SlideShare a Scribd company logo
Warsha ya Waandishi wa Habari
ARM Hotel – Novemba 08 – 09, 2010
Yaliyomo
 Sera ya maji 1991
 Mapitio ya sera ya maji ya 1991
 Sera ya maji ya mwaka 2002
 Malengo ya sera
 Muundo wa sera
 Huduma za maji vijijini
 Masuala ya kisera
 Watekelezaji wa sera ni nani
Sera ya Maji ya 1991
 Sera ya kwanza ya maji Tanzania
 Lengo: Maji safi na salama kwa wote ifikapo 2002
 Serikali ndio mwekezaji, mwendeshaji na msimamizi
wa miradi na mtunzaji wa rasilimali
Mapitio ya Sera ya Maji 1991
 Yalianza mwaka 1996
 Sababu – Mapungufu ya sera ya 1991
 Hali halisi ya upatikanaji maji na uendelevu
 50% wanapata maji, 30% vituo vya maji havifanyi kazi
 Kutoshirikisha kikamilifu wadau hususan wananchi
 Kutoipa umuhimu sekta binafsi ktk utoaji huduma
 Mapungufu katika mfumo wa kitaasisi na kisheria
Sera ya Maji ya 2002
 Imetokana na mapitio ya sera ya mwaka 1991
 Imeandaliwa kushirikisha wadau wote muhimu
 Imeundwa kuzingatia malengo ya dira ya taifa 2025 na
MKUKUTA
 Imeweka mfumo madhubuti na endelevu wa
kusimamia rasilimali za maji
 Pia taratibu za kisheria na muundo wa kitaasisi wa
kutekeleza sera
Malengo ya Sera
 Kushirikisha walengwa kubuni, kupanga, kujenga,
kuendesha, kufanya matengenezo na kuchangia
gharama za huduma
 Utunzaji na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji
kwa kushirikisha wadau wote
 Kupunguza majukumu ya utekelezaji kwa serikali – ili
kusimamia, kuratibu, kushauri, kuwezesha na kutoa
miongozo
Muundo wa Sera
 Sera ina sehemu kuu tatu
i. Usimamizi wa rasilimali za maji
- kuweka na kuendeleza mfumo endelevu na madhubuti wa
kusimamia rasilimali maji
ii. Utoaji wa huduma ya maji vijijini
- Kuboresha afya za wananchi wa vijijini, kuchangia
kupunguza umasikini kwa kutoa huduma endelevu ya
maji safi, salama na ya kutosha
iii. Utoaji wa huduma ya majisafi na majitaka mijini
- Kuweka mfumo endelevu wa kutoa huduma kwa bei nafuu ili
makundi yote yafaidike
Mikakati itakayotumika katika
utekelezaji wa sera ili kufikia madhumuni ya
sera kwa maeneo ya vijijini
Madhumuni
 Upatikanaji wa huduma endelevu kwa gharama iliyo ndani ya uwezo
wa wananchi vijijini.
 Kuweka bayana majukumu na wajibu wa wadau mbalimbali.
 Kuweka mkazo wananchi kulipia sehemu ya gharama za ujenzi wa
miradi, gharama zote za uendeshaji na matengenezo ya miradi yao
 Kubadili utaratibu ili wananchi wabuni, waanzishe na kuendesha
miradi yao wenyewe.
 Kuhamasisha Sekta Binafsi kushiriki katika kugharamia, kujenga,
kuendesha na kutoa huduma ya maji vijijini.
 Kuboresha afya ya jamii kwa kuunganisha mipango ya utoaji wa
huduma ya maji, usafi wa mazingira na elimu ya afya.
Misingi ya Sera
 Maji ni hitaji la msingi na haki ya kila mtu
 Matumizi ya maji kwa ajili ya binadamu ni muhimu
kwanza
