SlideShare a Scribd company logo
1 of 86
Download to read offline
30 March 2012




                                                                                 VITA VYA KIROHO
              VITA VYA KIROHO                                           ILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA 
               Mapambano na Nguvu za giza                                VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI 
               Kuteka Baraka zetu kwa Vita                                   KWA USHINDI DUNIANI

                              Mwl. Mgisa Mtebe
                           +255 713 497 654, +255 783 497 654
                                                                                Mathayo 16:18‐19
                             mgisamtebe@yahoo.com
                                                                                Waefeso 6:10‐13
         30 March 2012
                         www.mgisamtebe.org                     30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                                       KANUNI ZA KIROHO
              Mathayo 16:18‐19                                                    Mathayo 16:18‐19
       18 Nami Nitalijenga Kanisa langu,                                          19 … jambo lolote  
           wala milango ya kuzimu, 
           wala milango ya kuzimu                                               utakalolifunga duniani, 
                                                                                 t k l lif     d i i
        haitaweza kulishinda. 19 Nami 
                                                                                 litakuwa limefungwa 
        nitawapa funguo za Ufalme wa 
                 mbinguni …                                                        mbinguni (rohoni) … 
         30 March 2012                                          30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                                       KANUNI ZA KIROHO
                       Mathayo 16:18‐19                                          Waefeso 6:10‐13‐18
                      19 … na jambo lolote                      ‘Iweni hodari katika Bwana, na 
                    utakalolifungua duniani, 
                     t k l lif      d i i                        katika Uweza wa Nguvu zake. 
                                                                 katika Uweza wa Nguvu zake
                                                                 Vaeni silaha zote za Mungu ili 
                    litakuwa limefunguliwa 
                                                                muweze pupambana na hila za 
                       mbinguni (rohoni).                               mwovu shetani.
         30 March 2012                                          30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                  1
30 March 2012




                           Waefeso 6:10‐13‐18                      VITA VYA ROHONI
        ‘Kwa maana kushindana kwetu 
                                                            Mathayo 16:18
        sisi, si juu ya damu na nyama (si 
        vita vya kimwili) bali vita yetu ni          “Kwahiyo, kuna mashindano 
                                                    (kuna vita), kati ya milango ya 
                                                    (kuna vita) kati ya milango ya
        ya kupambana na falme za giza, 
                                                   kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
        mamlaka za giza, wakuu wa giza 
                                                    la Bwana Yesu Kristo duniani.”
          na majeshi ya pepo wabaya, 
           katika ulimwengu wa roho.                         Ufunuo 12:17
         30 March 2012                             30 March 2012




                            VITA VYA ROHONI                        VITA VYA ROHONI
                           Chanzo cha vita              Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
                                                   3 “Kisha nikaona ishara nyingine 
        Vita hii ilitokea Wapi?
        Vita hii ilitokea Wapi?                    mbinguni; niliona, Joka mkubwa 
                                                   mbinguni; niliona Joka mkubwa
                                                      mwekundu, na alikuwa na 
                         Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
                                                    vichwa saba na pembe kumi …
                            Ezekieli 28:11‐19
         30 March 2012
                             Isaya 14:10‐15        30 March 2012




                            VITA VYA ROHONI                        VITA VYA ROHONI
              Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17                    Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
          4 “… na huyu joka, katika mkia              7 “Kulikuwa na vita mbinguni, 
             wake, alikuwa anakokota 
             wake alikuwa anakokota                   Malaika Mkuu wa majeshi ya 
                                                      Malaika Mkuu wa majeshi ya
          theluhthi ya nyota za mbinguni                 Mungu, Malaika Mikaeli, 
             (malaika wa Mungu) na                      akapigana na yule joka na 
             kuziangusha katika nchi.                        malaika zake …”
         30 March 2012                             30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                 2
30 March 2012




                         VITA VYA ROHONI                    VITA VYA ROHONI
            Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17              Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
         8 “Nao hawakushinda, wala         10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, 
        mahali pao hapakuonekana tena 
        mahali pao hapakuonekana tena       ikisema, sas kumekuwa wokovu 
                                            ikisema sas kumekuwa wokovu
         mbinguni. 9 Yule joka aitwaye      na nguvu na ufalme wa Mungu 
          ibilisi na shetani, akatupwa     wetu na mamlaka ya Kristo wake, 
           duniani, na malalika zake          kwa maana ametupwa chini 
           wakatupwa pamoja naye.
         30 March 2012                          mshitaki wa ndugu zetu”.
                                            30 March 2012




                         VITA VYA ROHONI                    VITA VYA ROHONI
             Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17           Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17
         11 “Nao wakamshinda yule joka     12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi 
          na malaika zake, kwa damu ya 
          na malaika zake kwa damu ya      wote mkaao mbinguni; lakini ole 
                                           wote mkaao mbinguni; lakini ole
         mwana kondoo na kwa neno la         wa ninyi mkaao duniani! Kwa 
             ushuhuda wao, ambao           maana yule joka ibilisi, ameshuka 
         hawakupenda maisha yao hata        kwenu, ana hasira nyingi akijua 
         30 March 2012kufa”.                    ana wakati mchache!
                                            30 March 2012




                         VITA VYA ROHONI                    VITA VYA ROHONI
             Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17                  Mathayo 16:18
           17 “Joka akamkasirikia yule          “Nitalijenga kanisa langu, 
          mwanamke (kanisa), akaenda 
          mwanamke (kanisa) akaenda            litapambana na milango ya
                                                             na milango ya 
         afanye vita juu wa wazao wake          kuzimu (nguvu za giza), na 
          wazishikao amri za Mungu na         milango ya kuzimu, haitaweza 
         kuwa na ushuhuda wa Yesu …”            kulishinda kanisa langu …”
         30 March 2012                      30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                          3
30 March 2012




           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA                     SIFA NA IBADA KWA MUNGU
                  Ufunuo 12:27
        Shetani anachotafuta ni kumpiga                          Kwanini Ibada?
         binadamu na mazingira yake ili
                   na mazingira yake, ili 
            kumvurugia Mungu ibada,                                  Zaburi 22:3
         anayoitamani sana kutoka kwa 
               binadamu, duniani. 
         30 March 2012                           30 March 2012




                  SIFA NA IBADA KWA MUNGU                 SIFA NA IBADA KWA MUNGU

                Zab 22:3                                              Zaburi 22:3
                IDABA ndio kitu cha kwanza                Wewe U Mtakatifu, nawe 
                   kabisa katika
                   k bi k ik moyo wa                      “UNAKETI” j
                                                           UNAKETI juu ya sifa za Israel
                                                                           if     I    l
                     Mungu, kwasababu
                         MUNGU ANAISHI KATIKA            “Inhabit”            “Unaishi”
         30 March 2012
                            IBADA na SIFA.       30 March 2012




                  SIFA NA IBADA KWA MUNGU                 SIFA NA IBADA KWA MUNGU

                Zab 22:3                                         Kumnyima Mungu ibada
                IDABA ndio kitu cha kwanza                         Ni kama kumnyima
                   kabisa katika
                   k bi k ik moyo wa                                 • S
                                                                       Samaki maji
                                                                            ki  ji
                     Mungu, kwasababu                                • Mimea udongo
                         MUNGU ANAISHI KATIKA                        • Binadamu hewa

         30 March 2012
                            IBADA na SIFA.       30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                  4
30 March 2012




                  SIFA NA IBADA KWA MUNGU             SIFA NA IBADA KWA MUNGU

                                                                           Mungu
          “Kwa maana, Baba anawatafuta 
                                                                            Zab 22:3


                                                         Ibada                          Nchi
              watu wa aina hiyo ili                                                     Kumb 8:6‐18
                                                             Yoh 4:23‐24

                 wamwabudu.”
                 (Yohana 4: 23)                                            Adam
                                                                            Zab 150:6
         30 March 2012                       30 March 2012




                         KANUNI ZA KIROHO             SIFA NA IBADA KWA MUNGU
          Kusudi la Mungu la awali, ni       Mungu anatamani sana kukaa na
           kumwezesha mwanadamu                 sisi watoto wake hapa duniani, 
           kuitawala dunia pamoja na           ndio maana anataka dunia yote
           Mungu, ili binadamu tuishi        ijazwe h li ya ib d ( t
                                             ij       hali ibada (atmosphere) 
                                                                           h )
          maisha mazuri (ya ushindi na       kama ilivyo mbinguni (masaa 24), 
                                             ili duniani pia, kuwe na mazingira
          mafanikio) na kuwa vyombo 
                                             ya maisha au ya makazi ya Mungu
         vizuri vya kumwabudu Mungu.
         30 March 2012                               kama ilivyo mbinguni.
                                             30 March 2012




           SADAKA NA IBADA KWA MUNGU           SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
          Mungu anataka watoto wake,               Kutokana na umuhimu na 
            tuwe na maisha mazuri, ili              unyeti wa ibada, Mungu 
             tunapopeleka ibada kwa               hakutaka na hataki watoto 
            Mungu, ibada hiyo ifike kwa            wake, tuwe na maisha ya 
          Mungu ikiwa safi (fresh), yaani          taabu, maisha ya dhiki na 
          ibada isiyo na kelele za moyoni       maisha ya shida; ili ibada yake 
                   (masumbufu).
         30 March 2012
                                                 isiingiliwe na vurugu zozote.
                                             30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                              5
30 March 2012




           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA                               SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

           Ili Mungu apate ibada nzuri                             Ndio maana Mungu alitumia
            kutoka kwetu, inamlazimu                              muda mrefu zaidi kuumba Dunia
          kutubariki na kututengenezea
                     na kututengenezea                                kuliko muda aliotumia
           mazingira mazuri, ili tuweze                               kumuumba binadamu
            kuwa na maisha mazuri ya                                       mwenyewe.
         kumtumikia yeye kama vyombo                                      Dunia =  siku 5
                 vizuri vya ibada. 
         30 March 2012
                                                                          Adam  =  siku 1
                                                                  30 March 2012




           SADAKA NA IBADA KWA MUNGU                                     NGUVU YA SADAKA NA IBADA
         Hii inaonyesha wazi kwamba,                                          Wakolosai 1:16
        Mungu anajali sana mazingira ya                               16 … vitu vinavyoonekana na 
        maisha yako; kwasababu, ibada                                vile visivyoonekana, vitu vyote 
                                                                               y           ,       y
        nzuri inategemea aina ya maisha                               viliumbwa na Yeye na kwa ajili 
           ya mtu, na aina ya maisha                                       Yake. (rasilimali zote 
        yanategemea aina ya mazingira                                zilimewekwa na Mungu na kwa 
               anayoishi mtu huyo.                                               ajili yake)
         30 March 2012                                            30 March 2012




                  SIFA NA IBADA KWA MUNGU                           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

                                       Mungu
                                        Zab 22:3                  Ibada nzuri hutoka katika moyo 
                     Ibada                          Nchi           uliotulia na pia maisha mazuri; 
                                                                   uliotulia na pia maisha mazuri;
                         Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18    na maisha mazuri huchangiwa 
                                                                      sana na mazingira mazuri.
                                       Adam
                                                                        Kumbukumbu 8:6‐18 
                                        Zab 150:6
         30 March 2012                                            30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                           6
30 March 2012




           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA             KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
                                                         Ufunuo 12:27
             Mazingira yakitibuka, maisha      Shetani anachotafuta ni kumpiga
                yanatibuka, na maisha 
                yanatibuka na maisha            binadamu na mazingira yake ili
                                                          na mazingira yake, ili 
             yakitibuka, ibada kwa Mungu           kumvurugia Mungu ibada, 
                     pia, inatibuka.            anayoitamani sana kutoka kwa 
                 Kumbukumbu 8:6‐18                    binadamu, duniani. 
         30 March 2012                          30 March 2012




