SlideShare a Scribd company logo
1 of 8
Download to read offline
HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA


RISALA ILIYOSOMWA NA ENG TANU DEULE, MHANDISI WA MAJI WA WILAYA YA
BUNDA KWENYE SIKU YA KILELE CHA WIKI YA MAJI KATIKA KIJIJI CHA TAIRO
                             TAREHE 22-MACHI-2011


Mh. Mgeni Rasmi

Wah. Viongozi mliofika hapa wa chama na serikali

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Bunda Mr Jumanne Turbet

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Bunda

Wafanyakazi wenzangu wa Idara ya Maji ya Halmashauri ya wilaya ya Bunda

Wafanyakazi wenzetu wa Halmashauri mliofika hapa kutuunga mkono

Uongozi mzima wa Shule ya Msingi Tairo

Ndugu zetu waandishi wa habari

Wananchi Mabibi na mabwana


Tumsifu Yesu Kristu

Asalam aleykum


Awali ya yote naomba kumshukuru mwenyezi Mungu, kwa kutujalia pumzi, afya na

nguvu ya kusherehekea kilele cha wiki ya maji hapa Wilayani kwetu. Siku ya leo ni

mhimu kwasababu ni siku ya maji duniani kote yaani “World Water day”.



Ninayofuraha kubwa kupata fursa ya kuadhimisha wiki ya maji katika kijiji hiki kwani

ni nafasi nzuri ya kuzidi kufahamiana na wanajamii ambao ndio wadau mhimu wa

usalama na uendelevu wa miundombinu yetu ya maji ya Mjini Bunda.
Mh. Mgeni Rasmi

Tarehe 22 Machi kila mwaka ni siku ya Maji Duniani. Maji ni uhai, na upatikanaji wa

maji ni chachu ya maendeleo kwa kila mwanajamii.Hii ndiyo sababu kuu taifa letu

kuadhimisha wiki ya maji kwa nia ya kutathimini hali ya upatikanaji wa huduma ya

maji na usafi wa mazingira na kujiwekea mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji

safi na salama.



Wananchi wa Wilaya ya Bunda leo wanaungaana na taifa zima kuadhimisha kilele cha

wiki ya maji. Wiki iliyozinduliwa tarehe16/3/2011 Jijini Mwanza na Waziri wa Maji,

Prof Mark Mwandosya (MB). Tangu mwaka 1988, maadhimisho haya ya wiki ya maji ni

ya 23 na kauli mbiu ya mwaka huu ni           “Maji kwaajili ya Miji: kukabiliana na

changamoto mbalimbali Mijini”



Kauli mbiu ya mwaka huu inagusa maji mijini na changamoto zake. Miji inayotajwa

katika kauli mbiu hii ni pamoja na mji wa Bunda. Na hapa utaona maadhimisho ya

wiki ya maji mwaka huu yamezinduliwa kwenye viunga vya mjini na yanahitimishwa

kwenye viunga vya mjini pia.



Mh. Mgeni Rasmi,

Kuhusu malengo ya MKUKUTA na MILENIA kuhusu utoaji wa huduma ya Maji

Sera ya Maji ya Taifa ya mwaka 2002 iliweka madhumuni ya kuongeza na kuimarisha

hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama toka asilimia 54(2005) hadi

asilimia 65 kwa wakazi waishio vijijini, na kutoka asilimia 74 (2005) hadi asilimia 90

kwa wakazi waishio mijini ifikapo mwaka 2010. Lengo kuu ilikuwa ni kupunguza

umasikini na kuwa na maisha bora kwa watu wote. Malengo haya yameshindwa

kufikiwa kwa wilaya ya Bunda kwa sababu mbalimbali na hivyo kuwa nyuma ya




                                          2
utekelezaji wa malengo ya MKUKUTA, Malengo ya Milenia (MDGs) na Dira ya Taifa

ya Maendeleo (Development Vision 2025)




Mh. Mgeni Rasmi
Hali ya huduma ya maji kiwilaya

Asilimia 47.7 ya wakazi wa vijijini wanapata maji safi na salama. Vyanzo vikuu vya

huduma ya maji vijinini ni Visima virefu na vifupi, ziwa Victoria, matanki ya kuvuna

maji ya mvua, visima vya asili na malambo. Kiwango cha utoaji huduma ya maji

wilayani Bunda ni cha chini ukilinganisha na wastani wa kitaifa wa utoaji wa huduma

ya maji ambao ni asilimia 58 (2010). Hali hii ni changamoto kwetu kama wilaya na jamii

zetu kuhakikisha tunaongeza upatikanaji wa huduma ya maji wilayani Bunda.



