawa mzi-
ma kama wa pili.
–Mathayo 12:13
Na hapa palikuwa na mtu,
ambaye amekuwa hawezi mu-
da wa miaka thelathini na mi-
nane. Yesu akamwambia, Si-
mama, jitwike godoro lako,
uende. Mara yule mtu akawa
mzima, akajitwika godoro la-
ke, akaenda. –Yohana 5:5, 8, 9a
UWEZO WA KUPONYA AINA ZOTE ZA MARADHI 21
Mtu wa kwenu amekuwa
hawezi? na awaite wazee wa
kanisa. Na kule kuomba kwa
imani kutamwokoa mgonjwa
yule. –Yakobo 5:14a, 15a
Naye alikuwa akizunguka
katika Galilaya yote . . . na
kuihubiri Habari Njema ya
ufalme, na kuponya ugonjwa
na udhaifu wa kila namna
katika watu. –Mathayo 4:23
Na kuponywa magonjwa yao;
na wale waliosumbuliwa na
pepo wachafu; waliponywa.
Na makutano yote walikuwa
wakitaka kumgusa, kwa sa-
babu uweza ulikuwa ukimto-
ka ukiwaponya wote.
–Luka 6:17b-19
Nao wakamsihi waguse ha-
ta pindo la vazi lake tu; na
wote waliogusa wakaponywa
kabisa. –Mathayo 14:36
Wakamwendea makutano
mengi wakimletea viwete, vi-
pofu, mabubu, vilema, na we-
ngine wengi, wakawaweka
miguuni pake; akawaponya.
–Mathayo 15:30
Makutano mengi wakamfu-
ata, akawaponya huko.
–Mathayo 19:2
22 HAKUNA UGONJWA ULIO NA NGUVU
YESU ASIUPONYE Yesu akamkemea pepo, naye
akamtoka; yule kijana aka-
pona tangu saa ile.
–Mathayo 17:18
Pepo nao waliwatoka watu
wengi, wakipiga kelele na ku-
sema, Wewe u Mwana wa
Mungu. Akawakemea, asiwa-
ache kunena, kwa sababu
walimjua kuwa ndiye Kristo.
–Luka 4:41
Naye alipofika ng’ambo, ka-
tika nchi ya Wagerasi, watu
wawili wenye pepo walikuta-
na naye, wanatoka makabu-
rini, wakali mno, hata mtu
asiweze kuipitia njia ile. Na
tazama, wakapiga kelele, wa-
kisema, Tuna nini nawe, Mwa-
na wa Mungu? Je! umekuja
kututesa kabla ya muhula
wetu? Basi, kulikuwako mba-
li nao kundi la nguruwe we-
ngi wakilisha. Wale pepo wa-
kamsihi, wakisema, Ukitu-
toa, tuache twende, tukai-
ngie katika lile kundi la ngu-
ruwe. Akawaambia, Nendeni.
–Mathayo 8:28-32a
Wakati ule akaletewa mtu
mwenye pepo, kipofu, naye
ni bubu; akamponya, hata
yule bubu akanena na kuona.
–Mathayo 12:22
UWEZO WA KRISTO KUTOA MASHETANI 23
Akakaribia, akaligusa jene-
za; wale waliokuwa wakili-
chukua wakasimama. Akase-
ma, Kijana, nakuambia, Inu-
ka. Yule maiti akainuka, aka-
keti, akaanza kusema.
–Luke 7:14, 15a
Yesu akamwambia, Ndugu
yako atafufuka. Martha aka-
mwambia, Najua ya kuwa
atafufuka katika ufufuo siku
ya mwisho. Yesu akamwambia,
Mimi ndimi huo ufufuo, na
uzima. Yeye aniaminiye mimi,
ajapokufa, atakuwa anaishi.
Naye akiisha kusema hayo,
akalia kwa sauti kuu, Lazaro,
njoo huku nje. Akatoka nje
yule aliyekufa, amefungwa
sanda miguuni na mikononi,
na uso wake amefungwa leso.
Naye Yesu akawaambia, Mfu-
ngueni, mkamwache aende
zake. –Yohana 11:23-25, 43, 44
Alipokuwa akinena hayo, ali-
kuja mtu kutoka nyumbani
kwa yule mkuu wa sinagogi,
akamwambia, Binti yako ame-
kwisha kufa; usimsumbue
mwalimu. Akamshika mkono,
akapaza sauti, akisema, Kija-
na, inuka. Roho yake ikamre-
jea. –Luka 8:49, 54, 55a
24 UWEZO WA KRISTO KUFUFUA WAFU
Amin, amin, nawaambia,
Saa inakuja, na sasa ipo, wa-
fu watakapoisikia sauti ya
Mwana wa Mungu, na wale
waisikiao watakuwa hai. Msi-
staajabie maneno hayo; kwa
maana saa yaja, ambayo wa-
tu wote waliomo makaburini
wataisikia sauti yake. Nao wa-
tatoka. –Yohana 5:25, 28, 29a
Kwa kuwa mapenzi yake
Baba yangu ni haya, ya kwa-
mba kila amtazamaye Mwana
na kumwamini yeye, awe na
uzima wa milele; nami nita-
mfufua siku ya mwisho.
–Yohana 6:40
Tukijua ya kwamba yeye
aliyemfufua Bwana Yesu ata-
tufufua sisi nasi pamoja na
Yesu, na kutuhudhurisha pa-
moja nanyi.
–2 Wakorintho 4:14
Kwa sababu Bwana mwe-
nyewe atashuka kutoka mbi-
nguni pamoja na mwaliko,
na sauti ya malaika mkuu, na
parapanda ya Mungu; nao
waliokufa katika Kristo wa-
tafufuliwa kwanza.
–1 Wathesalonika 4:16
Lakini sasa Kristo amefufu-
ka katika wafu, limbuko lao
waliolala. –1 Wakorintho 15:20
AHADI ZA MUNGU ZA UFUFUO 25
Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa
mamlaka yote mbinguni na
duniani. –Mathayo 28:18
Kwa sababu mambo yake
yasiyoonekana tangu kuu-
mbwa ulimwengu yanaone-
kana, na kufahamika kwa
kazi zake; yaani, uweza wake
wa milele na Uungu wake;
hata wasiwe na udhuru.
–Warumi 1:20
Naye yupo mkono wa kuu-
me wa Mungu, amekwenda
zake mbinguni, malaika na
enzi na nguvu zikiisha kuti-
ishwa chini yake.–1 Petro 3:22
Haya ndiyo anenayo yeye
aliye mtakatifu, aliye wa
kweli, aliye na ufunguo wa
Daudi, yeye mwenye kufu-
ngua wala hapana afungaye,
naye afunga wala hapana afu-
nguaye. –Ufunuo 3:7b
Uweza wake wa Uungu ume-
tukirimia vitu vyote vipasa-
vyo uzima na utauwa, kwa
kumjua yeye aliyetuita kwa
utukufu wake na wema wake
mwenyewe. Tena kwa hayo
ametukirimia ahadi kubwa
mno, za thamani, ili kwamba
kwa hizo mpate kuwa washi-
rika wa tabia ya Uungu.
–2 Petro 1:3b, 4a
26 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO
Kujua Mambo Yote
Enenda baharini ukatupe
ndoana, ukatwae samaki yule
azukaye kwanza; na ukifu-
mbua mdomo wake utaona
shekeli . . . . –Mathayo 17:27b
Na kwa sababu hakuwa na
haja ya mtu kushuhudia ha-
bari za mwanadamu; kwa ma-
ana yeye mwenyewe alijua
yaliyomo ndani ya mwanada-
mu. –Yohana 2:25
Katika siku ile Mungu ataka-
pozihukumu siri za wanada-
mu, sawasawa na injili yangu,
kwa Kristo Yesu. –Warumi 2:16
Kwa muujiza Kulisha 5,000
Wakamwambia, Hatuna kitu
hapa ila mikate mitano na
samaki wawili. Akasema, Nile-
teeni hapa. Akawaagiza ma-
kutano waketi katika majani;
akaitwaa ile mikate mitano
na wale samaki wawili, akata-
zama juu mbinguni, akabari-
ki, akaimega ile mikate, aka-
wapa wanafunzi, wanafunzi
wakawapa makutano. Wakala
wote wakashiba . . . . Nao wa-
liokula walikuwa wanaume
wapata elfu tano, bila wana-
wake na watoto.
–Mathayo 14:17-21
UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 27
Kutembea juu ya Maji
Hata wakati wa zamu ya
nne ya usiku Yesu akawae-
ndea, akienda kwa miguu juu
ya bahari. –Mathayo 14:25
Kuzuia Mvua Yote
Hao wana amri ya kuzifu-
nga mbingu, ili mvua isinye
katika siku za unabii wao.
Nao wana amri juu ya maji
kuyageuza kuwa damu, na
kuipiga nchi kwa kila pigo,
kila watakapo. –Ufunuo 11:6
Kutuliza Dhoruba na Bahari
Mara akaondoka, akazike-
mea pepo na bahari; kukawa
shwari kuu. –Mathayo 8:26b
Kutembea Kupenyeza Ndani ya
Ukuta
Akaja Yesu, na milango ime-
fungwa, akasimama katikati,
akasema, Amani iwe kwenu.
–Yohana 20:26b
Kushikilia Dunia Pamoja
Kwa kuwa katika yeye vitu
vyote viliumbwa, vilivyo mbi-
nguni na vilivyo juu ya nchi,
vinavyoonekana na visivyo-
onekana; ikiwa ni viti vya
enzi, au usultani, au enzi, au
mamlaka; vitu vyote viliu-
mbwa kwa njia yake, na kwa
ajili yake. Naye amekuwako
kabla ya vitu vyote, na vitu
vyote hushikana katika yeye.
–Wakolosai 1:16, 17
28 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO
Tukijua ya kuwa Kristo aki-
isha kufufuka katika wafu
hafi tena, wala mauti haimta-
wali tena. –Warumi 6:9
Lakini, ikiwa Roho wake ye-
ye aliyemfufua Yesu katika
wafu anakaa ndani yenu, ye-
ye aliyemfufua Kristo Yesu ka-
tika wafu ataihuisha na miili
yenu iliyo katika hali ya ku-
fa, kwa Roho wake anayekaa
ndani yenu. –Warumi 8:11
Na aliye hai; nami nalikuwa
nimekufa, . . . ni hai hata mile-
le na milele. –Ufunuo 1:18a
Mwambieni Mungu, Mate-
ndo yako yatisha kama nini!
Kwa ajili ya wingi wa nguvu
zako, Adui zako watakuja ku-
nyenyekea mbele zako. Nchi
yote itakusujudia na kukui-
mbia, Naam, italiimbia jina la-
ko. –Zaburi 66:3, 4
Uwezo katika Ufalme Wake
Maana ufalme wa Mungu
hauwi katika neno, bali kati-
ka nguvu. –1 Wakorintho 4:20
Hawa watafanya vita na
Mwana-Kondoo, na Mwana-
Kondoo atawashinda, kwa
maana Yeye ni Bwana wa
Mabwana, na Mfalme wa Wa-
falme. –Ufunuo 17:14a
UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 29
Juu ya Maisha Yote
Kama vile ulivyompa ma-
mlaka juu ya wote wenye
mwili, ili kwamba wote uli-
ompa awape uzima wa mi-
lele. –Yohana 17:2
Kufufua Tena Maisha
Yake Mwenyewe
Ndiposa Baba anipenda, kwa
sababu nautoa uhai wangu ili
niutwae tena. Hakuna mtu
aniondoleaye, bali mimi nau-
toa mwenyewe. Nami ninao
uweza wa kuutoa, ninao na
uweza wa kuutwaa tena. Agi-
zo hilo nalilipokea kwa Baba
yangu. –Yohana 10:17, 18
Kutoa Utukufu wa Mbinguni
Akageuka [Yesu] sura yake
mbele yao; uso wake uka-
ng’aa kama jua, mavazi yake
yakawa meupe kama nuru.
–Mathayo 17:2
Kurudi katika Uwezo
na Utukufu
Yesu akamwambia, wewe u-
mesema; lakini nawaambie-
ni, Tangu sasa mtamwona
Mwana wa Adamu ameketi
mkono wa kuume wa nguvu,
akija juu ya mawingu ya
mbinguni. –Mathayo 26:64
30 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO
Kusamehe Dhambi
Lakini mpate kujua ya kwa-
mba Mwana wa Adamu anayo
amri duniani ya kusamehe
dhambi, (amwambia yule mwe-
nye kupooza) Ondoka, ujitwi-
ke kitanda chako, uende nyu-
mbani kwako. –Mathayo 9:6
Kuwapa Uzima wa Milele
Nami nawapa uzima wa mi-
lele; wala hawatapotea ka-
mwe. –Yohana 10:28a
Kukomboa Yeyote
. . . kwamba mataifa yote wa-
tahubiriwa kwa jina lake
habari ya toba na ondoleo la
dhambi. –Luka 24:47a
Kutakasa Roho
Kwa ajili hii Yesu naye, ili
awatakase watu kwa damu
yake mwenyewe, aliteswa nje
ya lango. –Waebrania 13:12
Kumfanya Mmoja
awe Mshindi
Bwana ataniokoa na kila
neno baya, na kunihifadhi
hata nifike ufalme wake wa
mbinguni. –2 Timotheo 4:18a
Kumzuia Mmoja akae ndani
ya Imani
Ili imani yenu isiwe katika
hekima ya wanadamu, bali
katika nguvu za Mungu.
–1 Wakorintho 2:5
UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 31
Kwa hiyo tena Mungu ali-
mwadhimisha mno, akamki-
rimia Jina (Yesu) lile lipitalo
kila jina. –Wafilipi 2:9
Lakini hizi zimeandikwa; ili
mpate kuamini ya kwamba
Yesu ndiye Kristo, Mwana wa
Mungu; na kwa kuamini mwe
na uzima kwa jina lake.
–Yohana 20:31
Mwalimu, tulimwona mtu
akitoa pepo kwa jina lako,
ambaye hafuatani nasi; tu-
kamkataza, kwa sababu ha-
fuatani nasi. Yesu akasema,
Msimkataze, kwa kuwa ha-
kuna mtu atakayefanya mwu-
jiza kwa jina langu akaweza
mara kuninenea mabaya.
–Marko 9:38b, 39
Nanyi mkiomba lo lote kwa
jina langu, hilo nitalifanya.
–Yohana 14:13a
Lakini Petro akasema . . . la-
kini nilicho nacho ndicho ni-
kupacho. Kwa jina la Yesu Kri-
sto wa Nazareti, simama ue-
nde. Akamshika mkono wa ku-
ume, akamwinua, mara nyayo
zake na vifundo vya miguu ya-
ke vikatiwa nguvu.
–Matendo 3:6, 7
32 UWEZO WA JINA LA YESU
Katika yeye huyo, kwa da-
mu yake, tunao ukombozi
wetu, masamaha ya dhambi,
sawasawa na wingi wa nee-
ma yake. –Waefeso 1:7
Nao wakamshinda [Shetani]
kwa damu ya Mwana-Kondoo,
na kwa neno la ushuhuda
wao. –Ufunuo 12:11a
Basi, Mungu wa amani ali-
yemleta tena kutoka kwa wa-
fu Mchungaji Mkuu wa ko-
ndoo, kwa damu ya agano la
milele, yeye Bwana wetu
Yesu, awafanye ninyi kuwa
wakamilifu katika kila tendo
jema, mpate kuyafanya ma-
penzi yake; naye akifanya
ndani yetu lipendezalo mbe-
le zake, kwa Yesu Kristo.
–Waebrania 13:20, 21a
Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wa-
mefua mavazi yao, na kuya-
fanya meupe katika damu ya
Mwana-Kondoo.
–Ufunuo 7:14b
Bali tukienenda nuruni, ka-
ma yeye alivyo katika nuru,
twashirikiana sisi kwa sisi,
na damu yake Yesu, Mwana
wake, yatusafisha dhambi
yote. –1 Yohana 1:7
UWEZO WA DAMU TAKATIFU YA YESU 33
Wakisema kwa sauti kuu,
Astahili Mwana-Kondoo ali-
yechinjwa, kuupokea uweza
na utajiri na hekima na ngu-
vu na heshima na utukufu na
baraka. –Ufunuo 5:12
Kisha mataifa wataliogopa
jina la BWANA, na wafalme
wote wa dunia utukufu wa-
ko. Kizazi kitakachokuja ki-
taandikiwa hayo, na watu wa-
takaoumbwa watamsifu BWA-
NA. –Zaburi 102:15, 18
Bali ninyi ni mzao meteule,
ukuhani wa kifalme, taifa
takatifu, watu wa milki ya
Mungu, mpate kuzitangaza
fadhili zake yeye aliyewaita
mtoke gizani mkaingie kati-
ka nuru yake ya ajabu.
–1 Petro 2:9
Mwimbieni BWANA akaaye
Sayuni, Yatangazeni kati ya
watu matendo yake.
–Zaburi 9:11
Watu na wakushukuru, Ee
Mungu, Watu wote na waku-
shukuru. Nchi imetoa mazao
yake; Mungu, Mungu wetu,
ametubariki. Mungu atatu-
bariki sisi; Miisho yote ya
dunia itamcha Yeye.
–Zaburi 67:5-7
34 MTUKUZE MUNGU KWA UWEZO WAKE
Mwalimu, nitende jambo ga-
ni jema, ili nipate uzima wa
milele? Akamwambia, . . . Uki-
taka kuingia katika uzima,
zishike amri. Akamwambia,
Zipi? Yesu akasema, Ni hizi,
Usiue, Usizini, Usiibe, Usishu-
hudie uongo, Waheshimu baba
yako na mama yako, na, Mpe-
nde jirani yako kama nafsi
yako. Yule kijana akamwa-
mbia, Haya yote nimeyashika;
nimepungukiwa na nini tena?
Yesu akamwambia, Ukitaka
kuwa mkamilifu, enenda ukau-
ze ulivyo navyo, uwape maski-
ni, nawe utakuwa na hazina
mbinguni; kisha njoo unifuate.
–Mathayo 19:16b, 17-21
Tubu, Amini, Pokea
Yesu akaenda. . .akisema, Wa-
kati umetimia, na ufalme wa
Mungu umekaribia; tubuni, na
kuiamini Injili.
–Marko 1:14b, 15
Alikuwako ulimwenguni, ha-
ta kwa yeye ulimwengu ulipa-
ta kuwako, wala ulimwengu
haukumtambua. Bali wote wa-
liompokea aliwapa uwezo wa
kufanyika watoto wa Mungu,
ndio wale waliaminio jina
lake. –Yohana 1:10, 12
NIFANYE NINI ILI NIPATE UZIMA WA MILELE? 35
Kwa kuwa torati ilitolewa
kwa mkono wa Musa; neema
na kweli zilikuja kwa mkono
wa Yesu Kristo. –Yohana 1:17
Yesu akamwambia, Mimi ndi-
mi njia, na kweli, na uzima;
mtu haji kwa Baba, ila kwa
njia ya mimi. –Yohana 14:6
Ndani yake ndimo ulimoku-
wa uzima, nao ule uzima uli-
kuwa nuru ya watu.
–Yohana 1:4
Ingieni kwa kupitia mlango
ulio mwembamba; maana mla-
ngo ni mpana, na njia ni pana
iendayo upotevuni, nao ni we-
ngi waingiao kwa mlango
huo. Bali mlango ni mwemba-
mba, na njia imesonga ienda-
yo uzimani, nao waionao ni
wachache. –Mathayo 7:13, 14
Mimi ndimi chakula chenye
uzima kilichoshuka kutoka
mbinguni; mtu akila chakula
hiki, ataishi milele.
–Yohana 6:51a
Yesu akasimama, akapaza sa-
uti yake akisema, Mtu akiona
kiu, na aje kwangu anywe.
Aniaminiye mimi, kama vile
maandiko yalivyonena, mito
ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake. –Yohana 7:37b, 38
36 KRISTO NI NJIA, KWELI, UZIMA
Kwa sababu Kristo hakui-
ngia katika patakatifu palipo-
fanyika kwa mikono, . . . bali
aliingia mbinguni hasa, ao-
nekane sasa usoni pa Mungu
kwa ajili yetu; wala si kwa-
mba ajitoe mara nyingi,
. . . lakini sasa, mara moja tu,
katika utimilifu wa nyakati,
amefunuliwa, azitangue dha-
mbi kwa dhabihu ya nafsi ya-
ke. Na kama vile watu wa-
navyowekewa kufa mara mo-
ja, na baada ya kufa hukumu;
kadhalika Kristo naye, akii-
sha kutolewa sadaka mara
moja azichukue dhambi za
watu wengi; atatokea mara
ya pili, pasipo dhambi, kwa
hao wamtazamiao kwa wo-
kovu. –Waebrania 9:24-28
Uwezo Wake Kutupeleka
Mbinguni
Wala hakuna wokovu katika
mwingine awaye yote, kwa
maana hapana jina jingine
chini ya mbingu walilopewa
wanadamu litupasalo sisi kuo-
kolewa kwalo. –Matendo 4:12
Uwezo Wake Kututupa
Jehanamu
Msiwaogope wauuao mwili,
. . . afadhali mwogopeni yule
awezaye kuangamiza mwili na
roho pia katika jehanum.
–Mathayo 10:28
KRISTO, UWEZO PEKEE KWA WOKOVU 37
Ni neno la kuaminiwa, tena
lastahili kukubalika kabisa,
ya kwamba Kristo Yesu aliku-
ja ulimwenguni awaokoe we-
nye dhambi. –1 Timotheo 1:15a
Kwa maana siionei haya I-
njili; kwa sababu ni uweza wa
Mungu uuletao wokovu, kwa
kila aaminiye. –Warumi 1:16a
Wanahesabiwa haki bure
kwa neema yake, kwa njia ya
ukombozi ulio katika Kristo
Yesu; ambaye Mungu ame-
kwisha kumweka awe upata-
nisho kwa njia ya imani ka-
tika damu yake, ili aonyeshe
haki yake, kwa sababu ya ku-
ziachilia katika ustahimili
wa Mungu dhambi zote zili-
zotangulia kufanywa.
–Warumi 3:24, 25
Tazama, nimewapa amri ya
kukanyaga nyoka na nge, na
nguvu zote za yule adui, wala
hakuna kitu kitakachowadhu-
ru. –Luka 10:19
Walakini ye yote atakaye-
kunywa maji yale nitakayo-
mpa mimi hataona kiu mi-
lele; bali yale maji nitaka-
yompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibu-
bujikia uzima wa milele.
–Yohana 4:14
38 UWEZO WA YESU KUOKOA KIKAMILIFU
Haukuweza Kumgharimu
Mungu Zaidi!
Kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda ulimwengu, hata
akamtoa Mwanawe pekee, ili
kila mtu amwaminiye asipo-
tee, bali awe na uzima wa
milele. –Yohana 3:16
Oh, neema iliyoleta wokovu
kwa Mtu! Mungu wa uumbaji
wote alikufa kwa ajili yetu sote.
Yesu akasema, Baba, uwasa-
mehe, kwa kuwa hawajui wa-
tendalo. Yesu akalia kwa sa-
uti kuu, akasema, Ee Baba,
mikononi mwako naiweka
roho yangu. –Luka 23:34a, 46
Ni Bure kwa Sisi kuchukua
Na Roho na Bibi-arusi wase-
ma, Njoo! Naye asikiaye na
aseme, Njoo! Naye mwenye
kiu na aje; na yeye atakaye,
na ayatwae maji ya uzima
bure. –Ufunuo 22:17
Baba humpenda Bibi Arusi
aliyekombolewa sawa kama
ampendavyo Mwana wake —
hakuna upendo mkuu.
Mimi ndani yao, nawe ndani
yangu, ili wawe wamekamili-
ka katika umoja; ili ulimwe-
ngu ujue ya kuwa ndiwe uliye-
nituma, ukawapenda wao ka-
ma ulivyonipenda mimi.
–Yohana 17:23
WOKOVU ULIKUWA GHARAMA, LAKINI NI BURE 39
Tukiziungama dhambi zetu,
Yeye ni mwaminifu na wa ha-
ki hata atuondolee dhambi ze-
tu, na kutusafisha na udhali-
mu wote. –1 Yohana 1:9
Tubuni basi, mrejee, ili dha-
mbi zenu zifutwe.
–Matendo 3:19a
Na huu ndio ushuhuda, ya
kwamba Mungu alitupa uzi-
ma wa milele; na uzima huu
umo katika Mwanawe.
–1 Yohana 5:11
