SlideShare a Scribd company logo
1 of 55
Download to read offline
.:l)!td:' lftt$
KT,ISAFISHNKUWA{MINI
UC]IIAFTJ
WA KLJI-OAMINI
Kimeandikua k*a kirabuna
SHEKI] MOAI{F,D ESN4A,ELAS SANANI
krnrclisiriraka kis$ahilina
A IT,,1,1SAI,I,A1r1
K1IINGI1'INI
],AI,11,
Kllvjl.( Al,lSIlw,AN.,IIil;N(iMWA
WI./- I{AYA 1A4I]O ;/A KJSIAN,lNA W,AKFI]NA DA-WA
NA KI1)N(}OZA.
WAI,U,A YA N4A],1I]OIi N,l-C}IAI)I:iII() N,MA I ANGAZO
RIY,,DH
SALDI ARAB]A
l l l r , I l . - l 9 e S( ; .
WAIfl ), I{WI';NYf.ll MtNCLi
,É+'ùrirt'lfulLrî)i
KUSAFISHA KUWAÙ{I4INI
UCTT{FU
V'IA KUTO AMINI
Kimeandikwakwakirabu na
SI{EKHMOAMED ESMAELAS SA}IA}{I
kimefisiriwa kwakiswahili na
A.M. MSALLAÀ4
KIZINGITINI
LAMU
KIIvIECAPISIIWA NAKIJIANGAZryA
TIZAIiAYA IVIAMBO ZA KISI-AM NA TVAKFUNA DA-ryA
NA KUO.NGOZA.
WAIL{LA YA I{AMBO ZA I{ACHAPISHO NAIilATA]-IGAZO
RIYADH
SATJDIARABIA
t4l6 1r.- 1995G.
WAKFUYA MWENYEZI MI.INGU
#il#jtàb)t
1/ .ot : al+Tlr',
t1.-Tt-. ÉT-T: cL.r-;
{J+rtll -T
f,ùl*.,TlC g+tl -t
1/.10t
-r  É1 . q.)l-Tl ùJ'Lâllirli,
JÉirl't$Ï î:*i,tJf
"{i
dllll'i(. t-,J{i
.!.t ...,!Jrâ. |
;tr.i,atl
. .llÏc.Jl !+l^t
1* V x T, u- f,
111.-Yt-. [T-Td.1,
iJ-b-Jliillli,Fill
uÊtL.6i.r-
d*Tl
-t
ùbr.lt_T
Tf . gr*.r
ttto
-rÉ1
1 .
2 .
NENO LA MSAWAHILISHI
Dini
KUPWEKESHAM'NGU
mbali mbali zina afikiana kwenyer
Kuwa kuna M'ngu.
Kuwa M'ngu ni M'moja; Mwenye kuumba vitu
vyote, mwenye kuvibakisha,na mwenye kutowesha.
3. Mambo fulani ya kumridhisha M'ngu ni lazima
kuyafanya kwaajili ya M'ngu: mambo ambayo
kuyafanyakunaitwa kuabudu.
Namna yakuabudu ndilo jambo lenye kuonyesha
kuwa mwenye kuabudu mwenyewe anampwekesha
M'ngu. au anamshirikisha!Na kabla hatujabaini haya
kwa urefu, nivlzuri kwanzatufahamu:-
N I N I N I K U P W E K E S H AM ' N G U ,
N A N I N I N IK U S H I R I K I S H A ?
KUPWEKESHAM'NGU, ni kuamini kuwa M'ngu,
ni m'moja pekeyake muumbaji, pekeyake mwenye
kuruzuku, pekeyake mwenye kueka na kuondowa.
kadhalikapekeyakemwenye kustahiki kuabudiwa!Amma
kushirikishaM'ngu, ni kuamini kuwa M'ngu ana vyenye
kumshiriki yeye katika kuumba au kupa rizki; au kuki-
fanyia chochote lolote ambalo hafanyiwi asie kuwa
M'nguI
Dini zote za mbinguni zime baini, wazi katika
maandishiyâzo, upweke wa M'ngu. Na imani hii ya
kupwekesha,kwa hivyo, ndio imani yakiaslikatikadini
zamitumewote.
Amma ltikadi zenyekukhalifianana imani hii bila
ya shaka nikati ya mambo mageni yasio ki.rfundishwa
na nritumena ambayo yalipenyezwana wafuasi wa dini
hizo kwa sababuhii au nyengine!Kwenyemafundisho
ya dini mbali mbali hata zile zenye ushirikiwazi. una-
weza kuona vilevile namna zilivyo na isharawazi zenye
kukubalianana imani ya kupwekesha:
Kwa rnfano:
Kwanza;Mafundishoya dini Va Zoroasta- mwa-
limu wa dini katikapashiakwenyeMiaka 6OOkablaya
kuzaliwa nabii lsa (A.S). lngawa mafundisho hayo
yalidai kwamba huu ulimwengu Uliumbwa na nguvLt
mbili zikagawanyiana;lakini mafundishohayo yanathi
bitisha kuwa nguvu ya shari khatimae itashindwana
nguvu ya kheri. Hili fikiwa na maana yoyote fitakuwa
linaonyeshawazi kukubalikwa Zoroastakwamba.Alie-
uumba ulimwengu ni m'moja nae niyule alie muita
nguvu ya kheri, yenye kushinda.baadaya utesi mrefu.
kati ya hio nguvu ya kheri, (ORMAZD) na nguvu ya
s h a r i ,{ A N G R A M A I N Y U ) .
Kwa sababuM'ngu haifai kushindwa,Na madamu
amemthibltishiakushindwa, huwa amekwisha kumka-
nushia UM'ngu! Kadhalikamwito wa Zoroasta kwenye
kuisaidianguvu ya kheri dhidi ya nguvu ya Shari,una-
weza kufasiriwa kama mwito wa kumuabudu M'ngu
m'moja na kuyapenda yake. hali yakuchukia yenye
kupinganana mapenziyakel
Pili: Pamojana imani ya utatu (TRtNlTy) wanaoi-
amini wakristo, kitabu chao kitakatifu BfBLIA kwenye
AGANO la kale na jipya, kina thibitisha waui imani ya
.'KUPWEKESHA
M'NGU".
Katika agano lakale:-
Mwanzo: 1:1 Pameandikwa:
"Hapo mwanzo M'ngu aliziumbambingu na nchi"
vile vile agano la kale:
Kutoka: 2O:3-5 Pameandikwa:
"Usiwe na miungu mingine ifa mimi. Usijifanyie
sanamu ya kuchongawala mfano wa kitu chochote
kilicho juu ya mbinguni wafa chini ya duniani,
wala kificho majini chini ya duniani.Usivisujudie
wala kuvitumikia; kwa kuwa Bwana Mungu wako
ni Mungu mwenye wivu
Kadhalika kwenye agano lakale:
KUttdBUKUMBU tA TORAT: 6:4 pameandrkwa:
"Sikira Ee lsraeli; Bwana Mungu wetu. Bwana
ndie mmoia".
Katika agano Jipya:
Yohana: l7:3 Pameandikwa:
Nauzima wa milele ndio huu; wa kujue wewe
MUNGU WA PËKEE WA KWEII. NA YESU
KRISTOULIE MTUMA.
l l l
Na niwazi kuwa maana ya maneno haya ni kwa-
mba: yesu alibaini wazi kuwa uzima wa mile[e. uko
kwenyekujuwaM'ngu ni m'mojana kuwayesualitumwa
tu kutoka kwake M'ngu wa pekee.
Ushirikiunawezakupatikanakwenyeirnaniya mtu,
lakini sio sana wenye kuenea.Ushiriki wenye kuenea,
wenye kupatikanakatika dini mbali mbali. ni ushiriki
wa katikakuabudu.Sababutunawezakukumbukakuwa;
makafiriwa kiqurayshikatika zama za mtume Muham
mad (S.A.W.! walikuwa wakikubaliupweke wa M'ngu
katikakuumba,kuruzuku,kuponesha,kufisha,na kuleta
mvua. N.K. Lakini.walikuwani washirikivile vile, kwa
sababuya kuwa na mambo ya kiibadaambayowalikuwa
wakivifanyiavitu visio kuwa M'ngul
Kitabuhichi, kilichoandikwakwa fughaya kiarabu
na mwanachuonimwenye kufuatwa mjuzi wa Elimu ya
hadithi za Mtume (S.A.W.) Sheikh MuhammadEsmaei
El-ameer-ElyamanyElssan-any,nikitabu chenye kum-
fundisha muislamu (imani yake safi kama alivyo taki"
kana kuwa na imani hiyo na Kurani na hadithi zamtume
Muhammad.Kitabu kina fundisha hayo kwa ushujaawa
mtu asie khofu kwa ajili ya M'ngu matayo ya mwenyÊ
kutaya.
Kwa sababuya umuhim'uwake sikushawiriakukiri
kukisawahilishanifipo ombwa kufanya hivyo na rafik:
yangu mpenzi mpendwa kwa ajili ya M'ngu, mmoja
katika wajumbe wa Saudi.Arabia wa kufunza Uislamu
Afrika Mashariki Sheikh SAYYID FATHAHUDFIfN
THANGAL BAOAWY M.A. AL-AZ-HAR,CAIRO. Naku.
nasihi msomaji ukisome kitabu hichi pasina kuwa na
fikra mbaya kinyume nacho kabla ya kuxisqrns sababu
mwenye tabia hiyo hauoni kabisa mwangaeâ wahaki.
Tabia hiyo ni ugonjwa wenye kurndiva mdjenye nao kui-
juwa kama anavyokosa kuona mwangara lvajuwa mgo-
njwa wamachoI
Mwisho Mola aumbao,
Asafishemasikio,
Mambo mema twambiwao,
Tujuwe pakulekeza,
(Khatima) (Chozi ta Damu)
NamuombaHimaliza,
Yawemena kusikiza,
Tuwezekuyatimiza,
Juhudi rctu Rabana.
{ Ubaitiwa) (20}
B i s m i l l a h i R r a h m a n i R r a h i i m
Na yeye {MUNGU} Ndie Mwenye kutakwa msada
UTANGULIZI
NamshukuruMungu ambae hakubali upwekeshaji
wa uola wake kuloka kwa waja wake, mpakawa mkhusu
kwa upwekeshaji wa lbada, kumpwekeshavikamilifu,
mbali na kumfanyia wendani; wasimfanyie mwendani
wala wa simuombe pamoja naye yoyote, wala wasite.
gemeeila juu yake.wala wasikimbiliekatikahali yoyote
ila kwake, wâla wasimuite ila kwa majina mema yake.
wala wasijifikishekwake kwa waombezi,(Ninani mwe.
nye kuombeambele yake pasina ldhniyakeTTNa n'na
amini kuwa: HAKUNA Mola ila MUNGU {mmoja} Mola
mwenye kuabudiwa, na kwamba Muhammad ni Mja
wake. na nimtume wake, ambae alimuamrishaaseme.
(Sema sijimilikiimanufaawala madharaila aliloljtaka
Mungu), Na Mungu atoshakuwa shahidi Mungu amre
hemu yeye. najamaa wake, nawenye kumfuata yeye,
katikakusalimikanaaibuna kusafishanyoyo.na (uchaful
wakuaminikila kitu kitiachoshala.
Wabaadahu:Hiki ni: "kisafishocha kuaminiuchafu
wEkutoamin;" kume nipasa kukitunga na kukanilazimu
kukipanga,kwa aiili ya nilioyaonana nikayajuaya waja
kufanyawendani (wa Mungu) katikamiji navijijjna kila
mahala;katika Yemeni,na Sham,na Misri. na Najdi, na
Tihama,na katika majumbayote ya Kiislamu.nayo ni
kuwa na ltikadi kwa makaburi. nawalio hayi, mwenye
kujidai kuwa na ujuziwa mamboya ghaibuna magunduo
(ya kiajabul,na hali yeyeni katikawa ovu; haingiiMsi-
kiti wa Waislamu,na wala haonekaniakirukuukwa ajili
ya Mungu, wala akisujudu,hajui Sunna wala Kurani
wala hachi kufufuliwawala hisabu.
lkanipasani kanushealilo lazimlshaMungu kuli-
kanya. Wala nisiwe nikatikatvenye kulifichaalifo lazi
misha Mungu kulidhirisha.Basi juwa kwamba hapa
kuna misingi mingi ambayonivikito vya dini, na nikati
ya mambo muhimu ambayo kunapasakuyajua juu ya
wenye kupwekesha.
MSINGI WA KWANZA:
"Kila lilo kwenye Kur-anini haki"
Hakika kumejulikanakatika lazima za dini:
Kwamba kila kilicho
tili, ni kweli siurongo,
siujinga,niyakinihakuna
ni msingi arnbaohautimu
yake ila kwa kuukiri, na
nahakunandani yake.
MSINGI WA PILI:
kwenye Kur-ani ni haki siba-
niuongofu siupotevu, niujuzi
shakandani yake. Msingi huu
uislamu wa yoyote wala imani
hili ni jambo lilo kubaliwa.
"Mitume waliletwakuwaitawatu kwenye
kupwekeshaMungu kwa kupwekesha
lbada"
Hakika mitume wa Mungu - tangu wa kwanza.
wao mpaka wamwisho wao: walitumwa kwa ajili ya
kuwaita waja kwenye kumpwekesha Mungu kwa kurnp-
wekeshea |BADA. Nakila mtume jambo lakwanza afifo-
bishia hodi masiklo ya watu wake, nikuwaambia(Enyi
watu muabuduni Mungu hamna Mungu asie kuwa yeyel
(Kwamba musiabudu ila MUNGU {mmoja) {Kwamba
rnumuabuduMUNGU na mumuogopenamunitii mimil.
Na hili ndilo lifilo bebwa na neno Ja:"LA ILAHA
ILLA LLAHU". Hakika mitume waliwaita watu wao, kwe-
nye kulisemaneno hili nakuliamini,sio kufinenatu kwa
ulimi. Na rnaanayÊ neno hilo, ni kumpwekeshaMUNGU
kwa uola na kwa IBADA, Na kukikanya chenye kuabu-
budiwa kisicho kuwa yeye na kujikenganacho.
Na asli hii haina mapinganokatika ililo libebawala
haina shaka, katika kuwa haitimu imani ya mtu yoyot€
mpaka aijue na aihakikishe.
MSINGI WA TATU:
"Vigawanyo vya kupwekesha"
Kupwekeshani vigawanyoviili:
KIGAWANYO CHA KWANZAT Nikupwekesha
uungu. na uumbaji, na upaji BlZKl.
Na maana yake ni kwamba, Mungu peka yâke ndie
muumbaji wa ulimwengu,na ndie mola wao na mpaii
RIZKIwâo.
Na hili hawalikanushiwashirikishajina wala hawa-
mfanyii MUNGU. katikalo,mwendani,bali wao niwenye
kulikirihili kama itakavyokuja katikaMSINGIWAN'NE.
NA KIGAWANYO CHA PlLl: Ni kupwekesha lB,ADA. Na
maana yake, nikumukhusu Mungu peke yake kwa IBADA
zote ambazo utakuja upambanufu wazo. Basi hili (la
IBADA) ndilo wa lilo mfanyia Mungu wendani na neno
" M W E N D A N l " l i n a s h i r i a k u m k i r i M u n g u m t u k u f u .
Mitume walitumwa kulithubutisha la kwanza; na kuwa-
i t a w a s h i r i k i s h a j i k w e n y e l a p i l i , k a m a k u s e m a k w a o .
K u w a m b i a w a s h i k i s h a l i : " J e ( k u k h u s u ) T V l u n g uk u n a
shaka, mwenye kuumba mbinEu na ardhi? anawaita ifi
a w a g h u f i r i em a d h a m b i y e n u " S U R A : 1 4 a y a 1 O .
"Je kuna muumbaii asie kuwa MUNGU anae
w a r u z u k u m b i n g u n i n a n c h i n i ? H a k u n a M u n g u
ila yeye .
Na katika kr-rwakatazakushirikisha IBADA. SURA:
3 5 a y a 3 . M u n g u a m e s e m a : " N a h a k i k a t u m e l i t u m i a .
k i l a t a i f a . m t u m e " ' K r a i a m b a m u a b u d u n i M u n g u n a
m u m u e p u k e s h e t a n i - - S U R A : 1 6 a y a 3 6 y a a n i h a l i
y a k u y a a r n b i am a t a i T a y a o :" M U A B U D U N I M U N G U " b a s n
i m e o n y e s h a k w a k u s e m a : " K a t i k a k i l a t a i f a " k w a r n b a
mataifa yote hayakupelekwa mitume ila kwa sababu ya
k u w a t a k a k u m p w e k e s h e y a ( M U N G U ) I B A D A . s i o k u w a -
t a k a k u j u l i s h a k u w a M u n g u n d i e a l i e u m b a u l i m w e n g u .
nakwamba yeye ndie mola wa wambingu na n'chi. Kwani
wao niwenye kulikiri hili; na kwa hivyo hazikuja aya
k u k h u s u h i l i m a r a n y i n g i i l a k w a t e m k o l a k u t h i b i t i s h a .
kama: {ie kr.rna mwenye kuumba asie kuwa Mungu
S U R I : 3 5 A y a 3 1 .
(Je kukhusu Mungu kuna shaka; muumbaii
wambinguna ardhi?l SUf,A; 14 Aya 10.
(Je asiekuwa Mungu,nimfanyemtawala.muurnbaji
wa mbinguna ardhi) SURA:6 Aya 14
(Huku ni kuumba kwa Mungu, basi nionyesheni.
kitugani wameumba wasio kuwa yeye) SURA: 3l Aya
1 1 .
{Nionyesheni,kitu gani wameumba katika ardhil
Au wanaushirikambinguni?
{Huku ni} kuufiza kikuwathibitishiawao kwa
sababuwao ni wenye kulikiri hilo.
Nakwahiviutajua kuwa washirikishajihawakufanya
masanamu,wala hawa kuyaabudu.wala hawakumfanya
masihi (ISSA) na mamake,wala hawakuwafanyaMala-
ika, niwendani wa Mungu kwa kuwa wamewashirikisha
wao katikauumbajiwambinguna ardhi! Bali wali wafa-
nya wao {hivyo) kwa sababu ya kuwa wâo wôna wa
kurubisha kwa Mungu, kama walivyosema;wao niwe-
nye kumkiri Mungu kwenye yafe yale maneno yao ya
kufuru, na kwamba wao ni waombezikwa Mungu!
Mwenye ezi Mungu arnesema:(Nawanaabudu.asie
kuwa Munguvisio wa dhuruwala kuwafaana wanasema:
hawà ni waombeziwetu kwa Mungu. Sema munarnuefeza
Mungu asioyaiuambinguni wala ardhiniT Kutakatani
kwake nakutukukambali na wanao mshirikisha:SURA
1 OA y a 1 8 .
Mungu amefanya.kule kufanya kwaowaombezi,ni
SHIRKI na akaiitakasanayo. kwa sababu hatoombea.
kwake yoyote pasina ldhni yake, vipi tena wanajithubu-
tishia waombeziasio kuwaruhusukatika maomberi wala
wasio kuwa wasawa nayo; wala wasio watoshelezana
Mungu chochoteT
MSINGI WA N'NE:
"Washirikishajiwanakirikuwa Mungu ni muumbaii
wao".
Hakika wa shirikishajiambao Mwenye ezi Mungu
alipelekamitume kwao, ni wenye kukiri kwamba: M'ngu
ni muumbaji wao.
"Na lau kama ungewaulizawao: Ninani aliewa
umba? Wangesema:Ni M'ngu {SURA:43 Aya 87).
Na kwambayeyendie alie umba mbinguna nchi:
"Na lau kama ungewauliza ninani alieumba
rnbingu na nchi? wangesema: ameziumbazomwenye
nguvu mjuzi" SURA:9 Aya 43.
Na kwamba yeye ndie mwenye kuruzuku ambae
anakitoakilicho hayi kwenye kilicho kufa, na anakitoa
kilicho kufa kwenyekilicho hayi; Na kwambayeye ndie
mwenye kupangamambo mbinguni na ardhini. Na kwa-
mba yeye ndie mwenyekumiliki masikizina maangalizi
na nyoyo.
"Sema ninani mwenye kuwaruzukunyinyi kwenye
mbingu na ardhi? au ni nani mwenye kumiliki masikizi
na maangalizi?Na ninani mwenye kutoa kilicho hayi
kwenye kilicho kufa? Na ninani mwenye kutoa kilicho
kufa kwenye kilicho hayiT Na ninani mwenye kupanga
mambo? Watasema:Nl MUNGU, {BASI) Sema: (Je}
hamuogopi?"SURA: 10 Aya 31.
"Sema: Ni yanani ardhi na walio ndani ikiwa
mnajua?Watasema:Niya M'ngu. Sema:hamuwaidhiki?
Sema ninani mola wa mbingu sabana mola wa arshitu-
kufu? Wataserna:Niza M'ngu. Sema: (Je) hamuogopi?
Sema:ninaniulio mkononimwakeufalmewa killa kitu
nae anahifadhiwala hahifadhiwi.ikiwa mnajuaTWata-
semani wa M'ngu: Sema (BAS|l vipi mna danganywa?
SURA:23 Aya 84 - 89
Na huundie Fir-auna,pamoja na kutopea kwake
kwenye ukafiri,nakudai kwake madai rnaovumno. na
kutemkakwake neno bovu sena.anasemaM'ngu kukhu-
su yeye,hali yakuelezakhabariya Musa (A.S,):"Hakika
umejua (kuwa) hakuziteremsha{huja) hizi ila mola wa
m b i n g un a n c h i { h i z i }n i d a l i l i " S U R A :1 7 A y a 1 0 2 .
Na alisenta lblisi; "Hakika mimi ninamuogopa
M'ngu mola wa viumbevyote" - SURA:59 Aya 16,
Alisema tena: "Ewe mola wangu kwa sababuya
kunipotezô, . ," SURA: 17 Aya 39,
Alisema tena: "Ewe lnola wangu nipa muhula'
(SURA:15 Aya 361 Nakittamshirikishajini mwe
nye kukiri kwamba M'ngu ndie muumbaji wake, na
muumbajiwa mbingu na nchi, na ndie mola wazo na
ndie mola wa zilizomo ndani yazo nâ ndie mwenye
kuwaruzukuwao. Nakwahivyowaliwatoleahuja nritumr
kwa kuwaambia:"(Jel Mwenye kuunrbani kama asje
umba?"SURA;1ô Aya 17. Na kwa kuwaarnbia:"Hakika
mnao waomba wasio kuwa M'ngu hawatourïba nzi na
hata kama wangekusanyikakwa (AJlLl) ya hilo, SURA.
23 Aya 73.
Na washirikishajiwote niwenyekulikirihilo hawali-
kanushi,
MS]NGI WA TANO:
"Msingi wa lbada ni kumpwekeshaM'ngu".
Hakika lbada ni upeo wa mlangowa kunyenyekea
na kujidhalilisha,na wala halikutumiwa(neno hili) ila
kwa kumnyenyekeaM'ngu, kwa sababuyeye ndie mwe-
nye kupa neemakubwa.Na kwa hilo ame kuwa mwenye
haki ya mwisho wa upeowa kunyenyekewakama ilivyo
katika (kitabu Al kashaf). Kisha. hakika kichwa cha
ibada na msingi wake ni kupwekesha(lbada) kwa ajili
ya M'ngu, ambakokunafaharnishwana neno lakeambalo
mitume wote wameitakwenye neno hilo: Nalo ni neno
la "LA ILAHA ILLA LLAHU" (HakunaMungu llla
( A l l a h u).
Namakusudiwani kuitakidimaanayake.na kufanya
kulinganana litakavyo,sio kulisemakwa ulimitu. Na
maana yake: NikumpwekeshaM'ngu kwa ibada na kwa
uola, na kumkanushayoyote,na kuwa mbali na yoyote
mwenye kuabudiwaasie kuwa yeye.Na hakikamakafiri
waliyajua maana haya, kwa sababundio wenye fugha
ya kiarabu,wakasema:"(Je) amewafanyawaungu ni
M'ngu mmoja?Hakikahili ni jambo laajabu SURA:
38 Aya 5.
SAMPULI ZA IBADA:
.Baadaya kufahamumisingi juwa kwamba M'ngu
ameifanyaibada kuwa na sampulinyingi:-
A : Z A K I K U A M I N I : N a h i z c n d i z o m s i n g i w a i b a d a ,
n a k o n i k u a m i n i k u w a M ' n g u n d i e m o l a w a p e k e Ê
arnbae ndie mwenye kuumba na {mwenye} killa
j a m b o , n a n i m i l i k i y a k e k u f a a n a k u d h u r u . n a k w a '
mba yeye ndie ambae hana mshirika wake. wala
haombei mbele yake yoyote ila kwa idhni yake. na
kwamba hakunii mwenve kuabudiwa kwa haki asie
kuwa yeye. na yasio kuwa hayo katika yenye kula-
z i m i a n a n a u o l a .
Z A K I M A T E M S H I : N a k o n i k u t e m k a n e n o l a k u p w e -
kesha, kwani mwenye kuamini yalitajwa na wala
siyatemke, haihifadhi damu yake wala mali yake
na huwa ni kama lblisi kwani yeye anaamini umoja
wa M'ngu kamwe anaukiri kama tulivyo tangulia
kumsema, isipokuwa yeye hakufuata amri ya M'ngu
kwa hivyo akawa kafiri. Na mwenye kutemka na
a s i a m i n i a n a i h i f a d h i d a m u v a k e n a m a l i y a k e n a
hisabu yake iko juu ya M'ngu, na hukmu yake nt
hukmu ya wanafiki.
C. ZAKIMUILI:Kamakusimama,na kurukuu,na kusu-
judu katika swala. Na nikatika hizo:kulunga,na
'kazi zahija,na kutufu.
D. ZAKI MALI: Kama kutoa fungu la mali, kwa kufu-
ata aliloliamrishaM'ngu; nasampuliza wajibu, na
yenye kupendekezwa kwenye mali na miili na
