SlideShare a Scribd company logo
1 of 11
JE YESU NI MUNGU?
Moja kati ya vitu ambavyo ndugu zetu waislam wanapinga vikali na kupigia debe ni kukana
Uungu wa Bwana Yesu Kristo, wakijaribu kutumia vifungu vya Biblia kutetea hoja zao,
wakijaribu kuangalia upande tu moja wa kimwili maana uislamu ni dini ya Matendo ya kimwili,
kwa hiyo moja kwa moja kila jambo limuhusulo Mungu hulitafakali na hulitafsili kimwili mwili,
Lakini namshukuru Mwenyezimungu alietupa maandiko yake Matakatifu na kutupa uezo wa
kutafasili mambo ya kiroho, Hujaribu pia kushtumu kuwa Sisi Wakristo tunaabudu Miungu
watatu je hili lina ukweli wowote, Nakuomba sasa Uungane nami Katika uchambuzi wa Maada
hiyi Muhimu ambayo itakusaidia wewe ima ni Muislam ima ni Mkristo. Na leo nitasimamisha
Mashahidi wawili Biblia Takatifu na Quran Tukufu.
1.Moja kati ya jambo tunalopaswa kuzingatia ni kwamba hakuna uelewa wowote au akili na
hekima za kibinadamua ambazo zinaweza kumueleza kwa kina Mungu jinsi alivyo, ukijaribu
kwa hekima zako utagonga Mwamba, utajikuta ni sawa na mtu anayetaka kulichunguza anga
na kuzijua nyota kwa kutumia Darubini, Maana Imeandikwa hivi
AYUBU 11: 7 Je! Wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikilia upeo wa
huyo Mwenyezi?
#1Korintho2:7 bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo
Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;
8 ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua,
wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu.
Andiko hili linaweka wazi kabisa ya kuwa Mambo ya Mungu ni ya ajabu na ni ya siri ni hekima
iliyositirika ambayo Mungu aliiazimu kuwafunulia tu wale waliotayari kumjua na kumfuata. moja
ya kati ya amri kuu ambazo Mwenyezimungu ametuhusia sisi wanadamu ni kumpenda;
Mathayo 22: 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa
roho yako yote, na kwa akili zako zote.
K/Torati 6: 5 Nawe mpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho
yako yote, na kwa nguvu zako zote.
Sasa swali la kuuliza ni hili hapa utawezaje kumpenda Mungu usiyemjua?
Bwana Yesu Asifiwe kwa kuwa katika Yeye tunaweza kumjua Mungu na kwa kupitia mafunuo
ya Maandiko Matakatifu tunaweza kumjua Mungu na kufunuliwa asili yake kulingana na uelewa
wetu, na hili liko wazi katika maandiko, Moja kati ya siri kuu za Biblia ni kwamba ni neno la
unabii ukisoma kwa hekima za kibinadamu unaweza kudhani ya kwamba maandiko
yanagongana, la hasha! hiyo ndiyo sifa ya Biblia kua ni andiko lenye siri ya Mungu, andiko la
unabii, kama maandiko yanavyosema
Amosi 3: 7 Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake
manabii siri yake.
Aya hii inathibitisha kuwa matendo ya Mungu ni siri waliyofunuliwa watumishi wa Mungu
Manabii, nao wakayafunua mamboi ya Mungu kwa wanadamu.
Waebrania 1: 1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu
nyingi na kwa njia nyingi.
Watumishi wa Mungu hao manabii waliwezaje kujua Mambo ya Mungu je warikurupuka na
kuanza kunena au walitumia utaratibu gani ? lazima tuulize katika Biblia.
Muhubiri 7: 27 Tazama, asema Mhubiri, mimi nimeyaona hayo kwa kulinganisha hili na hili, ili
kuitafuta jumla.
Aya hii inadhihilisha kuwa lazima pawepo na kulinganisha maneno ya Mungu na kisha kuipata
jumla ya Mambo, na hii ni kanuni na sheria ya usomaji wa neno la Mungu, usichukue upande
moja unaopendelea yale unayoyakubali halafu ukaacha kuona upande unaozungumzia yale
usiyotaka kuyafahamu, maana wewe ikiwa unapinga Uungu wa Bwana Yesu usijikite kutafta
aya ambazo zinaeleza tu upande wa Yesu akiwa na asili ya Mwanadamu tu! soma na zile
ambazo zinamweleza Yesu katika Asili ya Uungu halafu ukishamaliza kuzisoma linganisha,
hakika utapata Jumla ya Jambo hilo na jibu sahihi. maana ndiyo amri na kanuni ya usomaji wa
neno la Mungu
ISAYA 28:10 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu
ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo.
Lakini pia ni lazima Mungu mwenyewe akufunulie kile unachotaka kukifahamu kwa njia ya Roho
Mtakatifu bila hivyo huezi maana Damu na nyama haviwezi kufunua na kujua mambo ya Mungu
isipokuwa kwa uweza wa Roho wa Mungu.
Mathayo 16:17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na
damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
2 Petro 1:21 Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu
walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakati
# Mpendwa sasa natumai tumeweza kueka msingi mzuri na uelewa sahihi katika kujifunza Siri
na ukuu wa Mungu, unapoifunua Biblia takatufu na kuanza kupata habari za matendo makuu ya
Mungu, Unafika mahali sasa unakutana na Kauli ya Mungu akianza sasa kunena mwenyewe,
na hapo ndipo unaanza kusikia na kutafakali mbona huyu Mungu anaongea kana kwamba Yeye
ni zaidi ya Nafsi Moja, neno Nafsi hua linawachanganya wengi, lakini hua manayake hili neno
kwa kiingeleza humanisha neno
Entity: mana yake ni Individual unit kwa kiswahili maana ya nafsi ni MTU (Person) neno hili
Mtu hua halimanishi tu Mwanadamu Hata Mungu kwa kuwa na Yeye amejifunua katika asili hiyo
ya Nafsi na yeye hutumia neno Mtu.
Kutoka 15:3 Bwana ni mtu wa vita, Bwana ndilo jina lake #Mwanzo 22:16 akasema, Nimeapa
kwa nafsi yangu asema Bwana, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao,
mwanao wa pekee.
Viumbe navyo hutumia Neno Nafsi: Ayubu 12:10 Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi
mwake, Na pumzi zao wanadamu wote. Mwanzo 2:7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa
mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Mungu sasa anapozungumza: Mwanzo1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano
wetu, kwa sura yetu...
# Mungu anatumia neno na Tumfanye hakika utaona neno hili ni zaidi ya nafsi Moja au mtu
moja wanaoshauliana na Kutenda, katika kutekeleza tendo la uumbaji wa mwanadamu.
Mwanzo 3: 22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa
kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa
uzima, akala, akaishi milele;
# Hoja hii ya Bwana Mungu inaonyesha kwamba yeye ni zaidi ya nafsi Moja cha kushangaza ni
kwamba hata ukisoma katika kitabu kinachoaminiwa na ndugu zetu Waislam kinaonyesha
Mfumo wa kiashiria cha uingi katika utendaji wa Mungu
Quran 22:5 .... Hakika Tulikuumbeni kwa udongo..... Quran15:26 Na Tulimuumba
mwanadamu kwa udongo......Quran 4:145 Na Tukanyanyua Mlima juu yao..... * Hakika Quran
nayo inafuata nyao zile za Biblia Katika kulithibitisha hili.
# Wengi husema Mungu ni moja tu hana Mshirika na sisi hilo wakristo tunalikubali sana Maana
Biblia inaonyesha wazi
K/Torati 6:4 Sikiza, Ee Israeli; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja.
Sasa mbona Mungu ni Moja sasa ninyi mnasema ni watatu, hatujawahi kusema Miungu watatu
bali Mungu Moja mwenye asili ya Nafsi Tatu kama alivyowafunulia watumishi wake kupitia
manadniko Matakatifu.
1Yohana5: 8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho
Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.
Ni matumaini yangu kwamba sasa umejionea Mungu alivyo na kama basi hutoweza kufahamu
asili ya Mungu kwa namna aliyoifunua yeye Basi utakuwa unaabudu usichokijua na ibada yako
itakua ni batili mbale za Mungu maana hili liko dhahili ndiyo maana sishangai kuwaona watu
wakisema Al Kaab ni Nyumba ya Mungu na Kuabudu wakielekea Maaka kwenye jengo la Al
Kaab na kwenda kuizunguuka Al Kaab na kubusu jiwe jeusi wakisema Jiwe Jeusi ni kuume na