Amwaminiye Mwana yuna
uzima wa milele; asiyemwa-
mini Mwana hataona uzima,
bali ghadhabu ya Mungu ina-
mkalia. –Yohana 3:36
Hamjui ya kuwa kwake yeye
ambaye mnajitoa nafsi zenu
kuwa watumwa wake katika
kumtii, mmekuwa watumwa
wake yule mnayemtii, kwa-
mba ni utumishi wa dhambi
uletao mauti, au kwamba ni
utumishi wa utii uletao haki.
–Warumi 6:16
Tazama, nasimama mlango-
ni, nabisha; mtu akiisikia sa-
uti yangu, na kuufungua mla-
ngo, nitaingia kwake.
–Ufunuo 3:20a
40 NYENYEKEA KIKAMILIFU SASA KWA
YESU KRISTO, ALIYE BWANA
Upendo Badala ya Woga
Maana Mungu hakutupa ro-
ho ya woga, bali ya nguvu na
ya upendo na ya moyo wa ki-
asi. –2 Timotheo 1:7
Katika pendo hamna hofu;
lakini pendo lililo kamili hui-
tupa nje hofu, kwa maana ho-
fu ina adhabu; na mwenye
hofu hakukamilishwa katika
pendo. –1 Yohana 4:18
Upendo Badala ya Chuki
Lakini tunda la Roho ni upe-
ndo, furaha, amani, uvumili-
vu, utu wema, fadhili, uami-
nifu, upole, kiasi; juu ya ma-
mbo kama hayo hakuna she-
ria. –Wagalatia 5:22, 23
Na amri hii tumepewa na
yeye, ya kwamba yeye ampe-
ndaye Mungu, ampende na
ndugu yake. –1 Yohana 4:21
Imani Badala ya Mashaka
Ni nani atakayetutenga na
upendo wa Kristo? Je! ni dhi-
ki, au shida, au adha, au njaa,
au uchi, au hatari, au upanga?
Lakini katika mambo hayo
yote tunashinda, na zaidi ya
kushinda, kwa yeye aliyetu-
penda. –Warumi 8:35, 37
UWEZO WA MUNGU NDANI YA 41
WAAMINI WA KWELI
Kwa kuwa yeye mwenyewe
amesema, Sitakupungukia ka-
bisa, wala sitakuacha kabisa.
–Waebrania 13:5b
Kwa maana ndiye Mungu
atendaye kazi ndani yenu,
kutaka kwenu na kutenda
kwenu, kwa kulitimiza kusu-
di lake jema. –Wafilipi 2:13
Amani Badala ya Maombolezo
Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo
mimi sivyo kama ulimwengu
utoavyo. Msifadhaike mioyo-
ni mwenu, wala msiwe na wo-
ga. –Yohana 14:27
Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na
tuwe na amani kwa Mungu,
kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo. –Warumi 5:1
Jilindeni na choyo, maana
uzima wa mtu haumo katika
wingi wa vitu vyake alivyo
navyo. –Luka 12:15b
Ndugu zangu wapenzi, siki-
lizeni, Je! Mungu hakuwacha-
gua maskini wa dunia wawe
matajiri wa imani na warithi
wa ufalme aliowaahidia wa-
mpendao? –Yakobo 2:5
42 UWEZO WA MUNGU NDANI YA
WAAMINI WA KWELI
Uhakika, Siyo bila Uhakika
Nimewaandikia ninyi ma-
mbo hayo, ili mjue ya kuwa
mna uzima wa milele, ninyi
mnaoliamini Jina la Mwana
wa Mungu. –1 Yohana 5:13
Utakatifu Badala ya Uovu
Mkiisha kujitakasa roho ze-
nu kwa kuitii kweli, hata ku-
ufikilia upendano wa ndugu
usio na unafiki, basi jitahidi-
ni kupendana kwa moyo.
–1 Petro 1:22
Walakini mwisho wa agizo
hilo ni upendo utokao katika
moyo safi na dhamiri njema.
–1 Timotheo 1:5a
Furaha ya Pekee Badala
ya Huzuni
Basi Mungu wa tumaini na
awajaze ninyi furaha yote na
amani katika kuamini.
–Warumi 15:13a
Hayo nimewaambia, ili fura-
ha yangu iwe ndani yenu, na
furaha yenu itimizwe.
–Yohana 15:11
Basi ninyi hivi sasa mna hu-
zuni; lakini mimi nitawaona
tena; na mioyo yenu itafura-
hi, na furaha yenu hakuna
awaondoleaye. –Yohana 16:22
UWEZO WA MUNGU NDANI YA 43
WAAMINI WA KWELI
Nguvu Badala ya Udhaifu
Huwapa nguvu wazimiao,
humwongezea nguvu yeye
asiyekuwa na uwezo.
–Isaya 40:29
Matumaini Badala ya
Kukata Tamaa
Tukilitazamia tumaini lenye
baraka na mafunuo ya utu-
kufu wa Kristo Yesu, Mungu
mkuu na Mwokozi wetu.
–Tito 2:13
Ili kwa vitu viwili visivyo-
weza kubadilika, ambavyo ka-
tika hivyo Mungu hawezi ku-
sema uongo, tupate faraja ili-
yo imara, sisi tuliokimbilia ku-
yashika matumaini yale ya-
wekwayo mbele yetu.
–Waebrania 6:18
Ukweli Badala ya Uongo
Mwe na mwenendo mzuri
kati ya Mataifa, ili, iwapo hu-
wasingizia kuwa watenda
mabaya, wayatazamapo ma-
tendo yenu mazuri, wamtu-
kuze Mungu siku ya kujiliwa.
–1 Petro 2:12
Tena mtaifahamu kweli, na-
yo hiyo kweli itawaweka hu-
ru. –Yohana 8:32
44 UWEZO WA MUNGU NDANI YA
WAAMINI WA KWELI
Kwa maana kila kitu kili-
chozaliwa na Mungu huushi-
nda ulimwengu; na huku ndi-
ko kushinda kuushindako
ulimwengu, hiyo imani yetu.
–1 Yohana 5:4
Tena nikaona kitu . . . na wa-
le wenye kushinda, watokao
kwa yule mnyama, na sana-
mu yake, na kwa hesabu ya
jina lake. –Ufunuo 15:2a
Kukua Badala ya Utoto
Kwa sababu hiyo, tukiacha
kuyanena mafundisho ya kwa-
nza ya Kristo, tukaze mwe-
ndo ili tuufikilie utimilifu; tu-
siweke msingi tena wa kuzi-
tubia kazi zisizo na uhai, na
wa kuwa na imani kwa Mu-
ngu. –Waebrania 6:1
Kama watoto wachanga wa-
liozaliwa sasa yatamanini ma-
ziwa ya akili yasiyoghoshiwa,
ili kwa hayo mpate kuukulia
wokovu. –1 Petro 2:2
Basi kama mlivyompokea
Kristo Yesu, Bwana, enendeni
vivyo hivyo katika yeye; we-
nye shina na wenye kujengwa
katika yeye; mmefanywa ima-
ra kwa imani, kama mlivyo-
fundishwa. –Wakolosai 2:6, 7a
UWEZO WA MUNGU NDANI YA 45
WAAMINI WA KWELI
If you are interested in receiving additional studies of God’s Word, write
to the publisher in English:
W. M. Press, Inc.
P. O. Box 120
New Paris, Indiana 46553-0120 USA
www.wmpress.org Kiswahili POG
Nguvu katika Undani
wa Mtu
Awajalieni, kwa kadiri ya
utajiri wa utukufu wake, ku-
fanywa imara kwa nguvu,
kwa kazi ya Roho wake, kati-
ka utu wa ndani.
–Waefeso 3:16
Nayaweza mambo yote kati-
ka yeye anitiaye nguvu.
–Wafilipi 4:13
Hutegemei Hekima ya
Kibinadamu
Na neno langu na kuhubiri
kwangu hakukuwa kwa ma-
neno ya hekima yenye kusha-
wishi akili za watu, bali kwa
dalili za Roho na za nguvu.
–1 Wakorintho 2:4
Uwezo wa Kushuhudia
Lakini mtapokea nguvu, aki-
isha kuwajilia juu yenu Roho
Mtakatifu; nanyi mtakuwa ma-
shahidi wangu katika Yerusa-
lemu . . . na hata mwisho wa
nchi. –Matendo 1:8
Na sisi tu mashahidi wa ma-
mbo haya, pamoja na Roho
Mtakatifu ambaye Mungu
amewapa wote wamtiio.
–Matendo 5:32
46 UWEZO WA MUNGU NDANI YA
WAAMINI WA KWELI Mimi siombi kwamba uwa-
toe katika ulimwengu; bali
uwalinde na yule mwovu.
–Yohana 17:15
Na amani ya Mungu, ipitayo
akili zote, itawahifadhi mio-
yo yenu na nia zenu katika
Kristo Yesu. –Wafilipi 4:7
Tazama, nimewapa amri ya
kukanyaga nyoka na nge, na
nguvu zote za yule adui, wala
hakuna kitu kitakachowa-
dhuru. –Luka 10:19
Kwa kuwa umelishika neno
la subira yangu, mimi nami
nitakulinda, utoke katika saa
ya kujaribiwa iliyo tayari ku-
ujilia ulimwengu wote, kuwa-
jaribu wakaao juu ya nchi.
–Ufunuo 3:10
Mzidi kuwa hodari katika
Bwana na katika uweza wa
nguvu zake. Vaeni silaha zote
za Mungu, mpate kuweza ku-
zipinga hila za Shetani.
–Waefeso 6:10b, 11
. . . Bwana ajua kuwaokoa wa-
tauwa na majaribu.
–2 Petro 2:9a
Na yeye ashindaye, na kuya-
tunza matendo yangu hata
mwisho, nitampa mamlaka
juu ya mataifa. –Ufunuo 2:26
UWEZO WA MUNGU KUWAHIFADHI WAAMINI 47
Ni yetu kwa Imani; Mungu wetu
pekee asiyekoma ndiye
atakayetimiza.
Na yo yote mtakayoyaomba
katika sala mkiamini, mtapo-
kea. –Mathayo 21:22
Ninyi mkikaa ndani yangu,
na maneno yangu yakikaa
ndani yenu, ombeni mtakalo
lote nanyi mtatendewa.
–Yohana 15:7
Na huu ndio ujasiri tulio nao
kwake, ya kuwa, tukiomba ki-
tu sawasawa na mapenzi
yake, atusikia. Na kama tu-
kijua kwamba atusikia, tuo-
mbacho chote, twajua kwa-
mba tunazo zile haja tulizo-
mwomba. –Yohana 5:14, 15
Ombeni, nanyi mtapewa; ta-
futeni, nanyi mtaona; bishe-
ni, nanyi mtafunguliwa.
–Mathayo 7:7
Amin, amin, nawaambieni,
Yeye aniaminiye mimi, kazi ni-
zifanyazo mimi, yeye naye
atazifanya; naam, na kubwa
kuliko hizo atafanya, kwa ku-
wa mimi naenda kwa Baba.
Nanyi mkiomba lo lote kwa
jina langu, hilo nitalifanya, ili
Baba atukuzwe ndani ya Mwa-
na. Mkiniomba neno lo lote
kwa jina langu, nitalifanya.
–Yohana 14:12-14
48 AHADI “BLANKETI” ZA MUNGU Kwa sababu hiyo nawaa-
mbia, Yo yote myaombayo
mkisali, aminini ya kwamba
mnayapokea, nayo yatakuwa
yenu. –Marko 11:24
Nawe utajifurahisha kwa
BWANA, naye atakupa haja za
moyo wako. Umkabidhi BWA-
NA njia yako, pia umtumaini,
naye atafanya. –Zaburi 37:4, 5
Na Mungu wangu atawaja-
zeni kila mnachokihitaji kwa
kadiri ya utajiri wake, katika
utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
–Wafilipi 4:19
Bwanaakasema,Kama mnge-
kuwa na imani kiasi cha che-
mbe ya haradali, mngeua-
mbia mkuyu huu, Ng’oka, uka-
pandwe baharini, nao unge-
watii. –Luka 17:6
Na lo lote tuombalo, twali-
pokea kwake, kwa kuwa twa-
zishika amri zake, na kuya-
tenda yapendezayo machoni
pake. –1 Yohana 3:22
Yesu akamwambia, Ukiwe-
za! Yote yawezekana kwake
aaminiye. –Marko 9:23
Maana ahadi zote za Mungu
zilizopo katika yeye ni Ndiyo;
tena kwa hiyo katika yeye ni
Amin; Mungu apate kutuku-
zwa kwa sisi.
–2 Wakorintho 1:20
6-10

