1. SHERIA YAKO BWANA.
(Sheria yako bwana, naipenda , naipenda ajabu
sheria ya – ko)*2
1. Bwana ndiye aliye fungu langu, nimesema kwamba
nitayati-i nitayatii maneno ya-ke (S/A)
2. Sheria ya kinywa ya kinywa chako, ni njema kwangu
kuliko maelfu maelfu ya dha-ha-bu na fedha (S/A)
3. Nakuomba fadhili zako zo-te, ziwe faraja kwangu
sawasawa na ahadi ya mtumishi wa-ko (S/A)
2. FATHER WE ADORE YOU.
Father we adore you, we lay our lives
before you,(just to tell you) how we
love you
• Jesus we adore you…………
• Spirit we adore you…………
3. UJE ROHO MTAKATIFU
Uje Roho Mtakatifu, uje Mfariji x2
Uje Baba wa maskini - Uje Mfariji
Roho mtoa vipaji - Uje Mfariji
U rafiki mwema sana –
U mfutaji wa machozi –
Uwe mwanga wa mioyo –
Tuangaze toka mbingu -
4. Tia nuru akilini –
Na upendo mioyoni –
Osha machafuko yetu –
Na kuponya majeraha –
Uregeze ukaidi –
Pasha moto u baridi –
Bila nguvu yako wewe –
Mwanadamu hana kitu –
5. (sap) Uniondolee dhambi unitakase unioshe niwe
mweupe pe
1.Nakiri makosa yangu naziona dhambi zangu
unioshe niwe mweupe pe
2.Kweli mimi mkosefu tangu kuzaliwa kwangu
mwenye dhambi tangu tumboni mwa mamangu
6. 3.Hivyo unafanya vyema wewe unaponihukumu una
haki unaponiadhibu-
4.Wewe wataka unyofu ule unyofu wa ndani
nifundishe hekima moyoni-
5.Niumbie moyo safi na uweke ndani yangu roho
mpya iliyodhabiti
7. • Nainua (nainua)moyo wangu(moyo wangu) ,kwako
wewe (kwako wewe)ee Baba, (ee baba)unikinge
(unikinge)na uovu (uovu)tumaini wewe tu
• Nijulishe njia zako,nifundishe ukweli
Hekimayo niongoze,tumaini wewe tu
• Ewe Baba ukumbuke,wema wako milele
nifutie dhambi zangu,tumaini wewe
• Shida zangu angalia,niokoe dhikini
Nismehe dhambi zangu,tumaini wewe tu.
• Njia zako zote Bwana ,ni fadhili na kweli
Niongoze mtoto wako,tumaini wewe tu
8. NAKUABUDU Yesu
1.*(ALL)Nakuabudu Yesu katika Hostia u Mungu
kweli na mwanadamu katika sakramenti*2
(Bass) (Nakuabudu) nakuabudu fudi-fudi ee mfalme
mtukufu wa milele *2
2. *Eeh Yesu kwa mapendo unakaa kwetu u mgeni
wetu toka mbinguni twakuja kuabudu*2
9. .3. *Baraka yake Yesu utupatie tukinge na maovu ya
leo tuishi kwa amani*2
4. *Uwabariki na pia wapenzi wetu uwajalie neema
yako watoe shukrani kuu*2
10. KUUNGAMA
• Mungu Baba nakuungamia kwani mimi nimekosa
mungu baba ninakuomba nisamehe dhambi zangu*2
• Bass:Bwana unihurumie makosa yangu Mungu
nmekuja kwako unisamehe
• Nikitazama maisha yangu najiona mwenye dhambi
kwa mawazo na kwa maneno hata kwa vitendo
vyangu
• Kutotimiza wajibu wangu nimekosa nmekosa bikira
maria ninakuomba niombee kwa mwanao
• Malaika na watakatifu nanyi pia ndugu zangu niomee
kwa mungu baba nipate kusamehewa
11. ALL TO JESUS I SURRENDER
All to Jesus I surrender, all to him I freely give
I will ever love and trust him, in his presence
Daily live
I surrender all*2all to thee ,my blessed saviour, I
surrender all.
All to Jesus I surrender, humbly at his feet
I bow , worldly pleasures all forsaken,
take me Jesus take me now.
All to Jesus I surrender , make me saviour
Wholly thine,let me feel the holy spirit,
Truly know that thou art mine.
12. All to Jesus I surrender ,Lord, I give myself to thee
Fill me with thy love and power
Let thy blessing fall on me
All to Jesus surrender, now I feel the sacred flame,
Oh the joy of full salvation
Glory ,glory to His name.
13. HOLY SPIRIT COME
Holy spirit come and fill my heart
Holy fire come and burn my heart*2
Come holy spirit, we welcome you , from heavens come
down, come spirit of God
Holy ghost come and heal my heart
Holy power come and change my heart*2
Holy fountain come and wash my heart
Holy fountain come and wash my mind*2
(soul,pains),(wounds,life),(body,sorrows)
14. SACRAMENTI KUBWA HIYO
Sacramenti kubwa hiyo twaheshimu kifudi,
Na sheria ya zamani ikomeshwe na hiyo;
Yafichikayo machoni imani huyaona.
