2. 2
MADA NA.2
DHANA YA UFUNDISHAJI WA
SOMO LA ELIMU YA DINI YA
KIISLAMU TANZANIA
MUWASILISHAJI: Mohammed B.S.Makimu
TAALUMA: Mwalimu
KAZI: Mratibu wa Elimu Mkoa
Islamic Education Panel
MTWARA
3. 3
HISTORIA YA UANZISHWAJI WA EDK NCHINI
SEHEMU - A
Somo la EDK nchini lilianza kufundishwa kuanzia miaka ya
1964
Miongoni mwa Walimu wa mwanzo wakati huo ni Mwl
Khatib Mavura,Msomi kutoka Muslim Academy in Zanzibar
Mwaka 1966 alipita katika shule za Sekondari na Vyuo
kuchunguza uwepo wa vipindi vya Dini katika ratiba.
Harakati za ufundishaji zilikuwa chini ya EAMWS,baada ya
kuvunjwa kwa Jumuiya hiyo mwaka 1968 na Waislamu
kuundiwa Taasisi ya BAKWATA,Mwl Mavura alikuwa miongoni
mwa viongozi wa BAKTWATA
4. 4
UJIO WA PRO.MOHAMMED HUSSEIN MALIK
Alikuwa ni Mwanaharakati/Daa’I kutoka nchini Pakistani
Alikuja Tanzania miaka ya 1970s kama Mwalimu wa Hisabati na
Maarifa ya Uislamu
Alikuwa anazungumza Lugha ya Kiingereza,Urdu,Fursi na Kiarabu
Miongoni mwa Shule zalizofundisha ni pamoja na Tambaza
Sekondari
Akiwa Tambaza Sekondari alianza kutembelea shule na vyuo
mbalimbali akitoa Da’awah na kufundisha Maarifa ya Uislamu. K.v
UDSM,Chang’ombe TTC (DUCE now),Sokndari k.v
Minaki,Kibaha,Pugu,Ruvu,Tambaza,Azania,Forodhani,Kisutu na
Jangwani
Alitembelea pia misikiti mbalimbali akifundisha tafsiri ya Qur’an
k.v Kipata,Bungoni,Mtambani,Mwembechai,Kimamba,nk
5. 5
Miongoni mwa vijana aliowandaa Kida’awah ni pamoja na waliokuwa katika
Jumuiya ya WARSHA ambao miongoni mwao kwa majina ni,Khatib Mavura,Mtengwa
Burhani,Hamza Soko,Yusufu Ngirini,Saadi Fundi,Hashim Semkuya,Musa
Mdidi,Mohammed Kassim, Ahmed Olotu (Mzee Chilo),Hassan Mshinda,Ally Kilima
nk
Kutokanana na kutokujua Kiswahili,Pro.Maliki aliwatumia vijana wake katika kutoa
tafsiri kwa yale anayoyafundisha kutoa Daawah hasa alipokutana na Waislamu
ambao hawajui lugha ya Kiingereza.
Prof.Maliki alifundisha Maarifa ya Uislamu kwa namna ambayo haijawahi kutokea
ktk nchi ya Tanzania kipindi kile.
Alifundisha kuhusu Dhana ya Uislamu kuwa ni Mfumo kamili wa Maisha ya
mwanadamu na katika kutafuta Elimu hakuna kubagua Elimu.
Ni kutokana na mafundisho haya Waislamu,hasahasa vijana wa WARSHA walianza
kubadilisha fikra za umma wa Kiislamu Tanzania kujiamini na kutambua Lengo la
Kuumbwa kwao.
Inaendelea….
6. 6
Inaendelea….
Kutokana na harakati hizo,vijana wa WARSHA walianza kuandika vitabu na
majarida kuhusu hotuba na mafundisho yake.
Vijana walianza kuelewa hujuma iliyofanywa dhidi ya Serikali na kuanza
kuumasha Umma wa Kiislamu kujikwamua kutokana na utumwa wa fikrra
uliokuwepo.
Mwaka 1982,Prof.Malik alipewa masaa 24 na Serikali ya Nyerere kuondoka
nchini.
Alisema maneno yafuatayo akiwaaga vijana wake “Alhamdulillah,with what I
am leaving behind,I have not wasted my time”
Alikaribishwa nchini Kenya hadi mwaka 2008.
Kutokana na umri na uzee aliondoka kwenda Lahore Pakistan ambapo
ilipofika 19th May 2009 alifariki Dunia. (Allah Amrehem)
Yeye ndie aliyepanda mbegu ya ufundishaji wa EDK unaondelea sasa hivi
kupitia vijana aliowaandaa akiwemo Shk,Mohammed R.Kassim.
7. 7
Alikuwa akisema
“Educate people to know their rights so that they can
claim their rights.But if you claim their rights for
them,they will join the enemy and attack you”
REJEA:
1. A glimple of Professor Mohammed Hussein
Malik’s life in Tanzania By. Eng.Ally Kilima
2. Intricacies and intrigues in Tanzania: The
Question of Muslim Stagnation in Education
8. 8
MAANA YA NENO DINI KWA MTAZAMO WA UISLAMU
Katika Qur-an neno dini limefasiriwa kwa maana
zifuatazo:
1. Mfumo wa maisha wanaofuata binaadamu
katika kuendesha maisha yao ya kila siku ya
kibinafsi na kijamii.
Kwa maana hii kila kiumbe kina dini.
Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu,
na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kinamtii
Yeye, kikipenda kisipende? Na Kwake
watarejeshwa wote. (3:83)
10. 10
Ni nini Islamic Education Panel ?
Islamic Education Panel ni
chombo cha kitaalamu
kilichoundwa Mei 13,2007
kinachojihusisha na taaluma
ya Uislamu katika mfumo wa
Elimu nchini.
11. 11
Kutayarisha vifaa vya mtaala (Curriculum
Materials) vya mafunzo ya Elimu ya Dini ya
Kiislamu katika ngazi mbalimbali za elimu.
Kusimamia ufundishaji wa Elimu ya Dini ya
Kiislamu shuleni na vyuoni.
Kushirikiana kusimamia malezi na muislam
mmoja mmoja,vikundi na Taasisi katika
kutafuta rasilimali na nguvu kazi kwa ajili ya
kutekeleza jukumu la kutoa mafunzo na
malezi ya uislamu kupitiakatika mfumo wa
elimu nchini
MAJUKUMU YA ISLAMIC EDUCATION PANEL
12. 12
KWA NINI ILIANZISHWA ISLAMIC
EDUCATION PANEL
Islamic Education Panel ilianzishwa kufutia hujuma
za Serikali ya Tanzania Bara kutaka kuingilia
mafundisho ya Dini katika mfumo wa Elimu
nchini.
Ifuatayo ni Historia fupi ya mbinu zilizotumika ili
kufanikisha hilo.
13. 13
KUANZISHWA KWA EDMASHUTA NCHINI
EDMASHUTA NININI?
Kirefu cha EDMASHUTA ni Elimu ya Dini na Maadili Shuleni
Tanzania.
Huu ni umoja wa madhehebu ya Dini na Elimu ya Dini na Maadili
Shuleni Tanzania. Umoja huu ulianza mwaka 2004. waanzilishi ni
umoja wa madhehebu ya dini Mkoa wa Kagera (UMAKA).
WAJUMBE/WADAU WA EDMASHUTA
1.BAKWATA 2. CCT 3.TEC. 4.WEMU
14. 14
EDIMASHUTAiliundwa kufuatia mkutano wa
wadau hao uliofanyika Chuo cha Ualimu
cha Dar es salaam, Chang’ombe 05/07/2004.
