This document is the introduction to a book titled "My Vibe Attracts My Tribe" written by Lazaro Samwel. It discusses that the book aims to help people change their mindsets without regard to education, life stage, or income. It notes that reading the book requires an open mindset as it is not meant for people with negative thoughts. The introduction encourages the reader to find lessons and opportunities within the book to help open their mind and learn new things about life.
4. 4
KUHUSU HIKI KITABU
Hiki kitabu ambacho kimeandikwa na mwandishi
Lazaro Samwel Nalingigwa kama mwendelezo wa
kitabu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA ambacho
kimelenga kusaidia jamii kubadilika kifikra bila kujali
elimu,sehemu ya maisha,na kipato ambacho mtu
anapokea au kukipata.Kitabu hiki ambacho nimeamua
kukupa kama zawadi ya safari yako ya mafanikio
mwaka 2017 na miaka mingine inayokuja itakuhitaji
kusoma ukiwa na mawazo ambayo ni chanya,kitabu
hiki sio kwa watu ambao wanamitizamo hasi ya maisha
yao.Na ni bora kutokusoma kama unamawazo hasi
mana kitakuwa hakina msaada wowote kwako na
katika maisha yako.
Katika kitabu hiki utaweza kupata Jumbe zangu
ambazo kwa Muda mfupi zimeweza kusaidia watu
katika kuwafungua akili na kujua mambo mengi
kuhusu maisha.Haujakosea kupata nakala hii kuisoma
na najua wewe ni tofauti sana na utaenda kupata kitu
katika kitabu hii.
KARIBU SANA
5. 5
SEHEMU YA 1
MY VIBE ATTRACTS MY
TRIBE
(KWA LUGHA YA KISWAHILI)
@LAZARO SAMWEL
6. 6
My Vibe Attracts My Tribe- 1
Maisha hauwezi kuanza kwa kufika sehemu ambayo
unataka katika maisha yako bila kuwa na vizingiti flani,
na sio lazima kila kitu ambacho unakifanya kinafaulu,
inawezekana miaka iliyopita ulikuwa ni miaka ya
majaribu sana, kila ulichokuwa unakipanga kinaenda
upande, sio biashara unakuta hakuna faida ambayo
ulikuwa unapata. Naomba nikwambia Mafanikio sio tu
kufaulu jambo ambalo ulikuwa unalifanya hata
unapojaribu kulifanya na ukashidwa ni mafanikio pia.
Failure is the prove that’s you tried something and there
is no failure without a lesson, and a lesson is AN
OPPORTUNITY nikimaanisha kwamba Kufeli ni
uthibitisho tosha kwamba umejaribu kitu flani na hakuna
kufeli bila kujifunza na kujifunza ni Fursa.Mwaka huu
unaweza kuona wenzako wanapiga hatua na wewe
unazidi kushindwa. Naomba nikwambie kitu haujafeli ila
unajiandaa kupokea vikubwa zaidi ya wengine mwaka
huu. Mungu akitaka kukupa mambo makubwa lazima
akufundishe kiukubwa zaidi. Na Mungu akitaka
kukufanya kuwa Na falme juu ya falme zoote ataacha
wafuasi wako watangulie abaki na wewe kuweza kukupa
mafunzo ya jinsi ya kuwaongoza waliokutangulia. Muda
mwingine maisha yanatupa anguko ili Tuweze kuinuka
na kasi ingine.
Naomba nikupe mfano mmoja mzuri sana wa Raisi
mteule wa Marekani Donald Trump mwaka 1990
alikuwa na deni binafsi la $1 Billion na kutoka katika
sekta zingine alikuwa anadaiwa kama $9 Billions, jumla
ni $10 Billions, hizi ni Trilioni za hela hapa, lakini
7. 7
alipoulizwa na Mwandishi kwamba Hauogopi?? Alijibu
kishujaa Sana akasema Kuogopa ni kupoteza
muda.Uwoga unaingia katika njia yangu kunisaidia
kutatua matatizo.
Mwaka huu na sisi tusiogope kwa yaliyotokea miaka
iliyopita lakini tutumie mafunzo ya mambo ambayo
yametokea miaka mingine kutengeneza mwaka huu
kuwa wa tofauti zaidi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-2
Zig Ziglar aliwahi kusema kwamba Ukitaka kufanikiwa
saidia wengine kufanikiwa na wewe utafanikiwa na mimi
nakwambia kwamba Ukitaka kuangaza dunia nzima
kuwa mshuma ambao unawasha mishumaa mingine sio
kuizima ya wengine.Ukiwa na nafsi ya kutaka mshuma
wako tu kuangaza dunia nzima hautafika sehemu yoyote
itazima tu na wala hautakuwa na nguvu ya kuangaza
mbali.Watu hawatasema kwamba huyu mtu alishawahi
kuwasha mshumaa wake hata siku moja.
Naomba nikueleweshe kitu kuhusu huu mshumaa,
mishumaa nimeivisha taswira ya MAARIFA YAKO,
NDUGU, JAMAA, MARAFIKI ZAKO ambao
wanakuzunguka.
1. Mshumaa Ni watoto wako Kama hutaweza kuwapa
maarifa ya dunia ambayo umeweza kuyaona na
kuyatatua hata siku ukiwa haupo hawatatambua uwepo
8. 8
wako. Ila Kama utaweza kukaa chini na kuzungumza
nao pindi usipokiwepo watajua kuwa baba au mama
walitusaidia kwelii na watu watasema kwelii wale
watoto ni wa flani. Watoto wanachohitaji ni zawadi
ambayo unayo ndani yako kama ni maarifa basi hauna
budi kuwapa pia.
Unapotumia mshumaa wako kuwasha ya wengine
unaongeza nguvu ya dunia kuondokana na giza nene, na
unazidi kuonesha kwamba kumbe peke yako hauwezi
kuangaza dunia nzima bila kusaidia wengine kuwasha
yao, mshumaa wako ukiwa chanzo cha mishumaa
mingine kuwaka utatengeneza dhana ya kwamba bila
kusaidia mwingine mshumaa wako sio kitu. Unaposaidia
wengine unasaidia hata ambao huwajui kusaidia
wasaidie wale ambao huwajui mishumaa yako kuwasha.
Kumbuka kwamba hata ikizima bado ya wengine
itasaidia kuwasha ya wenzao.
2. Mishumaa hii ni rafiki zako jinsi unavosaidia kuwapa
maarifa tofauti na kuweza kuwasaidia kimawazo tu.
Unaposaidia marafiki zako ni sawa na kujisaidia
mwenyewe ila usiposaidia marafiki haujajisaidia
mwenyewe. Vipi mshumaa wako ukizima nani
atauwasha ukiwa katika safari yako ya mafanikio wakati
unaoongozana nao hukutaka kuwasha hata mmoja??
Kuwa makini.
Mpenzi msomaji wa kitabu Hiki Cha MY VIBE
ATTRACTS MY TRIBE napenda kukwambia kwamba
ukiweka MSHUMAA wako katika kilele utaangaza na
utaleta maana yake ya kuangaza na kuweka kileleni
9. 9
maana taifa zima litanufaika, hapa namaanisha tuzidi
kujinoa na kitu kionekane na kizidi kuleta manufaa
katika jamii zetu.Ila unapoficha MSHUMAA wako chini
ya uvungu wa kitanda haitakuwa na maana ya
kuuwasha. Hapa namaanisha kwamba unapoamua
kufanya jambo la kusaidia jamii yako usilifiche Kwa
kuogopa watu, ila litoe limulike na wengine na kuwasha
mishumaa ya wengine hapo utakuwa umeweka tafsiri
maalumu ya mshumaa wako.
v My Vibe Attracts My Tribe- 3
Mchanganyiko Wa Mawazo kuhusu Uwekezaji +
Mawazo Ya Kitabu Cha GUIDE TO INVESTING by
ROBERT KIYOSAKI.
Katika UWEKEZAJI ambao unaufanya kitu ambacho
kinaweza leta uhai katika huu uwanja ni MIPANGO
(plans), na kitu ambacho kitafanya wewe
kutokufanikiwa katika hizi shughuli ni kutokuweka
mipango. Mipango ni kama Usafiri ambao utakutoa
kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda sehemu
ingine ya uwekezaji. Ndo maana watu ambao wanakuwa
na Hela lakini Hawana mipango wanapoenda kuomba
ushauri katika kusaidiwa kuwekeza inakuwa Ngumu
sana kushauriwa kwasababu Mshauri inakuwa vigumu
kujua ni jinsi gani ataweza kumpeleka sehemu sahihi, na
hii ni kwasababu inamuwia vigumu katika maswali haya
; unataka kuelekea wapi?, uliamuaje kuanza hatua zako
10. 10
za uwekezaji na Katika uwekezaji wako? Ni muda gani
unataka kutumia kutumiza lengo lako?
