SlideShare a Scribd company logo
1 of 38
WANYAMA WAWILI
MARAFIKI
1. UFUNUO 13
Hizi ni falme mbili ambazo zinatawala dunia. Na dunia yote imeathiriwa na
tamaduni na sheria za tawala hizi mbili dhalimu, ambazo mwanzo zilikiwa
mahasimu, lakini sasa ni marafiki. Dunia itaendelea kudhuhudia nguvu
zikifanya muungano thabiti ili kusimamisha mpango mpya wa ulimwengu
kinyume cha MUNGU na kweli yake na watu wake.lakini MUNGU atashinda
juu ya vita vyote juu yake na kweli yake na watu wake.Usikose kufuatilia
somo hili
UKWELI WA LEO MINISTRY
An3:1-2 Kuinuka kwa ukatoliki
13:3-4 Anguko nakuinuka kwa ukatoliki mara ya pili kwa mamlaka kuu
13:5-6 Mafundisho hatari ya Ukatoliki na miaka 1260
13:7 Ukatoliki kutesa na kuua wakristo
13:7-8 Ukatoliki dola kuu juu ya mataifa yote
13:10 Ukatoliki kuchukuliwa mateka na kuangamizwa, na subira ya watakatifu
13:11 Kuinuka kwa dolabya Marekani na kuasi kinyume cha MUNGU
13:12 Amerika kutumia kanuni za ukatoliki kutawala Dunia
13:13 Kuinuka kwa ukristo wa miujiza bandia
13:14 Dunia kukoseshwa kwa miujiza, na kuinuka kwa new world order
13:15 Amerika kusimamisha new world order na kuua wasiokubaliana nayo
13:16-17 Amerika kushika uchumi wote wa Dunia nakufanya Dunia imtii mpinga kristo
13:18 Hesabu ya mpinga kristo
Anguko la UPAPA na MAREKANI pamoja na wafuasi wao
WAFALME WAWILI MARAFIKI
• Wanyama hao si wanyama kama wanyama bali hiyo ni lugha ya unabiijuu ya
tawala mbili kubwa Duniani ambazoni UKATOLIKI na MAREKANI, dola hizi
zitaungana kinyume cha watu wa MUNGU na kupelekea Dunia kuingia katika
taabu kuu ya kufunga historia ya Dunia hii.Unabii huu wengi wametia mikono
kuandika kwa namna yao, lakini Biblia inatwambia kwamba “mkijua neno hili
kwanza, ya kwmba hakuna unabii katika maandiko upataokufasiliwa kama
apendavyo mtu flan tu, 2 petro1:20”. Biblia daimainajitafsiri yenyewe
naBiblia no uhalisi ambao upo katika historia ya mwanadamu toka uumbaji.
Unabii ni historia ambayo imeandikwa kabla haijatokea, na haiwezekani kwa
mwanadamu kufanyabjambo kama hilo isipokuwa tu kuwezeshwa na Mungu
wa mbinguni.Ingawa wengi si marafiki wa unabii wa Biblia lakini habari ni hii,
msingimkuu wa Biblia ni unabii, na katika unabii ndipo MUNGU atukuzwa.
Yesu alisema mabeno haya juu ya unabii alioutoa.. “Tangu sasa nawaambia
kabla hayajatukia,ili yatakapotukia mpate kuamini yakuwa mimi ndiye”
Yohana 13:19 unabii ndicho kipimo kwamba huyu ndiye MUNGU wa kweli
ajuaye wakati ujao kama anavyojisemea mwenyewe kama ifuatavyo
1. “kumbukeni mambo ya zamani za kale;maana mimi ni MUNGU, waka
hapana mwingine; mimi ni MUNGU, wala hapanaaliye kama mimi;
nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo
yasiyotendeka bado; nikisema, shauri langu litasimama, nitatenda
mapenzi yangu yote, Isaya 46:9,10. Sifa ya kutangaza mambo ambayo
hayajatokea na baadae kutokea ni sifa ya MUNGU tu.
Kitabu cha ufunuo ni kitabu ambocho leo hakisomwi katika nyumba za
ibaada za kikristo na kama kinasomwa ni kwa uchache sana, uwenda
watu wanashindwa kukielewa kutokana na lugha yake ya kimafumbo,
lakini ni kitabu pekee kinachojinadi kwa kujiita UFUNUO wa YESU Kristo,
(ufunuo 1:1).Ni kitabu pekee ambacho kinamfunua hasa Yesu Kristo ni
nani, na yupo wapi na anafanya nini sasa,na je anaharakati za mataifa
yanayompinga?.Na atakuja lini kuhukumu mataifa?. Huo ndio muhutasari
kwa ufupi wa kitabu cha ufunuo ambacho kimeandikwa kwa lugha ya
mafumbo/mifano, na Yesu aliwajibu wanafunzi wake baada ya wao
kumuuliza kwnini unaongea kw mafumbo? Aliwajibu kwamba:-
• “Ninyi mmejaliwa kuzijuasiri za ufakme wa mbinguni, bali wao
hawakujaliwa, Mathayo13:11.ukiona unahepe kitabu hiki sabababu ya
mafumbo yake tambua hujajaliwa kuzijua siri za mbinguni zilizofichwa katika
mafumbo ya kinabii,ni vema leo ukaanza kutafakari usomaji wako. Na
ufunuo wa kufumbua haya mafumbo, kristo alishatupa kupitia roho
mtakatifu mfumbua mafumbo kama biblia inavyosema. “Lakini MUNGU
ametufunulia sisi kwa roho, maana roho huchunguza yote hata mafumbo
ya MUNGU, 1 wakorintho 2:10. Ukiukataa unabii ni kumpinga roho wa
MUNGU mtume paulo anasema hivi “msitweze unabii;(1Wathesalonike
5:20). Kutweza ni kudharau,bkwa hiyo hatupaswi kuudharau unabii bali
kuutazama kwa uangalifu sana na kuusoma,maana Biblia inasema hivi “ Heri
asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika
yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu.(Ufunuo1:3). Karibu
katika uchambuzi wa unabii, ambao nitauchambua fungu kwa fungu, kama
ifuatavyo.
UFUNUO 13:1-2 KUINUKA KWA UKATOLIKI
13:1 kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari,mwenye pembe
kumi,na vchwa saba,najuu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu
ya vichwa vyake majina ya makufuru.
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari
Mnyama kinabii ni Ufalme “ wanyama hao wakubwa walio wanne ni
wafalme wanne watakao tokea duniani,(Daniel7:7). Na bahari kinabii ni
watu wengi na mataifa na jamaa na lugha “ Aha! Uvumi wa watu wengi!
Wanavuma kama uvumi wa bahari;Aha! Ngurumo ya mataifa!
Wananguruma kama ngurumo ya maji mengi;(isaya17:12). “Kisha
akaniambia,yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na
makutano na mataifa na lugha(UFUNUO 17:15). Huu ni ufalme mkubwa sana
ambao unatokea sehemu ambayo inawakazi wengi Duniani, tunaona hilo ni
utawala upi mkubwa uliowahi kutokea katika jamii kubwa ya watu wengi
kupitia mashindano ya kijeshi yanayofananishwa na uvumi wa bahari na
ngurumo za mataifa ambazo ni vita na machafuko. Sehemu zilizokuwa na
watu wengi katika histori ya Dunia kabla ya Yesu ilikuwawa ni mashariki ka
kati, na katika zama za Rumi yankipagani , wakazi wengi walikiwa katika
bahari ya Mediterania, na huko ndio yalitokea machafuko mengi kijeshi, baina
ya taifa na taifa,. Katika zama baada ya kristo eneo hilo liliendelea kuwa n
wakazi wengi, na baada serikli ya Rumi kuhamia upande wa mashariki huko
kostantinopo ( Uturuki kwa sasa)
Mnamo mwakw 330 BK, machafuko makubwa yalitokea upande wa
magharibi kwa kuvamiwa na mataifa ya kigeni, na RUMI ya magharibi