 Maeneo yenye uhaba kupewa kipaumbele cha miradi
 Maji ni bidhaa ya kiuchumi
 Kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji
 Huduma endelevu
Masuala ya kisera
 Ushiriki wa jamii
 Kumiliki miradi ya maji, kuchagua teknolojia, kubuni,
usanifu, ujenzi wa miradi, uendeshaji na matengenezo
ya miradi
 Kushirikisha sekta binafsi kutoa huduma ya maji
vijijini
 Serikali kuwa mdhibiti, mwezeshaji na mratibu wa
maji vijijini
 Jinsia zote kushiriki kikamilifu katika miradi ya maji
Masuala ya kisera....
 Kiwango cha chini cha utoaji huduma vijijini
 Lita 25 za maji safi na salama kwa mtu kwa siku
 Vituo vya maji viwe umbali usiozidi mita 400
 Kila kituo kuhudumia watu 250
 Udhibiti wa utoaji huduma za maji vijijini
 Wananchi kugharamia miradi ya maji vijijini
 Wananchi kuendesha miradi yao ya maji kisheria
 Kuwa na mfumo mzuri wa ufuatiliaji na tathmini ya
miradi ya maji
Ni nani watekelezaji wa sera ya
maji?
1. Wananchi
 Ndio watekelezaji wakuu. Wanapaswa
 Kubuni, kumiliki, kusimamia na kuiendesha miradi yao ya maji.
 Kulipia gharama za uendeshaji, matengenezo, ukarabati na upanuzi
wa miradiya maji
 Kulinda vyanzo vya maji na maeneo yanayozunguka vyanzo hivyo.
 Kuhakikisha kuwa kuna uwiano mzuri kati ya teknolojia
iliyochaguliwa na kiwango cha huduma na upatikanaji wa maji kwa
upande mmoja, na uwezo wa kiuchumi wa watumiaji maji wenyewe
kwa upande mwingine.
 Kutambua kuwa wanawake ni miongoni mwa wahusika wakuu
katika utoaji wa huduma ya maji vijijini.
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji.......
2. Serikali za Mitaa
 Jukumu kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya
maji safi na salama.
 Hivyo ni wasimamizi na wawezeshaji wa jamii. Majukumu
yao ni;
• Kusimamia na kufuatilia upatikanaji wa maji.
• Kusimamia vyombo vya watumia maji na kuhakikisha jamii
inakusanya fedha kwa ajili ya marekebisho ya miradi ya maji
• Kuhakikisha miundombinu ya maji inalindwa, na kufanyiwa
matengenezo
• Kutoa msaada wa kitaalamu tatizo linapotokea
• Kuwezesha wanajamii kupata vipuri pale ambapo vinahitajika
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?....
3. Wizara ya Maji na Umwagiliaji
 Ni wasimamizi wakuu wa sera
 Majukumu yao ni
 kuandaa sera na mipango
 kuratibu, kusimamia na kutoa miongozo
 kuziwezesha halmashauri za wilaya, kukagua na
kutathimini utekelezaji wa miradi ya maji
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?.....
4. Mashirika binafsi na Vyombo vya habari
 Kuhakikisha sera zinawanufaisha wananchi
 Kusambaza taarifa za kisera, mipango na bajeti
 Kutoa elimu kwa umma
 Kuhamasisha ushiriki wa wananchi
 Kuwajengea uwezo wananchi ili;
 Kushiriki katika utekelezaji wa sera
 Kufuatilia utekelezaji wa sera
 Kutathmini utekelezaji wa sera
Maswali na maoni
Karibuni

