SlideShare a Scribd company logo
1 of 57
Download to read offline
2
3
MY VIBE ATTRACTS MY TRIBE
Toleo la Kwanza – January, 2017
LAZARO SAMWEL
MWANZA, TANZANIA.
EAST AFRICA.
Simu: +255 753 616 584, +255 653 386 586
Barua pepe: lazarosamweli41@gmail.com
Hatimiliki ©Lazaro Samwel
Haki Zote Zimehifadhiwa.
Hakuna sehemu yoyote ya kitabu hiki ambayo
inaruhusiwa kutolewa upya au kuhamishwa kwa
namna au njia yoyote; kielektroniki au kiufundi au kwa
kutoa nakala (photocopy), kurekodi kwa namna
yoyote ya kuhifadhi habari au kurudishia tena bila
ruhusa ya maandishi kutoka kwa mwandishi
4
KUHUSU HIKI KITABU
Hiki kitabu ambacho kimeandikwa na mwandishi
Lazaro Samwel Nalingigwa kama mwendelezo wa
kitabu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA ambacho
kimelenga kusaidia jamii kubadilika kifikra bila kujali
elimu,sehemu ya maisha,na kipato ambacho mtu
anapokea au kukipata.Kitabu hiki ambacho nimeamua
kukupa kama zawadi ya safari yako ya mafanikio
mwaka 2017 na miaka mingine inayokuja itakuhitaji
kusoma ukiwa na mawazo ambayo ni chanya,kitabu
hiki sio kwa watu ambao wanamitizamo hasi ya maisha
yao.Na ni bora kutokusoma kama unamawazo hasi
mana kitakuwa hakina msaada wowote kwako na
katika maisha yako.
Katika kitabu hiki utaweza kupata Jumbe zangu
ambazo kwa Muda mfupi zimeweza kusaidia watu
katika kuwafungua akili na kujua mambo mengi
kuhusu maisha.Haujakosea kupata nakala hii kuisoma
na najua wewe ni tofauti sana na utaenda kupata kitu
katika kitabu hii.
KARIBU SANA
5
SEHEMU YA 1
MY VIBE ATTRACTS MY
TRIBE
(KWA LUGHA YA KISWAHILI)
@LAZARO SAMWEL
6
My Vibe Attracts My Tribe- 1
Maisha hauwezi kuanza kwa kufika sehemu ambayo
unataka katika maisha yako bila kuwa na vizingiti flani,
na sio lazima kila kitu ambacho unakifanya kinafaulu,
inawezekana miaka iliyopita ulikuwa ni miaka ya
majaribu sana, kila ulichokuwa unakipanga kinaenda
upande, sio biashara unakuta hakuna faida ambayo
ulikuwa unapata. Naomba nikwambia Mafanikio sio tu
kufaulu jambo ambalo ulikuwa unalifanya hata
unapojaribu kulifanya na ukashidwa ni mafanikio pia.
Failure is the prove that’s you tried something and there
is no failure without a lesson, and a lesson is AN
OPPORTUNITY nikimaanisha kwamba Kufeli ni
uthibitisho tosha kwamba umejaribu kitu flani na hakuna
kufeli bila kujifunza na kujifunza ni Fursa.Mwaka huu
unaweza kuona wenzako wanapiga hatua na wewe
unazidi kushindwa. Naomba nikwambie kitu haujafeli ila
unajiandaa kupokea vikubwa zaidi ya wengine mwaka
huu. Mungu akitaka kukupa mambo makubwa lazima
akufundishe kiukubwa zaidi. Na Mungu akitaka
kukufanya kuwa Na falme juu ya falme zoote ataacha
wafuasi wako watangulie abaki na wewe kuweza kukupa
mafunzo ya jinsi ya kuwaongoza waliokutangulia. Muda
mwingine maisha yanatupa anguko ili Tuweze kuinuka
na kasi ingine.
Naomba nikupe mfano mmoja mzuri sana wa Raisi
mteule wa Marekani Donald Trump mwaka 1990
alikuwa na deni binafsi la $1 Billion na kutoka katika
sekta zingine alikuwa anadaiwa kama $9 Billions, jumla
ni $10 Billions, hizi ni Trilioni za hela hapa, lakini
7
alipoulizwa na Mwandishi kwamba Hauogopi?? Alijibu
kishujaa Sana akasema Kuogopa ni kupoteza
muda.Uwoga unaingia katika njia yangu kunisaidia
kutatua matatizo.
Mwaka huu na sisi tusiogope kwa yaliyotokea miaka
iliyopita lakini tutumie mafunzo ya mambo ambayo
yametokea miaka mingine kutengeneza mwaka huu
kuwa wa tofauti zaidi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-2
Zig Ziglar aliwahi kusema kwamba Ukitaka kufanikiwa
saidia wengine kufanikiwa na wewe utafanikiwa na mimi
nakwambia kwamba Ukitaka kuangaza dunia nzima
kuwa mshuma ambao unawasha mishumaa mingine sio
kuizima ya wengine.Ukiwa na nafsi ya kutaka mshuma
wako tu kuangaza dunia nzima hautafika sehemu yoyote
itazima tu na wala hautakuwa na nguvu ya kuangaza
mbali.Watu hawatasema kwamba huyu mtu alishawahi
kuwasha mshumaa wake hata siku moja.
Naomba nikueleweshe kitu kuhusu huu mshumaa,
mishumaa nimeivisha taswira ya MAARIFA YAKO,
NDUGU, JAMAA, MARAFIKI ZAKO ambao
wanakuzunguka.
1. Mshumaa Ni watoto wako Kama hutaweza kuwapa
maarifa ya dunia ambayo umeweza kuyaona na
kuyatatua hata siku ukiwa haupo hawatatambua uwepo
8
wako. Ila Kama utaweza kukaa chini na kuzungumza
nao pindi usipokiwepo watajua kuwa baba au mama
walitusaidia kwelii na watu watasema kwelii wale
watoto ni wa flani. Watoto wanachohitaji ni zawadi
ambayo unayo ndani yako kama ni maarifa basi hauna
budi kuwapa pia.
Unapotumia mshumaa wako kuwasha ya wengine
unaongeza nguvu ya dunia kuondokana na giza nene, na
unazidi kuonesha kwamba kumbe peke yako hauwezi
kuangaza dunia nzima bila kusaidia wengine kuwasha
yao, mshumaa wako ukiwa chanzo cha mishumaa
mingine kuwaka utatengeneza dhana ya kwamba bila
kusaidia mwingine mshumaa wako sio kitu. Unaposaidia
wengine unasaidia hata ambao huwajui kusaidia
wasaidie wale ambao huwajui mishumaa yako kuwasha.
Kumbuka kwamba hata ikizima bado ya wengine
itasaidia kuwasha ya wenzao.
2. Mishumaa hii ni rafiki zako jinsi unavosaidia kuwapa
maarifa tofauti na kuweza kuwasaidia kimawazo tu.
Unaposaidia marafiki zako ni sawa na kujisaidia
mwenyewe ila usiposaidia marafiki haujajisaidia
mwenyewe. Vipi mshumaa wako ukizima nani
atauwasha ukiwa katika safari yako ya mafanikio wakati
unaoongozana nao hukutaka kuwasha hata mmoja??
Kuwa makini.
Mpenzi msomaji wa kitabu Hiki Cha MY VIBE
ATTRACTS MY TRIBE napenda kukwambia kwamba
ukiweka MSHUMAA wako katika kilele utaangaza na
utaleta maana yake ya kuangaza na kuweka kileleni
9
maana taifa zima litanufaika, hapa namaanisha tuzidi
kujinoa na kitu kionekane na kizidi kuleta manufaa
katika jamii zetu.Ila unapoficha MSHUMAA wako chini
ya uvungu wa kitanda haitakuwa na maana ya
kuuwasha. Hapa namaanisha kwamba unapoamua
kufanya jambo la kusaidia jamii yako usilifiche Kwa
kuogopa watu, ila litoe limulike na wengine na kuwasha
mishumaa ya wengine hapo utakuwa umeweka tafsiri
maalumu ya mshumaa wako.
v My Vibe Attracts My Tribe- 3
Mchanganyiko Wa Mawazo kuhusu Uwekezaji +
Mawazo Ya Kitabu Cha GUIDE TO INVESTING by
ROBERT KIYOSAKI.
Katika UWEKEZAJI ambao unaufanya kitu ambacho
kinaweza leta uhai katika huu uwanja ni MIPANGO
(plans), na kitu ambacho kitafanya wewe
kutokufanikiwa katika hizi shughuli ni kutokuweka
mipango. Mipango ni kama Usafiri ambao utakutoa
kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda sehemu
ingine ya uwekezaji. Ndo maana watu ambao wanakuwa
na Hela lakini Hawana mipango wanapoenda kuomba
ushauri katika kusaidiwa kuwekeza inakuwa Ngumu
sana kushauriwa kwasababu Mshauri inakuwa vigumu
kujua ni jinsi gani ataweza kumpeleka sehemu sahihi, na
hii ni kwasababu inamuwia vigumu katika maswali haya
; unataka kuelekea wapi?, uliamuaje kuanza hatua zako
10
za uwekezaji na Katika uwekezaji wako? Ni muda gani
unataka kutumia kutumiza lengo lako?
Huwa tunaambiwa kuwa na mtu wa mfano wako hata
katika Uwekezaji lakini tulio wengi tunapofanya
Uwekezaji kwa asilimia kubwa huwa tunaangalia role
models (mtu wa kuwa mfano kwako/mtu wa kuiga) wetu
wamefanikiwa kivipi kwa njee katika uwekezaji kuliko
kwa ndani.Uwekezaji unaanzia ndani kufanikiwa ila
kama utaamua kuwekeza kwa kuangalia njee (Kufuata
maneno ya watu, kufuata hisia sana, kufuata media sana)
hapo ndipo mtu anapojiingiza kuwekeza bila mafanikio
yoyote.
Mipango ni kama Ramani na Mipango ni kama usafiri
wa kukutoa kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda
sehemu ingine. Robert Kiyosaki aliwahi kuliongelea hili
swala katika kitabu chake cha Guide To Investing
akasema kwamba, Kuweza ni kitu ambacho
kinachanganya na hakuna maana ambayo unaweza
kusema kwamba huu ni uwekezaji. Katika meelezo ya
Robert Kiyosaki pia niliweza kupata mambo haya
kwamba kwa kuangalia mtu ambaye ametengeneza gari,
vifaa ambayo gari limetengenezwa nalo ni kutoka
sehemu tofauti na watu tofauti wamegundua hivo
vitu,Uwekezaji pia unachanganya watu kwasababu
ukiangalia watu wako tofauti na wanamahitaji
tofauti,kwahiyo hauwezi kuusema uwekezaji katika
upande mmoja. Mtu anaweza kuwa mwekezaji katika
nyanja tofauti na mwingine.Ndo maana kwa asilimia
kubwa kila mmoja anaweza kuelezea Uwekezaji
kutokana na kitu ambacho anakifanya na kubeza sehemu
11
ingine kwa kuona sio uwekezaji, lakini yule pia
aliyebezwa anaweza kuona yule aliyembeza kitu
anachokifanya sio uwekezaji.Kumbuka kila mmoja
atavutia upande wake lakini kumbuka kwamba
Uwekezaji ni KUFANYA VITU VYA TOFAUTI KWA
WATU TOFAUTI.
Nitaenda kuelezea aina mbili za Wawekezaji ambazo ni
muhimu sana wewe kuweza kuzielewa, lakini kabla ya
kwenda mbali naomba nikuambie hivi vitu ambavyo
vitakufanya kuelewa zaidi kwamba aina gani ni bora
kuliko ingine.
Vinaitwa 3E's
1. Education (Elimu/Maarifa)
2. Experience (Uzoefu wa matendo)
3. Excess Cash (Hela ya Kutosha)
1. Qualified Investor.
Huyu mwekezaji anakuwa na Hela lakini hana Elimu na
Uzoefu wa uwekezaji ndo hapa ambako unakuta wengi
tunaangukia kwamba hatujui cha kufanya kwa pesa
ambazo tunazo na kila ambacho tukifanya hakifiki mbali
mana Elimu na Uzoefu hatuna.Aina hii ya Mwekezaji
anakuwa na misamiati michache ya Uwekezaji ambayo
12
inamfanya kutokuelewa uwekezaji vizuri na kutokuwa
na maarifa juu ya uwekezaji.
2. Sophisticated Investor.
Huyu ndo mwekezaji ambaye anahitajika mana hapa
anakuwa na Elimu ya ujasiriamali na Uzoefu hata
anapopata hela haifanyi makosa katika na hawa ndio
ambao wanafanya mambo makubwa. Aina hii ya
mwekezaji anakuwa na misamiati ya Uwekezaji ya
kutosha na anajua vizuri kwamba uwekezaji unahitaji
nini ni ngumu sana kulegalega katika uwekezaji.
vMy Vibe Attracts My Tribe- 4
Kunamsemo mmoja unasema kwamba Dont put all eggs
in one basket kwa maana ya kwamba Usiweke mayai
yote katika ndoo moja kwa maana ingine ni kwamba
ukiweka yote katika ndoo moja yatapasuka.
Lakini Warren Buffet aliwahi kusema kwamba put eggs
in one basket and take care of a basket akimaanisha
kwamba Weka mayai kwenye ndo moja Na uwe makini
na ndoo ambayo umewekea mayai.
Hapa kunamambo ambayo tunajifunza kwamba tatizo
sio mayai kuwa sehemu moja yatavunjika ila
kunausalama gani katika sehemu ambayo umeweka
13
mayai yako? Na hata ubebaji wa hiyo ndo utakuwaje??
Hayo ndo maswali ya kujiuliza. Kwa kupitia msemo wa
Warren Buffet Hapa mayai tunaweza kuchukulia kama
MAISHA na NDOO ya kuwekea mayai ni kama AKILI
yako, kwamba maisha yako yaendeshe kwa jinsi
unavotumia akili yako,ukiiweka akili yako vibaya na
maisha yako yataharibika kama vile utakavoweka mayai
katika ndoo moja na ukabeba vibaya. Jinsi unavoiweka
akili yako ndivo unaweka maisha yako katika hali
salama au hatarishi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-5
Hii ndio Afrika bara lenye kila kitu kuanza na
wanasayansi wazuri, madaktari wazuri, walimu wazuri,
wakandarasi wazuri, wapishi wazuri, wabunifu wa
mavazi wazuri, waandishi wazuri n.k.Lakini Afrika hii
inauliwa na waafrika wenyewe kwa kutokujiamini
wenyewe na kuona kwamba ngozi nyeusi haiwezi kuishi
maisha ya ndoto zao ila wanachoamini n kwamba
mabara mengine wanachokifanya mfano Ulaya ndicho
ambacho kiko sahihi?, hii ndo Afrika ambayo ndoto za
watoto ambao baadae ndo wangeweza kuja hata
kutengeneza simu,magari,kuchapisha vitabu vizuri
duniani, zinauliwa toka utotoni na kuuwa taswira yake
kabisaa za kuwa anachotaka! Au umesahau ulivokuwa
mtoto na mawazo ambayo ulikuwa nayo tena na
makubwa zaidi ya mtu mZima?? Ila chukulia mfano
kuna mtoto alikuwa yuko vizuri kwenye kucheza mpira
14
lakini wazazi walikuwa wanamwambia USICHEZE
UTAVUNJIKA MGUU AU MKONO, hapa tunajenga au
kubomoa ndoto za watoto wetu?? Ndo baadae mtoto
anakuwa hana cha kufanya na anakosa ajira mzazi
unalalamika serikali lakini kumbe serikali yako ya
akilini ndo ilifanya makosa ya kumwulia mtoto wako
thamani ambazo zilikuwa ndani yake.Usiseme mtoto ni
mdogo, ushawahi kujiuliza aliwezaje kutamka baba au
mama akiwa bado mdogo kabisaa??
Unakuta kunamtoto mwingine alikuwa anapenda
kuchora Sana lakini mzazi anamkataza kwa kumwambia
aende kusoma, inakuaje kama masomo ya darasani sio
kipaji cha mtoto wako na ukawa unamlazimisha
kusoma? Funguka Africa, Kama ni kutengeneza
mabilionea Afrika hiki kitu kinawezekana tena kuanzia
kwenye familia zetu.Hebu tupate muda wa kuangalia
watoto wetu wananini!! Sio kila mmoja aliumbwa kwa
kusudi la kusoma na kupata Stashahada flani, sio kila
mmoja aliumbwa kuwa darasani kwanini muwashushe
thamani ambao hawajasoma au kuoana kwamba
hawawezi? Lakini ukija kwa wazungu hata kama
hajasoma sisi waafrika tunaona kwamba wamesoma,
sasa hii inabidi iwe pia katika mitazamo yetu
Waafrika.This is trategy of Africa they treat Formal
Education as a purpose of everyone and forget to
develop what their children were born to Do,hapa
nachotaka kukwambia ni kwamba Hi ndo dhana ya
Africa kufanya elimu ya darasani kuwa Ni Kusudi la kila
mmoja wakati kila mmoja anakuwa na vitu tofauti ndani
yake,haswa kwa watoto ambao ndo kwanza wanahitaji
mwongozo kutoka kwa wazazi kuweza kuamsha kitu
15
ambacho wanacho ndani yao.Mzazi kama hutaweza
kujiongeza na kuamua kujua mwanao ndani yake
mwelekeo wake ni wa kuwa nani utaishia kusema
kwamba anatakiwa kwenda kusoma na kupata
Stashahada kama watoto wa wenzakpo unavowaona.
Tunakosa viongozi bora kwasababu toka utotini
walishapotezwa, tunakosa wanasayansi wazuri wa
kutikisa duniani kwasababu toka utotoni
walishapotezwa. Africa is full of all pleasures things
starting from our family. Let us build this Continent by
changing our fellows African attitude nikimaanisha
kwamba Afrika ina kila kila kizuri kuanzia kwenye
familia zetu.Tujenge bara hili kwa kubadilisha Fikra za
wenzetu.
KUMBUKA ;Sasa kama ni karne ya 21 imeanza kuwa
hivi inabidi tuweke watoto wetu kwa muundo wa karne
ya 30 na kuendelea mana tunapoelekea changamoto
zitakuwa nyingi sana lakini kwa wale ambao watakuwa
wamejengwa katika kusudi lao hawatatikisika
kamwe.Ajira ni shida kwasababu ajira iko katika
muundo mmoja ya kuajiriwa na unakuta wengi hivo
vigezo wanavyo lakini kama kungekuwa na Ajira ya
vipawa sidhani kama kunamtu angelalamika hana ajira
kama alilelewa katika kipawa chake.Ila wengi
wangekosa mana pia wengi wameacha makusudio yao
kutokana na malezi ambayo wanafika umri flani hajua
hata afanye nini sasa hapo inambidi aende wengi walipo.
Mungu aibariki Africa, Mungu Aibariki Tanzania,
kuweza kuona mbali zaidi ya haya.
16
vMy Vibe Attracts My Tribe-6
Nilikiwa nikimsikiliza Prof P L O Lumumba alisema
kwamba kuna wakati ukitaka kuwa mtu mkubwa lazima
ujifunze kwa watu wakubwa aliweze kutoa misemo ya
watu ambao wemeacha historia kubwa sana duniani
kama Mwl J k Nyerere, Mother Theresa na Mahatma
Gandhi. Sitataja zote ningependa kuzungumza kuhusu
msemo wa Mahatma Gandhi alisema There is no way
to success success is the way,akimaanisha kwamba
Hakuna njia ya mafanikio lakini mafaniki ndio njia
nitaenda kitofauti kidogo na hapa lakini kwa namna hii;
Napenda kukwambia kwamba Hakuna mafanikio
ambayo hayana ramani na kama hutaweze kuchora
ramani ya mafanikio yako yenyewe yatakuchora.
Hayati Mwl Nyerere aliwahi kusema it can be done, play
your part akimaanisha kwamba kinaweza kufanyika
chukua nafasi yako naomba kuwa makini Mwl Nyerere
hakusema kwamba uchukue nafasi ya mtu mwingine
lakini ni uchukue nafasi yako. Kuchukua nafasi yako
haiwezi kuja bila kujitambua mana unapojitambua ndipo
ambapo unaweza kuweka ramani yako vizuri kuelekea
mafanikio yako.
Hii ramani nayokwambia ni nini?? Mipango binafsi
kutimiza kitu flani ambacho ndicho Ramani ya
17
mafanikio yako. Bila kujua unapoelekea hauwezi kujua
unachokitafuta. Lakini mipango yako binafsi inategemea
na jinsi unavotafsiri nini maana ya Mafanikio.Kitu
ambacho unakitaka lazima ukitambue usipokitambua
kutakuwa na mashaka unapoelekea. Mipango unaweza
kuweka ya muda mrefu au muda mfupi lakini inatakiwa
kufanyiwa marekebisho kadri siku zinavoenda hata
kuzibadilisha pia.
Mafanikio kunawatu ambao wameweza kuielezea kwa
aina tofauti, tuangalie haya makundi;
1. Mafanikio ni kumiliki mali
2. Mafanikio ni kuwa na hisia flani.
3. Mafanikio ni kuweza kuwa na kitu binafsi cha
kutimiza(kusudi).
4. Mafanikio ni kutimiza lengo lako flani.
Kabla sijaongelea chochote Kama nitakuwa sijasahau
niliwahi kusoma msemo mmoja kwamba Inabidi
tuwaelimishe watu kwamba kumiliki gari au baiskeli sio
ndio mafanikio.
Mafanikio inabidi tuyafafanue Kwa No.3 kwasababu
hata malengo baada ya muda huwa yanakuwa hayana
maana baada ya kuyatimiza. Napolean Hill aliwahia
kusema kwamba Goal is a dream with a deadline
kwamba Lengo ni ndoto yenye kikomo.
18
Mission= ni kama kusudi, inaweza pia kuwa kama safari
flani ambayo unataka kufika.
vMy Vibe Attracts My Tribe-7
Tunaposema kwamba mtu kuwa kiongozi sio lazima
uwe serikalini au sio lazima upigiwe kura ukae ofisini
viyoyozi ndo useme kwamba ni kiongozi. Sio lazima
uwe tajiri ndo uwe kiongozi na masikini asiwe kiongozi.
Leo sitaki nikuache hivi bila kipata kiti kuhusu Hilo.
Kunamtu anaitwa Hendrick aliwahi kusema kwamba if
you want leading you must continue to change
akimaanisha kwamba Kama Kama unataka kuongoza
endelea kubadilika, nami nakuongezea Kwamba ukitaka
usiongoze Usiendelea kubadilika mana hata ulichokuwa
unakiongoza kitakuongoza
Kila uongozi unakuwa na nguvu yake ndani yake.Mana
hakuna uongozi ambao hauna lengo la kuongoza, mfano
unapoongozwa inamaana kunakitu flani ambacho
mnatakiwa kukitimiza lakini mkaona kwamba nyie peke
yenu hamtaweza mkaamua kumpa mtu ambaye mmeona
kwamba huyu atawafikisha na anakitu cha tofauti.
Katika kitabu changu cha NGUZO 3 ZA MAISHA
nimejaribu kuongea Kwa kuhusu sauti ambazo ziko
ndani yetu Na kwamba Unasikiliza Sauti Gani Ndani
19
Yako?? Na nikazitaja hizo sauti ambazo huwa ndani
yetu.
Naomba kukwambia kwamba kila mmoja ni kiongozi,
hakuna mtu ambaye sio kiongozi ila jinsi unavoutumia
uongozi wako vibaya ndipo unapokupeleka.Na haswa
ndani yetu kila sauti inakuwa na uongozi wake sasa
wewe unaipa sauti gani uongozi kukuongoza..........
Utarejea vema katika NGUZO 3 ZA MAISHA. Ila ukitaka
kwamba usiende sehemu yoyote katika maisha yako
ridhika na maisha ambayo unayo na ukubali kubadilika
na kujiongoza vema. Kujiongoza vema ni pamoja na
kujua malengo yako ni yapi ili uweze kuwa katika mstari
ambao ni sahihi sio kufuata mkumbo.
vMy Vibe Attracts My Tribe-8
Fursa Fursa!! Kunamsemo mmoja ambao unasema
kwamba Unaona kitu ambacho umejiandaa kukiona,
kuwa makini na ninachokuelekeza mana hapa wengi
huwa tunashindwa kuelewa kwamba kwanini watu
wengi wanashindwa kuona fursa, unaweza kwenda
semina nyingi Sana unaweza kusoma vitabu vingi sana
kwaajili ya uwekezaji na fursa tofauti lakini bado
usiweze kufikia sehemu ambayo unataka. Tatizo ni
kwamba umejiandae kupokea kitu katika kitabu, semina
na mtu ambaye anakuelekeza.
20
Naomba nikudokeze kitu kimoja fursa hauwezi kuiona
Kwa macho ila kwanza unaanza kuiona katika akili
yako, Fursa hauwezi kuiona kwa mtaji ambao unao ila ni
kwajinsi ulivoweza kupangilia hela uliyokuwa nayo.
Tunakosa Fursa kwa kukosa Fursa. Muda ni fursa nenda
kinyume na Muda uone kama utaweza kupata hiyo fursa
na hata kama utaipata hautaweza kuifanya
vizuri.Kumsikiliza mtu ni Fursa, lakini ukijifanya unajua
unakosa fursa. Kuhudhuria semina za biashara hata kama
bado haijaanza ni Fursa ambayo itakufanya kupata fursa
ingine. Kumsikiliza mtoa mada katika semina ni Fursa
ingine, ukikosa moja wapo umekosa Ya pili. Kuwa
Makini.
Katika Kitabu Changu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA
ambacho naamini kwamba tayari umeshakipitia,sehemu
ya Ujasiriamali Na Biashara nimeeleza kwamba Fursa
ni kitu ambacho kimejificha ukiangalia kwa macho
ya kawaida hauwezi kuona chochote.
Ukitaka kupata Fursa toka sehemu ambayo unaishi
angalia UVIVU wa watu uko wapi katika kitu
wanachokipenda? Alafu fanya hicho ambacho wanaona
uvivu kukifanya- Lazaro Samwel
Mfano America Na Europe Maeneo Mengi unakuta watu
wanawahi asubuhi kazini unakuta kwamba wengi
kunauvivu WA kujiandalia Chai ya asubuhi majumbani
kwao, kwahiyo kunawatu wanatengeneza Chai
wanaziweka vizuri na wanakuwa na oda katika ofisini
tofauti.
21
Nasema uvivu kwasababu ndo fursa zilipo mfano unauza
chakula watu wanaona uvivu kuja kuchukua chakula
unachokifanya ni nini?? Unawapelekea lakini unaweka