Mh. Mgeni Rasmi

Kuhusu chombo chenye mamlaka ya kutoa huduma ya maji Bunda mjini

Jukumu la utoaji wa huduma ya maji Mjini Bunda lipo chini ya Mamlaka ya Maji

Bunda yaani Bunda Water Supply Authority. Hii ni Mamlaka kamili iliyoanzishwa

tarehe 21/6/2002 baada ya kutangazwa kwenye gazeti la serikali. Bodi yake ya kwanza

iliteuliwa tarehe 1Juni 2003 na hivi sasa kuna Bodi ya tatu iliyoteuliwa rasmi tarehe 10

januari mwaka huu wa 2011.



Mh. Mgeni Rasmi

Kuhusu mafanikio ya Mamlaka ya Maji kwa miaka5 iliyopita (2006-2010)

•   Kiwango cha maji yanayozalishwa kwa siku yameongezeka kutoka lita 720,000

    mwaka 2006 hadi liata 1,260,000 mwaka 2010

•   Wateja wameongezeka kutoka 650 mwaka 2006 hadi wateja1,227 mwaka 2010

•   Wastani wa watu wenye maji ya bomba wameongezeka kutoka asilimia 22 mwaka

    2006 hadi asilimia 27.4 mwaka 2010

                                           3
•   Mapato kwa mwaka yamekuwa kutoka 20,246,311(2006) hadi 74,184,663 (2010)

•   Mamlaka imepunguza maji yanayopotea Unaccountable for Water) toka 75% (2006)

    hadi 42(2010)

•   Mamlaka imepata pikipiki 3 na Laptop 1

•   Kituo cha ushahi kimejengewa Uzio

•   Tangi la Mgaja limekarabatiwa na Maji sasa yanasukumwa hadi hospitali ya

    Manyamanyama

•   Mtandao wa mabomba umeongezwa kutoka 49km 73km hivi sasa

•   Nyumba ya pampu imekarabatiwa na kujengwa chumba cha wahudumu Mgaja



Mh. Mgeni Rasmi

Kuhusu mradi Mpya wa Maji Bunda Mjini

Takwimu iliyoonyeshwa hapo juu kwamba katika watu 100 ni watu 27 tu ndo

wanapata maji ya bomba inadhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo na kwamba

changamoto hii ni kubwa sana kwetu. Hivyo basi, Halmashauri kwa kushirikiana na

Wizara ya Maji na kwa Msukumo wa pekee wa mheshimiwa Mbunge wa jimbo la

Bunda, Mh. Stephen M. Wasira (MB) na Waziri wa nchi ofisi ya raisi –Mawasiliano na

Uratibu, tumeanza kutekeleza mradi mpya wa maji hapa Bunda mjini utakaokuwa na

chanzo chake kwenye kijiji cha Nyabehu kilichopo umbali wa kilomita 26 kutoka mjini.



Mradi huu ni mkubwa na una gharimu fedha nyingi. Mradi umekuwa unatekelezwa

kadiri fedha zilivyokuwa zinapatikana kama ifuatavyo;

Awamu ya I: Zimenunuliwa pampu mpya 9 za kusukuma maji na tayari zipo hapa

             Wilayani Bunda zimetunzwa kwenye Bohari yetu

Awamu ya II: Umefanyika ujenzi wa

            i. Tengi la maji Migungani lenye ujazo wa lita 225,000

            ii. Tengi la kwenye Mlima Kaswaka lenye ujazo wa lita 675,000


                                          4
iii. Nyumba ya kufunga pampu (Pump House)

           iv. Nyumba ya wahudumu wa pamp (pump attendant house) na choo yake

           v. Barabara ya kwenda kwenye tengi la maji kwenye Mlima Kaswaka

Awamu ya II: Awamu hii bado haijatekelezwa lakini itahusisha kazi zifuatazo

             •   Ujenzi wa chujio (treatment plant)

             •   Kununua na kulaza mabomba ya bomba kuu kilometa 26

             •   Kusimika pampu

             •   Kuingiza umeme wenye msongo mkubwa, na

             •   Kusuka mtandao mpya wa usambazaji maji hapa mjini

Mh. Mgeni Rasmi

Awamu hii ya tatu ndiyo awamu inayohitaji fedha nyingi zaidi kuliko awamu

zilizopita. Makisio ya awali yanaonesha kuwa zitahitajika zaidi ya shilingi billion kumi

(10Billions) kukamilisha mradi huu kiasi ambacho ni kikubwa ukilinganisha na

takribani billion moja ambayo imekwishatumika kwa awamu ya I na awamu ya II.



Habari njema ni kwamba, mradi huu sasa utatengewa bajeti kubwa kwenye mwaka wa

fedha wa 2011/2012 ili ukamilike. Hii pia ilipewa uzito na kauli ya Mh Waziri wa Maji

tarehe 16/3/2011 kwenye uzinduzi wa wiki ya maji pale alipo thibitishia umma kwa

kusema, nanukuu “sasa tumedhamiria kuukamilisha mradi wa Bunda na

tutaukamilisha” mwisho wa kunukuu.



