Tanzania orphans street children and widows foundation(Towsf).ni taasisi isiyo ya kiserikali (NGO) yenye usajili no.00NGO/00006168 inayoshughulikia ustawi wa watoto yatima na wajane. Taasisi inahamasisha jamii ya watanzania kuona umuhimu wa kutoa misaada ya kielimu kwa watoto hawa.Taasisi imezindua mfuko maalumu wa kushughulikia masuala yote ya elimu kwa watoto yatima. mfuko unaitwa Towsf yatima education fund. kupitia mfuko huu watoto yatima wataweza kulipiwa ada,kununuliwa sare za shule pamoja na vitabu na madaftari. Kampeni ya kuchangia mfuko huu itadumu kwa miezi mitatu kuanzia tarehe01.07.2013 hadi tarehe31.09.2013. kampeni inashawishi kila mwenye uchungu na kundi hili achangie sh.30000.na kampeni imetazamia kuwafikia watanzania 1000.Ukiwa rafiki yangu wa karibu nakukaribisha kuchangia kwa manufaa yako hapa duniani na kesho kwa Mungu muumba. Njia za uchangiaji ni tigo pesa 0659996900.au kwenye akaunti no.0066001792.barclays bank. jina la account ni Tanzania Orphans, Street Children And Widows Foundation.unaweza changia 2500 kwa wiki au 10000 kwa mwezi au 30000 yote kwa pamoja.karibu sana. Mr.Imani Matabula M/kiti Towsf Taifa.