Hivyo wadau wa EDIMASHUTA ni
- Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
- Jumuiya ya Kikiristo Tanzania(CCT)
- Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
- Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
KUANZISHWA KWA EDMASHUTA NCHINI
15. 15
EDMASHUTA….
Wakati WAKRISTO wamekuwa wakiwakilishwa na Jumuiya Zaidi ya
nne zikiwemo CCT,TEC,CSSC na BST,Jumuiya ambayo
imekuwavikihudhuria vikao mara nyingi kwa upande wa Waislamu
ni BAKWATA peke yake.Na kwa kupitia EDMASHUTA serikali imekuwa
ikipitisha maamuzi yake juu ya suala la mitaala ya Dini.
MALENGO YA EDMASHUTA
1. Kuhakikisha somo la Dini na Maadili linafundishwa vema
shuleni kuanzia shule za Awali hadi Vyuoni.
2. Kuboresha Mihutasari na Mitaala ya Somo la Dini kwa shule za
Msingi na Sekondari na kuandaa mihutasari na mitaala kwa vyuo
vya ualimu
3. Kuweka mikakati ya kuandaawalimu na njia bora za kufundishia
na kujifunzia somo la Dini na Maalidi.
16. 16
EDMASHUTA….
SABABU ZA KUANZISHWA EDMASHUTA
Kwa mujibu wa Andiko la EDMASHUTA zifuatazo ni sababu
walizozitoa:
1. Ukosefu wa Mitaala na Mihutasari ya masomo ya Dini
iliyoandaliwa kitaalamu
2. Masomo ya Dini yanayofundishwa hayahusianishwi na
maadili.Mfano Vita dhidi ya
Rushwa,UKIMWI,Ukahaba,Ugaidi,Ujambazi nk.
3. Kuimarisha nguvu katika mshikamano wetu (Wakristo
na Waislamu) na umoja miongoni mwetu ili kujenga
maadili kwa maslahi ya Taifa letu.
17. 17
UTEKELEZAJI WA MTAALA WA EDMASHUTA
WARSHA YA WADAU WA MASOMO YA DINI
Tarehe 10 Mei,2007 ilifanyika Warsha ya Wadau wa
masomo ya Dini iliyotishwa na Taasisi ya Elimu Tanzania
(TIE)
Lengo la Warsha lilikuwa kuangalia ni namna gani
mihutasari ya masomo ya Dini inaweza kuboreshwa.
Wajumbe wa Warsha waliku wafuatao:
TET BAKWATA JTK CCT TEC
18. 18
Mjadala ulikuwa mkali kiasi cha kutofikia malengo ya
Warsha.
Afsa Elimu Kiongozi Bwn.Erick Mpama alitoa Tamko
kuwa Serikali haitaingilia Dini badala yake Kila Taasisi
iandae Mihutasari yake na inakaribishwa kupata
ushauri kutoka TIE
Katika hali ya kutaharuki,Viongozi wa EDIMASHUTA
wakamuomba arudhishe agenda ya Dini na Maadili
akakataa
Mjadala ulimalizika kabla ya Muda uliopangwa baada
ya Waislamu kupinga Mjadala huo kuendelea.
Inaendelea…...
19. 19
Msikiti wa Kichangani (TIC) Magomeni – Dar es
Salaam
Huu ndio Msikiti ambao Islamic Education
Panel
Ilipoundwa.Ilikuwa Tarehe 13 Mei,2007
LOGO YA IEP
NEMBO YA
ISLAMI EDUCATION
PANEL
20. 20
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA WARSHA YA MEI
10,2007
TAREHE 13 Mei,2007 walikutana katika Msikiti wa Kichangani
Magomeni (TIC) kujadili namna ya kukabiliana na mpango wa
EDIMASHUTA
Ilionekana wazi kwamba ni mpango wenye lengo ovu dhidi ya
Waislamu.Mfano:
katika vikao vya EDMASHUTA Washiriki zaidi ya asilimia 80 ni
wakristo. Kwa mfano katika kikao cha tarehe 29/08/2006 kati ya
wajumbe 10 mjumbe wa Bakwata alikuwa mmoja, kikao cha tarehe
30/03/2007 Waislamu walikuwa 4 na wakristo zaidi ya 15. sasa
tunapoambiwa uboreshaji wa mitaala utakuwa chini ya uongozi
wa EDMASHUTA maana yake nini ?
21. 21
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA WARSHA YA MEI
10,2007
Miongoni mwa maazimio ya Kikao ilikuwa ni kuunda chombo
kitakachosimamia mafundisho ya Dini kwa Wanafunzi Waislamu kuanzia
shule za Awali hadi Vyuo vya Ualimu nchini.
Kwa hiyo ‘Panel’ hii imeundwa kwa ridhaa ya Waislamu wa Tanzania nzima
waliowakilishwa katika kongamano lililofanyika katika msikiti wa
Kichangani (Dar es Salaam) mwezi Mei, 13, 2007 na inajulikana kwa jina
la “ISLAMIC EDUCATION PANEL”
‘Panel’ hiyo ilitambulishwa rasmi Serikalini kupitia (WEMU) kwa barua yenye
Kmb.Na.JTK/GEN/04/07 ya Tarehe 09/07/2007.
Lengo kuu la Panel ni kusimamia ukuzaji, uboreshaji,ufundishaji, tathmini,
utekelezaji wa mtaala wa mafunzo ya Dini ya Kiislamu katika mfumo wa
Elimu nchini kuanzia shule za awali, hadi vyuo vikuu kwa mujibu wa Qur’an
na Sunnah
22. 22
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA WARSHA YA MEI
10,2007
Katibu Mkuu (wemu) na MwenyeKiti wa Warsha waliandikiwa
barua kupinga Mpango huo kwa hoja zifuatazo:
a) Afrika Kusini Somo la Dini na Maadili linafundishwa lakini ni nchi
inaongoza kwa waathirika wa UKIMWI,ukabaji,ubaguzi wa
rangi,madawa ya kulevya nk.
b) Kuchanganya Qur’an na Biblia ni kuhatarisha uelewano na Dini
c) Uislamu ni Mfumo kamili wa Maisha hivyo maelezo yanayotolewa
katika kudhoofisha mfumo uliopo hayana mashiko
d) Tarehe 25 Septemba Rais Benjamen Mkapa aliandikiwa barua na
Waislamu kupitia Jumuiya na Taasisi za Kiislamu kupinga mpango
huu.
23. CHANGAMOTO
ZILIZO/ZINAZOJITOKEZA
1. Kuanzishwa kwa Mtaala wa
JUWAQUTA
2. Mpango wa Kuanzishwa somo la
DINI NA MAADILI
3. Kuanzishwa kwa mpango wa
kulifuta somo la Dini linaloratibiwa
na wanadini husika na kuanzishwa
kwa somo jipya la Dini liitwalo
SOMO LA DINI 23
24. 24
UTEKELEZAJI WA MPANGO HUO NCHINI TANZANIA
MTAALA WA KONRAD-JUWAQUTA
Ni Mtaala uliondaliwa na JUWAQUTA (Jumuiya ya Walimu
Wanaofundisha Qur’an Vyuoni,Mashuleni na Mitaani Tanzania
(Bara) kwa kushirikiana na Shirika la Konrad Adenauer
Stiftung.
Ni mtaala ulioandaliwa kwa Lengo la kufundisha Elimu ya Dini
ya Kiislamu katika Shule za Msingi na Sekondari ili kuleta
Umoja wa Kitaifa.