ikadhoofika na kuanguka na kusambaratika mnamo mwaka 476BK
sehemu hiyo ilimwaga damu sana baina ya mataifa ya kigeni na serikali ya
Rumi. Mwaka 508 BK iliinuka nguvu mpya huko magharibi, mfalme Clovis
wa France (Ufaransa) aliinuka na kukaa upande wa Papa na kulipigania
kanisa, na mnamo mwaka 538BK Upapa uliibuka kidedea na kutawala
sehemu kubwa ya Ulaya kwa miaka elfu kwa msaada wa Ufaransa na
Rumi ya mashariki.
• MWENYE PEMBE KUMI, NA VICHWA SABA, NA JUU YA PEMBE
ANAVILEMBA KUMI
Na pembe kinabii ni falme au mfalme “ Na zile pembe ulizoziona ni
WAFALME KUMI (17:12).Na vichwa sabakinabii ni wafalme saba “ vichwa
saba ….Navyo ni wafalme saba, Ufunuo 17:9,10).Na vilemba kumi ni taji (
crowns) za wafalme zenye kuwakilisha ufalme huru, “Ndipo akamleta nje
mwana wa mfalme, akamvika TAJI, na kumpa ushuhuda; wakamfanya
mfalme ,wakamtia mafuta; wakapiga makofi, wakasema, mfalme na
aishi” 2Wafalme1:12 Huu ufalme unatawala falme na wafalme chini yake
kama ulivyokuwa ufalme wa babeli uliotawala falme za Dunia ,”maana
BWANA MUNGU asema hivi:Tazama, nitamleta Nebukandreza, mfalme wa
babeli ,mfalme wa wafalme , juu ya tiro toka kaskazini, pamoja na farasi,
na magari ya vita, na wapanda farasi, na jeshi, na watu wengi,( Ezekiel
26:7
• ).Kwa hiyoni ufalme mkubwa wenye mamlaka juu ya falme zote
Duniani ,(Ufunuo17:18).Na hakuna ufalme mkubwa leo wenye
mamlaka juu ya wafalme wa Dunia kama utawala wa kipapa, unabii
huu jwa 100%bunalengautawala wa kipapa duniani, ambao una
maelfu ya miaka, mnamo karine ya 16, MARTIN LUTHER alipingana na
mafundisho ya upapa, akiwa ametulia sehemu baada ya kuweka
mafundisho 95 katika kanisa la Wittenberg Ujerumani yaliyopingana
na mafundisho ya ukatoliki na kusababisha taharuki ya mji, “Luther
alitetemeka alipojifikiria. Mtu mmoja kupingana na uwezo katika nchi.
Aliandika na kusema “Mimi ni nani nishindane uwezo mkuu wa
papa……….ambaye wafalme wa nchi na ulimwengu wote
humtetemekea?(TU58:2)
NA JUU JA VICHWA VYAKE MAJINA YA MAKUFURU
Utawala huu ni utawala wa kipindi wenye mamlaka ya kisisa, makufuru
yanahusika na masuala ya imani,maana ni MUNGU pekee ndiye anayeweza
kukufuriwa na kiumbe kichukuapo enzi yake ya umungu au kujifanya Mungu
na kujiita majina ya Mungu. Biblia inasema hivi juu ya makufuru “Mimi na
Baba tu umoja. Basi wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.Yesu
akawajibu, kazi njema nyingi nimewonyesha, zitokazo kwa BABA; kwaajili
ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa
ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa makufuru,na kwa
sababu wewe ndiye MWANADAMU WAJIFANYA MWENYEWE U
MUNGU”(yohana10:300-33). Na baadhi ya waandishi waliokuwako huko,
wameketi,wakifikiri mioyoni mwao,mbona huyu anasema hivi?(Marko2:5-
7
• ). Ingawa YESU hakukufuru kwasababu yeye ni mwana wa MUNGU
mwenye asili ya uungu mwenye mamlaka yote mbinguni na
duniani,(Yohana 10:36,mathayo28:18). Hakuna utawala duniani ambao
umetimiza unabii kama utawala wa kipapa, ni papa pekee anayejiita vicar
of christ yaani mwakilishi ama makamu wa kristo duniani ama kujiita kwa
cheo cha BABA mtakatifu ambacho ni cheo cha MUNGU (Yohana
17:11).Katika historia ya tawala tangu kuumbwa Dunia ni utawal wa rumi
ndio uliingilia mamlaka ya biblia na ukristo na ukajivisha vyei vyote ,
kiongizi wa Rumi alivaa kofia yenye cheo kisiasa na kidini na alitumia nguvu
kulazimisha mambo ya dini kwa nguvu za serikali. Ukirejea Biblia ya agano
jipya yenye notes za katoliki kwa chini ilitafsiliwa na Askofu mkuu wa
Tabora , Marko Mihayo 19/10/1984, kwenye maelezo ya ufunuo 13:1 kuna
maneno yafuatayo:- mnyama wa baharini ni utawala wa Waroma”
• 13:2 Nayule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na
miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu,na kinywa chake kama
kinywa cha simba, na yule jika ajampa nguvu zake na kitichake cha
enzi na uwezo mwingi
kama tulivyoona kwamba mnyama anawakilisha ufalme( kingdom), ba
ufalme huuulikuwa na mchanganyiko wa wanyama wanne ambao wato
wanapatikana katika kitabu cha Daniel 7, ambo ni simba,Dubu,chui
mwenye vichwa vinne na mnyama wa kutidha.Na hao wanyama wanne
waliwakilisha falme nne kubwa “wanyama hao wakubwa walio wanne
ni wafalme wanne watakaotokea Duniani, Daniel 7:17. Ambao ni
Babeli, Unedi na Uanemi,Uyunani(Ugiriki), na Roman empire.
Huyu mnyama wa ufunuo 13 amejitunga kupitia hizo falme nne kama picha
inavyoonesha hapo juu. Ametwaa kichwa cha simba (Babeli), miguu ya Dubu (
Umedi na uajemi) na umbo la chui ( Ugiriki) na pembe kumi ( Falme kumi za himaya
ya Roma ya kipagani),. Ukirejea somo la Daniel 7, utaoaya maelezo zaidi juu ya
falme huzo nne. Vichwa saba anavitwaa toka katika tawala nne za Dunia katika
Daniel 7 kama ifuatavyo
1. Kichwa cha simba (1) (606-538 au 539k.k) Daniel 2:37,38
2. Kichwa cha dubu (1) (538-331 au 539-331 k.k) Daniel 5:25-31
3. Vichwa vinne vya chui (4) (331-168 k.k) Daniel 8:4-7,20-21, Daniel 11:1-3
4. Kichwa cha mnyama (1) (278-476 B.k)-(476 hadi marejeo ya kristo Luka 2:1-
7,Yohana11:48
Jumla tunapata vichwa 7 [Ufalme wa kipapa unatabia na asili ya falme hizo,
ambazo tunaenda kuzichambua kama ifuatavyo:-
Na kinywa chake kama kinywa cha simba
• Simba aliwakilisha ugalme mkubw wa Babeli ukiokuwa na mamlaka juu ya Dunia yote, na
uoipambana na kutesa wtu wa MUNGU na kuwachujua mateka kwa miaka 70.Na sifa kuu
ya Babeli ilikuwa ni ibaada ya sanamu, na kujenga mahekalu makubwa na miji mikubwa
ikiyojaa sanamu, Wababeli walitokomea sana katika ibaada ya sanamu na miungu kuliko
utawala wowote uliowahi kutokea Duniani, ni mama wa miungu yote, Bibilia inauita mji
huo machafuko,( Mwanzo11:9).Babeli ndio chanxo cha machafuko ya lugha Duniani na
ibaada kinyume cha MUNGU,mataifa, lugha na jamaa zimechukua asili ya uasi wa Babeli,
na myama wa ufunuo13 anamamlaka juu ya mataifa, lugaha na jamaa akiendeleza kazi
ileile ya Babeli ya kale ambayo kwa mujibu wa biblia ilikevya Dunia nzima kwa ibaada ya
sanamu kiasi cha watu kupata wazimu. Biblia inasema hivi ‘ Babeli umekuwa kikombe
cha dhahbu mikononi mwa BWANA; kilicholevya Dunia yote; mataifa wamekunywa