kulia ya Mwenyezimungu, halafu wafanyao machukizo hayo hugeuka na kusema oh Wakristo
wanaabudu miungu watatu!?
YOHANA 4:22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu
watoka kwa Wayahudi.
Mungu Mwenyewe anataka watu wamjue vizuri tu ili wamwabudu kwa Imana na kwa ujasili
katika Roho na Kweli si kwa kutufu na kubusu mawe.
Yesu alikuja kumfunua Mungu na Kuwafanya wanadamu wamuelewe na kumjua Mungu
1Yohana5: 20 Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili
kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya
Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.
Nimeweka msisitizo kwamba Mungu ni Roho na ili umjue na upate kumwabudu lazima uwe na
Roho Mtakatifu ndani yako anayekuongoza kumjua
YOHANA 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na
kweli.
1 Wakorintho 2:12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu,
makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.13 Nayo twayanena, si kwa maneno
yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri
mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.
MSINGI WA MAANDIKO UMEWEKA WAZI KWAMBA UKIWA HUNA ROHO WA MUNGU
HUWEZI KUMJUA MUNGU. JE WAISLAMU WANAWEZA KUWA NA ROHO WAMUNGU ILI
WASEME WANAMJUA MUNGU ?
Hapa lazima tuulize katika kitabu chao cha quran na usikilize kwa makini Mkubwa
QURAN 3:7 Yeye ndiye aliyekuteremshia kitabu (hiki Quran) Ndani yake zimo aya Muhkam
(nyepesi kufahamika) ambazo ndizo msingi wa asili wa kitabu hiki). na ziko nyingine
MTASHAABIHAT ( zinababaisha, kama habari za Akhera, za peponi na motoni na mengine
ambayo yamehusika na Roho).....
Quran inaweka wazi kuwa waislamu hawawezi kidogo kueleza asili ya Mungu maana kwao
mambo ya Roho ni ubabaishaji ukisikia muislam anaeleza habari za Mungu ujue kumejaa
ubabaishaji mwingi, maana Mungu ni ROHO, ukisikia muislam anaeleza habari za Akhera na
peponi ujue ni ubabaishaji, hivi ndivyo Qurani inavyosema. au kama hujasadiki ngoja tumuulize
Muhammad kwamba je Habari zihusuzo Roho Anazijua?
QURAN 17:85 NA WANAKUULIZA HABARI ZA ROHO. SEMA ROHO NI JAMBO
LILILOHUSIKA NA MOLA WANGU (MWENYEZI MUNGU), NA NYI HAMKUPEWA KATIKA
ILIMU (UJUZI) ILA KIDOGO KABISA ( NAYO NI ILIMU YA VITU VISIVYOHUSIKA NA ROHO)
hapa Muhammad aliwang'olea mzizi wa fitna wale waislam wanaojifanya wajuaji wa kuta kufasili
mambo ya Mwenyezi Mungu kwa kuikana asili yake.Jambo lingine kabisa aillowaasa waislam ni
kwamba ikiwa hawajui ni vyema wakawauliza Wayahudi na Wakristo maana ndiyo walisoma
vitabu vya Mwenyezi Mungu kbra yao maana yake Wayahudi na Wakristo ndiyo Wahenga
katika ilimu ya Mwenyezi Mungu SOMA QURAN 10:94
Sasa uwe mvumilivu kwendelea kufuatilia mada hii ujue Yesu anakuaje Mungu na inakuaje
anaitwa Mwana wa Mungu …. Nk usikurupuke wewe kaa tayari kupata uchambuzi wa kweli na
wa uhakika ili ufunguke na kuabudu Mungu unayemjua….. Barikiwa sana.
Mwendelezo SEHEMUYA2
Hakika baada ya uchambuzi huu muhimu uliotuonyesha Asili ya kweli ya Mungu ambayo
inawachanganya ndugu zetu Waislam, na tumejionea kwa nini wanachanganyikiwa na
kushindwa kumjua Mungu pamoja na Yesu Kristo, ni kwa sababu hawana Roho wa Mungu, kwa
hiyo Uislam hakika ni Dini ya matendo ya mwili tu ambayo haiwezi kamwe kumpa mtu uelewa
Sahihi kuhusu Mungu Muumbaji hata kumuezesha anayejiunga na Dini hiyo kuiona njia ya
Wokovu na njia iendayo mbinguni, Mungu anataka wazi kabisa watu wote wamjue lakini pia
wamjue na Yesu Kristo alietumwa kuja kuukomboa ulimwengu na kuyafunua mapenzi ya
Mungu, na hakuna ambaye angeweza kumdhihlisha Mungu ispokua Mungu Mwenyewe
#Isaya 59:16 Akaona ya kuwa hapana mtu, akastaajabu kwa kuwa hapana mwombezi;
basi, mkono wake mwenyewe ndio uliomletea wokovu; na haki yake ndiyo iliyomsaidia.
Ni vizuri tukamjua Huyu Mungu, tukamjua na Kristo Yesu ili tueze kujipatia uzima wa Milele.
#Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa
kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Tuliweka msingi kwamba Mungu ni Roho na anapaswa kuabudiwa katika Roho na
Kweli wala si kwa Matendo ya mwili, maana wao ndugu zetu waislam yani ili wafanye
ibada ni lazima watie udhu, watawaze na mengine matendo kadhalika ya kimwilimwili,
hayo yote hudhihilisha ya kuwa hawamjui Mungu.
#Yohana 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika
roho na kweli
#1 Yohana 5:7 Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
#2 Wathesalonike 2:13 Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili
yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo
mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho, na kuiamini kweli
*Ibada ya kutia udhu na kutawaza ni ya kimwili tu na wala haiwezi kuitakasa nafsi ya
mwanadamu, maana imeandikwa hivi;
# Warumi 8: 5 Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale
waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.6 Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya
roho ni uzima na amani.7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana
haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii 8 Wale waufuatao mwili hawawezi
kumpendeza Mungu. 9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi
hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa
Kristo, huyo si wake.
*Kudhani ya kua utafanya matendo ya mwili kupata rehema na fadhili za Mungu na
kuifanya ibada yako ikubalike huku ukiwa umekataa njia ya kweli na uzima unapoteza
muda na hayo ni ubatili mbele za Mungu, matendo ya huruma yanapasswa kuwa
Matokeo ya kumjua Mungu na kumpokea Yesu kristo kama Kiongozi na mwokozi wa
Maisha yako, bila hivyo imeandikwa hivi;
#Isaya 64:6 Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu
yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na
maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.
*Matendo yanayompendeza Mungu yanapatikana katika kuwa ndani ya Kristo Yesu
pekee, maana ndani yake tuliumbwa na tukisha kutenda dhambi, kwa njia ya ubatizo
tunazaliwa upya na kuwa viumbe vipya hapo ndipo tunapewa kutenda yale matendo ya
haki ambayo hatukuyaandaa sisi bali Mungu mwenyewe;
#Waefeso 2:8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo
haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9 wala si kwa matendo, mtu awaye
yote asije akajisifu.10 Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende
matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.
*Baada ya kudhihilisha sababu inayowafanya wasielewe Uungu wa Yesu Kristo pamoja
na Asili ya Mungu, tutakwenda kuangalia katika kitabu cha Quran Tukufu, ili tueke
bayana jinsi ambavyo Muhammad mwenyewe alitambua wenye uelewa sahihi
kuhusiana na Mambo ya siri ya Mungu na kuwaonya waislam kwamba ikiwa hawatajua
yaliyomo katika maandiko Matakatifu waliyopewa watu hao hakika waislamu hawatokua
na radhi mbele za Mwenyezi Mungu;
QURAN 6:156 MSIJE SIKU YA KIAMA MKASEMA; HAKIKA VITABU
VILITEREMSHWA JUU YA MAKUNDI MAWILI YA KABLA YETU (MAYAHUDI NA
MANASARA) NA SISI TULIKUA HATUNA HABARI YA YALE WALIYOKUWA
WAKIYASOMA.
Neno MANASARA humaanisha WAKRISTO ukisoma Quran Tafsir ya kingeleza aya
hiyo inasema JEWS and CHRISTIANS.
Wakristo wa kweli ndiyo walimu wa kuuhabarisha ulimwengu mambo ya siri na maajabu
ya Mungu
QURAN 10:094 “Na kama unayo shaka juu ya hayo tuliyokuteremshia, basi waulize
wale wasomao vitabu [Maandiko ya Biblia] kabla yako (Myahudi na Manasara wale