cost ambazo mteja hawezi kuona tunasema ni Indirect
Cost yeye ataona ni sawa.
Asili ya mtu mvivu ni mvivu hata kujua nini maana ya
gharama.Faida ingine,ni kwamba mvivu ukiweza kuziba
pengo lake la uvivu atazidi kukulipa zaidi mana ni kama
unamzidishia uvivu kwake na kuongeza malipo
kwako.Ni muhimu zaidi kuwa na huduma nzuri,angalia
sasahivi hatutembei tena, ni bodaboda,magari na ndege.
Kinachofanyika Ni huduma inazidi kuwa bora zaidi, na
sisi tunapunguza kutembea lakini tunaongeza kulipa
gharama kwa wamiliki wa vyombo hivo.
vMy Vibe Attracts My Tribe-9
Ukiwa unawaza kuhusu Kushindwa, kwanza Anza
kuwaza kuhusu mambo ambayo ulikuwa unaona
kwamba yanashindikana Na sasahivi yamewezekana,
waza kuhusu wazo ambalo ulikuwa nalo na uliona
linahindikana lakini baada ya muda mwingine kaliweza.
Baada ya hapo waza kuhusu mawazo ambayo unayo
sasahivi, Na unaona kwamba hayawezekani, unadhani
yanashindikana?? Unajua subira yako ya jambo ambalo
unatakiwa kulifanya sasahivi ni Kama kuhamisha wazo
lako kwa mtu mwingine lakini kama utaamua kulifanyia
kazi mapema wazo lako litakuwa lako.Chelewa
kulitenda kwa kudhani linashindikana utaona wengine
22
wanalifanyia kazi. Shtuka Na amke kufanyia kazi ndoto
zako ambazo tunazo.Mr Zingo aliwahi kusema kwamba
Wazo ni lako ukilifanyia Kazi lakini kama Utaliacha
akilini mwako sio lako. Usibembelezwe na neno
Kushindikana ila Bembelezwa Na Matendo Ya
Kuwezekana jambo ambalo ulikuwa unawaza.
Kushindikana Kwa jambo flani ni kwasababu
linawezekana na ukiamua kushindikana kushindwa
utaweza kwa kila jambo- Lazaro Samwel
Kila muda unapowaza kushindwa waza wangapi
wameweza unachowaza kushindwa Na Kama utaona
hata mmoja ameweza na ni binadamu kama wewe,
kichwa kimoja, miguu miwili na vingine vingi
kukamilisha kufanana na wewe, jua hakuna sababu ya
kusema siwezi.
Kunamambo mengine ambayo inawezekana
tunashindwa kuyafanya kwasababu tuliyatamkia neno
Kushindwa Zamani Na vikaleta madhara Na hata
tusipate Mafanikio. Tusifanye makosa, lazima tujiweke
kuwaza Kushinda Tu. Usidhani kwamba kuwa katika
hali nzuri ndo unaweza kusema kwamba Naweza, hata
ukiwa katika Hali mbaya endelea kusema naweza.Hii
itakusaidia kupunguza ongezeko la uzito katika
halinuliyokuwa nayo,lakini pia itakusaidia katika
kuhakikisha kwamba unarejea katika hali nzuri.
Learn Not To Quit but To Rest Sometimes nikimaanisha
kwamba
23
Muda mwingine Jifunze kutokukata tamaa lakini
kupumzika.
Napolean Hill alishawahi kusema kwamba Nothing can
bring success but yourself akimaanisha kwamba Hakuna
ambacho kitakuletea mafanikio zaidi yako wewe
mwenyewe, sio vizingizio, sio maneno ya watu, sio
kusema nashindwa.
vMy Vibe Attracts My Tribe-10
Uwekezaji sio kwamba ni mgumu au mbaya lakini
unaona upande gani wa uwekezaji? Hilo ndo swali
ambalo unatakiwa kujiuliza, katika post ambayo
nimetuma muda sio mrefu nilisema kwamba hata Kama
unahela namna gani lakini Kama bado unamawazo ya
umasikini ndani yako utakuwa masikini lakini kwa
kuongezea hizo hela hazitakusaidia zaidi ya kukurudisha
katika umasikini tena. Wengi wanadhani kwamba
uwekezaji ni kwenye hisa, Ardhi n.k uwekezaji ni kitu
ambacho kinauwanja mpana sana katika jamii haswa
pale ambako kwamba woote tuko tofauti na mawazo
tofauti pia. Nakwambia hivi mana watu wanachanganya
uwekezaji Kwa kudhani kwamba uko sehemu au upande
mmoja. Mahitaji yako mengi na watu wanahitaji huduma
tofauti, hiyo ni sehemj ya uwekezaji.
Tatizo la uwekezaji ni wawekezajo wenyewe kuwa na
usawa mmoja wa mawazo katika kuwekeza. Kuna
msemo mmoja unasema kwamba Tusilalamike kwanini
24
Bendera haipepei ila inabidi muda mwingine
tuulalamikie UPEPO hapa nachotaka kukwambia ni
kwamba tusilalamike kwanini uwekezaji ni mgumu ila
hata sisi inabidi tujilaumu ni kwanini tu wagumu
kuelewa uwekezaji.
Kitu ambacho sasahv kinatokea katika,Uwekezaji ni
kwamba kila mmoja anajua kuhusu Uwekezaji lakini
hakuna anayejua thamani ya kila Uwekezaji
anaoufanya, ndo maana leo anaweza fanya hivi kesho
kile.
Uwekezaji ni bora ila kuwa na Elimu juu ya uwekezaji
na ukawekeza ni Bora zaidi.
vMy Vibe Attracts My Tribe-11
Kiasi cha hela ambacho unacho sasahivi sio kipimo cha
maisha yako mazuri lakini jinsi ulivondani baada ya
kupata hela ndiko ambako panatabiri maisha yako.
Hiki kitu watu wengi sana kimekuwa kikiwasumbua
sana na wengine walishawahi kunifuata kuwapa ushauri
ila tatizo ambalo linaonekana watu kutokusonga mbele
kufikia maisha ya utajiri ni kwamba wanapokuwa na
hela mikononi mwao wanakuwa matajiri lakini ndani
yao bado wanaongozwa na fikra za umaskini. Naomba
nisikuache hapa. Nachomaanisha ni kwamba mtu hata
kama ana milioni 20 lakini bado anawaza kuhusu kuwa
umasikini anaweza kusahau ndoto ya kuwa tajiri, mana
25
kiwango cha hela ambacho unacho kitafanya kazi vizuri
kutokana na jinsi ulivo ndani yako. Adui mkubwa katika
maisha yetu hasa katika matumizi ya pesa yuko ndani
yetu na tusipotaka kumrekebisha tutakuwa tunatwanga
maji kwenye kinu. Mana unachowaza Sana ndani yako
ndicho ambacho unakuwa katika ulimwengu wa kawaida
hata katika matumizi ya pesa zako.
Haujawahi kuona mtu flani wa kawaida anaanzisha duka
kubwa zuri na limejaa vitu kweli lakini baada ya muda
linaisha ghafla? Naimani umeshawahi kuona sehemu
tofauti. Au mtu anaweza kuwa na hela kidogo lakini
akafanya mambo makubwa sana katika maisha yake?
Hawa wapo pia.
Nikupe siri moja kwamba inapokuwa na pesa za kutosha
ndani kwako au hata benki lakini bado ukawa na
mawazo ya kimasikini hata kila kitu cha thamani
ambacho utakuwa inakishika lazima utaishi nacho
kimasikini.Hii ndo mbaya zaidi katika kutaka kuwa tajiri
lakini bado unamawazo ya kiumasikini.
Tubaki na kitu kimoja kwamba kuwa na pesa nyingi sio
kwamba unaweza kuwa tajiri haraka, hapana lakini jinsi
ulivo ndani yako au jinsi ulivojipanga ndani yako katika
matumizi ya pesa zako ndivyo ambavyo itakusaidia
wewe kufikia utajiri ambao unautaka.
v
26
vMy Vibe Attracts My Tribe-12
1. Kunawakati ambao watu wanadhani kitu kirahisi sio
cha kwelii mpaka kiwe kigumu ndipo wanaamini ni cha
kweli.Ni sawa na mwanafunzi anapoingia darasani
anaona mtihani wa maswali marahisi lakini kila jibu
ambalo analiweka anaona sio sahihi kwasababu mtihani
mrahisi kwahiyo anachokifanya anaufanya kuwa mgumu
kwa kuwaza majibu mengine na jibu analiona, mwisho
wa siku anajaza mambo ambayo sio sahihi na kufeli
mtihani. Hapa namaana gani? Kunafursa nyingi Sana
ambazo huwa zinatokea mbele yetu na ni rahisi lakini
kutokana na mawazo ambayo tunayo akilini mwetu
katika kuivisha fursa taswira ya ugumu unakuta kwamba
hatufanyi kwa usahihi.
Lakini pia Kwa sasahivi fursa ambazo huwa zinajitokeza
hazibadilishi maisha ya watu kwasababu ya watu kutaka
faida za haraka zaidi ya maarifa ya kuifanya fursa
kiufasaha kubadili maisha yao. Mtu anataka kwamba
akiingia Leo kufanya fursa flani kesho atoke kimaisha,
kweli unaweza kupata hela nzuri ya siku mbili tatu lakini
usiwe na hela ya kubadili maisha yako kabisaa. Na
haswa watu ambao wanaingia kufanya fursa flani
kwasababu ya shida flani ya kutatuliwa kwa haraka
inakuwa ni ngumu sana kwao kuwa na mtaji wa biashara
baada ya kupata faida mana atamalizia pesa zoote katika
shida flani alafu atarudi kutafuta ingine. Hapo
maendeleo yatakuwa magumu Sana Kama utakuwa na
tabia ya namna hiyo.
27
2 .Kitu ambacho nimekuja kugundua kuhusu fursa ni
kwamba inacheza na muda na watu wengi wanazikosa
kwasababu hawajui thamani ya muda. Haujawahi
kusikia kunawatu wanakwambia laiti ningefanya fursa
flani kipindi flani ningekuwa mbali Sana?? Mimi
nishawahi kusikia sijui na wewe.Ila hii ni ishara wazi
kwamba kulikuwa na mapishano ya muda kati ya huyo
mtu na fursa ndo maana anajuta kutokuifanya.
MISEMO YA MAISHA KUTOKA KWA LAZARO
SAMWEL
∑ Usiseme huna muda kufanya kitu flani ila tumia
huo muda ambao unawaza kutokufanya hicho
kitu kukifanya.
∑ Wengi tunajua Bei za kujiunga katika fursa flani
lakini hatutaki kujua fursa hizo zinanafasi gani
katika maisha yetu.
∑ Ukiweza kuikamata fursa, fursa itaenda na wewe
unapotaka kwenda. Ila ukichelewa itakuacha
wewe kwenda unapotaka peke yako.
∑ Kujijua na kujitambua Ni fursa tosha ya kupata
fursa zingine za kubadilisha maisha yako.
28
∑ Usifanye fursa ambazo Rafiki zako wanazijua
kabla wewe hujazijua na kuzitambua. Fanya
uchunguzi kwanza Kuzijua na kuzitambua.
∑ Kama ilivoraha kuhesabu hela kutokana na
fursa yako kufanya vizuri hiyo ni ishara tosha ya
kukuhitaji kuongeza maarifa zaidi uongeze
kuhesabu hela nyingi zaidi ya hapo au zisipungue
tena.
∑ Tatizo sio wazo lako kuwa Tatizo ila ni wewe
kuwa Tatizo kuendelea kukaa kuwaza kuwa
Wazo lako ni Tatizo.Amka
∑ Ujinga ni pale unapotaka kuwa Tajiri alafu kila
siku unafungua gazeti la Udaku kuangalia Watu
maarufu wamefanya nini ikiwa wewe hata
sehemu unayoishi hakuna huduma nzuri ambayo
umewafanyia wenzako au wazo zuri ambalo
umeshirikisha.
29
∑ Ujinga sio kukosa Mtaji ila ni unapopata 500/=
kila siku ukaona sio mtaji lakini ndani ya wiki
ukawa unaangalia mpira mara 5. 500 x 5 =
2500/= kwanini usinunue karanga kilo Ukaange
na kuuza au uanze kufunga barafu ukuze mtaji na
kwa wiki uingize 5000/= toka kwenye 2500/=
uliyokuwa ukipoteza kwenye mpira?
v My Vibe Attracts My Tribe-
13
Unatakiwa kuishi kwa kutengeneza historia mpya sio
kuishi Kwa historia. Tunaposema kwamba kuishi Kwa
historia ni kuishi kwa mambo ambayo yemepita na
kujenga tabia ndani yako.
Sababu za watu kutokufanikiwa ni kutaka kuishi kwa
historia ambazo zimepita badala ya kutengeneza
historia mpya Mtu anakuwa na mawazo haya akilini
kwake kwa mambo ambayo yamepitwa na wakati
nfano
ÿ Kwetu Ni masikini kwahiyo kuja kuwa matajiri
ni baadae sana.Nani kakwambia mafanikio ya
familia yako yanapimwa na uwezo ambao
umeukuta jatika familia yako. Hiyo inawezekana
ilikuwa ni wazazi wako, lakini sasa wakati ni
wako. Usiendeleze kizazi cha namna hiyo.
30
ÿ Nina kisomo kidogo Sana kwahiyo mafanikio
yangi hayatabiriki kabisaa.
ÿ Sikiliza hakuna cheti chochote cha darasani
ambacho kinakupa hela mojamoja kwa moja uwe
tajiri na wala sio kila mwenyewe kisomo
kikubwa lazima atafanikiwa angalia wangapi
wana PHD, Degree lakini maisha yako ya
kawaida?? Hii Ni kwamba SUCCESS IS NOT
ABOUT SCHOOLING IS ALL ABOUT HOW
YOU USE WHAT IS IN YOUR MIND
nikimaanisha kwamba MAFANIKIO SIO KUKAA
DARASANI NI JINSI JINSI UNAVOTUMIA
KILE AMBAKO KIKO KATIKA AKILI YAKO.
Kujenga Historia mpya ni kwenda na wakati na kuamua
kuchukua mabadiliko zaidi. Tunapoongela kuhusu
Wakati wa Viwanda hapa tunaweza kuongelea watu
kama wakina HENRY FORD mwanzilishi wa magari ya
FORD na THOMAS EDSON mgunduzi wa balbu ya
Umeme. Lakini watu hawakuamua kuishi katika Enzi
zao ndo maana tukaja hii (Karne ya utandawazi)
INFOMATION AGE ambayo tunacheza na Teknolojia
hapa tunazungumzia wakina Mark Zukerberg mgunduzi
wa facebook, Bill Gates mwanzilishi wa Microsoft,
Steve Jobs mwanzilishi wa Kampuni ya Apple, Jack Ma
mwanzilishi wa Alibaba na wengine wengi. Hawa
31
hawakuamua kuishi Kwa historia ya wakina Thomas
Edison Na Henry Ford.
Hapa nataka kukwambia kwamba maisha yako hauwezi
kuyabadilisha kwa kuishi histori ya nyuma lakini ni
kutengeneza historia mpya na mambo mapya haswa
katika kitu ambacho unajua kwamba unakipenda kutoka
moyoni mwako.
vMy Vibe Attracts My Tribe-14
MISEMO YA MAISHA
ÿ Usiumie kwasababu umeanguka katika jambo flani ila umia
pindi unapoamka na ukashindwa kupata fundisho la anguka
lako mana unapoenda unaweza kuanguka anguko hilohilo
kila mara na likakupotezea muda zaidi ya mara ya kwanza.
ÿ Usilalamike kwa mapungufu ambayo unayo ukakaa
ndani kudhani kwamba ndiko utakapopata suluhisho ila
zidi kuelewa mapungufu yako kwa kuyafanyia kazi kila
32
siku kuhakikisha yanaisha,inamaana kama ulikuwa
unaona kama unashindwa inabidi ufanye vitu vya
kuweza na kama ulikuwa unajiona ni mvivu fanya
mambo ambayo yatafanya uvivu kuondoka.
ÿ Usisubiri ulimwengu ukukubali kwa unachokifanya ukaona
hicho kitu kinamaana lakini pindi kinapokataliwa hakikisha
unaongeza juhudi kwa jambo ambalo unalifanya kusudi
watambue walikuwa wenyewe hawana maana katika
mtazamo uliokuwa nao.
ÿ Ukichukua Muda mwingine kuchunguza wengine au
kujilinganisha Na wengine utakuwa ni mtu wa kujiona
kuwa na mapungufu mengi kuliko wale ambao
unawachukunguza, chukua muda kujipenda mwenyewe
kwanza na acha ya wengine pembeni.
ÿ Unaweza fanya vizuri Sana katika ulimwengu huu lakini
bado wengi wakaona kwamba sio kizuri machoni pao, usijali
Kwa Hilo binadamu hata siku moja haridhiki Kwa haja
alizokuwa nazo.Ni Kama tumbo linavokuwa na uhitaji kila
kukicha hata ule namna gani. Ila cha msingi Ni kuangalia
wewe mwenyewe jiweke Kwa maana ya kujikubali Na
kujithamini katika mambo ambayo unafanya na wale ambao
walikuwa wanakuona hauna maana watakuja kukuona wa
maana.
33
ÿ Samaki mmoja akioza woote wameoza, bado
nakuja kulekule kwamba hawa itakuwa ni ujinga
ukija katika uhalisia kwamb unakundi la samaki
ukakuta mmoja wapo ameoza na wewe ukaweka
jibu moja kwa moja kwamba woote wameshaoza
na kuamua kwenda kuwatupa. Ni sawa na
mwalimu kuingia darasani kukuta mwanafunzi
mmoja anapiga kelele na kuliambia darasa
kwamba woote mnapiga kelele au ni sawa na
kukuta katika baadhi ya nguo zako unakuta mbili
au tatu zimeliwa na panya ukasema kwamba
baasi nguo zoote zimeshaliwa. Kama samaki
mmoja ameoza kwanini usimuondoe huyo
mmoja na kuweza kuangalia hali za wengine
zikoje au kama ni mwalimu kama mwanafunzi
mmoja anatabia mbovu kwanini usimshughulikie
huyo mwanafunzi na kuendelea na wengine
wasije kuwa na tabia kama ya huyu. Mana akioza
mmoja mtoe huyo aliyeoza mapema asiharibu
wengine. Huu msemo unanipa wazo moja
kwamba kabla ya kufanya maamuzi kwa haraka
inabidi tujaribu kufanya uchunguzi kwamba
kwanini huyu samaki aoze yeye tuu na pia
kumweka pembeni ya wale ambao unaona
hawajaharibika ili na wenyewe wasije kuoza
lakini pia ni vizuri kuwa makini na samaki wako
hata kabla hawajaoza.
ÿ Samaki huyu naweza kumweka Kama Furaha,
maarifa, Matatizo, shidah, Ugumu WA maisha,
34
Ujasiri, Biashara, Na vingine vingi. Huu usemi
wa kusema kwamba usimpe mtu samaki ila
mfundishe jinsi ya kuvua samaki ili asirudi
kukuomba tena, kwa upande wangu naweza
kusema kwamba kama unania nzuri na mtu
usimfundishe kuvua samaki ili kesho ajipatie
mwenyewe ila mfundishe kuvua samaki na jinsi
ya kuwatumia hao samaki hapo utakuwa
umemsaidia. Mfano katika biashara za mtandao
unaweza kumfundisha prospect waki jinsi ya
kupata wateja lakini hiyo haitoshi ni lazima
umfundishe jinsi ya kuongea na hao wateja na
jinsi ya kuwafundisha kuhusu biashara pia (hapo
sasa unamfundisha jinsi ya kutumia samaki) au
hata katika kuhamasisha mtu usimpe mtuu
maarifa lakini mpe na njia ya kutumia hayo
maarifa (hapo utakuwa umemwonesha jinsi ya
kutumia hao samaki).Huu msemo naweza kusema
kwamba usimkataze mtu kuja kukuomba samaki
kwasababu ulishamfundisha ila mwache aje
kukuomba tena mana unaweza kumsaidia zaidi
pindi anapokwambia changamoto anazozipata
katika kuvua samaki na wewe unaweza kumpa
njia zingine au ukajifunza kwake pia kwamba
kwa changamoto ambazo amezipata ameamua
kutumia njia gani katika kuhakikisha haondoki
kapa katika uvuvi wake. Tatizo kubwa
tunapomfundisha mtu kuvua samaki tunamwacha
tukiamini kwamba tayari tumeshatatua tatizo
lake lakini kumbe hapana, ikiwezekana kaa nae
kwa ukaribu zaidi pindi unapomfundisha mvuvi
huyu kuvua samaki na nia yako ya kufundisha
35
isiwe kwamba asirudi kukuomba tena samaki, je
kama wewe mwenyewe siku hiyo haujapata hao
samaki huoni kwamba anaweza kukusaidia wake
ambao amewapata?? Waza njee ya Box
36
PART 2
MY VIBE ATTRACTS MY
TRIBE
(ENGLISH VERSION)
@LAZARO SAMWEL
37
vMy Vibe Attracts My Tribe-1
It has being called the 21st century where the
development of people increases, the century where it
has being said that the technology will take over in
everything. This is the century which we say the number
of intelligent people is increasing every day. Is it because
of the increase of rich people that's tells us there is an
increase of intelligent people??
But i may not agree with you about this century. In other
side i can say in this century the ignorance has increased
to the maximum and intelligent people have disappeared.
This is the century where people do not understand
anymore the importance of nature such as trees, natural
foods, natural skins etc.It is the century that's believe in
creating money and leave the nature aside without
understand that a true nature is great wealth that's bring
heath to enjoy our wealth. People cut down trees to make
roads but later complain about Global Warming, this is
ignorance. You cut down trees to make roads so that you
can get money and later on you use money to buy Air
condition in your house, this is ignorance too. Don't you
know tree help us in reducing air pollution by absorbing
carbon dioxide. You cultivate crops besides water
sources and later of complaining about the scarcity of
water.
The problem with 21st century is that people are selfish,
do you know why?? we complain about the
disappearance of animal in forest and national parks
38
while we are the one who consider our own need without
understand the nature that support other animal lives. We
cut down trees, burning the forest to make some playing
ground. And later on we complain about the government
that's do not support fighting against Global Warming.
We should start supporting the nature first and the nature
is within us before we come to the actual world. We like
seen animal in parks but we don’t want to protect
what makes them stay there.
There is the say that says "when intelligence speaks
wisdom listen" this has become something difference as
now when intelligence speaks also wisdom speaks. We
ruin our lives by ruins our own nature look now at
Beijing on how the air pollution kills people, watch out
in Bangladesh drought and pollution wash away peoples
life. Who do you think can stand to protect this damage?
Mind you it is not government but it is we to make
changes without looking on which country or continent
you are from. Saving the nature does not look on where
you are from but what your heart says about other
people’s lives.
A true nature brings a true health and it gives us a natural
food we want. If you think you deserve better life just
know also the world deserve its nature too. Even if you
disagree with this but i know you have gain something to
change what you thought it was nothing.
Planting a tree is the best choice to change the world but
cutting down the tree is the worst decision to make a
better world. If you know a taste of fruit you must also
39
understand the value of the tree that you pluck out that
fruit. It might not smile at you but at least show some
respect to protect it and next time it will give you more
fruits.
v My Vibe Attracts My Tribe-2
I DONT KNOW= LACK OF KNOWLEDGE =RISKY
I was raised up in the society where the word RISKY has
being given the first priority to things which said to be
hard. But today as a grown up person i realizeed the the
word I DONT KNOW makes someone risk , it is not a
business, it is not a job , it is not any opportunity that is
RISK but the person who live in word RISK not on
RISK.
I DONT KNOW gives you courage to stop seeking
information and lack of information makes you luck
KNOWLEDGE and luck of KNOWLEDGE about
something makes you think it is RISKY doing something
else and that is AVERAGE MENTAL ATTITUDE, Dont
be Average at all be someone who is Sufficient.
But you can turn I DONT KNOW into I DO NOW by
removing NT from DONT and K from KNOW. And you
know what will happen; YOU WILL SEEK
KNOWLEDGE and nothing will be RISK but only
CHALLANGING
40
Listen to me, when you live in the world of I DO NOW
nothing can stop you, you will be unstoppable. In other
word we can say you will be SHARP in both side and
flexible. The word I DO NOW is the motivational Word,
other people likes to DRAW a big picture of their
motivation Words and place them infront of their bed
or walls so when they woke up, the first thing to see is
their Motivational Word.
We have the same brain but the way it changes is
through the words we absorb mostly from different
places, we must put our minds with Positive