Huwa tunaambiwa kuwa na mtu wa mfano wako hata
katika Uwekezaji lakini tulio wengi tunapofanya
Uwekezaji kwa asilimia kubwa huwa tunaangalia role
models (mtu wa kuwa mfano kwako/mtu wa kuiga) wetu
wamefanikiwa kivipi kwa njee katika uwekezaji kuliko
kwa ndani.Uwekezaji unaanzia ndani kufanikiwa ila
kama utaamua kuwekeza kwa kuangalia njee (Kufuata
maneno ya watu, kufuata hisia sana, kufuata media sana)
hapo ndipo mtu anapojiingiza kuwekeza bila mafanikio
yoyote.
Mipango ni kama Ramani na Mipango ni kama usafiri
wa kukutoa kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda
sehemu ingine. Robert Kiyosaki aliwahi kuliongelea hili
swala katika kitabu chake cha Guide To Investing
akasema kwamba, Kuweza ni kitu ambacho
kinachanganya na hakuna maana ambayo unaweza
kusema kwamba huu ni uwekezaji. Katika meelezo ya
Robert Kiyosaki pia niliweza kupata mambo haya
kwamba kwa kuangalia mtu ambaye ametengeneza gari,
vifaa ambayo gari limetengenezwa nalo ni kutoka
sehemu tofauti na watu tofauti wamegundua hivo
vitu,Uwekezaji pia unachanganya watu kwasababu
ukiangalia watu wako tofauti na wanamahitaji
tofauti,kwahiyo hauwezi kuusema uwekezaji katika
upande mmoja. Mtu anaweza kuwa mwekezaji katika
nyanja tofauti na mwingine.Ndo maana kwa asilimia
kubwa kila mmoja anaweza kuelezea Uwekezaji
kutokana na kitu ambacho anakifanya na kubeza sehemu
11. 11
ingine kwa kuona sio uwekezaji, lakini yule pia
aliyebezwa anaweza kuona yule aliyembeza kitu
anachokifanya sio uwekezaji.Kumbuka kila mmoja
atavutia upande wake lakini kumbuka kwamba
Uwekezaji ni KUFANYA VITU VYA TOFAUTI KWA
WATU TOFAUTI.
Nitaenda kuelezea aina mbili za Wawekezaji ambazo ni
muhimu sana wewe kuweza kuzielewa, lakini kabla ya
kwenda mbali naomba nikuambie hivi vitu ambavyo
vitakufanya kuelewa zaidi kwamba aina gani ni bora
kuliko ingine.
Vinaitwa 3E's
1. Education (Elimu/Maarifa)
2. Experience (Uzoefu wa matendo)
3. Excess Cash (Hela ya Kutosha)
1. Qualified Investor.
Huyu mwekezaji anakuwa na Hela lakini hana Elimu na
Uzoefu wa uwekezaji ndo hapa ambako unakuta wengi
tunaangukia kwamba hatujui cha kufanya kwa pesa
ambazo tunazo na kila ambacho tukifanya hakifiki mbali
mana Elimu na Uzoefu hatuna.Aina hii ya Mwekezaji
anakuwa na misamiati michache ya Uwekezaji ambayo
12. 12
inamfanya kutokuelewa uwekezaji vizuri na kutokuwa
na maarifa juu ya uwekezaji.
2. Sophisticated Investor.
Huyu ndo mwekezaji ambaye anahitajika mana hapa
anakuwa na Elimu ya ujasiriamali na Uzoefu hata
anapopata hela haifanyi makosa katika na hawa ndio
ambao wanafanya mambo makubwa. Aina hii ya
mwekezaji anakuwa na misamiati ya Uwekezaji ya
kutosha na anajua vizuri kwamba uwekezaji unahitaji
nini ni ngumu sana kulegalega katika uwekezaji.
vMy Vibe Attracts My Tribe- 4
Kunamsemo mmoja unasema kwamba Dont put all eggs
in one basket kwa maana ya kwamba Usiweke mayai
yote katika ndoo moja kwa maana ingine ni kwamba
ukiweka yote katika ndoo moja yatapasuka.
Lakini Warren Buffet aliwahi kusema kwamba put eggs
in one basket and take care of a basket akimaanisha
kwamba Weka mayai kwenye ndo moja Na uwe makini
na ndoo ambayo umewekea mayai.
Hapa kunamambo ambayo tunajifunza kwamba tatizo
sio mayai kuwa sehemu moja yatavunjika ila
kunausalama gani katika sehemu ambayo umeweka
13. 13
mayai yako? Na hata ubebaji wa hiyo ndo utakuwaje??
Hayo ndo maswali ya kujiuliza. Kwa kupitia msemo wa
Warren Buffet Hapa mayai tunaweza kuchukulia kama
MAISHA na NDOO ya kuwekea mayai ni kama AKILI
yako, kwamba maisha yako yaendeshe kwa jinsi
unavotumia akili yako,ukiiweka akili yako vibaya na
maisha yako yataharibika kama vile utakavoweka mayai
katika ndoo moja na ukabeba vibaya. Jinsi unavoiweka
akili yako ndivo unaweka maisha yako katika hali
salama au hatarishi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-5
Hii ndio Afrika bara lenye kila kitu kuanza na
wanasayansi wazuri, madaktari wazuri, walimu wazuri,
wakandarasi wazuri, wapishi wazuri, wabunifu wa
mavazi wazuri, waandishi wazuri n.k.Lakini Afrika hii
inauliwa na waafrika wenyewe kwa kutokujiamini
wenyewe na kuona kwamba ngozi nyeusi haiwezi kuishi
maisha ya ndoto zao ila wanachoamini n kwamba
mabara mengine wanachokifanya mfano Ulaya ndicho
ambacho kiko sahihi?, hii ndo Afrika ambayo ndoto za
watoto ambao baadae ndo wangeweza kuja hata
kutengeneza simu,magari,kuchapisha vitabu vizuri
duniani, zinauliwa toka utotoni na kuuwa taswira yake
kabisaa za kuwa anachotaka! Au umesahau ulivokuwa
mtoto na mawazo ambayo ulikuwa nayo tena na
makubwa zaidi ya mtu mZima?? Ila chukulia mfano
kuna mtoto alikuwa yuko vizuri kwenye kucheza mpira
14. 14
lakini wazazi walikuwa wanamwambia USICHEZE
UTAVUNJIKA MGUU AU MKONO, hapa tunajenga au
kubomoa ndoto za watoto wetu?? Ndo baadae mtoto
anakuwa hana cha kufanya na anakosa ajira mzazi
unalalamika serikali lakini kumbe serikali yako ya
akilini ndo ilifanya makosa ya kumwulia mtoto wako
thamani ambazo zilikuwa ndani yake.Usiseme mtoto ni
mdogo, ushawahi kujiuliza aliwezaje kutamka baba au
mama akiwa bado mdogo kabisaa??
Unakuta kunamtoto mwingine alikuwa anapenda
kuchora Sana lakini mzazi anamkataza kwa kumwambia
aende kusoma, inakuaje kama masomo ya darasani sio
kipaji cha mtoto wako na ukawa unamlazimisha
kusoma? Funguka Africa, Kama ni kutengeneza
mabilionea Afrika hiki kitu kinawezekana tena kuanzia
kwenye familia zetu.Hebu tupate muda wa kuangalia
watoto wetu wananini!! Sio kila mmoja aliumbwa kwa
kusudi la kusoma na kupata Stashahada flani, sio kila
mmoja aliumbwa kuwa darasani kwanini muwashushe
thamani ambao hawajasoma au kuoana kwamba
hawawezi? Lakini ukija kwa wazungu hata kama
hajasoma sisi waafrika tunaona kwamba wamesoma,
sasa hii inabidi iwe pia katika mitazamo yetu
Waafrika.This is trategy of Africa they treat Formal
Education as a purpose of everyone and forget to
develop what their children were born to Do,hapa
nachotaka kukwambia ni kwamba Hi ndo dhana ya
Africa kufanya elimu ya darasani kuwa Ni Kusudi la kila
mmoja wakati kila mmoja anakuwa na vitu tofauti ndani
yake,haswa kwa watoto ambao ndo kwanza wanahitaji
mwongozo kutoka kwa wazazi kuweza kuamsha kitu
15. 15
ambacho wanacho ndani yao.Mzazi kama hutaweza
kujiongeza na kuamua kujua mwanao ndani yake
mwelekeo wake ni wa kuwa nani utaishia kusema
kwamba anatakiwa kwenda kusoma na kupata
Stashahada kama watoto wa wenzakpo unavowaona.
