SlideShare a Scribd company logo
1 of 1
Download to read offline
2            TAIFA JUMAPILI
                 Septemba 23, 2012




     Kampuni ya umeme katika zogo la ardhi Kwale                                                                                                                                                      Wazuia siasa
                                                               WAKAZI wa maeneo ya Nyari ka-
                                                               tika jimbo la Kwale wametatizwa
                                                               na hatua ya Kampuni ya Umeme
                                                                                                                        Na AMINA KIBIRIGE
                                                                                                                                                        vitambulisho, na nakala za fomu
                                                                                                                                                        za kuthibitisha kukubaliana kwao
                                                                                                                                                        na mradi huo.
                                                                                                                                                                                                      katika mazishi
                                                               (Kenya Power) kukusanya vyeti
                                                               vyao vya umiliki wa ardhi katika
                                                               maeneo ambayo nyaya za mradi
                                                                                                             majumbani mwao na kuitisha hati
                                                                                                             hizo kabla ya kuwapa hundi ya
                                                                                                             malipo kwa njia ya kupitia nyaya
                                                                                                                                                          Shirika la Utetezi wa Haki la
                                                                                                                                                        Kwale Human Rights Network
                                                                                                                                                        limeghadhabishwa na hatua hiyo
                                                                                                                                                                                                      ya Sumbeiywo
                                                               mpya wa umeme zimepitia.                      hizo.                                      na kuitaja kama mbinu ya ku-                     KUTOKA UK 1
                                                                 Kulingana na wakazi hao, vyeti                Barabara hiyo imechukuwa                 wanyima wakazi hao haki zao.
                                                               hivyo vilikusanywa wakati wa                  takriban mita 30 kwa upana na                Akiapa kufuatilizia swala hilo,                kusiwe na hutoba za kisiasa, tafad-
                                                               kupokea hundi za malipo ya kutu-              kumenya vipande vya ardhi vilivy-          Msimamizi wa Maswala katika                      hali mheshimu matakwa yetu”.
                                                               mika kwa ardhi zao kama barabara              oko pande zote mbili za minara             shirika hilo, Bw George Jaramba,                    Aliyekuwa Mkurugenzi wa
                                                               ya kupitishia nyaya za umeme                  hiyo ya stima.                             alisema kuwa hakuna sheria                       Shirika la Kitaifa la Ujasusi (NSIS),
                                                               zinayotoka Rabai kuelekea Galu                  Kulingana na barua iliyotu-              inayoruhusu kampuni yoyote                       Brigedia (Mstaafu) Wilson Boinet,
                                                               katika eneo la Diani.                         miwa wakaazi hao kutoka shirika            kuchukua hati halisi kama ush-                   ambaye alikuwa kiongozi wa
                                                                                                                                                                                                         ratiba katika mazishi hayo, alitisha
                                                                 Wakizungumza na Taifa Leo,                  hilo mwanzoni mwa mwaka, kila              uhuda wakati wa kufanya mal-
                                                                                                                                                                                                         kumuondoa kwa nguvu kutoka
      JUMBA la afisi za Kenya                                   wakazi hao walisema kuwa afisa                 mwenye ardhi alitakiwa kutoa na-           ipo isipokuwa benki zinazotoa                    jukwaani yeyote ambaye angeth-
      Power jijini Nairobi                                     kutoka shirika hilo aliwafuata                kala ya hati hiyo miliki, nakala za        mikopo.                                          ubutu kutoa hotuba za kisiasa.
                                                                                                                                                                                                            Mawaziri waliokuwepo ni Bw