Life=Positive Thinking=Positive Vibes.
I would like to give you this
20 years study which was done in HAVARD
UNIVERSITY Stated that YOUR physical Health is
determined by relationships you have, food you eat,
execise program you take or behaviorial GENES you
inherited.
So you have to ask yourself in this 2017, who do you
want to haing out with?? Postive People or Mediocrities.
vMy Vibe Attracts My Tribe-3
Success is not about age dont be lied by statement life
starts at 40. Let me make this clear, Ophrah at age of 32
she started her talk show which has become one among
41
the great show, Albert Einstein at age of 25 he wrote the
Theory of relativity, Martin Luther king jr at age of 34
he wrote one among the strong speeches of I HAVE A
DREAM who doesn’t know that?? Everyone knows that,
Marie Curie at age of 35 she was nominated at Nobel
Prize in Physics, Where are 40s success stories here??
Don’t be led by words but your willingness to achieve
your dreams is everything not your knowledge or skills
or your age. Success is not about age at all doing be lied
in this way. Only commitment and your struggle
determine your success.
And if anyone tells you it is impossible, think of this
beautifully and inspiring lady called Hellen Keller at age
of 19 months she becomes blind and deaf but you know
what?? She was the first blind and deaf person to earn a
Bachelor of Art Degree. Circumstances are nothing to
hinder you from being successfully, problems are
nothing to hinder you from your success, turn them into
lessons.
Don’t let circumstances destroy your true colors let
circumstances bow down and respects you.
At the end of the day your success will not be measured
by the speed you took but the direction you followed.
42
vMy Vibe Attracts My Tribe-4
1. Don’t raise your children in the same way you
were raised or raise them because of some people
influence on how to treat them. As a parent you
have great responsibility of raising your children
gifts within themselves but not creating their
talent even before knowing them clearly.
According to some scientific research when a
child reach at the age of 4 year, it is the year
where a child start/able to capture a lot of things
in their mind, this means a great work of parents
creating their children future life starts there, by
creating this in a way to understand that life isn’t
about cramming or copying and paste but life is
INNOVATION of ideas around us with new
approaches. Don’t create excuses for your
children not to learn something new because the
way you treat them at that age will determine
their coming generation.
If our generations were destroyed with old ideology of
depending on system, donors, and not being independent
on our self thinking then let our children be the catalyst
of this new generation. Children are not supposed to live
in history but they have to be taught to create new
history.
I remember, even before a child is born some parents
already knew what their children suppose to be, this is
wrong and you are not God to know your children
43
destination but you are the one to lead your child to
reach his or her destination but not to manage them.
Parents should have good connection with God to lead
their children in a right direction because God has what
it takes for parents to lead their children to their
destination.
You know what makes most of people not to be
employed, happy, leaving there dream life? It is because
they inherited old system that bury their destination
(talent), as one of my article i wrote, i said GOD CANT
BLESS YOU IF YOU ARE OUT OF WHAT HE
GRANTED YOU TO BE BLESSED, how can He bless
you if you are doing what you are not born to Do??
Parent must have knowledge of leading their children
and not knowledge of copying and paste to their children
things which are not equal to their children destiny.
When you want to move somewhere there must be
changes to happen and changes may give you pain. But
you know what it means?? PAIN means the place you
are not yours, it is the in other words is a sign of moving
in other better stage of life. So parents when you think it
is so pain seeing your children changes for good know
that your children are of another level than the one they
are currently.
May God bless all PARENTS And God fill all parents
with wisdom to lead their children in the right way as
how King SOLOMON was given wisdom to lead the
ISRALITES.
44
vMy Vibe Attracts My Tribe-5
One of the things that have been a block to most of the
success in this world is fear. Most of the people fear to
implement their ideas because they don’t want to be
criticized or they think maybe is not the powerful ideas.
Don't limit yourself while you have all the power to do
what you are born to do. Remove the boundaries and
make some crucial steps toward your destiny. Nobody
can take you where you want to be if you don’t want to
take a pace toward what you believe to be your
destination.
Other people may try to discourage you, but you are the
one who knows exactly where you are going. You have
the blueprint of your future, start a step right now a
simple one. Be passionate about what you are doing and
never stop to do it because it is the thing that makes your
presence. You must fulfill it because it is your
assignment; everybody was born with a special thing to
leave in this World.
All buildings, songs, books, speeches, drawings and
others were once ideas. People implemented them by
making steps and forgetting about the fears. They had
confidence about themselves and what they are doing.
And here now you can see the World is beautiful.
Arise and shine in your purposeful life. Failure is there
to make you strong and grow. Every great person today
started somewhere and passed in a rough and tough road.
45
Leave that fear and show up your special ideas and
talents. The World needs you. You are a very special
person with a special purpose.
Stop fearing to do what you want to do and born to do.
Success is all about doing. Stop waiting for people
approval, who do you care about your progress than
you?? Do you think everybody wants you to be where
you see you suppose to be, no, not everyone rather than
you. The great approval of your needs and life you see to
be suitable for you is in you.
If you decide to live other people dreams or words who
will live your dreams and passion. Don’t disappoint
yourself because you afraid someone words or rejection.
You only distinguished by a dead person through
changes you make, a dead person has no progress at all,
the progress he makes is decaying in the grave.
You are not a dead person as long as you still breath, see,
walk, think, smile, help etc you are capable of walking
away from hypocrites and prove who you are. The
foundation you have inside you is the foundation of
winning; everything comes around you no matter how
long wills it take but you will win it.
Don’t leave a true you goes nowhere because someone is
ahead of you, everything is under control and the one
who created you will bring your gift at a right time, stick
to you purpose don't let it go. You might see some
darkness in it but its time will come and shine more than
you expected it before.
46
Your dreams/Purpose is gardens you cultivate is and
uproot some weed and put some fertilizer it will look
beautifully and enjoy it but when you leave it will be
capture by weed and never be beautifully. So why should
you let your garden be like that because you saw
someone else garden shines more than yours instead of
increasing energy in cultivating,watering,uprooting grass
and putting fertilizer in your garden??
What you have is more valuable than what you see from
others. Don’t let challenges devalue you.
vMy Vibe Attracts My Tribe-6
We are thankfully that you made us call this era of 21st
century where globalization is our daily song us we have
one definition that's the world has become the village.
Dear Social media we are so thank fully that you made
things easy but not in such as we thought it could be the
village. You have become one among the thing we say
you bring people together but in such you bring people
apart in other way. We used to talk face to face and
understand someone more but now we have Skype, face
book live, etc people don't want to see each other as they
want face book, Skype as the mirror to see them. At least
there was privacy for each one stuffs but now face book,
snapchat,linked had become the library for someone
ignorance. Dear social media if you can update your
systems we need to see you update peoples mind to
47
understand the meaning of village that has being kept on
Globalization.
Globalization has globalized people’s minds think they
have won the game of life, no, let us wake up. You know
now days We don't have time to talk because of chatting
in whatsapp and face book, we don't have time for our
family vacation but we have movies, we don't have time
to sing with people we love because we download other
people songs and listen to them, we don't want to have
time with our kids because we are waiting for a certain
program in TV and we don't have time to sleep because
our MBs are not yet finished. Do you know how many
need your time than the time you put chatting with your
friends expecting a real life there??
Now we seek followers, likes and comments in social
Medias thinking the one who follow you, likes and
comment are our true friends. There is no such kind of
lifestyle in social media if you want to prove it just tell
all people who follow you, likes and comments on what
you have posted and see if there will be many response
of people to solve your problems, 1 percent will respond
positively but 99 will ignore your request. This is how
our social media are. We put much trust on likes,
comments and followers we low down our self esteem
by give people more space to know our life than us
knowing their lives sometimes. This is the time where
people forget to pray because there is something new in
social media to make following up.
48
Dear social media, i have a lot of things to tell you but at
least let me repeat something that’s when you bring new
version you don't forget. Bring something new to bring
people together in such a way we live in the village
where Love is our Motto and Action be Our MODEL,
because what people want to see in social media is not
your motto and your new Version but a model to see.
vMy Vibe Attracts My Tribe-7
The only reasons that’s people do not go where they
want to be even if they have everything needed to
accomplish their tasks is luck of confidence. There are
people who are very confident in writing and talking but
they luck confidence in action. Why this happen? Most
of us we don’t believe our new ideas, what we want is
doing something that others have done or doing
something that has being done by a certain person you
believe he or she is right. Let’s take an example to
Tanzania Youth, we have a lot of ideas but most of us
we believe we are not efficiency to what we have by the
way so what we do is waiting to see what others have
done so that we can do it too. This is not right because
what we have is more than what others have in such.
And no one can do the same as us when we decide to
implement our ideas and believe that we are capable of
doing it.
49
We avoid struggling, get pain and even to fail that’s why
now day’s innovation is not there. If you are in need of
good things why you are arraying of struggling, pain and
mistakes?? There are no good things without things i
have mentioned above. Why do you mind someone
business and leave your own business, that’s nonsense.
You can hide anywhere but you cannot escape from
pain, mistakes maybe if you try nothing at all.But still it
is so pain not to try too.Mistakes are classroom you are
not supposed to run out of class but you have to master
the lesson you get in that class.
We have being in such a circle of lying ourselves instead
of working on our own ideas we work on someone ideas
that why even when competition arise you are out of
market because it was not you in that business and if it
was your hopefully you could remain on top at all. What
is yours cannot be interfered by anyone cause that you
and nobody else.
When you want to be successfully doing something that
is you and not someone else so that you can stand in a
life time. Some may ask themselves how I can do that.
Remember God didn’t create you without knowing your
purpose and he knows why He brought you in this
world, so if HE is the one who created you also HE will
be the one to tell you your PURPOSE. But remember
God is not that cheap to tell you your purpose, there is a
way to know your purpose that why you have to pray
and ask HIM what is within you. Prayer is not a prayer
until it is prayed.
50
Don’t be lazy on this because if you are lazy in praying,
it will be so hard for you to be yourself. At the end of the
day you will be minding other people business instead of
your own business to live happy life.
vMy Vibe Attracts My Tribe-8
This is the time of realizing that's there is no different in
skin colors but one is the best. We cannot pretend one to
be intelligent and others being ignorance. Skin has gat
nothing to do with our humanity but only the
establishment of ignorance in our mind makes us think
we are different. Being what they call white and black
doesn't matter what matter is being a human before we
judge ourselves to be different human being. We cannot
place ourselves as a brand of a certain products and say
we are the best than others, that's ignorance. Let the
world judge according to how you spread our love to
others. Look at how Mother Theresa did, she didn't want
to look at peoples color but what she did was considering
all human being are equal. A good taste of life is not
about living oneself life without giving what you have. A
real good taste of life is giving what you have even if it
is small. Don't wait to have everything to give something
but what you have can give everything to someone even
if it is something.
You know you can’t be on top before you let someone
down and someone cannot be proud of himself or herself
51
without seen the weakness of others. This is the first
place weakness of everybody but it is not our problem,
this thing has being planted from generation to
generation and seemed to be okay! It is not, in real sense
Love between us does not match with who created us.
God didn’t create anybody and put some limits in doing
something.
Thinking of this great person JESUS CHRIST he did
what was the best for everyone but he never told anyone
is the best even though HE was/is real the best or He
never choosing who to receive His message but He did
for everyone. But what He did was to make everyone see
we are equal. In our today’s world there is nothing can
be mentioned the best without other one to be named as
the worst one, this should not be tolerated?
We should change this belief of oneself happiness for the
failure of others. Real happiness is derived from
contributing your happiness to unhappy person. We
always feel proud when we are happy on our own and
the same person who feel that’s way also read a BIBLE
and find a verse insisting about LOVE at the same time
he or she finds other verses God says about what you do
to others is the same as you do to God HIMSELF. But
still holding the same position and same belief. But this
all is because of the change of technology people have
decided to turn it down in other side. We act as how
media wants us to do; we act as how the books or
magazine we read wants us to do. Not only that but also
now we have decide to leave our lives and try to live
52
Celebrities lives where are we heading leaving our
dreams back??
After that then we have to ask our self if God is self
piousness and why is He insisting about LOVE between
ourselves. If you real trust HIM you should real trust in
His way not your way.
vMy Vibe Attracts My Tribe-9
We live in the world where everyone is after someone
life. No one ever wants to believe what is in him or her
without seen someone doing what he ought to do before,
but that is not the problem but the problem comes when
you are capable of doing something else and you
undervalue yourselves to the extent you see someone is
more perfect than you. That is the first sign of Poverty as
long as I know you want to be rich in this world. Let me
give you the secret of success as when you decide to be
you, but if you still stick on becoming someone else then
this is not the perfect message for you.
The only step toward your success is not to wait for
outside approval than inside approval. Most People will
lay you and will hate you when they see you moving
toward your success, so what you need to do is to hear
their voices and not listening to their voices.Succes will
53
be measured by steps you move forward and not
backward. You may hear the voice of people mostly
your friends complaining about you because you have
change, but that is just normal when you try to move
from the wrong groups. When you decide to fight for
your success doesn’t look back and don’t believe anyone
who say it cannot be done. If anyone tells you that ask
them “how was it possible to say it is impossible while
to me i see it is possible?” if they don’t have any answer,
and then it was impossible to them and if they answer
just know they will give you wrong answer. The solution
is to move on and never look at them.
vMy Vibe Attracts My Tribe-10
LIFE QUOTES
A. "Invest in yourself. Your career is the engine
of your wealth." - Paul Slithered
We all want wealth, but how do we achieve it? It
starts with a successful career which relies on
your skills and talents. Invest in yourself through
school, books, or a quality job where you can
acquire a quality skill set. Identify your talents
and find a way to turn them into an income-
generating vehicle. In doing so, you can truly
54
leverage your career into an "engine of your
wealth."
B. "How many millionaires do you know who
have become wealthy by investing in savings
accounts? I rest my case." - Robert G. Allen
though investing in a savings account is a sure
bet, your gains will be minimal given the
extremely low interest rates. But don't forgo one
completely. A savings account is a reliable place
for an emergency fund, whereas a market
investment is not.
C. "The stock market is filled with individuals
who know the price of everything, but the
value of nothing." - Phillip Fisher
Another testament to the fact that investing
without an education and research will ultimately
lead to regrettable investment decisions.
Research is much more than just listening to
popular opinion.
D. “Some people will consider you or say that you are a
bad person. Because you didn’t agree to what they are
saying or you couldn’t allow them to do the bad things
they do to you. They will pray for your down fall and
55
rejoice over your pain. No matter what they do or say.
Never let them get you, because you know who you
are.”
― De philosopher DJ Kayos
E. “Never invest in any scheme that is based on a
metaphor, or anything with the word, “next”, in it ().
You will lose your shirt.”
― Clifford Cohen
F. “I am forever busy working, because I want to work
until get a personal call from the bank. Telling me that
they can’t add more zeros in my account. The number
is too long, that they have rounded it off, but still can’t
add more digits to it.”
― De philosopher DJ Kyos
G. The reason you are suffering now, Is because you
judged wrongly people whom you should be asking
help from. You have judged them based on your own
personal past experience and others you have shame
them and look down unto them because of your
pride.” -De philosopher DJ Kyos
56
SHUKRANI
Asante Sana Kwa Kuwa
Pamoja Nami Toka Mwanzo
Mpaka Mwisho Wa Kitabu
Hiki Kifupi Cha
Kukuongezea Maarifa
Zaidi.Naamini Ni Zawadi
Tosha Kwa Mwaka Huu
Kuweza Kukusaidia Kutimiza
Malengo Yako Na Kuwa Mtu
Wa Tofauti Katika Maisha
Yako Na Jamii Yako.
@Lazaro Samwel-2017
57