Waandaaji Wakuu wa Mtaala huu ni BAKWATA kupitia Baraza la
Ulamaa wakishirikiana na Shirika la KONRAD,Serikali na
‘Mashekhe Maarufu’
Mwenyekiti wa JUWAQUTA Taifa ni Sh.Alhad Musa Salum-
Shekhe wa Mkoa (BAKWATA) Dar es Salaam.
25. 25
‘MTAALA’ WA
JUWAQUTA Huu ndio ‘Mtaala’ulioandaliwa na
Jumuiya ya Walimu
Wanaofundisha Qur’an
Vyuoni,Mashuleni na Mitaani
Tanzania (JUWAQUTA) kwa
ushirikiano na Shirika la Kikristo la
Kijerumani KAS mwaka 2008 .
Kimuundo upo kama Muhtasari
ingawa wao wameuita Mtaala
jambo ambalo ni kosa Katika Fani
ya Ualimu.
Mtaala na Muhtsari
havifanani.Muhtasari huandaliwa
kutokana na Mtaala.Wao wameuita
Mtaala wakati unaonekana kama
Muhtasari.
26. 26
UTEKELEZAJI WA MPANGO HUO NCHINI TANZANIA
NI NANI KONRARD ADENAUER STIFTUNG (KAS) ?
Ni Chama cha Kidemokrasia cha Kikristo kilichoanzishwa kwa
lengo la kuanzisha mfumo wa mahsusi wa program ya Elimu ya
kiraia inayoongozwa na maadili ya Kikristo kwa watu wa
Ujerumani.
Kazi hiyo ilianza mwaka 1955 baada ya kuunda chama
walichokiita The Society for Christian Democratic Education
Work.
Mwaka 1964 wakabadili jina na kujiita Konrard Adenauer
Stiftung.
KAS wanasema maadili ya Kikikristo kwao ni Msingi,Dira na
Wajibu wao kuitekeleza.
Hawa KAS ndio “waliowawezesha” JUWAQUTA kuandaa Mtaala
wa Elimu ya Dini ya Kiislamu kwa shule za Msingi Tanzania Bara
!!
Rejea www.kas.de kuwafaham vizuri KONRAD
27. 27
M/Kiti wa JUWAQUTA Sh.Alhad Mussa akiwa na Muwakilishi wa KAS –
Programme Coordinator -Timon Fellner katika Warsha ya Walimu wa Madrasa
–Morogoro 2014
29. 29
UMAKA – Ni kundi lililoanzishwa Mwaka 1980 katika mikoa ya
Kanda ya Ziwa Magharibi (Kagera na Kigoma) ikiwa na lengo la
kushirikiana na serikali na kushauri masuala mbalimbali
yanayohusu maadili,Amani,usalama na maendeleo ya Jamii nzima
ya Watanzania.
UMAKA inajumuisha wadau wafuatao:
1. Baraza la Maaskof Tanzania (TEC)
2. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
3. Baraza la Wakristo Tanzania (CCT)
30. 30
KIKAO CHA UMAKA FEBRUARI
2013
Mwezi Februari Mwaka 2013 kulifanyika kikao cha uzinduzi wa
Mtaala wa somo la Dini na Maadili.
Wageni waalikwa waliku ni kupitia Jumuiya zinazounda
UMAKA
Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Kagera aliyewakilishwa
na Mkuu wa Wilaya Bukoba.
Lengo la Kikao kile ilikuwa ni kufanya uzinduzi wa Mtaala wa
somo la Dini na Maadili ili ianze kutumika kuanzia shule za
Msingi – Vyuo vya Ualimu.
31. 31
Inaendelea…
Lengo la Mtaala wa Dini na Maadili ni kuwaandaa
wanafunzi wawe na maadili mema ya kupendana na
kuwapenda ‘watanzania wenzao’,kujenga jamii yenye
kuwajibika na kumcha ‘Mungu’bila kujali tofauti za Ki-
Imani pia kulelewa na kukua katika malezi ya kufuata
sharia na utawala bora.
Serikali iliukubali Mtaala huo na kuagiza mihutasari
ikaguliwe na Wakaguzi wa Serikali pamoja na Walimu
Wakuu wa Shule kama masomo mengine na kutahiniwa
katika ngazi zote hadi ile ya Ki-Taifa.
32. 32
MATUKIO YA KIKAO CHA UMAKA FEBRUARI 2013
Askofu Nestory Timanywa Jimbo Kuu
Katoliki la Bukoba akitoa Mada ya ‘Historia
ya Maadili Tanzania’ katika kikao cha
UMAKA
Wajumbe wa Kikao cha Uzinduzi wa
Mihtasari ya somo la Dini na Maadili
wakisikiliza Mada kwa Makini na Utulivu
34. 34
MATUKIO YA KIKAO CHA UMAKA FEBRUARI 2013
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mama Zippirah Pangani akizindua rasmi
Mihtasari ya Somo la Dini na Maadili kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa
Kagera Mh.Massawe
36. 36
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
1. Kuandika barua kwa Katibu Mkuu (WEMU) yenye
Kumb.Na.IEP/WEMU/01/013/60 ya Tarehe 18/6/2013. Pamoja na
mambo mengine barua ilionesha mambo yafuatayo:
a) Kushtushwa na kushangzwa kuhusiana na taarifa za uzinduzi wa
mihtasari ya Dini na Maadili baada ya kupata taarifa kupitia
Vyombo vya habari.(Gazeti la An-Nuur toleo Na.1074 la Trh 7-13
Juni 2013 ,Tovuti ya shirika la Utangazaji la Taifa TBC1 na Blog
ya www.bukobawadau.blogspot.com
37. 37
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
2. Kueleza hoja za Msingi za kuikataa Mihatasari ya somo la Dini
na maadili.Hoja hizo ni kama ifuatavyo:
i. Sababu zinazotolewa juu ya umuhimu wa somo hilo ni dhaifu
sana na zinalenga kubomoa mshikamano wa Taifa letu.
ii. Mpango huu umeletwa kwa msukumo wa kisiasa na si kufuata
taratibu rasmi za sera za kitaifa.
iii. Uwakilishi wa Wakristo ulikuwa katika makundi yote kwa
mujibu wa madhehebu yao kwa nini Serikali iitumie BAKWATA
tu katika jambo linalohusu Waislamu wa makundi yote?
38. 38
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
3. Mapendekezo. Barua ilikuwa na mapendekezo yafuatayo:
I. Serikali iutazame upya uamuzi wake huu kwa sababu
unaweza kuleta misukosuko na mashaka yasiyo ya lazima
katika taifa letu.
II. Waislamu tunaamini kuwa Dini Mseto haina manufaa bali
madhara kwa watoto wa Dini zote.Ikitokea Wakristo wao
wanaunga mkono mpango huu,basi sisi Waislamu
tunaupinga vikali na tunaitaka serikali iheshimu Imani ya
Waislamu kwa kutowahusisha na jambo hili.
39. 39
Inaendelea…
.
a) Kueleza kuwa Waislamu waliupinga mpango wa somo la Dini
na Maadili mara baada ya Waziri wa Elimu wakati huo
Mh.Joseph Mungai alipoutangaza rasmi bungeni mnao
Septemba 25,2005
b) Serikali kupitia WEMU katika Warsha ya Wadau (TET) ya
Tarehe 10 Mei,2007 ilitangaza kuwa masomo ya Dini
yatashughulikiwa na taasisi za Dini husika na kila Dini
kuandaa Mihutasari huku TET ikiwapa ushauri wa Kitaalam
iweje leo hii wanakiuka makubaliano?
c) Kazi ya uboreshajo wa Mihutasari kwa upande wa Waislamu
ilikamilika tokea 2011 na imeshaanza kutumika mashuleni
na Vyuo vya Ualimu baada ya kusainiwa na Kamishna wa
Elimu –WEMU iweje leo lianzishwe jambo jipya kinyemela na
kwa usiri?
