SlideShare a Scribd company logo
27, FEBRUARY 2017
TANZANIA RANGELANDS
STUDENTS’ ASSOCIATION (TRSA)
MADA: MATUMIZI YA
MACHUNGA TANZANIA, JE
NI ENDELEVU?
YALIYOMO
1. Utangulizi
2. Hali halisi ya
machunga nchini
3. Faida za machunga
4. Changamoto
zinazokabili maeneo
ya machunga
5. Mapendekezo ya
utatuzi wa
changamoto za
machunga
6. Hitimisho
UTANGULIZI
Eneo kubwa la machunga ya mifugo na
wanyama pori hapa nchini lipo katika nyanda
kame.
Eneo hili ni takribani asilimia 40 ya ardhi yote
ya nchi ambayo ni hekta milioni 94.
Wastani wa mvua kwa mwaka ni milimita 250
hadi 500 kwa mwaka.
Japokuwa wakati mwingine mvua hufikia
wastani zaidi ya milimita 500 kwa mwaka,
lakini hali hii hutokea mara chache (miaka 5 kati
ya miaka 30).
UTANGULIZI
Eneo la machunga hukumbwa
na mvukizo (evaporation) kwa
kiasi kikubwa.
Mvukizo katika maeneo ya
ukame ni karibia mara nne ya
mvua inayonyesha
Kwa kawaida maeneo hayo
kulingana na hali ilivyo
elezwa hapo juu yanafaa kwa
kuchungia wanyama na sio
kwa kulima mazao.
HALI HALISI YA MACHUNGA NCHINI
Maeneo mengi ya
machunga yamevamiwa
na shughuli za kilimo kwa
sababu ya ukosefu wa
utambuzi wa machunga
kisheria.
Miundombinu katika
maeneo ya machunga
kama vile majosho,
malambo na mapalio ya
kupitishia mifugo haikidhi
mahitaji ya mifugo.
HALI HALISI…
Maeneo mengi ya nyanda za
malisho yanatumiwa kiholela
kwa kilimo cha kuhamahama
kisichohifadhi udongo na
maji, kuvuna mbao bila
mpangilio na kuchoma mkaa.
Maeneo mengi yamejaa
vichaka na mimea vamizi
kutokana na ukosefu wa
usimamizi fasaha katika
machunga kama vile kudhibiti
vichaka na mimea vamizi.
HALI HALISI……
Kwa hali hiyo machunga
mengi yamepoteza ubora, uoto
wa asili unapotea kwa kasi
hivyo basi maeneo mengi
yamejaa vipara ( bare land),
kwa hiyo hali hii inasababisha
mmomonyoko wa udongo na
kupelekea kuwepo kwa
makorongo.
• Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa,
machunga mengi yamepoteza uoto, hivyo malisho
kwa wanyama yanapungua sana.
CHANGAMOTO ZINAZOKABILI MAENEO YA
MACHUNGA.
Ongezeko la watu linapelekea
kubadili utumiaji wa ardhi ya
machunga kuwa maeneo ya
kilimo na makazi.
Mabadiliko ya tabianchi
yamesababisha upungufu
mkubwa malisho na maji kwa
wanyama.
Kubadili matumizi ya ardhi
kama vile kilimo, uwekezaji na
maeneo ya hifadhi za wanyama
pori.
CHANGAMOTO….
Maeneo mengi ya machunga
bado yanakabiliwa na uwepo wa
magonjwa pamoja na wadudu
waenezao magonjwa kama vile
kupe na ndorobo.
Utekelezaji wa sera zinazowezesha utambuzi na
umiliki wa machunga kisheria ni dhaifu. Mfano
Sheria no 13 ya mwaka 2010 haina meno makali ya
kumpa nguvu Waziri kutangaza maeneo kuwa
hifadhi ya Malisho (Gazzeted Grazing reserves).
CHANGAMOTO …
Upungufu wa miundombinu kama
vile majosho na malambo, hivyo
husababisha mtawanyiko usio
sahihi wa wanyama
Upungufu wa wataalamu wa
usimamizi wa machunga hivyo
inasababisha kutokuwa na
usimamizi mzuri katika machunga.
Wataalum wanazalishwa SUA
lakini bado hawajaajiriwa.
MAPENDEKEZO
1. Kuboresha miundombinu katika maeneo ya
machunga kama vile majosho, mapalio na
malambo.
2. Kupeleka wataalamu wa nyanda za malisho kwa
ajili ya usimamiaji wa matumizi bora ya ardhi ili
kuyafanya endelevu.
3. Matumizi bora ya ardhi yanayozingatia matumizi
endelevu ya rasilimali ardhi (proper land use
planning).
4. Uondoaji vichaka na mimea vamizi katika
machunga ifanyike ili kuongeza uzalishaji wa
malisho.
Mapendekezo….
5. Kuwe na ushirikishwaji wa wadau kutoka sekta
mbalimbali kama vile wataalamu wa mifugo, tiba ya
wanyama na misitu/ hifadhi.
6. Sheria na 13 ya mwaka 2010 iboreshwe ili kumpa
Waziri mwenye dhamana nguvu ya kusajili na
kutangaza Grazing reserves.
7. Kuwe na vikao vya ushirikishwaji wa sekta zote
zinazohusiana na matumizi na uendelezaji wa ardhi.
Mapendekezo…
8. Kuwe na tathimini yakinifu katika maeneo ya
machunga ili kuweza kujua rasilimali halisi
zilizopo katika maeneo ya machunga.
9. Kuimarisha huduma za tiba ya mifugo katika
maeneo ya machunga ili kuzuia uenezaji wa
magonjwa ya mifugo pamoja na wadudu
waenezao magonjwa kwa kuongeza
wataalamu .
HITIMISHO
Kutokana na hali halisi na changamoto
zilizopo katika machunga ni dhahili
kwamba machunga katika nchi yetu si
endelevu .
Hivyo juhudi za makusudi zinahitajika
ili kunusuru na kuboresha hali ya
nyanda za malisho hapa nchini.
ASANTENI
KWA
KUNISILIKIZA