waliosilimu). Kwa yakini haki imekwisha kukujia kutoka kwa Mola wako, kwa hiyo usiwe
miongoni mwa wanaofanya shaka.”
Neno WALIOSILIMU lisitumike kukuhadaa, hili halimanishi waislam linamanisha wale
walionyenyekea na kutii maagizo ya Mungu maana kwenye tafasiri ya Quran
imeandikwa hivi: YAQ-RA - 'UUNAL- KITAABA MIN-QABLIK , waliopewa Kitabu kabra
ni Wayahudi na Wakristo tu.
Tawheed ni elimu ya kumpwekesha Mungu, waislam hujisifu sana kuhusiana na jambo
hilo lakini wamelidakia jujuu sana, maana Uislam ulianzia Makka mahali ambapo
waarabu waliabudu kila kitu hata maandazi walikua wakiyafanya Miungu, Tena Muji wa
Makka ulikua na mugu wake mkuu aitwae HUBAAL ambaye ndie BAAL tunayesoma
habari za kwenye Biblia vitabu vya WAFALME, huyu Hubaal alikua na Mabinti zake
waliofaahamika kama AL UZAH, AL RAT na AL MANAAT hawa walikua ni miungu
watatu pia walioabudiwa Makka huko, lakini pia Wamisri Jirani za Watu wa jangwa la
ARABIA nao walikuwa na miungu watatu, amabo ni ISIS, OSIRIS na HORUS nao
waliabudiwa huko misri lakini pia na wahindu nao waliabudu miungu watatu VISHNU,
SHARTI na SHIVA hivyo Muhammad alidhani pia kule kusema BABA, NENO na ROHO
MTAKATIFU ni sawa na ibaada ya Miungu watatu, lakini yeye hakuwa na elimu yoyote
kuhusu asili ya Mungu Maana Biblia inaweka wazi kuwa Mungu ni MOJA tu! isipokuwa
kwa Asili yake ana Nafsi tatu na kila jambo analolitenda linakamilika katika Umoja wa
nafsi hizo TATU.
Mathayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi,
mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Mwana ndie Neno katika ummoja wa Nafsi tatu.
1 Yohana 5:8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na
Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.
Katika Nafsi tatu za Mungu mpango wa wokovu wa Mwanadamu ulifanywa kupitia kwa
NENO. ambaye kwa uweza wa Roho Mtakatifu alizaliwa na kupewa jina la YESU
KRISTO.
Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye
Neno alikuwa Mungu.
Yohana 1:14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
# Mathayo 1: 20 Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea
katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo,
maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
22 Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii
akisema, 23 Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita
jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
*Ndugu zetu waislam huwa wakisikia Mungu kuwa na Mwana, wanasema ni kukufuru,
hapo awali naliwaambia ya kuwa uislam ni dini ya matendo ya Mwili tu, huwa hawayafili
wala kuyatafakali mabo ya Roho, ndiyo mana wao likizungumzwa swala la uzazi hufikiri
mambo ya kujamiana kimwili, lakini neno la Mungu limetueka wazi kuwa Mimba ya
Yesu ilitungwa kwa uweza wa Roho Mtakatifu si kwa kujamiana kimwili maana Roho
anazaa kabisa kiroho!
#Yohana 3:6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Je Mungu anaweza kuzaa? Jibu ni ndio kwa uweza wa Roho Mtakatifu na Hili
linathibitishwa na Malaika tena yule Malaika Gabriel ambaye waislam humuita Jibril
# LUKA 1: 26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji
wa Galilaya, jina lake Nazareti,27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu,
jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja
nawe. 29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu
hii ni ya namna gani? 30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana
umepata neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake
utamwitaYesu. 32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna
mwisho.34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? 35
Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye
juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,
Mwana wa Mungu.
* Kukataa mafunuo haya makubwa ni kupotea kukubwa na kujifunga ufahamu na
kuamua kuishi katika vilindi vya Giza na ndiyo maana sishangai kuona ndugu zetu
waislam wakimbeza Mungu kwa kumfanya tu asiye na uweza wa kutenda lakini Quran
yao inasema yeye ndiye mjuzi wa kila kitu Soma QURAN 57: 3
Uweza wa Mungu ni mkubwa sana mno na wala hafungwi katika jambo lolote kama
malaika waliweza kujimithilsha na kuchukua maumbo ya wanadamu kwa nini Mungu
yeye Asiweze ? Mungu mwenyewe sikilza anavyokuhojini enyi waislam.
Yeremia 32:27 Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno
gumu lo lote nisiloliweza?
Wewe mawazo yako finyu yasikufanye ukamwekea Mungu mipaka;
#ISAYA 55: 8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu;
asema Bwana.9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika
njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
Kuelewa Asili ya Mungu ni Rahisi neno linasema mwanadamu Ameumbwa kwa Mfano
wa Mungu na kwa Sura yake, huwa unatafakali na kujiuliza ni mfano gani na sura gani?
#Mwanzo1: 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu
*Kiumbe kinachoitwa Mwanadamu ni kimoja katika sayari hii dunia lakini nikuulize swali
Mwanadamu ana nafsi ngapi ?
*Mwanadamu naye ni mmoja lakini ana nafsi 2 na hili liko wazi ni wewe soma tu!
#Mwanzo1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu
alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Angalia neno :KWA MFANO WA MUNGU mfano wa Mungu Moja = nafsi 3
(Baba+NENO+ROHO MTAKATIFU = MUNGU MOJA)
Angalia neno ALIMWUMBA: hili neno liko kwa uchache Mwanadamu moja = nafsi 2
(MWANAMKE+MWANAMUME = MWANADAMU) mfano unaozungumzwa ni huo huo
angalia sasa mwanamume na mwanamke Mungu anatambua kuwa ni kitu kimoja
# Mwanzo5: 2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao
Adamu, siku ile walipoumbwa.
Unaona Mambo ya Mungu yalivyotofauti na ya wanadamu Mume na Mke wanapewa
jina la Adamu, kunawatu hudhani jina la HAWA au EVA alipewa na Mungu, la hasha hili
alipewa na Adamu;
#Mwanzo1: 20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye
mama yao wote walio hai.
Mungu anaonyesha kuwa Mtu mume na Mtu mke ni kitu kimoja kwa mfano huo huo!
#Mwanzo2: 24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye
ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Naendelea kuweka msisitizo kwamba mambo ya Mungu ni tofauti na ya wanadamu,
alichofunua Mungu tunapaswa kukiamini tu maana yeye si Mwanadamu aseme uongo.
#Hesabu 23:19 Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo
amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza?
*Usitumia Mawazo ya kibinadamu kutaka kumchokonoa Mungu maana yeye si kama
sisi
#2 Petro 3: 8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni
kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
* umeona kwa Mwenyezi Mungu miaka 1000 ni sawa na siku 1 tu !
Iko Mifano mingi tu ya vitu vingi ndani ya kimoja na hivyo vinadhihilisha maajabu ya
Mungu nakupa mifano kadha
1. USIKU + MCHANA = SIKU
2. JICHO LA KULIA + LA KUSHOTO = SHABAHA MOJA
3.HASI +SIFURI+CHANYA = HESABU
4.KABRA + SASA + BADAE = WAKATI
5.OXYGEN +HYDROGEN = MAJI
Umoja uliopo baina ya Mifano hiyo na ndiyo umoja uliopo kadhalika baina ya nafsi 3
ambazo ndiyo asili ya Mungu Moja hilo yesu aliliweka wazi Huwezi kusema unamkubali
Mungu Baba ukamkata Mwana ambaye ndiye Kristo Yesu
Yohana 10:30 Mimi na Baba tu umoja.
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa
Baba, ila kwa njia ya mimi.
Somo hili litaendelea endelea kufuatili sasa sehemu ya 3 ujionei sasa Yesu alivyo
Mungu na jinsi alivyotwaa ubinadamu ili awakombowe wanadamu... Barikiwa
Yesu ni mungu