40. 40
UMAKA – Ni kundi lililoanzishwa Mwaka 1980 katika mikoa ya
Kanda ya Ziwa Magharibi (Kagera na Kigoma) ikiwa na lengo la
kushirikiana na serikali na kushauri masuala mbalimbali
yanayohusu maadili,Amani,usalama na maendeleo ya Jamii nzima
ya Watanzania.
UMAKA inajumuisha wadau wafuatao:
1. Baraza la Maaskof Tanzania (TEC)
2. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
3. Baraza la Wakristo Tanzania (CCT)
41. 41
KIKAO CHA UMAKA FEBRUARI
2013
Mwezi Februari Mwaka 2013 kulifanyika kikao cha uzinduzi wa
Mtaala wa somo la Dini na Maadili.
Wageni waalikwa waliku ni kupitia Jumuiya zinazounda
UMAKA
Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Kagera aliyewakilishwa
na Mkuu wa Wilaya Bukoba.
Lengo la Kikao kile ilikuwa ni kufanya uzinduzi wa Mtaala wa
somo la Dini na Maadili ili ianze kutumika kuanzia shule za
Msingi – Vyuo vya Ualimu.
42. 42
Inaendelea…
Lengo la Mtaala wa Dini na Maadili ni kuwaandaa
wanafunzi wawe na maadili mema ya kupendana na
kuwapenda ‘watanzania wenzao’,kujenga jamii yenye
kuwajibika na kumcha ‘Mungu’bila kujali tofauti za Ki-
Imani pia kulelewa na kukua katika malezi ya kufuata
sharia na utawala bora.
Serikali iliukubali Mtaala huo na kuagiza mihutasari
ikaguliwe na Wakaguzi wa Serikali pamoja na Walimu
Wakuu wa Shule kama masomo mengine na kutahiniwa
katika ngazi zote hadi ile ya Ki-Taifa.
43. 43
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
1. Kuandika barua kwa Katibu Mkuu (WEMU) yenye
Kumb.Na.IEP/WEMU/01/013/60 ya Tarehe 18/6/2013. Pamoja na
mambo mengine barua ilionesha mambo yafuatayo:
a) Kushtushwa na kushangzwa kuhusiana na taarifa za uzinduzi wa
mihtasari ya Dini na Maadili baada ya kupata taarifa kupitia
Vyombo vya habari.(Gazeti la An-Nuur toleo Na.1074 la Trh 7-13
Juni 2013 ,Tovuti ya shirika la Utangazaji la Taifa TBC1 na Blog
ya www.bukobawadau.blogspot.com
44. 44
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
2. Kueleza hoja za Msingi za kuikataa Mihatasari ya somo la Dini
na maadili.Hoja hizo ni kama ifuatavyo:
i. Sababu zinazotolewa juu ya umuhimu wa somo hilo ni dhaifu
sana na zinalenga kubomoa mshikamano wa Taifa letu.
ii. Mpango huu umeletwa kwa msukumo wa kisiasa na si kufuata
taratibu rasmi za sera za kitaifa.
iii. Uwakilishi wa Wakristo ulikuwa katika makundi yote kwa
mujibu wa madhehebu yao kwa nini Serikali iitumie BAKWATA
tu katika jambo linalohusu Waislamu wa makundi yote?
45. 45
MAAMUZI YA WAISLAMU BAADA YA KIKAO CHA
UMAKA NA KUZINDUA MIHTASARI YA DINI NA
MAADILI
3. Mapendekezo. Barua ilikuwa na mapendekezo yafuatayo:
I. Serikali iutazame upya uamuzi wake huu kwa sababu
unaweza kuleta misukosuko na mashaka yasiyo ya lazima
katika taifa letu.
II. Waislamu tunaamini kuwa Dini Mseto haina manufaa bali
madhara kwa watoto wa Dini zote.Ikitokea Wakristo wao
wanaunga mkono mpango huu,basi sisi Waislamu
tunaupinga vikali na tunaitaka serikali iheshimu Imani ya
Waislamu kwa kutowahusisha na jambo hili.
46. 46
Inaendelea…
.
a) Kueleza kuwa Waislamu waliupinga mpango wa somo la Dini
na Maadili mara baada ya Waziri wa Elimu wakati huo
Mh.Joseph Mungai alipoutangaza rasmi bungeni mnao
Septemba 25,2005
b) Serikali kupitia WEMU katika Warsha ya Wadau (TET) ya
Tarehe 10 Mei,2007 ilitangaza kuwa masomo ya Dini
yatashughulikiwa na taasisi za Dini husika na kila Dini
kuandaa Mihutasari huku TET ikiwapa ushauri wa Kitaalam
iweje leo hii wanakiuka makubaliano?
c) Kazi ya uboreshajo wa Mihutasari kwa upande wa Waislamu
ilikamilika tokea 2011 na imeshaanza kutumika mashuleni
na Vyuo vya Ualimu baada ya kusainiwa na Kamishna wa
Elimu –WEMU iweje leo lianzishwe jambo jipya kinyemela na
kwa usiri?
49. 49
Tarehe 21-22 Oktoba, 2015,Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)
iliitisha kinao cha Wadau wa Elimu wakiwemo wajumbe kutoka
Taasisi za Dini.
Wajumbe wa Taasisi za Dini walioalikwa ni TEC,CCT,PCPT kwa
Upande wa Wakristo.Upande wa Waislamu iliitwa Taasisi ya
BAKWATA.
Miongoni mwa mambo muhimu yaliyojadiliwa katika kikao hicho
ilikuwa ni Serikali kutoa taarifa kwa wajumbe wa kikao kuwa
inatarajia kuzindua Mwongozo mpya wa ufundishaji wa somo la
Dini katika shule za Msingi utakaosimamiwa na kutolewa
miongozo yote na Serikali
50. 50
Baada ya kikao hicho Wajumbe kutoka Taasisi za Dini
walipewa Mwongozo wa namna somo la Dini
litakavyofundishwa ulioandaliwa na Serikali.
Ilitarajiwa kwamba baada ya uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba
2015 wawakilishi hao kutoka Taasisi za Dini wangealikwa kwa
ajili ya kuuzindua rasmi mwongozo huo.
Islamic Education Panel kama wadau muhimu katika somo la
Dini ya Kiislamu nchini hawakualikwa na Serikali katika kikao
hicho.
Badala yake IEP waliupata mwongozo huo kupitia wajumbe wa
Taasisi za Dini waliohudhuria kikao kilichoitishwa na TET
51. 51
LENGO KUU LA KUANZISHWA
KWAKE
Somo la Dini lifundishwe kwa lengo la kuwaunganisha
Watanzania wenye Imani tofauti za kidini ili kujenga
upendo,Amani na mshikamano wa Kitaifa bila kujali tofauti za
Kidini na Kiimani.
Hoja ya Serikali ni kwamba Ibada haiwezi kuwaunganisha
Watanzania wa Dini tofauti bali kuwaletea
chuki,mifarakano,kutovumiliana kidini na hata kupeleka uvunjifu
wa Amani.