More Related Content

Viewers also liked

Personajesdelaoficina[2]
Personajesdelaoficina[2]Personajesdelaoficina[2]
Personajesdelaoficina[2]guestabe31c
 
Jogos Olimpicos 2008 Pequim
Jogos Olimpicos 2008 PequimJogos Olimpicos 2008 Pequim
Jogos Olimpicos 2008 PequimMireia Buchaca
 
Schlusswort - Blick weit zurück und in die Zukunft
Schlusswort - Blick weit zurück und in die ZukunftSchlusswort - Blick weit zurück und in die Zukunft
Schlusswort - Blick weit zurück und in die ZukunftCochrane.Collaboration
 

Viewers also liked (6)

Personajesdelaoficina[2]
Personajesdelaoficina[2]Personajesdelaoficina[2]
Personajesdelaoficina[2]
 
Test
TestTest
Test
 
Sheikh Zayed Mosque
Sheikh Zayed MosqueSheikh Zayed Mosque
Sheikh Zayed Mosque
 
Jogos Olimpicos 2008 Pequim
Jogos Olimpicos 2008 PequimJogos Olimpicos 2008 Pequim
Jogos Olimpicos 2008 Pequim
 
TudoéPossíVel
TudoéPossíVelTudoéPossíVel
TudoéPossíVel
 
Schlusswort - Blick weit zurück und in die Zukunft
Schlusswort - Blick weit zurück und in die ZukunftSchlusswort - Blick weit zurück und in die Zukunft
Schlusswort - Blick weit zurück und in die Zukunft
 

More from WorldBibles

Let’s praise the lord! kreyol
Let’s praise the lord! kreyolLet’s praise the lord! kreyol
Let’s praise the lord! kreyolWorldBibles
 
Let’s praise the lord! english
Let’s praise the lord! englishLet’s praise the lord! english
Let’s praise the lord! englishWorldBibles
 
How to know god thai
How to know god thaiHow to know god thai
How to know god thaiWorldBibles
 
How to know god persian farsi
How to know god persian farsiHow to know god persian farsi
How to know god persian farsiWorldBibles
 
How to know god miskito
How to know god miskitoHow to know god miskito
How to know god miskitoWorldBibles
 
How to know god malayalam
How to know god malayalamHow to know god malayalam
How to know god malayalamWorldBibles
 
How to know god kreyol
How to know god kreyolHow to know god kreyol
How to know god kreyolWorldBibles
 
How to know god kannada
How to know god kannadaHow to know god kannada
How to know god kannadaWorldBibles
 
How to know god hausa
How to know god hausaHow to know god hausa
How to know god hausaWorldBibles
 
How to know god georgian
How to know god georgianHow to know god georgian
How to know god georgianWorldBibles
 
How to know god ewe
How to know god eweHow to know god ewe
How to know god eweWorldBibles
 
How to know god estonian
How to know god estonianHow to know god estonian
How to know god estonianWorldBibles
 
How to know god english
How to know god englishHow to know god english
How to know god englishWorldBibles
 
How to know god chinese simplified
How to know god chinese simplifiedHow to know god chinese simplified
How to know god chinese simplifiedWorldBibles
 
How to know god ateso
How to know god atesoHow to know god ateso
How to know god atesoWorldBibles
 
How to know god arabic
How to know god arabicHow to know god arabic
How to know god arabicWorldBibles
 
Help from above urdu
Help from above urduHelp from above urdu
Help from above urduWorldBibles
 
Help from above tswana
Help from above tswanaHelp from above tswana
Help from above tswanaWorldBibles
 
Help from above traditional chinese
Help from above traditional chineseHelp from above traditional chinese
Help from above traditional chineseWorldBibles
 
Help from above tibetan
Help from above tibetanHelp from above tibetan
Help from above tibetanWorldBibles
 

More from WorldBibles (20)

Let’s praise the lord! kreyol
Let’s praise the lord! kreyolLet’s praise the lord! kreyol
Let’s praise the lord! kreyol
 
Let’s praise the lord! english
Let’s praise the lord! englishLet’s praise the lord! english
Let’s praise the lord! english
 
How to know god thai
How to know god thaiHow to know god thai
How to know god thai
 
How to know god persian farsi
How to know god persian farsiHow to know god persian farsi
How to know god persian farsi
 
How to know god miskito
How to know god miskitoHow to know god miskito
How to know god miskito
 
How to know god malayalam
How to know god malayalamHow to know god malayalam
How to know god malayalam
 
How to know god kreyol
How to know god kreyolHow to know god kreyol
How to know god kreyol
 
How to know god kannada
How to know god kannadaHow to know god kannada
How to know god kannada
 
How to know god hausa
How to know god hausaHow to know god hausa
How to know god hausa
 
How to know god georgian
How to know god georgianHow to know god georgian
How to know god georgian
 
How to know god ewe
How to know god eweHow to know god ewe
How to know god ewe
 
How to know god estonian
How to know god estonianHow to know god estonian
How to know god estonian
 
How to know god english
How to know god englishHow to know god english
How to know god english
 
How to know god chinese simplified
How to know god chinese simplifiedHow to know god chinese simplified
How to know god chinese simplified
 
How to know god ateso
How to know god atesoHow to know god ateso
How to know god ateso
 
How to know god arabic
How to know god arabicHow to know god arabic
How to know god arabic
 
Help from above urdu
Help from above urduHelp from above urdu
Help from above urdu
 
Help from above tswana
Help from above tswanaHelp from above tswana
Help from above tswana
 
Help from above traditional chinese
Help from above traditional chineseHelp from above traditional chinese
Help from above traditional chinese
 
Help from above tibetan
Help from above tibetanHelp from above tibetan
Help from above tibetan
 

