SlideShare a Scribd company logo
1 of 17
CRAVE- COMMUNITY RESSILIENCE
AGAINST VIOLENCE EXTRIMISM
MIGOGORO
Ni hali ya kutokua na makubaliano baina ya pande
mbili tofauti.
AMANI
Ni uwepoo wa upendo na kutokuwepo kwa
uhasama,kutokua na machafuko pamoja na usimamizi
wa haki za binadamu.
AMANI ENDELEVU
Ni kitendo cha kusimamia ,kuendeleza na kuhamasisha
haki za binadamu kwa faida ya kizazi kilichopo na kizazi
kijachoo yaani kuwepo kwa haki na usawa ndani ya jamii.
MACHAFUKO
Ni hali ya kukosekana kwa makubaliano au maelewano
baina ya pande mbili na kupelekea kutumia nguvu
ambazo zitasababisha madhara kwa upande mojawapo.
VITA
Ni hali ya kutokuwa na maelewano baina ya pande mbili
na ikahusisha matumizi ya majeshi na silaha nzito kwa
ajili ya maslahi ya kiuchumi,kisiasa au kijamii.
AINA ZA MIGOGORO
Migogoro ya Nafsi
Hii ni migogoro ambayo mtu anakua nayo yeye mwenyew
ndani ya nafsi yake ambayo ikizidi sana hupelekea mtu kuwa
na msongo wa mawazo.
Migogoro baina ya Mtu na Mtu
Hii ni migogoro ambayo hua baina ya mtu mmoja na
mwingine eidha ndani ya familia,jamii husika au kati ya
wapenzi wawili.
Migogoro ya jamii au nchi
Migogoro ya aina hii hua ni mikubwa na jamii ndo huijua
kwa kiasi kikubwa kuliko aina ya kwanza naya pili. Migogoro
hii inahusisha jamii moja na nyingine, kikundi kimoja na
kingine, nchi na nchi na mara nyingi hua na madhara
makubwa sana kwa jamii zitakazo husika ndani ya mgogoro
huo.
CHANZO CHA MGOGORO
Hapa inahitaji uelewa mzuri kuweza kujua chanzo halisi cha mgogoro
sababu kuu huweza kuwa kisiasa,kiuchumi,kijamii,kiteknolojia ambayo hivi
hupelekea sababu zifuatatazo kutokea kwa mgogoro
Kutokua na makubaliano au maridhiano: watu kutokana na sababu
hizo za kisiasa,kiuchumi au kijamii hupelekea watu kutokua na
makubaliano katika jambo husika na kupelekea mgogoro kuzuka.
Kutokuaminiana: Pia sababu hizo huweza kupelekea watu kutokua na
uaminifu ndani ya swala husika na kusababisha mgogoro
Kukosekana kwa haki na usawa: kama sababu hizo za kiuchumi,kisiasa
au kijamii hazitakua katika usawa na haki huenda zikawa chanzo cha
migogoro kwakukosekana kwa haki na usawa
Kukata tamaa: Pia iwapo mambo hayoo yatafikia kiwango ambacho kitapelekea
watu kukata tamaa na kuamua kufanya maamuzi mengine hapo sasa ndo
kunapoweza kutokea kwa mgogoro
Kutokua na uwezo au nguvu: Inapotokea upande mmoja ukajihisi hauna
nguvu katika swala husika hautoweza kukubali kirahisi na kuamua kutumia kila
mbinu ili na wenyewe uonekane una nguvu ili hali kua hauna nguvu yoyote ndipo
kinakua chanzo kikubwa cha mgogoro
Kujikweza: Pia kuna makundi ambayo hupenda kujikweza na kujiona yao ndio
bora zaidi yaw engine na kutaka kuwa juu katika kila jambo hata kama wengine
hawakubaliani nalo hivyo kupelekea kuwa na migogoro
ILI MGOGORO UTOKEE UNAHITAJI YAFUATAYO
Kutokua na Makubaliano au Maridhiano(sababu)
Upande mmoja kuwa na nguvu zaidi ya mwingine
Kupinga wazo la mwingine
Kueneza chuki katika jambo hilo
Kua na uwezo wa kupambana
MUONEKANO WA MIGOGORO
KISAIKOLOJIA; Hapa migogoro hua na muonekano au imepelekewa