Walimu: Heri
                                                                                                                                                                                                         Franklin Bett (Barabara), Prof
                                                                                                                                                                                                         Margaret Kamar (Elimu ya Juu),
                                                                                                                                                                                                         Bw Eugene Wamalwa (Haki) na
                                                                                                                                              UONGOZI                                                    Bw Henry Kosgey (Ustawi wa
                                                                                                                                                                                                         Viwanda).
                                                                                                                                                                                                            Wabunge William Ruto (Eldoret




tufutwe kazi
                                                                                                                                                                                                         Kaskazini), Jackson Kiptanui (
                                                                                                                                                                                                         Keiyo Kusini), Lucas Chepkitony
                                                                                                                                                                                                         (Keiyo Kaskazini), Lina Kilimo
                                                                                                                                                                                                         (Marakwet Mashariki) na Boaz
                                                                                                                                                                                                         Keino (Marakwet Magharibi) pia
                                                                                                                                                                                                         walihudhuria mazishi hayo.
                                                                    ingetekelezwa Juni 2013.                                                                                                                           HOTUBA
KUTOKA UK 1                                                            Lakini kwa upande wake, Knut in-                                                                                                  Aliyekuwa Mbunge wa Keiyo
   “Tunaiambia Serikali itufute kazi sasa                           asema kuwa pendekezo hilo si la busara                                                                                               Kusini, ambaye pia ni kingozi wa
hivi. Lazima tuchukuliwe kwa heshima                                kwani pesa hizo zapasa kutolewa katika                                                                                               chama cha National Vision Party,
inayostahili. Tutaendelea na mgomo                                  mwaka mmoja wa kifedha.                                                                                                              Nicholas Biwott pia alihudhuria.
mpaka tupewe haki yetu. Ni mara                                        “Kusawazishiwa mishahara ni haki                                                                                                     Prof Kamar aliwauliza wabunge
ngapi Serikali imetutisha?” aliuliza jana                           yetu. Sisi ni walipa ushuru kama Waken-                                                                                              wote kusimama na kuwapun-
Mwenyekiti wa Knut, Bw Wilson Sos-                                  ya wengine na tunataka tutimiziwe haki                                                                                               gia mkono waombolezaji kisha
sion.                                                               yetu. Tunataka kupewa fedha hizo mara                                                                                                akamwalika Bw Kosgey kusoma
   Alikuwa akiongea katika mkutano wa                               moja. Baraza limekataa walimu kulipwa                                                                                                risala za rambi rambi kutoka kwa
chama hicho na wanahabari katika afisi                               kwa awamu tatu,” alisema Bw Nyamu.                                                                                                   Waziri Mkuu, Bw Raila Odinga.
kuu za Knut jijini Nairobi.                                            Walisema hawakijui kipengee cha                                                                                                      Hatua hii iliwashangaza wengi
   Matumaini ya kusitishwa kwa mgomo                                kisheria (Notisi ya 16, 2003) kina-                                                                                                  kwani walitaraji kuwa Bw Ruto