mvinyo wake ; kwa sababubhiyo mataifa wameingiwa na wazimu Yeremia 51:7. Sifa hii
leo inapatikana katika kanisa la Rumi, Dunia nzima imeathiriwa na tamaduni zake za
kidini ikiwemo ibaada ya sanamu inayoondoa utu na ufahamu, na kumfanya mtu duni
kifikira kwa kuabudu sanamu na vitu vya asili.
Upapa yaani Ukatoliki unamahusiano na mataifa yote,na jamii ya wakazi
wa Dunia wameathirika sana na mafundisho ya Ukatoliki, ukisikia leo
kiongozi au msomi anasema watu wanavunja amri ya 6 kwa
zinaa,Tambua ni mwathirika tayari wa mfumo huu, maana amri ya 6
katika biblia ni usiue na ya 7 usizini ( kutoka 20:13-14)Biblia inasema
“ambaye wafalme wa nchi wanezini naye, nao wakaao katika nchi
wamelevya kwa mvinyo wa uasherati wake (ufunuo 17:2)
• Pia Babeli ilikuwa na miungu 360 na kati ya miungu hiyo kulikuwa na
miungu mikuu 36 iliyofanya jumla ya hesabu 666 yaani
(1+2+3+4+5+6+7+8……….36=666), kila siku ilikuwa na mungu wake , na
mungu mkuu alikuwa mungu JUA aliyeitwa belau Melodaki (Nimrodi) na
aliyefuata alikuwa mungu mwezi aliyeitwa ista ( semiramis) au malikia wa
mbinguni( Yeremia 7:18;50:2) Na mtoto wao aliitwa TAMUZI (Ezekiel 8:14),
TAMUZI alionekana kapakatwa na ista- semiramis katika sanamu yake au
picha , na ibaada hiyo leo tunaiona katika sura moya katika kanisa la Rumi,
ba tunaona hilo pia katika dini za kipagani kama Hindu na Budha, hao
wanaendeleza dini ya Babeli katika sura ya wazi, lakini Tumi imejigicha
katikavazi la kikristo, ni unabii tu ndio unaoweza kumfunua.pichani chini ni
ibaada ya sanamu ya mungu mke wa Babel india na china na kulia mwa
oicha ni bikra maria naye amempakata yesu vilevile.
Katika tamaduni za babel , mungu Jua alikuwa ndiye mkuu sana na mungu mke
alifuatia na mtoto wa miungu huyo alikuwa wa tatu kwa ukuu baada ya mama
yake .ndiyo maana wayahudi waliadhibiwa kwa kwa kuingiza ibaada ya
kuliabudu jua katika Israel, jua jua liliabudiwa katika siku ambayo iliitwa kwa
jina lake yaani sun- day ibaada hiyo ilikuwa ni machukizo kwa Mungu wa
mbinguni .Akaniambia mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena
machukizo makubwa kuliko haya.
Akanileta mpaka uwa wa ndani wa nyumba ya Bwana, na tazama mlangoni
pa hekalu la Bwana, kati ya ukumbi wa madhabahu, walikuwako watu kama
ishiriji na watano, WAMELIOA KISOGO HEKALU LA BWANA, NA NYUSO ZAO
ZIMEELEKEA UPANDE WA MASHARIKI, NAO WANALIABUDU JUA, KWA
KUELEKEA UPANDE WA MASHARIKI. Basi, akaniambia umeyaona haya, Ee
mwanadamu? Je ni jambo dogi sanankwa ntumba ya yuda , wayafanye
machukizo wanayoyafanya hapa? Kwa maana wameijaza nchi hii udhalimu,
tena wamelejea nyuma ili kunikasilisha; natazama, wanaliweka tawi puani.
Kwasababu hiyo mimi nami, nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu
halitaachilia, wala sitaona huruma,na wajapolia masikioni mwangukwa
sauti kuu, sitawasikiliza. Ezekiel 8:15-18
Ibaada ya jua leo ipo kwa kifivho cha kivuli cha kufufuka kwa Yesu, moinga
kristo alipotisha dunia kwamba siku ya Bwana ni siku ya jua (sun-day) sababu
Bwana alifufuka katika siku hiyo. Biblia haina jawabu hilo, daima mitume wa
Yesu Kristo na wakristo wa karine ya kwanza wakiendelea kukusanyika siku ya
saba ya juma yaani sabato ya kiyahudi kama ilivyoamliwa na MUNGU, Nukuu
zifuatazo zinatupa hakika hiyo, ibaada baada ya kufa kwa Yesu na baada ya
kufufuka kwa Yesu katika siku ya saba yaani sabato
Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona
kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa. Wakarudu wakafanya tayari
manukato na malihamu. Na siku ya sabato wwlistarehe kama
ilivyoamliwa.(Luka 23:55-56). Hawa ni wanawake akieemo Magdelena
ambao walikuwa wanafunzi wa Yesu, na daima walizunguka naye jatika
mikutano yake mahali na mahali, swali kama Yesu alikuwa amekataza sabato
kwanini wanawake hawa waliendelea kuitunza?
Hata sabato ya pili, watu wengi, karibu mji wote, wajakusanyuka
walisikilize neno la MUNGU ( marendo 13:44) Hii ni ibada ya siku ya
sabato kwa miji ya kimataifa, Ambayo Paulo na Barnaba walikuwa
waiihudumu huko katika mji wa perge katika pamfilia, wakazi wa huko
wakiwemo na wayahudi waliguswa na ujumbe kiasi cha kusihi kuambiwa
sabato ya pili [ aya ya 15]. Ni dhahili sabato iliendelea kushikwa na
wanafunzi wa Yesu
Hata siku ya sabato tukatoka nje ya lango, tukaenda kando ya mto,
ambapo tukadhani ya kuwa pana mahali pa kusali; tukaketi,
tukasema na wanawake waliokutana pale.( matendo 16:13
• ). Sura hii inawaongelea mtume Paulo na Sila, ambao walienda kuhubili
katika mji wa philipi- Makedonia, na walikaa huko siku kadha wa kadha ( aya
ya 12) , na ilipofika siku ya sabato walienda nje ya mjikutafuta sehemu
tulivu ya kusali katika eneo lililopo kando ya mto, maana walikuwa wageni
katika mji huo na hakukuwa na ndugu katika kristo wala sinagogi la kiyahudi
hapo. Na walivyofika katika eneo hilo wakakutana na wanawake kadhaa
wanaokutana pale katika mto, wakaanza kusema nao neno la Mungu, na
mwanamke mmoja aliyeitwa Lidia akaipokea imani ya kikristo na
akabatizwa katika mto huo pamoja na familia yake ( aya 15), na aliwapa
hifadhi katika nyumba yake. Tunaona dhahili kwamba mtume paulo pia
hakubadilisha sabato.Bwana Morer mchungaji msomi wa kanisa la
kiingereza (church of England) anasema kwamba Wakristo wale wa zamani
walikuwa na kicho kikubwa sanakwa sabato, nao waliitumia siku hiyo
kwa ibaada na mahubiri. Na hapana mashaka yoyote kwamba walipata
destuli hiyo toka kwabmitume wenyewe ( Dialogue on the Lord’s day
uk.189.
Mwanathiolojia mwangalifu na msema kweli na mwana historia .Lyman
Coleman, asema hivi: “kuendelea kufika karne ile ya tano utunzaji wa
sabato ya kiyahudi uliendelezwa na kanisa la kikristo, lakini nguvu
yake na utaratibu wake wa ibaad viliendelea kupungua polepole
mpaka hapo ilipokoma kabisa kutubzwa; Acient Christianity
Exemlifeid, sura ya 26, sehemu ya 2, uk. 527.
Sorates, mwanahistoria ya kanisa Myunani aliyeishi katika ile karne ya
tano, ambaye kazi yake ilikuwa ni muendelezo ya ile ya Eusebio
[Eusebius] asema hivi: karibu makanisa yote ulimwenguni
wanaadhimisha meza taiatifu ya Bwana siku y sabato ya kila juma,