Hata hivyo mheshimiwa mgeni rasmi kazi za awali za maandalizi ya awamu hii ya tatu

zimeshaanza kufanyika kwani mhandisi mshauri ameshapatikana na anafanya kazi ya

kuandaa zabuni za ujenzi wa chujio, zabuni za ununuzi na utandazaji wa mabomba ya

maji, na anaandaa zabuni za uwekaji umeme wa msongo mkubwa na usimikaji wa

mitambo. Mradi huu kwa ujumla unasimamiwa na Mamlaka ya Maji taka na Maji Safi




                                           5
Musoma kwaniaba ya Wizara ya Maji na kwa upande wa Halmashauri wapo Mamlaka

ya Maji ya Bunda.




Mh. Mgeni Rasmi
changamoto zinazoikabili Mamlaka ya Maji Bunda Mjini;

      i. Miundimbinu ya maji inahujumiwa kwa bomba kutobolewa na wafugaji wa

        vijiji vya njiani kwenye bomba kuu ambavyo ni Guta, Tairo na Migungani

     ii. Uchakavu wa miundombinu ya maji hasa mabomba na mitambo

     iii. Mamlaka inapoteza maji kiasi cha asilimia 46% kwa mwaka 2010

     iv. Kukatika nishati ya umeme mara kwa mara kumesababisha kuunguza pampu

        zetu za maji na vifaa vyake

     v. Watumiaji maji kutolipa Ankara zao za maji kwa wakati

     vi. Maji yanayosukumwa kutokidhi mahitaji ya jamii

    vii. Ukosefu wa fedha za kulipia Billi ya Umeme kwani ruzuku mara inakuja

        kidogo au miezi mingine ruzuku haiji kabisa na TANESCO hutishia kukata

        umeme mara kwa mara.

    viii. Mwaka 2006 tulikwisha fanya mategenezo ya mabomba mara 253 na hivi sasa

        tumefikia mara 1,085 kwa mwaka 2010 hali ambayo inaonesha kuwa uhujumu

        wa miundombinu yetu unazidi kuongezeka badala ya kupunguza.




Mikakati inayotumika kukabiliana na changamoto hizi ni kama ifuatavyo;

•   Ukamilishaji wa mradi mpya wa maji wenye chanzo chake Nyabehu

•   Kuendelea ukarabati wa miundombinu ya maji kwa kutumia fedha kidogo

    tunazokusanya kwa wateja kila mwezi




                                          6
•   Ofisi ya Mkuu wa wilaya kusaidia namna ya kudhibiti hujuma na kwa Kutumia

    vyombo vya dola kama vile Mahakama, Polisi na serikali za Vijiji kusaidia kudhibiti

    hujuma dhidi ya miundombinu yetu

•   Kuendelea kuiomba serikali kutoa fedha za ruzuku kwa wakati kama ilivyo kwenye

    bajeti ili shughuli zisikwame



Tunapenda kutoa rai kwa watumiaji maji kulipia Ankara zao za maji kwa wakati na

kuwaasa waepukane na utumiaji wa maji salama kwa Bustani, kuoshea magari n.k Pia

wasikubali kuchepusha maji yasipite kwenye mita kwani kwa kufanya hivyo ni kosa la

jinai na wanaweza kushitakiwa kwa mjibu wa sheria. Wananchi waisaidie Mamlaka

yao kufichua waovu wanaoihujumu Mamlaka isisonge mbele



Aidha tunawaomba Wananchi waendelee kushirikiana na Mamlaka kwa kuwafichua

wahalifu wanaotoboa mabomba ili watiwe nguvuni mara moja kwa maana serikali

inaweka nguvu nyingi katika kujenga miundo mbinu hii na sisi hatuna budi kuitunza

kwa faida yetu na vizazi vijavyo.Tusipobadili tabia na mazoea yetu kwa hili, sheria sasa

itaanza kuchukua mkondo wake.


Mh. Mgeni Rasmi

Wazo mbadala juu ya maji safi kwa Mji wa Bunda
Kwakuwa mji wa Bunda unazungukwa na miamba ya mawe kwa eneo kubwa

(Impermeable Rocks) ambayo inaweza kutumika kuhifadhi maji hivyo tunafikiria

uwezekano wa kuvuna maji ya mvua kwa kuweka uzio wa mifereji ya siment juu

milimani ili kukusanya maji ya mvua ya mwaka mzima na kutumiwa na watu kwa

kunywa n.k kwa njia ya mtiririko bila kutumia nishati ya umeme. Ninayo imani kuwa

baadhi ya eneo la mji wa Bunda litaweza kuhudumiwa kwa njia hii.




