SlideShare a Scribd company logo
1 of 113
Kila sifa njema zinamstahiki Allah (SW)
Bwana na Mlezi wa Viumbe vyote.
Rehma na Amani zimuendee Mtume
(s.a.w) na Maswahaba zake na Wale
Wote wanaofanya jitihada za makusudi
za kulingania na hatimae kusimamisha
Uislamu katika jamii bila kujali chuki za
Washirikina.
WARSHA YA
WALIMU WA
ELIMU YA
DINIYA
KIISLAMU,
MADA
NAFASI NA
DHIMA YA
MWALIMU
MUISLAMU
KATIKA JAMII.
7 Machi 2024
LENG
O
Lengo kuu la Mada hii ni
kuwapa waalimu Waislamu ari
na hamasa ya kujifunza na
kufundisha elimu ya Mazingira
na Muongozo pamoja na
kusimamia maadili ya watoto
wa Kiislamu mashuleni.
7 Machi 2024
7 Machi 2024
MALEN
GO
7 Machi 2024
Mwisho wa mada hii
inatarajiwa waalimu
waweze :
7 Machi 2024
i. Kueleza nafasi na Umuhimu wa
Elimu katika jamii.
ii. Kueleza kwanini elimu imepewa
umuhimu na nafasi hiyo.
iii. Kuanisha maana ya Ualimu na
Mwalimu.
iv. Kuainisha wajibu wa Mwalimu
Muislamu katika jamii.
7 Machi 2024
iv. Kuainisha sifa za Mwalimu wa
Kiislamu.
v. Kuchambua hali ya Waislamu wasomi
hivi leo.
vi. Kuainisha changamoto zinazowakabili
walimu katika mashule na vyuo.
vii.Kuazimia kuwa Mwalimu wa
Kiislamu.
7 Machi 2024
NAFASI NA
UMUHIMU
WA ELIMU KWA
WAISLAMU.
MAANA
YA
ELIMU
7 Machi 2024
Kazi yetu sisi Walimu ni
kutoa Elimu katika Jamii.
Je, tunaelewa
maana ya hiyo
Elimu?
7 Machi 2024
Elimu ni ujuzi
ulioambatanishwa
na utendaji.
7 Machi 2024
7 Machi 2024
• Elimu ni ujuzi na Maarifa
yanayomuwezesha yule
aliyeipata kuishi kwa ufanisi zaidi.
• Kwa maana nyingine Elimu ni
nyenzo ya kuboresha maisha ya
Mwanadamu na kukabiliana na
Changamoto zinazomkabili.
7 Machi 2024
• Elimu ni nyenzo muhimu sana ya
maisha yetu na kwa hiyo ni muhimu
kila Mmoja awe nayo.
• Kukosa Elimu ni ugonjwa na ni jambo
ambalo halifai kabisa.
• Elimu inasaidia jamii ya Mwanadamu
kukua kimaendeleo, hivyo ni nyenzo
muhimu ya kuleta mabadiliko.
ELIMU
YENYE
MANUFA
7 Machi 2024
7 Machi 2024
Elimu yenye Manufaa ni ile
ambayo:
i.Humuwezesha mja kufikia lengo
la kuumbwa kwake; ambalo ni
kumuabudu Allah (s.w), ipasavyo
katika kila kipengele cha maisha
yake. (Qur-an 51:56).
7 Machi 2024
Abu Hurairah amesimulia kuwa
Mtume (s.a.w) amesema:
“Anayetafuta elimu isiyokuwa kwa ajili
ya kutafuta radhi za Allah (s.w), hasomi
kwa lengo lolote lile ila la kupata
maslahi ya hapa duniani tu. Hivyo siku
ya kiyama hatapata hata harufu ya
Pepo.” (Ahmad, Abu Daud, Ibn majah).
7 Machi 2024
Pia Mtume(s.a.w) ametuasa
kuwa mwenye kutafuta elimu ili
awazidi wasomi wengine au ili
kuitumia katika biashara za
kijahili au ili kujionesha kwa watu
kuwa naye ni msomi, Mwenyezi
Mungu atamuingiza motoni.
(Tirmidh).
7 Machi 2024
ii.Elimu yenye manufaa kwa
Binaadamu hapa ulimwenguni na
huko akhera ni ile ambayo pamoja
na mtu binafsi kuitumia katika
kumuabudu Allah(s.w) ipasavyo
katika maisha yake ya kila siku,
huifundisha au huifikisha kwa
wengine pia kwa ajili ya kutafuta
radhi za Allah(s.w).
7 Machi 2024
“Abu Hurairah amesimulia kuwa
Mtume (s.a.w) amesema:
“Atakayeulizwa juu ya jambo
alilojifunza kisha akaficha
(akakataa kutoa elimu ile)
atavalishwa mshipi wa moto
katika siku ya Kiyama”. (Ahmad,
Ibn Majah, Tirmidh na Abu Daud).
7 Machi 2024
Katika hadith nyingine
iliyosimuliwa na Abu Hurairah
Mtume wa Allah (s.a.w) amesema:
“Mfano wa elimu isiyonufaisha ni
sawa na mfano wa mali
iliyokusanywa bila ya kutumiwa
katika njia ya Allah”. (Ahmad,
Darini).
7 Machi 2024
Kutokana na hadith hizi tunajifunza
kuwa elimu yenye kunufaisha ni ile
iliyofundishwa na wengine
kinadharia na matendo. Kwa
kufundisha watu unachokijua bila
ya wewe mwenyewe kutenda ni
mfano mbaya mno kwa wale
wanaofundisha na chukizo kubwa
mno mbele ya Allah (s.a.w):
7 Machi 2024
Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema
msiyo yatenda?
Yanachukiza vikubwa mno kwa Mwenyezi
Mungu kuwa mnasema msiyo yatenda.
7 Machi 2024
NAFASI NA
UMUHIMU
WA ELIMU KWA
WAISLAMU.
i. Elimu ndio takrima ya
kwanza aliyotunukiwa
mwanaadamu na Mola
wake.
Mara tu baada ya kuumbwa Adam (a.s),
alitunukiwa elimu – Qur'an (2:31).
7 Machi 2024
“Na Mwenyezi Mungu akamfundisha Adam
majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya
Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi
ikiwa mnasema kweli.” (2:31)
“Majina ya vitu vyote” inaashiria fani zote za
elimu anazohitajia mwanaadamu ili aweze
kuutawala ulimwengu (awe Khalifa).
7 Machi 2024
7 Machi 2024
ii. Kutafuta Elimu ni faradh
ya kwanza kwa
Waislamu.
Jambo la kwanza kuamrishwa
Mtume (s.a.w) na kwahiyo
Waislamu wote ni “kusoma”
(kutafuta elimu).
7 Machi 2024
“Soma kwa Jina la Mola wako aliyeumba.
Amemuumba mwanaadamu kwa pande la damu.
7 Machi 2024
Soma, na Mola wako ni Karimu sana.
Ambaye amemfundisha (binaadamu
ilimu zote hizi) kwa wasita (msaada)
wa kalamu; (zilizoandika vitabu, watu