lakini wale wakristo walioko Alexandria na Rumi, kutokana na
mapokeo fulani ya zamani, wameacha kufanya hivyo:- Ecclesiatical
History vii.22,2,22, in A selected Library of Nicea and post-Nicene
Fadhers, 2d series, vol II, uk,132
Je ubabeli ( upagani) uliingiaje katika kanisa la kikristo na kuacha amri za
Mungu?
Hutton Webster, phD, katika kitabu chake cha Rest days anayo haya ya
kusema: wakristo wale wa kwanza mwanzoni kabisa walikuwa
wamelipokea juma la kiyahudi la siku ya saba pamoja na hesabu zake za
juma, lakini karibu na mwisho wa karine ya tatu BK. Juma hili likaanza
kuachwa na badala yake likafuatwa juma la sayari; na katika karine ile ya
nne na ya tano majina ya kipagani yakawa yamekubalika kwa jumla katika
nusu ya magharibi ya Ukristo, Matumizi ya majina ya sayari na wakristo
wale hudhihilisha mvuto wa dhana za kinajimu ( astronomical speculations)
zilizoletwa kanisani na waongofu waliotoka kwenye upagan ….. Katika
karine zizo hizo ibaada ya kuabudu jua, hasa ile ya mithra ( ibaada ya jua
ya waajemi) ambazo zilitoka Mashariki, zikaenea katika ulimwengu ule wa
kirumi, na kuwafanya wapagani kuweka ibaada yao ya ‘DIES SOLIS (siku ya
jua) badala ya ile ya Dies Saturn ( jumamosi, na kuifanya iwe siku ya
kwanza ya juma lilebla sayari…. Hivyo ndiyo siku hii ya kipagani
ilivyopandikizwa taratibu Katika Ukristo’ Ukurasa wa 220-221
Na ndipo sabato vikapigwa marufuku na mapapa, na kuwashabulia wliotunza
sabato bkwa kuwaita wapinga kristo, na kuanza kuwaua kwa makali ya
upanga. Historia inasema hivi
“It has come to my ears that certain men of perverse spirit have sown
among you some things wrong and opposed to holy faith, si as forbid any
work being done on the Sabbath day. What else can I call these but
preachers of Antichrist…..”(Father’s of the christian church VOL 13 b.13 p
336)
Imekuja masikioni mwangu kwamba watu fulani wa roho yanuovu
wamepanda kati yenu mambo mabaya na kupinga imani tajatifu , kama
wanavyozuia kazi yoyote inayofanywa siku ya sabato. Nini zaidi
ningyoweza kuwaita kama wahubiri wa Mpinga Kristo….
Hawa walikuwa wanaitwa Waldensia watetea imani, walikuwa hodari sana
kutetea imani ya mitume lakini walifanyiwa ukatili wa mapapa na kuuawa.
Neno la yesu lilitimia “ watawatenga na masinagigi; naam, saa yaja
atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anaktilea Mungu ibaada. Na hayo
watawatenda kwasababu hawajumjua Baba wala Mimi.( yohana 16:2-
3).lakini kwa mateso hayo, hawakuicha imani yao, waliendelea kuitunza
sabato kama ilivyoamliwa, historia inathibitisha tamko kali hilo la Papa
Gregory kuhusu kutunza sabato kwa wakazi baadhi wa roma ambao waliitwa
wapinga kristo sababu ya kutunza sabato na kushika amri za MUNGU na
mafundisho ya mitume:-
That rhe Sabbath was kept. Notwithstanding the decree of the council
against it’ is also seen from the fact that pope Gregory 1 ( AD.590-604).
Wrote against vRoman citizen ( who) forbid any work done on the Sabbath
day “Nicene and post-Nicene Father’s” second series, Vol XIII, P.13
Tafsiri yake
Sabato ilitunzwa , pamoja na kwamba ilitolewa amri na baraza kuipinga,
inaonekana pia kutoka katika ukweli kwamba papa Gregory I(AD 590- 604)
alivyo waandikia raia wakirumi (ambao) walizuia kazi yoyote kufanyika
siku ya sabato.Nicene and post-Nicene Father’s” second series Vol XIII P 13
Pia wababiloni walitumia mfumo wa namba ambao waliuita SEXAGEMAL (
msingi wa 60 ambao huja kwa dakika 60 kwa saa, sekunde 60 kwa dakika,
degree 360 (60×6) katika mviringo na degree 60 kwa kila pembe ya pembe
tatu sawa na 360÷10=36 ambayo ni kama 6×6=36.Namba 36 ilikuwa ni
hesabu ya miungu wakuu watawala na kutokana na hii hesavu ambayo
inafanya idadi ya 666 ndiyo msingi na kiini cha ibaada ya Babeli,hii ni namba
ya siri ya mbyama wa 666, ambaye ni mpinga Kristo, Jwa hiyo ukichukua
namba zifuatazo tutapata ifadi ya 666.
1+2+3+4+5+6+7+8+9+10+11+12+13+14+15+16+17+18+19+20+21+22+23+24
+25+26+27+28+29+30+31+32+33+34+35+36=666
Tukisoma Daniel 3:1 tutapata hiyo hesabu:- Nebukandreza, mfalme,
aliyefanya sanamu ya fhahabu ambayo urefu wake uoikuwa DHIRAA SUTUNI,
na upana waje DHIRAA SITA:akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika
wilaya ya Babeli. Hapo ni (60×6) sasa ukiipiga kwa hesabu ya kibabeli ya
SEXAGEMAL utapata hesabu ya 666,hapo inahitajika mahesabu tu ya akili
nyingi . HAPA NDIPO PENYE HEKIMA.YEYE ALIYE NA AKILI, NA AIHESABU
HESABU YA MNYAMA HUYO; MAANA NI HESABU YA KIBINADAMU. NA
HESABU YAKE NI MIASITA, SITINI NA SITA. Ufunuo 13:18
SEXAGEMAL, leo ndio tunatumia katika mfumo wa saa , ndo maana hata saa
tunazotumia ni kwa hesabu ya kibabeli zinazo tembea na 6×6. mfano wa 8
ambayo ni saa 2 (8-2=6), 9 ambayo ni saa 3 (9-3=6) inaendelea hivyo hivyo
kwa kuchora 6-6-6-6
Hizi namba mpaka leo zinatumika na ma astronomist, na wachawi wa kupiga
mafundo,wagiriki na warumi walichukua elimu hii na kuendeleza, maana
Babeli walikuwa ni watu wa hesabu sana, na majengo makubwa leo ni
sababu ya utaalamu wao wa hesabu, maana ndio watu wa kwanza kujenga
gorofa, na uchawi mkubwa uliotoka kwao, na uchawi wao upo katika hesabu.
Na VATICAN imerithi uchawi huu, nakupitia huo ameriga mataifa yote. KWA
SABABU Y WINGI WA UKAHABA WA YULE KAHABA MZURI, YULE BIBI WA
MAMBO YA UCHAWI, AUZAYE MATAIFA KWA UKAHABA WAKE, NA JAMAA ZA
WATU KWA UCHAWI WAKE …..KWAKUWA MATAIFA YOTE WALIDANGANYWA
KWA UCHAWI WAKO( Ufunuo 18:23, Nahumu3: 4) rejea ukurasa 66-72 wa
somo hili kuna ufafanuzi zaidi juu ya hilo. Biblia inabainisha hali ya ibaada
bya sanamu Babeli, “ Tangazeni katika mataifa , mkahubiri na kutweka
bendera; Hubirini msifiche, semeni, Babeli umetwaliwa! BELI
amefedheheka; NERODAKI amefadhaika; SANAMU zake zimeaubishwa ,
VINYAGO vyake vimevimefadhaika” Yeremia 50:2
• Na kando ya ibaada za sanamu Wababeli walikuwa na sherehe za
miungu yao, moja ilikuwa sherehe ya kuzaliwa mungu jua (Nimrodi-
Tamuzi) aliyezaliwa tarehe 25/12, ambayo leo inaitwa kwa jina jipya la
Christmas. Ebu tutazame chimbuko la siku kuu hiina uhusiano wake
na kanisa katoliki.