                                           7
Mh mgeni Rasmi
Kabla ya kumaliza napenda kuzungumzia jambo la UKIMWI. Tukumbuke ukimwi

haubagui mtu mwenye maji wala yule asiye na maji,tajiri wala masikini, mnene wala,

mwembamba, mrefu au mfupi, sura nzuri au mbaya. Ndugu zangu mimi na wewe

“Tubadilike tabia, ukimwi unaua napengine njia ya kujikinga na ukimwi ni kuamini

kuwa kila mtu anao na tujiepushe na ukimwi, hauna dawa. Ukiwa mbishi dhambi

zako mwenyewe.



Mh. Mgeni Rasmi
Mwisho naomba kwa ridhaa yako nitumie fursa hii kukushukuru wewe binafsi kwa

kukubali mwaliko wetu. Pili niwashukuru kwa namna ya pekee wenzetu wa Mamlaka

ya Maji Bunda kwa kufanikisha shughuli hii ya kilele cha wiki ya Maji hapa wilayani

kwetu Bunda. Niwashukuru watumishi wa idara ya maji kwa ushirikiano wao

kufanikisha shughui hii na pia niwashukuru kwa namna pekee waandishi wa habari

wa televisheni, Magazeti na redio waliofika hapa.



Maji ni Uhai na Usafi wa Mazingira ni Utu

Siku ya Maji Duniani Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Aksanteni kwa kunisikiliza




                                          8

More Related Content

What's hot

Design of continuous flushing settling basin and powerhouse
Design of continuous flushing settling basin and powerhouseDesign of continuous flushing settling basin and powerhouse
Design of continuous flushing settling basin and powerhouseRaj Kc
 
Lec7. Design Of Forebay-1.pdf
Lec7. Design Of Forebay-1.pdfLec7. Design Of Forebay-1.pdf
Lec7. Design Of Forebay-1.pdfHadiqa Qadir
 
14 desilting tank-plan & section details
14 desilting tank-plan & section details14 desilting tank-plan & section details
14 desilting tank-plan & section detailsNikhil Jaipurkar
 
Distribution system
Distribution systemDistribution system
Distribution systemTarun kumar
 
Tubewell guideline(1)
Tubewell  guideline(1)Tubewell  guideline(1)
Tubewell guideline(1)Abdul Aziz
 
Canal of design
Canal of designCanal of design
Canal of designPREMKUMAR
 
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaan
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air PermukaanProsedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaan
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaanushfia
 
UNIT -I Introduction to water supply scheme.ppt
UNIT -I Introduction to water supply scheme.pptUNIT -I Introduction to water supply scheme.ppt
UNIT -I Introduction to water supply scheme.pptmadhukarjadhav10
 
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...Communications Branding
 
Types of Forces Acting on Gravity Dam
Types of Forces Acting on Gravity DamTypes of Forces Acting on Gravity Dam
Types of Forces Acting on Gravity DamNambi Harish
 
Collection and Distribution of Water: Intakes
Collection and Distribution of Water: IntakesCollection and Distribution of Water: Intakes
Collection and Distribution of Water: IntakesDivine Abaloyan
 
6. tdr supervision estadio huarirumi
6. tdr supervision estadio huarirumi6. tdr supervision estadio huarirumi
6. tdr supervision estadio huarirumiIvan Chahuayo Huincho
 
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan Pemeliharaan
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan PemeliharaanPenyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan Pemeliharaan
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan PemeliharaanJoy Irman
 
Tdr asistente supervisor
Tdr asistente supervisorTdr asistente supervisor
Tdr asistente supervisorAndresReyes183
 
Opsi Teknologi Sanitasi Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...
Opsi Teknologi Sanitasi   Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...Opsi Teknologi Sanitasi   Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...
Opsi Teknologi Sanitasi Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...Joy Irman
 
Canal Regulation Work
Canal Regulation WorkCanal Regulation Work
Canal Regulation WorkYash Patel
 

What's hot (20)

Intake structures by RAHUL
Intake structures by RAHULIntake structures by RAHUL
Intake structures by RAHUL
 
Design of continuous flushing settling basin and powerhouse
Design of continuous flushing settling basin and powerhouseDesign of continuous flushing settling basin and powerhouse
Design of continuous flushing settling basin and powerhouse
 
Lec7. Design Of Forebay-1.pdf
Lec7. Design Of Forebay-1.pdfLec7. Design Of Forebay-1.pdf
Lec7. Design Of Forebay-1.pdf
 
14 desilting tank-plan & section details
14 desilting tank-plan & section details14 desilting tank-plan & section details
14 desilting tank-plan & section details
 
Distribution system
Distribution systemDistribution system
Distribution system
 
Tubewell guideline(1)
Tubewell  guideline(1)Tubewell  guideline(1)
Tubewell guideline(1)
 
Canal of design
Canal of designCanal of design
Canal of design
 
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaan
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air PermukaanProsedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaan
Prosedur Penindakan Terhadap Pemanfaatan Air Permukaan
 
UNIT -I Introduction to water supply scheme.ppt
UNIT -I Introduction to water supply scheme.pptUNIT -I Introduction to water supply scheme.ppt
UNIT -I Introduction to water supply scheme.ppt
 
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...
Let it Flow! Culvert Design 101 – Basic Hydraulics, Culvert Location & End Tr...
 