More Related Content

What's hot

Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
IDES Editor
 
River - Front Development with 2 Examples
River - Front Development with 2 ExamplesRiver - Front Development with 2 Examples
River - Front Development with 2 Examples
Rohit Kumar Singh
 
Riverfront development
Riverfront developmentRiverfront development
Riverfront development
misschand
 
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPERPemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
Idhar Qamus
 
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
Oswar Mungkasa
 
Helsinki Smart City Hannu Penttilä
Helsinki Smart City Hannu PenttiläHelsinki Smart City Hannu Penttilä
Helsinki Smart City Hannu Penttilä
smartmetropolia2014
 
Smart city: Case Study Seoul, North Korea
Smart city: Case Study Seoul, North KoreaSmart city: Case Study Seoul, North Korea
Smart city: Case Study Seoul, North Korea
SandeEp VeRma
 
Port city innovations
Port city innovationsPort city innovations
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
Akademi Desa 4.0
 
Communicating and promoting your GRESB Results
Communicating and promoting your GRESB ResultsCommunicating and promoting your GRESB Results
Communicating and promoting your GRESB Results
GRESB
 
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigationIndonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
CIFOR-ICRAF
 
Lesson 1 wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
Lesson 1   wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka Lesson 1   wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
Lesson 1 wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
Dr. P.B.Dharmasena
 
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto AlegreRegularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
Associação Cohabs
 
Ahmedabad srfdcl
Ahmedabad srfdclAhmedabad srfdcl
Ahmedabad srfdcl
Jigar Prajapati
 

What's hot (14)

Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
Community Initiatives for Solid Waste Management at Ward Level: The Case of K...
 
River - Front Development with 2 Examples
River - Front Development with 2 ExamplesRiver - Front Development with 2 Examples
River - Front Development with 2 Examples
 
Riverfront development
Riverfront developmentRiverfront development
Riverfront development
 
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPERPemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
Pemberdayaan Masyarakat/ CD Aspek Hijau & Emas Berbasis PROPER
 
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
Green infrastructure in jakarta basic understanding and implementation effort...
 
Helsinki Smart City Hannu Penttilä
Helsinki Smart City Hannu PenttiläHelsinki Smart City Hannu Penttilä
Helsinki Smart City Hannu Penttilä
 
Smart city: Case Study Seoul, North Korea
Smart city: Case Study Seoul, North KoreaSmart city: Case Study Seoul, North Korea
Smart city: Case Study Seoul, North Korea
 
Port city innovations
Port city innovationsPort city innovations
Port city innovations
 
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
Materi Ngopi bersama PSM Eps. 29 - Produk Unggulan Kawasan Perdesaan (Widarja...
 
Communicating and promoting your GRESB Results
Communicating and promoting your GRESB ResultsCommunicating and promoting your GRESB Results
Communicating and promoting your GRESB Results
 
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigationIndonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
Indonesian mangroves the best hope for global climate change mitigation
 
Lesson 1 wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
Lesson 1   wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka Lesson 1   wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
Lesson 1 wrpd introduction - Ancient water resources management in Sri Lanka
 
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto AlegreRegularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
Regularização Vila A. J. Renner - Demhab Porto Alegre
 
Ahmedabad srfdcl
Ahmedabad srfdclAhmedabad srfdcl
Ahmedabad srfdcl
 

More from darajatz

Daraja - on the Maji Matone programme
Daraja - on the Maji Matone programmeDaraja - on the Maji Matone programme
Daraja - on the Maji Matone programme
darajatz
 
"We can't change things"
"We can't change things""We can't change things"
"We can't change things"
darajatz
 
Daraja: Raising the water pressure
Daraja: Raising the water pressureDaraja: Raising the water pressure
Daraja: Raising the water pressure
darajatz
 
Sheria za maji media workshop 2010
Sheria za maji   media workshop 2010Sheria za maji   media workshop 2010
Sheria za maji media workshop 2010
darajatz
 
Investigative Journalism ideas
Investigative Journalism ideasInvestigative Journalism ideas
Investigative Journalism ideas
darajatz
 
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDPHali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
darajatz
 
Utambulisho wa Daraja na Maji Matone
Utambulisho wa Daraja na Maji MatoneUtambulisho wa Daraja na Maji Matone
Utambulisho wa Daraja na Maji Matone
darajatz
 

More from darajatz (7)

Daraja - on the Maji Matone programme
Daraja - on the Maji Matone programmeDaraja - on the Maji Matone programme
Daraja - on the Maji Matone programme
 
"We can't change things"
"We can't change things""We can't change things"
"We can't change things"
 