wakapata ilimu.
7 Machi 2024
“Amemfundisha
mwanaadamu (chungu
ya) mambo aliyokuwa
hayajui” (96:1-5).
KWANINI
ELIMU
IMEPEWA
UMUHIMU NA
NAFASI YA
7 Machi 2024
Elimu imepewa umuhimu na
nafasi ya kwanza kwa
sababu zifuatazo:
i. Elimu ndio nyenzo pekee
inayomuwezesha mwanaadamu
kumtambua Mola wake na
kumuabudu inavyostahiki.
7 Machi 2024
7 Machi 2024
Na katika watu, na wanyama, na mifugo, pia
rangi zao zinakhitalifiana. Kwa hakika wanao
mcha Mwenyezi Mungu miongoni mwa waja
wake ni wale wataalamu”. Hakika Mwenyezi
Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe.
Kwa bahati mbaya sana Elimu
tunayoitoa inafundisha
namna Mwanadamu
atakavyojipatia mahitaji yake
muhimu (basic needs of
Man); Ikasababisha kuzalisha
Mafisadi.
7 Machi 2024
ii. Elimu iliyosomwa kwa mrengo
wa Qur'an; ndiyo nyenzo pekee
inayomuwezesha muunini
kuwa Khalifa wa Allah (s.w)
hapa duniani – Qur'an (2:30-
31, 38).
7 Machi 2024
iii. Elimu hupandisha hadhi na daraja ya waumini.
“… Mwenyezi Mungu atawainua (daraja) wale
walioamini miongoni mwenu, na waliopewa
elimu watapata daraja zaidi. Na Mwenyezi
Mungu anazo habari za mnayoyatenda yote”
(58:11).
 Mabadiliko na maendeleo ya jamii huletwa na
wataalamu waliobobea katika fani zao.
 Jamii isiyo wasikiliza kuwaenzi wataalamu
haiwezi kuendelea.
iv. Elimu hupandisha hadhi na
daraja ya Waumini.
“…Mwenyezi Mungu atawainua walio
amini miongoni mwenu, na walio pewa
ilimu daraja za juu…”(58:11)
iv. Elimu ndiyo iliyomtukuza Adamu;
Malaika wakaamriwa wamsujudie
isipokuwa ibilisi yeye alikataa kwa
kuangalia umbile la Adamu na sio
Elimu, akalaaniwa.
v. Kupitia Elimu tunapata
Wataalamu mbalimbali, bila Elimu
hata ya Mazingira huwezi
kuwaongoza Watu.
SIFA ZA
MTU
ALIYEELI
7 Machi 2024
7 Machi 2024
“.............Sema, Je, wanaweza kuwa
sawa wale wanaojua na wale
wasiojua? Wanaotanabahi ni wale
wenye akili tu.” (39:9)
7 Machi 2024
• Jibu la swali hili ni wazi. Mjuzi na asiyejua
hawawezi kuwa sawa kiutendaji na kitabia.
• Tunaweza kumtambua Daktari kwa kupata
matibabu na sio kwa kumuona kwa Macho
• Tunaweza kumjua Mpishi mzuri wa Pilau
kwa kula pilau aliyoipika na Sio kwa
kumuona n.k.
Hivyo Aliyeelimika ni Yule mwenye ujuzi
unaomuwezesha kutenda inavyotakikana.
7 Machi 2024
“Mfano wa wale waliopewa Taurati kisha
hawakuichukua (kwa kuitia katika matendo)
ni kama punda aliyebeba (mzigo) wa vitabu
vikubwa (bila ya kufaidika kwavyo) ni mbaya
kabisa mfano wa watu waliokadhibisha aya
za Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu
hawaongoi watu madhalimu.” (62:5).
7 Machi 2024
• Kwa hiyo kwa mtazamo wa Qur’ani
mtu aliyeelimika ni yule
anayetenda inavyotakikana na kwa
ufanisi zaidi.
• Kwa mantiki hiyo mjuzi wa Qur’ani
na Sunnah ni yule anayeendesha
maisha yake yote kwa mujibu wa
Qur’ani na Sunnah.
UALI
MU NI
7 Machi 2024
• Ualimu ni fani inayojihusisha na mchakato
mzima wa kuingiza ujuzi, maarifa na
ufahamu kwenye akili ya mtu kwa lengo la
kumuwezesha kufikia lengo husika.
• Kwa mtazamo wa Uislamu ni fani
inayojishughulisha na mchakato mzima wa
kumuelimisha mwanaadamu ili achukue
hadhi (nafasi) yake ya Ukhalifa (Qur'an
2:30) ili aweze kufikia lengo la kuumbwa
kwake (ur’an 51:56).
7 Machi 2024
7 Machi 2024
• Kwa maana nyingine Ualimu ni fani
inayojihusha na utayarishaji watu
(rasilimali watu) ambao ndio
mawakala (agents) wakuu wa
mabadiliko ya jamii katika kuendea
lengo husika.
• Kwa Waislamu lengo husika ni lile
aliloletewa Mtume (s.a.w) la
kuutawalisha Uislamu katika jamii.
7 Machi 2024
“Yeye ndiye Aliyemleta Mtume wake kwa
uongofu na Dini ya haki ili Aijaalie kushinda
(Dini hii) dini zote; ijapokuwa watachukia hao
washirikina” (9:33).
“Yeye ndiye Aliyemtuma (Aliymleta) Mtume wake
(Nabii Muhammad) kwa uwongofu na kwa Dini
ya haki ili kifanya ishinde Dini zote, ijapokuwa
washirikina watachuiwa” (61:9).
NANI
MWALI
7 Machi 2024
• Kwa kuzingatia maana ya Ualimu, Mwalimu
ni yule awezeshaye muendelezo wa
mchakato wa kuingiza ujuzi, maarifa na
ufahamu kwenye akili ya binaadamu kwa
kutumia utaalamu na nyenzo husika ili
kufikia lengo husika.
• Kwa ufupi Mwalimu ndiye muhusika mkuu
wa kwezesha mabadiliko ya kielimu,
kimtazamo na hatimaye kimaadili ya jamii
husika.
7 Machi 2024
7 Machi 2024
• Mwalimu Mkuu ni Allah(SW)
Qur’ani(2:31) “Na(Mwenyezi Mungu
akamfundisha majina ya Vitu vyote…”
“Ambaye amemfundisha mwanaadamu kwa
kalamu. Amemfundisha mwanaadamu (chungu ya)
mambo aliyokuwa hayajui” (96:4-5).
Waalimu Wakuu Wasaidizi wa binaadamu ni
Mitume wa Allah (s.w) ambao wamekuja
kuwafundisha binaadamu vitabu vya Allah (s.w)
pamoja na mbinu (hekima) za ufundishaji.
7 Machi 2024
“Yeye ndiye Aliyemleta Mtume katika watu
wasiojua kusoma (wasio na elimu),
anayetokana na wao, awasomee aya zake
na kuwatakasa na kuwafunza kitabu na
hikima (mbinu za kujifunzia na
