SlideShare a Scribd company logo
1 of 41
Balozi waDemokrasiaTanzania
KATIBA YETU
www.missdemocrasiatz.com,http://www.ustream.tv/channel/miss-demo-tz
M I S S D E M O K R A S I A T A N Z A N I A
& E N T E R T A I N M E N T C O M P A N Y
L I M I T E D - M I D E T A
P . O B O X 8 0 1 7 D A R E S
S A L A A M , T A N Z A N I A
T e l : + 2 5 5 - 7 6 7 / 7 1 3 - 8 6 9 1 3 3 /
F A X : + 2 5 5 ( 2 2 ) 7 6 7 8 6 9 1 3 3
1 2 / 6 / 2 0 1 2
BALOZI WA DEMOKRASIA
TANZANIA
Missdemokrasiatanzania@yahoo.com
baloziwademokrasiatanzania@yahoo.com
www.missdemokrasia.blogspot.com
www.baloziwademokrasiatanzania.blogspot.com
www
Balozi waDemokrasiaTanzania
SEHEMU YA KWANZA
BALOZI wa Demokrasia nchini Tanzania ni shindano maalumu kwa ajili ya
kuwapata wawakilishi wa Demokrasia kila mwaka, linafanyika katika mikoa yote
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya
Kati na Vyuo Vikuu Katika Michezo na Elimu. Lengo kuu ni kuwajenga Vijana
kujiamini katika masuala mbalimbali ya kiutendaji na ambao wataiwakilisha
Tanzania Kitaifa na Kimataifa.
SEHEMU YA PILI
Utangulizi
Baada ya miaka 50 ya Uhuru, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua
kubwa katika kukuza demokrasia na utawala bora. Kumekuwa na mabadiliko
makubwa katika kutambua -Haki za binadamu, na hasa haki za wanawake. Idadi
ya wanawakewanaoshirikikatika shughuliza serikaliimeongezeka, msingi wa haki
za binadamu pamoja na utamaduni wa kisiasa na kijamii.
Kwa nini Tanzania kumsaka Balozi wa DEMOKRASIA?
"Ambassador of Democracy in Tanzania"
Balozi wa Demokrasia Tanzania ni mkakati mkubwa unaolenga kukuza
demokrasia Tanzania. Lengo ni kuwainua na kuwaimarisha wanawake kisiasa
ambao katika miongo kadhaa wamekuwa wakisahaulika katika nyanja hii. Mpango
huu ni mahususi katika kuchagiza agenda yetu ya kisiasa, katika kuimarisha
demokrasia yetu ikiwa ni pamoja na kuendeleza mshikamano, Uhuru, Amani,
Utamaduni na siasa, katika kuijenga Tanzania iliyo bora.
Balozi wa Demokrasia Tanzania, ni maadhimisho ya demokrasia tuliyonayo hapa
Balozi waDemokrasiaTanzania
nchini, kupitia idadi kubwa ya Wanafunzi Vijana ambao ni wasomi wa Vyuo vya
elimu ya kati na elimu ya vyuo Vikuu Tanzania. Dhumuni la maadhimisho haya ni
kuleta changamoto kwa viongozi wetu kwa njia ya Mitandao, miadhara,
Mikutano, Makongamano, na midahalo mbalimbali.
Demokrasia Kama falsafa ya kisiasa inalenga kuleta maendeleo ya binadamu,
kutambua thamani ya mtu binafsi na kuwaleta watu wote pamoja katika masuala
mbalimbali kama jamii moja ya binadamu kwa njia ya demokrasia, ili isifike wakati
watu wakakata tamaa ya malengo imara waliyojiwekea kutokana na mfumo
wowote wa utawala kisiasa, bila kusaidiwa.
Demokrasia ya kudumu ni zao linalo chagizwa na wananchi wenye uwezo wa
kutambua mipango na matarajio katika mikakati (sera) za nchi yao. Demokrasia
ya kweli lazima ihakikishe uhuru kutoka katika utumwa wa aina yoyote ile,
unyonyaji na ubaguzi (rangi na kijinsia) kwani mambo haya yote hudhoofisha
maendeleo ya wanawake, kwa kuyapa kipaumbele maslai ya watu wachache.
Haki ya kushiriki katika mipango kisiasa ina maana zaidi ya uchaguzi huru na wa
haki, na pia inahusisha ushiriki na taarifa za wanawake ambao mara nyingi
wameachwa katika maamuzi ya sera.
Utulivu wa kisiasa ni hali ambayo inawezesha jamii nzima ikiwa ni pamoja na
wanawake wa taifa husika kufikia malengo yao wenyewe, watu kuwa na maadili
mema na kwa ajili ya wao kuwa na sababu ya kushirikiana na kila mmoja.
Ni katika mawazo na ubunifu huu kwamba "Balozi wa Demokrasia Tanzania"
ndiyo pekee inayokuja kwa taswira ya:-
* Kujenga uelewa mkubwa wa dhana na kutekeleza Demokrasia miongoni mwa
wanawake vijana.
Balozi waDemokrasiaTanzania
* Ili kuongeza ushiriki wa wanawake vijana katika michakato ya kisiasa.
*Kuwapa wanawake vijana sauti katika kuchagiza Tanzania kisiasa (landscape).
* Kuandaa wanawake vijana kwa ajili ya uongozi makini wa baadaye.
*Kuchunguza vipaji, ubunifu wa wanawake vijana.
*Kutoa mazingira mazuri kwa ajili ya kujieleza binafsi na utambuzi wa ndoto zao.
* Zinazozalishwa ujasiri na kujiamini katika wanawake vijana na hamu ya
kukabiliana na changamoto ya maneno ya umma.
*Kuendeleza roho ya urafiki na uzalendo miongoni mwa wanawake vijana.
*Kuendeleza mabadiliko chanya katika hali ya hewa Tanzania kisiasa.
* Kujitokeza Kuhifadhi na kulea Demokrasia yetu.
*Kuimarisha Demokrasia yetu na kujenga utulivu wa kisiasa.
Malkia wa DemokrasiaTanzania watakuchukua njeya baadhi ya miradi ambayo ni
pamoja na:
* Safarinchini kote, na kufanya mechiya umma na kufanya mahojiano na vyombo
vya habari
* Kufanya ziara za utetezi wa Viongozi wa jamii na Bunge katika ngazi zote za
Serikali.
* Kushirikiana na Wakala za Serikali, Taasisi na Mashirika ya Ushirika wa Umma,
Benki, Makanisa, Misikiti, Balozi, NGOs, CBOs, Vombo vya habari nk kutekeleza
baadhi ya miradi ya maendeleo ya jamii na matendo ya upendo.
Balozi waDemokrasiaTanzania
* Ziara za kutembelea Watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yatima na
Wajane.
* Kuandaa warsha za uwezeshaji kwa wanawake na vijana
* Kuandaa mipango ya kuyawezesha makundi chini (priviledged) na wanyonge
katika jamii
* Kufanya mipango ya kutetea kuhusika zaidi wanawake katika utawala.
SEHEMU YA TATU
DEMOKRASIA NI
Utawala wowote wa Demokrasia ni ule unaotokana na ridhaa ya wananchi,
ambao kutokana na utaratibu waliojiwekea hufanya maamuzi ya kuwapata
viongozi wao. Raia kila mmoja kwa nafasi yake anayo haki ya kushiriki kutoa
maoni ya kuwapata wawakilishi, kwa mantiki hiyo wananchi ndio waajiri wa
viongozi walioko madarakani.
Kama ilivyo ada wananchi ndio hufanya maamuzi ya kuwapata viongozi wao wa
dola ambao huwajibika kwa raia na raia wanathibitisha imani kwa viongozi hao
wakati wa uchaguzi.
Kama ilivyo kauli mbiu kuwa binadamu wote ni sawa na kila mtanzania anayo haki
kuishi mkoa wowote Tanzania isipokuwa asivunje sheria na taratibu za nchi,
kuchagua ama kuchaguliwa ni tendo linalotarajiwa kwa kila mtanzania, ili mradi tu
awe ametimiza matakwa yanayohitajika, hivyo kila mmoja ana haki sawa kushiriki
katika kufanya maamuzi, na kusimamia ustawi wa watu wote kwa manufaa ya
watu Katika kuzingatia Demokrasia kila wanachokifanya na si kile
wanachofanyiwa katika kukuza uhuru, usawa na haki kwa wote katika kusimamia
Balozi waDemokrasiaTanzania
ukuzaji wa ushiriki wa moja kwa moja katika kuwakilisha jamii ikijidhihirisha kwa
njia ya kushiriki katika chaguzi.
Demokrasia ina thamani kubwa katika kuendeleza Elimu, kulinda na kuthamini
Afya na Katiba, Sheria za nchi na Mazingira, Jamii katika kukuza uchumi,
kuendeleza Burudani Utamaduni na Michezo, mtawala na mtawaliwa, pamoja na
maeneo ambayo ni muhimu katika kuleta maendeleo kwa jamii.
B: LENGO LA MASHINDANO
Lengo la mashindano ni kuibua vipajikwa vijana, kuwapa uzoefu katika uongozina
utawala, kujenga misingi ya Utawala Bora, kurekebisha mmomonyoko wa Maadili
yasiyofaa, kutangaza Tanzania Kitaifa na Kimataifa, kuondoa ubaguzi wa aina
yoyote, kuhamasisha jamii katika kutunza mazingira ya haki za mwanadamu,
kuelimisha jamii katika mavazi, kuwapa mafunzo vijana juu ya elimu ya kutambua
misingi ya Demokrasia na Historia ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na Kutoa
changamoto kwa Viongozi, Msukumo wa Uwajibikaji katika kuleta Maendeleo.
Shindano litasaidia kukuza na kupata Vijana wa Taifa makini na watawala wa taifa
la kesho wakiwa na vipaji mbalimbali kulingana na mahitaji ya Nchi Tawala na
Tawaliwa, kulinda na kusimamia Demokrasia kwa misingi yake yote, kusaidia
kukuza tasnia ya Elimu ya Kisasa ya Teknolojia endelevu.
Kutoa mwamko kwa Makampuni kusaidia na kutunza vijana ikiwa ni pamoja na
kujenga moyo wa ushirikiano na mshikamano kwa uzalendo na upendo, amani,
umoja wa taifa na mataifa nchi na wananchi wa nchi na nchi.
Kuwaandaa vijana kuwa viongozi kitaifa na kimataifa ambao watakuwa na
majukumu ya kuhamasisha maelewano, ushirika na umoja miongoni mwa nchi na
mabara yote ulimwenguni kwa kutangaza Uhuru wa mtu kwa jamii pamoja na
Balozi waDemokrasiaTanzania
kutembelea vijiji katika kuratibu na kufuatilia masuala ya uzingatiaji haki za
binadamu, misingi ya utawala bora, kutoa elimu ya Uraia, kuhamasisha katika
kupata viongozi watakaochaguliwa kwa haki bila kutumia Rushwa, kusaidia
kueneza elimu ya haki za binadamu kwa jamii.
Kumbuka kuwa -Balozi wa Demokrasia Tanzania- ni Ubunifu ambao utasaidia
kuongeza kiwango cha ushiriki wa raia katika chaguzi na kuongeza hamasa na
idadi ya wapiga kura, kwa kuwa Demokrasia huanzia majumbani.
Mashindano yanalenga kudumisha haki, Usawa, Umoja, Upendo, Uhuru, Uzalendo
na Amani, kwa jamii na watu wote kupanua uelewa juu ya Demokrasia na
kupanua mtandao wa Elimu ya demokrasia kupitia washiriki na mashindano
haya,“ Taifa lisilo na Demokrasia ni Taifa Mfu”
Shindano hili la Balozi wa Demokrasia Tanzania, Fainali na matukio yake ni
sehemu ya mafunzo na maboresho katika maisha ya mwanadamu ikiwa ni nyenzo
na mahitaji kidunia katika kutambua haki, Usawa, Umoja na kutangaza sera na
Misingi ya Utawala bora, uhuru, wakati wa kujiburudisha, katika kutembea na
wakati wa kusafiri katika kubadilishana mawazo bila kujali rangi, taifa, nguvu za
kiuchumi pamoja na Imani ya Kidini jukwaani na hata nje ya jukwaa.
Mikoa yote na Kanda zote za Tanzania zikiwemo kanda Maalum za Vyuo Vikuu vya
Tanzania Kanda hizo ni kanda ya Kaskazini (Tanga, Arusha, Kilimanjaro na
Manyara) kanda ya ziwa (Bukoba, Mwanza, Mara, Simiyu, Shinyanga), Kanda ya
Magharibi (Tabora, Kigoma, Katavi na Rukwa) Kanda ya kati (Dodoma na Singida)
kanda ya mashariki(Pwani, Dar es Salaam na Morogoro) Kanda ya kusini (Mtwara
na Lindi) na kanda ya nyanda za juu kusini (Iringa, Njomba, Songea na Mbeya) na
kanda ya Zanzibar (Unguja na Pemba) itafanya fainali za Taifa za Kupata Balozi
mwakilishi wa Demokrasia katika kuwania taji kubwa Zaidi la Demokrasia
Balozi waDemokrasiaTanzania
Tanzania kila Mwaka.
Shindano hili ndilo pekee linaweza kuwaweka karibu Wanasiasa na wananchi,
wakionyeshwa kwa Mifano mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutambua
Utawala Bora, Kampeni bila Rushwa, Misingiya Uongozi, Chaguziza Kidemokrasia,
Elimu ya Uraia, Uchaguzina Kura, Umuhimu wa Chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo
wa Chaguzi Tanzania, taarifa za msingi juu ya taasisi zinazosimamia chaguzi,
mchakato wa Uchaguzi, Umuhimu wa Ushiriki wa watu katika Demokrasia,
Ushirikiwa Wote ndani ya Demokrasia, Uongozina Uraia, Vikwazo vya Chaguzi za
Kidemokrasia, Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za Utawala, Njia za
Kuimarisha Utawala bora, Misingi ya Katiba, Haki za Raia na Utawala bora, maana
ya haki na kazi za katiba,Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa Sheria, Haki na
wajibu wa Raia.
MFUMO WA SHINDANO
Shindano hili ni tofauti na Mashindano Mengine.
Fainali kubwa za mashindano haya zitafanyika kila baada ya miaka mitano ikiwa ni
baada ya kukusanya taarifa mbalimbali za maoni baada ya kumalizika mchakato
mzima wa uchaguzi ambapo washiriki baada ya kufanya ziara ya kutembelea
wananchi watawasilisha tathmini ya makusanyo ya Maoni ya wananchi kwa njia
ya maswali, kujibu mada, kuhusiana na mchakato mzima kutoka kwenye Majimbo
yao.
Kabla ya Fainali hiyo kuu ya taifa, kwa kipindi chote mashindano haya yatafanyika
kuanzia kwenye majimbo yote ya Uchaguzi Tanzania kwa lengo la kupata
wawakilishiwatakaoshirikikuwania Tuzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Balozi wa
Demokrasia Tanzania, Miss Demokrasia Tanzania, Mr. Demokrasia Tanzania
Balozi waDemokrasiaTanzania
kwa lengo la kuwapata Wawakilishi wa Demokrasia Tanzania, kwa pamoja
itatajwa kwa majina ya Majimbo, Wilaya, Mikoa na Tanzania- Balozi wa
Demokrasia(Ambassador of Democracy)ambapo itashirikisha wasanii mbalimbali
katika kupamba onyesho mahala husika.
Shindano litashirikisha Wasichana na Wavulana kulingana na idadi waandaaji
watakayopendekeza- chini ya Kampuni ya Miss Demokrasia Tanzania &
Entertainment Co LTD, huku washiriki wakiwa ni :-
(a)- Vijana wenye upeo wa kuelewa na kuelewesha jamii kuhusu masuala
yatokanayo na Demokrasia, hususaniwasomiwa vyuo vikuu ngaziza mikoa katika
kupata wawakilishi bora wa Kitaifa, bila kuendana na itikadi za Chama, Dini,
Kabila, Rangi na jimbo analotoka, hivyo washiriki watashindana katika kutembea,
Debate -kujibu maswali yatakayoulizwa na majaji na Mavazi stahiki katika
Demokrasia.
(b)- Washiriki lazima wawe wamehitimu elimu ya Sekondari hivyo kuwa katika
Chuo au Kuhitimu Elimu ya Chuo na wananchi wa kawaida watashiriki katika
kuibua vipaji kuanzia ngazi za vijiji, Majimbo na Wilaya ambapo kupitia
Mawakala watachujwa kupata wawakilishi wenye uwezo wa kujieleza mbele ya
jamii na kuwa na ushawishi kwa majaji ambapo wataungana na wenzao wa
vyuo vikuu.
(c)-Mchujo wa kuelekea Fainal kuu za Taifa zitajumuisha washindi wa Vyuo Vikuu
ndani ya nchi na Washindiambao ni Watanzania Vyuo Vikuu kutoka nje ya Mipaka
ya nchi, Mikoa na Wilaya ya Tanzania Bara na Zanzibar.
d)-Fainali kuu ya kupata Balozi wa Demokrasia Tanzania, washindi watachaguliwa
na wananchi kwa njia ya maoni kupitia vyombo vya habari, kwa kushirikiana na
BASATA, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mwenyekiti wa Vyuo Vikuu Tanzania, Majaji,
Balozi waDemokrasiaTanzania
na kamati kuu ya Miss Demokrasia Tanzania ambao ndio waandaaji wa
Mashindano, Kabla ama baada ya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani
kutegemeana na waandaaji watakavyopendekeza.
E)-Pia kutafanyika Mashindano ya Vyuo kwa Vyuo, Hii itahusisha Viongozi wa
Serikali za Wanafunzi katika Debate ambayo kila kiongozi atajielezea kulingana na
Ufahamu wake kuhusu Uongozi na Mambo mbali mbali yanayohusiana na
Demokrasia, Utawala, ili kupata Chuo Bora ambacho kitawasilisha mada nzuri