More Related Content

Similar to MY VIBE ATTRACT MY TRIBE

Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...
Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...
Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...SANDEEPNIVAS1
 
7 Conversation Secrets
7 Conversation Secrets7 Conversation Secrets
7 Conversation SecretsNadal Ben
 
Personality Development
Personality DevelopmentPersonality Development
Personality DevelopmentRohan Thushara
 
Readitfor.me interview with Danny Iny
Readitfor.me interview with Danny InyReaditfor.me interview with Danny Iny
Readitfor.me interview with Danny InyPaul Joyce
 
Employability Society News Issue 2 Dec 2015
Employability Society News Issue 2 Dec 2015Employability Society News Issue 2 Dec 2015
Employability Society News Issue 2 Dec 2015Harry Rodell
 
Are you boring_ebook
Are you boring_ebookAre you boring_ebook
Are you boring_ebooksonic0995
 
How to stand out from the crowd
How to stand out from the crowdHow to stand out from the crowd
How to stand out from the crowdMohammed Belal
 
12 most important personality development tips
12 most important personality development tips12 most important personality development tips
12 most important personality development tipsNiranjan Putla
 
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)Mike Robertson
 
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)Graham Brown
 
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Marie Jean Taniajura
 
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right nowA Better Life with Rachel Rofe
 
Nothing Must Stop You
Nothing Must Stop YouNothing Must Stop You
Nothing Must Stop Youthunde7226
 
Nothing Must Stop You
Nothing Must Stop YouNothing Must Stop You
Nothing Must Stop Youthunde7226
 
Psychology for daily life
Psychology for daily lifePsychology for daily life
Psychology for daily lifeEngineer Plus
 
Global Leadership Summit 2015
Global Leadership Summit 2015Global Leadership Summit 2015
Global Leadership Summit 2015Heather Flaherty
 
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018KC26: Goodbye 2017, Hello 2018
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018Kelvin Chan
 
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Marie Jean Taniajura
 

Similar to MY VIBE ATTRACT MY TRIBE (20)

Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...
Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...
Take Action Developing Your Personal Power In As Little As 30 Days With These...
 