More Related Content

What's hot

Induction-motors-ppt.pptx
Induction-motors-ppt.pptxInduction-motors-ppt.pptx
Induction-motors-ppt.pptxbhuvana71
 
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)shushay hailu
 
Synchronous generator construction
Synchronous generator constructionSynchronous generator construction
Synchronous generator constructionAnilKumarJain19
 
Synchonous machine design selection of no of slots
Synchonous machine design selection of no of slotsSynchonous machine design selection of no of slots
Synchonous machine design selection of no of slotsAjay Balar
 
Single phase i.m.
Single phase i.m.Single phase i.m.
Single phase i.m.patel andil
 
La Llave de la Oración
La Llave de la OraciónLa Llave de la Oración
La Llave de la OraciónJorge Bernal
 
Transformer
TransformerTransformer
TransformerEkeeda
 
Do "Not" Be Deceived!
Do "Not" Be Deceived!Do "Not" Be Deceived!
Do "Not" Be Deceived!kab510
 
Operating Principle of DC Generator
Operating Principle of DC GeneratorOperating Principle of DC Generator
Operating Principle of DC GeneratorBiswas Babu Pokharel
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio001111111111
 
FPGA Based Speed Control of BLDC Motor
FPGA Based Speed Control of BLDC MotorFPGA Based Speed Control of BLDC Motor
FPGA Based Speed Control of BLDC MotorRajesh Pindoriya
 
Dc motor construction
Dc motor constructionDc motor construction
Dc motor constructionRiyas S
 
New start (health missionary)
New start (health missionary)New start (health missionary)
New start (health missionary)Fungai Murambiwa
 

What's hot (20)

Induction-motors-ppt.pptx
Induction-motors-ppt.pptxInduction-motors-ppt.pptx
Induction-motors-ppt.pptx
 
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)
147753824 multipurpose-machines-using-scotch-yoke-mechanism (1)
 
16888242.ppt
16888242.ppt16888242.ppt
16888242.ppt
 
Induction motor
Induction motorInduction motor
Induction motor
 
Synchronous generator construction
Synchronous generator constructionSynchronous generator construction
Synchronous generator construction
 
Synchonous machine design selection of no of slots
Synchonous machine design selection of no of slotsSynchonous machine design selection of no of slots
Synchonous machine design selection of no of slots
 
Dc Motor
Dc MotorDc Motor
Dc Motor
 
Single phase i.m.
Single phase i.m.Single phase i.m.
Single phase i.m.
 
