SlideShare a Scribd company logo
1 of 43
MAGONJWA YA NGONO NA
UKIMWI
Imeandaliwa na:
Mwashitete, Donald 0765431666
Afisa Muuguzi
Tukuyu Hospitali
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
2
MAGONJWA YA NGONO
Utangulizi
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
3
 Maradhi ya zinaa ni magonjwa ya
maambukizi zaidi ya 25 ambayo kimsingi
husambazwa kutoka mtu mmoja hadi
mwingine kwa kujamiiana.
 Maradhi ya zinaa ni namna ya kutaja
magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya
vitendo vya kijinsia.
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
4
 Magonjwa ya zinaa ni miongoni mwa
maambukizi yanayofahamika sana na
yaliyoleta madhara makubwa hasa katika
nchi zinazoendelea ambazo nyingi ziko
barani Afrika.
 Maradhi hayo yanaweza yakaambukizwa
kwa njia nyingine pia.
Magonjwa ya zinaa
yanayofahamika
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
5
Klamidia
Kisonono
Kaswende
Malengelenge sehemu za siri
UKIMWI
Dutu za Sehemu za Siri
Trikomonasi
Klamidia
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
6
 Klamidia ni ugonjwa wa
kuambukiza ambao husababishwa
na bakteria wanaoitwa
kisayansi kama Chlamydia trachomatis.
 Ugonjwa huo huwa hauonyeshi dalili za
wazi kwa karibia asilimia 75
ya wanawake na asilimia 50 ya wanaume,
hivyo maambukizi mengi hushindwa
kufahamika mapema.
Klamidia...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
7
 Watu ambao hawajafahamu kuwa
wameambukizwa klamidia wanaweza
wasitafute tiba na hivyo wakaendelea
kufanya ngono, bila ya kujua kuwa
wanaeneza ugonjwa.
Wakati dalili zinapoanza
kujitokeza
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
8
 Wanawake wanaweza kutokwa damu nje
ya kipindi chao, maumivu wakati wa
kukojoa, kutokwa usaha katika uke, au
maumivu chini ya kitovu.
 Wanaume husikia maumivu wakati wa
kukojoa au kutokwa usaha katika uume.
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
9
Kisonono
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
10
 Kisonono au Kisalisali ni maradhi ya zinaa
ambayo husababishwa na bakteria
wanaofahamika kisayansi kama Neisseria
gonorrhoeae.
 Bakteria hao hushambulia utandotelezi
unaozunguka sehemu za siri.
Kisonono...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
11
 Kisonono huonekana kwa urahisi kwa
wanaume ambao hutoa usaha kutoka
katika mfereji wa mkojo (urethra).
 Huanza kidogo, lakini huongezeka na
huwa mwingi na kusababisha kusikia haja
ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa
na maumivu.
Kisonono...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
12
 Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha
magonjwa ya uvimbe kwenye via vya
uzazi (Pelvic Infiammatory disease) kwa
wanawake.
 Watoto wanaozaliwa na mama wenye
kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa
wakati wa kuzaliwa.
 Maambukizo haya yanaweza kusababisha
magonjwa ya meno kwa watoto
wachanga.
Kisonono...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
13
 Kisonono kikisambaa na kufikia tezi
kibofu, mfereji wa mkojo huziba kwa kiasi
fulani.
 Kwa wanawake maambukizi hutokea
katika urethra, uke au mlango wa
uzazi (cervix).
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
14
Kaswende
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
15
 Kaswende ni gonjwa tishio
linalosababishwa
na bakteria wanaofahamika
kama Treponema pallidum.
 Katika hatua za mwanzo, vipele katika
sehemu za uzazi huanza kujitokeza muda
mfupi baada ya maambukizi ambavyo
baadaye hupotea vyenyewe.
Kaswende...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
16
 Kama ugonjwa hautatibiwa, maambukizi
huendelea kwa miaka, yakishambulia
mifupa, ubongo na moyo na kusababisha