kwa jamii, ambayo itawasilishwa Bungeni kwa ajili ya kujengewa hoja na
kujadiliwa na Wabunge na kuweza kutumiwa na Serikali.
F)-Ili kupata wawakilishi wa Chuo inapendekezwa kila Chuo kifanye mashindano
yakeChuoni na kuchuja kisha kuleta wawakilishiwatakaoitajika kulingana na idadi
itakayotajwa isipokuwa siku ya Mwisho ya Mchujo Chuo au Mwandaaji wa Chuo
anapaswa kuwashirikisha waandaaji wa Taifa kwa lengo la kusaidia kupata
wawakilishi bora na wenye Vigezo vinavyokubalika.
MAJUKUMU YA WASHINDI WA TAIFA
Mshindi wa kwanza atapata fursa ya kufanya kazi na Utawala kama Mjumbe wa
sauti ya Demokrasia jukwaa la vijana na Balozi wa Demokrasia Tanzania kwa
kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa pili atapata fursa ya kuwa mwakilishi wa Balozi wa Demokrasia
Tanzanioa (Bunge) kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa tatu atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Demokrasia (Tume
ya Taifa ya uchaguzi) kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa nne atapata fursa ya kuwa mwakilishi wa Elimu ya Juu (Vyuo Vikuu
Tanzania) na Balozi wa Elimu kwa kipindi cha miaka mitano.
Balozi waDemokrasiaTanzania
Mshindi wa Tano atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Tume ya Haki za
Binadamu kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa Sita atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Taasisi ya Kuzuia na
kuapambana na Rushwa (TAKUKURU) katika kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa Saba atapata fursa ya kuwa mwakilishiBalozi wa Wizara ya Mambo ya
Ndani kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa nane atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Wizara ya Habari
Utamaduni na Michezo (Mawasiliano) kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshindi wa Tisa atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Upinzani Bara, na
Visiwani kwa kipindi cha miaka mitano katika kuleta changamoto jukwaa la vijana
kujifunza.
Mshindi wa Kumi atapata fursa ya kufanya kazi na waandaaji wa Fainal kuu za
Taifa za Balozi wa Demokrasia Tanzania katika Kampuni ya Miss Demokrasia
Tanzania & Entertainment C.o LTD, kwa miaka mitano.
C: KALENDA YA MASHINDANO:
Kalenda ya mashindano itaendana na mabadiliko ya mfumo wa Chaguzi na
Utawala, isipokuwa kila mwaka utaratibu wa kuwapata wawakilishiutaanza katika
Majimbo yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi chote kuelekea
miaka mitano ya Uchaguzi Mkuu kwa lengo la kutoa Elimu ya Mpiga Kura na Uraia
kwa wananchi, na tarehe za mashindano itategemeana na mabadiliko kidunia,
isipokuwa itatangazwa miezi mitatu kabla ya tarehe husika ikiambatana na
matukio muhimu ya Kihistoria Kitaifa na Kimataifa.
Balozi waDemokrasiaTanzania
SEHEMU 4:
TARATIBU ZA MASHINDANO.
A: WASHIRIKI
Balozi wa Demokrasia Tanzania ni shindano jipya lililoanza kufana katika nchi
mbalimbali zikiwemo CANADA, na NIGERIA.
linalowahusu zaidi Vijana, wenye tabia, maadili na mwenendo mwema, Wakiwa
raia halali wa taifa, kwa mujibu wa sheria za kitaifa na kimataifa, washiriki wa
fainali za Taifa ni wenye uraia wa Taifa na washiriki wa Fainali za Dunia ni
washindi wa fainali za Taifa husika.
B: SIFA ZA WASHIRIKI:
1.1-Umri wa washiriki
Kulingana na sheria za mataifa mbalimbali ulimwenguni kutofautiana, umri wa
washiriki utategemeana na sheria za mataifa husika, hata hivyo umri wa chini
unaopendekezwa ni miaka (18) na umri wa juu ni miaka thelathini (30).
1.2-Wasifu wa washiriki
Washirikiwa mashindano ni wanafunziwa Vyuo Vikuu Tanzania na Wanafunzi wa
Vyuo Vikuu wanaosoma Nje ya Tanzania. Ambao awajawahi kuolewa, kuoa, wala
si wajawazito.
Washiriki wa mashindano haya watatumia lugha wanayoweza kuzungumza kwa
ufasaha zaidi ni vyema pia wakajua kuzungumza japo lugha nyingine moja ya
kimataifa zaidi ya lugha yao, isipokuwa wanashauriwa kutumia lugha ya Kiswahili
Balozi waDemokrasiaTanzania
kwa lengo la kueleweka na Watanzania walio wengi pia ikiwa ni njia ya kuenzi
lugha yetu ya Taifa, isipokuwa wakati wa kushiriki mashindano ya Kimataifa lugha
ya kigeni itakuwa wajibu ili kuweza kueleweka na wengi.
C: MAVAZI YA WASHIRIKI:
Mavazi ya heshima yasiyo mzalilisha mvaaji, jamii wala mtazamaji wakati wote
yawe ya heshima yenye kuzingatia Demokrasia kidunia na Taifa wenyeji wa
Mashindano.
Washirikiwawapo kambiniwanatakiwa kuja na mavazi yakutosha kwa muda wote
watakao kuwa kambini kwa matumizi mbalimbali kama Mazoezi, michezo,
kuogelea, kukimbia, kushindia, kutokea, kuendea katika maeneo ya burudani na
dhifa za kitaifa na kimataifa.
-Mavazi yote ya mashindano haya ni lazima yawe ni kielelezo cha Utukufu katika
jamii ikiwa ni pamoja na vazi la Uongozi, Ofisini, Utawala pamoja na vazi la
Nyumbani.
1. Vazi la Ofisini.
Mavazihaya yatakuwa maridadi, nadhifu, kulingana na Mhusika kuwakilisha Idara
yake.
2. Vazi la Nyumbani.
Mavazihaya yatakuwa nimfano wa kuigwa vijana kwa lengo la kujenga taifa lenye
maadili yanayostaili na kupendeza machoni pa watu, huku likiwa halimzalilishi
mvaaji na mtazamaji.
3. Vazi la Uongozi / Utawala
Balozi waDemokrasiaTanzania
Mavazi haya yatakuwa ni kielelezo na yanayostahiki kutumiwa na wakuu
mbalimbali wa Idara ama Mamlaka kuu tawala za Serikali na za falme, yakiwa ni
mavazi nadhifu, Maridadi, yenye muonekano wa heshima kwa mvaaji.
D: SHINDANO LA VIPAJI:
Kwa lengo la kuvumbua vipaji zaidi vya Uongozi, Kila mshiriki wa mashindano
haya atashiriki katika shindano la awali la vipaji, hapa kila mshiriki atabuni Sera na
Hotuba kulingana na hali halisi katika kipaji husika atakachoonyesha, nivyema kila
mshiriki akaonyesha kipaji cha zaidi ikiwa kama mafundisho kwa jamii husika.
E: KAMBI NA MAZOEZI:
Waandaaji walioteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi wa Shindano hili katika kila
Jimbo, Mkoa, Kanda, Mkoa na nchi watasimamia kambi na mazoezi ya
mashindano ya Balozi wa Demokrasia katika maeneo yao, kwa ushirikiano wa
karibu na waandaaji wa Taifa wa mashindano. Katika ngazi ya fainali za Dunia,
Bodi ya Wakurugenzi ya (BDD) waandaaji wa dunia, watasimamia kambi na
mazoezi kwa muda wote wa mashindano.
Wakati wa kambi au mazoezini washiriki watafundishwa jinsi ya kutembea
jukwaani, mbinu na namna ya kujieleza, kujiheshimu, kujithamini na kujitambua,
uzalendo, masuala ya kijamii, namna ya kujikinga na Magonjwa, Mazingira,
uchumi, michezo, Utawala na Uongozi, Demokrasia na upigwaji wa picha.
Washiriki watafundishwa pia kujitambua, nafasi yao na majukumu yao katika
jamii. Maana na malengo ya mashindano, na historia yake. Historia na jografia ya
Dunia. Washiriki wote katika mashindano ya Balozi wa Demokrasia Tanzania,
Afrika, na Dunia Wanapaswa kutii masharti yote kinyume cha hivyo
watachukuliwa hatua kali za kinidhamu, kisheria, zikiwemo kufukuzwa kambini na
Balozi waDemokrasiaTanzania
mashindanoni.
F: MASHARTI YA KAMBI- Washiriki wote watatakiwa kulala katika sehemu
walizopangiwa kwa wakati na utaratibu uliopangwa na waandaaji, Washiriki wote
watakuwa chini ya uangalizi wa wasimamizi watakaoteuliwa na waandaaji wa
mashindano.
Katika kipindi chote washiriki hawataruhusiwa kuzungumza na watu wasio
wahusu au kuondoka katika kambi bila ya ruhusa kutoka kwa waandaaji, Washiriki
wote watatakiwa kuwa vyumbanimwao mara wasimamizi watakapoamuru, Tabia
nzuri, ucheshi, ushirikiano, bidii katika kipindi chote cha mazoezi vitasiaidia
kujenga ushindi.
Si ruhusa kuzungumza na waandishi wa habari bila ya idhini ya waandaaji.
Waandaaji hawatahusika na uharibifu au uvunjwaji wowote wa sheria za nchi za
mshiriki ikiwemo wizi, kuharibu mali ya hoteli au mtu yeyote sehemu yeyote,
Upotevu wa mali za washindani washiriki (vitu vya thamani kama pesa, dhahabu
n.k vinaweza kuhifadhiwa kwa mtunza hazina wa hoteli).
Gharama za simu, bia na sigara, zitalipwa na mshiriki iwapo mshiriki atashindwa
kulipia gharama za matumizi hayo waandaaji watakuwa na haki ya kuzuia zawadi
au kukata pesa zake kufidia gharama hizo.
(viii) Washiriki wote wanapaswa kuzingatia na kutambua kuwa:
Washiriki wote watahudumiwa sawa sawa bila ubaguzi.
Chakula kitatolewa kwa wakatiuliopangwa tu, Washirikiwote watavishwa Mavazi
na wataalamu watakaochanguliwa na waandaaji tu, Mshiriki anayo haki ya
kuelezea namna atakavyotaka kuvaa / (Smart), Kila mshiriki atalazimika kuwa na
nidhamu ya hali ya juu.
Balozi waDemokrasiaTanzania
(b)Ngazi ya Taifa;
kambi wakati wa maandalizi itakuwa si chini ya siku 15 na si zaidi ya siku 100
katika hoteli ya nyota tatu, baada ya Siku kumi za mwanzo za kambi washiriki
wakiambatana na waandishiwa habari wata tembelea Vyuo Vikuu, Bunge, Wizara
na Idara za Serikali, Tume ya Taifa, Balozi na IKULU kwa Lengo la kujifunza
masuala yanayohusiana na Vitengo Vya Demokrasia katika kujifunza masuala ya
Utawala, Uongozi pamoja na maeneo mbali mbali ya kihistoria,
(c)Wakufunzi wa Washiriki:
-Vyuo Vikuu mbalimbali chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Political science
Departiment) watatoa mafunzo Kwa washiriki, na Wakufunzi wa ngazi za mikoa
na kanda watapangwa au kuthibitishwa na Bodi ya wakurugenzi wa Balozi wa
Demokrasia TANZANIA (Taifa).
-Wasomi na wadau wa POLITICAL SCIENCE DEPARTIMENT ngazi zote, -Mkufunzi
mkuu wa ngazi za mashindano, atafundisha washiriki wa fainal za taifa
akishirikiana na Bodi ya wakufunziwatakaoteuliwa na kamati ya Miss Demokrasia
Tanzania & Entertainment co ltd, wakiwemo wakufunzi wa kimataifa na Balozi wa
miaka ya nyuma wa mashindano haya.
-Aidha wakati wa kambi, mafunzo na semina juu ya upigaji vita Rushwa ,kujikinga
na Ukimwi, Elimu ya Uraia, Elimu ya Mpiga kura, Uchaguzi na Elimu juu ya
Demokrasia itatolewa na wadau wa mamlaka husika kwa kushirikiana na
waandaaji.
Washindi wa Balozi wa Demokrasia Tanzania wa sehemu husika kila mwaka
watakuwa ni miongoni mwa waangalizi wa washiriki, na wanawajibika kukabidhi
mataji kwa washindi wapya siku ya Fainali.
Balozi waDemokrasiaTanzania
SEHEMU YA 5
MAJAJI WA MASHINDANO
A: Utaratibu wa Uteuzi wa Majaji:
1. Kutakuwa na majaji katika kila ngazi ya mashindano haya.
2.majaji wote watateuliwa na mamlaka za sanaa za Serikali katika kila
ngazi,(Utamaduni na BASATA).
Waandaaji wa ngazi husika watapeleka Mapendekezo ya majina ya watu wenye
sifa za kuwa majaji kwa mujibu wa kanuni na taratibu za mashindano haya kwa
maafisa utamaduni kwa ngazi za majimbo, Wilaya, Mikoa, na Kanda na BASATA
kwa ngazi ya Taifa na Kimataifa, nao watateua majaji.
(a)- Katika kulinda haki za ushindi kwa waandaaji wa ngazi husika na kukwepa
lawama za matendo ya kupendelea washindi na kwa kuzingatia taratibu za
kimataifa za mashindano haya na mengineyo duniani, kwa upande wa Majimbo,
Wilaya, mwandaaji wa kila eneo husika ndiyo atakuwa mwenyekiti wa jopo la
majaji na atatangaza jina la Balozi wa eneo husika.
Majaji hawaruhusiwi kufanya mawasiliano ya namna yoyote baina yao na
washiriki wakati wakiwa katika zoezi zima la kumpata mshindi.
B: Idadi ya majaji:
Katika kila ngazi idadi ya majaji itakuwa ni namba tasa yani isiyo gawanyika kwa
mbili, ili kuondoa kufungana au kupanga matokeo na mvutano miongoni mwa
majaji.
Katika ngazi ya Majimbo na Wilaya, idadi ya majaji itakuwa si chini na si zaidi ya
Balozi waDemokrasiaTanzania
watano (5), wa nne wa kuteuliwa na wa tano mwaandaaji.
Mwandaaji atapendekeza kwa Afisa Utamaduni si chini ya majina 7 na si zaidi ya
tisa kwa ajili ya uteuzi.
Katika ngazi ya mkoa na kanda idadi ya majaji itakuwa si chini na zaidi ya saba (7),
waandaajiwatapendekeza BASATA si chini ya majina 9 na si zaidi ya 11 kwaajili ya
uteuzi.
Katika ngazi ya Taifa idadi ya majaji itakuwa si zaidi ya tisa (9).waandaaji
watapendekeza si chini ya majina kumi na tano na si zaidi ya kumi na tisa kwa
uteuzi majina mawili yatatoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi akiwemo mwenyekiti
wa jopo la majaji ambaye ni mkufunzi mkuu(Chief Corographer) wa Taifa.
C: Semina Elekezi za Majaji wa Mashindano:
Waandaaji wa kila ngazi wataandaa na kugharamia semina za majaji wa
mashindano ya ngazi husika kwa kushirikiana na mamlaka zausimamizi wa sanaa,
katika ngazi ya Taifa waandaaji watashirikiana na kushirikisha Baraza la Sanaa la
Taifa (BASATA) na kurugenzi ya Sanaa na Utamaduni. Mada kuu ya semina hizo
itakuwa ni kuwaelimisha majaji husika juu ya sheria, taratibu na kanuni za
mashindano haya na pale itapowezekana wadau kutoka mamlaka ya Demokrasia
na Rushwa watahusishwa katika utoaji wa mada.
D: Sifa za majaji wa mashindano:
Majaji wa mashindano haya ndiyo hubeba jukumu la kumteua mshindi kwa niaba
ya umma na jamii kwa ujumla.
Kutokuwa watenda au wapenda haki kutaathiri uthamani wa shindano katika
jamii na miongoni mwa washiriki, mashindano haya na hata heshima ya majaji
Balozi waDemokrasiaTanzania
wenyewe. Hivyo suala zima la kuwa na majaji wenye hulka na tabia ya kupenda
kutenda haki ni la muhimu sana. Hivyo suala la kuwa na majaji wenye hekima,
busara na wenye kuchukia hongo ya namna yoyote halikwepeki.
• Jaji awe ni mwanamichezo au mwana sanaa, Anaweza pia kuwa
mfanyabiashara au taaluma yoyote ya kuheshimika katika jamii.
• Jaji awe ni mwenye uwezo wa kuelewa na kugundua tabia na vipaji.
• Jaji awe na ufahamu na uwezo wa kupokea na kuvielewa vigezo
vitumikavyo kupata washindi
• Jaji asiwe na tabia ya upendeleo na mpokeaji au mtoaji hongo.
SEHEMU YA 6
WASHINDI WA MASHINDANO.
A: Sifa za Mshindi:
Kila mshiriki wa mashindano haya aliye fika ngazi ya fainali za Mikoa anasifa na
vigezo vya kushinda Taji la Fainali kuu ya Taifa ya Balozi wa Demokrasia, Majaji
wakatiwote wanatakiwa kuangalia kasoro za kila mshiriki ili kumwondoanafasiya
kushinda, yule mwenye kasoro chache ndiye atakaye ibuka mshindi, majaji
wanatakiwa kutafuta sifa za ziada za mshiriki ukilinganisha na wengine, ili kuona
au kujua anawazidi nini wenza hata awe mshindi, majaji wakumbuke kuwa
washindi watawakilisha taifa katika mashindano ya dunia na mengineyo ya