                          VITA VYA ROHONI                       KANUNI ZA KIROHO

                   Mathayo 16:18                                Waefeso 6:10‐13‐18
             “Nitalijenga kanisa langu,        ‘Iweni hodari katika Bwana, na 
            litapambana na milango ya
                          na milango ya         katika Uweza wa Nguvu zake. 
                                                katika Uweza wa Nguvu zake
             kuzimu (nguvu za giza), na         Vaeni silaha zote za Mungu ili 
           milango ya kuzimu, haitaweza        muweze pupambana na hila za 
             kulishinda kanisa langu …”                mwovu shetani.
         30 March 2012                          30 March 2012




                         Waefeso 6:10‐13‐18                     2Wakorintho 10:3‐5
        ‘Kwa maana kushindana kwetu             ‘Ingawa tunaenenda kimwili, 
        sisi, si juu ya damu na nyama (si      hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, 
        vita vya kimwili) bali vita yetu ni      silaha zetu zina nguvu katika 
                                                                   g
        ya kupambana na falme za giza,          Mungu (roho), tukiteka nyara 
        mamlaka za giza, wakuu wa giza           mawazo na fikra na kila kitu 
          na majeshi ya pepo wabaya,           kinachojiinua kinyume na elimu 
           katika ulimwengu wa roho.              ya Bwana wetu Yesu Kristo.
         30 March 2012                          30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                 7
30 March 2012




                                KANUNI ZA KIROHO                                  KANUNI ZA KIROHO
          Kusudi la Mungu la awali, ni                                Ni mapenzi ya Mungu tuishi 
           kumwezesha mwanadamu                                          maisha ya ushindi na 
           kuitawala dunia pamoja na                                mafanikio ili kutimiza kusudi 
           Mungu, ili binadamu tuishi                                 la Mungu na kuishi maisha 
          maisha mazuri (ya ushindi na                              mazuri kama chombo maalum 
          mafanikio) na kuwa vyombo                                  cha kumsifu na kumwabudu 
         vizuri vya kumwabudu Mungu.
         30 March 2012
                                                                              Mungu.
                                                                  30 March 2012




           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA                                             KANUNI ZA KIROHO

           Ili Mungu apate ibada nzuri                             Kusudi la Mungu la awali, ni 
            kutoka kwetu, inamlazimu                                kumwezesha mwanadamu 
          kutubariki na kututengenezea
                     na kututengenezea                              kuitawala dunia pamoja na 
           mazingira mazuri, ili tuweze                             Mungu, ili binadamu tuishi 
            kuwa na maisha mazuri ya                               maisha mazuri (ya ushindi na 
         kumtumikia yeye kama vyombo                               mafanikio) na kuwa vyombo 
                 vizuri vya ibada. 
         30 March 2012
                                                                  vizuri vya kumwabudu Mungu.
                                                                  30 March 2012




                  SIFA NA IBADA KWA MUNGU                           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

                                       Mungu                      Ili Mwanadamu aweze kulitimiza 
                                        Zab 22:3                   Kusudi la Mungu vizuri, Mungu 
                     Ibada                          Nchi          alimpa Mwanadamu Mamlaka ya 
                                                                  alimpa Mwanadamu Mamlaka ya
                         Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18      Kiroho ili Kutawala mazingira
                                                                  yake, ili awe na maisha mazuri ya 
                                       Adam                            kumtumikia Mungu kama 
         30 March 2012
                                        Zab 150:6                      vyombo vizuri vya ibada. 
                                                                  30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                 8
30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                           MAMLAKA YA KIROHO
                         Ebrn 11:3,  Efes 6:12            Mwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8
                                                           Mungu aliitengeneza dunia 
                                                             katika namna kwamba, 
            Mamlaka ya Kiroho.
            Mamlaka ya Kiroho                                 ulimwengu wa mwili, 
                                                          utatawaliwa kwa mamlaka ya 
                                                              Mungu kutoka katika 
                                                              Ulimwengu wa roho.
         30 March 2012                               30 March 2012




                          MAMLAKA YA KIROHO                          MAMLAKA YA KIROHO
                                                              Mwanzo 1:26‐28
                                                      26 ‘Mungu akasema, tufanye 
                 Mamlaka ya Kiroho                    Mtu kwa Sura yetu na Mfano 
                                                      wetu, wakatawale samaki wa 
                  Mwanzo 1:26‐28                     baharini na ndege wa angani, na 
                                                      kila kitu kipitacho juu ya nchi’.
         30 March 2012                               30 March 2012




                          MAMLAKA YA KIROHO                          MAMLAKA YA KIROHO
                     Mwanzo 1:26‐28                           Mwanzo 1:26‐28
                27 ‘Bwana Mungu akaumba                28 ‘Bwana Mungu akawaweka 
                Mwanamke na Mwanaume;                   katika bustani, akawaambia, 
                   kwa Mfano wa Mungu                  zaeni mkaongezeke na kuitiisha 
                       aliwaumba’                             (kuitawala) nchi.’


         30 March 2012                               30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                     9
30 March 2012




                         MAMLAKA YA KIROHO                            MAMLAK YA KIROHO
          Warumi 3:23/Warumi 5:12‐19
         Mwanadamu alipofanya dhambi, 
           alipoteza mamlaka ya Mungu 
           katika ulimwengu wa roho na                                 KABLA YA DHAMBI
         kushindwa kuutawala ulimwengu                                UTARATIBU ULIKUWA HIVI
               wa mwili; badala yake, 
         ulimwengu wa mwili ukamtawala 
                  mwanandamu.
         30 March 2012                              30 March 2012




                     KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 
          Utukufu (Msaada)               Mungu                        MAMLAKA YA MKRISTO
                                                                    KABLA YA DHAMBI     “Mashal”
                                                                                        Mkuu
            Mwili                            Roho                        MUNGU
                                                                                        Mfalme
                                                                          ADAM
                                                                                       Mtawala

                                                                         MALAIKA       Mwakilishi
            Dunia                                                                       mungu

                                Nafsi                                     DUNIA


                                                                         SHETANI
         Shetani                                                                     Zab 8:4‐8
         30 March 2012                              30 March 2012




                         MAMLAKA YA KIROHO                             MAMLAKA YA KIROHO
                                                               Zaburi 8:4‐8
                                                         Mwanadamu ni nani hata 
                                                         umwangalie kwa kiasi hiki?  
                         Zaburi 8:4‐8
                         Zaburi 8:4‐8                   Umemfanya ‘punde kidogo’
                                                        Umemfanya  punde kidogo
                                                       kuliko Mungu, ukamvika taji ya 
                                                           ‘Utukufu’na Heshima;  
                                                      ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za 
         30 March 2012
                                                               mikono yako …
                                                    30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                               10
30 March 2012




                         MAMLAKA YA KIROHO
                                                                      MAMLAKA YA MKRISTO
                      Zaburi 8:4‐8
                                                                    KABLA YA DHAMBI     “Mashal”
               … na ukaviweka vitu vyote 
                                                                                        Mkuu
             ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’                               MUNGU
                                                                                        Mfalme

              miguu yake; wanyama wote,                                   ADAM
                                                                                       Mtawala


             ndege wote, samaki na kila kitu                             MALAIKA       Mwakilishi

                                                                                        mungu
              kipitacho katika njia za maji.                              DUNIA


                                                                         SHETANI

         30 March 2012                              30 March 2012
                                                                                     Zab 8:4‐8




                     KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)                          KANUNI ZA KIROHO
          Utukufu (Msaada)               Mungu

            Mwili                            Roho
                                                                       BAADA YA DHAMBI
                                                                        MAMBO YAKAWA HIVI
            Dunia 
                                Nafsi
         Shetani
         30 March 2012                              30 March 2012




                         BAADA YA DHAMBI                             MAMLAKA YA MKRISTO
                  Msaada Ukakatika        Mungu                            BAADA YA DHAMBI

                                                                         MUNGU
            Mwili                            Roho                        SHETANI


                                                                         MALAIKA
            Dunia
                                                                          DUNIA
                                Nafsi                                                  SHETANI ALITAPELI 
                                                                          ADAM          NAFASI YA ADAM
            Shetani
         30 March 2012                              30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                11
30 March 2012




                                                                                Mamlaka ya shetani ulimwenguni
                         MAMLAKA YA MKRISTO
                             BAADA YA DHAMBI                                   Efe 2:1‐2   – Mfalme wa anga
                           MUNGU
                                                 Mkuu        Yohana 16:11      2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii
                                                 Mfalme      Waefeso 2:1‐2
                           SHETANI
                                                Mtawala      1Yohana 5:19
                                                                               1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) 
                                                                               1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)
                           MALAIKA              Mwakilishi   Luka 4:5‐8        Yoh 12:31  – Mkuu wa Ulimwengu
                                                 mungu       2Korintho 4:3‐4
                            DUNIA
                                          Shetani akakaa katika        
                                                                               Yoh 14:30  – Mkuu wa Ulimwengu
                            ADAM            nafasi ya Adam na                  Yoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu
         30 March 2012               akavaa vyeo vyote vya Adam                30 March 2012




                                                                                                KANUNI ZA KIROHO
                         MAMLAKA YA MKRISTO
                             BAADA YA DHAMBI
                                                 Mkuu        Yohana 16:11
                           MUNGU
                                                 Mfalme      Waefeso 2:1‐2
                           SHETANI
                                                Mtawala      1Yohana 5:19
                                                                                                BAADA YA WOKOVU
                           MALAIKA              Mwakilishi   Luka 4:5‐8                           MAMBO YAKAWA HIVI
                                                 mungu       2Korintho 4:3‐4
                            DUNIA
                                           Warumi 5:12, 14
                            ADAM
                                           Waebrania 2:14, 15
         30 March 2012                                                         30 March 2012




               BAADA YA WOKOVU (KALVARI)                                                       MAMLAKA YA MKRISTO
         (Utukufu) Uhusiano                                  Mungu                                   BAADA YA WOKOVU
                                                                                                                       Mkuu
                                                                                               MUNGU + ADAM ‐ 2
                                                                                                                       Mfalme
            Mwili                                            Roho                                  MALAIKA
                                                                                                                      Mtawala

                                                                                                    SHETANI           Mwakilishi

            Dunia                                                                                   DUNIA
                                                                                                                       mungu


                                      Nafsi                                                        ADAM  ‐ 1
                                                                                                                  Waefeso 2:1‐6
            Shetani
         30 March 2012                                                         30 March 2012                      Waefeso 1:18‐23




Vita Vya Kiroho                                                                                                                              12
30 March 2012




               BAADA YA WOKOVU (KALVARI)                                KANUNI ZA KIROHO
                                                          Mwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8
                         (Utukufu) Roho Mt. Mungu
                                                           Mungu aliitengeneza dunia 
                                                             katika namna kwamba, 
            Mwili                            Roho
                                                              ulimwengu wa mwili, 
                                                          utatawaliwa kwa mamlaka ya 
            Dunia
                                                              Mungu kutoka katika 
                                 Nafsi
                                                              Ulimwengu wa roho.
            Shetani
         30 March 2012          (Rum 8:9‐11)         30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                              KANUNI ZA KIROHO
          Warumi 3:23/Warumi 5:12‐19                   Waefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10
         Mwanadamu alipofanya dhambi,               Lakini Mtu anapotubu dhambi zake 
           alipoteza mamlaka ya Mungu                 na kuupokea Wokovu wa Bwana 
           katika ulimwengu wa roho na                Yesu Krsito, anaunganishwa tena 
         kushindwa kuutawala ulimwengu                 na Mungu na kupewa mamlaka
               wa mwili; badala yake,                      makuu zaidi, kuliko yale 
         ulimwengu wa mwili ukamtawala                   aliyoyapoteza Adam na Eva   
                  mwanandamu.
         30 March 2012                                      katika bustani ya Eden.
                                                     30 March 2012