kufundishia). Na kabla ya haya walikuwa
katika upotevu uliodhahiri” (62:2).
7 Machi 2024
• Walimu wote wa Kiislamu
ni Walimu Wasaidizi wa
Mitume wa Allah (s.w).
Qur'an imetumia mbinu zaidi ya
hamsini (50) za kufikishia
ujumbe kwa binaadamu.
DHIMA NA
NAFASI YA
MWALIMU
MUISLAM
7 Machi 2024
Ili tuelewe jukumu na nafasi ya
Mwalimu katika jamii ni vema tuzingatie
hakika ya kimaumbile kuwa:-
• Allah (s.w) ndiye muumbaji wa kila kitu.
• Pamoja na vipawa vikubwa vya akili na elimu
alivyotunukiwa mwanaadamu, hanauwezo wa
kuumba bali hutengeneza maumbile ya Allah
(s.w) kwa kuyatoa katika asili yake (yaliyoumbiwa)
na kuyabadilisha katika hali ambayo
yatamnufaisha (mwanaadamu).
7 Machi 2024
7 Machi 2024
Kwa mfano:
• Allah (s.w) anaumba mti ambao mwanaadamu huukata
na kuupasua kupta mbao za kutengenezea viti,
madawati, meza, milango, n.k.
• Mwanaadamu (mtaalamu) anayefanya kazi hii huitwa
Seremala.
• Allah (s.w) ameumba madini ambayo mwanaadamu
huyayeyusha na kutengeneza hereni, mikufu, bangili,
pete, n.k.
• Mwanaadamu (mtaalamu) anayefanya kazi hii huitwa
Sonara.
• Allah (s.w) ameumba chuma ambacho mwanaadamu
hukifua na kutengeneza silaha, magari, ndege, n.k.
• Mtaalamu wa kufua chuma huitwa Mhunzi.
7 Machi 2024
Allah (s.w) amemuumba
mwanaadamu katika
umbile lake la asili (fitra)
kama alivyoumba miti,
madini, chuma, n.k.
7 Machi 2024
“Basi uelekeze uso wako katika Dini iliyo
sawasawa – ndilo umbile Mwenyezi Mungu
alilowaumbia watu; (yaani Dini hii ya Kiislamu
inawafikia na barabara na umbo la binaadamu).
Hakuna mabadiliko katika maumbile ya viumbe
vya Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo Dini iliyo haki,
lakini watu wengi hawajui” (30:30).
7 Machi 2024
Pia Mtume (s.a.w) amesema:
“Kila kinachozaliwa (mwanaadamu) huzaliwa
katika fitra (Uislamu), ni wazazi wake (jamii na
walimu wake) ndio hukibadilisha (kikatoka kwnye
fitra) na kukifanya kuwa Mkristo, Myahudi au
Mmajusi”.
• Kutokana na Hadithi hii tunajifunza kuwa:-
–Wanaadamu wote katika asili yao ni
Waislamu.
i. Mtaalamu wa kumbakisha mwanaadamu
katika fitra yake (Uislamu) ni Mwalimu
(Muumini).
7 Machi 2024
ii. Kwa njia mbali mbali mwanaadamu
hubadilishwa kutoka kwenye Uislamu na
kuingizwa kwenye mifumo mingine ya maisha
inayomuangamiza (mwanaadamu).
• Mtaalamu wa kubadilisha fitra ya
mwanaadamu na kuipelekea kwenye
maangamizi ni Mwalimu.
• Wataalamu wa kubadilisha umbile asili la
mwanaadamu (fitra) kama walivyo seremala,
masonara, wahunzi, n.k. ni walimu.
7 Machi 2024
• Mwalimu ndiye msingi mkuu au chimbuko
kuu la mabadiliko ya jamii yoyote ile
kitaaluma na kimaadili.
• Fani yoyote aliyonayo mwanaadamu huyu, iwe
ya manufaa au ya maangamizi muhusika
mkuu ni Mwalimu.
• Mwalimu kwa kutumia mtaala husika
huibadilisha jamii kwa namna apendavyo.
• Mwalimu ndiye “Seremala, Sonara, Mhunzi,
n.k”. wa jamii.
7 Machi 2024
WAALIMU KATIKA
KUIBADILISHA
(TRANSFORM) JAMII
HUTUMIA NJIA MBILI:
i. Isiyorasmi (Informal)
ii. Rasmi (Formal)
7 Machi 2024
i.Kwa kutumia Njia
Isiyorasmi (informal)
hutumika vifaa kama:
Tv
Magazeti
Video
Internet
Electronics, n.k.
7 Machi 2024
MIFANO
MAGAZETI, TV,
VIDEO NA
INTANETI
Miss voda toto,
Miss Tanzania n.k
7 Machi 2024
7 Machi 2024
MISS TANZANIA
7 Machi 2024
7 Machi 2024
BABA AKIMPONGEZA
BINTI YAKE
ELECTRONIC
Evolution of
Man
7 Machi 2024
7 Machi 2024
7 Machi 2024
i.Kwa kutumia Njia
Rasmi (Formal) kupitia
kwenye Mfumo wa
Elimu:
Shule
Vyuo
Vyuo Vikuu, n.k.;
7 Machi 2024
Kwa kutumia mitaala
iliyopangwa rasmi na
kwa ufundi mkubwa
ili kuliwezesha lengo
tarajiwa kufikiwa.
7 Machi 2024
MIFANO
iliyopo kwenye
mitaala
HISTORY STD 3
7 Machi 2024
7 Machi 2024
A WEDDING CEREMONG IN THE
MODERN SOCIETY
7 Machi 2024
7 Machi 2024
7 Machi 2024
DRS 5
Binadamu
ametokana
na
Nyani/Sokw
7 Machi 2024
Michoro ya kubuni ya kuonesha kuwa
sisi wanadamu tumetokana na
masokwe
7 Machi 2024
HISTORY
F1
Evolution of
Man
7 Machi 2024
7 Machi 2024
HUMAN RIGHTS
Virginia Nzamwita and Joseph
Shija, Longman Tanzania, 2011,
Civics Forms 1 & 2 (PB).
Collective rights
The right to raise a family page 26.
7 Machi 2024
CIVICS FORM
ONE
7 Machi 2024
FAMILY
STABILITY
Family members
discussing issues
7 Machi 2024
CIVICS FORM
FOUR
7 Machi 2024
•Genda balancy and
Women empowerment
7 Machi 2024
7 Machi 2024
Kwa kuzingatia Nafasi
hii ya Mwalimu;
Dhima ya Mwalimu wa
Kiislamu ni kufanya
haya yafuatayo:
7 Machi 2024
a)Kuwapa wanafunzi elimu ya
mwongozo (Elimu ya Dini ya
Kiislamu) na Elimu ya Mazingira
(Geograph,Mathematics, Physics,
Kiswahili, English, Arabic, n.k.)
kwa lengo la kusimamisha
Ukhalifa (Uislamu) katika jamii.
7 Machi 2024
b) Kuwalea na kuwasimamia wanafunzi
waweze:
i. Kuwa na yakini juu ya Uislamu.
ii. Kutekeleza nguzo za Uislamu vilivyo na
kuzihusianisha na maisha yao ya kila siku.