La Llave de la Oración
La Llave de la OraciónLa Llave de la Oración
La Llave de la Oración
 
Transformer
TransformerTransformer
Transformer
 
Pmmc instruments
Pmmc instrumentsPmmc instruments
Pmmc instruments
 
Do "Not" Be Deceived!
Do "Not" Be Deceived!Do "Not" Be Deceived!
Do "Not" Be Deceived!
 
Dc generator
Dc generatorDc generator
Dc generator
 
Operating Principle of DC Generator
Operating Principle of DC GeneratorOperating Principle of DC Generator
Operating Principle of DC Generator
 
Synchronous generator
Synchronous generatorSynchronous generator
Synchronous generator
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio
 
Unit 1 automotive engine auxiliary systems
Unit 1 automotive engine auxiliary systemsUnit 1 automotive engine auxiliary systems
Unit 1 automotive engine auxiliary systems
 
FPGA Based Speed Control of BLDC Motor
FPGA Based Speed Control of BLDC MotorFPGA Based Speed Control of BLDC Motor
FPGA Based Speed Control of BLDC Motor
 
Dc motor construction
Dc motor constructionDc motor construction
Dc motor construction
 
New start (health missionary)
New start (health missionary)New start (health missionary)
New start (health missionary)
 

Similar to Yesu ni mungu

Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu001111111111
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu001111111111
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama001111111111
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Dei verbum swahili - divine revelation
Dei verbum   swahili - divine revelationDei verbum   swahili - divine revelation
Dei verbum swahili - divine revelationMartin M Flynn
 
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062Elimringi Moshi
 
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitaji
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitajiJe unayoyataka ndiyo unayoyahitaji
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitajiymjm
 
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptx
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptxLumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptx
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptxMartin M Flynn
 

Similar to Yesu ni mungu (11)

Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Nguvu ya sadaka
Nguvu ya sadakaNguvu ya sadaka
Nguvu ya sadaka
 
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karamaKusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Dei verbum swahili - divine revelation
Dei verbum   swahili - divine revelationDei verbum   swahili - divine revelation
Dei verbum swahili - divine revelation
 
Trinity (swahili)
Trinity (swahili)Trinity (swahili)
Trinity (swahili)
 
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
 
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitaji
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitajiJe unayoyataka ndiyo unayoyahitaji
Je unayoyataka ndiyo unayoyahitaji
 
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptx
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptxLumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptx
Lumen Fidei 1 + 2 (Swahili).pptx
 