Mungu Baba, Mungu Mwana asifiwe
Kwa shangwe kwa heshima atukuzwe
Pia aabudiwe, mungu Roho Mtakatifu
Vile sifa apate.
Amina.
15. O SACRAMENT MOST HOLY
O sacrament most holy
O sacrament divine
All praise and all thanksgiving
Be every moment thine.
Now come all you who labour
In sorrow and in pain
Come, eat this bread from heaven
Thy peace and strength regain
16. PASS ME NOT
Pass me not o gentle saviour, hear my humble cry,
While on others thou art calling,
do not pass me by
Saviour, saviour hear my humble cry
While on others thou art calling do not pass me by.
Let me at thy throne of mercy, find a sweet relief,
Kneeling there in deep contrition,
help my unbelief.
17. Trusting only in the merit,
would I seek thy face?
Heal my wounded broken spirit,
save me by the grace.
Thou the spirit of all comfort,
More than life to me
Who have I on earth beside thee?
Whom in heaven but thee?
18. Lord Jesus we adore thee
Our victim and our priest
Whose precious blood and body
Become our sacred feast
O sacrament most holy
O sacrament divine
All praise and all thanksgiving
Be every moment thine.
19. NIMELEMEWA
1.Nimelemewa na hatia zangu, nakutamani kufika mbinguni, ingawa
mwenye dhambi haingii, iko sauti yaniita nije.
chorus
(Naja – naja kwako Yesu bwana
Nisa- nisamehe dhambi zangu)*2
2.Mimi mchafu nitakwenda wapi, kufika kwenye nchi takatifu , kitini
cha mwenyezi nisimame iko sauti yaniita nije
3.Sauti yako yesu nasikia, mikono yako yaniguza leo, na damu yako
yasafisha dhambi, na kuniweka safi mbele yako.
20. Be merciful to me Oh Lord,because of your love to me
Lord wipe away all my sins*2
1.Wash away my evil make me clean from my sins
2.My faults lord you know them am concious of my sins
3.I have done wrong to you lord you are right judging
me.
4.Create a new part in my heart , a new spirit in me.
5.Give me joy of salvation make me to obey you Lord
6.I will teach all sinners they will turn back to you
21. BWANA U SEHEMU YANGU
Bwana u sehemu yangu,rafiki yangu
wewe
Katika safari yangu ,tatembea na wewe
Pamoja na wewe ,pamoja na wewe,
Katika safari yangu tatembea na wewe.
Mali hapa sikutaka,ili niheshimiwe
Na yanikute mashaka,sawasawa na wewe
Pamoja na wewe,pamoja na wewe
Heri nikute mashaka,sawa sawa na wewe
23. SAKRAMENT KUBWA
1.Sakramenti kubwa hiyo ,twaheshimu kifudi
Na sheria z zamani ,ikomeshwe na hiyo
Yafichikayo machoni,imani huyaona *2
2. Mungu Baba Mungu mwana asifiwe kwa
shangwe
Kwa heshima atukuzwe, pia aabudiwe
Mungu Roho Mtakatifu vile sifa apate *2
24. CHA KUTUMAINI SINA
1. Chakutumaini sina ila damu yake yesu
Sina wema wa kutosha ,dhambi zangu kuziosha
kwake yesu nasimama ,ndiye mwamba ni salama
ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni
salama
2.Damu yake na sadaka, nategemea daima
yote chini yakiisha Mwokozi atanitosha
3. Njia yangu iwe ndefu, yeye unipa wokovu
mawimbi yakinipiga ,Nguvu zake ndio nanga
4.Nikiitwa Hukumuni ,rohoni nina amani
nikivikwa haki yake ,sina hofu mbele zake
25. WATUMISHI WAKE BABA.
Watumishi wake Baba wangapi waliopo
Wanakula na kusaza chakula chake Baba
• Nami-nami nataabika apa
• Nashi-nashiriki na nguruwe
• Chaku-chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
• Nita-nitarudi na kusema
• Baba-baba yangu nisamehe
• Nime-nimekosa kwake Mungu,na mbele
yako Baba
26. Baba kamuona yu mbali,kashikwa na huruma
Akakimbia kumlaki,kamkumbata na busu
Baba sistahili tena kuitwa mwana wako
Unifanye kama mmoja wa awatumishi wako
Baba yangu nimekosa,ninaomba huruma
Unisamehe nirudi nikakutumikie
28. YESU ASANTE SANA
(Chorus)Yesu asante sana*2(Yesu asante)
Kujifanya chakula*2(kujifanya chakula)
Kujifanya chakula kutuletea shibe alama ya
upendo
1.Wewe ndiwe chetu chakula cha
uzima,umetushibisha Yesu asante-
2.Kila tunapokula mkate huu,tunapata uzima wa
milele-
29. 3.Kila tunapokunywa kikombe hiki
,tunapata uzima wa milele-
4.Twakushukuru Yesu kwa wema
wako, umetushibisha Yesu asante