The power of god kiswahili

  • 1. Ameiumba dunia kwa uwe- za wake, Ameuthibitisha uli- mwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake ame- zitandika mbingu. –Yeremia 10:12 Basi, mtamlinganisha Mu- ngu na nani?. . . Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya du- nia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia, na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa; Mta- nifananisha na nani, basi, ni- pate kuwa sawa naye? asema yeye aliye Mtakatifu. Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; ale- taye nje jeshi lao kwa hesa- bu; aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake; hapana mo- ja isiyokuwapo mahali pake. –Isaya 40:18a, 22, 25, 26 Aa! Bwana MUNGU, tazama, wewe umeziumba mbingu na nchi, kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulio- nyoshwa; hapana neno lililo gumu usiloliweza. –Yeremia 32:17 UWEZO WA MUNGU KATIKA KUUMBA 1 huzunguka-zunguka, akitafu- ta mtu ammeze. –1 Petro 5:8 Nami sipendi ninyi kushiri- kiana na mashetani. –1 Wakorintho 10:20b Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifu- ataye hatakwenda gizani ka- mwe, bali atakuwa na nuru ya uzima. –Yohana 8:12 Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. –Yohana 10:10b Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno aliku- wa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kili- chofanyika Mwivi [Shetani] haji ila aibe na kuchinja na ku- haribu. –Yohana 1:1, 3; 10:10a Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. –Luka 10:18 Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibi- lisi, kama simba angurumaye, 2 MUNGU HUUMBA NA KUTOA MWANGA; SHETANI HUHARIBU Mara moja amenena Mungu; Mara mbili nimeyasikia haya, Ya kuwa nguvu zina Mungu. –Zaburi 62:11 Naam, tangu siku ya leo, mi- mi ndiye; wala hapana awe- zaye kuokoa katika mkono wangu. –Isaya 43:13a Ee BWANA, ukuu ni wako, na uweza, na utukufu, na kushi- nda, na enzi; maana vitu vyo- te vilivyo mbinguni na duni- ani ni vyako; ufalme ni wako, Ee BWANA, nawe umetukuzwa, u mkuu juu ya vitu vyote. Utajiri na heshima hutoka kwako wewe, nawe watawala juu ya vyote; na mkononi mwako mna uweza na nguvu; tena mkononi mwako mna kuwatukuza na kuwaweze- sha wote. –1 Nyakati 29:11, 12 Ee BWANA Mungu, umeanza kumwonyesha mtumishi wako ukubwa wako, na mkono wa- ko wa nguvu; kwani kuna mu- ngu gani mbinguni au duniani awezaye kufanya mfano wa kazi zako, na mfano wa ma- tendo yako yenye nguvu? –Kumbukumbu 3:24 Kwa kuwa hakuna neno li- silowezekana kwa Mungu. –Luka 1:37 UWEZO WA MUNGU HAUNA MIPAKA 3 UWEZO WA MUNGU Yawezekanaje kiumbe kidogo kufafanua uwezo wa Muumba wetu au nguvu za Mungu asiyeharibika kwa namna yoyote ile? Ni vigumu kabisa kuifanya kwa usahihi, kwa maana Mungu ni mwenye uwezo mkuu na mkubwa sana kwamba akili zetu ndogo kwa uwezo wake haiwezi kuchukua yote ndani. Lakini Mungu amejifunua Mwenyewe katika Kitabu chake, Biblia, wazi ya kutosha sisi kuelewa vizuri uwezo Wake kutenda CHOCHOTE kinachodhaniwa na mtu kuwa hakiwezekani! Yeye aliumba ulimwengu wetu na kuuning’iniza hewani, na umening’inia pale kwa miaka maelfu sio kwa lolote bali kwa uwezo Wake. Yeye alikuwa akirudishia mahitaji ya ulimwengu wetu yaliyotokana na nguvu za uharibifu wa Shetani na mtu. Hebu sasa tutazame ndani ya Neno la Mungu kuhusu ufunuo Wake ulio mkamilifu wa uwezo Wake usioisha. —Watson Goodman (1920-2002) _______________________________________________________________ BIB LIA-The British and Foreign Bible Society-London 1961. Made and Printed in Great Britain by Purnell and Sons, LTD., Paulton and London. Printed by permission. Imekusanywa na Watson Goodman BURE - KISIUZWE UWEZO WA MUNGU
  • 2. BWANA, mkono wako wa ku- ume umepata fahari ya uwe- zo, BWANA, mkono wako wa kuume wawaseta-seta adui. Kwa wingi wa ukuu wako wawaangusha chini wanao- kuondokea, Wapeleka hasira yako, nayo huwateketeza ka- ma mabua makavu. –Kutoka 15:6, 7 Bwana wetu ni mkuu na mwingi wa nguvu, Akili zake hazina mpaka. –Zaburi 147:5 Lakini akawaokoa kwa ajili ya jina lake,Ayadhihirishe ma- tendo yake makuu. –Zaburi 106:8 Ezra akasema, Wewe ndiwe BWANA, wewe peke yako; wewe ulifanya mbingu, mbingu za mbingu, pamoja na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyo- mo, bahari na vitu vyote vi- livyomo, nawe unavihifadhi vitu hivi vyote; na jeshi la mbinguni lakusujudu wewe. –Nehemia 9:6 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Wewe, BWANA, Mungu wangu, Umejifanya mkuu sa- na; Umejivika heshima na adhama. –Zaburi 104:1 BWANA ndiye mkuu mwenye kusifiwa sana, Wala ukuu wa- ke hautambulikani. –Zaburi 145:3 4 UKUU WA UWEZO MWINGI WA MUNGU Maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu, Mwokozi wetu Yesu Kristo. –2 Petro 1:11 Mtumainini BWANA sikuzote, Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele. –Isaya 26:4 Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia, na ta- ngu milele hata milele ndiwe Mungu. –Zaburi 90:2 Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatete- meka, Wala mataifa hawawe- zi kustahimili hasira yake. –Yeremia 10:10 Pakawa na sauti kuu kati- ka mbingu; zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele. –Ufunuo 11:15b Uwezo Wa Shetani Utaharibiwa Na yule Ibilisi, mwenye ku- wadanganya, akatupwa kati- ka ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao wata- teswa mchana na usiku hata milele na milele. –Ufunuo 20:10 UWEZO WA MUNGU NI WA MILELE 5 Musa akanyosha mkono wa- ke juu ya bahari; BWANA akai- fanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu uto- kao mashariki, usiku kucha, akaifanya bahari kuwa nchi kavu, maji yakagawanyika. Wana wa Israeli wakaenda ndani kati ya bahari katika nchi kavu; nayo maji yali- kuwa ukuta kwao mkono wa kuume, na mkono wa kusho- to. BWANA akamwambia Mu- sa, Nyosha mkono wako juu ya bahari, ili maji yarudi tena juu ya Wamisri, juu ya magari yao, na juu ya farasi zao. Musa akaunyosha mko- no wake juu ya bahari, na kulipopambazuka, bahari ikarudi kwa nguvu zake; Wamisri wakakimbia mbele yake; na BWANA akawaku- kutia mbali hao Wamisri kati ya bahari. . . . Hakusalia hata mtu mmoja. Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli siku ile mikononi mwa Wa- misri; Waisraeli wakawaona Wamisri ufuoni kwa bahari, wamekufa. –Kutoka 14:21, 22, 26-28b, 30 6 UWEZO WA AJABU WA MUNGU KATIKA BAHARI YA SHAMU Alilisha Watu Milioni Kwa Miaka 40 Wakati wa jioni mtakula nya- ma, na wakati wa asubuhi mta- shiba mkate; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mu- ngu wenu. Ikawa wakati wa jio- ni, kware wakakaribia, waka- kifunikiza kituo; na wakati wa asubuhi umande ulikuwa juu ya nchi pande zote za kituo. Na ulipoinuka ule umande ulio- kuwa juu ya nchi, kumbe! juu ya uso wa bara kitu kidogo ki- lichoviringana, kidogo kama sa- kitu juu ya nchi. Wana wa Isra- eli walipokiona, wakaambiana, Nini hiki? Na wana wa Israeli walikula Mana muda wa miaka arobaini. –Kutoka 16:12b-15a, 35a Maji Kwa Milioni . . . Nawe utalipiga jabali, na maji yatatoka, watu wapate kunywa. –Kutoka 17:6a Alizuia Mto Uliofurika Na hao makuhani waliolichu- kua sanduku la agano la BWA- NA wakasimama imara mahali pakavu katikati ya Yordani; Israeli wote wakavuka katika nchi kavu. –Yoshua 3:17a HAKUNA MUUJIZA ULIO MKUBWA ZAIDI 7 KWA MUNGU Basi watu hao wakafungwa, hali wamevaa suruali zao, na kanzu zao, na joho zao, na mavazi yao mengine, waka- tupwa katikati ya ile tanuru iliyokuwa ikiwaka moto. Basi kwa sababu amri ya mfalme ilikuwa ni kali, na ile tanuru ilikuwa ina moto sana, mwa- ko wa ule moto ukawaua wale watu waliowashika Shadra- ka, na Meshaki, na Abednego. Na maamiri, na manaibu, na maliwali, na mawaziri, walio- kuwa wamekusanyika pamo- ja, wakawaona watu hao, ya kuwa ule moto ulikuwa hau- na nguvu juu ya miili yao, wala nywele za vichwa vyao hazikuteketea, wala suruali zao hazikubadilika, wala ha- rufu ya moto haikuwapata hata kidogo. –Danieli 3:21, 22, 27 Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, wa- kamtupa katika tundu la si- mba. Mfalme akanena, aka- mwambia Danieli, Mungu wa- ko unayemtumikia daima, ye- ye atakuponya. Ndipo Danieli akamwambia mfalme. . . . Mu- ngu wangu amemtuma ma- laika wake, naye ameyafu- mba makanwa ya simba. –Danieli 6:16, 21, 22a 8 MUNGU NI MKOMBOZI MKUU Je! neno langu si kama mo- to? asema BWANA; na kama nyu- ndo ivunjayo mawe vipande vipande? –Yeremia 23:29 Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga u- wao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya mo- yo. –Waebrania 4:12 Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifu- ata neno lako. –Zaburi 119:9 Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nili- lowaambia. –Yohana 15:3 Tena ipokeeni chapeo ya wo- kovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu. –Waefeso 6:17 Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli. –Yohana 17:17 Moyoni mwangu nimeliwe- ka neno lako, Nisije nikaku- tenda dhambi. –Zaburi 119:11 Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahami- sha mjinga. –Zaburi 119:130 UWEZO WA NENO LA MUNGU 9
  • 3. Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. –Wakolosai 2:9 Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Ima- nueli; Yaani, Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya ka- ma malaika wa Bwana alivyo- mwagiza; akamchukua mke- we; asimjue kamwe hata ali- pomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU. –Mathayo 1:23-25 Akawajibu, Baba yangu ana- tenda kazi hata sasa, nami ni- natenda kazi. Basi kwa sa- babu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pa- moja na hayo alimwita Mu- ngu Baba yake, akijifanya sa- wa na Mungu. –Yohana 5:17, 18 Damu ya Kristo ni Damu ya Mungu Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa da- mu yake mwenyewe. –Matendo 20:28 10 YESU KRISTO NI MUNGU KATIKA MWILI Tena zitokazo kwa Yesu Kri- sto . . . Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na ali- yekuwako na atakayekuja, Mwenyezi. –Ufunuo 1:5a, 8 Naye alituokoa katika ngu- vu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; amba- ye katika yeye tuna ukombo- zi, yaani, msamaha wa dha- mbi; naye ni mfano wa Mu- ngu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbi- nguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoo- nekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliu- mbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. –Wakolosai 1:13-16 Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; ambaye yeye peke yake hapatikani na mau- ti, amekaa katika nuru isiyo- weza kukaribiwa; wala haku- na mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. He- shima na uweza una yeye hata milele. Amina. –1 Timotheo 6:15b, 16 YESU KRISTO NI MWENYE UWEZO 11 Naye anitazamaye mimi a- mtazama yeye aliyenipeleka. –Yohana 12:45 Yeye kwa kuwa ni mng’ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wa- ke, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu. –Waebrania 1:3 Na ubora wa ukuu wa uwe- za wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uweza wake; aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, a- kamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina lita- jwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake. –Waefeso 1:19-22a Mimi na Baba tu umoja. . . . Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba. –Yohana 10:30, 38b Naye akampa amri ya ku- fanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu. –Yohana 5:27 12 KRISTO NI SAWA NA BABA Yeye anao Uwezo, Yuko katika Utatu Naye Roho ndiye ashuhudi- aye, kwa sababu Roho ndiye kweli. –1 Yohana 5:7 Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Ro- ho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya ki- wanja?. . . Ilikuwaje hata uka- weka neno hili moyoni mwa- ko? Hukumwambia uongo mwa- nadamu, bali Mungu. Anania aliposikia maneno haya aka- anguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walio- yasikia haya. –Matendo 5:3-5 Yeye Huwajaza Waamini, Huwapa Ushupavu Hata walipokwisha kumwo- mba Mungu, mahali pale wa- lipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakati- fu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri. –Matendo 4:31 Yeye Hufanya Upendo wa Pekee Kufanya kazi Na tumaini halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha kumiminwa kati- ka mioyo yetu na Roho Mta- katifu tuliyepewa sisi. –Warumi 5:5 UWEZO MKUU WA ROHO MTAKATIFU 13 Naye, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamji- ao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee. –Waebrania 7:25 Yeye awezaye kuwalinda ni- nyi msijikwae, na kuwasima- misha mbele ya utukufu wa- ke bila mawaa katika furaha kuu. –Yuda 24 Mungu aweza kumwinulia Ibrahimu watoto. –Luka 3:8b Kwa sababu hiyo nimepati- kana na mateso haya, wala si- tahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusa- diki ya kwamba aweza kuki- linda kile nilichokiweka a- mana kwake hata siku ile. –2 Timotheo 1:12 Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila namna sikuzote, mpate kuzi- di sana katika kila tendo je- ma. –2 Wakorintho 9:8 Ibrahimu . . . lakini akiiona ahadi ya Mungu hakusita kwa kutokuamini, bali aliti- wa nguvu kwa imani, akimtu- kuza Mungu; huku akijua hakika ya kuwa Mungu awe- za kufanya yale aliyoahidi. –Warumi 4:16c, 20, 21 14 NGUVU ZA MUNGU Kwa huo aweza hata kuviti- isha vitu vyote viwe chini yake. –Wafilipi 3:21b Na wale waendao kwa ku- takabari, yeye aweza kuwa- dhili. –Danieli 4:37b Kama ni hivyo, Mungu wetu tunayemtumikia aweza kutu- okoa na tanuru ile iwakayo moto; naye atatuokoa na mko- no wako, Ee mfalme. Kisha Nebukadreza akaukaribia mdomo wa ile tanuru iliyoku- wa inawaka moto. Akanena, akasema, Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watu- mishi wa Mungu Aliye juu, to- keni, mje huku. . . . Ya kuwa ule moto ulikuwa hauna nguvu juu ya miili yao, wala nywele za vichwa vyao hazikuteke- tea, wala suruali zao haziku- badilika, wala harufu ya mo- to haikuwapata hata kidogo. –Danieli 3:17, 26a, 27b Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, awe- za kuwasaidia wao wanaoja- ribiwa. –Waebrania 2:18 Uwezo Juu ya Kifo Akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua hata kutoka kuzimu. –Waebrania 11:19a NGUVU ZA MUNGU 15
  • 4. Na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko mataka- tifu, ambayo yaweza kuku- hekimisha hata upate woko- vu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu. –2 Timotheo 3:15 Bwana aweza kumsimami- sha. –Warumi 14:4b Basi atukuzwe yeye aweza- ye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; naam, atukuzwe katika Kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina. –Waefeso 3:20, 21 Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwa- pa urithi pamoja nao wote waliotakaswa. –Matendo 20:32 Basi, nauliza, Je! Mungu ali- wasukumia mbali watu wa- ke? Hasha! Na hao pia, wasi- pokaa katika kutokuamini kwao, watapandikizwa; kwa kuwa Mungu aweza kuwa- pandikiza tena. –Warumi 11:1a, 23 16 NGUVU ZA MUNGU Bwana, kama Wewe unge- hesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama? Lakini kwa- ko kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe. –Zaburi 130:3, 4 Ikiwa watu wangu, walioi- twa kwa jina langu, wataji- nyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasame- he dhambi yao, na kuiponya nchi yao. –2 Nayakati 7:14 Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesame- hewa dhambi zako, au kuse- ma, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende? Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye ku- pooza), Nakuambia, Ondoka, u- jitwike godoro lako uende nyumbani kwako. Mara aka- ondoka, akajitwika godoro la- ke, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wa- kamtukuza Mungu. –Marko 2:9-12a Na kila mtu atakayenena ne- no juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali aliyemku- furu Roho Mtakatifu hatasa- mehewa. –Luka 12:10 UWEZO WA KRISTO KUSAMEHE DHAMBI 17 Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yame- pita; tazama! yamekuwa ma- pya. –2 Wakorintho 5:17 Naye kila aishiye na kunia- mini hatakufa kabisa hata milele. Je! unayasadiki hayo? –Yohana 11:26 Naye alipokwisha kukami- lishwa, akawa sababu ya wo- kovu wa milele kwa watu wo- te wanaomtii. –Waebrania 5:9 Ili kwamba, kama vile dha- mbi ilivyotawala katika mau- ti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzi- ma wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu. –Warumi 5:21 Na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Inji- li. –2 Timotheo 1:10 Kwa maana sisi tulio hai, sikuzote twatolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu nao udhihirishwe kati- ka miili yetu ipatikanayo na mauti. –2 Wakorintho 4:11 Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. –Yohana 10:10b 18 UWEZO WA KRISTO KUPONYA ROHO Ikawa siku zile mojawapo alikuwa akifundisha, na Ma- farisayo na waalimu wa to- rati walikuwa wameketi ha- po. . . na uweza wa Bwana uli- kuwapo apate kuponya. Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu ye yote, alikwenda nyuma yake, akaugusa upi- ndo wa vazi lake; na mara hiyo kutoka damu kwake ku- likoma. –Luka 5:17; 8:43, 44 Na kila alikokwenda, akii- ngia vijijini, au mijini, au ma- shambani, wakawaweka wa- gonjwa sokoni, wakamsihi waguse ngaa pindo la vazi lake; nao wote waliomgusa wakapona. –Marko 6:56 Hata kulipokuwa jioni, wa- kamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno la- ke, akawaponya wote walio- kuwa hawawezi, ili litimie lile neno lililonenwa na na- bii Isaya, akisema, Mwenye- we aliutwaa udhaifu wetu, na kuyachukua magonjwa yetu. –Mathayo 8:16, 17 UWEZO WA KRISTO KUPONYA MWILI 19 Yesu akanyosha mkono, a- kamgusa, akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wa- ke ukatakasika. –Mathayo 8:3 Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu. –Luka 13:13 Na saa ile ile aliwaponya wengi magonjwa yao, na mi- siba, na pepo wabaya; na vi- pofu wengi aliwakirimia kuo- na. –Luka 7:21 Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasi- mama mbali. Alipowaona ali- waambia, Enendeni, mkajio- nyeshe kwa makuhani. Ika- wa walipokuwa wakienda wa- litakasika. –Luka 17:12, 14 Hata Yesu alipofika nyumba- ni kwa Petro, akamwona mkwewe Petro, mamaye mke- we, amelala kitandani hawe- zi homa. Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye aka- ondoka, akawatumikia. –Mathayo 8:14, 15 Mmoja wao akampiga mtu- mwa wa Kuhani Mkuu, a- kamkata sikio la kuume. Ye- su . . . Akamgusa sikio, akampo- nya. –Luka 22:50, 51 20 UWEZO WA KUPONYA AINA ZOTE ZA MARADHI Naye alipofika nyumbani, wale vipofu walimwendea; Yesu akawaambia, Mnaamini kwamba naweza kufanya hi- li? Wakamwambia, Naam, Bwa- na. Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya ima- ni yenu mpate. Macho yao ya- kafumbuka. –Mathayo 9:28-30a Hata alipoingia Kapernau- mu, akida mmoja alimjia, aka- msihi, akisema, Bwana, mtu- mishi wangu amelala nyu- mbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana. Naye Yesu akamwambia yule akida, Ne- nda zako; na iwe kwako kama ulivyoamini. Mtumishi wake akapona saa ile ile. –Mathayo 8:5, 6, 13 Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akau- nyosha, ukapona, ukawa mzi- ma kama wa pili. –Mathayo 12:13 Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa hawezi mu- da wa miaka thelathini na mi- nane. Yesu akamwambia, Si- mama, jitwike godoro lako, uende. Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro la- ke, akaenda. –Yohana 5:5, 8, 9a UWEZO WA KUPONYA AINA ZOTE ZA MARADHI 21
  • 5. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? na awaite wazee wa kanisa. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule. –Yakobo 5:14a, 15a Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote . . . na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya ugonjwa na udhaifu wa kila namna katika watu. –Mathayo 4:23 Na kuponywa magonjwa yao; na wale waliosumbuliwa na pepo wachafu; waliponywa. Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sa- babu uweza ulikuwa ukimto- ka ukiwaponya wote. –Luka 6:17b-19 Nao wakamsihi waguse ha- ta pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa. –Mathayo 14:36 Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vi- pofu, mabubu, vilema, na we- ngine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya. –Mathayo 15:30 Makutano mengi wakamfu- ata, akawaponya huko. –Mathayo 19:2 22 HAKUNA UGONJWA ULIO NA NGUVU YESU ASIUPONYE Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana aka- pona tangu saa ile. –Mathayo 17:18 Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na ku- sema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwa- ache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo. –Luka 4:41 Naye alipofika ng’ambo, ka- tika nchi ya Wagerasi, watu wawili wenye pepo walikuta- na naye, wanatoka makabu- rini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile. Na tazama, wakapiga kelele, wa- kisema, Tuna nini nawe, Mwa- na wa Mungu? Je! umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? Basi, kulikuwako mba- li nao kundi la nguruwe we- ngi wakilisha. Wale pepo wa- kamsihi, wakisema, Ukitu- toa, tuache twende, tukai- ngie katika lile kundi la ngu- ruwe. Akawaambia, Nendeni. –Mathayo 8:28-32a Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu; akamponya, hata yule bubu akanena na kuona. –Mathayo 12:22 UWEZO WA KRISTO KUTOA MASHETANI 23 Akakaribia, akaligusa jene- za; wale waliokuwa wakili- chukua wakasimama. Akase- ma, Kijana, nakuambia, Inu- ka. Yule maiti akainuka, aka- keti, akaanza kusema. –Luke 7:14, 15a Yesu akamwambia, Ndugu yako atafufuka. Martha aka- mwambia, Najua ya kuwa atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho. Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi. Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfu- ngueni, mkamwache aende zake. –Yohana 11:23-25, 43, 44 Alipokuwa akinena hayo, ali- kuja mtu kutoka nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akamwambia, Binti yako ame- kwisha kufa; usimsumbue mwalimu. Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema, Kija- na, inuka. Roho yake ikamre- jea. –Luka 8:49, 54, 55a 24 UWEZO WA KRISTO KUFUFUA WAFU Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wa- fu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai. Msi- staajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo wa- tu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. Nao wa- tatoka. –Yohana 5:25, 28, 29a Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwa- mba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nita- mfufua siku ya mwisho. –Yohana 6:40 Tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu ata- tufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuhudhurisha pa- moja nanyi. –2 Wakorintho 4:14 Kwa sababu Bwana mwe- nyewe atashuka kutoka mbi- nguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo wa- tafufuliwa kwanza. –1 Wathesalonika 4:16 Lakini sasa Kristo amefufu- ka katika wafu, limbuko lao waliolala. –1 Wakorintho 15:20 AHADI ZA MUNGU ZA UFUFUO 25 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. –Mathayo 28:18 Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuu- mbwa ulimwengu yanaone- kana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru. –Warumi 1:20 Naye yupo mkono wa kuu- me wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zikiisha kuti- ishwa chini yake.–1 Petro 3:22 Haya ndiyo anenayo yeye aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo wa Daudi, yeye mwenye kufu- ngua wala hapana afungaye, naye afunga wala hapana afu- nguaye. –Ufunuo 3:7b Uweza wake wa Uungu ume- tukirimia vitu vyote vipasa- vyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washi- rika wa tabia ya Uungu. –2 Petro 1:3b, 4a 26 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO Kujua Mambo Yote Enenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifu- mbua mdomo wake utaona shekeli . . . . –Mathayo 17:27b Na kwa sababu hakuwa na haja ya mtu kushuhudia ha- bari za mwanadamu; kwa ma- ana yeye mwenyewe alijua yaliyomo ndani ya mwanada- mu. –Yohana 2:25 Katika siku ile Mungu ataka- pozihukumu siri za wanada- mu, sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu. –Warumi 2:16 Kwa muujiza Kulisha 5,000 Wakamwambia, Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili. Akasema, Nile- teeni hapa. Akawaagiza ma- kutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akata- zama juu mbinguni, akabari- ki, akaimega ile mikate, aka- wapa wanafunzi, wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba . . . . Nao wa- liokula walikuwa wanaume wapata elfu tano, bila wana- wake na watoto. –Mathayo 14:17-21 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 27
  • 6. Kutembea juu ya Maji Hata wakati wa zamu ya nne ya usiku Yesu akawae- ndea, akienda kwa miguu juu ya bahari. –Mathayo 14:25 Kuzuia Mvua Yote Hao wana amri ya kuzifu- nga mbingu, ili mvua isinye katika siku za unabii wao. Nao wana amri juu ya maji kuyageuza kuwa damu, na kuipiga nchi kwa kila pigo, kila watakapo. –Ufunuo 11:6 Kutuliza Dhoruba na Bahari Mara akaondoka, akazike- mea pepo na bahari; kukawa shwari kuu. –Mathayo 8:26b Kutembea Kupenyeza Ndani ya Ukuta Akaja Yesu, na milango ime- fungwa, akasimama katikati, akasema, Amani iwe kwenu. –Yohana 20:26b Kushikilia Dunia Pamoja Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbi- nguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyo- onekana; ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliu- mbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. –Wakolosai 1:16, 17 28 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO Tukijua ya kuwa Kristo aki- isha kufufuka katika wafu hafi tena, wala mauti haimta- wali tena. –Warumi 6:9 Lakini, ikiwa Roho wake ye- ye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, ye- ye aliyemfufua Kristo Yesu ka- tika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya ku- fa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu. –Warumi 8:11 Na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, . . . ni hai hata mile- le na milele. –Ufunuo 1:18a Mwambieni Mungu, Mate- ndo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja ku- nyenyekea mbele zako. Nchi yote itakusujudia na kukui- mbia, Naam, italiimbia jina la- ko. –Zaburi 66:3, 4 Uwezo katika Ufalme Wake Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali kati- ka nguvu. –1 Wakorintho 4:20 Hawa watafanya vita na Mwana-Kondoo, na Mwana- Kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wa- falme. –Ufunuo 17:14a UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 29 Juu ya Maisha Yote Kama vile ulivyompa ma- mlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uli- ompa awape uzima wa mi- lele. –Yohana 17:2 Kufufua Tena Maisha Yake Mwenyewe Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nau- toa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agi- zo hilo nalilipokea kwa Baba yangu. –Yohana 10:17, 18 Kutoa Utukufu wa Mbinguni Akageuka [Yesu] sura yake mbele yao; uso wake uka- ng’aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru. –Mathayo 17:2 Kurudi katika Uwezo na Utukufu Yesu akamwambia, wewe u- mesema; lakini nawaambie- ni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni. –Mathayo 26:64 30 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO Kusamehe Dhambi Lakini mpate kujua ya kwa- mba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwe- nye kupooza) Ondoka, ujitwi- ke kitanda chako, uende nyu- mbani kwako. –Mathayo 9:6 Kuwapa Uzima wa Milele Nami nawapa uzima wa mi- lele; wala hawatapotea ka- mwe. –Yohana 10:28a Kukomboa Yeyote . . . kwamba mataifa yote wa- tahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi. –Luka 24:47a Kutakasa Roho Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango. –Waebrania 13:12 Kumfanya Mmoja awe Mshindi Bwana ataniokoa na kila neno baya, na kunihifadhi hata nifike ufalme wake wa mbinguni. –2 Timotheo 4:18a Kumzuia Mmoja akae ndani ya Imani Ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu. –1 Wakorintho 2:5 UWEZO WA KRISTO USIO NA KIKOMO 31 Kwa hiyo tena Mungu ali- mwadhimisha mno, akamki- rimia Jina (Yesu) lile lipitalo kila jina. –Wafilipi 2:9 Lakini hizi zimeandikwa; ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. –Yohana 20:31 Mwalimu, tulimwona mtu akitoa pepo kwa jina lako, ambaye hafuatani nasi; tu- kamkataza, kwa sababu ha- fuatani nasi. Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa ha- kuna mtu atakayefanya mwu- jiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya. –Marko 9:38b, 39 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya. –Yohana 14:13a Lakini Petro akasema . . . la- kini nilicho nacho ndicho ni- kupacho. Kwa jina la Yesu Kri- sto wa Nazareti, simama ue- nde. Akamshika mkono wa ku- ume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu ya- ke vikatiwa nguvu. –Matendo 3:6, 7 32 UWEZO WA JINA LA YESU Katika yeye huyo, kwa da- mu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa nee- ma yake. –Waefeso 1:7 Nao wakamshinda [Shetani] kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao. –Ufunuo 12:11a Basi, Mungu wa amani ali- yemleta tena kutoka kwa wa- fu Mchungaji Mkuu wa ko- ndoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu, awafanye ninyi kuwa wakamilifu katika kila tendo jema, mpate kuyafanya ma- penzi yake; naye akifanya ndani yetu lipendezalo mbe- le zake, kwa Yesu Kristo. –Waebrania 13:20, 21a Hao ndio wanatoka katika dhiki ile iliyo kuu, nao wa- mefua mavazi yao, na kuya- fanya meupe katika damu ya Mwana-Kondoo. –Ufunuo 7:14b Bali tukienenda nuruni, ka- ma yeye alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote. –1 Yohana 1:7 UWEZO WA DAMU TAKATIFU YA YESU 33
  • 7. Wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo ali- yechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na ngu- vu na heshima na utukufu na baraka. –Ufunuo 5:12 Kisha mataifa wataliogopa jina la BWANA, na wafalme wote wa dunia utukufu wa- ko. Kizazi kitakachokuja ki- taandikiwa hayo, na watu wa- takaoumbwa watamsifu BWA- NA. –Zaburi 102:15, 18 Bali ninyi ni mzao meteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie kati- ka nuru yake ya ajabu. –1 Petro 2:9 Mwimbieni BWANA akaaye Sayuni, Yatangazeni kati ya watu matendo yake. –Zaburi 9:11 Watu na wakushukuru, Ee Mungu, Watu wote na waku- shukuru. Nchi imetoa mazao yake; Mungu, Mungu wetu, ametubariki. Mungu atatu- bariki sisi; Miisho yote ya dunia itamcha Yeye. –Zaburi 67:5-7 34 MTUKUZE MUNGU KWA UWEZO WAKE Mwalimu, nitende jambo ga- ni jema, ili nipate uzima wa milele? Akamwambia, . . . Uki- taka kuingia katika uzima, zishike amri. Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Ni hizi, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishu- hudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpe- nde jirani yako kama nafsi yako. Yule kijana akamwa- mbia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena? Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, enenda ukau- ze ulivyo navyo, uwape maski- ni, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate. –Mathayo 19:16b, 17-21 Tubu, Amini, Pokea Yesu akaenda. . .akisema, Wa- kati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili. –Marko 1:14b, 15 Alikuwako ulimwenguni, ha- ta kwa yeye ulimwengu ulipa- ta kuwako, wala ulimwengu haukumtambua. Bali wote wa- liompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake. –Yohana 1:10, 12 NIFANYE NINI ILI NIPATE UZIMA WA MILELE? 