vitendo,ni nyingi sana fakini hizi ndizo mrihimul
,,MITUMEWALI TUMWA KWA AJILIYA KUITA
KWENYEKUMPWEKESHAM'NGU KWA IBADA"
Na yakisha kuthubutu mambo haya, iua kwamba
M'ngu amewatuma mitume, tA.S.! tangu wamwanzo
B .
wao rnpaka wa mwisho wao, kuwaita watu kwenye
kumpwekeshaM'ngu kwa lbada, sio kwenye kuthubu-
tisha kuwa yeye M'ngu amewaumbawâo, na kama hilo,
sababuwao ni wenye kulikirihilo, kama tulivyo thibiti-
sha na tukakariri.
Na kwa hivyo walisema:"Je) Ume tujilia sisi ili
tumuabuduM'ngu peke yake?" SURA: 7 Aya 69 yaanr
(ume tujilia) ili tumpwekesheeyeye ibada na tumu-
khusu yeye kwa hio ibada pasina waungu wetuT Kwa
hivyo hawakukataaisipo kuwa la mtume kutaka kwao
kupwekeshaibada kwa M'ngu.
Na wala hawa kumkanyaM'ngu, na wala hawa-
kusema:yeye M'ngu haabudiwi,kamwe walikiri kuwa
yeye anaabudiwa,na wakakanushakuwa yeye ni waku.
pwekeshewalbada. Kwa hivyo wakaabudupamoja na
M'ngu asiekuwayeye, na wakamshirikishapamoja na
yeye asiekuwa yeye, na wakamfanyiayeye wendani.
kama M'ngu afivyo sema:
"MusimfanyieniM'ngu wendanina hali
mnajua". SUffA: 2 Aya 22.
Yaanina hali nyinyi mnajuakuwa hanamwendani.
Na walikuwa wakisema kwenye (talbiya) (kuiti
kial kwao kwaajiliya hija: "Tuna kuitikahuna mshirika
ila alie wako mshirika,unaemmilikina asiemiliki".
Na alikuwa mtume akiwasikia wakinena: "LA
SHARIKA [AKA" "HUNA MSHIRtKA" akisema
(Mtumel; "Hakika wangekuwawamempwekesha(alie
tukuka utukufu wake) fau kama wangewacha kusema
kwao: {ISIPOKUWAALIE WAKO MSHIR|KA},
10
Kwa hivyo kulekulekushirikishakwao M'ngu ndiko
kumkirikwao M'ngu.
M'ngu ameserrra:"WAKOWAPIWASHIRIKISHWA
WENU AMBAO MLIKUWAMKIDAI {kuwawao niwashi'
rika wa M'ngu) SURA:6 Aya 22
"Nakutasefflwa: waiteni rn,ashirikishwa wenu
w a k a w a i t â n a w a s i w a i t i k i e " S U B A : 2 8 A y a 4 .
" S e m a w a i t e n i w a s h i r i k i s h w a w e n u k i s h a m n l c h i -
m b i e n a m s i n i p e n r d a " S U R A : 7 A y a 1 9 4 .
Kwa hivyo krrlekule kufanya wendani, ni kunrkiri
M'ngu. Na wala hawakuwaabudu wenye kr.rshirikishwa.
kwa kr,rwa nyenyekea na kwakrrjikurubisha, kwa kuwa-
e k e a n a d h r i n a k u w a c h i n j i a i l a k w a k r r i t a k i d ik w a o k w a '
m b a : h a o . w e n y e k u s h i r i k i s h w a w a n a w a k t r r u b i s h aw a o
kwa M'ngLr nawatawaombea wao kw'ake. Kwa hivyo
M'ngu akawatuma rnitume waamrishe kuwachwa lbada
ya chochote kisichc kuwa yeye, na wabayini kwamba
i t i k a d i h i i a r n k r a y ow a n a i t a k i d i k w a w a s h i r i k i s h w a n i
batili, na kwamba kujikrrrrrbishakwao ni batili. na kwa
rnba haliwi ila kwa M'ngr-r peke yake na httku ndiko
ku:wekesha ibacla. Na walikr-rwa ni wenye ktrkiri
kanra ulivyo jlrwa katika msingi wanne - upwekeshaji
wa uola, nao ni kwarntra M'ngu ndie muurnbaji peke
yake na nrwenye kuruzuku peke yake.
Na kyuahili r-rtajua kwamba uprrrekeshaji ambao
mitume waliwaitia wao, tangu wa nlwanzo wao nae ni
Nuhu (A S.) - mpaka wa' mwisho wao nae ni Muha-
mrrrad (S.A.W.) - niupwekeshaii wa ibada. Na kwa
1 1
hivyo mitume walikuwa wakiwaambiawao: "KWAMBA
MSIABUDU ASIE KUWA ALLAH" "MUABUDUNI
MUNGU HAMNA MUNGU ASIE KUWA YEYE".
Na hakika walikuwa miongoni mwa washirikishaji
wenye kuabudu mafaika,. na wakiwalingania wao
WAKATI wamaihida. Na wenye kuabudumawe na waki-
yaomba kwenye magumu; kwa hivyo mwenye ezi M'ngu
akamtuma Muhammad (S.A.W.) awaite wao kwenye
kumuabudu M'ngu peke yake, wampwekeshee yeye
ibada kama wafivyo mpwekesheauola yaani uola
wambingu nan'chi. Na wampwekeshejuu ya maana ya
maongoii ya neno la: "LAILAHA ILLALLAHU" hali ya
kuamini maana yake na kufanya kulingana na maele-
kezwa yake, na wasimlinganie pamoja nayey€ yoyote.
Na mwenyeezi M'ngu amesema; Ana yeye ulinganizi
wajibu wao kwa chochote."SURA: 14 Aya 14. Na
wahaki na ambao mnawalinganiawasiokuwayeye hawa-
M'ngu amesema:"Na juu ya M'ngu tegemeanimkiwa
niwaumini" SURA: 5 Aya 22. Yaani, ni katika sharti ya
ukweli katika kumuamini M'ngu, kutotegemeaila iuu
yake, nawampwekesheyeye kwa tawakul: kama inavyo
kumpwekeshayeye kwa dua, na kuomba msamaha.
Na M'ngu amewaamrisha waja wake waseme:
"IYYAKA NA'BUDU" peke yako tunakuabudu,wala
hawi mkweli mwenye kunena hili mpaka ampwekeshee
M'ngu ibada, na ikitokuwahivyo atakuwa mrongo, mwe-
nye kukanywa kunena neno hiti; kwa sababu maana
yaÊe ni: tuna kukhusu wewe kwa lbada, flâ tunakupwe.
kesha wewe kwayo pasina yoyote.
Nayo ndiyo maana ya kusema kwake: "Peke yangu
niabuduni" SURA: 29 Aya 56. NA: "Peke yangu niogo-
12
p e n i " S U R A : 2 A y a 1 4 . K a m a i n a v y o j u l i k a n a k a t i k a
Elmu ya Bayani; kutangulizaambacho haki yake nikuche-
leweshwa kuna maanisha kukhusu, yaani Msimuabudu
i l a M ' n g u w a l a m s i m u a b u d u a s i e k u w a . y e y e , w a l a m s i -
rhuogope asiekuwa yeye, kama ilivyo kwenye {Kashaf}.
Kumpwekesha M'ngu kwa kumpwekeshea lbada haku-
timu ila maombi yote yawe nikwake, na kuita kwenye
rnashida na raha hakuwi ila kwa M'ngu peke yake. na
kuomba msada kuwe kwa M'ngu peke yake. Nakutege-
rnea kuwe kwa M'ngu, na nadhiri nakuchinja kuwe ni
kwa ajili ya M'ngu, na sampuli zote za ibada: kunyenye-
k e a , n a k u s i m a m a k w a k u j i d h a l i l i s h ak u w e n i k w a a j i l i
ya M'ngu, na kurukuu na kusujudu na kutufu na kujitoa
nguo na kunyoa nô kupunguza nywele {KUBIRA} yot€
y â s i w e i l a k w a a j i l i y a M ' n g u m t u k u fu .
N a m w e n y e k u f a n y a l o l o t e k a t i k a h a y o k w a a i i l i
y a k i u m b e h a y i a u m a i t i a u k i s i c h o k u w a n a r o h o a u c h o -
chote. huwa ameshirikisha katika ibada. Na huwa mwe-
nye.kufanyiwa mambo hayo ni M'ngu wa wenye kumua-
budu yeye, ni sawa awe rnalaika au mtume, au waliyi,
a u m t i , a u k a b u r i , a u j i n i a u h a y i a u m a i t i : n a h u w a .
mwenye kuabudu kwa ibada hii yaani kwa sampuli yo"
yote ya lrizo. ni mwenye kukiabudu kiumbe kile tena
mwenye kumshirikisha M'ngu, na angamkiri M'ngu na
angarnuabudu, kwani kukiri. kwa washirikishaji. M'ngu
na kujikurubisha kwao kwake hakukuwatowa nje ya
{shirki} na lnjel ya kupasa kumwaga dan'ru zao na ku-
chukuwa watoto wao rnateka na kuchukuwa mali yao
hali yakuwa ni ghanirna ya Waislanru.
Mwenye ezi M'ngu amesema: " Mimi ni mwenye
kujitosharnno wa washirikana shirki" wala M'ngu haku-
13
bali ibadayoyotealio shirikishwakatikayoyoyoteasie-
kuwayeye" Wala hamwaminiyeyealie muabudupamoja
na yeye mwengine.
Kumkiri M'ngu hakutoshi katika kupwekesha.
Likishakuthibitikiakwamba washirikishakwao wendani
katika viumbe kwenye ibada, wala tkukiri kwaol haku-
kuwatoshelezeachochote na M'ngu, na kwamba kuwa-
abudu hao ni kufe kuitakidi kwao juu ya hao, kwamba
wanadhuruna wananufaishana kwamba wao wanawa-
kurubishawao, - na kwamba wao watawaombeawao
kwa M'ngu, kwa hivyo wakawachinjia vichinjwa, na
wakawafanyiaTWAWAF, na wakawawekeanadhiri, na
wakasimamahali ya kujidhalilisha,wanyenyekevukwa
ajili ya kuwatumikawao, na wakawasujudia.Na pamoja
na haya yote wâo ni wenye kumkirTaM'ngu uola na
kwamba yeye ndie Muumbaji, lakini wao waliposhiri.
kisha na wala hakukuhisabiwakukiri kwao huku kwa
sababu vitendo vyao vimekukanusha.Kwa hivyo haku-
kuwafaa wao kukiri upeke wauola. Kweni kaida ya
Mwenye kumkiri M'ngu kwa kumpwekesheauola; nl
ampwekesheyeye kwa kumpwekesheaibada, akitofanya
hivyo, kukiri kwa kwanza kutakuwa batili, na hakika
watajuahilo hali nao wako juu ya mitabakaya moto na
watasema:"Tuna apa kwamba hakika tufikuwa kwenye
upotevu wazi tulipokuwa tukiwalinganishanyinyi na
mola wa viumbe vyote. SURA: 26 Aya: 97-98.
Pamoja na kwamba wao hawakuwalinganishawao
na yeye kwa killa upande; hawaku wafanyawao ni
waumbaji, wala ni wapajirizki. lakini wao wafijua na
haliwako ndani yaukeo wajahannam kwamba kucha-
nganya, kwao kukiri, na chembe moja kati ya chembe
14
za shirki katika kuipwekesha lbada, kumewafanya wao
nikama aliewafanya masanamu ni sawa na mola wa
yiumbel
M U N G U a m e s e m a :" N a w a l a h a w a a r n i n iw e n g i w a o .
M U N G U . i l a h u w a n i w a s h i r i k i s h a j i " y a a n i " h a w a k i r i
wengi wao, katika kumkiri Mungu. nô katika kwamba
yeye amewaurnba wao na ameumba mbingu nâ ardhi
ila na wao huwa ni washirikishaji kwa kuabudu masa-
namu, Karnwe Mungu ameiita, Riya katika twaa (SHIRKl)
pamoja na kwarnba mwenye kufanya twaa, hakurrrku-
sudia kwayo asie kuwa MUNGU IVîTUKUFU, na hakika
tu ametaka daraja kwa hiyo twaa katika nyoyo za watL,
Mwenye riya huwa amemuabudr-rMungu sio asie kr-rwa
yeye, lakini yeye amechanganya lbada yake na kutaka
daraja katika nyoyo za watu, kwa hivyo hakukubaliwa
i b a d a , n a M u n g u a m e i i t a s h i r k i k a m a a l i v y o p o k e a
M u s fi n r k a t i k a h a c l i t h iy a A b i h u r a y r a h " ( R A . I a n r e s e m a '
M t u n r e a m e s e m a ( S . A . W , ) " A n a s e m s M u n g u : M i m i
ninrwerrye kufitosha rrrno na washirika na shirki" Mwe-
nye kufanya amafi na akanrshirikisha katikayo pamoja
nanri asiekuwa mittri na rrruachayeye na shirki vake".
Kamwe Mungu arnekuita. kumpa (nrtu) jina la
'Abdul-harithi
{nrja wa harith) shirki', kanra alivyo sema
Mungu: "Alipowapa wao mwerrra walinrfarryia wendani
katika aliowapa SURA 7 Aya 19O. Hakika amepo-
kea InrarnLrAhmed na Tirnridhy katika haclithiya samrah
kwarnba rntutne (S,A.W. ) anreselna: "alipoclrukLra
hawaa (rnimbaI na alikuwa harnponei lrrtoto alitenrbe.
lewa na lblisi na akanrwanrbia hatopona tlltoto wako
rnpaka unrwite {Abdul - harith} hapo hawa akanruita
(hivyo) na akapona. Na lilikuwa hilo ni katika wahyi
15
washetwani na amri yake. Hapo Mungu akateremsha
ayâ hizo. Na akakuita kuita huku ni shirki na alikuwa
lblisi ameiiita (Al-harithl. Na kisa (hiki kiko katika
(Kitabul {Al-durril-manthuri}na kisichokuwahiko.
"Kuitakidi asiekuwaMungu ni shirki"
Hakika umejua kwa haya yote: kwamba mwenye
kuitakidimti au jiwe, au kaburi,au malaika,au iini, au
alie hayi au maiti: kuwa {chochotekatika hîvyo} kinafaa
au kinadhuruau kuwa kina kurubishakwa Mungu, au
kinaomba kwa Mungu katika haja yoyote kwenye haia
za kilimwengu, kwa kujiombea kwacho tu, na kutawa-
sali kwa Mungu - isipokuwalililo kuja katika hadithi
ambayo ina maneno katika kukhusu mtume Muhammao
(S.A.W.l au kama hilo - hakikayeye huwa ameshiri-
kisha pamoja na M'ngu mwengine,na huwa ameitakidi
ambalo sihalalikuliitakidi,kama walivyoitakidiwashiri-
kishaji masanamul
Licha mwenye kueka nadhiri. kwa mali yake na
mtoto wake, kwa maiti au kwa alie hayi, au akataka
kwa maiti huo ambalo halitakwi ila kwa Mungu kwenyo
mahitaji: kama afiya ya mgonjwa wake, au kuja asieku-
wako wake au kupata lolote katika matakwa yake,
hakika hio ndio shiriki enyewe, ambayo walikuwa, au
wako, juu yake wenye kuabudu masanamu.
Na kueka nadhri kwa mafi juu va maiti na kama
yeye {maiti) na kuchinja {mnyama} juu ya kaburi, na
kutawasali,kwafo, na kutaka mahitaji kwalo, ndilo hasa
walilokuwa wakilifanya(watu wazama za jahiliya.lsipo.
kuwa walikuwa wakiwafanyia walio waita masanâmu.
Na watu wa makaburi wamemfanyia wanaemuitawaliyi
16
na kaburi, na mash-had,na majina hayanaathari yoyote
wala hayabadilishi maana kwa dharura ya kilugha, na
ya kiakili. na yâ kisharia. Kwani mwènye kunywa ternbo
na akaliita maji hawi amekunywa ila tembo, na mateso
yake ni mateso.ya mwenye kunywa tembo, na pengine
yeye yatazidi mateso yake kwa ajili ya udanganyifu na
urongo wa kuita.
Na hakika imethubutu kwenye hadithi kuwa -
"Watakuja watu watakao kunywa tembo wakiliita kwa
lisokuwa jina fake, na mtume amesema kwefi; kwani
yamekuja mapote ya wâtu wenye kunywa tembo na
kuliita {NABIIDH}. Na wakwanza aliekiita chenye
hasira za Mungu na kumuasi yeye, kwa majina yenye
kupendeza kwa wenye kusikia, ni lBLlSl (Mungu
amfaani! ". Kwani yeye alimwambia baba wa viumbe
(ADAM) {A.S.} "Ewe Adam sikuonyeshimti wa maishal
ya kudumu na ufalmeusiotoweka?" SURA:2OAya 120.
Kwa hivyo akauita, mti ambao Mungu amemkataza
Adam kuukurubia.mti wa maisha ya kudumu, kwa ajili
ya kuivuta tabia yake kwenye mti huo, na kwa aiifi ya
kutikisa bidii kwa ajili ya kuukurubiana kwa ajili yô
kumdanganyayeye kwa jina alilolizua la mti huo, kama
ambavyo ndugu zake wenye kumfuata yeye wanaiita
bangi: (TONGE LA RAHA). Na kama ambavyo madha-
limu wanaziita, wanazozlpokeakatika mali ya watu kwa
dhulma (ADABU). Wana semâ adabu ya kuuwa, adabu
ya kuiba, adabu ya tuhuma, kwa kubadilisha jina la
dhuluma kwa jina la adabu. Kama wanâvyo badilisha
baadhi ya vyenye kupokewa kwa jina la "Kunufaisha au
uchungaji, na baadhi nyengine kwa jina la adabu ya
vipimo na mizani. Na majina yote hayo, kwa Mungu.
ni dhuluma na uadui kama anavyo iua yoyote afie nusa
17
harufu ya Kurani na Hadithi, na yote hayo yarnechuku-
liwa kwa lblis, alipouita mti ulio haramishwa, mti wa
maisha ya kudumu. Na ni kama hivlfo kuiita kaburi
(ft{ASH-HAO} na wenyê kuitakidi kwa aliye ndani yake
(WAl-lYll, hakuitowa nje ya iina la sanamu kwa sabebu
wao wânayafanyia hayo makaburi kama waehlrikiËhêii
wanavyo wafanyia masanamu, nô wanayatufu hayo
makaburi karna mahujaji wanavotufu nyumba ya mwe-
nye ezi M'ngu tukufu na wanayashika tkwa kuyatu.
kuzal karna wanavyo shika mahujaji nguzo za Al-kaba.
na wanasenilanê maiti kwa maneno ya ukafiri, kama
kusema kwao: "JUU YA M'NGU NA JUU YAKO" na
wânawâitd Katika rnashida kwa majina yao na karna
hayo,na kila taifa lina mtu linayernlingania.
Watu wa lraki na India wanarnlinganiaABDUL-
KADIRI l-JlYLY, Na watu wa majabali ya tiharna wâna
katika kila mji maiti wanaemlinganiakwa jina lake,
wanasema "Ewe Zaylait" "Ewe IBNUI--UJAYLI" Na
watu wa Maka na TWAIF: "Ewe IBNUL-ABBAAS" Na
watu wa Misri "Ewe RlFAAll" "Ëwe BADAWY" Na
watu wa YAMAN: "Ewe IBNU AI--WAN".
Na katika kila kijiji kuna maiti wanawaita na kuwa-
lingania na kuwatarajia kwa ajili ya kuvr.rtakheri au
kuondoa shari.
Na hivi ndivyo halisi walivyokuwa wakifanya
washiril'.ishaji masânamu; karna tulivyosema katika
mashairi ya kinajdi:
Kwayo waffteyaregesha,ya suwaa na kamëye.
Yaghutha na wudi kisha, si wudi ya nipendae,
Kwenye ya kuhangaisha,wameita majinae,
Kwïta ahitaiiae, pekee muhitaiiwa.
18
Maranyingi vichinjwao, wachinjiwa kwa juhudi,
Hachinjiwi M'nguwao, kwa ujinga na kusudi,
Niwangapi watufuo, makaburi maridadi,
Washika kwa taabudi, nguzo yalio jengewa.
.Akisemakuwa mimi nimechinjakwa ajili ya M'ngu
tu nanimetajajina la M'ngu juu yake mwambie ni kwa
nini ulikikurubisha,unachokichinja,na mlango wa
kaburi la unaerntukuzanâ kumuitakidi? Je utikusudia
kwa hilo kumtukuza?Akisema:ndio, Mwambiekuchinja
huku basi ni kwa ajili ya asiekuwaM'ngu. Kamweurne-
shirikishana M'ngu asiekuwayeye.na ukiwa hukukusu-
dia kumtukuzaje basi ulikusudiakuchafuamlango wa
ziyarana kuwanajisiwenye kuigia hukol Wewe unajua
kwa yakini: kuwa hukukusudiahivyo kabisa,wala huku-
taka isipokuwa la kwanza na wala hukutoka nyumbani
ila kwa ajili ya kumkusudiayeye, kisha ni hivyo hivyo
kumuombakwao.
Hili basl walilo na[o hawa nishirkipasinashakal
Na penginewanawaitakidibaadhiya mafasikiwatio
hayi wakawaita kwenye shida na raha na hali wao
wameyakaliamabayana maovu,hafiki alipo waamrisha
M'ngu wajawake kufika, hahudhurii {Swala) ya juma
nâ wala va jamaa, wala hamternbeleimgonjwa wala
hasindikizijeneza wala hachumi harari na anaengeza
kwenyehilo kujidai kutawakalina ujuzi wa yalio ghibu,
na lblisi anamvutiayeyewatu ambao(yeyelblisil ame.
jenga vitundu katika nyoyo zao na amezaa ndani na
ameanguâ,wana sadiki uzuzi wake na wanalitukuza
jambo lake, na wanamfanyahuyu mwendani wa Mola .
wa viumbe vyote na mfano wake, nazililiaakili zime-
kwendawapi, na zililiashariazlmekosakujulikanavipi?
19
"Hakika ambao mnawalinganiani waja kama nyinyi"
SURA:7 Aya 154.
Ukisemaje wanawezakuwa, hawa wenye kuitakidi
makaburi, r'la mawaliyi, na mafasiki, na wapuzi, ni
washirikishaji, kama wenye kuyaitakidi masanamu?
Nasema: Ndio, limepatikana kwao lilopatikana kwa
wale, wakalinganana wao kwenye hilo, kamwe wame-
zidisha katika kuitakidi na kunyokeana kujidhalilisha;
hapanatofauti kati Yao.
Ukisema: hawa watu wa makaburiwanasema,sisi
hatumshirikishiM'ngu na wala hatumfanyiimwendani,
na kuwategemeamawaliyisi shirki'
Nasema:Ndio, wanasemakwa vinywa vyao yasio-
kuwako nyoyoni mwao, lakini huku nikutojua kwao
maâna ya shirki. Kwani kutukuza kwao mawaliyi na
kuwachinjiavichinjwani shirki.
Na M'ngu ameserra:"Sali kwa ajili ya mola wako
na uchinje" yaani si kwaajili ya asiekuwayeye, kama
kunavyoonyeshwana rrtangulizajiwa DHARF (katika
lughaya kiarabu),Na mwenyeezi M'ngu anasema:"Na
kwambaMisikiti ni Va M'ngu msimlinganiepamojana
yeyeyoyote.suRA: 72 Aya 18.
Na hakika umejua kwatulio yatangulizahivi kari'
buni kwamba yeye Mtume (S.A.W') aliita riya shirki,
Je yatakuwa hali gani kwa tulioyasema?Basi haya
wanao wafanyia nrawaliyiwao; ndio yale yale walio-
yafanya washirikishajina wakawa kwayo niwashiriki-
shaji, wala hakuwafaiwao kusemakwaor "Sisi hatum-
20
shirikishi M'ngu na chochote" sababu vitendo vyao
vimeyafanyamanenoyao, kuwa ni urongo,
Ukisema: "Wao hawajui kuwa wao ni washirk!
kwa wanaoyafanya".
Nasema: Wamefutu waluzi katika vitabu vya fiqhi
kwenye mlango waridda kuwa: Mwenye kutemka neno
l a u k a f i r i h u w a k a f i r i n a a n g a t o k u s u d i am a a n a y a k e . N a
h i l i I i n a o n y e s h ak u w a w a o h a w , a j u ih a k i k a y a U i s l a m u ,
wala asli ya kupwekesha kwa hivyo wakawa ni nrakafiri
u k a f i r i w a t a n g u m b e l e , k w a n i M ' n g u a m e w , a l a z i n r i s h a
waja wake kumpwekesha kwa ibacia "Kwamba musi-
muabudu ifa M'ngu" na kurntakasia VeVehio ibacja "Na
wala hawakuamqishwa isipokr.twa wamr_rabucluhali ya
