SlideShare a Scribd company logo
1 of 4
MWANZO WANGU
MTUNZI NA MWANDISHI:Nehemiah Ngumba
nehemiahngumba@gmail.com/+255758089184
Moja ya dhana ambayo hapo mwanzoni ilijengeka kutokana na msingi wa baba wa taifa
mwalimiu Julius K. Nyerere nidhahiri kila mwanachi katika ule usemi wa "ELIMU NDIO
MKOMBOZI".
Mara nyingi tumekuwa tukiona nchi nyingi zikijikwamua katika dimbwi la utumwa hivyo
kuutafta ukombozi ili kuishi maisha ambayo yatakuwa sambamba na ukombozi wao.
Ni wakati wetu kama Taifa changa japo si neno halisi kwa nchi yetu kutokana na kujipatia uhuru
wetu mnamo 1961,december 9 kwa umri huu tulipaswa kuwa Taifa lililokomaa katika kila sekta.
Elimu yetu ambayo tuliachiwa kama ukombozi ili kujikwamua katika changamoto mbalimbali
ikiwemo mardhi, umasikin pamoja na ujinga bado imekuwa ikikumbwa na matitizo kadha wa
kadha na kutufanya tusifikie mnalengo yetu.
Taifa letu bado tutaliita changa ikiwa na maana bado tuko hatua za mwanzo za kuhahikisha
tunajipatia ukombozi ambao ndio urithi wa vizazi vyetu.
Elimu yetu bado imeshindwa kutoa kile tunakiita ukombozi ili wanufaika na elimu hiyo kuleta
mapinduzi yatokanayo na ukombozi huo. Tunaamini kwamba vijana waliopata elimu ndio nguzo
muhimu katika jamii kwani ndio watakao tumika kama draraja la kuleta mapinduzi na hitimae
kujitoa katika dimbwi la giza la utumwa.
Mwalimu Nyerere alihimiza elimu itolewayo iendanae na mahitaji ya jamii huska ili kikidhi
hitaji la jamii huska kuliko kutoa elimu kandamizi ambayo haiendani na hitaji la jamii huska.
Umasikin wa nchi yetu ilikuwa moja ya janga katika kuhahikisha kila mzawa wa nchi hii
anajipatia nguzo hii ya elimu ili kuleta ukombozi katika familia, jamii yake pamoja na nchi
kiujumla.
Mwalimu Nyerere kwa kuliona hili aliamua kutoa elimu bure kwa wale wote waliopata vigezo
vya kuendelea na masomo, chagamoto kubwa ilikuwa idadi ya vijana wanaopata nafasi ya
kusoma haikuwa sawa na hitaji la jamii huska hivyo jamii kubaki katika giza.
Mahitjai ya elimiu yalipoongezeka nidhahiri serikali ilishndwa kuhimili mzigo ndipo ada ikaanza
kutozwa kuanzia shule ya msingi mpaka elimu ya juu. Ikumbukwe jamii yetu ilikuwa katika
dimbwi la umasikin hivyo ndoto ya kupeleka watoto shule ilizidi kudidimia.
Elimu yetu bado haikuweza kukidhi matakwa ya jamii kutokana na kile wanauchumu wanakiita
"uwekezaji katika elimu kuwa mdogo ambalo ni zao la umasikini". Kitendo cha nchi yetu kukosa
hela ya kuwekaza katika elimu ili kupata zao kubwa amabalo n sawa na hitaji la jamii yetu
nidhari kuwa eilmu yetu haikuweza kuwafikia watoto wetu{watoto masikin}.
Elimu ilikuwa ipo katika mfumo wa vitendo ili kumuandaa kijana kila anapomaliza ngazi flani
ya elimu kujua kipi afanye ili kumuingizia kipato..
Mabadiliko katika utawala nayo hayakuiacha sekta ya elimu katika kile tunaita utunzaji wa
ELIMU NDIO MKOMBOZI badala yake wamekuja na kile wanachokiona ni sahihi kwa macho
yao huku wakiacha agano la Babba wa TAaifa.
Hatima ya maskini kuokoka katika janga la umaskini ni kupata ukombozi huru ambao
utamuwezesha kuvuka madaraja yote katika maisha. Ikumbukwe kila mtu amezaliwa na