Daraja: Raising the water pressure
Daraja: Raising the water pressureDaraja: Raising the water pressure
Daraja: Raising the water pressure
 
Sheria za maji media workshop 2010
Sheria za maji   media workshop 2010Sheria za maji   media workshop 2010
Sheria za maji media workshop 2010
 
Investigative Journalism ideas
Investigative Journalism ideasInvestigative Journalism ideas
Investigative Journalism ideas
 
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDPHali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
Hali ya Upatikanaji wa Maji Vijijini, WSDP
 
Utambulisho wa Daraja na Maji Matone
Utambulisho wa Daraja na Maji MatoneUtambulisho wa Daraja na Maji Matone
Utambulisho wa Daraja na Maji Matone
 

Sera ya maji ya taifa

  • 1. Warsha ya Waandishi wa Habari ARM Hotel – Novemba 08 – 09, 2010
  • 2. Yaliyomo  Sera ya maji 1991  Mapitio ya sera ya maji ya 1991  Sera ya maji ya mwaka 2002  Malengo ya sera  Muundo wa sera  Huduma za maji vijijini  Masuala ya kisera  Watekelezaji wa sera ni nani
  • 3. Sera ya Maji ya 1991  Sera ya kwanza ya maji Tanzania  Lengo: Maji safi na salama kwa wote ifikapo 2002  Serikali ndio mwekezaji, mwendeshaji na msimamizi wa miradi na mtunzaji wa rasilimali
  • 4. Mapitio ya Sera ya Maji 1991  Yalianza mwaka 1996  Sababu – Mapungufu ya sera ya 1991  Hali halisi ya upatikanaji maji na uendelevu  50% wanapata maji, 30% vituo vya maji havifanyi kazi  Kutoshirikisha kikamilifu wadau hususan wananchi  Kutoipa umuhimu sekta binafsi ktk utoaji huduma  Mapungufu katika mfumo wa kitaasisi na kisheria
  • 5. Sera ya Maji ya 2002  Imetokana na mapitio ya sera ya mwaka 1991  Imeandaliwa kushirikisha wadau wote muhimu  Imeundwa kuzingatia malengo ya dira ya taifa 2025 na MKUKUTA  Imeweka mfumo madhubuti na endelevu wa kusimamia rasilimali za maji  Pia taratibu za kisheria na muundo wa kitaasisi wa kutekeleza sera
  • 6. Malengo ya Sera  Kushirikisha walengwa kubuni, kupanga, kujenga, kuendesha, kufanya matengenezo na kuchangia gharama za huduma  Utunzaji na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji kwa kushirikisha wadau wote  Kupunguza majukumu ya utekelezaji kwa serikali – ili kusimamia, kuratibu, kushauri, kuwezesha na kutoa miongozo
  • 7. Muundo wa Sera  Sera ina sehemu kuu tatu i. Usimamizi wa rasilimali za maji - kuweka na kuendeleza mfumo endelevu na madhubuti wa kusimamia rasilimali maji ii. Utoaji wa huduma ya maji vijijini - Kuboresha afya za wananchi wa vijijini, kuchangia kupunguza umasikini kwa kutoa huduma endelevu ya maji safi, salama na ya kutosha iii. Utoaji wa huduma ya majisafi na majitaka mijini - Kuweka mfumo endelevu wa kutoa huduma kwa bei nafuu ili makundi yote yafaidike
  • 8. Mikakati itakayotumika katika utekelezaji wa sera ili kufikia madhumuni ya sera kwa maeneo ya vijijini
  • 9. Madhumuni  Upatikanaji wa huduma endelevu kwa gharama iliyo ndani ya uwezo wa wananchi vijijini.  Kuweka bayana majukumu na wajibu wa wadau mbalimbali.  Kuweka mkazo wananchi kulipia sehemu ya gharama za ujenzi wa miradi, gharama zote za uendeshaji na matengenezo ya miradi yao  Kubadili utaratibu ili wananchi wabuni, waanzishe na kuendesha miradi yao wenyewe.  Kuhamasisha Sekta Binafsi kushiriki katika kugharamia, kujenga, kuendesha na kutoa huduma ya maji vijijini.  Kuboresha afya ya jamii kwa kuunganisha mipango ya utoaji wa huduma ya maji, usafi wa mazingira na elimu ya afya.