52. 52
SABABU ZA SERIKALI KUSIMAMIA UFUNDISHAJI WA SOMO LA
DINI
BADALA YA TAASISI ZA DINI HUSIKA
1. Kumjenga Mwanafunzi awe na uelewa wa Dini tofauti
2. Kujenga hali ya uvumilivu wa kidini kwa wanajamii
3. Kujenga umoja na mshikamano kwa Dini zote nchini
4. Kujenga na kuendeleza hali ya Amani ya nchi yetu.
5. Somo la Dini lifundishwe kama taaluma na kama Ibada
6. Kumuandaa raia mwema mwenye maadili katika jamii
7. Kumjenga Mtanzania atakaye thamini utu
8. Maudhui ya somo la Dini yatalenga katika kufundisha mambo ya
msingi tu yatakayotuunganisha sote kama binaadamu
9. Mihutasari ya somo la Dini itaandaliwa na taasisi za Dini kwa
kufuata mwongozo ulioandaliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania
53. 53
‘MAPUNGUFU’WALIYOYABAINI SERIKALI KATIKA UFUNDISHAJI
WA
MASOMO YA DINI YALIYOSIMAMIWA NA WANADINI HUSIKA
a) Ufundishaji wa masomo ya Dini umekuwa hautiliwi mkazo kama
masomo mengine
b) Taasisi za Dini ndio zimekuwa zikiteua Walimu wa kufundisha bila
kujali utaalamu
c) Walimu wengi wamasomo ya Dini wamekuwa hawalipwi
d) Somo la Dini lilijikita katika Zaidi katika kufundisha Ibada na hivyo
kumjenga mwanafunzi kuwa Muumini wa Dini au dhehebu flani tu
e) Upendo na Uvumilivu katika jamii umekuwa ukilegalega siku baada
ya siku
f) Baadhi ya Wanadini kujifakharisha kwa Dini/Madhehebu yao na
kuwaona wengine hawana maana
g) Dini imekuwa ikitumika kisiasa nyakati za Uchaguzi
h) Matapeli wameitumia Dini ili kujifufaisha wao wenyewe
54. 54
‘MAPUNGUFU’WALIYOYABAINI SERIKALI KATIKA UFUNDISHAJI
WA
MASOMO YA DINI YALIYOSIMAMIWA NA WANADINI HUSIKA
i) Kukithiri kwa mmomonyoko wa maadili katika jamii
j) Somo la Dini limeshindwa kuwaunganisha Watanzania wenye
Imani tofauti
k) Msisitizo upo kwenye umahiri kuliko maudhui
l) Somo limelenga kumuandaa Mwanafunzi kuwa Mkristo/Muislamu
mzuri na si raia mwema
m) Mwanafunzi kutokuwa na uelewa wa Dini nyingine
n) Wahitimu kutokuwa na umahiri unaotakiwa
o) Kuwepo kwa walimu wachache wasio mahiri
p) Upungufu wa vitabu vya kufundishia
q) Ufundishaji kujikita katika Itikadi za Kidini
55. 55
YALIYOJIFICHA NYUMA YA SIFA HIZI
Mwalimu anayefundisha somo la Dini atakuwa ni
mfuasi wa Dini yeyote
Ukaaji wa Wanafunzi Darasani utawahusisha Waumini
wa Dini zote
Lengo kuu ni kutoa mwongozo wa Kitaifa wa
ufundishaji wa somo la Dini mashuleni
Somo la Dini litafundishwa kama Taaluma na si Ibada.
Mihtasari ya somo la Dini itaandaliwa na
‘madhehebu’ya Dini chini ya uangalizi wa Taasisi ya
Elimu Tanzania (TET) yaani Serikali.
56. 56
MAAMUZI YA WAISLAMU (ISLAMIC EDUCATION PANEL) BAADA
YA SERIKALI KUTOA MWONGOZO WA UFUNDISHAJI WA SOMO
LA DINI
Kuandika barua kwa Kaimu Mkurugenzi TET ikimfahamisha
kuhusiana na kutokukubaliana na mpango huo.Barua ilikuwa na
Kumb.Na.IEP/TET/015/02 ya Tarehe 19/11/2015 na kuinakilisha kwa
Katibu Mkuu (WEMU),Taasisi zote za Kiislamu Tanzania Bara,Katibu
Mkuu-CCT na TEC.
Barua ilikuwa na mambo muhimu yafuatayo:
a) Serikali imekiuka Katiba ya Nchi kwa kuingilia mambo ya Dini
b) Haikubaliki hata kidogo Mwalimu Muislamu amfundishe mtoto wa
Kikristo na kinyume chake.
c) Liimarishwe somo la Uraia (Civics) ili kuwaunganisha wa Tz si Dini
d) Umahiri wa mwalimu wa Dini flani lazima ufundishwe kwa mfuasi wa
Dini yake si kuchanganya wote pamoja.
57. 57
SERIKALI INAJIBU HOJA ZA WAISLAMU
Serikali ilijibu barua ya Waislamu baada ya kupinga Mwongozo huo
kwa barua yenye Kumb.Na.TIE/ARS/3/EX/II/21 ya Tarehe 27/11/2015
na kupokelewa Tarehe 04/01/2016. Katika barua yao walieleza
kuwa:
a) Kukiri kupokea barua pamoja na mapendekezo yaliyotolewa
b) Kueleza kuwa kazi ya uandaaji wa mwongozo huu haijakamilika
c) Wanatarajia kuwa na vikao vya wadau wa Dini ili kujadili kwa
kina suala hili. (Lini? Hawakauainisha!)
d) Mwongozo haulengi katika kufundisha Dini moja kama
ianvyotafsiriwa
e) Lengo kuu la Mwongozo ni ‘Kuboresha’ ufundishaji wa somo la
Dini katika shule zetu
f) Lengo pia ni kuwezesha ufundishaji na Ujifunzaji wenye tija
58. 58
WAISLAMU ‘WANAJIBU MAPIGO’
Waislamu (Islamic Education Panel) waliiandikia barua TET
kuhusiana na majibu waliyoyatoa baada ya barua yao ya
awali.Barua ilikuwa na Kumb.Na.IEP/TETE/016/01 ya Tarehe
04/07/2016.Katika barua hiyo walieleza mambo yafuatayo:
1. Maelezo ya TET yanapingana na uhalisia kwani katika Mtaala
mpya wa Elimu Msingi uliopokelewa Mwezi Mei,2016 tayari
somo hilo la Dini limeshaingizwa na kuzingatia mwongozo
uliotolewa na TET.Rejea vifungu vifuatavyo:
Kifungu 7.9 Uk.22-23
Kifungu 9.0 Uk.30
Kifungu 9.1 Uk.31
Kifungu 16.0 Uk.43 Jedwali Na.28
59. 59
Inaendelea…..
2. Maudhui ya Somo la Dini yanafanana na yale ya somo la Uraia na
Maadili hivyo haina haja ya kufundisha somo la Dini kwa
maudhui yaliyoandaliwa na TET
3. Maswali yanayohitaji Majibu.
I. Je,Serikali inataka watoto wetu wasifundishwe Dini za wazazi
wao kwa mujibu wa vitabu vta Dini zao ili baadaye wasifuate
Dini hizo?
II. Serikali inataka kuanzisha Dini (Kuwa na Dini) yake na kutaka
kulazimisha watu kuifuata?
4. Lengo la Mwongozo huo si kuboresha somo la Dini bali
kufundisha Dini Moja (Dini Mseto)
5. TET ishirikiane na Wataalamu wa Dini (Kila watu na Dini yao)
kuandaa mwongozo mpya na kuboresha mihutasari ya somo la
Elimu ya Dini kama ilivyofanyika mwaka 2010-2012
60. 60
KILICHOFUATA BAADA YA MAJIBIZANO YA BARUA
KATI YA IEP Vs TET
Baada ya kupokea Barua ya IEP.inapigwa simu kutoka Ofisi ya
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu kwa ajili ya mazungumzo ya
Mezani.