kimataifa, Tabia, hulka na mwenendo wa kila mshiriki ni moja ya mambo ya
kuzingatia katika kumpata mshindi.
B: MAJAJI WATAZINGATIA VIGEZO NA SIFA ZIFUATAZO: -
Balozi waDemokrasiaTanzania
(a) Mvuto wa umbile na ushupavu unaokubalika wa mshiriki.
(b) Umbo zuri la mshiriki si unene wala si wembamba, bali ni uwiano unao
kubalika wa umbo na kimo cha mshiriki.
(c) Tabasamu zuri, uchangamfu na ushirikiano mzuri wa mshiriki
Miondoko na muonekano wa hesima wa mshiriki.
Ufahamu wa mshiriki uwezo wa kujieleza na kuelewesha.
(g) Kipaji cha kujiendeleza kitaaluma na matarajio yenye kutia
Matumaini ya mshiriki, Kipaji cha juu cha mshiriki ili akishinda taji katika ngazi
husika aweze kuwa Balozi bora kabisa wa Wilaya, Mkoa, Taifa na Dunia akiwa
mwenye Elimu na Maarifa ya kiwango cha juu kabisa duniani, ukazingatiwa na
majaji katika ngazi zote.
Nidhamu ya hali ya juu binafsi katika jamii na mwenendo wa kukubalika,
kuheshimika, kwa Umma.
C: Washindi wa Taifa:
Washindi wa Taifa wa kila mwaka wa Balozi wa Demokrasia:
• Watawakilisha nchi katika mashindano mbalimbali ya Afika Mashariki,
Afrika Magharibi, Arika Kusini na DUNIA.
• Watapeperusha Bendera ya TANZANIA, yenye ujumbe wa Demokrasia
Kitaifa na Kimataifa.
Washindi watapangwa katika majukumu kulingana na vigezo vya uwakilishi ikiwa
ni kushindana au kushiriki kutokana na mahitaji na waandaaji husika.
Balozi waDemokrasiaTanzania
Na endapo itatokea kwa namna moja ama nyingine, msichana ama mvulana
atakayekuwa anashikilia taji kubainika kujihusisha na masuala yatakayokuwa ni
kinyume na taratibu za mashindano ikiwa ni pamoja na kufanya vitendo
visivyokuwa na maadili, vitampelekea kupoteza sifa ya kuendelea kutumikia taji,
hivyo kuvuliwa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa zawadi ambazo
Waandaajiwa taifa watakabidhikwa mshindi wa pili kulingana na sifa za mshindi.
c) Idadi ya wawakilishi wa nchi itaongezeka kila itakapowezekana
kutegemeana na Idadi ya Eneo na viwango vya wawakilishi, malengo ya awali ni
kupeleka wawakilishi 1-6 na wa tuzo za vipaji, kwa kuanzia washindi wa 1-4 na
mshindi wa tuzo za vipaji kila mwaka anakuwa ni miongoni mwa wawakilishi wa
taifa na kimataifa.
E: Washindi wa Mikoa, Wilaya na Majimbo:
Washindi wa kwanza wa kila mkoa watawakilisha mkoa katika Fainali za Taifa,
hata hivyo waandaaji wa taifa wanaweza kuongeza Idadi ya wawakilishi wa
mkoa katika fainali za Taifa kama watakavyoona inafaa kutokana na mahitaji ya
Idadi ya washiriki kwa lengo maalum likiwemo la kupanua Elimu ya Demokrasia,
katika mkoa husika. Kila wilaya itawakilishwa na washindi1- 5 na mshindi wa tuzo
za vipaji katika fainali za mkoa na kwa Idadi hiyo hiyo kwa wawakilishi wa
majimbo katika fainali za wilaya.
Washindi wa Mikoa, wilaya na majimbo ya mashindano haya watajulikana kwa
mpangilio ufuatao: - Jina la Shindano, Jina la Mkoa, Wilaya/Jimbo (Mfano; Balozi
wa Demokrasia Tanzania- Ukerewe 2010).
c) Mikoa ambayo itawakilishwa katika fainali za Taifa za kila mwaka ni yote ya
Tanzania bara, Zanzibar na Vyuo vikuu itawakilishwa kama mkoa hivyo kuwa na
Balozi waDemokrasiaTanzania
jumla ya mikoa ya mashindano 26, Wilaya zote na Majimbo ya ubunge ili kila
mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge awe na balozi wake wa Demokrasia. Idadi ya
mikoa, wilaya na majimbo itabadilika kulingana na Idadiitakayowekwa kisheria na
serikali.
Kuanzia ngazi ya mikoa majina ya Tuzo hizo itatajwa kwa jinsi ya majina ya Lugha
ya Kigeni (Kiingereza) kwa Kuwa Kati ya Wageni Waalikwa wengi watakuwa ni
pamoja na Mabalozi wawakilishi wa Balozi mbalimbali Duniani.
-Kwa sasa mikoa hiyo ni:
Ambassador of Democracy Tanzania -Arusha
Ambassador of Democracy Tanzania -Dar es Salaam
Ambassador of Democracy Tanzania -Dodoma
Ambassador of Democracy Tanzania -Iringa
Ambassador of Democracy Tanzania -Kigoma
Ambassador of Democracy Tanzania -Kilimanjaro
Ambassador of Democracy Tanzania -Kagera
Ambassador of Democracy Tanzania -Lindi
Ambassador of Democracy Tanzania - Mara
Ambassador of Democracy Tanzania - Morogoro
Ambassador of Democracy Tanzania -Mbeya
Ambassador of Democracy Tanzania -Mwanza
Balozi waDemokrasiaTanzania
Ambassador of Democracy Tanzania -Mtwara
Ambassador of Democracy Tanzania -Manyara
Ambassador of Democracy Tanzania - Pwani
Ambassador of Democracy Tanzania -Ruvuma
Ambassador of Democracy Tanzania -Rukwa
Ambassador of Democracy Tanzania -Singida
Ambassador of Democracy Tanzania -Shinyanga
Ambassador of Democracy Tanzania -Tabora
Ambassador of Democracy Tanzania -Tanga
Ambassador of Democracy Tanzania - Simiyu
Ambassador of Democracy Tanzania -Njombe
Ambassador of Democracy Tanzania - Katavi
Ambassador of Democracy Tanzania -Zanzibar
Ambassador of Democracy Tanzania -University
Kufanyika kwa fainali za Wilaya na Majimbo kutategemea mazingira ya mkoa
husika,lakinikwa Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo kwa sasa ni Mikoa ya
kanda maalumu ya Kipolisi ni lazima ifanye fainali zake, kulingana na Idadi yake
zitakazo kuwepo kwa mujibu wa sheria. Kwa sasa ambazo hizo ni:
Ambassador of Democracy Tanzania -Kinondoni
Balozi waDemokrasiaTanzania
Ambassador of Democracy Tanzania - Ilala
Ambassador of Democracy Tanzania -Temeke
Washindi 1-5 na wa Tuzo za vipaji watakuwa chini ya uangalizi wa waandaaji wa
ngazi husika (Wilaya, Mikoa, Taifa) kwa msimu wote wa ushindi isipokuwa wale
watakaotwaa ushindi kama huo kwa ngazi za taifa, mkoa na Wilaya watakuwa
chini ya waandaaji wa ngazi husika na kwa wale watakao twaa nafasi hizo katika
ngaziza Taifa ngazi za chini hazitahusika nao moja kwa moja.Msimu wa ushindi au
kukaa na taji kwa ngazi zote ni kwa kipindi cha msimu mmoja kamili.
F: HAKI NA MAJUKUMU YA WASHINDI
a) Haki za washindi:
Kupewa zawadi mara baada ya washindi kutangazwa kwa Ngazi za Mikoa, Wilaya
na Majimbo. Kufahamishwa na kuonyeshwa mikataba ya shughuli zinazowahusu
Kupata huduma zote muhimu wawapo kambini, mazoezini na mashindanoni
Kusafirishwa kwenda kituo cha mashindano au cha shughuli za kijamii na
kurudishwa na kugharamiwa malazi, vyakula,vinywaji baridi (Maji,soda)
Kutangaziwa na kujulishwa zawadi kabla ya shindano na kusaini mikataba Kupata
nakala za mikataba aliyosaini na waandaaji / Wakala wa ngazi husika,
Kuheshimiwa na kujiheshimu, Kujikosoa na kukosolewa Kila mshiriki / mshindi
analo jukumu la kuelezea na kutetea, Demokrasia kwa makini na ufasaha.
b) Majukumu ya Washindi:-
Washindi wa mashindano haya wanamajukumu yafuatayo: -
Kuelewa vyema na kutetea siasa za wananchi, uchumi, uongozi na utawala,
Tanzania na masuala mbalimbali ya kijamii, kitaifa na kimataifa katika
Balozi waDemokrasiaTanzania
Demokrasia.
Kuelewa Bendera ya Taifa, rangi zake na maana zake, wimbo wa Taifa na lugha ya
Taifa.
Kuzingatia kujivunia na kuuenzi utaifa wake (Tanzania), Kuelewa jografia ya
Tanzania, Afrika, na Dunia katika Utawala Bora na misingi ya kidemokrasia,
Kuhamasisha jamii katika kutangaza Sera za Taifa, ikiwa ni pamoja na kufundisha
maana ya Uchaguzi katika Utawala wa Kidemokrasia na kuelimisha zoezi la
Upigwaji kura ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya Uraia.
Kuhamasisha watu na makundi mbalimbali katika Jamii kusaidia wenye kuhitaji na
wanaoishi katika mazingira magumu kama Walemavu, Yatima, Maskini,
Waathirika wa Ukimwi na vita dhidi ya uaharibifu wa Mazingira hususani jamii
inayo zunguka Maliasili za Taifa.
Kuhamasisha jamiina jumuiya kupambana na Rushwa, Ubaguzi wa Kijinsia, Uvaaji
wa Mavazi yenye kudhalilisha, Utumiaji wa madawa ya kulevya, kufanya mapenzi
kabla ya ndoa n.k.
Kuhamasisha jamii, hususani vijana na kizazi kipya, kudumisha na kuthamini
Demokrasia, Uongozina Utawala, Maendeleo, Utamaduni na haki ya kupiga Kura.
Kuwa mfano bora wa kuigwa na tegemeo kwa watu wengine na jamii kwa ujumla
kitabia na mwenendo mwema.
Kuhamasisha kufuata na kufundisha maana na kanuni muhimu za kidemokrasia
Kutii na kufuata sheria za nchi, mamlaka za Uongozina Utawala na kushiriki katika
hatua zinazofuata za mashindano haya. Kushirikiana na wakurugenzi (Wakala) wa
ngazi husika na waandaaji wa Taifa kuendeleza Demokrasia,Utamaduni Kuitika
wito wa waandaaji na kushiriki katika shughuli zozote zinazohusiana na Sauti ya
Balozi waDemokrasiaTanzania
Demokrasia kama watakavyo pangiwa au kutakiwa na waratibu wa ngazi husika
Kuheshimu na kutii viongozi wa Mashindano, Serikali na Mamlaka za Sanaa katika
jamii, Kitaifa na Kimataifa.
Kufikisha Ujumbe katika kukosoa, kusifia na Tathmini ya zoezi zima la mchakato
wa uchaguzi mkuu wa Rais kila baada ya miaka mitano, ambapo ujumbe huo
utatolewa wakati joto la vuguvugu la Uchaguzi linapokuwa ndani ya mwezi baada
ya uchaguzi.
G: KUTENGULIWA USHINDI, USHIRIKI:
Ushindi au ushiriki utatenguliwa na waandaaji wa Taifa baada ya kuridhika na
taarifa au ushahidi juu ya ukiukwaji au uvunjwaji wa kanuni za mashindano haya
na utovu wa nidhamu utakaokuwa umefanywa na mshiriki au mshindi ambapo ni
pamoja na:
Ikithibitika kwamba mshiriki ni mwanafunzi wa shule ya msingi au hakumaliza
elimu ya sekondari ama umri wake ni chini ya miaka 20 au zaidi ya 30.
Ikithibitika kwamba, mshiriki au mshindi alitiwa hatiani na mahakama kwa
kutenda kosa la jinai.
Ikithibitika kuwa mshindi ameshiriki zaidi ya mara moja katika msimu mmoja wa
mashindano, Ikithibitika kwamba mshiriki si raia wa Tanzania, Ikithibitika kuwa
mshindi si mkazi/ mzaliwa wa eneo husika, Kutoshiriki mashindano ya ngazi
inayofuata bila ya sababu ya msingi itakayo kubaliwa na waandaaji wa ngazi
husika na Taifa, Kuchelewa kuripoti mashindanoni au kambini bila ya taarifa na
idhini ya waandaaji wa ngazi husika.
Ikiithibitika kwamba katika msimu wa ushindi, mshindi katenda matendo yoyote
Balozi waDemokrasiaTanzania
yenye kudhalilisha jamii na maana nzima ya Demokrasia kwa ujumla kwa
makusudi.
Kujifungua, kuolewa, kuchukua ujauzito kabla ya msimu wa ushindi kwisha na
ikithibitika kutumia madawa ya kulevya.
Mshindi kutokutekeleza wajibu na majukumu yake kikamilifu ama kuwa na
mwenendo mbaya katika jamii.
Ukiukajiwa namna yoyote wa kanunina taratibu za mashindano haya na sheria za
nchi.
Mshiriki kutofanya na kuzingatia Mafunzo na maelekezo ya walimu kwa uzembe
au kutokujali.
SEHEMU YA 7:
WAKURUGENZI / MAWAKALA WA WILAYA NA MAJIMBO
Ili kuondokana na ukiritimba wa madaraka na kupanua uwajibikaji wa pamoja na
mfumo wa kitaasisi zaidi, kutakuwa na wawakilishi wa mashindano haya katika
ngazi za kanda, Mikoa, Wilaya, na Majimbo, Hawa watajulikana kama mawakala
au wakurugenzi wa ngazi husika, hawa watakuwa wakifanya kazi kwa niaba ya
waandaajiwa taifa (BDT) na watawajibika moja kwa moja kwa waandaaji wa Taifa
(Principle and Agency), Watakuwa na mamlaka kamili ya kiutendaji kwa mujibu
wa kanuni ya mashindano haya.
B: WAJIBU WA WAKURUGENZI / WAKALA:
1.1 Kugharamia na kusimamia mashindano katika ngazi husika mkoa/wilaya
kutangaza washindi baada ya mashindano na kutoa zawadi jukwaani.
Balozi waDemokrasiaTanzania
1.2 Kuhakikisha kuwa kanuni na taratibu zote za mashindano haya zinafuatwa
kama zilivyotolewa na waandaaji wa Taifa na kupitishwa na BASATA
1.3 Sifa na uwezo wa kuhakikisha hakuna upendeleo.
1.4 Kuhakikisha washirikiwana sifa na viwango vya juu vinavyotakiwa kwani ngazi
hizo ni nyenzo na ni msingi wa demokrasia bora kwa Taifa na Dunia.
1.5 Kuhakikisha kuwa washindi wote wanashiriki mashindano ya ngazi inayofuata
na kuhakikisha kwamba washiriki wote hawana vikwazo wala pingamizi za
kushiriki.
1.6 Kuhakikisha kuwa wanawasafirisha na kuwagharamia hadi katika kituo cha
ngazi inayofuata kwa muda uliopangwa wakiwa na mavazi yote yanayotakiwa na
wakiwa na nauli ya kurudi katika kituo pamoja na pesa za matumizi.
1.7 Kuhakikisha kuwa washindi hawafanyi au kutumiwa katika matangazo ya
biashara, hadi baada ya mashindano ya ngazi inayofuata kwisha.
1.8 Kuhakikisha kuwa fomu za kuthibitisha uraia na kiwango cha elimu
zinapelekwa katika ngazi inayofuata ya mashindano.
1.9 Kuandaa shindano kwa kuzingatia kalenda iliyo tolewa na waandaaji wa Taifa,
kutozingatia kalenda kutapelekea mashindano ya mkoahusika kufutwa au Wakala
kufutiwa kibali au waandaaji wa Taifa kuchukua hatua zozote za kufaa kunusuru
Shindano.
1.10 Kuhakikisha kuwa wanashirikiana na vyombo na taasisi za Sanaa za Serikali
katika ngazi husika kwa mujibu wa sheria na taratibu za mashindano haya na za
Nchi.
1.11 Wakala atalipa ada itakayokubaliwa na waandaaji wa Taifa, na ataleta
Balozi waDemokrasiaTanzania
mapendekezo kwa waandaaji wa Taifa na Wakala wa ngazi za chini yake kwa
uteuzi, Atashirikiana na waandaji wa Taifa kusimamia mashindano ya ngazi za
chini yake.
1.12 Wakala watawasimamia washindi/ washiriki wa ngazi zao katika kuendeleza,
kuhamasisha Demokrasia na majukumu kama ya mshindi wa Taifa na kuingia
mikataba na washiriki wote kabla ya Shindano ili kulinda haki za washiriki na
waandaaji.
1.13 Kugharamia malazi, Chakula na usafiriwa ndani ya wasimamizi wawili kutoka
ngazi ya Taifa na wakati wa mashindano Malazi yawe katika hoteli yenye hadhi na
kuheshimika.
1.14 Kushirikisha na kushirikiana na mamlaka za sanaa za ngazi husika , ikiwa ni
Pamoja na kutoa heshima zote za kiprotokali kwa viongozi wa Sanaa na Serikali
katika ngazi husika.
1.15 Kushirikiana na vyama, vyombo vya wanahabari katika kupromoti na kutoa
Taarifa Sahihi za Shindano kwa jamii kupitia Vyombo vya Habari.
1.16 Kutoa ripoti ya maandishi kwa waandaaji wa Taifa Pamoja na nakala ya
mkanda wa video na picha za washindi wakiwa mmoja mmoja katika mavazi yote
na picha moja moja ya full SaiziPaspoti Saiziza Shindano ndani ya wikimoja tangu
Tarehe ya Shindano.
1.17 Kulipa ada ya leseni ya uwakala kwa waandaaji wa Taifa kabla ya kuandaa
Shindano.
C: SIFA ZA MAWAKALA
a) Lazima awe amesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Balozi waDemokrasiaTanzania