madhara mengine yanayotokana na
matatizo katika mfumo wa fahamu kama
vile:
homa ya uti wa mgongo
magonjwa ya moyo na
kiharusi.
Kaswende...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
17
 Kaswende wakati wa ujauzito unaweza
kuwa hatari kubwa kwa kiumbe tumboni,
kama vile kusababisha kutoumbika vizuri
(deformity) na kifo.
3/8/2019
18
MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
Malengelenge sehemu za siri
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
19
 Ugonjwa wa malengelenge katika sehemu
za siri husababishwa na maambukizi
ya herpes simplex virus(HSV).
Dutu za Sehemu za Siri
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
20
 Dutu huota katika uume na katika eneo la
kuzunguka uke na mkunduni.
 Husababishwa na kundi
la virusi lifahamikalo kama human
papillomavirus (HPV) ambao husambazwa
wakati wa kujamiiana.
 Dutu za sehemu za siri zinaweza kutibiwa
na kuondolewa kwa upasuaji mdogo.
Trikomonasi
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
21
 Trikomonasi husababishwa na
maambukizi ya protozoa anayefahamika
kisayansi kama Trichomonas vaginalis.
 Ugonjwa huu husababisha muwasho na
karaha katika uke kwa wanawake na
katika mfereji wa mkojo kwa wanaume.
Dalili za kawaida za ugonjwa wa
zinaa
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
22
 Kuhisi maumivu au kuungua wakati wa
kukojoa.
 Kuwashwa, kutokwa na uchafu au harufu
isiyokuwa ya kawaida ukeni, kwenye uume
au njia ya haja kubwa.
 Kwa wanawake hupata maumivu makali
chini ya tumbo (kinena).
 Kuwa na uvimbe, vidonda au vipele mara
nyingi kuzunguka sehemu za siri au eneo
la njia ya haja kubwa.
Kuzuia na kudhibiti
maambukizi
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
23
Hatua rahisi zinaweza kutumika kuzuia
maambukizi ya magonjwa ya zinaa.
 Hatua ambayo ni madhubuti kuliko zote ni
kuepuka ngono kabisa.
 Bila ya kukutana kimwili hakuna
uwezekano wa kupata maambukizi
ya zinaa.
Kuzuia na kudhibiti
maambukizi
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
24
 Kuwa na mwenzi mmoja tu katika ndoa na
kwa wale wanaojiingiza katika mahusiano
pia husaidia kupunguza hatari ya
maambukizi.
 Kondomu inakinga dhidi ya maambukizi
hayo lakini si kinga kamili kwa asilimia mia
moja.
Kuzuia na kudhibiti
maambukizi
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
25
 Kondomu huwa haifuniki sehemu yote ya
siri ambayo hukutana wakati wa kufanya
ngono, na uwezekano wa kupata
maambukizi ya zinaa bado upo,
hasa malengelenge na dutu.
 Matibabu yote lazima yafuatwe hata kama
matumizi ya awali ya dawa yalipelekea
dalili zote kutoweka
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
26
UKIMWI
UKIMWI...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
27
 Upungufu wa Kinga Mwilini (kwa kifupi
UKIMWI; ni ugonjwa unaotokana na virusi
ambavyo hushambulia kinga mwili kwa
kuondoa nguvu zake za kupambana na
maradhi.
 UKIMWI ni ugonjwa wa zinaa hatari na
usiotibika ambao hushambulia mfumo wa
kinga ya mwili na kumwacha mgonjwa akiwa
hana hata uwezo wa kujikinga dhidi ya
UKIMWI...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
28
 Maambukizi ya VVU haimaanishi kuwa
mtu ana UKIMWI.
 Baadhi ya watu wanaweza kuwa na
maambukizi ya VVU na wasionyeshe hali
ya kuumwa ile inayotambulika kama
UKIMWI kwa miaka kumi au zaidi.
UKIMWI...
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
29
 Ugonjwa huu pia unasababisha madhara
ya kiuchumi ambayo ni makubwa, hasa
kwa nchi maskini.
 UKIMWI hadi hivi sasa
haina chanjo wala tiba.
Uambukizaji
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
30
 VVU husambaa hasa kupitia njia tatu kuu:
 Ngono (ikiwa ni pamoja na ulawiti na
hata ngono ya mdomoni),
 Kuingiliana na viowevu vya mwili