kutokea kutokana na mambo ya kisaikolojia mf;(stereotype), ubaguzi,
Vimisemo vinavyozuka kwenye jamii vyenye lengo la kumkandamiza mtu
wa kundi jingine huenda kuwa ni kweli au ni uzushi.
KIBAIOLOJIA; hutokana na saabu za hali ya kimaumbile ya mtu, mf Mtu
kuingilia katika himaya ya mwingine ambayo inamuathiri kaimaumbile
KIJAMII; mfano migogor ya ukabila,baina ya jamii husika
KISIASA; Hii ni migogoro inayo onekana kisiasa zaidi.mfKugombania
madaraka
HATUA ZA MGOGORO
Migogoro hupitia hatua zifuatazo katika kutokea kwake:
1. Utofauti(vimisemo),kutofautisha watu
2. Kutengeneza matabaka ; watu kujigawa kimakundii
3. Kichocheo/Sababu ya Kuanza mapambano/ chanzo
4. Machafuko; mauaji,uharibifu na ukosekenaji wa haki na
usawa
5. Kuhalalisha mabaya kua mazuri
6. Suluhisho la mgogoro
utofauti kichocheo
kuenea
suluhu
kupungua
Mlipoko wa vita kali
INAYO ONEKANA
ISIYO ONEKANA
MUUNDO WA MAISHA/SHERIA TAMADUNI
NJIA ZA UTATUZI WA MIGOGORO
Kua na Maridhiano au makubaliano
Ni njia mojawapo ya kutatua migogoro kwa njia ya kuweka pamoja chini
pande zote mbili katika mgogoro na kuongea nao ili kutafuta tatizo na
kutatua mgogoro kwa njia ya maridhiano au makubaliano baina yao. Hii
ni njia nzuri na rahisi ya kutatua migogoro ambayo inaweza kusaidia
jamii kuondokana na msawala ya machafuko na migogoro
Kutumia Migogoro kama Fursa ya Kimaendeleo
Mbinu hii pia ni nzuri ambayo hutumia chanzo cha migogoro kuzifanya
ziwe chachu za maendeleo katika jamii na kuepusha kutokea kwa
machafuko katika jamii.
Kudhibiti migogoro iliyopo na Kuepuka migogoro mipyaa
Katika njia hii inashauriwa kwa wapenda amani na jamii kwa ujumla
kufundisha juu ya tabia njema na watu waishi vipi ili kulinda amani na
kuepusha kutokea kwa migogoro mengine.
AMANI KWA UJUMLA
 AMANI
Ni uwepoo wa upendo na kutokuwepo kwa
uhasama,kutokua na machafuko pamoja na usimamizi
wa haki za binadamu.
 AMANI ENDELEVU
Ni kitendo cha kusimamia ,kuendeleza na kuhamasisha
haki za binadamu kwa faida ya kizazi kilichopo na
kizazi kijachoo yaani kuwepo kwa haki na usawa
ndani ya jamii.
MBINU ZA KUTUNZA AMANI
KULINDA AMANI ILIYOPO
Ni hali ya wana jamii kutumia mbinu mbalimbali katika maeneo yao ili
kulinda amani iliyopo.kwa kutumia mbinu mbalimbali kama
sanaa,michezo, vikundi vya kiulinzi.nk.
KUHAMASISHA AMANI
Ni kitendo cha watu au vikundi au mashirika kuweza kutumia mbninu
mbalimbali kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa amani
katika maisha ya binadamu na eneo husika.kwa kutumia midahalo na
kampeni mbalimbali ambao lengo lake ni kuhamasisha amani
KUJENGA AMANI
Ni hali ya jamii kuamua kutengeneza amani ikishirikiana na mashirika
makubwa kama Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na mengine ambayo
yanatumika kwa ajili ya kuhamasisha Amani.
HATUA ZA KUHESHIMU IMANI ZETU KATIKA
KUJENGA AMANI
•Kukataa
•Kulinda
•Kuvumila na kukubali
•Kuheshimu
•Kuthamini
Prepared by Peace ambassodors
Albert Andrew
Selina Komba
Dedan Kapogo
Christina Mbaga
Mohhamed Mtumwa
ALIGATOU INTERNATIONAL
GNRC-TANZANIA