huo sasa ni ndoto tu baada ya chama                                 chojadiliwa bungeni ambacho kilifanya                                                                                                angepewa fursa ya kuhutubu.
hicho kukataa kata kata mapendekezo                                 mabadiliko kwa kipengee kingine katika                                                                                                  Makamu wa Rais alisema al-
yaliyotolewa na Baraza la Mawaziri li-                              sheria ya 1997 ( Notisi ya 534) kuhusu                                                                                               ishauriana na kakake marehemu
lilokutana Alhamisi na kusema Serikali                              marupurupu.                                                                                                                          Jenerali (Mstaafu) Lazarus Sum-
haikuwachukulia kwa uzito.                                             Aidha, walisema hawawezi kukubali                                                                                                 beiywo, kusema machache kuhusu
   “Mgomo uko mbali kuisha. Baada ya                                kamati ambayo ilipendekezwa kuunda                                                                                                   mchango wa Elijah katika historia
majadiliano ya kina, Baraza Kuu la Kitaifa                          kanuni na masharti hadi ianze kazi.                                                                                                  ya Kenya.
limeafikia mgomo utaendelea mpaka                                       “Sisi hatuko tayari kudanganywa.                                                                                                     Bw Kalonzo, ambaye alitambua
walimu wapewe haki yao,” alisema Bw                                 Lazima kamati hiyo ianze kufanya                                                                                                     uwepo wa Bw Ruto alimtaja mare-
Sossion.                                                            kazi kwanza ili tuikubali,” alisema Bw                                                                                               hemu Elijah kama mtu jasiri ali-
   Aliongeza kuwa mkutano baina ya                                  Nyamu.                                                                                                                               yetumikia taifa hili kwa uaminifu.
walimu na Serikali siku ya Ijumaa hauku-                               Kuhusu kupandishwa cheo kwa wal-                                                                                                     “Historia haiwezi kusahauliwa.
fikia makubaliano yoyote.                                            imu wa P2, chama hicho kilisema ni                                                                                                   Ndugu hawa wawili (Elijah na
   “Tumekuwa tukiyakagua mapendek-                                  jambo zuri ingawa lilifaa kutekelezwa                                                                                                Lazarus) waliisadia taifa hili zaidi
ezo ya Serikali. Lakini ni dhahiri Serikali                         kuanzia zamani. Bw Nyamu alisema                                                                                                     wakati wa mapinduzi ya Serikali
haijajaribu kwa njia yoyote kutimiza ma-                            marupurupu ya mazingira magumu ya                                                                                                    mnamo 1982. Walirejesha utulivu
takwa yetu,” alisema kaimu katibu wa                                kufanya kazi na majukumu maalum                MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya Nation Media Group, Bw Linus Gitahi                     nchini huku mataifa mengine ya
chama hicho, Bw Xavier Nyamu.                                       yalifaa kutekelezwa 2009.
   Kulingana na Knut, pendekezo la kusa-
                                                                                                                   (kushoto) na Kinara wa Inuka Trust, Bw John Githongo walipozindua                     Afrika yakizama katika mach-
                                                                                                                   msafara wa ‘Uongozi 2012’ katika uwanja wa Huruma, jijini Nairobi                     afuko. Marehemu atakumbukwa
wazisha mishahara yao na wafanyikazi                                                                                                                                                                     kama mtumishi wa umma aliyeji-
wengine wa Serikali ni haki yao, hivyo                                                                             jana. Msafara huo unanuia kuhimiza wakenya kupiga kura kwa amani
                                                                                                                                                                                                         tolea katika kazi yake,” alisema Bw
Serikali haiwezi kudai ilikuwa imetatua                                                                            na kuchagua viongozi kwa busara kwenye uchaguzi mkuu ujao. Picha/
                                                                                                                                                                                                         Musyoka.
suala la mgomo kwa kusema ilikuwa                                                                                  SALATON NJAU
inadhamiria kutoa Sh13.5 bilioni.
   Alhmisi, Baraza la Mawaziri lilii-
dhinisha kutolewa kwa Sh13.5 bilio-
ni za kuwalipa walimu kwa awamu
tatu kwa muda wa miezi kumi.
   Serikali ilikuwa imependekeza
kuwalipa Sh6 bilioni kuanzia Julai