More Related Content

Viewers also liked

Product Knowledge
Product KnowledgeProduct Knowledge
Product KnowledgeJohn Doyle
 
RHarp Signature Audience Engagement 2017
RHarp Signature Audience Engagement 2017RHarp Signature Audience Engagement 2017
RHarp Signature Audience Engagement 2017Rebecca Jones Harp
 
Consagração da Igreja de Barriguda - Ba
Consagração da Igreja de Barriguda - BaConsagração da Igreja de Barriguda - Ba
Consagração da Igreja de Barriguda - Ba
Rute Teles
 
Corporate Deck - Treasury Consulting LLP
Corporate Deck - Treasury Consulting LLPCorporate Deck - Treasury Consulting LLP
Corporate Deck - Treasury Consulting LLPRahul Magan,MBA Finance
 
3Com 3C17702-US
3Com 3C17702-US3Com 3C17702-US
3Com 3C17702-US
savomir
 
Herramientaswe2.0
Herramientaswe2.0Herramientaswe2.0
Herramientaswe2.0
julian hurtado
 

Viewers also liked (6)

Product Knowledge
Product KnowledgeProduct Knowledge
Product Knowledge
 
RHarp Signature Audience Engagement 2017
RHarp Signature Audience Engagement 2017RHarp Signature Audience Engagement 2017
RHarp Signature Audience Engagement 2017
 
Consagração da Igreja de Barriguda - Ba
Consagração da Igreja de Barriguda - BaConsagração da Igreja de Barriguda - Ba
Consagração da Igreja de Barriguda - Ba
 
Corporate Deck - Treasury Consulting LLP
Corporate Deck - Treasury Consulting LLPCorporate Deck - Treasury Consulting LLP
Corporate Deck - Treasury Consulting LLP
 