Tukiwa katika Warsha ya Ufundishaji wa somo la Dini Mwezi
Julai Tabora,Mwenyekiti wa IEP anawataarifu Waratibu wa Elimu
IEP kuhusiana na simu ya Kaimu Mkurugenzi TET
Mwezi Julai Mwenyekiti,Katibu pamoja na Mjumbe wa IEP Taifa
(Prof.M.H.Njozi VC – MUM) wanakwenda Ofisi ya KM -WEST
Hadi mwisho wa mazungumzo ikaazimiwa vifungu vyote ndani ya
Mtaala wa ElimuMsingi kuhusiana na somo la Dini na siku ya
Ijumaa vifutwe.
Badala yake wanadini husika wataandaa Muongozo wa
ufundishaji wa somo la Dini kwa kupata ushauri wa Kitaalamu
kutoka TET
61. 61
VIASHIRIA VYA MASHIRIKIANO YA KIDINI
Viongozi wa Dini (Waislamu) kushindwa
kuisahihisha Serikali pale inapokosea
Kuanzishwa kwa Kamati ya Amani Dar es Salaam na
Mwanza
Kucheza pamoja mechi za Mpira kwa viongozi wa Dini
Viongozi Waislamu kuwatembelea Wakristo Kanisani
na Viongozi Wakristo kuwatembelea Waislamu
Misikitini ili kujenga umoja
Kuviita majina mabaya vikundi/Watu vyote
vitakavyokwenda kinyume na mtazamo uliopo.
62. 62
“Wanataka kuzima Nuru ya Mwenyezi Mungu
(Uislamu) kwa vinywa vyao;na Mwenyezi Mungu
atakakamilisha Nuru yake ijapokuwa Makafiri
watachukia”
Qur’an (29:69)
64. 64
Maana ya somo la Elimu ya Dini ya
Kiislamu
Ni somo ambalo hutoa maarifa ya msingi ya
Elimu ya Kiislamu (Basic Islamic
Education) kwa vijana wa Kiislamu
mashuleni na Vyuoni kwa lengo la
kuufahamu,kuutumikia na kuishi kwa
mujibu wa mafundisho ya Uislamu katika
maisha ya kila siku ya kibinafsi na kijamii
kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.
65. 65
Lengo Kuu la Kufundisha Elimu ya Dini ya
Kiislamu
Kumuwezesha mwanafunzi kuwa na maarifa
ya Dini ya Uislamu na namna ya kuyatumia
katika maisha ya kila siku kwa lengo la
kumuwezesha kuwa kiongozi bora (Khalifa)
na muadalifu atakayeishi kwa kuchunga
mipaka ya Mola wake katika maisha yake
ya kila siku kwa mujibu wa Qur’an na
Sunnah.
66. Je tunafundisha kwa kufuata lengo
hili ?
Walimu tumejipanga kwa lengo hili?
Wanafunzi tunawahamasishaje
tunapowafundisha?
Jamii inayotuzunguka inafahamu
jambo hili?
Tunatambua wajibu wetu katika hili?
Je kuna mabadiliko ya kitabia kwa
3/7/2024 66
Tathmini ya Ufundishaji wa Somo la EDK
mashuleni
67. 67
Sababu zinazopelekea kushindwa kufikia
lengo la ufundishaji EDK
a) Kufundisha bila kujua lengo kiutendaji
b) Kufundisha kwa ajili ya kuwatafutia wanafunzi
alama za ufaulu katika mitihani yao ya mwisho
c) Kutotumia zana za ufundishaji katika kufundisha
d) Kutofanya maandalizi ya awali kabla na baada ya
ufundishaji
e) Kufundisha kwa mazoea bila kuzingatia mission
ya Uislamu
f) Kutofauatilia usomaji wa wanafunzi
68. 68
Changamoto katika ufundishaji wa
EDK
i. Walimu Kutokuwa na maarifa ya kutosha juu ya
Uislamu
ii. Kutojiamini wakati wa Ufundishaji
iii. Kutokuwa na rejea husika kwa Mwalimu binafsi
juu ya Somo la EDK
iv. Kutotilia mkazo ufundishaji wa somo hili kwa
nguvu zote kama afanyavyo katika masomo
mengine
v. Kutotenda yale tunayowafundisha wanafunzi
kama mifano ya kuigwa (A Role Models)
69. 69
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
1) Kutokuwa na Elimu sahihi ya Uislamu
2) Mfumo wa Elimu uliopo ni wa
Kitwaghuut
3) Mbinu duni za kufundishia Elimu ya
Dini ya Kiislamu zinazotumika
4) Uislamu si agenda ya msingi katika
maisha yetu
5) Khofu ya kujihusisha na Uislamu
70. 70
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
Kutokuwa na Elimu sahihi ya Uislamu
I. Athari ya mazingira ya historia na makuzi tuliyopitia
II. Kutokupitia Elimu ya Madrasa
III. Waliosoma Madrasa hawakuambulia chochote
kutokana na mbinu duni za ufundishaji
IV. Kushindwa kuwahudumia Wanafunzi Waislamu
mashuleni
V. Kushindwa kuishi Kiislamu
VI. Kushirikiana na Walimu wenye uadui wa Uislamu
katika Kuuhujumu Uislamu.
71. 71
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
Mfumo wa Elimu uliopo ni wa
Kitwaaghuuti
Lengo la Mfumo huu wa Elimu ya Kitwaghuuti ni
kuwatoa watu kwenye Nuru (Uislamu) na
kuwapeleka kwenye giza (Ukafiri).
Kwa Mtazamo wa Uislamu Lengo la Elimu ni
kuwatoa watu kwenye Ucha-Vitu (Materialism) na
kuwapeleka kwenye Ucha-Mungu.
72. 72
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
Mbinu duni za kufundishia Elimu ya Dini
ya Kiislamu zinazotumika
Lack of a common and standardises curriculum
(syllabus);
Lack of common and standardised examinations
and certificates;
Lack of pedagogical skills for the teachers;
Lack of enough qualified teachers;
Poor facilities – lack of classrooms, teachers’
houses, pit latrines, books, etc.
73. 73
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
Mbinu duni za kufundishia Elimu ya Dini
ya Kiislamu zinazotumika
Poor management of the schools
Lack of role models for pupils to copy
Lack of or poor integration of secular
knowledge in such schools;
Small enrolments especially of girls;
High dropout rates especially for girls;
74. 74
Uislamu si agenda ya msingi katika
maisha yetu
Tunaukumbuka Uislamu kimatukio
Visingizio vingi katika kutekeleza
mambo ya Uislamu
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
75. 75
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WALIMU WAISLAMU
Khofu ya kujihusisha na Uislamu
Kuondolewa katika ajira
Hata salam ya Kiislamu
inakuwa shida kuitoa au
kuitikia.
76. 76
NJIA ZA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO
1.Kujiunga na Elimu ya Kiislamu
kwa Posta (EKP)
2.Kujiunga na Darasa za Kata
3.Kununua Vitabu vya Maarifa ya
Uislamu katika kutekeleza
nukta ya Na.1&2
77. 77
1. ELIMU YA KIISLAMU KWA POSTA (EKP)
Elimu ya Kiislamu kwa Posta (EKP) ni utaratibu maalum
uliowekwa kwa ajili ya kuwawezesha Waislamu nchini Tanzania
kusoma Maarifa ya Uislamu katika mfumo huru kwa lengo la
kujipatia/kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kuuelewa na
kuutekeleza Uislamu kivitendo kisha kuufanya kuwa mfumo wa
maisha katika jamii.