Tunakosa viongozi bora kwasababu toka utotini
walishapotezwa, tunakosa wanasayansi wazuri wa
kutikisa duniani kwasababu toka utotoni
walishapotezwa. Africa is full of all pleasures things
starting from our family. Let us build this Continent by
changing our fellows African attitude nikimaanisha
kwamba Afrika ina kila kila kizuri kuanzia kwenye
familia zetu.Tujenge bara hili kwa kubadilisha Fikra za
wenzetu.
KUMBUKA ;Sasa kama ni karne ya 21 imeanza kuwa
hivi inabidi tuweke watoto wetu kwa muundo wa karne
ya 30 na kuendelea mana tunapoelekea changamoto
zitakuwa nyingi sana lakini kwa wale ambao watakuwa
wamejengwa katika kusudi lao hawatatikisika
kamwe.Ajira ni shida kwasababu ajira iko katika
muundo mmoja ya kuajiriwa na unakuta wengi hivo
vigezo wanavyo lakini kama kungekuwa na Ajira ya
vipawa sidhani kama kunamtu angelalamika hana ajira
kama alilelewa katika kipawa chake.Ila wengi
wangekosa mana pia wengi wameacha makusudio yao
kutokana na malezi ambayo wanafika umri flani hajua
hata afanye nini sasa hapo inambidi aende wengi walipo.
Mungu aibariki Africa, Mungu Aibariki Tanzania,
kuweza kuona mbali zaidi ya haya.
16. 16
vMy Vibe Attracts My Tribe-6
Nilikiwa nikimsikiliza Prof P L O Lumumba alisema
kwamba kuna wakati ukitaka kuwa mtu mkubwa lazima
ujifunze kwa watu wakubwa aliweze kutoa misemo ya
watu ambao wemeacha historia kubwa sana duniani
kama Mwl J k Nyerere, Mother Theresa na Mahatma
Gandhi. Sitataja zote ningependa kuzungumza kuhusu
msemo wa Mahatma Gandhi alisema There is no way
to success success is the way,akimaanisha kwamba
Hakuna njia ya mafanikio lakini mafaniki ndio njia
nitaenda kitofauti kidogo na hapa lakini kwa namna hii;
Napenda kukwambia kwamba Hakuna mafanikio
ambayo hayana ramani na kama hutaweze kuchora
ramani ya mafanikio yako yenyewe yatakuchora.
Hayati Mwl Nyerere aliwahi kusema it can be done, play
your part akimaanisha kwamba kinaweza kufanyika
chukua nafasi yako naomba kuwa makini Mwl Nyerere
hakusema kwamba uchukue nafasi ya mtu mwingine
lakini ni uchukue nafasi yako. Kuchukua nafasi yako
haiwezi kuja bila kujitambua mana unapojitambua ndipo
ambapo unaweza kuweka ramani yako vizuri kuelekea
mafanikio yako.
Hii ramani nayokwambia ni nini?? Mipango binafsi
kutimiza kitu flani ambacho ndicho Ramani ya
17. 17
mafanikio yako. Bila kujua unapoelekea hauwezi kujua
unachokitafuta. Lakini mipango yako binafsi inategemea
na jinsi unavotafsiri nini maana ya Mafanikio.Kitu
ambacho unakitaka lazima ukitambue usipokitambua
kutakuwa na mashaka unapoelekea. Mipango unaweza
kuweka ya muda mrefu au muda mfupi lakini inatakiwa
kufanyiwa marekebisho kadri siku zinavoenda hata
kuzibadilisha pia.
Mafanikio kunawatu ambao wameweza kuielezea kwa
aina tofauti, tuangalie haya makundi;
1. Mafanikio ni kumiliki mali
2. Mafanikio ni kuwa na hisia flani.
3. Mafanikio ni kuweza kuwa na kitu binafsi cha
kutimiza(kusudi).
4. Mafanikio ni kutimiza lengo lako flani.
Kabla sijaongelea chochote Kama nitakuwa sijasahau
niliwahi kusoma msemo mmoja kwamba Inabidi
tuwaelimishe watu kwamba kumiliki gari au baiskeli sio
ndio mafanikio.
Mafanikio inabidi tuyafafanue Kwa No.3 kwasababu
hata malengo baada ya muda huwa yanakuwa hayana
maana baada ya kuyatimiza. Napolean Hill aliwahia
kusema kwamba Goal is a dream with a deadline
kwamba Lengo ni ndoto yenye kikomo.
18. 18
Mission= ni kama kusudi, inaweza pia kuwa kama safari
flani ambayo unataka kufika.
vMy Vibe Attracts My Tribe-7
Tunaposema kwamba mtu kuwa kiongozi sio lazima
uwe serikalini au sio lazima upigiwe kura ukae ofisini
viyoyozi ndo useme kwamba ni kiongozi. Sio lazima
uwe tajiri ndo uwe kiongozi na masikini asiwe kiongozi.
Leo sitaki nikuache hivi bila kipata kiti kuhusu Hilo.
Kunamtu anaitwa Hendrick aliwahi kusema kwamba if
you want leading you must continue to change
akimaanisha kwamba Kama Kama unataka kuongoza
endelea kubadilika, nami nakuongezea Kwamba ukitaka
usiongoze Usiendelea kubadilika mana hata ulichokuwa
unakiongoza kitakuongoza
Kila uongozi unakuwa na nguvu yake ndani yake.Mana
hakuna uongozi ambao hauna lengo la kuongoza, mfano
unapoongozwa inamaana kunakitu flani ambacho
mnatakiwa kukitimiza lakini mkaona kwamba nyie peke
yenu hamtaweza mkaamua kumpa mtu ambaye mmeona
kwamba huyu atawafikisha na anakitu cha tofauti.
Katika kitabu changu cha NGUZO 3 ZA MAISHA
nimejaribu kuongea Kwa kuhusu sauti ambazo ziko
ndani yetu Na kwamba Unasikiliza Sauti Gani Ndani
19. 19
Yako?? Na nikazitaja hizo sauti ambazo huwa ndani
yetu.
Naomba kukwambia kwamba kila mmoja ni kiongozi,
hakuna mtu ambaye sio kiongozi ila jinsi unavoutumia
uongozi wako vibaya ndipo unapokupeleka.Na haswa
ndani yetu kila sauti inakuwa na uongozi wake sasa
wewe unaipa sauti gani uongozi kukuongoza..........
Utarejea vema katika NGUZO 3 ZA MAISHA. Ila ukitaka
kwamba usiende sehemu yoyote katika maisha yako
ridhika na maisha ambayo unayo na ukubali kubadilika
na kujiongoza vema. Kujiongoza vema ni pamoja na
kujua malengo yako ni yapi ili uweze kuwa katika mstari
ambao ni sahihi sio kufuata mkumbo.
vMy Vibe Attracts My Tribe-8
Fursa Fursa!! Kunamsemo mmoja ambao unasema
kwamba Unaona kitu ambacho umejiandaa kukiona,
kuwa makini na ninachokuelekeza mana hapa wengi
huwa tunashindwa kuelewa kwamba kwanini watu
wengi wanashindwa kuona fursa, unaweza kwenda
semina nyingi Sana unaweza kusoma vitabu vingi sana
kwaajili ya uwekezaji na fursa tofauti lakini bado
usiweze kufikia sehemu ambayo unataka. Tatizo ni
kwamba umejiandae kupokea kitu katika kitabu, semina
na mtu ambaye anakuelekeza.
20. 20
Naomba nikudokeze kitu kimoja fursa hauwezi kuiona
Kwa macho ila kwanza unaanza kuiona katika akili
yako, Fursa hauwezi kuiona kwa mtaji ambao unao ila ni
kwajinsi ulivoweza kupangilia hela uliyokuwa nayo.
Tunakosa Fursa kwa kukosa Fursa. Muda ni fursa nenda
kinyume na Muda uone kama utaweza kupata hiyo fursa
na hata kama utaipata hautaweza kuifanya
vizuri.Kumsikiliza mtu ni Fursa, lakini ukijifanya unajua
unakosa fursa. Kuhudhuria semina za biashara hata kama
bado haijaanza ni Fursa ambayo itakufanya kupata fursa
ingine. Kumsikiliza mtoa mada katika semina ni Fursa
ingine, ukikosa moja wapo umekosa Ya pili. Kuwa
Makini.