                         KANUNI ZA KIROHO                             KANUNI ZA KIROHO
              Mathayo 16:18‐19                                         Mathayo 16:18‐19
       18 Nami Nitalijenga Kanisa langu,                               19 … jambo lolote  
           wala milango ya kuzimu, 
           wala milango ya kuzimu                                    utakalolifunga duniani, 
                                                                      t k l lif     d i i
        haitaweza kulishinda. 19 Nami 
                                                                      litakuwa limefungwa 
        nitawapa funguo za Ufalme wa 
                 mbinguni …                                             mbinguni (rohoni) … 
         30 March 2012                               30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                      13
30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                      MAMLAKA YA MKRISTO
                       Mathayo 16:18‐19                   Ufunuo 5:9‐10
                      19 … na jambo lolote         9 Wewe unastahili kukitwaa
                    utakalolifungua duniani, 
                     t k l lif      d i i         kitabu na kuzivunja lakiri zake,
                                                                               zake, 
                                                  kwa sababu ulichinjwa na kwa 
                    litakuwa limefunguliwa           damu yako ukamnunulia 
                                                  Mungu watu kutoka katika kila 
                       mbinguni (rohoni).         kabila, kila lugha, kila jamaa na 
         30 March 2012
                                                         kila taifa (kanisa). 
                                                30 March 2012




                         MAMLAKA YA MKRISTO                       KANUNI ZA KIROHO
                                                       Waefeso 1:18‐23/2:1‐6
                   Ufunuo 5:9‐10                       Mungu wetu, hataweza 
             10 Nawe umewafanya hawa                   kukurithisha mamlaka ya 
             wawe Ufalme na Makuhani wa 
                   f l         k h i                Ulimwengu wa roho ili
                                                    Uli              h ili uweze 
             kumtumikia Mungu wetu, nao                kuleta mabadiliko katika 
                 wanamiliki dunia.’’                 ulimwengu wa mwili, kama 
                                                   hajazaliwa mara ya pili, kwa njia 
         30 March 2012                                ya Wokovu wa Yesu Kristo.
                                                30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO            BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 
            Baada ya Wokovu, mtu wa                              (Utukufu) Roho Mt. Mungu
           Mungu huyo, anajazwa Roho 
           Mtakatifu na Nguvu zake ili
                     na Nguvu zake, ili            Mwili                             Roho
         kumrudishia mamlaka na uweza
          tuliyopoteza katika bustani ya           Dunia
            Eden, kwa njia ya dhambi.                                    Nafsi
         30 March 2012                             Shetani
                                                30 March 2012           (Rum 8:9‐11) 




Vita Vya Kiroho                                                                                   14
30 March 2012




                           KANUNI ZA KIROHO                           KANUNI ZA KIROHO
                         Bwana Yesu aliomba hivi:            Yohana 17:22
                 Yohana 17:22                           ‘Utukufu’ huo, ni Roho 
          ‘Baba Utukufu ule ulionipa
           Baba, Utukufu ule ulionipa,               Mtakatifu yule yule aliyepewa
                                                               yule yule aliyepewa 
         nami nimewapa wao (Kanisa)’;                 Adam wa kwanza, ili aweze 
        ‘yaani watu walioniamini, walinipokea       kuutawala ulimwengu wa dunia 
        maishani mwao na wanaishi kwa kanuni           hii kwa Nguvu za Mungu.
                  zangu za kiroho’
         30 March 2012                                        Zaburi 8:4‐8
                                                    30 March 2012




                KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU                            KANUNI ZA KIROHO
                   2Petro 1:3‐4                      Kusudi la Mungu la awali, ni 
         Tunapambana na adui mwenye                   kumwezesha mwanadamu 
          nguvu sana. Pasipo Nguvu za
             Mungu, mtu wa Mungu                      kuitawala dunia pamoja na 
          hataweza kuleta mabadiliko                  Mungu, ili binadamu tuishi 
          mazuri katika maisha yake na               maisha mazuri (ya ushindi na 
           kumwezesha kuishi maisha                  mafanikio) na kuwa vyombo 
          mazuri na ya ushindi, ili kuwa
            chombo kizuri cha ibada.
         30 March 2012
                                                    vizuri vya kumwabudu Mungu.
                                                    30 March 2012




           KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA                                  KANUNI ZA KIROHO

        Ili Mwanadamu aweze kulitimiza 
         Kusudi la Mungu vizuri, Mungu                        Kwanini
        alimpa Mwanadamu Mamlaka ya 
        alimpa Mwanadamu Mamlaka ya
           Kiroho ili Kutawala mazingira                 Ulimwengu wa roho.
                                                         Uli            h
        yake, ili awe na maisha mazuri ya                           Zab 8:4‐8, Waefeso 6:12
             kumtumikia Mungu kama 
             vyombo vizuri vya ibada. 
         30 March 2012                              30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                     15
30 March 2012




                              KANUNI ZA KIROHO                                KANUNI ZA KIROHO
                  Ni kwasababu;                                                Waebrania 11:3   
         Mungu aliitengeneza dunia katika                          Ni muhimu uje kwamba, 
          namna kwamba, ulimwengu wa 
                                                                  Dunia yetu inatawaliwa kwa  
                                                                  Dunia yetu inatawaliwa kwa
         mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
             ya Mungu kutoka katika 
                                                                     Kanuni kuu Mbili (2)
               Ulimwengu wa roho.                                     2. Kanuni za Kimwili
                (Zab 4:4‐8, Ebr 11:3)                                         1. Kanuni za Kiroho
         30 March 2012                                        30 March 2012




                            KANUNI ZA KIROHO                                  KANUNI ZA KIROHO

                         Nguvu                     Nguvu
                                                                                 Kwa Mfano;
                           Za                            za
                                                                Uumbaji wa vitu vya Dunia
                                                                Uumbaji wa vitu vya Dunia
                    Kimwili        Vs        Kiroho 
                                                                                Waebrania 11:3
                  (Natural                (Spiritual  
                Principles)            Principles)
         30 March 2012                                        30 March 2012




                    Kanuni za kiroho za Ushindi                          Kanuni za kiroho za Ushindi
                Waebrania 11:3                                                 Waebrania 11:3
            Nasi twajua ya kwamba, 
        ulimwengu uliumbwa kwa Neno                                   “… vitu vinavyoonekana
                                                                       … vitu vinavyoonekana
              la Mungu, hata vitu                                    (vya kimwili) vilifanywa kwa 
        vinavyoonekana, havikufanywa
            kwa vitu vilivyo dhahiri.                                    vitu visivyo dhahiri ”.

         30 March 2012                                        30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                               16
30 March 2012




                          Kanuni za kiroho za Ushindi                                                                                                                     Kanuni za kiroho za Ushindi
                                           Waebrania 11:3                                                                                                                                   Waebrania 11:3

                      “… vitu vinavyoonekana
                       … vitu vinavyoonekana                                                                                                                          “… vitu vinavyoonekana
                                                                                                                                                                       … vitu vinavyoonekana
                     (vya kimwili) vilifanywa kwa                                                                                                                    (vya kimwili) vilifanywa kwa 
                        vitu visivyo waziwazi ”.                                                                                                                         vitu visivyo onekana
                                                                                                                                                                             (vya kiroho).”
             30 March 2012                                                                                                                                   30 March 2012




                          Kanuni za kiroho za Ushindi                                                                                                                             ULIMWENGU WA ROHO
                      Waebrania 11:3                                                                                                                                  Ulimwengu wa roho
                 Ulimwengu wa roho ndio                                                                                                                                  Waebrania 11:3
               ulioumbwa kwanza; na kisha                                                                                                                      Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, 
                ulipokamilika, ndipo M
                 li k ilik di Mungu                                                                                                                              aliiumba katika ulimwengu wa 
               akauzaa Ulimwengu wa mwili                                                                                                                      kiroho kwanza, na alipoikalimisha 
                          kutokea katika                                                                                                                          rohoni, ndipo akaizaa (akai‐
                                                                                                                                                                photocopy au akai‐print) katika 
                    Ulimwengu wa Roho.
             30 March 2012                                                                                                                                            ulimwengu wa mwili.
                                                                                                                                                             30 March 2012




                                            Ulimwengu wa roho                                                                                                                                Ulimwengu wa roho
                                           Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18                                                                                                                 Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
         Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia             Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    
       Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho            Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho
       Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21         Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

                                                                                                                         7           1000                                                                                                                                      7             1000
                                                                         33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½    Kristo                                                                                    33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½      Kristo
                                                                     30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4         Mfalme                                                                                30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4            Mfalme

                                                                        Injili                                                                                                                                                 Injili
                                                                                   Kalvari      Kanisa                                                                                                  600                                 Kalvari       Kanisa 
                                                                                                                                              Milele




                                                                                                                                                                                                                                                                                                      Milele




                                                                                                                                                                                                                              700                                                         2000



                                                                                                                                                                                                      (4) Daniel  7:13 – 14, 27
                                                                                                                                                                                            (3) Isaya  9: 6                                   33 AD             (5) Ufunuo  20:11 – 15




             30 March 2012                                                                                                                                 30 March 2012
                                                                                                                                                                                                  Ulimwengu wa Mwili
                                                                                                                                                       Bahari             Miti        Upepo          




Vita Vya Kiroho                                                                                                                                                                                                                                                                                                17
30 March 2012




                    Kanuni za kiroho za Ushindi                    NGUVU YA MAOMBI
                      Waebrania 11:3                               Ulimwengu wa roho
                 “… vitu vinavyoonekana            Kwahiyo, ukiona jambo limetokea 
                                                     mahali fulani leo, usije ukafikiri 
                (vya kimwili) vilifanywa kwa 
                (vya kimwili) vilifanywa kwa              limeanza leo, hapana;
                                                          li        l   h
                    vitu visivyo onekana          Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo 
                        (vya kiroho).             hilo limejitokeza, lakini mbegu yake 
                                                  ilipandwa huko rohoni siku kadhaa 
         30 March 2012                                 zilizopita (wakati uliopita).
                                                  30 March 2012




                         NGUVU YA MAOMBI                          KANUNI ZA KIROHO
                          Ulimwengu wa roho                        Waebrania 11:3   
           Wewe usipokuwa na nidhamu ya                      Hivyo;
              kwenda rohoni kwa njia ya 
                                  j y             Hakuna kitu kinafanyika katika 
                                                  Hakuna kitu kinafanyika katika
           maombi, kumbuka kwamba, adui            Ulimwengu wa Mwili mpaka 
            yako shetani, yuko huko huko 
                                                    kwanza kimefanyika katika   
            rohoni; naye atakutengenezea 
             mambo ambayo usingetaka                  Ulimwengu wa Kiroho.
                  kabisa yakupate.
         30 March 2012                            30 March 2012




                         KANUNI ZA KIROHO                         ULIMWENGU WA ROHO
                         2Wakorintho 4:18                    Waebrania 11:3
                Tusiviangalie vitu                     Kwahiyo, Mungu alipoumba 
        vinavyoonekana (vya kimwili) ni 
              y          ( y         )                dunia, aliiumba kwanza katika 
         vya muda; bali tuviangalie vitu                 ulimwengu wa kiroho, na 
           visiyoonekana (vya kiroho)                 alipoikalimisha, ndipo akaizaa
         kwani hivyo ndivyo vya milele                (akai‐photocopy au akai‐print) 
                                                       katika ulimwengu wa mwili.
                 (vya kudumu).
         30 March 2012                            30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                  18
30 March 2012




                         ULIMWENGU WA ROHO                       ULIMWENGU WA ROHO
                     Waebrania 11:3
            Kwahiyo, kila kitu duniani kina                            Kwahiyo
           original copy na photocopy yake.                         Kila cha Kimwili, 
           Au kila kitu unachokiona duniani, 
              kil ki        h ki    d i i
           ujue kina soft‐copy na hard‐copy                      kina cha kiroho chake
          yake (yaani kina upande wa rohoni                       1 Wakorintho 15:44
              na wa upande wa mwilini).
         30 March 2012                           30 March 2012