k u m t a k a s i a y e y e d i n i " - S U R A : g B A y a F .
Na rnwenye kumlingania i'4'ngurrsikrr,nrchana kwa
s i r i n a d h a h i r i , k u k h o f u n a k u t r - r r n a ik i s h a a k a m l i n g a n i g
p a m o j a n a y e y e m w e n g i n e . h u r , v ak w a h a k i k a a r l e s h i r i -
kisha katika ibada satrabu dua ni katika ibacia. Na
hakika M'ngu ameiita clr-raibacla kwenye neno lake:
" H a k i k a w e n y e k u f a n y a k i t r r i n a i b a d a y a n g S U H A :
4 0 A y a 6 0 b a a d a y a k u s e r l a k w a k e : " N i o n r b e n i
m i m i n i t a w a t a k a b a l i a" .
U k i s e r r r ak u w a : W a k l w a n i w a s h i r i k i s h a j ii t a l a z i r n u
kuwapiga jihadi na kwenda nâr4/aonrwendo alio kwencla
M t u m e k w a w a s h i r i k i s h a j i .N a k u l i b r r :K w e n y e ( r a i ) h i i
wamekwenda mkao wa wamairlarrru wa llrnu. wakasenrô:
Inapasa kuwaita wao kwenye kupwekesha (TAUHltDl
n a k u w a b a y i n i a k w a r n b a : w a n a y o y a i t a k i d i k L t f a a n a
k u d h u r u h a y a w a t o s h e l e z iw a o k w a M ' n g u . c h o c h o t e . n a
21
kwambawao ni kama hao (washirikishaji),na kwamba
(itikâdi yao hii kwa hao ni shirki. hakutimukuamini
walio kuja nayo mitume ila kwa kuyawachana kwa
kutubu nayo, na kwa kupwekeshaumoja wa M'ngu -
KWA KUAMINI NA KUFANYA- kwa M'ngu pekeyake.
na huu niwajibujuu ya wanavyoni,yaani:kubayiniiti-
kadi kwamba itikadi hio ambayo kumetokamananayo
kueka manaclhiri,na kuchinja vichinjwa, fiâ kutuftr
makaburi:litikadihio) ni shirkiilioharamu,na kwamba-
yo ni ile ile waliokuwawakiifanyawashirikisha.jikwa
rT'rasananrLryao. Wanavyorriwakisha kubayini hilo kwa
vlongozina wafalme,itawalazinruviongozina wafalme
kupelekawalinganizikwa waîu kuwaita wao kwenye
kutakasaurnojawa M'NGU. {Hapo} mwenyekurudina
akakiriataiihifadhiadamu yake na mali yake na watoto
wake.Na rnwenyekupindana,M'ngu âtahalafishakwake
kile alicho rnuhalalishiaMturne (S.A.W.)kwa washiri.-
k i s h a j i .
Ukisema: Kutaka kuokolewa kumethubutukatike
hadithi. Kwani imesihi kwamba waja siku ya kiyama
watataka kuokolewa kwa Adamu baba wâ wanadamri
kishakwa lbrahimu,kishakwa Musa.Kishakwa lsa,na
wâtakomeakwa Muhammad(S.A.W.)baadaya kuliona
zito {jambohilo) kilta mmoja katikamitume.Basihii ni
dalili juu ya kwamba kutaka kuokoiewakwa asiekuwa
M'ngu si munkar.
Nasema:Huu ni udanganyifu!Kwani kutaka kuo.
kofewa kwa walio hayi juu yâ jambo wânaloliweza
hakukataiyoyote.Na hakikaÎi'l'nguamesema,katikakisa
cha Musa pamoiana Muis-railina Mkibti, kwamba:
22
,,AKAMUOÀ4BA
YEYE AMUOKOWE, YULE AM.
BAYË NI KATIKA JAMAA ZAKË JUU YA YULE AM-
BAYË Nl KATIKA ADUI ZAKE" - SURA: Zg Aya 18.
Na hakika yalipo maneno ni katika kutaka kuokolewa
watu wâ makaburina wengineo kwa mawaliyi wao nô
kutaka kwao kwa wao mambo (ambayol hayawezi asie-
kuwa M'ngu Mtukufu: kama afiya ya mgonjwa, na
mengineyol
Kwamwe ajabu kuliko hili: ni kwamba hawa wôru
wa makaburi na wasiokuwawao katika walio hayi rnio.
ngoni mwawafuasi wawenye kuwaitakidi wanôwapa
baadhi ya watoto wa kipona na wanânunuakwa wanae
muitakidi mimba katikatumbo la mama ili ipate kuishi.
nâ wanaleta mâovu ambayo washirikishaiiwa kwanza
hawakuyafikia.
Na hakika walinambia baadhi ya wenye kushikilia
upokeaji wa nadhiri zenye kuwekwa na watu wa maka_
buri, kwa baadhi ya makaburi kwamba: ,,Mtu
mmoja
alileujana mapesana mapambo ya wake zake, na aka-
semd: (MA'Lll haya ni ya bwana wake fufani akusudia
mweçye kaburi (haya) ni nusu ya mahari ya binti
yangu, kwa sababu ni memuoza nâ nilikuwa nime
M'milikisha, fulani (mwenye kaburi) nusu yake.
Hizi nadhiri za mali, na kufanyafungu nila kaburi.
wanôvyo fanya kitu fulani katika makulima wanacho
kiita {TALAM} katika baadhi ya pande ta yaman. ni
iambo ambalo hawakulifikia waliokuwa wakiabudu
masânamu, nalo linaingia kwenye neno lake M,ngu:
..NAWANAVIPA
WA SIVYO VIJUA FUNGU KATIKA
TULIZO WA FUZUKU" pasina shaka wala ruba _
SURA: 16 Aya 56.
23
Ndio! kuomba kuokolewawaja siku ya kiyama na
kutakakwao kwa mitume (HILO|, ni kumuombaM'ngu
mtukufu aamue baina ya waja kwa hisabu iliawapu-
nguziewao vitukovya msimamohuo, na hili halinashaka
kufaa. Na kusudia kuombeanaM'ngu. hawakuwaombea
hawa, kamwe Mtume alirnwambia Umar alipotoka
{Umar) kwenda kufanya (Umra): "USITUSAHAU
NDUGU YANGU KATIKA DUA ZAKO",
Na M'ngu ametuamrishakuwaombeawaumini na
kuwatakiarnaghufirakatikaneno lake: "Ewe mola wetu
tughufiriesisi na ndugu zetu walio tutanguliakwa kua.
m i n i " - - S U R A :5 9 A v a 1 0 ,
Na ummu saliym (R.A) alisema:"Ewe mtumewa
M'ngu khadimuyako ANAS muombeeM'ngu".
Na hakika masahaba (R.A.) walikuwa wanomba
dua kwake mtume (S.A.W,) naye yu hayi, na hili ni
jambo liloafikianwa kufaa kwake. Na maneno yako
katika kutaka watu wa makaburikwa miti au kwa walo
hayi. ambao hawajimilikiinafuu wala dhara,wala kufa
wala kupona wala kufufuliwa, (kuwaomba wao) wa
waponye wagonjwa wao, wamregeshealie potea wao,
wamsahilishie mwenye mimba wao. wayanyweshelee
makulima yao, wazibubujishenacho zawanyamawao,
na wahifadhi (nyama) na jicho, (la uhasidi) na kama
hayo katika matakwaambayo hayaweziila M'ngu. hawa
ndio ambao M'ngu amesema kuhusu wao: "Na hao
mnao wafingania asiekuwa M'ngu hawawezi kuwanu.
suru wala wenyewe hawajinusuru". SURA: 7 Aya 197,
"Hakika mnao walingania niwaja kama nyinyi" SURA:
7 Aya 1941.
24
Basi nivipi aombe, mwanadamu kwa kisichokuwa
na roho au kwa kilicho hayi - ambacho kuwa na roho
ni bora kuliko hicho - lçe1skuwa hakina lazima? Na
hili hubayiniwalilo lifanya washirikishajiambao M'ngu
alisimulia habari yao katika neno lake: "Na warnemfa-
nyia M'ngu, katika alizo ziumba miongoni mwa maku-
lima na wanyama, fungu wakasema: "Hf Lf Nl LA
M'NGU WA MADAIYAO, NA HILI NI LAWASHIRIKI.
SHWA WETU" SURA: 6 Aya 136.
Na ameserna:"Na wanavifanyia wasiovijua fungu
katika tulivyo waruzuku,na apa kwa M'ngu wataulizwa
mno waliokuwa wakiyazual" SURA: 16 Aya 56.
Hawa watu wa makaburi na wenye kuwaitakidi
wajinga walio hayi na wapotevu wao wamefuata njia za
washirikishaji kama zinavyo fuatana mbele za mshale,
wakaitakidi kwao ambayo haifai kuyaitakidi ila kwa
M'ngu; wakawapa wao fungu katika mali na wakaya-
kusudia makaburi yao kutoka majumbani kwao yalio
mbali kwa ajili ya kuzuru, na wakatufu makaburi yao,
na wakasimama kwa unyenyekevumbele ya makaburi
yao na wakawalinganiakwenye mashida, na wakachinja
vichinjwa kwa ajili ya kujikurubishakwao - na hiei
ndizo sampuli zaibada tulizo kuiutisha. Na wala sijùi
kuwa kuna kati yao mwenye kuwasuiudia? Silioni mbali
kupatikana kati mwao mwenye kufanya hivyo. kamwe
amenielezannae muarnini kuwa yeye arnemuona mwe-
nye kusujudu iuu ya mlango waziyara ya waliyi anae
mkusudia. kwa ajili ya kumtukuzana kuabudu.na wana-
apa kwa majina yao.
Famwe akiapa, anae lazimiwa na haki, kwa jina la
M'ngu hawamkubalii,na akiapa kwa iina la waliyi katika
mav'aliyi wao wanamkubaliana wanamsadiki.
25
Na hivi ndivyo walivyokuwawenyekuabudumasa.
namu,
"Na akitajwa mwenye ezi M'ngu peke yake eina.
kirihika nyoyo z.a watu ambao hawaamini Akhir.a na
wakitajwa ambao ni asiekuwa yeye, mara wao wanafu.
rahi" - SURA:39 Aya 45,
Na ni katika hadithi swahihit "Mwenye kuapa na
ape kwa M'ngu aLrna nyamaze",
Na mtume (S,A.W.) alimsikia mru akiapa kwa
(LAT) (Sanamu)akamuamrishayeyeaseme:"LAILAHA
ILLA LLAHU" na hili lina onyeshakuwa yeye aliritadi
kwa kuapa kwa sânamuakamuamrishayeyeaujadidishe
Uislamu wake. Kwani Veye alikufuru kwa hilo, kama
tulivyolithuburishakatika(SUBULIL-SSALAMSHEREHE
YA BULUUGHUL-MAFAM) na kwenye (MtN-HATUL-
G H A F F A R} .
Ukiserna:Sisawa kwani hawa wamesema:
"LAILAHA ILLA LLWAHU" na mrurne ame
sema:
"Nimeamrishwanipioanena Lvaturrrpakawaseme:
"L/ILAHA ILLA LLWAI-|U",rvakisernatrivvo wâta,zihi.
fadhi narni danru zao nâ rnali yno llla kwa haki yake'
fra hawa warraswali,wirnôfr_rnga,na w^utatoazaka,na
wana triji kinyumerla washirikishaji,
Naserna;Hakika mtume alisema: "illa kwa haki
yake:nahakiyakc.ni kunrpwekesheaM'rrgumtukufuuola
na umja. Na hawa watu wir makaburi hawakr.rpwekesha
26
uola na ibada. Kwa hivyo halikuwa{aawao neno la sha
hada,kwani hilo nenohalifaiilla likiwaparnojana kujila-
zimishamaanayake. KarnaambavyohakukuwafaaMaya
hudi kulisema kwa sababu ya kukanusha kwao baadhi
ya Mitume, nê ni hivyo mwenye kumfanya asie kutumwa
na M'ngu, kuwa ni mturne: halikumfaa yeye neno la
shahada, huoni kuwa wana wa Hanifa walikuwa waki'
kubali kuwa hapana M'ngu illa {Allahl, na kwamba
Muhammad ni Mtume wâke, na wakiswafi, lakini wao
walisema kuwa; "Musaylamah ni Mtume, masahaba
wakapigana nao, na wakawatukanawao. Je vipi kwa ana-
empa waliyi yenye kumukhusuM'ngu na akamwita yeyo
Kwenyenrajambo ya muhimuT
Na huu ndie (rlmirit muumininal Aly bin Aby
Twalibi tH.A.) aliwachoma iamaa wa Abdullah bin
Sabai. na walikuwa wakisema: "Tuna kubali kuwa
hapana M'ngu ilta ALLAH na kwamba Muhammad ni
Mtume wa M'ngtr". Lakini walizidisha mno katika kum'
tukuza Aly {n.4.} na wakaitakidi kwake wanayo ya ita-
kidi watu wa makaburi na kama wao, akawatesa wao
mateso hakumtesa kwayo yoyote katika rnaasi, kwani
aliwafukulia wao mashimo na akawarurumbishia moto
akawatupia ndani na akasema:
Mimi ninapoliona, lolote la munkari,
Na chochea moto sana, nikamwita kambari.
Na akasemamshairi katika rama hÎzo:
Mauti nayanitupe,yatakapo sitoiali,
Bora rnimi niyahepe,hayo mashimomawili,
Chochelepsrnahalipe,rnoto mkali kwa kweli,
Kufa kulikuwa kweli, nî taslimu sideni'
2V
Na kisa hichi kiko katika FAT-HUL-BARYna kisi-
cho kuwacho katika vitabu vya hadithi, na sira.
Na hakika imepita ljmaa ya umma kwamba mwe-
nye kukanushakufufuliwa huwa kafiri je vipi kwa mwe-
nye kumfanyia M'ngu mwendani?
Ukisema: kuwa Mtume {S.A.W.} alimkemea Usa-
mah kwa kumuuwaaliesema"LAILAHA ILLA LLWAHU"
kama
'Hapana
shaka kuwa mwenye kusema: "LAILAHA
ILLA LLWAHU" katika makafiri anaihifadhi damu yake
yakena mafi yake,mpakalidhihi'i kwake lenyekukhalifu
alifolisema.râ kwa hivyo mwenye ezi M'ngu aliteremsha
kukhusu kisa cha Mah-lam bin Jathamah aya: "Enyi
watu mlio amini mkipiga katika njia ya M'ngu fafanu-
sni" - SURA: 4 Aya 94. Kwa hivyo M'ngu akawaam-
risha wa hakikishe kukhusu mwenye kunena neno la
tauhidi. Akijilazimu maana yake atapata wanalo pata
Waislamu na atapaswana liwapasalowao, na ikidhihiri
kinyume nalo: hahifadhi damu yake na mali yake kwa
kutemka tu.
Na kwa hivi killa mwenye kudhihirishatauhidi, ni
lazima kukomanae mpaka lidhihiri kwake lenye kukha-
lifu hilo. Likidhihiri halimfai hili neno tupu. Na kwa
hivyo halikuwafaaMayahudi.wala halikuwafaa{Khawa-
riiil - pamojana ibadawalizokuwanazo,ambazomasa-
haba walikuwa wakidharau ibada zao kulingananazo.
Kamwe aliamrisha Mtume (S.A.W.) wauawe, na
akasÊma: "Naapa nikiwawahi nitawauwa kama kumu-
UWAADI".
Na hilo ni walipo khalifu baadhi ya sharia.
28
Na wakawa ni watu waovu mno chini ya Mbingu,
kama zinavyo thubutisha hadithi!
Kwa hivyo imethubutu kwamba utupu waneno
latauhidihauzuiikuthubutushirki ya alielisemakwa ajili
ya kufanya lenye kulikhalifu, nako ni kuabudu asiekuwa
M'ngu.
Ukisema: watu wa makaburi na wenginer katika
wenye kuitakidi kwa mafasiki wa watu na wajinga wao
kati ya walio hayi - wanasema: Sisi hatuwaabudu
hawa, wala hatumuabudu asiekuwa M'ngu. wala hatu-
waswalii wao, wala hatufungi,wala hatuhiji (kwa aiili
yao). Nasema:Huko ni kutojua manna ya ibada; kwani
ibada sio hayo tu ulioyataja,kwani kichwa cha ibada na
msingi wake ni itikadi. Na hakika limepatikanakatika
nyoyo zao hilo. Kamwe wanaliitaitikadi na wanamfanyia
hayo ulioyasikia kati ya mambo yaliotokamana na kua-
mini: Kama kuwaombâ, na kuwalingania,na kutawasali
kwao, na kutaka kuokolewa na wao na kuwaomba msa-
ada, na kuapa, na kuwawekea nadhiri, na yasiokuwa
hayo.
Na hakika wametaia wanavyoni kwamba mwenye
kujipamba kimakafiri huwa kafiri, na mwenye kutemka
neno la kufuru huwa kafiri. Je, vipi kwa aliefikilia daraia
hii ya kuitakidi, kusema,na kufanya?
Ukisema hiri nadhiri na vichinjwa ni nini hukumu
yakel Nasema: Killa mwenye akili amejua kwamba:
mali nikipenzi cha wenyewe, wanakwenda mbio kwa
aiili ya kuyakusanya,japo ni kwa kufanya maasiya yote.
Na wanakata masafa mengi karibu na mbali, yoyote
hatoi chochote katika mafi yake illa kwa kuamini kuvuta
manufaamakubwa kuliko hicho, au kuiiepushamadhara.
29
Mwenye kuiwekea kaburi naclhirihatoi mafi yake
illa kwa ajili ya hilo. Na hii ni ltikadi mbovrr"
Na lau kama mwenye kuekal"ladhir,iangejuamak,osa
va aliloitakidi hanEetoahata derehemn.
Kwani rnali nikipenzicha wenyewe, M'ngu ame
serna: "Na wala hawaombi nyinyi mali zenu {yote}
karna angewaomba{yote} akazidisha{katika kuyataka}
rnnoefanyaubakhili na angetoachukizenu"SURA: 4j
Aya 6. 37, Wajibu ni kumjulishamwenye kutoa nadhiri
kwamba: rri kupotezarnal,iyake. Na kwamba hakimntr-
faishi yeye anachokitoa,ffala hakimuondoleimadhara
Na hakika Mtunre (S.A.W.) arnesema:"Hakika
nadhiri haileti kherîna hakikatu inatolewakwa bakhili"
na nilazima kumrecesheamwenyewe arna yule rnwenye
kupokea nadhlri; {najue kwa,mba}: Huko kupokea
rradhirini hararnujuu yake kupokea,kwa sababLrhuks
ni kula mali ya mwenyekuekanadhiri kwa batili sio kwa
kupa chochote, na hakika M'ngu amesema:"Na wala
rnusile mali yenu kati mwenu kwa batili" SUftA:
Aya 188.
Kwa sababuhuko ni kumthubutisharnuekajinadhi-
ri juu ya shirkiyakena uovuwa itikadiyake.na kuridhika
kwake kwa hilo, na wala haifichamanihukumu yâ rnvve-
nye kuridhiashirki.
shwa na anasameheisiokuwa hio (shirkiI kwa a,tntakae"
"'Hakika m'wenveezi M'ngu hasamehekushiriki_
shwa ilâ ânâsêrneheisiokuwa hio {shirki} kwa amtaka€'"
- SUHA; 4 Aya 48.
30
Malipo hayo ni kama ada va mkuhani na mahari
ya umalaya,kwa sababuhuko ni kumdanganyamwenye
kueka nadhiri; na nikumfahamisha rnakosa kwamba
waliyi anamfaa yeye na anamdhuru. Ni kuthubutisha
makosakupi kuliko kukubwa kuliko kupokeanadhiri ya
maitiT Na niudanganyifu upi mkubwa na nikuridhika
kupi kwa maasiakuliko kukubwamno kuliko huku? Na
nikufanyauovu kuwa werna kupi kunakoajabishakuliko
hili? Na hazikuwanadhiriza rnasânamuila juu ya mpa'
ngo huu: anaaminirnwenyekueka nadhiri kuvuta manu-
faa kwa sanamuna kr-rondoaMadhara,hapo akamuekea
nadhiri sehemukubwa ya mali yake na anagawanyanaye
zilo ndani ya udongo wake na akaja nacho rnpakakwa
watumishi wa masanamu na wakakabidhi toka kwake
na wakamfahamishauhaki waitikadi yake, na uhaki wa
kuleta kichinjwa chake na akakichinja mlangoni kwa
sanarnu,na hivi ndivyo vitendo ambavyo M'ngu aliwa.-
leta mitume kwa ajili ya kuviondoa,na kuvifutana kuvi-
angamiza,na kuvikataza.
Ukisema: Mwenye kueka nadhiri henda akapata
manufaa na akaondoa madhara kwa sababu ya kuitoa
nadhiri na kuipa. Nasema:Na ni kama hivyo masanamu
huenda likapatikana kwao kubwa kuliko hili, nalo ni
môn€no yenye kutoka ndani yao, na kuyaelezaanayoya-
ficha mwanadamu.
lkiwa hii ni dalili juu ya uhaki wa makaburi na
kusihi kuyaitakidi;na liwe basi ni dafili juu ya uhaki wa
rnasanamu.Na huku ni kuuvunja Uislamu na kusima.
misha nguzo za masanamu.
Na ukweli ni kwamba lblisi na askari wake
katika maiini na wanadâmu anamsaadarnkubwa katika
31
rniili,na kutia wasiwasikwenyevifua na kunrezanyoyo
kwa gorc'mtlolake. Basi ni hivyo hivyo anaingiandani
ya masanamu,na akatiam6nenokatikarnasikioya watu,
na kama hilo ar"ralifanyakwenye itikadi za watu wa
makaburi;kwani mwenye eziM'nguamemruhusuavute
kwa farasi wake na mguu wake wanadamu,na ashiri-
kiane nao katika mali na watoto; Na limethubutr-r
kwenye hadithi kwamba: "shaytani anasikiliza kwa
kuiba jambo ambalo M'ngu atalileta.na akalitupakwa
makuhani._ n6 hao ni wale wenye kuelezakhabariza
ghaibu.na wanazidishajuu ya lile analolitupashaytani
mengi menginemia ya uongowao wenyewe".
Na wanakusudiarnashaytaniwakijini na wakibi-
nadamukwa watumishiwa makaburina wangineo.wa-
kiwambia:
..WALIYI
AMEFANYA NA AMËFANYA"
Wanawapendezesheawao na wanawahadharisha
wâo kukhusu yeyel Na utawaonajamaa, wafalme wa
majimbo na watawala wamiji wakiyatukuzahayo, na
wakiwaayini watumishi wenye kukabidhi nadhiri, na
penginewanalishikiliawatu ambao watu wanawadhania
wema; mwana chuoni,kadhi,au mufti, au sheikhesufii,
hapo ukatimu udanganyifuwa lbfisi na likatulia jicho
lake kwa kudanganyahuku.
Ukisema:Hili ni jambo limeeneamiji, na wameku-
sanyika juu yake wakaazi wamapangona majabali, na
limewamba ardhi mashariki na magharibi,Yaman na
Sham, kusini na Adeni, kwa namna ambao hupati mii
katikamiji ya Kiislamuilla huwapanamakaburina mazi-
yara na walio hayi wanaitakidiwana kutukuzwa,na
32
kuekewa nadhiri, na kuitwa majina na kuapwa kwayo,
na wanatufu milia ya makaburi, wanâyawashia mataa, na
wanayawekea mauwa na maraihani, na wanayavisha
nguo, na wanafanya kila iambo wanaloliweza lakuyaa-
budu. Na ambayo yana maana ya lbada; ya kutukuza,
kunyenyekea na kujidhalilisha na kuyahitajia, kamwe
hii ndio misikiti ya waislamu, mingi kati yao f,aikosi
kaburi au lilo karibu nayo au ziyara yenye kukusudiwa
na wenye kusali katika nyakati za swala. wanafanya
katikalo yote yaliotajwa, au baadhi ya yaliotajwa. wala
h a l i i k u n d u k i i a k i l i y a m w € n y e a k i l i k w a m b a h a y o n i
M U N K A R w e n y e . k u f i k i l i a u o v u u l i o u t a j a , w a l i o u n y a -
malia wanavyoni ambao kumethubutu kwenda kwao
pande zote za ulimwengu.
Nasema: Ukipenda ukweli na ukawacha kuwafuata
wa kale, na ukajua kwamba haki ni ile tu ilio simama
juu yake dalili, sio walioafikiana walimwengu kizazi
baada ya kizazi. na mkao baada ya mkao, jua vile vile
kwamba mambo haya ambayo tunakariri kuyakanusha,
na twedambio ili mnara wake kuuangusha: {ni mambol
yenye kutokamana na wajinga ambao Uislamu wao ni
