SlideShare a Scribd company logo
1 of 6
MAANA YA HADITHI
Na:Jerome Massawe
Jerome Massawe 1
Hadithi ni tungo za Fasihi simulizi zitumiazo lugha
ya
nathari( lugha ya ujazo ya maongezi ya kila siku)
Masimulizi haya hupangwa katika mtiririko wa
matukio
unaokamilisha kisa. Ili kisa hiki kikamilike, hadithi
huwa na
wahusika ambao ndio nyenzo ya kukiendesha kisa
chenyewe,
vivyo hivyo, hadithi huwa na maudhui
Jerome Massawe 2
Inaendelea…………
 yafuatayo yawepo;
 Mtendaji/ mtambaji na hadhira
 Mahali pa kutendea
 Tukio la kueleza
 Mtambaji wa hadithi ya Fasihi simulizi shurti awe na sifa
 zifuatazo;
 Mtambaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuwasilisha hadithi
 au ngano kwa namna inayochangamsha msikilizaji au
 hadhira yake hivyo anapaswa kuwa na ubunifu wa kiwango
 cha juu.
Jerome Massawe 3
Inaendelea……….
 Ili hadithi ya Fasihi simulizi iweze kuwasilishwa shurti mambo
 - Anapaswa kuwa na ujuzi wa kuweza kuifahamu hadhira yake
 pamoja na mahitaji ya hadhira hiyo. Kwa mfano, anapaswa
 kujua jinsi ya kuiwasilisha hadithi Fulani, kwa hadhira ya
 watoto, watu wazima,nakadhalika. Kila hadhira huwa na
 matarajio yake, vionjo vyake nakadhalika hivyo ni lazima
 mtambaji mzuri aweze kupatana vyema na mazingira yake
 kisimulizi.- Mtambaji anapaswa kuwa na ufahamu mpana wa lugha,
na
 utamaduni unaohusika ili kumwezesha kuwasilisha hadithi
 yake
Jerome Massawe 4
inaendelea….....
 - Mtambajimzurianapaswa kuwa mcheshi, na anajua
 kuutumia ucheshi wake kuinasa makini ya hadhira yake.
 - Mtambajianapaswa kuzifahamutabia za binadamu pamoja
 na kuielewamikondo mbalimbali ya jamii.Kuielewatabia ya
 binadamu huhusisha pia kufahamu ni mambo gani
 yanayomchukiza, kumkera,kumchangamsha, kumvutia na
 kumpendeza binadamu.
Jerome Massawe 5
MREJEO
• J.A.Masebo & N. Nyangwine(2000) Nadharia Ya Fasihi
Kidato Cha 5&6, Nyangwine Publishers Dar es
• salaam, Tanzania.
• R.Kadughuda, J. Kiango, I .Ipara (2009) Kiswahili Kidato
Cha Kwanza, Oxford University Press, Dar es
• salaam
• Taasisi Ya Ukuzaji Mitaala (1988) Kiswahili Sekondari.
Jerome Massawe 6

More Related Content

What's hot

Volhard`s Method
Volhard`s MethodVolhard`s Method
Volhard`s Method
Aimun Altaf
 
8.1 (c) insoluble salts
8.1 (c) insoluble salts8.1 (c) insoluble salts
8.1 (c) insoluble salts
emylia1411
 
Ppt1 Introduction To Qa & Tests For Gases
Ppt1  Introduction To Qa & Tests For GasesPpt1  Introduction To Qa & Tests For Gases
Ppt1 Introduction To Qa & Tests For Gases
sitinurbaiyah
 

What's hot (20)

Volhard`s Method
Volhard`s MethodVolhard`s Method
Volhard`s Method
 
Sodium carbonate
Sodium carbonateSodium carbonate
Sodium carbonate
 
Cartes de visites open office
Cartes de visites open officeCartes de visites open office
Cartes de visites open office
 
8.1 (c) insoluble salts
8.1 (c) insoluble salts8.1 (c) insoluble salts
8.1 (c) insoluble salts
 
Fractional distillation of petroleum
Fractional distillation of petroleumFractional distillation of petroleum
Fractional distillation of petroleum
 
Lecture 09
Lecture 09Lecture 09
Lecture 09
 
Iodimetry & iodometry
Iodimetry & iodometryIodimetry & iodometry
Iodimetry & iodometry
 
Ppt1 Introduction To Qa & Tests For Gases
Ppt1  Introduction To Qa & Tests For GasesPpt1  Introduction To Qa & Tests For Gases
Ppt1 Introduction To Qa & Tests For Gases
 