b) Awe na ofisi ya kudumu katika eneo husika.
c) Awe na uwezo wa kuwapata washiriki wenye sifa.
Awe tayari kushirikiana na vyombo vya serikali katika ngazi husika katika
kuendeleza, Elimu, sanaa, michezo na utamaduni
Awe na kibali cha kuendesha Shindano kutoka Taasisi zinazosimamia sanaa katika
ngazi husika.
Awe na uwezo wa kutafsiri na kuzingatia kanuni na taratibu za Shindano hili.
Atambue na kukubali kuwa Ubunifu huu ni Mali ya Mpalule Shaaban, ambaye
ameweka kwenye kampuni ya MISS DEMOKRASIA TANZANIA &
ENTERTAINMENT CO LTD, kwa ajili ya kuandaa na kuendesha mashindano haya
ya Balozi wa Demokrasia Tanzania- (Ambassador of Democracy Tanzania)
isipokuwa Mabadiliko ya Kampuni Katika Kuratibu Itategemeana na Mabadiliko ya
Kila Siku.
Awe na uwezo wa mtaji au kupata wadhamini wa kugharamia uendeshaji wa
mashindano ya ngazi husika na kutoa zawadi kwa washindi.
I) Awe na uwezo wa kuwasiliana kwa haraka na waandaaji wa taifa na mamlaka
husika katika ngazi za mashindano yake.
Awe na uwezo wa kuandika na kutoaripoti ya maandishi ya mashindano yakekwa
waandaaji wa Taifa ndani ya siku saba tangu Tarehe ya kufanyika kwa Shindano
lake.
Awe na uwezo wa kumsafirisha mshindi / washindi wa ngazi za Shindano lake,
kwenda katika mashindano ya ngazi inayofuatia na iwapo mshindi kwa sababu
zozote hataweza kushiriki basi mshindi aliye mfuatia ata wakilisha.
Balozi waDemokrasiaTanzania
l) Awe na uwezo wa kuhakikisha kuwa washiriki katika ngazi inayofuatia ni
wale walioshinda au kushiriki fainali za mwaka husika katika ngazi hiyo.
m) Kwa kushirikiana na mamlaka husika na waandaaji wa Taifa na majaji ,awe
na uwezo wa kusimamia uamuzi wa haki wa kuwapata washindi na kutangaza
matokeo sahihi ya washindi kama yalivyoamuliwa na jopo la majaji.
n)-Awe na uwezo wa kuwaandalia washindi na washiriki shughuli za kijamii na za
kutangaza DEMOKRASIA kwa eneo husika kila mwezi au angalau kila baada ya
miezi miwili.
o) Awe na uwezo wa kujenga na kuimarisha mahusiano mema na ushirikiano
na jamii, Serikali, Mamlaka za Sanaa, Sekta Binafsi na za Umma wakiwemo wana
Habari na Vyombo vya Habari.
p) Awe ni mwenye upeo wa kutosha juu ya masuala mbalimbali ya
kijamii,kitaifa na kimataifa, pia uwezo wa kuelewa,kuelewesha na kujieleza
hususanikatika masuala ya Ufundishajiwa Elimu ya Chaguzi, Demokrasia,Historia
jographia,Utamaduni,Sanaa, Desturi ya Tanzania.
q) Awe na uwezo wa kutayarisha na kuwasilisha kwa waandaaji wa Taifa
mchanganuo wa namna atakavyo fanikisha Shindano la ngazi yake.
D: HAKI ZA MAWAKALA
Kupendekeza Tarehe ya mashindano kwa waandaaji wa Taifa kabla ya kalenda ya
kitaifa ya mashindano haya kutolewa, kuzuia na kutatua utata wowote utakao
jitokeza katika mashindano na washiriki wa ngazi husika pia kufahamu na
kurekebisha kasoro yoyote itakayotokea
Uamuzi wa majaji ni wa mwisho, rufaa zote za kupinga uamuzi wa majaji,
Balozi waDemokrasiaTanzania
haziruhusiwi, isipokuwa kwa sababu maalum zitakazokubaliwa na waandaaji wa
Taifa.
Kuruhusu na kutambua kuwa waandaaji wa Taifa wanayohaki ya kushauri,
kusimamia, kurekebisha kasoro au mapungufu yoyotekatika mashindano ya ngazi
yoyote na shughuli yoyote inayohusiana na mashindano haya.
Kuhakikisha kuwa washiriki wote ni wale wenyesifa za kushiriki mashindano haya
kwa mujibu wa kanuni na taratibu za mashindano haya na sheria za nchi.
Kuwasimamia washindi na kuhakikisha hawafanyi matendo yenye kudhalilisha
jamii na Demokrasia,sanaa na urembo kwa Taifa, kutoa taarifa na mapendekezo
ya hatua za kuchukua dhidi ya washindi wanao kiuka Taratibu na kanuni za
mashindano zikiambatana na ushahidi kwa waandaaji wa taifa.
Kupewa si chini ya tiketi mbili za kuingia bure katika fainali za Taifa na kuingia
bure katika Shindano au shughuli yoyote ya ngazi zote nchini.
Kupongezwa au hata kuzawadiwa na waandaaji wa Taifa pale watakapokuwa
wamefanya au kutekeleza majukumu yao vyema zaidi. Kwa kushirikiana na
waandaaji wa ngazi husika kuwatumia washindi wa ngazi zao na hata ngazi za
taifa katika kutekeleza malengo na madhumuni ya mashindano haya.
E : MKATABA BAINA YA WAKURUGENZI /WAKALA/ NA WAANDAAJI WA TAIFA
Mawakala wote watathibitisha kukubaliana na kanuni na taratibu zote za
mashindano haya kama zilivyotolewa na waandaaji wa Taifa kwa kutia saini fomu
na kila ukurasa wa kanuni na taratibu za mashindano haya na kuzifuata bila ya
kukosa ikiwa ni pamoja na kulipa ada ya leseni ya uwakala kwa waandaaji wa
taifa.Mikataba ya mawakala na waandaaji wa Taifa itakuwa ni ya msimu mmoja
wa mashindano na kurudiwa kila msimu kulingana na utendaji wa mkurugenzi
Balozi waDemokrasiaTanzania
/Wakala.
Ukiukwaji wa aina yoyote utasababisha: -
a) Washindi wa mkoa/wilaya kutokubaliwa kushiriki ngazi ya Taifa/ Mkoa
Kubatilishwa kwa mashindano ya Wilaya, Mkoa / Taifa
b) Kutopewa tena kibali cha uwakala na kushtakiwa kwa kuvuruga
mashindano na kuwafidia washiriki kwa uzembe wa wakurugenzi/wakala
Mawakala na waandaaji wa Kitaifa kupewa adhabu yoyote na Serikali.
F: ZAWADI NA WADHAMINI.
Zawadi zote zinapaswa kuwasilishwa kwa wasimamizi wa Sanaa au Serikali katika
ngazi zote za Wilaya/ Mkoa zawadi za ngazi ya Taifa zitakabidhwa Baraza la Sanaa
la Taifa (BASATA) juma moja (week moja) kabla ya mashindano.
Wakala wa Wilaya, Mikoa/ waandaaji wa ngazi husika wataingia mikataba ya
maandishi na washiriki kabla ya kuanza mashindano.
Wakala atakayeshindwa kutoa zawadi atafungiwa kufanya shughuli za Sanaa
nchini na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa sheria.
Wakala/ Mkurugenzi ataingia mikataba ya maandishi na wadhamini wa
mashindano ya ngazi yake kabla ya kuwatangaza, na kwamba udhamini wote
ukabidhiwe angalau si chini ya wiki mbili kabla ya kuanza kambi au mazoezi ya
washiriki.
G : MAJUKUMU NA WAJIBU WA WAANDAAJI WA TAIFA
Kuteua, kusimamia na kuthibitisha mawakala wa ngazi zote.
Kuandaa na kuendesha mashindano ya Balozi wa Demokrasia Tanzania na kutoa
Balozi waDemokrasiaTanzania
zawadikwa washindiwa Taifa Kugharamia malazi, chakula, usafiri wa ndani na nje
mpaka wanarudi mikoani washiriki wote waliofuzu kushiriki ngazi ya Taifa kwa
kipindi chote hadi siku ya kurudi makwao, ikiwa ni pamoja na mahitaji mengine
muhimu kama matibabu na usalama kwa washiriki wakati wote wa kambi na
mashindano.
kutangaza washindi siku ya mashindano, Kuwagharamia washindi wa Taifa katika
mashindano ya ngazi inayofuata, zikiwemo za mavazi ya mashindano, viatu nauli
ya kwenda na kurudi mashindanoni, na pesa za matumizi kwa muda wote
atakaokuwa mashindanoni na kusimamia maandalizi na kumuandaa kwa
mashindano ya ngazi inayofuata.
Kusimamia washindi wa Taifa na kimataifa waliopo nchini au watakapokuja nchini
kwa niaba ya waandaaji wa mashindano husika.
Kusimamia shughuli zote za washindi na washiriki zinazohusisha mashindano
haya, ushindi wao, ushiriki wao, wadhamini, mamlaka za Umma na Binafsi,
Mikataba na Matangazo na mengineyo yenye kuhusisha mashindano, ushiriki au
ushindi wa Balozi husika.
Kushirikiana na washindiwa Taifa kupata wadhamini wa mavaziya mashindano ya
Kitaifa na Kimataifa, Viatu , nauli ya kwenda na kurudi mashindanoni, pesa ya
matumizi kwa muda wote atakaokuwa katika mashindano pamoja na kusimamia
maandalizi kwa kumuandaa katika mashindano ya Kimataifa na Dunia.
H: MFUMO WA ONYESHO NA NGAZI ZA MASHINDANO.
Mashindano ya kumpata “Balozi wa Demokrasia Tanzania” yatafanyika katika
ngazi na mfumo ufuatao: -
Ngazi za Mashindano:
Balozi waDemokrasiaTanzania
Yataanzia ngazi za majimbo (Majimbo ya uchaguzi) Ngazi za Wilaya, Ngazi za
Mikoa, Ngazi ya Kanda, Ngazi za Taifa, Ngazi za Mabara, Ngazi za Dunia na
Kimataifa.
Mfumo wa Onyesho (Show Parten):
Washiriki katika ngazi zote watapanda katika steji kuwania Taji na Tuzo za ngazi
husika katika awamu mbalimbali wakionyesha umahili katika Mitindo wakiwa
wamevalia mavazi ya Nyumbani, Ofisini, Utawala na Uongozi, Washiriki wataingia
na kutembea jukwaani kwa nyimbo za kumbukumbu, ukiwemo wimbo waTaifa
ambapo pia watahusika kwenye DEBATE kama sehemu ya Shindano.
Mpangilio wa onyesho la Balozi wa Demokrasia Tanzania utakuwa ifuatavyo:
2.3 (a) Balozi wa Demokrasia Tanzania-Kipaji:-
Washiriki wote watapita jukwaani kwa mara ya kwanza kuwania Taji la tuzo ya
vipaji kwa kuigiza moja ya Tendo lililomo ndani ya Demokrasia kwa mfumo wa
kuigiza kama mtawala, kiongozi, katika Jimbo, Wilaya au Mkoa anaowakilisha,
hapo kila mshiriki atavaa vazi kuendana na igizo lake, Onyesho hili linaweza
kufanyika juma moja kabla ya fainali za ngazi husika ama siku hiyo hiyo ya
shindano kutegemeana na waandaaji na mshindi atatangazwa siku ya fainali
sambamba na washindi wa jumla wa ngazi husika.
1) Vazi la Nyumbani
Vazi la kwanza litakuwa ni vazi linalovaliwa wakati muhusika akiwa eneo la
nyumbani.
2) Vazi la Utukufu (Taifa).
Vazi la pili litakuwa ni vazi la Utukufu, Washiriki watapita na mavazi halisi ya
Balozi waDemokrasiaTanzania
Tanzania, hii imetokana na kuenzi na kuendeleza Taifa letu ili kudumisha na
kukuza Rangi za Bendera ya Tanzania, Desturi, na hapo Ualisia wa shindano
utatimia kwa kuzingatia Demokrasia na Ushiriki wa watu.
3). Vazi la tatu litakuwa ni la Utawala na Uongozi.
Washiriki wote watapita katika jukwaa wakiwa katika mavazi ya Uongozi na
Utawala, ambapo kila mshiriki ataonyesha mavazi yanayopaswa kutumiwa na
Viongozi, Watumishi, pamoja na watawala, pasipo kuzalilisha jamii kwa kuzingatia
Demokrasia.
Baada ya hapo washiriki wote watajibu mada zitakazoulizwa na majaji husika, ili
kupata washindi watakaoingia hatua ya kumi bora, tano bora, tatu bora na kisha
kupata mshindi.
Mavazi na uvaaji ni Utamaduni wa jamii husika, kwa mujibu wa Utamaduni wetu
wa Tanzania, Kila mshiriki atavaa mavazi ya heshima yasiyo mdhalilisha mvaaji,
jamii wala mtazamaji.
Kumi na Tano Bora :- Washiriki walioingia hatua hii ya nusu fainali, watapewa
dakika tano kila mmoja kuonyesha uwezo wake wa kuchanganua mada na
kuonyesha uwezo wakewa kujieleza, kuelewesha na kuelewa. Mada hizo zitahusu
Uchaguzi na Kura, Umuhimu wa chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo wa Uchaguzi
Tanzania, Ukaguzi wa Chaguzi, vyama vya siasa na Chaguzi, Mchakato wa
Uchaguzi na Kupiga Kura, Demokrasia na Ushiriki wa Watu, Demokrasia na
Ushiriki wa Wote, Uraia na Uongozi, Vikwazo vya Chaguzi za Kidemokrasia,
Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za Utawala, Njia za Kuimarisha
Utawala Bora, Misingi ya Katiba,Haki za Raia na Utawala Bora, Haki na Kazi za
Katiba, Misingi ya Katiba, Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa Sheria, Haki na
Wajibu wa Raia, Uongozi na Utawala, Demokrasia TANZANIA.
Balozi waDemokrasiaTanzania
-Tano Bora:-
Washiriki watano kati ya 15 watatangazwa kuingia katika hatua ya
fainali.Washiriki watapewa dakika tano kila mmoja kuonyesha uwezo wa
kuchanganua mada inayofanana kuhusiana na Uchaguzi na Kura, Umuhimu wa
chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo wa Uchaguzi Tanzania, Ukaguzi wa Chaguzi,
Vyama vya Siasa na Chaguzi, Mchakato wa Uchaguzi na Kupiga Kura, Demokrasia
na Ushirikiwa Watu, Demokrasiana Ushirikiwa Wote, Uraia na Uongozi, Vikwazo
vya Chaguzi za Kidemokrasia, Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za
Utawala, Njia za Kuimarisha Utawala Bora, Misingi ya Katiba,Haki za Raia na
Utawala Bora, Haki na Kazi za Katiba, Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa
Sheria, Haki na Wajibu wa Raia, Uongozi na Utawala, Demokrasia TANZANIA.
Washindi kutangazwa:-
Wakurugenzi / Wakala wa kila ngazi atatangaza washindi 1-5 na mshindi wa tuzo
ya vipaji na katika ngazi ya Taifa Mwenyekiti wa mashindano haya atatangaza
washindi 1-5 na mshindi wa tuzo za vipaji ambapo Mpangilio wa kutangaza
matokeo utakuwa kama ufuatao:
Ambassador of Democracy Tanzania …4th Runner Up
Ambassador of Democracy Tanzania …3rd Runner Up
Ambassador of Democracy Tanzania …2nd Runner Up
Ambassador of Democracy Tanzania …Talent Award
Ambassador of Democracy Tanzania
Ambassador of Democracy Tanzania …1st Runner Up
Balozi waDemokrasiaTanzania
Zawadi na Tuzo kwa washindi (Prizing and Awarding):
Baada ya matokeo kutangazwa washindi watakabidhiwa zawadi zao na vifuta
jasho kwa washiriki wote wa ngazi za Mkoa, Wilaya na Majimbo, na katika ngazi
ya Taifa zawadikwa washindiwa jumla na wa tuzo zitatolewa siku ya pili baada ya
Shindano katika hafla maalum itakayo andaliwa na waandaaji wa Taifa ambapo
kwenye ngazi ya taifa hakuna kifuta jasho kwa washiriki, isipokuwa tuzo
mbalimbali zitakazoshindaniwa.
MWISHO:
Msimamizi Mkuu, Mtunzi na mwandishi wa Ubunifu- Mpalule
Shaaban.–
1. WANACHAMA NI:Violety Timoth, Peter Mziray 0715665506, Fredy njeje
0654221465, lucy Kiwelo, LeilaBanji, AgathaMkama0718195052,
Nyakasagani Masenza 0784296263, CelineJunju, PauloSiboka-
0715094209, Angel Gaudence,`AikaGasper Munisi, MarianaLawrence,
Mamadou Shaaban-0652897852, BasomingeraVaria, JeremiaBomani,
LeilaBhanji, . HALIMA BAKARI- 0753 411 893, . MAYUNGAJUMANNE –
0756 862 812, GETRUD WINFRED -0653605 021, IBRAHIM MUSSA -0654
848 154, NEEMA COSTANTINE -0769988 198, ALEXVALLERIUS – 0762 000
179, GABRIELA FAITH -0712 194 123, AGATH SWAI –0755 773 610,
Balozi waDemokrasiaTanzania
SUZAN JOSEPH -0766 435 984, ALAN MWASUBILA-0718 762 674,
Zuhura Masoud-0657745589/0767448688, Upendo Laban
Morento-0715560177/0755900185, StephanoStefan0766241185,
Jazminy Terry -0654200401.
HALIMA BAKARI- 0753 411 893 MAYUNGA JUMANNE – 0756 862 812
GETRUD WINFRED -0653 605 021 IBRAHIM MUSSA -0654 848 154
NEEMA COSTANTINE -0769 988 198 ALEX VALLERIUS – 0762 000 179
Balozi waDemokrasiaTanzania
GABRIELA FAITH -0712 194 123 AGATH SWAI – 0755 773 610
SUZAN JOSEPH -0766 435 984 ALAN MWASUBILA-0718 762 674
Haki zote zimeifadhiwa
C O S O T A
Copyright society of Tanzania
Ref No. CST/APP/REG/WORKS/VOL.XV/86 -ACT, NO. 7 (CAP 218 RE
Balozi waDemokrasiaTanzania
2002)
Dar es Salaam-TANZANIA.