wa kuiga wazee pasina dalili. na kufuata kwao huko ni
kwa pasina kutafautisha kati ya twevu na yenye kufaa.
mtu anainukia akawaona watu wakijiji chake na
wenye m ji wake wanamf unza udogoni aliite jina la
wanaemuitakidi, na anawaona wakimuekea nadhiri, na
wakimtukuza, na wakisafiri naye mpaka kwenye kaburi
yake, na wanampaka yeye rnchanga wake. na wana-
mtufisha juu ya kaburi hilo. Hapo {ndipo huyo mtotol
anainukia na hali umethubutu utukufu wa wanaemtukuza
moyoni mwake, na huwa ashakuwa ni katika vitu vitu-
kufu kwake huo wanae muitakidi. kwa hivyo anainukia
33
juu ya itiliadi hii akiwa mdçgo na anazeekajuu yake na
wala hasikii ukernevu kutoka kwa yoyote iuu yake.
Kamwe unaweza kumuona, rt-rwenyekusifika kwa uiuri,
na rnwenye kujidai ubora, na anaeshikilia ukadhi, .na
kufutu, na ktrgorneshana utawala,au maarifa,au uamlri
nâ Sirlkali, {utarnuona}ni rnwenyekuyatukuzaWanayO
yatukuza mwenye kuyakirirnu wanayo yak,irimu, mwe-
ny€ kupokea nadhiri. mwenye kula vyeny€ kuchinjwa
iuu ya makaburi;hapo wainga wanadhaniakwamba hii
ndio dini ya Kiislarnu,na kwamba hichi ndicho kichwa
cha dini na nundu yake; nâ wala halifichamanikwa
r.nwenyekufaa krrfikiri,na anaeju.aurT'gan'gazêwa ujuzi
wa Kuran; na hadithi . . . kwarnba kunyamazamwana=
chuoni au ulimwengujuu ya kuruka MUNKAR si dalili
ya kufaa MUNKAR HUO.
Na tr-lpigemfano wa hilo nao ni hizi mukusi zenye
kuitwa mujabi z€nye kujulikana uharamu wake katika
dini wazi, Zimejaa majumba na vjwanda na zimekuwa
ni jarnbo lenye kuzoewa,hakufipitii kulipinga, sjkio lo-
lete na mikono ya wenye kupokearnukusi imefika mpaka
kwenye vi,wandavitukufu, katika maka, marna wa mijï
wanapokeakwa wenye kuikusudiakwa ajili ya kuteke-
feza faradhi ya Uislamu. na wakakuta'katika mji mtu
feza faradhi ya Uislamu, na wakakuta katika mji mtu.
kufu mambo ya haramu, na hali wakazi wake ni katika
bora wa viurnbe, na wajuzi na rnahakimu,wamenyarnaza
hawalikanyiWamelipamaungokuliletana kulitoa,
JÊ, kunyamazakutakuwa dalili juu ya uhalali wa
kuzipokeana kuzihifadhiTHili halisemi mwenye che-
rnbe ya kutarnbua.Kamwe na kupigia rnfano mwegine;
Hii ni haram ya M'ngu arnbayo.ndiyobora wa viwanda
34
vya ulimwengu kwa itifaki na ljmaâ /a wanavyoni. wa-
mezua katikayo {haram} baadhi ya wafalrne waovu wa'-
jinga, upotevu: haya maqamu rnan'ne-,ambayo yarnete'
nganisha ibada za waia na yakabeba rnahaya ambayo
hayadhabiti ila M'ngu mtukuïu; yametenganisha ibada
za Waislamu zikawafanyaWaislamu ni kama wana mila
tafauti kwenye dini, htlo ni uzuzi {BlD'A} uliolituza iicho
la lblisi mal'uni. Na yamewafanyaWaislamu kama viche-
ko vya mashetwani;na watu wameyanyamazia;Na wana-
kuia {Maka} wana vyoni wapande nyingi na mabadal
na makutbi" nâ ameyaona hayo killa mwenye macho na
ameyasikia kîlla mwenye masikio; je' kutakuwa huku
kunyamazani datili ya kufaa rnambo yenyeweT
Hili haliserni mwenyÊ iapo kitu kidogo katika
maarifa! Ni kama kunyamazakwao juu ya haya mambo
yenye kutokamana na watu wa makaburi.
Ukisema: îtalazîmu kr.rwaumrna urnekusanvikajuu
ya upotevu kwa kule kuwa warnenyamâza wasiukanye
ujinga rnkubwa.
Nasema: hakika ya limaa: ni kuafikiana watu wa
titihad wa ummati Muhammad {S,A.W.1 iuu ya iarnbo
baada ya zama zake Mtume; na wânavyoni wa rnadhe-
hebu man'ne hawafai kuiitahidi baada ya maimamu wa
N'ne; Na lingawa hili ni neno labatili haliserniasiekuwa
ambae ni miinga wa hakika; Kwa madai yao: (Hapana
ljmai kabisa baada ya maimamu wan'ne! kwa hivyo
haiii hlo suali. Kwani uzuzi huu na kufitinika huku kwa
makaburi hakukuwa katika zârnâ za maimamu wan'nË'
Na kulingnna na haya tunayo yahakikisha, huwa-
kutuka ljnraa ni rnuhafi.
35
Kwani umati wa Muhammad (S.A.W.) umeiaa
pande, na umefika katika killa nchi na uko chini ya
kutla nyota; Kwa hivyo wanavyonl wake wenye uhakika
hawahisabiki,wala hapanaanaewezakuiua hali zao.Kwa
hivyo mwenyekudai ljmai baadaya kueneadini. na kuwa
wengi wanavyoniwaKiislamu;madai hayo ni ya uwongo,
kama walivyo sema maimamu wenye kuhakikisha.
Kisha tukisemakwamba walijua Munkari na waaiu-
kanye, kamwe walinyamazq, wasiukemee, kunyamaza
kwao hakungeonyeshakufaa hilo (la Munkari). Kwani
kunajulikanakatika kawaida za sharia kwamba njia za
kukanyani tatu:
Rwanza:
Piti:
Kukanya kwa mkono; Nako ni kuubadilisha
munkari na kuuondosha.
Kukanya kwa ufimi kukitowezekana kubadi-
lisha.
Tatu: Kukanyakwa moyo ikitowezekanakubadilisha
kwa mkono na ulimi.
Likikosekanahili halikosekanijengine. Na mfano
wake, nikupitamtu katikawanavyoniwadini kwa mmoja
wa wenye kupokea Mukusi wal<atianapopokeamali ya
wenye kudhulumiwa. Huyu mtu m'moja katika wana-
vyoni wadini hawezikumbadilishia,huo mwenye kuchu-
kuwa mali Va masikini, kwa mkono wala kwa ulimi,
kwani atakuwa ni kicheko cha maasi hao, kwa hivvo
sharti ya kukanya kwa njia mbili itakosekana,fiE pata-
kuwa hapakubakiilla kukanyakwa moyo ambako ndiko
dhaifu mno Wa imani. Inampasq,mweye kumuona huo
mwanachuoni amenyamazahakukanyapamoja na kuona
anachokichukuwajabari huo. aamini kwamba kumem-
36
shinda kukanya kwa mkono na ulimi, na kwamba ame'
kanya kwa moyo wake. Kwani kuwadhania waislamu
vyema ndivYo ipasavyo na kuwataawilia iwezekanavyo
ndivyo ilivyo; Wenye kuingia haram tukufu na wenye
kuona majengo hayo yakishetwani ambayo yametenga-
nisha neno la dini, na yakazifanyambali mbali swala za
Waislamu, wanaudhuru kwakutoYakanyailfa kwa moyo
tu, kama wenye kuwapitia washikaii mukusi na watrt
wa makaburi.
Na hapa ndipo panapoonekanauharibifu wa liloe-
ndelea kwa maimanu hao wakuchukuwa dalili hizo -
kusema kwao kwamba: lilituka na lisikanywe,kwa hivyo
likawalj'mai.
Na namna ya uharibifu huo ni kwamba:
Kusema kwao: "NA WALA LISIKANYWE" ni
kutupa ovyo. kwani huenda ikawa nyoyo nyingi ziliona
uzito kukanya mkono na ulimi. Wewe unashuhudia
katika zama zako mambo mangapi yanatuka huyakanyi
kwa ulimi wako wala kwa mkono wako, hali wewe
unayakanyakwa moYo wako'
Na muinga anasemâ: akikuona unayaonô; fulani
amenyamaza hakuyakanya kwa neno lake, ama kwa
kulaumu au kwa kuiga kule kunyamazakimya hakuchu-
kuliwi ni dalili na miuzi Yoyote.
Vile vife kunaiulikana batilika neno lao katika
kuchukuwadalili: "FULANI AMEFANYA NA WENGINE
WAMENYAMAZA" kwa hivyo ikawa limai - (hili nalo)
nilenye kubatilikakwa njia mbili:
37
Kwanza:
Piti:
kudai kwamba kunyamaza waliobakia huthu-
butisha kitendo cha fulani, kwa yafe uNioyajua
ya kunyamaza kutofaa kuwa dafili yenye
kuthubutisha.
kusernakwao: "lkawa fjnlai"
Kwani ljmai ni
(S.A.W.), na mwenye
wala kukhalifu, mpaka
kuafikiana urnrnati Muharnrnad
kunyamaza hanasibishiwi kuafiki
umbayini yeye ulimi wake.
Mfalme mmoja-aliserna:wakatiwatu katikahadhara
yake wamemaliza kumsifu mtu mmoja katika wafanyi
kazi wake, afiyekuwa kwcnye hao watu, alikr.rwaarno.
nyamaza! Mfalme akamuuliza: "Mbona wewe huserni
chochote kama wanavyo sema?', Huyo mtu akajibu
kwamba: "Nikisema nitawapinga". Basi sio kwarnba
kilia kunyamazani kuridhia.Kwani hayani maovuyalio-.
asisiwana mwenye upangana mkuki mkononi,na darnu
za waja na mali yao yako chini ya ulirni wake na kalarnu
yake, na vyeo vyao viko chini ya kauli yake na neno
lake; atawezajeMtu M'moja kumpinga anafolitaka?
Haya makuba na maziyaraambayo yamekuwa njia
kubwa ya kwenda kwenye shirki na kutoamini;na cho-
mbo kikubwa cha kuuvundauislamu na kubomoa jengo
lake, wengi au wote walio ya amirisha ni wafal'm,BFâ
masultani na wakuu na watawala, ima kumfanyia jamaa
yao au kumfanyia wanae mdhania werna; M'bora, au
mjuzi au Sufi, au fakiri au mzee au mkubwa. Na watu
wakamzuru. ambao wanarnjua, kama wariavyo zuriwa
maiti pasina kutawasali kwake, wafa kulilingania jina
fake bali wana rnuornbeaM'ngu na kumtakia rnaghufira.
mpaka wÊnapoondoka wanaomjuaau wengi katika wao.
38
wanôkujawengine baadaya hao wakalionakaburi lime.
jengewa, na limewashiwa mishumaa, na fimetandikwa
matandiko ya fakhri na limeteremshiwamapazia, na
fimetupiwamawaridi na mauwa, hapo wana amini kwa-
mba (kaburil hili nilakunufaishaau nilakudhuru; Na
wakalijia watumishi wakimzulia maiti kwamba amefa'
nya, na amefanya amemdhuru fulani amernfaa fufani
mpaka wakameza kwenye moyo wa mwenye kusikia
killa jambs la batili.
Na kwa hili imethubutu katika hadithi za Mtume;
"Lanâ ni juu Ya mwenye kuwashataa juu ya makaburi
na mwenye kuyaandika,na mwenye kuyajengea.
Na hadithi za hilo ni
hilo lenyewe limekatazwa.
mkubwa.
nyingi, zinajulikana,Kwani
kisha ni njia ya uharibifu
Ukisema:Hii ndio kaburiya Mtume (S.A.W,l ime.
jengewa kuba kubwa. lilotumiliwa mali mengï.
Nasema: Huu ni ujinga mkubwa kukhusu hakika
ya iambo lenyewe; kwani hili kuba hali kujengwa nae
Mtume {S.A.W.} wala na masahabawake wala walio
wafuatia wao na wala walio fuata waliofuatia, na wala
siwanavyoniwa umma wake na wala siviongoziwa mila
yake; Kamwe hili kuba lilojengwa juu ys kaburi yô
firltume {S.A.W.} ni katika majengo ya baadhi ya
wafalme wa Misri waliokuja nyuma! Naye ni KALA-
WOONf L.SWALIFIY, Anaejulikana, kwa jina la
Al-malikul'ffrElr'tsoor.Katika mwaka wa 678 A.l-,1.amcfi'
taja hifo mwenyr kitabu "TAl.l'Kfl KUL-NNUSRAI'IBITA
KH'LIISWI MAALIMIL.HIJRAI.I'"
39
Kwa hivyo haya ni mambo ya kidola sio ya kidalili,
wa mwisho anamfuatâ wa kwanzaI
Na hili ndilo mwisho warulifofirakakatika tulio ya
leta zilipoeneabeluwa na zikafuatwa"Hawaa,. na wana-
vyoni wakapa rnaungokukanya ambako kunawapasa,na
wakapendukiawalipo pendukia wajinga, Na uovu ukawa
wema, na wema ukawa uovu. Wala asipatikane kwa
watu mwenye kukatazahilo wala mweny€ kukemeal
Ukisema: huafiki, kwa wafio hayi na wafio kufa,
kukutana na watu wenye kufanya yenye kupasua ada,
wenye alrma za wenye kuvutika (majadhibil; Je ni nini
hukmu ya hayo wanayoyâfanya katika hayo mambo?
Kwani hayo mambo nikati ya yenye kuvuta nyoyo ziyai-
takidi hayoT
Nasema: Ama wenye alama za majadhibi,ambao
wanalitafuna temko fa utukufu (LAFDHUL-JALALAHI
kwa vinywa vyao na wanao lisema kwa ndimi zao,
wanao liepusha na temko lake lakiarabu: hao ni askari
wa lblisi mwenye laana, na ni katika ambao shetwani
amewavisha mapambo ya udanganyifu na kuhadaa. kwa
kule kuwa kulitupa neno la jafafah (Aflahl mbali na kuri-
miziwa maneno kwa kusemakwao (Allahl (Aflahl sima-
neno wala sitauhidi, kamwe ni kucheza na neno hili
tukufu, kwa kulitoa nje ya temko lake la Kiarabu, kisha
kuliepushôna rnaanayoyotel
Na lau kama mtu m'moja mtukufu mwema,'anaitwa
(Zaydl, watu wakashikilia kusema Zayd, Zayd, Zayd
angelichukuwahilo kama sherena kurwezwa.nû dharau:
Na khaswa kukiliongezekeaneno lenyewe temko lake
40
{BADALA YA KUSËMA IALLAH} WANASEMA: HA
H A A N ) K i s h a a n g a l i a : J e ' l i n r e k u i a k a t i k a K u r a n i ' n a
hadithi, temko rrito laialalapeke yake na likakaririwa?
Kwa sababulilo kwenYeKurani na hadithi' ni kua-
rnrishwakumtaia M'ngu na kumpwekesha'na krtumsab-
bihi na kuhalili.
Na hizi ndizo dhikri za mtume (S'A'W') na dua
zake na dua za ali zake na masahabawake zote hazina
livumi hizi na vitunu hivi na kelele hizi. ambazowôme-
Zizoeaambao wako mbali mno na M'ngu na uongoftr
wa Mtumewa M'ngu tS-A.W').
Kisha penginewao wanaliongezeahilo lina tukufu
majinaya iamaafulani walio kufa. kama:IBNU ALWAN
na Ahmad IBNUL-HUSEIN,na ABDUL'KADIF na AL-
AYDARUSI,
K a m w e h a I i i m e f i k i a k u w a w a n a w a k i m b i | i a w a t u
wa makaburi wanapodhufumiwa au wanapoonewa:
Kama Alv Ruman,na Aly l-ahmarna kama hao'
Na hakika M'ngu amernuhifadhiMtume (S'A'W'l
na watu wanguo (Ah-lul-kisaalna masahabawatukufu.
hawakutiwandani ya vinywa vya waiinga hawa wapotevu'
wenye kukusanyasampuli nyingi za ujinga na slrilki na
kufru.
Ukisema: Huenda yakaonekanamambo ya aiabu
kwa hao wenye kulitafunaiina katika hao watLrwâupuei
na uhuni,na waonekanana mamboambayoyanadhaniwa
kuwa ni karama,kama kuiichomekakwa visu vikali, na
41
kama kuchukuwa majoka na visusuli (n,gel, na kula
moto, na kuushika kwa mikono, na kutembea ndani ya
moto kwa miili yao.
Nasema: Hizi ni hali ta kishetwani, na wewe
utakuwa mwenye kudanganyrka ukiyadhania kuwa ni
karama za hao maiti, au ni rnema ya walio hayi, kuwa
huo mpotevu alipoyaita majina yao aliwafanya ni washi-
riki wa M'ngu katika kuumba na kuamrisha; Hawa rnaiti
ambao unawajaalia kuwa ni mawaliyi wa M'ngu, je,
waliyi wa M'ngu anaridhiaafanywe mshirikawa M,ngu
na rnaj-dhubinana muasi?
Ukilidai hilo utakuwa umeleta iambo bovu mno, na
umewafanya hao maiti ni washirikishaji na umewatoa.
(ltl'ngu apishembafi) nje ya duara ya Uislamu na dini;
kwa kule kuwafanya wao ni wendani wa M'ngu, hali ya
wao kuliridhia na kulifurahia, na itikadi kuwa hizo ni
karama za rnajadhibi hao wapotevu tena washirikishaji,
wenye kufuata killa batili; wenye kuzamandani ya maba-
hari ya matwevu, ambao hawamsujud{iM'ngu hata sijda
moja, na wala hawamtaji peke yakel
Kwa hivyo ukilidai hili utakuwa umewathubutishia
karama washirikishaji makafiri, nâ wenye warimu; na
ulâkuwa umevunja kwa hilo vidhibitisho vya Uislamu na
misingi ya dini wazi na sharia yenye kunyoka sawa. Na
ukisha jua ubatili wa mambo haya mawili huwa umejua
kwamba hiro ni hali na ni vitendo vya kishetwani na
niamali za ki fblisi, wanazozifanya mashetwani kuwa-
fanyia ndugu rao kwe aiili ya kusaidiana mpande mbili,
kwani limethubutu katika hadithi kwamba mashetwani
ntl mailni wanaiifanya kama majoka, na hifi ni jambo
1?.
limekatiwa kutuka. Basi hao maioka anaowaona mwa-
nadamu kwenye mikono ya maiadhibi, huenda yakawa
ni katika uganga,na ugangani sampuli nyingi' na kuii-
fundisha si tabu, kamwe mlango wake mkubwa ni kum'
kufuru M'ngu, kama kueka mswahafu chsni na kama
hayo!
Basi. nasihadaike mwenY€ kuona kubwa kwake
mambo hayo ya maiadhibi ambayo ânayaona kuwa ni
yenye kupita kawaida, kwani ugangâuna taathiri kubwa
katika mambo.
Na vile vile wanavigeuza vitu kwa uganga na
mengineo. Waganga wa Fir-auna, waliuiaza wôngvYâ
kwa maioka mpaka Musa (A'S.) akaogopa'Na M'ngu
{Mwenyewe) aliusifu kuwa ni uganga mkubwa' Na
uganga unafanya kubwa kuliko hili. Ametaia IBNU
BATUTA na asiekuwa yeye. kwamba yeye aliona bara
Hindi watu wanawâshiwa moto mkubwa wakavaa nguo
nyembamba, na wakajichomeka kwenye moto huo' na
wakatoka nô nguo zao kama kwamba hazikuguswana
chochote!
Kamwe ametaia kwamba alimuona mtu. kwa
mfalme M'moja wa bara Hindi, aliekuja na watoto
wawili, kisha akawakatakipandekipande;kishaakatupa
killa kipande upande wake mbalimbali. mpaka yoyote
akawa haoni chochote katika vipande hivyo; kisha aka-
piga ukelele na akalia, hapo waliohudhuria hawakufa-
hamu illa kuona kilta kiungo kimeteremkachenyewena
kimeambatakiungo rnwenzie,mpaka killa mtoto akawa
hayi sawa sawa.
Arnelitaja katika sâfari yake nayo ni salari fupi.
nami nime{upiliza. Nilisoma Makka mwaka wa 1132
43
A.H. na akatuandikishaMufti wa madhehebuya hana-
fiyah katika MADINA Bw. Muhammad BtN AS'AD
(M'ngu amrehemul. Na katika kitabu: "A-AGHANy"
cha ABIL-FARAJAI'AS-FIHANYkwa sanadyake: (tko)
kwamba mganga m'moja alikuwa kwa At-Waliid BIN
UKBA huo mganga akawa anaingia ndani ya ng'ombe
kishaanatoka,Bw. Jundub akamuonayeye hapo akarudi
nyumbanina akabebaupangawake, yule mgangaalipo.
ingia ndani ya ng'ombe Jundub. alisema:"MNALETA
UGANGA HALI MNATIZAMA?" Kisha akampigang'o-
mbe katikati. akamkatana akaÉnkatahuo rngangavile-
vile, watu wakababaika,hapo waliid akamfungana aka-
muandikia Uthmani Bin Afaan kumweleza hayo; Na
aliekuwaamesimamahapo jela ni mtu mmoja mnasara.
alipomuona Jundub, anasimama {kwa ibada) usiku
mzima,na mchanaanafunga,alisemahuo mnasara:"Na
apa kwa M'ngu, watu ambao huyu ndie rnr"rovuwao ni
watu wa ukweli"; na hapoakamuakilishamtu mwengine
iola na akaingia{Mji} wa (KOFA);akaulizamwema wa
wenyeii wake wakamuambia: ni Ash-ath Bin OAYS,
akawa mgeni wake. hapo akamuonaAsh-ath analala
usiku na akiamkaanatakachakulachakeakatokakwake
na akauliaa:"N'nani katikawatu wa KOFA aliemwema
z a i d i l "
Wakamwambiani JARIIR Bin ABDULLAH,akam-
kuta analalausiku na kukipambazukaanaagiziachakula
chake.Hapoalielekeakiblana akasema:MOLA WANGU
NI MOLA WA JUNDUB,NA DINI YANGU NI DINI YA
JUNDUBna akasilimu,
Na Bayhaqii amekitoa kisa hichi katika Al-Ssuna-
nil-kubraapamoja na rnabadilikofulani katika kisa che.
nyewe. Ametaja mategemezewayake mpaka kwa Al-as'-
44
wad, kwamba: Al-waliid bin Uqbah alikuwako lraqi na
mganga mmoia anachezambele yake; alikuwa anakata
kichwa cha mtu kisha anampigia ukelele akasimama
akipiga makelelehapo anamrudishiakichwa chake'
Watu wakasema: "SUB-HANA LLAHI" anawahuyi
waliokufa. akamuona yeye mtu mmoia katika wemâ wa
"MUHAJIRINA" ilipokuja siku ya pili alichukuwa
upanga wake na akamkata kichwa chake. na akasema:
"Akiwa ni mkweli naiihuyi mwenyewel" Al-waliid aka-
muamrishaDinar mtu wa jela na akamfungayeye, MW'
Kamwe ajabu zaidi kuliko hili: ni alilolitoa Al-
bayhaqiikwa mategemezewayake,katikakisa kirefu: Na
kisa hicho, ni kwamba: Mwanamke M'moja alijifundisha
uganga kwa malaika wale wawili WA BABILA, ambao
ni HARUTA na MARUTA. na kwamba huo mwanamke
alichukuwa ngano. akaiambia baada ya kuitupa chini:
Jipande,nayo ikaiipanda-Akaiambia:Jitime, nayo ikaii-
Iima. kisha akaiwacha; Halafu akaiambia: Jikaushe'
nayo ikaiikausha.Kisha akaiambia:Jisage,nayo ikaii-
saga. Mwisho akaiambia:Jifanye mkate nayo ikaiifanya
mkate. Akawa (huo mwanamke) hataki iambo illa lina-
kuwa.
Na mambo ya kishetwani,hayahisabiki.Na yatosha
atakayokuyaletaDAJALI'
Na
hadithi
HAPA)
maagizo yake kwenye kufuata Kur-ani, na
na kwenye kuzi khalifu. (KITABU KIMEKOIV'|A
45
1 / -lot ' Ê,f+T'f.ir
^14 ll ^t'/ *,
JL+y lr.,r],lel
.iJi;
-'*U -t;'t{Êl,jtl-J 1,3.1-.Ilftl I
;:J,uDtf;'#,ilU,Y
-àll^( -.a.11
.>-*-5'Êt't
't-))-*)Ià6:-vâ--ta--+ru-i.IttîuDs
-+ât, èts-tltS$is
y+e,Ly't -o1j;t_.ÈU)l
dL;*ir,rL
-Â t 11
ç
Dâ/