More Related Content

Viewers also liked

Codigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasCodigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasValeria Alvarado
 
Class(4).agency
Class(4).agencyClass(4).agency
Class(4).agencybadsharc
 
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your Ranking
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your RankingGoogle Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your Ranking
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your RankingRemy Rey De Barros
 
Codigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasCodigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasValeria Alvarado
 
Class(1).introduction law
Class(1).introduction lawClass(1).introduction law
Class(1).introduction lawbadsharc
 
Introduccion a-las-finanzas
Introduccion a-las-finanzasIntroduccion a-las-finanzas
Introduccion a-las-finanzasJohana Guerrero
 
Alimentación, nutrición y actividad física.
Alimentación, nutrición y actividad física.Alimentación, nutrición y actividad física.
Alimentación, nutrición y actividad física.Sandra Andreu Conde
 
Class(3)consideration
Class(3)considerationClass(3)consideration
Class(3)considerationbadsharc
 
Elek István:Bevezetés a térinformatikába
Elek István:Bevezetés a térinformatikábaElek István:Bevezetés a térinformatikába
Elek István:Bevezetés a térinformatikábatarsadalominformatika
 
Creative Critical Reflection
Creative Critical ReflectionCreative Critical Reflection
Creative Critical Reflectionnehafaisal
 
FINANZAS INTERNACIONALES
FINANZAS INTERNACIONALES FINANZAS INTERNACIONALES
FINANZAS INTERNACIONALES Jorge CP
 
Map projet cycle 4 svt
Map projet  cycle 4 svtMap projet  cycle 4 svt
Map projet cycle 4 svtFloAMX
 

Viewers also liked (17)

Codigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasCodigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazas
 
Class(4).agency
Class(4).agencyClass(4).agency
Class(4).agency
 
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your Ranking
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your RankingGoogle Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your Ranking
Google Update : 3 Steps to get your Website ready and maintain your Ranking
 
IMG5
IMG5IMG5
IMG5
 
Codigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazasCodigo planificacion finazas
Codigo planificacion finazas
 
Class(1).introduction law
Class(1).introduction lawClass(1).introduction law
Class(1).introduction law
 
Introduccion a-las-finanzas
Introduccion a-las-finanzasIntroduccion a-las-finanzas
Introduccion a-las-finanzas
 
Digipak Advert Analysis
Digipak Advert AnalysisDigipak Advert Analysis
Digipak Advert Analysis
 
509 law
509 law509 law
509 law
 
Alimentación, nutrición y actividad física.
Alimentación, nutrición y actividad física.Alimentación, nutrición y actividad física.
Alimentación, nutrición y actividad física.
 
Class(3)consideration
Class(3)considerationClass(3)consideration
Class(3)consideration
 
Elek István:Bevezetés a térinformatikába
Elek István:Bevezetés a térinformatikábaElek István:Bevezetés a térinformatikába
Elek István:Bevezetés a térinformatikába
 
Creative Critical Reflection
Creative Critical ReflectionCreative Critical Reflection
Creative Critical Reflection
 
TBC idea
TBC ideaTBC idea
TBC idea
 
FINANZAS INTERNACIONALES
FINANZAS INTERNACIONALES FINANZAS INTERNACIONALES
FINANZAS INTERNACIONALES
 
Map projet cycle 4 svt
Map projet  cycle 4 svtMap projet  cycle 4 svt
Map projet cycle 4 svt
 