vilivyoambukizwa (hasa kuongezewa
damu au kudungwa sindano) na
 Kutoka kwa mama hadi mtoto wakati wa
ujauzito, kuzaa au kunyonyesha.
Uhusiano Kati ya VVU na
Magonjwa Mengine Ya Zinaa
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
31
 Uambukizo wa ugonjwa wowote wa zinaa
unamfanya mtu awe kwenye hatari zaidi ya
kupata VVU.
 Maambukizo ya ugonjwa unaotokana na
ngono huweza kusababisha kuchanika kwa
ngozi, vidonda, au michubuko kwenye
sehemu za mwili ambazo ziko kwenye hatari
ya kupata uambukizo wa VVU kama Uke, na
kufanya iwe rahisi zaidi kwa virusi kuingia
kwenye mishipa ya damu.
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
32
 Tabia hatarishi ambayo inaweza
kusababishia kuambukizwa ugonjwa
mmoja pia huongeza uwezekano wa
kuambukizwa magonjwa mengine.
 Mwenzi mwenye ugonjwa mmoja wa
zinaa huweza kuwa na magonjwa
mengine.
Jinsi ya kujikinga au kuzuia
maambukizi ya virusi vya
UKIMWI
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
33
 Hakikisha unatumia zana pindi
unapofanya ngono.
 Nenda kapime na upate tiba ya magonjwa
mengine ya zinaa.
 Pima na kujijua mapema, kunasaidia
kulinda afya yako na kuzuia
kuwaambukiza wengine
Jinsi ya kujikinga…
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
34
 Hakikisha damu unayowekewa imepimwa
na haina virusi vya ukimwi
 Kutahiriwa kwa wanamume kunasaidia
kupunguza maambukizi.
Jinsi ya kujikinga…
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
35
 Matumizi ya mapema na yaliyo bora ya
dawa za kufubama makali ya virusi vya
ukimwi (ARV) husaidia kukufanya uishi na
afya bora pia kupunguza maambukizi kwa
wengine.
 Kuishi maisha yanayompendeza mungu
kwa kuacha kuzini kabla na nje ya ndoa
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
36
WAPI PA KWENDA KUPATA
HUDUMA
1. Kliniki za afya za umma
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
37
 Kliniki za magonjwa yanayoambukizwa
kwa njia ya ngono zilizo chini ya udhamini
wa serikali hutoa huduma bure kwa vijana
na hutoa pia huduma bila kujali uwezo wa
mtu wa kulipa.
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
38
 Wataalamu wa kliniki za magonjwa ya
zinaa ni wenye ujuzi wa hali ya juu katika
kufanya vipimo, kufanya uchunguzi, na
kutibu magonjwa ya aina hii, na mazingira
ya matibabu huwa ni ya usiri zaidi kuliko
ya ofisi ya wahudumu wa kawaida.
2. Kliniki za uzazi wa
mpango
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
39
 Wataalam wengi wa uzazi wa mpango pia
hutoa ushauri nasaha kuhusu magonjwa
ya ngono na upimaji au rufaa.
 Kama hawatoi huduma hizi watakuelekeza
wapi utakapozipata.
 Wengi wao huduma zao huwa ni za
gharama nafuu na huduma hutolewa
kutokana na kipato cha mtu.
3. Wataalam wa afya ya jamii
(madaktari).
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
40
 Nenda kwa wahudumu wako wa afya wa
siku zote kama utajisikia huru kuongea
nao na kama wanatoa majibu mazuri
yanayoeleweka ya maswali yako.
 Siyo wataalam wote wana vifaa vya
kufanyia vipimo vya ugonjwa wa zinaa kila
mara, na pia wanaweza kuwa
hawafahamu kwa undani zaidi kuhusu
haya magonjwa.
HITIMISHO
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
41
 Magonjwa ya ngono ni magonjwa
yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiana
na mtu mwenye uambukizo.
 UKIMWI ni hatua ya mwisho ya
kushambuliwa kwa kinga mwili ambapo mtu
huonesha dalili za ugonjwa.
HITIMISHO…
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
42
 VVU ni vimelea vidogo visivyoonekana
kwa macho ambavyo hushambulia kinga
mwili.
 Mtu mwenye magonjwa ya ngono yupo
kwenye hatari kubwa ya kupata
maambukizi ya VVU/UKIMWI.
3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI
43
SWALI NA MAONI !!!