More Related Content

Viewers also liked

certificado de investigador
certificado de investigadorcertificado de investigador
certificado de investigadorlizardo2021
 
T.A. Cook Information Study Tar Western Europe
T.A. Cook Information Study Tar Western EuropeT.A. Cook Information Study Tar Western Europe
T.A. Cook Information Study Tar Western EuropeMateus Siwek
 
Comment profiter des taux bas ?
Comment profiter des taux bas ?Comment profiter des taux bas ?
Comment profiter des taux bas ?Valeur et Capital
 
catolica universidad
catolica universidadcatolica universidad
catolica universidadlizardo2021
 
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American Inequality
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American InequalityThe Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American Inequality
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American InequalityJennie Sherkness
 
Kevin's Portfolio.compressed
Kevin's Portfolio.compressedKevin's Portfolio.compressed
Kevin's Portfolio.compressedKevin Kelly
 
John Benavides Sum 15 CAD Final Report
John Benavides Sum 15 CAD Final ReportJohn Benavides Sum 15 CAD Final Report
John Benavides Sum 15 CAD Final ReportJohn Benavides
 

Viewers also liked (9)

Ccr
CcrCcr
Ccr
 
Titanium epoxy-putty
Titanium epoxy-puttyTitanium epoxy-putty
Titanium epoxy-putty
 
certificado de investigador
certificado de investigadorcertificado de investigador
certificado de investigador
 
T.A. Cook Information Study Tar Western Europe
T.A. Cook Information Study Tar Western EuropeT.A. Cook Information Study Tar Western Europe
T.A. Cook Information Study Tar Western Europe
 
Comment profiter des taux bas ?
Comment profiter des taux bas ?Comment profiter des taux bas ?
Comment profiter des taux bas ?
 
catolica universidad
catolica universidadcatolica universidad
catolica universidad
 
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American Inequality
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American InequalityThe Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American Inequality
The Rich Keep Getting Richer- The Crystallization of American Inequality
 
Kevin's Portfolio.compressed
Kevin's Portfolio.compressedKevin's Portfolio.compressed
Kevin's Portfolio.compressed
 
John Benavides Sum 15 CAD Final Report
John Benavides Sum 15 CAD Final ReportJohn Benavides Sum 15 CAD Final Report
John Benavides Sum 15 CAD Final Report
 