Elimu hii inamuwezesha msomaji kuwa mahiri katika fani za
Qur’an na Sunnah,Tawhiid na Fiqh ili aweze kuutekeleza Uislamu
kivitendo na kuishi kwa mujibu wa mafundisho ya Dini ya
Kiislamu.
Kihistoria Elimu hii ilianza miaka ya 1986, kwa njia ya Posta.
Miaka ya 1990 – 1992 program iliongezeka wasomaji.
Mwaka 1992- Waislam(asilimia kubwa wanafunzi wa EKP)
wakutana kitaifa.
78. 78
MALENGO YA JUMLA YA (EKP)
Kuwawezesha wasomaji kuusimamisha
Uislamu katika jamii na kuutekeleza vilivyo
katika kila kipengele cha maisha yao.
Kuwaandaa wanafunzi wa sekondari kwa mtihani
wa kidato cha nne (CSEE) wa Elimu ya Dini ya
Kiislamu, hasa wale wasiopata fursa ya kufikiwa
na Waalimu wa somo hili.
Kuwaandaa walinganiaji wa Uislamu na Waalimu
wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu kwa shule za
msingi na sekondari
79. 79
Kueleza mtazamo sahihi juu ya elimu, dini lengo na
hadhi ya mwanadamu hapa ulimwenguni.
Kuainisha sifa za waumini wa kweli kwa mujibu wa
Qur’an na Sunnah.
Kuutetea Uislamu kwa hoja madhubuti na kuonesha
kuwa ndio dini pekee inayostahiki kufuatwa na kila
mwenye akili na busara.
Kutekeleza vilivyo nguzo tano za Uislamu na kufikia
lengo tarajiwa.
Kueleza namna ya kumuabudu Allah (s.w) katika kila
kipengele cha maisha yao ya binafsi, famila na jamii.
MALENGO MAHSUSI YA (EKP)
80. 80
UTARATIBU WA KUJIUNGA NA EKP
Chukua fomu ya kujisajili kuwa mwanafunzi wa
E.K.P. katika Ofisi ya Mratibu wa Elimu Mkoa wa
Mtwara.
Gharama ya kila fomu ni Tsh. 2,000/= (kwa
wanafunzi wa sekondari ni Tsh. 500/=)
Jaza fomu hiyo na kuituma kwa Mratibu wa
Elimu wa mkoa uliopo. Irejeshe fomu hiyo
ambapo utapewa namba ya usajili.
81. 81
UTARATIBU WA USOMAJI EKP
–Baada ya kupata Juzuu, soma kila sura kwa
makini mara ya kwanza, kisha rudia sura
hiyo kwa mara ya pili kwa makini zaidi kama
utakuwa haujaelewa kisha fanya zoezi
lililotolewa mwisho wa sura. Ikiwa
hukulielewa swali vizuri katika zoezi hilo,
rejea tena kusoma mpaka upate jibu sahihi.
Msomaji atafanya hivyo hivyo mpaka
amalize sura zote za kitabu husika.
82. 82
Baada ya kukisoma kitabu chote na kukielewa
vizuri, utafanya Mtihani wa Juzuu hiyo na kujibu
kulingana na maelekezo, kisha mratibu wa mkoa
atachukuwa Skripti na kuipeleka makao makuu kwa
ajili ya usahihishaji. Wakati unangojea majibu ya
maswali ya Juzuu iliyotangulia, endelea kusoma
juzuu inayofuata/zinazofuata.
Mwanafunzi wa E.K.P. atarudishiwa majibu baada ya
masahihisho pamoja na ushauri nasaha kulingana
na majibu yake. Jumla ya alama atakazozipata kwa
juzuu zote 7 zitachangia asilimia 20 (20%) ya
tathmini ya mwisho
83. 83
– Baada ya kujibu maswali ya Juzuu zote 7, mwanafunzi
wa E.K.P. atajiandikisha/ataomba kufanya mtihani wa
mwisho ambao utafanyika mwezi Januari na Julai kila
mwaka au katika muda wowote utakaopangwa, mtihani
utafanyika katika vituo vitakavyotangazwa. Mtihani wa
mwisho utachangia asilimia 90 (90%) ya tathmini ya
mwisho.
– Miezi miwili kabla ya mtihani wa mwisho mwanafunzi
wa E.K.P. atatakiwa kufanya mtihani wa “Mock” ambao
utamsaidia kujiandaa vizuri kwa ajili ya mtihani wa
mwisho. Mitihani ya “Mock” itafanyika mwezi Mei na
Novemba kila mwaka.
84. 84
Wanafunzi wa E.K.P. watakaofaulu vizuri kwa kupata daraja C au
zaidi watatunukiwa cheti cha kufaulu masomo ya E.K.P.
Watakaopata daraja D watashauriwa kurudia mtihani.
Watakaopata daraja F watakuwa wamefeli na itabidi warudie kozi
nzima kwa kufanya tena maswali ya Juzuu zote 7, kisha baadaye
wafanye tena mtihani kwa kufuata utaratibu wa mitihani
ulioelezwa hapo juu.
Daraja hupatikana kama ifuatavyo:
A = 81 – 100, B = 61 – 80, C = 60 – 41, D = 40 – 21, F = 20 – 0
Gharama
Mwanafunzi wa E.K.P. atalazimika kugharimia utumaji wa majibu ya
maswali ya Juzuu baada ya kusahihishwa .
Mwanafunzi wa E.K.P. atajiandikisha kwa ajili ya mtihani wa
mwisho na kulipa Tsh. 5,000 kama gharama ya mtihani ikiwa ni
pamoja na mtihani ya “mock”.
Cheti cha Kumaliza
Masomo
85. 85
2. DARASA ZA KATA
Ni mfumo wa usomaji maarifa ya Uislamu ambao
huendeshwa kwa mfumo wa semina ambapo
Mada huwasilishwa kisha kuchangiwa na
wanadarsa
Darsa hili huambatanisha NADHARIA na UTENDAJI
kwa kila kinachosomwa na wanadarsa.
Darsa Duara linalea wanadarsa kuepukana na
tabia ya kufanya au kusema mambo bila ya ujuzi
unaostahiki.
86. 86
UENDESHAJI WA DARASA DUARA
1. Darsa Duara huanza kwa kuichosha nadharia ya Mada
husika kwa kufanya yafuatayo:
a. Kila mwanadarsa anatakiwa aipitie mada husika yeye
mwenyewe binafsi kabla ya Darasa.
b. Siku ya Darasa patakuwa na muwasilishaji wa mada
husika.
c. Baada ya uwasilishaji;kila mwanadarsa atapewa fursa
ya:
• Kukazia mada
• Kuuliza swali
• Kujibu maswali yatakayoulizwa na mwendesha Darsa
• Kupewa kazi ya kusoma zaidi
87. 87
UENDESHAJI WA DARSA ZA KATA
1. Baada ya nadharia ya mada kueleweka kwa
uwazi kwa kila mwanadarsa hufuatia hatua ya
kuweka maazimio ya utekelezaji.