More Related Content

More from Helmon Chan

We believe in_all_the_prophets_and_the_messengers
We believe in_all_the_prophets_and_the_messengersWe believe in_all_the_prophets_and_the_messengers
We believe in_all_the_prophets_and_the_messengersHelmon Chan
 
Understand quran
Understand   quranUnderstand   quran
Understand quranHelmon Chan
 
The message of_islam
The message of_islamThe message of_islam
The message of_islamHelmon Chan
 
My lord i_love_you
My   lord i_love_youMy   lord i_love_you
My lord i_love_youHelmon Chan
 
Turkish Islam 08
Turkish Islam      08Turkish Islam      08
Turkish Islam 08Helmon Chan
 
Turkish Islam 09
Turkish Islam   09Turkish Islam   09
Turkish Islam 09Helmon Chan
 
Turkish Islam 10
Turkish Islam  10Turkish Islam  10
Turkish Islam 10Helmon Chan
 
Turkish Islam 15
Turkish Islam  15Turkish Islam  15
Turkish Islam 15Helmon Chan
 
Turkish Islam 16
Turkish Islam  16Turkish Islam  16
Turkish Islam 16Helmon Chan
 
Turkish Islam 17
Turkish Islam  17Turkish Islam  17
Turkish Islam 17Helmon Chan
 
Turkish Islam 18
Turkish Islam  18Turkish Islam  18
Turkish Islam 18Helmon Chan
 
Turkish Islam 03
Turkish Islam 03Turkish Islam 03
Turkish Islam 03Helmon Chan
 
Turkish Islam 02
Turkish Islam  02Turkish Islam  02
Turkish Islam 02Helmon Chan
 

More from Helmon Chan (20)

We believe in_all_the_prophets_and_the_messengers
We believe in_all_the_prophets_and_the_messengersWe believe in_all_the_prophets_and_the_messengers
We believe in_all_the_prophets_and_the_messengers
 
Understand quran
Understand   quranUnderstand   quran
Understand quran
 
The message of_islam
The message of_islamThe message of_islam
The message of_islam
 