kipaji/vipaji ambavyo vimefichwa na maradhi,ujinga na umaskini vitu hivi vimechangia katika
kudidimiza ndoto za wenye maisha magumu kujinasua katika giza hili la umaskini.
Pamoja na chi nyingi za Afrika kudai umaskini wao umesababishwa na ukoloni nidhahiri kuna
ukweli uliofichika kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni ni miaka mingi bado bara la Afrika
wapo katika giza hili. Hujuma zilizofanywa na wakoloni kuhakikisha tunakuwa maskini kwa
sasa hazina nafasi kutokana na kile tunaiita “UKOMBOZI WA JAMII” baada ya kujipatia uhuru
wetu. Matatizo yamezidi kuwa lukuki huku idadi ya watu ikizidi kuongeza na elimu yetu ya
kujikomboa imetiwa doa na wenye mamlaka ya kufanya hivyo.
Jukumu la nchi zetu baada ya kujipatia uhuru ilikuwa nikuweka misingi imara ili kuhakikisha
vijana wanajipatia ujuzi wa namna ya kuendesha maisha yao kutokana na sehemu wanazotoka.
Mitaala inayotumika haiksadiki maisha halisi ya wanaafrika kwani utajikuta wakisimulia maisha
ya hao waliowatala katika elimu zao jambo ambalo nchi maskini halina tija kwao. Mwanzo
wangu ni falsafa moja ambayo imenifanya kuwaza na kujua lkwanini niko hapa na ni klwanini
bado jamii iko hivi. Majibu yangu ya juu ya mwanzo nikwanini wimbo wa nchi maskini
umekuwa ni ule ule miaka nenda rudi. Mimi kama mhanga wa janga hili la giza kwa kuzaliwa
katika janga haina maana niendelee kuwa katika dimbwi la giza. Matumaini yangu yalikuwa
kuvuka madaraja yanayopatikana katika nyaja zote japo hali haikuwa kama nilivyodhania hapo
awali.
Elimu kama nilivyoipa kipaumbele ndio chombo ambacho bado kimekuwa kikietesa jamii yetu
na kupelekea wenye ndoto na maono kupotea kwa kile kinachoitwa UKATA. Mbali na neon
ukata hata wanapata bahati ya kuingia katika mfumo wa elimu yetu nidhahiri wanamengi
yakukosoa japo hawana mda wa kutoa ujumbe kwa jamii yao.
Tazama madhara hasi ya elimu yetu ilivopelekwa katika dimbwi la umaskini kwa kufanya kiini
macho juu ya utoaji elimu ambayo ni sambamba na maisha ya wazawa na dadal yake kuelezea
maisha ya wageni ambao kwenye matumizi ya mali asili zetu kwao ni faida huku wenyeji
tukikosa hata ujuzi ni wa[pi pakuanzia kuhakikisha tunapata faida.
Wasemavyo ellimu ni gharama na ukiona ni ghari sana jaribu ujinga lakini baba wa Taifa
Mwalimu Nyerere aliongea kuhusu moja ya maadui wa maendeleo kuwa ni ujinga hakika
tumechukua sehemu ya adui na kumkumbatia kuwa rafiki yet undo matokeo bado tunahangaika
ya nini kifanyike kuokoa vizazi vyetu.
Kwanza kabisa tunaamini kuwa kama unamtaji unaweza kutengeneza mipango mikubwa juu ya
biashara yako lakini tisa kumi utafanikiwa endapo utakuwa na timu ya wataalamu ambao wako
tayari kushiriki kuhakiksha mipango yako inaenda sawia. Kwa nchi yetu nidhahiri hatujawekeza
kabisa kwania njema ya kupata matokeo chanya juu ya elimu hata jopo la wataalamu
wanaohuska wameshindwa kujumlisha mazingira ya wazawa ili kutoa elimu inayoendana na
mahtaji ya jamii na sayansi pamoja na teknolojia ili kupata maendeleo ya haraka.
ITAENDELEA……………………………………………………………………………..
ELIMU YANGU NCHI YANGU
Nehemiah Ngumba