Finanzas
FinanzasFinanzas
Finanzas
 

crave

  • 2. MIGOGORO Ni hali ya kutokua na makubaliano baina ya pande mbili tofauti. AMANI Ni uwepoo wa upendo na kutokuwepo kwa uhasama,kutokua na machafuko pamoja na usimamizi wa haki za binadamu.
  • 3. AMANI ENDELEVU Ni kitendo cha kusimamia ,kuendeleza na kuhamasisha haki za binadamu kwa faida ya kizazi kilichopo na kizazi kijachoo yaani kuwepo kwa haki na usawa ndani ya jamii. MACHAFUKO Ni hali ya kukosekana kwa makubaliano au maelewano baina ya pande mbili na kupelekea kutumia nguvu ambazo zitasababisha madhara kwa upande mojawapo. VITA Ni hali ya kutokuwa na maelewano baina ya pande mbili na ikahusisha matumizi ya majeshi na silaha nzito kwa ajili ya maslahi ya kiuchumi,kisiasa au kijamii.
  • 4. AINA ZA MIGOGORO Migogoro ya Nafsi Hii ni migogoro ambayo mtu anakua nayo yeye mwenyew ndani ya nafsi yake ambayo ikizidi sana hupelekea mtu kuwa na msongo wa mawazo. Migogoro baina ya Mtu na Mtu Hii ni migogoro ambayo hua baina ya mtu mmoja na mwingine eidha ndani ya familia,jamii husika au kati ya wapenzi wawili. Migogoro ya jamii au nchi Migogoro ya aina hii hua ni mikubwa na jamii ndo huijua kwa kiasi kikubwa kuliko aina ya kwanza naya pili. Migogoro hii inahusisha jamii moja na nyingine, kikundi kimoja na kingine, nchi na nchi na mara nyingi hua na madhara makubwa sana kwa jamii zitakazo husika ndani ya mgogoro huo.
  • 5. CHANZO CHA MGOGORO Hapa inahitaji uelewa mzuri kuweza kujua chanzo halisi cha mgogoro sababu kuu huweza kuwa kisiasa,kiuchumi,kijamii,kiteknolojia ambayo hivi hupelekea sababu zifuatatazo kutokea kwa mgogoro Kutokua na makubaliano au maridhiano: watu kutokana na sababu hizo za kisiasa,kiuchumi au kijamii hupelekea watu kutokua na makubaliano katika jambo husika na kupelekea mgogoro kuzuka. Kutokuaminiana: Pia sababu hizo huweza kupelekea watu kutokua na uaminifu ndani ya swala husika na kusababisha mgogoro Kukosekana kwa haki na usawa: kama sababu hizo za kiuchumi,kisiasa au kijamii hazitakua katika usawa na haki huenda zikawa chanzo cha migogoro kwakukosekana kwa haki na usawa
  • 6. Kukata tamaa: Pia iwapo mambo hayoo yatafikia kiwango ambacho kitapelekea watu kukata tamaa na kuamua kufanya maamuzi mengine hapo sasa ndo kunapoweza kutokea kwa mgogoro Kutokua na uwezo au nguvu: Inapotokea upande mmoja ukajihisi hauna nguvu katika swala husika hautoweza kukubali kirahisi na kuamua kutumia kila mbinu ili na wenyewe uonekane una nguvu ili hali kua hauna nguvu yoyote ndipo kinakua chanzo kikubwa cha mgogoro Kujikweza: Pia kuna makundi ambayo hupenda kujikweza na kujiona yao ndio bora zaidi yaw engine na kutaka kuwa juu katika kila jambo hata kama wengine hawakubaliani nalo hivyo kupelekea kuwa na migogoro
  • 7. ILI MGOGORO UTOKEE UNAHITAJI YAFUATAYO Kutokua na Makubaliano au Maridhiano(sababu) Upande mmoja kuwa na nguvu zaidi ya mwingine Kupinga wazo la mwingine Kueneza chuki katika jambo hilo Kua na uwezo wa kupambana