Types of Forces Acting on Gravity Dam
Types of Forces Acting on Gravity DamTypes of Forces Acting on Gravity Dam
Types of Forces Acting on Gravity Dam
 
Collection and Distribution of Water: Intakes
Collection and Distribution of Water: IntakesCollection and Distribution of Water: Intakes
Collection and Distribution of Water: Intakes
 
6. tdr supervision estadio huarirumi
6. tdr supervision estadio huarirumi6. tdr supervision estadio huarirumi
6. tdr supervision estadio huarirumi
 
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan Pemeliharaan
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan PemeliharaanPenyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan Pemeliharaan
Penyelenggaeraan Sistem Drainase Perkotaan - A.4 Operasi dan Pemeliharaan
 
12. Canal Head Regulators.2.pdf
12. Canal Head Regulators.2.pdf12. Canal Head Regulators.2.pdf
12. Canal Head Regulators.2.pdf
 
Hec ras
Hec rasHec ras
Hec ras
 
Tdr asistente supervisor
Tdr asistente supervisorTdr asistente supervisor
Tdr asistente supervisor
 
Opsi Teknologi Sanitasi Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...
Opsi Teknologi Sanitasi   Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...Opsi Teknologi Sanitasi   Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...
Opsi Teknologi Sanitasi Pemilihan Sistem Setempat atau Terpusat (Onsite vs ...
 
Canal Regulation Work
Canal Regulation WorkCanal Regulation Work
Canal Regulation Work
 
Implementacion de jass
Implementacion de jassImplementacion de jass
Implementacion de jass
 

Viewers also liked

SCASA Anderson One Presentation
SCASA Anderson One PresentationSCASA Anderson One Presentation
SCASA Anderson One Presentationshealyc
 
Esl lead teacher october 30
Esl lead teacher october 30Esl lead teacher october 30
Esl lead teacher october 30shealyc
 
Common bicycle project
Common bicycle project Common bicycle project
Common bicycle project Aykut Aysu
 
Web usability
Web usabilityWeb usability
Web usabilitykhendai
 
White fang
White fangWhite fang
White fangflynt
 
White fang
White fangWhite fang
White fangflynt
 
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...Tanu Deule
 
Scctm presentation
Scctm presentationScctm presentation
Scctm presentationshealyc
 

Viewers also liked (16)

SCASA Anderson One Presentation
SCASA Anderson One PresentationSCASA Anderson One Presentation
SCASA Anderson One Presentation
 
Mp 8
Mp 8Mp 8
Mp 8
 
java programming
java programmingjava programming
java programming
 
2011 takvimi
2011 takvimi2011 takvimi
2011 takvimi
 
Rogerio e dyovani gae
Rogerio e  dyovani gaeRogerio e  dyovani gae
Rogerio e dyovani gae
 
La India
La IndiaLa India
La India
 
Esl lead teacher october 30
Esl lead teacher october 30Esl lead teacher october 30
Esl lead teacher october 30
 
Tech deck animasyon
Tech deck animasyonTech deck animasyon
Tech deck animasyon
 
Common bicycle project
Common bicycle project Common bicycle project
Common bicycle project
 
Web usability
Web usabilityWeb usability
Web usability
 
White fang
White fangWhite fang
White fang
 
White fang
White fangWhite fang
White fang
 
La India
La IndiaLa India
La India
 
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...
Risala kwa wananchi kilele wiki ya maji 2013 bulendabufwe bunda iliyosomwa na...
 