  • 10. Misingi ya Sera  Maji ni hitaji la msingi na haki ya kila mtu  Matumizi ya maji kwa ajili ya binadamu ni muhimu kwanza  Maeneo yenye uhaba kupewa kipaumbele cha miradi  Maji ni bidhaa ya kiuchumi  Kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji  Huduma endelevu
  • 11. Masuala ya kisera  Ushiriki wa jamii  Kumiliki miradi ya maji, kuchagua teknolojia, kubuni, usanifu, ujenzi wa miradi, uendeshaji na matengenezo ya miradi  Kushirikisha sekta binafsi kutoa huduma ya maji vijijini  Serikali kuwa mdhibiti, mwezeshaji na mratibu wa maji vijijini  Jinsia zote kushiriki kikamilifu katika miradi ya maji
  • 12. Masuala ya kisera....  Kiwango cha chini cha utoaji huduma vijijini  Lita 25 za maji safi na salama kwa mtu kwa siku  Vituo vya maji viwe umbali usiozidi mita 400  Kila kituo kuhudumia watu 250  Udhibiti wa utoaji huduma za maji vijijini  Wananchi kugharamia miradi ya maji vijijini  Wananchi kuendesha miradi yao ya maji kisheria  Kuwa na mfumo mzuri wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maji
  • 13.
  • 14. Ni nani watekelezaji wa sera ya maji? 1. Wananchi  Ndio watekelezaji wakuu. Wanapaswa  Kubuni, kumiliki, kusimamia na kuiendesha miradi yao ya maji.  Kulipia gharama za uendeshaji, matengenezo, ukarabati na upanuzi wa miradiya maji  Kulinda vyanzo vya maji na maeneo yanayozunguka vyanzo hivyo.  Kuhakikisha kuwa kuna uwiano mzuri kati ya teknolojia iliyochaguliwa na kiwango cha huduma na upatikanaji wa maji kwa upande mmoja, na uwezo wa kiuchumi wa watumiaji maji wenyewe kwa upande mwingine.  Kutambua kuwa wanawake ni miongoni mwa wahusika wakuu katika utoaji wa huduma ya maji vijijini.
  • 15.
  • 16. Ni nani watekelezaji wa sera ya maji....... 2. Serikali za Mitaa  Jukumu kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya maji safi na salama.  Hivyo ni wasimamizi na wawezeshaji wa jamii. Majukumu yao ni; • Kusimamia na kufuatilia upatikanaji wa maji. • Kusimamia vyombo vya watumia maji na kuhakikisha jamii inakusanya fedha kwa ajili ya marekebisho ya miradi ya maji • Kuhakikisha miundombinu ya maji inalindwa, na kufanyiwa matengenezo • Kutoa msaada wa kitaalamu tatizo linapotokea • Kuwezesha wanajamii kupata vipuri pale ambapo vinahitajika
  • 17.
  • 18. Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?.... 3. Wizara ya Maji na Umwagiliaji  Ni wasimamizi wakuu wa sera  Majukumu yao ni  kuandaa sera na mipango  kuratibu, kusimamia na kutoa miongozo  kuziwezesha halmashauri za wilaya, kukagua na kutathimini utekelezaji wa miradi ya maji
  • 19. Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?..... 4. Mashirika binafsi na Vyombo vya habari  Kuhakikisha sera zinawanufaisha wananchi  Kusambaza taarifa za kisera, mipango na bajeti  Kutoa elimu kwa umma  Kuhamasisha ushiriki wa wananchi  Kuwajengea uwezo wananchi ili;  Kushiriki katika utekelezaji wa sera  Kufuatilia utekelezaji wa sera  Kutathmini utekelezaji wa sera