More Related Content

What's hot

Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-pptAdolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
Nursing Path
 

What's hot (20)

HARMFUL TRADITIONAL PRACTICE updated.docx
HARMFUL TRADITIONAL PRACTICE updated.docxHARMFUL TRADITIONAL PRACTICE updated.docx
HARMFUL TRADITIONAL PRACTICE updated.docx
 
Tuberculosis
Tuberculosis Tuberculosis
Tuberculosis
 
Bordetella pertussis
Bordetella pertussisBordetella pertussis
Bordetella pertussis
 
Pediatricpneumonia
PediatricpneumoniaPediatricpneumonia
Pediatricpneumonia
 
Ari
AriAri
Ari
 
Complicated and uncomplicated malaria
Complicated and uncomplicated malariaComplicated and uncomplicated malaria
Complicated and uncomplicated malaria
 
Acute respiratory infections
Acute respiratory infectionsAcute respiratory infections
Acute respiratory infections
 
Rubella
RubellaRubella
Rubella
 
COMMON COLD IN CHILDREN
COMMON COLD IN CHILDRENCOMMON COLD IN CHILDREN
COMMON COLD IN CHILDREN
 
Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-pptAdolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
Adolescent pregnancy-pediatric-nursing-ppt
 
abortion ppt
abortion pptabortion ppt
abortion ppt
 
Cryptosporidiosis in a young immunocompromised patient
Cryptosporidiosis in a young immunocompromised patientCryptosporidiosis in a young immunocompromised patient
Cryptosporidiosis in a young immunocompromised patient
 
Covid -19
Covid -19Covid -19
Covid -19
 
Dengue fever
Dengue feverDengue fever
Dengue fever
 
Meningococal menengitis presentation
Meningococal menengitis presentationMeningococal menengitis presentation
Meningococal menengitis presentation
 
OVERVIEW OF HUMAN MONKEY POX VIRUS DISEASE.pptx
OVERVIEW OF HUMAN MONKEY POX VIRUS DISEASE.pptxOVERVIEW OF HUMAN MONKEY POX VIRUS DISEASE.pptx
OVERVIEW OF HUMAN MONKEY POX VIRUS DISEASE.pptx
 
Tuberculosis by Faith Chelang'at
Tuberculosis by Faith Chelang'atTuberculosis by Faith Chelang'at
Tuberculosis by Faith Chelang'at
 
Presentation on World Immunization Day by Epillo Health Systems
Presentation on World Immunization Day by Epillo Health SystemsPresentation on World Immunization Day by Epillo Health Systems
Presentation on World Immunization Day by Epillo Health Systems
 