7 Conversation Secrets
7 Conversation Secrets7 Conversation Secrets
7 Conversation Secrets
 
Personality Development
Personality DevelopmentPersonality Development
Personality Development
 
Readitfor.me interview with Danny Iny
Readitfor.me interview with Danny InyReaditfor.me interview with Danny Iny
Readitfor.me interview with Danny Iny
 
Employability Society News Issue 2 Dec 2015
Employability Society News Issue 2 Dec 2015Employability Society News Issue 2 Dec 2015
Employability Society News Issue 2 Dec 2015
 
Are you boring_ebook
Are you boring_ebookAre you boring_ebook
Are you boring_ebook
 
How to stand out from the crowd
How to stand out from the crowdHow to stand out from the crowd
How to stand out from the crowd
 
12 most important personality development tips
12 most important personality development tips12 most important personality development tips
12 most important personality development tips
 
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)
Top tips for_finding_the_perfect_mentor (4)
 
Blog subjects
Blog subjectsBlog subjects
Blog subjects
 
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)
Ebook: 10 Tips to Grow Your Business in 2017 (Download)
 
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
 
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now
21 ways to feel abundant – even if you have $0 in your bank account right now
 
Nothing Must Stop You
Nothing Must Stop YouNothing Must Stop You
Nothing Must Stop You
 
Nothing Must Stop You
Nothing Must Stop YouNothing Must Stop You
Nothing Must Stop You
 
Coaching the youth
Coaching the youthCoaching the youth
Coaching the youth
 
Psychology for daily life
Psychology for daily lifePsychology for daily life
Psychology for daily life
 
Global Leadership Summit 2015
Global Leadership Summit 2015Global Leadership Summit 2015
Global Leadership Summit 2015
 
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018KC26: Goodbye 2017, Hello 2018
KC26: Goodbye 2017, Hello 2018
 
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
Life will become a lot more easier if you get rid of these 6 beliefs that lim...
 

Recently uploaded

2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)Delhi Call girls
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female serviceanilsa9823
 
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)Delhi Call girls
 
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptx
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptxLilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptx
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptxABMWeaklings
 
The Selfspace Journal Preview by Mindbrush
The Selfspace Journal Preview by MindbrushThe Selfspace Journal Preview by Mindbrush
The Selfspace Journal Preview by MindbrushShivain97
 
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girlsPooja Nehwal
 
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theory
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy TheoryPokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theory
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theorydrae5
 
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdf
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdfLC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdf
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdfpastor83
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual serviceanilsa9823
 
Top Rated Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...
Top Rated  Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...Top Rated  Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...
Top Rated Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...Call Girls in Nagpur High Profile
 
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,dollysharma2066
 
Introducing to billionaire brain wave.pdf
Introducing to billionaire brain wave.pdfIntroducing to billionaire brain wave.pdf
Introducing to billionaire brain wave.pdfnoumannajam04
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual serviceanilsa9823
 
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...anilsa9823
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual serviceanilsa9823
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual serviceanilsa9823
 
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)Delhi Call girls
 
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Mor
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Morcall Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Mor
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Morvikas rana
 

Recently uploaded (20)

2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Mukherjee Nagar (Delhi)
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Adil Nagar Lucknow best Female service
 
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Palam (Delhi)
 
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptx
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptxLilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptx
Lilac Illustrated Social Psychology Presentation.pptx
 
The Selfspace Journal Preview by Mindbrush
The Selfspace Journal Preview by MindbrushThe Selfspace Journal Preview by Mindbrush
The Selfspace Journal Preview by Mindbrush
 
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls
9892124323, Call Girls in mumbai, Vashi Call Girls , Kurla Call girls
 
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theory
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy TheoryPokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theory
Pokemon Go... Unraveling the Conspiracy Theory
 
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdf
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdfLC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdf
LC_YouSaidYes_NewBelieverBookletDone.pdf
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Mahanagar Lucknow best sexual service
 
Top Rated Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...
Top Rated  Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...Top Rated  Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...
Top Rated Pune Call Girls Tingre Nagar ⟟ 6297143586 ⟟ Call Me For Genuine Se...
 
(Aarini) Russian Call Girls Surat Call Now 8250077686 Surat Escorts 24x7
(Aarini) Russian Call Girls Surat Call Now 8250077686 Surat Escorts 24x7(Aarini) Russian Call Girls Surat Call Now 8250077686 Surat Escorts 24x7
(Aarini) Russian Call Girls Surat Call Now 8250077686 Surat Escorts 24x7
 
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,
8377087607 Full Enjoy @24/7-CLEAN-Call Girls In Chhatarpur,
 
Introducing to billionaire brain wave.pdf
Introducing to billionaire brain wave.pdfIntroducing to billionaire brain wave.pdf
Introducing to billionaire brain wave.pdf
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Rajajipuram Lucknow best sexual service
 
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...
Lucknow 💋 High Class Call Girls Lucknow 10k @ I'm VIP Independent Escorts Gir...
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Aliganj Lucknow best sexual service
 
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual serviceCALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual service
CALL ON ➥8923113531 🔝Call Girls Jankipuram Lucknow best sexual service
 
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)
2k Shots ≽ 9205541914 ≼ Call Girls In Dashrath Puri (Delhi)
 
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Mor
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Morcall Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Mor
call Now 9811711561 Cash Payment乂 Call Girls in Dwarka Mor
 
(Anamika) VIP Call Girls Navi Mumbai Call Now 8250077686 Navi Mumbai Escorts ...
(Anamika) VIP Call Girls Navi Mumbai Call Now 8250077686 Navi Mumbai Escorts ...(Anamika) VIP Call Girls Navi Mumbai Call Now 8250077686 Navi Mumbai Escorts ...
(Anamika) VIP Call Girls Navi Mumbai Call Now 8250077686 Navi Mumbai Escorts ...
 