Katika Kitabu Changu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA
ambacho naamini kwamba tayari umeshakipitia,sehemu
ya Ujasiriamali Na Biashara nimeeleza kwamba Fursa
ni kitu ambacho kimejificha ukiangalia kwa macho
ya kawaida hauwezi kuona chochote.
Ukitaka kupata Fursa toka sehemu ambayo unaishi
angalia UVIVU wa watu uko wapi katika kitu
wanachokipenda? Alafu fanya hicho ambacho wanaona
uvivu kukifanya- Lazaro Samwel
Mfano America Na Europe Maeneo Mengi unakuta watu
wanawahi asubuhi kazini unakuta kwamba wengi
kunauvivu WA kujiandalia Chai ya asubuhi majumbani
kwao, kwahiyo kunawatu wanatengeneza Chai
wanaziweka vizuri na wanakuwa na oda katika ofisini
tofauti.
21. 21
Nasema uvivu kwasababu ndo fursa zilipo mfano unauza
chakula watu wanaona uvivu kuja kuchukua chakula
unachokifanya ni nini?? Unawapelekea lakini unaweka
cost ambazo mteja hawezi kuona tunasema ni Indirect
Cost yeye ataona ni sawa.
Asili ya mtu mvivu ni mvivu hata kujua nini maana ya
gharama.Faida ingine,ni kwamba mvivu ukiweza kuziba
pengo lake la uvivu atazidi kukulipa zaidi mana ni kama
unamzidishia uvivu kwake na kuongeza malipo
kwako.Ni muhimu zaidi kuwa na huduma nzuri,angalia
sasahivi hatutembei tena, ni bodaboda,magari na ndege.
Kinachofanyika Ni huduma inazidi kuwa bora zaidi, na
sisi tunapunguza kutembea lakini tunaongeza kulipa
gharama kwa wamiliki wa vyombo hivo.
vMy Vibe Attracts My Tribe-9
Ukiwa unawaza kuhusu Kushindwa, kwanza Anza
kuwaza kuhusu mambo ambayo ulikuwa unaona
kwamba yanashindikana Na sasahivi yamewezekana,
waza kuhusu wazo ambalo ulikuwa nalo na uliona
linahindikana lakini baada ya muda mwingine kaliweza.
Baada ya hapo waza kuhusu mawazo ambayo unayo
sasahivi, Na unaona kwamba hayawezekani, unadhani
yanashindikana?? Unajua subira yako ya jambo ambalo
unatakiwa kulifanya sasahivi ni Kama kuhamisha wazo
lako kwa mtu mwingine lakini kama utaamua kulifanyia
kazi mapema wazo lako litakuwa lako.Chelewa
kulitenda kwa kudhani linashindikana utaona wengine
22. 22
wanalifanyia kazi. Shtuka Na amke kufanyia kazi ndoto
zako ambazo tunazo.Mr Zingo aliwahi kusema kwamba
Wazo ni lako ukilifanyia Kazi lakini kama Utaliacha
akilini mwako sio lako. Usibembelezwe na neno
Kushindikana ila Bembelezwa Na Matendo Ya
Kuwezekana jambo ambalo ulikuwa unawaza.
Kushindikana Kwa jambo flani ni kwasababu
linawezekana na ukiamua kushindikana kushindwa
utaweza kwa kila jambo- Lazaro Samwel
Kila muda unapowaza kushindwa waza wangapi
wameweza unachowaza kushindwa Na Kama utaona
hata mmoja ameweza na ni binadamu kama wewe,
kichwa kimoja, miguu miwili na vingine vingi
kukamilisha kufanana na wewe, jua hakuna sababu ya
kusema siwezi.
Kunamambo mengine ambayo inawezekana
tunashindwa kuyafanya kwasababu tuliyatamkia neno
Kushindwa Zamani Na vikaleta madhara Na hata
tusipate Mafanikio. Tusifanye makosa, lazima tujiweke
kuwaza Kushinda Tu. Usidhani kwamba kuwa katika
hali nzuri ndo unaweza kusema kwamba Naweza, hata
ukiwa katika Hali mbaya endelea kusema naweza.Hii
itakusaidia kupunguza ongezeko la uzito katika
halinuliyokuwa nayo,lakini pia itakusaidia katika
kuhakikisha kwamba unarejea katika hali nzuri.
Learn Not To Quit but To Rest Sometimes nikimaanisha
kwamba
23. 23
Muda mwingine Jifunze kutokukata tamaa lakini
kupumzika.
Napolean Hill alishawahi kusema kwamba Nothing can
bring success but yourself akimaanisha kwamba Hakuna
ambacho kitakuletea mafanikio zaidi yako wewe
mwenyewe, sio vizingizio, sio maneno ya watu, sio
kusema nashindwa.
vMy Vibe Attracts My Tribe-10
Uwekezaji sio kwamba ni mgumu au mbaya lakini
unaona upande gani wa uwekezaji? Hilo ndo swali
ambalo unatakiwa kujiuliza, katika post ambayo
nimetuma muda sio mrefu nilisema kwamba hata Kama
unahela namna gani lakini Kama bado unamawazo ya
umasikini ndani yako utakuwa masikini lakini kwa
kuongezea hizo hela hazitakusaidia zaidi ya kukurudisha
katika umasikini tena. Wengi wanadhani kwamba
uwekezaji ni kwenye hisa, Ardhi n.k uwekezaji ni kitu
ambacho kinauwanja mpana sana katika jamii haswa
pale ambako kwamba woote tuko tofauti na mawazo
tofauti pia. Nakwambia hivi mana watu wanachanganya
uwekezaji Kwa kudhani kwamba uko sehemu au upande
mmoja. Mahitaji yako mengi na watu wanahitaji huduma
tofauti, hiyo ni sehemj ya uwekezaji.
Tatizo la uwekezaji ni wawekezajo wenyewe kuwa na
usawa mmoja wa mawazo katika kuwekeza. Kuna
msemo mmoja unasema kwamba Tusilalamike kwanini
24. 24
Bendera haipepei ila inabidi muda mwingine
tuulalamikie UPEPO hapa nachotaka kukwambia ni
kwamba tusilalamike kwanini uwekezaji ni mgumu ila
hata sisi inabidi tujilaumu ni kwanini tu wagumu
kuelewa uwekezaji.
Kitu ambacho sasahv kinatokea katika,Uwekezaji ni
kwamba kila mmoja anajua kuhusu Uwekezaji lakini
hakuna anayejua thamani ya kila Uwekezaji
anaoufanya, ndo maana leo anaweza fanya hivi kesho
kile.
Uwekezaji ni bora ila kuwa na Elimu juu ya uwekezaji
na ukawekeza ni Bora zaidi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-11
Kiasi cha hela ambacho unacho sasahivi sio kipimo cha
maisha yako mazuri lakini jinsi ulivondani baada ya
kupata hela ndiko ambako panatabiri maisha yako.
Hiki kitu watu wengi sana kimekuwa kikiwasumbua
sana na wengine walishawahi kunifuata kuwapa ushauri
ila tatizo ambalo linaonekana watu kutokusonga mbele
kufikia maisha ya utajiri ni kwamba wanapokuwa na
hela mikononi mwao wanakuwa matajiri lakini ndani
yao bado wanaongozwa na fikra za umaskini. Naomba
nisikuache hapa. Nachomaanisha ni kwamba mtu hata
kama ana milioni 20 lakini bado anawaza kuhusu kuwa
umasikini anaweza kusahau ndoto ya kuwa tajiri, mana
25. 25
kiwango cha hela ambacho unacho kitafanya kazi vizuri
kutokana na jinsi ulivo ndani yako. Adui mkubwa katika
maisha yetu hasa katika matumizi ya pesa yuko ndani
yetu na tusipotaka kumrekebisha tutakuwa tunatwanga
maji kwenye kinu. Mana unachowaza Sana ndani yako
ndicho ambacho unakuwa katika ulimwengu wa kawaida
hata katika matumizi ya pesa zako.
Haujawahi kuona mtu flani wa kawaida anaanzisha duka
kubwa zuri na limejaa vitu kweli lakini baada ya muda
linaisha ghafla? Naimani umeshawahi kuona sehemu
tofauti. Au mtu anaweza kuwa na hela kidogo lakini
akafanya mambo makubwa sana katika maisha yake?