2. Maazimio ya hufuatiwa na utekelezaji kwa
wanadarsa kwa kufanya yafuatayo:
a) kuhimizana na kuhamasishana katika
utekelezaji
b) Kufanya tathmini juu ya utekelezaji wa
maazimio.
c) Kuanzisha mfuko wa Darasa (Baytul Maali)
88. 88
FAIDA ZA DARSA ZA KATA
i. Kujenga na kuimarisha udugu na upendo miongoni
mwa wanadarsa
ii. Huwawezesha wanadarsa juielewa mada kwa upeo
mkubwa
iii. Wanadarsa wote hushiriki kuweka maazimio
yanayotekelezeka
iv. Hutoa hamasa ya kutekeleza kila kinachosomwa
v. Huongeza ufanisi wa utekelezaji wa maazimio baada ya
tathmini
vi. Hujenga mazingira ya kufanya kazi kwa pamoja
vii. Darasa Duara ndio chimbuko la Baytul Mali
89. 89
MTAALA UNAOTUMIKA KATIKA DARSA ZA KATA
Mtaala wa Darsa za Kata
na Elimu ya Kiislamu kwa
Posta (EKP) ni kupitia
juzuu 7 za Maarifa ya
Uislamu – Darasa la watu
Wazima zifuatazo:
90. 90
MADA ZA JUZUU 7 ZA DARASA
LA WATU WAZIMA
JUZUU YA 1 MADA
LENGO LA MAISHA
YA
MWANAADAMU
- Mtazamo wa Uislamu juu ya Elimu
- Mtazamo wa Uislamu juu ya Dini
- Imani ya Kiislamu na Nguzo za
Imani
- Lengo la maisha ya Mwanaadamu
- Dhima ya Waumini katika jamii.
91. JUZUU YA 2 MADA
NGUZO ZA
UISLAMU
Shahada
Kusimamisha Swala
Zakat na Sadaqat
Swaum
Hija na ‘Umra
92. JUZUU YA 3 MADA
QUR'AN
NA
SUNNAH
Qur'an
- Qur'an na Majina yake
- Lengo la Qur'an
- Kushuka na Kuhifadhiwa Qur'an
- Ithibati juu ya Qur'an
- Namna ya kuiendea Qur'an
- Aya za Qur'an zilizochaguliwa kwa mafunzo maalumu
-Mafunzo ya sura zilizochaguliwa katika juzuu Amma
93. 93
JUZUU YA 3 MADA
QUR'AN
NA
SUNNAH
Sunnah na Hadith
- Maana ya Sunnah na Hadith
- Nafasi ya Sunnah katika Uislamu
- Historia fupi ya Uandishi wa Hadith
- Vigezo vya usahihi wa Hadith
- Tanzu na aina za Hadith
- Mwenendo wa saa 24 wa Muislamu
94. JUZUU YA 4 MADA
FAMILIA
YA
KIISLAMU
- Ndoa ya Kiislamu
- Wajibu katika familia
- Talaka na Eda
- Mirath ya Kiislamu
- Kudhibiti Uzazi kwa Mtazamo wa
Uislamu
- Haki na Hadhi ya Mwanamke
katika Uislamu.
95. JUZUU YA 5 MADA
JAMII
YA
KIISLAMU
- Misingi ya Maadili
- Utamaduni wa Kiislamu
- Sharia katika Uislamu
- Uchumi katika Uislamu
- Siasa na Dola katika Uislamu
96. JUZUU YA 6 MADA
HISTORIA
YA
KUHUISHA
UISLAMU
- Dhana juu ya Historia
- Historia ya Uislamu kabla ya Mtume(s.a.w)
- Historia ya Uislamu Wakati wa Mtume(s.a.w)
- Uongozi wa Dola ya Kiislamu wakati wa Makhalifa wa
Mtume(s.a.w)
- Historia ya Kuhuisha Uislamu wakati wa Tabiin na
Tabii Tabiin.
- Vikundi vya Kuhisha Uislamu Karne ya 20 AD
- Historia ya Kuhuisha Uislamu Tanzania.
97. JUZUU YA 7 MADA
KUHUISHA
UISLAMU
KATIKA JAMII
-- Haja ya Kusimamisha Uislamu katika Jamii.
-- Kuandaliwa Mtume(s.a.w) na Mafunzo
yatokanayoMwanaharakati wa Kiislamu.
-- Kundi la Harakati za KiislamuMbinu za
- Kulingania na Kusimamisha Uislamu katika
jamii.
- Mipango katika Harakati za Kiislamu.
- Uongozi katika Harakati za Kiislamu.
- Mbinu za Kuufundisha Uislamu kwa lengo la
kumuandaa Khalifa.
99. 99
MAMBO MUHIMU KUZINGATIA
a) Hakikisha umeipitia mada hiyo kabla ya kuifundisha
b) Ng’amua vipengele vinavyohusu nadharia na
utendeaji
c) Kwa vipengele vya utendaji,andaa zana na
vielelezo husika vinavyohusiana na vipengele
hivyo.Mfano kutawadha na namna ya kuswali
hatua kwa hatua.
d) Andaa eneo husika la kufanyia onesho kama
darasa halitoshi au kama mada husika
inahitaji eneo tofauti na darasa kiutendaji
100. 100
Hakikisha umefundisha nadhari ya mada husika
kwa ujumla kabla yakuanza vitendo
Toa uhuru kwa wanafunzi watende kabla
hujafundisha kwa vitendoBaada ya wanafunzi
kuonesha kwa vitendo,rekebisha makosa
yaliyojitokeza wakati wakitenda
Rudia tena kuteua wanafunzi wacache watende
kama ulivyofanya wewe.
Wagawe wanafunzi katika makundi kisha wale
wenye kuelewa vizuri wawasaidie wasioelewa
101. KUMBUKA
Hakikisha umefundisha nadharia ya
kutia udhu kabla ya kutia udhu kwa
vitendo.
Andaa vifaa vya kutilia udhu mfano
maji au udongo
Kama upo karibu na Qullatain na ipo
sehemu ya wazi ni bora utumie
sehemu hiyo
3/7/2024 101
103. KUMBUKA
Hakikisha umefundisha nadharia ya
kutia udhu kabla ya kutia udhu kwa
vitendo.
Andaa vifaa vya kutilia udhu mfano
maji au udongo
Kama upo karibu na Qullatain na ipo
sehemu ya wazi ni bora utumie
sehemu hiyo
3/7/2024 103
115. MUHIMU
Hakikisha sharti zote za Swala zimefundishwa na
kueleweka ipasavyo.
Hakikisha vipengele vinavyohitaji utendaji katika sharti
za Swala vimefanyika na wanafunzi wameelewa
Kabla ya kuendea swala,hakikisha umefundisha nguzo
na Sunnah zote za Swala kinadharia
Hakikisha nguzo za matamshi umezifundisha ipasavyo
3/7/2024
116. 1. Nia na Takbira
ya Kuhirimia.
Nia ni dhamira ya
moyoni kuwa unaswali
Inua viganja usawa
wa mabega/masikio
kisha useme:
Allahu Akkbar
3/7/2024
121. 5.
Kurukuu
(Kuinama)
Baada ya Kusoma Suratul
Fatiha na Sura nyingine
ndani ya Qur’an utasema
Allahu Akbar kisha
utarukuu.
Ukiwa katika rukuu
utamsabihi Allah (s.w) mara
3 kwa kusema:
121
126. 10 Kukaa Tahiyyatu
Katika rakaa zingine,fuata utaratibu wa
Rakaa ya kwanza.
Kama ni swala ya Rakaa tatu au Nne
baada ya Rakaa ya pili unatakiwa kukaa
Tahiyyatu ya kwanza.
Zingatia taofauti ya ukaaji katika
Tahiyyatu ya kwanza na Tahiyyatu ya
mwisho.
126
127. Namna ya kukaa katika
Tahiyyatu ya Kwanza
Namna ya kukaa katika
Tahiyyatu ya Mwisho
127