Scctm presentation
Scctm presentationScctm presentation
Scctm presentation
 
Mp 8
Mp 8Mp 8
Mp 8
 

Risala kilele wiki ya maji by Eng Deule, tanu

  • 1. HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA RISALA ILIYOSOMWA NA ENG TANU DEULE, MHANDISI WA MAJI WA WILAYA YA BUNDA KWENYE SIKU YA KILELE CHA WIKI YA MAJI KATIKA KIJIJI CHA TAIRO TAREHE 22-MACHI-2011 Mh. Mgeni Rasmi Wah. Viongozi mliofika hapa wa chama na serikali Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Bunda Mr Jumanne Turbet Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Bunda Wafanyakazi wenzangu wa Idara ya Maji ya Halmashauri ya wilaya ya Bunda Wafanyakazi wenzetu wa Halmashauri mliofika hapa kutuunga mkono Uongozi mzima wa Shule ya Msingi Tairo Ndugu zetu waandishi wa habari Wananchi Mabibi na mabwana Tumsifu Yesu Kristu Asalam aleykum Awali ya yote naomba kumshukuru mwenyezi Mungu, kwa kutujalia pumzi, afya na nguvu ya kusherehekea kilele cha wiki ya maji hapa Wilayani kwetu. Siku ya leo ni mhimu kwasababu ni siku ya maji duniani kote yaani “World Water day”. Ninayofuraha kubwa kupata fursa ya kuadhimisha wiki ya maji katika kijiji hiki kwani ni nafasi nzuri ya kuzidi kufahamiana na wanajamii ambao ndio wadau mhimu wa usalama na uendelevu wa miundombinu yetu ya maji ya Mjini Bunda.
  • 2. Mh. Mgeni Rasmi Tarehe 22 Machi kila mwaka ni siku ya Maji Duniani. Maji ni uhai, na upatikanaji wa maji ni chachu ya maendeleo kwa kila mwanajamii.Hii ndiyo sababu kuu taifa letu kuadhimisha wiki ya maji kwa nia ya kutathimini hali ya upatikanaji wa huduma ya maji na usafi wa mazingira na kujiwekea mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama. Wananchi wa Wilaya ya Bunda leo wanaungaana na taifa zima kuadhimisha kilele cha wiki ya maji. Wiki iliyozinduliwa tarehe16/3/2011 Jijini Mwanza na Waziri wa Maji, Prof Mark Mwandosya (MB). Tangu mwaka 1988, maadhimisho haya ya wiki ya maji ni ya 23 na kauli mbiu ya mwaka huu ni “Maji kwaajili ya Miji: kukabiliana na changamoto mbalimbali Mijini” Kauli mbiu ya mwaka huu inagusa maji mijini na changamoto zake. Miji inayotajwa katika kauli mbiu hii ni pamoja na mji wa Bunda. Na hapa utaona maadhimisho ya wiki ya maji mwaka huu yamezinduliwa kwenye viunga vya mjini na yanahitimishwa kwenye viunga vya mjini pia. Mh. Mgeni Rasmi, Kuhusu malengo ya MKUKUTA na MILENIA kuhusu utoaji wa huduma ya Maji Sera ya Maji ya Taifa ya mwaka 2002 iliweka madhumuni ya kuongeza na kuimarisha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama toka asilimia 54(2005) hadi asilimia 65 kwa wakazi waishio vijijini, na kutoka asilimia 74 (2005) hadi asilimia 90 kwa wakazi waishio mijini ifikapo mwaka 2010. Lengo kuu ilikuwa ni kupunguza umasikini na kuwa na maisha bora kwa watu wote. Malengo haya yameshindwa kufikiwa kwa wilaya ya Bunda kwa sababu mbalimbali na hivyo kuwa nyuma ya 2
  • 3. utekelezaji wa malengo ya MKUKUTA, Malengo ya Milenia (MDGs) na Dira ya Taifa ya Maendeleo (Development Vision 2025) Mh. Mgeni Rasmi Hali ya huduma ya maji kiwilaya Asilimia 47.7 ya wakazi wa vijijini wanapata maji safi na salama. Vyanzo vikuu vya huduma ya maji vijinini ni Visima virefu na vifupi, ziwa Victoria, matanki ya kuvuna maji ya mvua, visima vya asili na malambo. Kiwango cha utoaji huduma ya maji wilayani Bunda ni cha chini ukilinganisha na wastani wa kitaifa wa utoaji wa huduma ya maji ambao ni asilimia 58 (2010). Hali hii ni changamoto kwetu kama wilaya na jamii zetu kuhakikisha tunaongeza upatikanaji wa huduma ya maji wilayani Bunda. Mh. Mgeni Rasmi Kuhusu chombo chenye mamlaka ya kutoa huduma ya maji Bunda mjini Jukumu la utoaji wa huduma ya maji Mjini Bunda lipo chini ya Mamlaka ya Maji Bunda yaani Bunda Water Supply Authority. Hii ni Mamlaka kamili iliyoanzishwa