                         ULIMWENGU WA ROHO                       ULIMWENGU WA ROHO


                     1 Wakorintho 15:44                     Ayubu 8:9
                 “Ikiwa kuna mwili wa asili,       “Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
                                                    Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 
               Basi na mwili wa roho pia, upo”    wala hatujui neno, maisha yetu 
                                                         ni kama kivuli”
                                                                    ‐ Photocopy  ‐
         30 March 2012                           30 March 2012




                         ULIMWENGU WA ROHO                       ULIMWENGU WA ROHO
                                                                         Ulimwengu w


                                                      Katika ulimwengu wetu, kuna 
                          Zaburi 39:6a                vitu vya Namna kuu mbili (2);
                    “Binadamu huko na huko
                     Binadamu huko na huko                  • Vit isi oonekana
                                                              Vitu visivyoonekana
                          kama kivuli”
                                                           • Vitu vinavyoonekana
                            ‐ Photocopy  ‐
                                                          Na vyote viko kwa pamoja
         30 March 2012                           30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                  19
30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                       KANUNI ZA KIROHO
                           Waebrania 11:3                         Waebrania 11:3   

                            Ni Kwasababu,                         Ni Kwasababu, 
                         Ulimwengu wa Mwili
                                                 Mambo ya Ulimwengu wa mwili
                            ulizaliwa kupitia 
                                                  yanatawaliwa kwa mambo ya 
                         Ulimwengu wa Kiroho.         ulimwengu wa roho; 
         30 March 2012                           30 March 2012




                          KANUNI ZA KIROHO                       KANUNI ZA KIROHO
                           Waebrania 11:3                         Waebrania 11:3   
                    Ni muhimu uje kwamba,          Hivyo, kwa utaratibu huu;
                       Kanuni za Kimwili
                       Kanuni za Kimwili         Hakuna kitu kinafanyika katika 
                                                 Hakuna kitu kinafanyika katika
                        zinatawaliwa na           Ulimwengu wa Mwili mpaka 
                                                   kwanza kimefanyika katika   
                        Kanuni za Kiroho
                                                     Ulimwengu wa Kiroho.
         30 March 2012                           30 March 2012




                         MAANA YA KUOMBA               MAANA YA KUOMBA
                                                    Kuomba, ni namna ya mtu, 
                                                  kwenda katika ulimwengu wa 
                                                 roho, ili kuwasiliana na Mungu 
                         Tafsiri Mpya ya 
                         Tafsiri Mpya ya          wake, na kuuathiri ulimwengu 
                                                     k       k  thi i li
                            Maombi               wa roho, katika namna ambayo, 
                                                  itakayoleta mabadiliko katika 
                                                    ulimwengu huu wa mwili.
         30 March 2012                           30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                 20
30 March 2012




                           KANUNI ZAKIROHO                 NGUVU YA MAOMBI
                         Ulimwengu wa roho             Kwa Mfano wa Nabii Eliya
                                                            Yakobo 5:17‐18;
                             Kwa Mfano           Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, 
                                                 lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga 
                         Maombi ya Nabii Eliya       mvua, na Mungu alimsikia, na 
                           Yakobo 5:17‐18;        mbingu zikafungika na mvua (ya ki‐
                            1Wafalme 17‐18;        mwilini) haikunyesha juu ya nchi, 
         30 March 2012                              kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.
                                                  30 March 2012




                 NGUVU YA MAOMBI                          NGUVU YA MAOMBI
               Kwa Mfano wa Nabii Eliya               Kwa Mfano wa Nabii Eliya
                    Yakobo 5:17‐18;                         Yakobo 5:17‐18;
           Japo kulikuwa na kanuni zote za       Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi 
          kisayansi za mvua kunyesha, lakini      yote ilikuwa kavu kabisa na misitu 
        Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda         yote imepukutika; kwahiyo 
            rohoni, akaathiri (tibua) kanuni       hakukuwa na kanuni za kutosha 
          zinazotawala mvua mwili, na ndio            kuruhusu mvua kunyesha.
              maana mvua haikunyesha.
         30 March 2012                            30 March 2012




                 NGUVU YA MAOMBI                       MAANA YA KUOMBA
              Kwa Mfano wa Nabii Eliya              Kuomba, ni namna ya mtu, 
                   Yakobo 5:17‐18;                kwenda katika ulimwengu wa 
          Eliya akaomba tena kwa bidii, ili      roho, ili kuwasiliana na Mungu 
           kuifungua mvua kutoka katika           wake, na kuuathiri ulimwengu 
                                                     k       k  thi i li
            uliwengu wa roho, na Mungu           wa roho, katika namna ambayo, 
        alimsikia, na mbingu zikafunguka na       itakayoleta mabadiliko katika 
         mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na          ulimwengu huu wa mwili.
             nchi ikazaa matunda yake.
         30 March 2012                            30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                            21
30 March 2012




                         Mabadiliko gani hayo?                 NGUVU YA MAOMBI
                     Kwa Mfano;                                1Wafalme 18:30‐45;
           Maisha mazuri, Familia nzuri,               Eliya akawakusanya Waisraeli wote, 
           Masomo mazuri,, Kazi nzuri,                   akaijenga madhabahu ya Bwana 
        Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,              upya, akaweka sadaka ya ng’ombe 
                                                               k    k    d k           b
         Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma                juu ya madhabahu, na akawataka 
        nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi         wamwage maji pipa 12 juu yake, 
          nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu                  kama yalivyo mawe 12 ya 
                 wazuri, nk. nk. nk.
         30 March 2012
                                                        madhabahu na kabila 12 za Israeli.
                                                        30 March 2012




                          NGUVU YA MAOMBI                                            NGUVU YA MAOMBI
                          1Wafalme 18:30‐45;
                                                                                                    Yakobo 5:18;
         Baada ya kufanya Kanuni hizi za 
           Kiroho, ndipo Eliya akafanya                          MATOKEO = USHINDI
         Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu                        Mvua ik
                                                                 M    ikanyesha k ik
                                                                             h katika
          ya upinzani, iliyokuwa inazuia                     ulimwengu wa mwili, na Nchi
           baraka za Mungu, kuwafikia                       ikazaa matunda yake, na watu
              watoto wake duniani.                              wakafaidi mema ya nchi.
         30 March 2012                                  30 March 2012




                                                                                             Ulimwengu wa roho
                           NGUVU YA MAOMBI
                                                    Ulimwengu wa Roho

              1Wafalme 18:41‐44;                                                                   Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)
                                                                                            /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

        Baada ya ile Sadaka na Maombi,                                                     /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

                                                                                           /     /        Mvua ya rohoni                   /      /        /      /

         Nabii Eliya akawaambia watu, 
         Nabii Eliya akawaambia watu,                                                   /
                                                                                        /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                                                                 / /            / / / /                      / / /


        ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua             Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                                                                    Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu



             tele’ (mstari 41), watu                Ulimwengu wa Mwili


         walipoondoka, Eliya alikwenda 
         mlimani ili kufanya MAOMBI;
         30 March 2012                                  30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 




Vita Vya Kiroho                                                                                                                                                                               22
30 March 2012




                                                                                    Ulimwengu wa roho
                         NGUVU YA MAOMBI
                                           Ulimwengu wa Roho

               1Wafalme 18:41‐45;                                              Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) 
                                                                                   /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

          Na watu walipoondoka, Eliya                                             /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

                                                                                  /     /     Mvua ya rohoni                   /      /        /      /

         alikwenda mlimani kuomba; na 
         alikwenda mlimani kuomba; na                                          /
                                                                               /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                                                        / /            / / / /                      / / /


         baada ya maombi mazito mara        Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                                                           Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu



           saba (7), ndipo mvua kubwa      Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                               /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                         /      /      /    Mvua ya Mwilini                   /        /
            sana ikanyesha juu ya nchi                                       /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /
                                                                       /      /      /       /      /      /      /       /        /

                  (mstari 44‐45).
         30 March 2012                         30 March 2012
                                                                          /      /      /       /      /      /      /       /        /




                         NGUVU YA MAOMBI                                    NGUVU YA MAOMBI
             1Wafalme 18:41‐45;                                                1Wafalme 18:41‐45;

          Kumbe, mvua haikunyesha              Kwahiyo, kumbuka kwamba, 
         katika ulimwengu wa mwili, 
         katika ulimwengu wa mwili,                               ,
                                                  Kanuni za kiroho, ndizo 
        mpaka kwanza ilipotengenezwa        zilizotangulia kusababisha athari 
         katika ulimwengu wa kiroho            katika ulimwengu wa rohoni
                    kwanza.                  kwanza, ili mvua inyeshe katika 
         30 March 2012
                                                   ulimwengu wa mwili.
                                               30 March 2012




                         NGUVU YA MAOMBI                                    NGUVU YA MAOMBI
               1Wafalme 18:41‐45;                                              Ulimwengu wa roho

                    Kwahiyo,                       Wewe usipokuwa na nidhamu ya 
          Ile mvua haikunyesha katika 
          Ile mvua haikunyesha katika                 kwenda rohoni kwa njia ya 
                                                                          j y
                                                   maombi, kumbuka kwamba, adui 
          ulimwengu wa mwili, mpaka 
                                                    yako shetani, yuko huko huko 
         kwanza ilipotengenezwa katika              rohoni; naye atakutengenezea 
         ulimwengu wa kiroho kwanza.                 mambo ambayo usingetaka     
         30 March 2012
                                                          kabisa yakupate.
                                               30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                                                                                      23
30 March 2012




                         NGUVU YA MAOMBI                                            NGUVU YA MAOMBI
                         Ulimwengu wa roho                1Wafalme 18:41‐45;
          Kwahiyo, ukiona jambo limetokea 
                                                     Kwahiyo, ile mvua haikunyesha 
            mahali fulani leo, usije ukafikiri 
                 limeanza leo, hapana;
                 li        l   h                      katika ulimwengu wa mwili, 
                                                      katika ulimwengu wa mwili,
                                                     mpaka kwanza ilipotengenezwa 
         Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo 
         hilo limejitokeza, lakini mbegu yake         katika ulimwengu wa kiroho
         ilipandwa huko rohoni siku kadhaa                       kwanza.
              zilizopita (wakati uliopita).
         30 March 2012                                 30 March 2012




                                                                                            Ulimwengu wa roho
                         NGUVU YA MAOMBI
                                                   Ulimwengu wa Roho
                       Ulimwengu wa roho                                                          Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)
                   Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30                                           /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

                                                                                          /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

                  ‘Mungu ameshatubariki kwa                                               /     /        Mvua ya rohoni                   /      /        /      /

                                                                                       /
                                                                                       /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                                                                / /            / / / /                      / / /
             baraka zote za rohoni, katika
             b k              h i k ik
                                                    Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                                                                   Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu
              ulimwengu wa roho; kama 
                                                   Ulimwengu wa Mwili
          alivyotuchagua katika yeye, kabla
         ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, 
                  tuwe watakatifu’.
         30 March 2012                                 30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 




                                                                                            Ulimwengu wa roho
                         NGUVU YA MAOMBI
                                                   Ulimwengu wa Roho
             1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18                                         Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) 

          Wana wa Israeli, walikuwa                                                        /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

                                                                                          /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /


           wanateseka kwa maisha                                                       /
                                                                                          /     /     Mvua ya rohoni                   /      /        /      /

                                                                                       /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                                                                / /            / / / /                      / / /

        magumu, katika ulimwengu wa                 Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                                                                   Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu

        mwili, wakati wao ni wabarikiwa            Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

        wenye baraka nyingi sana katika                                                /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                                 /      /      /    Mvua ya Mwilini                   /        /
                                                                                     /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /
              ulimwengu wa roho.                                               /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                                  /      /      /       /      /      /      /       /        /
         30 March 2012                                 30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                                                                                              24
30 March 2012