Academic excellence
Academic excellenceAcademic excellence
Academic excellence
 

Yesu ni mungu

  • 1. JE YESU NI MUNGU? Moja kati ya vitu ambavyo ndugu zetu waislam wanapinga vikali na kupigia debe ni kukana Uungu wa Bwana Yesu Kristo, wakijaribu kutumia vifungu vya Biblia kutetea hoja zao, wakijaribu kuangalia upande tu moja wa kimwili maana uislamu ni dini ya Matendo ya kimwili, kwa hiyo moja kwa moja kila jambo limuhusulo Mungu hulitafakali na hulitafsili kimwili mwili, Lakini namshukuru Mwenyezimungu alietupa maandiko yake Matakatifu na kutupa uezo wa kutafasili mambo ya kiroho, Hujaribu pia kushtumu kuwa Sisi Wakristo tunaabudu Miungu watatu je hili lina ukweli wowote, Nakuomba sasa Uungane nami Katika uchambuzi wa Maada hiyi Muhimu ambayo itakusaidia wewe ima ni Muislam ima ni Mkristo. Na leo nitasimamisha Mashahidi wawili Biblia Takatifu na Quran Tukufu. 1.Moja kati ya jambo tunalopaswa kuzingatia ni kwamba hakuna uelewa wowote au akili na hekima za kibinadamua ambazo zinaweza kumueleza kwa kina Mungu jinsi alivyo, ukijaribu kwa hekima zako utagonga Mwamba, utajikuta ni sawa na mtu anayetaka kulichunguza anga na kuzijua nyota kwa kutumia Darubini, Maana Imeandikwa hivi AYUBU 11: 7 Je! Wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikilia upeo wa huyo Mwenyezi? #1Korintho2:7 bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu; 8 ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu. Andiko hili linaweka wazi kabisa ya kuwa Mambo ya Mungu ni ya ajabu na ni ya siri ni hekima iliyositirika ambayo Mungu aliiazimu kuwafunulia tu wale waliotayari kumjua na kumfuata. moja ya kati ya amri kuu ambazo Mwenyezimungu ametuhusia sisi wanadamu ni kumpenda; Mathayo 22: 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. K/Torati 6: 5 Nawe mpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. Sasa swali la kuuliza ni hili hapa utawezaje kumpenda Mungu usiyemjua? Bwana Yesu Asifiwe kwa kuwa katika Yeye tunaweza kumjua Mungu na kwa kupitia mafunuo ya Maandiko Matakatifu tunaweza kumjua Mungu na kufunuliwa asili yake kulingana na uelewa wetu, na hili liko wazi katika maandiko, Moja kati ya siri kuu za Biblia ni kwamba ni neno la unabii ukisoma kwa hekima za kibinadamu unaweza kudhani ya kwamba maandiko yanagongana, la hasha! hiyo ndiyo sifa ya Biblia kua ni andiko lenye siri ya Mungu, andiko la unabii, kama maandiko yanavyosema Amosi 3: 7 Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
  • 2. Aya hii inathibitisha kuwa matendo ya Mungu ni siri waliyofunuliwa watumishi wa Mungu Manabii, nao wakayafunua mamboi ya Mungu kwa wanadamu. Waebrania 1: 1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi. Watumishi wa Mungu hao manabii waliwezaje kujua Mambo ya Mungu je warikurupuka na kuanza kunena au walitumia utaratibu gani ? lazima tuulize katika Biblia. Muhubiri 7: 27 Tazama, asema Mhubiri, mimi nimeyaona hayo kwa kulinganisha hili na hili, ili kuitafuta jumla. Aya hii inadhihilisha kuwa lazima pawepo na kulinganisha maneno ya Mungu na kisha kuipata jumla ya Mambo, na hii ni kanuni na sheria ya usomaji wa neno la Mungu, usichukue upande moja unaopendelea yale unayoyakubali halafu ukaacha kuona upande unaozungumzia yale usiyotaka kuyafahamu, maana wewe ikiwa unapinga Uungu wa Bwana Yesu usijikite kutafta aya ambazo zinaeleza tu upande wa Yesu akiwa na asili ya Mwanadamu tu! soma na zile ambazo zinamweleza Yesu katika Asili ya Uungu halafu ukishamaliza kuzisoma linganisha, hakika utapata Jumla ya Jambo hilo na jibu sahihi. maana ndiyo amri na kanuni ya usomaji wa neno la Mungu ISAYA 28:10 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo. Lakini pia ni lazima Mungu mwenyewe akufunulie kile unachotaka kukifahamu kwa njia ya Roho Mtakatifu bila hivyo huezi maana Damu na nyama haviwezi kufunua na kujua mambo ya Mungu isipokuwa kwa uweza wa Roho wa Mungu. Mathayo 16:17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni. 2 Petro 1:21 Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakati # Mpendwa sasa natumai tumeweza kueka msingi mzuri na uelewa sahihi katika kujifunza Siri na ukuu wa Mungu, unapoifunua Biblia takatufu na kuanza kupata habari za matendo makuu ya Mungu, Unafika mahali sasa unakutana na Kauli ya Mungu akianza sasa kunena mwenyewe, na hapo ndipo unaanza kusikia na kutafakali mbona huyu Mungu anaongea kana kwamba Yeye ni zaidi ya Nafsi Moja, neno Nafsi hua linawachanganya wengi, lakini hua manayake hili neno kwa kiingeleza humanisha neno Entity: mana yake ni Individual unit kwa kiswahili maana ya nafsi ni MTU (Person) neno hili Mtu hua halimanishi tu Mwanadamu Hata Mungu kwa kuwa na Yeye amejifunua katika asili hiyo ya Nafsi na yeye hutumia neno Mtu.
  • 3. Kutoka 15:3 Bwana ni mtu wa vita, Bwana ndilo jina lake #Mwanzo 22:16 akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema Bwana, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee. Viumbe navyo hutumia Neno Nafsi: Ayubu 12:10 Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote. Mwanzo 2:7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. Mungu sasa anapozungumza: Mwanzo1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu... # Mungu anatumia neno na Tumfanye hakika utaona neno hili ni zaidi ya nafsi Moja au mtu moja wanaoshauliana na Kutenda, katika kutekeleza tendo la uumbaji wa mwanadamu. Mwanzo 3: 22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele; # Hoja hii ya Bwana Mungu inaonyesha kwamba yeye ni zaidi ya nafsi Moja cha kushangaza ni kwamba hata ukisoma katika kitabu kinachoaminiwa na ndugu zetu Waislam kinaonyesha Mfumo wa kiashiria cha uingi katika utendaji wa Mungu Quran 22:5 .... Hakika Tulikuumbeni kwa udongo..... Quran15:26 Na Tulimuumba mwanadamu kwa udongo......Quran 4:145 Na Tukanyanyua Mlima juu yao..... * Hakika Quran nayo inafuata nyao zile za Biblia Katika kulithibitisha hili. # Wengi husema Mungu ni moja tu hana Mshirika na sisi hilo wakristo tunalikubali sana Maana Biblia inaonyesha wazi K/Torati 6:4 Sikiza, Ee Israeli; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja. Sasa mbona Mungu ni Moja sasa ninyi mnasema ni watatu, hatujawahi kusema Miungu watatu bali Mungu Moja mwenye asili ya Nafsi Tatu kama alivyowafunulia watumishi wake kupitia manadniko Matakatifu. 1Yohana5: 8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja. Ni matumaini yangu kwamba sasa umejionea Mungu alivyo na kama basi hutoweza kufahamu asili ya Mungu kwa namna aliyoifunua yeye Basi utakuwa unaabudu usichokijua na ibada yako itakua ni batili mbale za Mungu maana hili liko dhahili ndiyo maana sishangai kuwaona watu wakisema Al Kaab ni Nyumba ya Mungu na Kuabudu wakielekea Maaka kwenye jengo la Al Kaab na kwenda kuizunguuka Al Kaab na kubusu jiwe jeusi wakisema Jiwe Jeusi ni kuume na kulia ya Mwenyezimungu, halafu wafanyao machukizo hayo hugeuka na kusema oh Wakristo wanaabudu miungu watatu!?