tarehe 21/6/2002 baada ya kutangazwa kwenye gazeti la serikali. Bodi yake ya kwanza iliteuliwa tarehe 1Juni 2003 na hivi sasa kuna Bodi ya tatu iliyoteuliwa rasmi tarehe 10 januari mwaka huu wa 2011. Mh. Mgeni Rasmi Kuhusu mafanikio ya Mamlaka ya Maji kwa miaka5 iliyopita (2006-2010) • Kiwango cha maji yanayozalishwa kwa siku yameongezeka kutoka lita 720,000 mwaka 2006 hadi liata 1,260,000 mwaka 2010 • Wateja wameongezeka kutoka 650 mwaka 2006 hadi wateja1,227 mwaka 2010 • Wastani wa watu wenye maji ya bomba wameongezeka kutoka asilimia 22 mwaka 2006 hadi asilimia 27.4 mwaka 2010 3
  • 4. Mapato kwa mwaka yamekuwa kutoka 20,246,311(2006) hadi 74,184,663 (2010) • Mamlaka imepunguza maji yanayopotea Unaccountable for Water) toka 75% (2006) hadi 42(2010) • Mamlaka imepata pikipiki 3 na Laptop 1 • Kituo cha ushahi kimejengewa Uzio • Tangi la Mgaja limekarabatiwa na Maji sasa yanasukumwa hadi hospitali ya Manyamanyama • Mtandao wa mabomba umeongezwa kutoka 49km 73km hivi sasa • Nyumba ya pampu imekarabatiwa na kujengwa chumba cha wahudumu Mgaja Mh. Mgeni Rasmi Kuhusu mradi Mpya wa Maji Bunda Mjini Takwimu iliyoonyeshwa hapo juu kwamba katika watu 100 ni watu 27 tu ndo wanapata maji ya bomba inadhihirisha ukubwa wa tatizo lililopo na kwamba changamoto hii ni kubwa sana kwetu. Hivyo basi, Halmashauri kwa kushirikiana na Wizara ya Maji na kwa Msukumo wa pekee wa mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Bunda, Mh. Stephen M. Wasira (MB) na Waziri wa nchi ofisi ya raisi –Mawasiliano na Uratibu, tumeanza kutekeleza mradi mpya wa maji hapa Bunda mjini utakaokuwa na chanzo chake kwenye kijiji cha Nyabehu kilichopo umbali wa kilomita 26 kutoka mjini. Mradi huu ni mkubwa na una gharimu fedha nyingi. Mradi umekuwa unatekelezwa kadiri fedha zilivyokuwa zinapatikana kama ifuatavyo; Awamu ya I: Zimenunuliwa pampu mpya 9 za kusukuma maji na tayari zipo hapa Wilayani Bunda zimetunzwa kwenye Bohari yetu Awamu ya II: Umefanyika ujenzi wa i. Tengi la maji Migungani lenye ujazo wa lita 225,000 ii. Tengi la kwenye Mlima Kaswaka lenye ujazo wa lita 675,000 4
  • 5. iii. Nyumba ya kufunga pampu (Pump House) iv. Nyumba ya wahudumu wa pamp (pump attendant house) na choo yake v. Barabara ya kwenda kwenye tengi la maji kwenye Mlima Kaswaka Awamu ya II: Awamu hii bado haijatekelezwa lakini itahusisha kazi zifuatazo • Ujenzi wa chujio (treatment plant) • Kununua na kulaza mabomba ya bomba kuu kilometa 26 • Kusimika pampu • Kuingiza umeme wenye msongo mkubwa, na • Kusuka mtandao mpya wa usambazaji maji hapa mjini Mh. Mgeni Rasmi Awamu hii ya tatu ndiyo awamu inayohitaji fedha nyingi zaidi kuliko awamu zilizopita. Makisio ya awali yanaonesha kuwa zitahitajika zaidi ya shilingi billion kumi (10Billions) kukamilisha mradi huu kiasi ambacho ni kikubwa ukilinganisha na takribani billion moja ambayo imekwishatumika kwa awamu ya I na awamu ya II. Habari njema ni kwamba, mradi huu sasa utatengewa bajeti kubwa kwenye mwaka wa fedha wa 2011/2012 ili ukamilike. Hii pia ilipewa uzito na kauli ya Mh Waziri wa Maji tarehe 16/3/2011 kwenye uzinduzi wa wiki ya maji pale alipo thibitishia umma kwa kusema, nanukuu “sasa tumedhamiria kuukamilisha mradi wa Bunda na tutaukamilisha” mwisho wa kunukuu. Hata hivyo mheshimiwa mgeni rasmi kazi za awali za maandalizi ya awamu hii ya tatu zimeshaanza kufanyika kwani mhandisi mshauri ameshapatikana na anafanya kazi ya kuandaa zabuni za ujenzi wa chujio, zabuni za ununuzi na utandazaji wa mabomba ya maji, na anaandaa zabuni za uwekaji umeme wa msongo mkubwa na usimikaji wa mitambo. Mradi huu kwa ujumla unasimamiwa na Mamlaka ya Maji taka na Maji Safi 5