Katiba yetu miss demokrasia tanzania

  • 1. Balozi waDemokrasiaTanzania KATIBA YETU www.missdemocrasiatz.com,http://www.ustream.tv/channel/miss-demo-tz M I S S D E M O K R A S I A T A N Z A N I A & E N T E R T A I N M E N T C O M P A N Y L I M I T E D - M I D E T A P . O B O X 8 0 1 7 D A R E S S A L A A M , T A N Z A N I A T e l : + 2 5 5 - 7 6 7 / 7 1 3 - 8 6 9 1 3 3 / F A X : + 2 5 5 ( 2 2 ) 7 6 7 8 6 9 1 3 3 1 2 / 6 / 2 0 1 2 BALOZI WA DEMOKRASIA TANZANIA Missdemokrasiatanzania@yahoo.com baloziwademokrasiatanzania@yahoo.com www.missdemokrasia.blogspot.com www.baloziwademokrasiatanzania.blogspot.com www
  • 2. Balozi waDemokrasiaTanzania SEHEMU YA KWANZA BALOZI wa Demokrasia nchini Tanzania ni shindano maalumu kwa ajili ya kuwapata wawakilishi wa Demokrasia kila mwaka, linafanyika katika mikoa yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Kati na Vyuo Vikuu Katika Michezo na Elimu. Lengo kuu ni kuwajenga Vijana kujiamini katika masuala mbalimbali ya kiutendaji na ambao wataiwakilisha Tanzania Kitaifa na Kimataifa. SEHEMU YA PILI Utangulizi Baada ya miaka 50 ya Uhuru, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukuza demokrasia na utawala bora. Kumekuwa na mabadiliko makubwa katika kutambua -Haki za binadamu, na hasa haki za wanawake. Idadi ya wanawakewanaoshirikikatika shughuliza serikaliimeongezeka, msingi wa haki za binadamu pamoja na utamaduni wa kisiasa na kijamii. Kwa nini Tanzania kumsaka Balozi wa DEMOKRASIA? "Ambassador of Democracy in Tanzania" Balozi wa Demokrasia Tanzania ni mkakati mkubwa unaolenga kukuza demokrasia Tanzania. Lengo ni kuwainua na kuwaimarisha wanawake kisiasa ambao katika miongo kadhaa wamekuwa wakisahaulika katika nyanja hii. Mpango huu ni mahususi katika kuchagiza agenda yetu ya kisiasa, katika kuimarisha demokrasia yetu ikiwa ni pamoja na kuendeleza mshikamano, Uhuru, Amani, Utamaduni na siasa, katika kuijenga Tanzania iliyo bora. Balozi wa Demokrasia Tanzania, ni maadhimisho ya demokrasia tuliyonayo hapa
  • 3. Balozi waDemokrasiaTanzania nchini, kupitia idadi kubwa ya Wanafunzi Vijana ambao ni wasomi wa Vyuo vya elimu ya kati na elimu ya vyuo Vikuu Tanzania. Dhumuni la maadhimisho haya ni kuleta changamoto kwa viongozi wetu kwa njia ya Mitandao, miadhara, Mikutano, Makongamano, na midahalo mbalimbali. Demokrasia Kama falsafa ya kisiasa inalenga kuleta maendeleo ya binadamu, kutambua thamani ya mtu binafsi na kuwaleta watu wote pamoja katika masuala mbalimbali kama jamii moja ya binadamu kwa njia ya demokrasia, ili isifike wakati watu wakakata tamaa ya malengo imara waliyojiwekea kutokana na mfumo wowote wa utawala kisiasa, bila kusaidiwa. Demokrasia ya kudumu ni zao linalo chagizwa na wananchi wenye uwezo wa kutambua mipango na matarajio katika mikakati (sera) za nchi yao. Demokrasia ya kweli lazima ihakikishe uhuru kutoka katika utumwa wa aina yoyote ile, unyonyaji na ubaguzi (rangi na kijinsia) kwani mambo haya yote hudhoofisha maendeleo ya wanawake, kwa kuyapa kipaumbele maslai ya watu wachache. Haki ya kushiriki katika mipango kisiasa ina maana zaidi ya uchaguzi huru na wa haki, na pia inahusisha ushiriki na taarifa za wanawake ambao mara nyingi wameachwa katika maamuzi ya sera. Utulivu wa kisiasa ni hali ambayo inawezesha jamii nzima ikiwa ni pamoja na wanawake wa taifa husika kufikia malengo yao wenyewe, watu kuwa na maadili mema na kwa ajili ya wao kuwa na sababu ya kushirikiana na kila mmoja. Ni katika mawazo na ubunifu huu kwamba "Balozi wa Demokrasia Tanzania" ndiyo pekee inayokuja kwa taswira ya:- * Kujenga uelewa mkubwa wa dhana na kutekeleza Demokrasia miongoni mwa wanawake vijana.
  • 4. Balozi waDemokrasiaTanzania * Ili kuongeza ushiriki wa wanawake vijana katika michakato ya kisiasa. *Kuwapa wanawake vijana sauti katika kuchagiza Tanzania kisiasa (landscape). * Kuandaa wanawake vijana kwa ajili ya uongozi makini wa baadaye. *Kuchunguza vipaji, ubunifu wa wanawake vijana. *Kutoa mazingira mazuri kwa ajili ya kujieleza binafsi na utambuzi wa ndoto zao. * Zinazozalishwa ujasiri na kujiamini katika wanawake vijana na hamu ya kukabiliana na changamoto ya maneno ya umma. *Kuendeleza roho ya urafiki na uzalendo miongoni mwa wanawake vijana. *Kuendeleza mabadiliko chanya katika hali ya hewa Tanzania kisiasa. * Kujitokeza Kuhifadhi na kulea Demokrasia yetu. *Kuimarisha Demokrasia yetu na kujenga utulivu wa kisiasa. Malkia wa DemokrasiaTanzania watakuchukua njeya baadhi ya miradi ambayo ni pamoja na: * Safarinchini kote, na kufanya mechiya umma na kufanya mahojiano na vyombo vya habari * Kufanya ziara za utetezi wa Viongozi wa jamii na Bunge katika ngazi zote za Serikali. * Kushirikiana na Wakala za Serikali, Taasisi na Mashirika ya Ushirika wa Umma, Benki, Makanisa, Misikiti, Balozi, NGOs, CBOs, Vombo vya habari nk kutekeleza baadhi ya miradi ya maendeleo ya jamii na matendo ya upendo.
  • 5. Balozi waDemokrasiaTanzania * Ziara za kutembelea Watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yatima na Wajane. * Kuandaa warsha za uwezeshaji kwa wanawake na vijana * Kuandaa mipango ya kuyawezesha makundi chini (priviledged) na wanyonge katika jamii * Kufanya mipango ya kutetea kuhusika zaidi wanawake katika utawala. SEHEMU YA TATU DEMOKRASIA NI Utawala wowote wa Demokrasia ni ule unaotokana na ridhaa ya wananchi, ambao kutokana na utaratibu waliojiwekea hufanya maamuzi ya kuwapata viongozi wao. Raia kila mmoja kwa nafasi yake anayo haki ya kushiriki kutoa maoni ya kuwapata wawakilishi, kwa mantiki hiyo wananchi ndio waajiri wa viongozi walioko madarakani. Kama ilivyo ada wananchi ndio hufanya maamuzi ya kuwapata viongozi wao wa dola ambao huwajibika kwa raia na raia wanathibitisha imani kwa viongozi hao wakati wa uchaguzi. Kama ilivyo kauli mbiu kuwa binadamu wote ni sawa na kila mtanzania anayo haki kuishi mkoa wowote Tanzania isipokuwa asivunje sheria na taratibu za nchi, kuchagua ama kuchaguliwa ni tendo linalotarajiwa kwa kila mtanzania, ili mradi tu awe ametimiza matakwa yanayohitajika, hivyo kila mmoja ana haki sawa kushiriki katika kufanya maamuzi, na kusimamia ustawi wa watu wote kwa manufaa ya watu Katika kuzingatia Demokrasia kila wanachokifanya na si kile wanachofanyiwa katika kukuza uhuru, usawa na haki kwa wote katika kusimamia
  • 6. Balozi waDemokrasiaTanzania ukuzaji wa ushiriki wa moja kwa moja katika kuwakilisha jamii ikijidhihirisha kwa njia ya kushiriki katika chaguzi. Demokrasia ina thamani kubwa katika kuendeleza Elimu, kulinda na kuthamini Afya na Katiba, Sheria za nchi na Mazingira, Jamii katika kukuza uchumi, kuendeleza Burudani Utamaduni na Michezo, mtawala na mtawaliwa, pamoja na maeneo ambayo ni muhimu katika kuleta maendeleo kwa jamii. B: LENGO LA MASHINDANO Lengo la mashindano ni kuibua vipajikwa vijana, kuwapa uzoefu katika uongozina utawala, kujenga misingi ya Utawala Bora, kurekebisha mmomonyoko wa Maadili yasiyofaa, kutangaza Tanzania Kitaifa na Kimataifa, kuondoa ubaguzi wa aina yoyote, kuhamasisha jamii katika kutunza mazingira ya haki za mwanadamu, kuelimisha jamii katika mavazi, kuwapa mafunzo vijana juu ya elimu ya kutambua misingi ya Demokrasia na Historia ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na Kutoa changamoto kwa Viongozi, Msukumo wa Uwajibikaji katika kuleta Maendeleo. Shindano litasaidia kukuza na kupata Vijana wa Taifa makini na watawala wa taifa la kesho wakiwa na vipaji mbalimbali kulingana na mahitaji ya Nchi Tawala na Tawaliwa, kulinda na kusimamia Demokrasia kwa misingi yake yote, kusaidia kukuza tasnia ya Elimu ya Kisasa ya Teknolojia endelevu. Kutoa mwamko kwa Makampuni kusaidia na kutunza vijana ikiwa ni pamoja na kujenga moyo wa ushirikiano na mshikamano kwa uzalendo na upendo, amani, umoja wa taifa na mataifa nchi na wananchi wa nchi na nchi. Kuwaandaa vijana kuwa viongozi kitaifa na kimataifa ambao watakuwa na majukumu ya kuhamasisha maelewano, ushirika na umoja miongoni mwa nchi na mabara yote ulimwenguni kwa kutangaza Uhuru wa mtu kwa jamii pamoja na
  • 7. Balozi waDemokrasiaTanzania kutembelea vijiji katika kuratibu na kufuatilia masuala ya uzingatiaji haki za binadamu, misingi ya utawala bora, kutoa elimu ya Uraia, kuhamasisha katika kupata viongozi watakaochaguliwa kwa haki bila kutumia Rushwa, kusaidia kueneza elimu ya haki za binadamu kwa jamii. Kumbuka kuwa -Balozi wa Demokrasia Tanzania- ni Ubunifu ambao utasaidia kuongeza kiwango cha ushiriki wa raia katika chaguzi na kuongeza hamasa na idadi ya wapiga kura, kwa kuwa Demokrasia huanzia majumbani. Mashindano yanalenga kudumisha haki, Usawa, Umoja, Upendo, Uhuru, Uzalendo na Amani, kwa jamii na watu wote kupanua uelewa juu ya Demokrasia na kupanua mtandao wa Elimu ya demokrasia kupitia washiriki na mashindano haya,“ Taifa lisilo na Demokrasia ni Taifa Mfu” Shindano hili la Balozi wa Demokrasia Tanzania, Fainali na matukio yake ni sehemu ya mafunzo na maboresho katika maisha ya mwanadamu ikiwa ni nyenzo na mahitaji kidunia katika kutambua haki, Usawa, Umoja na kutangaza sera na Misingi ya Utawala bora, uhuru, wakati wa kujiburudisha, katika kutembea na wakati wa kusafiri katika kubadilishana mawazo bila kujali rangi, taifa, nguvu za kiuchumi pamoja na Imani ya Kidini jukwaani na hata nje ya jukwaa. Mikoa yote na Kanda zote za Tanzania zikiwemo kanda Maalum za Vyuo Vikuu vya Tanzania Kanda hizo ni kanda ya Kaskazini (Tanga, Arusha, Kilimanjaro na Manyara) kanda ya ziwa (Bukoba, Mwanza, Mara, Simiyu, Shinyanga), Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Katavi na Rukwa) Kanda ya kati (Dodoma na Singida) kanda ya mashariki(Pwani, Dar es Salaam na Morogoro) Kanda ya kusini (Mtwara na Lindi) na kanda ya nyanda za juu kusini (Iringa, Njomba, Songea na Mbeya) na kanda ya Zanzibar (Unguja na Pemba) itafanya fainali za Taifa za Kupata Balozi mwakilishi wa Demokrasia katika kuwania taji kubwa Zaidi la Demokrasia
  • 8. Balozi waDemokrasiaTanzania Tanzania kila Mwaka. Shindano hili ndilo pekee linaweza kuwaweka karibu Wanasiasa na wananchi, wakionyeshwa kwa Mifano mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutambua Utawala Bora, Kampeni bila Rushwa, Misingiya Uongozi, Chaguziza Kidemokrasia, Elimu ya Uraia, Uchaguzina Kura, Umuhimu wa Chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo wa Chaguzi Tanzania, taarifa za msingi juu ya taasisi zinazosimamia chaguzi, mchakato wa Uchaguzi, Umuhimu wa Ushiriki wa watu katika Demokrasia, Ushirikiwa Wote ndani ya Demokrasia, Uongozina Uraia, Vikwazo vya Chaguzi za Kidemokrasia, Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za Utawala, Njia za Kuimarisha Utawala bora, Misingi ya Katiba, Haki za Raia na Utawala bora, maana ya haki na kazi za katiba,Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa Sheria, Haki na wajibu wa Raia. MFUMO WA SHINDANO Shindano hili ni tofauti na Mashindano Mengine. Fainali kubwa za mashindano haya zitafanyika kila baada ya miaka mitano ikiwa ni baada ya kukusanya taarifa mbalimbali za maoni baada ya kumalizika mchakato mzima wa uchaguzi ambapo washiriki baada ya kufanya ziara ya kutembelea wananchi watawasilisha tathmini ya makusanyo ya Maoni ya wananchi kwa njia ya maswali, kujibu mada, kuhusiana na mchakato mzima kutoka kwenye Majimbo yao. Kabla ya Fainali hiyo kuu ya taifa, kwa kipindi chote mashindano haya yatafanyika kuanzia kwenye majimbo yote ya Uchaguzi Tanzania kwa lengo la kupata wawakilishiwatakaoshirikikuwania Tuzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Balozi wa Demokrasia Tanzania, Miss Demokrasia Tanzania, Mr. Demokrasia Tanzania
  • 9. Balozi waDemokrasiaTanzania kwa lengo la kuwapata Wawakilishi wa Demokrasia Tanzania, kwa pamoja itatajwa kwa majina ya Majimbo, Wilaya, Mikoa na Tanzania- Balozi wa Demokrasia(Ambassador of Democracy)ambapo itashirikisha wasanii mbalimbali katika kupamba onyesho mahala husika. Shindano litashirikisha Wasichana na Wavulana kulingana na idadi waandaaji watakayopendekeza- chini ya Kampuni ya Miss Demokrasia Tanzania & Entertainment Co LTD, huku washiriki wakiwa ni :- (a)- Vijana wenye upeo wa kuelewa na kuelewesha jamii kuhusu masuala yatokanayo na Demokrasia, hususaniwasomiwa vyuo vikuu ngaziza mikoa katika kupata wawakilishi bora wa Kitaifa, bila kuendana na itikadi za Chama, Dini, Kabila, Rangi na jimbo analotoka, hivyo washiriki watashindana katika kutembea, Debate -kujibu maswali yatakayoulizwa na majaji na Mavazi stahiki katika Demokrasia. (b)- Washiriki lazima wawe wamehitimu elimu ya Sekondari hivyo kuwa katika Chuo au Kuhitimu Elimu ya Chuo na wananchi wa kawaida watashiriki katika kuibua vipaji kuanzia ngazi za vijiji, Majimbo na Wilaya ambapo kupitia Mawakala watachujwa kupata wawakilishi wenye uwezo wa kujieleza mbele ya jamii na kuwa na ushawishi kwa majaji ambapo wataungana na wenzao wa vyuo vikuu. (c)-Mchujo wa kuelekea Fainal kuu za Taifa zitajumuisha washindi wa Vyuo Vikuu ndani ya nchi na Washindiambao ni Watanzania Vyuo Vikuu kutoka nje ya Mipaka ya nchi, Mikoa na Wilaya ya Tanzania Bara na Zanzibar. d)-Fainali kuu ya kupata Balozi wa Demokrasia Tanzania, washindi watachaguliwa na wananchi kwa njia ya maoni kupitia vyombo vya habari, kwa kushirikiana na BASATA, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mwenyekiti wa Vyuo Vikuu Tanzania, Majaji,
  • 10. Balozi waDemokrasiaTanzania na kamati kuu ya Miss Demokrasia Tanzania ambao ndio waandaaji wa Mashindano, Kabla ama baada ya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani kutegemeana na waandaaji watakavyopendekeza. E)-Pia kutafanyika Mashindano ya Vyuo kwa Vyuo, Hii itahusisha Viongozi wa Serikali za Wanafunzi katika Debate ambayo kila kiongozi atajielezea kulingana na Ufahamu wake kuhusu Uongozi na Mambo mbali mbali yanayohusiana na Demokrasia, Utawala, ili kupata Chuo Bora ambacho kitawasilisha mada nzuri kwa jamii, ambayo itawasilishwa Bungeni kwa ajili ya kujengewa hoja na kujadiliwa na Wabunge na kuweza kutumiwa na Serikali. F)-Ili kupata wawakilishi wa Chuo inapendekezwa kila Chuo kifanye mashindano yakeChuoni na kuchuja kisha kuleta wawakilishiwatakaoitajika kulingana na idadi itakayotajwa isipokuwa siku ya Mwisho ya Mchujo Chuo au Mwandaaji wa Chuo anapaswa kuwashirikisha waandaaji wa Taifa kwa lengo la kusaidia kupata wawakilishi bora na wenye Vigezo vinavyokubalika. MAJUKUMU YA WASHINDI WA TAIFA Mshindi wa kwanza atapata fursa ya kufanya kazi na Utawala kama Mjumbe wa sauti ya Demokrasia jukwaa la vijana na Balozi wa Demokrasia Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa pili atapata fursa ya kuwa mwakilishi wa Balozi wa Demokrasia Tanzanioa (Bunge) kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa tatu atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Demokrasia (Tume ya Taifa ya uchaguzi) kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa nne atapata fursa ya kuwa mwakilishi wa Elimu ya Juu (Vyuo Vikuu Tanzania) na Balozi wa Elimu kwa kipindi cha miaka mitano.
  • 11. Balozi waDemokrasiaTanzania Mshindi wa Tano atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Tume ya Haki za Binadamu kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa Sita atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Taasisi ya Kuzuia na kuapambana na Rushwa (TAKUKURU) katika kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa Saba atapata fursa ya kuwa mwakilishiBalozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa nane atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo (Mawasiliano) kwa kipindi cha miaka mitano. Mshindi wa Tisa atapata fursa ya kuwa mwakilishi Balozi wa Upinzani Bara, na Visiwani kwa kipindi cha miaka mitano katika kuleta changamoto jukwaa la vijana kujifunza. Mshindi wa Kumi atapata fursa ya kufanya kazi na waandaaji wa Fainal kuu za Taifa za Balozi wa Demokrasia Tanzania katika Kampuni ya Miss Demokrasia Tanzania & Entertainment C.o LTD, kwa miaka mitano. C: KALENDA YA MASHINDANO: Kalenda ya mashindano itaendana na mabadiliko ya mfumo wa Chaguzi na Utawala, isipokuwa kila mwaka utaratibu wa kuwapata wawakilishiutaanza katika Majimbo yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi chote kuelekea miaka mitano ya Uchaguzi Mkuu kwa lengo la kutoa Elimu ya Mpiga Kura na Uraia kwa wananchi, na tarehe za mashindano itategemeana na mabadiliko kidunia, isipokuwa itatangazwa miezi mitatu kabla ya tarehe husika ikiambatana na matukio muhimu ya Kihistoria Kitaifa na Kimataifa.
  • 12. Balozi waDemokrasiaTanzania SEHEMU 4: TARATIBU ZA MASHINDANO. A: WASHIRIKI Balozi wa Demokrasia Tanzania ni shindano jipya lililoanza kufana katika nchi mbalimbali zikiwemo CANADA, na NIGERIA. linalowahusu zaidi Vijana, wenye tabia, maadili na mwenendo mwema, Wakiwa raia halali wa taifa, kwa mujibu wa sheria za kitaifa na kimataifa, washiriki wa fainali za Taifa ni wenye uraia wa Taifa na washiriki wa Fainali za Dunia ni washindi wa fainali za Taifa husika. B: SIFA ZA WASHIRIKI: 1.1-Umri wa washiriki Kulingana na sheria za mataifa mbalimbali ulimwenguni kutofautiana, umri wa washiriki utategemeana na sheria za mataifa husika, hata hivyo umri wa chini unaopendekezwa ni miaka (18) na umri wa juu ni miaka thelathini (30). 1.2-Wasifu wa washiriki Washirikiwa mashindano ni wanafunziwa Vyuo Vikuu Tanzania na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanaosoma Nje ya Tanzania. Ambao awajawahi kuolewa, kuoa, wala si wajawazito. Washiriki wa mashindano haya watatumia lugha wanayoweza kuzungumza kwa ufasaha zaidi ni vyema pia wakajua kuzungumza japo lugha nyingine moja ya kimataifa zaidi ya lugha yao, isipokuwa wanashauriwa kutumia lugha ya Kiswahili
  • 13. Balozi waDemokrasiaTanzania kwa lengo la kueleweka na Watanzania walio wengi pia ikiwa ni njia ya kuenzi lugha yetu ya Taifa, isipokuwa wakati wa kushiriki mashindano ya Kimataifa lugha ya kigeni itakuwa wajibu ili kuweza kueleweka na wengi. C: MAVAZI YA WASHIRIKI: Mavazi ya heshima yasiyo mzalilisha mvaaji, jamii wala mtazamaji wakati wote yawe ya heshima yenye kuzingatia Demokrasia kidunia na Taifa wenyeji wa Mashindano. Washirikiwawapo kambiniwanatakiwa kuja na mavazi yakutosha kwa muda wote watakao kuwa kambini kwa matumizi mbalimbali kama Mazoezi, michezo, kuogelea, kukimbia, kushindia, kutokea, kuendea katika maeneo ya burudani na dhifa za kitaifa na kimataifa. -Mavazi yote ya mashindano haya ni lazima yawe ni kielelezo cha Utukufu katika jamii ikiwa ni pamoja na vazi la Uongozi, Ofisini, Utawala pamoja na vazi la Nyumbani. 1. Vazi la Ofisini. Mavazihaya yatakuwa maridadi, nadhifu, kulingana na Mhusika kuwakilisha Idara yake. 2. Vazi la Nyumbani. Mavazihaya yatakuwa nimfano wa kuigwa vijana kwa lengo la kujenga taifa lenye maadili yanayostaili na kupendeza machoni pa watu, huku likiwa halimzalilishi mvaaji na mtazamaji. 3. Vazi la Uongozi / Utawala