                         NGUVU YA MAOMBI                      NGUVU YA MAOMBI
          Kama Eliya asingeomba kwa                         Ulimwengu wa roho
        bidii, ile baraka ya mvua (rohoni)              Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30
        ingekomea huko huko rohoni, na        Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi 
         huku duniani, watu wa Mungu          zote tulizopewa katika ulimwengu 
                                                      li        k ik li
          wangeishi maisha ya shida na        wa roho, zitabaki huko huko rohoni,
         taabu; na kumbe wana baraka           wakati huku duniani, tunateseka 
                                               kwa maisha magumu, yaliyojaa 
          nyingi sana katika U’rohoni.
         30 March 2012
                                                     shida na taabu nyingi.
                                              30 March 2012




                         KANUNI ZA KIROHO                     NGUVU YA MAOMBI
                          Waebrania 11:3                       Ulimwengu wa roho
            Mungu wetu ni Mungu wa              Utendaji kazi wa Mungu duniani, 
            Imani, anayefanya mambo 
                 ,    y    y                   huanzia katika ulimwengu wa roho
                                                                     g
        yasiyoonekana kwanza, kabla ya           kwanza. Mambo yakikamilika 
         kuyasababisha yatokee katika         rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo 
                                                  katika ulimwengu wa mwili.
              ulimwengu wa mwili
        (ulimwengu wa yanayoonekana)
         30 March 2012                        30 March 2012




             NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA                        ULIMWENGU WA ROHO
           Kama tunataka kutawala vizuri 
        mambo yetu ya kimaisha na kuleta 
            mabadiliko katika mambo ya                     Kwanini tunaishi 
         kimwili, basi ni lazima tuufahamu 
         ki    ili b i i l i     t f h                   maisha ya kushindwa?
        vizuri ulimwengu wa roho, na tujue 
          namna ya kuuathiri (U’roho) ktk 
           namna itakayoleta mabadiliko 
            katika ulimwengu wa mwili.
         30 March 2012                        30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                              25
30 March 2012




                                   ULIMWENGU WA ROHO                                                                                                                                              NGUVU YA MAOMBI
                                        Hebu jiulize mwenye…
             Kwanini tunaishi maisha magumu                                                                                                                                     Ni kwasababu; watu wa Mungu,
            na ya mateso huku mwili, yaliyojaa 
              shida na taabu nyingi, na kumbe 
               hid     t b      i i     k b                                                                                                                          (1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa 
                kule rohoni tumebarikiwa na                                                                                                                          roho inavyoingiliana na ulimwengu 
               Mungu kwa baraka zote, tena                                                                                                                            wa mwili, hata kuleta mabadiliko 
              nyingi sana, za kutusaidia katika                                                                                                                      tunayotaka kuyaona huku duniani.  
                  maisha yetu ya kila siku?
             30 March 2012                                                                                                                                                      ~ kutokujua ~
                                                                                                                                                                      30 March 2012




                                             Ulimwengu wa roho                                                                                                                                        Ulimwengu wa roho
                                            Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18                                                                                                                         Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
         Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia                      Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia    
       Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho                     Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho
       Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21                  Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

                                                                                                                                  7           1000                                                                                                                                         7             1000
                                                                                  33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½    Kristo                                                                                       33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½      Kristo
                                                                            30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4           Mfalme                                                                                  30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4             Mfalme

                                                                                Injili                                                                                                                                                   Injili
                                                                                             Kalvari      Kanisa                                                                                                  600                                 Kalvari       Kanisa 
                                                                                                                                                       Milele




                                                                                                                                                                                                                                                                                                                  Milele
                                                                                                                                                                                                                                        700                                                           2000



                                                                                                                                                                                                               (4) Daniel  7:13 – 14, 27
                                                                                                                                                                                                     (3) Isaya  9: 6                                   33 AD                    (5) Ufunuo  20:11 – 15




             30 March 2012                                                                                                                                          30 March 2012
                                                                                                                                                                                                           Ulimwengu wa Mwili
                                                                                                                                                                Bahari             Miti        Upepo          




                                                 Ulimwengu wa roho                                                                                                                                        Ulimwengu wa roho
       Ulimwengu wa Roho                                                                                                                                        Ulimwengu wa Roho

                                                       Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)                                                                                               Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) 
                                                /     /     /     /      /       /        /        /        /     /                                                                                      /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

                                               /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /                                                                                               /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

                                               /     /        Mvua ya rohoni                   /      /        /      /                                                                                 /     /     Mvua ya rohoni                   /      /        /      /

                                            /
                                            /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                     / /            / / / /                      / / /                                                                                               /
                                                                                                                                                                                                     /        /      /       /      /      /      /       /      /      /
                                                                                                                                                                                                              / /            / / / /                      / / /


         Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                        Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu                                             Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12
                                                                                                                                                                                 Mkuu                                         Mkuu                                        Mkuu

       Ulimwengu wa Mwili                                                                                                                                       Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                                                                                                                                                     /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                                                                                                                                               /      /      /    Mvua ya Mwilini                   /        /
                                                                                                                                                                                                   /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /
                                                                                                                                                                                             /      /      /       /      /      /      /       /        /
                                                                                                                                                                                                /      /      /       /      /      /      /       /        /
             30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi                                           30 March 2012




Vita Vya Kiroho                                                                                                                                                                                                                                                                                                            26
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho
Vita vya kiroho

More Related Content

What's hot

The season of the prophetic seventh day (1)
The season of the prophetic seventh day (1)The season of the prophetic seventh day (1)
The season of the prophetic seventh day (1)
Butch Yulo
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
001111111111
 
The Signs of the End Times
The Signs of the End TimesThe Signs of the End Times
The Signs of the End Times
beng
 
End Time Church Deception Powerpoint Presentation
End Time Church Deception Powerpoint PresentationEnd Time Church Deception Powerpoint Presentation
End Time Church Deception Powerpoint Presentation
mail2jimmy123
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
001111111111
 
WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
 WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2 WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
Butch Yulo
 
How Then Should We Live
How Then Should We LiveHow Then Should We Live
How Then Should We Live
Butch Yulo
 
God's appointed time part 1
God's appointed time part 1God's appointed time part 1
God's appointed time part 1
Butch Yulo
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
001111111111
 
Warfare Against Demons Part 3
Warfare Against Demons Part 3Warfare Against Demons Part 3
Warfare Against Demons Part 3
Butch Yulo
 

What's hot (20)

The Kingdom Thinking
The Kingdom ThinkingThe Kingdom Thinking
The Kingdom Thinking
 
The season of the prophetic seventh day (1)
The season of the prophetic seventh day (1)The season of the prophetic seventh day (1)
The season of the prophetic seventh day (1)
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
 
Timothy Chapter 2 : Be a Vessel for Honor
Timothy Chapter 2 : Be a Vessel for HonorTimothy Chapter 2 : Be a Vessel for Honor
Timothy Chapter 2 : Be a Vessel for Honor
 
The Signs of the End Times
The Signs of the End TimesThe Signs of the End Times
The Signs of the End Times
 
End Time Church Deception Powerpoint Presentation
End Time Church Deception Powerpoint PresentationEnd Time Church Deception Powerpoint Presentation
End Time Church Deception Powerpoint Presentation
 
Mother's Day Exhortation
Mother's Day ExhortationMother's Day Exhortation
Mother's Day Exhortation
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
 WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2 WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
WARFARE AGAINST THE WORLD Spiritual warfare 2
 
Storms Of Life
Storms Of LifeStorms Of Life
Storms Of Life
 
Nguvu ya sadaka
Nguvu ya sadakaNguvu ya sadaka
Nguvu ya sadaka
 
How Then Should We Live
How Then Should We LiveHow Then Should We Live
How Then Should We Live
 
One God Explanations
One God ExplanationsOne God Explanations
One God Explanations
 
Pride of Life
Pride of LifePride of Life
Pride of Life
 
Earth Final Movie
Earth Final MovieEarth Final Movie
Earth Final Movie
 
God's appointed time part 1
God's appointed time part 1God's appointed time part 1
God's appointed time part 1
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Warfare Against Demons Part 3
Warfare Against Demons Part 3Warfare Against Demons Part 3
Warfare Against Demons Part 3
 
Ultimate Spiritual Fighting - The Reality Of Spiritual Warefare
Ultimate Spiritual Fighting - The Reality Of Spiritual WarefareUltimate Spiritual Fighting - The Reality Of Spiritual Warefare
Ultimate Spiritual Fighting - The Reality Of Spiritual Warefare
 
The importance of faith
The importance of faithThe importance of faith
The importance of faith
 