My lord i_love_you
My   lord i_love_youMy   lord i_love_you
My lord i_love_you
 
Hajj and umrah
Hajj    and  umrahHajj    and  umrah
Hajj and umrah
 
Haji and umrah
Haji   and umrahHaji   and umrah
Haji and umrah
 
Haji and umrah
Haji and umrahHaji and umrah
Haji and umrah
 
Turkish Islam 08
Turkish Islam      08Turkish Islam      08
Turkish Islam 08
 
Turkish Islam 09
Turkish Islam   09Turkish Islam   09
Turkish Islam 09
 
Turkish Islam 10
Turkish Islam  10Turkish Islam  10
Turkish Islam 10
 
Turkish Islam 15
Turkish Islam  15Turkish Islam  15
Turkish Islam 15
 
Turkish Islam 16
Turkish Islam  16Turkish Islam  16
Turkish Islam 16
 
Turkish Islam 17
Turkish Islam  17Turkish Islam  17
Turkish Islam 17
 
Turkish Islam 18
Turkish Islam  18Turkish Islam  18
Turkish Islam 18
 
Turkish Islam 03
Turkish Islam 03Turkish Islam 03
Turkish Islam 03
 
Turkish Islam 02
Turkish Islam  02Turkish Islam  02
Turkish Islam 02
 
Yoruba Islam 01
Yoruba Islam  01Yoruba Islam  01
Yoruba Islam 01
 
Yoruba Islam 03
Yoruba Islam  03Yoruba Islam  03
Yoruba Islam 03
 
Yoruba Islam 05
Yoruba Islam  05Yoruba Islam  05
Yoruba Islam 05
 
telugu islam 13
telugu  islam 13telugu  islam 13
telugu islam 13
 

Swahili Islam 02

  • 1. .:l)!td:' lftt$ KT,ISAFISHNKUWA{MINI UC]IIAFTJ WA KLJI-OAMINI Kimeandikua k*a kirabuna SHEKI] MOAI{F,D ESN4A,ELAS SANANI krnrclisiriraka kis$ahilina A IT,,1,1SAI,I,A1r1 K1IINGI1'INI ],AI,11, Kllvjl.( Al,lSIlw,AN.,IIil;N(iMWA WI./- I{AYA 1A4I]O ;/A KJSIAN,lNA W,AKFI]NA DA-WA NA KI1)N(}OZA. WAI,U,A YA N4A],1I]OIi N,l-C}IAI)I:iII() N,MA I ANGAZO RIY,,DH SALDI ARAB]A l l l r , I l . - l 9 e S( ; . WAIfl ), I{WI';NYf.ll MtNCLi
  • 2. ,É+'ùrirt'lfulLrî)i KUSAFISHA KUWAÙ{I4INI UCTT{FU V'IA KUTO AMINI Kimeandikwakwakirabu na SI{EKHMOAMED ESMAELAS SA}IA}{I kimefisiriwa kwakiswahili na A.M. MSALLAÀ4 KIZINGITINI LAMU KIIvIECAPISIIWA NAKIJIANGAZryA TIZAIiAYA IVIAMBO ZA KISI-AM NA TVAKFUNA DA-ryA NA KUO.NGOZA. WAIL{LA YA I{AMBO ZA I{ACHAPISHO NAIilATA]-IGAZO RIYADH SATJDIARABIA t4l6 1r.- 1995G. WAKFUYA MWENYEZI MI.INGU
  • 3. #il#jtàb)t 1/ .ot : al+Tlr', t1.-Tt-. ÉT-T: cL.r-; {J+rtll -T f,ùl*.,TlC g+tl -t 1/.10t -r É1 . q.)l-Tl ùJ'Lâllirli, JÉirl't$Ï î:*i,tJf "{i dllll'i(. t-,J{i .!.t ...,!Jrâ. | ;tr.i,atl . .llÏc.Jl !+l^t 1* V x T, u- f, 111.-Yt-. [T-Td.1, iJ-b-Jliillli,Fill uÊtL.6i.r- d*Tl -t ùbr.lt_T Tf . gr*.r ttto -rÉ1
  • 4. 1 . 2 . NENO LA MSAWAHILISHI Dini KUPWEKESHAM'NGU mbali mbali zina afikiana kwenyer Kuwa kuna M'ngu. Kuwa M'ngu ni M'moja; Mwenye kuumba vitu vyote, mwenye kuvibakisha,na mwenye kutowesha. 3. Mambo fulani ya kumridhisha M'ngu ni lazima kuyafanya kwaajili ya M'ngu: mambo ambayo kuyafanyakunaitwa kuabudu. Namna yakuabudu ndilo jambo lenye kuonyesha kuwa mwenye kuabudu mwenyewe anampwekesha M'ngu. au anamshirikisha!Na kabla hatujabaini haya kwa urefu, nivlzuri kwanzatufahamu:- N I N I N I K U P W E K E S H AM ' N G U , N A N I N I N IK U S H I R I K I S H A ? KUPWEKESHAM'NGU, ni kuamini kuwa M'ngu, ni m'moja pekeyake muumbaji, pekeyake mwenye kuruzuku, pekeyake mwenye kueka na kuondowa. kadhalikapekeyakemwenye kustahiki kuabudiwa!Amma kushirikishaM'ngu, ni kuamini kuwa M'ngu ana vyenye kumshiriki yeye katika kuumba au kupa rizki; au kuki- fanyia chochote lolote ambalo hafanyiwi asie kuwa M'nguI Dini zote za mbinguni zime baini, wazi katika maandishiyâzo, upweke wa M'ngu. Na imani hii ya
  • 5. kupwekesha,kwa hivyo, ndio imani yakiaslikatikadini zamitumewote. Amma ltikadi zenyekukhalifianana imani hii bila ya shaka nikati ya mambo mageni yasio ki.rfundishwa na nritumena ambayo yalipenyezwana wafuasi wa dini hizo kwa sababuhii au nyengine!Kwenyemafundisho ya dini mbali mbali hata zile zenye ushirikiwazi. una- weza kuona vilevile namna zilivyo na isharawazi zenye kukubalianana imani ya kupwekesha: Kwa rnfano: Kwanza;Mafundishoya dini Va Zoroasta- mwa- limu wa dini katikapashiakwenyeMiaka 6OOkablaya kuzaliwa nabii lsa (A.S). lngawa mafundisho hayo yalidai kwamba huu ulimwengu Uliumbwa na nguvLt mbili zikagawanyiana;lakini mafundishohayo yanathi bitisha kuwa nguvu ya shari khatimae itashindwana nguvu ya kheri. Hili fikiwa na maana yoyote fitakuwa linaonyeshawazi kukubalikwa Zoroastakwamba.Alie- uumba ulimwengu ni m'moja nae niyule alie muita nguvu ya kheri, yenye kushinda.baadaya utesi mrefu. kati ya hio nguvu ya kheri, (ORMAZD) na nguvu ya s h a r i ,{ A N G R A M A I N Y U ) . Kwa sababuM'ngu haifai kushindwa,Na madamu amemthibltishiakushindwa, huwa amekwisha kumka- nushia UM'ngu! Kadhalikamwito wa Zoroasta kwenye kuisaidianguvu ya kheri dhidi ya nguvu ya Shari,una- weza kufasiriwa kama mwito wa kumuabudu M'ngu m'moja na kuyapenda yake. hali yakuchukia yenye kupinganana mapenziyakel
  • 6. Pili: Pamojana imani ya utatu (TRtNlTy) wanaoi- amini wakristo, kitabu chao kitakatifu BfBLIA kwenye AGANO la kale na jipya, kina thibitisha waui imani ya .'KUPWEKESHA M'NGU". Katika agano lakale:- Mwanzo: 1:1 Pameandikwa: "Hapo mwanzo M'ngu aliziumbambingu na nchi" vile vile agano la kale: Kutoka: 2O:3-5 Pameandikwa: "Usiwe na miungu mingine ifa mimi. Usijifanyie sanamu ya kuchongawala mfano wa kitu chochote kilicho juu ya mbinguni wafa chini ya duniani, wala kificho majini chini ya duniani.Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa Bwana Mungu wako ni Mungu mwenye wivu Kadhalika kwenye agano lakale: KUttdBUKUMBU tA TORAT: 6:4 pameandrkwa: "Sikira Ee lsraeli; Bwana Mungu wetu. Bwana ndie mmoia". Katika agano Jipya: Yohana: l7:3 Pameandikwa: Nauzima wa milele ndio huu; wa kujue wewe MUNGU WA PËKEE WA KWEII. NA YESU KRISTOULIE MTUMA. l l l
  • 7. Na niwazi kuwa maana ya maneno haya ni kwa- mba: yesu alibaini wazi kuwa uzima wa mile[e. uko kwenyekujuwaM'ngu ni m'mojana kuwayesualitumwa tu kutoka kwake M'ngu wa pekee. Ushirikiunawezakupatikanakwenyeirnaniya mtu, lakini sio sana wenye kuenea.Ushiriki wenye kuenea, wenye kupatikanakatika dini mbali mbali. ni ushiriki wa katikakuabudu.Sababutunawezakukumbukakuwa; makafiriwa kiqurayshikatika zama za mtume Muham mad (S.A.W.! walikuwa wakikubaliupweke wa M'ngu katikakuumba,kuruzuku,kuponesha,kufisha,na kuleta mvua. N.K. Lakini.walikuwani washirikivile vile, kwa sababuya kuwa na mambo ya kiibadaambayowalikuwa wakivifanyiavitu visio kuwa M'ngul Kitabuhichi, kilichoandikwakwa fughaya kiarabu na mwanachuonimwenye kufuatwa mjuzi wa Elimu ya hadithi za Mtume (S.A.W.) Sheikh MuhammadEsmaei El-ameer-ElyamanyElssan-any,nikitabu chenye kum- fundisha muislamu (imani yake safi kama alivyo taki" kana kuwa na imani hiyo na Kurani na hadithi zamtume Muhammad.Kitabu kina fundisha hayo kwa ushujaawa mtu asie khofu kwa ajili ya M'ngu matayo ya mwenyÊ kutaya. Kwa sababuya umuhim'uwake sikushawiriakukiri kukisawahilishanifipo ombwa kufanya hivyo na rafik: yangu mpenzi mpendwa kwa ajili ya M'ngu, mmoja katika wajumbe wa Saudi.Arabia wa kufunza Uislamu Afrika Mashariki Sheikh SAYYID FATHAHUDFIfN THANGAL BAOAWY M.A. AL-AZ-HAR,CAIRO. Naku. nasihi msomaji ukisome kitabu hichi pasina kuwa na
  • 8. fikra mbaya kinyume nacho kabla ya kuxisqrns sababu mwenye tabia hiyo hauoni kabisa mwangaeâ wahaki. Tabia hiyo ni ugonjwa wenye kurndiva mdjenye nao kui- juwa kama anavyokosa kuona mwangara lvajuwa mgo- njwa wamachoI Mwisho Mola aumbao, Asafishemasikio, Mambo mema twambiwao, Tujuwe pakulekeza, (Khatima) (Chozi ta Damu) NamuombaHimaliza, Yawemena kusikiza, Tuwezekuyatimiza, Juhudi rctu Rabana. { Ubaitiwa) (20}
  • 9. B i s m i l l a h i R r a h m a n i R r a h i i m Na yeye {MUNGU} Ndie Mwenye kutakwa msada UTANGULIZI NamshukuruMungu ambae hakubali upwekeshaji wa uola wake kuloka kwa waja wake, mpakawa mkhusu kwa upwekeshaji wa lbada, kumpwekeshavikamilifu, mbali na kumfanyia wendani; wasimfanyie mwendani wala wa simuombe pamoja naye yoyote, wala wasite. gemeeila juu yake.wala wasikimbiliekatikahali yoyote ila kwake, wâla wasimuite ila kwa majina mema yake. wala wasijifikishekwake kwa waombezi,(Ninani mwe. nye kuombeambele yake pasina ldhniyakeTTNa n'na amini kuwa: HAKUNA Mola ila MUNGU {mmoja} Mola mwenye kuabudiwa, na kwamba Muhammad ni Mja wake. na nimtume wake, ambae alimuamrishaaseme. (Sema sijimilikiimanufaawala madharaila aliloljtaka Mungu), Na Mungu atoshakuwa shahidi Mungu amre hemu yeye. najamaa wake, nawenye kumfuata yeye, katikakusalimikanaaibuna kusafishanyoyo.na (uchaful wakuaminikila kitu kitiachoshala. Wabaadahu:Hiki ni: "kisafishocha kuaminiuchafu wEkutoamin;" kume nipasa kukitunga na kukanilazimu kukipanga,kwa aiili ya nilioyaonana nikayajuaya waja kufanyawendani (wa Mungu) katikamiji navijijjna kila mahala;katika Yemeni,na Sham,na Misri. na Najdi, na Tihama,na katika majumbayote ya Kiislamu.nayo ni kuwa na ltikadi kwa makaburi. nawalio hayi, mwenye
  • 10. kujidai kuwa na ujuziwa mamboya ghaibuna magunduo (ya kiajabul,na hali yeyeni katikawa ovu; haingiiMsi- kiti wa Waislamu,na wala haonekaniakirukuukwa ajili ya Mungu, wala akisujudu,hajui Sunna wala Kurani wala hachi kufufuliwawala hisabu. lkanipasani kanushealilo lazimlshaMungu kuli- kanya. Wala nisiwe nikatikatvenye kulifichaalifo lazi misha Mungu kulidhirisha.Basi juwa kwamba hapa kuna misingi mingi ambayonivikito vya dini, na nikati ya mambo muhimu ambayo kunapasakuyajua juu ya wenye kupwekesha. MSINGI WA KWANZA: "Kila lilo kwenye Kur-anini haki" Hakika kumejulikanakatika lazima za dini: Kwamba kila kilicho tili, ni kweli siurongo, siujinga,niyakinihakuna ni msingi arnbaohautimu yake ila kwa kuukiri, na nahakunandani yake. MSINGI WA PILI: kwenye Kur-ani ni haki siba- niuongofu siupotevu, niujuzi shakandani yake. Msingi huu uislamu wa yoyote wala imani hili ni jambo lilo kubaliwa. "Mitume waliletwakuwaitawatu kwenye kupwekeshaMungu kwa kupwekesha lbada" Hakika mitume wa Mungu - tangu wa kwanza. wao mpaka wamwisho wao: walitumwa kwa ajili ya
  • 11. kuwaita waja kwenye kumpwekesha Mungu kwa kurnp- wekeshea |BADA. Nakila mtume jambo lakwanza afifo- bishia hodi masiklo ya watu wake, nikuwaambia(Enyi watu muabuduni Mungu hamna Mungu asie kuwa yeyel (Kwamba musiabudu ila MUNGU {mmoja) {Kwamba rnumuabuduMUNGU na mumuogopenamunitii mimil. Na hili ndilo lifilo bebwa na neno Ja:"LA ILAHA ILLA LLAHU". Hakika mitume waliwaita watu wao, kwe- nye kulisemaneno hili nakuliamini,sio kufinenatu kwa ulimi. Na rnaanayÊ neno hilo, ni kumpwekeshaMUNGU kwa uola na kwa IBADA, Na kukikanya chenye kuabu- budiwa kisicho kuwa yeye na kujikenganacho. Na asli hii haina mapinganokatika ililo libebawala haina shaka, katika kuwa haitimu imani ya mtu yoyot€ mpaka aijue na aihakikishe. MSINGI WA TATU: "Vigawanyo vya kupwekesha" Kupwekeshani vigawanyoviili: KIGAWANYO CHA KWANZAT Nikupwekesha uungu. na uumbaji, na upaji BlZKl. Na maana yake ni kwamba, Mungu peka yâke ndie muumbaji wa ulimwengu,na ndie mola wao na mpaii RIZKIwâo. Na hili hawalikanushiwashirikishajina wala hawa- mfanyii MUNGU. katikalo,mwendani,bali wao niwenye kulikirihili kama itakavyokuja katikaMSINGIWAN'NE.
  • 12. NA KIGAWANYO CHA PlLl: Ni kupwekesha lB,ADA. Na maana yake, nikumukhusu Mungu peke yake kwa IBADA zote ambazo utakuja upambanufu wazo. Basi hili (la IBADA) ndilo wa lilo mfanyia Mungu wendani na neno " M W E N D A N l " l i n a s h i r i a k u m k i r i M u n g u m t u k u f u . Mitume walitumwa kulithubutisha la kwanza; na kuwa- i t a w a s h i r i k i s h a j i k w e n y e l a p i l i , k a m a k u s e m a k w a o . K u w a m b i a w a s h i k i s h a l i : " J e ( k u k h u s u ) T V l u n g uk u n a shaka, mwenye kuumba mbinEu na ardhi? anawaita ifi a w a g h u f i r i em a d h a m b i y e n u " S U R A : 1 4 a y a 1 O . "Je kuna muumbaii asie kuwa MUNGU anae w a r u z u k u m b i n g u n i n a n c h i n i ? H a k u n a M u n g u ila yeye . Na katika kr-rwakatazakushirikisha IBADA. SURA: 3 5 a y a 3 . M u n g u a m e s e m a : " N a h a k i k a t u m e l i t u m i a . k i l a t a i f a . m t u m e " ' K r a i a m b a m u a b u d u n i M u n g u n a m u m u e p u k e s h e t a n i - - S U R A : 1 6 a y a 3 6 y a a n i h a l i y a k u y a a r n b i am a t a i T a y a o :" M U A B U D U N I M U N G U " b a s n i m e o n y e s h a k w a k u s e m a : " K a t i k a k i l a t a i f a " k w a r n b a mataifa yote hayakupelekwa mitume ila kwa sababu ya k u w a t a k a k u m p w e k e s h e y a ( M U N G U ) I B A D A . s i o k u w a - t a k a k u j u l i s h a k u w a M u n g u n d i e a l i e u m b a u l i m w e n g u . nakwamba yeye ndie mola wa wambingu na n'chi. Kwani wao niwenye kulikiri hili; na kwa hivyo hazikuja aya k u k h u s u h i l i m a r a n y i n g i i l a k w a t e m k o l a k u t h i b i t i s h a . kama: {ie kr.rna mwenye kuumba asie kuwa Mungu S U R I : 3 5 A y a 3 1 . (Je kukhusu Mungu kuna shaka; muumbaii wambinguna ardhi?l SUf,A; 14 Aya 10. (Je asiekuwa Mungu,nimfanyemtawala.muurnbaji wa mbinguna ardhi) SURA:6 Aya 14
  • 13. (Huku ni kuumba kwa Mungu, basi nionyesheni. kitugani wameumba wasio kuwa yeye) SURA: 3l Aya 1 1 . {Nionyesheni,kitu gani wameumba katika ardhil Au wanaushirikambinguni? {Huku ni} kuufiza kikuwathibitishiawao kwa sababuwao ni wenye kulikiri hilo. Nakwahiviutajua kuwa washirikishajihawakufanya masanamu,wala hawa kuyaabudu.wala hawakumfanya masihi (ISSA) na mamake,wala hawakuwafanyaMala- ika, niwendani wa Mungu kwa kuwa wamewashirikisha wao katikauumbajiwambinguna ardhi! Bali wali wafa- nya wao {hivyo) kwa sababu ya kuwa wâo wôna wa kurubisha kwa Mungu, kama walivyosema;wao niwe- nye kumkiri Mungu kwenye yafe yale maneno yao ya kufuru, na kwamba wao ni waombezikwa Mungu! Mwenye ezi Mungu arnesema:(Nawanaabudu.asie kuwa Munguvisio wa dhuruwala kuwafaana wanasema: hawà ni waombeziwetu kwa Mungu. Sema munarnuefeza Mungu asioyaiuambinguni wala ardhiniT Kutakatani kwake nakutukukambali na wanao mshirikisha:SURA 1 OA y a 1 8 . Mungu amefanya.kule kufanya kwaowaombezi,ni SHIRKI na akaiitakasanayo. kwa sababu hatoombea. kwake yoyote pasina ldhni yake, vipi tena wanajithubu- tishia waombeziasio kuwaruhusukatika maomberi wala wasio kuwa wasawa nayo; wala wasio watoshelezana Mungu chochoteT
  • 14. MSINGI WA N'NE: "Washirikishajiwanakirikuwa Mungu ni muumbaii wao". Hakika wa shirikishajiambao Mwenye ezi Mungu alipelekamitume kwao, ni wenye kukiri kwamba: M'ngu ni muumbaji wao. "Na lau kama ungewaulizawao: Ninani aliewa umba? Wangesema:Ni M'ngu {SURA:43 Aya 87). Na kwambayeyendie alie umba mbinguna nchi: "Na lau kama ungewauliza ninani alieumba rnbingu na nchi? wangesema: ameziumbazomwenye nguvu mjuzi" SURA:9 Aya 43. Na kwamba yeye ndie mwenye kuruzuku ambae anakitoakilicho hayi kwenye kilicho kufa, na anakitoa kilicho kufa kwenyekilicho hayi; Na kwambayeye ndie mwenye kupangamambo mbinguni na ardhini. Na kwa- mba yeye ndie mwenyekumiliki masikizina maangalizi na nyoyo. "Sema ninani mwenye kuwaruzukunyinyi kwenye mbingu na ardhi? au ni nani mwenye kumiliki masikizi na maangalizi?Na ninani mwenye kutoa kilicho hayi kwenye kilicho kufa? Na ninani mwenye kutoa kilicho kufa kwenye kilicho hayiT Na ninani mwenye kupanga mambo? Watasema:Nl MUNGU, {BASI) Sema: (Je} hamuogopi?"SURA: 10 Aya 31.
  • 15. "Sema: Ni yanani ardhi na walio ndani ikiwa mnajua?Watasema:Niya M'ngu. Sema:hamuwaidhiki? Sema ninani mola wa mbingu sabana mola wa arshitu- kufu? Wataserna:Niza M'ngu. Sema: (Je) hamuogopi? Sema:ninaniulio mkononimwakeufalmewa killa kitu nae anahifadhiwala hahifadhiwi.ikiwa mnajuaTWata- semani wa M'ngu: Sema (BAS|l vipi mna danganywa? SURA:23 Aya 84 - 89 Na huundie Fir-auna,pamoja na kutopea kwake kwenye ukafiri,nakudai kwake madai rnaovumno. na kutemkakwake neno bovu sena.anasemaM'ngu kukhu- su yeye,hali yakuelezakhabariya Musa (A.S,):"Hakika umejua (kuwa) hakuziteremsha{huja) hizi ila mola wa m b i n g un a n c h i { h i z i }n i d a l i l i " S U R A :1 7 A y a 1 0 2 . Na alisenta lblisi; "Hakika mimi ninamuogopa M'ngu mola wa viumbevyote" - SURA:59 Aya 16, Alisema tena: "Ewe mola wangu kwa sababuya kunipotezô, . ," SURA: 17 Aya 39, Alisema tena: "Ewe lnola wangu nipa muhula' (SURA:15 Aya 361 Nakittamshirikishajini mwe nye kukiri kwamba M'ngu ndie muumbaji wake, na muumbajiwa mbingu na nchi, na ndie mola wazo na ndie mola wa zilizomo ndani yazo nâ ndie mwenye kuwaruzukuwao. Nakwahivyowaliwatoleahuja nritumr kwa kuwaambia:"(Jel Mwenye kuunrbani kama asje umba?"SURA;1ô Aya 17. Na kwa kuwaarnbia:"Hakika mnao waomba wasio kuwa M'ngu hawatourïba nzi na hata kama wangekusanyikakwa (AJlLl) ya hilo, SURA. 23 Aya 73.
  • 16. Na washirikishajiwote niwenyekulikirihilo hawali- kanushi, MS]NGI WA TANO: "Msingi wa lbada ni kumpwekeshaM'ngu". Hakika lbada ni upeo wa mlangowa kunyenyekea na kujidhalilisha,na wala halikutumiwa(neno hili) ila kwa kumnyenyekeaM'ngu, kwa sababuyeye ndie mwe- nye kupa neemakubwa.Na kwa hilo ame kuwa mwenye haki ya mwisho wa upeowa kunyenyekewakama ilivyo katika (kitabu Al kashaf). Kisha. hakika kichwa cha ibada na msingi wake ni kupwekesha(lbada) kwa ajili ya M'ngu, ambakokunafaharnishwana neno lakeambalo mitume wote wameitakwenye neno hilo: Nalo ni neno la "LA ILAHA ILLA LLAHU" (HakunaMungu llla ( A l l a h u). Namakusudiwani kuitakidimaanayake.na kufanya kulinganana litakavyo,sio kulisemakwa ulimitu. Na maana yake: NikumpwekeshaM'ngu kwa ibada na kwa uola, na kumkanushayoyote,na kuwa mbali na yoyote mwenye kuabudiwaasie kuwa yeye.Na hakikamakafiri waliyajua maana haya, kwa sababundio wenye fugha ya kiarabu,wakasema:"(Je) amewafanyawaungu ni M'ngu mmoja?Hakikahili ni jambo laajabu SURA: 38 Aya 5. SAMPULI ZA IBADA: .Baadaya kufahamumisingi juwa kwamba M'ngu ameifanyaibada kuwa na sampulinyingi:-
  • 17. A : Z A K I K U A M I N I : N a h i z c n d i z o m s i n g i w a i b a d a , n a k o n i k u a m i n i k u w a M ' n g u n d i e m o l a w a p e k e Ê arnbae ndie mwenye kuumba na {mwenye} killa j a m b o , n a n i m i l i k i y a k e k u f a a n a k u d h u r u . n a k w a ' mba yeye ndie ambae hana mshirika wake. wala haombei mbele yake yoyote ila kwa idhni yake. na kwamba hakunii mwenve kuabudiwa kwa haki asie kuwa yeye. na yasio kuwa hayo katika yenye kula- z i m i a n a n a u o l a . Z A K I M A T E M S H I : N a k o n i k u t e m k a n e n o l a k u p w e - kesha, kwani mwenye kuamini yalitajwa na wala siyatemke, haihifadhi damu yake wala mali yake na huwa ni kama lblisi kwani yeye anaamini umoja wa M'ngu kamwe anaukiri kama tulivyo tangulia kumsema, isipokuwa yeye hakufuata amri ya M'ngu kwa hivyo akawa kafiri. Na mwenye kutemka na a s i a m i n i a n a i h i f a d h i d a m u v a k e n a m a l i y a k e n a hisabu yake iko juu ya M'ngu, na hukmu yake nt hukmu ya wanafiki. C. ZAKIMUILI:Kamakusimama,na kurukuu,na kusu- judu katika swala. Na nikatika hizo:kulunga,na 'kazi zahija,na kutufu. D. ZAKI MALI: Kama kutoa fungu la mali, kwa kufu- ata aliloliamrishaM'ngu; nasampuliza wajibu, na yenye kupendekezwa kwenye mali na miili na vitendo,ni nyingi sana fakini hizi ndizo mrihimul ,,MITUMEWALI TUMWA KWA AJILIYA KUITA KWENYEKUMPWEKESHAM'NGU KWA IBADA" Na yakisha kuthubutu mambo haya, iua kwamba M'ngu amewatuma mitume, tA.S.! tangu wamwanzo B .
  • 18. wao rnpaka wa mwisho wao, kuwaita watu kwenye kumpwekeshaM'ngu kwa lbada, sio kwenye kuthubu- tisha kuwa yeye M'ngu amewaumbawâo, na kama hilo, sababuwao ni wenye kulikirihilo, kama tulivyo thibiti- sha na tukakariri. Na kwa hivyo walisema:"Je) Ume tujilia sisi ili tumuabuduM'ngu peke yake?" SURA: 7 Aya 69 yaanr (ume tujilia) ili tumpwekesheeyeye ibada na tumu- khusu yeye kwa hio ibada pasina waungu wetuT Kwa hivyo hawakukataaisipo kuwa la mtume kutaka kwao kupwekeshaibada kwa M'ngu. Na wala hawa kumkanyaM'ngu, na wala hawa- kusema:yeye M'ngu haabudiwi,kamwe walikiri kuwa yeye anaabudiwa,na wakakanushakuwa yeye ni waku. pwekeshewalbada. Kwa hivyo wakaabudupamoja na M'ngu asiekuwayeye, na wakamshirikishapamoja na yeye asiekuwa yeye, na wakamfanyiayeye wendani. kama M'ngu afivyo sema: "MusimfanyieniM'ngu wendanina hali mnajua". SUffA: 2 Aya 22. Yaanina hali nyinyi mnajuakuwa hanamwendani. Na walikuwa wakisema kwenye (talbiya) (kuiti kial kwao kwaajiliya hija: "Tuna kuitikahuna mshirika ila alie wako mshirika,unaemmilikina asiemiliki". Na alikuwa mtume akiwasikia wakinena: "LA SHARIKA [AKA" "HUNA MSHIRtKA" akisema (Mtumel; "Hakika wangekuwawamempwekesha(alie tukuka utukufu wake) fau kama wangewacha kusema kwao: {ISIPOKUWAALIE WAKO MSHIR|KA}, 10
  • 19. Kwa hivyo kulekulekushirikishakwao M'ngu ndiko kumkirikwao M'ngu. M'ngu ameserrra:"WAKOWAPIWASHIRIKISHWA WENU AMBAO MLIKUWAMKIDAI {kuwawao niwashi' rika wa M'ngu) SURA:6 Aya 22 "Nakutasefflwa: waiteni rn,ashirikishwa wenu w a k a w a i t â n a w a s i w a i t i k i e " S U B A : 2 8 A y a 4 . " S e m a w a i t e n i w a s h i r i k i s h w a w e n u k i s h a m n l c h i - m b i e n a m s i n i p e n r d a " S U R A : 7 A y a 1 9 4 . Kwa hivyo krrlekule kufanya wendani, ni kunrkiri M'ngu. Na wala hawakuwaabudu wenye kr.rshirikishwa. kwa kr,rwa nyenyekea na kwakrrjikurubisha, kwa kuwa- e k e a n a d h r i n a k u w a c h i n j i a i l a k w a k r r i t a k i d ik w a o k w a ' m b a : h a o . w e n y e k u s h i r i k i s h w a w a n a w a k t r r u b i s h aw a o kwa M'ngLr nawatawaombea wao kw'ake. Kwa hivyo M'ngu akawatuma rnitume waamrishe kuwachwa lbada ya chochote kisichc kuwa yeye, na wabayini kwamba i t i k a d i h i i a r n k r a y ow a n a i t a k i d i k w a w a s h i r i k i s h w a n i batili, na kwamba kujikrrrrrbishakwao ni batili. na kwa rnba haliwi ila kwa M'ngr-r peke yake na httku ndiko ku:wekesha ibacla. Na walikr-rwa ni wenye ktrkiri kanra ulivyo jlrwa katika msingi wanne - upwekeshaji wa uola, nao ni kwarntra M'ngu ndie muurnbaji peke yake na nrwenye kuruzuku peke yake. Na kyuahili r-rtajua kwamba uprrrekeshaji ambao mitume waliwaitia wao, tangu wa nlwanzo wao nae ni Nuhu (A S.) - mpaka wa' mwisho wao nae ni Muha- mrrrad (S.A.W.) - niupwekeshaii wa ibada. Na kwa 1 1
  • 20. hivyo mitume walikuwa wakiwaambiawao: "KWAMBA MSIABUDU ASIE KUWA ALLAH" "MUABUDUNI MUNGU HAMNA MUNGU ASIE KUWA YEYE". Na hakika walikuwa miongoni mwa washirikishaji wenye kuabudu mafaika,. na wakiwalingania wao WAKATI wamaihida. Na wenye kuabudumawe na waki- yaomba kwenye magumu; kwa hivyo mwenye ezi M'ngu akamtuma Muhammad (S.A.W.) awaite wao kwenye kumuabudu M'ngu peke yake, wampwekeshee yeye ibada kama wafivyo mpwekesheauola yaani uola wambingu nan'chi. Na wampwekeshejuu ya maana ya maongoii ya neno la: "LAILAHA ILLALLAHU" hali ya kuamini maana yake na kufanya kulingana na maele- kezwa yake, na wasimlinganie pamoja nayey€ yoyote. Na mwenyeezi M'ngu amesema; Ana yeye ulinganizi wajibu wao kwa chochote."SURA: 14 Aya 14. Na wahaki na ambao mnawalinganiawasiokuwayeye hawa- M'ngu amesema:"Na juu ya M'ngu tegemeanimkiwa niwaumini" SURA: 5 Aya 22. Yaani, ni katika sharti ya ukweli katika kumuamini M'ngu, kutotegemeaila iuu yake, nawampwekesheyeye kwa tawakul: kama inavyo kumpwekeshayeye kwa dua, na kuomba msamaha. Na M'ngu amewaamrisha waja wake waseme: "IYYAKA NA'BUDU" peke yako tunakuabudu,wala hawi mkweli mwenye kunena hili mpaka ampwekeshee M'ngu ibada, na ikitokuwahivyo atakuwa mrongo, mwe- nye kukanywa kunena neno hiti; kwa sababu maana yaÊe ni: tuna kukhusu wewe kwa lbada, flâ tunakupwe. kesha wewe kwayo pasina yoyote. Nayo ndiyo maana ya kusema kwake: "Peke yangu niabuduni" SURA: 29 Aya 56. NA: "Peke yangu niogo- 12