More Related Content

Featured

2024 State of Marketing Report – by Hubspot
2024 State of Marketing Report – by Hubspot2024 State of Marketing Report – by Hubspot
2024 State of Marketing Report – by HubspotMarius Sescu
 
Everything You Need To Know About ChatGPT
Everything You Need To Know About ChatGPTEverything You Need To Know About ChatGPT
Everything You Need To Know About ChatGPTExpeed Software
 
Product Design Trends in 2024 | Teenage Engineerings
Product Design Trends in 2024 | Teenage EngineeringsProduct Design Trends in 2024 | Teenage Engineerings
Product Design Trends in 2024 | Teenage EngineeringsPixeldarts
 
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthThinkNow
 
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfmarketingartwork
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024Neil Kimberley
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)contently
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024Albert Qian
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsKurio // The Social Media Age(ncy)
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Search Engine Journal
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summarySpeakerHub
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Tessa Mero
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentLily Ray
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best PracticesVit Horky
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementMindGenius
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...RachelPearson36
 

Featured (20)

2024 State of Marketing Report – by Hubspot
2024 State of Marketing Report – by Hubspot2024 State of Marketing Report – by Hubspot
2024 State of Marketing Report – by Hubspot
 
Everything You Need To Know About ChatGPT
Everything You Need To Know About ChatGPTEverything You Need To Know About ChatGPT
Everything You Need To Know About ChatGPT
 
Product Design Trends in 2024 | Teenage Engineerings
Product Design Trends in 2024 | Teenage EngineeringsProduct Design Trends in 2024 | Teenage Engineerings
Product Design Trends in 2024 | Teenage Engineerings
 
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
 
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
 
Skeleton Culture Code
Skeleton Culture CodeSkeleton Culture Code
Skeleton Culture Code
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
 
How to have difficult conversations
How to have difficult conversations How to have difficult conversations
How to have difficult conversations
 
Introduction to Data Science
Introduction to Data ScienceIntroduction to Data Science
Introduction to Data Science
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best Practices
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project management
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
 