Hawa wapo pia.
Nikupe siri moja kwamba inapokuwa na pesa za kutosha
ndani kwako au hata benki lakini bado ukawa na
mawazo ya kimasikini hata kila kitu cha thamani
ambacho utakuwa inakishika lazima utaishi nacho
kimasikini.Hii ndo mbaya zaidi katika kutaka kuwa tajiri
lakini bado unamawazo ya kiumasikini.
Tubaki na kitu kimoja kwamba kuwa na pesa nyingi sio
kwamba unaweza kuwa tajiri haraka, hapana lakini jinsi
ulivo ndani yako au jinsi ulivojipanga ndani yako katika
matumizi ya pesa zako ndivyo ambavyo itakusaidia
wewe kufikia utajiri ambao unautaka.
v
26. 26
vMy Vibe Attracts My Tribe-12
1. Kunawakati ambao watu wanadhani kitu kirahisi sio
cha kwelii mpaka kiwe kigumu ndipo wanaamini ni cha
kweli.Ni sawa na mwanafunzi anapoingia darasani
anaona mtihani wa maswali marahisi lakini kila jibu
ambalo analiweka anaona sio sahihi kwasababu mtihani
mrahisi kwahiyo anachokifanya anaufanya kuwa mgumu
kwa kuwaza majibu mengine na jibu analiona, mwisho
wa siku anajaza mambo ambayo sio sahihi na kufeli
mtihani. Hapa namaana gani? Kunafursa nyingi Sana
ambazo huwa zinatokea mbele yetu na ni rahisi lakini
kutokana na mawazo ambayo tunayo akilini mwetu
katika kuivisha fursa taswira ya ugumu unakuta kwamba
hatufanyi kwa usahihi.
Lakini pia Kwa sasahivi fursa ambazo huwa zinajitokeza
hazibadilishi maisha ya watu kwasababu ya watu kutaka
faida za haraka zaidi ya maarifa ya kuifanya fursa
kiufasaha kubadili maisha yao. Mtu anataka kwamba
akiingia Leo kufanya fursa flani kesho atoke kimaisha,
kweli unaweza kupata hela nzuri ya siku mbili tatu lakini
usiwe na hela ya kubadili maisha yako kabisaa. Na
haswa watu ambao wanaingia kufanya fursa flani
kwasababu ya shida flani ya kutatuliwa kwa haraka
inakuwa ni ngumu sana kwao kuwa na mtaji wa biashara
baada ya kupata faida mana atamalizia pesa zoote katika
shida flani alafu atarudi kutafuta ingine. Hapo
maendeleo yatakuwa magumu Sana Kama utakuwa na
tabia ya namna hiyo.
27. 27
2 .Kitu ambacho nimekuja kugundua kuhusu fursa ni
kwamba inacheza na muda na watu wengi wanazikosa
kwasababu hawajui thamani ya muda. Haujawahi
kusikia kunawatu wanakwambia laiti ningefanya fursa
flani kipindi flani ningekuwa mbali Sana?? Mimi
nishawahi kusikia sijui na wewe.Ila hii ni ishara wazi
kwamba kulikuwa na mapishano ya muda kati ya huyo
mtu na fursa ndo maana anajuta kutokuifanya.
MISEMO YA MAISHA KUTOKA KWA LAZARO
SAMWEL
∑ Usiseme huna muda kufanya kitu flani ila tumia
huo muda ambao unawaza kutokufanya hicho
kitu kukifanya.
∑ Wengi tunajua Bei za kujiunga katika fursa flani
lakini hatutaki kujua fursa hizo zinanafasi gani
katika maisha yetu.
∑ Ukiweza kuikamata fursa, fursa itaenda na wewe
unapotaka kwenda. Ila ukichelewa itakuacha
wewe kwenda unapotaka peke yako.
∑ Kujijua na kujitambua Ni fursa tosha ya kupata
fursa zingine za kubadilisha maisha yako.
28. 28
∑ Usifanye fursa ambazo Rafiki zako wanazijua
kabla wewe hujazijua na kuzitambua. Fanya
uchunguzi kwanza Kuzijua na kuzitambua.
∑ Kama ilivoraha kuhesabu hela kutokana na
fursa yako kufanya vizuri hiyo ni ishara tosha ya
kukuhitaji kuongeza maarifa zaidi uongeze
kuhesabu hela nyingi zaidi ya hapo au zisipungue
tena.
∑ Tatizo sio wazo lako kuwa Tatizo ila ni wewe
kuwa Tatizo kuendelea kukaa kuwaza kuwa
Wazo lako ni Tatizo.Amka
∑ Ujinga ni pale unapotaka kuwa Tajiri alafu kila
siku unafungua gazeti la Udaku kuangalia Watu
maarufu wamefanya nini ikiwa wewe hata
sehemu unayoishi hakuna huduma nzuri ambayo
umewafanyia wenzako au wazo zuri ambalo
umeshirikisha.
29. 29
∑ Ujinga sio kukosa Mtaji ila ni unapopata 500/=
kila siku ukaona sio mtaji lakini ndani ya wiki
ukawa unaangalia mpira mara 5. 500 x 5 =
2500/= kwanini usinunue karanga kilo Ukaange
na kuuza au uanze kufunga barafu ukuze mtaji na
kwa wiki uingize 5000/= toka kwenye 2500/=
uliyokuwa ukipoteza kwenye mpira?
v My Vibe Attracts My Tribe-
13
Unatakiwa kuishi kwa kutengeneza historia mpya sio
kuishi Kwa historia. Tunaposema kwamba kuishi Kwa
historia ni kuishi kwa mambo ambayo yemepita na
kujenga tabia ndani yako.
Sababu za watu kutokufanikiwa ni kutaka kuishi kwa
historia ambazo zimepita badala ya kutengeneza
historia mpya Mtu anakuwa na mawazo haya akilini
kwake kwa mambo ambayo yamepitwa na wakati
nfano
ÿ Kwetu Ni masikini kwahiyo kuja kuwa matajiri
ni baadae sana.Nani kakwambia mafanikio ya
familia yako yanapimwa na uwezo ambao
umeukuta jatika familia yako. Hiyo inawezekana
ilikuwa ni wazazi wako, lakini sasa wakati ni
wako. Usiendeleze kizazi cha namna hiyo.
30. 30
ÿ Nina kisomo kidogo Sana kwahiyo mafanikio
yangi hayatabiriki kabisaa.
ÿ Sikiliza hakuna cheti chochote cha darasani
ambacho kinakupa hela mojamoja kwa moja uwe
tajiri na wala sio kila mwenyewe kisomo
kikubwa lazima atafanikiwa angalia wangapi
wana PHD, Degree lakini maisha yako ya
kawaida?? Hii Ni kwamba SUCCESS IS NOT
ABOUT SCHOOLING IS ALL ABOUT HOW
YOU USE WHAT IS IN YOUR MIND
nikimaanisha kwamba MAFANIKIO SIO KUKAA
DARASANI NI JINSI JINSI UNAVOTUMIA
KILE AMBAKO KIKO KATIKA AKILI YAKO.
Kujenga Historia mpya ni kwenda na wakati na kuamua
kuchukua mabadiliko zaidi. Tunapoongela kuhusu
Wakati wa Viwanda hapa tunaweza kuongelea watu
kama wakina HENRY FORD mwanzilishi wa magari ya
FORD na THOMAS EDSON mgunduzi wa balbu ya
Umeme. Lakini watu hawakuamua kuishi katika Enzi
zao ndo maana tukaja hii (Karne ya utandawazi)
INFOMATION AGE ambayo tunacheza na Teknolojia
hapa tunazungumzia wakina Mark Zukerberg mgunduzi
wa facebook, Bill Gates mwanzilishi wa Microsoft,
Steve Jobs mwanzilishi wa Kampuni ya Apple, Jack Ma
mwanzilishi wa Alibaba na wengine wengi. Hawa
31. 31
hawakuamua kuishi Kwa historia ya wakina Thomas
Edison Na Henry Ford.
Hapa nataka kukwambia kwamba maisha yako hauwezi
kuyabadilisha kwa kuishi histori ya nyuma lakini ni
kutengeneza historia mpya na mambo mapya haswa
katika kitu ambacho unajua kwamba unakipenda kutoka
moyoni mwako.
vMy Vibe Attracts My Tribe-14
MISEMO YA MAISHA
ÿ Usiumie kwasababu umeanguka katika jambo flani ila umia
pindi unapoamka na ukashindwa kupata fundisho la anguka
lako mana unapoenda unaweza kuanguka anguko hilohilo
kila mara na likakupotezea muda zaidi ya mara ya kwanza.