PNEUMONIA
PNEUMONIAPNEUMONIA
PNEUMONIA
 
Diphtheria
Diphtheria Diphtheria
Diphtheria
 

MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI

  • 1. MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI Imeandaliwa na: Mwashitete, Donald 0765431666 Afisa Muuguzi Tukuyu Hospitali
  • 2. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 2 MAGONJWA YA NGONO
  • 3. Utangulizi 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 3  Maradhi ya zinaa ni magonjwa ya maambukizi zaidi ya 25 ambayo kimsingi husambazwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kwa kujamiiana.  Maradhi ya zinaa ni namna ya kutaja magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya vitendo vya kijinsia.
  • 4. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 4  Magonjwa ya zinaa ni miongoni mwa maambukizi yanayofahamika sana na yaliyoleta madhara makubwa hasa katika nchi zinazoendelea ambazo nyingi ziko barani Afrika.  Maradhi hayo yanaweza yakaambukizwa kwa njia nyingine pia.
  • 5. Magonjwa ya zinaa yanayofahamika 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 5 Klamidia Kisonono Kaswende Malengelenge sehemu za siri UKIMWI Dutu za Sehemu za Siri Trikomonasi
  • 6. Klamidia 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 6  Klamidia ni ugonjwa wa kuambukiza ambao husababishwa na bakteria wanaoitwa kisayansi kama Chlamydia trachomatis.  Ugonjwa huo huwa hauonyeshi dalili za wazi kwa karibia asilimia 75 ya wanawake na asilimia 50 ya wanaume, hivyo maambukizi mengi hushindwa kufahamika mapema.
  • 7. Klamidia... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 7  Watu ambao hawajafahamu kuwa wameambukizwa klamidia wanaweza wasitafute tiba na hivyo wakaendelea kufanya ngono, bila ya kujua kuwa wanaeneza ugonjwa.
  • 8. Wakati dalili zinapoanza kujitokeza 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 8  Wanawake wanaweza kutokwa damu nje ya kipindi chao, maumivu wakati wa kukojoa, kutokwa usaha katika uke, au maumivu chini ya kitovu.  Wanaume husikia maumivu wakati wa kukojoa au kutokwa usaha katika uume.
  • 10. Kisonono 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 10  Kisonono au Kisalisali ni maradhi ya zinaa ambayo husababishwa na bakteria wanaofahamika kisayansi kama Neisseria gonorrhoeae.  Bakteria hao hushambulia utandotelezi unaozunguka sehemu za siri.
  • 11. Kisonono... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 11  Kisonono huonekana kwa urahisi kwa wanaume ambao hutoa usaha kutoka katika mfereji wa mkojo (urethra).  Huanza kidogo, lakini huongezeka na huwa mwingi na kusababisha kusikia haja ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa na maumivu.
  • 12. Kisonono... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 12  Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha magonjwa ya uvimbe kwenye via vya uzazi (Pelvic Infiammatory disease) kwa wanawake.  Watoto wanaozaliwa na mama wenye kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa wakati wa kuzaliwa.  Maambukizo haya yanaweza kusababisha magonjwa ya meno kwa watoto wachanga.
  • 13. Kisonono... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 13  Kisonono kikisambaa na kufikia tezi kibofu, mfereji wa mkojo huziba kwa kiasi fulani.  Kwa wanawake maambukizi hutokea katika urethra, uke au mlango wa uzazi (cervix).
  • 15. Kaswende 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 15  Kaswende ni gonjwa tishio linalosababishwa na bakteria wanaofahamika kama Treponema pallidum.  Katika hatua za mwanzo, vipele katika sehemu za uzazi huanza kujitokeza muda mfupi baada ya maambukizi ambavyo baadaye hupotea vyenyewe.