3Com 3C17702-US
3Com 3C17702-US3Com 3C17702-US
3Com 3C17702-US
 
Herramientaswe2.0
Herramientaswe2.0Herramientaswe2.0
Herramientaswe2.0
 

Mwaka wa tatu

  • 1. 27, FEBRUARY 2017 TANZANIA RANGELANDS STUDENTS’ ASSOCIATION (TRSA) MADA: MATUMIZI YA MACHUNGA TANZANIA, JE NI ENDELEVU?
  • 2. YALIYOMO 1. Utangulizi 2. Hali halisi ya machunga nchini 3. Faida za machunga 4. Changamoto zinazokabili maeneo ya machunga 5. Mapendekezo ya utatuzi wa changamoto za machunga 6. Hitimisho
  • 3. UTANGULIZI Eneo kubwa la machunga ya mifugo na wanyama pori hapa nchini lipo katika nyanda kame. Eneo hili ni takribani asilimia 40 ya ardhi yote ya nchi ambayo ni hekta milioni 94. Wastani wa mvua kwa mwaka ni milimita 250 hadi 500 kwa mwaka. Japokuwa wakati mwingine mvua hufikia wastani zaidi ya milimita 500 kwa mwaka, lakini hali hii hutokea mara chache (miaka 5 kati ya miaka 30).
  • 4. UTANGULIZI Eneo la machunga hukumbwa na mvukizo (evaporation) kwa kiasi kikubwa. Mvukizo katika maeneo ya ukame ni karibia mara nne ya mvua inayonyesha Kwa kawaida maeneo hayo kulingana na hali ilivyo elezwa hapo juu yanafaa kwa kuchungia wanyama na sio kwa kulima mazao.
  • 5. HALI HALISI YA MACHUNGA NCHINI Maeneo mengi ya machunga yamevamiwa na shughuli za kilimo kwa sababu ya ukosefu wa utambuzi wa machunga kisheria. Miundombinu katika maeneo ya machunga kama vile majosho, malambo na mapalio ya kupitishia mifugo haikidhi mahitaji ya mifugo.
  • 6. HALI HALISI… Maeneo mengi ya nyanda za malisho yanatumiwa kiholela kwa kilimo cha kuhamahama kisichohifadhi udongo na maji, kuvuna mbao bila mpangilio na kuchoma mkaa. Maeneo mengi yamejaa vichaka na mimea vamizi kutokana na ukosefu wa usimamizi fasaha katika machunga kama vile kudhibiti vichaka na mimea vamizi.
  • 7.
  • 8. HALI HALISI…… Kwa hali hiyo machunga mengi yamepoteza ubora, uoto wa asili unapotea kwa kasi hivyo basi maeneo mengi yamejaa vipara ( bare land), kwa hiyo hali hii inasababisha mmomonyoko wa udongo na kupelekea kuwepo kwa makorongo. • Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa, machunga mengi yamepoteza uoto, hivyo malisho kwa wanyama yanapungua sana.
  • 9. CHANGAMOTO ZINAZOKABILI MAENEO YA MACHUNGA. Ongezeko la watu linapelekea kubadili utumiaji wa ardhi ya machunga kuwa maeneo ya kilimo na makazi. Mabadiliko ya tabianchi yamesababisha upungufu mkubwa malisho na maji kwa wanyama. Kubadili matumizi ya ardhi kama vile kilimo, uwekezaji na maeneo ya hifadhi za wanyama pori.
  • 10. CHANGAMOTO…. Maeneo mengi ya machunga bado yanakabiliwa na uwepo wa magonjwa pamoja na wadudu waenezao magonjwa kama vile kupe na ndorobo. Utekelezaji wa sera zinazowezesha utambuzi na umiliki wa machunga kisheria ni dhaifu. Mfano Sheria no 13 ya mwaka 2010 haina meno makali ya kumpa nguvu Waziri kutangaza maeneo kuwa hifadhi ya Malisho (Gazzeted Grazing reserves).
  • 11. CHANGAMOTO … Upungufu wa miundombinu kama vile majosho na malambo, hivyo husababisha mtawanyiko usio sahihi wa wanyama Upungufu wa wataalamu wa usimamizi wa machunga hivyo inasababisha kutokuwa na usimamizi mzuri katika machunga. Wataalum wanazalishwa SUA lakini bado hawajaajiriwa.
  • 12. MAPENDEKEZO 1. Kuboresha miundombinu katika maeneo ya machunga kama vile majosho, mapalio na malambo. 2. Kupeleka wataalamu wa nyanda za malisho kwa ajili ya usimamiaji wa matumizi bora ya ardhi ili kuyafanya endelevu. 3. Matumizi bora ya ardhi yanayozingatia matumizi endelevu ya rasilimali ardhi (proper land use planning). 4. Uondoaji vichaka na mimea vamizi katika machunga ifanyike ili kuongeza uzalishaji wa malisho.
  • 13. Mapendekezo…. 5. Kuwe na ushirikishwaji wa wadau kutoka sekta mbalimbali kama vile wataalamu wa mifugo, tiba ya wanyama na misitu/ hifadhi. 6. Sheria na 13 ya mwaka 2010 iboreshwe ili kumpa Waziri mwenye dhamana nguvu ya kusajili na kutangaza Grazing reserves. 7. Kuwe na vikao vya ushirikishwaji wa sekta zote zinazohusiana na matumizi na uendelezaji wa ardhi.
  • 14. Mapendekezo… 8. Kuwe na tathimini yakinifu katika maeneo ya machunga ili kuweza kujua rasilimali halisi zilizopo katika maeneo ya machunga. 9. Kuimarisha huduma za tiba ya mifugo katika maeneo ya machunga ili kuzuia uenezaji wa magonjwa ya mifugo pamoja na wadudu waenezao magonjwa kwa kuongeza wataalamu .
  • 15. HITIMISHO Kutokana na hali halisi na changamoto zilizopo katika machunga ni dhahili kwamba machunga katika nchi yetu si endelevu . Hivyo juhudi za makusudi zinahitajika ili kunusuru na kuboresha hali ya nyanda za malisho hapa nchini.