ÿ Usilalamike kwa mapungufu ambayo unayo ukakaa
ndani kudhani kwamba ndiko utakapopata suluhisho ila
zidi kuelewa mapungufu yako kwa kuyafanyia kazi kila
32. 32
siku kuhakikisha yanaisha,inamaana kama ulikuwa
unaona kama unashindwa inabidi ufanye vitu vya
kuweza na kama ulikuwa unajiona ni mvivu fanya
mambo ambayo yatafanya uvivu kuondoka.
ÿ Usisubiri ulimwengu ukukubali kwa unachokifanya ukaona
hicho kitu kinamaana lakini pindi kinapokataliwa hakikisha
unaongeza juhudi kwa jambo ambalo unalifanya kusudi
watambue walikuwa wenyewe hawana maana katika
mtazamo uliokuwa nao.
ÿ Ukichukua Muda mwingine kuchunguza wengine au
kujilinganisha Na wengine utakuwa ni mtu wa kujiona
kuwa na mapungufu mengi kuliko wale ambao
unawachukunguza, chukua muda kujipenda mwenyewe
kwanza na acha ya wengine pembeni.
ÿ Unaweza fanya vizuri Sana katika ulimwengu huu lakini
bado wengi wakaona kwamba sio kizuri machoni pao, usijali
Kwa Hilo binadamu hata siku moja haridhiki Kwa haja
alizokuwa nazo.Ni Kama tumbo linavokuwa na uhitaji kila
kukicha hata ule namna gani. Ila cha msingi Ni kuangalia
wewe mwenyewe jiweke Kwa maana ya kujikubali Na
kujithamini katika mambo ambayo unafanya na wale ambao
walikuwa wanakuona hauna maana watakuja kukuona wa
maana.
33. 33
ÿ Samaki mmoja akioza woote wameoza, bado
nakuja kulekule kwamba hawa itakuwa ni ujinga
ukija katika uhalisia kwamb unakundi la samaki
ukakuta mmoja wapo ameoza na wewe ukaweka
jibu moja kwa moja kwamba woote wameshaoza
na kuamua kwenda kuwatupa. Ni sawa na
mwalimu kuingia darasani kukuta mwanafunzi
mmoja anapiga kelele na kuliambia darasa
kwamba woote mnapiga kelele au ni sawa na
kukuta katika baadhi ya nguo zako unakuta mbili
au tatu zimeliwa na panya ukasema kwamba
baasi nguo zoote zimeshaliwa. Kama samaki
mmoja ameoza kwanini usimuondoe huyo
mmoja na kuweza kuangalia hali za wengine
zikoje au kama ni mwalimu kama mwanafunzi
mmoja anatabia mbovu kwanini usimshughulikie
huyo mwanafunzi na kuendelea na wengine
wasije kuwa na tabia kama ya huyu. Mana akioza
mmoja mtoe huyo aliyeoza mapema asiharibu
wengine. Huu msemo unanipa wazo moja
kwamba kabla ya kufanya maamuzi kwa haraka
inabidi tujaribu kufanya uchunguzi kwamba
kwanini huyu samaki aoze yeye tuu na pia
kumweka pembeni ya wale ambao unaona
hawajaharibika ili na wenyewe wasije kuoza
lakini pia ni vizuri kuwa makini na samaki wako
hata kabla hawajaoza.
ÿ Samaki huyu naweza kumweka Kama Furaha,
maarifa, Matatizo, shidah, Ugumu WA maisha,
34. 34
Ujasiri, Biashara, Na vingine vingi. Huu usemi
wa kusema kwamba usimpe mtu samaki ila
mfundishe jinsi ya kuvua samaki ili asirudi
kukuomba tena, kwa upande wangu naweza
kusema kwamba kama unania nzuri na mtu
usimfundishe kuvua samaki ili kesho ajipatie
mwenyewe ila mfundishe kuvua samaki na jinsi
ya kuwatumia hao samaki hapo utakuwa
umemsaidia. Mfano katika biashara za mtandao
unaweza kumfundisha prospect waki jinsi ya
kupata wateja lakini hiyo haitoshi ni lazima
umfundishe jinsi ya kuongea na hao wateja na
jinsi ya kuwafundisha kuhusu biashara pia (hapo
sasa unamfundisha jinsi ya kutumia samaki) au
hata katika kuhamasisha mtu usimpe mtuu
maarifa lakini mpe na njia ya kutumia hayo
maarifa (hapo utakuwa umemwonesha jinsi ya
kutumia hao samaki).Huu msemo naweza kusema
kwamba usimkataze mtu kuja kukuomba samaki
kwasababu ulishamfundisha ila mwache aje
kukuomba tena mana unaweza kumsaidia zaidi
pindi anapokwambia changamoto anazozipata
katika kuvua samaki na wewe unaweza kumpa
njia zingine au ukajifunza kwake pia kwamba
kwa changamoto ambazo amezipata ameamua
kutumia njia gani katika kuhakikisha haondoki
kapa katika uvuvi wake. Tatizo kubwa
tunapomfundisha mtu kuvua samaki tunamwacha
tukiamini kwamba tayari tumeshatatua tatizo
lake lakini kumbe hapana, ikiwezekana kaa nae
kwa ukaribu zaidi pindi unapomfundisha mvuvi
huyu kuvua samaki na nia yako ya kufundisha
35. 35
isiwe kwamba asirudi kukuomba tena samaki, je
kama wewe mwenyewe siku hiyo haujapata hao
samaki huoni kwamba anaweza kukusaidia wake
ambao amewapata?? Waza njee ya Box
36. 36
PART 2
MY VIBE ATTRACTS MY
TRIBE
(ENGLISH VERSION)
@LAZARO SAMWEL
37. 37
vMy Vibe Attracts My Tribe-1
It has being called the 21st century where the
development of people increases, the century where it
has being said that the technology will take over in
everything. This is the century which we say the number
of intelligent people is increasing every day. Is it because
of the increase of rich people that's tells us there is an
increase of intelligent people??
But i may not agree with you about this century. In other
side i can say in this century the ignorance has increased
to the maximum and intelligent people have disappeared.
This is the century where people do not understand
anymore the importance of nature such as trees, natural
foods, natural skins etc.It is the century that's believe in
creating money and leave the nature aside without
understand that a true nature is great wealth that's bring
heath to enjoy our wealth. People cut down trees to make
roads but later complain about Global Warming, this is
ignorance. You cut down trees to make roads so that you
can get money and later on you use money to buy Air
condition in your house, this is ignorance too. Don't you
know tree help us in reducing air pollution by absorbing
carbon dioxide. You cultivate crops besides water
sources and later of complaining about the scarcity of
water.
The problem with 21st century is that people are selfish,
do you know why?? we complain about the
disappearance of animal in forest and national parks
38. 38
while we are the one who consider our own need without
understand the nature that support other animal lives. We
cut down trees, burning the forest to make some playing
ground. And later on we complain about the government
that's do not support fighting against Global Warming.
We should start supporting the nature first and the nature
is within us before we come to the actual world. We like
seen animal in parks but we don’t want to protect
what makes them stay there.
There is the say that says "when intelligence speaks
wisdom listen" this has become something difference as
now when intelligence speaks also wisdom speaks. We
ruin our lives by ruins our own nature look now at
Beijing on how the air pollution kills people, watch out
in Bangladesh drought and pollution wash away peoples
life. Who do you think can stand to protect this damage?
Mind you it is not government but it is we to make
changes without looking on which country or continent
you are from. Saving the nature does not look on where
you are from but what your heart says about other
people’s lives.
A true nature brings a true health and it gives us a natural
food we want. If you think you deserve better life just
know also the world deserve its nature too. Even if you
disagree with this but i know you have gain something to
change what you thought it was nothing.
Planting a tree is the best choice to change the world but
cutting down the tree is the worst decision to make a
better world. If you know a taste of fruit you must also
39. 39
understand the value of the tree that you pluck out that
fruit. It might not smile at you but at least show some
respect to protect it and next time it will give you more
fruits.
v My Vibe Attracts My Tribe-2
I DONT KNOW= LACK OF KNOWLEDGE =RISKY
I was raised up in the society where the word RISKY has
being given the first priority to things which said to be
hard. But today as a grown up person i realizeed the the
word I DONT KNOW makes someone risk , it is not a
business, it is not a job , it is not any opportunity that is
RISK but the person who live in word RISK not on
RISK.