2012 hadi Januari 2013 ambapo                                                                          ndogo kukamilika katika             Maafisa wa GSU
ingetoa fedha zaidi kiasi cha Sh5                                                                      maeneo bunge matatu na              wapata makaburi ya                 Afisa mmoja aliye                  Mechi iliyosubiriwa
bilioni. Awamu ya mwisho ya Sh2.5                                                                      wadi kadhaa. Kutokana          siri katika msitu ulio karibu           kwenye kundi la                   kwa hamu kati ya
                                                                                                       na matokeo ya chaguzi          na kijiji cha Kilelengwani           wanajeshi wa Ulaya walio        mahasimu wa jadi Gor
                                                                                                       hizo ndogo, Waziri Mkuu        ambapo watu 38                       Afghanistan azaa akiwa          Mahia na AFC Leopards
    MKUTANO WA WAGOMBEAJI                                                                              Raila Odinga alikariri         wakiwemo polisi tisa                 kambini. Imeripotiwa            yachezwa uwanja wa Moi,
       CHAMA CHA SAFINA                                                                                kuwa uchaguzi mkuu ujao        waliuawa kwenye vita vya             kuwa mwanamke huyo              Kasarani. Washindi katika
 Chama cha SAFINA kitawasilisha wagombeaji nchini kote                                                 utakuwa mapambano              akijamii. Inashukiwa kuwa            hakufahamu kuwa alikuwa         mechi hiyo watakuwa
 katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2013. Kutokana na haya chama                                             makali kati ya chama           huenda watu walioripotiwa            mja mzito wakati wote           na nafasi bora zaidi
 sha SAFINA kinatoa mwaliko kwa walio na nia ya kuwa                                                   anachkiongoza, ODM na
                                                                     Wanasiasa waendelea                                              kupotea wakati wa vita               huo. Sheria za kijeshi huwa     kutwaa taji la Ligi Kuu
 • Magavana           • Wawakilishi wa       ya chama                                                  kile kinachoongozwa na
 • Maseneta             wanawake           • Makatibu wa             kujipigia debe maeneo                                            hivyo wamezikwa humo,                haziruhusu wanawake             ya Tusker (TPL). Tusker
 • Wabunge            • Wapendekezwa         mawaziri                mbalimbali nchini, wiki           Naibu Waziri Mkuu cha          au pamefichwa silaha za               wajawazito kuwa kwenye          inayoongoza kwenye
 • Madiwani             katika orodha                              moja baada ya chaguzi               TNA.                           vita.                                oparesheni za kivita.           ligi itakutana kesho na
 Kuhudhuria mkutano wa wagombeaji katika makao makuu ya                                                                                                                                                    Karuturi Sports, uwanjani
 Chama cha SAFINA, yalioko katika Barabara ya Amboseli,
 kwenye Barabara ya Gatanga, Lavington Nairobi, Jumatano
                                                                                                                                                                                                           Oserian.
 hii Septemba 26, 2012 kuanzia saa tatu asubuhi.
 Tafadhaali zingatia kuwa chama cha SAFINA kitatoa hati za             AFC Leopards yabanduliwa kutoka                                     Walimu wakosa kuafikiana na
 UTEUZI WA BURE kwa Wanawake, Vijana (Chini ya umri wa                 kileleni mwa orodha ya mchuano wa taji                              serikali baada ya majadiliano
 miaka 35) na walemavu waliofuzu.                                      la ligi kuu la Tusker (TPL). Hii ni baada                      iliyonuiwa kupata suluhisho ili              Tume ya kuchunguza majaji inayoongozwa na
 Tafadhali hudhuria na umwalike mgombeaji mwingine katika          yao kuzabwa mabao 2-0 na timu ya Tusker.                           wasitishe mgomo wao. Vyama vya               Sharad Rao latangaza kuwa jaji wa mahakama
 Baraza la SAFINA Tafadhali dhibitisha kuwa utahuudhuria kwa       Ingwe sasa ina alama 45, sawa na Tusker                            walimu, Knut na Kuppet, vilikataa        ya juu Mohammed Ibrahim na Roselyn Nambuye
 Afisi ya Mkurugenzi wa Uchaguzi                                   ingawa Tusker inaongoza kwa mabao. Gor                                                                      watachunguzwa upya. Hii ni kufuatia uamuzi wa majaji
                                                                   Mahia iko katika nafasi ya tatu na alama 43,                       toleo la Sh13.4 bilioni ikiwa nyongeza
       Beatrice kupitia Nambari ya Rununu: 0722676192
                                                                                                                                      ya mshahara kwa awamu tatu kama          hao kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa awali uliotolewa
                  Simu Nambari: 0205202211                         na imerudi kambini leo baada ya wiki moja
                                                                   ya mapumziko                                                       ilivyopendekezwa na serikali.            na tume hiyo kuwa hawafai kuendelea kuhudumu.
                  email: info@safinaparty.org
                 website: www.safinaparty.org