iii. Kuutekeleza Uislamu katika kukiendea kila
kipengele cha maisha yao ya kila siku.
iv. Kuwa na ari na hamasa ya kuutawalisha
Uislamu katika jamii.
SIFA ZA
MWALIM
U
7 Machi 2024
Mwalimu atakayeweza kutoa
Makhalifa wa Allah ni atakaye
jipamba na sifa zifuatazo:
i. Awe na Elimu sahihi juu ya Uislamu.
ii. Awe na imani thabiti juu ya Uislamu.
iii. Autekeleze Uislamu katika kila
kipengele cha maisha yake ya kila
siku.
7 Machi 2024
Qur’ani (2: 208) “Enyi mlio amini!
Ingieni katika Uislamu kwa
ukamilifu, wala msifuate nyayo za
She'tani; hakika yeye kwenu ni adui
aliye wazi.”
7 Machi 2024
7 Machi 2024
iv. Kuutawalisha Uislamu uwe juu ya
mifumo yote ya maisha liwe ndio
lengo lake kuu la maisha.(2:214)
Mnadhani kuwa mtaingia Peponi,
bila ya kukujieni kama yaliyo wajia
wale walio pita kabla yenu? Iliwapata
shida na madhara na wakatikiswa
hata Mtume na walio amini pamoja
naye wakasema: Lini nusura ya
Mwenyezi Mungu itakuja? Jueni
kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu ipo
karibu.(2:214)
7 Machi 2024
7 Machi 2024
v. Katika kutekeleza majukumu
yake ya Ualimu atarajie malipo
kutoka kwa Allah (s.w) tu.
Chochote atakachokipata iwe ni
kama mtu aliyelipwa mshahara
kulitumika shamba lake.
7 Machi 2024
“Sema: Ikiwa baba zenu, na wenenu, na ndugu
zenu, na wake zenu, na jamaa zenu, na mali mliyo
yachuma, na biashara mnazo ogopa kuharibika,
na majumba mnayo yapenda, ni vipenzi zaidi
kwenu kuliko Mwenyezi Mungu na Mtume wake
na Kuipigania Dini yake, basi ngojeni mpaka
Mwenyezi Mungu alete amri yake. Na Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu wapotovu”. Q(9:24)
vi. Awe na Subira.
7 Machi 2024
Maana halisi ya Subira ni kutenda na kuendelea
kupambana na Madhila mbalimbali. Subira ni kipengele
cha tabia njema chenye maana pana. Miongoni mwa
maeneo ya subira anayotakiwa kuwanayo Mwalimu
Muislamu ni.
I. Kuwa na subira kutokana na mambo yatakayo
kupata.
II. Kutokuwa na haraka ya kupata matunda ya haraka.
III. Ni katika subira Mwalimu Muislamu kubakia na
uamuzi wake mwema mpaka hatua ya mwisho.
vii. Awe na hekima.
Hekima ni miongoni mwa sifa kuu muhimu
anayotakiwa awe nayo Mwalimu wa
kiislamu. Kamwe mafanikio hayatapatikana
pasina kutumia Hekima.
Hekima ni kipegele cha tabia njema chenye
maana ya kufanya jambo la sawasawa
kwa namna ya sawasawa kwa wakati wa
sawasawa katika mazingira ya sawasawa.
7 Machi 2024
HALI YA
WAISLAMU
WASOMI
Wengi wa
Waislamu wasomi
(Wataalamu) hivi
leo, walimu
wakiwemo:
i.Hatujiamini;
Mfano: Mtu anaomba ruhusa ya
kwenda kuswali badala ya kutoa
taarifa, Mwislamu msomi
anaogopa kuzungumzia na kukaa
kwenye vikao vianyohusu dini
tofauti na wale wa upande
mwingine.
ii. Hatujui sheria, Haki zetu na
namna ya kuzipigania
tumejitenga na Uislamu na
mambo ya Waislamu. Huwa
tunaona aibu kunasibishwa na
Uislamu na Waislamu. Tofauti
na Wasomi wa Madhehebu
mengine.
iii.Huiona jamii ya Waislamu kama
jamii duni ambayo haina lolote
katika Ulimwengu huu
uliosheheni maendeleo ya Vitu
(Materialism).
iv.Mchango wetu katika huduma za
jamii ni kidogo au haupo kabisa.
Mfano: Katika Taasisi za Kikristo Walimu
wazoefu wanafundisha madarasa ya chini.
Masters (Chekechea); PHD(Sekondari) n.k
v. Tumekuwa Wacha vitu; nitapata
nini?, Sina uwezo, Sifanyi kazi
ya bure. Tukumbuke Muislamu
anapofanya jambo kwa ajili ya
Allah (s.w) hakuna anachopoteza
bali anapata faida.
vi. Baya zaidi wakati mwingine
huungana na maadui wa Uislamu
katika kukebehi, kusimanga na
kupiga vita Waislamu na Uislamu.
KWA NINI
HALI HII
IMETOK
Ziko sababu nyingi.
Sababu kuu ni:
a) Mfumo wa Elimu.
b) Malezi ya Nyumbani.
c) Mbinu duni za Ufundishaji wa
Elimu ya Mwongozo.
CHANGAM
OTO KWA
WALIMU
a)Kutokuwa na Elimu Sahihi ya
Uislamu.
b)Mfumo wa Elimu ya Mazingira
uliopo.
c)Mbinu duni za kufundishia Elimu
ya Mwongozo zinazotumika.
d)Taasisi na Madhehebu.
7 Machi 2024
i. Kufundisha Elimu ya Muongozo (EDK) na Elimu
ya Mazingira kwa lengo la kuwa andaa
Makhalifa wa Allah (SW).
ii. Kuanzisha Mifuko ya Elimu kwa kila ngazi
iii.Kuandaa na kusimamia Semina elekezi za
mbinu za ufundishaji wa Elimu ya Muongozo
na Mazingira kwa Walimu Waislamu wa
Madrasa, Shule za Msingi na Sekondari.
iv.Kusimamia Taaluma na Malezi kwa vijana wa
Kiislamu ktk shule zote za Msingi na
Sekondari.
KAZI ZA
KUFANYA
7 Machi 2024
iv. Kusimamia Mtihani wa EDK wa Taifa kwa
Darasa la Saba.
v. Kuendesha na kusimamia Itiqafu/Kambi za
Wanafunzi kwa Vidato vya 3 – 6.
vi. Kuanzisha na kusimamia Vituo vya masomo
ya ziada (KATA PROGRAM)
vii. Kuanzisha na Kushiriki katika madarasa ya
Elimu ya Dini kwa Watu wazima (Darasa
Duara).
viii.Kufanya kazi hizi kwa kutegemea malipo
kutoka kwa Allah(SW) pekee na sio kutoka
kwa Wanadamu.
MWISHO
Wallahu Aalamu
Wabillah Tawfiiq
Asalaam Aleykum
Warrahmatullah
Wabarakatuh!
7 Machi 2024