  • 16. Kaswende... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 16  Kama ugonjwa hautatibiwa, maambukizi huendelea kwa miaka, yakishambulia mifupa, ubongo na moyo na kusababisha madhara mengine yanayotokana na matatizo katika mfumo wa fahamu kama vile: homa ya uti wa mgongo magonjwa ya moyo na kiharusi.
  • 17. Kaswende... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 17  Kaswende wakati wa ujauzito unaweza kuwa hatari kubwa kwa kiumbe tumboni, kama vile kusababisha kutoumbika vizuri (deformity) na kifo.
  • 19. Malengelenge sehemu za siri 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 19  Ugonjwa wa malengelenge katika sehemu za siri husababishwa na maambukizi ya herpes simplex virus(HSV).
  • 20. Dutu za Sehemu za Siri 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 20  Dutu huota katika uume na katika eneo la kuzunguka uke na mkunduni.  Husababishwa na kundi la virusi lifahamikalo kama human papillomavirus (HPV) ambao husambazwa wakati wa kujamiiana.  Dutu za sehemu za siri zinaweza kutibiwa na kuondolewa kwa upasuaji mdogo.
  • 21. Trikomonasi 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 21  Trikomonasi husababishwa na maambukizi ya protozoa anayefahamika kisayansi kama Trichomonas vaginalis.  Ugonjwa huu husababisha muwasho na karaha katika uke kwa wanawake na katika mfereji wa mkojo kwa wanaume.
  • 22. Dalili za kawaida za ugonjwa wa zinaa 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 22  Kuhisi maumivu au kuungua wakati wa kukojoa.  Kuwashwa, kutokwa na uchafu au harufu isiyokuwa ya kawaida ukeni, kwenye uume au njia ya haja kubwa.  Kwa wanawake hupata maumivu makali chini ya tumbo (kinena).  Kuwa na uvimbe, vidonda au vipele mara nyingi kuzunguka sehemu za siri au eneo la njia ya haja kubwa.
  • 23. Kuzuia na kudhibiti maambukizi 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 23 Hatua rahisi zinaweza kutumika kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa.  Hatua ambayo ni madhubuti kuliko zote ni kuepuka ngono kabisa.  Bila ya kukutana kimwili hakuna uwezekano wa kupata maambukizi ya zinaa.
  • 24. Kuzuia na kudhibiti maambukizi 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 24  Kuwa na mwenzi mmoja tu katika ndoa na kwa wale wanaojiingiza katika mahusiano pia husaidia kupunguza hatari ya maambukizi.  Kondomu inakinga dhidi ya maambukizi hayo lakini si kinga kamili kwa asilimia mia moja.
  • 25. Kuzuia na kudhibiti maambukizi 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 25  Kondomu huwa haifuniki sehemu yote ya siri ambayo hukutana wakati wa kufanya ngono, na uwezekano wa kupata maambukizi ya zinaa bado upo, hasa malengelenge na dutu.  Matibabu yote lazima yafuatwe hata kama matumizi ya awali ya dawa yalipelekea dalili zote kutoweka
  • 26. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 26 UKIMWI
  • 27. UKIMWI... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 27  Upungufu wa Kinga Mwilini (kwa kifupi UKIMWI; ni ugonjwa unaotokana na virusi ambavyo hushambulia kinga mwili kwa kuondoa nguvu zake za kupambana na maradhi.  UKIMWI ni ugonjwa wa zinaa hatari na usiotibika ambao hushambulia mfumo wa kinga ya mwili na kumwacha mgonjwa akiwa hana hata uwezo wa kujikinga dhidi ya
  • 28. UKIMWI... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 28  Maambukizi ya VVU haimaanishi kuwa mtu ana UKIMWI.  Baadhi ya watu wanaweza kuwa na maambukizi ya VVU na wasionyeshe hali ya kuumwa ile inayotambulika kama UKIMWI kwa miaka kumi au zaidi.
  • 29. UKIMWI... 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 29  Ugonjwa huu pia unasababisha madhara ya kiuchumi ambayo ni makubwa, hasa kwa nchi maskini.  UKIMWI hadi hivi sasa haina chanjo wala tiba.
  • 30. Uambukizaji 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 30  VVU husambaa hasa kupitia njia tatu kuu:  Ngono (ikiwa ni pamoja na ulawiti na hata ngono ya mdomoni),  Kuingiliana na viowevu vya mwili vilivyoambukizwa (hasa kuongezewa damu au kudungwa sindano) na  Kutoka kwa mama hadi mtoto wakati wa ujauzito, kuzaa au kunyonyesha.