More Related Content

Featured

AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfmarketingartwork
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024Neil Kimberley
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)contently
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024Albert Qian
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsKurio // The Social Media Age(ncy)
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Search Engine Journal
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summarySpeakerHub
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Tessa Mero
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentLily Ray
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best PracticesVit Horky
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementMindGenius
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...RachelPearson36
 
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Applitools
 
12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at WorkGetSmarter
 

Featured (20)

AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdfAI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
AI Trends in Creative Operations 2024 by Artwork Flow.pdf
 
Skeleton Culture Code
Skeleton Culture CodeSkeleton Culture Code
Skeleton Culture Code
 
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
PEPSICO Presentation to CAGNY Conference Feb 2024
 
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
Content Methodology: A Best Practices Report (Webinar)
 
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
How to Prepare For a Successful Job Search for 2024
 
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie InsightsSocial Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
Social Media Marketing Trends 2024 // The Global Indie Insights
 
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
Trends In Paid Search: Navigating The Digital Landscape In 2024
 
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
5 Public speaking tips from TED - Visualized summary
 
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
ChatGPT and the Future of Work - Clark Boyd
 
Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next Getting into the tech field. what next
Getting into the tech field. what next
 
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search IntentGoogle's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
Google's Just Not That Into You: Understanding Core Updates & Search Intent
 
How to have difficult conversations
How to have difficult conversations How to have difficult conversations
How to have difficult conversations
 
Introduction to Data Science
Introduction to Data ScienceIntroduction to Data Science
Introduction to Data Science
 
Time Management & Productivity - Best Practices
Time Management & Productivity -  Best PracticesTime Management & Productivity -  Best Practices
Time Management & Productivity - Best Practices
 
The six step guide to practical project management
The six step guide to practical project managementThe six step guide to practical project management
The six step guide to practical project management
 
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
Beginners Guide to TikTok for Search - Rachel Pearson - We are Tilt __ Bright...
 
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
Unlocking the Power of ChatGPT and AI in Testing - A Real-World Look, present...
 
12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work12 Ways to Increase Your Influence at Work
12 Ways to Increase Your Influence at Work
 
ChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slidesChatGPT webinar slides
ChatGPT webinar slides
 
More than Just Lines on a Map: Best Practices for U.S Bike Routes
More than Just Lines on a Map: Best Practices for U.S Bike RoutesMore than Just Lines on a Map: Best Practices for U.S Bike Routes
More than Just Lines on a Map: Best Practices for U.S Bike Routes
 