More Related Content

Featured

How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthThinkNow
 
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfmarketingartwork
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024Neil Kimberley
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)contently
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024Albert Qian
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsKurio // The Social Media Age(ncy)
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Search Engine Journal
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summarySpeakerHub
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Tessa Mero
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentLily Ray
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best PracticesVit Horky
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementMindGenius
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...RachelPearson36
 
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Applitools
 
12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at WorkGetSmarter
 

Featured (20)

How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
 
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
 
Skeleton Culture Code
Skeleton Culture CodeSkeleton Culture Code
Skeleton Culture Code
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
 
How to have difficult conversations
How to have difficult conversations How to have difficult conversations
How to have difficult conversations
 
Introduction to Data Science
Introduction to Data ScienceIntroduction to Data Science
Introduction to Data Science
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best Practices
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project management
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
 
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
 
12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work
 
ChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slidesChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slides
 

NAFASI__NA_DHIMA_YA_WALIMWAISLAMU_2.pptx

  • 1. Kila sifa njema zinamstahiki Allah (SW) Bwana na Mlezi wa Viumbe vyote. Rehma na Amani zimuendee Mtume (s.a.w) na Maswahaba zake na Wale Wote wanaofanya jitihada za makusudi za kulingania na hatimae kusimamisha Uislamu katika jamii bila kujali chuki za Washirikina.
  • 2. WARSHA YA WALIMU WA ELIMU YA DINIYA KIISLAMU,
  • 6. Lengo kuu la Mada hii ni kuwapa waalimu Waislamu ari na hamasa ya kujifunza na kufundisha elimu ya Mazingira na Muongozo pamoja na kusimamia maadili ya watoto wa Kiislamu mashuleni. 7 Machi 2024
  • 8. 7 Machi 2024 Mwisho wa mada hii inatarajiwa waalimu waweze :
  • 9. 7 Machi 2024 i. Kueleza nafasi na Umuhimu wa Elimu katika jamii. ii. Kueleza kwanini elimu imepewa umuhimu na nafasi hiyo. iii. Kuanisha maana ya Ualimu na Mwalimu. iv. Kuainisha wajibu wa Mwalimu Muislamu katika jamii.
  • 10. 7 Machi 2024 iv. Kuainisha sifa za Mwalimu wa Kiislamu. v. Kuchambua hali ya Waislamu wasomi hivi leo. vi. Kuainisha changamoto zinazowakabili walimu katika mashule na vyuo. vii.Kuazimia kuwa Mwalimu wa Kiislamu.
  • 11. 7 Machi 2024 NAFASI NA UMUHIMU WA ELIMU KWA WAISLAMU.
  • 13. Kazi yetu sisi Walimu ni kutoa Elimu katika Jamii. Je, tunaelewa maana ya hiyo Elimu? 7 Machi 2024
  • 14. Elimu ni ujuzi ulioambatanishwa na utendaji. 7 Machi 2024
  • 15. 7 Machi 2024 • Elimu ni ujuzi na Maarifa yanayomuwezesha yule aliyeipata kuishi kwa ufanisi zaidi. • Kwa maana nyingine Elimu ni nyenzo ya kuboresha maisha ya Mwanadamu na kukabiliana na Changamoto zinazomkabili.
  • 16. 7 Machi 2024 • Elimu ni nyenzo muhimu sana ya maisha yetu na kwa hiyo ni muhimu kila Mmoja awe nayo. • Kukosa Elimu ni ugonjwa na ni jambo ambalo halifai kabisa. • Elimu inasaidia jamii ya Mwanadamu kukua kimaendeleo, hivyo ni nyenzo muhimu ya kuleta mabadiliko.
  • 18. 7 Machi 2024 Elimu yenye Manufaa ni ile ambayo: i.Humuwezesha mja kufikia lengo la kuumbwa kwake; ambalo ni kumuabudu Allah (s.w), ipasavyo katika kila kipengele cha maisha yake. (Qur-an 51:56).
  • 19. 7 Machi 2024 Abu Hurairah amesimulia kuwa Mtume (s.a.w) amesema: “Anayetafuta elimu isiyokuwa kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah (s.w), hasomi kwa lengo lolote lile ila la kupata maslahi ya hapa duniani tu. Hivyo siku ya kiyama hatapata hata harufu ya Pepo.” (Ahmad, Abu Daud, Ibn majah).
  • 20. 7 Machi 2024 Pia Mtume(s.a.w) ametuasa kuwa mwenye kutafuta elimu ili awazidi wasomi wengine au ili kuitumia katika biashara za kijahili au ili kujionesha kwa watu kuwa naye ni msomi, Mwenyezi Mungu atamuingiza motoni. (Tirmidh).
  • 21. 7 Machi 2024 ii.Elimu yenye manufaa kwa Binaadamu hapa ulimwenguni na huko akhera ni ile ambayo pamoja na mtu binafsi kuitumia katika kumuabudu Allah(s.w) ipasavyo katika maisha yake ya kila siku, huifundisha au huifikisha kwa wengine pia kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah(s.w).
  • 22. 7 Machi 2024 “Abu Hurairah amesimulia kuwa Mtume (s.a.w) amesema: “Atakayeulizwa juu ya jambo alilojifunza kisha akaficha (akakataa kutoa elimu ile) atavalishwa mshipi wa moto katika siku ya Kiyama”. (Ahmad, Ibn Majah, Tirmidh na Abu Daud).