I DONT KNOW gives you courage to stop seeking
information and lack of information makes you luck
KNOWLEDGE and luck of KNOWLEDGE about
something makes you think it is RISKY doing something
else and that is AVERAGE MENTAL ATTITUDE, Dont
be Average at all be someone who is Sufficient.
But you can turn I DONT KNOW into I DO NOW by
removing NT from DONT and K from KNOW. And you
know what will happen; YOU WILL SEEK
KNOWLEDGE and nothing will be RISK but only
CHALLANGING
40. 40
Listen to me, when you live in the world of I DO NOW
nothing can stop you, you will be unstoppable. In other
word we can say you will be SHARP in both side and
flexible. The word I DO NOW is the motivational Word,
other people likes to DRAW a big picture of their
motivation Words and place them infront of their bed
or walls so when they woke up, the first thing to see is
their Motivational Word.
We have the same brain but the way it changes is
through the words we absorb mostly from different
places, we must put our minds with Positive
Life=Positive Thinking=Positive Vibes.
I would like to give you this
20 years study which was done in HAVARD
UNIVERSITY Stated that YOUR physical Health is
determined by relationships you have, food you eat,
execise program you take or behaviorial GENES you
inherited.
So you have to ask yourself in this 2017, who do you
want to haing out with?? Postive People or Mediocrities.
vMy Vibe Attracts My Tribe-3
Success is not about age dont be lied by statement life
starts at 40. Let me make this clear, Ophrah at age of 32
she started her talk show which has become one among
41. 41
the great show, Albert Einstein at age of 25 he wrote the
Theory of relativity, Martin Luther king jr at age of 34
he wrote one among the strong speeches of I HAVE A
DREAM who doesn’t know that?? Everyone knows that,
Marie Curie at age of 35 she was nominated at Nobel
Prize in Physics, Where are 40s success stories here??
Don’t be led by words but your willingness to achieve
your dreams is everything not your knowledge or skills
or your age. Success is not about age at all doing be lied
in this way. Only commitment and your struggle
determine your success.
And if anyone tells you it is impossible, think of this
beautifully and inspiring lady called Hellen Keller at age
of 19 months she becomes blind and deaf but you know
what?? She was the first blind and deaf person to earn a
Bachelor of Art Degree. Circumstances are nothing to
hinder you from being successfully, problems are
nothing to hinder you from your success, turn them into
lessons.
Don’t let circumstances destroy your true colors let
circumstances bow down and respects you.
At the end of the day your success will not be measured
by the speed you took but the direction you followed.
42. 42
vMy Vibe Attracts My Tribe-4
1. Don’t raise your children in the same way you
were raised or raise them because of some people
influence on how to treat them. As a parent you
have great responsibility of raising your children
gifts within themselves but not creating their
talent even before knowing them clearly.
According to some scientific research when a
child reach at the age of 4 year, it is the year
where a child start/able to capture a lot of things
in their mind, this means a great work of parents
creating their children future life starts there, by
creating this in a way to understand that life isn’t
about cramming or copying and paste but life is
INNOVATION of ideas around us with new
approaches. Don’t create excuses for your
children not to learn something new because the
way you treat them at that age will determine
their coming generation.
If our generations were destroyed with old ideology of
depending on system, donors, and not being independent
on our self thinking then let our children be the catalyst
of this new generation. Children are not supposed to live
in history but they have to be taught to create new
history.
I remember, even before a child is born some parents
already knew what their children suppose to be, this is
wrong and you are not God to know your children
43. 43
destination but you are the one to lead your child to
reach his or her destination but not to manage them.
Parents should have good connection with God to lead
their children in a right direction because God has what
it takes for parents to lead their children to their
destination.
You know what makes most of people not to be
employed, happy, leaving there dream life? It is because
they inherited old system that bury their destination
(talent), as one of my article i wrote, i said GOD CANT
BLESS YOU IF YOU ARE OUT OF WHAT HE
GRANTED YOU TO BE BLESSED, how can He bless
you if you are doing what you are not born to Do??
Parent must have knowledge of leading their children
and not knowledge of copying and paste to their children
things which are not equal to their children destiny.
When you want to move somewhere there must be
changes to happen and changes may give you pain. But
you know what it means?? PAIN means the place you
are not yours, it is the in other words is a sign of moving
in other better stage of life. So parents when you think it
is so pain seeing your children changes for good know
that your children are of another level than the one they
are currently.
May God bless all PARENTS And God fill all parents
with wisdom to lead their children in the right way as
how King SOLOMON was given wisdom to lead the
ISRALITES.
44. 44
vMy Vibe Attracts My Tribe-5
One of the things that have been a block to most of the
success in this world is fear. Most of the people fear to
implement their ideas because they don’t want to be
criticized or they think maybe is not the powerful ideas.
Don't limit yourself while you have all the power to do
what you are born to do. Remove the boundaries and
make some crucial steps toward your destiny. Nobody
can take you where you want to be if you don’t want to
take a pace toward what you believe to be your
destination.
Other people may try to discourage you, but you are the
one who knows exactly where you are going. You have
the blueprint of your future, start a step right now a
simple one. Be passionate about what you are doing and
never stop to do it because it is the thing that makes your
presence. You must fulfill it because it is your
assignment; everybody was born with a special thing to
leave in this World.
All buildings, songs, books, speeches, drawings and
others were once ideas. People implemented them by
making steps and forgetting about the fears. They had
confidence about themselves and what they are doing.
And here now you can see the World is beautiful.
Arise and shine in your purposeful life. Failure is there
to make you strong and grow. Every great person today
started somewhere and passed in a rough and tough road.
45. 45
Leave that fear and show up your special ideas and
talents. The World needs you. You are a very special
person with a special purpose.
Stop fearing to do what you want to do and born to do.
Success is all about doing. Stop waiting for people
approval, who do you care about your progress than
you?? Do you think everybody wants you to be where
you see you suppose to be, no, not everyone rather than
you. The great approval of your needs and life you see to
be suitable for you is in you.
If you decide to live other people dreams or words who
will live your dreams and passion. Don’t disappoint
yourself because you afraid someone words or rejection.
You only distinguished by a dead person through
changes you make, a dead person has no progress at all,
the progress he makes is decaying in the grave.
You are not a dead person as long as you still breath, see,
walk, think, smile, help etc you are capable of walking
away from hypocrites and prove who you are. The
foundation you have inside you is the foundation of
winning; everything comes around you no matter how
long wills it take but you will win it.
Don’t leave a true you goes nowhere because someone is
ahead of you, everything is under control and the one
who created you will bring your gift at a right time, stick
to you purpose don't let it go. You might see some
darkness in it but its time will come and shine more than
you expected it before.
46. 46
Your dreams/Purpose is gardens you cultivate is and
uproot some weed and put some fertilizer it will look
beautifully and enjoy it but when you leave it will be
capture by weed and never be beautifully. So why should
you let your garden be like that because you saw
someone else garden shines more than yours instead of
increasing energy in cultivating,watering,uprooting grass
and putting fertilizer in your garden??
What you have is more valuable than what you see from
others. Don’t let challenges devalue you.
vMy Vibe Attracts My Tribe-6
We are thankfully that you made us call this era of 21st
century where globalization is our daily song us we have
one definition that's the world has become the village.
Dear Social media we are so thank fully that you made
things easy but not in such as we thought it could be the
village. You have become one among the thing we say
you bring people together but in such you bring people
apart in other way. We used to talk face to face and
understand someone more but now we have Skype, face
book live, etc people don't want to see each other as they
want face book, Skype as the mirror to see them. At least
there was privacy for each one stuffs but now face book,
snapchat,linked had become the library for someone
ignorance. Dear social media if you can update your
systems we need to see you update peoples mind to
47. 47
understand the meaning of village that has being kept on
Globalization.
Globalization has globalized people’s minds think they
have won the game of life, no, let us wake up. You know
now days We don't have time to talk because of chatting
in whatsapp and face book, we don't have time for our
family vacation but we have movies, we don't have time
to sing with people we love because we download other
people songs and listen to them, we don't want to have
time with our kids because we are waiting for a certain
program in TV and we don't have time to sleep because
our MBs are not yet finished. Do you know how many
need your time than the time you put chatting with your
friends expecting a real life there??