Wanyama wawili Marafiki 1

  • 2. Hizi ni falme mbili ambazo zinatawala dunia. Na dunia yote imeathiriwa na tamaduni na sheria za tawala hizi mbili dhalimu, ambazo mwanzo zilikiwa mahasimu, lakini sasa ni marafiki. Dunia itaendelea kudhuhudia nguvu zikifanya muungano thabiti ili kusimamisha mpango mpya wa ulimwengu kinyume cha MUNGU na kweli yake na watu wake.lakini MUNGU atashinda juu ya vita vyote juu yake na kweli yake na watu wake.Usikose kufuatilia somo hili UKWELI WA LEO MINISTRY
  • 3. An3:1-2 Kuinuka kwa ukatoliki 13:3-4 Anguko nakuinuka kwa ukatoliki mara ya pili kwa mamlaka kuu 13:5-6 Mafundisho hatari ya Ukatoliki na miaka 1260 13:7 Ukatoliki kutesa na kuua wakristo 13:7-8 Ukatoliki dola kuu juu ya mataifa yote 13:10 Ukatoliki kuchukuliwa mateka na kuangamizwa, na subira ya watakatifu 13:11 Kuinuka kwa dolabya Marekani na kuasi kinyume cha MUNGU 13:12 Amerika kutumia kanuni za ukatoliki kutawala Dunia 13:13 Kuinuka kwa ukristo wa miujiza bandia 13:14 Dunia kukoseshwa kwa miujiza, na kuinuka kwa new world order 13:15 Amerika kusimamisha new world order na kuua wasiokubaliana nayo 13:16-17 Amerika kushika uchumi wote wa Dunia nakufanya Dunia imtii mpinga kristo 13:18 Hesabu ya mpinga kristo Anguko la UPAPA na MAREKANI pamoja na wafuasi wao
  • 5. • Wanyama hao si wanyama kama wanyama bali hiyo ni lugha ya unabiijuu ya tawala mbili kubwa Duniani ambazoni UKATOLIKI na MAREKANI, dola hizi zitaungana kinyume cha watu wa MUNGU na kupelekea Dunia kuingia katika taabu kuu ya kufunga historia ya Dunia hii.Unabii huu wengi wametia mikono kuandika kwa namna yao, lakini Biblia inatwambia kwamba “mkijua neno hili kwanza, ya kwmba hakuna unabii katika maandiko upataokufasiliwa kama apendavyo mtu flan tu, 2 petro1:20”. Biblia daimainajitafsiri yenyewe naBiblia no uhalisi ambao upo katika historia ya mwanadamu toka uumbaji. Unabii ni historia ambayo imeandikwa kabla haijatokea, na haiwezekani kwa mwanadamu kufanyabjambo kama hilo isipokuwa tu kuwezeshwa na Mungu wa mbinguni.Ingawa wengi si marafiki wa unabii wa Biblia lakini habari ni hii, msingimkuu wa Biblia ni unabii, na katika unabii ndipo MUNGU atukuzwa. Yesu alisema mabeno haya juu ya unabii alioutoa.. “Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia,ili yatakapotukia mpate kuamini yakuwa mimi ndiye” Yohana 13:19 unabii ndicho kipimo kwamba huyu ndiye MUNGU wa kweli ajuaye wakati ujao kama anavyojisemea mwenyewe kama ifuatavyo
  • 6. 1. “kumbukeni mambo ya zamani za kale;maana mimi ni MUNGU, waka hapana mwingine; mimi ni MUNGU, wala hapanaaliye kama mimi; nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, shauri langu litasimama, nitatenda mapenzi yangu yote, Isaya 46:9,10. Sifa ya kutangaza mambo ambayo hayajatokea na baadae kutokea ni sifa ya MUNGU tu.
  • 7. Kitabu cha ufunuo ni kitabu ambocho leo hakisomwi katika nyumba za ibaada za kikristo na kama kinasomwa ni kwa uchache sana, uwenda watu wanashindwa kukielewa kutokana na lugha yake ya kimafumbo, lakini ni kitabu pekee kinachojinadi kwa kujiita UFUNUO wa YESU Kristo, (ufunuo 1:1).Ni kitabu pekee ambacho kinamfunua hasa Yesu Kristo ni nani, na yupo wapi na anafanya nini sasa,na je anaharakati za mataifa yanayompinga?.Na atakuja lini kuhukumu mataifa?. Huo ndio muhutasari kwa ufupi wa kitabu cha ufunuo ambacho kimeandikwa kwa lugha ya mafumbo/mifano, na Yesu aliwajibu wanafunzi wake baada ya wao kumuuliza kwnini unaongea kw mafumbo? Aliwajibu kwamba:-
  • 8. • “Ninyi mmejaliwa kuzijuasiri za ufakme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa, Mathayo13:11.ukiona unahepe kitabu hiki sabababu ya mafumbo yake tambua hujajaliwa kuzijua siri za mbinguni zilizofichwa katika mafumbo ya kinabii,ni vema leo ukaanza kutafakari usomaji wako. Na ufunuo wa kufumbua haya mafumbo, kristo alishatupa kupitia roho mtakatifu mfumbua mafumbo kama biblia inavyosema. “Lakini MUNGU ametufunulia sisi kwa roho, maana roho huchunguza yote hata mafumbo ya MUNGU, 1 wakorintho 2:10. Ukiukataa unabii ni kumpinga roho wa MUNGU mtume paulo anasema hivi “msitweze unabii;(1Wathesalonike 5:20). Kutweza ni kudharau,bkwa hiyo hatupaswi kuudharau unabii bali kuutazama kwa uangalifu sana na kuusoma,maana Biblia inasema hivi “ Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu.(Ufunuo1:3). Karibu katika uchambuzi wa unabii, ambao nitauchambua fungu kwa fungu, kama ifuatavyo.
  • 9. UFUNUO 13:1-2 KUINUKA KWA UKATOLIKI 13:1 kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari,mwenye pembe kumi,na vchwa saba,najuu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari
  • 10. Mnyama kinabii ni Ufalme “ wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakao tokea duniani,(Daniel7:7). Na bahari kinabii ni watu wengi na mataifa na jamaa na lugha “ Aha! Uvumi wa watu wengi! Wanavuma kama uvumi wa bahari;Aha! Ngurumo ya mataifa! Wananguruma kama ngurumo ya maji mengi;(isaya17:12). “Kisha akaniambia,yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha(UFUNUO 17:15). Huu ni ufalme mkubwa sana ambao unatokea sehemu ambayo inawakazi wengi Duniani, tunaona hilo ni utawala upi mkubwa uliowahi kutokea katika jamii kubwa ya watu wengi kupitia mashindano ya kijeshi yanayofananishwa na uvumi wa bahari na ngurumo za mataifa ambazo ni vita na machafuko. Sehemu zilizokuwa na watu wengi katika histori ya Dunia kabla ya Yesu ilikuwawa ni mashariki ka kati, na katika zama za Rumi yankipagani , wakazi wengi walikiwa katika bahari ya Mediterania, na huko ndio yalitokea machafuko mengi kijeshi, baina ya taifa na taifa,. Katika zama baada ya kristo eneo hilo liliendelea kuwa n wakazi wengi, na baada serikli ya Rumi kuhamia upande wa mashariki huko kostantinopo ( Uturuki kwa sasa)
  • 11. Mnamo mwakw 330 BK, machafuko makubwa yalitokea upande wa magharibi kwa kuvamiwa na mataifa ya kigeni, na RUMI ya magharibi ikadhoofika na kuanguka na kusambaratika mnamo mwaka 476BK sehemu hiyo ilimwaga damu sana baina ya mataifa ya kigeni na serikali ya Rumi. Mwaka 508 BK iliinuka nguvu mpya huko magharibi, mfalme Clovis wa France (Ufaransa) aliinuka na kukaa upande wa Papa na kulipigania kanisa, na mnamo mwaka 538BK Upapa uliibuka kidedea na kutawala sehemu kubwa ya Ulaya kwa miaka elfu kwa msaada wa Ufaransa na Rumi ya mashariki.
  • 12. • MWENYE PEMBE KUMI, NA VICHWA SABA, NA JUU YA PEMBE ANAVILEMBA KUMI Na pembe kinabii ni falme au mfalme “ Na zile pembe ulizoziona ni WAFALME KUMI (17:12).Na vichwa sabakinabii ni wafalme saba “ vichwa saba ….Navyo ni wafalme saba, Ufunuo 17:9,10).Na vilemba kumi ni taji ( crowns) za wafalme zenye kuwakilisha ufalme huru, “Ndipo akamleta nje mwana wa mfalme, akamvika TAJI, na kumpa ushuhuda; wakamfanya mfalme ,wakamtia mafuta; wakapiga makofi, wakasema, mfalme na aishi” 2Wafalme1:12 Huu ufalme unatawala falme na wafalme chini yake kama ulivyokuwa ufalme wa babeli uliotawala falme za Dunia ,”maana BWANA MUNGU asema hivi:Tazama, nitamleta Nebukandreza, mfalme wa babeli ,mfalme wa wafalme , juu ya tiro toka kaskazini, pamoja na farasi, na magari ya vita, na wapanda farasi, na jeshi, na watu wengi,( Ezekiel 26:7
  • 13. • ).Kwa hiyoni ufalme mkubwa wenye mamlaka juu ya falme zote Duniani ,(Ufunuo17:18).Na hakuna ufalme mkubwa leo wenye mamlaka juu ya wafalme wa Dunia kama utawala wa kipapa, unabii huu jwa 100%bunalengautawala wa kipapa duniani, ambao una maelfu ya miaka, mnamo karine ya 16, MARTIN LUTHER alipingana na mafundisho ya upapa, akiwa ametulia sehemu baada ya kuweka mafundisho 95 katika kanisa la Wittenberg Ujerumani yaliyopingana na mafundisho ya ukatoliki na kusababisha taharuki ya mji, “Luther alitetemeka alipojifikiria. Mtu mmoja kupingana na uwezo katika nchi. Aliandika na kusema “Mimi ni nani nishindane uwezo mkuu wa papa……….ambaye wafalme wa nchi na ulimwengu wote humtetemekea?(TU58:2)
  • 14.