MY VIBE ATTRACT MY TRIBE

  • 1.
  • 2. 2
  • 3. 3 MY VIBE ATTRACTS MY TRIBE Toleo la Kwanza – January, 2017 LAZARO SAMWEL MWANZA, TANZANIA. EAST AFRICA. Simu: +255 753 616 584, +255 653 386 586 Barua pepe: lazarosamweli41@gmail.com Hatimiliki ©Lazaro Samwel Haki Zote Zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya kitabu hiki ambayo inaruhusiwa kutolewa upya au kuhamishwa kwa namna au njia yoyote; kielektroniki au kiufundi au kwa kutoa nakala (photocopy), kurekodi kwa namna yoyote ya kuhifadhi habari au kurudishia tena bila ruhusa ya maandishi kutoka kwa mwandishi
  • 4. 4 KUHUSU HIKI KITABU Hiki kitabu ambacho kimeandikwa na mwandishi Lazaro Samwel Nalingigwa kama mwendelezo wa kitabu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA ambacho kimelenga kusaidia jamii kubadilika kifikra bila kujali elimu,sehemu ya maisha,na kipato ambacho mtu anapokea au kukipata.Kitabu hiki ambacho nimeamua kukupa kama zawadi ya safari yako ya mafanikio mwaka 2017 na miaka mingine inayokuja itakuhitaji kusoma ukiwa na mawazo ambayo ni chanya,kitabu hiki sio kwa watu ambao wanamitizamo hasi ya maisha yao.Na ni bora kutokusoma kama unamawazo hasi mana kitakuwa hakina msaada wowote kwako na katika maisha yako. Katika kitabu hiki utaweza kupata Jumbe zangu ambazo kwa Muda mfupi zimeweza kusaidia watu katika kuwafungua akili na kujua mambo mengi kuhusu maisha.Haujakosea kupata nakala hii kuisoma na najua wewe ni tofauti sana na utaenda kupata kitu katika kitabu hii. KARIBU SANA
  • 5. 5 SEHEMU YA 1 MY VIBE ATTRACTS MY TRIBE (KWA LUGHA YA KISWAHILI) @LAZARO SAMWEL
  • 6. 6 My Vibe Attracts My Tribe- 1 Maisha hauwezi kuanza kwa kufika sehemu ambayo unataka katika maisha yako bila kuwa na vizingiti flani, na sio lazima kila kitu ambacho unakifanya kinafaulu, inawezekana miaka iliyopita ulikuwa ni miaka ya majaribu sana, kila ulichokuwa unakipanga kinaenda upande, sio biashara unakuta hakuna faida ambayo ulikuwa unapata. Naomba nikwambia Mafanikio sio tu kufaulu jambo ambalo ulikuwa unalifanya hata unapojaribu kulifanya na ukashidwa ni mafanikio pia. Failure is the prove that’s you tried something and there is no failure without a lesson, and a lesson is AN OPPORTUNITY nikimaanisha kwamba Kufeli ni uthibitisho tosha kwamba umejaribu kitu flani na hakuna kufeli bila kujifunza na kujifunza ni Fursa.Mwaka huu unaweza kuona wenzako wanapiga hatua na wewe unazidi kushindwa. Naomba nikwambie kitu haujafeli ila unajiandaa kupokea vikubwa zaidi ya wengine mwaka huu. Mungu akitaka kukupa mambo makubwa lazima akufundishe kiukubwa zaidi. Na Mungu akitaka kukufanya kuwa Na falme juu ya falme zoote ataacha wafuasi wako watangulie abaki na wewe kuweza kukupa mafunzo ya jinsi ya kuwaongoza waliokutangulia. Muda mwingine maisha yanatupa anguko ili Tuweze kuinuka na kasi ingine. Naomba nikupe mfano mmoja mzuri sana wa Raisi mteule wa Marekani Donald Trump mwaka 1990 alikuwa na deni binafsi la $1 Billion na kutoka katika sekta zingine alikuwa anadaiwa kama $9 Billions, jumla ni $10 Billions, hizi ni Trilioni za hela hapa, lakini
  • 7. 7 alipoulizwa na Mwandishi kwamba Hauogopi?? Alijibu kishujaa Sana akasema Kuogopa ni kupoteza muda.Uwoga unaingia katika njia yangu kunisaidia kutatua matatizo. Mwaka huu na sisi tusiogope kwa yaliyotokea miaka iliyopita lakini tutumie mafunzo ya mambo ambayo yametokea miaka mingine kutengeneza mwaka huu kuwa wa tofauti zaidi. vMy Vibe Attracts My Tribe-2 Zig Ziglar aliwahi kusema kwamba Ukitaka kufanikiwa saidia wengine kufanikiwa na wewe utafanikiwa na mimi nakwambia kwamba Ukitaka kuangaza dunia nzima kuwa mshuma ambao unawasha mishumaa mingine sio kuizima ya wengine.Ukiwa na nafsi ya kutaka mshuma wako tu kuangaza dunia nzima hautafika sehemu yoyote itazima tu na wala hautakuwa na nguvu ya kuangaza mbali.Watu hawatasema kwamba huyu mtu alishawahi kuwasha mshumaa wake hata siku moja. Naomba nikueleweshe kitu kuhusu huu mshumaa, mishumaa nimeivisha taswira ya MAARIFA YAKO, NDUGU, JAMAA, MARAFIKI ZAKO ambao wanakuzunguka. 1. Mshumaa Ni watoto wako Kama hutaweza kuwapa maarifa ya dunia ambayo umeweza kuyaona na kuyatatua hata siku ukiwa haupo hawatatambua uwepo
  • 8. 8 wako. Ila Kama utaweza kukaa chini na kuzungumza nao pindi usipokiwepo watajua kuwa baba au mama walitusaidia kwelii na watu watasema kwelii wale watoto ni wa flani. Watoto wanachohitaji ni zawadi ambayo unayo ndani yako kama ni maarifa basi hauna budi kuwapa pia. Unapotumia mshumaa wako kuwasha ya wengine unaongeza nguvu ya dunia kuondokana na giza nene, na unazidi kuonesha kwamba kumbe peke yako hauwezi kuangaza dunia nzima bila kusaidia wengine kuwasha yao, mshumaa wako ukiwa chanzo cha mishumaa mingine kuwaka utatengeneza dhana ya kwamba bila kusaidia mwingine mshumaa wako sio kitu. Unaposaidia wengine unasaidia hata ambao huwajui kusaidia wasaidie wale ambao huwajui mishumaa yako kuwasha. Kumbuka kwamba hata ikizima bado ya wengine itasaidia kuwasha ya wenzao. 2. Mishumaa hii ni rafiki zako jinsi unavosaidia kuwapa maarifa tofauti na kuweza kuwasaidia kimawazo tu. Unaposaidia marafiki zako ni sawa na kujisaidia mwenyewe ila usiposaidia marafiki haujajisaidia mwenyewe. Vipi mshumaa wako ukizima nani atauwasha ukiwa katika safari yako ya mafanikio wakati unaoongozana nao hukutaka kuwasha hata mmoja?? Kuwa makini. Mpenzi msomaji wa kitabu Hiki Cha MY VIBE ATTRACTS MY TRIBE napenda kukwambia kwamba ukiweka MSHUMAA wako katika kilele utaangaza na utaleta maana yake ya kuangaza na kuweka kileleni
  • 9. 9 maana taifa zima litanufaika, hapa namaanisha tuzidi kujinoa na kitu kionekane na kizidi kuleta manufaa katika jamii zetu.Ila unapoficha MSHUMAA wako chini ya uvungu wa kitanda haitakuwa na maana ya kuuwasha. Hapa namaanisha kwamba unapoamua kufanya jambo la kusaidia jamii yako usilifiche Kwa kuogopa watu, ila litoe limulike na wengine na kuwasha mishumaa ya wengine hapo utakuwa umeweka tafsiri maalumu ya mshumaa wako. v My Vibe Attracts My Tribe- 3 Mchanganyiko Wa Mawazo kuhusu Uwekezaji + Mawazo Ya Kitabu Cha GUIDE TO INVESTING by ROBERT KIYOSAKI. Katika UWEKEZAJI ambao unaufanya kitu ambacho kinaweza leta uhai katika huu uwanja ni MIPANGO (plans), na kitu ambacho kitafanya wewe kutokufanikiwa katika hizi shughuli ni kutokuweka mipango. Mipango ni kama Usafiri ambao utakutoa kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda sehemu ingine ya uwekezaji. Ndo maana watu ambao wanakuwa na Hela lakini Hawana mipango wanapoenda kuomba ushauri katika kusaidiwa kuwekeza inakuwa Ngumu sana kushauriwa kwasababu Mshauri inakuwa vigumu kujua ni jinsi gani ataweza kumpeleka sehemu sahihi, na hii ni kwasababu inamuwia vigumu katika maswali haya ; unataka kuelekea wapi?, uliamuaje kuanza hatua zako
  • 10. 10 za uwekezaji na Katika uwekezaji wako? Ni muda gani unataka kutumia kutumiza lengo lako? Huwa tunaambiwa kuwa na mtu wa mfano wako hata katika Uwekezaji lakini tulio wengi tunapofanya Uwekezaji kwa asilimia kubwa huwa tunaangalia role models (mtu wa kuwa mfano kwako/mtu wa kuiga) wetu wamefanikiwa kivipi kwa njee katika uwekezaji kuliko kwa ndani.Uwekezaji unaanzia ndani kufanikiwa ila kama utaamua kuwekeza kwa kuangalia njee (Kufuata maneno ya watu, kufuata hisia sana, kufuata media sana) hapo ndipo mtu anapojiingiza kuwekeza bila mafanikio yoyote. Mipango ni kama Ramani na Mipango ni kama usafiri wa kukutoa kutoka sehemu moja ya uwekezaji kwenda sehemu ingine. Robert Kiyosaki aliwahi kuliongelea hili swala katika kitabu chake cha Guide To Investing akasema kwamba, Kuweza ni kitu ambacho kinachanganya na hakuna maana ambayo unaweza kusema kwamba huu ni uwekezaji. Katika meelezo ya Robert Kiyosaki pia niliweza kupata mambo haya kwamba kwa kuangalia mtu ambaye ametengeneza gari, vifaa ambayo gari limetengenezwa nalo ni kutoka sehemu tofauti na watu tofauti wamegundua hivo vitu,Uwekezaji pia unachanganya watu kwasababu ukiangalia watu wako tofauti na wanamahitaji tofauti,kwahiyo hauwezi kuusema uwekezaji katika upande mmoja. Mtu anaweza kuwa mwekezaji katika nyanja tofauti na mwingine.Ndo maana kwa asilimia kubwa kila mmoja anaweza kuelezea Uwekezaji kutokana na kitu ambacho anakifanya na kubeza sehemu
  • 11. 11 ingine kwa kuona sio uwekezaji, lakini yule pia aliyebezwa anaweza kuona yule aliyembeza kitu anachokifanya sio uwekezaji.Kumbuka kila mmoja atavutia upande wake lakini kumbuka kwamba Uwekezaji ni KUFANYA VITU VYA TOFAUTI KWA WATU TOFAUTI. Nitaenda kuelezea aina mbili za Wawekezaji ambazo ni muhimu sana wewe kuweza kuzielewa, lakini kabla ya kwenda mbali naomba nikuambie hivi vitu ambavyo vitakufanya kuelewa zaidi kwamba aina gani ni bora kuliko ingine. Vinaitwa 3E's 1. Education (Elimu/Maarifa) 2. Experience (Uzoefu wa matendo) 3. Excess Cash (Hela ya Kutosha) 1. Qualified Investor. Huyu mwekezaji anakuwa na Hela lakini hana Elimu na Uzoefu wa uwekezaji ndo hapa ambako unakuta wengi tunaangukia kwamba hatujui cha kufanya kwa pesa ambazo tunazo na kila ambacho tukifanya hakifiki mbali mana Elimu na Uzoefu hatuna.Aina hii ya Mwekezaji anakuwa na misamiati michache ya Uwekezaji ambayo
  • 12. 12 inamfanya kutokuelewa uwekezaji vizuri na kutokuwa na maarifa juu ya uwekezaji. 2. Sophisticated Investor. Huyu ndo mwekezaji ambaye anahitajika mana hapa anakuwa na Elimu ya ujasiriamali na Uzoefu hata anapopata hela haifanyi makosa katika na hawa ndio ambao wanafanya mambo makubwa. Aina hii ya mwekezaji anakuwa na misamiati ya Uwekezaji ya kutosha na anajua vizuri kwamba uwekezaji unahitaji nini ni ngumu sana kulegalega katika uwekezaji. vMy Vibe Attracts My Tribe- 4 Kunamsemo mmoja unasema kwamba Dont put all eggs in one basket kwa maana ya kwamba Usiweke mayai yote katika ndoo moja kwa maana ingine ni kwamba ukiweka yote katika ndoo moja yatapasuka. Lakini Warren Buffet aliwahi kusema kwamba put eggs in one basket and take care of a basket akimaanisha kwamba Weka mayai kwenye ndo moja Na uwe makini na ndoo ambayo umewekea mayai. Hapa kunamambo ambayo tunajifunza kwamba tatizo sio mayai kuwa sehemu moja yatavunjika ila kunausalama gani katika sehemu ambayo umeweka
  • 13. 13 mayai yako? Na hata ubebaji wa hiyo ndo utakuwaje?? Hayo ndo maswali ya kujiuliza. Kwa kupitia msemo wa Warren Buffet Hapa mayai tunaweza kuchukulia kama MAISHA na NDOO ya kuwekea mayai ni kama AKILI yako, kwamba maisha yako yaendeshe kwa jinsi unavotumia akili yako,ukiiweka akili yako vibaya na maisha yako yataharibika kama vile utakavoweka mayai katika ndoo moja na ukabeba vibaya. Jinsi unavoiweka akili yako ndivo unaweka maisha yako katika hali salama au hatarishi. vMy Vibe Attracts My Tribe-5 Hii ndio Afrika bara lenye kila kitu kuanza na wanasayansi wazuri, madaktari wazuri, walimu wazuri, wakandarasi wazuri, wapishi wazuri, wabunifu wa mavazi wazuri, waandishi wazuri n.k.Lakini Afrika hii inauliwa na waafrika wenyewe kwa kutokujiamini wenyewe na kuona kwamba ngozi nyeusi haiwezi kuishi maisha ya ndoto zao ila wanachoamini n kwamba mabara mengine wanachokifanya mfano Ulaya ndicho ambacho kiko sahihi?, hii ndo Afrika ambayo ndoto za watoto ambao baadae ndo wangeweza kuja hata kutengeneza simu,magari,kuchapisha vitabu vizuri duniani, zinauliwa toka utotoni na kuuwa taswira yake kabisaa za kuwa anachotaka! Au umesahau ulivokuwa mtoto na mawazo ambayo ulikuwa nayo tena na makubwa zaidi ya mtu mZima?? Ila chukulia mfano kuna mtoto alikuwa yuko vizuri kwenye kucheza mpira
  • 14. 14 lakini wazazi walikuwa wanamwambia USICHEZE UTAVUNJIKA MGUU AU MKONO, hapa tunajenga au kubomoa ndoto za watoto wetu?? Ndo baadae mtoto anakuwa hana cha kufanya na anakosa ajira mzazi unalalamika serikali lakini kumbe serikali yako ya akilini ndo ilifanya makosa ya kumwulia mtoto wako thamani ambazo zilikuwa ndani yake.Usiseme mtoto ni mdogo, ushawahi kujiuliza aliwezaje kutamka baba au mama akiwa bado mdogo kabisaa?? Unakuta kunamtoto mwingine alikuwa anapenda kuchora Sana lakini mzazi anamkataza kwa kumwambia aende kusoma, inakuaje kama masomo ya darasani sio kipaji cha mtoto wako na ukawa unamlazimisha kusoma? Funguka Africa, Kama ni kutengeneza mabilionea Afrika hiki kitu kinawezekana tena kuanzia kwenye familia zetu.Hebu tupate muda wa kuangalia watoto wetu wananini!! Sio kila mmoja aliumbwa kwa kusudi la kusoma na kupata Stashahada flani, sio kila mmoja aliumbwa kuwa darasani kwanini muwashushe thamani ambao hawajasoma au kuoana kwamba hawawezi? Lakini ukija kwa wazungu hata kama hajasoma sisi waafrika tunaona kwamba wamesoma, sasa hii inabidi iwe pia katika mitazamo yetu Waafrika.This is trategy of Africa they treat Formal Education as a purpose of everyone and forget to develop what their children were born to Do,hapa nachotaka kukwambia ni kwamba Hi ndo dhana ya Africa kufanya elimu ya darasani kuwa Ni Kusudi la kila mmoja wakati kila mmoja anakuwa na vitu tofauti ndani yake,haswa kwa watoto ambao ndo kwanza wanahitaji mwongozo kutoka kwa wazazi kuweza kuamsha kitu
  • 15. 15 ambacho wanacho ndani yao.Mzazi kama hutaweza kujiongeza na kuamua kujua mwanao ndani yake mwelekeo wake ni wa kuwa nani utaishia kusema kwamba anatakiwa kwenda kusoma na kupata Stashahada kama watoto wa wenzakpo unavowaona. Tunakosa viongozi bora kwasababu toka utotini walishapotezwa, tunakosa wanasayansi wazuri wa kutikisa duniani kwasababu toka utotoni walishapotezwa. Africa is full of all pleasures things starting from our family. Let us build this Continent by changing our fellows African attitude nikimaanisha kwamba Afrika ina kila kila kizuri kuanzia kwenye familia zetu.Tujenge bara hili kwa kubadilisha Fikra za wenzetu. KUMBUKA ;Sasa kama ni karne ya 21 imeanza kuwa hivi inabidi tuweke watoto wetu kwa muundo wa karne ya 30 na kuendelea mana tunapoelekea changamoto zitakuwa nyingi sana lakini kwa wale ambao watakuwa wamejengwa katika kusudi lao hawatatikisika kamwe.Ajira ni shida kwasababu ajira iko katika muundo mmoja ya kuajiriwa na unakuta wengi hivo vigezo wanavyo lakini kama kungekuwa na Ajira ya vipawa sidhani kama kunamtu angelalamika hana ajira kama alilelewa katika kipawa chake.Ila wengi wangekosa mana pia wengi wameacha makusudio yao kutokana na malezi ambayo wanafika umri flani hajua hata afanye nini sasa hapo inambidi aende wengi walipo. Mungu aibariki Africa, Mungu Aibariki Tanzania, kuweza kuona mbali zaidi ya haya.
  • 16. 16 vMy Vibe Attracts My Tribe-6 Nilikiwa nikimsikiliza Prof P L O Lumumba alisema kwamba kuna wakati ukitaka kuwa mtu mkubwa lazima ujifunze kwa watu wakubwa aliweze kutoa misemo ya watu ambao wemeacha historia kubwa sana duniani kama Mwl J k Nyerere, Mother Theresa na Mahatma Gandhi. Sitataja zote ningependa kuzungumza kuhusu msemo wa Mahatma Gandhi alisema There is no way to success success is the way,akimaanisha kwamba Hakuna njia ya mafanikio lakini mafaniki ndio njia nitaenda kitofauti kidogo na hapa lakini kwa namna hii; Napenda kukwambia kwamba Hakuna mafanikio ambayo hayana ramani na kama hutaweze kuchora ramani ya mafanikio yako yenyewe yatakuchora. Hayati Mwl Nyerere aliwahi kusema it can be done, play your part akimaanisha kwamba kinaweza kufanyika chukua nafasi yako naomba kuwa makini Mwl Nyerere hakusema kwamba uchukue nafasi ya mtu mwingine lakini ni uchukue nafasi yako. Kuchukua nafasi yako haiwezi kuja bila kujitambua mana unapojitambua ndipo ambapo unaweza kuweka ramani yako vizuri kuelekea mafanikio yako. Hii ramani nayokwambia ni nini?? Mipango binafsi kutimiza kitu flani ambacho ndicho Ramani ya
  • 17. 17 mafanikio yako. Bila kujua unapoelekea hauwezi kujua unachokitafuta. Lakini mipango yako binafsi inategemea na jinsi unavotafsiri nini maana ya Mafanikio.Kitu ambacho unakitaka lazima ukitambue usipokitambua kutakuwa na mashaka unapoelekea. Mipango unaweza kuweka ya muda mrefu au muda mfupi lakini inatakiwa kufanyiwa marekebisho kadri siku zinavoenda hata kuzibadilisha pia. Mafanikio kunawatu ambao wameweza kuielezea kwa aina tofauti, tuangalie haya makundi; 1. Mafanikio ni kumiliki mali 2. Mafanikio ni kuwa na hisia flani. 3. Mafanikio ni kuweza kuwa na kitu binafsi cha kutimiza(kusudi). 4. Mafanikio ni kutimiza lengo lako flani. Kabla sijaongelea chochote Kama nitakuwa sijasahau niliwahi kusoma msemo mmoja kwamba Inabidi tuwaelimishe watu kwamba kumiliki gari au baiskeli sio ndio mafanikio. Mafanikio inabidi tuyafafanue Kwa No.3 kwasababu hata malengo baada ya muda huwa yanakuwa hayana maana baada ya kuyatimiza. Napolean Hill aliwahia kusema kwamba Goal is a dream with a deadline kwamba Lengo ni ndoto yenye kikomo.
  • 18. 18 Mission= ni kama kusudi, inaweza pia kuwa kama safari flani ambayo unataka kufika. vMy Vibe Attracts My Tribe-7 Tunaposema kwamba mtu kuwa kiongozi sio lazima uwe serikalini au sio lazima upigiwe kura ukae ofisini viyoyozi ndo useme kwamba ni kiongozi. Sio lazima uwe tajiri ndo uwe kiongozi na masikini asiwe kiongozi. Leo sitaki nikuache hivi bila kipata kiti kuhusu Hilo. Kunamtu anaitwa Hendrick aliwahi kusema kwamba if you want leading you must continue to change akimaanisha kwamba Kama Kama unataka kuongoza endelea kubadilika, nami nakuongezea Kwamba ukitaka usiongoze Usiendelea kubadilika mana hata ulichokuwa unakiongoza kitakuongoza Kila uongozi unakuwa na nguvu yake ndani yake.Mana hakuna uongozi ambao hauna lengo la kuongoza, mfano unapoongozwa inamaana kunakitu flani ambacho mnatakiwa kukitimiza lakini mkaona kwamba nyie peke yenu hamtaweza mkaamua kumpa mtu ambaye mmeona kwamba huyu atawafikisha na anakitu cha tofauti. Katika kitabu changu cha NGUZO 3 ZA MAISHA nimejaribu kuongea Kwa kuhusu sauti ambazo ziko ndani yetu Na kwamba Unasikiliza Sauti Gani Ndani
  • 19. 19 Yako?? Na nikazitaja hizo sauti ambazo huwa ndani yetu. Naomba kukwambia kwamba kila mmoja ni kiongozi, hakuna mtu ambaye sio kiongozi ila jinsi unavoutumia uongozi wako vibaya ndipo unapokupeleka.Na haswa ndani yetu kila sauti inakuwa na uongozi wake sasa wewe unaipa sauti gani uongozi kukuongoza.......... Utarejea vema katika NGUZO 3 ZA MAISHA. Ila ukitaka kwamba usiende sehemu yoyote katika maisha yako ridhika na maisha ambayo unayo na ukubali kubadilika na kujiongoza vema. Kujiongoza vema ni pamoja na kujua malengo yako ni yapi ili uweze kuwa katika mstari ambao ni sahihi sio kufuata mkumbo. vMy Vibe Attracts My Tribe-8 Fursa Fursa!! Kunamsemo mmoja ambao unasema kwamba Unaona kitu ambacho umejiandaa kukiona, kuwa makini na ninachokuelekeza mana hapa wengi huwa tunashindwa kuelewa kwamba kwanini watu wengi wanashindwa kuona fursa, unaweza kwenda semina nyingi Sana unaweza kusoma vitabu vingi sana kwaajili ya uwekezaji na fursa tofauti lakini bado usiweze kufikia sehemu ambayo unataka. Tatizo ni kwamba umejiandae kupokea kitu katika kitabu, semina na mtu ambaye anakuelekeza.
  • 20. 20 Naomba nikudokeze kitu kimoja fursa hauwezi kuiona Kwa macho ila kwanza unaanza kuiona katika akili yako, Fursa hauwezi kuiona kwa mtaji ambao unao ila ni kwajinsi ulivoweza kupangilia hela uliyokuwa nayo. Tunakosa Fursa kwa kukosa Fursa. Muda ni fursa nenda kinyume na Muda uone kama utaweza kupata hiyo fursa na hata kama utaipata hautaweza kuifanya vizuri.Kumsikiliza mtu ni Fursa, lakini ukijifanya unajua unakosa fursa. Kuhudhuria semina za biashara hata kama bado haijaanza ni Fursa ambayo itakufanya kupata fursa ingine. Kumsikiliza mtoa mada katika semina ni Fursa ingine, ukikosa moja wapo umekosa Ya pili. Kuwa Makini. Katika Kitabu Changu Cha NGUZO 3 ZA MAISHA ambacho naamini kwamba tayari umeshakipitia,sehemu ya Ujasiriamali Na Biashara nimeeleza kwamba Fursa ni kitu ambacho kimejificha ukiangalia kwa macho ya kawaida hauwezi kuona chochote. Ukitaka kupata Fursa toka sehemu ambayo unaishi angalia UVIVU wa watu uko wapi katika kitu wanachokipenda? Alafu fanya hicho ambacho wanaona uvivu kukifanya- Lazaro Samwel Mfano America Na Europe Maeneo Mengi unakuta watu wanawahi asubuhi kazini unakuta kwamba wengi kunauvivu WA kujiandalia Chai ya asubuhi majumbani kwao, kwahiyo kunawatu wanatengeneza Chai wanaziweka vizuri na wanakuwa na oda katika ofisini tofauti.