Taifa jumapili uongozi launch

  • 1. 2 TAIFA JUMAPILI Septemba 23, 2012 Kampuni ya umeme katika zogo la ardhi Kwale Wazuia siasa WAKAZI wa maeneo ya Nyari ka- tika jimbo la Kwale wametatizwa na hatua ya Kampuni ya Umeme Na AMINA KIBIRIGE vitambulisho, na nakala za fomu za kuthibitisha kukubaliana kwao na mradi huo. katika mazishi (Kenya Power) kukusanya vyeti vyao vya umiliki wa ardhi katika maeneo ambayo nyaya za mradi majumbani mwao na kuitisha hati hizo kabla ya kuwapa hundi ya malipo kwa njia ya kupitia nyaya Shirika la Utetezi wa Haki la Kwale Human Rights Network limeghadhabishwa na hatua hiyo ya Sumbeiywo mpya wa umeme zimepitia. hizo. na kuitaja kama mbinu ya ku- KUTOKA UK 1 Kulingana na wakazi hao, vyeti Barabara hiyo imechukuwa wanyima wakazi hao haki zao. hivyo vilikusanywa wakati wa takriban mita 30 kwa upana na Akiapa kufuatilizia swala hilo, kusiwe na hutoba za kisiasa, tafad- kupokea hundi za malipo ya kutu- kumenya vipande vya ardhi vilivy- Msimamizi wa Maswala katika hali mheshimu matakwa yetu”. mika kwa ardhi zao kama barabara oko pande zote mbili za minara shirika hilo, Bw George Jaramba, Aliyekuwa Mkurugenzi wa ya kupitishia nyaya za umeme hiyo ya stima. alisema kuwa hakuna sheria Shirika la Kitaifa la Ujasusi (NSIS), zinayotoka Rabai kuelekea Galu Kulingana na barua iliyotu- inayoruhusu kampuni yoyote Brigedia (Mstaafu) Wilson Boinet, katika eneo la Diani. miwa wakaazi hao kutoka shirika kuchukua hati halisi kama ush- ambaye alikuwa kiongozi wa ratiba katika mazishi hayo, alitisha Wakizungumza na Taifa Leo, hilo mwanzoni mwa mwaka, kila uhuda wakati wa kufanya mal- kumuondoa kwa nguvu kutoka JUMBA la afisi za Kenya wakazi hao walisema kuwa afisa mwenye ardhi alitakiwa kutoa na- ipo isipokuwa benki zinazotoa jukwaani yeyote ambaye angeth- Power jijini Nairobi kutoka shirika hilo aliwafuata kala ya hati hiyo miliki, nakala za mikopo. ubutu kutoa hotuba za kisiasa. Mawaziri waliokuwepo ni Bw Walimu: Heri Franklin Bett (Barabara), Prof Margaret Kamar (Elimu ya Juu), Bw Eugene Wamalwa (Haki) na UONGOZI Bw Henry Kosgey (Ustawi wa Viwanda). Wabunge William Ruto (Eldoret tufutwe kazi Kaskazini), Jackson Kiptanui ( Keiyo Kusini), Lucas Chepkitony (Keiyo Kaskazini), Lina Kilimo (Marakwet Mashariki) na Boaz Keino (Marakwet Magharibi) pia walihudhuria mazishi hayo. ingetekelezwa Juni 2013. HOTUBA KUTOKA UK 1 Lakini kwa upande wake, Knut in- Aliyekuwa Mbunge wa Keiyo “Tunaiambia Serikali itufute kazi sasa asema kuwa pendekezo hilo si la busara Kusini, ambaye pia ni kingozi wa hivi. Lazima tuchukuliwe kwa heshima kwani pesa hizo zapasa kutolewa katika chama cha National Vision Party, inayostahili. Tutaendelea na mgomo mwaka mmoja wa kifedha. Nicholas Biwott pia alihudhuria. mpaka tupewe haki yetu. Ni mara “Kusawazishiwa mishahara ni haki Prof Kamar aliwauliza wabunge ngapi Serikali imetutisha?” aliuliza jana yetu. Sisi ni walipa ushuru kama Waken- wote kusimama na kuwapun- Mwenyekiti wa Knut, Bw Wilson Sos- ya wengine na tunataka tutimiziwe haki gia mkono waombolezaji kisha sion. yetu. Tunataka kupewa fedha hizo mara akamwalika Bw