Vita vya kiroho

  • 1. 30 March 2012 VITA VYA KIROHO VITA VYA KIROHO ILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA  Mapambano na Nguvu za giza VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI  Kuteka Baraka zetu kwa Vita KWA USHINDI DUNIANI Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654 Mathayo 16:18‐19 mgisamtebe@yahoo.com Waefeso 6:10‐13 30 March 2012 www.mgisamtebe.org 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Mathayo 16:18‐19 Mathayo 16:18‐19 18 Nami Nitalijenga Kanisa langu,  19 … jambo lolote   wala milango ya kuzimu,  wala milango ya kuzimu utakalolifunga duniani,  t k l lif d i i haitaweza kulishinda. 19 Nami  litakuwa limefungwa  nitawapa funguo za Ufalme wa  mbinguni …  mbinguni (rohoni) …  30 March 2012 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Mathayo 16:18‐19 Waefeso 6:10‐13‐18 19 … na jambo lolote  ‘Iweni hodari katika Bwana, na  utakalolifungua duniani,  t k l lif d i i katika Uweza wa Nguvu zake.  katika Uweza wa Nguvu zake Vaeni silaha zote za Mungu ili  litakuwa limefunguliwa  muweze pupambana na hila za  mbinguni (rohoni).  mwovu shetani. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 1
  • 2. 30 March 2012 Waefeso 6:10‐13‐18 VITA VYA ROHONI ‘Kwa maana kushindana kwetu  Mathayo 16:18 sisi, si juu ya damu na nyama (si  vita vya kimwili) bali vita yetu ni  “Kwahiyo, kuna mashindano  (kuna vita), kati ya milango ya  (kuna vita) kati ya milango ya ya kupambana na falme za giza,  kuzimu (nguvu za giza) na kanisa mamlaka za giza, wakuu wa giza  la Bwana Yesu Kristo duniani.” na majeshi ya pepo wabaya,  katika ulimwengu wa roho. Ufunuo 12:17 30 March 2012 30 March 2012 VITA VYA ROHONI VITA VYA ROHONI Chanzo cha vita Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 3 “Kisha nikaona ishara nyingine  Vita hii ilitokea Wapi? Vita hii ilitokea Wapi? mbinguni; niliona, Joka mkubwa  mbinguni; niliona Joka mkubwa mwekundu, na alikuwa na  Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 vichwa saba na pembe kumi … Ezekieli 28:11‐19 30 March 2012 Isaya 14:10‐15 30 March 2012 VITA VYA ROHONI VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 4 “… na huyu joka, katika mkia  7 “Kulikuwa na vita mbinguni,  wake, alikuwa anakokota  wake alikuwa anakokota Malaika Mkuu wa majeshi ya  Malaika Mkuu wa majeshi ya theluhthi ya nyota za mbinguni  Mungu, Malaika Mikaeli,  (malaika wa Mungu) na  akapigana na yule joka na  kuziangusha katika nchi. malaika zake …” 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 2
  • 3. 30 March 2012 VITA VYA ROHONI VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala  10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni,  mahali pao hapakuonekana tena  mahali pao hapakuonekana tena ikisema, sas kumekuwa wokovu  ikisema sas kumekuwa wokovu mbinguni. 9 Yule joka aitwaye  na nguvu na ufalme wa Mungu  ibilisi na shetani, akatupwa  wetu na mamlaka ya Kristo wake,  duniani, na malalika zake  kwa maana ametupwa chini  wakatupwa pamoja naye. 30 March 2012 mshitaki wa ndugu zetu”. 30 March 2012 VITA VYA ROHONI VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka  12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi  na malaika zake, kwa damu ya  na malaika zake kwa damu ya wote mkaao mbinguni; lakini ole  wote mkaao mbinguni; lakini ole mwana kondoo na kwa neno la  wa ninyi mkaao duniani! Kwa  ushuhuda wao, ambao  maana yule joka ibilisi, ameshuka  hawakupenda maisha yao hata  kwenu, ana hasira nyingi akijua  30 March 2012kufa”. ana wakati mchache! 30 March 2012 VITA VYA ROHONI VITA VYA ROHONI Ufunuo 12:3‐4, 7‐12, 17 Mathayo 16:18 17 “Joka akamkasirikia yule  “Nitalijenga kanisa langu,  mwanamke (kanisa), akaenda  mwanamke (kanisa) akaenda litapambana na milango ya na milango ya  afanye vita juu wa wazao wake  kuzimu (nguvu za giza), na  wazishikao amri za Mungu na  milango ya kuzimu, haitaweza  kuwa na ushuhuda wa Yesu …” kulishinda kanisa langu …” 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 3
  • 4. 30 March 2012 KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  SIFA NA IBADA KWA MUNGU Ufunuo 12:27 Shetani anachotafuta ni kumpiga Kwanini Ibada? binadamu na mazingira yake ili na mazingira yake, ili  kumvurugia Mungu ibada,  Zaburi 22:3 anayoitamani sana kutoka kwa  binadamu, duniani.  30 March 2012 30 March 2012 SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Zab 22:3 Zaburi 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza  Wewe U Mtakatifu, nawe  kabisa katika k bi k ik moyo wa “UNAKETI” j UNAKETI juu ya sifa za Israel if I l Mungu, kwasababu MUNGU ANAISHI KATIKA  “Inhabit” “Unaishi” 30 March 2012 IBADA na SIFA. 30 March 2012 SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Zab 22:3 Kumnyima Mungu ibada IDABA ndio kitu cha kwanza  Ni kama kumnyima kabisa katika k bi k ik moyo wa • S Samaki maji ki ji Mungu, kwasababu • Mimea udongo MUNGU ANAISHI KATIKA  • Binadamu hewa 30 March 2012 IBADA na SIFA. 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 4
  • 5. 30 March 2012 SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Mungu “Kwa maana, Baba anawatafuta  Zab 22:3 Ibada Nchi watu wa aina hiyo ili  Kumb 8:6‐18 Yoh 4:23‐24 wamwabudu.” (Yohana 4: 23) Adam Zab 150:6 30 March 2012 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO SIFA NA IBADA KWA MUNGU Kusudi la Mungu la awali, ni  Mungu anatamani sana kukaa na kumwezesha mwanadamu  sisi watoto wake hapa duniani,  kuitawala dunia pamoja na  ndio maana anataka dunia yote Mungu, ili binadamu tuishi  ijazwe h li ya ib d ( t ij hali ibada (atmosphere)  h ) maisha mazuri (ya ushindi na  kama ilivyo mbinguni (masaa 24),  ili duniani pia, kuwe na mazingira mafanikio) na kuwa vyombo  ya maisha au ya makazi ya Mungu vizuri vya kumwabudu Mungu. 30 March 2012 kama ilivyo mbinguni. 30 March 2012 SADAKA NA IBADA KWA MUNGU SADAKA NA IBADA KWA MUNGU Mungu anataka watoto wake,  Kutokana na umuhimu na  tuwe na maisha mazuri, ili  unyeti wa ibada, Mungu  tunapopeleka ibada kwa  hakutaka na hataki watoto  Mungu, ibada hiyo ifike kwa  wake, tuwe na maisha ya  Mungu ikiwa safi (fresh), yaani  taabu, maisha ya dhiki na  ibada isiyo na kelele za moyoni  maisha ya shida; ili ibada yake  (masumbufu). 30 March 2012 isiingiliwe na vurugu zozote. 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 5
  • 6. 30 March 2012 KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  SADAKA NA IBADA KWA MUNGU Ili Mungu apate ibada nzuri Ndio maana Mungu alitumia kutoka kwetu, inamlazimu  muda mrefu zaidi kuumba Dunia kutubariki na kututengenezea na kututengenezea  kuliko muda aliotumia mazingira mazuri, ili tuweze  kumuumba binadamu kuwa na maisha mazuri ya  mwenyewe. kumtumikia yeye kama vyombo  Dunia =  siku 5 vizuri vya ibada.  30 March 2012 Adam  =  siku 1 30 March 2012 SADAKA NA IBADA KWA MUNGU NGUVU YA SADAKA NA IBADA Hii inaonyesha wazi kwamba,  Wakolosai 1:16 Mungu anajali sana mazingira ya  16 … vitu vinavyoonekana na  maisha yako; kwasababu, ibada  vile visivyoonekana, vitu vyote  y , y nzuri inategemea aina ya maisha viliumbwa na Yeye na kwa ajili  ya mtu, na aina ya maisha  Yake. (rasilimali zote  yanategemea aina ya mazingira zilimewekwa na Mungu na kwa  anayoishi mtu huyo. ajili yake) 30 March 2012 30 March 2012 SIFA NA IBADA KWA MUNGU KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Mungu Zab 22:3 Ibada nzuri hutoka katika moyo  Ibada Nchi uliotulia na pia maisha mazuri;  uliotulia na pia maisha mazuri; Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 na maisha mazuri huchangiwa  sana na mazingira mazuri. Adam Kumbukumbu 8:6‐18  Zab 150:6 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 6
  • 7. 30 March 2012 KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Ufunuo 12:27 Mazingira yakitibuka, maisha Shetani anachotafuta ni kumpiga yanatibuka, na maisha  yanatibuka na maisha binadamu na mazingira yake ili na mazingira yake, ili  yakitibuka, ibada kwa Mungu  kumvurugia Mungu ibada,  pia, inatibuka.  anayoitamani sana kutoka kwa  Kumbukumbu 8:6‐18 binadamu, duniani.  30 March 2012 30 March 2012 VITA VYA ROHONI KANUNI ZA KIROHO Mathayo 16:18 Waefeso 6:10‐13‐18 “Nitalijenga kanisa langu,  ‘Iweni hodari katika Bwana, na  litapambana na milango ya na milango ya  katika Uweza wa Nguvu zake.  katika Uweza wa Nguvu zake kuzimu (nguvu za giza), na  Vaeni silaha zote za Mungu ili  milango ya kuzimu, haitaweza  muweze pupambana na hila za  kulishinda kanisa langu …” mwovu shetani. 30 March 2012 30 March 2012 Waefeso 6:10‐13‐18 2Wakorintho 10:3‐5 ‘Kwa maana kushindana kwetu  ‘Ingawa tunaenenda kimwili,  sisi, si juu ya damu na nyama (si  hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,  vita vya kimwili) bali vita yetu ni  silaha zetu zina nguvu katika  g ya kupambana na falme za giza,  Mungu (roho), tukiteka nyara  mamlaka za giza, wakuu wa giza  mawazo na fikra na kila kitu  na majeshi ya pepo wabaya,  kinachojiinua kinyume na elimu  katika ulimwengu wa roho. ya Bwana wetu Yesu Kristo. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 7
  • 8. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Kusudi la Mungu la awali, ni  Ni mapenzi ya Mungu tuishi  kumwezesha mwanadamu  maisha ya ushindi na  kuitawala dunia pamoja na  mafanikio ili kutimiza kusudi  Mungu, ili binadamu tuishi  la Mungu na kuishi maisha  maisha mazuri (ya ushindi na  mazuri kama chombo maalum  mafanikio) na kuwa vyombo  cha kumsifu na kumwabudu  vizuri vya kumwabudu Mungu. 30 March 2012 Mungu. 30 March 2012 KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KANUNI ZA KIROHO Ili Mungu apate ibada nzuri Kusudi la Mungu la awali, ni  kutoka kwetu, inamlazimu  kumwezesha mwanadamu  kutubariki na kututengenezea na kututengenezea  kuitawala dunia pamoja na  mazingira mazuri, ili tuweze  Mungu, ili binadamu tuishi  kuwa na maisha mazuri ya  maisha mazuri (ya ushindi na  kumtumikia yeye kama vyombo  mafanikio) na kuwa vyombo  vizuri vya ibada.  30 March 2012 vizuri vya kumwabudu Mungu. 30 March 2012 SIFA NA IBADA KWA MUNGU KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Mungu Ili Mwanadamu aweze kulitimiza  Zab 22:3 Kusudi la Mungu vizuri, Mungu  Ibada Nchi alimpa Mwanadamu Mamlaka ya  alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 Kiroho ili Kutawala mazingira yake, ili awe na maisha mazuri ya  Adam kumtumikia Mungu kama  30 March 2012 Zab 150:6 vyombo vizuri vya ibada.  30 March 2012 Vita Vya Kiroho 8
  • 9. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO MAMLAKA YA KIROHO Ebrn 11:3,  Efes 6:12     Mwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8 Mungu aliitengeneza dunia  katika namna kwamba,  Mamlaka ya Kiroho. Mamlaka ya Kiroho ulimwengu wa mwili,  utatawaliwa kwa mamlaka ya  Mungu kutoka katika  Ulimwengu wa roho. 30 March 2012 30 March 2012 MAMLAKA YA KIROHO MAMLAKA YA KIROHO Mwanzo 1:26‐28 26 ‘Mungu akasema, tufanye  Mamlaka ya Kiroho Mtu kwa Sura yetu na Mfano  wetu, wakatawale samaki wa  Mwanzo 1:26‐28 baharini na ndege wa angani, na  kila kitu kipitacho juu ya nchi’. 30 March 2012 30 March 2012 MAMLAKA YA KIROHO MAMLAKA YA KIROHO Mwanzo 1:26‐28 Mwanzo 1:26‐28 27 ‘Bwana Mungu akaumba  28 ‘Bwana Mungu akawaweka  Mwanamke na Mwanaume;  katika bustani, akawaambia,  kwa Mfano wa Mungu  zaeni mkaongezeke na kuitiisha  aliwaumba’ (kuitawala) nchi.’ 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 9
  • 10. 30 March 2012 MAMLAKA YA KIROHO MAMLAK YA KIROHO Warumi 3:23/Warumi 5:12‐19 Mwanadamu alipofanya dhambi,  alipoteza mamlaka ya Mungu  katika ulimwengu wa roho na  KABLA YA DHAMBI kushindwa kuutawala ulimwengu  UTARATIBU ULIKUWA HIVI wa mwili; badala yake,  ulimwengu wa mwili ukamtawala  mwanandamu. 30 March 2012 30 March 2012 KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)  Utukufu (Msaada) Mungu MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI     “Mashal” Mkuu Mwili Roho MUNGU Mfalme ADAM Mtawala MALAIKA Mwakilishi Dunia  mungu Nafsi DUNIA SHETANI Shetani Zab 8:4‐8 30 March 2012 30 March 2012 MAMLAKA YA KIROHO MAMLAKA YA KIROHO Zaburi 8:4‐8 Mwanadamu ni nani hata  umwangalie kwa kiasi hiki?   Zaburi 8:4‐8 Zaburi 8:4‐8 Umemfanya ‘punde kidogo’ Umemfanya  punde kidogo kuliko Mungu, ukamvika taji ya  ‘Utukufu’na Heshima;   ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za  30 March 2012 mikono yako … 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 10