  • 21. 21 Nasema uvivu kwasababu ndo fursa zilipo mfano unauza chakula watu wanaona uvivu kuja kuchukua chakula unachokifanya ni nini?? Unawapelekea lakini unaweka cost ambazo mteja hawezi kuona tunasema ni Indirect Cost yeye ataona ni sawa. Asili ya mtu mvivu ni mvivu hata kujua nini maana ya gharama.Faida ingine,ni kwamba mvivu ukiweza kuziba pengo lake la uvivu atazidi kukulipa zaidi mana ni kama unamzidishia uvivu kwake na kuongeza malipo kwako.Ni muhimu zaidi kuwa na huduma nzuri,angalia sasahivi hatutembei tena, ni bodaboda,magari na ndege. Kinachofanyika Ni huduma inazidi kuwa bora zaidi, na sisi tunapunguza kutembea lakini tunaongeza kulipa gharama kwa wamiliki wa vyombo hivo. vMy Vibe Attracts My Tribe-9 Ukiwa unawaza kuhusu Kushindwa, kwanza Anza kuwaza kuhusu mambo ambayo ulikuwa unaona kwamba yanashindikana Na sasahivi yamewezekana, waza kuhusu wazo ambalo ulikuwa nalo na uliona linahindikana lakini baada ya muda mwingine kaliweza. Baada ya hapo waza kuhusu mawazo ambayo unayo sasahivi, Na unaona kwamba hayawezekani, unadhani yanashindikana?? Unajua subira yako ya jambo ambalo unatakiwa kulifanya sasahivi ni Kama kuhamisha wazo lako kwa mtu mwingine lakini kama utaamua kulifanyia kazi mapema wazo lako litakuwa lako.Chelewa kulitenda kwa kudhani linashindikana utaona wengine
  • 22. 22 wanalifanyia kazi. Shtuka Na amke kufanyia kazi ndoto zako ambazo tunazo.Mr Zingo aliwahi kusema kwamba Wazo ni lako ukilifanyia Kazi lakini kama Utaliacha akilini mwako sio lako. Usibembelezwe na neno Kushindikana ila Bembelezwa Na Matendo Ya Kuwezekana jambo ambalo ulikuwa unawaza. Kushindikana Kwa jambo flani ni kwasababu linawezekana na ukiamua kushindikana kushindwa utaweza kwa kila jambo- Lazaro Samwel Kila muda unapowaza kushindwa waza wangapi wameweza unachowaza kushindwa Na Kama utaona hata mmoja ameweza na ni binadamu kama wewe, kichwa kimoja, miguu miwili na vingine vingi kukamilisha kufanana na wewe, jua hakuna sababu ya kusema siwezi. Kunamambo mengine ambayo inawezekana tunashindwa kuyafanya kwasababu tuliyatamkia neno Kushindwa Zamani Na vikaleta madhara Na hata tusipate Mafanikio. Tusifanye makosa, lazima tujiweke kuwaza Kushinda Tu. Usidhani kwamba kuwa katika hali nzuri ndo unaweza kusema kwamba Naweza, hata ukiwa katika Hali mbaya endelea kusema naweza.Hii itakusaidia kupunguza ongezeko la uzito katika halinuliyokuwa nayo,lakini pia itakusaidia katika kuhakikisha kwamba unarejea katika hali nzuri. Learn Not To Quit but To Rest Sometimes nikimaanisha kwamba
  • 23. 23 Muda mwingine Jifunze kutokukata tamaa lakini kupumzika. Napolean Hill alishawahi kusema kwamba Nothing can bring success but yourself akimaanisha kwamba Hakuna ambacho kitakuletea mafanikio zaidi yako wewe mwenyewe, sio vizingizio, sio maneno ya watu, sio kusema nashindwa. vMy Vibe Attracts My Tribe-10 Uwekezaji sio kwamba ni mgumu au mbaya lakini unaona upande gani wa uwekezaji? Hilo ndo swali ambalo unatakiwa kujiuliza, katika post ambayo nimetuma muda sio mrefu nilisema kwamba hata Kama unahela namna gani lakini Kama bado unamawazo ya umasikini ndani yako utakuwa masikini lakini kwa kuongezea hizo hela hazitakusaidia zaidi ya kukurudisha katika umasikini tena. Wengi wanadhani kwamba uwekezaji ni kwenye hisa, Ardhi n.k uwekezaji ni kitu ambacho kinauwanja mpana sana katika jamii haswa pale ambako kwamba woote tuko tofauti na mawazo tofauti pia. Nakwambia hivi mana watu wanachanganya uwekezaji Kwa kudhani kwamba uko sehemu au upande mmoja. Mahitaji yako mengi na watu wanahitaji huduma tofauti, hiyo ni sehemj ya uwekezaji. Tatizo la uwekezaji ni wawekezajo wenyewe kuwa na usawa mmoja wa mawazo katika kuwekeza. Kuna msemo mmoja unasema kwamba Tusilalamike kwanini
  • 24. 24 Bendera haipepei ila inabidi muda mwingine tuulalamikie UPEPO hapa nachotaka kukwambia ni kwamba tusilalamike kwanini uwekezaji ni mgumu ila hata sisi inabidi tujilaumu ni kwanini tu wagumu kuelewa uwekezaji. Kitu ambacho sasahv kinatokea katika,Uwekezaji ni kwamba kila mmoja anajua kuhusu Uwekezaji lakini hakuna anayejua thamani ya kila Uwekezaji anaoufanya, ndo maana leo anaweza fanya hivi kesho kile. Uwekezaji ni bora ila kuwa na Elimu juu ya uwekezaji na ukawekeza ni Bora zaidi. vMy Vibe Attracts My Tribe-11 Kiasi cha hela ambacho unacho sasahivi sio kipimo cha maisha yako mazuri lakini jinsi ulivondani baada ya kupata hela ndiko ambako panatabiri maisha yako. Hiki kitu watu wengi sana kimekuwa kikiwasumbua sana na wengine walishawahi kunifuata kuwapa ushauri ila tatizo ambalo linaonekana watu kutokusonga mbele kufikia maisha ya utajiri ni kwamba wanapokuwa na hela mikononi mwao wanakuwa matajiri lakini ndani yao bado wanaongozwa na fikra za umaskini. Naomba nisikuache hapa. Nachomaanisha ni kwamba mtu hata kama ana milioni 20 lakini bado anawaza kuhusu kuwa umasikini anaweza kusahau ndoto ya kuwa tajiri, mana
  • 25. 25 kiwango cha hela ambacho unacho kitafanya kazi vizuri kutokana na jinsi ulivo ndani yako. Adui mkubwa katika maisha yetu hasa katika matumizi ya pesa yuko ndani yetu na tusipotaka kumrekebisha tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu. Mana unachowaza Sana ndani yako ndicho ambacho unakuwa katika ulimwengu wa kawaida hata katika matumizi ya pesa zako. Haujawahi kuona mtu flani wa kawaida anaanzisha duka kubwa zuri na limejaa vitu kweli lakini baada ya muda linaisha ghafla? Naimani umeshawahi kuona sehemu tofauti. Au mtu anaweza kuwa na hela kidogo lakini akafanya mambo makubwa sana katika maisha yake? Hawa wapo pia. Nikupe siri moja kwamba inapokuwa na pesa za kutosha ndani kwako au hata benki lakini bado ukawa na mawazo ya kimasikini hata kila kitu cha thamani ambacho utakuwa inakishika lazima utaishi nacho kimasikini.Hii ndo mbaya zaidi katika kutaka kuwa tajiri lakini bado unamawazo ya kiumasikini. Tubaki na kitu kimoja kwamba kuwa na pesa nyingi sio kwamba unaweza kuwa tajiri haraka, hapana lakini jinsi ulivo ndani yako au jinsi ulivojipanga ndani yako katika matumizi ya pesa zako ndivyo ambavyo itakusaidia wewe kufikia utajiri ambao unautaka. v
  • 26. 26 vMy Vibe Attracts My Tribe-12 1. Kunawakati ambao watu wanadhani kitu kirahisi sio cha kwelii mpaka kiwe kigumu ndipo wanaamini ni cha kweli.Ni sawa na mwanafunzi anapoingia darasani anaona mtihani wa maswali marahisi lakini kila jibu ambalo analiweka anaona sio sahihi kwasababu mtihani mrahisi kwahiyo anachokifanya anaufanya kuwa mgumu kwa kuwaza majibu mengine na jibu analiona, mwisho wa siku anajaza mambo ambayo sio sahihi na kufeli mtihani. Hapa namaana gani? Kunafursa nyingi Sana ambazo huwa zinatokea mbele yetu na ni rahisi lakini kutokana na mawazo ambayo tunayo akilini mwetu katika kuivisha fursa taswira ya ugumu unakuta kwamba hatufanyi kwa usahihi. Lakini pia Kwa sasahivi fursa ambazo huwa zinajitokeza hazibadilishi maisha ya watu kwasababu ya watu kutaka faida za haraka zaidi ya maarifa ya kuifanya fursa kiufasaha kubadili maisha yao. Mtu anataka kwamba akiingia Leo kufanya fursa flani kesho atoke kimaisha, kweli unaweza kupata hela nzuri ya siku mbili tatu lakini usiwe na hela ya kubadili maisha yako kabisaa. Na haswa watu ambao wanaingia kufanya fursa flani kwasababu ya shida flani ya kutatuliwa kwa haraka inakuwa ni ngumu sana kwao kuwa na mtaji wa biashara baada ya kupata faida mana atamalizia pesa zoote katika shida flani alafu atarudi kutafuta ingine. Hapo maendeleo yatakuwa magumu Sana Kama utakuwa na tabia ya namna hiyo.
  • 27. 27 2 .Kitu ambacho nimekuja kugundua kuhusu fursa ni kwamba inacheza na muda na watu wengi wanazikosa kwasababu hawajui thamani ya muda. Haujawahi kusikia kunawatu wanakwambia laiti ningefanya fursa flani kipindi flani ningekuwa mbali Sana?? Mimi nishawahi kusikia sijui na wewe.Ila hii ni ishara wazi kwamba kulikuwa na mapishano ya muda kati ya huyo mtu na fursa ndo maana anajuta kutokuifanya. MISEMO YA MAISHA KUTOKA KWA LAZARO SAMWEL ∑ Usiseme huna muda kufanya kitu flani ila tumia huo muda ambao unawaza kutokufanya hicho kitu kukifanya. ∑ Wengi tunajua Bei za kujiunga katika fursa flani lakini hatutaki kujua fursa hizo zinanafasi gani katika maisha yetu. ∑ Ukiweza kuikamata fursa, fursa itaenda na wewe unapotaka kwenda. Ila ukichelewa itakuacha wewe kwenda unapotaka peke yako. ∑ Kujijua na kujitambua Ni fursa tosha ya kupata fursa zingine za kubadilisha maisha yako.
  • 28. 28 ∑ Usifanye fursa ambazo Rafiki zako wanazijua kabla wewe hujazijua na kuzitambua. Fanya uchunguzi kwanza Kuzijua na kuzitambua. ∑ Kama ilivoraha kuhesabu hela kutokana na fursa yako kufanya vizuri hiyo ni ishara tosha ya kukuhitaji kuongeza maarifa zaidi uongeze kuhesabu hela nyingi zaidi ya hapo au zisipungue tena. ∑ Tatizo sio wazo lako kuwa Tatizo ila ni wewe kuwa Tatizo kuendelea kukaa kuwaza kuwa Wazo lako ni Tatizo.Amka ∑ Ujinga ni pale unapotaka kuwa Tajiri alafu kila siku unafungua gazeti la Udaku kuangalia Watu maarufu wamefanya nini ikiwa wewe hata sehemu unayoishi hakuna huduma nzuri ambayo umewafanyia wenzako au wazo zuri ambalo umeshirikisha.
  • 29. 29 ∑ Ujinga sio kukosa Mtaji ila ni unapopata 500/= kila siku ukaona sio mtaji lakini ndani ya wiki ukawa unaangalia mpira mara 5. 500 x 5 = 2500/= kwanini usinunue karanga kilo Ukaange na kuuza au uanze kufunga barafu ukuze mtaji na kwa wiki uingize 5000/= toka kwenye 2500/= uliyokuwa ukipoteza kwenye mpira? v My Vibe Attracts My Tribe- 13 Unatakiwa kuishi kwa kutengeneza historia mpya sio kuishi Kwa historia. Tunaposema kwamba kuishi Kwa historia ni kuishi kwa mambo ambayo yemepita na kujenga tabia ndani yako. Sababu za watu kutokufanikiwa ni kutaka kuishi kwa historia ambazo zimepita badala ya kutengeneza historia mpya Mtu anakuwa na mawazo haya akilini kwake kwa mambo ambayo yamepitwa na wakati nfano ÿ Kwetu Ni masikini kwahiyo kuja kuwa matajiri ni baadae sana.Nani kakwambia mafanikio ya familia yako yanapimwa na uwezo ambao umeukuta jatika familia yako. Hiyo inawezekana ilikuwa ni wazazi wako, lakini sasa wakati ni wako. Usiendeleze kizazi cha namna hiyo.
  • 30. 30 ÿ Nina kisomo kidogo Sana kwahiyo mafanikio yangi hayatabiriki kabisaa. ÿ Sikiliza hakuna cheti chochote cha darasani ambacho kinakupa hela mojamoja kwa moja uwe tajiri na wala sio kila mwenyewe kisomo kikubwa lazima atafanikiwa angalia wangapi wana PHD, Degree lakini maisha yako ya kawaida?? Hii Ni kwamba SUCCESS IS NOT ABOUT SCHOOLING IS ALL ABOUT HOW YOU USE WHAT IS IN YOUR MIND nikimaanisha kwamba MAFANIKIO SIO KUKAA DARASANI NI JINSI JINSI UNAVOTUMIA KILE AMBAKO KIKO KATIKA AKILI YAKO. Kujenga Historia mpya ni kwenda na wakati na kuamua kuchukua mabadiliko zaidi. Tunapoongela kuhusu Wakati wa Viwanda hapa tunaweza kuongelea watu kama wakina HENRY FORD mwanzilishi wa magari ya FORD na THOMAS EDSON mgunduzi wa balbu ya Umeme. Lakini watu hawakuamua kuishi katika Enzi zao ndo maana tukaja hii (Karne ya utandawazi) INFOMATION AGE ambayo tunacheza na Teknolojia hapa tunazungumzia wakina Mark Zukerberg mgunduzi wa facebook, Bill Gates mwanzilishi wa Microsoft, Steve Jobs mwanzilishi wa Kampuni ya Apple, Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba na wengine wengi. Hawa
  • 31. 31 hawakuamua kuishi Kwa historia ya wakina Thomas Edison Na Henry Ford. Hapa nataka kukwambia kwamba maisha yako hauwezi kuyabadilisha kwa kuishi histori ya nyuma lakini ni kutengeneza historia mpya na mambo mapya haswa katika kitu ambacho unajua kwamba unakipenda kutoka moyoni mwako. vMy Vibe Attracts My Tribe-14 MISEMO YA MAISHA ÿ Usiumie kwasababu umeanguka katika jambo flani ila umia pindi unapoamka na ukashindwa kupata fundisho la anguka lako mana unapoenda unaweza kuanguka anguko hilohilo kila mara na likakupotezea muda zaidi ya mara ya kwanza. ÿ Usilalamike kwa mapungufu ambayo unayo ukakaa ndani kudhani kwamba ndiko utakapopata suluhisho ila zidi kuelewa mapungufu yako kwa kuyafanyia kazi kila
  • 32. 32 siku kuhakikisha yanaisha,inamaana kama ulikuwa unaona kama unashindwa inabidi ufanye vitu vya kuweza na kama ulikuwa unajiona ni mvivu fanya mambo ambayo yatafanya uvivu kuondoka. ÿ Usisubiri ulimwengu ukukubali kwa unachokifanya ukaona hicho kitu kinamaana lakini pindi kinapokataliwa hakikisha unaongeza juhudi kwa jambo ambalo unalifanya kusudi watambue walikuwa wenyewe hawana maana katika mtazamo uliokuwa nao. ÿ Ukichukua Muda mwingine kuchunguza wengine au kujilinganisha Na wengine utakuwa ni mtu wa kujiona kuwa na mapungufu mengi kuliko wale ambao unawachukunguza, chukua muda kujipenda mwenyewe kwanza na acha ya wengine pembeni. ÿ Unaweza fanya vizuri Sana katika ulimwengu huu lakini bado wengi wakaona kwamba sio kizuri machoni pao, usijali Kwa Hilo binadamu hata siku moja haridhiki Kwa haja alizokuwa nazo.Ni Kama tumbo linavokuwa na uhitaji kila kukicha hata ule namna gani. Ila cha msingi Ni kuangalia wewe mwenyewe jiweke Kwa maana ya kujikubali Na kujithamini katika mambo ambayo unafanya na wale ambao walikuwa wanakuona hauna maana watakuja kukuona wa maana.
  • 33. 33 ÿ Samaki mmoja akioza woote wameoza, bado nakuja kulekule kwamba hawa itakuwa ni ujinga ukija katika uhalisia kwamb unakundi la samaki ukakuta mmoja wapo ameoza na wewe ukaweka jibu moja kwa moja kwamba woote wameshaoza na kuamua kwenda kuwatupa. Ni sawa na mwalimu kuingia darasani kukuta mwanafunzi mmoja anapiga kelele na kuliambia darasa kwamba woote mnapiga kelele au ni sawa na kukuta katika baadhi ya nguo zako unakuta mbili au tatu zimeliwa na panya ukasema kwamba baasi nguo zoote zimeshaliwa. Kama samaki mmoja ameoza kwanini usimuondoe huyo mmoja na kuweza kuangalia hali za wengine zikoje au kama ni mwalimu kama mwanafunzi mmoja anatabia mbovu kwanini usimshughulikie huyo mwanafunzi na kuendelea na wengine wasije kuwa na tabia kama ya huyu. Mana akioza mmoja mtoe huyo aliyeoza mapema asiharibu wengine. Huu msemo unanipa wazo moja kwamba kabla ya kufanya maamuzi kwa haraka inabidi tujaribu kufanya uchunguzi kwamba kwanini huyu samaki aoze yeye tuu na pia kumweka pembeni ya wale ambao unaona hawajaharibika ili na wenyewe wasije kuoza lakini pia ni vizuri kuwa makini na samaki wako hata kabla hawajaoza. ÿ Samaki huyu naweza kumweka Kama Furaha, maarifa, Matatizo, shidah, Ugumu WA maisha,
  • 34. 34 Ujasiri, Biashara, Na vingine vingi. Huu usemi wa kusema kwamba usimpe mtu samaki ila mfundishe jinsi ya kuvua samaki ili asirudi kukuomba tena, kwa upande wangu naweza kusema kwamba kama unania nzuri na mtu usimfundishe kuvua samaki ili kesho ajipatie mwenyewe ila mfundishe kuvua samaki na jinsi ya kuwatumia hao samaki hapo utakuwa umemsaidia. Mfano katika biashara za mtandao unaweza kumfundisha prospect waki jinsi ya kupata wateja lakini hiyo haitoshi ni lazima umfundishe jinsi ya kuongea na hao wateja na jinsi ya kuwafundisha kuhusu biashara pia (hapo sasa unamfundisha jinsi ya kutumia samaki) au hata katika kuhamasisha mtu usimpe mtuu maarifa lakini mpe na njia ya kutumia hayo maarifa (hapo utakuwa umemwonesha jinsi ya kutumia hao samaki).Huu msemo naweza kusema kwamba usimkataze mtu kuja kukuomba samaki kwasababu ulishamfundisha ila mwache aje kukuomba tena mana unaweza kumsaidia zaidi pindi anapokwambia changamoto anazozipata katika kuvua samaki na wewe unaweza kumpa njia zingine au ukajifunza kwake pia kwamba kwa changamoto ambazo amezipata ameamua kutumia njia gani katika kuhakikisha haondoki kapa katika uvuvi wake. Tatizo kubwa tunapomfundisha mtu kuvua samaki tunamwacha tukiamini kwamba tayari tumeshatatua tatizo lake lakini kumbe hapana, ikiwezekana kaa nae kwa ukaribu zaidi pindi unapomfundisha mvuvi huyu kuvua samaki na nia yako ya kufundisha
  • 35. 35 isiwe kwamba asirudi kukuomba tena samaki, je kama wewe mwenyewe siku hiyo haujapata hao samaki huoni kwamba anaweza kukusaidia wake ambao amewapata?? Waza njee ya Box
  • 36. 36 PART 2 MY VIBE ATTRACTS MY TRIBE (ENGLISH VERSION) @LAZARO SAMWEL
  • 37. 37 vMy Vibe Attracts My Tribe-1 It has being called the 21st century where the development of people increases, the century where it has being said that the technology will take over in everything. This is the century which we say the number of intelligent people is increasing every day. Is it because of the increase of rich people that's tells us there is an increase of intelligent people?? But i may not agree with you about this century. In other side i can say in this century the ignorance has increased to the maximum and intelligent people have disappeared. This is the century where people do not understand anymore the importance of nature such as trees, natural foods, natural skins etc.It is the century that's believe in creating money and leave the nature aside without understand that a true nature is great wealth that's bring heath to enjoy our wealth. People cut down trees to make roads but later complain about Global Warming, this is ignorance. You cut down trees to make roads so that you can get money and later on you use money to buy Air condition in your house, this is ignorance too. Don't you know tree help us in reducing air pollution by absorbing carbon dioxide. You cultivate crops besides water sources and later of complaining about the scarcity of water. The problem with 21st century is that people are selfish, do you know why?? we complain about the disappearance of animal in forest and national parks
  • 38. 38 while we are the one who consider our own need without understand the nature that support other animal lives. We cut down trees, burning the forest to make some playing ground. And later on we complain about the government that's do not support fighting against Global Warming. We should start supporting the nature first and the nature is within us before we come to the actual world. We like seen animal in parks but we don’t want to protect what makes them stay there. There is the say that says "when intelligence speaks wisdom listen" this has become something difference as now when intelligence speaks also wisdom speaks. We ruin our lives by ruins our own nature look now at Beijing on how the air pollution kills people, watch out in Bangladesh drought and pollution wash away peoples life. Who do you think can stand to protect this damage? Mind you it is not government but it is we to make changes without looking on which country or continent you are from. Saving the nature does not look on where you are from but what your heart says about other people’s lives. A true nature brings a true health and it gives us a natural food we want. If you think you deserve better life just know also the world deserve its nature too. Even if you disagree with this but i know you have gain something to change what you thought it was nothing. Planting a tree is the best choice to change the world but cutting down the tree is the worst decision to make a better world. If you know a taste of fruit you must also
  • 39. 39 understand the value of the tree that you pluck out that fruit. It might not smile at you but at least show some respect to protect it and next time it will give you more fruits. v My Vibe Attracts My Tribe-2 I DONT KNOW= LACK OF KNOWLEDGE =RISKY I was raised up in the society where the word RISKY has being given the first priority to things which said to be hard. But today as a grown up person i realizeed the the word I DONT KNOW makes someone risk , it is not a business, it is not a job , it is not any opportunity that is RISK but the person who live in word RISK not on RISK. I DONT KNOW gives you courage to stop seeking information and lack of information makes you luck KNOWLEDGE and luck of KNOWLEDGE about something makes you think it is RISKY doing something else and that is AVERAGE MENTAL ATTITUDE, Dont be Average at all be someone who is Sufficient. But you can turn I DONT KNOW into I DO NOW by removing NT from DONT and K from KNOW. And you know what will happen; YOU WILL SEEK KNOWLEDGE and nothing will be RISK but only CHALLANGING
  • 40. 40 Listen to me, when you live in the world of I DO NOW nothing can stop you, you will be unstoppable. In other word we can say you will be SHARP in both side and flexible. The word I DO NOW is the motivational Word, other people likes to DRAW a big picture of their motivation Words and place them infront of their bed or walls so when they woke up, the first thing to see is their Motivational Word. We have the same brain but the way it changes is through the words we absorb mostly from different places, we must put our minds with Positive Life=Positive Thinking=Positive Vibes. I would like to give you this 20 years study which was done in HAVARD UNIVERSITY Stated that YOUR physical Health is determined by relationships you have, food you eat, execise program you take or behaviorial GENES you inherited. So you have to ask yourself in this 2017, who do you want to haing out with?? Postive People or Mediocrities. vMy Vibe Attracts My Tribe-3 Success is not about age dont be lied by statement life starts at 40. Let me make this clear, Ophrah at age of 32 she started her talk show which has become one among