Sulphuric Acid
Sulphuric AcidSulphuric Acid
Sulphuric Acid
 
C10 acids, bases and salts
C10 acids, bases and saltsC10 acids, bases and salts
C10 acids, bases and salts
 
Introduction of pharmaceutical analysis and their scope
Introduction of pharmaceutical analysis and their scopeIntroduction of pharmaceutical analysis and their scope
Introduction of pharmaceutical analysis and their scope
 
Topic 7 oxidation and reduction
Topic 7 oxidation and reductionTopic 7 oxidation and reduction
Topic 7 oxidation and reduction
 
Precipiatation titration- Pharmaceutical Analysis
Precipiatation titration- Pharmaceutical AnalysisPrecipiatation titration- Pharmaceutical Analysis
Precipiatation titration- Pharmaceutical Analysis
 
Anions
AnionsAnions
Anions
 
Theory of indicator
Theory of indicatorTheory of indicator
Theory of indicator
 
Limit test of Arsenic
Limit test of ArsenicLimit test of Arsenic
Limit test of Arsenic
 
Precipitation titration
Precipitation titrationPrecipitation titration
Precipitation titration
 
Testing And Identifying Anions
Testing And Identifying AnionsTesting And Identifying Anions
Testing And Identifying Anions
 
Sulfuric acid by Rehman Ali Sajjad.
Sulfuric acid by Rehman Ali Sajjad.Sulfuric acid by Rehman Ali Sajjad.
Sulfuric acid by Rehman Ali Sajjad.
 
Acid base titration
Acid base titrationAcid base titration
Acid base titration
 

Maana ya Hadithi

  • 1. MAANA YA HADITHI Na:Jerome Massawe Jerome Massawe 1
  • 2. Hadithi ni tungo za Fasihi simulizi zitumiazo lugha ya nathari( lugha ya ujazo ya maongezi ya kila siku) Masimulizi haya hupangwa katika mtiririko wa matukio unaokamilisha kisa. Ili kisa hiki kikamilike, hadithi huwa na wahusika ambao ndio nyenzo ya kukiendesha kisa chenyewe, vivyo hivyo, hadithi huwa na maudhui Jerome Massawe 2
  • 3. Inaendelea…………  yafuatayo yawepo;  Mtendaji/ mtambaji na hadhira  Mahali pa kutendea  Tukio la kueleza  Mtambaji wa hadithi ya Fasihi simulizi shurti awe na sifa  zifuatazo;  Mtambaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuwasilisha hadithi  au ngano kwa namna inayochangamsha msikilizaji au  hadhira yake hivyo anapaswa kuwa na ubunifu wa kiwango  cha juu. Jerome Massawe 3
  • 4. Inaendelea……….  Ili hadithi ya Fasihi simulizi iweze kuwasilishwa shurti mambo  - Anapaswa kuwa na ujuzi wa kuweza kuifahamu hadhira yake  pamoja na mahitaji ya hadhira hiyo. Kwa mfano, anapaswa  kujua jinsi ya kuiwasilisha hadithi Fulani, kwa hadhira ya  watoto, watu wazima,nakadhalika. Kila hadhira huwa na  matarajio yake, vionjo vyake nakadhalika hivyo ni lazima  mtambaji mzuri aweze kupatana vyema na mazingira yake  kisimulizi.- Mtambaji anapaswa kuwa na ufahamu mpana wa lugha, na  utamaduni unaohusika ili kumwezesha kuwasilisha hadithi  yake Jerome Massawe 4
  • 5. inaendelea….....  - Mtambajimzurianapaswa kuwa mcheshi, na anajua  kuutumia ucheshi wake kuinasa makini ya hadhira yake.  - Mtambajianapaswa kuzifahamutabia za binadamu pamoja  na kuielewamikondo mbalimbali ya jamii.Kuielewatabia ya  binadamu huhusisha pia kufahamu ni mambo gani  yanayomchukiza, kumkera,kumchangamsha, kumvutia na  kumpendeza binadamu. Jerome Massawe 5
  • 6. MREJEO • J.A.Masebo & N. Nyangwine(2000) Nadharia Ya Fasihi Kidato Cha 5&6, Nyangwine Publishers Dar es • salaam, Tanzania. • R.Kadughuda, J. Kiango, I .Ipara (2009) Kiswahili Kidato Cha Kwanza, Oxford University Press, Dar es • salaam • Taasisi Ya Ukuzaji Mitaala (1988) Kiswahili Sekondari. Jerome Massawe 6