  • 21. p e n i " S U R A : 2 A y a 1 4 . K a m a i n a v y o j u l i k a n a k a t i k a Elmu ya Bayani; kutangulizaambacho haki yake nikuche- leweshwa kuna maanisha kukhusu, yaani Msimuabudu i l a M ' n g u w a l a m s i m u a b u d u a s i e k u w a . y e y e , w a l a m s i - rhuogope asiekuwa yeye, kama ilivyo kwenye {Kashaf}. Kumpwekesha M'ngu kwa kumpwekeshea lbada haku- timu ila maombi yote yawe nikwake, na kuita kwenye rnashida na raha hakuwi ila kwa M'ngu peke yake. na kuomba msada kuwe kwa M'ngu peke yake. Nakutege- rnea kuwe kwa M'ngu, na nadhiri nakuchinja kuwe ni kwa ajili ya M'ngu, na sampuli zote za ibada: kunyenye- k e a , n a k u s i m a m a k w a k u j i d h a l i l i s h ak u w e n i k w a a j i l i ya M'ngu, na kurukuu na kusujudu na kutufu na kujitoa nguo na kunyoa nô kupunguza nywele {KUBIRA} yot€ y â s i w e i l a k w a a j i l i y a M ' n g u m t u k u fu . N a m w e n y e k u f a n y a l o l o t e k a t i k a h a y o k w a a i i l i y a k i u m b e h a y i a u m a i t i a u k i s i c h o k u w a n a r o h o a u c h o - chote. huwa ameshirikisha katika ibada. Na huwa mwe- nye.kufanyiwa mambo hayo ni M'ngu wa wenye kumua- budu yeye, ni sawa awe rnalaika au mtume, au waliyi, a u m t i , a u k a b u r i , a u j i n i a u h a y i a u m a i t i : n a h u w a . mwenye kuabudu kwa ibada hii yaani kwa sampuli yo" yote ya lrizo. ni mwenye kukiabudu kiumbe kile tena mwenye kumshirikisha M'ngu, na angamkiri M'ngu na angarnuabudu, kwani kukiri. kwa washirikishaji. M'ngu na kujikurubisha kwao kwake hakukuwatowa nje ya {shirki} na lnjel ya kupasa kumwaga dan'ru zao na ku- chukuwa watoto wao rnateka na kuchukuwa mali yao hali yakuwa ni ghanirna ya Waislanru. Mwenye ezi M'ngu amesema: " Mimi ni mwenye kujitosharnno wa washirikana shirki" wala M'ngu haku- 13
  • 22. bali ibadayoyotealio shirikishwakatikayoyoyoteasie- kuwayeye" Wala hamwaminiyeyealie muabudupamoja na yeye mwengine. Kumkiri M'ngu hakutoshi katika kupwekesha. Likishakuthibitikiakwamba washirikishakwao wendani katika viumbe kwenye ibada, wala tkukiri kwaol haku- kuwatoshelezeachochote na M'ngu, na kwamba kuwa- abudu hao ni kufe kuitakidi kwao juu ya hao, kwamba wanadhuruna wananufaishana kwamba wao wanawa- kurubishawao, - na kwamba wao watawaombeawao kwa M'ngu, kwa hivyo wakawachinjia vichinjwa, na wakawafanyiaTWAWAF, na wakawawekeanadhiri, na wakasimamahali ya kujidhalilisha,wanyenyekevukwa ajili ya kuwatumikawao, na wakawasujudia.Na pamoja na haya yote wâo ni wenye kumkirTaM'ngu uola na kwamba yeye ndie Muumbaji, lakini wao waliposhiri. kisha na wala hakukuhisabiwakukiri kwao huku kwa sababu vitendo vyao vimekukanusha.Kwa hivyo haku- kuwafaa wao kukiri upeke wauola. Kweni kaida ya Mwenye kumkiri M'ngu kwa kumpwekesheauola; nl ampwekesheyeye kwa kumpwekesheaibada, akitofanya hivyo, kukiri kwa kwanza kutakuwa batili, na hakika watajuahilo hali nao wako juu ya mitabakaya moto na watasema:"Tuna apa kwamba hakika tufikuwa kwenye upotevu wazi tulipokuwa tukiwalinganishanyinyi na mola wa viumbe vyote. SURA: 26 Aya: 97-98. Pamoja na kwamba wao hawakuwalinganishawao na yeye kwa killa upande; hawaku wafanyawao ni waumbaji, wala ni wapajirizki. lakini wao wafijua na haliwako ndani yaukeo wajahannam kwamba kucha- nganya, kwao kukiri, na chembe moja kati ya chembe 14
  • 23. za shirki katika kuipwekesha lbada, kumewafanya wao nikama aliewafanya masanamu ni sawa na mola wa yiumbel M U N G U a m e s e m a :" N a w a l a h a w a a r n i n iw e n g i w a o . M U N G U . i l a h u w a n i w a s h i r i k i s h a j i " y a a n i " h a w a k i r i wengi wao, katika kumkiri Mungu. nô katika kwamba yeye amewaurnba wao na ameumba mbingu nâ ardhi ila na wao huwa ni washirikishaji kwa kuabudu masa- namu, Karnwe Mungu ameiita, Riya katika twaa (SHIRKl) pamoja na kwarnba mwenye kufanya twaa, hakurrrku- sudia kwayo asie kuwa MUNGU IVîTUKUFU, na hakika tu ametaka daraja kwa hiyo twaa katika nyoyo za watL, Mwenye riya huwa amemuabudr-rMungu sio asie kr-rwa yeye, lakini yeye amechanganya lbada yake na kutaka daraja katika nyoyo za watu, kwa hivyo hakukubaliwa i b a d a , n a M u n g u a m e i i t a s h i r k i k a m a a l i v y o p o k e a M u s fi n r k a t i k a h a c l i t h iy a A b i h u r a y r a h " ( R A . I a n r e s e m a ' M t u n r e a m e s e m a ( S . A . W , ) " A n a s e m s M u n g u : M i m i ninrwerrye kufitosha rrrno na washirika na shirki" Mwe- nye kufanya amafi na akanrshirikisha katikayo pamoja nanri asiekuwa mittri na rrruachayeye na shirki vake". Kamwe Mungu arnekuita. kumpa (nrtu) jina la 'Abdul-harithi {nrja wa harith) shirki', kanra alivyo sema Mungu: "Alipowapa wao mwerrra walinrfarryia wendani katika aliowapa SURA 7 Aya 19O. Hakika amepo- kea InrarnLrAhmed na Tirnridhy katika haclithiya samrah kwarnba rntutne (S,A.W. ) anreselna: "alipoclrukLra hawaa (rnimbaI na alikuwa harnponei lrrtoto alitenrbe. lewa na lblisi na akanrwanrbia hatopona tlltoto wako rnpaka unrwite {Abdul - harith} hapo hawa akanruita (hivyo) na akapona. Na lilikuwa hilo ni katika wahyi 15
  • 24. washetwani na amri yake. Hapo Mungu akateremsha ayâ hizo. Na akakuita kuita huku ni shirki na alikuwa lblisi ameiiita (Al-harithl. Na kisa (hiki kiko katika (Kitabul {Al-durril-manthuri}na kisichokuwahiko. "Kuitakidi asiekuwaMungu ni shirki" Hakika umejua kwa haya yote: kwamba mwenye kuitakidimti au jiwe, au kaburi,au malaika,au iini, au alie hayi au maiti: kuwa {chochotekatika hîvyo} kinafaa au kinadhuruau kuwa kina kurubishakwa Mungu, au kinaomba kwa Mungu katika haja yoyote kwenye haia za kilimwengu, kwa kujiombea kwacho tu, na kutawa- sali kwa Mungu - isipokuwalililo kuja katika hadithi ambayo ina maneno katika kukhusu mtume Muhammao (S.A.W.l au kama hilo - hakikayeye huwa ameshiri- kisha pamoja na M'ngu mwengine,na huwa ameitakidi ambalo sihalalikuliitakidi,kama walivyoitakidiwashiri- kishaji masanamul Licha mwenye kueka nadhiri. kwa mali yake na mtoto wake, kwa maiti au kwa alie hayi, au akataka kwa maiti huo ambalo halitakwi ila kwa Mungu kwenyo mahitaji: kama afiya ya mgonjwa wake, au kuja asieku- wako wake au kupata lolote katika matakwa yake, hakika hio ndio shiriki enyewe, ambayo walikuwa, au wako, juu yake wenye kuabudu masanamu. Na kueka nadhri kwa mafi juu va maiti na kama yeye {maiti) na kuchinja {mnyama} juu ya kaburi, na kutawasali,kwafo, na kutaka mahitaji kwalo, ndilo hasa walilokuwa wakilifanya(watu wazama za jahiliya.lsipo. kuwa walikuwa wakiwafanyia walio waita masanâmu. Na watu wa makaburi wamemfanyia wanaemuitawaliyi 16
  • 25. na kaburi, na mash-had,na majina hayanaathari yoyote wala hayabadilishi maana kwa dharura ya kilugha, na ya kiakili. na yâ kisharia. Kwani mwènye kunywa ternbo na akaliita maji hawi amekunywa ila tembo, na mateso yake ni mateso.ya mwenye kunywa tembo, na pengine yeye yatazidi mateso yake kwa ajili ya udanganyifu na urongo wa kuita. Na hakika imethubutu kwenye hadithi kuwa - "Watakuja watu watakao kunywa tembo wakiliita kwa lisokuwa jina fake, na mtume amesema kwefi; kwani yamekuja mapote ya wâtu wenye kunywa tembo na kuliita {NABIIDH}. Na wakwanza aliekiita chenye hasira za Mungu na kumuasi yeye, kwa majina yenye kupendeza kwa wenye kusikia, ni lBLlSl (Mungu amfaani! ". Kwani yeye alimwambia baba wa viumbe (ADAM) {A.S.} "Ewe Adam sikuonyeshimti wa maishal ya kudumu na ufalmeusiotoweka?" SURA:2OAya 120. Kwa hivyo akauita, mti ambao Mungu amemkataza Adam kuukurubia.mti wa maisha ya kudumu, kwa ajili ya kuivuta tabia yake kwenye mti huo, na kwa aiifi ya kutikisa bidii kwa ajili ya kuukurubiana kwa ajili yô kumdanganyayeye kwa jina alilolizua la mti huo, kama ambavyo ndugu zake wenye kumfuata yeye wanaiita bangi: (TONGE LA RAHA). Na kama ambavyo madha- limu wanaziita, wanazozlpokeakatika mali ya watu kwa dhulma (ADABU). Wana semâ adabu ya kuuwa, adabu ya kuiba, adabu ya tuhuma, kwa kubadilisha jina la dhuluma kwa jina la adabu. Kama wanâvyo badilisha baadhi ya vyenye kupokewa kwa jina la "Kunufaisha au uchungaji, na baadhi nyengine kwa jina la adabu ya vipimo na mizani. Na majina yote hayo, kwa Mungu. ni dhuluma na uadui kama anavyo iua yoyote afie nusa 17
  • 26. harufu ya Kurani na Hadithi, na yote hayo yarnechuku- liwa kwa lblis, alipouita mti ulio haramishwa, mti wa maisha ya kudumu. Na ni kama hivlfo kuiita kaburi (ft{ASH-HAO} na wenyê kuitakidi kwa aliye ndani yake (WAl-lYll, hakuitowa nje ya iina la sanamu kwa sabebu wao wânayafanyia hayo makaburi kama waehlrikiËhêii wanavyo wafanyia masanamu, nô wanayatufu hayo makaburi karna mahujaji wanavotufu nyumba ya mwe- nye ezi M'ngu tukufu na wanayashika tkwa kuyatu. kuzal karna wanavyo shika mahujaji nguzo za Al-kaba. na wanasenilanê maiti kwa maneno ya ukafiri, kama kusema kwao: "JUU YA M'NGU NA JUU YAKO" na wânawâitd Katika rnashida kwa majina yao na karna hayo,na kila taifa lina mtu linayernlingania. Watu wa lraki na India wanarnlinganiaABDUL- KADIRI l-JlYLY, Na watu wa majabali ya tiharna wâna katika kila mji maiti wanaemlinganiakwa jina lake, wanasema "Ewe Zaylait" "Ewe IBNUI--UJAYLI" Na watu wa Maka na TWAIF: "Ewe IBNUL-ABBAAS" Na watu wa Misri "Ewe RlFAAll" "Ëwe BADAWY" Na watu wa YAMAN: "Ewe IBNU AI--WAN". Na katika kila kijiji kuna maiti wanawaita na kuwa- lingania na kuwatarajia kwa ajili ya kuvr.rtakheri au kuondoa shari. Na hivi ndivyo halisi walivyokuwa wakifanya washiril'.ishaji masânamu; karna tulivyosema katika mashairi ya kinajdi: Kwayo waffteyaregesha,ya suwaa na kamëye. Yaghutha na wudi kisha, si wudi ya nipendae, Kwenye ya kuhangaisha,wameita majinae, Kwïta ahitaiiae, pekee muhitaiiwa. 18
  • 27. Maranyingi vichinjwao, wachinjiwa kwa juhudi, Hachinjiwi M'nguwao, kwa ujinga na kusudi, Niwangapi watufuo, makaburi maridadi, Washika kwa taabudi, nguzo yalio jengewa. .Akisemakuwa mimi nimechinjakwa ajili ya M'ngu tu nanimetajajina la M'ngu juu yake mwambie ni kwa nini ulikikurubisha,unachokichinja,na mlango wa kaburi la unaerntukuzanâ kumuitakidi? Je utikusudia kwa hilo kumtukuza?Akisema:ndio, Mwambiekuchinja huku basi ni kwa ajili ya asiekuwaM'ngu. Kamweurne- shirikishana M'ngu asiekuwayeye.na ukiwa hukukusu- dia kumtukuzaje basi ulikusudiakuchafuamlango wa ziyarana kuwanajisiwenye kuigia hukol Wewe unajua kwa yakini: kuwa hukukusudiahivyo kabisa,wala huku- taka isipokuwa la kwanza na wala hukutoka nyumbani ila kwa ajili ya kumkusudiayeye, kisha ni hivyo hivyo kumuombakwao. Hili basl walilo na[o hawa nishirkipasinashakal Na penginewanawaitakidibaadhiya mafasikiwatio hayi wakawaita kwenye shida na raha na hali wao wameyakaliamabayana maovu,hafiki alipo waamrisha M'ngu wajawake kufika, hahudhurii {Swala) ya juma nâ wala va jamaa, wala hamternbeleimgonjwa wala hasindikizijeneza wala hachumi harari na anaengeza kwenyehilo kujidai kutawakalina ujuzi wa yalio ghibu, na lblisi anamvutiayeyewatu ambao(yeyelblisil ame. jenga vitundu katika nyoyo zao na amezaa ndani na ameanguâ,wana sadiki uzuzi wake na wanalitukuza jambo lake, na wanamfanyahuyu mwendani wa Mola . wa viumbe vyote na mfano wake, nazililiaakili zime- kwendawapi, na zililiashariazlmekosakujulikanavipi? 19
  • 28. "Hakika ambao mnawalinganiani waja kama nyinyi" SURA:7 Aya 154. Ukisemaje wanawezakuwa, hawa wenye kuitakidi makaburi, r'la mawaliyi, na mafasiki, na wapuzi, ni washirikishaji, kama wenye kuyaitakidi masanamu? Nasema: Ndio, limepatikana kwao lilopatikana kwa wale, wakalinganana wao kwenye hilo, kamwe wame- zidisha katika kuitakidi na kunyokeana kujidhalilisha; hapanatofauti kati Yao. Ukisema: hawa watu wa makaburiwanasema,sisi hatumshirikishiM'ngu na wala hatumfanyiimwendani, na kuwategemeamawaliyisi shirki' Nasema:Ndio, wanasemakwa vinywa vyao yasio- kuwako nyoyoni mwao, lakini huku nikutojua kwao maâna ya shirki. Kwani kutukuza kwao mawaliyi na kuwachinjiavichinjwani shirki. Na M'ngu ameserra:"Sali kwa ajili ya mola wako na uchinje" yaani si kwaajili ya asiekuwayeye, kama kunavyoonyeshwana rrtangulizajiwa DHARF (katika lughaya kiarabu),Na mwenyeezi M'ngu anasema:"Na kwambaMisikiti ni Va M'ngu msimlinganiepamojana yeyeyoyote.suRA: 72 Aya 18. Na hakika umejua kwatulio yatangulizahivi kari' buni kwamba yeye Mtume (S.A.W') aliita riya shirki, Je yatakuwa hali gani kwa tulioyasema?Basi haya wanao wafanyia nrawaliyiwao; ndio yale yale walio- yafanya washirikishajina wakawa kwayo niwashiriki- shaji, wala hakuwafaiwao kusemakwaor "Sisi hatum- 20
  • 29. shirikishi M'ngu na chochote" sababu vitendo vyao vimeyafanyamanenoyao, kuwa ni urongo, Ukisema: "Wao hawajui kuwa wao ni washirk! kwa wanaoyafanya". Nasema: Wamefutu waluzi katika vitabu vya fiqhi kwenye mlango waridda kuwa: Mwenye kutemka neno l a u k a f i r i h u w a k a f i r i n a a n g a t o k u s u d i am a a n a y a k e . N a h i l i I i n a o n y e s h ak u w a w a o h a w , a j u ih a k i k a y a U i s l a m u , wala asli ya kupwekesha kwa hivyo wakawa ni nrakafiri u k a f i r i w a t a n g u m b e l e , k w a n i M ' n g u a m e w , a l a z i n r i s h a waja wake kumpwekesha kwa ibacia "Kwamba musi- muabudu ifa M'ngu" na kurntakasia VeVehio ibacja "Na wala hawakuamqishwa isipokr.twa wamr_rabucluhali ya k u m t a k a s i a y e y e d i n i " - S U R A : g B A y a F . Na rnwenye kumlingania i'4'ngurrsikrr,nrchana kwa s i r i n a d h a h i r i , k u k h o f u n a k u t r - r r n a ik i s h a a k a m l i n g a n i g p a m o j a n a y e y e m w e n g i n e . h u r , v ak w a h a k i k a a r l e s h i r i - kisha katika ibada satrabu dua ni katika ibacia. Na hakika M'ngu ameiita clr-raibacla kwenye neno lake: " H a k i k a w e n y e k u f a n y a k i t r r i n a i b a d a y a n g S U H A : 4 0 A y a 6 0 b a a d a y a k u s e r l a k w a k e : " N i o n r b e n i m i m i n i t a w a t a k a b a l i a" . U k i s e r r r ak u w a : W a k l w a n i w a s h i r i k i s h a j ii t a l a z i r n u kuwapiga jihadi na kwenda nâr4/aonrwendo alio kwencla M t u m e k w a w a s h i r i k i s h a j i .N a k u l i b r r :K w e n y e ( r a i ) h i i wamekwenda mkao wa wamairlarrru wa llrnu. wakasenrô: Inapasa kuwaita wao kwenye kupwekesha (TAUHltDl n a k u w a b a y i n i a k w a r n b a : w a n a y o y a i t a k i d i k L t f a a n a k u d h u r u h a y a w a t o s h e l e z iw a o k w a M ' n g u . c h o c h o t e . n a 21
  • 30. kwambawao ni kama hao (washirikishaji),na kwamba (itikâdi yao hii kwa hao ni shirki. hakutimukuamini walio kuja nayo mitume ila kwa kuyawachana kwa kutubu nayo, na kwa kupwekeshaumoja wa M'ngu - KWA KUAMINI NA KUFANYA- kwa M'ngu pekeyake. na huu niwajibujuu ya wanavyoni,yaani:kubayiniiti- kadi kwamba itikadi hio ambayo kumetokamananayo kueka manaclhiri,na kuchinja vichinjwa, fiâ kutuftr makaburi:litikadihio) ni shirkiilioharamu,na kwamba- yo ni ile ile waliokuwawakiifanyawashirikisha.jikwa rT'rasananrLryao. Wanavyorriwakisha kubayini hilo kwa vlongozina wafalme,itawalazinruviongozina wafalme kupelekawalinganizikwa waîu kuwaita wao kwenye kutakasaurnojawa M'NGU. {Hapo} mwenyekurudina akakiriataiihifadhiadamu yake na mali yake na watoto wake.Na rnwenyekupindana,M'ngu âtahalafishakwake kile alicho rnuhalalishiaMturne (S.A.W.)kwa washiri.- k i s h a j i . Ukisema: Kutaka kuokolewa kumethubutukatike hadithi. Kwani imesihi kwamba waja siku ya kiyama watataka kuokolewa kwa Adamu baba wâ wanadamri kishakwa lbrahimu,kishakwa Musa.Kishakwa lsa,na wâtakomeakwa Muhammad(S.A.W.)baadaya kuliona zito {jambohilo) kilta mmoja katikamitume.Basihii ni dalili juu ya kwamba kutaka kuokoiewakwa asiekuwa M'ngu si munkar. Nasema:Huu ni udanganyifu!Kwani kutaka kuo. kofewa kwa walio hayi juu yâ jambo wânaloliweza hakukataiyoyote.Na hakikaÎi'l'nguamesema,katikakisa cha Musa pamoiana Muis-railina Mkibti, kwamba: 22
  • 31. ,,AKAMUOÀ4BA YEYE AMUOKOWE, YULE AM. BAYË NI KATIKA JAMAA ZAKË JUU YA YULE AM- BAYË Nl KATIKA ADUI ZAKE" - SURA: Zg Aya 18. Na hakika yalipo maneno ni katika kutaka kuokolewa watu wâ makaburina wengineo kwa mawaliyi wao nô kutaka kwao kwa wao mambo (ambayol hayawezi asie- kuwa M'ngu Mtukufu: kama afiya ya mgonjwa, na mengineyol Kwamwe ajabu kuliko hili: ni kwamba hawa wôru wa makaburi na wasiokuwawao katika walio hayi rnio. ngoni mwawafuasi wawenye kuwaitakidi wanôwapa baadhi ya watoto wa kipona na wanânunuakwa wanae muitakidi mimba katikatumbo la mama ili ipate kuishi. nâ wanaleta mâovu ambayo washirikishaiiwa kwanza hawakuyafikia. Na hakika walinambia baadhi ya wenye kushikilia upokeaji wa nadhiri zenye kuwekwa na watu wa maka_ buri, kwa baadhi ya makaburi kwamba: ,,Mtu mmoja alileujana mapesana mapambo ya wake zake, na aka- semd: (MA'Lll haya ni ya bwana wake fufani akusudia mweçye kaburi (haya) ni nusu ya mahari ya binti yangu, kwa sababu ni memuoza nâ nilikuwa nime M'milikisha, fulani (mwenye kaburi) nusu yake. Hizi nadhiri za mali, na kufanyafungu nila kaburi. wanôvyo fanya kitu fulani katika makulima wanacho kiita {TALAM} katika baadhi ya pande ta yaman. ni iambo ambalo hawakulifikia waliokuwa wakiabudu masânamu, nalo linaingia kwenye neno lake M,ngu: ..NAWANAVIPA WA SIVYO VIJUA FUNGU KATIKA TULIZO WA FUZUKU" pasina shaka wala ruba _ SURA: 16 Aya 56. 23
  • 32. Ndio! kuomba kuokolewawaja siku ya kiyama na kutakakwao kwa mitume (HILO|, ni kumuombaM'ngu mtukufu aamue baina ya waja kwa hisabu iliawapu- nguziewao vitukovya msimamohuo, na hili halinashaka kufaa. Na kusudia kuombeanaM'ngu. hawakuwaombea hawa, kamwe Mtume alirnwambia Umar alipotoka {Umar) kwenda kufanya (Umra): "USITUSAHAU NDUGU YANGU KATIKA DUA ZAKO", Na M'ngu ametuamrishakuwaombeawaumini na kuwatakiarnaghufirakatikaneno lake: "Ewe mola wetu tughufiriesisi na ndugu zetu walio tutanguliakwa kua. m i n i " - - S U R A :5 9 A v a 1 0 , Na ummu saliym (R.A) alisema:"Ewe mtumewa M'ngu khadimuyako ANAS muombeeM'ngu". Na hakika masahaba (R.A.) walikuwa wanomba dua kwake mtume (S.A.W,) naye yu hayi, na hili ni jambo liloafikianwa kufaa kwake. Na maneno yako katika kutaka watu wa makaburikwa miti au kwa walo hayi. ambao hawajimilikiinafuu wala dhara,wala kufa wala kupona wala kufufuliwa, (kuwaomba wao) wa waponye wagonjwa wao, wamregeshealie potea wao, wamsahilishie mwenye mimba wao. wayanyweshelee makulima yao, wazibubujishenacho zawanyamawao, na wahifadhi (nyama) na jicho, (la uhasidi) na kama hayo katika matakwaambayo hayaweziila M'ngu. hawa ndio ambao M'ngu amesema kuhusu wao: "Na hao mnao wafingania asiekuwa M'ngu hawawezi kuwanu. suru wala wenyewe hawajinusuru". SURA: 7 Aya 197, "Hakika mnao walingania niwaja kama nyinyi" SURA: 7 Aya 1941. 24
  • 33. Basi nivipi aombe, mwanadamu kwa kisichokuwa na roho au kwa kilicho hayi - ambacho kuwa na roho ni bora kuliko hicho - lçe1skuwa hakina lazima? Na hili hubayiniwalilo lifanya washirikishajiambao M'ngu alisimulia habari yao katika neno lake: "Na warnemfa- nyia M'ngu, katika alizo ziumba miongoni mwa maku- lima na wanyama, fungu wakasema: "Hf Lf Nl LA M'NGU WA MADAIYAO, NA HILI NI LAWASHIRIKI. SHWA WETU" SURA: 6 Aya 136. Na ameserna:"Na wanavifanyia wasiovijua fungu katika tulivyo waruzuku,na apa kwa M'ngu wataulizwa mno waliokuwa wakiyazual" SURA: 16 Aya 56. Hawa watu wa makaburi na wenye kuwaitakidi wajinga walio hayi na wapotevu wao wamefuata njia za washirikishaji kama zinavyo fuatana mbele za mshale, wakaitakidi kwao ambayo haifai kuyaitakidi ila kwa M'ngu; wakawapa wao fungu katika mali na wakaya- kusudia makaburi yao kutoka majumbani kwao yalio mbali kwa ajili ya kuzuru, na wakatufu makaburi yao, na wakasimama kwa unyenyekevumbele ya makaburi yao na wakawalinganiakwenye mashida, na wakachinja vichinjwa kwa ajili ya kujikurubishakwao - na hiei ndizo sampuli zaibada tulizo kuiutisha. Na wala sijùi kuwa kuna kati yao mwenye kuwasuiudia? Silioni mbali kupatikana kati mwao mwenye kufanya hivyo. kamwe amenielezannae muarnini kuwa yeye arnemuona mwe- nye kusujudu iuu ya mlango waziyara ya waliyi anae mkusudia. kwa ajili ya kumtukuzana kuabudu.na wana- apa kwa majina yao. Famwe akiapa, anae lazimiwa na haki, kwa jina la M'ngu hawamkubalii,na akiapa kwa iina la waliyi katika mav'aliyi wao wanamkubaliana wanamsadiki. 25
  • 34. Na hivi ndivyo walivyokuwawenyekuabudumasa. namu, "Na akitajwa mwenye ezi M'ngu peke yake eina. kirihika nyoyo z.a watu ambao hawaamini Akhir.a na wakitajwa ambao ni asiekuwa yeye, mara wao wanafu. rahi" - SURA:39 Aya 45, Na ni katika hadithi swahihit "Mwenye kuapa na ape kwa M'ngu aLrna nyamaze", Na mtume (S,A.W.) alimsikia mru akiapa kwa (LAT) (Sanamu)akamuamrishayeyeaseme:"LAILAHA ILLA LLAHU" na hili lina onyeshakuwa yeye aliritadi kwa kuapa kwa sânamuakamuamrishayeyeaujadidishe Uislamu wake. Kwani Veye alikufuru kwa hilo, kama tulivyolithuburishakatika(SUBULIL-SSALAMSHEREHE YA BULUUGHUL-MAFAM) na kwenye (MtN-HATUL- G H A F F A R} . Ukiserna:Sisawa kwani hawa wamesema: "LAILAHA ILLA LLWAHU" na mrurne ame sema: "Nimeamrishwanipioanena Lvaturrrpakawaseme: "L/ILAHA ILLA LLWAI-|U",rvakisernatrivvo wâta,zihi. fadhi narni danru zao nâ rnali yno llla kwa haki yake' fra hawa warraswali,wirnôfr_rnga,na w^utatoazaka,na wana triji kinyumerla washirikishaji, Naserna;Hakika mtume alisema: "illa kwa haki yake:nahakiyakc.ni kunrpwekesheaM'rrgumtukufuuola na umja. Na hawa watu wir makaburi hawakr.rpwekesha 26
  • 35. uola na ibada. Kwa hivyo halikuwa{aawao neno la sha hada,kwani hilo nenohalifaiilla likiwaparnojana kujila- zimishamaanayake. KarnaambavyohakukuwafaaMaya hudi kulisema kwa sababu ya kukanusha kwao baadhi ya Mitume, nê ni hivyo mwenye kumfanya asie kutumwa na M'ngu, kuwa ni mturne: halikumfaa yeye neno la shahada, huoni kuwa wana wa Hanifa walikuwa waki' kubali kuwa hapana M'ngu illa {Allahl, na kwamba Muhammad ni Mtume wâke, na wakiswafi, lakini wao walisema kuwa; "Musaylamah ni Mtume, masahaba wakapigana nao, na wakawatukanawao. Je vipi kwa ana- empa waliyi yenye kumukhusuM'ngu na akamwita yeyo Kwenyenrajambo ya muhimuT Na huu ndie (rlmirit muumininal Aly bin Aby Twalibi tH.A.) aliwachoma iamaa wa Abdullah bin Sabai. na walikuwa wakisema: "Tuna kubali kuwa hapana M'ngu ilta ALLAH na kwamba Muhammad ni Mtume wa M'ngtr". Lakini walizidisha mno katika kum' tukuza Aly {n.4.} na wakaitakidi kwake wanayo ya ita- kidi watu wa makaburi na kama wao, akawatesa wao mateso hakumtesa kwayo yoyote katika rnaasi, kwani aliwafukulia wao mashimo na akawarurumbishia moto akawatupia ndani na akasema: Mimi ninapoliona, lolote la munkari, Na chochea moto sana, nikamwita kambari. Na akasemamshairi katika rama hÎzo: Mauti nayanitupe,yatakapo sitoiali, Bora rnimi niyahepe,hayo mashimomawili, Chochelepsrnahalipe,rnoto mkali kwa kweli, Kufa kulikuwa kweli, nî taslimu sideni' 2V
  • 36. Na kisa hichi kiko katika FAT-HUL-BARYna kisi- cho kuwacho katika vitabu vya hadithi, na sira. Na hakika imepita ljmaa ya umma kwamba mwe- nye kukanushakufufuliwa huwa kafiri je vipi kwa mwe- nye kumfanyia M'ngu mwendani? Ukisema: kuwa Mtume {S.A.W.} alimkemea Usa- mah kwa kumuuwaaliesema"LAILAHA ILLA LLWAHU" kama 'Hapana shaka kuwa mwenye kusema: "LAILAHA ILLA LLWAHU" katika makafiri anaihifadhi damu yake yakena mafi yake,mpakalidhihi'i kwake lenyekukhalifu alifolisema.râ kwa hivyo mwenye ezi M'ngu aliteremsha kukhusu kisa cha Mah-lam bin Jathamah aya: "Enyi watu mlio amini mkipiga katika njia ya M'ngu fafanu- sni" - SURA: 4 Aya 94. Kwa hivyo M'ngu akawaam- risha wa hakikishe kukhusu mwenye kunena neno la tauhidi. Akijilazimu maana yake atapata wanalo pata Waislamu na atapaswana liwapasalowao, na ikidhihiri kinyume nalo: hahifadhi damu yake na mali yake kwa kutemka tu. Na kwa hivi killa mwenye kudhihirishatauhidi, ni lazima kukomanae mpaka lidhihiri kwake lenye kukha- lifu hilo. Likidhihiri halimfai hili neno tupu. Na kwa hivyo halikuwafaaMayahudi.wala halikuwafaa{Khawa- riiil - pamojana ibadawalizokuwanazo,ambazomasa- haba walikuwa wakidharau ibada zao kulingananazo. Kamwe aliamrisha Mtume (S.A.W.) wauawe, na akasÊma: "Naapa nikiwawahi nitawauwa kama kumu- UWAADI". Na hilo ni walipo khalifu baadhi ya sharia. 28