35 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo. –Yohana 1:17 Yesu akamwambia, Mimi ndi- mi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. –Yohana 14:6 Ndani yake ndimo ulimoku- wa uzima, nao ule uzima uli- kuwa nuru ya watu. –Yohana 1:4 Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mla- ngo ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni we- ngi waingiao kwa mlango huo. Bali mlango ni mwemba- mba, na njia imesonga ienda- yo uzimani, nao waionao ni wachache. –Mathayo 7:13, 14 Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. –Yohana 6:51a Yesu akasimama, akapaza sa- uti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. –Yohana 7:37b, 38 36 KRISTO NI NJIA, KWELI, UZIMA Kwa sababu Kristo hakui- ngia katika patakatifu palipo- fanyika kwa mikono, . . . bali aliingia mbinguni hasa, ao- nekane sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu; wala si kwa- mba ajitoe mara nyingi, . . . lakini sasa, mara moja tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dha- mbi kwa dhabihu ya nafsi ya- ke. Na kama vile watu wa- navyowekewa kufa mara mo- ja, na baada ya kufa hukumu; kadhalika Kristo naye, akii- sha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wo- kovu. –Waebrania 9:24-28 Uwezo Wake Kutupeleka Mbinguni Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuo- kolewa kwalo. –Matendo 4:12 Uwezo Wake Kututupa Jehanamu Msiwaogope wauuao mwili, . . . afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum. –Mathayo 10:28 KRISTO, UWEZO PEKEE KWA WOKOVU 37 Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu aliku- ja ulimwenguni awaokoe we- nye dhambi. –1 Timotheo 1:15a Kwa maana siionei haya I- njili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye. –Warumi 1:16a Wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; ambaye Mungu ame- kwisha kumweka awe upata- nisho kwa njia ya imani ka- tika damu yake, ili aonyeshe haki yake, kwa sababu ya ku- ziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zili- zotangulia kufanywa. –Warumi 3:24, 25 Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhu- ru. –Luka 10:19 Walakini ye yote atakaye- kunywa maji yale nitakayo- mpa mimi hataona kiu mi- lele; bali yale maji nitaka- yompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibu- bujikia uzima wa milele. –Yohana 4:14 38 UWEZO WA YESU KUOKOA KIKAMILIFU Haukuweza Kumgharimu Mungu Zaidi! Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipo- tee, bali awe na uzima wa milele. –Yohana 3:16 Oh, neema iliyoleta wokovu kwa Mtu! Mungu wa uumbaji wote alikufa kwa ajili yetu sote. Yesu akasema, Baba, uwasa- mehe, kwa kuwa hawajui wa- tendalo. Yesu akalia kwa sa- uti kuu, akasema, Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu. –Luka 23:34a, 46 Ni Bure kwa Sisi kuchukua Na Roho na Bibi-arusi wase- ma, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure. –Ufunuo 22:17 Baba humpenda Bibi Arusi aliyekombolewa sawa kama ampendavyo Mwana wake — hakuna upendo mkuu. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamili- ka katika umoja; ili ulimwe- ngu ujue ya kuwa ndiwe uliye- nituma, ukawapenda wao ka- ma ulivyonipenda mimi. –Yohana 17:23 WOKOVU ULIKUWA GHARAMA, LAKINI NI BURE 39
  • 8. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa ha- ki hata atuondolee dhambi ze- tu, na kutusafisha na udhali- mu wote. –1 Yohana 1:9 Tubuni basi, mrejee, ili dha- mbi zenu zifutwe. –Matendo 3:19a Na huu ndio ushuhuda, ya kwamba Mungu alitupa uzi- ma wa milele; na uzima huu umo katika Mwanawe. –1 Yohana 5:11 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwa- mini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu ina- mkalia. –Yohana 3:36 Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, kwa- mba ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki. –Warumi 6:16 Tazama, nasimama mlango- ni, nabisha; mtu akiisikia sa- uti yangu, na kuufungua mla- ngo, nitaingia kwake. –Ufunuo 3:20a 40 NYENYEKEA KIKAMILIFU SASA KWA YESU KRISTO, ALIYE BWANA Upendo Badala ya Woga Maana Mungu hakutupa ro- ho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa ki- asi. –2 Timotheo 1:7 Katika pendo hamna hofu; lakini pendo lililo kamili hui- tupa nje hofu, kwa maana ho- fu ina adhabu; na mwenye hofu hakukamilishwa katika pendo. –1 Yohana 4:18 Upendo Badala ya Chuki Lakini tunda la Roho ni upe- ndo, furaha, amani, uvumili- vu, utu wema, fadhili, uami- nifu, upole, kiasi; juu ya ma- mbo kama hayo hakuna she- ria. –Wagalatia 5:22, 23 Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampe- ndaye Mungu, ampende na ndugu yake. –1 Yohana 4:21 Imani Badala ya Mashaka Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! ni dhi- ki, au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga? Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetu- penda. –Warumi 8:35, 37 UWEZO WA MUNGU NDANI YA 41 WAAMINI WA KWELI Kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia ka- bisa, wala sitakuacha kabisa. –Waebrania 13:5b Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusu- di lake jema. –Wafilipi 2:13 Amani Badala ya Maombolezo Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyo- ni mwenu, wala msiwe na wo- ga. –Yohana 14:27 Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na tuwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. –Warumi 5:1 Jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo. –Luka 12:15b Ndugu zangu wapenzi, siki- lizeni, Je! Mungu hakuwacha- gua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wa- mpendao? –Yakobo 2:5 42 UWEZO WA MUNGU NDANI YA WAAMINI WA KWELI Uhakika, Siyo bila Uhakika Nimewaandikia ninyi ma- mbo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu. –1 Yohana 5:13 Utakatifu Badala ya Uovu Mkiisha kujitakasa roho ze- nu kwa kuitii kweli, hata ku- ufikilia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidi- ni kupendana kwa moyo. –1 Petro 1:22 Walakini mwisho wa agizo hilo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema. –1 Timotheo 1:5a Furaha ya Pekee Badala ya Huzuni Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini. –Warumi 15:13a Hayo nimewaambia, ili fura- ha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe. –Yohana 15:11 Basi ninyi hivi sasa mna hu- zuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafura- hi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye. –Yohana 16:22 UWEZO WA MUNGU NDANI YA 43 WAAMINI WA KWELI Nguvu Badala ya Udhaifu Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo. –Isaya 40:29 Matumaini Badala ya Kukata Tamaa Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utu- kufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu. –Tito 2:13 Ili kwa vitu viwili visivyo- weza kubadilika, ambavyo ka- tika hivyo Mungu hawezi ku- sema uongo, tupate faraja ili- yo imara, sisi tuliokimbilia ku- yashika matumaini yale ya- wekwayo mbele yetu. –Waebrania 6:18 Ukweli Badala ya Uongo Mwe na mwenendo mzuri kati ya Mataifa, ili, iwapo hu- wasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo ma- tendo yenu mazuri, wamtu- kuze Mungu siku ya kujiliwa. –1 Petro 2:12 Tena mtaifahamu kweli, na- yo hiyo kweli itawaweka hu- ru. –Yohana 8:32 44 UWEZO WA MUNGU NDANI YA WAAMINI WA KWELI Kwa maana kila kitu kili- chozaliwa na Mungu huushi- nda ulimwengu; na huku ndi- ko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu. –1 Yohana 5:4 Tena nikaona kitu . . . na wa- le wenye kushinda, watokao kwa yule mnyama, na sana- mu yake, na kwa hesabu ya jina lake. –Ufunuo 15:2a Kukua Badala ya Utoto Kwa sababu hiyo, tukiacha kuyanena mafundisho ya kwa- nza ya Kristo, tukaze mwe- ndo ili tuufikilie utimilifu; tu- siweke msingi tena wa kuzi- tubia kazi zisizo na uhai, na wa kuwa na imani kwa Mu- ngu. –Waebrania 6:1 Kama watoto wachanga wa- liozaliwa sasa yatamanini ma- ziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu. –1 Petro 2:2 Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; we- nye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa ima- ra kwa imani, kama mlivyo- fundishwa. –Wakolosai 2:6, 7a UWEZO WA MUNGU NDANI YA 45 WAAMINI WA KWELI
  • 9. If you are interested in receiving additional studies of God’s Word, write to the publisher in English: W. M. Press, Inc. P. O. Box 120 New Paris, Indiana 46553-0120 USA www.wmpress.org Kiswahili POG Nguvu katika Undani wa Mtu Awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, ku- fanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake, kati- ka utu wa ndani. –Waefeso 3:16 Nayaweza mambo yote kati- ka yeye anitiaye nguvu. –Wafilipi 4:13 Hutegemei Hekima ya Kibinadamu Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa ma- neno ya hekima yenye kusha- wishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu. –1 Wakorintho 2:4 Uwezo wa Kushuhudia Lakini mtapokea nguvu, aki- isha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa ma- shahidi wangu katika Yerusa- lemu . . . na hata mwisho wa nchi. –Matendo 1:8 Na sisi tu mashahidi wa ma- mbo haya, pamoja na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wote wamtiio. –Matendo 5:32 46 UWEZO WA MUNGU NDANI YA WAAMINI WA KWELI Mimi siombi kwamba uwa- toe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu. –Yohana 17:15 Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mio- yo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu. –Wafilipi 4:7 Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowa- dhuru. –Luka 10:19 Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayari ku- ujilia ulimwengu wote, kuwa- jaribu wakaao juu ya nchi. –Ufunuo 3:10 Mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza ku- zipinga hila za Shetani. –Waefeso 6:10b, 11 . . . Bwana ajua kuwaokoa wa- tauwa na majaribu. –2 Petro 2:9a Na yeye ashindaye, na kuya- tunza matendo yangu hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa. –Ufunuo 2:26 UWEZO WA MUNGU KUWAHIFADHI WAAMINI 47 Ni yetu kwa Imani; Mungu wetu pekee asiyekoma ndiye atakayetimiza. Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapo- kea. –Mathayo 21:22 Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. –Yohana 15:7 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba ki- tu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Na kama tu- kijua kwamba atusikia, tuo- mbacho chote, twajua kwa- mba tunazo zile haja tulizo- mwomba. –Yohana 5:14, 15 Ombeni, nanyi mtapewa; ta- futeni, nanyi mtaona; bishe- ni, nanyi mtafunguliwa. –Mathayo 7:7 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi ni- zifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa ku- wa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwa- na. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya. –Yohana 14:12-14 48 AHADI “BLANKETI” ZA MUNGU Kwa sababu hiyo nawaa- mbia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. –Marko 11:24 Nawe utajifurahisha kwa BWANA, naye atakupa haja za moyo wako. Umkabidhi BWA- NA njia yako, pia umtumaini, naye atafanya. –Zaburi 37:4, 5 Na Mungu wangu atawaja- zeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. –Wafilipi 4:19 Bwanaakasema,Kama mnge- kuwa na imani kiasi cha che- mbe ya haradali, mngeua- mbia mkuyu huu, Ng’oka, uka- pandwe baharini, nao unge- watii. –Luka 17:6 Na lo lote tuombalo, twali- pokea kwake, kwa kuwa twa- zishika amri zake, na kuya- tenda yapendezayo machoni pake. –1 Yohana 3:22 Yesu akamwambia, Ukiwe- za! Yote yawezekana kwake aaminiye. –Marko 9:23 Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutuku- zwa kwa sisi. –2 Wakorintho 1:20 6-10