Kosgey kusoma Alikuwa akiongea katika mkutano wa moja. Baraza limekataa walimu kulipwa risala za rambi rambi kutoka kwa chama hicho na wanahabari katika afisi kwa awamu tatu,” alisema Bw Nyamu. Waziri Mkuu, Bw Raila Odinga. kuu za Knut jijini Nairobi. Walisema hawakijui kipengee cha Hatua hii iliwashangaza wengi Matumaini ya kusitishwa kwa mgomo kisheria (Notisi ya 16, 2003) kina- kwani walitaraji kuwa Bw Ruto huo sasa ni ndoto tu baada ya chama chojadiliwa bungeni ambacho kilifanya angepewa fursa ya kuhutubu. hicho kukataa kata kata mapendekezo mabadiliko kwa kipengee kingine katika Makamu wa Rais alisema al- yaliyotolewa na Baraza la Mawaziri li- sheria ya 1997 ( Notisi ya 534) kuhusu ishauriana na kakake marehemu lilokutana Alhamisi na kusema Serikali marupurupu. Jenerali (Mstaafu) Lazarus Sum- haikuwachukulia kwa uzito. Aidha, walisema hawawezi kukubali beiywo, kusema machache kuhusu “Mgomo uko mbali kuisha. Baada ya kamati ambayo ilipendekezwa kuunda mchango wa Elijah katika historia majadiliano ya kina, Baraza Kuu la Kitaifa kanuni na masharti hadi ianze kazi. ya Kenya. limeafikia mgomo utaendelea mpaka “Sisi hatuko tayari kudanganywa. Bw Kalonzo, ambaye alitambua walimu wapewe haki yao,” alisema Bw Lazima kamati hiyo ianze kufanya uwepo wa Bw Ruto alimtaja mare- Sossion. kazi kwanza ili tuikubali,” alisema Bw hemu Elijah kama mtu jasiri ali- Aliongeza kuwa mkutano baina ya Nyamu. yetumikia taifa hili kwa uaminifu. walimu na Serikali siku ya Ijumaa hauku- Kuhusu kupandishwa cheo kwa wal- “Historia haiwezi kusahauliwa. fikia makubaliano yoyote. imu wa P2, chama hicho kilisema ni Ndugu hawa wawili (Elijah na “Tumekuwa tukiyakagua mapendek- jambo zuri ingawa lilifaa kutekelezwa Lazarus) waliisadia taifa hili zaidi ezo ya Serikali. Lakini ni dhahiri Serikali kuanzia zamani. Bw Nyamu alisema wakati wa mapinduzi ya Serikali haijajaribu kwa njia yoyote kutimiza ma- marupurupu ya mazingira magumu ya mnamo 1982. Walirejesha utulivu takwa yetu,” alisema kaimu katibu wa kufanya kazi na majukumu maalum MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya Nation Media Group, Bw Linus Gitahi nchini huku mataifa mengine ya chama hicho, Bw Xavier Nyamu. yalifaa kutekelezwa 2009. Kulingana na Knut, pendekezo la kusa- (kushoto) na Kinara wa Inuka Trust, Bw John Githongo walipozindua Afrika yakizama katika mach- msafara wa ‘Uongozi 2012’ katika uwanja wa Huruma, jijini Nairobi afuko. Marehemu atakumbukwa wazisha mishahara yao na wafanyikazi kama mtumishi wa umma aliyeji- wengine wa Serikali ni haki yao, hivyo jana. Msafara huo unanuia kuhimiza wakenya kupiga kura kwa amani tolea katika kazi yake,” alisema Bw Serikali haiwezi kudai ilikuwa imetatua na kuchagua viongozi kwa busara kwenye uchaguzi mkuu ujao. Picha/ Musyoka. suala la mgomo kwa kusema ilikuwa SALATON NJAU inadhamiria kutoa Sh13.5 bilioni. Alhmisi, Baraza la Mawaziri lilii- dhinisha kutolewa kwa Sh13.5 bilio- ni za kuwalipa walimu kwa awamu tatu kwa muda wa miezi kumi. Serikali ilikuwa imependekeza kuwalipa Sh6 bilioni kuanzia Julai 2012 hadi Januari 2013 ambapo ndogo kukamilika katika Maafisa