  • 23. 7 Machi 2024 Katika hadith nyingine iliyosimuliwa na Abu Hurairah Mtume wa Allah (s.a.w) amesema: “Mfano wa elimu isiyonufaisha ni sawa na mfano wa mali iliyokusanywa bila ya kutumiwa katika njia ya Allah”. (Ahmad, Darini).
  • 24. 7 Machi 2024 Kutokana na hadith hizi tunajifunza kuwa elimu yenye kunufaisha ni ile iliyofundishwa na wengine kinadharia na matendo. Kwa kufundisha watu unachokijua bila ya wewe mwenyewe kutenda ni mfano mbaya mno kwa wale wanaofundisha na chukizo kubwa mno mbele ya Allah (s.a.w):
  • 25. 7 Machi 2024 Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda? Yanachukiza vikubwa mno kwa Mwenyezi Mungu kuwa mnasema msiyo yatenda.
  • 26. 7 Machi 2024 NAFASI NA UMUHIMU WA ELIMU KWA WAISLAMU.
  • 27. i. Elimu ndio takrima ya kwanza aliyotunukiwa mwanaadamu na Mola wake. Mara tu baada ya kuumbwa Adam (a.s), alitunukiwa elimu – Qur'an (2:31). 7 Machi 2024
  • 28. “Na Mwenyezi Mungu akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli.” (2:31) “Majina ya vitu vyote” inaashiria fani zote za elimu anazohitajia mwanaadamu ili aweze kuutawala ulimwengu (awe Khalifa). 7 Machi 2024
  • 29. 7 Machi 2024 ii. Kutafuta Elimu ni faradh ya kwanza kwa Waislamu. Jambo la kwanza kuamrishwa Mtume (s.a.w) na kwahiyo Waislamu wote ni “kusoma” (kutafuta elimu).
  • 30. 7 Machi 2024 “Soma kwa Jina la Mola wako aliyeumba. Amemuumba mwanaadamu kwa pande la damu.
  • 31. 7 Machi 2024 Soma, na Mola wako ni Karimu sana. Ambaye amemfundisha (binaadamu ilimu zote hizi) kwa wasita (msaada) wa kalamu; (zilizoandika vitabu, watu wakapata ilimu.
  • 32. 7 Machi 2024 “Amemfundisha mwanaadamu (chungu ya) mambo aliyokuwa hayajui” (96:1-5).
  • 34. Elimu imepewa umuhimu na nafasi ya kwanza kwa sababu zifuatazo: i. Elimu ndio nyenzo pekee inayomuwezesha mwanaadamu kumtambua Mola wake na kumuabudu inavyostahiki. 7 Machi 2024
  • 35. 7 Machi 2024 Na katika watu, na wanyama, na mifugo, pia rangi zao zinakhitalifiana. Kwa hakika wanao mcha Mwenyezi Mungu miongoni mwa waja wake ni wale wataalamu”. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe.
  • 36. Kwa bahati mbaya sana Elimu tunayoitoa inafundisha namna Mwanadamu atakavyojipatia mahitaji yake muhimu (basic needs of Man); Ikasababisha kuzalisha Mafisadi.
  • 37. 7 Machi 2024 ii. Elimu iliyosomwa kwa mrengo wa Qur'an; ndiyo nyenzo pekee inayomuwezesha muunini kuwa Khalifa wa Allah (s.w) hapa duniani – Qur'an (2:30- 31, 38).
  • 38. 7 Machi 2024 iii. Elimu hupandisha hadhi na daraja ya waumini. “… Mwenyezi Mungu atawainua (daraja) wale walioamini miongoni mwenu, na waliopewa elimu watapata daraja zaidi. Na Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda yote” (58:11).  Mabadiliko na maendeleo ya jamii huletwa na wataalamu waliobobea katika fani zao.  Jamii isiyo wasikiliza kuwaenzi wataalamu haiwezi kuendelea.
  • 39. iv. Elimu hupandisha hadhi na daraja ya Waumini. “…Mwenyezi Mungu atawainua walio amini miongoni mwenu, na walio pewa ilimu daraja za juu…”(58:11)
  • 40. iv. Elimu ndiyo iliyomtukuza Adamu; Malaika wakaamriwa wamsujudie isipokuwa ibilisi yeye alikataa kwa kuangalia umbile la Adamu na sio Elimu, akalaaniwa. v. Kupitia Elimu tunapata Wataalamu mbalimbali, bila Elimu hata ya Mazingira huwezi kuwaongoza Watu.
  • 42. 7 Machi 2024 “.............Sema, Je, wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojua? Wanaotanabahi ni wale wenye akili tu.” (39:9)
  • 43. 7 Machi 2024 • Jibu la swali hili ni wazi. Mjuzi na asiyejua hawawezi kuwa sawa kiutendaji na kitabia. • Tunaweza kumtambua Daktari kwa kupata matibabu na sio kwa kumuona kwa Macho • Tunaweza kumjua Mpishi mzuri wa Pilau kwa kula pilau aliyoipika na Sio kwa kumuona n.k. Hivyo Aliyeelimika ni Yule mwenye ujuzi unaomuwezesha kutenda inavyotakikana.
  • 44. 7 Machi 2024 “Mfano wa wale waliopewa Taurati kisha hawakuichukua (kwa kuitia katika matendo) ni kama punda aliyebeba (mzigo) wa vitabu vikubwa (bila ya kufaidika kwavyo) ni mbaya kabisa mfano wa watu waliokadhibisha aya za Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhalimu.” (62:5).
  • 45. 7 Machi 2024 • Kwa hiyo kwa mtazamo wa Qur’ani mtu aliyeelimika ni yule anayetenda inavyotakikana na kwa ufanisi zaidi. • Kwa mantiki hiyo mjuzi wa Qur’ani na Sunnah ni yule anayeendesha maisha yake yote kwa mujibu wa Qur’ani na Sunnah.
  • 47. • Ualimu ni fani inayojihusisha na mchakato mzima wa kuingiza ujuzi, maarifa na ufahamu kwenye akili ya mtu kwa lengo la kumuwezesha kufikia lengo husika. • Kwa mtazamo wa Uislamu ni fani inayojishughulisha na mchakato mzima wa kumuelimisha mwanaadamu ili achukue hadhi (nafasi) yake ya Ukhalifa (Qur'an 2:30) ili aweze kufikia lengo la kuumbwa kwake (ur’an 51:56). 7 Machi 2024
  • 48. 7 Machi 2024 • Kwa maana nyingine Ualimu ni fani inayojihusha na utayarishaji watu (rasilimali watu) ambao ndio mawakala (agents) wakuu wa mabadiliko ya jamii katika kuendea lengo husika. • Kwa Waislamu lengo husika ni lile aliloletewa Mtume (s.a.w) la kuutawalisha Uislamu katika jamii.
  • 49. 7 Machi 2024 “Yeye ndiye Aliyemleta Mtume wake kwa uongofu na Dini ya haki ili Aijaalie kushinda (Dini hii) dini zote; ijapokuwa watachukia hao washirikina” (9:33). “Yeye ndiye Aliyemtuma (Aliymleta) Mtume wake (Nabii Muhammad) kwa uwongofu na kwa Dini ya haki ili kifanya ishinde Dini zote, ijapokuwa washirikina watachuiwa” (61:9).