  • 11. 30 March 2012 MAMLAKA YA KIROHO MAMLAKA YA MKRISTO Zaburi 8:4‐8 KABLA YA DHAMBI     “Mashal” … na ukaviweka vitu vyote  Mkuu ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’ MUNGU Mfalme miguu yake; wanyama wote,  ADAM Mtawala ndege wote, samaki na kila kitu  MALAIKA Mwakilishi mungu kipitacho katika njia za maji. DUNIA SHETANI 30 March 2012 30 March 2012 Zab 8:4‐8 KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)  KANUNI ZA KIROHO Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI Dunia  Nafsi Shetani 30 March 2012 30 March 2012 BAADA YA DHAMBI  MAMLAKA YA MKRISTO Msaada Ukakatika Mungu BAADA YA DHAMBI MUNGU Mwili Roho SHETANI MALAIKA Dunia DUNIA Nafsi SHETANI ALITAPELI  ADAM NAFASI YA ADAM Shetani 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 11
  • 12. 30 March 2012 Mamlaka ya shetani ulimwenguni MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI Efe 2:1‐2   – Mfalme wa anga MUNGU Mkuu Yohana 16:11 2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii Mfalme Waefeso 2:1‐2 SHETANI Mtawala 1Yohana 5:19 1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler)  1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) MALAIKA Mwakilishi Luka 4:5‐8 Yoh 12:31  – Mkuu wa Ulimwengu mungu 2Korintho 4:3‐4 DUNIA Shetani akakaa katika         Yoh 14:30  – Mkuu wa Ulimwengu ADAM nafasi ya Adam na  Yoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu 30 March 2012 akavaa vyeo vyote vya Adam       30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA DHAMBI Mkuu Yohana 16:11 MUNGU Mfalme Waefeso 2:1‐2 SHETANI Mtawala 1Yohana 5:19 BAADA YA WOKOVU MALAIKA Mwakilishi Luka 4:5‐8 MAMBO YAKAWA HIVI mungu 2Korintho 4:3‐4 DUNIA Warumi 5:12, 14 ADAM Waebrania 2:14, 15 30 March 2012 30 March 2012 BAADA YA WOKOVU (KALVARI)  MAMLAKA YA MKRISTO (Utukufu) Uhusiano Mungu BAADA YA WOKOVU Mkuu MUNGU + ADAM ‐ 2 Mfalme Mwili Roho MALAIKA Mtawala SHETANI Mwakilishi Dunia DUNIA mungu Nafsi ADAM  ‐ 1 Waefeso 2:1‐6 Shetani 30 March 2012 30 March 2012 Waefeso 1:18‐23 Vita Vya Kiroho 12
  • 13. 30 March 2012 BAADA YA WOKOVU (KALVARI)  KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8 (Utukufu) Roho Mt. Mungu Mungu aliitengeneza dunia  katika namna kwamba,  Mwili Roho ulimwengu wa mwili,  utatawaliwa kwa mamlaka ya  Dunia Mungu kutoka katika  Nafsi Ulimwengu wa roho. Shetani 30 March 2012 (Rum 8:9‐11)  30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Warumi 3:23/Warumi 5:12‐19 Waefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10 Mwanadamu alipofanya dhambi,  Lakini Mtu anapotubu dhambi zake  alipoteza mamlaka ya Mungu  na kuupokea Wokovu wa Bwana  katika ulimwengu wa roho na  Yesu Krsito, anaunganishwa tena  kushindwa kuutawala ulimwengu  na Mungu na kupewa mamlaka wa mwili; badala yake,  makuu zaidi, kuliko yale  ulimwengu wa mwili ukamtawala  aliyoyapoteza Adam na Eva    mwanandamu. 30 March 2012 katika bustani ya Eden. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Mathayo 16:18‐19 Mathayo 16:18‐19 18 Nami Nitalijenga Kanisa langu,  19 … jambo lolote   wala milango ya kuzimu,  wala milango ya kuzimu utakalolifunga duniani,  t k l lif d i i haitaweza kulishinda. 19 Nami  litakuwa limefungwa  nitawapa funguo za Ufalme wa  mbinguni …  mbinguni (rohoni) …  30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 13
  • 14. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO MAMLAKA YA MKRISTO Mathayo 16:18‐19 Ufunuo 5:9‐10 19 … na jambo lolote  9 Wewe unastahili kukitwaa utakalolifungua duniani,  t k l lif d i i kitabu na kuzivunja lakiri zake, zake,  kwa sababu ulichinjwa na kwa  litakuwa limefunguliwa  damu yako ukamnunulia  Mungu watu kutoka katika kila  mbinguni (rohoni).  kabila, kila lugha, kila jamaa na  30 March 2012 kila taifa (kanisa).  30 March 2012 MAMLAKA YA MKRISTO KANUNI ZA KIROHO Waefeso 1:18‐23/2:1‐6 Ufunuo 5:9‐10 Mungu wetu, hataweza  10 Nawe umewafanya hawa  kukurithisha mamlaka ya  wawe Ufalme na Makuhani wa  f l k h i Ulimwengu wa roho ili Uli h ili uweze  kumtumikia Mungu wetu, nao  kuleta mabadiliko katika  wanamiliki dunia.’’ ulimwengu wa mwili, kama  hajazaliwa mara ya pili, kwa njia  30 March 2012 ya Wokovu wa Yesu Kristo. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO BAADA YA WOKOVU (KALVARI)  Baada ya Wokovu, mtu wa  (Utukufu) Roho Mt. Mungu Mungu huyo, anajazwa Roho  Mtakatifu na Nguvu zake ili na Nguvu zake, ili  Mwili Roho kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya  Dunia Eden, kwa njia ya dhambi. Nafsi 30 March 2012 Shetani 30 March 2012 (Rum 8:9‐11)  Vita Vya Kiroho 14
  • 15. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Bwana Yesu aliomba hivi: Yohana 17:22 Yohana 17:22 ‘Utukufu’ huo, ni Roho  ‘Baba Utukufu ule ulionipa Baba, Utukufu ule ulionipa,  Mtakatifu yule yule aliyepewa yule yule aliyepewa  nami nimewapa wao (Kanisa)’; Adam wa kwanza, ili aweze  ‘yaani watu walioniamini, walinipokea  kuutawala ulimwengu wa dunia  maishani mwao na wanaishi kwa kanuni  hii kwa Nguvu za Mungu. zangu za kiroho’ 30 March 2012 Zaburi 8:4‐8 30 March 2012 KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KANUNI ZA KIROHO 2Petro 1:3‐4 Kusudi la Mungu la awali, ni  Tunapambana na adui mwenye kumwezesha mwanadamu  nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu kuitawala dunia pamoja na  hataweza kuleta mabadiliko Mungu, ili binadamu tuishi  mazuri katika maisha yake na maisha mazuri (ya ushindi na  kumwezesha kuishi maisha mafanikio) na kuwa vyombo  mazuri na ya ushindi, ili kuwa chombo kizuri cha ibada. 30 March 2012 vizuri vya kumwabudu Mungu. 30 March 2012 KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KANUNI ZA KIROHO Ili Mwanadamu aweze kulitimiza  Kusudi la Mungu vizuri, Mungu  Kwanini alimpa Mwanadamu Mamlaka ya  alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira Ulimwengu wa roho. Uli h yake, ili awe na maisha mazuri ya  Zab 8:4‐8, Waefeso 6:12 kumtumikia Mungu kama  vyombo vizuri vya ibada.  30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 15
  • 16. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Ni kwasababu; Waebrania 11:3    Mungu aliitengeneza dunia katika  Ni muhimu uje kwamba,  namna kwamba, ulimwengu wa  Dunia yetu inatawaliwa kwa   Dunia yetu inatawaliwa kwa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika  Kanuni kuu Mbili (2) Ulimwengu wa roho. 2. Kanuni za Kimwili (Zab 4:4‐8, Ebr 11:3) 1. Kanuni za Kiroho 30 March 2012 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Nguvu                     Nguvu Kwa Mfano; Za                            za Uumbaji wa vitu vya Dunia Uumbaji wa vitu vya Dunia Kimwili        Vs        Kiroho  Waebrania 11:3 (Natural                (Spiritual   Principles)            Principles) 30 March 2012 30 March 2012 Kanuni za kiroho za Ushindi Kanuni za kiroho za Ushindi Waebrania 11:3 Waebrania 11:3 Nasi twajua ya kwamba,  ulimwengu uliumbwa kwa Neno “… vitu vinavyoonekana … vitu vinavyoonekana la Mungu, hata vitu (vya kimwili) vilifanywa kwa  vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri. vitu visivyo dhahiri ”. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 16
  • 17. 30 March 2012 Kanuni za kiroho za Ushindi Kanuni za kiroho za Ushindi Waebrania 11:3 Waebrania 11:3 “… vitu vinavyoonekana … vitu vinavyoonekana “… vitu vinavyoonekana … vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa  (vya kimwili) vilifanywa kwa  vitu visivyo waziwazi ”. vitu visivyo onekana (vya kiroho).” 30 March 2012 30 March 2012 Kanuni za kiroho za Ushindi ULIMWENGU WA ROHO Waebrania 11:3 Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho ndio Waebrania 11:3 ulioumbwa kwanza; na kisha Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia,  ulipokamilika, ndipo M li k ilik di Mungu aliiumba katika ulimwengu wa  akauzaa Ulimwengu wa mwili kiroho kwanza, na alipoikalimisha  kutokea katika rohoni, ndipo akaizaa (akai‐ photocopy au akai‐print) katika  Ulimwengu wa Roho. 30 March 2012 ulimwengu wa mwili. 30 March 2012 Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18 Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18 Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia     Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia     Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21 Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21 7 1000 7 1000 33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo 33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo 30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme 30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme Injili Injili Kalvari      Kanisa  600                                 Kalvari       Kanisa  Milele Milele 700                                   2000 (4) Daniel  7:13 – 14, 27 (3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15 30 March 2012 30 March 2012 Ulimwengu wa Mwili Bahari             Miti        Upepo           Vita Vya Kiroho 17
  • 18. 30 March 2012 Kanuni za kiroho za Ushindi NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3 Ulimwengu wa roho “… vitu vinavyoonekana Kwahiyo, ukiona jambo limetokea  mahali fulani leo, usije ukafikiri  (vya kimwili) vilifanywa kwa  (vya kimwili) vilifanywa kwa limeanza leo, hapana; li l h vitu visivyo onekana Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo  (vya kiroho). hilo limejitokeza, lakini mbegu yake  ilipandwa huko rohoni siku kadhaa  30 March 2012 zilizopita (wakati uliopita). 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI KANUNI ZA KIROHO Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3    Wewe usipokuwa na nidhamu ya  Hivyo; kwenda rohoni kwa njia ya  j y Hakuna kitu kinafanyika katika  Hakuna kitu kinafanyika katika maombi, kumbuka kwamba, adui  Ulimwengu wa Mwili mpaka  yako shetani, yuko huko huko  kwanza kimefanyika katika    rohoni; naye atakutengenezea  mambo ambayo usingetaka      Ulimwengu wa Kiroho. kabisa yakupate. 30 March 2012 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO ULIMWENGU WA ROHO 2Wakorintho 4:18    Waebrania 11:3 Tusiviangalie vitu  Kwahiyo, Mungu alipoumba  vinavyoonekana (vya kimwili) ni  y ( y ) dunia, aliiumba kwanza katika  vya muda; bali tuviangalie vitu  ulimwengu wa kiroho, na  visiyoonekana (vya kiroho)  alipoikalimisha, ndipo akaizaa kwani hivyo ndivyo vya milele  (akai‐photocopy au akai‐print)  katika ulimwengu wa mwili. (vya kudumu). 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 18
  • 19. 30 March 2012 ULIMWENGU WA ROHO ULIMWENGU WA ROHO Waebrania 11:3 Kwahiyo, kila kitu duniani kina  Kwahiyo original copy na photocopy yake.  Kila cha Kimwili,  Au kila kitu unachokiona duniani,  kil ki h ki d i i ujue kina soft‐copy na hard‐copy  kina cha kiroho chake yake (yaani kina upande wa rohoni 1 Wakorintho 15:44 na wa upande wa mwilini). 30 March 2012 30 March 2012 ULIMWENGU WA ROHO ULIMWENGU WA ROHO 1 Wakorintho 15:44 Ayubu 8:9 “Ikiwa kuna mwili wa asili,  “Kwakuwa sisi ni wa jana tu, Kwakuwa sisi ni wa jana tu,  Basi na mwili wa roho pia, upo” wala hatujui neno, maisha yetu  ni kama kivuli” ‐ Photocopy  ‐ 30 March 2012 30 March 2012 ULIMWENGU WA ROHO ULIMWENGU WA ROHO Ulimwengu w Katika ulimwengu wetu, kuna  Zaburi 39:6a vitu vya Namna kuu mbili (2); “Binadamu huko na huko Binadamu huko na huko • Vit isi oonekana Vitu visivyoonekana kama kivuli” • Vitu vinavyoonekana ‐ Photocopy  ‐ Na vyote viko kwa pamoja 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 19
  • 20. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3    Waebrania 11:3    Ni Kwasababu,  Ni Kwasababu,  Ulimwengu wa Mwili Mambo ya Ulimwengu wa mwili ulizaliwa kupitia  yanatawaliwa kwa mambo ya  Ulimwengu wa Kiroho. ulimwengu wa roho;  30 March 2012 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO KANUNI ZA KIROHO Waebrania 11:3    Waebrania 11:3    Ni muhimu uje kwamba,  Hivyo, kwa utaratibu huu; Kanuni za Kimwili Kanuni za Kimwili Hakuna kitu kinafanyika katika  Hakuna kitu kinafanyika katika zinatawaliwa na  Ulimwengu wa Mwili mpaka  kwanza kimefanyika katika    Kanuni za Kiroho Ulimwengu wa Kiroho. 30 March 2012 30 March 2012 MAANA YA KUOMBA MAANA YA KUOMBA Kuomba, ni namna ya mtu,  kwenda katika ulimwengu wa  roho, ili kuwasiliana na Mungu  Tafsiri Mpya ya  Tafsiri Mpya ya wake, na kuuathiri ulimwengu  k k thi i li Maombi wa roho, katika namna ambayo,  itakayoleta mabadiliko katika  ulimwengu huu wa mwili. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 20