More Related Content

Featured

How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
ThinkNow
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Kurio // The Social Media Age(ncy)
 

Featured (20)

How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental HealthHow Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
How Race, Age and Gender Shape Attitudes Towards Mental Health
 
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
 
Skeleton Culture Code
Skeleton Culture CodeSkeleton Culture Code
Skeleton Culture Code
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
 
How to have difficult conversations
How to have difficult conversations How to have difficult conversations
How to have difficult conversations
 
Introduction to Data Science
Introduction to Data ScienceIntroduction to Data Science
Introduction to Data Science
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best Practices
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project management
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
 
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
 
12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work
 
ChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slidesChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slides
 

Mwanzo wangu elimu

  • 1. MWANZO WANGU MTUNZI NA MWANDISHI:Nehemiah Ngumba nehemiahngumba@gmail.com/+255758089184 Moja ya dhana ambayo hapo mwanzoni ilijengeka kutokana na msingi wa baba wa taifa mwalimiu Julius K. Nyerere nidhahiri kila mwanachi katika ule usemi wa "ELIMU NDIO MKOMBOZI". Mara nyingi tumekuwa tukiona nchi nyingi zikijikwamua katika dimbwi la utumwa hivyo kuutafta ukombozi ili kuishi maisha ambayo yatakuwa sambamba na ukombozi wao. Ni wakati wetu kama Taifa changa japo si neno halisi kwa nchi yetu kutokana na kujipatia uhuru wetu mnamo 1961,december 9 kwa umri huu tulipaswa kuwa Taifa lililokomaa katika kila sekta. Elimu yetu ambayo tuliachiwa kama ukombozi ili kujikwamua katika changamoto mbalimbali ikiwemo mardhi, umasikin pamoja na ujinga bado imekuwa ikikumbwa na matitizo kadha wa kadha na kutufanya tusifikie mnalengo yetu. Taifa letu bado tutaliita changa ikiwa na maana bado tuko hatua za mwanzo za kuhahikisha tunajipatia ukombozi ambao ndio urithi wa vizazi vyetu. Elimu yetu bado imeshindwa kutoa kile tunakiita ukombozi ili wanufaika na elimu hiyo kuleta mapinduzi yatokanayo na ukombozi huo. Tunaamini kwamba vijana waliopata elimu ndio nguzo muhimu katika jamii kwani ndio watakao tumika kama draraja la kuleta mapinduzi na hitimae kujitoa katika dimbwi la giza la utumwa. Mwalimu Nyerere alihimiza elimu itolewayo iendanae na mahitaji ya jamii huska ili kikidhi hitaji la jamii huska kuliko kutoa elimu kandamizi ambayo haiendani na hitaji la jamii huska.
  • 2. Umasikin wa nchi yetu ilikuwa moja ya janga katika kuhahikisha kila mzawa wa nchi hii anajipatia nguzo hii ya elimu ili kuleta ukombozi katika familia, jamii yake pamoja na nchi kiujumla. Mwalimu Nyerere kwa kuliona hili aliamua kutoa elimu bure kwa wale wote waliopata vigezo vya kuendelea na masomo, chagamoto kubwa ilikuwa idadi ya vijana wanaopata nafasi ya kusoma haikuwa sawa na hitaji la jamii huska hivyo jamii kubaki katika giza. Mahitjai ya elimiu yalipoongezeka nidhahiri serikali ilishndwa kuhimili mzigo ndipo ada ikaanza kutozwa kuanzia shule ya msingi mpaka elimu ya juu. Ikumbukwe jamii yetu ilikuwa katika dimbwi la umasikin hivyo ndoto ya kupeleka watoto shule ilizidi kudidimia. Elimu yetu bado haikuweza kukidhi matakwa ya jamii kutokana na kile wanauchumu wanakiita "uwekezaji katika elimu kuwa mdogo ambalo ni zao la umasikini". Kitendo cha nchi yetu kukosa hela ya kuwekaza katika elimu ili