  • 51. • Kwa kuzingatia maana ya Ualimu, Mwalimu ni yule awezeshaye muendelezo wa mchakato wa kuingiza ujuzi, maarifa na ufahamu kwenye akili ya binaadamu kwa kutumia utaalamu na nyenzo husika ili kufikia lengo husika. • Kwa ufupi Mwalimu ndiye muhusika mkuu wa kwezesha mabadiliko ya kielimu, kimtazamo na hatimaye kimaadili ya jamii husika. 7 Machi 2024
  • 52. 7 Machi 2024 • Mwalimu Mkuu ni Allah(SW) Qur’ani(2:31) “Na(Mwenyezi Mungu akamfundisha majina ya Vitu vyote…” “Ambaye amemfundisha mwanaadamu kwa kalamu. Amemfundisha mwanaadamu (chungu ya) mambo aliyokuwa hayajui” (96:4-5). Waalimu Wakuu Wasaidizi wa binaadamu ni Mitume wa Allah (s.w) ambao wamekuja kuwafundisha binaadamu vitabu vya Allah (s.w) pamoja na mbinu (hekima) za ufundishaji.
  • 53. 7 Machi 2024 “Yeye ndiye Aliyemleta Mtume katika watu wasiojua kusoma (wasio na elimu), anayetokana na wao, awasomee aya zake na kuwatakasa na kuwafunza kitabu na hikima (mbinu za kujifunzia na kufundishia). Na kabla ya haya walikuwa katika upotevu uliodhahiri” (62:2).
  • 54. 7 Machi 2024 • Walimu wote wa Kiislamu ni Walimu Wasaidizi wa Mitume wa Allah (s.w). Qur'an imetumia mbinu zaidi ya hamsini (50) za kufikishia ujumbe kwa binaadamu.
  • 56. Ili tuelewe jukumu na nafasi ya Mwalimu katika jamii ni vema tuzingatie hakika ya kimaumbile kuwa:- • Allah (s.w) ndiye muumbaji wa kila kitu. • Pamoja na vipawa vikubwa vya akili na elimu alivyotunukiwa mwanaadamu, hanauwezo wa kuumba bali hutengeneza maumbile ya Allah (s.w) kwa kuyatoa katika asili yake (yaliyoumbiwa) na kuyabadilisha katika hali ambayo yatamnufaisha (mwanaadamu). 7 Machi 2024
  • 57. 7 Machi 2024 Kwa mfano: • Allah (s.w) anaumba mti ambao mwanaadamu huukata na kuupasua kupta mbao za kutengenezea viti, madawati, meza, milango, n.k. • Mwanaadamu (mtaalamu) anayefanya kazi hii huitwa Seremala. • Allah (s.w) ameumba madini ambayo mwanaadamu huyayeyusha na kutengeneza hereni, mikufu, bangili, pete, n.k. • Mwanaadamu (mtaalamu) anayefanya kazi hii huitwa Sonara. • Allah (s.w) ameumba chuma ambacho mwanaadamu hukifua na kutengeneza silaha, magari, ndege, n.k. • Mtaalamu wa kufua chuma huitwa Mhunzi.
  • 58. 7 Machi 2024 Allah (s.w) amemuumba mwanaadamu katika umbile lake la asili (fitra) kama alivyoumba miti, madini, chuma, n.k.
  • 59. 7 Machi 2024 “Basi uelekeze uso wako katika Dini iliyo sawasawa – ndilo umbile Mwenyezi Mungu alilowaumbia watu; (yaani Dini hii ya Kiislamu inawafikia na barabara na umbo la binaadamu). Hakuna mabadiliko katika maumbile ya viumbe vya Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo Dini iliyo haki, lakini watu wengi hawajui” (30:30).
  • 60. 7 Machi 2024 Pia Mtume (s.a.w) amesema: “Kila kinachozaliwa (mwanaadamu) huzaliwa katika fitra (Uislamu), ni wazazi wake (jamii na walimu wake) ndio hukibadilisha (kikatoka kwnye fitra) na kukifanya kuwa Mkristo, Myahudi au Mmajusi”. • Kutokana na Hadithi hii tunajifunza kuwa:- –Wanaadamu wote katika asili yao ni Waislamu. i. Mtaalamu wa kumbakisha mwanaadamu katika fitra yake (Uislamu) ni Mwalimu (Muumini).
  • 61. 7 Machi 2024 ii. Kwa njia mbali mbali mwanaadamu hubadilishwa kutoka kwenye Uislamu na kuingizwa kwenye mifumo mingine ya maisha inayomuangamiza (mwanaadamu). • Mtaalamu wa kubadilisha fitra ya mwanaadamu na kuipelekea kwenye maangamizi ni Mwalimu. • Wataalamu wa kubadilisha umbile asili la mwanaadamu (fitra) kama walivyo seremala, masonara, wahunzi, n.k. ni walimu.
  • 62. 7 Machi 2024 • Mwalimu ndiye msingi mkuu au chimbuko kuu la mabadiliko ya jamii yoyote ile kitaaluma na kimaadili. • Fani yoyote aliyonayo mwanaadamu huyu, iwe ya manufaa au ya maangamizi muhusika mkuu ni Mwalimu. • Mwalimu kwa kutumia mtaala husika huibadilisha jamii kwa namna apendavyo. • Mwalimu ndiye “Seremala, Sonara, Mhunzi, n.k”. wa jamii.
  • 63. 7 Machi 2024 WAALIMU KATIKA KUIBADILISHA (TRANSFORM) JAMII HUTUMIA NJIA MBILI: i. Isiyorasmi (Informal) ii. Rasmi (Formal)
  • 64. 7 Machi 2024 i.Kwa kutumia Njia Isiyorasmi (informal) hutumika vifaa kama: Tv Magazeti Video Internet Electronics, n.k.
  • 66. MAGAZETI, TV, VIDEO NA INTANETI Miss voda toto, Miss Tanzania n.k 7 Machi 2024
  • 69. 7 Machi 2024 BABA AKIMPONGEZA BINTI YAKE
  • 72. 7 Machi 2024 i.Kwa kutumia Njia Rasmi (Formal) kupitia kwenye Mfumo wa Elimu: Shule Vyuo Vyuo Vikuu, n.k.;
  • 73. 7 Machi 2024 Kwa kutumia mitaala iliyopangwa rasmi na kwa ufundi mkubwa ili kuliwezesha lengo tarajiwa kufikiwa.
  • 74. 7 Machi 2024 MIFANO iliyopo kwenye mitaala
  • 75. HISTORY STD 3 7 Machi 2024
  • 76. 7 Machi 2024 A WEDDING CEREMONG IN THE MODERN SOCIETY
  • 79. 7 Machi 2024 DRS 5 Binadamu ametokana na Nyani/Sokw
  • 81. Michoro ya kubuni ya kuonesha kuwa sisi wanadamu tumetokana na masokwe 7 Machi 2024 HISTORY F1 Evolution of Man
  • 83. 7 Machi 2024 HUMAN RIGHTS Virginia Nzamwita and Joseph Shija, Longman Tanzania, 2011, Civics Forms 1 & 2 (PB). Collective rights The right to raise a family page 26.
  • 85. CIVICS FORM ONE 7 Machi 2024 FAMILY STABILITY Family members discussing issues
  • 87. CIVICS FORM FOUR 7 Machi 2024 •Genda balancy and Women empowerment