  • 4. YOHANA 4:22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. Mungu Mwenyewe anataka watu wamjue vizuri tu ili wamwabudu kwa Imana na kwa ujasili katika Roho na Kweli si kwa kutufu na kubusu mawe. Yesu alikuja kumfunua Mungu na Kuwafanya wanadamu wamuelewe na kumjua Mungu 1Yohana5: 20 Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele. Nimeweka msisitizo kwamba Mungu ni Roho na ili umjue na upate kumwabudu lazima uwe na Roho Mtakatifu ndani yako anayekuongoza kumjua YOHANA 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. 1 Wakorintho 2:12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni. MSINGI WA MAANDIKO UMEWEKA WAZI KWAMBA UKIWA HUNA ROHO WA MUNGU HUWEZI KUMJUA MUNGU. JE WAISLAMU WANAWEZA KUWA NA ROHO WAMUNGU ILI WASEME WANAMJUA MUNGU ? Hapa lazima tuulize katika kitabu chao cha quran na usikilize kwa makini Mkubwa QURAN 3:7 Yeye ndiye aliyekuteremshia kitabu (hiki Quran) Ndani yake zimo aya Muhkam (nyepesi kufahamika) ambazo ndizo msingi wa asili wa kitabu hiki). na ziko nyingine MTASHAABIHAT ( zinababaisha, kama habari za Akhera, za peponi na motoni na mengine ambayo yamehusika na Roho)..... Quran inaweka wazi kuwa waislamu hawawezi kidogo kueleza asili ya Mungu maana kwao mambo ya Roho ni ubabaishaji ukisikia muislam anaeleza habari za Mungu ujue kumejaa ubabaishaji mwingi, maana Mungu ni ROHO, ukisikia muislam anaeleza habari za Akhera na peponi ujue ni ubabaishaji, hivi ndivyo Qurani inavyosema. au kama hujasadiki ngoja tumuulize Muhammad kwamba je Habari zihusuzo Roho Anazijua? QURAN 17:85 NA WANAKUULIZA HABARI ZA ROHO. SEMA ROHO NI JAMBO LILILOHUSIKA NA MOLA WANGU (MWENYEZI MUNGU), NA NYI HAMKUPEWA KATIKA ILIMU (UJUZI) ILA KIDOGO KABISA ( NAYO NI ILIMU YA VITU VISIVYOHUSIKA NA ROHO)
  • 5. hapa Muhammad aliwang'olea mzizi wa fitna wale waislam wanaojifanya wajuaji wa kuta kufasili mambo ya Mwenyezi Mungu kwa kuikana asili yake.Jambo lingine kabisa aillowaasa waislam ni kwamba ikiwa hawajui ni vyema wakawauliza Wayahudi na Wakristo maana ndiyo walisoma vitabu vya Mwenyezi Mungu kbra yao maana yake Wayahudi na Wakristo ndiyo Wahenga katika ilimu ya Mwenyezi Mungu SOMA QURAN 10:94 Sasa uwe mvumilivu kwendelea kufuatilia mada hii ujue Yesu anakuaje Mungu na inakuaje anaitwa Mwana wa Mungu …. Nk usikurupuke wewe kaa tayari kupata uchambuzi wa kweli na wa uhakika ili ufunguke na kuabudu Mungu unayemjua….. Barikiwa sana. Mwendelezo SEHEMUYA2 Hakika baada ya uchambuzi huu muhimu uliotuonyesha Asili ya kweli ya Mungu ambayo inawachanganya ndugu zetu Waislam, na tumejionea kwa nini wanachanganyikiwa na kushindwa kumjua Mungu pamoja na Yesu Kristo, ni kwa sababu hawana Roho wa Mungu, kwa hiyo Uislam hakika ni Dini ya matendo ya mwili tu ambayo haiwezi kamwe kumpa mtu uelewa Sahihi kuhusu Mungu Muumbaji hata kumuezesha anayejiunga na Dini hiyo kuiona njia ya Wokovu na njia iendayo mbinguni, Mungu anataka wazi kabisa watu wote wamjue lakini pia wamjue na Yesu Kristo alietumwa kuja kuukomboa ulimwengu na kuyafunua mapenzi ya Mungu, na hakuna ambaye angeweza kumdhihlisha Mungu ispokua Mungu Mwenyewe #Isaya 59:16 Akaona ya kuwa hapana mtu, akastaajabu kwa kuwa hapana mwombezi; basi, mkono wake mwenyewe ndio uliomletea wokovu; na haki yake ndiyo iliyomsaidia. Ni vizuri tukamjua Huyu Mungu, tukamjua na Kristo Yesu ili tueze kujipatia uzima wa Milele. #Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Tuliweka msingi kwamba Mungu ni Roho na anapaswa kuabudiwa katika Roho na Kweli wala si kwa Matendo ya mwili, maana wao ndugu zetu waislam yani ili wafanye ibada ni lazima watie udhu, watawaze na mengine matendo kadhalika ya kimwilimwili, hayo yote hudhihilisha ya kuwa hawamjui Mungu. #Yohana 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli #1 Yohana 5:7 Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli. #2 Wathesalonike 2:13 Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho, na kuiamini kweli
  • 6. *Ibada ya kutia udhu na kutawaza ni ya kimwili tu na wala haiwezi kuitakasa nafsi ya mwanadamu, maana imeandikwa hivi; # Warumi 8: 5 Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.6 Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii 8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake. *Kudhani ya kua utafanya matendo ya mwili kupata rehema na fadhili za Mungu na kuifanya ibada yako ikubalike huku ukiwa umekataa njia ya kweli na uzima unapoteza muda na hayo ni ubatili mbele za Mungu, matendo ya huruma yanapasswa kuwa Matokeo ya kumjua Mungu na kumpokea Yesu kristo kama Kiongozi na mwokozi wa Maisha yako, bila hivyo imeandikwa hivi; #Isaya 64:6 Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo. *Matendo yanayompendeza Mungu yanapatikana katika kuwa ndani ya Kristo Yesu pekee, maana ndani yake tuliumbwa na tukisha kutenda dhambi, kwa njia ya ubatizo tunazaliwa upya na kuwa viumbe vipya hapo ndipo tunapewa kutenda yale matendo ya haki ambayo hatukuyaandaa sisi bali Mungu mwenyewe; #Waefeso 2:8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9 wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.10 Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo. *Baada ya kudhihilisha sababu inayowafanya wasielewe Uungu wa Yesu Kristo pamoja na Asili ya Mungu, tutakwenda kuangalia katika kitabu cha Quran Tukufu, ili tueke bayana jinsi ambavyo Muhammad mwenyewe alitambua wenye uelewa sahihi kuhusiana na Mambo ya siri ya Mungu na kuwaonya waislam kwamba ikiwa hawatajua yaliyomo katika maandiko Matakatifu waliyopewa watu hao hakika waislamu hawatokua na radhi mbele za Mwenyezi Mungu; QURAN 6:156 MSIJE SIKU YA KIAMA MKASEMA; HAKIKA VITABU VILITEREMSHWA JUU YA MAKUNDI MAWILI YA KABLA YETU (MAYAHUDI NA MANASARA) NA SISI TULIKUA HATUNA HABARI YA YALE WALIYOKUWA WAKIYASOMA. Neno MANASARA humaanisha WAKRISTO ukisoma Quran Tafsir ya kingeleza aya hiyo inasema JEWS and CHRISTIANS.