kupata zao kubwa amabalo n sawa na hitaji la jamii yetu nidhari kuwa eilmu yetu haikuweza kuwafikia watoto wetu{watoto masikin}. Elimu ilikuwa ipo katika mfumo wa vitendo ili kumuandaa kijana kila anapomaliza ngazi flani ya elimu kujua kipi afanye ili kumuingizia kipato.. Mabadiliko katika utawala nayo hayakuiacha sekta ya elimu katika kile tunaita utunzaji wa ELIMU NDIO MKOMBOZI badala yake wamekuja na kile wanachokiona ni sahihi kwa macho yao huku wakiacha agano la Babba wa TAaifa. Hatima ya maskini kuokoka katika janga la umaskini ni kupata ukombozi huru ambao utamuwezesha kuvuka madaraja yote katika maisha. Ikumbukwe kila mtu amezaliwa na kipaji/vipaji ambavyo vimefichwa na maradhi,ujinga na umaskini vitu hivi vimechangia katika kudidimiza ndoto za wenye maisha magumu kujinasua katika giza hili la umaskini.
  • 3. Pamoja na chi nyingi za Afrika kudai umaskini wao umesababishwa na ukoloni nidhahiri kuna ukweli uliofichika kwani mbio za sakafuni huishia ukingoni ni miaka mingi bado bara la Afrika wapo katika giza hili. Hujuma zilizofanywa na wakoloni kuhakikisha tunakuwa maskini kwa sasa hazina nafasi kutokana na kile tunaiita “UKOMBOZI WA JAMII” baada ya kujipatia uhuru wetu. Matatizo yamezidi kuwa lukuki huku idadi ya watu ikizidi kuongeza na elimu yetu ya kujikomboa imetiwa doa na wenye mamlaka ya kufanya hivyo. Jukumu la nchi zetu baada ya kujipatia uhuru ilikuwa nikuweka misingi imara ili kuhakikisha vijana wanajipatia ujuzi wa namna ya kuendesha maisha yao kutokana na sehemu wanazotoka. Mitaala inayotumika haiksadiki maisha halisi ya wanaafrika kwani utajikuta wakisimulia maisha ya hao waliowatala katika elimu zao jambo ambalo nchi maskini halina tija kwao. Mwanzo wangu ni falsafa moja ambayo imenifanya kuwaza na kujua lkwanini niko hapa na ni klwanini bado jamii iko hivi. Majibu yangu ya juu ya mwanzo nikwanini wimbo wa nchi maskini umekuwa ni ule ule miaka nenda rudi. Mimi kama mhanga wa janga hili la giza kwa kuzaliwa katika janga haina maana niendelee kuwa katika dimbwi la giza. Matumaini yangu yalikuwa kuvuka madaraja yanayopatikana katika nyaja zote japo hali haikuwa kama nilivyodhania hapo awali. Elimu kama nilivyoipa kipaumbele ndio chombo ambacho bado kimekuwa kikietesa jamii yetu na kupelekea wenye ndoto na maono kupotea kwa kile kinachoitwa UKATA. Mbali na neon ukata hata wanapata bahati ya kuingia katika mfumo wa elimu yetu nidhahiri wanamengi yakukosoa japo hawana mda wa kutoa ujumbe kwa jamii yao. Tazama madhara hasi ya elimu yetu ilivopelekwa katika dimbwi la umaskini kwa kufanya kiini macho juu ya utoaji elimu ambayo ni sambamba na maisha ya wazawa na dadal yake kuelezea
  • 4. maisha ya wageni ambao kwenye matumizi ya mali asili zetu kwao ni faida huku wenyeji tukikosa hata ujuzi ni wa[pi pakuanzia kuhakikisha tunapata faida. Wasemavyo ellimu ni gharama na ukiona ni ghari sana jaribu ujinga lakini baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliongea kuhusu moja ya maadui wa maendeleo kuwa ni ujinga hakika tumechukua sehemu ya adui na kumkumbatia kuwa rafiki yet undo matokeo bado tunahangaika ya nini kifanyike kuokoa vizazi vyetu. Kwanza kabisa tunaamini kuwa kama unamtaji unaweza kutengeneza mipango mikubwa juu ya biashara yako lakini tisa kumi utafanikiwa endapo utakuwa na timu ya wataalamu ambao wako tayari kushiriki kuhakiksha mipango yako inaenda sawia. Kwa nchi yetu nidhahiri hatujawekeza kabisa kwania njema ya kupata matokeo chanya juu ya elimu hata jopo la wataalamu wanaohuska wameshindwa kujumlisha mazingira ya wazawa ili kutoa elimu inayoendana na mahtaji ya jamii na sayansi pamoja na teknolojia ili kupata maendeleo ya haraka. ITAENDELEA…………………………………………………………………………….. ELIMU YANGU NCHI YANGU Nehemiah Ngumba