  • 15. NA JUU JA VICHWA VYAKE MAJINA YA MAKUFURU Utawala huu ni utawala wa kipindi wenye mamlaka ya kisisa, makufuru yanahusika na masuala ya imani,maana ni MUNGU pekee ndiye anayeweza kukufuriwa na kiumbe kichukuapo enzi yake ya umungu au kujifanya Mungu na kujiita majina ya Mungu. Biblia inasema hivi juu ya makufuru “Mimi na Baba tu umoja. Basi wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.Yesu akawajibu, kazi njema nyingi nimewonyesha, zitokazo kwa BABA; kwaajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa makufuru,na kwa sababu wewe ndiye MWANADAMU WAJIFANYA MWENYEWE U MUNGU”(yohana10:300-33). Na baadhi ya waandishi waliokuwako huko, wameketi,wakifikiri mioyoni mwao,mbona huyu anasema hivi?(Marko2:5- 7
  • 16. • ). Ingawa YESU hakukufuru kwasababu yeye ni mwana wa MUNGU mwenye asili ya uungu mwenye mamlaka yote mbinguni na duniani,(Yohana 10:36,mathayo28:18). Hakuna utawala duniani ambao umetimiza unabii kama utawala wa kipapa, ni papa pekee anayejiita vicar of christ yaani mwakilishi ama makamu wa kristo duniani ama kujiita kwa cheo cha BABA mtakatifu ambacho ni cheo cha MUNGU (Yohana 17:11).Katika historia ya tawala tangu kuumbwa Dunia ni utawal wa rumi ndio uliingilia mamlaka ya biblia na ukristo na ukajivisha vyei vyote , kiongizi wa Rumi alivaa kofia yenye cheo kisiasa na kidini na alitumia nguvu kulazimisha mambo ya dini kwa nguvu za serikali. Ukirejea Biblia ya agano jipya yenye notes za katoliki kwa chini ilitafsiliwa na Askofu mkuu wa Tabora , Marko Mihayo 19/10/1984, kwenye maelezo ya ufunuo 13:1 kuna maneno yafuatayo:- mnyama wa baharini ni utawala wa Waroma”
  • 17. • 13:2 Nayule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu,na kinywa chake kama kinywa cha simba, na yule jika ajampa nguvu zake na kitichake cha enzi na uwezo mwingi
  • 18. kama tulivyoona kwamba mnyama anawakilisha ufalme( kingdom), ba ufalme huuulikuwa na mchanganyiko wa wanyama wanne ambao wato wanapatikana katika kitabu cha Daniel 7, ambo ni simba,Dubu,chui mwenye vichwa vinne na mnyama wa kutidha.Na hao wanyama wanne waliwakilisha falme nne kubwa “wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea Duniani, Daniel 7:17. Ambao ni Babeli, Unedi na Uanemi,Uyunani(Ugiriki), na Roman empire.
  • 19.
  • 20. Huyu mnyama wa ufunuo 13 amejitunga kupitia hizo falme nne kama picha inavyoonesha hapo juu. Ametwaa kichwa cha simba (Babeli), miguu ya Dubu ( Umedi na uajemi) na umbo la chui ( Ugiriki) na pembe kumi ( Falme kumi za himaya ya Roma ya kipagani),. Ukirejea somo la Daniel 7, utaoaya maelezo zaidi juu ya falme huzo nne. Vichwa saba anavitwaa toka katika tawala nne za Dunia katika Daniel 7 kama ifuatavyo 1. Kichwa cha simba (1) (606-538 au 539k.k) Daniel 2:37,38 2. Kichwa cha dubu (1) (538-331 au 539-331 k.k) Daniel 5:25-31 3. Vichwa vinne vya chui (4) (331-168 k.k) Daniel 8:4-7,20-21, Daniel 11:1-3 4. Kichwa cha mnyama (1) (278-476 B.k)-(476 hadi marejeo ya kristo Luka 2:1- 7,Yohana11:48 Jumla tunapata vichwa 7 [Ufalme wa kipapa unatabia na asili ya falme hizo, ambazo tunaenda kuzichambua kama ifuatavyo:-
  • 21. Na kinywa chake kama kinywa cha simba • Simba aliwakilisha ugalme mkubw wa Babeli ukiokuwa na mamlaka juu ya Dunia yote, na uoipambana na kutesa wtu wa MUNGU na kuwachujua mateka kwa miaka 70.Na sifa kuu ya Babeli ilikuwa ni ibaada ya sanamu, na kujenga mahekalu makubwa na miji mikubwa ikiyojaa sanamu, Wababeli walitokomea sana katika ibaada ya sanamu na miungu kuliko utawala wowote uliowahi kutokea Duniani, ni mama wa miungu yote, Bibilia inauita mji huo machafuko,( Mwanzo11:9).Babeli ndio chanxo cha machafuko ya lugha Duniani na ibaada kinyume cha MUNGU,mataifa, lugha na jamaa zimechukua asili ya uasi wa Babeli, na myama wa ufunuo13 anamamlaka juu ya mataifa, lugaha na jamaa akiendeleza kazi ileile ya Babeli ya kale ambayo kwa mujibu wa biblia ilikevya Dunia nzima kwa ibaada ya sanamu kiasi cha watu kupata wazimu. Biblia inasema hivi ‘ Babeli umekuwa kikombe cha dhahbu mikononi mwa BWANA; kilicholevya Dunia yote; mataifa wamekunywa mvinyo wake ; kwa sababubhiyo mataifa wameingiwa na wazimu Yeremia 51:7. Sifa hii leo inapatikana katika kanisa la Rumi, Dunia nzima imeathiriwa na tamaduni zake za kidini ikiwemo ibaada ya sanamu inayoondoa utu na ufahamu, na kumfanya mtu duni kifikira kwa kuabudu sanamu na vitu vya asili.
  • 22.
  • 23. Upapa yaani Ukatoliki unamahusiano na mataifa yote,na jamii ya wakazi wa Dunia wameathirika sana na mafundisho ya Ukatoliki, ukisikia leo kiongozi au msomi anasema watu wanavunja amri ya 6 kwa zinaa,Tambua ni mwathirika tayari wa mfumo huu, maana amri ya 6 katika biblia ni usiue na ya 7 usizini ( kutoka 20:13-14)Biblia inasema “ambaye wafalme wa nchi wanezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevya kwa mvinyo wa uasherati wake (ufunuo 17:2)
  • 24.
  • 25. • Pia Babeli ilikuwa na miungu 360 na kati ya miungu hiyo kulikuwa na miungu mikuu 36 iliyofanya jumla ya hesabu 666 yaani (1+2+3+4+5+6+7+8……….36=666), kila siku ilikuwa na mungu wake , na mungu mkuu alikuwa mungu JUA aliyeitwa belau Melodaki (Nimrodi) na aliyefuata alikuwa mungu mwezi aliyeitwa ista ( semiramis) au malikia wa mbinguni( Yeremia 7:18;50:2) Na mtoto wao aliitwa TAMUZI (Ezekiel 8:14), TAMUZI alionekana kapakatwa na ista- semiramis katika sanamu yake au picha , na ibaada hiyo leo tunaiona katika sura moya katika kanisa la Rumi, ba tunaona hilo pia katika dini za kipagani kama Hindu na Budha, hao wanaendeleza dini ya Babeli katika sura ya wazi, lakini Tumi imejigicha katikavazi la kikristo, ni unabii tu ndio unaoweza kumfunua.pichani chini ni ibaada ya sanamu ya mungu mke wa Babel india na china na kulia mwa oicha ni bikra maria naye amempakata yesu vilevile.
  • 26.
  • 27. Katika tamaduni za babel , mungu Jua alikuwa ndiye mkuu sana na mungu mke alifuatia na mtoto wa miungu huyo alikuwa wa tatu kwa ukuu baada ya mama yake .ndiyo maana wayahudi waliadhibiwa kwa kwa kuingiza ibaada ya kuliabudu jua katika Israel, jua jua liliabudiwa katika siku ambayo iliitwa kwa jina lake yaani sun- day ibaada hiyo ilikuwa ni machukizo kwa Mungu wa mbinguni .Akaniambia mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko haya. Akanileta mpaka uwa wa ndani wa nyumba ya Bwana, na tazama mlangoni pa hekalu la Bwana, kati ya ukumbi wa madhabahu, walikuwako watu kama ishiriji na watano, WAMELIOA KISOGO HEKALU LA BWANA, NA NYUSO ZAO ZIMEELEKEA UPANDE WA MASHARIKI, NAO WANALIABUDU JUA, KWA KUELEKEA UPANDE WA MASHARIKI. Basi, akaniambia umeyaona haya, Ee mwanadamu? Je ni jambo dogi sanankwa ntumba ya yuda , wayafanye machukizo wanayoyafanya hapa? Kwa maana wameijaza nchi hii udhalimu, tena wamelejea nyuma ili kunikasilisha; natazama, wanaliweka tawi puani. Kwasababu hiyo mimi nami, nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu halitaachilia, wala sitaona huruma,na wajapolia masikioni mwangukwa sauti kuu, sitawasikiliza. Ezekiel 8:15-18
  • 28. Ibaada ya jua leo ipo kwa kifivho cha kivuli cha kufufuka kwa Yesu, moinga kristo alipotisha dunia kwamba siku ya Bwana ni siku ya jua (sun-day) sababu Bwana alifufuka katika siku hiyo. Biblia haina jawabu hilo, daima mitume wa Yesu Kristo na wakristo wa karine ya kwanza wakiendelea kukusanyika siku ya saba ya juma yaani sabato ya kiyahudi kama ilivyoamliwa na MUNGU, Nukuu zifuatazo zinatupa hakika hiyo, ibaada baada ya kufa kwa Yesu na baada ya kufufuka kwa Yesu katika siku ya saba yaani sabato Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa. Wakarudu wakafanya tayari manukato na malihamu. Na siku ya sabato wwlistarehe kama ilivyoamliwa.(Luka 23:55-56). Hawa ni wanawake akieemo Magdelena ambao walikuwa wanafunzi wa Yesu, na daima walizunguka naye jatika mikutano yake mahali na mahali, swali kama Yesu alikuwa amekataza sabato kwanini wanawake hawa waliendelea kuitunza?
  • 29. Hata sabato ya pili, watu wengi, karibu mji wote, wajakusanyuka walisikilize neno la MUNGU ( marendo 13:44) Hii ni ibada ya siku ya sabato kwa miji ya kimataifa, Ambayo Paulo na Barnaba walikuwa waiihudumu huko katika mji wa perge katika pamfilia, wakazi wa huko wakiwemo na wayahudi waliguswa na ujumbe kiasi cha kusihi kuambiwa sabato ya pili [ aya ya 15]. Ni dhahili sabato iliendelea kushikwa na wanafunzi wa Yesu Hata siku ya sabato tukatoka nje ya lango, tukaenda kando ya mto, ambapo tukadhani ya kuwa pana mahali pa kusali; tukaketi, tukasema na wanawake waliokutana pale.( matendo 16:13