Now we seek followers, likes and comments in social
Medias thinking the one who follow you, likes and
comment are our true friends. There is no such kind of
lifestyle in social media if you want to prove it just tell
all people who follow you, likes and comments on what
you have posted and see if there will be many response
of people to solve your problems, 1 percent will respond
positively but 99 will ignore your request. This is how
our social media are. We put much trust on likes,
comments and followers we low down our self esteem
by give people more space to know our life than us
knowing their lives sometimes. This is the time where
people forget to pray because there is something new in
social media to make following up.
48. 48
Dear social media, i have a lot of things to tell you but at
least let me repeat something that’s when you bring new
version you don't forget. Bring something new to bring
people together in such a way we live in the village
where Love is our Motto and Action be Our MODEL,
because what people want to see in social media is not
your motto and your new Version but a model to see.
vMy Vibe Attracts My Tribe-7
The only reasons that’s people do not go where they
want to be even if they have everything needed to
accomplish their tasks is luck of confidence. There are
people who are very confident in writing and talking but
they luck confidence in action. Why this happen? Most
of us we don’t believe our new ideas, what we want is
doing something that others have done or doing
something that has being done by a certain person you
believe he or she is right. Let’s take an example to
Tanzania Youth, we have a lot of ideas but most of us
we believe we are not efficiency to what we have by the
way so what we do is waiting to see what others have
done so that we can do it too. This is not right because
what we have is more than what others have in such.
And no one can do the same as us when we decide to
implement our ideas and believe that we are capable of
doing it.
49. 49
We avoid struggling, get pain and even to fail that’s why
now day’s innovation is not there. If you are in need of
good things why you are arraying of struggling, pain and
mistakes?? There are no good things without things i
have mentioned above. Why do you mind someone
business and leave your own business, that’s nonsense.
You can hide anywhere but you cannot escape from
pain, mistakes maybe if you try nothing at all.But still it
is so pain not to try too.Mistakes are classroom you are
not supposed to run out of class but you have to master
the lesson you get in that class.
We have being in such a circle of lying ourselves instead
of working on our own ideas we work on someone ideas
that why even when competition arise you are out of
market because it was not you in that business and if it
was your hopefully you could remain on top at all. What
is yours cannot be interfered by anyone cause that you
and nobody else.
When you want to be successfully doing something that
is you and not someone else so that you can stand in a
life time. Some may ask themselves how I can do that.
Remember God didn’t create you without knowing your
purpose and he knows why He brought you in this
world, so if HE is the one who created you also HE will
be the one to tell you your PURPOSE. But remember
God is not that cheap to tell you your purpose, there is a
way to know your purpose that why you have to pray
and ask HIM what is within you. Prayer is not a prayer
until it is prayed.
50. 50
Don’t be lazy on this because if you are lazy in praying,
it will be so hard for you to be yourself. At the end of the
day you will be minding other people business instead of
your own business to live happy life.
vMy Vibe Attracts My Tribe-8
This is the time of realizing that's there is no different in
skin colors but one is the best. We cannot pretend one to
be intelligent and others being ignorance. Skin has gat
nothing to do with our humanity but only the
establishment of ignorance in our mind makes us think
we are different. Being what they call white and black
doesn't matter what matter is being a human before we
judge ourselves to be different human being. We cannot
place ourselves as a brand of a certain products and say
we are the best than others, that's ignorance. Let the
world judge according to how you spread our love to
others. Look at how Mother Theresa did, she didn't want
to look at peoples color but what she did was considering
all human being are equal. A good taste of life is not
about living oneself life without giving what you have. A
real good taste of life is giving what you have even if it
is small. Don't wait to have everything to give something
but what you have can give everything to someone even
if it is something.
You know you can’t be on top before you let someone
down and someone cannot be proud of himself or herself
51. 51
without seen the weakness of others. This is the first
place weakness of everybody but it is not our problem,
this thing has being planted from generation to
generation and seemed to be okay! It is not, in real sense
Love between us does not match with who created us.
God didn’t create anybody and put some limits in doing
something.
Thinking of this great person JESUS CHRIST he did
what was the best for everyone but he never told anyone
is the best even though HE was/is real the best or He
never choosing who to receive His message but He did
for everyone. But what He did was to make everyone see
we are equal. In our today’s world there is nothing can
be mentioned the best without other one to be named as
the worst one, this should not be tolerated?
We should change this belief of oneself happiness for the
failure of others. Real happiness is derived from
contributing your happiness to unhappy person. We
always feel proud when we are happy on our own and
the same person who feel that’s way also read a BIBLE
and find a verse insisting about LOVE at the same time
he or she finds other verses God says about what you do
to others is the same as you do to God HIMSELF. But
still holding the same position and same belief. But this
all is because of the change of technology people have
decided to turn it down in other side. We act as how
media wants us to do; we act as how the books or
magazine we read wants us to do. Not only that but also
now we have decide to leave our lives and try to live
52. 52
Celebrities lives where are we heading leaving our
dreams back??
After that then we have to ask our self if God is self
piousness and why is He insisting about LOVE between
ourselves. If you real trust HIM you should real trust in
His way not your way.
vMy Vibe Attracts My Tribe-9
We live in the world where everyone is after someone
life. No one ever wants to believe what is in him or her
without seen someone doing what he ought to do before,
but that is not the problem but the problem comes when
you are capable of doing something else and you
undervalue yourselves to the extent you see someone is
more perfect than you. That is the first sign of Poverty as
long as I know you want to be rich in this world. Let me
give you the secret of success as when you decide to be
you, but if you still stick on becoming someone else then
this is not the perfect message for you.
The only step toward your success is not to wait for
outside approval than inside approval. Most People will
lay you and will hate you when they see you moving
toward your success, so what you need to do is to hear
their voices and not listening to their voices.Succes will
53. 53
be measured by steps you move forward and not
backward. You may hear the voice of people mostly
your friends complaining about you because you have
change, but that is just normal when you try to move
from the wrong groups. When you decide to fight for
your success doesn’t look back and don’t believe anyone
who say it cannot be done. If anyone tells you that ask
them “how was it possible to say it is impossible while
to me i see it is possible?” if they don’t have any answer,
and then it was impossible to them and if they answer
just know they will give you wrong answer. The solution
is to move on and never look at them.
vMy Vibe Attracts My Tribe-10
LIFE QUOTES
A. "Invest in yourself. Your career is the engine
of your wealth." - Paul Slithered
We all want wealth, but how do we achieve it? It
starts with a successful career which relies on
your skills and talents. Invest in yourself through
school, books, or a quality job where you can
acquire a quality skill set. Identify your talents
and find a way to turn them into an income-
generating vehicle. In doing so, you can truly
54. 54
leverage your career into an "engine of your
wealth."
B. "How many millionaires do you know who
have become wealthy by investing in savings
accounts? I rest my case." - Robert G. Allen
though investing in a savings account is a sure
bet, your gains will be minimal given the
extremely low interest rates. But don't forgo one
completely. A savings account is a reliable place
for an emergency fund, whereas a market
investment is not.
C. "The stock market is filled with individuals
who know the price of everything, but the
value of nothing." - Phillip Fisher
Another testament to the fact that investing
without an education and research will ultimately
lead to regrettable investment decisions.
Research is much more than just listening to
popular opinion.
D. “Some people will consider you or say that you are a
bad person. Because you didn’t agree to what they are
saying or you couldn’t allow them to do the bad things
they do to you. They will pray for your down fall and
55. 55
rejoice over your pain. No matter what they do or say.
Never let them get you, because you know who you
are.”
― De philosopher DJ Kayos
E. “Never invest in any scheme that is based on a
metaphor, or anything with the word, “next”, in it ().
You will lose your shirt.”
― Clifford Cohen
F. “I am forever busy working, because I want to work
until get a personal call from the bank. Telling me that
they can’t add more zeros in my account. The number
is too long, that they have rounded it off, but still can’t
add more digits to it.”
― De philosopher DJ Kyos
G. The reason you are suffering now, Is because you
judged wrongly people whom you should be asking
help from. You have judged them based on your own
personal past experience and others you have shame
them and look down unto them because of your
pride.” -De philosopher DJ Kyos
56. 56
SHUKRANI
Asante Sana Kwa Kuwa
Pamoja Nami Toka Mwanzo
Mpaka Mwisho Wa Kitabu
Hiki Kifupi Cha
Kukuongezea Maarifa
Zaidi.Naamini Ni Zawadi
Tosha Kwa Mwaka Huu
Kuweza Kukusaidia Kutimiza
Malengo Yako Na Kuwa Mtu
Wa Tofauti Katika Maisha
Yako Na Jamii Yako.
@Lazaro Samwel-2017