  • 89. 7 Machi 2024 Kwa kuzingatia Nafasi hii ya Mwalimu; Dhima ya Mwalimu wa Kiislamu ni kufanya haya yafuatayo:
  • 90. 7 Machi 2024 a)Kuwapa wanafunzi elimu ya mwongozo (Elimu ya Dini ya Kiislamu) na Elimu ya Mazingira (Geograph,Mathematics, Physics, Kiswahili, English, Arabic, n.k.) kwa lengo la kusimamisha Ukhalifa (Uislamu) katika jamii.
  • 91. 7 Machi 2024 b) Kuwalea na kuwasimamia wanafunzi waweze: i. Kuwa na yakini juu ya Uislamu. ii. Kutekeleza nguzo za Uislamu vilivyo na kuzihusianisha na maisha yao ya kila siku. iii. Kuutekeleza Uislamu katika kukiendea kila kipengele cha maisha yao ya kila siku. iv. Kuwa na ari na hamasa ya kuutawalisha Uislamu katika jamii.
  • 93. Mwalimu atakayeweza kutoa Makhalifa wa Allah ni atakaye jipamba na sifa zifuatazo: i. Awe na Elimu sahihi juu ya Uislamu. ii. Awe na imani thabiti juu ya Uislamu. iii. Autekeleze Uislamu katika kila kipengele cha maisha yake ya kila siku. 7 Machi 2024
  • 94. Qur’ani (2: 208) “Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.” 7 Machi 2024
  • 95. 7 Machi 2024 iv. Kuutawalisha Uislamu uwe juu ya mifumo yote ya maisha liwe ndio lengo lake kuu la maisha.(2:214)
  • 96. Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu? Iliwapata shida na madhara na wakatikiswa hata Mtume na walio amini pamoja naye wakasema: Lini nusura ya Mwenyezi Mungu itakuja? Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu ipo karibu.(2:214) 7 Machi 2024
  • 97. 7 Machi 2024 v. Katika kutekeleza majukumu yake ya Ualimu atarajie malipo kutoka kwa Allah (s.w) tu. Chochote atakachokipata iwe ni kama mtu aliyelipwa mshahara kulitumika shamba lake.
  • 98. 7 Machi 2024 “Sema: Ikiwa baba zenu, na wenenu, na ndugu zenu, na wake zenu, na jamaa zenu, na mali mliyo yachuma, na biashara mnazo ogopa kuharibika, na majumba mnayo yapenda, ni vipenzi zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Kuipigania Dini yake, basi ngojeni mpaka Mwenyezi Mungu alete amri yake. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wapotovu”. Q(9:24)
  • 99. vi. Awe na Subira. 7 Machi 2024 Maana halisi ya Subira ni kutenda na kuendelea kupambana na Madhila mbalimbali. Subira ni kipengele cha tabia njema chenye maana pana. Miongoni mwa maeneo ya subira anayotakiwa kuwanayo Mwalimu Muislamu ni. I. Kuwa na subira kutokana na mambo yatakayo kupata. II. Kutokuwa na haraka ya kupata matunda ya haraka. III. Ni katika subira Mwalimu Muislamu kubakia na uamuzi wake mwema mpaka hatua ya mwisho.
  • 100. vii. Awe na hekima. Hekima ni miongoni mwa sifa kuu muhimu anayotakiwa awe nayo Mwalimu wa kiislamu. Kamwe mafanikio hayatapatikana pasina kutumia Hekima. Hekima ni kipegele cha tabia njema chenye maana ya kufanya jambo la sawasawa kwa namna ya sawasawa kwa wakati wa sawasawa katika mazingira ya sawasawa. 7 Machi 2024
  • 102. Wengi wa Waislamu wasomi (Wataalamu) hivi leo, walimu wakiwemo:
  • 103. i.Hatujiamini; Mfano: Mtu anaomba ruhusa ya kwenda kuswali badala ya kutoa taarifa, Mwislamu msomi anaogopa kuzungumzia na kukaa kwenye vikao vianyohusu dini tofauti na wale wa upande mwingine.
  • 104. ii. Hatujui sheria, Haki zetu na namna ya kuzipigania tumejitenga na Uislamu na mambo ya Waislamu. Huwa tunaona aibu kunasibishwa na Uislamu na Waislamu. Tofauti na Wasomi wa Madhehebu mengine.
  • 105. iii.Huiona jamii ya Waislamu kama jamii duni ambayo haina lolote katika Ulimwengu huu uliosheheni maendeleo ya Vitu (Materialism). iv.Mchango wetu katika huduma za jamii ni kidogo au haupo kabisa. Mfano: Katika Taasisi za Kikristo Walimu wazoefu wanafundisha madarasa ya chini. Masters (Chekechea); PHD(Sekondari) n.k
  • 106. v. Tumekuwa Wacha vitu; nitapata nini?, Sina uwezo, Sifanyi kazi ya bure. Tukumbuke Muislamu anapofanya jambo kwa ajili ya Allah (s.w) hakuna anachopoteza bali anapata faida. vi. Baya zaidi wakati mwingine huungana na maadui wa Uislamu katika kukebehi, kusimanga na kupiga vita Waislamu na Uislamu.
  • 108. Ziko sababu nyingi. Sababu kuu ni: a) Mfumo wa Elimu. b) Malezi ya Nyumbani. c) Mbinu duni za Ufundishaji wa Elimu ya Mwongozo.
  • 110. a)Kutokuwa na Elimu Sahihi ya Uislamu. b)Mfumo wa Elimu ya Mazingira uliopo. c)Mbinu duni za kufundishia Elimu ya Mwongozo zinazotumika. d)Taasisi na Madhehebu.
  • 111. 7 Machi 2024 i. Kufundisha Elimu ya Muongozo (EDK) na Elimu ya Mazingira kwa lengo la kuwa andaa Makhalifa wa Allah (SW). ii. Kuanzisha Mifuko ya Elimu kwa kila ngazi iii.Kuandaa na kusimamia Semina elekezi za mbinu za ufundishaji wa Elimu ya Muongozo na Mazingira kwa Walimu Waislamu wa Madrasa, Shule za Msingi na Sekondari. iv.Kusimamia Taaluma na Malezi kwa vijana wa Kiislamu ktk shule zote za Msingi na Sekondari. KAZI ZA KUFANYA
  • 112. 7 Machi 2024 iv. Kusimamia Mtihani wa EDK wa Taifa kwa Darasa la Saba. v. Kuendesha na kusimamia Itiqafu/Kambi za Wanafunzi kwa Vidato vya 3 – 6. vi. Kuanzisha na kusimamia Vituo vya masomo ya ziada (KATA PROGRAM) vii. Kuanzisha na Kushiriki katika madarasa ya Elimu ya Dini kwa Watu wazima (Darasa Duara). viii.Kufanya kazi hizi kwa kutegemea malipo kutoka kwa Allah(SW) pekee na sio kutoka kwa Wanadamu.
  • 113. MWISHO Wallahu Aalamu Wabillah Tawfiiq Asalaam Aleykum Warrahmatullah Wabarakatuh! 7 Machi 2024