  • 30. • ). Sura hii inawaongelea mtume Paulo na Sila, ambao walienda kuhubili katika mji wa philipi- Makedonia, na walikaa huko siku kadha wa kadha ( aya ya 12) , na ilipofika siku ya sabato walienda nje ya mjikutafuta sehemu tulivu ya kusali katika eneo lililopo kando ya mto, maana walikuwa wageni katika mji huo na hakukuwa na ndugu katika kristo wala sinagogi la kiyahudi hapo. Na walivyofika katika eneo hilo wakakutana na wanawake kadhaa wanaokutana pale katika mto, wakaanza kusema nao neno la Mungu, na mwanamke mmoja aliyeitwa Lidia akaipokea imani ya kikristo na akabatizwa katika mto huo pamoja na familia yake ( aya 15), na aliwapa hifadhi katika nyumba yake. Tunaona dhahili kwamba mtume paulo pia hakubadilisha sabato.Bwana Morer mchungaji msomi wa kanisa la kiingereza (church of England) anasema kwamba Wakristo wale wa zamani walikuwa na kicho kikubwa sanakwa sabato, nao waliitumia siku hiyo kwa ibaada na mahubiri. Na hapana mashaka yoyote kwamba walipata destuli hiyo toka kwabmitume wenyewe ( Dialogue on the Lord’s day uk.189.
  • 31. Mwanathiolojia mwangalifu na msema kweli na mwana historia .Lyman Coleman, asema hivi: “kuendelea kufika karne ile ya tano utunzaji wa sabato ya kiyahudi uliendelezwa na kanisa la kikristo, lakini nguvu yake na utaratibu wake wa ibaad viliendelea kupungua polepole mpaka hapo ilipokoma kabisa kutubzwa; Acient Christianity Exemlifeid, sura ya 26, sehemu ya 2, uk. 527. Sorates, mwanahistoria ya kanisa Myunani aliyeishi katika ile karne ya tano, ambaye kazi yake ilikuwa ni muendelezo ya ile ya Eusebio [Eusebius] asema hivi: karibu makanisa yote ulimwenguni wanaadhimisha meza taiatifu ya Bwana siku y sabato ya kila juma, lakini wale wakristo walioko Alexandria na Rumi, kutokana na mapokeo fulani ya zamani, wameacha kufanya hivyo:- Ecclesiatical History vii.22,2,22, in A selected Library of Nicea and post-Nicene Fadhers, 2d series, vol II, uk,132
  • 32. Je ubabeli ( upagani) uliingiaje katika kanisa la kikristo na kuacha amri za Mungu? Hutton Webster, phD, katika kitabu chake cha Rest days anayo haya ya kusema: wakristo wale wa kwanza mwanzoni kabisa walikuwa wamelipokea juma la kiyahudi la siku ya saba pamoja na hesabu zake za juma, lakini karibu na mwisho wa karine ya tatu BK. Juma hili likaanza kuachwa na badala yake likafuatwa juma la sayari; na katika karine ile ya nne na ya tano majina ya kipagani yakawa yamekubalika kwa jumla katika nusu ya magharibi ya Ukristo, Matumizi ya majina ya sayari na wakristo wale hudhihilisha mvuto wa dhana za kinajimu ( astronomical speculations) zilizoletwa kanisani na waongofu waliotoka kwenye upagan ….. Katika karine zizo hizo ibaada ya kuabudu jua, hasa ile ya mithra ( ibaada ya jua ya waajemi) ambazo zilitoka Mashariki, zikaenea katika ulimwengu ule wa kirumi, na kuwafanya wapagani kuweka ibaada yao ya ‘DIES SOLIS (siku ya jua) badala ya ile ya Dies Saturn ( jumamosi, na kuifanya iwe siku ya kwanza ya juma lilebla sayari…. Hivyo ndiyo siku hii ya kipagani ilivyopandikizwa taratibu Katika Ukristo’ Ukurasa wa 220-221
  • 33. Na ndipo sabato vikapigwa marufuku na mapapa, na kuwashabulia wliotunza sabato bkwa kuwaita wapinga kristo, na kuanza kuwaua kwa makali ya upanga. Historia inasema hivi “It has come to my ears that certain men of perverse spirit have sown among you some things wrong and opposed to holy faith, si as forbid any work being done on the Sabbath day. What else can I call these but preachers of Antichrist…..”(Father’s of the christian church VOL 13 b.13 p 336) Imekuja masikioni mwangu kwamba watu fulani wa roho yanuovu wamepanda kati yenu mambo mabaya na kupinga imani tajatifu , kama wanavyozuia kazi yoyote inayofanywa siku ya sabato. Nini zaidi ningyoweza kuwaita kama wahubiri wa Mpinga Kristo….
  • 34. Hawa walikuwa wanaitwa Waldensia watetea imani, walikuwa hodari sana kutetea imani ya mitume lakini walifanyiwa ukatili wa mapapa na kuuawa. Neno la yesu lilitimia “ watawatenga na masinagigi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anaktilea Mungu ibaada. Na hayo watawatenda kwasababu hawajumjua Baba wala Mimi.( yohana 16:2- 3).lakini kwa mateso hayo, hawakuicha imani yao, waliendelea kuitunza sabato kama ilivyoamliwa, historia inathibitisha tamko kali hilo la Papa Gregory kuhusu kutunza sabato kwa wakazi baadhi wa roma ambao waliitwa wapinga kristo sababu ya kutunza sabato na kushika amri za MUNGU na mafundisho ya mitume:- That rhe Sabbath was kept. Notwithstanding the decree of the council against it’ is also seen from the fact that pope Gregory 1 ( AD.590-604). Wrote against vRoman citizen ( who) forbid any work done on the Sabbath day “Nicene and post-Nicene Father’s” second series, Vol XIII, P.13
  • 35. Tafsiri yake Sabato ilitunzwa , pamoja na kwamba ilitolewa amri na baraza kuipinga, inaonekana pia kutoka katika ukweli kwamba papa Gregory I(AD 590- 604) alivyo waandikia raia wakirumi (ambao) walizuia kazi yoyote kufanyika siku ya sabato.Nicene and post-Nicene Father’s” second series Vol XIII P 13 Pia wababiloni walitumia mfumo wa namba ambao waliuita SEXAGEMAL ( msingi wa 60 ambao huja kwa dakika 60 kwa saa, sekunde 60 kwa dakika, degree 360 (60×6) katika mviringo na degree 60 kwa kila pembe ya pembe tatu sawa na 360÷10=36 ambayo ni kama 6×6=36.Namba 36 ilikuwa ni hesabu ya miungu wakuu watawala na kutokana na hii hesavu ambayo inafanya idadi ya 666 ndiyo msingi na kiini cha ibaada ya Babeli,hii ni namba ya siri ya mbyama wa 666, ambaye ni mpinga Kristo, Jwa hiyo ukichukua namba zifuatazo tutapata ifadi ya 666. 1+2+3+4+5+6+7+8+9+10+11+12+13+14+15+16+17+18+19+20+21+22+23+24 +25+26+27+28+29+30+31+32+33+34+35+36=666
  • 36. Tukisoma Daniel 3:1 tutapata hiyo hesabu:- Nebukandreza, mfalme, aliyefanya sanamu ya fhahabu ambayo urefu wake uoikuwa DHIRAA SUTUNI, na upana waje DHIRAA SITA:akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Hapo ni (60×6) sasa ukiipiga kwa hesabu ya kibabeli ya SEXAGEMAL utapata hesabu ya 666,hapo inahitajika mahesabu tu ya akili nyingi . HAPA NDIPO PENYE HEKIMA.YEYE ALIYE NA AKILI, NA AIHESABU HESABU YA MNYAMA HUYO; MAANA NI HESABU YA KIBINADAMU. NA HESABU YAKE NI MIASITA, SITINI NA SITA. Ufunuo 13:18 SEXAGEMAL, leo ndio tunatumia katika mfumo wa saa , ndo maana hata saa tunazotumia ni kwa hesabu ya kibabeli zinazo tembea na 6×6. mfano wa 8 ambayo ni saa 2 (8-2=6), 9 ambayo ni saa 3 (9-3=6) inaendelea hivyo hivyo kwa kuchora 6-6-6-6
  • 37. Hizi namba mpaka leo zinatumika na ma astronomist, na wachawi wa kupiga mafundo,wagiriki na warumi walichukua elimu hii na kuendeleza, maana Babeli walikuwa ni watu wa hesabu sana, na majengo makubwa leo ni sababu ya utaalamu wao wa hesabu, maana ndio watu wa kwanza kujenga gorofa, na uchawi mkubwa uliotoka kwao, na uchawi wao upo katika hesabu. Na VATICAN imerithi uchawi huu, nakupitia huo ameriga mataifa yote. KWA SABABU Y WINGI WA UKAHABA WA YULE KAHABA MZURI, YULE BIBI WA MAMBO YA UCHAWI, AUZAYE MATAIFA KWA UKAHABA WAKE, NA JAMAA ZA WATU KWA UCHAWI WAKE …..KWAKUWA MATAIFA YOTE WALIDANGANYWA KWA UCHAWI WAKO( Ufunuo 18:23, Nahumu3: 4) rejea ukurasa 66-72 wa somo hili kuna ufafanuzi zaidi juu ya hilo. Biblia inabainisha hali ya ibaada bya sanamu Babeli, “ Tangazeni katika mataifa , mkahubiri na kutweka bendera; Hubirini msifiche, semeni, Babeli umetwaliwa! BELI amefedheheka; NERODAKI amefadhaika; SANAMU zake zimeaubishwa , VINYAGO vyake vimevimefadhaika” Yeremia 50:2
  • 38. • Na kando ya ibaada za sanamu Wababeli walikuwa na sherehe za miungu yao, moja ilikuwa sherehe ya kuzaliwa mungu jua (Nimrodi- Tamuzi) aliyezaliwa tarehe 25/12, ambayo leo inaitwa kwa jina jipya la Christmas. Ebu tutazame chimbuko la siku kuu hiina uhusiano wake na kanisa katoliki.