  • 6. Musoma kwaniaba ya Wizara ya Maji na kwa upande wa Halmashauri wapo Mamlaka ya Maji ya Bunda. Mh. Mgeni Rasmi changamoto zinazoikabili Mamlaka ya Maji Bunda Mjini; i. Miundimbinu ya maji inahujumiwa kwa bomba kutobolewa na wafugaji wa vijiji vya njiani kwenye bomba kuu ambavyo ni Guta, Tairo na Migungani ii. Uchakavu wa miundombinu ya maji hasa mabomba na mitambo iii. Mamlaka inapoteza maji kiasi cha asilimia 46% kwa mwaka 2010 iv. Kukatika nishati ya umeme mara kwa mara kumesababisha kuunguza pampu zetu za maji na vifaa vyake v. Watumiaji maji kutolipa Ankara zao za maji kwa wakati vi. Maji yanayosukumwa kutokidhi mahitaji ya jamii vii. Ukosefu wa fedha za kulipia Billi ya Umeme kwani ruzuku mara inakuja kidogo au miezi mingine ruzuku haiji kabisa na TANESCO hutishia kukata umeme mara kwa mara. viii. Mwaka 2006 tulikwisha fanya mategenezo ya mabomba mara 253 na hivi sasa tumefikia mara 1,085 kwa mwaka 2010 hali ambayo inaonesha kuwa uhujumu wa miundombinu yetu unazidi kuongezeka badala ya kupunguza. Mikakati inayotumika kukabiliana na changamoto hizi ni kama ifuatavyo; • Ukamilishaji wa mradi mpya wa maji wenye chanzo chake Nyabehu • Kuendelea ukarabati wa miundombinu ya maji kwa kutumia fedha kidogo tunazokusanya kwa wateja kila mwezi 6
  • 7. Ofisi ya Mkuu wa wilaya kusaidia namna ya kudhibiti hujuma na kwa Kutumia vyombo vya dola kama vile Mahakama, Polisi na serikali za Vijiji kusaidia kudhibiti hujuma dhidi ya miundombinu yetu • Kuendelea kuiomba serikali kutoa fedha za ruzuku kwa wakati kama ilivyo kwenye bajeti ili shughuli zisikwame Tunapenda kutoa rai kwa watumiaji maji kulipia Ankara zao za maji kwa wakati na kuwaasa waepukane na utumiaji wa maji salama kwa Bustani, kuoshea magari n.k Pia wasikubali kuchepusha maji yasipite kwenye mita kwani kwa kufanya hivyo ni kosa la jinai na wanaweza kushitakiwa kwa mjibu wa sheria. Wananchi waisaidie Mamlaka yao kufichua waovu wanaoihujumu Mamlaka isisonge mbele Aidha tunawaomba Wananchi waendelee kushirikiana na Mamlaka kwa kuwafichua wahalifu wanaotoboa mabomba ili watiwe nguvuni mara moja kwa maana serikali inaweka nguvu nyingi katika kujenga miundo mbinu hii na sisi hatuna budi kuitunza kwa faida yetu na vizazi vijavyo.Tusipobadili tabia na mazoea yetu kwa hili, sheria sasa itaanza kuchukua mkondo wake. Mh. Mgeni Rasmi Wazo mbadala juu ya maji safi kwa Mji wa Bunda Kwakuwa mji wa Bunda unazungukwa na miamba ya mawe kwa eneo kubwa (Impermeable Rocks) ambayo inaweza kutumika kuhifadhi maji hivyo tunafikiria uwezekano wa kuvuna maji ya mvua kwa kuweka uzio wa mifereji ya siment juu milimani ili kukusanya maji ya mvua ya mwaka mzima na kutumiwa na watu kwa kunywa n.k kwa njia ya mtiririko bila kutumia nishati ya umeme. Ninayo imani kuwa baadhi ya eneo la mji wa Bunda litaweza kuhudumiwa kwa njia hii. 7
  • 8. Mh mgeni Rasmi Kabla ya kumaliza napenda kuzungumzia jambo la UKIMWI. Tukumbuke ukimwi haubagui mtu mwenye maji wala yule asiye na maji,tajiri wala masikini, mnene wala, mwembamba, mrefu au mfupi, sura nzuri au mbaya. Ndugu zangu mimi na wewe “Tubadilike tabia, ukimwi unaua napengine njia ya kujikinga na ukimwi ni kuamini kuwa kila mtu anao na tujiepushe na ukimwi, hauna dawa. Ukiwa mbishi dhambi zako mwenyewe. Mh. Mgeni Rasmi Mwisho naomba kwa ridhaa yako nitumie fursa hii kukushukuru wewe binafsi kwa kukubali mwaliko wetu. Pili niwashukuru kwa namna ya pekee wenzetu wa Mamlaka ya Maji Bunda kwa kufanikisha shughuli hii ya kilele cha wiki ya Maji hapa wilayani kwetu Bunda. Niwashukuru watumishi wa idara ya maji kwa ushirikiano wao kufanikisha shughui hii na pia niwashukuru kwa namna pekee waandishi wa habari wa televisheni, Magazeti na redio waliofika hapa. Maji ni Uhai na Usafi wa Mazingira ni Utu Siku ya Maji Duniani Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Aksanteni kwa kunisikiliza 8