wa GSU ingetoa fedha zaidi kiasi cha Sh5 maeneo bunge matatu na wapata makaburi ya Afisa mmoja aliye Mechi iliyosubiriwa bilioni. Awamu ya mwisho ya Sh2.5 wadi kadhaa. Kutokana siri katika msitu ulio karibu kwenye kundi la kwa hamu kati ya na matokeo ya chaguzi na kijiji cha Kilelengwani wanajeshi wa Ulaya walio mahasimu wa jadi Gor hizo ndogo, Waziri Mkuu ambapo watu 38 Afghanistan azaa akiwa Mahia na AFC Leopards MKUTANO WA WAGOMBEAJI Raila Odinga alikariri wakiwemo polisi tisa kambini. Imeripotiwa yachezwa uwanja wa Moi, CHAMA CHA SAFINA kuwa uchaguzi mkuu ujao waliuawa kwenye vita vya kuwa mwanamke huyo Kasarani. Washindi katika Chama cha SAFINA kitawasilisha wagombeaji nchini kote utakuwa mapambano akijamii. Inashukiwa kuwa hakufahamu kuwa alikuwa mechi hiyo watakuwa katika Uchaguzi Mkuu ujao wa 2013. Kutokana na haya chama makali kati ya chama huenda watu walioripotiwa mja mzito wakati wote na nafasi bora zaidi sha SAFINA kinatoa mwaliko kwa walio na nia ya kuwa anachkiongoza, ODM na Wanasiasa waendelea kupotea wakati wa vita huo. Sheria za kijeshi huwa kutwaa taji la Ligi Kuu • Magavana • Wawakilishi wa ya chama kile kinachoongozwa na • Maseneta wanawake • Makatibu wa kujipigia debe maeneo hivyo wamezikwa humo, haziruhusu wanawake ya Tusker (TPL). Tusker • Wabunge • Wapendekezwa mawaziri mbalimbali nchini, wiki Naibu Waziri Mkuu cha au pamefichwa silaha za wajawazito kuwa kwenye inayoongoza kwenye • Madiwani katika orodha moja baada ya chaguzi TNA. vita. oparesheni za kivita. ligi itakutana kesho na Kuhudhuria mkutano wa wagombeaji katika makao makuu ya Karuturi Sports, uwanjani Chama cha SAFINA, yalioko katika Barabara ya Amboseli, kwenye Barabara ya Gatanga, Lavington Nairobi, Jumatano Oserian. hii Septemba 26, 2012 kuanzia saa tatu asubuhi. Tafadhaali zingatia kuwa chama cha SAFINA kitatoa hati za AFC Leopards yabanduliwa kutoka Walimu wakosa kuafikiana na UTEUZI WA BURE kwa Wanawake, Vijana (Chini ya umri wa kileleni mwa orodha ya mchuano wa taji serikali baada ya majadiliano miaka 35) na walemavu waliofuzu. la ligi kuu la Tusker (TPL). Hii ni baada iliyonuiwa kupata suluhisho ili Tume ya kuchunguza majaji inayoongozwa na Tafadhali hudhuria na umwalike mgombeaji mwingine katika yao kuzabwa mabao 2-0 na timu ya Tusker. wasitishe mgomo wao. Vyama vya Sharad Rao latangaza kuwa jaji wa mahakama Baraza la SAFINA Tafadhali dhibitisha kuwa utahuudhuria kwa Ingwe sasa ina alama 45, sawa na Tusker walimu, Knut na Kuppet, vilikataa ya juu Mohammed Ibrahim na Roselyn Nambuye Afisi ya Mkurugenzi wa Uchaguzi ingawa Tusker inaongoza kwa mabao. Gor watachunguzwa upya. Hii ni kufuatia uamuzi wa majaji Mahia iko katika nafasi ya tatu na alama 43, toleo la Sh13.4 bilioni ikiwa nyongeza Beatrice kupitia Nambari ya Rununu: 0722676192 ya mshahara kwa awamu tatu kama hao kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa awali uliotolewa Simu Nambari: 0205202211 na imerudi kambini leo baada ya wiki moja ya mapumziko ilivyopendekezwa na serikali. na tume hiyo kuwa hawafai kuendelea kuhudumu. email: info@safinaparty.org website: www.safinaparty.org