  • 7. Wakristo wa kweli ndiyo walimu wa kuuhabarisha ulimwengu mambo ya siri na maajabu ya Mungu QURAN 10:094 “Na kama unayo shaka juu ya hayo tuliyokuteremshia, basi waulize wale wasomao vitabu [Maandiko ya Biblia] kabla yako (Myahudi na Manasara wale waliosilimu). Kwa yakini haki imekwisha kukujia kutoka kwa Mola wako, kwa hiyo usiwe miongoni mwa wanaofanya shaka.” Neno WALIOSILIMU lisitumike kukuhadaa, hili halimanishi waislam linamanisha wale walionyenyekea na kutii maagizo ya Mungu maana kwenye tafasiri ya Quran imeandikwa hivi: YAQ-RA - 'UUNAL- KITAABA MIN-QABLIK , waliopewa Kitabu kabra ni Wayahudi na Wakristo tu. Tawheed ni elimu ya kumpwekesha Mungu, waislam hujisifu sana kuhusiana na jambo hilo lakini wamelidakia jujuu sana, maana Uislam ulianzia Makka mahali ambapo waarabu waliabudu kila kitu hata maandazi walikua wakiyafanya Miungu, Tena Muji wa Makka ulikua na mugu wake mkuu aitwae HUBAAL ambaye ndie BAAL tunayesoma habari za kwenye Biblia vitabu vya WAFALME, huyu Hubaal alikua na Mabinti zake waliofaahamika kama AL UZAH, AL RAT na AL MANAAT hawa walikua ni miungu watatu pia walioabudiwa Makka huko, lakini pia Wamisri Jirani za Watu wa jangwa la ARABIA nao walikuwa na miungu watatu, amabo ni ISIS, OSIRIS na HORUS nao waliabudiwa huko misri lakini pia na wahindu nao waliabudu miungu watatu VISHNU, SHARTI na SHIVA hivyo Muhammad alidhani pia kule kusema BABA, NENO na ROHO MTAKATIFU ni sawa na ibaada ya Miungu watatu, lakini yeye hakuwa na elimu yoyote kuhusu asili ya Mungu Maana Biblia inaweka wazi kuwa Mungu ni MOJA tu! isipokuwa kwa Asili yake ana Nafsi tatu na kila jambo analolitenda linakamilika katika Umoja wa nafsi hizo TATU. Mathayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; Mwana ndie Neno katika ummoja wa Nafsi tatu. 1 Yohana 5:8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja. Katika Nafsi tatu za Mungu mpango wa wokovu wa Mwanadamu ulifanywa kupitia kwa NENO. ambaye kwa uweza wa Roho Mtakatifu alizaliwa na kupewa jina la YESU KRISTO. Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Yohana 1:14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
  • 8. # Mathayo 1: 20 Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. 22 Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema, 23 Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi. *Ndugu zetu waislam huwa wakisikia Mungu kuwa na Mwana, wanasema ni kukufuru, hapo awali naliwaambia ya kuwa uislam ni dini ya matendo ya Mwili tu, huwa hawayafili wala kuyatafakali mabo ya Roho, ndiyo mana wao likizungumzwa swala la uzazi hufikiri mambo ya kujamiana kimwili, lakini neno la Mungu limetueka wazi kuwa Mimba ya Yesu ilitungwa kwa uweza wa Roho Mtakatifu si kwa kujamiana kimwili maana Roho anazaa kabisa kiroho! #Yohana 3:6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho. Je Mungu anaweza kuzaa? Jibu ni ndio kwa uweza wa Roho Mtakatifu na Hili linathibitishwa na Malaika tena yule Malaika Gabriel ambaye waislam humuita Jibril # LUKA 1: 26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. 28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. 29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? 30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. 31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwitaYesu. 32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. 33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? 35 Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu. * Kukataa mafunuo haya makubwa ni kupotea kukubwa na kujifunga ufahamu na kuamua kuishi katika vilindi vya Giza na ndiyo maana sishangai kuona ndugu zetu waislam wakimbeza Mungu kwa kumfanya tu asiye na uweza wa kutenda lakini Quran yao inasema yeye ndiye mjuzi wa kila kitu Soma QURAN 57: 3
  • 9. Uweza wa Mungu ni mkubwa sana mno na wala hafungwi katika jambo lolote kama malaika waliweza kujimithilsha na kuchukua maumbo ya wanadamu kwa nini Mungu yeye Asiweze ? Mungu mwenyewe sikilza anavyokuhojini enyi waislam. Yeremia 32:27 Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? Wewe mawazo yako finyu yasikufanye ukamwekea Mungu mipaka; #ISAYA 55: 8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Kuelewa Asili ya Mungu ni Rahisi neno linasema mwanadamu Ameumbwa kwa Mfano wa Mungu na kwa Sura yake, huwa unatafakali na kujiuliza ni mfano gani na sura gani? #Mwanzo1: 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu *Kiumbe kinachoitwa Mwanadamu ni kimoja katika sayari hii dunia lakini nikuulize swali Mwanadamu ana nafsi ngapi ? *Mwanadamu naye ni mmoja lakini ana nafsi 2 na hili liko wazi ni wewe soma tu! #Mwanzo1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Angalia neno :KWA MFANO WA MUNGU mfano wa Mungu Moja = nafsi 3 (Baba+NENO+ROHO MTAKATIFU = MUNGU MOJA) Angalia neno ALIMWUMBA: hili neno liko kwa uchache Mwanadamu moja = nafsi 2 (MWANAMKE+MWANAMUME = MWANADAMU) mfano unaozungumzwa ni huo huo angalia sasa mwanamume na mwanamke Mungu anatambua kuwa ni kitu kimoja # Mwanzo5: 2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa. Unaona Mambo ya Mungu yalivyotofauti na ya wanadamu Mume na Mke wanapewa jina la Adamu, kunawatu hudhani jina la HAWA au EVA alipewa na Mungu, la hasha hili alipewa na Adamu; #Mwanzo1: 20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai. Mungu anaonyesha kuwa Mtu mume na Mtu mke ni kitu kimoja kwa mfano huo huo! #Mwanzo2: 24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
  • 10. Naendelea kuweka msisitizo kwamba mambo ya Mungu ni tofauti na ya wanadamu, alichofunua Mungu tunapaswa kukiamini tu maana yeye si Mwanadamu aseme uongo. #Hesabu 23:19 Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza? *Usitumia Mawazo ya kibinadamu kutaka kumchokonoa Mungu maana yeye si kama sisi #2 Petro 3: 8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja. * umeona kwa Mwenyezi Mungu miaka 1000 ni sawa na siku 1 tu ! Iko Mifano mingi tu ya vitu vingi ndani ya kimoja na hivyo vinadhihilisha maajabu ya Mungu nakupa mifano kadha 1. USIKU + MCHANA = SIKU 2. JICHO LA KULIA + LA KUSHOTO = SHABAHA MOJA 3.HASI +SIFURI+CHANYA = HESABU 4.KABRA + SASA + BADAE = WAKATI 5.OXYGEN +HYDROGEN = MAJI Umoja uliopo baina ya Mifano hiyo na ndiyo umoja uliopo kadhalika baina ya nafsi 3 ambazo ndiyo asili ya Mungu Moja hilo yesu aliliweka wazi Huwezi kusema unamkubali Mungu Baba ukamkata Mwana ambaye ndiye Kristo Yesu Yohana 10:30 Mimi na Baba tu umoja. Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Somo hili litaendelea endelea kufuatili sasa sehemu ya 3 ujionei sasa Yesu alivyo Mungu na jinsi alivyotwaa ubinadamu ili awakombowe wanadamu... Barikiwa