  • 41. 41 the great show, Albert Einstein at age of 25 he wrote the Theory of relativity, Martin Luther king jr at age of 34 he wrote one among the strong speeches of I HAVE A DREAM who doesn’t know that?? Everyone knows that, Marie Curie at age of 35 she was nominated at Nobel Prize in Physics, Where are 40s success stories here?? Don’t be led by words but your willingness to achieve your dreams is everything not your knowledge or skills or your age. Success is not about age at all doing be lied in this way. Only commitment and your struggle determine your success. And if anyone tells you it is impossible, think of this beautifully and inspiring lady called Hellen Keller at age of 19 months she becomes blind and deaf but you know what?? She was the first blind and deaf person to earn a Bachelor of Art Degree. Circumstances are nothing to hinder you from being successfully, problems are nothing to hinder you from your success, turn them into lessons. Don’t let circumstances destroy your true colors let circumstances bow down and respects you. At the end of the day your success will not be measured by the speed you took but the direction you followed.
  • 42. 42 vMy Vibe Attracts My Tribe-4 1. Don’t raise your children in the same way you were raised or raise them because of some people influence on how to treat them. As a parent you have great responsibility of raising your children gifts within themselves but not creating their talent even before knowing them clearly. According to some scientific research when a child reach at the age of 4 year, it is the year where a child start/able to capture a lot of things in their mind, this means a great work of parents creating their children future life starts there, by creating this in a way to understand that life isn’t about cramming or copying and paste but life is INNOVATION of ideas around us with new approaches. Don’t create excuses for your children not to learn something new because the way you treat them at that age will determine their coming generation. If our generations were destroyed with old ideology of depending on system, donors, and not being independent on our self thinking then let our children be the catalyst of this new generation. Children are not supposed to live in history but they have to be taught to create new history. I remember, even before a child is born some parents already knew what their children suppose to be, this is wrong and you are not God to know your children
  • 43. 43 destination but you are the one to lead your child to reach his or her destination but not to manage them. Parents should have good connection with God to lead their children in a right direction because God has what it takes for parents to lead their children to their destination. You know what makes most of people not to be employed, happy, leaving there dream life? It is because they inherited old system that bury their destination (talent), as one of my article i wrote, i said GOD CANT BLESS YOU IF YOU ARE OUT OF WHAT HE GRANTED YOU TO BE BLESSED, how can He bless you if you are doing what you are not born to Do?? Parent must have knowledge of leading their children and not knowledge of copying and paste to their children things which are not equal to their children destiny. When you want to move somewhere there must be changes to happen and changes may give you pain. But you know what it means?? PAIN means the place you are not yours, it is the in other words is a sign of moving in other better stage of life. So parents when you think it is so pain seeing your children changes for good know that your children are of another level than the one they are currently. May God bless all PARENTS And God fill all parents with wisdom to lead their children in the right way as how King SOLOMON was given wisdom to lead the ISRALITES.
  • 44. 44 vMy Vibe Attracts My Tribe-5 One of the things that have been a block to most of the success in this world is fear. Most of the people fear to implement their ideas because they don’t want to be criticized or they think maybe is not the powerful ideas. Don't limit yourself while you have all the power to do what you are born to do. Remove the boundaries and make some crucial steps toward your destiny. Nobody can take you where you want to be if you don’t want to take a pace toward what you believe to be your destination. Other people may try to discourage you, but you are the one who knows exactly where you are going. You have the blueprint of your future, start a step right now a simple one. Be passionate about what you are doing and never stop to do it because it is the thing that makes your presence. You must fulfill it because it is your assignment; everybody was born with a special thing to leave in this World. All buildings, songs, books, speeches, drawings and others were once ideas. People implemented them by making steps and forgetting about the fears. They had confidence about themselves and what they are doing. And here now you can see the World is beautiful. Arise and shine in your purposeful life. Failure is there to make you strong and grow. Every great person today started somewhere and passed in a rough and tough road.
  • 45. 45 Leave that fear and show up your special ideas and talents. The World needs you. You are a very special person with a special purpose. Stop fearing to do what you want to do and born to do. Success is all about doing. Stop waiting for people approval, who do you care about your progress than you?? Do you think everybody wants you to be where you see you suppose to be, no, not everyone rather than you. The great approval of your needs and life you see to be suitable for you is in you. If you decide to live other people dreams or words who will live your dreams and passion. Don’t disappoint yourself because you afraid someone words or rejection. You only distinguished by a dead person through changes you make, a dead person has no progress at all, the progress he makes is decaying in the grave. You are not a dead person as long as you still breath, see, walk, think, smile, help etc you are capable of walking away from hypocrites and prove who you are. The foundation you have inside you is the foundation of winning; everything comes around you no matter how long wills it take but you will win it. Don’t leave a true you goes nowhere because someone is ahead of you, everything is under control and the one who created you will bring your gift at a right time, stick to you purpose don't let it go. You might see some darkness in it but its time will come and shine more than you expected it before.
  • 46. 46 Your dreams/Purpose is gardens you cultivate is and uproot some weed and put some fertilizer it will look beautifully and enjoy it but when you leave it will be capture by weed and never be beautifully. So why should you let your garden be like that because you saw someone else garden shines more than yours instead of increasing energy in cultivating,watering,uprooting grass and putting fertilizer in your garden?? What you have is more valuable than what you see from others. Don’t let challenges devalue you. vMy Vibe Attracts My Tribe-6 We are thankfully that you made us call this era of 21st century where globalization is our daily song us we have one definition that's the world has become the village. Dear Social media we are so thank fully that you made things easy but not in such as we thought it could be the village. You have become one among the thing we say you bring people together but in such you bring people apart in other way. We used to talk face to face and understand someone more but now we have Skype, face book live, etc people don't want to see each other as they want face book, Skype as the mirror to see them. At least there was privacy for each one stuffs but now face book, snapchat,linked had become the library for someone ignorance. Dear social media if you can update your systems we need to see you update peoples mind to
  • 47. 47 understand the meaning of village that has being kept on Globalization. Globalization has globalized people’s minds think they have won the game of life, no, let us wake up. You know now days We don't have time to talk because of chatting in whatsapp and face book, we don't have time for our family vacation but we have movies, we don't have time to sing with people we love because we download other people songs and listen to them, we don't want to have time with our kids because we are waiting for a certain program in TV and we don't have time to sleep because our MBs are not yet finished. Do you know how many need your time than the time you put chatting with your friends expecting a real life there?? Now we seek followers, likes and comments in social Medias thinking the one who follow you, likes and comment are our true friends. There is no such kind of lifestyle in social media if you want to prove it just tell all people who follow you, likes and comments on what you have posted and see if there will be many response of people to solve your problems, 1 percent will respond positively but 99 will ignore your request. This is how our social media are. We put much trust on likes, comments and followers we low down our self esteem by give people more space to know our life than us knowing their lives sometimes. This is the time where people forget to pray because there is something new in social media to make following up.
  • 48. 48 Dear social media, i have a lot of things to tell you but at least let me repeat something that’s when you bring new version you don't forget. Bring something new to bring people together in such a way we live in the village where Love is our Motto and Action be Our MODEL, because what people want to see in social media is not your motto and your new Version but a model to see. vMy Vibe Attracts My Tribe-7 The only reasons that’s people do not go where they want to be even if they have everything needed to accomplish their tasks is luck of confidence. There are people who are very confident in writing and talking but they luck confidence in action. Why this happen? Most of us we don’t believe our new ideas, what we want is doing something that others have done or doing something that has being done by a certain person you believe he or she is right. Let’s take an example to Tanzania Youth, we have a lot of ideas but most of us we believe we are not efficiency to what we have by the way so what we do is waiting to see what others have done so that we can do it too. This is not right because what we have is more than what others have in such. And no one can do the same as us when we decide to implement our ideas and believe that we are capable of doing it.
  • 49. 49 We avoid struggling, get pain and even to fail that’s why now day’s innovation is not there. If you are in need of good things why you are arraying of struggling, pain and mistakes?? There are no good things without things i have mentioned above. Why do you mind someone business and leave your own business, that’s nonsense. You can hide anywhere but you cannot escape from pain, mistakes maybe if you try nothing at all.But still it is so pain not to try too.Mistakes are classroom you are not supposed to run out of class but you have to master the lesson you get in that class. We have being in such a circle of lying ourselves instead of working on our own ideas we work on someone ideas that why even when competition arise you are out of market because it was not you in that business and if it was your hopefully you could remain on top at all. What is yours cannot be interfered by anyone cause that you and nobody else. When you want to be successfully doing something that is you and not someone else so that you can stand in a life time. Some may ask themselves how I can do that. Remember God didn’t create you without knowing your purpose and he knows why He brought you in this world, so if HE is the one who created you also HE will be the one to tell you your PURPOSE. But remember God is not that cheap to tell you your purpose, there is a way to know your purpose that why you have to pray and ask HIM what is within you. Prayer is not a prayer until it is prayed.
  • 50. 50 Don’t be lazy on this because if you are lazy in praying, it will be so hard for you to be yourself. At the end of the day you will be minding other people business instead of your own business to live happy life. vMy Vibe Attracts My Tribe-8 This is the time of realizing that's there is no different in skin colors but one is the best. We cannot pretend one to be intelligent and others being ignorance. Skin has gat nothing to do with our humanity but only the establishment of ignorance in our mind makes us think we are different. Being what they call white and black doesn't matter what matter is being a human before we judge ourselves to be different human being. We cannot place ourselves as a brand of a certain products and say we are the best than others, that's ignorance. Let the world judge according to how you spread our love to others. Look at how Mother Theresa did, she didn't want to look at peoples color but what she did was considering all human being are equal. A good taste of life is not about living oneself life without giving what you have. A real good taste of life is giving what you have even if it is small. Don't wait to have everything to give something but what you have can give everything to someone even if it is something. You know you can’t be on top before you let someone down and someone cannot be proud of himself or herself
  • 51. 51 without seen the weakness of others. This is the first place weakness of everybody but it is not our problem, this thing has being planted from generation to generation and seemed to be okay! It is not, in real sense Love between us does not match with who created us. God didn’t create anybody and put some limits in doing something. Thinking of this great person JESUS CHRIST he did what was the best for everyone but he never told anyone is the best even though HE was/is real the best or He never choosing who to receive His message but He did for everyone. But what He did was to make everyone see we are equal. In our today’s world there is nothing can be mentioned the best without other one to be named as the worst one, this should not be tolerated? We should change this belief of oneself happiness for the failure of others. Real happiness is derived from contributing your happiness to unhappy person. We always feel proud when we are happy on our own and the same person who feel that’s way also read a BIBLE and find a verse insisting about LOVE at the same time he or she finds other verses God says about what you do to others is the same as you do to God HIMSELF. But still holding the same position and same belief. But this all is because of the change of technology people have decided to turn it down in other side. We act as how media wants us to do; we act as how the books or magazine we read wants us to do. Not only that but also now we have decide to leave our lives and try to live
  • 52. 52 Celebrities lives where are we heading leaving our dreams back?? After that then we have to ask our self if God is self piousness and why is He insisting about LOVE between ourselves. If you real trust HIM you should real trust in His way not your way. vMy Vibe Attracts My Tribe-9 We live in the world where everyone is after someone life. No one ever wants to believe what is in him or her without seen someone doing what he ought to do before, but that is not the problem but the problem comes when you are capable of doing something else and you undervalue yourselves to the extent you see someone is more perfect than you. That is the first sign of Poverty as long as I know you want to be rich in this world. Let me give you the secret of success as when you decide to be you, but if you still stick on becoming someone else then this is not the perfect message for you. The only step toward your success is not to wait for outside approval than inside approval. Most People will lay you and will hate you when they see you moving toward your success, so what you need to do is to hear their voices and not listening to their voices.Succes will
  • 53. 53 be measured by steps you move forward and not backward. You may hear the voice of people mostly your friends complaining about you because you have change, but that is just normal when you try to move from the wrong groups. When you decide to fight for your success doesn’t look back and don’t believe anyone who say it cannot be done. If anyone tells you that ask them “how was it possible to say it is impossible while to me i see it is possible?” if they don’t have any answer, and then it was impossible to them and if they answer just know they will give you wrong answer. The solution is to move on and never look at them. vMy Vibe Attracts My Tribe-10 LIFE QUOTES A. "Invest in yourself. Your career is the engine of your wealth." - Paul Slithered We all want wealth, but how do we achieve it? It starts with a successful career which relies on your skills and talents. Invest in yourself through school, books, or a quality job where you can acquire a quality skill set. Identify your talents and find a way to turn them into an income- generating vehicle. In doing so, you can truly
  • 54. 54 leverage your career into an "engine of your wealth." B. "How many millionaires do you know who have become wealthy by investing in savings accounts? I rest my case." - Robert G. Allen though investing in a savings account is a sure bet, your gains will be minimal given the extremely low interest rates. But don't forgo one completely. A savings account is a reliable place for an emergency fund, whereas a market investment is not. C. "The stock market is filled with individuals who know the price of everything, but the value of nothing." - Phillip Fisher Another testament to the fact that investing without an education and research will ultimately lead to regrettable investment decisions. Research is much more than just listening to popular opinion. D. “Some people will consider you or say that you are a bad person. Because you didn’t agree to what they are saying or you couldn’t allow them to do the bad things they do to you. They will pray for your down fall and
  • 55. 55 rejoice over your pain. No matter what they do or say. Never let them get you, because you know who you are.” ― De philosopher DJ Kayos E. “Never invest in any scheme that is based on a metaphor, or anything with the word, “next”, in it (). You will lose your shirt.” ― Clifford Cohen F. “I am forever busy working, because I want to work until get a personal call from the bank. Telling me that they can’t add more zeros in my account. The number is too long, that they have rounded it off, but still can’t add more digits to it.” ― De philosopher DJ Kyos G. The reason you are suffering now, Is because you judged wrongly people whom you should be asking help from. You have judged them based on your own personal past experience and others you have shame them and look down unto them because of your pride.” -De philosopher DJ Kyos
  • 56. 56 SHUKRANI Asante Sana Kwa Kuwa Pamoja Nami Toka Mwanzo Mpaka Mwisho Wa Kitabu Hiki Kifupi Cha Kukuongezea Maarifa Zaidi.Naamini Ni Zawadi Tosha Kwa Mwaka Huu Kuweza Kukusaidia Kutimiza Malengo Yako Na Kuwa Mtu Wa Tofauti Katika Maisha Yako Na Jamii Yako. @Lazaro Samwel-2017
  • 57. 57