  • 14. Balozi waDemokrasiaTanzania Mavazi haya yatakuwa ni kielelezo na yanayostahiki kutumiwa na wakuu mbalimbali wa Idara ama Mamlaka kuu tawala za Serikali na za falme, yakiwa ni mavazi nadhifu, Maridadi, yenye muonekano wa heshima kwa mvaaji. D: SHINDANO LA VIPAJI: Kwa lengo la kuvumbua vipaji zaidi vya Uongozi, Kila mshiriki wa mashindano haya atashiriki katika shindano la awali la vipaji, hapa kila mshiriki atabuni Sera na Hotuba kulingana na hali halisi katika kipaji husika atakachoonyesha, nivyema kila mshiriki akaonyesha kipaji cha zaidi ikiwa kama mafundisho kwa jamii husika. E: KAMBI NA MAZOEZI: Waandaaji walioteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi wa Shindano hili katika kila Jimbo, Mkoa, Kanda, Mkoa na nchi watasimamia kambi na mazoezi ya mashindano ya Balozi wa Demokrasia katika maeneo yao, kwa ushirikiano wa karibu na waandaaji wa Taifa wa mashindano. Katika ngazi ya fainali za Dunia, Bodi ya Wakurugenzi ya (BDD) waandaaji wa dunia, watasimamia kambi na mazoezi kwa muda wote wa mashindano. Wakati wa kambi au mazoezini washiriki watafundishwa jinsi ya kutembea jukwaani, mbinu na namna ya kujieleza, kujiheshimu, kujithamini na kujitambua, uzalendo, masuala ya kijamii, namna ya kujikinga na Magonjwa, Mazingira, uchumi, michezo, Utawala na Uongozi, Demokrasia na upigwaji wa picha. Washiriki watafundishwa pia kujitambua, nafasi yao na majukumu yao katika jamii. Maana na malengo ya mashindano, na historia yake. Historia na jografia ya Dunia. Washiriki wote katika mashindano ya Balozi wa Demokrasia Tanzania, Afrika, na Dunia Wanapaswa kutii masharti yote kinyume cha hivyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu, kisheria, zikiwemo kufukuzwa kambini na
  • 15. Balozi waDemokrasiaTanzania mashindanoni. F: MASHARTI YA KAMBI- Washiriki wote watatakiwa kulala katika sehemu walizopangiwa kwa wakati na utaratibu uliopangwa na waandaaji, Washiriki wote watakuwa chini ya uangalizi wa wasimamizi watakaoteuliwa na waandaaji wa mashindano. Katika kipindi chote washiriki hawataruhusiwa kuzungumza na watu wasio wahusu au kuondoka katika kambi bila ya ruhusa kutoka kwa waandaaji, Washiriki wote watatakiwa kuwa vyumbanimwao mara wasimamizi watakapoamuru, Tabia nzuri, ucheshi, ushirikiano, bidii katika kipindi chote cha mazoezi vitasiaidia kujenga ushindi. Si ruhusa kuzungumza na waandishi wa habari bila ya idhini ya waandaaji. Waandaaji hawatahusika na uharibifu au uvunjwaji wowote wa sheria za nchi za mshiriki ikiwemo wizi, kuharibu mali ya hoteli au mtu yeyote sehemu yeyote, Upotevu wa mali za washindani washiriki (vitu vya thamani kama pesa, dhahabu n.k vinaweza kuhifadhiwa kwa mtunza hazina wa hoteli). Gharama za simu, bia na sigara, zitalipwa na mshiriki iwapo mshiriki atashindwa kulipia gharama za matumizi hayo waandaaji watakuwa na haki ya kuzuia zawadi au kukata pesa zake kufidia gharama hizo. (viii) Washiriki wote wanapaswa kuzingatia na kutambua kuwa: Washiriki wote watahudumiwa sawa sawa bila ubaguzi. Chakula kitatolewa kwa wakatiuliopangwa tu, Washirikiwote watavishwa Mavazi na wataalamu watakaochanguliwa na waandaaji tu, Mshiriki anayo haki ya kuelezea namna atakavyotaka kuvaa / (Smart), Kila mshiriki atalazimika kuwa na nidhamu ya hali ya juu.
  • 16. Balozi waDemokrasiaTanzania (b)Ngazi ya Taifa; kambi wakati wa maandalizi itakuwa si chini ya siku 15 na si zaidi ya siku 100 katika hoteli ya nyota tatu, baada ya Siku kumi za mwanzo za kambi washiriki wakiambatana na waandishiwa habari wata tembelea Vyuo Vikuu, Bunge, Wizara na Idara za Serikali, Tume ya Taifa, Balozi na IKULU kwa Lengo la kujifunza masuala yanayohusiana na Vitengo Vya Demokrasia katika kujifunza masuala ya Utawala, Uongozi pamoja na maeneo mbali mbali ya kihistoria, (c)Wakufunzi wa Washiriki: -Vyuo Vikuu mbalimbali chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Political science Departiment) watatoa mafunzo Kwa washiriki, na Wakufunzi wa ngazi za mikoa na kanda watapangwa au kuthibitishwa na Bodi ya wakurugenzi wa Balozi wa Demokrasia TANZANIA (Taifa). -Wasomi na wadau wa POLITICAL SCIENCE DEPARTIMENT ngazi zote, -Mkufunzi mkuu wa ngazi za mashindano, atafundisha washiriki wa fainal za taifa akishirikiana na Bodi ya wakufunziwatakaoteuliwa na kamati ya Miss Demokrasia Tanzania & Entertainment co ltd, wakiwemo wakufunzi wa kimataifa na Balozi wa miaka ya nyuma wa mashindano haya. -Aidha wakati wa kambi, mafunzo na semina juu ya upigaji vita Rushwa ,kujikinga na Ukimwi, Elimu ya Uraia, Elimu ya Mpiga kura, Uchaguzi na Elimu juu ya Demokrasia itatolewa na wadau wa mamlaka husika kwa kushirikiana na waandaaji. Washindi wa Balozi wa Demokrasia Tanzania wa sehemu husika kila mwaka watakuwa ni miongoni mwa waangalizi wa washiriki, na wanawajibika kukabidhi mataji kwa washindi wapya siku ya Fainali.
  • 17. Balozi waDemokrasiaTanzania SEHEMU YA 5 MAJAJI WA MASHINDANO A: Utaratibu wa Uteuzi wa Majaji: 1. Kutakuwa na majaji katika kila ngazi ya mashindano haya. 2.majaji wote watateuliwa na mamlaka za sanaa za Serikali katika kila ngazi,(Utamaduni na BASATA). Waandaaji wa ngazi husika watapeleka Mapendekezo ya majina ya watu wenye sifa za kuwa majaji kwa mujibu wa kanuni na taratibu za mashindano haya kwa maafisa utamaduni kwa ngazi za majimbo, Wilaya, Mikoa, na Kanda na BASATA kwa ngazi ya Taifa na Kimataifa, nao watateua majaji. (a)- Katika kulinda haki za ushindi kwa waandaaji wa ngazi husika na kukwepa lawama za matendo ya kupendelea washindi na kwa kuzingatia taratibu za kimataifa za mashindano haya na mengineyo duniani, kwa upande wa Majimbo, Wilaya, mwandaaji wa kila eneo husika ndiyo atakuwa mwenyekiti wa jopo la majaji na atatangaza jina la Balozi wa eneo husika. Majaji hawaruhusiwi kufanya mawasiliano ya namna yoyote baina yao na washiriki wakati wakiwa katika zoezi zima la kumpata mshindi. B: Idadi ya majaji: Katika kila ngazi idadi ya majaji itakuwa ni namba tasa yani isiyo gawanyika kwa mbili, ili kuondoa kufungana au kupanga matokeo na mvutano miongoni mwa majaji. Katika ngazi ya Majimbo na Wilaya, idadi ya majaji itakuwa si chini na si zaidi ya
  • 18. Balozi waDemokrasiaTanzania watano (5), wa nne wa kuteuliwa na wa tano mwaandaaji. Mwandaaji atapendekeza kwa Afisa Utamaduni si chini ya majina 7 na si zaidi ya tisa kwa ajili ya uteuzi. Katika ngazi ya mkoa na kanda idadi ya majaji itakuwa si chini na zaidi ya saba (7), waandaajiwatapendekeza BASATA si chini ya majina 9 na si zaidi ya 11 kwaajili ya uteuzi. Katika ngazi ya Taifa idadi ya majaji itakuwa si zaidi ya tisa (9).waandaaji watapendekeza si chini ya majina kumi na tano na si zaidi ya kumi na tisa kwa uteuzi majina mawili yatatoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi akiwemo mwenyekiti wa jopo la majaji ambaye ni mkufunzi mkuu(Chief Corographer) wa Taifa. C: Semina Elekezi za Majaji wa Mashindano: Waandaaji wa kila ngazi wataandaa na kugharamia semina za majaji wa mashindano ya ngazi husika kwa kushirikiana na mamlaka zausimamizi wa sanaa, katika ngazi ya Taifa waandaaji watashirikiana na kushirikisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kurugenzi ya Sanaa na Utamaduni. Mada kuu ya semina hizo itakuwa ni kuwaelimisha majaji husika juu ya sheria, taratibu na kanuni za mashindano haya na pale itapowezekana wadau kutoka mamlaka ya Demokrasia na Rushwa watahusishwa katika utoaji wa mada. D: Sifa za majaji wa mashindano: Majaji wa mashindano haya ndiyo hubeba jukumu la kumteua mshindi kwa niaba ya umma na jamii kwa ujumla. Kutokuwa watenda au wapenda haki kutaathiri uthamani wa shindano katika jamii na miongoni mwa washiriki, mashindano haya na hata heshima ya majaji
  • 19. Balozi waDemokrasiaTanzania wenyewe. Hivyo suala zima la kuwa na majaji wenye hulka na tabia ya kupenda kutenda haki ni la muhimu sana. Hivyo suala la kuwa na majaji wenye hekima, busara na wenye kuchukia hongo ya namna yoyote halikwepeki. • Jaji awe ni mwanamichezo au mwana sanaa, Anaweza pia kuwa mfanyabiashara au taaluma yoyote ya kuheshimika katika jamii. • Jaji awe ni mwenye uwezo wa kuelewa na kugundua tabia na vipaji. • Jaji awe na ufahamu na uwezo wa kupokea na kuvielewa vigezo vitumikavyo kupata washindi • Jaji asiwe na tabia ya upendeleo na mpokeaji au mtoaji hongo. SEHEMU YA 6 WASHINDI WA MASHINDANO. A: Sifa za Mshindi: Kila mshiriki wa mashindano haya aliye fika ngazi ya fainali za Mikoa anasifa na vigezo vya kushinda Taji la Fainali kuu ya Taifa ya Balozi wa Demokrasia, Majaji wakatiwote wanatakiwa kuangalia kasoro za kila mshiriki ili kumwondoanafasiya kushinda, yule mwenye kasoro chache ndiye atakaye ibuka mshindi, majaji wanatakiwa kutafuta sifa za ziada za mshiriki ukilinganisha na wengine, ili kuona au kujua anawazidi nini wenza hata awe mshindi, majaji wakumbuke kuwa washindi watawakilisha taifa katika mashindano ya dunia na mengineyo ya kimataifa, Tabia, hulka na mwenendo wa kila mshiriki ni moja ya mambo ya kuzingatia katika kumpata mshindi. B: MAJAJI WATAZINGATIA VIGEZO NA SIFA ZIFUATAZO: -
  • 20. Balozi waDemokrasiaTanzania (a) Mvuto wa umbile na ushupavu unaokubalika wa mshiriki. (b) Umbo zuri la mshiriki si unene wala si wembamba, bali ni uwiano unao kubalika wa umbo na kimo cha mshiriki. (c) Tabasamu zuri, uchangamfu na ushirikiano mzuri wa mshiriki Miondoko na muonekano wa hesima wa mshiriki. Ufahamu wa mshiriki uwezo wa kujieleza na kuelewesha. (g) Kipaji cha kujiendeleza kitaaluma na matarajio yenye kutia Matumaini ya mshiriki, Kipaji cha juu cha mshiriki ili akishinda taji katika ngazi husika aweze kuwa Balozi bora kabisa wa Wilaya, Mkoa, Taifa na Dunia akiwa mwenye Elimu na Maarifa ya kiwango cha juu kabisa duniani, ukazingatiwa na majaji katika ngazi zote. Nidhamu ya hali ya juu binafsi katika jamii na mwenendo wa kukubalika, kuheshimika, kwa Umma. C: Washindi wa Taifa: Washindi wa Taifa wa kila mwaka wa Balozi wa Demokrasia: • Watawakilisha nchi katika mashindano mbalimbali ya Afika Mashariki, Afrika Magharibi, Arika Kusini na DUNIA. • Watapeperusha Bendera ya TANZANIA, yenye ujumbe wa Demokrasia Kitaifa na Kimataifa. Washindi watapangwa katika majukumu kulingana na vigezo vya uwakilishi ikiwa ni kushindana au kushiriki kutokana na mahitaji na waandaaji husika.
  • 21. Balozi waDemokrasiaTanzania Na endapo itatokea kwa namna moja ama nyingine, msichana ama mvulana atakayekuwa anashikilia taji kubainika kujihusisha na masuala yatakayokuwa ni kinyume na taratibu za mashindano ikiwa ni pamoja na kufanya vitendo visivyokuwa na maadili, vitampelekea kupoteza sifa ya kuendelea kutumikia taji, hivyo kuvuliwa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa zawadi ambazo Waandaajiwa taifa watakabidhikwa mshindi wa pili kulingana na sifa za mshindi. c) Idadi ya wawakilishi wa nchi itaongezeka kila itakapowezekana kutegemeana na Idadi ya Eneo na viwango vya wawakilishi, malengo ya awali ni kupeleka wawakilishi 1-6 na wa tuzo za vipaji, kwa kuanzia washindi wa 1-4 na mshindi wa tuzo za vipaji kila mwaka anakuwa ni miongoni mwa wawakilishi wa taifa na kimataifa. E: Washindi wa Mikoa, Wilaya na Majimbo: Washindi wa kwanza wa kila mkoa watawakilisha mkoa katika Fainali za Taifa, hata hivyo waandaaji wa taifa wanaweza kuongeza Idadi ya wawakilishi wa mkoa katika fainali za Taifa kama watakavyoona inafaa kutokana na mahitaji ya Idadi ya washiriki kwa lengo maalum likiwemo la kupanua Elimu ya Demokrasia, katika mkoa husika. Kila wilaya itawakilishwa na washindi1- 5 na mshindi wa tuzo za vipaji katika fainali za mkoa na kwa Idadi hiyo hiyo kwa wawakilishi wa majimbo katika fainali za wilaya. Washindi wa Mikoa, wilaya na majimbo ya mashindano haya watajulikana kwa mpangilio ufuatao: - Jina la Shindano, Jina la Mkoa, Wilaya/Jimbo (Mfano; Balozi wa Demokrasia Tanzania- Ukerewe 2010). c) Mikoa ambayo itawakilishwa katika fainali za Taifa za kila mwaka ni yote ya Tanzania bara, Zanzibar na Vyuo vikuu itawakilishwa kama mkoa hivyo kuwa na
  • 22. Balozi waDemokrasiaTanzania jumla ya mikoa ya mashindano 26, Wilaya zote na Majimbo ya ubunge ili kila mkuu wa mkoa, wilaya na Mbunge awe na balozi wake wa Demokrasia. Idadi ya mikoa, wilaya na majimbo itabadilika kulingana na Idadiitakayowekwa kisheria na serikali. Kuanzia ngazi ya mikoa majina ya Tuzo hizo itatajwa kwa jinsi ya majina ya Lugha ya Kigeni (Kiingereza) kwa Kuwa Kati ya Wageni Waalikwa wengi watakuwa ni pamoja na Mabalozi wawakilishi wa Balozi mbalimbali Duniani. -Kwa sasa mikoa hiyo ni: Ambassador of Democracy Tanzania -Arusha Ambassador of Democracy Tanzania -Dar es Salaam Ambassador of Democracy Tanzania -Dodoma Ambassador of Democracy Tanzania -Iringa Ambassador of Democracy Tanzania -Kigoma Ambassador of Democracy Tanzania -Kilimanjaro Ambassador of Democracy Tanzania -Kagera Ambassador of Democracy Tanzania -Lindi Ambassador of Democracy Tanzania - Mara Ambassador of Democracy Tanzania - Morogoro Ambassador of Democracy Tanzania -Mbeya Ambassador of Democracy Tanzania -Mwanza
  • 23. Balozi waDemokrasiaTanzania Ambassador of Democracy Tanzania -Mtwara Ambassador of Democracy Tanzania -Manyara Ambassador of Democracy Tanzania - Pwani Ambassador of Democracy Tanzania -Ruvuma Ambassador of Democracy Tanzania -Rukwa Ambassador of Democracy Tanzania -Singida Ambassador of Democracy Tanzania -Shinyanga Ambassador of Democracy Tanzania -Tabora Ambassador of Democracy Tanzania -Tanga Ambassador of Democracy Tanzania - Simiyu Ambassador of Democracy Tanzania -Njombe Ambassador of Democracy Tanzania - Katavi Ambassador of Democracy Tanzania -Zanzibar Ambassador of Democracy Tanzania -University Kufanyika kwa fainali za Wilaya na Majimbo kutategemea mazingira ya mkoa husika,lakinikwa Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo kwa sasa ni Mikoa ya kanda maalumu ya Kipolisi ni lazima ifanye fainali zake, kulingana na Idadi yake zitakazo kuwepo kwa mujibu wa sheria. Kwa sasa ambazo hizo ni: Ambassador of Democracy Tanzania -Kinondoni
  • 24. Balozi waDemokrasiaTanzania Ambassador of Democracy Tanzania - Ilala Ambassador of Democracy Tanzania -Temeke Washindi 1-5 na wa Tuzo za vipaji watakuwa chini ya uangalizi wa waandaaji wa ngazi husika (Wilaya, Mikoa, Taifa) kwa msimu wote wa ushindi isipokuwa wale watakaotwaa ushindi kama huo kwa ngazi za taifa, mkoa na Wilaya watakuwa chini ya waandaaji wa ngazi husika na kwa wale watakao twaa nafasi hizo katika ngaziza Taifa ngazi za chini hazitahusika nao moja kwa moja.Msimu wa ushindi au kukaa na taji kwa ngazi zote ni kwa kipindi cha msimu mmoja kamili. F: HAKI NA MAJUKUMU YA WASHINDI a) Haki za washindi: Kupewa zawadi mara baada ya washindi kutangazwa kwa Ngazi za Mikoa, Wilaya na Majimbo. Kufahamishwa na kuonyeshwa mikataba ya shughuli zinazowahusu Kupata huduma zote muhimu wawapo kambini, mazoezini na mashindanoni Kusafirishwa kwenda kituo cha mashindano au cha shughuli za kijamii na kurudishwa na kugharamiwa malazi, vyakula,vinywaji baridi (Maji,soda) Kutangaziwa na kujulishwa zawadi kabla ya shindano na kusaini mikataba Kupata nakala za mikataba aliyosaini na waandaaji / Wakala wa ngazi husika, Kuheshimiwa na kujiheshimu, Kujikosoa na kukosolewa Kila mshiriki / mshindi analo jukumu la kuelezea na kutetea, Demokrasia kwa makini na ufasaha. b) Majukumu ya Washindi:- Washindi wa mashindano haya wanamajukumu yafuatayo: - Kuelewa vyema na kutetea siasa za wananchi, uchumi, uongozi na utawala, Tanzania na masuala mbalimbali ya kijamii, kitaifa na kimataifa katika
  • 25. Balozi waDemokrasiaTanzania Demokrasia. Kuelewa Bendera ya Taifa, rangi zake na maana zake, wimbo wa Taifa na lugha ya Taifa. Kuzingatia kujivunia na kuuenzi utaifa wake (Tanzania), Kuelewa jografia ya Tanzania, Afrika, na Dunia katika Utawala Bora na misingi ya kidemokrasia, Kuhamasisha jamii katika kutangaza Sera za Taifa, ikiwa ni pamoja na kufundisha maana ya Uchaguzi katika Utawala wa Kidemokrasia na kuelimisha zoezi la Upigwaji kura ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya Uraia. Kuhamasisha watu na makundi mbalimbali katika Jamii kusaidia wenye kuhitaji na wanaoishi katika mazingira magumu kama Walemavu, Yatima, Maskini, Waathirika wa Ukimwi na vita dhidi ya uaharibifu wa Mazingira hususani jamii inayo zunguka Maliasili za Taifa. Kuhamasisha jamiina jumuiya kupambana na Rushwa, Ubaguzi wa Kijinsia, Uvaaji wa Mavazi yenye kudhalilisha, Utumiaji wa madawa ya kulevya, kufanya mapenzi kabla ya ndoa n.k. Kuhamasisha jamii, hususani vijana na kizazi kipya, kudumisha na kuthamini Demokrasia, Uongozina Utawala, Maendeleo, Utamaduni na haki ya kupiga Kura. Kuwa mfano bora wa kuigwa na tegemeo kwa watu wengine na jamii kwa ujumla kitabia na mwenendo mwema. Kuhamasisha kufuata na kufundisha maana na kanuni muhimu za kidemokrasia Kutii na kufuata sheria za nchi, mamlaka za Uongozina Utawala na kushiriki katika hatua zinazofuata za mashindano haya. Kushirikiana na wakurugenzi (Wakala) wa ngazi husika na waandaaji wa Taifa kuendeleza Demokrasia,Utamaduni Kuitika wito wa waandaaji na kushiriki katika shughuli zozote zinazohusiana na Sauti ya
  • 26. Balozi waDemokrasiaTanzania Demokrasia kama watakavyo pangiwa au kutakiwa na waratibu wa ngazi husika Kuheshimu na kutii viongozi wa Mashindano, Serikali na Mamlaka za Sanaa katika jamii, Kitaifa na Kimataifa. Kufikisha Ujumbe katika kukosoa, kusifia na Tathmini ya zoezi zima la mchakato wa uchaguzi mkuu wa Rais kila baada ya miaka mitano, ambapo ujumbe huo utatolewa wakati joto la vuguvugu la Uchaguzi linapokuwa ndani ya mwezi baada ya uchaguzi. G: KUTENGULIWA USHINDI, USHIRIKI: Ushindi au ushiriki utatenguliwa na waandaaji wa Taifa baada ya kuridhika na taarifa au ushahidi juu ya ukiukwaji au uvunjwaji wa kanuni za mashindano haya na utovu wa nidhamu utakaokuwa umefanywa na mshiriki au mshindi ambapo ni pamoja na: Ikithibitika kwamba mshiriki ni mwanafunzi wa shule ya msingi au hakumaliza elimu ya sekondari ama umri wake ni chini ya miaka 20 au zaidi ya 30. Ikithibitika kwamba, mshiriki au mshindi alitiwa hatiani na mahakama kwa kutenda kosa la jinai. Ikithibitika kuwa mshindi ameshiriki zaidi ya mara moja katika msimu mmoja wa mashindano, Ikithibitika kwamba mshiriki si raia wa Tanzania, Ikithibitika kuwa mshindi si mkazi/ mzaliwa wa eneo husika, Kutoshiriki mashindano ya ngazi inayofuata bila ya sababu ya msingi itakayo kubaliwa na waandaaji wa ngazi husika na Taifa, Kuchelewa kuripoti mashindanoni au kambini bila ya taarifa na idhini ya waandaaji wa ngazi husika. Ikiithibitika kwamba katika msimu wa ushindi, mshindi katenda matendo yoyote