  • 8. MUONEKANO WA MIGOGORO KISAIKOLOJIA; Hapa migogoro hua na muonekano au imepelekewa kutokea kutokana na mambo ya kisaikolojia mf;(stereotype), ubaguzi, Vimisemo vinavyozuka kwenye jamii vyenye lengo la kumkandamiza mtu wa kundi jingine huenda kuwa ni kweli au ni uzushi. KIBAIOLOJIA; hutokana na saabu za hali ya kimaumbile ya mtu, mf Mtu kuingilia katika himaya ya mwingine ambayo inamuathiri kaimaumbile KIJAMII; mfano migogor ya ukabila,baina ya jamii husika KISIASA; Hii ni migogoro inayo onekana kisiasa zaidi.mfKugombania madaraka
  • 9. HATUA ZA MGOGORO Migogoro hupitia hatua zifuatazo katika kutokea kwake: 1. Utofauti(vimisemo),kutofautisha watu 2. Kutengeneza matabaka ; watu kujigawa kimakundii 3. Kichocheo/Sababu ya Kuanza mapambano/ chanzo 4. Machafuko; mauaji,uharibifu na ukosekenaji wa haki na usawa 5. Kuhalalisha mabaya kua mazuri 6. Suluhisho la mgogoro
  • 11. INAYO ONEKANA ISIYO ONEKANA MUUNDO WA MAISHA/SHERIA TAMADUNI
  • 12. NJIA ZA UTATUZI WA MIGOGORO Kua na Maridhiano au makubaliano Ni njia mojawapo ya kutatua migogoro kwa njia ya kuweka pamoja chini pande zote mbili katika mgogoro na kuongea nao ili kutafuta tatizo na kutatua mgogoro kwa njia ya maridhiano au makubaliano baina yao. Hii ni njia nzuri na rahisi ya kutatua migogoro ambayo inaweza kusaidia jamii kuondokana na msawala ya machafuko na migogoro Kutumia Migogoro kama Fursa ya Kimaendeleo Mbinu hii pia ni nzuri ambayo hutumia chanzo cha migogoro kuzifanya ziwe chachu za maendeleo katika jamii na kuepusha kutokea kwa machafuko katika jamii. Kudhibiti migogoro iliyopo na Kuepuka migogoro mipyaa Katika njia hii inashauriwa kwa wapenda amani na jamii kwa ujumla kufundisha juu ya tabia njema na watu waishi vipi ili kulinda amani na kuepusha kutokea kwa migogoro mengine.
  • 13. AMANI KWA UJUMLA  AMANI Ni uwepoo wa upendo na kutokuwepo kwa uhasama,kutokua na machafuko pamoja na usimamizi wa haki za binadamu.  AMANI ENDELEVU Ni kitendo cha kusimamia ,kuendeleza na kuhamasisha haki za binadamu kwa faida ya kizazi kilichopo na kizazi kijachoo yaani kuwepo kwa haki na usawa ndani ya jamii.
  • 14. MBINU ZA KUTUNZA AMANI KULINDA AMANI ILIYOPO Ni hali ya wana jamii kutumia mbinu mbalimbali katika maeneo yao ili kulinda amani iliyopo.kwa kutumia mbinu mbalimbali kama sanaa,michezo, vikundi vya kiulinzi.nk. KUHAMASISHA AMANI Ni kitendo cha watu au vikundi au mashirika kuweza kutumia mbninu mbalimbali kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa amani katika maisha ya binadamu na eneo husika.kwa kutumia midahalo na kampeni mbalimbali ambao lengo lake ni kuhamasisha amani KUJENGA AMANI Ni hali ya jamii kuamua kutengeneza amani ikishirikiana na mashirika makubwa kama Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na mengine ambayo yanatumika kwa ajili ya kuhamasisha Amani.
  • 15. HATUA ZA KUHESHIMU IMANI ZETU KATIKA KUJENGA AMANI •Kukataa •Kulinda •Kuvumila na kukubali •Kuheshimu •Kuthamini
  • 16. Prepared by Peace ambassodors Albert Andrew Selina Komba Dedan Kapogo Christina Mbaga Mohhamed Mtumwa