  • 37. Na wakawa ni watu waovu mno chini ya Mbingu, kama zinavyo thubutisha hadithi! Kwa hivyo imethubutu kwamba utupu waneno latauhidihauzuiikuthubutushirki ya alielisemakwa ajili ya kufanya lenye kulikhalifu, nako ni kuabudu asiekuwa M'ngu. Ukisema: watu wa makaburi na wenginer katika wenye kuitakidi kwa mafasiki wa watu na wajinga wao kati ya walio hayi - wanasema: Sisi hatuwaabudu hawa, wala hatumuabudu asiekuwa M'ngu. wala hatu- waswalii wao, wala hatufungi,wala hatuhiji (kwa aiili yao). Nasema:Huko ni kutojua manna ya ibada; kwani ibada sio hayo tu ulioyataja,kwani kichwa cha ibada na msingi wake ni itikadi. Na hakika limepatikanakatika nyoyo zao hilo. Kamwe wanaliitaitikadi na wanamfanyia hayo ulioyasikia kati ya mambo yaliotokamana na kua- mini: Kama kuwaombâ, na kuwalingania,na kutawasali kwao, na kutaka kuokolewa na wao na kuwaomba msa- ada, na kuapa, na kuwawekea nadhiri, na yasiokuwa hayo. Na hakika wametaia wanavyoni kwamba mwenye kujipamba kimakafiri huwa kafiri, na mwenye kutemka neno la kufuru huwa kafiri. Je, vipi kwa aliefikilia daraia hii ya kuitakidi, kusema,na kufanya? Ukisema hiri nadhiri na vichinjwa ni nini hukumu yakel Nasema: Killa mwenye akili amejua kwamba: mali nikipenzi cha wenyewe, wanakwenda mbio kwa aiili ya kuyakusanya,japo ni kwa kufanya maasiya yote. Na wanakata masafa mengi karibu na mbali, yoyote hatoi chochote katika mafi yake illa kwa kuamini kuvuta manufaamakubwa kuliko hicho, au kuiiepushamadhara. 29
  • 38. Mwenye kuiwekea kaburi naclhirihatoi mafi yake illa kwa ajili ya hilo. Na hii ni ltikadi mbovrr" Na lau kama mwenye kuekal"ladhir,iangejuamak,osa va aliloitakidi hanEetoahata derehemn. Kwani rnali nikipenzicha wenyewe, M'ngu ame serna: "Na wala hawaombi nyinyi mali zenu {yote} karna angewaomba{yote} akazidisha{katika kuyataka} rnnoefanyaubakhili na angetoachukizenu"SURA: 4j Aya 6. 37, Wajibu ni kumjulishamwenye kutoa nadhiri kwamba: rri kupotezarnal,iyake. Na kwamba hakimntr- faishi yeye anachokitoa,ffala hakimuondoleimadhara Na hakika Mtunre (S.A.W.) arnesema:"Hakika nadhiri haileti kherîna hakikatu inatolewakwa bakhili" na nilazima kumrecesheamwenyewe arna yule rnwenye kupokea nadhlri; {najue kwa,mba}: Huko kupokea rradhirini hararnujuu yake kupokea,kwa sababLrhuks ni kula mali ya mwenyekuekanadhiri kwa batili sio kwa kupa chochote, na hakika M'ngu amesema:"Na wala rnusile mali yenu kati mwenu kwa batili" SUftA: Aya 188. Kwa sababuhuko ni kumthubutisharnuekajinadhi- ri juu ya shirkiyakena uovuwa itikadiyake.na kuridhika kwake kwa hilo, na wala haifichamanihukumu yâ rnvve- nye kuridhiashirki. shwa na anasameheisiokuwa hio (shirkiI kwa a,tntakae" "'Hakika m'wenveezi M'ngu hasamehekushiriki_ shwa ilâ ânâsêrneheisiokuwa hio {shirki} kwa amtaka€'" - SUHA; 4 Aya 48. 30
  • 39. Malipo hayo ni kama ada va mkuhani na mahari ya umalaya,kwa sababuhuko ni kumdanganyamwenye kueka nadhiri; na nikumfahamisha rnakosa kwamba waliyi anamfaa yeye na anamdhuru. Ni kuthubutisha makosakupi kuliko kukubwa kuliko kupokeanadhiri ya maitiT Na niudanganyifu upi mkubwa na nikuridhika kupi kwa maasiakuliko kukubwamno kuliko huku? Na nikufanyauovu kuwa werna kupi kunakoajabishakuliko hili? Na hazikuwanadhiriza rnasânamuila juu ya mpa' ngo huu: anaaminirnwenyekueka nadhiri kuvuta manu- faa kwa sanamuna kr-rondoaMadhara,hapo akamuekea nadhiri sehemukubwa ya mali yake na anagawanyanaye zilo ndani ya udongo wake na akaja nacho rnpakakwa watumishi wa masanamu na wakakabidhi toka kwake na wakamfahamishauhaki waitikadi yake, na uhaki wa kuleta kichinjwa chake na akakichinja mlangoni kwa sanarnu,na hivi ndivyo vitendo ambavyo M'ngu aliwa.- leta mitume kwa ajili ya kuviondoa,na kuvifutana kuvi- angamiza,na kuvikataza. Ukisema: Mwenye kueka nadhiri henda akapata manufaa na akaondoa madhara kwa sababu ya kuitoa nadhiri na kuipa. Nasema:Na ni kama hivyo masanamu huenda likapatikana kwao kubwa kuliko hili, nalo ni môn€no yenye kutoka ndani yao, na kuyaelezaanayoya- ficha mwanadamu. lkiwa hii ni dalili juu ya uhaki wa makaburi na kusihi kuyaitakidi;na liwe basi ni dafili juu ya uhaki wa rnasanamu.Na huku ni kuuvunja Uislamu na kusima. misha nguzo za masanamu. Na ukweli ni kwamba lblisi na askari wake katika maiini na wanadâmu anamsaadarnkubwa katika 31
  • 40. rniili,na kutia wasiwasikwenyevifua na kunrezanyoyo kwa gorc'mtlolake. Basi ni hivyo hivyo anaingiandani ya masanamu,na akatiam6nenokatikarnasikioya watu, na kama hilo ar"ralifanyakwenye itikadi za watu wa makaburi;kwani mwenye eziM'nguamemruhusuavute kwa farasi wake na mguu wake wanadamu,na ashiri- kiane nao katika mali na watoto; Na limethubutr-r kwenye hadithi kwamba: "shaytani anasikiliza kwa kuiba jambo ambalo M'ngu atalileta.na akalitupakwa makuhani._ n6 hao ni wale wenye kuelezakhabariza ghaibu.na wanazidishajuu ya lile analolitupashaytani mengi menginemia ya uongowao wenyewe". Na wanakusudiarnashaytaniwakijini na wakibi- nadamukwa watumishiwa makaburina wangineo.wa- kiwambia: ..WALIYI AMEFANYA NA AMËFANYA" Wanawapendezesheawao na wanawahadharisha wâo kukhusu yeyel Na utawaonajamaa, wafalme wa majimbo na watawala wamiji wakiyatukuzahayo, na wakiwaayini watumishi wenye kukabidhi nadhiri, na penginewanalishikiliawatu ambao watu wanawadhania wema; mwana chuoni,kadhi,au mufti, au sheikhesufii, hapo ukatimu udanganyifuwa lbfisi na likatulia jicho lake kwa kudanganyahuku. Ukisema:Hili ni jambo limeeneamiji, na wameku- sanyika juu yake wakaazi wamapangona majabali, na limewamba ardhi mashariki na magharibi,Yaman na Sham, kusini na Adeni, kwa namna ambao hupati mii katikamiji ya Kiislamuilla huwapanamakaburina mazi- yara na walio hayi wanaitakidiwana kutukuzwa,na 32
  • 41. kuekewa nadhiri, na kuitwa majina na kuapwa kwayo, na wanatufu milia ya makaburi, wanâyawashia mataa, na wanayawekea mauwa na maraihani, na wanayavisha nguo, na wanafanya kila iambo wanaloliweza lakuyaa- budu. Na ambayo yana maana ya lbada; ya kutukuza, kunyenyekea na kujidhalilisha na kuyahitajia, kamwe hii ndio misikiti ya waislamu, mingi kati yao f,aikosi kaburi au lilo karibu nayo au ziyara yenye kukusudiwa na wenye kusali katika nyakati za swala. wanafanya katikalo yote yaliotajwa, au baadhi ya yaliotajwa. wala h a l i i k u n d u k i i a k i l i y a m w € n y e a k i l i k w a m b a h a y o n i M U N K A R w e n y e . k u f i k i l i a u o v u u l i o u t a j a , w a l i o u n y a - malia wanavyoni ambao kumethubutu kwenda kwao pande zote za ulimwengu. Nasema: Ukipenda ukweli na ukawacha kuwafuata wa kale, na ukajua kwamba haki ni ile tu ilio simama juu yake dalili, sio walioafikiana walimwengu kizazi baada ya kizazi. na mkao baada ya mkao, jua vile vile kwamba mambo haya ambayo tunakariri kuyakanusha, na twedambio ili mnara wake kuuangusha: {ni mambol yenye kutokamana na wajinga ambao Uislamu wao ni wa kuiga wazee pasina dalili. na kufuata kwao huko ni kwa pasina kutafautisha kati ya twevu na yenye kufaa. mtu anainukia akawaona watu wakijiji chake na wenye m ji wake wanamf unza udogoni aliite jina la wanaemuitakidi, na anawaona wakimuekea nadhiri, na wakimtukuza, na wakisafiri naye mpaka kwenye kaburi yake, na wanampaka yeye rnchanga wake. na wana- mtufisha juu ya kaburi hilo. Hapo {ndipo huyo mtotol anainukia na hali umethubutu utukufu wa wanaemtukuza moyoni mwake, na huwa ashakuwa ni katika vitu vitu- kufu kwake huo wanae muitakidi. kwa hivyo anainukia 33
  • 42. juu ya itiliadi hii akiwa mdçgo na anazeekajuu yake na wala hasikii ukernevu kutoka kwa yoyote iuu yake. Kamwe unaweza kumuona, rt-rwenyekusifika kwa uiuri, na rnwenye kujidai ubora, na anaeshikilia ukadhi, .na kufutu, na ktrgorneshana utawala,au maarifa,au uamlri nâ Sirlkali, {utarnuona}ni rnwenyekuyatukuzaWanayO yatukuza mwenye kuyakirirnu wanayo yak,irimu, mwe- ny€ kupokea nadhiri. mwenye kula vyeny€ kuchinjwa iuu ya makaburi;hapo wainga wanadhaniakwamba hii ndio dini ya Kiislarnu,na kwamba hichi ndicho kichwa cha dini na nundu yake; nâ wala halifichamanikwa r.nwenyekufaa krrfikiri,na anaeju.aurT'gan'gazêwa ujuzi wa Kuran; na hadithi . . . kwarnba kunyamazamwana= chuoni au ulimwengujuu ya kuruka MUNKAR si dalili ya kufaa MUNKAR HUO. Na tr-lpigemfano wa hilo nao ni hizi mukusi zenye kuitwa mujabi z€nye kujulikana uharamu wake katika dini wazi, Zimejaa majumba na vjwanda na zimekuwa ni jarnbo lenye kuzoewa,hakufipitii kulipinga, sjkio lo- lete na mikono ya wenye kupokearnukusi imefika mpaka kwenye vi,wandavitukufu, katika maka, marna wa mijï wanapokeakwa wenye kuikusudiakwa ajili ya kuteke- feza faradhi ya Uislamu. na wakakuta'katika mji mtu feza faradhi ya Uislamu, na wakakuta katika mji mtu. kufu mambo ya haramu, na hali wakazi wake ni katika bora wa viurnbe, na wajuzi na rnahakimu,wamenyarnaza hawalikanyiWamelipamaungokuliletana kulitoa, JÊ, kunyamazakutakuwa dalili juu ya uhalali wa kuzipokeana kuzihifadhiTHili halisemi mwenye che- rnbe ya kutarnbua.Kamwe na kupigia rnfano mwegine; Hii ni haram ya M'ngu arnbayo.ndiyobora wa viwanda 34
  • 43. vya ulimwengu kwa itifaki na ljmaâ /a wanavyoni. wa- mezua katikayo {haram} baadhi ya wafalrne waovu wa'- jinga, upotevu: haya maqamu rnan'ne-,ambayo yarnete' nganisha ibada za waia na yakabeba rnahaya ambayo hayadhabiti ila M'ngu mtukuïu; yametenganisha ibada za Waislamu zikawafanyaWaislamu ni kama wana mila tafauti kwenye dini, htlo ni uzuzi {BlD'A} uliolituza iicho la lblisi mal'uni. Na yamewafanyaWaislamu kama viche- ko vya mashetwani;na watu wameyanyamazia;Na wana- kuia {Maka} wana vyoni wapande nyingi na mabadal na makutbi" nâ ameyaona hayo killa mwenye macho na ameyasikia kîlla mwenye masikio; je' kutakuwa huku kunyamazani datili ya kufaa rnambo yenyeweT Hili haliserni mwenyÊ iapo kitu kidogo katika maarifa! Ni kama kunyamazakwao juu ya haya mambo yenye kutokamana na watu wa makaburi. Ukisema: îtalazîmu kr.rwaumrna urnekusanvikajuu ya upotevu kwa kule kuwa warnenyamâza wasiukanye ujinga rnkubwa. Nasema: hakika ya limaa: ni kuafikiana watu wa titihad wa ummati Muhammad {S,A.W.1 iuu ya iarnbo baada ya zama zake Mtume; na wânavyoni wa rnadhe- hebu man'ne hawafai kuiitahidi baada ya maimamu wa N'ne; Na lingawa hili ni neno labatili haliserniasiekuwa ambae ni miinga wa hakika; Kwa madai yao: (Hapana ljmai kabisa baada ya maimamu wan'ne! kwa hivyo haiii hlo suali. Kwani uzuzi huu na kufitinika huku kwa makaburi hakukuwa katika zârnâ za maimamu wan'nË' Na kulingnna na haya tunayo yahakikisha, huwa- kutuka ljnraa ni rnuhafi. 35
  • 44. Kwani umati wa Muhammad (S.A.W.) umeiaa pande, na umefika katika killa nchi na uko chini ya kutla nyota; Kwa hivyo wanavyonl wake wenye uhakika hawahisabiki,wala hapanaanaewezakuiua hali zao.Kwa hivyo mwenyekudai ljmai baadaya kueneadini. na kuwa wengi wanavyoniwaKiislamu;madai hayo ni ya uwongo, kama walivyo sema maimamu wenye kuhakikisha. Kisha tukisemakwamba walijua Munkari na waaiu- kanye, kamwe walinyamazq, wasiukemee, kunyamaza kwao hakungeonyeshakufaa hilo (la Munkari). Kwani kunajulikanakatika kawaida za sharia kwamba njia za kukanyani tatu: Rwanza: Piti: Kukanya kwa mkono; Nako ni kuubadilisha munkari na kuuondosha. Kukanya kwa ufimi kukitowezekana kubadi- lisha. Tatu: Kukanyakwa moyo ikitowezekanakubadilisha kwa mkono na ulimi. Likikosekanahili halikosekanijengine. Na mfano wake, nikupitamtu katikawanavyoniwadini kwa mmoja wa wenye kupokea Mukusi wal<atianapopokeamali ya wenye kudhulumiwa. Huyu mtu m'moja katika wana- vyoni wadini hawezikumbadilishia,huo mwenye kuchu- kuwa mali Va masikini, kwa mkono wala kwa ulimi, kwani atakuwa ni kicheko cha maasi hao, kwa hivvo sharti ya kukanya kwa njia mbili itakosekana,fiE pata- kuwa hapakubakiilla kukanyakwa moyo ambako ndiko dhaifu mno Wa imani. Inampasq,mweye kumuona huo mwanachuoni amenyamazahakukanyapamoja na kuona anachokichukuwajabari huo. aamini kwamba kumem- 36
  • 45. shinda kukanya kwa mkono na ulimi, na kwamba ame' kanya kwa moyo wake. Kwani kuwadhania waislamu vyema ndivYo ipasavyo na kuwataawilia iwezekanavyo ndivyo ilivyo; Wenye kuingia haram tukufu na wenye kuona majengo hayo yakishetwani ambayo yametenga- nisha neno la dini, na yakazifanyambali mbali swala za Waislamu, wanaudhuru kwakutoYakanyailfa kwa moyo tu, kama wenye kuwapitia washikaii mukusi na watrt wa makaburi. Na hapa ndipo panapoonekanauharibifu wa liloe- ndelea kwa maimanu hao wakuchukuwa dalili hizo - kusema kwao kwamba: lilituka na lisikanywe,kwa hivyo likawalj'mai. Na namna ya uharibifu huo ni kwamba: Kusema kwao: "NA WALA LISIKANYWE" ni kutupa ovyo. kwani huenda ikawa nyoyo nyingi ziliona uzito kukanya mkono na ulimi. Wewe unashuhudia katika zama zako mambo mangapi yanatuka huyakanyi kwa ulimi wako wala kwa mkono wako, hali wewe unayakanyakwa moYo wako' Na muinga anasemâ: akikuona unayaonô; fulani amenyamaza hakuyakanya kwa neno lake, ama kwa kulaumu au kwa kuiga kule kunyamazakimya hakuchu- kuliwi ni dalili na miuzi Yoyote. Vile vife kunaiulikana batilika neno lao katika kuchukuwadalili: "FULANI AMEFANYA NA WENGINE WAMENYAMAZA" kwa hivyo ikawa limai - (hili nalo) nilenye kubatilikakwa njia mbili: 37
  • 46. Kwanza: Piti: kudai kwamba kunyamaza waliobakia huthu- butisha kitendo cha fulani, kwa yafe uNioyajua ya kunyamaza kutofaa kuwa dafili yenye kuthubutisha. kusernakwao: "lkawa fjnlai" Kwani ljmai ni (S.A.W.), na mwenye wala kukhalifu, mpaka kuafikiana urnrnati Muharnrnad kunyamaza hanasibishiwi kuafiki umbayini yeye ulimi wake. Mfalme mmoja-aliserna:wakatiwatu katikahadhara yake wamemaliza kumsifu mtu mmoja katika wafanyi kazi wake, afiyekuwa kwcnye hao watu, alikr.rwaarno. nyamaza! Mfalme akamuuliza: "Mbona wewe huserni chochote kama wanavyo sema?', Huyo mtu akajibu kwamba: "Nikisema nitawapinga". Basi sio kwarnba kilia kunyamazani kuridhia.Kwani hayani maovuyalio-. asisiwana mwenye upangana mkuki mkononi,na darnu za waja na mali yao yako chini ya ulirni wake na kalarnu yake, na vyeo vyao viko chini ya kauli yake na neno lake; atawezajeMtu M'moja kumpinga anafolitaka? Haya makuba na maziyaraambayo yamekuwa njia kubwa ya kwenda kwenye shirki na kutoamini;na cho- mbo kikubwa cha kuuvundauislamu na kubomoa jengo lake, wengi au wote walio ya amirisha ni wafal'm,BFâ masultani na wakuu na watawala, ima kumfanyia jamaa yao au kumfanyia wanae mdhania werna; M'bora, au mjuzi au Sufi, au fakiri au mzee au mkubwa. Na watu wakamzuru. ambao wanarnjua, kama wariavyo zuriwa maiti pasina kutawasali kwake, wafa kulilingania jina fake bali wana rnuornbeaM'ngu na kumtakia rnaghufira. mpaka wÊnapoondoka wanaomjuaau wengi katika wao. 38
  • 47. wanôkujawengine baadaya hao wakalionakaburi lime. jengewa, na limewashiwa mishumaa, na fimetandikwa matandiko ya fakhri na limeteremshiwamapazia, na fimetupiwamawaridi na mauwa, hapo wana amini kwa- mba (kaburil hili nilakunufaishaau nilakudhuru; Na wakalijia watumishi wakimzulia maiti kwamba amefa' nya, na amefanya amemdhuru fulani amernfaa fufani mpaka wakameza kwenye moyo wa mwenye kusikia killa jambs la batili. Na kwa hili imethubutu katika hadithi za Mtume; "Lanâ ni juu Ya mwenye kuwashataa juu ya makaburi na mwenye kuyaandika,na mwenye kuyajengea. Na hadithi za hilo ni hilo lenyewe limekatazwa. mkubwa. nyingi, zinajulikana,Kwani kisha ni njia ya uharibifu Ukisema:Hii ndio kaburiya Mtume (S.A.W,l ime. jengewa kuba kubwa. lilotumiliwa mali mengï. Nasema: Huu ni ujinga mkubwa kukhusu hakika ya iambo lenyewe; kwani hili kuba hali kujengwa nae Mtume {S.A.W.} wala na masahabawake wala walio wafuatia wao na wala walio fuata waliofuatia, na wala siwanavyoniwa umma wake na wala siviongoziwa mila yake; Kamwe hili kuba lilojengwa juu ys kaburi yô firltume {S.A.W.} ni katika majengo ya baadhi ya wafalme wa Misri waliokuja nyuma! Naye ni KALA- WOONf L.SWALIFIY, Anaejulikana, kwa jina la Al-malikul'ffrElr'tsoor.Katika mwaka wa 678 A.l-,1.amcfi' taja hifo mwenyr kitabu "TAl.l'Kfl KUL-NNUSRAI'IBITA KH'LIISWI MAALIMIL.HIJRAI.I'" 39
  • 48. Kwa hivyo haya ni mambo ya kidola sio ya kidalili, wa mwisho anamfuatâ wa kwanzaI Na hili ndilo mwisho warulifofirakakatika tulio ya leta zilipoeneabeluwa na zikafuatwa"Hawaa,. na wana- vyoni wakapa rnaungokukanya ambako kunawapasa,na wakapendukiawalipo pendukia wajinga, Na uovu ukawa wema, na wema ukawa uovu. Wala asipatikane kwa watu mwenye kukatazahilo wala mweny€ kukemeal Ukisema: huafiki, kwa wafio hayi na wafio kufa, kukutana na watu wenye kufanya yenye kupasua ada, wenye alrma za wenye kuvutika (majadhibil; Je ni nini hukmu ya hayo wanayoyâfanya katika hayo mambo? Kwani hayo mambo nikati ya yenye kuvuta nyoyo ziyai- takidi hayoT Nasema: Ama wenye alama za majadhibi,ambao wanalitafuna temko fa utukufu (LAFDHUL-JALALAHI kwa vinywa vyao na wanao lisema kwa ndimi zao, wanao liepusha na temko lake lakiarabu: hao ni askari wa lblisi mwenye laana, na ni katika ambao shetwani amewavisha mapambo ya udanganyifu na kuhadaa. kwa kule kuwa kulitupa neno la jafafah (Aflahl mbali na kuri- miziwa maneno kwa kusemakwao (Allahl (Aflahl sima- neno wala sitauhidi, kamwe ni kucheza na neno hili tukufu, kwa kulitoa nje ya temko lake la Kiarabu, kisha kuliepushôna rnaanayoyotel Na lau kama mtu m'moja mtukufu mwema,'anaitwa (Zaydl, watu wakashikilia kusema Zayd, Zayd, Zayd angelichukuwahilo kama sherena kurwezwa.nû dharau: Na khaswa kukiliongezekeaneno lenyewe temko lake 40
  • 49. {BADALA YA KUSËMA IALLAH} WANASEMA: HA H A A N ) K i s h a a n g a l i a : J e ' l i n r e k u i a k a t i k a K u r a n i ' n a hadithi, temko rrito laialalapeke yake na likakaririwa? Kwa sababulilo kwenYeKurani na hadithi' ni kua- rnrishwakumtaia M'ngu na kumpwekesha'na krtumsab- bihi na kuhalili. Na hizi ndizo dhikri za mtume (S'A'W') na dua zake na dua za ali zake na masahabawake zote hazina livumi hizi na vitunu hivi na kelele hizi. ambazowôme- Zizoeaambao wako mbali mno na M'ngu na uongoftr wa Mtumewa M'ngu tS-A.W'). Kisha penginewao wanaliongezeahilo lina tukufu majinaya iamaafulani walio kufa. kama:IBNU ALWAN na Ahmad IBNUL-HUSEIN,na ABDUL'KADIF na AL- AYDARUSI, K a m w e h a I i i m e f i k i a k u w a w a n a w a k i m b i | i a w a t u wa makaburi wanapodhufumiwa au wanapoonewa: Kama Alv Ruman,na Aly l-ahmarna kama hao' Na hakika M'ngu amernuhifadhiMtume (S'A'W'l na watu wanguo (Ah-lul-kisaalna masahabawatukufu. hawakutiwandani ya vinywa vya waiinga hawa wapotevu' wenye kukusanyasampuli nyingi za ujinga na slrilki na kufru. Ukisema: Huenda yakaonekanamambo ya aiabu kwa hao wenye kulitafunaiina katika hao watLrwâupuei na uhuni,na waonekanana mamboambayoyanadhaniwa kuwa ni karama,kama kuiichomekakwa visu vikali, na 41
  • 50. kama kuchukuwa majoka na visusuli (n,gel, na kula moto, na kuushika kwa mikono, na kutembea ndani ya moto kwa miili yao. Nasema: Hizi ni hali ta kishetwani, na wewe utakuwa mwenye kudanganyrka ukiyadhania kuwa ni karama za hao maiti, au ni rnema ya walio hayi, kuwa huo mpotevu alipoyaita majina yao aliwafanya ni washi- riki wa M'ngu katika kuumba na kuamrisha; Hawa rnaiti ambao unawajaalia kuwa ni mawaliyi wa M'ngu, je, waliyi wa M'ngu anaridhiaafanywe mshirikawa M,ngu na rnaj-dhubinana muasi? Ukilidai hilo utakuwa umeleta iambo bovu mno, na umewafanya hao maiti ni washirikishaji na umewatoa. (ltl'ngu apishembafi) nje ya duara ya Uislamu na dini; kwa kule kuwafanya wao ni wendani wa M'ngu, hali ya wao kuliridhia na kulifurahia, na itikadi kuwa hizo ni karama za rnajadhibi hao wapotevu tena washirikishaji, wenye kufuata killa batili; wenye kuzamandani ya maba- hari ya matwevu, ambao hawamsujud{iM'ngu hata sijda moja, na wala hawamtaji peke yakel Kwa hivyo ukilidai hili utakuwa umewathubutishia karama washirikishaji makafiri, nâ wenye warimu; na ulâkuwa umevunja kwa hilo vidhibitisho vya Uislamu na misingi ya dini wazi na sharia yenye kunyoka sawa. Na ukisha jua ubatili wa mambo haya mawili huwa umejua kwamba hiro ni hali na ni vitendo vya kishetwani na niamali za ki fblisi, wanazozifanya mashetwani kuwa- fanyia ndugu rao kwe aiili ya kusaidiana mpande mbili, kwani limethubutu katika hadithi kwamba mashetwani ntl mailni wanaiifanya kama majoka, na hifi ni jambo 1?.
  • 51. limekatiwa kutuka. Basi hao maioka anaowaona mwa- nadamu kwenye mikono ya maiadhibi, huenda yakawa ni katika uganga,na ugangani sampuli nyingi' na kuii- fundisha si tabu, kamwe mlango wake mkubwa ni kum' kufuru M'ngu, kama kueka mswahafu chsni na kama hayo! Basi. nasihadaike mwenY€ kuona kubwa kwake mambo hayo ya maiadhibi ambayo ânayaona kuwa ni yenye kupita kawaida, kwani ugangâuna taathiri kubwa katika mambo. Na vile vile wanavigeuza vitu kwa uganga na mengineo. Waganga wa Fir-auna, waliuiaza wôngvYâ kwa maioka mpaka Musa (A'S.) akaogopa'Na M'ngu {Mwenyewe) aliusifu kuwa ni uganga mkubwa' Na uganga unafanya kubwa kuliko hili. Ametaia IBNU BATUTA na asiekuwa yeye. kwamba yeye aliona bara Hindi watu wanawâshiwa moto mkubwa wakavaa nguo nyembamba, na wakajichomeka kwenye moto huo' na wakatoka nô nguo zao kama kwamba hazikuguswana chochote! Kamwe ametaia kwamba alimuona mtu. kwa mfalme M'moja wa bara Hindi, aliekuja na watoto wawili, kisha akawakatakipandekipande;kishaakatupa killa kipande upande wake mbalimbali. mpaka yoyote akawa haoni chochote katika vipande hivyo; kisha aka- piga ukelele na akalia, hapo waliohudhuria hawakufa- hamu illa kuona kilta kiungo kimeteremkachenyewena kimeambatakiungo rnwenzie,mpaka killa mtoto akawa hayi sawa sawa. Arnelitaja katika sâfari yake nayo ni salari fupi. nami nime{upiliza. Nilisoma Makka mwaka wa 1132 43
  • 52. A.H. na akatuandikishaMufti wa madhehebuya hana- fiyah katika MADINA Bw. Muhammad BtN AS'AD (M'ngu amrehemul. Na katika kitabu: "A-AGHANy" cha ABIL-FARAJAI'AS-FIHANYkwa sanadyake: (tko) kwamba mganga m'moja alikuwa kwa At-Waliid BIN UKBA huo mganga akawa anaingia ndani ya ng'ombe kishaanatoka,Bw. Jundub akamuonayeye hapo akarudi nyumbanina akabebaupangawake, yule mgangaalipo. ingia ndani ya ng'ombe Jundub. alisema:"MNALETA UGANGA HALI MNATIZAMA?" Kisha akampigang'o- mbe katikati. akamkatana akaÉnkatahuo rngangavile- vile, watu wakababaika,hapo waliid akamfungana aka- muandikia Uthmani Bin Afaan kumweleza hayo; Na aliekuwaamesimamahapo jela ni mtu mmoja mnasara. alipomuona Jundub, anasimama {kwa ibada) usiku mzima,na mchanaanafunga,alisemahuo mnasara:"Na apa kwa M'ngu, watu ambao huyu ndie rnr"rovuwao ni watu wa ukweli"; na hapoakamuakilishamtu mwengine iola na akaingia{Mji} wa (KOFA);akaulizamwema wa wenyeii wake wakamuambia: ni Ash-ath Bin OAYS, akawa mgeni wake. hapo akamuonaAsh-ath analala usiku na akiamkaanatakachakulachakeakatokakwake na akauliaa:"N'nani katikawatu wa KOFA aliemwema z a i d i l " Wakamwambiani JARIIR Bin ABDULLAH,akam- kuta analalausiku na kukipambazukaanaagiziachakula chake.Hapoalielekeakiblana akasema:MOLA WANGU NI MOLA WA JUNDUB,NA DINI YANGU NI DINI YA JUNDUBna akasilimu, Na Bayhaqii amekitoa kisa hichi katika Al-Ssuna- nil-kubraapamoja na rnabadilikofulani katika kisa che. nyewe. Ametaja mategemezewayake mpaka kwa Al-as'- 44
  • 53. wad, kwamba: Al-waliid bin Uqbah alikuwako lraqi na mganga mmoia anachezambele yake; alikuwa anakata kichwa cha mtu kisha anampigia ukelele akasimama akipiga makelelehapo anamrudishiakichwa chake' Watu wakasema: "SUB-HANA LLAHI" anawahuyi waliokufa. akamuona yeye mtu mmoia katika wemâ wa "MUHAJIRINA" ilipokuja siku ya pili alichukuwa upanga wake na akamkata kichwa chake. na akasema: "Akiwa ni mkweli naiihuyi mwenyewel" Al-waliid aka- muamrishaDinar mtu wa jela na akamfungayeye, MW' Kamwe ajabu zaidi kuliko hili: ni alilolitoa Al- bayhaqiikwa mategemezewayake,katikakisa kirefu: Na kisa hicho, ni kwamba: Mwanamke M'moja alijifundisha uganga kwa malaika wale wawili WA BABILA, ambao ni HARUTA na MARUTA. na kwamba huo mwanamke alichukuwa ngano. akaiambia baada ya kuitupa chini: Jipande,nayo ikaiipanda-Akaiambia:Jitime, nayo ikaii- Iima. kisha akaiwacha; Halafu akaiambia: Jikaushe' nayo ikaiikausha.Kisha akaiambia:Jisage,nayo ikaii- saga. Mwisho akaiambia:Jifanye mkate nayo ikaiifanya mkate. Akawa (huo mwanamke) hataki iambo illa lina- kuwa. Na mambo ya kishetwani,hayahisabiki.Na yatosha atakayokuyaletaDAJALI' Na hadithi HAPA) maagizo yake kwenye kufuata Kur-ani, na na kwenye kuzi khalifu. (KITABU KIMEKOIV'|A 45
  • 54. 1 / -lot ' Ê,f+T'f.ir
  • 55. ^14 ll ^t'/ *, JL+y lr.,r],lel .iJi; -'*U -t;'t{Êl,jtl-J 1,3.1-.Ilftl I ;:J,uDtf;'#,ilU,Y -àll^( -.a.11 .>-*-5'Êt't 't-))-*)Ià6:-vâ--ta--+ru-i.IttîuDs -+ât, èts-tltS$is y+e,Ly't -o1j;t_.ÈU)l dL;*ir,rL -Â t 11 ç Dâ/