  • 21. 30 March 2012 KANUNI ZAKIROHO NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17‐18; Kwa Mfano  Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi,  lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga  Maombi ya Nabii Eliya mvua, na Mungu alimsikia, na  Yakobo 5:17‐18; mbingu zikafungika na mvua (ya ki‐ 1Wafalme 17‐18; mwilini) haikunyesha juu ya nchi,  30 March 2012 kwa  muda wa  miaka 3 na nusu. 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo 5:17‐18; Yakobo 5:17‐18; Japo kulikuwa na kanuni zote za  Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi  kisayansi za mvua kunyesha, lakini  yote ilikuwa kavu kabisa na misitu  Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda  yote imepukutika; kwahiyo  rohoni, akaathiri (tibua) kanuni  hakukuwa na kanuni za kutosha  zinazotawala mvua mwili, na ndio  kuruhusu mvua kunyesha. maana mvua haikunyesha. 30 March 2012 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI MAANA YA KUOMBA Kwa Mfano wa Nabii Eliya Kuomba, ni namna ya mtu,  Yakobo 5:17‐18; kwenda katika ulimwengu wa  Eliya akaomba tena kwa bidii, ili  roho, ili kuwasiliana na Mungu  kuifungua mvua kutoka katika wake, na kuuathiri ulimwengu  k k thi i li uliwengu wa roho, na Mungu  wa roho, katika namna ambayo,  alimsikia, na mbingu zikafunguka na  itakayoleta mabadiliko katika  mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na  ulimwengu huu wa mwili. nchi ikazaa matunda yake. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 21
  • 22. 30 March 2012 Mabadiliko gani hayo? NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano; 1Wafalme 18:30‐45; Maisha mazuri, Familia nzuri,  Eliya akawakusanya Waisraeli wote,  Masomo mazuri,, Kazi nzuri,  akaijenga madhabahu ya Bwana  Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,  upya, akaweka sadaka ya ng’ombe  k k d k b Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma juu ya madhabahu, na akawataka  nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi  wamwage maji pipa 12 juu yake,  nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu  kama yalivyo mawe 12 ya  wazuri, nk. nk. nk. 30 March 2012 madhabahu na kabila 12 za Israeli. 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:30‐45; Yakobo 5:18; Baada ya kufanya Kanuni hizi za  Kiroho, ndipo Eliya akafanya  MATOKEO = USHINDI Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu  Mvua ik M ikanyesha k ik h katika ya upinzani, iliyokuwa inazuia  ulimwengu wa mwili, na Nchi baraka za Mungu, kuwafikia  ikazaa matunda yake, na watu watoto wake duniani. wakafaidi mema ya nchi. 30 March 2012 30 March 2012 Ulimwengu wa roho NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa Roho 1Wafalme 18:41‐44; Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      Baada ya ile Sadaka na Maombi,  /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / /     /        Mvua ya rohoni /      /        /      / Nabii Eliya akawaambia watu,  Nabii Eliya akawaambia watu, / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua  Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu tele’ (mstari 41), watu  Ulimwengu wa Mwili walipoondoka, Eliya alikwenda  mlimani ili kufanya MAOMBI; 30 March 2012 30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi  Vita Vya Kiroho 22
  • 23. 30 March 2012 Ulimwengu wa roho NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa Roho 1Wafalme 18:41‐45; Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18)  /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      Na watu walipoondoka, Eliya  /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / /     /     Mvua ya rohoni /      /        /      / alikwenda mlimani kuomba; na  alikwenda mlimani kuomba; na / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / baada ya maombi mazito mara  Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu saba (7), ndipo mvua kubwa  Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /    Mvua ya Mwilini /        / sana ikanyesha juu ya nchi  /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       / /      /      /       /      /      /      /       /        / (mstari 44‐45). 30 March 2012 30 March 2012 /      /      /       /      /      /      /       /        / NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41‐45; 1Wafalme 18:41‐45; Kumbe, mvua haikunyesha  Kwahiyo, kumbuka kwamba,  katika ulimwengu wa mwili,  katika ulimwengu wa mwili, , Kanuni za kiroho, ndizo  mpaka kwanza ilipotengenezwa  zilizotangulia kusababisha athari  katika ulimwengu wa kiroho katika ulimwengu wa rohoni kwanza. kwanza, ili mvua inyeshe katika  30 March 2012 ulimwengu wa mwili. 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI 1Wafalme 18:41‐45; Ulimwengu wa roho Kwahiyo,  Wewe usipokuwa na nidhamu ya  Ile mvua haikunyesha katika  Ile mvua haikunyesha katika kwenda rohoni kwa njia ya  j y maombi, kumbuka kwamba, adui  ulimwengu wa mwili, mpaka  yako shetani, yuko huko huko  kwanza ilipotengenezwa katika  rohoni; naye atakutengenezea  ulimwengu wa kiroho kwanza. mambo ambayo usingetaka      30 March 2012 kabisa yakupate. 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 23
  • 24. 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa roho 1Wafalme 18:41‐45; Kwahiyo, ukiona jambo limetokea  Kwahiyo, ile mvua haikunyesha  mahali fulani leo, usije ukafikiri  limeanza leo, hapana; li l h katika ulimwengu wa mwili,  katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa  Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo  hilo limejitokeza, lakini mbegu yake  katika ulimwengu wa kiroho ilipandwa huko rohoni siku kadhaa  kwanza. zilizopita (wakati uliopita). 30 March 2012 30 March 2012 Ulimwengu wa roho NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa Roho Ulimwengu wa roho Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14) Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30 /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / ‘Mungu ameshatubariki kwa  /     /        Mvua ya rohoni /      /        /      / / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / baraka zote za rohoni, katika b k h i k ik Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu ulimwengu wa roho; kama  Ulimwengu wa Mwili alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu,  tuwe watakatifu’. 30 March 2012 30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi  Ulimwengu wa roho NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu wa Roho 1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18 Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18)  Wana wa Israeli, walikuwa  /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / wanateseka kwa maisha  / /     /     Mvua ya rohoni /      /        /      / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / magumu, katika ulimwengu wa  Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu mwili, wakati wao ni wabarikiwa  Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        / wenye baraka nyingi sana katika  /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /    Mvua ya Mwilini /        / /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       / ulimwengu wa roho. /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /       /      /      /      /       /        / 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 24
  • 25. 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NGUVU YA MAOMBI Kama Eliya asingeomba kwa  Ulimwengu wa roho bidii, ile baraka ya mvua (rohoni)  Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30 ingekomea huko huko rohoni, na  Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi  huku duniani, watu wa Mungu  zote tulizopewa katika ulimwengu  li k ik li wangeishi maisha ya shida na  wa roho, zitabaki huko huko rohoni, taabu; na kumbe wana baraka  wakati huku duniani, tunateseka  kwa maisha magumu, yaliyojaa  nyingi sana katika U’rohoni. 30 March 2012 shida na taabu nyingi. 30 March 2012 KANUNI ZA KIROHO NGUVU YA MAOMBI Waebrania 11:3    Ulimwengu wa roho Mungu wetu ni Mungu wa  Utendaji kazi wa Mungu duniani,  Imani, anayefanya mambo  , y y huanzia katika ulimwengu wa roho g yasiyoonekana kwanza, kabla ya  kwanza. Mambo yakikamilika  kuyasababisha yatokee katika  rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo  katika ulimwengu wa mwili. ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana) 30 March 2012 30 March 2012 NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA ULIMWENGU WA ROHO Kama tunataka kutawala vizuri  mambo yetu ya kimaisha na kuleta  mabadiliko katika mambo ya  Kwanini tunaishi  kimwili, basi ni lazima tuufahamu  ki ili b i i l i t f h maisha ya kushindwa? vizuri ulimwengu wa roho, na tujue  namna ya kuuathiri (U’roho) ktk  namna itakayoleta mabadiliko  katika ulimwengu wa mwili. 30 March 2012 30 March 2012 Vita Vya Kiroho 25
  • 26. 30 March 2012 ULIMWENGU WA ROHO NGUVU YA MAOMBI Hebu jiulize mwenye… Kwanini tunaishi maisha magumu  Ni kwasababu; watu wa Mungu, na ya mateso huku mwili, yaliyojaa  shida na taabu nyingi, na kumbe  hid t b i i k b (1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa  kule rohoni tumebarikiwa na  roho inavyoingiliana na ulimwengu  Mungu kwa baraka zote, tena  wa mwili, hata kuleta mabadiliko  nyingi sana, za kutusaidia katika  tunayotaka kuyaona huku duniani.   maisha yetu ya kila siku? 30 March 2012 ~ kutokujua ~ 30 March 2012 Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18 Waebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18 Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia     Ukamilifu           Dhamira           Torati                        Mpito                  Neema              Dhiki         Milenia     Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho Uumbaji      Anguko                     Wafalme       Kuzaliwa            Msalaba                 Unyakuo                     Mwisho Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21 Mwa 1         Mwa 3                      Manabii    Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21 7 1000 7 1000 33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo 33               (1) Ufu 13 :8              3 ½      3 ½ Kristo 30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme 30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme Injili Injili Kalvari      Kanisa  600                                 Kalvari       Kanisa  Milele Milele 700                                   2000 (4) Daniel  7:13 – 14, 27 (3) Isaya  9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo  20:11 – 15 30 March 2012 30 March 2012 Ulimwengu wa Mwili Bahari             Miti        Upepo           Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho Ulimwengu wa Roho Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14) Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18)  /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      /     /     /     /      /       /        /        /        /     /      /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / /    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       / /     /        Mvua ya rohoni /      /        /      / /     /     Mvua ya rohoni /      /        /      / / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / / /        /      /       /      /      /      /       /      /      / / / / / / / / / / Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /    Mvua ya Mwilini /        / /      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       / /      /      /       /      /      /      /       /        / /      /      /       /      /      /      /       /        / 30 March 2012Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi  30 March 2012 Vita Vya Kiroho 26