  • 31. Uhusiano Kati ya VVU na Magonjwa Mengine Ya Zinaa 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 31  Uambukizo wa ugonjwa wowote wa zinaa unamfanya mtu awe kwenye hatari zaidi ya kupata VVU.  Maambukizo ya ugonjwa unaotokana na ngono huweza kusababisha kuchanika kwa ngozi, vidonda, au michubuko kwenye sehemu za mwili ambazo ziko kwenye hatari ya kupata uambukizo wa VVU kama Uke, na kufanya iwe rahisi zaidi kwa virusi kuingia kwenye mishipa ya damu.
  • 32. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 32  Tabia hatarishi ambayo inaweza kusababishia kuambukizwa ugonjwa mmoja pia huongeza uwezekano wa kuambukizwa magonjwa mengine.  Mwenzi mwenye ugonjwa mmoja wa zinaa huweza kuwa na magonjwa mengine.
  • 33. Jinsi ya kujikinga au kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 33  Hakikisha unatumia zana pindi unapofanya ngono.  Nenda kapime na upate tiba ya magonjwa mengine ya zinaa.  Pima na kujijua mapema, kunasaidia kulinda afya yako na kuzuia kuwaambukiza wengine
  • 34. Jinsi ya kujikinga… 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 34  Hakikisha damu unayowekewa imepimwa na haina virusi vya ukimwi  Kutahiriwa kwa wanamume kunasaidia kupunguza maambukizi.
  • 35. Jinsi ya kujikinga… 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 35  Matumizi ya mapema na yaliyo bora ya dawa za kufubama makali ya virusi vya ukimwi (ARV) husaidia kukufanya uishi na afya bora pia kupunguza maambukizi kwa wengine.  Kuishi maisha yanayompendeza mungu kwa kuacha kuzini kabla na nje ya ndoa
  • 36. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 36 WAPI PA KWENDA KUPATA HUDUMA
  • 37. 1. Kliniki za afya za umma 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 37  Kliniki za magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya ngono zilizo chini ya udhamini wa serikali hutoa huduma bure kwa vijana na hutoa pia huduma bila kujali uwezo wa mtu wa kulipa.
  • 38. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 38  Wataalamu wa kliniki za magonjwa ya zinaa ni wenye ujuzi wa hali ya juu katika kufanya vipimo, kufanya uchunguzi, na kutibu magonjwa ya aina hii, na mazingira ya matibabu huwa ni ya usiri zaidi kuliko ya ofisi ya wahudumu wa kawaida.
  • 39. 2. Kliniki za uzazi wa mpango 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 39  Wataalam wengi wa uzazi wa mpango pia hutoa ushauri nasaha kuhusu magonjwa ya ngono na upimaji au rufaa.  Kama hawatoi huduma hizi watakuelekeza wapi utakapozipata.  Wengi wao huduma zao huwa ni za gharama nafuu na huduma hutolewa kutokana na kipato cha mtu.
  • 40. 3. Wataalam wa afya ya jamii (madaktari). 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 40  Nenda kwa wahudumu wako wa afya wa siku zote kama utajisikia huru kuongea nao na kama wanatoa majibu mazuri yanayoeleweka ya maswali yako.  Siyo wataalam wote wana vifaa vya kufanyia vipimo vya ugonjwa wa zinaa kila mara, na pia wanaweza kuwa hawafahamu kwa undani zaidi kuhusu haya magonjwa.
  • 41. HITIMISHO 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 41  Magonjwa ya ngono ni magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiana na mtu mwenye uambukizo.  UKIMWI ni hatua ya mwisho ya kushambuliwa kwa kinga mwili ambapo mtu huonesha dalili za ugonjwa.
  • 42. HITIMISHO… 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 42  VVU ni vimelea vidogo visivyoonekana kwa macho ambavyo hushambulia kinga mwili.  Mtu mwenye magonjwa ya ngono yupo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI.
  • 43. 3/8/2019MAGONJWA YA NGONO NA UKIMWI 43 SWALI NA MAONI !!!