  • 27. Balozi waDemokrasiaTanzania yenye kudhalilisha jamii na maana nzima ya Demokrasia kwa ujumla kwa makusudi. Kujifungua, kuolewa, kuchukua ujauzito kabla ya msimu wa ushindi kwisha na ikithibitika kutumia madawa ya kulevya. Mshindi kutokutekeleza wajibu na majukumu yake kikamilifu ama kuwa na mwenendo mbaya katika jamii. Ukiukajiwa namna yoyote wa kanunina taratibu za mashindano haya na sheria za nchi. Mshiriki kutofanya na kuzingatia Mafunzo na maelekezo ya walimu kwa uzembe au kutokujali. SEHEMU YA 7: WAKURUGENZI / MAWAKALA WA WILAYA NA MAJIMBO Ili kuondokana na ukiritimba wa madaraka na kupanua uwajibikaji wa pamoja na mfumo wa kitaasisi zaidi, kutakuwa na wawakilishi wa mashindano haya katika ngazi za kanda, Mikoa, Wilaya, na Majimbo, Hawa watajulikana kama mawakala au wakurugenzi wa ngazi husika, hawa watakuwa wakifanya kazi kwa niaba ya waandaajiwa taifa (BDT) na watawajibika moja kwa moja kwa waandaaji wa Taifa (Principle and Agency), Watakuwa na mamlaka kamili ya kiutendaji kwa mujibu wa kanuni ya mashindano haya. B: WAJIBU WA WAKURUGENZI / WAKALA: 1.1 Kugharamia na kusimamia mashindano katika ngazi husika mkoa/wilaya kutangaza washindi baada ya mashindano na kutoa zawadi jukwaani.
  • 28. Balozi waDemokrasiaTanzania 1.2 Kuhakikisha kuwa kanuni na taratibu zote za mashindano haya zinafuatwa kama zilivyotolewa na waandaaji wa Taifa na kupitishwa na BASATA 1.3 Sifa na uwezo wa kuhakikisha hakuna upendeleo. 1.4 Kuhakikisha washirikiwana sifa na viwango vya juu vinavyotakiwa kwani ngazi hizo ni nyenzo na ni msingi wa demokrasia bora kwa Taifa na Dunia. 1.5 Kuhakikisha kuwa washindi wote wanashiriki mashindano ya ngazi inayofuata na kuhakikisha kwamba washiriki wote hawana vikwazo wala pingamizi za kushiriki. 1.6 Kuhakikisha kuwa wanawasafirisha na kuwagharamia hadi katika kituo cha ngazi inayofuata kwa muda uliopangwa wakiwa na mavazi yote yanayotakiwa na wakiwa na nauli ya kurudi katika kituo pamoja na pesa za matumizi. 1.7 Kuhakikisha kuwa washindi hawafanyi au kutumiwa katika matangazo ya biashara, hadi baada ya mashindano ya ngazi inayofuata kwisha. 1.8 Kuhakikisha kuwa fomu za kuthibitisha uraia na kiwango cha elimu zinapelekwa katika ngazi inayofuata ya mashindano. 1.9 Kuandaa shindano kwa kuzingatia kalenda iliyo tolewa na waandaaji wa Taifa, kutozingatia kalenda kutapelekea mashindano ya mkoahusika kufutwa au Wakala kufutiwa kibali au waandaaji wa Taifa kuchukua hatua zozote za kufaa kunusuru Shindano. 1.10 Kuhakikisha kuwa wanashirikiana na vyombo na taasisi za Sanaa za Serikali katika ngazi husika kwa mujibu wa sheria na taratibu za mashindano haya na za Nchi. 1.11 Wakala atalipa ada itakayokubaliwa na waandaaji wa Taifa, na ataleta
  • 29. Balozi waDemokrasiaTanzania mapendekezo kwa waandaaji wa Taifa na Wakala wa ngazi za chini yake kwa uteuzi, Atashirikiana na waandaji wa Taifa kusimamia mashindano ya ngazi za chini yake. 1.12 Wakala watawasimamia washindi/ washiriki wa ngazi zao katika kuendeleza, kuhamasisha Demokrasia na majukumu kama ya mshindi wa Taifa na kuingia mikataba na washiriki wote kabla ya Shindano ili kulinda haki za washiriki na waandaaji. 1.13 Kugharamia malazi, Chakula na usafiriwa ndani ya wasimamizi wawili kutoka ngazi ya Taifa na wakati wa mashindano Malazi yawe katika hoteli yenye hadhi na kuheshimika. 1.14 Kushirikisha na kushirikiana na mamlaka za sanaa za ngazi husika , ikiwa ni Pamoja na kutoa heshima zote za kiprotokali kwa viongozi wa Sanaa na Serikali katika ngazi husika. 1.15 Kushirikiana na vyama, vyombo vya wanahabari katika kupromoti na kutoa Taarifa Sahihi za Shindano kwa jamii kupitia Vyombo vya Habari. 1.16 Kutoa ripoti ya maandishi kwa waandaaji wa Taifa Pamoja na nakala ya mkanda wa video na picha za washindi wakiwa mmoja mmoja katika mavazi yote na picha moja moja ya full SaiziPaspoti Saiziza Shindano ndani ya wikimoja tangu Tarehe ya Shindano. 1.17 Kulipa ada ya leseni ya uwakala kwa waandaaji wa Taifa kabla ya kuandaa Shindano. C: SIFA ZA MAWAKALA a) Lazima awe amesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
  • 30. Balozi waDemokrasiaTanzania b) Awe na ofisi ya kudumu katika eneo husika. c) Awe na uwezo wa kuwapata washiriki wenye sifa. Awe tayari kushirikiana na vyombo vya serikali katika ngazi husika katika kuendeleza, Elimu, sanaa, michezo na utamaduni Awe na kibali cha kuendesha Shindano kutoka Taasisi zinazosimamia sanaa katika ngazi husika. Awe na uwezo wa kutafsiri na kuzingatia kanuni na taratibu za Shindano hili. Atambue na kukubali kuwa Ubunifu huu ni Mali ya Mpalule Shaaban, ambaye ameweka kwenye kampuni ya MISS DEMOKRASIA TANZANIA & ENTERTAINMENT CO LTD, kwa ajili ya kuandaa na kuendesha mashindano haya ya Balozi wa Demokrasia Tanzania- (Ambassador of Democracy Tanzania) isipokuwa Mabadiliko ya Kampuni Katika Kuratibu Itategemeana na Mabadiliko ya Kila Siku. Awe na uwezo wa mtaji au kupata wadhamini wa kugharamia uendeshaji wa mashindano ya ngazi husika na kutoa zawadi kwa washindi. I) Awe na uwezo wa kuwasiliana kwa haraka na waandaaji wa taifa na mamlaka husika katika ngazi za mashindano yake. Awe na uwezo wa kuandika na kutoaripoti ya maandishi ya mashindano yakekwa waandaaji wa Taifa ndani ya siku saba tangu Tarehe ya kufanyika kwa Shindano lake. Awe na uwezo wa kumsafirisha mshindi / washindi wa ngazi za Shindano lake, kwenda katika mashindano ya ngazi inayofuatia na iwapo mshindi kwa sababu zozote hataweza kushiriki basi mshindi aliye mfuatia ata wakilisha.
  • 31. Balozi waDemokrasiaTanzania l) Awe na uwezo wa kuhakikisha kuwa washiriki katika ngazi inayofuatia ni wale walioshinda au kushiriki fainali za mwaka husika katika ngazi hiyo. m) Kwa kushirikiana na mamlaka husika na waandaaji wa Taifa na majaji ,awe na uwezo wa kusimamia uamuzi wa haki wa kuwapata washindi na kutangaza matokeo sahihi ya washindi kama yalivyoamuliwa na jopo la majaji. n)-Awe na uwezo wa kuwaandalia washindi na washiriki shughuli za kijamii na za kutangaza DEMOKRASIA kwa eneo husika kila mwezi au angalau kila baada ya miezi miwili. o) Awe na uwezo wa kujenga na kuimarisha mahusiano mema na ushirikiano na jamii, Serikali, Mamlaka za Sanaa, Sekta Binafsi na za Umma wakiwemo wana Habari na Vyombo vya Habari. p) Awe ni mwenye upeo wa kutosha juu ya masuala mbalimbali ya kijamii,kitaifa na kimataifa, pia uwezo wa kuelewa,kuelewesha na kujieleza hususanikatika masuala ya Ufundishajiwa Elimu ya Chaguzi, Demokrasia,Historia jographia,Utamaduni,Sanaa, Desturi ya Tanzania. q) Awe na uwezo wa kutayarisha na kuwasilisha kwa waandaaji wa Taifa mchanganuo wa namna atakavyo fanikisha Shindano la ngazi yake. D: HAKI ZA MAWAKALA Kupendekeza Tarehe ya mashindano kwa waandaaji wa Taifa kabla ya kalenda ya kitaifa ya mashindano haya kutolewa, kuzuia na kutatua utata wowote utakao jitokeza katika mashindano na washiriki wa ngazi husika pia kufahamu na kurekebisha kasoro yoyote itakayotokea Uamuzi wa majaji ni wa mwisho, rufaa zote za kupinga uamuzi wa majaji,
  • 32. Balozi waDemokrasiaTanzania haziruhusiwi, isipokuwa kwa sababu maalum zitakazokubaliwa na waandaaji wa Taifa. Kuruhusu na kutambua kuwa waandaaji wa Taifa wanayohaki ya kushauri, kusimamia, kurekebisha kasoro au mapungufu yoyotekatika mashindano ya ngazi yoyote na shughuli yoyote inayohusiana na mashindano haya. Kuhakikisha kuwa washiriki wote ni wale wenyesifa za kushiriki mashindano haya kwa mujibu wa kanuni na taratibu za mashindano haya na sheria za nchi. Kuwasimamia washindi na kuhakikisha hawafanyi matendo yenye kudhalilisha jamii na Demokrasia,sanaa na urembo kwa Taifa, kutoa taarifa na mapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya washindi wanao kiuka Taratibu na kanuni za mashindano zikiambatana na ushahidi kwa waandaaji wa taifa. Kupewa si chini ya tiketi mbili za kuingia bure katika fainali za Taifa na kuingia bure katika Shindano au shughuli yoyote ya ngazi zote nchini. Kupongezwa au hata kuzawadiwa na waandaaji wa Taifa pale watakapokuwa wamefanya au kutekeleza majukumu yao vyema zaidi. Kwa kushirikiana na waandaaji wa ngazi husika kuwatumia washindi wa ngazi zao na hata ngazi za taifa katika kutekeleza malengo na madhumuni ya mashindano haya. E : MKATABA BAINA YA WAKURUGENZI /WAKALA/ NA WAANDAAJI WA TAIFA Mawakala wote watathibitisha kukubaliana na kanuni na taratibu zote za mashindano haya kama zilivyotolewa na waandaaji wa Taifa kwa kutia saini fomu na kila ukurasa wa kanuni na taratibu za mashindano haya na kuzifuata bila ya kukosa ikiwa ni pamoja na kulipa ada ya leseni ya uwakala kwa waandaaji wa taifa.Mikataba ya mawakala na waandaaji wa Taifa itakuwa ni ya msimu mmoja wa mashindano na kurudiwa kila msimu kulingana na utendaji wa mkurugenzi
  • 33. Balozi waDemokrasiaTanzania /Wakala. Ukiukwaji wa aina yoyote utasababisha: - a) Washindi wa mkoa/wilaya kutokubaliwa kushiriki ngazi ya Taifa/ Mkoa Kubatilishwa kwa mashindano ya Wilaya, Mkoa / Taifa b) Kutopewa tena kibali cha uwakala na kushtakiwa kwa kuvuruga mashindano na kuwafidia washiriki kwa uzembe wa wakurugenzi/wakala Mawakala na waandaaji wa Kitaifa kupewa adhabu yoyote na Serikali. F: ZAWADI NA WADHAMINI. Zawadi zote zinapaswa kuwasilishwa kwa wasimamizi wa Sanaa au Serikali katika ngazi zote za Wilaya/ Mkoa zawadi za ngazi ya Taifa zitakabidhwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) juma moja (week moja) kabla ya mashindano. Wakala wa Wilaya, Mikoa/ waandaaji wa ngazi husika wataingia mikataba ya maandishi na washiriki kabla ya kuanza mashindano. Wakala atakayeshindwa kutoa zawadi atafungiwa kufanya shughuli za Sanaa nchini na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa sheria. Wakala/ Mkurugenzi ataingia mikataba ya maandishi na wadhamini wa mashindano ya ngazi yake kabla ya kuwatangaza, na kwamba udhamini wote ukabidhiwe angalau si chini ya wiki mbili kabla ya kuanza kambi au mazoezi ya washiriki. G : MAJUKUMU NA WAJIBU WA WAANDAAJI WA TAIFA Kuteua, kusimamia na kuthibitisha mawakala wa ngazi zote. Kuandaa na kuendesha mashindano ya Balozi wa Demokrasia Tanzania na kutoa
  • 34. Balozi waDemokrasiaTanzania zawadikwa washindiwa Taifa Kugharamia malazi, chakula, usafiri wa ndani na nje mpaka wanarudi mikoani washiriki wote waliofuzu kushiriki ngazi ya Taifa kwa kipindi chote hadi siku ya kurudi makwao, ikiwa ni pamoja na mahitaji mengine muhimu kama matibabu na usalama kwa washiriki wakati wote wa kambi na mashindano. kutangaza washindi siku ya mashindano, Kuwagharamia washindi wa Taifa katika mashindano ya ngazi inayofuata, zikiwemo za mavazi ya mashindano, viatu nauli ya kwenda na kurudi mashindanoni, na pesa za matumizi kwa muda wote atakaokuwa mashindanoni na kusimamia maandalizi na kumuandaa kwa mashindano ya ngazi inayofuata. Kusimamia washindi wa Taifa na kimataifa waliopo nchini au watakapokuja nchini kwa niaba ya waandaaji wa mashindano husika. Kusimamia shughuli zote za washindi na washiriki zinazohusisha mashindano haya, ushindi wao, ushiriki wao, wadhamini, mamlaka za Umma na Binafsi, Mikataba na Matangazo na mengineyo yenye kuhusisha mashindano, ushiriki au ushindi wa Balozi husika. Kushirikiana na washindiwa Taifa kupata wadhamini wa mavaziya mashindano ya Kitaifa na Kimataifa, Viatu , nauli ya kwenda na kurudi mashindanoni, pesa ya matumizi kwa muda wote atakaokuwa katika mashindano pamoja na kusimamia maandalizi kwa kumuandaa katika mashindano ya Kimataifa na Dunia. H: MFUMO WA ONYESHO NA NGAZI ZA MASHINDANO. Mashindano ya kumpata “Balozi wa Demokrasia Tanzania” yatafanyika katika ngazi na mfumo ufuatao: - Ngazi za Mashindano:
  • 35. Balozi waDemokrasiaTanzania Yataanzia ngazi za majimbo (Majimbo ya uchaguzi) Ngazi za Wilaya, Ngazi za Mikoa, Ngazi ya Kanda, Ngazi za Taifa, Ngazi za Mabara, Ngazi za Dunia na Kimataifa. Mfumo wa Onyesho (Show Parten): Washiriki katika ngazi zote watapanda katika steji kuwania Taji na Tuzo za ngazi husika katika awamu mbalimbali wakionyesha umahili katika Mitindo wakiwa wamevalia mavazi ya Nyumbani, Ofisini, Utawala na Uongozi, Washiriki wataingia na kutembea jukwaani kwa nyimbo za kumbukumbu, ukiwemo wimbo waTaifa ambapo pia watahusika kwenye DEBATE kama sehemu ya Shindano. Mpangilio wa onyesho la Balozi wa Demokrasia Tanzania utakuwa ifuatavyo: 2.3 (a) Balozi wa Demokrasia Tanzania-Kipaji:- Washiriki wote watapita jukwaani kwa mara ya kwanza kuwania Taji la tuzo ya vipaji kwa kuigiza moja ya Tendo lililomo ndani ya Demokrasia kwa mfumo wa kuigiza kama mtawala, kiongozi, katika Jimbo, Wilaya au Mkoa anaowakilisha, hapo kila mshiriki atavaa vazi kuendana na igizo lake, Onyesho hili linaweza kufanyika juma moja kabla ya fainali za ngazi husika ama siku hiyo hiyo ya shindano kutegemeana na waandaaji na mshindi atatangazwa siku ya fainali sambamba na washindi wa jumla wa ngazi husika. 1) Vazi la Nyumbani Vazi la kwanza litakuwa ni vazi linalovaliwa wakati muhusika akiwa eneo la nyumbani. 2) Vazi la Utukufu (Taifa). Vazi la pili litakuwa ni vazi la Utukufu, Washiriki watapita na mavazi halisi ya
  • 36. Balozi waDemokrasiaTanzania Tanzania, hii imetokana na kuenzi na kuendeleza Taifa letu ili kudumisha na kukuza Rangi za Bendera ya Tanzania, Desturi, na hapo Ualisia wa shindano utatimia kwa kuzingatia Demokrasia na Ushiriki wa watu. 3). Vazi la tatu litakuwa ni la Utawala na Uongozi. Washiriki wote watapita katika jukwaa wakiwa katika mavazi ya Uongozi na Utawala, ambapo kila mshiriki ataonyesha mavazi yanayopaswa kutumiwa na Viongozi, Watumishi, pamoja na watawala, pasipo kuzalilisha jamii kwa kuzingatia Demokrasia. Baada ya hapo washiriki wote watajibu mada zitakazoulizwa na majaji husika, ili kupata washindi watakaoingia hatua ya kumi bora, tano bora, tatu bora na kisha kupata mshindi. Mavazi na uvaaji ni Utamaduni wa jamii husika, kwa mujibu wa Utamaduni wetu wa Tanzania, Kila mshiriki atavaa mavazi ya heshima yasiyo mdhalilisha mvaaji, jamii wala mtazamaji. Kumi na Tano Bora :- Washiriki walioingia hatua hii ya nusu fainali, watapewa dakika tano kila mmoja kuonyesha uwezo wake wa kuchanganua mada na kuonyesha uwezo wakewa kujieleza, kuelewesha na kuelewa. Mada hizo zitahusu Uchaguzi na Kura, Umuhimu wa chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo wa Uchaguzi Tanzania, Ukaguzi wa Chaguzi, vyama vya siasa na Chaguzi, Mchakato wa Uchaguzi na Kupiga Kura, Demokrasia na Ushiriki wa Watu, Demokrasia na Ushiriki wa Wote, Uraia na Uongozi, Vikwazo vya Chaguzi za Kidemokrasia, Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za Utawala, Njia za Kuimarisha Utawala Bora, Misingi ya Katiba,Haki za Raia na Utawala Bora, Haki na Kazi za Katiba, Misingi ya Katiba, Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa Sheria, Haki na Wajibu wa Raia, Uongozi na Utawala, Demokrasia TANZANIA.
  • 37. Balozi waDemokrasiaTanzania -Tano Bora:- Washiriki watano kati ya 15 watatangazwa kuingia katika hatua ya fainali.Washiriki watapewa dakika tano kila mmoja kuonyesha uwezo wa kuchanganua mada inayofanana kuhusiana na Uchaguzi na Kura, Umuhimu wa chaguzi za Kidemokrasia, Mfumo wa Uchaguzi Tanzania, Ukaguzi wa Chaguzi, Vyama vya Siasa na Chaguzi, Mchakato wa Uchaguzi na Kupiga Kura, Demokrasia na Ushirikiwa Watu, Demokrasiana Ushirikiwa Wote, Uraia na Uongozi, Vikwazo vya Chaguzi za Kidemokrasia, Utawala wa Kidemokrasia, Utawala na Taasisi za Utawala, Njia za Kuimarisha Utawala Bora, Misingi ya Katiba,Haki za Raia na Utawala Bora, Haki na Kazi za Katiba, Mgawanyo wa Madaraka, Utawala wa Sheria, Haki na Wajibu wa Raia, Uongozi na Utawala, Demokrasia TANZANIA. Washindi kutangazwa:- Wakurugenzi / Wakala wa kila ngazi atatangaza washindi 1-5 na mshindi wa tuzo ya vipaji na katika ngazi ya Taifa Mwenyekiti wa mashindano haya atatangaza washindi 1-5 na mshindi wa tuzo za vipaji ambapo Mpangilio wa kutangaza matokeo utakuwa kama ufuatao: Ambassador of Democracy Tanzania …4th Runner Up Ambassador of Democracy Tanzania …3rd Runner Up Ambassador of Democracy Tanzania …2nd Runner Up Ambassador of Democracy Tanzania …Talent Award Ambassador of Democracy Tanzania Ambassador of Democracy Tanzania …1st Runner Up
  • 38. Balozi waDemokrasiaTanzania Zawadi na Tuzo kwa washindi (Prizing and Awarding): Baada ya matokeo kutangazwa washindi watakabidhiwa zawadi zao na vifuta jasho kwa washiriki wote wa ngazi za Mkoa, Wilaya na Majimbo, na katika ngazi ya Taifa zawadikwa washindiwa jumla na wa tuzo zitatolewa siku ya pili baada ya Shindano katika hafla maalum itakayo andaliwa na waandaaji wa Taifa ambapo kwenye ngazi ya taifa hakuna kifuta jasho kwa washiriki, isipokuwa tuzo mbalimbali zitakazoshindaniwa. MWISHO: Msimamizi Mkuu, Mtunzi na mwandishi wa Ubunifu- Mpalule Shaaban.– 1. WANACHAMA NI:Violety Timoth, Peter Mziray 0715665506, Fredy njeje 0654221465, lucy Kiwelo, LeilaBanji, AgathaMkama0718195052, Nyakasagani Masenza 0784296263, CelineJunju, PauloSiboka- 0715094209, Angel Gaudence,`AikaGasper Munisi, MarianaLawrence, Mamadou Shaaban-0652897852, BasomingeraVaria, JeremiaBomani, LeilaBhanji, . HALIMA BAKARI- 0753 411 893, . MAYUNGAJUMANNE – 0756 862 812, GETRUD WINFRED -0653605 021, IBRAHIM MUSSA -0654 848 154, NEEMA COSTANTINE -0769988 198, ALEXVALLERIUS – 0762 000 179, GABRIELA FAITH -0712 194 123, AGATH SWAI –0755 773 610,
  • 39. Balozi waDemokrasiaTanzania SUZAN JOSEPH -0766 435 984, ALAN MWASUBILA-0718 762 674, Zuhura Masoud-0657745589/0767448688, Upendo Laban Morento-0715560177/0755900185, StephanoStefan0766241185, Jazminy Terry -0654200401. HALIMA BAKARI- 0753 411 893 MAYUNGA JUMANNE – 0756 862 812 GETRUD WINFRED -0653 605 021 IBRAHIM MUSSA -0654 848 154 NEEMA COSTANTINE -0769 988 198 ALEX VALLERIUS – 0762 000 179
  • 40. Balozi waDemokrasiaTanzania GABRIELA FAITH -0712 194 123 AGATH SWAI – 0755 773 610 SUZAN JOSEPH -0766 435 984 ALAN MWASUBILA-0718 762 674 Haki zote zimeifadhiwa C O S O T A Copyright society of Tanzania Ref No. CST/APP/REG/WORKS/VOL.XV/86 -ACT, NO. 7 (CAP 218 RE